?> SAYANSI STANDARD SEVEN EXAMS SERIES
SAYANSI STANDARD SEVEN EXAMS SERIES

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA UMAHIRI KWA SHULE ZA MSINGI

MTIHANI WA MWIGO

DARASA LA SABA-SAYANSI NA TEKNOLOJIA

2024

 

MUDA: 1:30                                                                                                         

MAELEKEZO

  1. Mtihani huu una SEHEMU tatu yaani, A,B na C
  2. Maswali yapo saba kwa ujumla
  3. Jibu maswali yote katika kila sehemu
  4. Tumia kalamu ya wino yenye rangi nyeusi au ya bluu
  5. Onyesha kazi yako vizuri
  6. Vifaa vya elektroniki haviitajiki katika chumba cha mtihani

SEHEMU A:

1. Chagua herufi ya jibu sahihi na andika herufi yake kwenye mabano uliyopewa 

i. Wanyama wamegawanyika katika makundi mawili, wenye uti wa mgongo na wasio na uti wa mgongo. Yupi kati ya wafuatao hana uti wa mgongo? (a) nyoka (b) ngisi (c) samaki (d) chura (e) ndege 

ii. Hewa ni mchanganyiko wa gesi mbalimbali zinazopatikana katika angahewa. 3e, kati ya gesi hizo ni ipi hutumika kuhifadhi vinywaji kama vile soda na juisi? (a) Naitrojeni (b) Oksijeni (c) Kabonidayoksaidi (d) Agoni (e). Haidrojeni 

iii. Mimea hufyonza molekyuli za maji toka kwenye udongo kupitia kwenye mizizi kwenda sehemu mbalimbali. Ni njia ipi ambayo mmea hutumia kufyonza maji?  (a) osmosisi (b) uenezi (c) difyusheni (d) kunyonya (e) usambazaji 

iv. Chunguza mchoro ufuatao kisha jibu swali linalofuata. 

(a) Kus (b) Kas (c) Kus na Kus (d) Kas na Kus (e) Kas na Kas 

v. Mwalimu wa Sayansi aliwafundisha wanafunzi wake wa darasa la nne hatua za kufanya uchunguzi wa kisayansi. Hatua ya pili ya uchunguzi wa kisayansi ni ipi? (a) kubuni dhanio (b) kabainisha tatizo (c) kutafsiri matokeo (d) hitimisho (e) kuchambua data 

vi. Upi ni mpangilio sahihi wa maada kutengana na kani ya mvutano ya molekyuli kuanzia ndogo hadi kubwa? (a) yabisi, gesi, kimiminika (b) kimiminika, yabisi, gesi (c) gesi, kimiminika, yabisi (d) yabisi, kimiminika, gesi (e) kimiminika, yabisi,-gesi 

vii. Wewe kama mtaalamu wa Tehama ukipewa dhamana ya kushauri watabiri wa hall ya hewa utawashauri watumie aina gani ya antena kutabiri mabadiliko ya hall ya hewa? 

(a) yagi-uda  (b) antena kitanzi (c) dishi (d) antena kidoa (e) antena kipenyo

 

viii. Ni sehemu gani ya ua inawakilishwa na mchoro huu; 

(a) pistili  (b) stameni (c) sepali (d) kikonyo  (e) stigima

ix. Badiliko la kikemikali ni badiliko la maada ambalo husababisha kitu kipya kutokea. Lipi ni badiliko la kikemikali kati ya haya yafuatayo? (a) kuyeyuka kwa barafu (b) kuyeyuka kwa nta (c) kuungua kwa karatasi (d) kuyeyuka kwa mshumaa (e) mvuke kuwa maji 

x. Katika mchoro ufuatao hapo chini ni sehemu gani chakula cha mmea.hutengenezwa?  

2. Oanisha madaraja ya mato katika sehemu A na visababishi vya mato kuwaka kwa kila daraja katika sehemu B,kisha andika herufi ya jibu sahihi

SEHEMU A

SEHEMU B

  1. Moto daraja A
  2. Moto daraja B
  3. Moto daraja C
  4. Moto daraja D
  5. Moto daraja F
  1. Kuungua kwa gesi zinazowaka kama butani, prepani, methane.
  2. Mafuta ya kupikia
  3. Kuungua kwa vitu yabisi kama kuni,karatasi,nguo
  4. Vimiminika vinavyolipuka na kuwaka
  5. Moto wa metali mfano magnesiamu na vitu vyenye asili ya chuma.
  6. Hitilafu ya umeme

 

 

3. Jaza nafasi zilizoachwa wazi 

i)  ni sehemu ya ubongo ambayo huratibu mijongeo ya matendo yote ya hiari 

ii) Kani inayofanya kitu kuelea inaitwa  

iii) Baiskeli imeundwa na aina tatu za mashine sahili,mashine hizo ni nyenzo,  na  na ekseli i

v)   ni kifaa ambacho hunasa na kusambaza mawimbi sumaku umeme kwenye vifaa vya mawasiliano kama vile redio,simu za mkononi na runinga 

v) Andika kanuni ya kutafuta mkondo wa umeme katika sakiti kama kiwango cha volteji na ukinzani ikijulikana  

SEHEMU B.

4. 

i) Zipo aina kuu nne za alama za usalama,taja alama mbili tu ambayo zina rangi nyekundu na blue   

ii) Eleza maana ya densiti e 

iii) Eleza sifa mbili za vitu vinavyoelea kwenye maji

5. i) Nini maana ya usanishaji chakula? 

ii) Swichi kuu huunganishwa na kifaa gani kingine Hi kulinda sakiti na majengo? 

iii) Myeyusho mweneo ambao molekyuli za maana husambaa kutoka ukolevu mkubwa kwenda ukolevu hafifu hujulikana kama  

6. i) Eleza kwa kifupi maana ya intaneti 

ii) Eleza tofauti zilizopo kati ya mtandao 

iii) Kamilifa mlinganyo ufuatao:

a) X inawakilisha  

b) Y inawakilisha  

iv) Ni kwanini ventrikali ya kushoto ina misuli mikubwa zaidi ya ile ya ventrikali ya kulia? 

 

SEHEMU C

7. Andika majina ya sehemu zilizowazi 

8. i) Tafuta densiti ya kitu chenye tungano gramu 640 na ujazo wa sentimeta 800 

ii) Tafuta uzito wa kitu chenye tungamo kilogramu 10 na mchapuko wa uvutano meta kwa sekunde kwa sekunde 10 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 106

OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA 

JARIBIO LA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024 

                         SOMO: SAYANSI NA TEKNLOJIA DARASA: VII 

SEHEMU A: ALAMA 20 

1. Chagua herufi ya jibu sahihi (alama 10) 

  1. Mfumo wa utoaji takamwili katika mwili wa binadamu umeundwa na ogani kuu nne. Ogani ipi inahusika na kuondoa sumu pamoja na kusaga vyakula vyenye mafuta na protini? A. meno B. figo C. ini D. mapafu E. ngozi ( )
  2. Viumbe hai wamegawanyika katika makundi makuu mawili ambayo ni mimea na wanyama. Je, ni sifa zipi zinahusu makundi yote hayo mawili kwa pamoja? A. ukuaji, respiresheni na fotosinthesisi B. mjongeo, uzaaji na transpiresheni C. respiresheni, uzaaji na ukuaji D. respiresheni, transpiresheni na ukuaji E. respiresheni na fotosinthesisi ( )
  3. Ni mmea upi kati ya hii ifuatayo unaweza kubadili naitrojeni na kuwa naitreti? A. mhindi B. maharage C. mpunga D. kahawa E. pamba ( )
  4. Baada ya kupata ajali ya pikipiki mwili wa Rahma umeshindwa kuwa katika hali ya msawazo ambapo humpelekea kuyumbayumba kama mlevi pindi atembeapo barabarani. Je, ni sehemu gani ya sikio lake imeathirika? A. koklea B. vifereji nusuduara C. neva za akustika D. ngoma ya sikio E. miatus ( )
  5. Sifa mojawapo ya mimea ni kutawanya mbegu zake baada ya kukomaa. Je, ni kwanini mimea hufanya hivyo? A. ili mbegu zichukuliwe na wanyama B. ili mbegu ziongeze virutubisho C. ili mimea iendelee kustawi vizuri D. ili kupunguza uzazi E. ili mbegu ziote haraka ( )
  6. Zuhura ana tatizo la kutokwa na vidonda mdomoni mara kwa mara. Je, unafikiri Zuhura ana ukosefu wa vitamini ipi? A. C B. K C. B1 D. B12 E. D ( )
  7. Walimu wa shule ya msingi Maendeleo wanahitaji mashine ya kielektroniki yenye uwezo wa kupokea, kuchakata, kuhifadhi na kutoa taarifa za maendeleo ya wanafunzi. Je, utawashauri wanunue nini? A. program jedwali B. runinga C. tarakilishi D. printa E. kisimbuzi ( )
  8. Ni sifa ipi ya wanyama katika kundi la amfibia inawatofautisha na ndege? A. kutaga mayai B. kuishi majini C. kuishi nchi kavu D. kuwa na damu moto E. kuwa na mifupa mifupi ( )
  9. Wanafunzi wa darasa la nne walijifunza vifaa mbalimbali vya teknolojia ya habari na mawasiliano. Je, ni kifaa kipi hupokea mawimbi ya sumakuumeme ya runinga kutoka kwenye satelaiti? A. runinga B. kisimbuzi C. dishi D. plagi E. waya
  10. Kuna aina kuu tano za alama za usalama ambazo hutofautishwa kwa mfumo wa rangi, maelekezo na sifa. Je, alama za onyo au tahadhari huwakilishwa kwa rangi ipi? A. bluu B. njano C. nyekundu D. kijani E. kijivu ( )

 2. Oanisha sehemu A na sehemu B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi (Alama 05)  

Sehemu A 

i. Mfumo wa utoaji takamwili 

ii. Kasoro katika mmeng’enyo wa chakula 

iii. Mrija wa manii, urethira na tezi za kopa 

iv. Sehemu ya ndani ya ngozi 

v. Mfumo wa fahamu 

Sehemu B 

A. Mfumo wa uzazi wa mwanamke 

B. Mishipa ya damu, tezijasho na tezi mafuta 

C. Ubongo, ugweuti na neva 

D. Kuhara na kutapika 

E. Ini, mapafu, figo na ngozi 

F. Mfumo wa uzazi wa mwanaume 

G. Kiungulia na vidonda vya tumbo 

3. Katika kipengele cha i-v jibu maswali kwa kujaza jibu sahihi kwa kuchagua kwenye kisanduku cha maneno uliyopewa. (Alama 05)  

Tarakilishi, kisukari, Mifupa, Moyo, Programu Andishi, Baruapepe, Programu Jedwali 

  1. Hakikisha umeweka kichwa cha ujumbe, funga akaunti yako baada ya kuitumia na kamwe usiruhusu kisakuzi kukumbuka nywila yako. Je, hayo ni mambo ya kuzingatia wakati wa kutumia nini? 
  2. Hitilafu katika tezi ya kongosho husababisha ugonjwa gani? 
  3. Wanafunzi wa darasa la saba waliulizwa swali kuhusiana na uchambuzi na uwasilishaji wa data zilizo katika namba. Je, swali hilo lilijikita katika kufafanua dhana gani?
  4. Asia alipopimwa na daktari iligundulika kuwa na tatizo katika uzalishaji wa chembehai za damu mwilini. Je, ni nini huhusika na utengenezaji wa chembehai za damu mwilini? 
  5. Start All programs Microsoft Office word 2016 = 

SEHEMU B : MAJIBU MAFUPI (ALAMA 20) Jibu maswali kwa kifupi 

4. 

  1. Ni rangi ipi hutokea kama zao la mpambano wa gesi ya kabonidioksidi na maji ya chokaa? 
  2. Baada ya panga kusahaulika nje asubuhi tulipoamka tuliona panga likiwa na kutu. Je, kutu ni matokeo ya mchanganyiko wa nini? 
  3. H + O2 Y. Je, herufi Y katika mlinganyo huu inawakilisha nini? 

5. 

  1. Kipindupindu ni miongoni mwa magonjwa yanayoenea kwa haraka sana. Je, viini vya ugonjwa wa kipindupindu huingia mwilini kwa kupitia njia ipi? 
  2. Kila jaribio la kisayansi lina hatua muhimu za kufuatwa. Itaje hatua ya mwisho ya jaribio la kisayansi.__
  3. Utabiri kuhusu chanzo cha tatizo linalotarajiwa kufanyiwa uchunguzi hujulikanaje?

6. 

  1. Hewa, chuma na maji ni vitu vinavyoweza kupitisha joto tofauti na plastiki. Je, ni kwanini plastiki haipitishi joto?  
  2. Katika kujifunza aina mbalimbali za vioo tuligundua ya kuwa viio vinavyotumika kwenye vyombo vya usafiri kama vile magari huonesha eneo kubwa na taswira zake ni wima. Je, hizo ni sifa ya aina gani ya kioo? 
  3. Tulipowasili kwenye maabara ya uchunguzi wa vimelea vya magonjwa mbalimbali tulikuta kifaa ambacho hutumika kuchunguza vimelea hivyo ambavyo kwa macho ya kawaida haviwezi kuonekana. Je, kifaa hicho kinaitwaje? 
  4. Tunashauriwa kutunza vyema sumaku ili ziweze kubaki na ubora wake wa awali. Taja vitendo viwili vinavyosababisha kusumakua sumaku.

SEHEMU C: PICHA, MICHORO NA DHANA MBALIMBALI ZA KISAYANSI (Alama 10) 7. Chunguza mchoro ufuatao kisha jibu kipengele cha i-iii 

  1. Katika mchoro huo hapo juu unaonesha kitendo gani kinachofanywa na mmea? 
  2. Je, kitendo hicho kinachooneshwa na mmea huo kisayansi huitwaje? 
  3. Unafikiri mmea huo umehifadhiwa sehemu yenye sifa ipi hadi uoneshe hali hiyo? 

8. Chunguza kwa makini alama za wanafunzi wa darasa la saba 

  1. Taja jina la programu unayohitaji kuitumia ili kukamilisha matokeo hayo? 
  2. Andika jina la seli lilipoandikwa jina la Anganile 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 96

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA KWA MSINGI

NUSU MUHULA WA PILI-AGOSTI-2023

SOMO: SAYANSI – DARASA LA SABA (VII)

JINA LA MWANAFUNZI …………………………………………………………….……SHULE: …………………

 


