?> KISWAHILI STANDARD FIVE EXAMS SERIES
KISWAHILI STANDARD FIVE EXAMS SERIES

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA

DARASA LA TANO-NOVEMBA-2023

KISWAHILI

SEHEMU A (ALAMA 5)

Ufahamu wa kusikiliza

Jongoo na Nyoka

Hapo zamani za kale, Jongoo na Nyoka walikuwa marafiki. Jongoo katika maumbile yake alijaliwa kuwa na macho lakini hakuwa na miguu. Tofauti na Jongoo. Nyoka alijaliwa kuwa na miguu lakini hakuwa na macho. Marafiki hawa walifanya kazi bega kwa bega. Jongoo na nyoka walikuwa na rafiki yao aliyeitwa Mwewe. Siku moja Jongoo na Nyoka walienda kumtembelea Mwewe. Nyoka alitembea polepole japokua alikuwa na miguu mingi. Alifanya hivyo kwa kuogopa kujikwaa. Jongoo alikuwa anatembea harakaharaka kwa sababu alikuwa anaona kila kitu.

MASWALI

  1. Jongoo na Nyoka walikwenda kumtembelea nani? (A)Nyoka (B)Binadamu (C) kuku (D)Mwewe (E)Jongoo
  2. Hapo zamani nani alikuwa anatembea harakaharaka na kuona kila kitu? (A)Mwewe (B)Jongoo(C)Nyoka (D)kuku(E)Siafu
  3. Nani alitembea polepole japokuwa alikuwa na miguu mingi _____ (A)kunguru (B)Nyoka (C)mwewe (D)Jongoo (E)kuku
  4. Katika habari hii marafiki walikuwa _______ na _______ (A)Kunguru na mwewe (B)Kuku na kifaranga (C)Jongoo na nyoka (D)Jongoo na kunguru (E)Nyoka na kunguru
  5. Ni maana ya kufanya kazi bega kwa bega _______. (A)Kufanya kazi vibaya (B)Kufanya kazi nyingi (C)Kufanya kazi ya shokoa (D)Kufanya kazi nzuri (E)Kufanya kazi kwa ushirikiano.

SEHEMU B

SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA

Chagua jibu sahihi

  1. Neno “Mnyang’anyi lina konsonati ngapi? (A) tatu (B)nne (C)moja (D)mbili (E)Sita
  2. Mtu anayeipenda nchi yake huitwa _____ (A) fisadi (B)mkweli (C)Mzalendo (D)Mtanzania (E)Mlarushwa
  3. Baba amelima shamba lote. Neno “amelima” lipo katika wakati gani? (A)uliopo (B)ujao(C)timilifu(D)uliopo (E)Unaoendelea
  4. Mjomba ni ______ (A)kaka yake mama (B)dada yake baba (C)mdogo wa mama (D)kaka (E)dada
  5. Ng’ombe dume ambaye amehasiwa ili atumike kwenye kilimo huitwa ______ (A)fahali (B)fahari (C) njeku (D) maksai (E) ndama
  6. Mtu anayefua na kupiga pasi nguo huitwa (A)doni (B) Mwashi (C) mhunzi (D)sonara (E)seremala
  7. Kisawe cha neno jogoo ni _____ (A)kuku (B)jimbi (C)mtetea (D)kifaranga (E)fahali
  8. Neno lenye maana sawa na karipia ni (A)Kemea (B)furahia (C)nung’unika (D)lalamika (E)Lia
  9. Mkusanyiko mkubwa kwa ajili ya kuhitimu masomo huitwa ____ (A)mahafali (B)maafali (C)mafali (D)kalamu (E)sherehe
  10. Neno lipi lisilohusiana na maneno mengine (A)Mkeka (B) Zulia (C)godoro (D)busati (E)sufuria
  11. Kama Juma angalisoma kwa bidii (A)angelifaulu (B)angefaulu (C)angalifaulu (D)angeshafaulu (E)angefeli
  12. Neno “wakati” lina maana sawa na (A)kitabu (B)wosia (C)utenzi (D)Ujumbe (E) lawama
  13. Kinyume cha neno wakala ni _____ (A)mteja (B)wadau (C)nakala (D)wahi (E)mtumwa.
  14. “Ameingia mgodini” sentensi hii ipo katika nafsi ya ngapi? (A)tatu Umoja (B)kwanza (C)tatu wingi (D)pili umoja (E)wingi
  15. Neno lipi halina uhusiano na mengine (A)kahawa (B)kakao (C) chai (D)soda (E)Maziwa
  16. Katika neno “sidanganyiki” lina silabi ngapi? (A)kumi (B)sita (C)tano(D)nne (E)mbili
  17. Dereva anaendesha gari. Sentensi hii ipo katika kauli gani? (A)kutenda (B)kutendwa (C)kutendesha (D)kutendana (E)kutendeana
  18. Wingi wa neno “jino” ni ________(A)mameno (B)majino (C)meno (D)mijino (E)keno
  19. Mtoto anatembea ______ miguu. (A)juu ya (B)na (C)kwa (D)pamoja na (E)kutumia
  20. Mtu anaeacha kazi baada ya kutimiza umri uliowekwa kutokana na kanuni anaitwa _____ (A)mtaalamu (B)mstaafu (C)shaibu (D)mzee (E)kikongwe
  21. Mahali ambapo watu huenda kusoma na kuazima vitabu na majarida huitwa? (A)mkutubi (B)maktaba (C)mkataba (D)chuoni (E)shuleni
  22. Neno “Nadra” lina maana ipi? _____ (A)hafifu (B)aghalabu (C)mara chache (D)mara nyingi (E)maradufu

