STD VII HISABATI NECTA ONLINE SELF TESTS(2005-2018)
STD VII HISABATI NECTA EXAM OF YEAR 2023 Try This  |  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BARAZA LA MTIHAN1 LA TANZANIA

MTIHANI WA KUMALIZA ELIMIJ YA MSNGI

04 HISABATI

Muda: Saa 2:00 Mwaka : 2023

Maelekezo

  1. Karatasi hii ina sehemu A na B zenye jumla ya maswali arobaini na tano (45).
  2. Jibu maswali yote.
  3. Soma maelekezo yote yaliyoko katika fomu maalum ya kujibia (OMR).
  4. Jaza taarifa zote katika fomu ya OMR.
  5. Weka kivuli katika kila tarakimu ya Namba yako ya Mtihani kwenye nafasi husika katika fomu ya OMR.
  6. Weka kivuli katika herufi ya jibu lililo sahihi kwa swali Ia 1 hadi 40 katika fomu yako ya kujibia uliyopewa. Kwa mfano, kama jibu sahihi ni A weka kivuli kama ifuatavyo:
  1. Ukigundua kuwa herufi uliyowekea kivuli si jibu sahihi, futa kivuli hicho kwa umakini kwa kutumia kifutio safi kabla ya kuweka kivuli katika herufi mpya.
  2. Tumia penseli ya HB tu katika kujibu swali Ia 1 hadi 40, na kalamu ya wino wa bluu au mweusi kwa swali Ia 41 hadi 45.

  3. Onesha wazi njia iliyotumika katika kujibu swali la 41 hadi 45 katika nafasi iliyotolewa kwenye fomu ya OMR.

  4. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi ndani ya chumba cha mtihani.

SEHEMU A: MATENDO YA KIHISABATI, MAUMBO NA MAFUMBO

Katika swali la 1 - 40, kokotoa swali ulilopewa na kisha weka kivuli kwenye herufi ya jibu lililo sahihi katika fomu maalum ya kujibia (OMR) uliyopewa.

1. Ni namba ipi inayofuata katika mpangilio wa namba zifuatazo? 29, 33, 37, 41,

  1. 43
  2. 45
  3. 47
  4. 42
  5. 46


2. Urefu wa kiwanja cha mpira wa miguu ni meta 90.136 na urefu wa kiwanja cha mpira wa wavu ni meta 30.769. Andika tofauti ya urefu wa viwanja hivyo katika nafasi mbili za desimali.

  1. 60.63
  2. 59.34
  3. 60.37
  4. 59.37
  5. 59.36


3. Akilimali alianguka baada ya kukimbia  ya muda wa saa moja. Je, ni asilimia ngapi ya muda alibakiza kukamilisha saa moja?

  1. 75%
  2. 0.25%
  3. 25%
  4. 7.5%
  5. 2.5%


4. Bwana Mandela ana shamba lenye umbo la duara ambalo lina kipenyo cha meta 35. lwapo atapanda miti kwa achano la meta 2.2 kati ya mti na mti kuzunguka shamba hilo, je, atapanda miti mingapi kuzunguka shamba lote? (Tumia π =  )

  1. 110
  2. 242
  3. 77
  4. 51
  5. 50


5. Daktari aliwahudumia wagonjwa kwa siku mbili. Siku ya Jumatatu aliwahudumia wagonjwa 81 na siku ya Jumanne aliwahudumia wagonjwa 69. Ipi ni sehemu ya wagonjwa waliohudumiwa siku ya Jumatatu?



6. Rehema na Fadhili walianza kwa pamoja kuhesabu machungwa. Rehema alihesabu kwa sauti kila baada ya machungwa 5 na Fadhili kila baada ya machungwa 9. Ni namba ipi moja ya kwanza wote wataitaja kwa sauti?

  1. 14
  2. 4
  3. 45
  4. 90
  5. 54


7. Tanki la pikipiki ya Bakari lilijazwa mafuta lita 24. Iwapo pikipiki itatembea umbali wa km 10 na kutumia  ya lita za mafuta hayo, je, ni lita ngapi za mafuta zitabaki?

  1. 15
  2. 34
  3. 9
  4. 25
  5. 14


8. Basi lina viti 23, viti viwili ni kwa ajili ya dereva na kondakta na  ya viti vilivyobaki ni kwa ajili ya abiria. Ni viti vingapi havijakaliwa na abiria katika basi hilo?

  1. 21
  2. 14
  3. 16
  4. 7
  5. 9


9. Wanafunzi watano walipewa kazi ya kuorodhesha vigawe vyote vya 6 vilivyopo kati ya 30 na 60. Ipi ni orodha sahihi?

  1. 36, 48,54, 56
  2. 36, 42, 54, 60
  3. 36, 40, 42, 48
  4. 36, 48, 54, 60
  5. 36, 42, 48, 54


10. Esta alikokotoa kwa usahihi zao la namba tasa zote zilizopo kati ya 80 na 90. Je alipatajibu lipi?

  1. 7,387
  2. 7,378
  3. 7,367
  4. 7,373
  5. 7,396


11. Makundi matano yaliorodhesha namba shufwa zote zilizopo kati ya 115 na 124. Kundi lipi liliorodhesha namba hizo kwa usahihi.

  1. 116, 120, 122, 124
  2. 116, 118, 120, 122
  3. 116, 119, 120, 122
  4. 116, 118, 120, 124
  5. 16, 120, 1239 124


12. Wanafunzi walipewa kazi ya kupanga namba 1.25, 20%,  , 0.15 na -3 katika mfululizo wa kupungua. Upi ni mpangilio sahihi?

  1. 1.25,  , -3, 0.15, 20%

  2. -3, 1.25, 0.15, 20%,

  3. -3, 20%, 1.25,  , 0.15

  4. 1.25, 20%, 0.15,  , -3

  5. 1.25, -3, 20%, 0.15,



13. Mwanahawa aliweka shilingi 450,000 kwa muda wa miaka 2 benki na kupata riba ya shilingi 27,000. Kipi ni kiasi cha riba kwa asilimia ambacho benki ilitoa.

  1. 2%
  2. 3%
  3. 4%
  4. 5%
  5. 1%


14.Shule ya msingi Ushindi ina jumla ya wanafunzi 960. Ikiwa wasichana ni 540, je, wavulana ni sehemu gani ya wanafunzi wote?



15. Mama yake Mariamu alikuwa na kilogramu 100 za mchele. Alimpa Elisha ,  Mwajuma  na Isihaka  ya kiasi chote cha mchele. Je, aliyepata mgao mdogo, alipata kilogramu ngapi za mchele?

  1. 30
  2. 40
  3. 70
  4. 20
  5. 10


16. Musa alikula  ya mkate na Amina alikula  huo. Je, walibakiza sehemu gani ya mkate huo?



17. Sabrina na Salma walipata faida katika biashara yao. Sabrina alipokea  ya faida wakati Salma alipokea 0.4 ya faida hiyo. Tafuta tofauti ya viwango walivyopokea katika asilimia.

  1. 60%
  2. 40%
  3. 30%
  4. 80%
  5. 20%


18. Upendo alisafiri umbali wa kilometa  kwa baiskeli na sehemu iliyobaki alitembea kwa miguu. Iwapo alisafiri umbali wa kilometa  , je, alitembea umbali gani kwa miguu?

  1. Km

  2. Km

  3. Km

  4. Km

  5. Km



19. Shule ya Msingi Uhuru ilikuwa na ng'ombe 80. Mwaka jana iliamua kuuza  ya ng'ombe hao. Je, shule ilibakiwa na ng'ombe wangapi?

  1. 50
  2. 48
  3. 32
  4. 10
  5. 30


20. Kampuni ya umeme hutumia lita 5,500 na mililita 760 za dizeli kwa siku kufua umeme unaotosheleza katika kijiji cha Wazalendo. Ni kiasi gani cha dizeli kitatumika mwezi Februari wa mwaka mfupi kutosheleza mahitaji ya kijiji hicho?

  1. lita 154,021 na mililita 280
  2. lita 170,523 na mililita 560
  3. lita 165,022 na mililita 800
  4. lita 154,021 na mililita 250
  5. lita 159522 na mililita 40


21. Juma ni mfupi kuliko Amina kwa meta 0.32. Ikiwa kimo cha Amina ni meta 1.51 , kipi ni kimo cha Juma?

  1. m 1.83
  2. m 1.29
  3. m 1.81
  4. m 1.19
  5. m 1.18


22. Baba alinunua magunia 57 ya maharage na kila gunia lilikuwa na uzani wa kilogramu 90. Nini gharama ya magunia yote ya maharage ikiwa kila kilogramu moja alinunua kwa shilingi 380?

  1. Sh. 40,040
  2. Sh. 1,949,400
  3. Sh. 34.200
  4. Sh. 21 ,660
  5. Sh. 55,860


23. Kipato cha Jane kwa n?waka 2019 kilikuwa shilingi 42,000,000. Alitumia shilingi 8,500,000 kulipia ada za watoto wake, 12,000,000 kulipia gharama za ujenzi na shilingi 10,000,000 shilingi kwa matumizi binafsi. Ikiwa kiasi kilichobaki aliweka akiba, je, akiba yake ilikuwa shilingi ngapi?

  1. Sh. 11,500,000
  2. Sh. 30,000,000
  3. Sh. 35,500,000
  4. Sh. 39,500,000
  5. Sh. 72,000,000


24. Kikundi cha Muungano kilikuwa na wanachama 8. Walifanya biashara na kupata faida ya shilingi 8,592,000. Ikiwa waliamua kugawana faida hiyo kwa usawa, kila mmoja alipata shilingi ngapi?

