SAYANSI - 2018
SEHEMU A
Chagua herufi ya jibe sahihi, kisha andika katika karatari ya rnajibu/kujibia.
1. Ipi jozi sahihi kati ya zifuatazo inahusu sehemu za uzazi katika mimea na wanyama?............
- Chavua katika mimea na manii katika wanyama
- Filamenti katika mimea na fallopian katika wanyama
- Tunda katika mimea na korodani katika wanyama
- Maua katika mimea na uterasi katika wanyama
- Mbegu katika mimea na ovari katika wanyama
Chagua Jibu
2. Ili mimea iweze kuendelea kuishi katika mazingira yake inahitaji:
- hewa na udongo
- hewa na maji
- udongo na mbolea
- udongo na maji
- jotoridi na hewa
Chagua Jibu
3. Mpunga kuzaliana kwa kutumia:
- majani
- mbegu
- mizizi
- mashina
- matawi
Chagua Jibu
4. Kundi lipi linawakilisha wanyama wenye uti wa mgongo?
- Nyoka, nge, buibui na mamba
- Konokono, nyoka, kenge na samaki
- Kenge, nyoka, bulbul na samaki
- Konokono, samaki, chura na mamba
- Mjusi, nyoka, kenge na mamba
Chagua Jibu
5. Kiwavi ni hatua mojawapo ya ukuaji wa:
- nyuki
- rnbungo
- funza
- mende
- kipepeo
Chagua Jibu
6. Zipi kati ya zifuatazo ni sifa za viumbe hal?
- Kukua, kupumua, kusanisi chakula, kujongea
- Kukua, kupumua, kulala, kujongea
- Kukua, kupumua, kujongea na kuzaliana
- Kukua, kuona, kujongea na kuzaliana
- Kukua, kusanisi chakula, kujongea na kuzaliana
Chagua Jibu
7. Umeme unasababishwa na mtiririko wa:
- elektroni
- protoni
- nyutroni
- chaji
- atomi
Chagua Jibu
8. Ipi kati ya zifuatazo ni sifa ya kinyonga?............
- Hubadili mlio wa sauti yake
- Huchagua aina ya chakula
- Hubadili rangi ya mwili
- Hatoi taka mwili
- Hubadili mwendo
Chagua Jibu
9. Yupi kati ya wafuatao ni mamalia?............
- Konokono
- Bata
- Popo
- Mjusi
- Chura
Chagua Jibu
10. Ipi kati ya zifuatazo siyo kazi ya mizizi katika mimea?..............
- Kusharabu madini ya chumvi.