               SEHEMU A: CHAGUA JIBU SAHIHI

  1. Kitendo cha mizizi kufyonza maji na madni kutoka katika udongo huitwa?    A) uvukizaji  B) upunuaji   C) osimosis   D) kusharabu  E) usanikishaji[              ]
  2. Katika mfumo wa mifupa maungio hushikiliwa na?   A) ligament B) gegedu C) kano    D) nyuzi   E) neva                                                                      [              ]
  3. Ipi kati ya ogani zifuatazo HAIPATIKANI katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula?                                    A) koromeo B) utumbo mwembamba C) kongosho  D) ini              E) figo                                                        [              ]
  4. Ugonjwa wa kifua kikuu (TB) huathiri Zaidi ogani gani ya mwili? A) mapafu   B) figo   C) ngozi       D)pua              E) utumbo                                          [              ]
  5. Kuganda kwa damu husababishwa na kipi kati ya vifuatavyo? A) fibrinojeni B) madini chuma    C) plasma              D) seli hai nyeupe za damu
  6. Chakula kinapatikana mdomoni huchanganyikana na kimeng’enya ambacho huvunja vunja vyakula vya? A) protini        B) wanga                         C) vitamini                      D) mafuta                        E) chumvi              [              ]
  7. Mtu ambae huweza kupokea damu kutoka katika makundi yote ya damu ni yule mwenye damu kundi? A) O              B) AB              C) B              D) A              E) A na B
  8. Kipimo cha Fahrenheit huanzia namba ngapi?        A) 0°F B) 86°F     C) 212°F     D) 32°F   E) 12°F
  9. Vimiminika vyenye uwezo wa kutanuka pindi joto linapoongezeka na kusinyaa pundi joto linapopungua hutumika katika kutengeneza?         A) haidrometa                    B) kipima joto (Themometa)    C) kipima mvua                    D) haigromeita                 [              ]
  10. Ni aina ipi ya vijidudu husababisha ugonjwa wa kipindupindu? A) protozoa   B) bacteria                     C) amoeba              D) plasimodiam                      E) virusi
  11. Kemikali inatumika kutibu maji ya kunywa huitwa?  A) klorini   B) kalisi   C) kabonidayosakdi   D) florine   E) ayodini                                                        [              ]
  12. Ni yapi kati ya maelezo yafuatayo ni kweli kuhusu mimea jamii ya kunde?  
  1. Ina sehemu kuu mbili
  2. Ni mimea isiyo na maua
  3. Huzaliana kwa kugawanyika
  4. Huongeza rutuba katika udongo
  5. Mbegu zake husambazwa na maji [ ]
  1. Ni sehemu ipi ya damu ambayo haemoglobin hupatikana? A) fibrinojeni B) chembe sahani  C) plasma D) seli hai nyeupe za damu             E) seli hai nyekundu za damu                            [              ]
  2. Unaweza kuwatambua wanyama wanaokula nyama kwa kuangalia?    A) meno    B) macho yao   C) masikio yao                D) sauti zao              E) matumbo yao
  3. Mwale wa mwanga unapotua kwenye uso angavu hugonga na kurudi kitendo hiki huitwa?                    A) kusharabu     B) kupenya        C) kuaksi               D) kuvunja               E) kupinda                            [              ]
  4. Sehemu ya sikio la binadamu inayokusanya mawimbi ya sauti inaitwa? ______A) neva ya sikio    B) cochlea     C) ngoma ya sikio    D) mrija                       E) pina                                                                      [              ]
  5. Dalili kuu ya ujauzito kwa binadamu ni _________     A) ktapika   B) matiti kutanuka   C) kulala muda wote    D) kukoma hedhi    E) kuhisi kichefuchefu
  6. Chakula kwa ajili ya watoto kinatakiwa kiwe na kiwango cha_______ ili kusaidia kuimarisha meno ya mifupa yao.                     A) protini              B) kabohaidreti       C) madini chumvi    D) vitamini  E) mafuta[              ]
  7. Ni lenzi gani hutumika kukuza vitu? ___________   A) duara    B) lenzi mbonyeo     C) lenzi duara          D) lenzi duara        E) lenzi maalumu              [              ]
  8. Badiliko la maada linalopokelea badiliko la uzito wa maada huitwa:- A) badiliko la kiumbo             B) badiliko la muda              C) badiliko rejeshi             D) badiliko la haraka              E) badiliko la kikemikali
  9. Mzigo wenye uzito wa gram 600 ulisogezwa umbali wa sentimita 5. Tafuta kazi iliyofanyika.       A) 30000J     B) 300J              C) 150J                    D) 3J   E) 0.3J
  10. Sababu ya hewa ya kabondayoksaidi kutumika kuzimia moto ni ____ A) husaidia vitu kuungua     B) haina harufu     C) hubadili maji ya ndumu kuwa kama maziwa                  D) stigma kutokra kwenye antha     E) staili kutokra sepali                            [              ]
  11. Wakati wa ushavushaji chavua husafiri kuelekea kwenye? _____ _________
  1. Ovary kutoka kwenye ovyuli
  2. Antha kutoka kwneye stigma
  3. Stigma kutokea kwenye petali
  4. Ni kifaa cha kupima nguvu ya umeme
  5. Hupimwa kwa kutumia viltimita [ ]
  1. Karatasi nyekundu ya litmas hutumika kutambua?   A) besi    B) chumvi   C) pigmenti za ini   D) sukari    E) aside                                                        [              ]
  2. Maelekezo yapi ni sahihi kuhusu Ampia?
  1. Ni kifaa cha kupimia mkondo ukinzani
  2. Ni kiizio cha mkondo wa umeme
  3. Ni kifaa cha kupimia ukinzani
  4. Ni kifaa cha kupima nguvu ya umeme
  5. Hupimwa kwa kutumia viltimta [ ]
  1. Ugumba kwa binadamu unaweza kusababishwa na? A) kula kupita kiasi   B) utapiamlo                 C) kukosa Vitamin C       D) magonjwa ya zinaa    E) Ukimwi                                                        [              ]
  2. Vifuatavyo hupatikana katika seli ya mnyama na seli ya mmea ISIPOKUWA?  _______      A) nyuklia      B) chembe umbijani              C) vakuli     D) uteseli             E) maseli                                                        [              ]
  3. Mzigo ulipandishwa mita 8 baaada ya mkono wa jitihada kuvutwa mita 24 kuelekea chini. Uwiano wa mwendo dhahiri ni? ____________________ A) 8              B) 4              C) 2              D) 10              E) 3              [              ]
  4. Transpiresheni katika mimea ni muhimu ili kusaidia? A) kuupoza mmea  B) kuondoa kiasi cha maji kisichohitaji    C) kukua vizuri              D) kupunguza matumizi ya maji   E) kubeba chakula cha mmea                                          [              ]
  5. Ni mlango upi wa fahamu utatumia kutofautisha joto na baridi. A)  ngozi    B)  jicho    C)  sikio             D) pua                          E) ulimi                                          [              ]
  6. Bwana Donald alitumia nguvu ya 30N kubeba gunia la mchele umbali wa mita 5. Kazi aliyofanya ni?    A) 4 Joule     B) 120%                 C) 4M        D) 100 Joule               E) 150 Joule                                                         [              ]
  7. Ni mstari upi unaonesha pembe ya mstatili ulioakisiwa?

 

 

 

 

 

 

 

 

  1. Kuta za majengo ya mikutano na studio zimwekewa vitu laini ili kuweza?    A) kusharabu sauti B) kuaksi sauti                         C) kupindisha sauti               D) kusambaza sauti              E) kuzuia sauti              [              ]
  2. Njia bora ya kujikinga na virusi vya ukimwi na ukimwi ni? 

Kuepuka kuvaliana nguo Kuepuka ngono isiyo salama

  1. Kuepuka kuongea na waathirika
  2. Kuhudhuria kliniki
  3. Kula mlo kamili   [ ]
  1. Joto kutoka katika jua huweza kuufikia uso wa dunia kwa njia ya ___A) mpitisho   B) mgandamizo   C) mvukizo  D) mnunurisho  E) mvutano[              ]
  2. Kati ya vifuatavyo kipi huathiri rangi ya mkojo?  
  1. Maziwa
  2. Damu
  3. Uzito wa mwili
  4. Msongo wa mawazo
  5. Dawa    [ ]
  1. Faida kuu ya uzazi wa mpango ni _____________
  1. Kuongeza idadi ya watoto
  2. Kuwa na uwezo wa kutoa huduma muhimu
  3. Kuepuka matatizo
  4. Kuwapa watoto elimu   [ ]
  5. Kupata uwezowa kujenga nyumba za kisasa
  1. Ni sehemu ipi ya ubongo huratibu kuona, kusikia na kunusa? A) ubongo wa mbele B) uti wa mgongo   C) ungwe mgongo              D) medulla oblongata              E) neva                                          [              ]
  2. Makazi ya chura ni _____A) majini   B) jangwani   C) nchi kavu    D) bharini  [ ]

 

SEHEMU B: JIBU MASWALI YOTE

  1. Aina mbili za nishati zinazotolewa na moto ni:-
  1. _________________________________
  2. _________________________________

 

  1. Taja tendo litakalotokea wakati wa mchana pindi maji yanapoungana na hewa ya kabonidayoksaidi katika mmea wa kijani ______________________
  2. Taja tendo litakalotokea pindi maji yakiwekwa sehemu yenye joto la 32°F

 

CHUNGUZA MCHORO UFUATAO

 

 

 

 

 

 

 

 

  1. Sehemu E na C kwa pamoja huitwa ___________
  2. Kazi ya sehemu A ni _____________________
  3. Kazi ya sehemu E  ni ___________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 85

WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA DARASA LA SABA 2022

SOMO SAYANSI NA TEKNOLOJIA

SEHEMU A: chagua jibu lililosahihi kati ya machaguo uliopewa na weka kivuli herufi ya jibu sahihi kwenye karatasi ya kujibia

  1. Kwa nini inashauriwa kuchemsha maji ya kunywa? A) Ili yawe safi B) Ili maji yasiwe na mchanganyiko C) Ili maji yawe salama D) Ili maji yapate joto
  2. Kwa nini hewa ya Kabonidioksidi ni muhimu kwa mimea?
    A) Inasaidia kutengeneza maua B) Inasaidia katika uchavushaji C) Inasaidia katika upumuaji D) Inasaidia kutengeneza matunda E) Inasaidia katika usanishaji wa chakula cha mimea
  3. Gesi inayohusika kuweka mbolea yenye chumvichumvi ya nitrati katika udongo ni A) Hidrojeni B) Naitrojeni C) Oksijeni
    D) Kabonidiokside
  4. Mahitaji muhimu zaidi kwa maisha ili uweze kuishi ni __
    A) Maji, Chakula na Hewa B) Vitamini, Maji na hewa C) Protini, Wanga na Madini D) Maji, Hewa na matunda E) Hewa, Nguo na Mwanga
  5. Shoka lipo katika kundi la nyenzo daraja la ngapi?A) Daraja la Kwanza B) Daraja la pili C) Daraja la tatu D) Daraja la nne
    E) daraja la tano
  6.  Sehemu ya ulimi iliyowekwa herufi X inatambua ladha ya __

A)Kuumia B) Chumvi C) Chungu D) Utamu E) Chachu

C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031015491.jpg

  1. Popo anasifa mbalimbali ya kuitwa  ndege au mnyama. Je Kisayansi popo yupo katika kundi lipi la wanyama?A) Reptilia
    B) Mamalia C) Ndege D) Amfibia E) Njiwa
  2. Muunganiko ufuatao ni muhimu kwa mimea ili ijitengenezea  chakula chake cha wanga A) Oksijeni, Umbijani, maji B) Kaboni Dioksidi na maji C) Kabonidioksaidi, Maji na Mwanga wa Jua
    D) Umbijani, Maji na Mwanga wa Jua E) Umbijani, Wanga na Mwanga wa jua
  3. Uzazi wa mpango ni muhimu sana kwa binadamu. Kipi ni umuhimu haswa kwa uzazi wa mpango?A) Ili familia imiliki nyumba na gari B) Kuongeza idadi ya watoto C) Ili familia ifikie malengo ya maisha D) Ili familia ipate mahitaji ya msingi na ya muhimu E) Ili kuipa familia furaha
  4. Ikiwa kazi iliyofanywa na upepo ya kusukuma debe tupu kwa umbali wa sm 200 katika uelekeo wake ni joule 100.tafuta nguvu ya upepo huo a)0.5N b)N25c)N50d)N20000J
  5. Kuna njia tofauti ya kutenga mchanganyiko katika badiliko la kiumbo kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini : Je picha hii inaonyesha njia ipi ya kutenga mchanganiko?
  1. Kukamua B) Kupepeta C) Prediketo  D)Kuchuja  e)Kutumia bomba chujio

 

C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031015480.jpg

  1. Ushauri mwingi unaotolewa kwa waathirika wa UKIMWI je ni ushauri upi haupaswi kupewa?A) Kutumia dawa kama wanavyoshauriwa na wataalamu B) Kuwa na mpenzi ambaye amepima Damu C) Kujikubali wenyewe D) Kujilinda wenyewe na kuishi kwa matumaini E) Kutumia mlo kamili na kukagua afya mara kwa mara
  2. Kuna rangi nyingi zinazoonyeshwa kwenye alama za tahadhari je, rangi ya msingi ya alama za tahadhari ni A) Njano
    B) Nyekundu C) Kijani D) Bluu E) Nyeupe
  3. Kuna maana nyingi ya neno UKIMWI , Je Lipi ni mana sahihi? A) Ukosefu wa kinga mwilini B) Upotefu wa kinga mwilini
    C) Kinga kubwa mwilini D) Upungufu wa kinga mwilini
    E) Uwepo wa kinga ya mwili
  4. Rangi nyekundu katika alama za tahadhari humaanisha
    A) Hatari B) Pita C) Subiri D) Nenda
  5. Baada ya chura kuzalishwa kijusi chake huitwa ___ A) Nimfa
    B) Nzige C) Buu D) Kiluwiluwi E) Yai
  6. Viumbe hai wengi wanaharibu mazingira kiumbe hai yupi anaongoza kuharibu mazingira?A) Miti B) Ng’ombe
    C) Binadamu D) Mbuni E) Tembo
  7. Mende ana hatua nyingi katika ukuaji wake, je hatua ya pili ni A) Nimfa B) Nzige C) Kiluwiluwi D) Yai
  8. Badili nyuzi 167f kuwa sentigredi A)100 0 B)120 0C C)150 0C d)108 0c E)75 0 C
  9. Zifuatazo ni chanzo cha nishati umeme katika uzalishaji isipokuwa A) Maporomoko ya maji B) Mwanga wa jua C) Radi d) Mafuta E) Upepo
  10. Kipi kati ya vitu vifuatavyo ambacho husafirisha joto kwa njia ya mpitisho?A) Chuma na maji B) Chuma na Alumini C) Alumini na Umande D) Hewa na maji E) Hewa na chuma
  11. Sehemu kubwa ya gesi asilia ni A) kabonidayoksaidi B) Oksijeni C) Naitrojeni D) Methanoli E) Umande
  12. Kimolo zilitumia kani ya 50 newton ili kusukuma ukuta kwa siku nzima bila mafanikio, Je tukio gani litatokea? A) Kimolo kafanya kazi B) Kimolo katumia nguvu kubwa C) Kimolo hakufanya kazi yoyote D) Kimolo kafanya kazi nzuri E) Kimolo katumia nguvu kidogo
  13. Ikiwa pembe ya mwanga kutua ni 600, je pembe ya mwanga kujitokeza ni ngapi katika kioo bapa?A) 900 B) 400 C) 1200
    D) 600 E) 450 F) 300
  14. Soma sakiti rahisi ya umeme hapa chini kisha jibu maswali Ikiwa Mkondo wa umeme ni Ampea 5, Je Ukinzani wa mkondo wa umeme ngapi katika Ohm

 

 

 

  1. 100 B) 50 C) 10 D) 4 E_ 0.4
  1. Je, aina ipi ya maada ni nyepesi?A) Kimiminika B) Barafu
    C) Gesi D) maji E) Yabisi
  2. Jifunza jedwali la jaribio lifuatalo kisha jibu maswali yanafuata lengo la jaribio hili ni kutafuta

C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031016020.jpg

A)Ujazo wa beseni B) Kiasi cha hewa kwenye beseni C) Ujazo wa jiwe D) Eneo la nje la jiwe E) Mzingo wa jiwe

  1. Yafuatayo ni aina ya injini pekuzi katika dunia, kipi siyo chenyewe A) Google B) Mozilla firefox C) Yahoo! D) Bing
    E) Uliza
  2. Himoglobini ni kompaundi inayopatikana katika damu ipi?
    A) Chembe hai nyeupeB) Chembe hai Nyekundu C) Plazima
    D) Uroto wa mifupa E) Seli za mwili
  3. Mwanamke mjamzito anapaswa kutumia aina ipi ya chakula?
    A) Protini B) Wanga C) Madini ya Chuma D) Fati E) Vitamin
  4. Ni aina ipi ya gesi ambayo husaidia katika kuunguza vitu?
    A) Oksijeni B) Ozoni C) Naitrojeni D) Hydrojeni
  5. Kitendo cha kupata vitu vilivyochanganywa kwenye udongo kwa mimea ni A) Osmosis b) Kufyonza C) Difyusheni
    D) Kumeng’enywa E) Fotosinthesisi
  6. Kinyonga hubadili Rangi yake kwa sababu __ A) Kutafuta chakula B) Kupumua C)Kuzaliana D) Kuangalia adui
    E) Kujikinga mwenyewe
  7. Mota katika blenda hubadilisha nishati ya umeme kuwa :-
    A) Nishati ya Joto B) Nishati ya mekanika C) Nishati ya Mwanga D) Nishati ya Potenshali E) Nishati ya Kemikali
  8. Familia ya Kairuki hula maharage, Nyama na Wali, Kwa afya nzuri anatakiwa kuongeza A) Samaki B) Mboga za majani
    C) Kuku D) Mkate E) Nyama ya Ng’ombe

  

  1.         Alama hii katika tanakilishi inatumika kutafuta
    A) Wastani B) Tofauti C) Jumla D) Kubeba E) Kipanya
  2. Tafuta uwiano wa mwendo dhahiri wa mashine ikiwa ufanisi wake ni 40% na manufaa ya kimakanika ni 2 A) 2 B) 5 C) 2.5 D) 5.2 E) 20
  3. Kirusi cha varisellas husababisha ugonjwa unaoitwa __
    A) Dondakoo B) Tetekuwanga C) Surua D) Mafua E) Pepopunda
  4. Mimea inayotaka kuota haihitaji vitu gani?A) Joto la wastani
    B) Umande C) Oksijeni D) Maji E) Mwanga wa jua
  5. Je, tungamo hupimwa katika A) Glm3 B)Kg/m C) Kg/m3
    D) g/cm E) Kg/cm3

SEHEMU “B” kwa swali la 41 – 45 andika herufi ya jibu sahihi kwenye sehemu iliyoachwa wazi

  1. Kwanini mwanamke mjamzito anashauriwa kupima UKIMWI?
  2. Wakati unapumua, Gesi inayotoka nje inapopitia kwenye maji hubadilisha rangi ya maji kuwa ____________
  3. Taja wadudu wa wili ambao hupitia metamofosisi isiyo kamili
  1. _______________________
  2. _______________________
  1. Tumia kielelezo hii kujibu swali lifuatalo

