?>
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA PILI
SOMO: HIISABATI DARASA: TATU
MUDA: SAA 1:30
JINA: ____________________________________ TAREHE: ______________
Na | Swali | Kazi | Jibu |
1 (i) | Andika kwa maneno 3450= | ||
(ii) | Andika kwa tarakimu “ Elfu moja mia tano ishirini”= | ||
(iii) | Fafanua namba ifuatayo; 2345= | ||
(iv) | Andika namba ifuatayo kwa kifupi: 8000 + 300 + 40 + 1= | ||
(v) | Andika namba inayokosekana 15,17,19____, 23, 25. | ||
2 (i) | Andika namba inayokosekana katika: 45, 40, __ ,30, 25, 20 | ||
(ii) | Andika thamani ya nafasi ya tarakimu iliyopigiwa mstari katika namba ifuatayo; 47612 = | | |
(iii) | Panga namba zifuatazo kuanzia kubwa hadi ndogo 60, 44, 37,100, 9, 218 = | ||
(iv) | Andika namba ndogo kuliko zote katika namba zifuatazo 900, 300,700,100,500 = | ||
(v) | Andika namba nzima inayotokana na thamani ya nafasi hizi; Maelfu saba, mamia sita, makumi mbili na momoja mbili = | ||
3 (i) | 1418 + 2631 | ||
(ii) | 8973 – 7642= | ||
(iii) | 6027 +1784 _____ | ||
(iv) | 3822 - 1713 _____ | ||
(v) | Sh. 5000 + sh. 4000 = | ||
4 (i) | Duka la Maria lina simu 2972. Ikiwa simu za mkoni ni 1235. Je, simu za mezani ni ngapi? | ||
(ii) | Juma alivuna maembe 5630 mti wa kwanza. Baadaye akavuna maembe 480 mti wa pili. Je, Juma alivuna jumla ya maembe mangapi? | ||
(iii) | Andika ½ Kwa maneno. | ||
(iv) | Andika theluthi Kwa numerali | ||
(v) | Andika theluthi mbili kwa numerali = ___ | ||
5. | Andika majina ya maumbo yafuatayo | ||
(i) | | ||
(ii) | | ||
(iii) | Saa moja ni sawa na dakika ngapi? | ||
(iv) | Umbo la pembe nne ambalo pande zake zote zinalinga a huitwa | ||
(v) | Chora uso wa saa ya mshale kuonyesha muda wa saa 7:00 (saa saba kamili) |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 111
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUMALIZA MUHULA WA KWANZA MEI - 2025
HISABATI – DARASA LA TATU
JINA: ____________________________________ TAREHE: ______________
MUDA: SAA 1:30
MAELEKEZO
1. Mtihani huu una sehemu A, na B zenye jumla ya maswali Sita (6)
2. Jibu maswali yote katika kila sehemu
SEHEMU A: (ALAMA 36)
Na 1 | SWALI | KAZI NA JIBU |
(a). | 45248+20231= | |
(b). | Andika thamani ya nafasi ya 7 katika namba 61270 | |
(c). | Chora ABAKASI ikionesha namba ifuatayo 4279 | |
(d). | Andika namba inayokosekana katika mfuatano 45, 41, 37, 33, _________ | |
(e). | 6874 - 2430 | |
(f). | Linganisha namba ifuatazo kwa kutumia <, > au = 2000 na 3000 | |
Na. 2 | | |
(a). | Andika kwa maneno namba ifuatayo: 3896 | |
(b). | Andika kwa numerali: Elfu tano mia saba sitini na mbili | |
(c). | Andika kwa kifupi: 4000 + 200 + 50 + 1 = | |
(d). | Andika thamani ya namba ilipigiwa mstari 6249356 | |
(e). | Andika kipimo kimoja cha urefu | |
Na. 3 | ||
(a). | Kisambu alikua na shilingi 1000 iwapo alitumia shilingi 600 kununua soda alibakiwa na shilingi ngapi? | |
(b). | Katika mbuga mojawapo ya wanyama nchini Tanzania, kuna Nyati 78698 na pundamilia 2323. Je, kuna jumla Wanyama wangapi katika mbuga hiyo? | |
(c). | 55394 + 36738
| |
Na. 4 | ||
(a). | Kipimo cha msingi cha urefu ni kipi? | |
(b). | Ng’ombe hutoa lita 20 za maziwa kila siku,Je, hutoa lita ngapi za maziwa kwa siku 3? | |