SEHEMU C

Lugha ya kifasihi, methali, Nahau na vitendawili

  1. Maana ya kitendawili kisemacho “Ukimuona njingi utasema njege na ukimuona njege utasema njigi ni upi?(A)chai na maziwa (B)tui la nazi na maziwa (C)chai (D)maziwa (E)maji
  2. “Mwenye nguvu ______” Neno lipi linakamilisha methali hii. (A)mfunge (B)mkamate (C)mpishe (D)mkimbie (E)muogope
  3. Maana ya nahau “kumeza maneno” ni kuropoka (B)kuficha siri (C)kutoboa siri (D)kuvumilia (E)kunong’ona
  4. Nahau “Mzazi hachagui Mkunga” in amaana sawa na _______ (A)maiti haichagui sanda (B)uzazi (C)Mkunga (D)mkamia maji (E)nesi
  5. Amina alilala matanga. Nini maana ya kulala matanga? (A)anakaribia kufa (B)amezeeka (C)lala fofofo (D)kulala msibani (E)kulala hoi
  6. Maliza methali hii “mgema akisifiwa ______ (A)hulikoroga na kulinywa (B)tembo hulitia maji (C) hudondoka (D)hulia (E)huona sifa.
  7. Nilipopata fursa nilienda kumpiga “jicho” nini maana ya nahau hii. (A)kumtibu (B)kumwona (C)kumpitia (D)kumpa fedha (E)kumpiga.
  8. “Siku hizi Johari hana mbele wala nyuma” maana yake ni nini? (A)haoni mbele wala nyuma (B)anaishi maisha ya dhiki (C)hasikii (D)haoni (E)kakonda

SEHEMU D: Utungaji

Sentensi zifuatazo zimeandikwa bila kufuata mtiririko sahihi. Zipange kwa kuzipa A, B, C, D na E

  1. Baada ya kazi kubwa ya kutwa nzima hurudisha mifigo yao kijijini giza linapoanza kuingia
  2. Baada ya kuhitimu, Elimu ya msingi hivi sasa wanafanya kazi ya kuchungaa kondoo na mbuzi?
  3. Huko machungani husimuliana hadithi mbalimbali
  4. Shango na mkumbo ni marafiki
  5. Wanaishi katika kijiji cha kinambe

SEHEMU E: Ufahamu

Soma kifungu cha habari kisha jibu maswali

Sheku ni mtoto wa pili katika familia ya Bwana Shenya na Bibi Pachu kwa Bahati mbaya, wazazi wake waliaga dunia akiwa na umri wa mwaka mmoja. ALipoanza masomo yake ya sekondari, mjomba wake aliamua kumueleza jambo alilokuwa nalo kwa kipindi kirefu. Jambo hilo lilihusu kifo cha wazazi wake. Mjomba wake Sheku alimueleza jambo hilo kwa upole sana. Alimwambia, Sheku mwanangu, wazazi wako walipata ajali ya gari mwaka 1990 na kufariki papo hapo . nimekulea tangu ukiwa na umri wa mwaka mmoja hadi leo. Nilishindwa kukuambia jambo hili kwa sababu ulikuwa bado mdogo. Hata hivyo nitaendelea kukulea na kukusomesha mwanangu.