                                 

Tafuata thamani ya herufi “X”

  1. Alama hii mara nyingi huonekana katika eneo la ______________________

            C:UsersNEVIJADesktopmekisspng-smoking-ban-sign-no-symbol-no-smoking-signs-5b1fd0715a9be5.9041592615288116333712.jpg

 

 

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 67

MTIHANI WA DARASA LA SABA 2022

SOMO SAYANSI NA TEKNOLOJIA

SEHEMU A: chagua jibu lililosahihi kati ya machaguo uliopewa na weka kivuli herufi ya jibu sahihi kwenye karatasi ya kujibia

  1. Kwa nini inashauriwa kuchemsha maji ya kunywa? A) Ili yawe safi B) Ili maji yasiwe na mchanganyiko C) Ili maji yawe salama D) Ili maji yapate joto
  2. Kwa nini hewa ya Kabonidioksidi ni muhimu kwa mimea?
    A) Inasaidia kutengeneza maua B) Inasaidia katika uchavushaji C) Inasaidia katika upumuaji D) Inasaidia kutengeneza matunda E) Inasaidia katika usanishaji wa chakula cha mimea
  3. Gesi inayohusika kuweka mbolea yenye chumvichumvi ya nitrati katika udongo ni A) Hidrojeni B) Naitrojeni C) Oksijeni
    D) Kabonidiokside
  4. Mahitaji muhimu zaidi kwa maisha ili uweze kuishi ni __
    A) Maji, Chakula na Hewa B) Vitamini, Maji na hewa C) Protini, Wanga na Madini D) Maji, Hewa na matunda E) Hewa, Nguo na Mwanga
  5. Shoka lipo katika kundi la nyenzo daraja la ngapi?A) Daraja la Kwanza B) Daraja la pili C) Daraja la tatu D) Daraja la nne
    E) daraja la tano
  6.  Sehemu ya ulimi iliyowekwa herufi X inatambua ladha ya __

A)Kuumia B) Chumvi C) Chungu D) Utamu E) Chachu

C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031015491.jpg

  1. Popo anasifa mbalimbali ya kuitwa  ndege au mnyama. Je Kisayansi popo yupo katika kundi lipi la wanyama?A) Reptilia
    B) Mamalia C) Ndege D) Amfibia E) Njiwa
  2. Muunganiko ufuatao ni muhimu kwa mimea ili ijitengenezea  chakula chake cha wanga A) Oksijeni, Umbijani, maji B) Kaboni Dioksidi na maji C) Kabonidioksaidi, Maji na Mwanga wa Jua
    D) Umbijani, Maji na Mwanga wa Jua E) Umbijani, Wanga na Mwanga wa jua
  3. Uzazi wa mpango ni muhimu sana kwa binadamu. Kipi ni umuhimu haswa kwa uzazi wa mpango?A) Ili familia imiliki nyumba na gari B) Kuongeza idadi ya watoto C) Ili familia ifikie malengo ya maisha D) Ili familia ipate mahitaji ya msingi na ya muhimu E) Ili kuipa familia furaha
  4. Ikiwa kazi iliyofanywa na upepo ya kusukuma debe tupu kwa umbali wa sm 200 katika uelekeo wake ni joule 100.tafuta nguvu ya upepo huo a)0.5N b)N25c)N50d)N20000J
  5. Kuna njia tofauti ya kutenga mchanganyiko katika badiliko la kiumbo kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini : Je picha hii inaonyesha njia ipi ya kutenga mchanganiko?
  1. Kukamua B) Kupepeta C) Prediketo  D)Kuchuja  e)Kutumia bomba chujio

 

C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031015480.jpg

  1. Ushauri mwingi unaotolewa kwa waathirika wa UKIMWI je ni ushauri upi haupaswi kupewa?A) Kutumia dawa kama wanavyoshauriwa na wataalamu B) Kuwa na mpenzi ambaye amepima Damu C) Kujikubali wenyewe D) Kujilinda wenyewe na kuishi kwa matumaini E) Kutumia mlo kamili na kukagua afya mara kwa mara
  2. Kuna rangi nyingi zinazoonyeshwa kwenye alama za tahadhari je, rangi ya msingi ya alama za tahadhari ni A) Njano
    B) Nyekundu C) Kijani D) Bluu E) Nyeupe
  3. Kuna maana nyingi ya neno UKIMWI , Je Lipi ni mana sahihi? A) Ukosefu wa kinga mwilini B) Upotefu wa kinga mwilini
    C) Kinga kubwa mwilini D) Upungufu wa kinga mwilini
    E) Uwepo wa kinga ya mwili
  4. Rangi nyekundu katika alama za tahadhari humaanisha
    A) Hatari B) Pita C) Subiri D) Nenda
  5. Baada ya chura kuzalishwa kijusi chake huitwa ___ A) Nimfa
    B) Nzige C) Buu D) Kiluwiluwi E) Yai
  6. Viumbe hai wengi wanaharibu mazingira kiumbe hai yupi anaongoza kuharibu mazingira?A) Miti B) Ng’ombe
    C) Binadamu D) Mbuni E) Tembo
  7. Mende ana hatua nyingi katika ukuaji wake, je hatua ya pili ni A) Nimfa B) Nzige C) Kiluwiluwi D) Yai
  8. Badili nyuzi 167f kuwa sentigredi A)100 0 B)120 0C C)150 0C d)108 0c E)75 0 C
  9. Zifuatazo ni chanzo cha nishati umeme katika uzalishaji isipokuwa A) Maporomoko ya maji B) Mwanga wa jua C) Radi d) Mafuta E) Upepo
  10. Kipi kati ya vitu vifuatavyo ambacho husafirisha joto kwa njia ya mpitisho?A) Chuma na maji B) Chuma na Alumini C) Alumini na Umande D) Hewa na maji E) Hewa na chuma
  11. Sehemu kubwa ya gesi asilia ni A) kabonidayoksaidi B) Oksijeni C) Naitrojeni D) Methanoli E) Umande
  12. Kimolo zilitumia kani ya 50 newton ili kusukuma ukuta kwa siku nzima bila mafanikio, Je tukio gani litatokea? A) Kimolo kafanya kazi B) Kimolo katumia nguvu kubwa C) Kimolo hakufanya kazi yoyote D) Kimolo kafanya kazi nzuri E) Kimolo katumia nguvu kidogo
  13. Ikiwa pembe ya mwanga kutua ni 600, je pembe ya mwanga kujitokeza ni ngapi katika kioo bapa?A) 900 B) 400 C) 1200
    D) 600 E) 450 F) 300
  14. Soma sakiti rahisi ya umeme hapa chini kisha jibu maswali Ikiwa Mkondo wa umeme ni Ampea 5, Je Ukinzani wa mkondo wa umeme ngapi katika Ohm

 

 

 

  1. 100 B) 50 C) 10 D) 4 E_ 0.4
  1. Je, aina ipi ya maada ni nyepesi?A) Kimiminika B) Barafu
    C) Gesi D) maji E) Yabisi
  2. Jifunza jedwali la jaribio lifuatalo kisha jibu maswali yanafuata lengo la jaribio hili ni kutafuta

C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031016020.jpg

A)Ujazo wa beseni B) Kiasi cha hewa kwenye beseni C) Ujazo wa jiwe D) Eneo la nje la jiwe E) Mzingo wa jiwe

  1. Yafuatayo ni aina ya injini pekuzi katika dunia, kipi siyo chenyewe A) Google B) Mozilla firefox C) Yahoo! D) Bing
    E) Uliza
  2. Himoglobini ni kompaundi inayopatikana katika damu ipi?
    A) Chembe hai nyeupeB) Chembe hai Nyekundu C) Plazima
    D) Uroto wa mifupa E) Seli za mwili
  3. Mwanamke mjamzito anapaswa kutumia aina ipi ya chakula?
    A) Protini B) Wanga C) Madini ya Chuma D) Fati E) Vitamin
  4. Ni aina ipi ya gesi ambayo husaidia katika kuunguza vitu?
    A) Oksijeni B) Ozoni C) Naitrojeni D) Hydrojeni
  5. Kitendo cha kupata vitu vilivyochanganywa kwenye udongo kwa mimea ni A) Osmosis b) Kufyonza C) Difyusheni
    D) Kumeng’enywa E) Fotosinthesisi
  6. Kinyonga hubadili Rangi yake kwa sababu __ A) Kutafuta chakula B) Kupumua C)Kuzaliana D) Kuangalia adui
    E) Kujikinga mwenyewe
  7. Mota katika blenda hubadilisha nishati ya umeme kuwa :-
    A) Nishati ya Joto B) Nishati ya mekanika C) Nishati ya Mwanga D) Nishati ya Potenshali E) Nishati ya Kemikali
  8. Familia ya Kairuki hula maharage, Nyama na Wali, Kwa afya nzuri anatakiwa kuongeza A) Samaki B) Mboga za majani
    C) Kuku D) Mkate E) Nyama ya Ng’ombe

  

  1.         Alama hii katika tanakilishi inatumika kutafuta
    A) Wastani B) Tofauti C) Jumla D) Kubeba E) Kipanya
  2. Tafuta uwiano wa mwendo dhahiri wa mashine ikiwa ufanisi wake ni 40% na manufaa ya kimakanika ni 2 A) 2 B) 5 C) 2.5 D) 5.2 E) 20
  3. Kirusi cha varisellas husababisha ugonjwa unaoitwa __
    A) Dondakoo B) Tetekuwanga C) Surua D) Mafua E) Pepopunda
  4. Mimea inayotaka kuota haihitaji vitu gani?A) Joto la wastani
    B) Umande C) Oksijeni D) Maji E) Mwanga wa jua
  5. Je, tungamo hupimwa katika A) Glm3 B)Kg/m C) Kg/m3
    D) g/cm E) Kg/cm3

SEHEMU “B” kwa swali la 41 – 45 andika herufi ya jibu sahihi kwenye sehemu iliyoachwa wazi

  1. Kwanini mwanamke mjamzito anashauriwa kupima UKIMWI?
  2. Wakati unapumua, Gesi inayotoka nje inapopitia kwenye maji hubadilisha rangi ya maji kuwa ____________
  3. Taja wadudu wa wili ambao hupitia metamofosisi isiyo kamili
  1. _______________________
  2. _______________________
  1. Tumia kielelezo hii kujibu swali lifuatalo

                                 

Tafuata thamani ya herufi “X”

  1. Alama hii mara nyingi huonekana katika eneo la ______________________

            C:UsersNEVIJADesktopmekisspng-smoking-ban-sign-no-symbol-no-smoking-signs-5b1fd0715a9be5.9041592615288116333712.jpg

 

 

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 61

 

 WIZARA YA ELIMU

MTIHANI WA SAYANSI MACHI 2021

 DARASA LA VII

 

JINA LA MTAHINIWA: ________________

  JINA LA SHULE: _____________________

 

SEHEMU A: 

CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI

  1. Mazoezinimojawapoyakupunguza …….….. [a] kutapika  [b] kuzirai  [c] kukazakwamisuli  [d] kuharisha  [e] kutokwanadamupuani
  2. Vyakulavyenyekabohadretihuwezeshamwili ……………..

[a] kuhimilimagonjwa[b] kuwanajoto[c] kukuakwaharaka  [d] kuwananguvu[e] kuwanyoronyoro

  1. Tofautikatiyatundanambeguni ………………

[a] mbeguinatundandani  [b] tundahuota  [c] tundalinakotiledonimbili   [d] mbeguhuota[e] mbeguhaziliwi

  1. Sehemuya kike yauainayohusikanauzazini ………………

[a] stameni [b] staili   [c] ovari   [d] petali   [e] sepali

  1. Sehemuyachembehaiinayohusikanakutawalashughulizote za chembehaihuitwa …… [a] saitopralazimu  [b] vokuili   [c] kloroplasti  [d] kiwambo cha seli   [e] nyukliasi
  2. Mtotomwenyemategeamepungukiwana vitamin ................

[a] K  [b] D  [c] A  [d] B  [e] C 

  1. Ukosefuwa vitamin B husababishaugonjwawa ………... [a] utiwamgongo  [b] vidondavyatumbo  [c] surua  [d] trakoma   [e] beriberi
  2. Faidamojawapoyavyakulavyaprotinikatikamiiliyetuni ……….…. [a] kukingamwilidhidiyamagonjwa  [b] kukuanakukarabatichembehai  [c] kutianguvu  [d] kuongezekauzito  [e] kutiajoto
  3. Lipikatiyamakundiyafuatayolinawakilishasifa za viumbehai ………  [a] kufa, kula nakuona                     [b] kufa, kuzaanakubadilikarangi [c] kupumua, kuisinakusikia          [d] kupumua, kuzaanakutembea   [e] kujongea, kupumuanakuzaa.
  4. Damuhuchukuaoksijeninakutoakabonidaiyoksaidikupitia ……..        [a] viribahewa  [b] kuta za mapafu   [c] koromeo  [d] kapilari  [e] pua
  5. Kukosekanakwachanikiwitikatikammeahuwezakusababisha ……… [a] mmeakukosamadinijoto   [b] mmeakushindwakusanisichakula  [c] majaniyammeakukauka    [d] majaniyammeakuwanjano              [e] majaniyammeakupukutika
  6. Fototropizimunikitendo cha mmeakuotakuelekeakwenye ……..        [a] mwanga  [b] kaniyamvutano  [c] maji  [d] giza  [e] photosinsensisi
  7. Watuwanaostahilikutoahudumaya kwanza ni ……….… [a] waganga  [b] wauguzi  [c] mtuyeyote  [d] wakunga  [e] msalabamwekundu
  8. Ugonjwaunaotokananamatatizokatikamfumowaupumuajini …..    [a] malaria kali   [b] kuzimia   [c] kifafa  [d] kisukari  [e] pumu
  9. Sautiinayosikikakwa mara ya pili baadayakuungurumahuitwa …….[a] radi  [b] ngurumo  [c] mwangwi  [d] mtu  [e] tetemeko la ardhi
  10. Ni tezikuuinayotawalautendajikaziwatezizingine …….

[a] pituitali  [b] thairoidi  [c] parathairoidi  [d] kongosho  [e] adrenali

  1. Madiniyapinimagumuzaidiyamenginekatiyayafuatayo;..

[a] ulanga  [b] dhahabu  [c] chuma  [d] makaa [e] almasi

  1. Kizio cha ukinzanini ……. [a] amita  [b] voltimita  [c] volt  [d] wati   [e] ohm
  2. Uyeyushajiwachakulachenye wanga huanzakwenye ..... [a] mdomo  [b] utumbomkubwa  [c] damu   [d] tumbo   [e] utumbomwembamba
  3. Nishatiambayohuwezakupenyakatikabaadhiyavitukamamaji, glasinahewani …………....

[a] umeme  [b] mwanga  [c] upinde  [d] sauti  [e] ngurumo

  1. Kuna aina ngapi za uchavushaji? …………….

[a] tano  [b] nne  [c] mbili  [d] tatu  [e] sita

  1. Mojawapoyahudumamuhimuyakumpamtuanayeungua moto ni …… [a] kumwagiamaji        [b] kumfunikanguo        [c] kumwagiahasadi  [d] kumfunikablangeti  [e] kumpakaasali
  2. Vimeleavinavyoharibuchembeahainyeupe za damuni ………...

[a] bacteria  [b] VVU  [c] plasm  [d] amiba  [e] kuvu

  1. Virusivya UKIMWI ushambuliaainaganiyadamu?  

[a] chembesahani            [b] chembehainyeupe           [c] chembehainyekundu   [d] hamoglobini  [e] plazimu

  1. Mchanganyikowagesimbalimbalikwapamojahuitwa …………….. [a] oksijeni  [b] haidrojeni   [c] hewa  [d] naitrojeni  [e] maada
  2. Lipikatiyayafuatayosiobadiliko la kikemikali……………………….

[a] kuozakwa taka   [b] kuchachakwamaziwa  [c] kuunguakwamkaa [d] kuyeyukakwasukari  [e] chumakupata kutu   

  1. Ni kifaaganihutumikakukuzataswirayaviolowaanuwai?

[a] darubini   [b] hadubini   [c] periskopi  [d] prizimu  [e] lenzi

  1. Samaki hupataoksijenikutokakwenyemajikwakupitia ……

[a] pua    [b] spirako  [c] matamvua  [d] mkia  [e] mapenzi

  1. Ugonjwaunaoambukizwana bacteria nahuwapatawatotowadogowenyechiniyamiakamiwili ……….…..

[a] kifadulo  [b] pepopunda   [c] surua  [e] tetekuwanga

  1. Ili kuhifadhimazingirajamboganilifanyike? ………………….[a] kutumiambolea  [b] kufugawanyamawengi  [c] kupandamitinanyasi  [d] kutupatakatakaovyo  [e] kukatamiti
  2. Sehemutupuiliyopokatikachupaya chai ambayohuzuiakupitishwakwajotohuitwa………….