- Kusharabu maji
- kushikilia mmea
- Kutengeneza chakula cha mmea
- Kutunza chakula cha mmea
Chagua Jibu
11. Gesi ipi hupunguzwa angani na mimea?..................
- Kabondioksaidi
- Oksijeni
- Haidrojeni
- Kabonimonoksaidi
- Naitrojeni
Chagua Jibu
12. Ili maji yawe salama kwa kunywa yanapaswa kifanywa nini?
- Kuchemshwa na kufunikwa
- Kuchujwa na kuhifadhiwa
- kuchemshwa, kuchujwa na kuhifadhiwa
- kuwekwa juani kutwa nzima na kupozwa
- Kuwekwa kwenye mtungi na kufunikwa
Chagua Jibu
13. Yafuatayo ni mahitaji muhimu kwa uhai na ukuaji wa mimea isipokuwa:
- Mbolea za viwandani
- Maji
- Hewa ya kabondayoksaidi
- Mwanga wa jua
- Udongo wenye rutuba
Chagua Jibu
14. Hewa inayohitajika kwa wanyama iii waishi ni:
- Oksijeni
- Kabondayoksaidi
- Nitrojeni
- Haidrojeni
- Kabonimonoksaidi
Chagua Jibu
15. Mtu anayekula vyakula vyenye mafuta kwa wingi anaweza kupata:
- beriberi
- Kifafa
- Shinikizo la juu la damu
- Kisukari
- Shinikizo la chini la damu
Chagua Jibu
16. Ugonjwa unaosababishwa na hitilafu katika chembe hai nyekundu za damu huitwa:
- beriberi
- selimundu
- saratani ya damu
- kisukari
- kifua kikuu
Chagua Jibu
17. Ni gesi ipi hupungua katika chumba kilichofungwa madirisha wakati kina moto wa mkai.
- Haidrojeni
- Kabonimonoksaidi
- kabondayoksaidi
- Oksijeni
- Natrojeni
Chagua Jibu
18. Ni kitu gani tunaweza kutumia iii tunaweza kuona taswira zetu vizuri?
- Kioo mbinuko
- Kioo mbonyeo
- Kioo bapa
- Lenzi mbinuko
- Lenzi mbonyeo
Chagua Jibu
19. Kwa nini ni muhimu kuosha matunda kabla ya kula?
- Kuondoa sumu
- Kuondoa vimelea
- Kuondoa utomvu
- Kuondoa harufu mbaya
- Kuondoa chumvichumvi
Chagua Jibu
20. Sehemu ipi ya mfumo wa umengenyaji chakula inahusika na umengenyaji protini?
- Mdomo
- Utumbo mwembamba
- Utumbo mpana
- Umio
- Tumbo
Chagua Jibu
11. Gesi ipi hupunguzwa angani na mimea?..................
- Kabondioksaidi
- Oksijeni
- Haidrojeni
- Kabonimonoksaidi
- Naitrojeni
Chagua Jibu
12. Ili maji yawe salama kwa kunywa yanapaswa kifanywa nini?
- Kuchemshwa na kufunikwa
- Kuchujwa na kuhifadhiwa
- kuchemshwa, kuchujwa na kuhifadhiwa
- kuwekwa juani kutwa nzima na kupozwa
- Kuwekwa kwenye mtungi na kufunikwa
Chagua Jibu
13. Yafuatayo ni mahitaji muhimu kwa uhai na ukuaji wa mimea isipokuwa:
- Mbolea za viwandani
- Maji
- Hewa ya kabondayoksaidi
- Mwanga wa jua
- Udongo wenye rutuba
Chagua Jibu
14. Hewa inayohitajika kwa wanyama iii waishi ni:
- Oksijeni
- Kabondayoksaidi
- Nitrojeni
- Haidrojeni
- Kabonimonoksaidi
Chagua Jibu
15. Mtu anayekula vyakula vyenye mafuta kwa wingi anaweza kupata:
- beriberi
- Kifafa
- Shinikizo la juu la damu
- Kisukari
- Shinikizo la chini la damu
Chagua Jibu
16. Ugonjwa unaosababishwa na hitilafu katika chembe hai nyekundu za damu huitwa:
- beriberi
- selimundu
- saratani ya damu
- kisukari
- kifua kikuu
Chagua Jibu
17. Ni gesi ipi hupungua katika chumba kilichofungwa madirisha wakati kina moto wa mkai.
- Haidrojeni
- Kabonimonoksaidi
- kabondayoksaidi
- Oksijeni
- Natrojeni
Chagua Jibu
18. Ni kitu gani tunaweza kutumia iii tunaweza kuona taswira zetu vizuri?
- Kioo mbinuko
- Kioo mbonyeo
- Kioo bapa
- Lenzi mbinuko
- Lenzi mbonyeo
Chagua Jibu
19. Kwa nini ni muhimu kuosha matunda kabla ya kula?
- Kuondoa sumu
- Kuondoa vimelea
- Kuondoa utomvu
- Kuondoa harufu mbaya
- Kuondoa chumvichumvi
Chagua Jibu
20. Sehemu ipi ya mfumo wa umengenyaji chakula inahusika na umengenyaji protini?
- Mdomo
- Utumbo mwembamba
- Utumbo mpana
- Umio
- Tumbo
Chagua Jibu
21. Magonjwa gani husababishwa na utapiamlo?...............
- Unyafuzi, kwashakoo, matege, rovu.
- Kiribatumbo, kisukari, kikohozi, kuhara
- Unyafuzi, kwashakoo, kupooza, homa ya manjano
- Matege, trakoma, rovu, unyafuzi
- Kichocho, malaria, kifua kikuu, matege
Chagua Jibu
21. Magonjwa gani husababishwa na utapiamlo?...............
- Unyafuzi, kwashakoo, matege, rovu.
- Kiribatumbo, kisukari, kikohozi, kuhara
- Unyafuzi, kwashakoo, kupooza, homa ya manjano
- Matege, trakoma, rovu, unyafuzi
- Kichocho, malaria, kifua kikuu, matege
Chagua Jibu
23, Vipi kati ya virutubisho vifuatavyo vinafaa zaidi kwa mtoto mwenye umri chini ya miaka mitano?
- Wanga, maji na protini
- Protini, vitamini na chumvichumvi
- Chumvichumvi, protini na Maji
- Vitamini, wanga na maji
- Kabohaidreti, maji na chumvichumvi
Chagua Jibu
24. Ugonjwa upi kati ya magonjwa yafuatayo unasababishwa na bakteria?..............
- Moyo
- Kifua kikuu
- UKIMWI
- kichocho
- Kisukari
Chagua Jibu
25. Vitu gani kati ya vifuatavyo hupatikana kwenye gari la zima moto?.............
- Tanki la mafuta, gesi ya kabondayoksaidi na maji.
- Tanki la maji, gesi ya kabondayoksaidi na gesi ya oksijeni.
- Kikosi cha zima moto, map na gesi ya kabondayoksaidi.
- Tanki la maji, tanki la gesi ya mkaa na gesi ya asetilini.
- Tanki la maji, tanki la gesi ya mchanganyiko na makoti makubwa.
Chagua Jibu
26. Ipi kati ya sentensi zifuatazo inatoa maana ya huduma ya kwanza?.............
- Msaada wa haraka anaopewa mtu kabla ya kwenda hospitali.