MASWALI

  1. Kifunga hiki cha habari kinahusu nini?
  2. Kifungu cha habari kinaeleza nani alifariki?
  3. Sentensi wazazi wake waliaga dunia ina maana gani?
  4. Wazazi wa Sheku waliaga dunia lini
  5. Kwa nini Mjomba hakumweleza Sheku kuhusu kifo cha wazazi wake mapema?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FIVE EXAM SERIES 82

OFISI YA RAIS, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA PILI

DARASA LA TANO

AGOSTI-2023

SOMO: KISWAHILI

JINA LA MWANAFUNZI ________________________________ TAREHE ______________ DRS 5

SEHEMU A: UFAHAMU WA KUSIKILIZA

Sikiliza kwa makini ufahamu unaosomwa na mwalimu kisha ujibu maswali yaani swali la 1 hadi 5 

  1. Nini maana ya neno Rupia kama lilivyotumika kwenye habari hii?
    1. Fedha B. Mali C. Mchele D. Huduma E. magari [ ]
  2. Kwa mujibu wa habari hii ugonjwa tajwa una umri gani?
    1. Miaka saba B. Miaka nane C. Miaka tisa D. Miaka kumi   E. Miaka ishirini na saba [ ]
  3. Ni ugojwa gani ulioelezewa katika habari hii?
    1. Korona B. Kipindupindu C. Mafua D. UKIMWI E. Tetekuwanga [ ]
  4. Janga hili la kitaifa na kimataifa limefanya wanasayansi wasugue vichwa, nini maana ya nahau kusugua vichwa?
    1. Kutafakari B. Kufikiri namna ya kutatua tatizo C. Kucheka D. Kulia   E. Kuomboleza [ ]
  5. Ni akina nani hawapatwi na ugonjwa huu?
    1. Watoto B. Wazee C. Madaktari D. wabunge E. Hakuna yeyote asiyepata   [ ]
  6. Nini maana ya maneno hamna budi katika sentensi isemayo, Ili muweze kufaulu hamna budi kusoma kwa bidii?
    1. Inawatumainia (b) Inawapasa (c)Inawatarajia (d) Inawatayarisha (e) haiwapasi [ ]
  7. Atawahi sana kuja kwako                akuone mapema.
    1. kwa kuwa (b) ingawa (c) bali (d) ili ( e) ijapokuwa [ ]
  8. Babu amemfulia nguo Bibi . Sentensi hii ipo katika kauli gani ya utendaji?
    1. Kutenda (b) kutendea (c) kutendana (d) kutendeka (e) kutendesha [ ]
  9. Neno lipi halilandani na mengine kati ya haya?
    1. mwewe (b)kunguru (c) kuku (d) kunguni (e)bata [ ]
  10. Wingi wa kiwakilishi cha nafsi “mimi” ni

(a) ninyi (b) wewe (c) sisi (d) wao (e) wale 

11.“ Mimi nitachelewa sana kuja kwenu”, alisema mwalimu wa darasa. Sentensi hii ipo katika

kauli gani?

  1.       kamili (b) taarifa (c) kupinga (d) halisi ( e) amri [ ]
  1. Kinyume cha neno kaditama ni kipi kati ya maneno haya?

a) tamaa (b) shauku (c) mwisho (d) mwanzo (e) mzizi [ ]

  1. Mkutano wetu               mpaka mwezi unaokuja.

a) Umehahirishwa (b) umewahirishwa (c) umeahirishwa (d) umeridhishwa (e) umeairishwa              [           ]

  1. Mjumbe amekatakata kamba zote mtaani. Neno “ katakata” lina silabi aina ngapi?

a) nane (b) nne (c) sita (d)mbili (e) zote [ ]

  1. Mtu anayepakia na kupakua mizigo kwenye meli hujulikana kama
  1.                                                                                  mhunzi (b)utingo (c) dereva (d) kondakta (e) Kuli [ ]
  1. Kama ungelima mazao kwa bidii              mazao mengi

a) ungelipata (b) ungapata (c)ungalipata (d) usingelipata (e) ungepata [ ]

  1. Mwanaume mzee hujulikana kama sahibu, mwanamke mzee ni       

a) kilema (b) mwendawazimu (c) kikongwe (d) kibogoyo (e) ajuza [ ]

  1. Upepo unaovuma kwa kasi baharini ambao unaweza kuleta madhara huitwa        
  1. pepo za kusi (b) kipupwe (c) jangwa (d) kaskazi (e) tufani [ ]
  1. Kiambishi cha wakati katika neno watakuletea ni kipi?