[a] mnururisho  [b] mpitisho   [c] vakyumu  [d] uwazi   [e] silva 

  1. Mtotoaliyetumbonimwa mama hupatahewanachakulakupitiakwenye [a] uterasi   [b] seviksi   [c] ovary  [d]  ureta [e] plasenta
  2. Tafutathamaniya X katikamchoroufuatao:-

 

  

 

[a] kg 18  [b] kg 16  [c] kg 14  [d] kg 0 [e] kg 900 

  1. Atomimbili za haidrojenizikiunganakikemikalinaatomimojayaoksejini, kompaundiinayotengenezwahuitwa…………..

[a] chumvi   [b] gesi   [c] aside  [d] maji  [e] besi

  1. Wakatiwausikumimeahuvutahewaya ……………

[a] nitrojeni[b] oksijeni[c] kabonidaiyoksaidi[d] sodiamu[e] haidrojeni

  1. Ni kundilipi la wanyamawenyeutiwamgongolinadamuyajotozaidi?   [a] mamalia  [b] ndege [c] samakinachura [d] chura  [e] nyoka
  2. Kitendo cha mmeakujitengenezeachakulachakechenyewehuitwa …… [a] uchamvushaji  [b] osmosisi[c] fotosinsensisi[d] mlishano  [e] umbijani
  3. Kizingitimgando cha majininyuzi ngapi?  

[a] 0  [b] 100  [c] 42 [d] -100  [e] 32 

  1. Kuna njia ngapi za uzaziuzaziwampango?           

[a] moja  [b] mbili   [c] tatu   [d] nne   [e] tano

  1. Mahitajimbalimbaliyanayotolewakwajamiiilikujengaafyahuitwa …  [a] huduma za afya      [b] huduma za kwanza   [c] msaadawaharaka  [d] uzaziwampango   [e] mazoeziyaviungo

 

SEHEMU B: JAZA NAFASI WAZI

  1. Mifupaimeundwakwamadiniya ………………..…. na ……………
  2. Alamayakikemikaliinayosimamabadalayachumviyamezanihuandikwa ……………………………………………………………
  3. Badilinyuzi 1490F kuwasentigredi ………………………………….
  4. Sehemuinayopelekamialeyamwangakwenyejichoni …………….
  5.         Tajamakundimawiliyaviumbehai  A………………   B …………

MAJIBU SAYANSI DRS VII – 2021 

  1. C
  2. D
  3. D
  4. C
  5. E
  6. B
  7. E
  8. B
  9. E
  10. A
  11. B
  12. A
  13. C
  14. E
  15. C
  16. A
  17. E
  18. E
  19. A
  20. B
  21. C
  22. D
  23. B
  24. B
  25. C
  26. D
  27. B
  28. C
  29. B
  30. C
  31. C
  32. E
  33. A
  34. D
  35. B
  36. B
  37. C
  38. A
  39. A
  40. B
  41. KALISI NA FOSFORASI
  42. NaCL
  43. 650C
  44. LENZI
  45. WANYAMA NA MIMEA

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 59

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SABA

SAYANSI NA TECHNOLOJIA

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

Chagua Jibu sahihi kuanzia swali la 1-40 kisha andika jibu katika nafasi uliyopewa.

  1. Lengo kubwa la huduma za afya kwa wagonjwa ni…………..(a) Kuwafariji kutokana na matatizo mbalimbali ya kimaisha (b) Kuwasaidia kupona haraka ili warudi kwenye majukumu yao ya kawaida (c) Kuwashauri kuhusu uzalishaji maji (d) Kuwapunguzia gharama za maisha
  2. Zifuatazo ni miongoni mwa tabia hatarishi kwa vijana isipokuwa ………. (a) Ulevi (b) Kuvuta bangi (c) Kupenda kufanya kazi (d) Matumizi ya dawa za kulevya
  3. Ipi sio faida ya vituo vya huduma za afya kwa Watoto? (a) Wazazi hupata elimu ya njia bora za kuwalea Watoto (b) Husaidia kupunguza vifo vya Watoto (c) Hutoa hamasa kuhusu wazazi wote kushiriki malezi ya Watoto (d) Husaidia Watoto kupata ushauri juu ya Maisha
  4. Ni ipi kati ya sehemu zifuatazo imeunda sehemu kubwa ya damu? (a) Chembe nyeupe (b)Chumvichumvi (c) Chembe nyekundu. (d) Plazima
  5. Ni lipi ambalo sio matumizi ya kabonidayoksaidi? (a) Kuzima moto (b) Kuhifadhi chakula (c) Kuunguza (d) Kusanisi chakula
  6. Mbinu rahisi ya kujua ukubwa wa vitu visivyo na maumbo halisi ni kutumia kitu chenyewe, kopo la eureka: (a) flaski ya mviringo na maji  (b) maji na chupa (c) glasi na maji  (d) silinda ya kupimia maji (e) mizani na maji
  7.  Ni mabadiliko gani yatatokea kama mtu akipumulia kwenye uso wa kioo? (a) Kuganda  (b) Kuyeyuka  (c) Kuvukishwa (d) Matonesho  (e) Kutanuka
  8.  Kinyonga hujibadili rangi yake ili: (a) kutafuta chakula         (b)  kupumua          (c) kuzaliana (d) kutafuta maadui                          (e) kujilinda dhidi ya maadui
  9.  Endapo mito na mabwawa yatakauka, ni viumbe hai Vipi kati ya vifuatavyo vitaathirika zaidi? (a) Vyura (b) Samaki  (c) Mamba (d) Mbu (e) Nyoka
  10. Upumuaji umegawanyika katika hatua mbili ambazo ni mbadilishano wa gesi katika mapafu Pamoja na………. (a)Kuingiza na kutoa hewa kwenye damu (b) Kupitisha hewa kwenye koromeo(c)Kuingiza na kutoa hewa kwenye mapafu (d) Mapafu na kifua kusinyaa
  11. Vinyweleo na unyevunyevu unaoopatikana katika pua, husaidia……………(a) Mbadilishano wa hewa (b) Kunasa vijidudu na uchafu (c) Kusafirisha hewa kwenda kwenye mapafu (d) Kupooza hewa inayoingia mwilini kupitia puani
  12.  Vitu vinavyofanya mfumo wa damu ni pamoja na; (a) moyo, seli hai nyeupe na damu (b) seli hai nyeupe, self hai nyekundu na mishipa ya damu (c) moyo, mapafu na damu (d) seli hai za damu, maji na moyo (e)  moyo, mishipa ya damu na damu
  13. Kitu gani kitatokea endapo mfumo wa fahamu utasimama kufanya kazi?............. (a) Mtu ataanza kutetemeka. (b) Mtu ataanza kuhisi udhaifu. (c) Mtu ataanza kuhisi maumivu makali mwilini. (d) Kukosekana kwa mawasiliano ndani ya mwili. (e) Mtu ataanza kupungua uzito.
  14. Mpangilio wa vifupa vitatu katika sikio la kati ni kama ufuatao………….(a) Fuawe, nyundo, kikuku (b) Kikuku, nyundo, fuawe (c) Nyundo, kikuku, fuawe (d) Nyundo, fuawe, kikuku
  15. Mlango wa fahamu unaofanya kazi ya kuhisi baridi au joto ni……….. (a) Jicho (b) Sikio (c) Ulimi (d)Ngozi
  16. Tunaweza kujikinga na magonjwa ya moyo kwa kufanya yafuatayo: .......(a) Kula chakula na kufanya mazoezi mara kwa mara(b) Kufanya mazoezi ya mwili, kuepuka kuvuta sigara na kuepuka kunywa pombe (c) Kula chakula chenye chumvi na kunywa pombe  (d) Kufanya mazoezi ya mwili na kuvuta sigara (e) Kula vyakula vyenye mafuta na kunywa pombe.
  17. Lipi kati ya magonjwa yafuatayo huambukizwa kwa njia ya kujamiiana?(a) Polio  (b) Kipindupindu   (c)  Pepopunda(d)  Kaswende                            (e) Tetekuwanga
  18. Kazi kuu ya virutubisho vya vitamini ni kuuwezesha mwili…………..(a) Kupata nguvu za kufanya kazi (b) Kuwa na joto la kutosha (c) Kukua na kuongezeka (d) Kujilinda na magonjwa
  19. Mlo kamili ni chakula chenye………….(a) Virutubisho vya mafuta, kabohaidreti na protini, wanga na hamirojo (b) Virutubisho vya protini, kabohaidreti, mafuta, vitamini na madini (c) Virutubisho vya vitamini, madini na protini, wanga na hamirojo (d) Virutubisho vya vitamini, kalisi, potasiamu, chuma na zinki
  20. Ipi sio njia sahihi ya kuteketeza taka? (a) Kuchoma moto (b) Kurejeleza (c) Kulisha wanyama (d) Kutengeneza mboji
  21. Uzalishaji wa umeme kwa njia ya tanuri unahitaji……..(a) Maji kuendesha mitambo ya kuzalisha umeme (b) Maji yaliyochemshwa kuendesha mitambo ya kuzalisha umeme (c) Mvuke kuendesha mitambo ya kuzalisha umeme (d) Hewa ya oksijeni kuendesha mitambo ya kuzalisha umeme
  22. Tanuri likijengwa karibu na vitu vinavyoshika moto kwa haraka………(a) Husababisha taka kuwaka kwa haraka (b) Husababisha moshi mwingi wakati wa kuwaka (c) Hutoa majivu mengi Zaidi (d) Huweza kusababisha ajali ya moto
  23. Kiwango cha maji kinachopotezwa na mmea huathiriwa na hali za hewa zifuatazo... (a)  joto na unyevu     (b) unyevu na mwanga (c) upepo na mwanga wa jua                (d)  mawingu na upepo (e) unyevu na upepo
  24. Katika kurunzi, nishati ya umeme inayotoka kwenye betri hubadilishwa na kuwa: (a) nishati ya kikemikali  (b)  nishati ya joto(c) nishati ya kimakaniki     (d) nishati ya mwanga  (e) Nishati ya moto
  25. Mwanga hupinda unapopita kutoka (a) Ncha ya Kaskazini kwenda Kusini       (b)  media moja kwenda nyingine (c) Ncha ya Kaskazini kwenda Mashariki (d) Magharibi kwenda Mashariki  (e) Kaskazini kwenda Magharibi
  26. Ni gesi gani hutumika wakati wa kuzima moto?(a) Kabonidayoksaidi (b) Oksijeni (c) Haidrojeni (d) Naitrojeni
  27. Ni kwa namna gani unaweza kuzuia vitu vya chuma visioate kutu? (a) Kuviweka kwenye maji (b) Kuvipaka majivu (c) Kuviongeza oksijeni (d) Kuvipaka rangi
  28. Moto wa daraja gani hutokana na kuungua kwa vitu yabisi kama nguo na karatasi? (a) Daraja D (b) Daraja C (c) Daraja A (d) Daraja F
  29. Aina kuu mbili za mashine ni: (a) ngumu na laini (b) rahisi na tata (c) za kumenya na kutwanga  (d) puli na roda (e) roda na katapila
  30. Matumizi ya roda katika maisha ya kila siku ni: (a) kunyanyua vitu vizito  (b) kufungua vizibo vya chupa  (c) kufunga vitu  (d) kupunguza mwinuko (e) kurahisisha kukata kuni
  31. Cherehani hulainishwa kwa kutumia……….. (a) Grisi (b) Mafuta ya kupikia (c) Mafuta maalumu ya alizeti (d) Mafuta maalumu
  32. Nyambizi inazama baharini ikiwa densiti yake ni…….(a) Ndogo kuliko densiti ya maji (b) Kubwa kuliko densiti ya maji (c) Sawasawa na densiti ya maji (d) Kubwa au ndogo kuliko densiti ya maji
  33. Kitumi cha umeme kinachobadili mkondogeu wa umeme kuwa mkondo mnyofu huitwa: (a) rektifaya  (b) transista (c) amplifaya (d) resista.  (e) transfoma
  34. Umeme unaotolewa katika seli kavu, chanzo chake ni nishati gani? (a) Jua (b) Kimakanika (c) Sauti (d) Sumaku (e) Kikemikali
  35. Kipi kati ya vifuatavyo hakipitishi mkondo wa umeme? (a) Mpira  (b) Bati (c) Shaba (d) Chuma  (e) Zebaki
  36. Chunguza Kielelezo Namba 2 kisha jibu swali linalofuata

Kielelezo 

Kifaa katika Kielelezo Namba 2 hutumia tabia ipi ya mwanga?..............(a) Kuakisiwa (b)  Mpitisho  (c)  Mwachano(d)  Mgeuzo (e)Mtawanyiko

37. Kielelezo Namba 3 kinaonyesha mfano wa mashine rahisi. Ipi nafasi ya egemeo mashine inapofanya kazi?

 Kielelezo 

(a) K (b) I (c) J (d)  H (e) N

38.Asilimia kubwa ya uso wa dunia imefunikwa kwa maji. Sehemu kubwa ya maji haya hupatikana kwenye (a) bahari (b) Mito (c) maziwa  (d) mabwawa (e) madimbwi

39. Mmea uliochorwa katika kielelezo Namba 2 una sifa ya kuishi wapi?

Kielelezo Na. 2

(a) Kwenye misitu minene (b) Majini (c) Kwenye majani marefu (d) Jangwani (e) Milimani

40. Chunguza kielelezo Namba 4 kisha jibu swab linalofuata

Kielelezo 4

Ikiwa umeme unaopita katika sakiti hiyo ampi 5, kiasi cha ukinzani (R) wa waya katika sakiti hiyo ni omu              (a) 100 (b) 50 (c) 10 (d) 4 (e) 0.4

Chunguza picha hapo chini kisha jibu maswali yafuatayo;

  1. Mchoro huu  ni wa ogani gani?...................................................................
  2. Herufi a, b, h na e inawakilisha sehemu gani?........................................
  3. Ni sehemu gani inatumiwa kupitisha mwanga?...........................................
  4. Taja sehemu c na kazi yake
  5. Taja kazi ya sehemu h

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 50

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA DARASA LA SABA

SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MUDA:1: 30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEKEZO:

  1. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  2. Kumbuka kuandika majina yako.
  3. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.

SEHEMU A.

