FORM FOUR KISWAHILI TERMINAL EXAMS

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA UTIMILIFU

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

APRIL-2024

  1.          Wafanyabiashara kutoka Rukwa na Iringa walikutana kwa lengo la kufanya biashara, lakini kati yao ilizuka lugha ambayo ilirahisisha mawasiliano katika biashara zao. Kwa kutumia maarifa ya somo la Kiswahili lipi ni jina la lugha hiyo kati ya majinayafuatayo?_______
  1.   Lugha ya vizalia 
  2.   Pijini
  3.   Kibantu 
  4.  Kiswahili 
  5.    Kunguja 
  1.          Oi na Mari waliafikiana kuwa “watamfitinia” mwalimu wao kwa mkuu wa shule yao. Je azimio hilo la Oi na Mari lipo katika kauli ipi kati ya zifuatazo?
  1.   Kutenda 
  2.   Kutendana 
  3.   Kutendea 
  4.  Kutendeana 
  5.    Kutendewa
  1.          Asia aliandika habari kuhusu nchi ya Tanzania, katika habari hiyo alizingatia mpangilio mzuri na unaoeleweka kwa wasomaji wa habari yake, Je kwa uelewa wako alichokizingatia Asia kinajulikana kama nini?
  1.   Mantiki 
  2.   Insha 
  3.   Wazo 
  4.  Ayaaa 
  5.    Kistari  
  1.          Kategoria ya kisarufi inayowakilisha wakati katika kitenzi.
  1.   Leksimu
  2.   Kiambishi
  3.   Shina
  4.  Mtenda/mtendwa
  5.    Njeo
  1.          Sarah alipozunguniza kwa mara ya kwanza kwenye mkutano walimgundua kuwa ametoka mkoa wa Mara, Kitu gani kilimfanya agundulike?
  1.   Kushuka na kupanda kwa sauti yake
  2.   Mkazo wa sauti yake
  3.   Uongeaji wa taratibu
  4.  Umbo lake namba nane
  5.    Lafudhi yake
  1.          Kifungu cha maneno ambacho hujibu maswali ya ziada kuhusu tendo katika sentensi huitwa?
  1.   Kiingizi
  2.   Kirai nomino
  3.   Tungo
  4.  Kirai kielezi
  5.    Kikundi kivumishi
  1.          Ukiwa kama mwanafunzi wa kidato cha nne, unaweza kusema kiimbo hufasiliwaje katika mazungumzo ya lugha ya Kiswahili?
  1.   Kuzungumza na kuongea kwa sauti
  2.   Kuzungumza kwa kupandisha mawimbi ya sauti .
  3.   Kuzungumza kwa kushusha mawimbi ya sauti
  4.  Kuzungumza na kushuka kwa mawimbi ya sauti
  5.    Kupanda na kushuka kwa mawimbi ya sauti
  1.          Aina za maneno hufafanua kuhusu mambo mbalimbali .Onesha aina ya neno ambalo hufafanua zaidi kuhusu tendo au kivumishi kati ya haya yafuatayo?
  1.   Kitenzi
  2.   Kihusishi
  3.   Kielezi
  4.  Kiunganishi
  5.    Kiwakilishi
  1.          Kuna ngeli tisa za nomino za Kiswahili, katika ngeli hizo kila nomino huwekwa katika ngeli yake.Neno Ngamia lipo katika ngeli ipi kati ya hizi?
  1.   I-ZI
  2.   YU-A-WA
  3.   KI-VI
  4.  LI-YA
  5.    U-ZI
  1.          Vifuatavyo ni vigezo vya kiisimu vinavyothibitisha ubantu wa Kiswahili isipokuwa
  1.   Upatanisho wa kisarufi
  2.   Msamiati
  3.   Muundo wa sentensi
  4.  Ushairi wa Kiswahili
  5.    Ushahidi wa Malcon Guthrie 

 

2. Chagua kifungu cha maneno kutoka orodha B kinachotoa maelezo sahihi ya maneno neno katika orodha A.

 

ORODHA A

ORODHA 

  1.    Kauli
  2.    Lakabu
  3.    Kitenzi kishirikishi
  4.    Bendera
  5.    Prediketa
  6.    Hurafa
  1.   Kireno
  2.   Hutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja la sauti
  3.   Huonesha hali ya kuwepo au kutokuwa kwa jambo/kitu
  4.  Husaidia kitenzi kikuu kukamilisha maana
  5.    Husaidia kitenzi kikuu kukamilisha maana
  6.    Kihindi
  7.  Majina ya kupanga ambapo baadhi ya watu hupewa kutokana na sifa zao za kimaumbile au kinasaba
  8.  Ni kipora cha ushairi
  9.      Sehemu ya kiarifu ambayo hukaliwa na kitenzi
  10.     Kipashio cha kiarifu  kinachoonesha mtenda wa jambo
  11.   Haina ya hadith zenye wahusika wanyama tu.

 

 

 

SEHEMU B: (Alama 54)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

3. (a) Bainisha mzizi wa asili wa kila neno katika maneno yafuatayo:

  1.          Mkimbizi 
  2.          Mlaji
  3.          Muumbaji 
  4.          Nisingelipenda
  5.          Waligawana

(b) Upatanisho wa kisarufi ni kigezo kimojawapo kati ya vigezo vya kuunda ngeli za nomimo. Thibitisha dai hili kwa kutunga sentesi mbili katika kila ngeli kwenye ngeli zifuatazo:-

  1.          Ngeli ya pili
  2.          Ngeli ya tatu
  3.          Ngeli ya nne
  4.          Ngeli ya tano

 

4. Batuli alitaka kuhifadhi methali na vitendawili kwa njia ya kichwa tu kwa ajili ya kizazi kijacho. Lakina Kibuyu alimkataza asifanye hivyo badala yake atumie njia nyingine

  1.   Toa hoja nne (4) kama sababu ya katazo hilo
  2.   Taja njia tano (5) sahihi ambazo unahisi Kibuyu angemshawishi batuli atumie.

5. Eleza kinagaubaga tofauti zilizopo kati ya lugha ya mazungumzo na lugha ya maandishi kwa kuzingatia vipengele vifuatavyo;

  1.   Uwasilishaji
  2.   Uhifadhi
  3.   Mabadiliko

 

6. (a) Nini maana ya semi?

(b) Semi zina vipera vyake. Fafanua vipera vitano na kutoa mfano mmoja kwa kila kipera.

7. Soma kifungu cha habari kisha jibu maswali yafuatayo.

-Ndugu wazazi, kumbe safari yenu inahusu harusi ya Zaituni ?".Mkuu wa shule aliwauliza wazazi."Ndiyo," wazazi walijibu kwa Pamoja bila aibu."inategemewa kufugwa lini ."Mkuu aliendelea kuhoji. Harusi hii ilikuwa ifanyike wakati Zaituni anapofika kidato cha nne, Lakini Zaituni huyu ametufanyia uhuni na vituko visivyoelezeka. Nasi sasa tunachukiwa kijiji kizima na kudharauliwa na kila mtu.Hii imetuudhi sana, tumetungiwa nyimbo na kufanyiwa kila shutuma. Hatuna raha ;hivyo tumeonelea bora tuje kukuomba umfukuze shule ili kiburi kimwishie .Nasi tupo tayari kukulipa kiasi chochote cha fedha ukitimiza haja yetu hii,"Mzee Abdallah alieleza." Muda wote mkuu wa shule alikuwa akimtazama Mzee kwa chati sana .Kisha akauliza swali la kuchochea zaidi: Zaituni ana kiburi kumbe?"

Mama Zaituni hakutaka hilo limpite ,hima hima akatoa maelezo yake ."Mama wewe ,Zaituni usimuone hivi. Zaituni mwanangu hataki kufuata utamaduni wetu wa kuolewa. Zaituni ati achague mchumba mwenyewe, ati mahari haiyoni kama ni kitu cha msingi. Kiburi hicho kinatokana na elimu mliyompa.

