- Jeshi la polisi
- Tume ya Taifa ya Uchaguzi
- Mahakama Kuu
- Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa
- Ofisi ya Waziri Mkuu
Chagua Jibu
8. Haki ya kumiliki mali iko katika kipengele kipi cha haki za binadamu?
- Kijamii na kiuchumi
- Kisiasa na kiuchumi
- Kikatiba na kisiasa
- Kijamii na Kisiasa
- Kijamii na Kiutamaduni
Chagua Jibu
9. Ulinzi na usalama wa taifa letu ni jukumu la:
- Jeshi Wananchi wa Tanzania
- kitengo cha Usalama wa Taifa
- Jeshi la Polisi
- mgambo
- kila mwananchi
Chagua Jibu
10.Mojawapo ya kazi za mgamboni:
- kukamata wahalifu na kuwapeleka kwenye kituo cha polisi
- kuadhibu wanaovunja sheria mijini
- kuzuia ajali za moto
- kukusanya kodi ya maendeleo mijini
- kuzuia na kupambana na rushwa
Chagua Jibu
11. Utandawazi ni mfumo unao hamasisha:
- teknolojia ya habari na mawasiliano katika nchi zinazoendelea
- haki sawa kwa kila mmoja duniani
- mfumo wa vyama vingi katika nchi zinazoendelea
- biashara huria baina ya mataifa
- sekta binafsi katika nchi zinazoendelea .
Chagua Jibu
12.Nini maana ya ujasiriamali?
- Bishara yoyote yenye faida
- Uwekezaji kwenye biashara
- Biashara ndogondogo
- Sekta binafsi
- Ujasiri wa kumiliki mali
Chagua Jibu
13.Mojawapo ya udhaifu wa Umoja wa Mataifa ni:
- kushindwa kuzuia kuenea kwa Utandawazi
- Waafrika hawajawahi kupata nafasi katika uongozi wa juu katika Umoja wa Mataifa
- baadhi ya watu tu ndio wenye kura ya turufu
- kushindwa kupitisha maazimio ya haki za binadamu
- kutokushirikishwa kwa Waafrika katika vikao vya baraza la usalama
Chagua Jibu
14.Jaji Mkuu waTanzania huteuliwa na:
- Bunge
- Waziri Mkuu
- Rais
- Makamu wa rais
- Mwanasheria Mkuu
Chagua Jibu
SEHEMU B
HISTORIA
15. Wafanyabiashara kutoka bara la Asia walifika Tanganyika kwa mara ya kwanza mnamo
- Karne ya 15
- Karne ya 19
- Karne ya 8
- Karne ya 9
- Karne ya 12
Chagua Jibu
16. Kabla ya ukoloni majukumu ya kiongozi wa ukoo yalikuwa ni pamoja na:
- kutatua migogoro
- kusaini mikataba na wakoloni
- kuongeza idadi ya mifugo
- kujenga nyumba
- kuanzisha vijiji vya ujamaa
Chagua Jibu
17. Mkutano wa kuligawa bara la Afrika ulifanyika:
- Berlin
- London
- Roma
- Paris
- New York
Chagua Jibu
18. Azimio la Arusha lililenga zaidi:
- uhuru na kazi
- siasa na kilimo
- elimu kwa wo?e
- ujamaa na kujitegemea
- mfumo wa vyama vingi
Chagua Jibu
19. Katika zama za mawe za mwisho ugawanyaji majukumu katika jamii ulifanyika kwa misingi ya:
- hekima na utajiri
- hekima na umri
- uzoefu na hekima
- umri na jinsia
- utajiri na umri
Chagua Jibu
20.Mwanadamu alianza kutembea kwa miguu miwili katika hatua gani ya mabadiliko?
- Primate
- Homo sapiens
- Homo habilis
- Zinjanthropus
- Homo erectus
Chagua Jibu
21.Utawala waWaingereza nchini Tanganyika uliisha mnamo .....