  1. sh 1,407,000
  2. sh. 1,704,000
  3. sh. 174,000
  4. sh. 1,074,000
  5. sh. 1,174,000


25. Panju, Bakari na Amina waligawana shilingi 900,000 kama ifuatavyo: Panju alipata mara mbili ya kiasi ambacho Bakari alipata na Amina alipata mara tatu ya kiasi ambacho Panju alipata. Ikiwa Amina alipata kiasi cha shilingi 600,000, je, aliyepata kiasi kidogo cha fedha alipata shilingi ngapi?

  1. Sh. 400,000
  2. Sh. 50,000
  3. Sh. 100,000
  4. Sh. 200,000
  5. Sh. 300,000


26. Mwajuma alinunua bidhaa zifuatazo; kg 5 za mchele @ shilingi 2,200, kg 3 za maharage @ shilingi 2,300 na kg 4 za sukari @ shilingi 2,600. Ikiwa Mwajuma alikuwa na shilingi 50,000, je, alibakiwa na shilingi ngapi baada ya manunuzi hayo?

  1. Sh. 31,700
  2. sh 21 ,700
  3. sh 28,300
  4. sh 22,700
  5. sh 23,700


27. Mwajuma aliweka kiasi cha shilingi 564,000 katika benki inayotoa kiasi cha riba ya  kwa mwaka. Je, alipata riba ya kiasi gani kwa miezi 6?

  1. Shilingi 14,100
  2. Shilingi 18,612
  3. Shilingi 15,520
  4. Shilingi 15,510
  5. Shilingi 18,513


28. Mfanyabiashara aliweka kiasi cha sh. 8,000,000 katika benki inayotoa kiasi cha riba ya 8% kwa mwaka. Je, alipata riba ya sh 1,600,000 baada ya miaka mingapi?

  1. 2
  2. 3
  3. 4


29. Mchoro ufuatao unaonesha ukuta wa jengo mojawapo la shule ya msingi Songambele. Tafuta thamani ya ikiwa eneo la ukuta wote ni m2 192.

  1. m 10
  2. m 12
  3. m 15
  4. m 8
  5. m 6


30. Umbo lifuatalo linawakilisha pipa lenye kipenyo cha sm 56 na kimo cha sm 60. Tafuta eneo lake ikiwa pipa hilo lipo wazi upande mmoja ( tumia π =  )

  1. sm2 13,024
  2. sm2 11,264
  3. sm2 13,728
  4. sm2 10,264
  5. sm2 9,064


31.Mwanafunzi alipima pembe za ndani za msambamba na kuzipa majina e, f, g na h kama inavyoonekana katika mchoro ufuatao:

Je, ni pembe zipi zinalingana?

  1. e na f
  2. h na e
  3. h na g
  4. h na f
  5. g na f.


32. Mwalimu alichora umbo lifuatalo kisha akawaambia wanafunzi watafute thamani ya pembe m. Je, pembe m ina ukubwa wa nyuzi ngapi?

  1. 1140
  2. 340
  3. 1400
  4. 1060
  5. 1460


33. Sungura mmoja ana uzito wa kg 4 dag 21 dg 48. Je, sungura wangapi watakuwa na uzito wa kg 50 dag 57 dg 76?

  1. 22
  2. 17
  3. 12
  4. 7
  5. 20


34. Opio alitembea umbali wa dam 42 dm 25 sm 8 asubuhi na dam 12 dm 10 sm 7 jioni. Tafuta jumla ya umbali aliotembea katika sentimeta.

  1. sm 104
  2. sm 54,365
  3. sm 5,765
  4. sm 5,450
  5. sm 54,050


35, Lita 48 mililita 450 za maziwa ziligawanywa sawa kwa familia tatu zenye watu 6 kila moja. Kila familia ilipata kiasi gani cha maziwa?

  1. l 16 ml 15
  2. l 150 ml 16
  3. l 8 ml 75
  4. l 16 ml 150
  5. l 15 ml 16


36. Tani moja ya maharage iligawanywa kwa wanawake 16. Ikiwa wote walipata kiasi sawa baada ya kugawana, kila mmoja alipata kiasi gani?

  1. kg 62 g50
  2. kg 62 dag 50
  3. kg 62 dg 500
  4. kg 62 mg 5,000
  5. kg 62 hg 500


37.Garimoshi hutembea km 720 kwa saa. Mwendokasi huu huandikwaje katika kizio cha sentimeta kwa sekunde?

  1. sm 20,000 kwa sekunde
  2. sm 2,000 kwa sekunde
  3. sm 12,000 kwa sekunde
  4. sm I ,200 kwa sekunde
  5. sm 200 kwa sekunde


38. Iwapo n+5=0, ipi itakuwa thamani ya mtajo



39. Grafu kwa duara ifuatayo inaonesha kiasi cha vyakula vilivyouzwa katika duka la jumla kwa wiki nzima.

Ikiwa kilogramu 300 za unga wa ngano ziliuzwa kwa wiki nzima, je, ni kilogramu ngapi za mchele ziliuzwa?

  1. 900
  2. 600
  3. 380
  4. 220
  5. 152


40. Wastani wa uzito wa wanafunzi sita wa Darasa la Saba ni kilogramu 48. lkiwa uzito wa mwanafunzi wa saba utaongezwa, wastani utakuwa kilogramu 50. Tafuta uzito wa mwanafunzi wa saba.

  1. Kilogramu 50
  2. Kilogramu 49
  3. Kilogramu 62
  4. Kilogramu 18
  5. Kilogramu 98


STD VII HISABATI NECTA EXAM OF YEAR 2022 Try This  |  

JAMHURI VA MUUNGANO WA TANZANIA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 

04 HISABATI 

Muda: Saa 2:00 Mwaka : 2022 

1. Maelekezo Karatasi hii ina sehemu A na B zenye jumla ya maswali arobaini na tano (45)

2. Jibu maswali yote. 

3. Soma maelekezo yote yaliyoko katika fomu maalum ya kujibia (OMR). 

4. Jaza taarifa zote katika fomu ya OMR

5. Weka kivuli katika kila tarakimu ya Namba yako ya Mtihani kwenye nafasi husika katika fomu ya OMR. 

6. Weka kivuli katika herufi ya jibu lililo sahihi kwa swali la 1 hadi 40 katika fomu yako ya kujibia uliyopewa. Kwa mfano, kama jibu sahihi ni A weka kivuli kama ifuatavyo: 

7. Ukigundua kuwa herufi uliyowekea kivuli si jibu sahihi, futa kivuli hiclto kwa umakini kwa kutumia kifutio sail kabla ya kuweka kivuli katika herufi mpya. 

8. Tumia penseli ya HR to katika kujibu swali la 1 hadi 40, na kalamu ya wino wa bluu au mweusi kwa swali Ia 41 hadi 45. 

9. Onesha wazi njia iliyotumika katika kujibu swali Ia 41 hadi 45 katika nafasi iliyotolewa kwenyc fomu ya OMR. 

10. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi ndani ya chumba cha mtihani. 

SEHEMU A: MATENDO YA KIHISABATI, MAUMBO NA MAFUMBO 

Katika swali la 1 — 40, kokotoa swill ulilopewa na kisha weka kivuli kwenye herufi ya jibu lililo sahihi katika fomu yako maalum ya kujibia (OMR) uliyopewa. 

1. Thamani ya nafasi ya tarakimu iliyopigiwa mstari katika namba 504251 ni

  1. Makumi
  2. Maelfu 
  3. Mamia elfu 
  4. Mamia 
  5. Makumi elfu


2. Jedwali lifuatato linaonesha mauzo ya lita za petroli katika siku tano za wiki. Je, ni siku ipi lita nyingi zaidi za mafuta ziliuzwa? 

  1. Jumatatu 
  2. Jumanne 
  3. Jumatano 
  4. Alhamisi 
  5. Ijumaa 


3. Ipi kati ya sehemu 13/14, 15/14, 12/13, 16/17 , na 19/20 ni sehemu guni? 

  1. 13/14
  2. 15/14
  3. 12/13
  4. 16/17
  5. 19/20


4. Ufaulu wa mwanafunzi iwa Darasa la Saba katika masomo matano ulikuwa kama ifuatavyo: somo la Hisabati alipata 14/25 Kiswahili alipata 5/8, English Language alipata 1/2 Maarifa ya Jamii na Stadi za Kazi alipata 3/5 na Uraia na Maadili alipata 31/50 . Ni somo lipi alipata alama ndogo kuliko zote? 

  1. Hisabati 
  2. Kiswahili 
  3. English Language 
  4. Maarifa ya Jamii na Stadi za kazi 
  5. Uraia na Maadili 


5. Mtungi wa gesi una ujazo wa lita 10. Iwapo lita 1.5 zimetumika, ni sehemu gani ya ujazo imebakia? 

  1. 17/2
  2. 21/20
  3. 17/20
  4. 3/2
  5. 3/20


6. Upendo alimpa 0.1 ya kilogramu za sukari dada yake na ? shangazi yake. Ikiwa alibakiwa na kilogram 35, zipi kati ya zifuatazo ni jumla ya kilogramu za sukari alizokuwa nazo awali? 

  1. kg 500 
  2. kg 50 
  3. kg 35.3 
  4. kg 38 
  5. kg 45 


7. Shule ya Msingi Mwenge ina jumla ya wanafunzi 560, ambapo kati yao ? ni wanachama wa skauti. Ikiwa ? ya wanachama wa skauti watilipa ada ya shule, ni asilimia ngapi ya wanafunzi hawakulipa ada? 