Mtoto sasa ameharibika .Anafanya apendavyo elimu gani isiyojali adabu.wala utii?" Mama Zaituni alimaliza huku jasho na machozi yanamtoka".

Hapa mkuu wa shule aliona kwanza awaelimishe kabla hajawatolea kauli ya  mwisho.Alikwishatambua kwamba wazazi wa Zaituni walikuwa wameachwa nyuma na wakati .Kila upya wa mawazo waliuita kiburi.

Maswali.

  1.    Wazazi wa Zaituni walikwenda shuleni kufanya nini ?
  2.   Wazazi walisema kuwa Zaituni amefanya kosa gani.
  3.    Eleza mgogoro mkuu uliopo kati ya Zaituni na wazazi wake.
  4.   Fupisha habari hiyo kwa maneno yasiyopungua 50 na yasiyozidi 60.

 

 

8. Soma shairi lifuatalo kishajibu maswali yatakayofuata

l. Mtu wa fikra njema na kwa watu huacha jina.

Kwa kujua dunia nzima, likawa kubwa hazina

Kwa kujua jambo jema, lisilokuwa na shari,

Na watu wajao nyuma, wakapenda kulisoma.

2. Mvuka nguo chutama, wendapo wajihadhari, Na busara ni kutenda, tendo ambalo ni jema, Viumbe wakalipenda, ukapata na heshima, Tabasuri na hekima, ni muhimu maishani.

3. Maisha daima yenda, utaacha nini nyuma?

Ni roho yenye hekima, usambe ni santuri,

Ambayo huweza sema, maneno kwa kukariri, Hali haina uzima, ufahamu ni tafakuri.

4. Kama akili hunena, tungeshindwa na vinanda,

Vya sauti nzuri sana,visivyoweza kutenda,

Matendo yenye maana, ambayo mtu hutenda,

Fikra ni fani bora, katika fani za watu,

5. Weledi wenye busara, na maarifa ya vitu,

Wafahamu kwa sura, ulimwengu wetu wote,

Hekima na busara ya mtu, hupimwa kwa matendo mema, Ayatendayo yenye utu, na wala si maneno mengi kinywani.

(a) Eleza dhamira ya mtunzi wa shairi hili.

(b) Neno jina lina maana gani katika shairi?

(c) Mtu mwenye akili ni mtu wa namna gani?

(d)Eleza maana ya maneno yaliyokolezwa wino kama yalivyotumiwa kwenye shairi hili.

(e) Kwa nini hekima na busara ya mtu humpimwa kwa matendo na siyo maneno?

 

SEHEMU C: (ALAMA 30)

Jibu maswali mawili kutoka katika sehemu hii, swali la 11 ni lazima

ORODHA YA VITABU.

USHAIRI. 

  •       Wasakatonge - M.S. Khatibu (DUP).
  •       Malenga wapya -TAKILUKI (DUP)
  •       Mashairi ya Chekacheka - T.A.Mvungi(EP&D.LTD)

RIWAYA. 

  •       Takadini -Ben J.Hanson (MBS)
  •       Watoto wa Mama N'tilie - E.Mbogo(HP)
  •       Joka la Mdimu - A.J.SaiTari (HP)

TAMTHILIYA

  •       Orodha - Steve Reynolds(MA)
  •       Ngoswe Penzi Kitovu Cha uzembe - E. Semzaba (ESC)
  •       Kilio chetu - Medical Aid Foundation (TPH)

 

9. Kumekuwa na mgogoro mkubwa sana kati ya wazazi na vijana jambo ambalo limepelekea vijana wengi kushindwa kuishi na wazazi wao ili hali wakiwa katika umri mdogo na kupelekea vijana hao kukumwa na changamoto mbalimbali katika maisha yao ya ukuaji na hatimaye kushindwa kutimiza ndoto zao. Kwa kutumia tamthiliya mbili ulizosoma toa hoja tatu kwa kila tamthiliya kwa kuonesha chanzo cha migogoro hiyo na namna ya kuitatua.

10.”Watunzi wa kazi ya fasihi huwa na dhima anuwai kwa jamii zao kupitia kazi zao za fasihi wanazotunga”Thibitisha dai hili kwa kutumia tamthiliya mbili ulizosoma kwa kutoa hoja tatu kutoka kila kitabu.

11. Kutokubaliana miongoni mwa wanajamii kuwekuwa chanzo cha mivutano mbalimbali kati yao na kupelekea kukosekana kwa Amani na utulivu na utengamano katika jamii. Onesha ukweli wa kauli hii kwa kufafanua mivutano iliyoibuliwa na waandishi wa tamthiliya mbili ulizosoma kwa hoja tatu kwa kila kitabu.

 

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 189  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 189  

PRESIDENT OFFICE REGIONAL ADMNISTRATION

AND LOCAL GOVERNMENT

SECONDARY EXAMINATION SERIES 

COMPETENCE BASED ASSEMENT

KISWAHILI  FORM FOUR 

TERMINAL EXAMS MAY – 2023 

 

021

MUDA: MASAA 3

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C na zenye jumla ya maswali 11.
  2. Jibu maswali yote kutoka sehemu A, B na chagua mawili kutoka sehemu C
  3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na kila swali
  4. Andika kwa kutumia kalamu ya wino wa blue au nyeusi
  5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyo ruhusiwa kwenye chumba cha mtihani havirusiwi
  6. Andika namba yako mtihani katika kila ukurasa wa katatasi yako ya kujibia.

 

SEHEMU A (Alama 16)

Jibu maswali yote kutoka sehemu hii.

  1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vingele (i) hadi (x) kisha andika herufi ya jibu
  1. Katika kipindi cha harakati cha harakati za kudai Uhuru lugha ya kiswahili ilipata kukua na kuenea kwa zaidi kwa maana ya kuongeza msamiati na kukua kimatumizi, katika kipindi hico maneno yafuatayo yaliibuka.


  1. Uhuru na umoja, Uhuru na kazi
  2. Baba kabwela, unyonyaji
  3. Kupe, Baba kabwela, Uhuru na kazi
  4. Uhuru na Umoja, unyonyaji, kupe
  5. Kupe, umoja na kazi, baba kabwela


  1. Kuimba kwake kunafurahisha. Neno lililopigwa mstari ni aina gani ya neno?


  1. Kitenzi
  2. Kivumishi
  3. Kiwakilishi
  4. Kihisishi
  5. Nomino


  1. Ni lugha mseto ya muda inayozuka pindi makundi mawili yeye lugha mbili tofauti yakutanapo


  1. Lugha ya vizalia
  2. Pigini
  3. Kibantu
  4. Kiswahili
  5. Kiunguja


  1. Lugha ya Kiswahili hujiongeza msamiati kwa njia mbalimbali. Je, neno kengele limeundwa kwa njia gani?


  1. Kutohoa
  2. Kubadili mpangilio wa herufi
  3. Kuiga sauti
  4. Urudufishaji
  5. Kuambatanisha maneno


  1. “Nimesema sikutaki sikutaki sikutaki” Je hii ni tamathali gani ya semi


  1. Tashibiha
  2. Taniaba
  3. Tafsida
  4. Tashititi
  5. Takriri


  1. Bainisha neno lenye kiambishi kinachodokeza kauli ya kutendesha katika orodha ya maneno hapa chini


  1. Kupigiwa
  2. Paza
  3. Limika
  4. Temeana
  5. Oana


  1. Mwalimu alikuwa anafundisha. Neno lililopigwa mstari ni?


  1. Kitenzi kisaidizi
  2. Kitenzi kishirikishi
  3. Kitenzi kikuu
  4. Kielezi cha sifa
  5. Kivumishi cha idadi


  1. Sifa ipi haitofautishi fasihi simulizi na andishi


  1. Ukubwa
  2. Uwasilishaji
  3. Uhifadhi
  4. Ukuaji
  5. Ukongwe


  1. neno lipi kati ya haya ni mofimu huru?