(a) –na- (b) –ta- (c) –me- (d) –li- (e) hu- [ ]

  1. Wao wanapenda kusoma kitabu. Neno wao liko katika nafsi gani?
  1.                                                         kwanza wingi (b) pili umoja (c) kwanza umoja (d) tatu wingi (e) tatu umoja[ ]
  1. Hawa wote wanaingia ukumbini. Neno gani limetumika kama kielezi?        

a) ingia (b)wanaingia (c)wote (d) ukumbini (e) hawa [ ]

  1. Wingi wa sentensi mkia wa ng‟ombe umekatika ni upi?

a) mikia za ng‟ombe zimekatika (b) mikia ya ng‟ombe imekatika [ ]

(c) mimikia ya ming‟ombe imekatika (d) limkia la ng‟ombe limeakatika

(e) mkia za ng‟ombe imekatika

  1. Mvulana mweusi anatembea barabarani .Neno mweusi limetumika kama aina ipi ya  maneno?

a) Nomino (b) kiwakilishi (c) kihisihi (d)kitenzi (e) kivumishi [ ]


  1. Mwajuma alisafiri           ndege toka Tanga hadi Arusha

a) na (b) wa (c) kwa (d) ya (e) pamoja na [ ]

  1. Nina mwanangu nikimpa chakula analia , nikimyima halii

a) bahari (b) jua (c) redio (d) mwezi (e) usingizi [ ]

  1. .  hapana wajenzi. Maneno yapi yanakamilsha methali hiyo kwa usahihi?   

a) hakuna masika (b) penye miti (c) penye upele  (d) penye wengi (e) palipo na mvua                      [            ]

  1. Bwana Kashaija analandana na babu yake. Nahau analandana ina maana gani?

a) anapishana (b) anaridhi (c)anafanana (d) anasawidi (e) anarithi   [ ]

  1. Tegua kitendawili kifuatacho “Hausimiki hausimami”.

a) upepo (b) mkufu (c) mwiko (d) kinyonga (e)mvua [ ]

  1. Methali Haba na haba hujaza kibaba ni methali inayotoa funzo gani?.

a) Umoja (b) kutumia mali ovyo (c) kuweka akiba kidogo kidogo (d) utengano (e) kutotosheka      [           ]

  1. Majambazi walikula njama ili waweze kuwateka raia wema. Maana ya nahau kula njama ni

a) kufanya uzinzi (b) kuiba nyakati za usiku (c) kutoa rushwa [ ]

(d) kufanya mipango ya siri (e) kula kiapo

  1. Kuku mgeni                kamilisha methali hiyo kwa usahihi

a) hakosi kuliwa (b) hupotea njia (c) hufungwa kamba mguuni [ ]

(d) hakosi kamba mguuni (e) huliwa na wenyeji

  1. Kinyonga ni jibu la kitendwili kipi kati ya hivi?

a) Ajihami bila silaha (b hutembea haraka kila siku (c) hutembea na nyumba mgongoni   [ ]

     (d) popoo mbili zavuka macho (e) mama hachoki kunibeba

  1. Methali kinyozi hajinyoi inafanana na methali ipi kimaana?

a) ahadi ni deni (b) mganga hajigangi (c) asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu

     (d) mgaagaa na upwa hali wali mkavu (e) pruuuuu mpaka maka [ ]

  1. Kaka yangu alishindwa kununua gari kwani alikuwa na fedha kichele. Msemo kuwa na fedha kichele una maana gani?

a) Fedha lukuki (b) fedha nyingi (c) fedha zote (d) sarafu nyingi e) fedha chache [ ]

  1. Dada yake Mwarubadu alikaa eda, baada ya mme wake kufariki, nini maana ya nahau kaa eda?

(a) Omboleza (b) Furahi (c) fikiria (d) fanya kazi (e) bembeleza [ ]

SEHEMU B: UTUNGAJI

      Panga sehemu za barua zifuatazo kwa  mtiririko unaofaa kwa  kuzipa  herufi A, B, C, D  na  E