(c). | Ukitaka kupima urefu wako unatumia nini? | |
(d). | Kipimo cha msingi cha uzani ni | |
Na. 5 | SEHEMU B: ALAMA 14 | |
(a). | Maria ana urefu wa meta 120 na Jovin meta 130, je kwa pamoja wa urefu wa meta ngapi? | |
(b). | Baba alitembea umbali Fulani kutoka nyumbani hadi kanisani, Je unahisi umbali huo tunaweza pima kwa kutumia nini kati ya SM, KM na M? ____________________ | |
(c). | Chora mstari LM | |
Na. 6 | ||
(a). | Andika jina la umbo lifuatalo: ![]() | |
(b). | Andika jina la kipande cha mstari ifuatayo D ___________________ E | |
(c). | Umbo la mstatili lina pembe ngapi? | |
(d). | Chora umbo la pentagoni. |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 108
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA NUSU MUHULA AGOSTI 2025
DARASA LA III HISABATI
Na. | Swali | Kazi Na Jibu |
1 | Dhana ya namba | |
| (i) Andika 999 kwa maneno |
|
| (ii) Andika elfu mbili kwa tarakimu |
|
| (iii) Andika 400 + 70 + 2 kwa kifupi |
|
| (iv) Andika ¼ kwa maneno |
|
| Nini nafai ya thamani ya tarakimu 8 kwenye 7984? |
|
2 | Mipangilio ya namba | |
| (i)Jaza namba inayokosekana 3, 6, 9, ………, ……. 15, 18 |
|
| (ii) Je ni tendo gani lilitumika kwenye heabu hii? 100, 200, 300, 400,500 |
|
| (iii) Tafuta namba inayofuata baada ya 99 |
|
| (iv) Ipi ni namba kabla ya 100? |
|
| (v) 10. Panga 111, 101, 11, 110, 10 kuanzia ndogo kwenda kubwa |
|
3. | Matendo katika namba |
|
| (i) 33 + 114 = |
|
| (ii) 200 - 45 = |
|
| (iii) 3 + 3 + 3 = |
|
| (iv) 3/7+ 2/7 = |
|
| (v) |
|
4. | Mafumbo na fedha | |
| (i) Dada alikaanga maanazi 120 na mimi nilikaanga maandazi 30. Je, wote kwa pamoja tumekaanga mandazi mangapi? |
|
| (ii) Boksi la chaki lilikuwa na chaki 100. Kama walimu 10 wamechukua chaki 2 kila mmoja je, kwenye boksi zimebaki chaki ngapi? |
|
| (iii) Baba ana sh. 200 na mama ana sh. 500. Je, wote kwa pamoja wana fedha kiasi gani? |
|
| (iv) Ng’ombe 1 ana miguu minne. Je, ng’ombe 4 wana miguu mingapi? |
|
| (v) Neema alipewa noti ya shilingi 2000. Ikiwa ameagizwa kwenda kununua mandazi ya shilingi 800 alirudishiwa shilingi ngapi? |
|
5. | Sehemu, Vipimo na Maumbo | |
| (i)Umbo hili lina pembe ngapi? |
|
| (ii) Umbo hili linaitwaje? |
|
| (iii) Kuna pembe tatu ngapi kwenye umbo hili? |
|
| (iv) Je, mlango wa nyumbani kwenu ni mfano wa umbo gani? |
|
| (v) Andika sehemu iliyotiwa kivuli kwenye umbo lifuatalo kwa tarakimu |
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 101
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024
SOMO: HISABATI DARASA: III
Na | SWALI | NAFASI YA KAZI | JIBU |
| Andika 1572 kwa maneno |
|
|
ii. | Andika "elfu nne mia saba sitini na tatu" kwa nambari |
|
|
iii. | Tafuta dhamana ya namba 4 katika 4567
|
|
|
Iv | Taja ikiwa nambari zifuatazo zinapanda au kushuka 305, 11, 89,72,32 |
|
|
v. | Tumia >, <au = kujaza nafasi iliyoachwa wazi 100_____90 |
|
|
| Panga kwa mpangilio wa kupanda 22,42,13,27,6 |
|
|
ii. | Panga nambari zifuatazo kwa mpangilio wa kushuka 32,40,8,16,24 |
|
|
iii. | Jaza nambari zinazokosekana 30,32,___36,38 |
|
|
iv. | Jaza nambari zinazokosekana 990,960,930,___870 |
|
|
v. | Nini dhamana ya 7 katika 67302
|
|
|
| Nambari gani inakuja baada ya 3149? |
|
|
Ii | Nambari gani inakuja kabla ya 1000??