  1. Uji
  2. Uzuri
  3. Uchache
  4. Ufa
  5. Cheza


  1. Ni hatua inayofuata baada ya kipengele cha mwisho wa barua katika uandishi wa barua rasmi


  1. Jina la mwandishi
  2. Cheo cha mwandishi
  3. Saini ya mwandishi
  4. Salamu za maagano
  5. Kichwa cha barua.


 

  1. Oanishi dhana zilizo katika Orodha A kwa kuchagua herufi ya dhana husika katika Orodha B, kisha andika herufi husika katika karatasi ya majibu.

 

ORODHA A

ORODHA B

  1. Makosa ya upatanisho wa kisarufi
  2. Hatua ya kwanza ya uchanganuzi wa sentensi
  3. Misemo ya picha ambayo huleta maana iliyofichika
  4. Ni kanuni, sheria na taratibu zinazowabana wazungumzaji wa lugha wapate kuelewana.
  5. Ni sehemu ya neno inayobakia baada ya kuondoa aina zote za viambishi.
  6. Sehemu ya neno ambayo huweza kutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu la sauti
  1. Mzizi asili maana
  2. Sarufi
  3. Kuanisha aina za sentensi
  4. Tanakali sauti
  5. Tungo tata
  6. Ng’ombe watoa maziwa mengi
  7. Mzizi/kiini
  8. Kuainisha aina za maneno
  9. Misimu
  10. Nahau
  11. Irabu
  12. Silabi

 

SEHEMU B (Alama 54)

Jibu maswali yote

  1. (a) Upatanisho wa kisarufi ni kigezo kimoja wapo kinachounda ngeli za nomino. Kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi panga nomino zifuatayo katika ngeli zake. (i)Ugonjwa (ii) Sukari               (iii) Mchungwa               (iv)Uovu              (v)Maziwa

(b)Kwa kutumia nomino (i) – (iv) hapo juu, tunga sentensi moja yenye kiambishi cha O-rejeshi kwa kila nomino.

  1. (a)Utata katika mawasiliano huweza kusababishwa na mambo mengi. Taja mambo manne yanayosababisha utata katika mawasiliano

(b)Maneno yafuatayo yana maana zaidi ya moja. Toa maana mbili za maneno haya 

(i)Paa  (ii)Mbuzi (iii)Kaa (iv)Ua  (v)Kanga 

  1. (a)Ainisha neno TUPA na neno KAA katika tungo zifuatazo
  1. Tafadhali kaa hapa unisubiri
  2. Hicho kisu kinapaswa kunolewa kwa tupa
  3. Kilichobaki tupa kule
  4. Watu wa pwani hula kaa
  5. Baba ameleta tupa toka sokoni

(b) Toa sababu nne za msingi ni kwa nini watumiaji wa lugha huongeza msamiati wa lugha

  1. (a) Waingereza ni wadau wakubwa katika kukuza na kufanya lugha ya Kiswahili kuwa hai kama ilivyo katika lugha ya kiingereza kwa kuzingatia shughuli za kielimu katika kipindi chao. Onesha ni kwa namna gani waingereza walikipa kiswahili mashiko yaliokiandaa kuwa hivi kilivyo leo (hoja tano)

(b) Kwa maoni yako unafikiri ni kwa jinsi gani matumizi ya picha na michoro yanamsaidia mtumiaji wa kamusi (hoja nne)

 

  1. Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata

Siku zote madereva hupambana na hatari mbalimbali wanapoendesha magari yao barabarani. Hatari hizo husababishwa na ubovu wa magari, uzembe wa waenda kwa miguu na hali ya barabara yenyewe. Kusudio la taifa siku zote ni kuwa na dereva wa kujihami, ambaye atahakikisha usalama barabarani wakati wote. Dereva bora lazima awe na utaalamu wa kutosha katika kazi yake, awe na mbinu kadhaa za kutumia katika kukwepa ajali na kujiokoa yeye, gari lake na watumiaji wengine wa barabara. Lazima uwezo wake wa kuhisi na kutambua hatari uwe mkubwa. Asiendeshe kwa kudhani au kubahatisha bali awe na uhakika. Ang’amue hatari mapema na aamue kuwepa hatari na vikwazo vya barabara.

 Si hivyo tu, bali pia ajitahidi kuepuka hatari na kuzuia janga kutokea. Ajifunze na atumie mbinu mbalimbali wakati ufaao. Aendeshe kwa kufikiria mbele zaidi na akihisi tatizo atekeleze maamuzi mara moja. Asingojee yatokee aepushe shari asiweze kuwa dereva mwenzake ndiye atasimamia bali asimamie yeye.

 Wanafunzi wanakwenda shuleni na wazee wamo hatarini zaidi kuliko watu wazima. Hivyo ni muhimu watu hao walindwe na kufundisha juu ya vyombo vya moto wahakikishe ubora wa afya zao kabla kuendesha. Aidha magari yakaguliwe mara kwa mara ili yasisababishe ajali za barabarani. Tukizingatia hayo ajali za barabarani zitapungua kama siyo kuisha kabisa. 

 

MASWALI 

  1. Pendekeza kichwa cha habari kinachofaa kwa habari uliyosoma
  2. “Dereva bora ni yule anayejihami” usemi huo una maana gani?
  3. Taja watumiaji wawili wa barabara ambao wapo hatarini zaidi wawapo barabarani kulingana na habari uliyosoma
  4. Orodhesha hatari tatu anazokumbana nazo dereva anapokuwa barabarani.
  5. Toa maana ya maneno yaliyopigiwa mstari kama yalivyotumika kwenye habari hili.

 

  1. Mkuu wa Chuo cha Utalii Mweka ametangaza nafasi tatu za kazi za udereva tarehe 12/3/2023. Wewe kama miongoni mwa wahitimu wa kidato ch anne 2022 umeliona tangazo hilo. Andika barua kwa mkuu wa chuo cha utalii cha Mweka. SLP 3090 Kilimanjaro, ukiomba nafasi ya kazi ya udereva chuoni hapo. Jina lako liwe Masumbuko Mateso wa SLP 1215 Bukoba.

SEHEMU C (Alama 30)

Jibu maswali mawili (2) kutoka sehemu hii

ORODHA YA VITABU TEULE

RIWAYA

Takadini

Watoto wa Mama Ntilie

Joka la Mdimu

TAMTHILIYA

Orodha 

Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe

Kilio Chetu 

USHAIRI

Wasakatonge 

Malengawapya 

Mashairi ya cheka cheka

 

  1. Jamii ya kitanzania inakabiliwa na matatizo mbalimbali ya kijamii yanayokwamisha maendeleo. Thibitisha kauli hii kwa kutoa hoja tatu kwa kila riwaya kati ya riwaya mbili ulizozisoma.
  2. Kwa kutumia hoja tatu kwa kila tamthiliya kutoka tamthiliya mbili ulizosoma. Jadili kufaulu kwa mwandishi katika kipengele cha utumizi wa tamathali za semi
  3. Mtunzi wa mashairi ni mhariri sana katika kutumia miundo tofautitofauti ili kuipamba kazi yake ya fasihi. Thibitisha ukweli wa kauli hii kwa kuonesha miundo mitatu iliyotumika kwa kila ushairi uliosoma.

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 154  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 154  

Namba ya Mwanafunzi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

JULAI 2022

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

MAELEKEZO

  • Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12)
  • Jibu maswali yote katika sehemu A na B na maswali matatu (3) kutoka katika sehemu C.
  • Zingatia maagizo ya kila sehemu ya kila swali
  • Simu ya mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani.
  • Andika namba yako ya mtihani katika kila ukurabawa kitabu chako cha kujibia.

