STD IV SAYANSI ONLINE NECTA EXAM REVIEW FOR YEAR 2014

MTIHANI WA SAYANSI DARASA LA NNE 2014

SEHEMU A

jibu swali la 1 - 10 kwu kuchaguu herufi yu jibu sahihi na kuandiku haiku kuralasi .ya kujibia.

1. kuna hatua......... za kunawa mikono

  1. sita
  2. saba
  3. tano
  4. nne
Chagua Jibu


2. Nywele chalu huwa ni makazi ya

  1. chawa
  2. inzi
  3. kunguni
  4. kupe
Chagua Jibu


3. Ugonjwa wa hatari zaidi unaosababishwa kwa kufaya ngono zembe ni

  1. kaswende
  2. UKIMWI
  3. kisonono
  4. Ebola
Chagua Jibu


4. Katika mwili wa binadamu mifupa na misuli huunganishwa kwa

  1. ngozi
  2. viungo
  3. mifupa
  4. kano
Chagua Jibu


5. Kifaa cha kupima uzito hujulikana kama

  1. themometa
  2. kapani
  3. rula
  4. silinda kipimio
Chagua Jibu


6. Maji kutoka katika vyanzo vyake huwa katika hall ya

  1. kimiminika
  2. Gesi
  3. barafu
  4. mvuke
Chagua Jibu


7. Kipi kati ya vitu vituatavyo hakionekani nyakati za usiku? ..........

  1. Mwezi
  2. Nyota
  3. Jua
  4. Mawingu
Chagua Jibu


8. Vifuatavyo ni vyanzo vya mwanga isipokuwa

  1. sumaku
  2. kandili
  3. mshumaa
  4. jua
Chagua Jibu


9. Mchoro huu unaonesha kitaa kittwacho


  1. mundu
  2. reki
  3. kisu
  4. panga
Chagua Jibu


10. Binadamu ana aina ngapi za meno?..........

  1. Tano
  2. Nne
  3. Sita
  4. Tatu
Chagua Jibu


SEHEMU B

Jibu swali la 11 - 17 kwa kujaza nafasi zilizoachwa wazi.

11. Kuna hali kuu ......... za maada.

Fungua Jibu


12. Huduma ya kwanza hutolewa ili kuokoa . . . . . . .

Fungua Jibu


13. Kifaa chochote kinachotumika kurahisisha kazi huitwa ..........

Fungua Jibu


14. Mmea hukua mbegu inapoanza ........

Fungua Jibu


15. Jua, umeme, na msuguano ni vyanzo vya . . . . . . . .

Fungua Jibu


16. Ugonjwa wa kwashakoo husababishwa na ukosefu wa  . . . . . . . . . mwilini.

Fungua Jibu


17. Asilimia ..... ya mwili wa binadamu ni maji.

Fungua Jibu


SEHEMU C

Jibu swali la 18 - 20 kwa kuandika neno "Kweli" au 'si kweli

18. Hali ya mtu kupotewa na fahamu huitwa kuzirai . . . . .

Fungua Jibu


19. Homa ya matumbo ni ugonjwa unaoenezwa kwa njia ya hewa ......

Fungua Jibu


20. Dainamo ni chanzo kimojawapo cha umeme  . . . . . . . .

Fungua Jibu


SEHEMU D

Jibu swali la 21 - 25 kwa kuoanisha maneno yaliyo katika "Fungu A" na yaliyo katika "Fungu B"

FUNGU A

21. Petali

22. Mazingira

23. Ovari

24.Mwangwi

25. Mamalia

FUNGU B

  1. Sauti iliyoakisiwa
  2. Wanyama wanaonyonyesha.
  3. Ni sehemu ya ua yenye rangi angavu 
  4. Hutunza chembe za kike
  5. Maeneo na vitu vinavyotuzunguka
  6. Inapokea chuvua kutoka kwenye stamina
  7. Hifadhi ya misitu 
  8. Sauti iliyokwaruzwa
Fungua Jibu


Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256