          36. YAH:  MAOMBI  YA  KAZI YA UANDISHI WA MITIHANI …………………………………………..  

          37. Mkurugenzi ,  kampuni  ya  BRAINMASTER, S.L.P 280 MANZESE  ………..  

          38. Wako  mtiifu  SUYURISH RAMADHANI MCHOKAA…………………………..  

          39. S.L.P 4302 DAR ES SALAAM  ……………………………………………………  

          40. Tarehe 08/10/2010 ……………………………………………………..  

                                 SEHEMU C: USHAIRI:

Soma shairi lifuatalo kisha jibu maswali yanayofuata

Maisha yaliyo bora, maneno yatamkika,

Walitaka zetu kura, kapuni wakatuweka, 
Twaishi kama chokora, na siku zinakatika,

Hakuna maisha bora, haya ni bora maisha.

 

Tanzania nchi yangu, yenye wingi wa maneno, 
Amani hili ni jungu, latukwaza si mfano, 
Mikononi nina pingu,yako’pi yenu maono,

Hakuna maisha bora, haya ni bora maisha.

MASWALI

41. Shairi hili linazungumzia nini? ____________________________________________

42. Kila mshororo katika ubeti wa shairi hili una mizani ngapi? ___________________________

43.  Taja Vina vya kati katika ubeti wa pili ? ________________________________________

44. Ipi maana ya nahau kuweka kapuni kama ilivyotumika katika shairi hapo juu ?______________

_______________________________________________________________________

45. Mstari uliokolezwa wino katika kila ubeti wa shairi hili hujulikana kama: _________________

 __________________________________________________________________________________

 


 


UFAHAMU WA KUSIKILIZA V

Tangu kugunduliwa kwa ugonjwa wa Upungufu wa Kinga Mwilini miaka 27 iliyopita, ugonjwa ambao dalili zake ni nyingi, mfano kupungua uzito , kukohoa, kuhara, kukonda, kukohoa kwa muda mrefu na homa za mara kwa mara. Janga hili limeua watu wengi wakiwemo matajiri, wataalamu, wasomi na wasiosoma, akina yakhe na watoto.

Janga hili la kitaifa na kimataifa limefanya wanasayansi wasugue vichwa kutafuta dawa bila mafanikio, serikali pamoja na mashirika ya kimataifa yametumia rupia nyingi kutoa elimu ya ugonjwa huu na madhara yake kwa jamii hayajatatuliwa. Ama kweli la kuvunda, halina ubani.

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FIVE EXAM SERIES 78

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI WA MWISHO WA MWAKA

KISWAHILI

DARASA LA TANO

2022

JIBU MASWALI YOTE

SEHEMU A

Sikiliza kwa makini habari inayosomwa na msimamizi kisha jibu maswali 1 – 5 kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi.

Mkutano ulianza asubuhi sana. Wajumbe walipewa habari mbalimbali. Hadi saa sita mchana kikao kilikuwa kimeisha tayari. Mwenyekiti aliahirisha kikao hicho hadi wakati mwingine. Wajumbe wote walifurahi sana.

  1. Mkutano ulianza muda gani?


  1. Jioni
  2. Asubuhi sana
  3. Alasiri
  4. Mchana
  5. Asubuhi


  1. Nani walipewa habari?


  1. Wanakijiji
  2. Wananchi
  3. Viongozi
  4. Mwenyekiti
  5. Wajumbe


  1. Baada ya mkutano nini kiliwatokea wajumbe?
  1. Walifurahi sana
  2. Walipewa chakula
  3. Waliondoka mkutanoni
  4. Walichangia fedha
  5. Waliimba
  1. Nani aliahirirsha mkutano?


  1. Kiongozi
  2. Mwenyekiti
  3. Mjumbe
  4. Mwakilishi
  5. Mweka hazina


  1. Kikao kilimalizika muda gani?


  1. Saa sita mchana
  2. Saa sita usiku
  3. Saa mbili asubuhi
  4. Saa mbili usiku
  5. Jioni


Chagua herufi ya jibu sahihi na kisha andika karatasi ya kujibia.