|
|
|
Iii | Nambari gani inakuja kati ya 2349 na 2351? |
|
|
Iv | Nambari gani inaonyeshwa na abacus hapa chini |
|
|
V | Umbo hili linaitwaje? |
|
|
| 9762 + 136=
|
|
|
Ii | 2315 +3114 5435
|
|
|
Iii | 5237 - 2024=
|
|
|
Iv | 5432 -3014
|
|
|
v. | Andika 6000 + 100 + 50 + 3 kwa kifupi
|
|
|
| Mtoto aliambiwa ahesabu na kuandika idadi ya masanduku kwa maneno. Jibu sahihi lilikuwa lipi |
|
|
ii. | Katika shamba kuna miembe 980 na michungwa 456. Tafuta jumla ya idadi ya miti shambani |
|
|
iii. | Mkulima alikusanya mayai 9529 kwa wiki. Ikiwa mayai 2779 yalivunjika, alibaki na mayai mangapi |
|
|
Iv | Ni sehemu gani iliyotiwa kivuli kwenye takwimu hii |
|
|
V | Andika tatu juu ya saba katika takwimu |
|
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 90
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU
HISABATI-MACHI 2024
MUDA:1: 30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEKEZO:
NO | Swali | Nafasi ya kufanyia kazi | Jibu |
| Andika kwa maneno 4009 |
|
|
| Andika kwa tarakimu, Elfu moja na kumi na moja |
|
|
| Andika thamani ya namba iliyopigiwa mstari 8982 |
|
|
| Andika kwa kifupi 900 +500 +70+0 |
|
|
| Andika kwa kirefu 7485 |
|
|
| Andika namba inayokosekana 4, 8 _16 |
|
|
| Panga namba kutoka ndogo kwenda kubwa 65, 112, 2, 20, 0 |
|
|
| Andika thuluthi moja |
|
|
| Nini jibu la 2/3 ya 12 |
|
|
| Panga namba kutoka kubwa hadi ndogo, 4,90,25,15,85 |
|
|
| Kuna dakika ngapi katika lisaa limoja? |
|
|
| Andika ¾ kwa maneno |
|
|
| 8456
|
|
|
| 8595 - 6348 |
|
|
| 72 x 3= |
|
|
| 1436
|
|
|
| 8220 + 1534= |
|
|
| 7/14 – 2/14 |
|
|
| 5/10 +2/10= |
|
|
| 112
|
|
|
| Andika jina la umbo hili
|
|
|
| Andika sehemu ya nzima iliyotiwa kivuli
|
|
|
| Tafuta tofauti kati ya 4992 na 1479 |
|
|
| Sauda alikusanya mayai 4686 , Juma alikusanya mayai 2112. Tafuta kiasi cha mayai waliokusanya wote |
|
|
| Shs 8015 + shs 1243= |
|
|
1
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 79
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA SERIKALI ZA MITAA
MITIHANI WA KUJIPIMA
MWISHO WA MWAKA- NOVEMBA 2023
HISABATI DARASA III
JINA: __________________________________________________________ TAREHE________________ DRS: 3
NO. | MASWALI | Nafasi ya kazi | Majibu | ||||||||||||
i | Bahati alikuwa na maembe mia saba na sabini na tano, aliongeza maembe mia moja na saba. Andika kwa tarakimu idadi ya maembe aliyokuwanayo bahati ? | ||||||||||||||
ii | Andika Katika namba, theluthi moja. | ||||||||||||||
iii | Tafuta thamani ya jumla ya 5 kati ya 4580? Jibu andika kwa maneno | ||||||||||||||
iv | Andika namba kwa kifupi 0 + 800 + 90 + 5 | ||||||||||||||
Andika namba kwa kirefu 6704. | |||||||||||||||
2) i | Nini thamani ya 8 katika namba hii 3782? | ||||||||||||||
ii | Tafuta jumla ya machungwa mia tisa na nazi 200? | ||||||||||||||
iii | Tafuta namba inayofuata 3, 6, 12 _____ | ||||||||||||||
iv | Wageni walileta idadi ifuatayo ya sikukuu, 98 Jumatatu, 5 Jumanne, 67 Jumatano, 32 Alhamisi, na 10 Ijumaa. Panga namba hizi kutoka ndogo kwenda kubwa | ||||||||||||||