  1. 60%
  2. 25%
  3. 37.5%
  4. 62.5%
  5. 40% 


8. Mpeliialipewa kazi ya kupanga namba nzima zote zilizopo kati ya 2 na 55 ambazo ni vigawe vya 9. Upi ni mpangilio sahihi wa namba hizo ikiwa alianza na namba ndogo? 

  1. 27, 35, 49, 54 
  2. 27, 42, 51, 54 
  3. 27, 45, 51, 54 
  4. 27, 36, 45, 54 
  5. 27, 32, 45, 54 


9. Mkulima alipanda michungwa kwenye mistari sita kwa mpangilio uluatao: 90, 81, 72,. . . .  , . . . . . . 45. Michungwa iliyopandwa kwcnyc mstari wa nne na wa tano haikuota. .lc, ni idadi ipi inawakilisha jumla ya michungwa ambayo haikuota? 

  1. 141 
  2. 147 
  3. 93 
  4. 87 
  5. 117 


10.  Maria alimwomba kaka yake amsaidie kupanga namba XC, IV, LV, CI na VI kuanzia kubwa kwenda ndogo. Upi ni mpangilio sahihi? 

  1. CI, XC, LV, VI, IV 
  2. XC, CI, LV, IV, VI 
  3. CI, XC, VI, IV, LV 
  4. XC, LV,C1,1V,.V1 
  5. CI, XC, LV, IV, VI 


11. Wanafunzi watano walipewa kazi ya kuorodhesha vigawe vya 6 vilivyopo kati ya 30 na 60. Je, ipi ni orodha sahihi? 

  1. 36, 48, 54, 56 
  2. 36,48,54,60 
  3. 36, 42, 54, 60 
  4. 36,42,48,54 
  5. 36, 40, 42, 48 


12. Wanafunzi watano waliorodhesha vigawe vitatu vya shirika vya namba 4 na 6 vilivyopo kati ya 10 na 40. Ipi ni sahihi kati ya orodha zi fuatazo? 

  1. 16, 24, 36 
  2. 12, 24, 36 
  3. 12, 18, 36 
  4. 16, 28, 36 
  5. 12. 30, 36 


13. Dotto ana jumla ya sh 1,260,000. Iwapo ? ya fedha za Dotto ni sawa na ½ ya fedha za Kulwa, je, kati yao wawili mwenyc kiasi kikubwa cha fedha kuliko mwenzake ana shilingi ngapi? 

  1. sh 800,000 
  2. sh 600,000 
  3. sh 400,000 
  4. sh 1,600,000 
  5. sh 1,200,000 


14. Katika mojawapo ya hifadhi za Taifa kuna jumla ya wanyama 2,400,000. lkiwa 0.3 ya wanyama wote ni Simba, 0.4 ni Swab, 0.2 ni Twiga na 0.1 ni Tembo, je, kuna tofauti ya wanyama wangapi kati ya kundi lenye wanyama wengi na kundi lenye wanyama wachache? 

  1. 720,000 
  2. 240,000 
  3. 1,200,000 
  4. 480,000 
  5. 960,000 


15. Zuhura ana uzito wa kilogramu 70.5 na Hamis ana uzito wa kilogramu 68.15. Je, jumla ya uzito wao ni kiasi gani? 

  1. 2.35 kg 
  2. 148.65 kg 
  3. 138.65 kg 
  4. 1.35 kg 
  5. 138.2 kg 


16.  Jafari alipewa machungwa 789,951 na miezi wake. Pia, alipata machungwa mengine 226,783 kutoka kwa rafiki yake. Je, jafari alipata jumla ya machungwa mangapi? 

  1. 563,232 
  2. 1,016,734 
  3. 563,168 
  4. 1,016,634 
  5. 916,734 


17.  Jumla ya magari 834,223 yaliingizwa nchini mwaka 2020 kutoka Japani na nchi nyingine. Ikiwa magari 436,756 yalitoka Japan, je, magari mangapi yalitoka nchi nyingine? 

  1. 1,270,979 
  2. 1,260,979 
  3. 397,467 
  4. 4,085,757 
  5. 402,533 


18.  Shamba la ng'ombe wa maziwa huzalisha lita 254,567 za maziwa kwa siku. Ni kiasi gani  cha maziwa kitazalishwa kwa siku 43? 

  1. Lita 10,947,381 
  2. Lita 10,846,381
  3. Lita 254,524 
  4. Lita 254,610 
  5. Lita 10,946,381 


19. Tatu alikuwa na shilingi 5,500 alizopata katika biashara yake. Ikiwa alitumia ? ya fedha hizo kununua matunda alibakiwa na kiasi gani cha fedha? 

  1. sh 2,200 
  2. sh 7,700 
  3. sh 3,300 
  4. sh 1,100 
  5. sh 4,400 


20.  Sharifa alikuwa na shilingi 47,200 kwenye akaunti yake. Ikiwa alinunua suruali 3 za watoto wake kwa bei ya shilingi 12,900 kila moja, je, alibakiwa na kiasi gani cha fedha? 

  1. sh 38,700 
  2. sh 12,900 
  3. sh 34,300 
  4. sh 8,500 
  5. sh 60,100 


21. Amina alitumia ? ya mshahara wake wa mwezi kununua nguo na ½ ya kiasi kilichobaki kununua chakula. Ikiwa alibaki na sh 400,000 baada ya matumizi hayo, je jumla ya mshahara wake kwa mwezi ni kiasi gani? 

  1. sh 2,000,000 
  2. sh 1,600,000 
  3. sh 1,200,000 
  4. sh 2,400,000 
  5. sh 2,800,000 


22. Katika shule ya msingi Magomeni kuna wasichana 450 zaidi ya idadi ya wavulana. Ikiwa ¾  ya wanafunzi ni wasichana, kuna wanafunzi wangapi katika shule hiyo? 

  1. 900 
  2. 225 
  3. 1,125 
  4. 675
  5. 800 


23. Zaina alitumia shilingi 4,800 kutuma maneno 63 kwa simu ya maandishi. lkiwa maneno 30 yalitozwa shilingi 50 kwa kila neno; je, maneno 33 yaliyobaki yalitozwa jumla ya shillingi ngapi? 

  1. Shilingi 3,300 
  2. Shilingi 100 
  3. Shilingi 1,500 
  4. Shilingi 1,650 
  5. Shilingi 110 


24.  Zahara alikuwa na sh 326,550. Iwapo alitumia sh 211,400,  alibakiwa na kiasi gani? 

  1. sh 115,150 
  2. sh 537,950
  3. sh 537,150 
  4. sh 538,050 
  5. sh 115,950 


25.  Kuna miaka na miezi mingapi katika miezi 92? 

  1. Miaka 8 miezi 0 
  2. Miaka 9 miezi 2 
  3. Miaka 7 miezi 2 
  4. Miaka 9 miezi 8 
  5. Miaka 7 miezi 8 


26. Jamali hutumia muda wa siku 50 kuandaa bustani ya mboga. Je, muda huo huandikwaje kwa mtindo wa wiki na siku? 

  1. Wiki 7 na siku 1 
  2. Wiki 4 na siku 2 
  3. Wiki 8 na siku 2 
  4. Wiki 7 na siku 0 
  5. Wiki 1 na siku 20 


27. Ipi ni jumla ya fedha zifuatazo: sh 5,707 na st 35, sh 2,983 na st 80 na sh 1,245 na st 40? 

  1. sh 9,935 na st 55 
  2. sh 9,935 na st 45 
  3. sh 9,935 na st 65 
  4. sh 9,936 na st 15 
  5. sh 9,936 na st 55 


28. Mwajuma aliweka kiasi cha Shilingi 564,000 katika benki inayotoa kiasi cha riba ya 5 ½% kwa mwaka. Je, alipata riba  ya kiasi gani kwa miezi 6? 

  1. Shilingi 31,020 
  2. Shilingi 18,612 
  3. Shilingi 60,040
  4. Shilingi 15,510 
  5. Shilingi 186,120 


29.  Mchoro ufuatao ni sanduku la nguo lenye umbo Ia mchemstatili ambao umefungwa pande zote. 


 Je, eneo lililotiwa kivuli ni sehemu gani ya enco la umbo zima? 

  1. 1/10
  2. 1/7
  3. 1/6
  4. 2/7
  5. 5/21


30. Lita ngapi za maziwa zinahitajika kujaza chombo chenye umbo Ia mchemraba ufuatao ikiwa lita 1 =sm3 1,000? 


  1. 8.0
  2. 80
  3. 800
  4. 0.8
  5. 2.4


31. Juma alilima meta 200 za mraba za shamba lake lenye utefu wa meta 20 na upana wa meta 14. Je, meta ngapi za mraba hazikulimwa katika shamba bib? 

  1. m2 166
  2. m2 234
  3. m2 80
  4. m2 280
  5. m2 480 


32. Mchoro ufuatao unaoncsha kitalu cha nyanya chenye umbo la pembetatu pacha. Ikiwa mzingo wa kitalu chote ni sm 64, tafuta eneo lake. 


  1. sm100 
  2. sm2 192 
  3. sm2 56
  4. sm2 320
  5.  sm2 384 


33. Chupa ya maji ina ujazo wa ml 350. Je, katoni 2 za chupa za maji zina jumla ya lita ngapi ikiwa kila katoni ina chupa 24? 