- karne ya 15
- karne ya 19
- karne ya 20
- karne ya 18
- karne y 17
Chagua Jibu
22.Vita vilivyozuka nchini Ruanda mwaka 1994 vilisababishwa na:
- ukabila
- ubaguzi wa rangi
- rushwa
- ukabaila
- ubepari
Chagua Jibu
23. Watangulizi wa kwanza wa ukoloni kuwasili Zanzibar na Tanganyika walikuwa:
- wafanya biashara
- Wamisionari
- Wapelelezi
- Walowezi
- Waarabu
Chagua Jibu
24. ......... lilikuwa ni shirika la kuajiri manamba wakati wa ukolóni nchini Tanganyika.
- MANAMBA
- TFL
- TAA
- JUWATA
- SILABU
Chagua Jibu
25. Chanzo cha familia ni:
- ndugu na rafiki
- ukoo na kabila
- baba na mama
- watoto
- wazee na vijana
Chagua Jibu
26. Mapinduzi ya kiuchumi barani Ulaya yalitokea kati ya .....
- karneya 16 na 17
- karneya 15 na 16
- karne ya 17 na 18
- karneya 18 na 19
- karne ya 15na 20
Chagua Jibu
27. Jamii za Afrika ya Mashariki zilizopinga ukoloni kwa silaha ni pamoja na:
- Wanandi na Wahehe
- Wasangu na Wabena
- Waha na Wakamba
- Waganda na Wabena
- Wabena na Wapare
Chagua Jibu
28. Mreno wa kwanza kufika Afrika alikuwa:
- Vasco Da Gama
- David Livingstone
- Bartholomew Diaz
- Johann Krapf
- Fransisco Dalmeida
Chagua Jibu
29. Mazao yaliyoletwa Afrika ya Mashariki na Wareno ni pamoja na:
- mihogo na kahawa
- kahawa na karafuu
- mahindi na mihogo
- mkonge na mihogo
Chagua Jibu
30. Mataifa ya Ulaya yaliyokuwa yakipigania Mto Nile yalikuwa:
- Ufaransa na Ubelgiji
- Uingereza na Ujerumani
- Ufaransa na Ureno
- Uingereza na Ufaransa
- Ubelgiji na Ureno
Chagua Jibu
31. Mapambano ya kudai Uhuru katika bara la Afrika yalianza baada ya:
- Kuundwa kwa Umoja wa Mataifa
- Kusambaratika kwa Umoja wa Kisovieti
- Vita Kuü ya Pili ya Dunia
- Kupigwa marufuku biashara ya watumwa
- Kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi
Chagua Jibu
32. Mwanasayansi aliyeelezea kuhusu mabadiliko ya kimaumbile ya mwanadamu alikuwa
- Mary Leakey
- Charles Darwin
- Louis Leakey
- Richard Leakey
- John Speke
Chagua Jibu
SEHEMU C
JOGRAFIA
33. Pepo huvuma kutoka pande zipi jua liwapo upande wa kusini mwa dunia?
- Kusini
- Magharibi
- Mashariki
- Kaskazini
- Kaskazini-mashariki
Chagua Jibu
34. Tunapataje idadi ya watu katika sehemu fulani?
- Kwa kuhesabu watoto wachanga
- Kwa kuhesabu wafu
- Kwa kuhesabu wakimbizi
- Kwa kukokotoa eneo Ia sehemu
- Kwa kufanya sensa
Chagua Jibu
35. Mojawapo ya madhara ya ongezeko kubwa Ia watu nchini Tanzania ni:
- Kuongezeka kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe
- Ongezeko Ia utegemezi
- Uhaba wa huduma za kijamii
- Kupungua kwa eneo Ia nchi
- Upungufu wa wasomi
Chagua Jibu
36. Maji ya mvua yanaweza kukingwa na kuhifadhiwa kwa matumizi ya baadaye kwa kutumia:
- Ndoo na mabomba
- Chupa na majaba