SEHEMU A (ALAMA 15)

1.Jibu maswali yote Katika sehemu hii,

(i) Ni aina ya wahusika ambao hawabadiliki na wamepewa majina ambayo humfanya msomaji aelewe tabia na matendo yao;

  1. Wahusika wakuu
  2. Wahusika bapa sugu
  3. Wahusika duara
  4. Wahusika bapa vielelezo
  5. Wahusika shinda

(ii) Vishazi tegemezi vimegawanyika katika aina kuu mbili ambazo ni;

  1. Vishazi tegemezi viwakilishi na vielezi
  2. Vishazi tcgemezi vivumishi na viunganishi
  3. Vishazi tegemezi vumishi na vielezi
  4. Vishazi tegcmezi vikuu na visaidizi
  5. Vishazi tegemezi nomino na vihusishi

(iii) Anatoa ufafanuzi juu ya ubantu wa Kiswahili kwa kuelezea wakazi wa mwambao waliojulikana kama "Wazanji" na watawala wao waliojulikana kama "Wakilimi"

  1. Ali-Idris
  2. Al-Masudi
  3. Marco Polo
  4. Ibin Batuta
  5. Fumo Liyongo

(iv) Ni lahaja zinazopatikana Mombasa;-

  1. Kitumbatu, kingazija, kimvita na kingare
  2. Kizwani kintang'ta, kinakunduchi na kibajuni
  3. Kijomvu, kingare, chichifundi, na kimvita
  4. Kitumbatu, kingare, kimvita na chichifundi
  5. Kimvita, chichifundi, kingazija na kijomvu

(v) Mofimu ku iliyopigiwa mstari imebeba dhima gani katika kitenzi sikukukumbuka

  1. Ukanushi wakati uliopita
  2. Ukanushi nafsi ya kwanza umoja
  3. Kauli ya kutendeka
  4. Kiambishi kirejeshi kauli ya kutenda
  5. Kudokeza mtendwa

(vii) Sehemu ya mzizi asilia iliyoambikwa kiambishi "a" mwishoni

  1. Shina
  2. Mzizi huru
  3. Mofu
  4. Kauli
  5. Mofimu huru

(viii) Ni tamathali ya semi ambayo Jina la mtu hutumiwa kwa watu wengine wenye tabia, mienendo, hulka au kazi sawa na mtu huyo

  1. Taniaba
  2. Tabaini
  3. Majazi
  4. Tashtiti
  5. Ritifaa

(ix) Neno SHADARA limepatikana Iwa kutumia njia gani ya uundaji wa maneno?

  1. Kutohoa
  2. Ufupishaji
  3. Miambatano
  4. Uhulutishaji
  5. Kukopa

(x) Chama cha kukuza na kueneza Kiswahili "TAKILUKI" kilianzishwa mwaka

  1. 1964
  2. 1967
  3. 1979
  4. 1972
  5. 1965

(xi) Aina ya hadithi za ngano zenye wahusika wanyama tu hujulikana kama,

  1. Hekaya
  2. Hurafa
  3. Istiara
  4. Soga
  5. Vigano

2. Chagua kifungu cha maneno kutoka orodha B kinachotoa maelezo sahihi ya maneno neno katika orodha A.

ORODHA A

ORADHA B

  1. Kauli
  2. Lakabu
  3. Kitenzi kishirikishi
  4. Bendera
  5. Prediketa
  1. Kireno
  2. Jutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja la sauti
  3. Huoncsha hali ya kuwepo au kutokuwa kwa jambo/kitu
  4. Husaidia kitenzi kikuu kukamilisha maana
  5. Uhusiano uliopo kati ya kiima na kitenzi au kiima kitenzi na yambwa
  6. Kihindi
  7. Majina yakupanga ambayo baadhi ya watu hupewa kutokana na sifa zao za kimaumbile au kinasaba
  8. Ni kipcra cha ushairi
  9. Sehemu ya kiarifu ambayo hukaliwa na kitenzi
  10. Kipashio cha kiarifu kinachooncsha mtenda wa jambo

SEHEMU B ( Alama 40)

3. Bainisha aina ya kauli katika vitenzi vilivyopigiwa mstari, huku ukifafanua kiambishi kinachojenga kauli hiyo katika tungo zifuatazo.

(i) Matukio ya ubakaji yanaogofya

Waoga wanafahamika

(iii) Nyumba itajengwa na wazazÄ°

(iv) Dawa za kienyeji zilimlevya sana

4. Huku ukuota mifano. Fafanua dhima nne za mofimu "M" katika lugha ya Kiswahili.

5. Fafanua kwa hoja nne, mambo yanayothibitisha kuwa asili ya lugha ya Kiswahili ni pwani ya Afrika ya Mashariki,

6. Methali hutawaliwa na vipengele mbalimbali vya lugha, onesha vipengele vya lugha vilivyotumika katika utunzi wa methali zifuatazo.

(i) Kibuzi na kibuzi hununa jahazi

(ii) Akili ni mali

(iii) Farasi hamuwawezi, tembo mtawalishani?

(iv) Baniani mbaya kiatu chakc dawa.

(v) Avumayc 'baharini papa, kumbe wengine wapo

7. Soma shairi lifuatalo, kisha jibu maswali yanayofuata Mtu wa fikra njema, kwa watu umcacha jina

Chuma chetu imara, Afrika na dunia nzima,

Mikakati imara lojenga, Tanzania nuru kuangaza

Jiwe Ietu limeondoka takuenzi daima

Katika yote dunia, Jinalo lilivema

Misimamo yenye mashiko, ndiyo yako ÅŸifa njema

Nia kubwa kujenga, boma, ndiyo ndoto yako imara

Chuma chetu kimelala, hakika umeacha alama


'Umoja uliujenga, utengano likemea

Uchapakazi ulihimiza, nani alibaki nyuma?

Macndeleo kuyajcnga, Elimu hukuacha nyuma.

Nguzo yetu imeinama, nyoyo zetu zimechutama

Wangu wosia naweka, aloacha kuyaenzi

Uzalendo tuudumishe, Ufisadi tuupinge

Vizazi vijavyo tupate hadilhia, mazuri ya mwamba wetu.

Takuombea daima, lalc kwa ushindi shujaa.

Maswali

(a) (i) Shairi hili limejegwa kwa kutumia muundo gani?

(ii)Fafanua mambo ya msingi yakuzingatia wakati wa uchambuzi wa muundo katika ushairi (Hoja Nne)

(b) Onesha upekee wa mıvandishi katika shairi hili (Hoja Nne)

(c) Mwandishi ana maana gani anaposema jiwe, mwamba chuma na nguzo?

(d) Andika kichwa cha habari cha shairi hili.

(e) Mwandishi anahimiza nini katika kumuenzi shujaa.

8. Kijiji chenu cha Kiloza kimeanzisha mradi wa kilimo cha umwagiliaji. Wewe kama afisa manunuzi, andika barua katika kampuni ya Olotu inayojihusisha na uuzaji pembejeo za kilimo kuangiza bidhaa zitakazotumika katika kuendesha mradi. Jina lako ni Ombeni Mtapewa.

SEHEMU C (Alama 45)

Jibu maswali matatu kutoka katika sehemu hii.