  1. lita 1.68 
  2. lita 168 
  3. lita 1,680 
  4. lita 16.8 
  5. lita 0.168 


34.  Mzedema aliwapa watoto watano maziwa lita 8.06, lita 80.6, lita 0.86, lita 8.6 na lita 0.806 na kuwapanga katika mstari kulingana na ujazo wa maziwa waliyopewa, kuanzia ujazo mdogo hadi mkubwa. Je, ni kiasi gani cha maziwa alipewa mtoto aliyekuwa nafasi ya taw katika mstari huo? 

  1. lita 8.06
  2. lita 80.6
  3. lita 0.86
  4. lita 8.6
  5. lita 0.806 


35.  Damasi ana kamba yenye urefu wa km 6 sm 1. lkiwa urefu wa kamba ya Roni ni pungufu ya urefu wa kamba ya Damasi kwa km 2 m 8 sm 4, tafufa urefu wa kamba ya Roni. 

  1. km 3 m 1 sm 7 
  2. km 3 m 1 sm 97
  3.  km3 m 91 sm 97
  4. km3 m991 sm 7
  5. km 3 m 991 sm 97 


36. Nahodha alisafiri kwa mwendokasi wa km 24 kwa saa. Ni umbali gani alisafiri kwa muda wa saa 2 na dakika 30? 

  1. km 60
  2. km 3,600
  3. km 720
  4. km 768
  5. km 48 


37. Herufi y katika mlinganyo 2/y + 3/y = 5/8 inawakilisha namba ipi? 

  1.  5
  2. 8
  3. 1
  4. 3
  5. 2


38. lwapo 2n2 — 128 = 0, tafuta thamani ya n

  1. 64
  2. 8
  3. 32
  4. -64
  5. -32 


39.  Wastani wa vimo vya wanafunzi Lisa wa Darasa la Saba ni sentimeta 150. Ikiwa jumla ya vimo vya wanafunzi 4 ni sentimeta 450, wastani wa vimo vya wanafunzi watano waliobaki utakuwa sentimeta ngapi? 

  1. 1,35
  2. 900
  3. 4,500
  4. 180
  5. 300 


40. Jedwali lifuatalo linaonesha idadi ya wagonjwa wa malaria waliolazwa katika kituo cha afya cha Kariko kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo: 

Mwaka Idadi Ya Wagonjwa
2016 208
2017 150
2018 237
2019 173
2020 127
  1.  179
  2. 192
  3. 768
  4. 895
  5. 237


STD VII HISABATI NECTA EXAM OF YEAR 2021 Try This  |  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI

04 HISABATI

Muda: Saa 2:00 Mwaka : 2021

Maelekezo

l. Karatasi hii ina sehemu A na B zenye jumla ya maswali arobaini na tano (45).

2. Jibu maswali yote katika kila sehemu.

3. Soma maelekezo yote yaliyoko katika fomu maalum ya kujibia (OMR).

4.Jaza taarifa zote katika fomu ya OMR.

5. Weka kivuli katika kila tarakimu ya Namba yako ya Mtihani kwenye nafasi husika katika fomu ya OMR.

6. Weka kivuli katika herufi ya jibu lililo sahihi kwa swali Ia 1 hadi 40 katika fomu yako ya kujibia uliyopewa. Kwa mfano, kama jibu sahihi ni A weka kivuli kama ifuatavyo:

7. Ukigundua kuwa herufi uliyowekea kivuli si jibu sahihi, futa kivuli hicho kwa umakini kwa kutumia kifutio safi kabla ya kuweka kivuli katika herufi mpya.

8. Tumia penseli ya HB tu katika kujibu swali Ia 1 hadi 40 na kalamu ya wino wa bluu au mweusi kwa swali Ia 41 hadi 45.

9. Onesha wazi njia iliyotumika katika kujibu swali Ia 41 hadi 45 katika nafasi iliyotolewa kwenye fomu ya OMR.

10. Simu za mkononi, vikokotozi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi ndani ya chumba cha mtihani.

SEHEMU A: MATENDO YA KIHISABATI, MAUMBO NA MAFUMBO

Katika swali la 1 — 40, kokotoa swali ulilopewa na kisha weka kivuli kwenye herufi ya jibu lililo sahihi katika fomu yako maalum ya kujibia (OMR) uliyopewa.

l . Wanafunzi watano walipewa kazi ya kuandika namba ubaoni, kila mtoto namba moja. Ipi kati ya zifuatazo ni namba ndogo kati ya namba zilizoandikwa na wanafunzi hao?

  1. 0.457
  2. ?
  3. 40%
  4. 0.53 
  5. 0.80


2. Jedwali lifuatalo linaonesha idadi ya wanafunzi wa Darasa la Saba kwa Kirumi na vinywaji wanavyopenda zaidi:

Vinywaji Fanta
Pepsi Chai Maji Maziwa
Idadi Ya Wanafunzi XCI XC CIX CVI CX

Ni kinywaji kipi kinapendwa na wanafunzi wengi zaidi?

  1. Fanta 
  2. Pepsi 
  3. Chai 
  4. Maji 
  5. Maziwa


3. Nafasi ya thamani ya tarakimu iliyopigiwa mstari katika numerali 504251 ni

  1. makumi
  2. maelfu
  3. makumi elfu
  4. mamia
  5. mamia elfu


4. Mtungi uliojaa gesi una ujazo wa lita 10. Iwapo lita 1.5 zimetumika, ni sehemu gani ya gesi imebaki?

  1. 3/20
  2. 20/23
  3. 17/20
  4. 3/23
  5. 3/17


5. Katika shule ya msingi ya Uhuru wanafunzi 60 wa Darasa la Nne walihudhuria darasani wakati wa kujisomea. Ikiwa wanafunzi 20 hawakuhudhuria, je, asilimia ngapi ya wanafunzi wote hawakuhudhuria darasani?

  1. 33.3% 
  2. 80% 
  3. 25%
  4. 75% 
  5. 66.7%


6. Kijiji kimoja kilikuwa na jumla ya mifugo 3,845 ,308. Ipi ni jumla ya mifugo hiyo katika makumi elfu yaliyo karibu?

  1. 3,854,310
  2. 3,845,300
  3. 3,846,000
  4. 3,850,000
  5. 3,845,000


7. Tanganyika ilipata uhuru wake mwaka 1961. Iwapo Mwanakwetu alikuwa na miaka miwili kwa wakati huo, je, mwaka 2020 alikuwa na umri gani? (Toa jibu katika namba za Kirumi).

  1. LIX 
  2. LXI 
  3. XLI
  4. ILX 
  5. XIL


8. Maneno alipewa namba 21, 29, 37, 45, 49, 51, 53, 57, 59 na 61 ili abaini namba tasa. Ikiwa aliandika namba tasa kwa usahihi, je, aliandika namba zipi kati ya zifuatazo? 

  1. 21, 45, 51 na 57 
  2. 29, 37, 51, 59 na 61
  3. 29, 37, 53, 59 na 61 
  4. 29, 49 na 59
  5. 21, 51 na 61


9. Umri wa watoto wanne ulipangwa katika mfululizo wa miaka 13, 18, 23 na  . . . . . Je, mtoto wa nne ana umri gani?

  1. 28 
  2. 24 
  3. 22
  4. 12 
  5. 41


10. Makusanyo ya mapato kwa miaka mitano mfululizo yaliorodheshwa kwa namba 2, 4, 7, 12 na 19 Ni namba ipi ya mapato ya mwaka wa Sita katika mfululizo huo?

  1. 18 
  2. 28
  3. 20
  4. 31
  5. 30


I l . Mpangilio ufuatao unawakilisha uzito wa wanafunzi waliosimama kwenye mstari kulingana na uzito wao:

59, 55, 51, ___, 43, 39, 35.

Upi ni uzito wa mwanafunzi uliotakiwa kuandikwa kwenye nafasi iliyoachwa wazi?

  1. 52
  2. 47
  3. 44
  4. 42 
  5. 50


12. Mahudhurio ya wanafunzi wa Darasa la Kwanza katika Shule ya Msingi Mtakuja yalipungua kwa siku tano mfululizo kutokana na sababu mbalimbali kama ifuatavyo; 78, 75, 72, 69, Je, wanafunzi wangapi walihudhuria siku ya tano?

  1. 70 
  2. 68
  3. 66
  4. 79
  5. 77


13. Wanakijiji cha Mshikamano walichanga shilingi 325 ,500 kwa ajili ya ujenzi wa choo cha shule. Kama kila mwanakijiji alichanga shilingi 500, je, wanakijiji wangapi walichanga?

  1. 6,051
  2. 6,501
  3. 32,600
  4. 651
  5. 325,000


14. Tanganyika ilipata uhuru mwaka MCMLXI na Zimbabwe ilipata uhuru wake mwaka MCMLXXX. Je, miaka mingapi ilipita tangu Tanganyika ipate uhuru mpaka Zimbabwe ilipopata uhuru?

  1. XXI 
  2. XIX
  3. XXIX
  4. IX
  5. XVIIII


15. Mwalimu aliwagawa wanafunzi katika makundi matano na kuwapa kazi ya kutafuta jumla ya namba katika abakasi mbili kama inavyoonekana katika mchoro ufuatao:

Je, lipi ni jibu sahihi kati ya yafuatayo?

  1. 280,281
  2. 280,271
  3. 270,231
  4. 270,271
  5. 280,291


16. John alipata faida ya sh 600,000 baada ya kuuza kuku na mayai. Faida ya kuku mmoja ilikuwa sh 1,500 na faida ya trei moja ya mayai ilikuwa sh 1,000. Je, John aliuza trei ngapi za mayai ikiwa aliuza kuku 300?