  1. Kipi kinyume cha neno aghalabu? …….


  1. Mara nyingi
  2. Mara kwa mara
  3. Nadra
  4. Muda wote
  5. Kila wakati


  1. Kitoto hiki kinacheza kitoto. Neno lililopigiwa mstari limetumika kama ………


  1. Nomino
  2. Kitenzi
  3. Kielezi
  4. Kivumishi
  5. Kielelezi


  1. Shule ile imeendelea ingawa haina umeme. Sentensi hii iko katika aina ipi ya tungo?


  1. Tungo tegemezi
  2. Tungo sahihi
  3. Tungo shurutia
  4. Tungo ambatano
  5. Tungo huria


  1. Sikuweza kutambua ni nani amelala kitandani kwa sababu alijifunika shuka ……..


  1. Lote
  2. Gubigubi
  3. Zima
  4. Nzima
  5. Zama


  1. Neno “vibaya” katika sentensi isemavyo “Vibaya pia vinanunuliwa” limetumika kama aina ipi ya maneno?


  1. Kivumishi
  2. Kiwakilishi
  3. Kielezi
  4. Kisifa
  5. Nomino


  1. Mkutano kati ya viongozi wa DECI na serikali ulikuwa haujapatiwa ……….Neno lipi linalokamilisha sentensi hii?


  1. Uchunguzi
  2. Ufumbuzi
  3. Ufunguzi
  4. Kutendwa
  5. Kutendea


  1. “Salama na Samina wanapendana sana”. Sentensi hii ipo katika kauli ipi?


  1. Kutendwa
  2. Kutendana
  3. Kutenda
  4. Kutendewa
  5. Kutendea


  1. Katika neno “tunakuja” kiambishi cha wakati ni ……


  1. tu-
  2. –ku
  3. –ja-
  4. u
  5. –ta-


  1. Neno “MWALIMU” lipo katika upatanisho wa ngeli ya aina gani?


  1. A-WA
  2. I-ZI
  3. LI-YA
  4. U-YA
  5. U-ZI


  1. Wingi wa sentensi ifuatayo ni upi? “Mti huu unaharibu mazingira”
  1. Miti hizi zinaharibu mazingira
  2. Miti hiyo inaharibu mazingira
  3. Miti hii itaharibu mazingira
  4. Miti hii inaharibu mazingira
  5. Miti hii imeharibu mazingira
  1. Mzee Mwendapole aliwapa wanae mawaidha juu ya maisha ya baadaye. Neno lililopigiwa mstari lina maana gani?


  1. Hotuba
  2. Maonyo
  3. Urithi
  4. Mawazo
  5. Mahubiri


  1. Neno lenye maana sawa na “Mawio” ni lipi kati ya yafuatayo?


  1. Asubuhi
  2. Maonyo
  3. Urithi
  4. Mawazo
  5. Mahubiri


  1. Mwl. Juma alinunua shati dukani. Neno lililopigiwa mstari limetumika kama aina gani ya maneno?


  1. Kivumishi
  2. Kiwakilishi
  3. Kielezi
  4. Kihisishi
  5. Nomino


  1. Mtu anayesimamia kazi za shambani anaitwaje?


  1. Kiongozi
  2. Msimamizi
  3. Mkuu
  4. Nokoa
  5. Mnyapara


  1. Jina analotumia mjomba kumwita mtoto wa dada yake ni


  1. Mtoto
  2. Mjomba
  3. Binamu
  4. Shangazi
  5. Mpwa


  1. Moja kati ya Methali zifuatazo haihimizi watu kujiendeleza kielimu. Methali hiyo ni ipi?


  1. Kuuliza si ujinga
  2. Kuishi kwingi kuona mengi
  3. Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki
  4. Elimu ni bahari
  5. Penye nia pana njia


  1. Kinyume cha nahau “Kata tamaa” ni …..


  1. Pata chungu
  2. Ona fahari
  3. Kufa moyo
  4. Kata maini
  5. Tia moyo


  1. Ana mkono wa birika maana yake ni …….


  1. Mchoyo
  2. Ameshika birika
  3. Kaumia
  4. Mwizi
  5. Kujikunja


  1. Kitendawili kipi kati ya hivi jibu lake siyo kinyonga?


  1. Huuawa na wazazi wake
  2. Hutembea kwa madaha
  3. Tajiri wa rangi
  4. Napigwa faini kosa silijui
  5. Alijihami bila silaha.


  1. “Chungu cha mwitu hakiwapiki wapishi wake wakaiva” jibu la kitendawili hiki ni …….


  1. Mafuta na chungu
  2. Moshi na moto
  3. Mzinga wa nyuki
  4. Tumbo na njaa
  5. Meno na ulimu


  1. “Mtu akifanya kazi yake bila umakini mambo hayatakuwa mazuri, itamlazimu apokee matokeo mabaya ya mambo hayo”.Maelezo hayo ni sawa na maana ya methali isemayo ....