- Visima na chupa
- Visima na mapipa
- Ndoo na chupa
Chagua Jibu
37. Soma ramani ifuatayo kwa umakini kisha jibu maswali yafuatayo:
Tafuta eneo Ia sehemu iliyotiwa kivuli katika kilometa kwa kutumia kipimio cha 1: 100000
- km2 10.5
- km 2 20.05
- km2 15
- km2 15.5
- km 2 20.5
Chagua Jibu
38. Picha inayoonesha msitu mnene na mazao kama minazi yawezakuwa inawakilisha eneo lenye:
- Hali ya hewa ya kiikweta
- Hali ya hewa ya kitropiki
- Hali ya hewa ya kimonsun
- Hali ya hewa ya kimediteranian
- Hali ya hewa ya baridi
Chagua Jibu
39. Mojawapo ya sababu za kuongezeka kwa idadi ya watu na kuzaliana ni:
- uhamiaji na kuzaliana
- watu kukosa elimu ya maisha
- Kuzaliana na afya
- Ndoa za watu wenye umri mdogo
- Ongezeko Ia wakimbizi
Chagua Jibu
40. Soma ramani ya kontua ifuatayo kisha jibu maswali yafuatayo:
Eneo lenye herufi A huitwa .........
- Korongo
- Uwanda
- Bonde
- Kilele
- Pitio
Chagua Jibu
41. Hygrometa ni kifaa kinachotumika kupimia:
- jotoridi
- mvua
- unyevu
- upepo
- jua
Chagua Jibu
42. Njia ya kisasa na ya haraka kabisa ya mawasiliano baina ya watu ni:
- Telex
- Simu
- Barua
- Runinga
- Redio
Chagua Jibu
43. Inachukua muda gani kwa dunia kuzunguka umbali sawa na umbali baina ya longitudo mbili?
- dakika14
- dakika 15
- saa 1
- dakika10
- dakika 4
Chagua Jibu
44. Ni yapi kati ya madini yafuatayo ambayo ni chimbuko Ia nishati ya kinyuklia?
- Makaa Yã mawe
- Uraniam
- Shaba
- Almasi
- Dhahabu
Chagua Jibu
45. Sehemu ya muhimu ya ramani inayoelezea kuhusu alama zilizotumiwa katika ramani ni
- ufunguo
- fremu
- dira
- kipimio
- kichwa cha ramani
Chagua Jibu
46. Ili kupunguza/kuondoa ongezeko la joto la dunia tunapaswa .........
- tuongeze utoaji wa hewa ya kabonidayoksaidi
- tuongeze hewa ya kabonidayoksaidiinayotolewa na wanyama
- tutumie vyanzo vya nishati vilivyo rafiki kwa mazingira
- tuchome vichaka, misitu na nyasi
- tukate miti ili kupata eneo la kilimo
Chagua Jibu
47. Wakati wa usiku joto la bahari huwa kubwa kuliko joto la ardhi kwakuwa ......
- bahari hupata joto haraka kuliko ardhi
- bahari hupoteza joto upesi kuliko ardhi
- pepo zivumazo toka ardhini huongeza joto la bahari
- pepo za bahari huongeza joto la ardhi
- ardhi hupoteza joto upesi kuliko bahari
Chagua Jibu
48. Mikoko ni aina ya uoto upatikanao pembezoni mwa:
- mito
- maziwa
- bahari
- mabwawa
- visima
Chagua Jibu
49. Latitudo na umbali kutoka usawa wa bahari ni mambo yanayoathiri:
- mfumo wa jua
- misimu
- mikondo bahari
- hali ya hewa
- shughuli za kiuchumi
Chagua Jibu
50. Ni rahisi sana kuthibitisha kuwa dunia ni duara kwakuangalia:
- umbo la tufe
- kupatwa kwa jua
- kupwa na kujaa kwa maji
- jua la utosini
- kupatwa kwa mwezi
Chagua Jibu
Try Another Test |