9. Ni kweli kwamba lugha ya Kiswahili imevuka mipaka na kuenea katika maeneo mbalimbali duniani. Thibitisha ukweli wa dai hili (Hoja - 5)

TAMTHILYA

Orodha - Steve Reynolds (MA)

Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe -E. Semzaba (ESC)

Kilio chetu - Medical Aid Foundation

RIWAYA

Takadini - Ben Hnson (MBs)

Mamantilie - Emanuel Mbogo

Joka la mndimu - A. J. Safari (HP)

USHAIRI

Cheka cheka - T. Muungi

Malenga wapya - Takiluki

Wasaka tonge - Mohamed Seif Khatibu

10. Washairi ni wataalamu wazuri na waliobobea katika kutumia jazanda zinazotoa ujumbe kwajamii. Tumia jazanda tatu kwa kila diwani mbili uliyosoma.

11. Lugha ni kipengele cha msingi katika ujenzi wa kazi ya fasihi ambayo husaidia katika kufikisha wazo la msanii kwa jamii. Kwa kutumia riwaya teule mbili (2) ulizozisoma. Jadili jinsi wasanii wa riwaya hizo walivyotumia kipengele cha tamathali za semi hoja Sita (6)

12. Mwandishi ni Mjenzi wa jamii. Thibitisha ukweli wa dai hili kwa kutoa hoja tatu kutoka katikaTamthilia mbili ulizozisoma


FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 101  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 101  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

MUDA: SAA 3:00        MAY  2022

 

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B, na C, zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12)
  2. Jibu maswali yote kama ilivyoelekezwa katika kila sehemu. A na B maswali matatu kutoka sehemu C
  3. Sehemu A ina alama kumi natano (15), sehemu B alama arobaini (40) na sehemu C ina alama arobaini na tano (45)
  4. Zingatia mwandiko mzuri, Mpangilio na usahihi wa majibu yako.
  5. Majibu yote yaandikwe kwenye karatasi za kujibia.

 

 

SEHEMU A

Jibu maswali yote katika sehemu hii

  1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika kipengtele cha (i) hadi (x) kisha andika herufi ya jibu sahihi katika karatasi ya kujibia
  1. Lugha huweza kuchukua maneno kutoka katika lugha za asili, baini maneno hayo katika orodha ifuatayo;
  1. Bendera na meza
  2. Bunge na shule
  3. Hela na mtutu
  4. Godoro na sharubati
  5. Kitivo na ngeli
  1. Ipi ni aina ya tungo ambayo muudo wake una kitenzi ndani yake? Kitenzi hiko huweza kutoa taarifa kamili au isiyo kamili.
  1. Kishazi
  2. Kirai
  3. Shamirisho
  4. Yambwa
  5. Sentensi
  1. Katika neon wanaimba, kuna viambishi vingapi?
  1. 4
  2. 8
  3. 3
  4. 5
  5. 6
  1. Ni mchakato wa uundaji wa maneno kwa kupachika viambishi kabla na baada ya mzizi wa neno.
  1. Utohoaji
  2. Uambishaji
  3. Mnyambuliko
  4. Uambatishaji
  5. Urudufishaji
  1. Kitomeo huweza kuwa na taarifa kadha wa kadha. Je ipi kati ya zifuatazo si taarifa sahihi inayopatikana katika kitomeo?
  1. Wingi wa neon
  2. Aina ya neno
  3. Mfano wa matumizi
  4. Asili ya neno
  5. Mnyumbuliko wa maneno
  1. Katika maneno choka na chako ni mbinu gani imetumika katika kuunda maneni hayo?
  1. Uradidi
  2. Uambishaji
  3. Uhulutishaji
  4. Mpangilio tofauti wa vitamkwa
  5. unyumbulishaji
  1. Vipashio vya lugha hupangwa kidarajia kuanzia kidogo kwenda kikubwa katika mpangilio huo ni kipashio kipi kikubwa cha lugha?
  1. Kirai
  2. Neno
  3. Sentensi
  4. Kishazi
  5. Sauti
  1. Kutokana na kigezo cha tabia muhusika JOTI ni aina gani ya mhusika?
  1. Mhusika shida
  2. Mhusika bapa
  3. Mhusika foili
  4. Mhusika mkuu
  5. Mhusika duara
  1. Waingereza wanakumbukwa kwa mchango wao mkubwa kwa kufanya jambo moja la pekee tofauti na Waarabu na Waingereza katika kukuza na kueneza lugha ya Kiswahili enzi za utawala wao, jambo gani hilo.
  1. Kutoa elimu kwa lugha ya Kiswahili
  2. Kusafirisha manamba kutoka sehemu mbalimbali na kuwa fundisha Kiswahili
  3. Kuteua lahaja ya kiunguja na kuisanifisha
  4. kuhimizA matumizi ya lugha ya Kiswahili katika ofisi zao
  5. kuchapisha kamusi mbalimbali za lugha ya kiswahili
  1. Ipi ni maana ya nahau “Uso mkavu”
  1. Uso usio na mafuta
  2. Uso usio na nuru
  3. Uso usio na haya
  4. Uso usio na shukurani
  5. Uso wenye mabaka mabaka

 

 

 

 

 

  1. Oanisha maana ya dhana zilizo katika ORODHA A kwa kuchangua herufi ya dhana husika katika ORODHA B

ORODHA A

ORODHA B

  1. Ngeli
  2. Sentensi
  3. Nomino za pekee
  4. Neno lenye mofimu nne
  5. Kiambishi cha nafsi ya pili wingi
  1. Pangani, Asha, Usingizi na John
  2. Anayesinzia ni mvivu
  3. Chaki
  4. PAMUKU
  5. Wanaimba
  6. Mnaimba
  7. Mtoto
  8. Chai
  9. Kariakoo, Tanga, Iringa na Ali
  10. Wewe ni mvivu

 

SEHEMU B (Alama 40)

Jibu maswali yote ya sehemu hii kwa kuzingatia maelekezo ya kila swali.

 

  1. Taja mambo manne (4) yakuzingatia katika uandishi wa kumbukumbu za mikutano
  2. Badili vishazi tegemezi vifuatavyo kuwa vishazi huru
  1. Mtoto aliyelia jana usiku
  2. Kazi zinazofanywa
  3. Jambo litakalomsumbua
  4. Kitabu kinachosomwa
  1. Kwa mwanafunzi anayeijua vizuri sarufi ya lugha ya Kiswahili ni rahisi kutambua makossa yanayotokea katika lugha. Kwa hoja nne (4) na mifano fafanua makossa ya kisarifi yanayojitokeza katika utumiaji wa lugha kwa mwanafunzi wa kitanzania.
  2. Ainisha sentensi zifuatazo, kisha toa sababu moja (1) yaa uainishaji huo kwa kila sentensi.
  1. Mkate uliotupatia umeharibika
  2. Sanga alikuwa amelala
  3. Aliadhibiwa kwa kuwa alifanya makossa
  4. Mwalimu akirudi tutaendelea na somo
  1. “Licha ya lugha ya Kiswahili kuteuliwa kuwa lugha ya Taifa la Tanzania, bado inakabiliwa na changamoto mbalimbali kwa sasa” Onesha ukweli wa kauli hiyo kwa hoja nne (4)
  2. Vifuatavyo ni vipera vya tanzu za fasi simulizi. Onesha tofauti iliyopo baina ya jozi za vipera hivyo
  1. Visakale na visasili
  2. Ngonjera na majingambo
  3. Mizungu na misemo
  4. Wimbo na utenzi

 

 

 

 

 

 

 

SEHEMU C (Alama 45)

Jibu maswali matatu (3) kutoka sehemu hii

 

  1. Anna ni mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Kibo. Alikutwa na simu licha ya katazo la serekali na shule kuwa hairuhusiwi mwanafunzi kumiliki simu akiwa shuleni. Baada ya kukutwa na simu hiyo alihojiwa na mwalimu nwa nidhamu. Kwa kutumia ukurasa mmoja na nusu (11/2) andika namna mazungumzo yao yalivyokuwa. 
  2. Waandishi wengi wamejadili suala la ukombozi katika Nyanja tofauti tofauti. Kwa kutumia Diwani mbili ulizosoma fafanua kwa hoja tatu (3) kutoka katika kila Diwani, ni kwa jinsi gani waandishi hao wamejadili suala hilo.
  3. “Mojawapo ya asasi zinazokumbwa na changamoto nyingi kwa sasa ni asasi ya ndoa.” Thibitisha kauli hiyo kwa kutoa hoja tatu (3) kwa kila kitbu kutoka katika riwaya mbili ulizosoma.
  4. Mara nyingi matatizo yanapotokea katika jamii, watu huyatatua kwa njia zisizofaa. Kwa kutumia tamthilia mbili kati ya ulizosoma, fafanua kwa hoja tatu (3) kutoka katika kila tamthilia jinsi matatizo yaliyojitokeza na yalivyotatuliwa kwa njia zisizofaa.