  1. Lila na fila havitangamani
  2. Akiba haiozi
  3. Dunia tabara bovu
  4. Mpanda ovyo hula ovyo
  5. Mganga hajigangi


  1. Kifungu kipi kinafaa kumalizia methali: Jina jema …….


  1. Hutambulika toka mwanzo
  2. Hupumbaza watu
  3. Hung’aa gizani
  4. Hupendwa na watu wengi
  5. Wengi huwa matajiri


  1. Nini maana ya Nahau “Kupiga chuku?”


  1. Kujivuna
  2. Kupiga moyo
  3. Kurandaranda
  4. Kuanguka
  5. Kutia chumvi


  1. Tegua kitendawili hiki. Nina kitanda changu cha Mkangashale mwana wa halali aende akalale.


  1. Mvua
  2. Maji
  3. Bahari
  4. Nyumba
  5. Jua


  1. Walipofika mahakamani kusikiliza kesi ya ufisadi walitulia sana ili wasikie vizuri na kuelewa zaidi. Maneno yalipopigwa mstari yanawakilisha nahau isemayo:


  1. Unga mkono
  2. Kodoa macho
  3. Tia for a
  4. Tega sikio
  5. Pigwa na butwaa


Soma shairi lifuatalo kisha jibu maswali ya namba 31 – 35 

Elimu pana ajabu, huwezi yote kujua

Wala usistaajabu, mtu kukuelezea

Kuwa kupata aibu, mkate hutoujua

Elimu pana ajabu huwezi yote kujua

Ukitaka kuamini, haya ninayokueleza 

Waliosoma vyuoni, hawachoki kuuliza

Huyu bora kiwandani, ofisini hataweza 

Elimu pana ajabu, huwezi yote kujua

Rubani hana dosari, kushindwa kuongoza meli

Somea udaktari, wa kupasua misuli,

Figo zitakuadhiri, japo unayo akili,

Elimu pana ajabu, huwezi yote kujua

Elimu pana ajabu, huwezi yote kujua

Utaipata aibu, ukijifanya wajua,

Daima tafuta jibu, ya lile usolijua 

Elimu pana ajabu, huwezi yote kujua

  1. Mstari wa pili katika ubeti wa kwanza una jumla ya mizani ………..


  1. 8
  2. 14
  3. 16
  4. 17
  5. 19


  1. Katika ubeti wa pili Msanii anasema “Waliosoma vyuoni, hawachoki kuuliza.” Maneno haya yanatuasa kuwa ……..
  1. Tusihangaike kujifunza yale tusiyoyajua
  2. Waliosoma vyouni wanauliza maswali mengi
  3. Wanaotakiwa kujifunza ni wale wasiosoma vyuoni
  4. Tujifunze yale tusiyoyajua
  5. Kujifunza vyuoni inatosheleza kuliko kuuliza maswali
  1. Neno “Adhiri” kama lilivyotumiwa na mtunzi lina maana ya ……


  1. Kuolewa
  2. Aibisha
  3. Ugonjwa wa figo
  4. Ujuzi
  5. Thamini


  1. Jambo muhimu linalozungumzwa na msanii katika shairi hii ni:


  1. Udaktari
  2. Elimu
  3. Kazi ya Urubani
  4. Aibu kujifunza unajua
  5. Aibu kujifanya unajua


  1. Pendekeza kichwa cha habari cha shairi kutoka katika semi hizi:


  1. Elimu kwa wote
  2. Elimu ni bahari
  3. Elimu ndio uti wa mgongo
  4. Elimu ni usiasa


SEHEMU B

UTUNGAJI

Panga sentensi hizi ili ziwe na mtiririko wenye mantiki kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E ili ujibu maswali 36 – 40 

  1. Anko alikuwa ndiye aliyetawala ukoo ule kwa muda mrefu kuliko viongozi wengine waliopita. (  )
  2. Ukoo huo ulikuwa na mjamii wapatao elfu moja na mia tano hivi wote wakiongozwa na mjamii Mzee aliyeitwa Anko. (  )
  3. Kutokana na uongozi wake mzuri, mara tatu alipotaka kujiuzulu, mjamii wenzake walimkatalia asijiuzulu. (  )
  4. Ukoo mkubwa wa mjamii ulikuwa ukiishi katika msitu mmoja karibu na kijiji cha Namtumbo mkoani Ruvuma. (  )
  5. Anko alikuwa Mzee kuliko mjamii wote wa ukoo wake. (  )

SEHEMU C

UFAHAMU

Soma kwa makini kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali 41 – 45 kwa kuandika herufi ya jibu lililo sahihi katika karatasi yako ya kujibia.