Chagua jibu lililo sahii, kisha liandike kwenye kijisanduku

  1. Damu huweza kupungua kutokana na nini?  A. Kupungua kwa seli nyeupe, vitamini A na madini chuma b. Kupungua kwa vitamini B, protini na plazima c. Maji kuongezeka mwilini, kupungua madini ya chuma na protini d. Kupungua kwa madini ya ayani na vitamini mwilini
  2. Ni ipi kati ya sehemu zifuatazo imeunda sehemu kubwa ya damu? A. Chembe nyeupe b. Chumvichumvi  c. Chembe nyekundu d. Plazima
  3. Tawi dogo kabisa la ateri huitwa a. Kapilari b. Bronchioli c. Vena d. Vali
  4. Himoglobini ni muhimu sana katika kutengeneza a. Seli hai nyeupe za damu b. Seli hai nyekundu za damu c. Plazima ya damu d. Seli zinazogandisha damu
  5. Njia za uzazi wa mpango ambazo ni salama kwa afya ya mama ni............. a. kitanzi na sindano  b. njia ya asili c. sindano na vidonge  d. vidonge na kondomu d. kondomu na sindano
  6. Uzazi wa mpango una umuhimu gani kwa familia? A. Huwezesha familia kumiliki nyumba b. Huongeza idadi ya Watoto c. Huwezesha familia kumudu safari za Pamoja d. Huwafanya wanafamilia kuwa na furaha e. Huwezesha familia kupata chakula cha kutosha.
  7. Magonjwa ya zinaa huambukizwa kwa njia ya: a. kugusana  b. kupeana damu c. kucheza pamoja  d. kuchangia vikombe e. kujamiiana
  8. Sehemu zifuatazo hufanya kazi sawa ya kuhifadhi gamete za uzazi kwa binadamu: a. mirija ya falopio na mirija ya manii b. uume na uke c. korodani na uterasi d. ovari na uume e. ovari na korodani
  9. Dalili ya balehe kwa msichana na mvulana ni………….. a. Kukua na kutanuka matiti b. Kuota ndevu c. Kuota nywele kwapani d. Sauti kuwa nyororo e. kuwa mrefu
  10. Njia mojawapo ya kukabiliana na changamoto za balehe ni……….  A. Kuepuka matumizi ya vilevi b. Kulala siku nzima c. Kuangalia sinema d. Kufanya kazi bila kupumzika e. kulala
  11. Mojawapo ya mabadiliko ya kiakili ya mvulana wakati wa kubalehe ni. A. Kutaka kuwa huru b. Uwezo wa kutambua mambo kuongezeka c. Kuongeza uwezo wa kuelewa mawazo d. Kuongeza uwezo wa kuelewa mawazo ya mtu mwingine e. kutaka kuoa
  12. Wagonjwa wa kisukari hupewa huduma ya …………wanapohudhuria kliniki. A.Kuongezewa maji b. Kuongezewa damu c. Ushauri wa lishe d. Kifedha e. kuombewa
  13. Chakula cha asili na bora zaidi kwa mtoto mchanga ni…………. A. Maziwa ya mama b. Maziwa ya ng’ombe c. Maziwa ya kopo d. Uji wa lishe. Maji
  14. Ipi sio faida ya maziwa ya mama? A. Yanazuia ulemavu ambao unaweza kutokea b. Mtoto hupata kinga ya asili c. Ni rahisi na salama d. Yana joto halisi linalohitajika na mtoto. Kunenepa
  15. Magonjwa ya kurithi husababishwa na……….. a. Kasoro za vinasaba vya urithi b. Athari za uchafuzi wa mazingira c. Vimelea vya magonjwa d. Upungufu wa kinga mwilini e. njaa
  16. Moja kati ya zifuatazo ni dalili ya ugonjwa wa anemia selimundu………… a. Damu kutoka mfululizo kwenye jeraha b. Mishipa ya damu kupasuka hasa iliyo kwenye tishu laini c. Kupata choo chenye damu d. Kupungukiwa na damu mara kwa mara e. kukosa nguvu
  17. Dawa zinazoongeza damu kuganda wakati mgonjwa wa hemofilia amepata jeraha……… a. Hupunguza athari za hemofilia b. Huongeza athari za hemofilia c. Hazina msaada kwa mtu mwenye hemofilia d. Hutibu tatizo la hemofilia e. uongeza afya
  18. Upi sio ugonjwa wa kurithi? A. Hemofilia b. Alibino c. Goita d. Selimundo e. homa
  19. Kipi kati ya vifuatavyo ni maarufu kwa kuchangia maambukizi ya WU katika jamii? A. Uchangiaji wa sindano, miswaki, damu na ngono zembe. B. Kanda za video, nyimbo, muziki na maigizo. C. Televisheni, magazeti na vipeperushi kuhusu WU. D. Kondomu, wataalamu wa afya, semina na taasisi za UKIMWI. E. Tohara kwa wanaume na wanawake.
  20. Virusi Vya Ukimwi hushambulia aina gani ya chembe hai katika damu? A. chembe sahani b. chembe hai nyeupe c. Chembe hai nyekundu d. Hemoglobini e. Plazima
  21. Mgonjwa wa UKIMWI anastahili kupata mlo maalumu ili a. aweze kupona haraka b. asiambukize watu VVU c. awe na nguvu ya kufanya kazi d. mwili upambane na maradhi e. VVU viangamie kabisa
  22. Hali ya mtu kuzimia hutokana na ukosefu wa damu katika ....... a. Tumbo b. Figo c. Mapafu d. Moyo e. Ubongo
  23. Huduma ya kwanza anayopewa mtu aliyezimia ni: a.  kumpa hewa ya oksijeni b.  kumpa juisi ya nazi mbichi c.  kumlaza juu chini na kumbonyeza tumbo d.  kumpa maji yaliyochanganywa na glukosi e. kumpa juisi ya malimao, sukari na chumvi
  24. Huduma ya kwanza ni nini? A. Msaada wa dharura apewao mgonjwa na daktari. B. Msaadawa awali apewao mgonjwa kabla ya kupelekwa hospitali. C. Msaada kwa ajili ya mtu aliyeungua moto.  D. Msaada kwa ajili ya mtu aliyeumwa na nyoka.  E. Msaada kwa ajili ya mtu aliyevunjika mfupa.
  25.  Mojawapo ya huduma ya huduma muhimu ya kumpa mtu aliye ungua moto ni;- a. kummwagia maji b. kumfunika nguo c. kumwagia aside d. kumfunika blanketi e. kumpaka asali
  26. taka zinazooza huweza kutumika kutengeneza………. A. vifaa vya kisayansi b. vifaa vya kuteka maji c. chakula cha wadudu d. mboji e. umeme
  27. utawi wa vimelea vya magonjwa unaweza kuchangiwa na……….. a. taka ngumu tu b. udhibiti wa taka c. mlundikano wa taka d. uzalishaji wa mboji e. uchafu
  28. wakati wa kufanya usafi wa mazingira glavu huvaliwa ili………… a. kupunguza uchafu yabisi b. kuondoa harufu mbaya c. kujikinga na maambukizi ya magonjwa d. kuongeza unadhifu kazini. e. kuwa warembo
  29. Mfano wa anwani za injini pekuzi mseto ni: a. Yandez b.Bing c.Google d. Firefox e. ubuntu
  30. Injini ambayo hutumia program maalum kutafuta taarifa kutoka mamilioni ya wavuti za tovuti mbalimbali huitwa? A. Injini saraka b. Injini pekuzi c. Injini pekuzi mtambaza d.Injini pekuzi e. mesto
  31. Ipi sio faida ya matumizi ya baruapepe? A. Kupunguza gharama b. Rahisi kurejea c. Si rahisi kupotea d. Humfikia mlengwa haraka e. nafuu. Kwa gharama
  32. Makundi ya alama za usalama ni……….. a. Alama za kuzuia, alama za onyo, alama za lazima na alama za dharura b. Alama za dharura, alama za binafsi na alama hatarishi c. Alama za amri, alama za kuzuia na alama za kukubali d. Alama za hospitali, alama za onyo, alama za barabarani na alama za angani
  33. Alama za lazima au amri huoneshwa kwa rangi gani? A. Njano b. Nyekundu  c, Bluu d. Kijani e. kijivu
  34. Kipi kati ya vifuatavyo hakitumii sumaku? A. Kipaza sauti  b. Simu ya mezani c. Redio d.  Simu ya mkono  e. Pasi
  35. Matumizi ya roda katika maisha ya kila siku ni: a. kunyanyua vitu vizito  b. kufungua vizibo vya chupa  c. kufunga vitu  d. kupunguza mwinuko e. kurahisisha kukata kuni.
  36. Jeki, parafujo, mkasi na patasi ni aina za mashine rahisi ziitwazo a. Tata  b. Nyenzo  c. Ekseli  d. Rola  e. Roda
  37. Kama densiti ya kitu ni ndogo kuliko ya maji, nini kitatokea ukidondosha kitu hicho kwenye maji? A. Kitazama b. Kitaelea c. Kitazama na kuelea d. Kitazama au kuelea e. yote sahihi
  38. Densiti ya kitu ni tungamo ya kizio kimoja cha………….. a. Uzito b. Urefu c. Kina d. Ujazo e. upana
  39. Katika kunasa mawimbi ya utabiri wa hewa, ipi ni antena bora zaidi kati ya hizi zifuatazo? A. Antena kidoa b. Antena ya Yagi-Uda c. Antena ya mchirizo akisi d. Antena ya kitanzi e. antenna janja
  40. Ipi ni tungo sahihi kuhusu vitumi vya mawasiliano ambavyo havijaunganishwa kwa waya? A. Vinaweza vikawasiliana bila antenna b. Haviwezi kuwasiliana bila antenna c. Vinaweza kuwasiliana kwa antena ya upande mmoja tu d. Haviwezi kuwasiliana bila antena kitanzi e.vinaweza kuungua.

SEHEMU B:

  1. Nini maana ya magonjwa ya kurithi? Taja dalili nne za ugonjwa wa seli
  2. Eleza madhara ya mabaya ya intaneti kwa jamii
  3. Eleza kwa ufupi umuhimu wad amu
  4. Taja mabadiliko yanayotokea kwa wasichana wakati wa bahehe
  5. Eleza maana ya barua pepe.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 42

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SABA

SAYANSI NA TECHNOLOJIA

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

Chagua herufi ya jibu sahihi 

  1.               Ipi kati ya zifuatazo sio kazi ya mfumo wa upumuaji?
  1.             Usafirishaji wa oksijeni kwenye tishu
  2.             Kutoa joto na maji mwilini
  3.             Mbadilishano wa hewa mwilini
  4.             Kuzungumza, kupiga yowe na kuimba
  1.               Mbadilishano wa gesi hutokea kwenye……….
  1.             Koromeo
  2.             Pua
  3.             Trakea
  4.             Aliveoli
  1.               Vinyweleo na unyevunyevu unaoopatikana katika pua, husaidia……………
  1.             Mbadilishano wa hewa
  2.             Kunasa vijidudu na uchafu
  3.             Kusafirisha hewa kwenda kwenye mapafu
  4.             Kupooza hewa inayoingia mwilini kupitia puani
  1.               Unapotoa hewa nje ya mapafu misuli katika mbavu…………….
  1.             Hulegea
  2.             Hutanuka
  3.             Hukaza
  4.             Hukatika
  1.               Upumuaji umegawanyika katika hatua mbili ambazo ni mbadilishano wa gesi katika mapafu Pamoja na……….
  1.             Kuingiza na kutoa hewa kwenye damu
  2.             Kupitisha hewa kwenye koromeo
  3.             Kuingiza na kutoa hewa kwenye mapafu
  4.             Mapafu na kifua kusinyaa


6. Damu huchukua oksijeni na kutoa kabondayoksaidi kupitia:

  1.             Viribaehewa 
  2.             Kuta za mapafu
  3.             Koromeo
  4.             Kapilari
  5.              Pua
  1.                Zifuatazo ni kasoro za milango ya fahamu isipokuwa…………
  1.              Uziwi
  2.               Kutokuona mbali
  3.               Anemia
  4.              Kutokuona karibu
  1.                Mlango wa fahamu unaofanya kazi ya kuhisi baridi au joto ni………..
  1.              Jicho
  2.               Sikio
  3.               Ulimi
  4.              Ngozi
  1.                Kazi ya sikio la nje la binadamu ni………….
  1.              Kukusanya mawimbi ya sauti
  2.               Kutafsiri mawimbi ya sauti
  3.               Kutawanya mawimbi ya sauti
  4.              Kusisimua sikio la ndani
  1.            Mpangilio wa vifupa vitatu katika sikio la kati ni kama ufuatao………….
  1.              Fuawe, nyundo, kikuku
  2.               Kikuku, nyundo, fuawe
  3.               Nyundo, kikuku, fuawe
  4.              Nyundo, fuawe, kikuku
  1.            Ubongo umegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni…………
  1.              Serebramu, medula oblongata na ugwemgongo
  2.               Serebelamu, ugwemgongo na medula oblongata
  3.               Serebramu, serebelamu na medulla oblongata
  4.              Medulla oblongata, serebramu na ugwemgongo
  1.            Neva inayopeleka taarifa kutoka kwenye pua kwenda kwenye ubongo inaitwa………..
  1.              Neva ya olifaktori
  2.               Neva ya optiki
  3.               Neva ya akaustika
  4.              Neva ya oditori
  1.            Neva inayotoa taarifa kutoka kwenye retina kwenda kwenye ubongo inaitwa……………
  1.              Neva ya oditori
  2.               Neva ya optiki
  3.               Neva ya akaustika
  4.              Neva ya olifaktori
  1.            Yafuatayo ni  aina ya mazoezi ya mwili, isipokuwa……….
  1.              Kutembea
  2.               Kucheza mpira
  3.               Kuruka Kamba
  4.              Kusikiliza muziki
  1.            Mpira wa miguu ni mchezo unaofaa Zaidi kwa kundi la………..
  1.              Wajawazito
  2.               Watoto wachanga
  3.               Wazee wa miaka 70
  4.              Vijana
  1.            Mlo kamili ni chakula chenye………….
  1.              Virutubisho vya mafuta, kabohaidreti na protini, wanga na hamirojo
  2.               Virutubisho vya protini, kabohaidreti, mafuta, vitamini na madini
  3.               Virutubisho vya vitamini, madini na protini, wanga na hamirojo
  4.              Virutubisho vya vitamini, kalisi, potasiamu, chuma na zinki
  1.            Madini yafuatayo ni muhimu kwa ajili ya kuimarisha mifupa na meno………
  1.              Madini ya chuma
  2.               Madini ya magnesiamu
  3.               Kalisi
  4.              Potasiamu
  1.          Bapa ni sehemu ya…………
  1.             Cherehani
  2.             Baiskeli
  3.             Blenda
  4.             Gurudumu la gari
  1.          Mota katika blenda hubadilisha nishati ya umeme kuwa nishati ya………..
  1.             Joto
  2.             Makaniki
  3.             Mwanga
  4.             Joto na mwanga
  1.          Nishati katika mashine ya kusaga nafaka husafirishwa kutoka kwenye mota hadi kwenye kinu kwa kutumia…………
  1.             Mkanda
  2.             Gurudumu na ekseli
  3.             Nyenzo
  4.             Mteremko
  1.          Sehemu ya kutumbukiza ufunguo katika kitasa ina mashine sahili aina ya………….
  1.             Nyenzo
  2.             Springi
  3.             Skrubu
  4.             Gurudumu na ekseli

22. Tazama alama kwenye kielelezo kifuatacho kwa makini, kisha zipe majina kwa kuzingatia zilivyopangwa kutoka upande wa kushoto.

  1.             Kapasita, dynamo, seli kavu, swichi, betri
  2.             Swichi, glopu, kikinza, kapasita, seli kavu 
  3.             Glopu, kapasita, seli kavu, kikinza, betri 
  4.             Kikinza, glopu, swichi, seli kavu, kapasita
  5.              Swichi, kikinza, glopu, seli kavu, kapasita.


23. Kipi kati ya vifuatavyo hakipitishi mkondo wa umeme?

  1.             Mpira 
  2.             Bati
  3.             Shaba
  4.             Chuma 
  5.              Zebaki


24. Alama zifuatazo zinatumika katika sakiti ya umeme. Je, ni alama ipi inawakilisha kikinza?

  1.             
  2.             
  3.             
  4.             
  5.              

25. Mzunguko kamili wa . . . . . .  huitwa sakiti

  1.             waya
  2.             betri
  3.             soketi
  4.             umeme
  1.          Makundi ya alama za usalama ni………..
  1.             Alama za kuzuia, alama za onyo, alama za lazima na alama za dharura
  2.             Alama za dharura, alama za binafsi na alama hatarishi
  3.             Alama za amri, alama za kuzuia na alama za kukubali
  4.             Alama za hospitali, alama za onyo, alama za barabarani na alama za angani
  1.          Alama za lazima au amri huoneshwa kwa rangi gani?
  1.             Njano
  2.             Nyekundu
  3.             Bluu
  4.             Kijani
  1.          Alama hii inawakilisha nini?

 

  1.             Sumu
  2.             Inashika moto
  3.             Inamomonyoa na kuunguza
  4.             Inadhuru
  1.          Mojawapo kati ya maneno yafuatayo, hayawekwi kwenye viuatilifu vya kuua wadudu.
  1.             Inashika moto
  2.             Sumu au hatari
  3.             Maji yasiyo salama
  4.             Inakereketa
  1.          Unapotumia vitu vinavyohatarisha macho, unapaswa kuchukua tahadhari gani?
  1.             Kuvaa barakoa
  2.             Kufunga kitambaa usoni
  3.             Kuvaa kofia
  4.             Kuvaa miwani
  1.            Nini kinachosababisha kitu kuelea au kuzama kwenye maji?
  1.              Urefu wa kitu
  2.               Upana wa kitu
  3.               Densiti ya kitu
  4.              Kimo cha kitu
  1.            Kama densiti ya kitu ni ndogo kuliko ya maji, nini kitatokea ukidondosha kitu hicho kwenye maji?
  1.              Kitazama
  2.               Kitaelea
  3.               Kitazama na kuelea
  4.              Kitazama au kuelea
  1.            Densiti ya kitu ni tungamo ya kizio kimoja cha…………..
  1.              Uzito
  2.               Urefu
  3.               Kina
  4.              Ujazo
  1.            Nyambizi inazama baharini ikiwa densiti yake ni…….
  1.              Ndogo kuliko densiti ya maji
  2.               Kubwa kuliko densiti ya maji
  3.               Sawasawa na densiti ya maji
  4.              Kubwa au ndogo kuliko densiti ya maji
  1.            Moto wa daraja gani hutokana na kuungua kwa vitu yabisi kama nguo na karatasi?
  1.              Daraja D
  2.               Daraja C
  3.               Daraja A
  4.              Daraja F
  1.            Tindikali ni dutu lenye kemikali ambayo hutumika kubadili karatasi ya litimasi………
  1.              Nyekundu kuwa njano
  2.               Bluu kuwa nyekunu
  3.               Kijani kuwa bluu
  4.              Nyekundu kuwa bluu
  1.            Ni kwa namna gani unaweza kuzuia vitu vya chuma visioate kutu?
  1.              Kuviweka kwenye maji
  2.               Kuvipaka majivu
  3.               Kuviongeza oksijeni
  4.              Kuvipaka rangi
  1.            Nyongo ina tabia mbili muhimu, ambazo ni…………
  1.              Kubadili karatasi ya litimasi ya bluu kuwa  nyekundu na kuua vijidudu
  2.               Kubadili karatasi ya litimasi bluu kuwa nyekundu na kuvunja mafuta mwilini
  3.               Kubadili karatasi ya litimasi nyekundu kuwa bluu na kuvunja mafuta ya wanyama mwilini
  4.              Kubadili karatasi ya litimasi ya bluu kuwa nyekundu na kukinga magonjwa
  1.            Ni gesi gani hutumika wakati wa kuzima moto?
  1.              Kabonidayoksaidi
  2.               Oksijeni
  3.               Haidrojeni
  4.              Naitrojeni