- Msaada wa haraka anaopewa mtu baada ya kufika hospitali.
- Msaada wa haraka unaotolewa kwa mtu na mtaalamu wa afya.
- Msaada unaotolewa kwa mtu aliyezirai.
- Msaada unaotolewa kwa mtu aliyeumwa na nyoka.
Chagua Jibu
26. Ipi kati ya sentensi zifuatazo inatoa maana ya huduma ya kwanza?.............
- Msaada wa haraka anaopewa mtu kabla ya kwenda hospitali.
- Msaada wa haraka anaopewa mtu baada ya kufika hospitali.
- Msaada wa haraka unaotolewa kwa mtu na mtaalamu wa afya.
- Msaada unaotolewa kwa mtu aliyezirai.
- Msaada unaotolewa kwa mtu aliyeumwa na nyoka.
Chagua Jibu
28. Zipi kati ya zifuatazo hazichangii kuenea kwa VVU?.............
- Ngono, ulevi, kunyonyesha mtoto
- Kuchangia sindano, kuwekewa damu yenye VVU
- Kushikana mikono, kucheza, kula pamoja
- Elimu duni kuhusu UKIMWI na ngono zembe
- Uasherati na matumizi mabaya ya madawa ya kulevya
Chagua Jibu
29. Ni kwa nini watu wanaoishi na VVU wanahitaji vyakula vyenye virutubisho zaidi?
- Ugonjwa wao ni wa mda mrefu.
- Maisha yao ni mafupi hivyo wanahitaji chakula cha kutosha.
- Wanapata njaa kila wakati.
- Wanahitaji kuimarisha kinga ya mwili.
- Wanahitaji kunenepa iii kuepuka unyanyapaa.
Chagua Jibu
30. Njia sahihi ya kumtambua mtu mwenye virusi vya UKIMWI ni:
- Kupima kifua kikuu.
- Kupima mwenendo wa joto la mwili.
- Kuangalia kama amekonda kwa mda mfupi.
- Kuangalia kama ana vidonda mdomoni na usoni.
- Kupima kiwango cha kinga kwenye damn.
Chagua Jibu
31. Ni kitendo kipi kinaonesha kuwa hewa huchukua nafasi?
- Kupumua kupitia mdomoni na puani.
- Mapovu ya hewa kutokea chupa ya maji inayozamishwa ndani ya maji.
- Kupiga chafya na kukohoa kwa mda mrefu.
- Mvuke unapopita hewani.
- Kutumbukiza jiwe ndani ya kopo chirizi na maji kumwagika.
Chagua Jibu
32. Chunguza Kielelezo Namba 1 kisha jibu swali linalofuata
- II
- IV
- III
- I
- V
Chagua Jibu
33. Nini kitatokea endapo bilauri iliyojazwa maji na kufunikwa kwa mfuniko wa itageuzwa juu chini?
- Maji yatamwagika
- Mfuniko utatoka
- Bilauri itapasuka
- Maji hayatamwagika
- Maji yatachuruzika
Chagua Jibu
34. Ni hatua gani muhimu utachukua baada ya kubaini tatizo katika jamii?
- Kuanza uchunguzi wa kina
- Kubuni dhanio
- Kuandaa dodoso
- Kuandaa majaribio ya kisayansi
- Kukusanya taarifa na data
Chagua Jibu
35. Upi ni mpangilio sahihi wa kuandika ripoti ya jaribio la kisayansi?
- Lengo, njia, vifaa, matokeo, hitimisho
- Vifaa, lengo, njia, matokeo, hitimisho
- Njia, lengo, vifaa, hitimisho, matokeo
- Njia, lengo, hitimisho, matokeo, vifaa
- Lengo, vifaa, njia, matokeo, hitimisho
Chagua Jibu
36. Ni kwa namna gani chuma huweza kuzuiwa kisipate kutu?.................
- Kwa kukipaka majivu
- Kwa kukiosha na maji
- Kwa kukipaka rangi
- Kwa kukifunika kwa udongo
- Kwa kukifunika kwa masizi
Chagua Jibu
37. Ipi kati ya orodha zifuatazo ni kundi la metali?................
- Klorini, zinki, almasi na dhahabu
- Chuma, kaboni, naitrojeni na oksijeni
- Oksijeni, zinki, salfa na klorini
- Shaba, chuma, kabonmonoksaidi na zinki
- Dhahabu, zinki, aluminium, na silva
Chagua Jibu
38. Mfano mmojawapo wa elementi ni:
- maji
- chumvi
- hydrojeni
- sukari
- kabondayoksaidi
Chagua Jibu
39. Mawingu yanaposhuka na kukaribia use wa dunia huitwa:.................
- ukungu
- umande
- mvuke
- barafu
- mvua
Chagua Jibu
40. Chunguza Kielelezo Namba 2, kisha jibu swali linalofuata:
Herufi P inawakilisha.............
- mwale mtuo
- mwale akisi
- mwale pindu
- mwale sambamba
- mwale mkabala
Chagua Jibu
Try Another Test |