V | Muuza duka alipoteza mizigo yake 444 . Ikiwa alikuwa na mizigo 600, je muuza duka alibakiwa na mizigo kiasi gani ? | ||||||||||||||
3.)i | Tafuta jumla kati 4568 na 3456 | ||||||||||||||
Ii | Ondoa 400 kutoka elfu moja na mia mbili. | ||||||||||||||
iii | Kupata jumla ya 28 na sabini | ||||||||||||||
iv | Tafuta thamani ya C, P, na N 6C9N -P199 3693 | ||||||||||||||
v | Sarafu ngapi za shilingi 200 ziko katika 2000 ? | ||||||||||||||
4) i | Namba ipi kubwa kati ya 1/3 Au 1/6? | ||||||||||||||
ii | Kg g 20 250 + 5 820 | ||||||||||||||
iii | Andika sehemu ambayo haijatiwa kivuli katika umbo hili
| ||||||||||||||
iv | Andika jumla ya fedha zilizopo hapo chini ?
| ||||||||||||||
v | Taja jina la umbo hili
| ||||||||||||||
5. |
Fanya maswali yafuatayo?
| ||||||||||||||
i | Tafuta jumla ya apple zilizokusanywa Jumatatu na Ijumaa | ||||||||||||||
Ii | Siku ambayo wanafunzi walikusanya idadi ndogo? | ||||||||||||||
Iii | Ni apples ngapi zilizokusanywa Jumatano? | ||||||||||||||
Iv | Siku gani idadi ya makusanyo ya apple yalikuwa sawa ? | ||||||||||||||
v | Tafuta idadi ya Apple iliyokusanywa wiki nzima. |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 71
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUJIPIMA SHULE ZA MSINGI
NUSU MUHULA WA PILI
AGOSTI – 2023
SOMO: HISABATI
JINA: _____________________________________________TAREHE___________DRS: 3
MUDA: SAA 1:30
MAELEKEZO
NO. | MASWALI | Nafasi ya kazi | Majibu | ||||||||||||
1 ) i | Bahati alikuwa na maembe mia saba na sabini na tano, aliongeza maembe mia moja na saba. Andika kwa tarakimu idadi ya maembe aliyokuwanayo bahati ? |
|
| ||||||||||||
ii | AndikaKatika namba, theluthi moja. |
|
| ||||||||||||
iii | Tafuta thamani ya jumla ya 5 kati ya 4580? Jibu andika kwa maneno |
|
| ||||||||||||
iv | Andika namba kwa kifupi 0 + 800 + 90 + 5 |
|
| ||||||||||||
| Andika namba kwa kirefu 6704. |
|
| ||||||||||||
2) i | Nini thamani ya 8 katika namba hii 3782? |
|
| ||||||||||||
ii | Tafuta jumla ya machungwa mia tisa na nazi 200? |
|
| ||||||||||||
iii | Tafuta namba inayofuata 3, 6, 12 _____ |
|
| ||||||||||||
iv | Wageni walileta idadi ifuatayo ya sikukuu, 98 Jumatatu, 5 Jumanne, 67 Jumatano, 32 Alhamisi, na 10 Ijumaa. Panga namba hizi kutoka ndogo kwenda kubwa |
|
| ||||||||||||
V | Muuza duka alipoteza mizigo yake 444 . Ikiwa alikuwa na mizigo 600, je muuza duka alibakiwa na mizigo kiasi gani ? |
|
| ||||||||||||
3.)i | Tafuta jumla kati4568na 3456 |
|
| ||||||||||||
Ii | Ondoa 400 kutoka elfu moja na mia mbili. |
|
| ||||||||||||
iii | Kupata jumla ya 28 na sabini |
|
| ||||||||||||
iv | Tafuta thamani ya C, P, na N 6C9N -P199 3693 |
|
| ||||||||||||
v | Sarafu ngapi za shilingi 200 ziko katika 2000 ? |
|
| ||||||||||||
4) i | Namba ipi kubwa kati ya 1/3Au1/6? |
|
| ||||||||||||
ii | Kg g 20 250 + 5 820
|
|
| ||||||||||||
iii | Andika sehemu ambayo haijatiwa kivuli katika umbo hili
|
|
| ||||||||||||
iv | Andika jumla ya fedha zilizopo hapo chini ?
