MTIHANI WA KUJIPIMA WA MADA

MAARIFA YA JAMII DARASA LA SABA

UJASIRIAMALI

Chagua jibu sahihi

1.Aina kuu mbili za biashara ni:

  1. biashara ya mkopo na ya malipo
  2. biashara ya mkopo na kubadilishana
  3. biashara ya mtaji na fedha
  4. Biashara ya hisa na ya mitaji
  5. biashara ya ndani na ya nje
Choose Answer


2.Nini maana ya ujasiriamali?

  1. Bishara yoyote yenye faida
  2. Uwekezaji kwenye biashara
  3. Biashara ndogondogo
  4. Sekta binafsi
  5. Ujasiri wa kumiliki mali
Choose Answer


3. Zipo aina tatu za mipango ya uchumi ambayo ni mipango ya ...

  1. miaka kumi, kumi na tano na ishirini na tano
  2. Taifa, Mkoa na Wilaya
  3. kilimo, biashara na viwanda
  4. muda mrefu, dharura na muda mfupi
  5. muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu
Choose Answer


4. Ufugaji wa kisasa wa wanyama huzingatia nini? ..

  1. Utamaduni wa jamii
  2. Ubora wa wanyama na mazao yao.
  3. Kuwepo kwa ardhi ya kutosha.
  4. Mbuga za asili za kulishia mifugo.
  5. Hali ya hewa.
Choose Answer


5. Ni katika mfumo upi wa kiuchumi ambamo njia kuu za uzalishaji mali wanajamii wote?

  1. Utumwa
  2. Ukabaila
  3. Ubepari
  4. Ujima
  5. Ujamaa
Choose Answer


6. Ipi kati ya fursa hizi za kibiashara haipatikani mijini?

  1. Ufugaji
  2. Kushona nguo
  3. Usafirishaji
  4. Kuuza vyakula
Choose Answer


7. Faida ya ubunifu ni hizi isipokuwa;

  1. Kuvutia wateja
  2. Kukabiliana na ushindani
  3. Kuiga kazi za wengine
  4. Kuongeza faida
Choose Answer


8. Ipi sio aina ya wajasiriamali?

  1. Wajasiriamali wabunifu
  2. Wajasiriamali wafanyabiashara
  3. Wajasiriamali watumishi
  4. Wajasiriamali jamii
Choose Answer


9. Tabia hizi zinaweza kukwamisha biashara yako isipokuwa

  1. Kujituma
  2. Uvivu
  3. Kuwa na visingizio
  4. Kupoteza muda
Choose Answer


10. Ipi sio tabia ya mjasiriamali?

  1. Uthubutu
  2. Uaminifu na uadilifu
  3. Kukata tama
  4. Ubunifu
Choose Answer


11. Fursa ya ujasiriamali inayopatikana vijijini pamoja na

  1. Ukulima
  2. Ufugaji
  3. Uchimbaji madini
  4. Zote hizo
Choose Answer


Andika KWELI kwa sentensi ya kweli na SI KWELI kwa sentensi isiyo ya kweli katika nafasi uliyopewa.

  1. Kufanya biashara haramu ni njia halali inayotumiwa na baadhi ya wajasiriamali ili kujiongeza kipato............
  2. View Answer


  3. Wajasiriamali wanashauriwa kuepuka kujiingiza kwenye biashara haramu kama vile biashara ya kuuza vipodozi vyenye viambato vyenye sumu.............
  4. View Answer


  5. Ukwepaji wa kodi kwa baadhi ya wajasiriamali hukosesha taifa mapato...........
  6. View Answer


  7. Ubora wa bidhaa za wajasiriamali huthibitishwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)..........
  8. View Answer


  9. Namna ya kudhibiti njia zisizohalali katika ujasiriamali ni kutoa elimu kwa wajasiriamali na wananchi kwa ujumla..............
View Answer


Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256