40. Chembe ndogo kabisa za maada zinazounda elementi na zinazohusika katika kutengenezz bondi za kikemikali huitwa:

  1.               molekyuli      
  2.                elektroni      
  3.                protoni
  4.               atomi                                     
  5.                nyutroni

41. Mwanga hupinda unapopita kutoka

  1.               Ncha ya Kaskazini kwenda Kusini      
  2.                media moja kwenda nyingine
  3.                Ncha ya Kaskazini kwenda Mashariki 
  4.               Magharibi kwenda Mashariki 
  5.                Kaskazini kwenda Magharibi

SHEMU YA B. CHUNGUZA PICHA IFUATAYO KISHA JIBU MASWALI

 

Andika majina ya sehemu zifuatazo:

  1. A
  2. B
  3. C
  4. D
  5. E
  6. F
  7. G
  8. H

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 40

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINIDARASA LA VII JULAI 2021

SAYANSI

Muda: saa 1 : 30

MAELEKEZO:

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

SEHEMU A

CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI  

1. Ni katika kiungo kipi cha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula virutubisho hufyonzwa? ______ 

  1. Utumbo mwembamba 
  2. Utumbo mpana 
  3. Tumbo la chakula 
  4. Kifuko nyongo 
  5. Umio wa chakula     [       ]

2. Kijiji cha Mirwa kilikumbwa na baa la njaa kutokana na uvamizi wa vipepeo. Je, vipepeo hao walikuwa katika hatua ipi ya ukuaji?_____ 

  1. Buu 
  2. Kipepeo. 
  3. Yai 
  4. Kiwavi 
  5. Tunutu

3.  Ni kanuni ipi hutumika kuonyesha uhusiano uliopo kati ya mkondo wa umeme, volteji na ukinzani katika sakiti ya umeme?__ 

  1. R=VI
  2. V=RI
  3. V=R/I
  4. R=I/V
  5. V=I/R    [       ]

4. Katika gesi zifuatazo, ipi unaweza kuitumia kuzima kitu kinachowaka? ___________ 

  1. Oksijeni 
  2. Nitrojeni 
  3. Kabon monoksaidi 
  4. Hyadrojeni 
  5. Kaboni dayoksaidi     [       ]

5. Umepewa kazi ya kutafuta densiti ya maji. Je utatoa jibu lako katika kizio gani? _____________ 

  1. Kg/m3 
  2. J/sm3 
  3. N/m3 
  4. Kg/sm3 
  5. m/sm36     [       ]

6. Umeambiwa ufungue Program jedwali, je ni hatua zipi utaufuata? ________

  1. Bofya menu ya start → Microsoft office →Programu jedwali 
  2. Bofya menu ya start → Microsoft word → Programu jedwali
  3. Bofya menu ya start → program jedwali → Microsoft office
  4. Bofya menu ya start → programu jedwali → Microsoft word 
  5. Bofya menu ya start → Microsoft office → Microsoft word     [       ]

7. Kijana mwenye nguvu na afya alisukuma ukuta kwa muda wa dakika kumi na ukuta huo haukudondoka. Kwa nini kijana huyo anaonekana hajafanya kazi _____________ 

  1. Alisukuma ukuta ambao haukusogea umbali wowote 
  2. Alitumia nguvu kidogo katika kuusukuma ukuta huo 
  3. Hakufuata mbinu za kisayansi katika kuusukuma ukuta 
  4. Hakujua uzito wa ukuta aliokuwa anausukuma     [       ]

8. Tabia ipi ya mwangahuwakilishwana upinde wa mvua unaoonekana katika mawingu ukiwana rangi mbalimbali saba? ____________________

  1. Kuakisiwa 
  2. Kusharabiwa 
  3. Kung’aa 
  4. Kutawanyika 
  5. Mnunuriko     [       ]

9. Baadhi ya watuhutoaharufu mbaya mwilini licha ya kuwa wanaoga kila asubuhi na jioni. Je, ushauri upi unapaswa kutolewa kwaoili kuondokana na tatizo hilo? _______________ 

  1. Kutumia maji safi na salama 
  2. Kutumia maji safi na kupaka mafuta 
  3. Kusafisha sehemu za siri na kwapa
  4. Kutumia sabuni na kupaka mafuta 
  5. Kutumia pafyumu     [       ]

10. Madhara ya kuwa na VVU/UKIMWI yanaweza kuwa kwa mtu binafsi, familia au Taifa. Yafuatayo ni madhara kwa mtu binafsi isipokuwa ____ 

  1. Hofu ya kifo 
  2. Kuugua mara kwa mara 
  3. Unyanyapaa 
  4. Kupunguza nguvukazi 
  5. Kupoteza diraya maisha     [       ]

11. Ili kuzima moto katika kitu kinachowaka, inashauriwa kufunika kwa nguo nzito kama blanketi. Nini lengo la kufanya hivyo? ___________________

  1. Kuondoa gesi ya oksijeni 
  2. Kuondoa gesi ya kaboni dayoksaidi 
  3. Kuongeza gesi ya kaboni monoksaidi 
  4. Kuondoa gesi ya naitrojeni 
  5. Kupunguzanguvu ya moto     [       ]

12. Nishati ya aina gani hupatikana kama matokeo ya vitu kugongwa na kupulizwa? ____ 

  1. Nishati ya sauti 
  2. Nishati ya umeme
  3. Nishati ya mwanga
  4. Nishati ya mawimbi 
  5. Nishati ya joto     [       ]

13. Ukitazama maji yaliyotulia vizuri utaiona sura yako. Kitendo hicho kinaonesha tabia gani ya mwanga? ________ 

  1. Kusafiri 
  2. Kupinda 
  3. Kupenya 
  4. Kuakisiwa 
  5. Kusharabiwa     [       ]

14. Wanafunzi wa Darasa la Saba walifanya jaribio la kurusha juu kipande cha chuma na puto lililojazwa hewa. Matokeo yake puto lilielea juu na chuma kilianguka chini. Je ni sifa ipi iliwezesha puto kuelea? __________ 

  1. Kuwa na uzito na hewa kwa ndani 
  2. Kuwa na hewana uzito kwa ndani 
  3. Kuwa na uwazi na uzito kwa ndani 
  4. Kuwa na mabawa na hewa kwa ndani 
  5. Kuwa na uwazi nahewa kwa ndani     [       ]

15. Namna ipi ya maada ni nyepesi zaidi kuliko zingine? _______

  1. Kimiminika 
  2. Barafu 
  3. Hewa 
  4. Maji 
  5. Yabisi     [       ]

16. Mwalimu wa Darasa la Sita anataka kuandaa matokeo ya mtihani ya nusu muhula kwa kutumia programu ya tarakilishi ili kuokoa muda. Je,utashauri kutumia programu gani? _______ 

  1. Programu jedwali 
  2. Program andishi 
  3. Programu endeshi 
  4. Program tumizi 
  5. Programu sakuzi     [       ]

17. Wanafunzi wa Darasa la Saba walipewa kazi ya kutengeneza antena. Je, ni hatua ipi ya kwanza wanatakiwa kuzingatia kabla ya kuanza kutengeneza antena? ____________________ 

  1. Kuchagua aina ya antenna 
  2. Kusanifu antenna 
  3. Kubaini matumizi ya antenna 
  4. Kuchagua vifaa vya kutumia
  5. Kuunda antenna     [       ]

18. Uwezo alimuona fundi mitambo akiweka kilainishi kwenye sehemu ya toroli inayoshikilia gurudumu. Je, nini umuhimu wa kufanya hivyo? __________ 

  1. Kuzuia vumbi 
  2. Kufanya ziwe safi 
  3. Kuzuiakutu 
  4. Kuzuia uchafu 
  5. Kupunguza msuguano     [       ]

19. Mwalimu mkuu amewapa Wanafunzi wa Darasa la saba kazi ya kupakia mifuko ya mahindi kwenye lori. Je,watatumia mashine ipi kurahisisha kazi hiyo? ______________________ 

  1. Kamba 
  2. Wenzo 
  3. Kabari 
  4. Gurudumu 
  5. Roda     [       ]

20. Misumari yote iliyoachwa njena fundi seremala alipokuwa anarekebisha moja ya darasa la shule ilibadilika rangi na kuwa kahawia. Je, ninikilisababisha kutokea kwa rangi hiyo? __________________ 

  1. Unyevunyevu na oksijeni 
  2. Mwanga na oksijeni 
  3. Unyevunyevu na mwanga 
  4. Nitrojeni na unyevunyevu
  5. Oksijeni na nitrojeni     [       ]

21. Watoto walipotembelea hifadhi ya Taifa,walipewa kifaa kilichosaidia kuwaona wanyama waliokuwa mbali. Je, unafikiri walipewakifaa gani? ____________ 

  1. Hadubini 
  2. Periskopu 
  3. Darubini (
  4. Miwani 
  5. Kamera     [       ]

22. Unahitaji kufanya nini ili kutoa msaada wa awali kwa mtu anayeungua moto uliosababishwa nakulipuka kwa mafuta ya petroli? __________ 

  1. Kumtoa nguo zote 
  2. Kummwagia maji 
  3. Kumfunika blanketi zito 
  4. Kumfunika na kitambaa cha baridi 
  5. Kumpeleka hospitali     [       ]

23. Mkulima ameumwa na nyoka mguuni Kama mtaalamu wa sayansi, utampa msaada gani wa awali? __________________ 

  1. Kumpeleka hospitali 
  2. Kumfunga sehemu ya juu ya alipoumwa 
  3. Kumsugua kwa majivu na chumvi 
  4. Kumsafisha jeraha kwa maji safi na sabuni 
  5. Kumlaza chali huku miguu ikiwa juu     [       ]

24. Ni jozi ipi inawakilisha magonjwa yanayotokana na kurithi kasoro katika vinasaba kutoka kizazi kimoja kwenda kingine? _____________ 

  1. Selimundu na hemophilia 
  2. Kifafa na homa ya ini
  3. Ualibino na kichocho 
  4. Pumu na kaswende
  5. Hemofilia na kifua kikuu     [       ]

25. Umeshauriwa na vijana wenzako kujiunga na kikundi cha kufanya mazoezi. Kamamtaalamu katika sayansi ya afya, kwa nini ni muhimu kupokea ushauri huo? __________ 

  1. Kuimarisha uhusiano na watu
  2. Kupata marafiki wema 
  3. Kuimarisha afya ya mwili 
  4. Kujua aina za michezo 
  5. Kujua wachezaji bora     [       ]

26. Baada ya baba yao kupata homa kali, vidonda vya koo, kuvuja damu puani, masikioni na kinywani, watoto wake walionekana wakimkumbatia kama ishara ya upendo. Siku chache baadae, wote walipata dalili hizoza ugonjwa. Je waliugua ugonjwa gani? _______________________ 

  1. Ndui 
  2. Kichocho
  3. Ebola 
  4. Kuhara damu 
  5. Kipindupindu     [       ]

27. Asidi inayopatikana tumboni husaidia katika mmeng’enyo wabaadhi ya vyakula. Je, asidi hiyo ina kazi gani nyingine? ____ 

  1. Kuwezasha ufyonzaji wa virutubisho 
  2. Kuua vijidudu ambavyo vipo kwenye chakula 
  3. Kuwezesha misuli ya tumbo kusaga chakula 
  4. Kuyeyusha madini ambayo yapo kwenye chakula 
  5. Kumalizia mchakato wa kumeng’enya chakula     [       ]

28. Baada ya uchunguzi wa kitaalamu,iligundulika kuwa Bwana Chapakazi alikula chakula kilichokuwa na sumu. Ni ogani ipi ilitumika kupambana na matatizo ya afya aliyoyapata Bwana Chapakazi? __________________ 

  1. Ini 
  2. Figo 
  3. Ngozi 
  4. Moyo 
  5. Mapafu     [       ]

29. Ogani zipi zinaunda mfumo wa utoaji takamwili wa mamalia? ____ 

  1. Ini, figo, ngozi na mapafu 
  2. Figo, mapafu, nyongo na kongosho 
  3. Ini, figo, kibofu na mapafu 
  4. Ngozi, kibofu, figo na kongosho 
  5. Mapafu, ngozi, kibofu na figo     [       ]

30. Mzee Karanga alijikata katika kidole chake,damu iliyokuwa ikitoka ilishindwa kuganda kwa muda mrefu. Je, unafikiri Mzee Karanga amekosa nini katika damu yake? _____________ 

  1. Seli nyekundu 
  2. Chembe sahani 
  3. Plazima
  4. Seli nyeupe 
  5. Himoglobini     [       ]

31. Mwalimu alifanya jaribio la kuotesha mbeguya mmea ndani ya kisanduku kilichokuwa na tundu upande mmoja. Baada ya kuota,ilipinda kuelekea upande wenye tundu. Je, matokeo hayo yanaonesha nini? _______ 

  1. Mimea hukua kuelekea nje 
  2. Mimea hukua kufuata mwanga
  3. Mimea huhitaji eneo la wazi ili ikue 
  4. Mimea hupinda wakati wa ukuaji
  5. Mimea hujongea kwa kupinda     [       ]

32. Ndugu yako ana matatizo ya kutoona mbali. Utamshauri atumie vyakula gani mara kwa mara ili vimsaidie katika tatizo lake? __________ 

  1. Ndizi, machungwa na karanga 
  2. Wali, nanasi na nyama 
  3. Embe, chungwa na spinachi
  4. Karoti, mihogo na maharagwe 
  5. Mkate, ndizi na mihogo     [       ]

33. Mwanafunzi anataka kutengeneza sakiti rahisi ili apate mwanga katika nyumba. Je, ni vifaa vipi anavyotakiwa kuunganisha ili kufikia lengo hilo _______ 

  1. Gropu, waya na swichi 
  2. Selikavu, fyuzi na kikata sakiti 
  3. Selikavu, waya na glopu 
  4. Swichi, ethi na fyuzi 
  5. Fyuzi, waya na ethi     [       ]

34. Ungeambiwa utoe mfano wa kifaa chochote kinachotumika kama nyenzo daraja la pili,ungetaja kitu gani? __________ 

  1. Toroli 
  2. Mkasi 
  3. Nyundo
  4. Koleo 
  5. Fagio     [       ]

35. Ni kifaa kipi hutumika kuhifadhi kichakato kikuu? __________ 

  1. Monita 
  2. Skrini 
  3. Kashamfumo 
  4. Kibodi 
  5. Kiteuzi

36. Ipi ni kazi ya pau nyumbani kwenye programu andishi? _______ 

  1. Kufanya marekebisho kwenye waraka
  2. Kuchomeka michoro kwenye waraka 
  3. Kuandaa yaliyomo kwenye waraka 
  4. Kuandaa barua pepe
  5. Kuonyesha jina la faili     [       ]

37. Sakiti ya umeme imeunganishwa na kikinza ambacho hakibadiliki. Nini kitatokea kwenye mkondo wa umeme ikiwa volteji itaongezeka? __________

  1. Mkondo wa umeme utaongezeka 
  2. Mkondo wa umeme hautobadilika 
  3. Mkondo wa umeme utapungua
  4. Mkondo wa umeme utaongezeka na baadae kupungua 
  5. Mkondo wa umeme utapungua na baadae kuongezeka     [       ]

38. Vyanzo mbalimbali vya nishati zinazotumika kupikia majumbani huwa na madhara kwenye mazingira. Sababu ipi inaifanya nishati itokanayo na gesivunde kuwa nzuri kwa matumizi? ____ 

  1. Haitoimoshi katikauzalishaji wake 
  2. Inatoa gesi ya oksijeni 
  3. Inatoa gesi ya kabonidayoksaidi 
  4. Haina gharama katika uzalishaji
  5. Haitumiki kwa wingi     [       ]

39. Mwalimu alifundisha mambo mbalimbali kuhusu mabadiliko ya kiumbo. Je,ni mfano upiulitolewa na mwalimu kuelezea mabadiliko hayo? ____________

  1. Kuoza kwa mimea au wanyama 
  2. Chuma kupata kutu 
  3. Kuyeyusha sukari kwenye maji 
  4. Kuunguza kipande cha mti 
  5. Kuchachuka kwa maziwa     [       ]

40. Upi ni mpangilio sahihi wa maada kuanzia yenye kani kubwa hadi ndogo ya mvutano kati ya molekuli? _______________ 

  1. Yabisi, gesi na kimiminika
  2. Kimiminika, yabisi na gesi 
  3. Gesi, kimiminika na yabisi 
  4. Yabisi, kimiminika na gesi 
  5. Kimiminika, gesi na yabisi     [       ]

SEHEMU B

41. Chunguza Kielelezo kifuatacho kinachohusu mabadiliko ya kiumbo ya maji kisha jibu swali linalofuata

Kwa kutumia herufi A – D, bainisha mchakato unaosababisha mabadiliko ya hali moja kwenda nyingine kama mshale unavyoelekeza ____________________________________________________________________ 

42. Shule ya Msingi Chechemea iliandaa mahitaji ya vifaa vya kieletroniki vinavyohitajika pamoja na gharama zake kama inavyoonekana katika mkekakazi ufuatao:-


A

B

C

D

1

Namba

Jina la kifaa

Idadi

Gharma (Tsh.)