|
|
| ||||||||||||
v | Taja jina la umbo hili
|
|
| ||||||||||||
5. | Daraja la tatu lilikusanya matunda yafuatayo kutoka Jumatatu hadi Ijumaa. Ikiwa apple moja = 13 Fanya maswali yafuatayo?
|
|
| ||||||||||||
i | Tafuta jumla ya apple zilizokusanywa Jumatatu na Ijumaa |
|
| ||||||||||||
Ii | Siku ambayo wanafunzi walikusanya idadi ndogo? |
|
| ||||||||||||
Iii | Ni apples ngapi zilizokusanywa Jumatano? |
|
| ||||||||||||
Iv | Siku gani idadi ya makusanyo ya apple yalikuwa sawa ? |
|
| ||||||||||||
v | Tafuta idadi ya Apple iliyokusanywa wiki nzima. |
|
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 57
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA
HISABATI – DARASA LA TATU
ANDIKA SEHEMU ILIYOTIWA KIVULI.
Je ni kuku wangapi waliuzwa katika miezi mitano?
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 49
WIZARA YA ELIMU
MTIHANI WA NUSU MUHULA WA PILI 2022
SOMO LA HISABATI
DARASA LA TATU. MUDA SAA 1.
+ 132
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 41
WIZARA YA ELIMU
MTIHANI WAKUMALIZIA MUHULA WA 1 JULY 2022
SOMO LA HISABATI
DARASA LA TATU. MUDA SAA 1.
+ 132
MAJIBU
|
18
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 39
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA NNE
HISABATI
MUDA: 1:30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEZO
MAELEZO
SWALI | KAZI | JIBU |
4320 + 1203
-3465
|
|
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 34
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU
HISABATI
MUDA:1: 30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEKEZO:
NO | Swali | Nafasi ya kufanyia kazi | Jibu |
| Andika kwa maneno 4009 |
|
|
| Andika kwa tarakimu, Elfu moja na kumi na moja |
|
|
| Andika thamani ya namba iliyopigiwa mstari 8982 |
|
|
| Andika kwa kifupi 900 +500 +70+0 |
|
|
| Andika kwa kirefu 7485 |
|
|
| Andika namba inayokosekana 4, 8 _16 |
|
|
| Panga namba kutoka ndogo kwenda kubwa 65, 112, 2, 20, 0 |
|
|
| Andika thuluthi moja |
|
|
| Nini jibu la 2/3 ya 12 |
|
|
| Panga namba kutoka kubwa hadi ndogo, 4,90,25,15,85 |
|
|
| Kuna dakika ngapi katika lisaa limoja? |
|
|
| Andika ¾ kwa maneno |
|
|
| 8456
|
|
|
| 8595 - 6348 |
|
|
| 72 x 3= |
|
|
| 1436
|
|
|
| 8220 + 1534= |
|
|
| 7/14 – 2/14 |
|
|
| 5/10 +2/10= |
|
|
| 112
|
|
|
| Andika jina la umbo hili
|
|
|
| Andika sehemu ya nzima iliyotiwa kivuli
|
|
|
| Tafuta tofauti kati ya 4992 na 1479 |
|
|
| Sauda alikusanya mayai 4686 , Juma alikusanya mayai 2112. Tafuta kiasi cha mayai waliokusanya wote |
|
|
| Shs 8015 + shs 1243= |
|
|
1
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 27
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TATU
HISABATI
MUDA:1: 30
JINA_____________________________________SHULE__________________
question | Working space | Answer |
+4748
+4370
550, 660……..880, 990
|
|
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 18
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TATU
HISABATI
MUDA:1: 30
JINA_____________________________________SHULE__________________
question | Working space | Answer |
+4748
+4370
550, 660……..880, 990
|
|
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD THREE EXAM SERIES 17