OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA ROBO MUHULA AGOSTI
HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI
KIDATO CHA KWANZA
MUDA: SAA 2:30
MAAELEKEZO 1
SEHEMU A (Alama 16)
1. Katika kipengele (i) hadi (x), chagua herufi ya jibu saahihi kisha andika herufi ya jibu sahihi.
i. Jamii za asili ya Kitanzania zilihama kutoka eneo moja na kwenda eneo jingine kwa sababu:
ii. Somo la historia a maadili limeundwa na dhana kuu mbili:
iii. Uhusiano kati ya somo la historia na maadili na chakula na lishe ni:
iv) jamii za wakushito zinahusisha makabila kama:
v) “Rushwa ni adui mkubwa wa haki.Tusipoidhibiti itaangamiza taifa”Baadhi ya madhara ya rushwa ni:
vi) kulikuwa na sifa maaalumu zilizozingatiwa ili mtu ateuliwe kuwa kiongozi wa ukoo.Miongoni mwa sifa hizo ni:
vii) Mafunzo katika kujenga tabia njema yalisisitiza mambo yafuatayo:
viii) Nini maana ya “Urithi wa jamii?”
ix) Maadili ya msingi katika jamii ni Pamoja na:
x) Mojawapo ya vyanzo vya Historia visivyoandikwaa ni:
| i | ii | iii | iv | v | vi | vii | viii | ix | x |
| . |
2. Oanisha maelezo ya maneno kutoka kifungu A na maneno kutoka kifungu B kisha andika herufi ya jibu sahihi
| KIFUNGU A | KIFUNGU B |
|
|
| i | ii | iii | iv | v | vi |
| . |
SEHEMU B (ALAMA 54)
Jibu maswali yote katika seehemu hii.
3. a) bainisha urithi wa asili uliopo maeneo unamoishi na taja manufaa ya urithi huo kwa jamii yako (hoja nne).
b) Urithi waa kihistoria ni eneo pana linalotoa na kazi kumnufaiisha mtu binafsi,jamii na taifa.Taja matumizi ya fursa hizo. (Hoja tano)
4. a) kabla kuingia ukoloni,jaamii za kitanzaniaa zilikuwa zinatumia mifumo maalumu kuelimisha watu. wake.bainisha malengo ya elimu kabla ya ukoloni (hoja nne)
b) Taja tofauti kati ya jando na unyago. (Hoja tano)
5.a) Ni mambo gani mazuri yaliyopo katika mila ana desturi ya jamii za asili ambayo hayatiliwi mkazo kwa sasa?
b) utamaduni wa jamii za asili uliwandaa vijana kujitegemea kwa sababu ulitilia mkazo i. ii. iii.
6. Jamii za Wabantu,Wakushito,Wakichembe na Wanilo zilikuwa na desturi zilizolenga kukuza maadili katika Nyanja mbalimbali za Maisha yao.Taja malengo yaliojikita katika ujenzi wa maadili katika jamii.(hoja tano)
7. Tunapaswa kufahamu kuwa wajibu wa kulinda na kuifadhi maadili na urithi wa jamii ni jukumu la kila Mtanzania.thibitisha dai hili kwa kutaja matendo yanayokuza na kulinda maadili na urithi wa Tanzania.
8.Elezea maana ya istilahi zifuatazo:
SEHEMU C (ALAMA 30)
Jibu maswali mawili (2) kutoka sehemu hii,swali la tisa (9) ni la lazima na kila swali lina alama 15.
9.Ukiwa kama mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule yako na mbobezi wa somo la Historia ya Tanzania na maadili Elezea tofaauti wa mfumo wa elimu ya jadi na mfumo wa elimu ya sasa.(hoja tano)
10. kumekuwepo na mmomomyoko wa maadili kwa jamii ya sasa kwa kiasi kikubwa hususani kwa vijana,Ungepewa nafasi ya kutoa maoni kuhusu maadili shuleni mambo gani ungependa yazingatiwe katika ujenzi wa maadili kwa vijana.elezea hoja tano(5) 11.elezea sababu za kujifunza somo la Historia ya Tanzania na maadili
FORM ONE HISTORIA EXAM SERIES 225
FORM ONE HISTORIA EXAM SERIES 225