MAARIFA JAMII 2013
SEHEMU A
HISTORIA
Kwa swali la 1-4 chaguajibu sahihi na andika herufi yake kwenye nafasi ya kujibia
1. Kuna aina ngapi za familia? .
2. Dada wa baba yako ni .........
3. Hatua au zama iliyoonesha maendeleo ya kijamii ya mwanadamu inaitwa .........
4. Mfumo wa kwanza wa uzalishaji mali ambao haukuwa na matabaka ya watu uliitwa .
Jibu swali la 5 - 7 kwa kuandika Ndiyo au Hapana
5. Sababu mojawapo iliyofanya jamii za Kitanzania hapo kale zibadilishane bidhaa ni kutokuwa na fedha za kununua bidhaa .........
Fungua Jibu6. Shughuli nyingi za mwanadamu huboresha mazingira .........
Fungua Jibu7. Uchoraji ni mojawapo ya namna/fani ya kueleza hisia au mawazo .........
Fungua JibuSEHEMU B
URAIA
Jibu swali namba 8 hadi 9 kwa kuchagua jibu sahihi na kuandika herufi yake.
8. Mtoto asiyejua namna ya kudai haki zake
9. Hasara mojawapo ya kutowahusisha wanafunzi katika kufanya maamuzi
Chagua majibu katika kifungu B yanayojibu maswali katika kifungu A.
Kifungu A | Kifungu B | |||
10. Mwenyekiti wa serikali ya kijiji au mtaa. Chagua JibuChagua majibu katika kifungu B yanayojibu maswali katika kifungu A.
Fungua Jibu Fungua Jibu Fungua Jibu Fungua Jibu Fungua Jibu Fungua Jibu Fungua Jibu Fungua Jibu Fungua Jibu SEHEMU C JIOGRAFIA Jibu swali la 15 hadi la 19 kwa kujaza nafasi iliyoachwa wazi. 15. Kila kitu kinachomzunguka mwanadamu katka maisha yake huitwa ........... Fungua Jibu16. Misitu ya asili huzalisha ......... zitumikazo kutengeneza meza na viti. Fungua Jibu17. Umbo la kitu Iililochorwa na Iinalofanana na kitu chenyewe huitwa . . . . . . . Fungua Jibu18. Je, kuna pande kuu ngapi za dunia? . . . . . . . . Fungua Jibu19. Kifaa kinachofanana na saa ambacho huwawezesha wasafiri kujua uelekeo huitwa . . . . . . . Fungua JibuJibu swali la 20 hadi 23 kwa kuchaguajibu sahihi katika mabano. 20. Misitu, majani na vichaka ni .. . . . . .(bonde la ufa, uoto wa asili, matabaka ya hewa) Fungua Jibu21. Mikoa ya Ruvuma, Mbeya, Rukwa, Katavi, Njombe na Iringa ni maarufu kwa kilimo cha . . . . . . . Fungua Jibu22. Madini yanayotumika kutengeneza urembo, kukata vioo na kutoboa miamba huitwa . . . . . . . . . 23. Hewa iliyo katika mwendo huitwa . . . . . . . . .(unyevu, upepo, mvua, mawingu) Fungua JibuTazama ramani ifuatayo kisha utambue nchi zilizowakilishwa kwa herufu A na B 24. Nchi A ni? . Try Another Test | |