2

1

Televisheni

1

300,000

3

2

Tarakilishi

2

800,000

4

3

King’amuzi

1

90,000

5

4

Printa

1

250,000

6

5

Jumla



  1. Kifaa chenye jina la “tarakilishi” kipo katika seli gani? ________________________
  2. Je,utatumia fomula gani kupata jumla ya gharama za vifaa vyote?___________________

43. Mtu anaweza kuwa na magonjwa kama pumu, kisukari, kansa na shinikizo la damu kwa muda mrefu bila kuonesha dalili zozote. Magonjwa haya kwa pamoja yana sifa gani nyingine? ___

44. .Mara nyingi,mtu mwenye maambukizi ya VVU/UKIMWI huugua kifua kikuu. Kwa nini hutokeahivyo? _______________

45. (a)Ni kiungo kipi hupitisha virutubisho na hewa ya oksijeni kutoka kwa mama kwenda kwa kijusiwakati wa ujauzito? ___

(b)Kwa nini mwanamke ambaye ovari zake hazifanyi kazi hawezi kushika ujauzito? ______

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 36

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YAK RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINI  DARASA LA VII MAY 2020

SAYANSI

 

Muda: saa 1

MAELEKEZO:

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

SEHEMU A: KUCHAGUA

  1.                  Sehemu ya ua ambayo hupokea chavua au poleni huitwa _____________

A. Staili 

B. Stgma 

C. Stameni 

D. Ovari 

E. Filament

  1.   Matokeo ya umeme tuli baada ya mawingu kuganda katika mizazi huitwa  

A. radi 

B. ngurumo 

C. jenereta 

D. atomi 

E. rectifier

  1.      Jotoridi 1220F ni nyuzi ngapi za sentigredi  ______________________

A. 500C 

B. 600C 

C. 700C 

D. 400C

  1.                  Ipi katika ya ifuatayo sio badiliko la kikemikali katika maada_________

A. Uvukizwaji wa maji 

B. Kuganda kwa maziwa 

C. Kuunguza karatasi

D. Kutu kwenye chuma 

E. Kuoza kwa maada

  1.                  Katika muundo wa neva ufuatao herufi B inawakilisha nini? 

A. Askoni 

B. Nukliasi 

C. Saitoplazimu 

D. Dendraiti 

E. Seli

6. Ukuta wa ndani wa chupa ya cha umepakwa rangi ya _____ili kuzuia upotevu wa joto. 
A. Shaba 

B. dhahabu 

C. manjano 

D. Fedha 

E. Almasi 

7. Kazi za seli hai nyeupe za damu ni  A. Kutengeneza damu 

B. Kulinda mwili dhidi ya magonjwa 

C. Kugandisha damu 

D. Kuipa damu rangi nyekundu 

E. Kusafirisha oksijeni

8. Ni matokeo ya muungano wa gamete X ya kiume na gamenti ya XX ya kike?

A. Mapacha wasiofanana 

B. Mtoto wa kike 

C. Mtoto wa kiume 

D. Mapacha wanaofanana 

E. Mapacha walioungana

9. Lipi kati ya makundi yafutayo linawakilisha sifa za viumbe hai? 

A. Kufa, kula ma kuona 

B. Kufa, kuzaa na kubadilika rangi

C. Kujongea, kupumua na kuzaa 

D. Kuoumua, kuzaa na kutembea

E. Kujongea, kupumua na kuzaa

10. Ili kudumisha afya ya mwili tunapaswa ______________________

  1.        Kufanya mazoezi, kula chakula bora na kupumzika
  2.        Kutofanya kazi ngumu, kufanya mazoezi na kulala
  3.        Kufanya mazoezi na kushiriki michezo
  4.        Kula vizuri na kufanya mazoezi muda wote.

11. Mrija unaotoa mkojo kutoka kwenye figo na kupeleka kwenye kibofu unaitwa

A. Urethra 

B. Ureta 

C. Uterasi 

D. Urine 

E. Mrija wa falopia

12. Virusi vya trakoma hushambulia sehemu ya ndani ya kope na sehemu ipi? 

A. Mboni 

B. Ngozi 

C. Konjaktiva 

D. retina 

E. iris

13. Zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa corona (COVID19) ISPOKUWA. 

  1.        Kichwa kuuma, mafua makali na kushindwa kupumua
  2.        Mafua makali yanayotililila, kushindwa kuona na kupumuza vizuri
  3.        Mwili kuchoka, mafua makali na kaushindwa kupumua
  4.        Kushindwa kupumua, mwili kuchoka au kukosa nguvu
  5.        Kutoka jasho jingi, kukohoa na mafua

 

  1. Tunaweza kurekebisga kasoro ya kutokuona mbali kwa kutumia miwani yenye lenzi _ 

A. Bapa 

B. mboneyo 

C. Mkunjo 

D. mbinuko 

E. Nyembamba 

  1. Vitu vinavyoonekana vina sifa ya __________________________

A. Kuakisi mwanga 

B. kutoa mwanga 

C. kusharabu mwanga 
D. Kusafirisha mwanga 

E. Kusafirisha mwanga

  1. Tunapima jotola kitu kwa kutumia nini ______________________

A. Barometa 

B. Themometa 

C. haigrometa 

D. amita 

E. voltimeta

  1. Wanyama walao nyama pekee wanaitwa _____________________

A. Kanivorasi 

B. Habivorasi 

C. Omivorasi D. fruit vorasi 

E. wawindaji

  1. Chombo kinachotumika kupima viini vya magonjwa katika maabara kinaitwa___

A. Darubini 

B. filamu 

C. hadubini 

D. barometa 

E.kipimajoto 

  1. Sehemu ya kiume ya ua huundwa na ________________________

A. Stigma na kichavua 

B. kichavua na filament 

C. staili na filomenti

D. Ovari na staili 

E. Kikonyo na ovari

  1. Damu hutumia______kujigandisha ili kuzuia upotevu wa damu mtu anajeruhiwa.

A. Plasma 

B. Seli nyekundu 

C. Seli nyeupe 

D. Fibrinojeni 

E. Oksijeni 

  1. Mkaa unagesi ya sumu ijulikanayo kama _____________________

A. Co2 

B. CO 

C. O2 

D. H2 

E. N2

  1. Oestrojeni hutengenezwa kwenye __________________________

A. Ovari 

B. Korodani 

C. Koroidi 

D. Uke 

E. Kibofu

  1. Gesi ipi hutolewa nje kama uchafu katika tendo la mmea wa kijani unapojitengenezea chakula chake.              

A. H2 

B. CO2 

C. CO 

D. N2 

E. O2

  1. Ateri zote hupitisha damu yenye oksijeni nyingi isipokuwa _________

A. Ateri kuu 

B. Aota 

C. Ateri ya vena 

D. Ateri ya mapafu 

E. Ateri ya renali

  1. Kitumi cha umeme kinachobadili mkondo wa umeme kuwa mkondo nyoofu huitwa ___ 

A. Medulla 

B. Rektifaya 

C. Kilunza 

D. Volti 

E. Amita 

  1. Binadamu anapotembea hatelezi na kuanguka kwa urahisi kwa sababu ya kani _____ 

A. Msuguano 

B. Mvutano 

C. Joto 

D. Kemikali 

E. Mnyanyuo 

  1. Katika mfumo wa usagaji chakula, asidi ya haigrokloriki hupatikana katika __ 

A. Ini 

B. utumbo 

C. maji ya gastriki 

D. Tumbo 

E. Figo 

  1. Ifuatayo siyo sifa ya kubanidayoksaidi
    A. Haina umbo maalum 

B. Uzani mkubwa kuliko hewa 

C. Haina rangi 

D. Batili kwa litmus 

E. Zotes sawa

  1. Nyangumi na pomboo (Nguva) hawa ni baadhi ya ____wanaoishi baharini.

A. Samaki 

B. mamalia 

C. wanyama 

D. mifugo 

E. kambale

  1. Tafuta manufaa ya kimakanika ikiwa mzigo wa kg 120 uliobebwa na jitihada ya kg 30. 

A. Toure 3 

B. Joure 4 

C. kg 5 

D. 4 

E. 3 

  1. Kundi lipi kati ya makundi yafuatayo huunda mlo kamili?
    A. Ugali, maharage na viazi 

B. mihogo, ugali na kisamvu 

C. wali, nyama na maharage 

D. Ugali, nyama na matunda 

E. Mchicha. Nyama na kisamvu

  1. Mzee Taluma anatatizo la kutokuona mbali badala yake anaona karibu, Tunamsaidia Mzee Taluma kwa kumpatia miwani yanye lenzi gani?              

A. Mbinuko 

B. bapa 

C. mbonyeo 

D. Mche 

E. Duara

  1.        Farid alibeba mzigo wenye uzito wa kg 35 na kusimama nao kwenye barabara yenye urefu wa km 3. Tafuta kazi na fackily.              

A. Toule 100 

B. Toule 12.5 

C. Toule 20 

D. Hakufanya kazi 

E. Toule 31 4

  1.        Alama hii inawakilisha nini? 

A. Amita B. Taa ya umeme C. Umeme mkondogeuD. Transifoma

E. Nyoka aina ya chatu

  1.        Tafuta kiasi cha umeme unapopita katika Sakiti nzima. 

 


 

A. Ampia 0.75 B. Ampia 4.5 C. Ampia 0.25 D. Ampia 7.5 E. Ampia 02

  1.        Damu inaingia kwenye mapafu huchukua hewa ya ________________

A. Oksijeni B. Kabonidayoksaidi C. Haidrojeni D. Naitrojeni E. Heliamu

  1.        Zifuatazo ni faida za kutumia intaneti ISIPOKUWA. 

A. Matangazo B. Ajira C. Mawasiliano D. Burudani E. Uhalifu

  1.        Sehemu ya redio ambayo hupokea mawimbi ya sauti huitwa__________

A. Tuni B. Spika C. Redio D. Antena E. Mitabendi

  1.        Baada ya utungishaji kitoto cha chura hujulikana kama______________

A. Lava B. Tadipoli C. obuu D. Yai E. Chura

  1.        Sumu inayopatikana katika moshi wa sigara ambayo huathiri mapafu ya binadamu inajulikana kama ____

A. Gafeni B. Alcohol C. Nikoteni D. Klorini E. Methani 

SEHEMU B: MAJIBU MAFUPI

  1.        Mbu aina ya kyuleksi hueneza ugonjwa unaoitwa__________
  2.        Tafuta thamai ya X katika mchoro ufuatao ______________

  1.             CHUMA + Y + MAJI = KUTU. Herufi Y inasimama badala ya
  2.             Ipi ni thamani ya pembe Ykatika mchoro ufuatao?_________

Mwale unaowakilishwa na herufi B katika mchoro hapo juu unaitwa

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 29

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA MTIHANI WA TATHIMINI YA AWALI .

SOMO: SAYANSI NA TEKNOLOJIA.DARASA LA SABA.JAN 2021

MUDA: SAA 1:30

MAELEKEZO:-

  1. Mtihani huu una maswali 45.
  2. Jibu maswali yote kama ulivyoelekezwa katika kila sehemu.

SEHEMU A:

Chagua herufi ya jibu sahihi.

  1. Mwili wa binadamu una milango mingapi ya fahamu?
  1. Saba (B) mitano (C) sita (D) miwili (E) mmoja
  1. Mkojo huchujwa katika sehemu gani ya mwili?
  1. Figo (B) mapafu (C) kibofu (D) moyo (E) ini
  1. Kifuko cha nyongo huhifadhiwa kwenye________
  1. Figo (B) ini (C) moyo (D) mapafu (E) mbavu
  2. Viumbe wafuatao wapo katika kundi lipi la Wanyama? Nyoka, Kobe na

           Kinyonga A. Reptilia B.Amfibia C. Mamalia D Ndege  E. wadudu

        4  Viumbe wafuatao wapo katika kundi lipi la Wanyama? Nyoka, Kobe na

           Kinyonga A. Reptilia B.Amfibia C. Mamalia D Ndege  E. wadudu

5.Kinachosababisha sauti kutokea ni__________

  1. mawimbi (B) kelele (C) mitetemo (D) kuongea (E) koromeo

6 .Sehemu kubwa ya mwili wa binadamu ni__________

  1. Misuli (B) mifupa (C) damu (D) homoni (E) maji

7.Lipi kati ya haya si badiliko la kikemikali __________

  1. Kuvutika kwa mpira (B) kupata kutu kwa chuma (C) kuchacha kwa maziwa (D) kuni kuwa mkaa.E kuungua kwa karatasi

8.Ugonjwa upi kati ya magonjwa haya hauenezwi kwa ngono_________

  1. Ukimwi  (B) kisonono (C) kuhara (D) gono E.kaswende

9.Kama mmea hupumua kwa kutumia stomata zilizomo kwenye majani je binadamu hupumua kwa kutumia nini?

  1. Pua (B) mdomo (C) mapafu (D) koromeo (E) yote sawa

10.Sumu kali inayopatikana kwenye moshi wa sigara huitwa_________

  1. Nikotini (B) opiamu (C) kodeini (D) marijuana (E) kokeini

11.Kichocho ni ugonjwa unaoshambulia sehemu gani ya mwili wa binadamu?

  1. Ini (B) figo (C) kibofu (D) mapafu (E) moyo

12.Ili mmea ustawi unahitaji maji, hewa na _________

  1. Mwanga (B) joto (C) udongo (D) mbolea (E) upepo

13.Damu kutoka kwenye moyo kwenda sehemu mbalimbali za mwili huwa ina _________

  1. Kabonidayoksaidi (B) mvuke mwingi (C) oksijeni nyingi (D) maji ya kutosha (E) naitrojeni

14.Mmea hujitengenezea chakula  kwenye ___________

  1. Shina (B) chanikiwiti (C) tawi (D) mizizi (E) jani

15.Katika udongo kuna viumbe hai pamoja na _______

  1. Sayansi (B) mwezi (C) hewa (D) watu (E) wadudu

16.Viazi, mihogo, mahindi, mchele na ndizi ni baadhi ya vyakula vyenye ______

  1. Hamirojo (B) mafuta (C) vitamin (D) protini (E) hakuna jibu

17.Umeme wa radi ni mfano mzuri wa _________

  1. Umeme tuli (B) umeme mwendo (C) sakiti (D) yote sawa (E) hakuna jibu.

18.Umeme ni mtiririko wa __________

  1. Mwanga (B) protini (C) elektroni (D) nyutroni (E) yote sawa.

19.Mionzi  ya jua hutufikia kwa njia ya _________

  1. Msafara (B) mpitisho (C) mnururisho (D) yote sawa (E) hakuna jibu

20.Mojawapo ya maada zifuatazo zimeundwa na kaboni tu __________

  1. Kabonidayoksaidi (B) mkaa (C) chokaa (D) oksijeni (E) hakuna jibu

21.Wanyama wanaokula nyama tu huitwa_________

  1. Omnivorous (B) habivorous (C) samba (D) chui (E) carnivorous

22.Kuota ndoto nyevu na kupata hedhi ni dalili za __________

  1. Kuzaa (B) kuelekea utu uzima (C) kuumwa (D) yote sawa (E) hakuna jibu

23.Mmea hukua kwa kufuata hatua zifuatazo ______

  1. Mmea-tunda-mbegu-utungisho (B) mmea-ua-utungisho-mbegu (C) mbegu-mmea-ua-utungisho (D) yote sawa (E) hakuna jibu

24.Mbegu huhifadhi chakula chake katika ______

  1. Kiini tete (B) epikapi (C) kotiledoni (D) sepali (E) petali

25.Mfumo wa binadamu una tezi kuu ngapi?

  1. 7 (B) 4 (C) 6 (D) 3 (E) 2

26.Sehemu ya kike ya ua huitwa _______

  1. Stigma (B) ovary (C) stameni (D) pistil (E) kichavua

27.Vipimo vya msingi vya umeme ni __________

  1. Ohm,volt,ampia (B) glopu,betri,ohm (C) waya,betri,glopu (D) kilowati,glopu,ohm (E) hakuna jibu

28.Sehemu inayosharabu chakula mwilini huitwa ___________

  1. Utumbo mwembamba (B) kongosho (C) ini (D) tumbo (E) utumbo mpana

29.________ husaidia kugandisha damu mwilini upatapo na jeraha.

