STD VII SAYANSI ONLINE SELF NECTA TEST FOR YEAR 2011

SAYANSI 2011

Chagua jibu sahihi na andika herufi inayohusika mbele ya namba ya kila swali katika karatasi ya kujibia.

1. Kifaa kinachotumika katika kuangalia sell za viumbehai huitwa:

  1. Darubini 
  2. Periskopu 
  3. Hadubini
  4. Kamera 
  5. Horoskopu
Chagua Jibu


2. Mlango wa fahamu unaotumika kutambua hali ya joto au baridi ni: 

  1. ulimi 
  2. sikio 
  3. jicho 
  4. pua 
  5. ngozi
Chagua Jibu


3. Ni yupi kati ya wafuatao ni mamalia?

  1. Njiwa 
  2. Kuku 
  3. Bata 
  4. Popo 
  5. Nyoka.
Chagua Jibu


4. Kielelezo Na. 1 kinaonesha mbegu yenye ghala mbili.

Kielelezo Na. 1

Katika Kielelezo Na. 1 sehemu inayoota na kuwa mzizi imeoneshwa kwa herufi ipi?
  1. H
  2. J
  3. K
  4. L
  5. M
Chagua Jibu


5. Kitu gani kitatokea endapo maua ya mmea wa mhindi yatanyofolewa?

  1. Mmea utastawi
  2. Mmea utakufa
  3. Mizizi ya mmea haitakua
  4. Majani yake yatageuka rangi
  5. Mmea hautazaa
Chagua Jibu


6. Muungano ufuatao ni muhimu kwenye utengenezaji wa kabohaidreti katika mimea:

  1. Oksijeni, klorofili na maji
  2. Kabondayoksaidi na maji
  3. Kabondayoksaidi, maji na mwanga wa jua
  4. Klorofili, maji na mwanga wa jua
  5. Klorofili, wanga na mwanga wa jua.
Chagua Jibu


7. Ni taka mwili zipi zitolewazo na mapafu?

  1. Oksijeni na maji
  2. Oksijeni na kabondayoksaidi
  3. Kabondayoksaidi na maji
  4. Kabondayoksaidi na chumvi
  5. Oksijeni na chumvi
Chagua Jibu


8. Kipi kati ya vifuatavyo husafirisha chavua kutoka katika stameni kwenda kwenye stigma? 

  1. Watu 
  2. Wadudu 
  3. Maji 
  4. Umande 
  5. Staili
Chagua Jibu


9. Mtu asiyekula matunda na mboga za majani huweza kupata matatizo ya:

  1. kuugua mara kwa mara
  2. kupunguza uzito wa mwili
  3. kuongezeka kwa hamu ya kula nyama
  4. rangi ya ngozi huwa njano
  5. kuongezeka uzito wa mwili.
Chagua Jibu


10. Mtoto mwenye kwashakoo ni yule aliyekosa chakula chenye: 

  1. vitamini 
  2. mafuta 
  3. madini 
  4. wanga
  5. Protini
Chagua Jibu


SAYANSI 2011

Chagua jibu sahihi na andika herufi inayohusika mbele ya namba ya kila swali katika karatasi ya kujibia.

1. Kifaa kinachotumika katika kuangalia sell za viumbehai huitwa:

  1. Darubini 
  2. Periskopu 
  3. Hadubini
  4. Kamera 
  5. Horoskopu
Chagua Jibu


2. Mlango wa fahamu unaotumika kutambua hali ya joto au baridi ni: 

  1. ulimi 
  2. sikio 
  3. jicho 
  4. pua 
  5. ngozi
Chagua Jibu


3. Ni yupi kati ya wafuatao ni mamalia?

  1. Njiwa 
  2. Kuku 
  3. Bata 
  4. Popo 
  5. Nyoka.
Chagua Jibu


4. Kielelezo Na. 1 kinaonesha mbegu yenye ghala mbili.

Kielelezo Na. 1

Katika Kielelezo Na. 1 sehemu inayoota na kuwa mzizi imeoneshwa kwa herufi ipi?
  1. H
  2. J
  3. K
  4. L
  5. M
Chagua Jibu


5. Kitu gani kitatokea endapo maua ya mmea wa mhindi yatanyofolewa?

  1. Mmea utastawi
  2. Mmea utakufa
  3. Mizizi ya mmea haitakua
  4. Majani yake yatageuka rangi
  5. Mmea hautazaa
Chagua Jibu


6. Muungano ufuatao ni muhimu kwenye utengenezaji wa kabohaidreti katika mimea:

  1. Oksijeni, klorofili na maji
  2. Kabondayoksaidi na maji
  3. Kabondayoksaidi, maji na mwanga wa jua
  4. Klorofili, maji na mwanga wa jua
  5. Klorofili, wanga na mwanga wa jua.
Chagua Jibu


7. Ni taka mwili zipi zitolewazo na mapafu?

  1. Oksijeni na maji
  2. Oksijeni na kabondayoksaidi
  3. Kabondayoksaidi na maji
  4. Kabondayoksaidi na chumvi
  5. Oksijeni na chumvi
Chagua Jibu


8. Kipi kati ya vifuatavyo husafirisha chavua kutoka katika stameni kwenda kwenye stigma? 

  1. Watu 
  2. Wadudu 
  3. Maji 
  4. Umande 
  5. Staili
Chagua Jibu


9. Mtu asiyekula matunda na mboga za majani huweza kupata matatizo ya:

  1. kuugua mara kwa mara
  2. kupunguza uzito wa mwili
  3. kuongezeka kwa hamu ya kula nyama
  4. rangi ya ngozi huwa njano
  5. kuongezeka uzito wa mwili.
Chagua Jibu


10. Mtoto mwenye kwashakoo ni yule aliyekosa chakula chenye: 

  1. vitamini 
  2. mafuta 
  3. madini 
  4. wanga
  5. Protini
Chagua Jibu


  BOFYA HAPA KUPAKUA APP YA LEANING HUB
ILI KUFUNGUA MTIHANI MZIMA  




Try Another Test | 
Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256