  1. 400 
  2. 450 
  3. 300
  4. 150
  5. 100


17. Ashura ana maembe 43 na Asha ana maembe 17. Asha anahitaji maembe mangapi kutoka kwa Ashura ili wote wawe na idadi sawa ya maembe?

  1. 26
  2. 13
  3. 60
  4. 30
  5. 43


18. Jeri ana wafanyakazi 208 katika kiwanda chake. Ikiwa kila mfanyakazi hulipwa shilingi 55,460 kila siku, je, Jeri hutumia kiasi gani cha fedha kuwalipa wafanyakazi wake kwa siku moja?

  1. sh. 11,435,680
  2. sh. 10,435,680
  3. sh. 55,252
  4. sh. 55,668
  5. sh. 11,535,680


19. Watoto watano walitakiwa kutafuta tofauti kati ya kura 998,999 na kura 819,937. Je, ipi ni tofauti ya kura hizo kati ya zifuatazo?

  1. 1,818,936
  2. 181,062
  3. 179,062
  4. 189,062
  5. 1,708,936


20. Darasa la Saba katika shule ya msingi Maendeleo lina wanafunzi 480. Iwapo 7/12 ya wanafunzi hao ni wasichana, je, ipi ni tofauti kati ya idadi ya wasichana na wavulana?

  1. 280
  2. 760
  3. 40
  4. 80
  5. 200


21. Bwana Majuto aligawa fedha kiasi cha shilingi 3,600,000 kwa watoto wake watatu; Juma, Ally na Rehema. Juma 1/5 alipata ya fedha zote, Ally alipata 4/9 ya fedha zote na Rehema alipata kiasi cha fedha kilichobaki. Je, aliyepata kiasi kikubwa cha fedha alipata shilingi ngapi?

  1. Shilingi 2,320,000
  2. Shilingi 1,280,000
  3. Shilingi 7,200,000 
  4. Shilingi 1,600,000
  5. Shilingi 2,800,000


22. Bwana Mahenge ana jumla ya ng'ombe 1560, ambapo kati yao asilimia 35 ni ndama, asilimia 10 ni ng'ombe madume na wanaobaki ni ng'ombe majike. Je, anao ng'ombe majike wangapi?

  1. 858 
  2. 156
  3. 546
  4. 702
  5. 390


23. Farida alikuwa na Sh 550,000. Alinunua runinga seti 1 kwa Sh 162,000, kamera 1 kwa Sh 45,700, makochi seti 1 kwa Sh 87,900, pete 1 kwa Sh 68,500 na viatu jozi 3 kwa Sh 20,000 kila jozi. Je, alibakiwa na fedha kiasi gani?

  1. Shilingi 424,100
  2. Shilingi 135,900
  3. Shilingi 384,100
  4. Shilingi 165,900
  5. Shilingi 125,900


24. Mtoto alilala kuanzia saa 1:40 asubuhi kwa muda wa saa saba. Je, aliamka saa ngapi?

  1. Saa 8:40 mchana
  2. Saa 7:40 mchana
  3. Saa 5:20 asubuhi
  4. Saa 8:40 usiku
  5. Saa 5:20 usiku


25. Wanafunzi wa Darasa la Tano na la Sita walianza kucheza mpira wa miguu saa 3:45 asubuhi. Je, muda huo unaandikwaje katika mfumo wa saa 24?

  1. saa 2145
  2. Saa 0345
  3. saa 0945
  4. Saa 02145
  5. saa 3:45


26. Lusajo alimtembelea dada yake Chaupele na kukaa naye kwa muda wa saa 840. Je, saa hizo ni sawa na siku ngapi?

  1. 70
  2. 28
  3. 120
  4. 14 
  5. 35


27. Yusufu alifika shuleni saa 2:30 asubuhi akiwa amechelewa kwa dakika 30. Je, alitakiwa kufika shuleni saa ngapi?

  1. 3:00 aubuhi
  2. 2:30 asubuhi
  3. 8:00 mchana 
  4. 2:00 asubuhi
  5. 2:60 asubuhi


28. Benki ya NMB iligawa faida kwa wateja wake watatu John, Anna na Suzana. John alipata sh 30,000, Anna alipata sh 60,000 na Suzana alipata sh 90,000. Kama kila mteja alichagia 1/3 ya faida yake hospitalini, je kiasi gani cha fedha kilipelekwa hospitalini? 

  1. sh 60,000 
  2. sh 30,000
  3. sh 40,000  
  4. sh 10,000 
  5. sh 50,000 


29. Mwanafunzi alichora umbo lifuatalo kuonesha mistari pacha

Je alipata mistari pacha mingapi?

  1. 6
  2. 2
  3. 4
  4. 5
  5. 3


30. Kisima cha maji chenye umbo la mchemraba kina ukubwa wa m64. Je, urefu wa upande mmoja wa kisima hicho ni kiasi gani?

  1. m 8
  2. m 4
  3. m 16
  4. m 32
  5. m 60


31. Tairi ya gari lina kipenyo cha semtimeta 100. Je, tairi hilo litakamilisha mizunguko mingapi kupembea umbali wa meta 471? (Tumia π =3.14)

  1. 1.5
  2. 4.71
  3. 14.79
  4. 150
  5. 75


32. Pembe EFG katika mchoro ufuatao inawakilisha pembe mojawapo ya paa la nyumba ya Bwana Nzige.

Pembe hii ni aina gani?

  1. Pembe kali
  2. Pembe butu
  3. Pembe kuu
  4. Pembe mraba
  5. Pembe nyoofu


33. Mwanjaa alipanda mlima Kilimanjaro ambao urefu wake ni meta 5,895 kutoka usawa wa bahari. Alipofika kwenye mwinuko wa meta 3,955 toka usawa wa bahari alishindwa kuendelea kutokana na tatizo la kiafya. Je, zilibaki meta ngapi kufika kwenye kilele cha mlima huo?

  1. 1,940
  2. 2,140
  3. 1,840
  4. 9,850
  5. 9,840


34. Mama Shamba alijaza lita 200.25 za mawese kwenye chupa 267. Upi ulikuwa ujazo wa kila chupa?

  1. Lita 1.33
  2. 7.5
  3. Mililita 1.33
  4. Mililita 750
  5. Mililita 75


35. Mpanda alisafiri umbali wa kilometa 72 kwa dakika 15. Je, ni upi ulikuwa mwendokasi wake katika kizio cha meta kwa sekunde?

  1. 80
  2. 480
  3. 800
  4. 1200
  5. 20


36. Bwana Chezo amepewa kazi ya kupanga chupa za dawa kulingana na uzito wake ambao ni mg 3,000, sg 230, dg 0.5, dag 0.39 na g 2.4. Kama mkaguzi wa kazi, ni seti ipi inaonesha mpangilio sahihi wa uzito?

  1. dg 0.5, mg 3,000, sg 230, dag 0.39 na g 2.4
  2. mg 3,000, sg 230, dg 0.5, g 2.4 na dag 0.39 
  3. sg 230, dg 0.5, 2.4, mg 3,000 na dag 0.39 
  4. dag 0.39, mg 3,000, g 2.4, sg 230 na dg 0.5
  5. g 2.4, dag 0.39, mg 3,000, dg 0.5 na sg 230


37. Fikiria namba, kisha toa tisa kutoka katika namba hiyo, jibu lake ni sawa na robo ya namba hiyo. Je, namba hiyo ni

  1. 12 
  2. -12 
  3. 33
  4. 39
  5. 5


38. Rahisisha fungu la mtajo 2(3m-2n+5m).

  1. 1lm-2n
  2. 12+m-n 
  3. 16m-4n
  4. 16m+4n
  5. 4m-4n


39. Bwana Sawe aliorodhesha kiasi cha mauzo ya mazao yake katika desimali na sehemu kama ifuatavyo: Korosho 0.3, Mchele 2/5, Mahindi 0.1 na mauzo ya Mtama ambayo kiasi hakikutajwa. Ikiwa mazao hayo yatawasilishwa kwa njia ya grafu kwa duara, mauzo ya zao la Mtama yatakuwa sawa na nyuzi ngapi?

  1. 0.20
  2. 0.80
  3. 20
  4. 1440
  5. 720


40. Watoto wanne waligawana kiasi fulani cha fedha kama ifuatavyo: Mtoto wa kwanza alipata sh 4x, wa pili sh 2x, wa tatu sh 3x na mtoto wa nne alipata sh i. Ikiwa mtoto wa tatu alipata sh 28,800, je, jumla ya fedha zote kabla ya kugawana ilikuwa shilingi ngapi?

  1. sh 9,600 
  2. sh 96,000 
  3. sh 6,000
  4. sh 60,000 
  5. sh 240,000


STD VII HISABATI NECTA EXAM OF YEAR 2018 Try This  |  

1.  1,236 ÷ 4 =

  1.  39
  2.  309
  3.   63
  4. 306
  5. 49


2. Andika    katika sehemu rahisi

  1.  3/4
  2. 9/12
  3. 9/24
  4. 3/8
  5. 2/12


3.  269 + 1,731 =

  1. 1,800
  2. 1,900
  3. 1,990
  4. 1,999
  5. 2,000


4.  

  1.  2
  2.  3
  3.  4
  4.  5
  5.  6


 5. 1,509 - 728 =

  1. 581
  2. .681
  3.  771
  4.  781
  5.  881


6.

