STD VII KISWAHILI ONLINE SELF NECTA TEST FOR YEAR 2010

KISWAHILI 2010

SEHEMU A

SARUFI

Katika swali la 1-5 andika herufiya jibu lililo sahihi katika karatasiyakoya kujibia.

1. "Ukitaka cha mvunguni inama". Hii ni sentensi ya aina gani?

  1. ambatano 
  2. changamano 
  3. shurutia 
  4. nyofu 
  5. sahili
Chagua Jibu


2. Katika neno "hatutakamilisha", kiambishi kinachoonesha nafsi ni kipi?

  1. -ka- 
  2. -ta- 
  3. -ha- 
  4. -sha- 
  5. -tu-
Chagua Jibu


3. "Kampeni ya upandaji miti wilayani Kishapu ilifanikiwa sana na wananchi." Sentensi hii ipo katika kauli gani?

  1. kutendwa
  2. kutendewa
  3. kutenda
  4. kutendana
  5. kutendeka
Chagua Jibu


4. Kisawe cha neno "beseni" ni kipi?

  1. debe 
  2. karai
  3. ndoo 
  4. pipa
  5. chupa
Chagua Jibu


5. Wingi wa sentensi isemayo, "Ubao umetumika" ni ipi?

  1. Mbao itatumika
  2. mbao umetumika
  3. mbao zitatumika 
  4. mbao imetumika
  5. mbao zimetumika
Chagua Jibu


6. Katika sentensi ifuatayo, ni neno lipi limetumika kama kiwakilishi? "Huu ni wa maziwa."

  1. ziwa 
  2. huu 
  3. Ni 
  4. Wa 
  5. Maziwa
Chagua Jibu


7. Ubegete ameshinda kondeni akiamia ndege. Kielezi katika sentensi hii ni kipi?

  1. Kondeni 
  2. Akiamia 
  3. Ameshinda 
  4. Ndege 
  5. Kondeni akiamia
Chagua Jibu


8. Mwalimu alikuwa anatunga mtihani. N eno "anatunga" limetumika kama aina ipi ya kitenzi?

  1. Kishirikishi 
  2. Kitenzi Kikuu 
  3. Kisaidizi 
  4. Kitenzi kipungufu 
  5. Kitenzi jina
Chagua Jibu


9. Alfajiri na mapema tuliondoka ukumbini. Mzizi katika neno lililopigiwa mstari ni upi?

  1. -ondo-
  2. -iondoka
  3. -ondok-
  4. ondoka
  5. -iondok-
Chagua Jibu


10. Kinyume cha neno "Tandika" ni kipi?

  1. Tandaza
  2. Tandua
  3. Tanzua
  4. Tanzia
  5. Tandiko
Chagua Jibu


11. Umoja wa sentensi "Machungwa mabichi yana ladha ya uchachu” ni...

  1. Chungwa bichi lina ladha ya uchachu
  2. Chungwa bichi lina ladha yake
  3. Chungwa bichi lina kaladha ka uchachu
  4. Chungwa bichi lina ladha kali
  5. Vichungwa vibichi vina ladha ya uchachu.
Chagua Jibu


12. Fundi atengenezaye herein, pete an mikufu huitwaje?

  1. Sofara 
  2. Mfuaji 
  3. Sonara 
  4. Mnajimu 
  5. Fundi
Chagua Jibu


13. "Zena amemnunulia mwanae kizibao” limetumika kwa maana ipi?

  1. Suti yenye mikono mirefu
  2. Jaketi kubwa
  3. Shati la mikono mifupi
  4. Koti fupi lisilo na mikono
  5. Koti lenye mikono mirefu
Chagua Jibu


14. Neno "kindumbwendumbwe” lina silabi ngapi?

  1. Saba
  2. Nne 
  3. Tano
  4. Mbili 
  5. Tisa
Chagua Jibu


15. Watalii wengi hufika Tanzania ili .mlima Kilimanjaro. Ni neno lipi linalokosekana kukamilisha sentensi hiyo?

  1. kuzuru 
  2. kuthuru 
  3. kudhuru
  4. kufuru 
  5. kudhulu
Chagua Jibu


SEHEMU B

MSAMIATI

Katika swali la 16 - 25 andika herufiyajibu lililo sahihi katika karatasiyakoya kujibia.

16. Baada ya mshenga kutoa wageni waliondoka na kurudi makwao. Chagua neno sahihi kati ya maneno yafuatayo ili ukamilishe sentensi hiyo.

  1. fahari
  2. posa
  3. barua
  4. mahali
  5. mali
Chagua Jibu


17. Neno "msimu” lina maana gani?

  1. Majira
  2. Muda
  3. Mvua
  4. Kipupwe
  5. Masika
Chagua Jibu


18. Yule bwana amelima kwa bidii na amevuna . . mwingi sana.

  1. mipunga
  2. mchele
  3. mpunga 
  4. wali 
  5. michele
Chagua Jibu


19. Kisawe cha neno ”hitimisho” ni kipi?

  1. Hitima
  2. Tamati
  3. Mwanzo
  4. Katikati 
  5. Tanguliza
Chagua Jibu


20. Katika vifungu vya maneno vifuatavyo ni kifungu kipi chenye maneno yanayoshabihiana?

  1. Kuku, chiriku, njiwa, mwewe.
  2. Almasi, dhahabu, kitok, chui
  3. Maembe, mapera, shaba, matopetope
  4. Shati, kiwiko, ukucha, kidole
  5. Tembo, nyani, kondoo, mtende
Chagua Jibu


  BOFYA HAPA KUPAKUA APP YA LEANING HUB
ILI KUFUNGUA MTIHANI MZIMA  




Try Another Test | 
Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256