  1. Seli nyeupe (B) seli nyekundu (C) chembe sahani (D) hakuna jibu (E) yote sawa

30. Tafuta ukubwa wapembe  Y  katika mchoro huu.

 

 350

      Y0

 (a) 900  (b) 350(c) 550(d) 800(e) 600

31. Alama ifuatayo katika sakiti yak umeme inawakilisha nini?

A. Amita .B Glopu C.Swichi D.betri E.Ukinzani

32. Mwanga unaposafiri kutoka kwenye media moja kwenda nyingine A.hunyooka B.kuakisi C.hupinda D.mwangwi E.kusharabiwa   (        )              

33.Kimeng’enya kinachobadili mafuta (fati) kuwa aside fati au glycerol huitwa _________

  1. Anylopsim (B) ptyalin (C) lipase (D) erepsin (E) fototropism

34.Kizio cha ukinzani ni ___________

  1. Amita (B) voltimita (C) ohm (D) joule

35.Kitendo cha mmea kujipatia chakula chake na namna inavyokitumia huitwa ______

  1. Usanisi nuru (B) osmosisi (C) nutrition (D) fotosinthesis (E) fototropism

36.Ukosefu wa vitamin _______ husababisha matege.

  1. C (B) K (C) B (D) A (E) D

37.Vitamin D hupatikana katika ______

  1. Chungwa, limao na mboga za majani (B) maziwa, samaki, ini (C) nafaka isiyokobolewa, mboga za majani na kiini cha yai (D) yote sawa (E) hakuna jibu

38.Ni katika nyenzo daraja gani ambapo jitihada huwa katikati _______

  1. La kwanza (B) la tatu (C) hakuna jibu (D) yote sawa (E) la pili

39.Ukuta wa ndani wa chupa ya chai huzuia upotevu wa joto kwa njia ya_____

  1. Unyevu nyevu (B) mpitisho (C) mnururisho (D) hewa. E.Msafara

    40.  Mende hupitia hatua ngapi za ukuaji? A. Mbili B. Tatu C. Nne D. Tano E. Sita

SEHEMU D

Jibu maswali yafuatayo (41-45)

41.Badili 60Ëšc kuwa Fareinheit ______

42.Asidi +metali = chumvi + Y,  Y ni sawa na ______

43.Tofauti ya potenshali kati ya ncha za waya ni volti 12. Kiasi cha mkondo wa umeme unaopita ni ampia 0.4. Je, waya huo una ukinzani wa ohm ngapi?.......................

44.Kokotoa manufaa ya kimakanika, ikiwa jitihada ni kilogramu 400 inayotumika kunyanyua mzigo wenye uzito wa kilogramu 800 kwa kutumia roda huru…….

  1. Fundi alitumia kani ya Newton 50 kufanya kazi ya joule 75 kuinua chuma cha gari.Je Chuma hicho kiliinuliwa umbali gani?..................................

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 17

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

SAYANSI - MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA SABA

MUDA: 1.30

MAELEKEZO

  1. MTIHANI  HUU UNA MASWALI 50
  2. JIBU MASWALI YOTE KWENYE NAFASI YA KARATASI ULIOPEWA
  3. HAKIKISHA KAZI YAKO NI SAFI
  4. DUMISHA UAMINIFU KATIKA KAZI YAKO.

SEHEMU A. CHAGUA JIBU SAHIHI KUTOKA YALE ULIOPEWA.

1. Usafirishaji wa chakula mwilini hufanywa na: 

  1. moyo     
  2. damu
  3. misuli                                     
  4. mapafu
  5. maji

2. Tazama kwa makini kielelezo namba 2 kisha jibu maswali yanayofuata:

Alama Y inawakilisha sehemu iitwayo:

  1.  petali
  2.  filamenti
  3.  chavulio
  4.  pistili
  5.  ovari

3. Lipi kati ya magonjwa yafuatayo huambukizwa kwa njia ya kujamiiana?

  1.  Polio  
  2.  Kipindupindu         
  3.  Pepopunda
  4.  Kaswende                            
  5.  Tetekuwanga

4. Lipi kati ya mafungu yafuatayo ya vyakula hulinda mwili?

  1.  Samaki na maziwa          
  2.  Ugali na ndizi
  3.  Maharagwe na karanga 
  4.  Mayai na kabichi 
  5.  Matunda na mboga za majani

5. Umuhimu wa asidi ya haidrokloric katika tumbo ni:

  1.  kubadili hali ya besi katika tumbo
  2.  kulainisha mafuta tumboni
  3.  kuongeza uchachu tumboni
  4.  kumengenya vyakula vya sukari tumboni 
  5.  kuua wadudu wanaoingia tumboni na chakula.

6. Kipi kati ya vifuatavyo vinapaswa kudumishwa? 

  1. Kutumia kikombe kimoja wakati wa kunywa maji. 
  2. Kunawa mikono kabla ya mlo katika karai moja. 
  3. Kupika mboga za majani na nyama kwa muda mrefu.
  4. Kuchemsha na kuchuja maji ya kunywa. 
  5. Kuogelea katika mito na mabwawa.

7. Mbungo husababisha ugonjwa uitwao ....

  1.  homa ya matumbo     
  2.  nagana
  3. malale                                           
  4. matende                
  5. homa ya ini

8. Tunaweza kujikinga na magonjwa ya moyo kwa kufanya yafuatayo: .......

  1. Kula chakula na kufanya mazoezi mara kwa mara
  2.  Kufanya mazoezi ya mwili, kuepuka kuvuta sigara na kuepuka kunywa pombe
  3.  Kula chakula chenye chumvi na kunywa pombe 
  4. Kufanya mazoezi ya mwili na kuvuta sigara 
  5. Kula vyakula vyenye mafuta na kunywa pombe

9. Ili kujikinga dhidi ya malaria ni muhimu .........

  1.  kumeza mchanganyiko wa madawa
  2.  kutumia dawa za mitishamba
  3.  kutumia vyandarua vilivyowekwa dawa
  4.  kujifunika na blanketi Zito lililowekwa dawa 
  5.  kufanya mazoezi kila mara

10.  Mojawapo ya kazi za misuli katika mwili ni:

  1.  kuwezesha kujongea
  2.  kuruhusu damu kupita 
  3.  kuruhusu maji kupita
  4. kuruhusu hewa kupita 
  5.  kuimarisha mwili

11.  Lipi kati ya mambo yafuatayo si sahihi kumfanyia mtu aliyebanwa misuli?

  1.  Kuchua eneo lililoathirika kwa kiganja
  2.  Kuchua kwa kukandamiza eneo lililoathirika hadi misuli ilegee
  3.  Kuuchua msuli kwa kitambaa na maji baridi 
  4.  Kuweka kemikali zitakazowezesha misuli kulegea
  5.  Kulala juu chini na kuchua msuli ulioathirika kvva maji moto.

12. Huduma ya kwanza anayopewa mtu aliyezimia ni:

  1.  kumpa hewa ya oksijeni
  2.  kumpa juisi ya nazi mbichi
  3.  kumlaza juu chini na kumbonyeza tumbo
  4.  kumpa maji yaliyochanganywa na glukosi
  5.  kumpa juisi ya malimao, sukari na chumvi

13. Mtandao wa watu wenye virusi vya UKIMWI unatanuka kwa kuwa

  1.  matumizi ya kondom na simu za mkononi yameongezeka
  2.  matangazo kuhusu UKIMWI yameboreshwa
  3.  kuna ongezeko la mahusiano ya kingono yasiyo salama
  4.  elimu ya UKIMWI inatolewa kwa watu wachache
  5.  watu wenye UKIMWI wanazingatia kanuni za kujikinga na UKIMWI

14.     Mwanga hupinda unapopita kutoka

  1.  Ncha ya Kaskazini kwenda Kusini      
  2.  media moja kwenda nyingine
  3.  Ncha ya Kaskazini kwenda Mashariki 
  4.  Magharibi kwenda Mashariki 
  5.  Kaskazini kwenda Magharibi


15.     Hewa ya kabonidaiyoksidi hutumika kuzima moto kwasababu:

  1.  haichochei uwakaji
  2.  ni nzito kuliko hewa
  3.  haiwaki
  4.  hunyonya joto
  5.  huungana na oksijeni

16. Mifupa imeundwa kwa madini ya:

  1.  Sodiamu na kalsiamu
  2. Kalsiamu na oksijeni
  3. Fosforasi na kalsiamu 
  4.  Salfa na fosforasi
  5.  Kalsiamu na chuma 

17.    Sumaku inaweza kuvuta vitu vyenye asili ya:

  1.  mpira     
  2.  udongo  
  3.  madini  
  4. karatasi 
  5. chuma

18.Katika kurunzi, nishati ya umeme inayotoka kwenye betri hubadilishwa na kuwa:

  1.  nishati ya kikemikali  
  2.  nishati ya joto
  3.  nishati ya kimakaniki     
  4.  nishati ya mwanga 
  5.  Nishati ya moto

19.Mojawapo ya hatua za kufuata unapoandaa jaribio la kisayansi ni: 

  1.  uchunguzi    
  2.  udadisi
  3.  utambuzi wa tatizo    
  4.  utatuzi wa tatizo
  5.  kuandaa ripoti

20.  Lipi kati ya magonjwa yafuatayo husambazwa na inzi na mende? 

  1. Tetekuwanga   
  2. Kuhara        
  3. Kifaduro
  4. Utapia mlo 
  5. Homa ya matumbo

21. Lipi kati ya yafuatayo linapaswa kuzingatiwa kabla ya kumhudumia mgonjwa wa UKIMWI?

  1.  Vaa nguo safi 
  2.  Nawa kwa sabuni 
  3.  Vaa glovu 
  4.  Sali 
  5.  Mruhusu apumzike


22. Kiwango cha maji kinachopotezwa na mmea huathiriwa na hali za hewa zifuatazo...

  1.  joto na unyevu     
  2.  unyevu na mwanga
  3. upepo na mwanga wa jua               
  4.  mawingu na upepo
  5. unyevu na upepo

23. Tunaweza kusababisha mmomonyoko wa ardhi kwa kufanya mojawapo ya mambo yafuatayo:

  1. Kukata miti
  2. Kuongeza mbolea kwenye udongo
  3. Kuotesha nyasi 
  4.  Kuweka matuta lavenye maeneo ya mteremko
  5.  Kupanda miti 

24.   Tazama mchoro ufuatao unaoonesha sehemu za ndani za mbegu ya haragwe....

Ni sehemu ipi inayohusika na kuilinda mbegu isiharibiwe na wadudu waharibifu mabadiliko ya jotoridi? 

  1. 2
  2. 3
  3. 5
  4. 4
  5. 1

25. Hatua ya kwanza ya utafiti wa kisayansi ni 

  1.  kuanza jaribio 
  2. kukusanya data
  3.  kutambua tatizo   
  4.  kuchanganua data
  5.  kutafsiri matokeo

26. Bahati aliweka karatasi nyekundu ya litmus kwenye myeyuko asioutambua. Rangi ya karatasi ya litmas ilibadilika na kuwa bluu.Hii inaonesha kuwa myeyuko ule ulikuwa .........

  1.  asidi 
  2.  besi 
  3.  maji 
  4.  mafuta  
  5.  spiriti

27.Nini kitatokea iwapo ncha mbili za KASKAZINI za sumaku zitaletwa pamoja?

  1.  Zitavutana kwa nguvu
  2.  Zitavutana kuelekea upande mmoja
  3.  Zitasukumana
  4.  Hakuna kitakachotokea
  5.   Zitavunjika

28. Dhana ya kuakisiwa kwa mwanga inadhihirika katika moja ya vifaa vifuatavyo: 

  1.  Hadubini 
  2.  Televisheni 
  3.  Saa
  4.  Balbu 
  5.  Miwani

29.  Ipi kati ya vifuatavyo huzunguka dunia toka magharibi kwenda mashariki?

  1. Jua    
  2. Nyota 
  3. Mwezi
  4.  Kimondo  
  5. Sayari

30. Mojawapo ya kazi za mifupa ni kutengeneza:

  1.  seli visahani 
  2.  plasma
  3.  selihai nyeupe  
  4. selihai nyekundu
  5.  selihai za kugandisha damu

31. Uhuru ana tatizo la meno yanayovunjika na miguu dhaifu. Ni virutubisho gani utamshaufi atumie ili kutatua tatizo lake hili?

  1.  Madini ya chuma           
  2.  Madini ya fosforasi
  3.  Madini ya kasiamu   
  4. Madini joto
  5. Vitamini K

32. Kazi ya uta mgongo katika mfumo wa fahamu wa mwanadamu ni

  1.  Kuongoza matendo ya hiari   
  2.  kuongoza matendo yasiyo ya hiari 
  3.  Kuongoza miondoko ya mwili  
  4.  kudumisha umbo la mwili 
  5.  kupeleka taarifa katika mfumo mkuu wa fahamu.

33. Katika hali ya kawaida, kutu ni matokeo ya mjibizo wa athari za kikemikali kati ya:

  1.  shaba, maji na oksijeni  
  2.  sodiamu, maji na oksijeni
  3.  kalsiamu, maji na oksijeni    
  4.  chuma, oksijeni na maji 
  5.  maji, oksijeni na potasiamu

34. Njia zifuatazo huweza kutumiwa kuhifadhi vyakula na mazao ili visiharibike ISIPOKUWA:

  1.  kuoka  
  2.  kutumia asali
  3.  kukausha    
  4.  kutumia chumvi 
  5. kutumia maji

35.  Yafuatayo ni makundi ya vyakula isipokuwa:

  1.  madini ya chumvi chumvi  
  2.  vitamini
  3. Maji   
  4. protini 
  5. hamirojo

36. Mlishano sahihi ni:

  1. Mwewe  Nyasi  Chui  mbuzi 
  2.  Nyasi  Mwewe  chui  mbuzi
  3.  Chui    Mwewe  Nyasi  mbuzi
  4. Nyasi  mbuzi  chui    mwewe
  5. Mwewe  chui  mbuzi  nyasi 

37. Sehemu tatu kuu zinazounda mfumo wa damu ni:

  1.  ateri, vena na kapilari
  2.  damu, moyo na mapafu
  3.  damu, mishipa ya damu na moyo
  4.  mishipa ya damu, moyo na valvu 
  5.  moyo, aota na ateri

38.  Matatizo katika mfumo wa uzazi wa wanawake hutokana na upungufu wa hol zifuatazo 

  1. Pituitari na insulin
  2. Estrojen na projesteron
  3. Thyroksin na pituitari
  4. Estrojen na insulin
  5.  Thairoksin na estrojen

39. Lipi kati ya makundi yafuatayo ni sifa zinazotumika kutambua wanyama wa kundi la reptilia?

  1. Kutaga mayai, kuwa na damu baridi na kuishi majini. 
  2. Kutaga mayai, kuishi majini na kuishi nchi kavu.
  3. Kutaga mayai, kuwa na damu ya joto na kuishi nchi kavu.
  4.  Kutaga mayai, kuwa na damu baridi na kupumua kwa kutumia mapezi.
  5. Kutaga mayai, kupumua kwa kutumia ngozi na kuishi majini.

40. Kukosekana kwa chanikiwiti katika mmea huweza kusababisha:

  1. mmea kukosa madini joto
  2. mmea kushindwa kusanisi chakula
  3. majani ya mmea kukauka 
  4. majani ya mmea kuwa njano
  5. maj ani ya mmea kupukutika.

41. Sehemu ya chembe hai inayohusika na kutawala shughuli zote za chembe hai huitwa:

  1. saitoplazimu 
  2. vakuoli
  3. kloroplasti 
  4. kiwambo cha seli
  5. nyukliasi

42. Sehemu ya kike ya ua inayohusika na uzazi ni:

  1. stameni 
  2. staili 
  3. ovari
  4. Petali
  5. Sepali

43. Tofauti kati ya tunda na mbegu ni: 

  1. Mbegu ina tunda.
  2. Tunda huota.
  3. Tunda lina kotiledoni mbili. 
  4. Mbegu huota. 
  5. Mbegu haziliwi.

44. Vyakula vyenye kabohaidreti huwezesha mwili:

  1. kuhimili magonjwa
  2. kuwa na joto
  3. kukua kwa haraka 
  4. kuwa na nguvu 
  5. kuwa mwororo

45. Mapumziko baada ya kazi ni muhimu kwa sababu gani?

  1. Mwili hupoa. 
  2. Mwili hutulia.
  3. Mwili hurejesha nishati. 
  4. Mwili hufanya shughuli nyingine.
  5. Mtu hupata fursa ya kulala.

SEHEMU B. Jaza nafasi zilizowazi kwa kutoa majibu mafupi.

46. (a) Taja mahitaji mawili muhimu kwa ukuaji wa mimea

      (b) Mapacha wanaofanana wanatokana na nini…………………

47.  Sumaku ni nini?

48. Eleza matumizi ya sumaku

49. Mkondo waumeme unapimwa na kifaa kinaitwa………………………..

50. Kizio cha mkondo wa umeme ni? ..............................................

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD SEVEN EXAM SERIES 9

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256