  1.  3
  2. 3 2/5
  3. 3 1/10
  4. 4 1/10
  5. 5 1/10


7. 78 x 952 =

  1. 74,256  
  2. 70,756
  3. 74,246 
  4. 74,156
  5. 73,856


 8. Ikiwa p = 5 na Q = 4, tafuta thamani ya (p2) x (Q2)

  1.  54
  2. 108
  3.  400 
  4.  200
  5.   800.


10. 1.9 - 0.06 =

  1.  0.94      
  2.  1.94
  3.  1.86    
  4.  1.84
  5.  1.96


11. Badili 44% kuwa sehemu rahisi

  1. 44/100
  2. 22/25
  3. 11/50
  4. 22/50
  5. 11/25


12. Tafuta thamani ya 492

  1. 2,401 
  2. 2,301
  3. 1,301 
  4.  98
  5.  492


13.  3 -(6--8) =

  1. 17
  2. -1
  3. -11
  4. 1
  5. 11


14. le, kuna namba shufwa ngapi kati ya 73 na 81?

  1.  7       
  2.  6
  3.  5     
  4.  4
  5.  3


 15. Zidisha kg 8 kwa 5

  1.  kg 40 gm 25 
  2.  kg 40 gm 250
  3.  kg 42 gm 250 
  4.  kg 42 gm 225 
  5.  kg 40 gm 455


16. Andika namba inayokosekana katika mfulululizo wa namba ufuatao: 70,  85, 100,........  130.

  1. 101
  2. 105
  3. 108 
  4. 110
  5. 115


17. Ikiwa  tafuta thamani ya m:

  1. 2/3
  2. 7/3
  3. 2/7
  4. 1/3
  5. 1/7


18. Tafuta kigawo kikubwa cha shirika (KKS) cha 32 na 48

  1.  16 
  2. 12
  3.  8      
  4.  4
  5.  2


19.  15.65 x 12 =

  1. 31.3    
  2. 15.65
  3. 187.8
  4. 178.7
  5. 187.7


20.  

  1. 3 1/7
  2. 7
  3. 44/14
  4. 8
  5. 4 12/14


21. Tafuta kipeuo cha pill cha (64 x 4)

  1.  4   
  2.  8  
  3. 16     
  4. 32
  5. 64.


22. Ikiwa M=-3, N=-5, tafuta thamani ya (-9 x M x N)

  1. -105
  2.  15
  3. -125
  4. -135
  5. 135


 

23.  Tafuta eneo la umbo lifuatalo

  1.  sm2 80
  2.  sm2 40
  3.  sm221
  4.  sm2 20
  5.  sm2 160


 24. Andika majira ya nukta P na Q

  1.  P(2, -3) Q(2, 0)
  2.  P(-3, 2) Q(0, -2)
  3.  P(2, 3) Q(-2, 0)
  4.  P(2, -3) Q(0, -2)
  5.  P(0, -2) Q(2, -3)


 25. Tafuta ukubwa wa pembe ABC katika umbo lifuatalo


  1. 500
  2. 600
  3. 650
  4. 700
  5. 900


26. Mzingo wa duara lifuatalo n ism 352. Tafuta nusu kipenyo cha duara hilo( Tumia pai=22/7)

  1.  sm 28
  2. sm 44
  3.  sm 56 
  4. sm 88
  5. sm 176


28. Tafuta eneo la umbo lifuatalo

  1. sm2 144  
  2. sm2 124
  3. sm2 120  
  4. sm2 64
  5. sm2 36


29. Tafuta mzingo wa pembetatu pacha PQR

  1.  sm 10
  2. sm 38
  3. sm 18
  4. sm 24
  5. sm 14


30. Tafuta ukubwa wa umbo lifuatalo

  1. sm3 192 
  2. sm224
  3.  sm3 128 
  4. sm3 256
  5.  sm3 64.


31. Tafuta eneo la umbo lifuatalo:

  1.  sm30 
  2.  sm2 24
  3.  sm2 40  
  4. sm2 48
  5.  sm2 60.


32.Joni alinunua maembe 225 kwa mkulima. Aliuza maembo 135 kwa siku moja. Je, maembe aliyoyauza ni asilimia ngapi ya maembe yote?

  1. 20% 
  2. 30%
  3. 40%      
  4. 51%
  5.  60%.


33. Jumla ya urefu wa pande sambamba za trapeza ni sm 24. Ikiwa kimo cha trapeza ni sm 7, tafuta eneo la trapeza hiyo.

  1. sm2 72    
  2. sm2 74
  3. sm2 82 
  4. sm2 84
  5. sm2 158.


34. Martha hutembea kwa mwendokasi wa kilometa 2 kwa saa kutoka nyumbani hadi dukani. Ikiwa hutumia nusu sasa, je, ni umbali gani kutoka nyumbani hadi dukani?

  1.  km 1 
  2.  km 2
  3.  km 3 
  4.  km 4
  5.  km 5.


35.  Vilili vine katika mkoa mmoja vilivuna korosho kilogramu 60,000. Je, kwa wastani kila kilip kilivuna tani ngapi? (Tani moja = Kilogramu 1000).

  1. tani 5
  2. tani 10
  3. tani 15
  4. tani 20
  5. tani 25. 


36. Mkulima aliuza pamba na kupata shilingi 2,500,000. Ikiwa mauzo kwa kilo moja ni shilingi 2,500, je, aliuza kilo ngapi?

  1.  25 
  2. 50
  3.  500 
  4. 1000
  5.  1500


37. Jumla ya umri wa baba na mtoto ni miaka 40. Ikiwa umri wa baba ni mara mbili ya umri wa mtoto, je mtoto ana umri wa miaka mingapi?

  1.  5  
  2. 10
  3. 15 
  4. 20 
  5. 25


38. Idadi ya wanafunzi wa Darasa la 513 katika shule ya msingi Mwembeni waliofaulu katika jaribio la kila wiki la somo la Hisabati kwa wiki nne ni kama inavyooneshwa katika jedwali lifuatalo

Wiki
I
II
III
IV
Idadi Ya Wanafunzi
76
64
--
72

Ikiwa wastani wa idadi ya wanafunzi waliofaulu ni 70, je? Wiki ya tatu walifaulu wanafunzi wangapi?

  1.  64  
  2.  66
  3.  68   
  4.  70
  5.  72


39. shule ya msingi Mapinduzi ina jumla ya wanafunzi 860. Ikiwa wavulana ni 432, je, wasichana ni wangapi?

  1.  328  
  2.  418
  3.  432  
  4.  438
  5.  428


40. Dawati moja katika chumba cha Darasa la sita hukaliwa na wanafunzi 3. Ikiwa chumba cha Darasa hilo kina wanafunzi 60, je,kina madawati mangapi?

  1. 25 
  2. 50
  3.  500  
  4.  1000
  5.  1500.


STD VII HISABATI NECTA EXAM OF YEAR 2017 Try This  |  

40. Dawati moja katika chumba cha Darasa la sita hukaliwa na wanafunzi 3. Ikiwa chumba cha Darasa hilo kina wanafunzi 60, je,kina madawati mangapi?

  1. 25 
  2. 50
  3.  500  
  4.  1000
  5.  1500.


2. 8 + 73 + 109 = 

  1. 189
  2. 192
  3. 173
  4. 190
  5. 187


4. 4. 472 + 8,939 = 

  1. 8,301
  2. 8,311
  3. 9,311
  4. 9.301
  5. 9,411


5.

  1. 3 1/2
  2. 3 1/4
  3. 4
  4. 3 4/16
  5. 7/8


6.

  1. 1 1/15
  2. 1 2/15
  3. 1 2/5
  4. 1 2/3
  5. 1 4/5


7.  -19 + (-3+{11) =

  1.   -9
  2.  -10
  3.  -11
  4.  +11
  5.  +10


8.   -13 -(7 -8] = 

  1.  -13
  2.    14
  3.   -2
  4.   +2
  5.   -12


9.

  1. 1 7/25
  2. 1 17/25
  3. 1 3/20
  4. 1 3/5
  5. 1 3/4


10. 7,416 ÷ 24 = 

  1.  219
  2. 309
  3. 319
  4. 39
  5. 209


11.   0.2 x 9.8 =

  1. 1.86
  2. 3.4
  3.  2.4
  4. 0.96
  5.  1.96


12..  Tafuta  thamani ya  x  katika  x-3(12+10)=5

  1. 46
  2. 24
  3. 25
  4. 71
  5. 70


13.  Kuna  1/4 ngapi katika 36?

  1.  9     
  2. 40
  3. 32 
  4. 124
  5. 144


14. lwapo 107 - M = 18. thamani ya M ni:

