STD VII MAARIFA_JAMII ONLINE SELF NECTA TEST FOR YEAR 2007

MAARIFA YA JAMII 2007

URAIA, JIOGRAFIA NA HISTORIA

Cuguajibu lililo sahihi na andika herufi inayohusika mbeleya kila swali.

1. Nchi kubwa kuliko zote barani Afrika ni

  1. DRC
  2. Sudan
  3. Nigeria
  4. Afrika Kusini 
  5. Tanzania
Chagua Jibu


2. Ipi kati ya taasisi zifuatazo ni ya muhimu katika kuondokana na umasikini Tanzania?

  1. Mkukuta
  2. Takukuru
  3. Benki 
  4. Maduka
Chagua Jibu


3. Mkutano wa Berlin ulianza na kumalizika mwaka gani? .

  1. 1884 - 1885
  2. 1884 - 1895
  3. 1848 - 1884
  4. 1894- 1895 
  5. 1895 - 1896
Chagua Jibu


4. Sehemu nyembamba za Bahari zinazotenganisha bara moja na jingine au bara na kisiwa zinaitwa:

  1. Mlango Bahari 
  2. Ghuba
  3. Rasi 
  4. Visiwa
Chagua Jibu


5. Chombo maalumu kinachomshauri Rais katika masuala ya kitaifa na kimataifa ni:

  1. Bunge 
  2. Mahama Kuu
  3. Baraza la Mawaziri
  4. Kamati ya Bunge
Chagua Jibu


6. Mwanamke wa kwanza barani Afrika kuchaguliwa Rais wa nchi anaitwa ...

  1. Helen J Sirleaf 
  2. Queen Uzinga
  3. Grace Michael 
  4. Gertrude Mongela
Chagua Jibu


7. Ikiwa Accra ni saa sita mchana itakuwa saa ngapi katia mstari wa kimataifa wa tarehe?

  1. 12:00 jioni
  2. 6 mchana 
  3. 8 mchana 
  4. 2 usiku
Chagua Jibu


8. ASP (Afro Shiraz Party) iliundwa baada ya Muungano wa vyama vya

  1. AA na Shiraz Association 
  2. Shiraz Association
  3. TANU naAA 
  4. Zanzibar Africa Associtaion and Shiraz Association
  5. ASP na TANU
Chagua Jibu


9. Gavana wa mwisho wa Kiingereza nchini Tanganyika aliitwa

  1. William Mackinnon 
  2. Richard Turnbull
  3. Carl Peters 
  4. Edward Twining
  5. Horace Byatt
Chagua Jibu


10. Uharibifu wa mazingira humanisha nini?

  1. Utunzaji mzuri wa mazingira
  2. Upandaji miti kwa wingi
  3. Uharibifu wa mazingira kutokana na kazi za kila siku za binadamu
  4. Kufuga wanyama wachache
  5. Kata mti panda mti
Chagua Jibu


11. Ulinzi na usalama wa Watanzania na mali zao ni jukumu la:

  1. Jeshi la polisi
  2. Jeshi la wananchi wa Tanzania
  3. Wabunge 
  4. Raia wote
Chagua Jibu


12. Vita vya MAUMAU vilifanyika wapi?

  1. Uganda
  2. Tanzania 
  3. Kenya
  4. Burundi 
  5. Kongo
Chagua Jibu


13. Kipimo kilichoandikwa kama "Sentimeta moja kwa kilometa humaanisha 

  1. 1:250,000 
  2. 1:100,000
  3. 1:20,000
  4. 1:2
  5. 1:200,000
Chagua Jibu


14. Mataifa ya Ulaya yalizitawala nchi za Afrika kutokana na sababu zifuatazo:

  1. Kueneza ukristo
  2. Kukomesha biashara ya utumwa
  3. Kuimarisha urafiki na nchi za Afrika
  4. Kutafuta masoko na maeneo ya kuwekeza
Chagua Jibu


15. Soko maarufu la watumwa kabla ya uvamizi wa wakoloni lilikuwa:

  1. Bagamoyo
  2. Kilwa
  3. Zanzibar 
  4. Mombasa
Chagua Jibu


16. Sayari hulizunguka jua kupitia njia zake maalumu ziitwazo

  1. Mihimili 
  2. Obiti 
  3. mzingo 
  4. Abort
Chagua Jibu


17. Bendera ya Rais, ramani ya Tanzania na fedha za Kitanzania ni miongoni mwa ......... saba za Taifa Ietu,

  1. Itikadi 
  2. Vyama vya Siasa
  3. Nyimbo za Taifa 
  4. Alama (Vitambulisho)
  5. Sikukuu
Chagua Jibu


18. Mabaki yanayoonyesha binadamu wa kwanza aliyeishi Tanzania yalipatikana:

  1. Isimila 
  2. Bujora
  3. Bonde la Olduvai
  4. Kondoa Irangi
Chagua Jibu


19. Sayari ya tatu kutoka kwenye jua ni:

  1. Jua
  2. Dunia 
  3. Zuhura 
  4. Zebaki
Chagua Jibu


20. Mkuu wa shughuli zote za kiserikali katika kata ni

  1. Diwani 
  2. Afisa Mtendaji Kata
  3. Mbunge Katika Kata hiyo
  4. Hukumu jubi sahihi
Chagua Jibu


  BOFYA HAPA KUPAKUA APP YA LEANING HUB
ILI KUFUNGUA MTIHANI MZIMA  




Try Another Test | 
Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256