 

ORODHA YA VITABU 

USHAIRI 

Wasakatonge      M.S. Khatibu (DUP)

Malenga Wapya      TAKILUKI (DUP)

Mashairi ya chekecheka     T.A. Mvungi (EP&D.LTD

 

RIWAYA 

Takadini      Ben J. Hanson (MBS)

Watoto wa Mama N’tilie     E. Mbongo

Joka la mdimu      A.J. Safari 

 

TAMTHILIA 

Orodha       Steve Reynolds (MA)

Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe    E. Semzaba (ESC)

Kilio Chetu       Medical Aid Foundation (TPH)

 

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 97  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 97  

 

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

PRESIDENT’S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

 

FORM IV MOCK EXAMINATION 2022

 

012      HISTORY

TIME: 3:00 HOURS                                                                   JULY, 2022

 

INTRUCTIONS

  1.               This paper consists of section A,B and C with a total of nine (9) questions.
  2.               Answer all questions in sections A,B and three questions from section C
  3.               Cellular phone and any unauthorized materials are not allowed in the examination room
  4.               All drawing should be in pencil
  5.               Write your examination number on every page of your answer booklet(s)

 

SECTION A (20 MARKS)

Answer all questions in this section.

  1.               For each of the items (i) – (xv), choose the correct answer from the given alternatives and write its letter beside the item number in the answer booklet provided.
  1.                 What were the major social effects of interactions among the people of Africa
  1.               Increase of population and famine.
  2.               Intermarriages and emergence of new languages
  3.               Development of social services and loss of originality.
  4.               Growth of towns and  urban
  1.               Why is Otto von Bismarck famous in history?
  1.               He summoned and chaired the Berlin conference of 1884 – 1885
  2.               He was the founder of league of nations after the first word war
  3.               He solved the conflict between Germany and Italy.
  4.               He sponsored Anglo – Germany Treaty of 1890.
  1.            What was the most common method of farming in pre – colonial Africa?
  1.               Shifting cultivation
  2.               Mixed farming
  3.               Permanent crop cultivation
  4.               Plantation agriculture
  5.               Slash and burn cultivation

 

 

  1.             The early development of animal and plant domestication is called.
  1.               Revolution
  2.               Neolithic Revolution
  3.               Revolutionary
  4.               Revolution of people
  5.               Neolithic development
  1.               Which were the stages in the evolution of man.
  1.               Homohabilis and walking by two limbs.
  2.               Zinjantrous and homosapiens
  3.               Homo habilis and homo erectus
  4.               Homo sapien and Australopithecus
  1.             The colonial imperial charted companies failed in their mission to rule African colonies because.
  1.               Other European companies were against them
  2.               They had little capital and skilled manpower to run colonial administration.
  3.               The colonies were producing less and therefore were not profitable.
  4.               Imperialist state were too far to support them during resistances.
  5.               African chiefs refused towivic with the company admistrators.
  1.          Who were the main East African traders in the long – distance trade
  1.               Yao, makonde  and haya
  2.               Yao, makua and Nyamwezi
  3.               Kamba, Nyamwezi and sukuma
  4.               Nyamwezi, kamba and Kikuyu
  1.        What were the factors which led to the growth and consolidation of oyo empire in the 14thc?
  1.               Military strength and invasion of by Bariba and Nupe.
  2.               Invasion of French and Portuguese
  3.               Development of trade and good division of lab our
  4.               Presence of good climate
  5.               Weak leaders and constant warfare
  1.             The North African people were interacting with people from west African mainly through
  1.               The trans – continental trade
  2.               The trans – Saharan trade
  3.               Transition
  4.               Sahara desert
  5.               The trans Atlantic slave trade
  1.               The African contact with middle East and far East dates back to as early as
  1.               300 BC
  2.               200 BC
  3.               200 AD
  4.               300 AD
  5.               1000 AD
  1.             Which of the following were the countries which used armed struggle means to gain their political independence
  1.               Kenya and Tanganyika
  2.               Uganda and Rwanda
  3.               Mozambique and Angola
  4.               Cape Verde and Burkina Faso
  5.               Angola and Cameroon.
  1.          As a historian why some areas in Africa were reserved by the colonialists?
  1.               Were areas for recreation of the colonial masters.
  2.               Were areas for getting cheap lab our
  3.               Wanted to settle resistances
  4.               They were desert areas
  1.        When the commercial capitalism Took place in Europe?
  1.               Between 1500 and 1750
  2.               Between 1600 and 1800
  3.               Between 1750 and 1840
  4.               Between 1800 and 1860
  5.               Between 1500 and 1650
  1.        Muammar Ghadafii was the famous African leader who was killed in 2011 the American army force and other European allied forces was the president of!
  1.               Congo DRC
  2.               Tanzania
  3.               Uganda
  4.               Egypt
  5.               Libya
  1.           In most parts of pre-colonial Africa the ruling classes appropriated Africa the ruling classes appropriated surplus through
  1.               Lab our services and wars
  2.               War conquest
  3.               Looting and plundering
  4.               Taxation and low wages
  5.               Harsh treatment.

 

  1.               Match the descriptions in list A with the corresponding names of the rovutions in list B by writing the letter of the correct response beside the item number in the answer booklet provided

LIST A

LIST B

  1.                 The greatest land lord who ruled Zanzibar
  2.               The powerful leader among the Nyamwezi and sukuma who organized the process of opening up new land
  3.            Gold deposits were discovered in Transval.
  4.             A leader of royal Niger company
  5.               A treaty signed between British consul and the sultan of Zanzibar in Zanzibar.
  1.               The year when America got her independence
  2.               Indian independence
  3.               Mwinyimkuu
  4.               Zanzibar revolution
  5.               Hamarton treaty
  6.                 Mtemi
  7.               1873
  8.              Shkasulu
  9.                 George Turban goldie
  10.                 1867

 

SECTION B (35 MARKS)

Answer all question in this section

  1.               Answer the following questions briefly;
  1.                 How would you relate between Otto von Bismark and Berlin conference?
  2.               Why do you think chief lobe ngula II of Ndebele will never forgotten by the British?
  3.            Why Othman Dan Fodio is considered as hero in the history of west Africa?
  4.             How would you prove that missionaries were the gents of capitalism?
  5.               Why KinjekitileNgwale is highly remembered by the Germans?

 

  1.               Arrange the following historical events in chronological order by writing number 1 – 6 beside the item number in the answer booklet provided.
  1.                 The development of trans-Atlantic slave trade was a result of European advancement in maritime technology and mercantilism.
  2.               There was the emergence of class of merchants who were interested merchants who were interested in buying and selling of commodies
  3.            During the fifteenth and sixteenths centuries, mercantilism was gaining importance in the European continent
  4.             Trans – Atlantic slave trade was the trade which was conducted across the Atlantic ocean
  5.               Between 1400 and 1600 European nations had developed rapidly in maritime technology like building ships which were able to reach several ports of the world.
  6.             Trans – Atlantic slave trade started in the is the after the discovery of Americas (new world) by Christopher Columbus

 

  1.               A). Draw a sketch map of East Africa and mark the following important railway mark the following important railway stations during the colonial rule:Mombasa to kampala to kasese via Kisumu, Dar es salaam to Kigoma, Tabora to mwanza and Tanga to Moshi

B) Outline at least five features of colonial transport and communication networks during colonial rule.