  1.  89 
  2.  88
  3.  98 
  4.  99
  5.  86


15. Kipeuo cha pili cha 4/9 ni. . . . .

  1. 2/3
  2. 2/9
  3. 1/3
  4. 3/2
  5. 1/9


16. Kigawo kikubwa cha shirika(KKS) cha 12,  18, 24 ni . . . . . 

  1. 2
  2. 3
  3. 4
  4. 6
  5. 8


17. Badili 4 1/2% kuwa sehemu

  1. 2/20
  2. 9/200
  3. 45/100
  4. 4.5/10
  5. 4.5/100


18. Iwapo 6x=-2, tafuta thamani ya 6/x

  1. -3
  2. -9
  3. -18
  4. -12
  5. -24


19. Rahisisha (6x)2 ÷ 3x =

  1.  2x        
  2.  3x
  3.  4x 
  4. 6x
  5. 12x


20.  Badili 1/8 kuwa asilimia: 

  1.  8%   
  2. 12.5%
  3. 24.5%     
  4.  25%
  5.  50%


22. Je m 24 kati ya m 36 ni sawa na sehemu gani?

  1. 2/3
  2. 2/9
  3. 1/3
  4. 3/2
  5.  1/9


23.  Je kuna namba tasa ngapi kati ya 13 na 19?

  1.  1      
  2.  2
  3.  3     
  4.  4
  5. 5


24.  Badili 12-% kuwa desimali.

  1.  0.25
  2.  0.125
  3.  0.025
  4.  1.25
  5.  12.5


25.  Zidisha meta 7 na sm 30 kwa 5. Andika jibu katika sentimeta.

  1.  sm 3,635 
  2.  sm 3,530
  3.  sm 3,630  
  4.  sm 3,550
  5.  sm 3,650


SEHEMU B 


MAUMBO

26. Tafuta eneo la mstatili ABCD, iwapo mzingo wake ni sm 50

  1.  sm2 136 
  2. sm2 126
  3. sm2 146 
  4. sm2 156
  5. sm2 225


27. Tafuta mzingo wa msambamba ufuatao 

  1.  sm 54 
  2.  sm 64
  3.  sm 72  
  4.  sm 78
  5.  sm 84


28. Ben na Tina waligawana sawasawa kipande cha sabuni kilichokuwa na ujazo wa 252. Iwapo kipande hucho cha sabuni kilikuwa na urefu wa sm 42 na kimo cha sm 2 kama kinavyoonekana kwenye mchoro hapo chini, tafuta upana wa kipande cha sabuni ambacho Ben alipata

  1.  sm 1
  2.  sm 2
  3.  sm 3 
  4.  sm 4
  5.  sm 5


29. Tafuta thamani ya x katika umbo lifuatalo:

  1. 10 0
  2. 15 0
  3. 20 0
  4. 30 0
  5. 45 0


30. le, jina la umbo lifuatalo ni  

  1. mstatili 
  2.  mraba
  3. pembe tatu 
  4.  duara 
  5.  pande nne


31. Tafuta thamani ya pembe x katika umbe lifuatalo:

  1. 10°  
  2.  20°
  3.  22°   
  4.  24°
  5.  60°


32. Tafuta majira ya nukta W katika mchoro ufuatao:

  1. (0, 4)  
  2. (-2, 4)
  3. (-2, 0)  
  4.  (4, -2)
  5.  (-2, -3)


33. Tafuta mzingo wa duara lifuatalo iwapo kipenyo chake AB kina urefu wa sm 200. (Tumia pai = 3.14)

  1.  sm 3.14 
  2.  sm 31.4
  3.  sm 314
  4.  sm 414
  5.  sm 628


  34. Eneo la pembetatu ABC ni sm2 36. Je pembetatu BCD ni sehemu gani ya pembetatu ABC?

  1. 1/2
  2. 1/3
  3. 2/3
  4. 1/4
  5. 1/6


35. Grafu ifuatayo inaonesha alama Juma alizopata katika somo la Hisabati katika miezi minne ya muula wa kwanza. Tafuta wastani wa alama za juma.

  1. 67 
  2. 67.2
  3. 67.5  
  4. 68
  5. 68.5


36. Tafuta ujazo wa umbo lifuatalo (Tumia pai= 22/7)

  1. sm3 660
  2. sm31,320
  3. sm3 3,520
  4. sin 4,620
  5. sm3 4,720


37. Tafuta jumla ya eneo la pande za mche mstatili ABCDEFGH iwapo uso ABCD upo wazi.

  1. sm2 3,200
  2. sm2 3,000
  3. sm2 1,200
  4. sm2 2,200
  5. sm2 10,200


38. Chati duara ifuatayo inaonesha michezo ambayo wanafunzi wa Shule ya Msingi Mwenge wanapenda kucheza. Iwapo shule ina wanafunzi 400, je ni wanafunzi wangapi wanapenda kucheza mpira wa miguu?

  1. 80
  2. 90
  3. 100
  4. 162
  5. 180


SEHEMU C

MAFUMBO

Katika swali la 39 - 50, kuchagua jibu sahihi kisha weka kivuli katika herufi ya jibu sahihi katika karatasi ya kujibia.

39. Gari lisafiri kwa mwendo wa kilometa 80 kwa saa kwa dakika 45. Tafuta umbali wa safari.

  1. km 15
  2. km 30
  3. km 45
  4. km 60
  5. km 80


40. Teti alinunua bidhaa zifuatazo sokoni: Mchele kg 20 @ sh. 1,200; Mayai 15 Cash 250; Unga wa ngano kg 5 @ sh. 1,100; Nyama kg 3 @ sh 6,500 na viungo mbalimbali kwa sh. 2,800. Je alilipa shilingi ngapi?

  1. sh. 54,550
  2. sh. 54,650
  3. sh. 55,450
  4. sh. 55,550
  5. sh. 55,650


41. Tupa alinunua radio kwa sh. 450,00C kisha akaiuza kwa sh. 354,000. Je Tup.;. alipata hasara ya kiasi gani?

  1. sh. 95,000
  2. sh. 96,000
  3. sh. 104,000
  4. sh. 154,000
  5. sh. 354,000


42.  Katungo alisafiri umbali wa km 3 kutoka Moshona kuelekea magharibu hadi kufika mji wa Katepo kisha akasafiri umbali wa km 4 kuelekea kusini hadi kufika mji wa Kahenga. Je, Iwapo Katungo angesafiri moja kwa moja kutoka Moshona had; Kahenga bila kupitia Katepo, angesafiri umbali gani?

  1.  km 3 
  2. . km 4
  3.  km 5     
  4.  km 7
  5. km 12


43. Mfanyabiashara alinunua mipira 20 ill aiuze kenye duka lake. Iwapo mipira 18 ilikuwa na ubora uliokuwa unatakiwa na wateja, ni asilimia ngapi ya mipira haikuwa na ubora?

  1.  2%  
  2. 20%
  3. 18%  
  4. 38%
  5. 10%


44. Shule ya Msingi Majengo Ina wanafunzi 690. Iwapo  2/3 ya wanafunzi walifaulu vyema katika Jaribio la Hisabati, ni  wanafunzi wangapi ambao hawakufaulu?

  1.  230 
  2. 330
  3. 450 
  4. 460
  5.  660


45. Gharama ya kununua maembe mawili ya aina moja katika soko la Tegeta ni shilingi 2,000. Iwapo Msafiri alinunua maembe 5 ya namna hiyo alilipa shilingi ngapi?

  1. sh. 4, 000
  2.  sh. 5,000
  3.  sh. 5,400  
  4. sh. 5,500
  5.  sh 10,000


46. Watoto wawili, Natt na Pett waligawana shilingi 18,000 kwa uwiano wa 2:3. Je Pett alipata kiasi gani?

  1. sh 3,600
  2. sh 7,000
  3. sh 7,200
  4. sh 10,500
  5. sh 10,800


47. Shule ya Msingi Maendeleo iliotesha  miche 104 ya miti katika shamba la  shule. Iwapo _ya miche ilikauka, je ni 4 miche mingapi ilikufa?

  1.  21 
  2.  24
  3.  26 
  4.  52
  5.  78


48. Mashine ya kutoa nakala inatoa nakala 20 za karatasi kwa sekunde 40. Je, itatoa nakala ngapi kwa saa?

  1.  60 
  2. 90
  3. 800 
  4. 1,200
  5. 1,800


49. Mokiwa alikula 3/10 ya mkate na Jenita akala mkate uleule ila mara mbili ya kiasi alichokula Mokiwa, je kwa pamoja walikula kiasi gani cha mkate?

  1. 5/10
  2. 9/10
  3. 6/10
  4. 2/10
  5. 1/10


50. Wastani wa mapato ya muuza matunda kwa siku nne za juma ni shilingi 20,000. Iwapo mapato katika siku ya kwanza shilingi 22,000, siku ya pill shilingi 18,000 "na siku ya tatu shilingi 16,000. Je alipata shilingi ngapi katika siku ya nne?

  1. sh. 12,000
  2. sh. 15,000
  3. sh. 20,000
  4. sh. 22,000
  5. sh. 24,000.


STD VII HISABATI NECTA EXAM OF YEAR 2015 Try This  |  

             SEHEMU A

Katika kila swali 1 - 25, kokotoa jibu na kisha andika herufi ya jibu lililo sahihi .

1. 225 + 59 + 3,772 =

  1.  4,046            
  2.  3,956
  3.  4,056
  4.  4,057             
  5.  3,946


2. 80,709 - 5,987 =

  1.  75,882           
  2.  74,722
  3. 75,922
  4. 74,812
  5. 75,722


3. 170.2 ÷ 74 =

  1. 2.30 
  2. 2.40
  3. 2.03
  4. 3.02
  5. 3.20 


4. 94 × 765 =

  1.  71,910
  2. 71,470
  3. 61,470
  4. 71,610
  5. 71,510


5. 3 + 1  =

  1. 4
  2.  4  5/8
  3. 5
  4.  5
  5.  


