MTIHANI WA KUJIPIMA WA MADA
 MAARIFA YA JAMII DARASA LA SABA
 SHUGHULIZA KIUCHUMI AFRIKA MASHARIKI
 Chagua Jibu Sahihi
 1.Uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania ni:
  -  kilimo
  -  ujasiriamali
  - biashara
  - utandawazi
  - madini
  
 Choose Answer    
2.Watu wanaoishi kandokando mwa bahari na maziwa hujihusisha na shughuli za:
  - kilimo
  - uvuvi
  - uvunaji magogo
  - ufugaji
  - usafirishaji
  
Choose Answer    
 3.Mbuga za wanyama zinazopatikana Tanzania ni:
  - Serengeti, Ruaha na Mikumi
  - Tarangire, Katavi na Ngorongoro
  - Serengeti, Manyara na Ngorongoro
  - Selous, Serengeti na Mikumi
  - Mkomazi, Selous na Ngorongoro
  
Choose Answer    
 4.Uvuvi usio endeleevu waweza kusababisha yafuatayo kasoro:
  - vifo vya watu
  - vifo vya samaki
  - uchafuzi wa maji
  - umaskini
  - utajiri
  
Choose Answer    
 5. Mikoa mitatu ya Tanzania ambako zao hili hulimwa kwa wingi ni:
  - Arusha, Dodoma na Kilimanjaro
  - Tanga, Morogoro na Kilimanjaro
  - Iringa, Mbeya na Rukwa
  - Dodoma, Rukwa na Tabora
  - Mwanza, Kagera na Kilimanjaro
  
Choose Answer    
  6. Nchi zinazovuna maji ya mvua na kuyatumia kuongeza maji kwenye udongo ni:
  - Marekani na India
  - Tanzania na India
  - India na Kenya
  - Kenya na Uganda
  - China na Marekani
  
Choose Answer    
 7.Biashara ya ndani ni ile inayohusisha bidhaa ...
  - zinazotengenezwa nje ya nchi.
  - zinazotengenezwa na kuuzwa ndani ya nchi.
  - zinazozalishwa ndani ya nchi.
  - zinazotengenezwa na kuuzwa nje ya nchi.
  - zinazouzwa nje ya nchi.
  
Choose Answer    
 8.Zao la mkonge hulimwa katika mikoa ipi Tanzania? ....... .
  - Tanga na Mbeya.
  - Morogoro na Pwani.
  - Morogoro na Tanga.
  - Kilimanjaro na Manyara.
  - Mtwara na Singida
  
Choose Answer    
9.Mgawanyo wa Bonde la Ufa la Afrika Mashariki na kuunda tawi la Mashariki na Magharibi umeanzia Ziwa .........
  - Victoria.
  - Tanganyika.
  - Natroni.
  - Nyasa.
  - Manyara.
  
Choose Answer    
10.Ni maziwa yapi yanapatikana katika Bonde la Ufa la upande wa Mashariki?
  - Turkana, Rukwa na Kyoga.
  - Nyasa, Victoria na Eyasi.
  - Turkana, Natroni na Eyasi
  - Victoria, Eyasi na Kyoga.
  - Albert, Edward na Kivu
  
Choose Answer    
  Andika KWELI kwa sentensi ya kweli na SI KWELI kwa sentensi isiyo ya kweli.
  - Mazao ya chakula kwa yanalimwa ajili ya chakula tu........................
 View Answer 
- Kahawa, pamba, na karafuu ni baadhi ya mazao ya biashara.................
 View Answer 
- Uchimbaji madini hunufaisha familia za wachimbaji tu Afrika Mashariki
 View Answer 
- Kuongezeka kwa pato la taifa ni moja ya faida ya shughuliza kiuchumi.............