 

SECTION C: (45MARKS)

ANSWER THREE (3) QUESTIONS FROM THIS SECTION

  1.               What are the major limitations of archaeology as a source of historical information? Give six points
  2.               Elaborate six contributions of religious protest to the rise of mass nationalism in Africa
  3.               How did the colonial government establish and consolidate settler agriculture in Kenya? Limit your answer to six points.
  4.               Explain the role played by companies and Associations in preparing African for colonization. Limit your answer to six points.

 

1

 

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 94  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 94  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KIDATO CHA NNE  

021KISWAHILI

MUDA: SAA 3:00           2021

 

MAELEKEZO

  1.    Karatasi hii ina sehemu A,B,C, na D
  2.    Zingatia maagizo ya kila sehemu na kila swali.
  3.    Majibu yote yaandikwe kwa wino wa bluu au mweusi.
  4.    Jibu maswali yote katika sehemu A,B,C na maswali matatu sehemu D, swali la tisa ni lazima.

SEHEMU A (Alama 10)

  1.    Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x), kisha andika herefu ya jibu hilo.
  1.          Ni jambo gani linalodhihirisha umbo la nje ya kazi ya fasihi?
  1.  Muundo
  2.  Jina la kitabu
  3.  Fani
  4.  Mtindo.
  1.          Ni sehemu ya neno ambayo  huweza kutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja lasauti.
  1.  Irabu
  2.  Konsonati
  3.  Mofu
  4.  Silabi
  1.          leta wali kuku.hii ni aina gani ya rejista?
  1.  rejesta ya hotolini
  2.  rejesta ya hospitalin
  3.  rejesta ya mtaani
  4.  rejista ya shambani
  1.          Ipi maana inayoelekeana na methali hii? ‘chanda chema huvikwa pete’
  1.  Mwanamke mrembo
  2.  Mtoto wa kike mwenye tabia njema hupendwa
  3.  Mtoto mzuri huvaa nguo zikampendeza
  4.  Bibi harusi
  1.          ..........ni hadithi zinazozungumzia matukio ya kihistoriya.
  1.  ngano
  2.  tarihi
  3.  visasili
  4.  soga
  1.          Mara nyingi fasihi simulizi huzingatia uwepo wa ;
  1.  fanani na hadhira
  2.  mtunzi
  3.  fanani
  4.  hadhira
  1.          Upi ni mzizi wa neno anakula?
  1.  Kul
  2.  La
  3.  L
  4.  Akul
  1.          Ni jambo gani linalodhihirisha upekee wa kazi Fulani ya kifasihi?
  1.  muundo wa kazi husika
  2.  wahusika wa kazi husika
  3.  mtindo wa kazi husika
  4.  jina la kazi husika
  1.          Neno lipi kati ya maneno haya linaweza kudokeza mtenda au mtendwa?
  1.  kiunganishi
  2.  kihisishi
  3.  kielezi
  4.  kiwakilishi
  1.          Ni sifa ipi haitofautishi fasihi simulizi na fasihi andishi?
  1.  ukubwa
  2.  uwasilishwaji
  3.  uhifadhi
  4.  ueneaji

SEHEMU B (Alama 5)

 

  1.    Oanisha sentensi za kifungu A, kwa kuchagua jibu sahihi katika kifungu B, andika jibu lako kwa usahihi katika kisanduku ulichopewa hapo chini;

 

KIFUNGU A

KIFUNGU B

  1.      Huonesha mpangilio wa maneno kialfabeti,jinsi yanavyoandikwa kutamkwa na maana zake.
  2.   Mjengo au umbo la kazi ya fasihi.
  3. Maneno yasiyo sanifu yanayozungumzwa na kikundi kidogo cha watu.
  4.  Taauluma inayoshughulikia maumbo au mjengo wa maneno katika tungo.
  5.    Ni mtindo wa lugha inayozungumzwa kulingana na muktadha na kusudi maalum.
  1.    Tanzu za fasihi.
  2.    Rejesta
  3.    Misimo.
  4.    Sarufi maumbo.
  5.    Misimu.
  6.     Mofimu.
  7.    Muundo.
  8.    Nomino.
  9.      Kamusi.

 

KIFUNGU: A

  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           

KIFUNGU B

 

 

 

 

 

 

SEHEMU C: ALAMA 40;

Jibu maswali yote katika sehemu hii

  1.    Eleza maana ya kielezi kwa kutoa mfano wa sentensi moja.

 

  1.    Kwa kila tungo uliyopewa pigia mstari kielezi na kisha taja ni kielezi cha aina gani?
  1.          Darasani kuna utulivu mkubwa.
  2.          Wanafunzi wanaimba kimasihara.
  3.          Mwalimu amerudi tena.
  4.          Nitaondoka wiki ijayo.

 

  1.    Toa maana tano(5) za neno “ Kibao” kisha tunga sentensi moja kwa kila maana ulitoa.

 

  1.    Taja njia nne (4) zitumikazo kuunda misamiati na utoe mfano kwa kila njia.

 

  1.    Taja aina mbili za Mashairi na maana zake.

 

 

  1.    Soma shairi lifuatalo kisha jibu sehemu hii.

 

Utu wa binadamu, ni kama yai na kuku,

Utu niile nidhamu,mola aliyo kukhuluku,

Ubinadamu ni damu,ya utu wa kila siku,

Utu wowote wa mtu,ni kuwajali wenzake.

 

Yeyote mwanadamu, ana asili ya mtu,

Yaani kwenye yake damu, hakikosi hiki kitu,

Utu sifa maalum,ya mtu kuitwa mtu,

Utu wowote wa mtu, ni kuwajali wenzake.

 

Utu ni kiumbe hai, tunacho chaonekana,

Utu kamwe haudai, tabia ya kujivuna,

Utu ni ule uhai,ushikao uungwana.

Utu wowote wa mtu, ni kuwajali wenzake

 

Utu unayo aibu, na tabia ya muhali,

Utu huenda na jibu,kila imani na ukweli,

Utuwe hauna tabu,tabia ya ujalili,

Utu wowote wa mtu,ni kuwajali wenzake.

 

MASWALI

  1.    Pendekeza kichwa cha shairi ulilosoma
  2.    Eleza maana ya maneno yaliyopigiwa mstari kama yalivyotumika katika shairi ulilosoma.
  1.        Kukhuluku
  2.     Uungwana
  3.   ujalili.
  4.    Muhali.
  1.     Mwandishi anasisitiza nini katika utanzu huu wa shairi
  2.    Onesha muundo na mtindo uliotumika katika shairi hili.
  3.    Umepata ujumbe gani katika shairi hili? Toa hoja mbili.

 

SEHEMU D(Alama 45)

Jibu maswali matatu (3) kutoka katika sehemu hii swali la 9 ni lazima

9. Ukiwa kiongozi wa michezo katika shule ya Sekondari Kizota S L P 30 Dodoma, andika barua kwa mkuu wako wa shule kupitia kwa mwalimu wa michezo kuomba kuongezewa siku za michezo shuleni. jina lako liwe Sikunjema Afya.

 

10 “Msanii ni kinda la jamii husika anayoandika kuihusu jamii hiyo”. Jadili kauli hii kwa kutumia hoja tatu kutoka katika kila diwani kati ya diwani mbili zilizoorodheshwa.