6. 5 2/3 - 2 1/4  =

  1. A 3 2/12  
  2.  3 4/12
  3.  3 11/12
  4. 3  5/12
  5. 3 7/12 


7.  -14×(-19 + 16) =

  1. -48  
  2. 48
  3. 42
  4.  -42  
  5. 49


8. (+ 17) + (- 35) =

  1.  -52  
  2.  -18
  3. 18
  4. 42  
  5. 52


9. 16 ÷ 6 =

  1. 16/6
  2. 19/3
  3. 33/2
  4. 99/38
  5. 99/19


10.  7,590 ÷ 15 =

  1.  516
  2. 56
  3. 506
  4. 65  
  5. 605


11.  30.24 ÷ 12 =

  1. 2,520 
  2. 25.20
  3. 252
  4. 2.52 
  5. 0.252


12. 19.62 + 6.35 + 21.1 =

  1. 47.70 
  2. 47.98
  3. 46.07
  4. 46.98
  5. 47.07


13. Ikiwa m = -7 na n = -5, tafuta thamani ya

  1.  -12
  2.  2
  3.  1
  4.  6
  5.  -6


14. Kokotoa thamani ya 12 - (- 24) + (- 9) × 4.

  1.  0
  2. 48
  3. -48
  4. 72
  5. 108


15. Tafuta zao la namba tasa zilizopo kati ya 1 na 10.

  1. 384
  2. 210
  3. 945
  4. 1,890
  5. 3,840


 16. Tafuta kigawo kikubwa cha shirika (K.K.S) 12, 24 na 36.

  1. 6
  2. 12
  3. 24
  4. 36
  5. 72


17. Andika 4 % kuwa sehemu



  1. 20/500


18. Rahisisha 3(m - n) + 5n - 7m .

  1.  4m - 2n
  2.  -4m - 2n
  3. 2n - 4m
  4. 3m - 3n
  5. -4m - 8n


19. Tafuta thamani ya y ikiwa + y = 5

  1. 2
  2. 6
  3. 4
  4. 8
  5. 5


20. Kuna ngapi katika ?

  1. 4 5/9
  2. 13 2/3
  3. 9/41
  4. 9
  5. 41


21. Badili namba ya kirumi CMXCIX  kuwa namba ya kawaida.

  1. 9,999
  2. 99
  3. 999
  4. 99,999
  5. 999,999


22. Andika namba inayofuata katika mfululizo huu: 1, 4, ___, 16, 25.

  1. 5
  2. 6
  3. 9
  4. 10
  5. 12


23. Tafuta Kigawe Kidogo Cha Shirika (K.D.S) cha 6, 9 na 12.

  1. 3
  2. 36
  3. 54
  4. 72
  5. 108


24. Tafuta thamani ya A ikiwa 2 : A = 12:48.

  1. 4
  2. 8
  3. 9
  4. 12
  5. 48


 25. dm sm mm

       4     3     5

    -  1    4     6

  1.  2 dm 8 sm 9 mm
  2.  2 dm 9 sm 9 mm
  3.  3 dm 8 sm 9 mm
  4.  2 dm 8 sm 1 mm
  5.  1 dm 8 m 8 mm


SEHEMU B: MAUMBO

Katika swali 26-38,  ainisha mahitaji ya swali, kokotoa jibu na kisha andika herufi ya jibu lililo sahihi.

26. Tafuta eneo la mstatitili ufuatao:

  1. 2 cm2
  2. 8 cm2
  3. 36 cm2
  4.  80 cm
  5. 20 cm 2


 27. Tafuta kipenyo cha mcheduara ufuatao iwapo ujazo wake ni sm3 61.6 (Tumia Pai =22/7)


  1. 1.4 sm
  2. 1.96 sm
  3. 2.8 sm
  4. 6.16 sm
  5. 3.92 sm


28. Tafuta eneo lililotiwa kivuli iwapo duara lililochorwa ndani ya mraba lina nusu kipenyo cha sm 7. (Tumia Pai =22/7 ) 


  1.  154 cm2
  2.  49 cm2
  3.  32 cm2
  4.  42 cm2
  5. 196 cm2


29. Tafuta mzingo wa pembetatu pacha PQR.

  1.   6  sm 
  2.  14 sm 
  3.  28 sm
  4.  22 sm 
  5.  38 sm


30. Tafuta thamani ya x katika umbo lifuatalo.

  1.  46° 
  2.  44° 
  3.  3°
  4.  10° 
  5.  12°


31. Eneo la pembetatu ifuatayo ni  sm2 66. Tafuta thamani ya x.

  1.  3 
  2.  8 
  3.  11
  4.  12 
  5.  15


32. Find the area of the football ground shown inthe following figure:  (Use ???? =22/7 )

  1.   3,850 m2
  2.   7,000 m2
  3.   7,770 m2
  4.   10,850 m2
  5.   15,400 m2


33.Find the are of the following trapezium

 

  1.   70 cm2               
  2.   105 cm2              
  3.   150 cm2
  4.   210 cm 2     
  5.  50 cm2


34.Kielelezo kifuatacho kinaonesha maudhurio ya wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule ya Msingi Tumbi kwa siku tano za wiki. Tafuta wastani wa maudhurio ya wanafunzi hao kwa siku.

  1.  180 
  2.  50 
  3.  36
  4.  30 
  5.  20


35.Find the surface area of the following rectangular prism of which the face HEFG is open.

 

  1.   88 cm2                
  2.   64 cm2                  
  3.   48 cm2
  4.   44 cm     
  5.   40 cm2


36. Ilembula Primary School harvested 4,500 kilograms of vegetables that are shown in the following pie chart. Find the number of kilograms for onions that were harvested.

 

  1.   2,050            
  2.   196              
  3.   2,450
  4.   1,050           
  5.   164


37. Find the value of x in the following figure:

 

  1.   10                
  2.   30                
  3.   40
  4.  140              
  5.  150


38. Find the area of the following parallelogram:

  1.   24 cm2                
  2.   32 cm2                  
  3.   40 cm2
  4.   12 cm2
  5.   25 cm2


SECTION C: WORD PROBLEMS

For each of questions 39 - 50, work out the answer, then choose the correct option and shade its corresponding letter in the answer sheet provided.

39.Zebedayo has 7 cows for milk. If each cow gives 5 litres of milk every day, how many litres of milk does she get per week?

  1.   215             
  2.   225            
  3.   235
  4.   245              
  5.   255


40. Perima has the following notes and coins of Tanzanian currency:  2 notes @ shs. 10,000; 3 notes @ shs. 5,000; 4 notes @ shs. 2,000; 5 notes @ shs. 1,000 and 10 notes @ 500. Also, he has 5 coins each of shs.200 and 4 coins each of shs. 100. How many shillings does he have in total?

  1.   58,400/=      
  2.   54,400/=        
  3.   19,800/=
  4.   34,400/=      
  5.   48,400/=


41. Musa deposited money in a bank that gives 5 percent interest rate for one year. If he deposited the money for a period of one year and gets an interest of 2,500 shillings, how much did he deposit in the bank?

  1.   sh. 5,000                  
  2.   sh. 50,000    
  3.   sh. 500,000               
  4.   sh. 50,005   
  5.   sh. 5,005


42. Kazaroho answered correctly 45 out 50 questions in Kiswahili examination. What percentage did Kazaroho get?

  1.   95              
  2.   45                
  3.   5
  4.  50                
  5.  90


43.Mapinduzi Primary School has 28 teachers of which 18 are female. What is the fraction of the male teachers? 

  1.   28/18
  2.   9/14
  3.   5/14
  4.   9/5
  5.   5/28 


44. Maendeleo Primary School has a meeting room which is 12 meters in length and has a width of 5.5 meters. If inside the room, there is an area of 2.5 m2 allocated for keeping various documents, find the remaining area. 

  1.   66 m2  
  2.  68.5 m2 
  3.  62.5 m2
  4.  63.5 m2
  5.  53.5 m2


45. Moga and Juma shared one hundred twenty five thousand shillings in the ratio of 2:3 respectively. How much did Juma get?

  1.   25,000/=    
  2.   50,000        
  3.  62,500/=
  4.  75,000/=      
  5.  100,000/=


46. Maganga’s car travels a distance of 20 km with a speed of 80 km per hour. What time does it take to cover the whole journey?

  1.   0.25 hours    
  2.   0.5 hours      
  3.   2.00 hours
  4.   4.00 hours   
  5.   8.00 hours


47. A book is sold at seven thousand five hundred shillings at Jamali’s shop. If the owner of the shop will give a discount of 10 percent, at how much shillings will the book be purchased?

  1.   7,500/=        
  2.   7,490/=       
  3.   8,250/=
  4.   6,750/=      
  5.   750/=


48. Kambona’s salary per month is 456,500 shillings. If the salary will increase by 26 percent, how much will the new salary be?

  1.   shs. 118,690             
  2.   shs. 456,526
  3.   shs. 337,810            
  4.   shs. 574,090
  5.   shs. 575,190


49. A business man sold sugar for three months as follows: In January 1,500 kilograms, February 2,500 kilograms and in March 1,250 kilograms. How many tons of sugar were sold in three months? (1 Ton = 1,000 kilograms)

  1.   4.25             
  2.   425              
  3.   5.25
  4.   6.25            
  5.   5,250.


50. Uzito wa matunda yaliyouzwa katika soko la Mikunda kwa siku nne mfululizo ilikuwa kama ifuatavyo:

Siku

Jumatatu

Jumanne

Jumatano

Alhamis

Uzito( Tani )

2

1 ½ 

½ 

2 ½ 

Je, wastani wa kilo za matunda zilizouzwa sokoni kwa siku ilikuwa kiasi gani?

  1.  kg 1,625  
  2.  kg 1,375
  3.  kg 1,250
  4.  kg 1,500
  5.  kg 6,500


Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256

   Click Here To Access You Scheme(ONLY IF YOU A HAVE CODE)