 

11. “Wahusika katika kazi za fasihi ni mfano wa kuigwa na jamii kwa tabia na matendo yao”. Thibitisha kauli hii kwa kutumia hoja tatu kwa kila mhusika kutoka katika tamthilliya mbili zilizoorodheshwa.

12.Elimu ni ufunguo wa Maisha. Fafanua kauli hii kwa kutoa hoja tatu kwa kila kitabu kati ya vitabu viwili vya riwaya vilivyoorodheshwa.

 

 

 

ORODHA YA VITABU

USHAIRI

Wasakatonge  M.S. Khatibu (DUP)

Malenga Wapya  TAKILUKI (DUP)

Mashairi ya Chekacheka T.A.Mvungi (EP & D.LT.D)

RIWAYA

Takadini  Ben J. Hanson (Mbs)

Watoto Wa Mama N’tilie  E. Mbogo (H.P)

Joka La Mdimu  A.J.Safari (H.P)

TAMTILIYA

Orodha  Steve Reynolds (Ma)

Ngoswe Penzi Kitovu Cha Uzembe  E.Semzaba (Esc)

Kilio Chetu  Medical Aid Foundation(Tph)

 

1

 

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 91  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 91  

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KWANZA

KIDATO CHANNE

021KISWAHILI

(Kwa watahiniwa Walioko na Wasiokuwa Shuleni)

MUDA: SAA 3MEI 2021


Maelekezo

1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12).

2. Jibu maswali yote kutoka sehemu A, Bna chagua maswali matatu (03)kutoka sehemu C.

3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na kila swali.

4.Andika kwa kutumia kalamu ya wino wa bluu au nyeusi

5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa haziruhusiwikatika chumba cha mtihani.

6. Andika namba yako ya mtihani katika kila karatasi yako ya kujibia.

UFAHAMU 

SEHEMU A: ALAMA 15

  1.                Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i-x) kisha andika herufi ya jibu sahihi hilo katika kisanduku.
  1.               Neno gani linaweza kujitokeza kama kitenzi kishirikishi.

(A)  Anakimbia   (B) Huyu  (C) Alikuwa

(D) Nimesafiri   (E) Mtoto.

  1.             Sentensi sahihi huwa na miundo mingapi ya Kitenzi?

(A) Miwili    (B) Mitatu  (C) Mnne

(D) Mmoja   (E) Haina

  1.           ‘’Vizuri vinajiuza’’ neno ‘’Vizuri’’ katika sentensi hii ni aina gani ya neno?

(A) Kielezi   (B) Kivumishi (C) Kitenzi

(D) Kiwakilishi   (E)  Nomino

  1.           Katika neno ‘’Nimemkamata’’ kiambishi ‘’me’’ kina dhima gani?

(A)  Kuonyesha nafsi (B) Wakati uliopita

(C)  Urejeshi wa mtendwa (D) Hali ya masharti

(E) Wakati timilifu.

  1.             Neno ‘’NZI’’ lina silabi ngapi?

(A) Tatu   (B) Moja  (C) Nne

(D) Mbili   (E) Tano

  1.           Njia ipi ya kuhifadhi fasihi simulizi iliyo tokana na maendeleo ya 

Sayansi?

  (A) Njia ya kichwa  (B) Njia ya maandishi

(C)  Njia ya simu  (D) Njia ya kanda za Sinema na Video   (E)              Njia ya magazeti.

  1.         Kati ya wahusika wafuatao yupi si muhusika wa fasihi simulizi.

(A) Binadamu  (B) Wanyama

(C) Lugha   (D) Vitu na mahali

(E) Hadhara.

  1.      Vifuatavyo ni vipashio vidogo kabisa vya kiisimu isipokuwa:-

(A) Sentensi  (B) Konsonanti 

(C) Mofimu   (D) Irabu

(E) Silabi

  (ix) Mtindo wa lugha unapatikana katika mada ya:

   (A) Kamasi   (B) Viambishi

   (C) Musimu   (D) Rejesta  (E) Ngeli.

  (x) Ni jambo gani linalodhihirisha upekee wa kazi fulani ya kifasihi.

   (A) Muundo wa kazi husika (B) Wahusika wa kazi za fasihi

   (C) Jina la kazi husika   (D) Jina la mtunzi wa kazi husika

   (E) Mtindo wa kazi husika.  

  1.                Chagua maneno katika orodha B, ukioanisha na maelezo yaliyotolewa katika orodha A kwa kuandika herufi ya jibu sahihi.

ORODHAA

ORODHAB

(i) Sherehe/shughuli zinazofanywa na jamii katika 

    kipindi maalumu cha mwaka.

A. Vichekesho

(ii) Maigizo mafupi yaliyojaa ucheshi na mzaha.

B. Miviga

(iii) Kitenzi kishirikishi kipi kinaonekana kukubali 

    kuwepo kwa hali fulani 

C. si

(iv) Sehemu ya neno ambalo hutumika kuandika 

     jina jipya.

D. ni 

(v) Tabia ya kuonyesha nafsi

E. Mizizi

F. Shina

G. Kauli

H. Kitenzi

SEHEMU B.

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

  1.                Bainisha aina za Viwakilisha vilivyomo katika sentensi zifuatazo:-

(i)  Kile kimetiwa rangi nyeupe

(ii) Upi umeisha?

(iii) Vifaranga vya Juma vipo, vyako havipo.

(iv) Ambao wamefika hapa ni Wanasayansi

(v)  Wangapi wamekula Mayai

(vi) Wale hawasomi kwa sababu hawana karo.

(vii) Watoto wako wamefika, wangu bado.

(viii) Ambaye anataka kujiunga na Jeshi afike Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

(ix) Nyinyi mlifanya uchaguzi vizuri

(x) Ile ya kijani si mali yake.

  1.                (a) Bainisha kwa mfano mmoja miundo mitano ya Kirai Nomino (KN)

(b) Toa maana ya maneno yafuatayo:-

 (i) Kiima (ii) Kiarifu  (iii) Prediketi  (iv) Shamirisho

 (v) Chagizo.

  1.                Toa maana ya maneno yafuatayo:-

(i) Paa  (ii) Panga  (iii) Kata

(iv) Mbuzi  (v) Kaa

  1.                Vitenzi vya Kiswahili vina tabia zake. Bainisha tabia tano za vitenzi vya Kiswahili huku ukitoa mfano mmoja kwa kila tabia.
  1.                (a)  Tunga Shairi la beti mbili la muundo wa tabia kuhusu unyanyasaji wa

Kijinsia. Zingatia kanuni za kimapokeo.

 (b) Onesha na uelezee kanuni zifuatazo kama zilivyojitokeza katika shairi 

  Uliliotunga. (i) vina  (ii) mizani  (iii) kipande

  (iv) mshororo.

  1.                Umechaguliwa kuandika kumbukumbu za kikao cha harusi huko kijijini kwenu. Kwa kuzingatia vipengele muhimu vya uandishi na kumbukumbu za kikao. Andika kumbukumbu za kikao hicho.

SEHEMU C (ALAMA 45)

Jibu maswali matatu (3) kutoka katika sehemu hii.

  1.                Kiswahili ni Kiarabu kwa jina, lakini ni Kibantu kwa asili yake. Thibitisha dai hili kwa hoja za Kiisimu.
  2.            ‘’Mwandishi amemchora Mwanamke katika nafasi mbalimbali’’. Thibitisha kauli hivyo kwa hoja tano(5) kutoka katika tamthiliya mbili ulizosoma.
  3.            Kwa kutumia Riwaya mbili ulizosoma, onesha uhalisia wa dhamira nne kwa kila kitabu kwa jamii.
  4.            Taswira ni kipengele muhimu katika kupamba kazi ya ushairi n kufikisha ujumbe kwa hadhira. Kwa kutumia Diwani mbili thibitisha ukweli huu kwa hoja nne kwa kila kitabu.

1

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 54  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 54  

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256