Walanguzi ni watu wanaonunua vitu au mavuno kwa bei nafuu na kuyauza kwa bei ya juu ili kupata faida kubwa iwezekanavyo. Watu hawa hufurahia wazalishaji au wakulima wanapokosa soko la mazo.

Mkulima anaweza kukingwa kwa kuthibitishiwa hakika ya soko la mazo yake. Ndiyo maana serikali imeanzisha na kuhimiza maendeleo ya vyama vya ushirika. Kama vyama vya ushirika vingestawi, wakulima na wazalishaji wengi wangeuza mazao yao kwenye vyama hivyo. Hapo ndipo mzalishaji angepata haki kwani angekuwa na sauti ya kupanga malengo ya uzalishaji, gharama zake na hata bei ya mazao hayo.

Wazalishaji wangeweza kuuza mazao yao kwenye vyama vy msingi vya ushirika. Chama cha Msingi cha Ushirika ni wakala wa chama Kikuu cha Ushirika. Chama kikuu cha Ushirika hukilipa Chama cha Msingi cha ushirika kwa vile chama hicho hufanya kazi nyingi kwa niaba ya Chama Kikuu, kama vile kusafirisha mazao na hata kuyahifahsi 

Fdha zinazopatikana kutokana na ushuru wa aina hii huingia katika mfuko ya Chama cha Msingi cha Ushirika. Wanaushirika wana fursa ya kupanga matumizi na mapato ya chama chao kwa kadiri ya mahitaji yao.

MASWALI

  1. Wazalishaji wanapokosa soko la mazao yao walanguzi hufurahi kwa sababu …………
  2. Ustawi wa vyama vya ushirika humkinga mkulima kwa njia ipi? ……..
  3. Ni kwa jinsi ipi mkulima angepata haki ya jasho lake?
  4. Mzalishaji hunufaika vipi na ushuru unaolipwa na vyama vikuu? …………
  5. Kichwa cha habari kifaacho kifungu ulichosoma hapo juu ni kipi? ……….

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FIVE EXAM SERIES 63

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA DARASA LA TANO

KISWAHILI

MUDA:1: 30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEKEZO:

  1. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  2. Kumbuka kuandika majina yako.
  3. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.

SEHEMU A: FASIHI NA MSAMIATI

Sikiliza kwa makini kifungu cha habari utakachosomewa kisha jibu swali la 1 – 5 

1.Zamani watu waliamini kuwa dunia ni tambarareni kama 

(a)Ardhi (b)Meza (c)Ukuta (d)sakafu

2.Wataalamu wa mambo ya anga walithibitisha kuwa dunia ni kama 

(a)tufe (b)yai (c)mzunguko (d)chungwa

3.Watu wengi waliamini kuwa mtu angeweza kwenda hadi angeangukia kwenye (a)tufe (b)uso wa dunia (c)shimo kubwa (d)mbingu

4.Wengine waliamini kuwa kama wangeendelea kwenda mwishowe ungegusa (a)tufe (b)mbingu (c)mawingu (d)shimo kubwa

5.Kichwa cha habari hii kingefaa kuwa kipi? (a)dunia (b)umbo la dunia (c)dunia tambarare (d)tufe

 

Katika swali la  - 30 chagua herufi ya jibu sahihi

6.Shaibu anakusanya mazao yake shambani. Nini kinyume cha neno Shaibu

(a)babu (b)ajuza (c)banati (d)barobaro

7.Neno lenye maana sawa na mawio ni lipi. (a)asubuhi (b)jioni (c)mchana (d)alasiri

8.Wiki ijayo mtafanya mtihani wa somo la kiswahili. Sentensi hii ipo katika nafsi gani 

(a)nafsi tatu wingi (b)kwanza umoja (c)pili wingi (d)kwanza wingi

9.Wabunge waliandika “Waraka” kwa Rai. Neno lililopigiwa mstari lina maana ipi. (a)Barua (b)zawadi (c)mswada (d)sheria

10Muda mfupi ataingia msikitini. Sentensi hii ipo katika wakati gani? 

(a)ujao (b) mtimilifu (c)uliopita (d)mazoea

11.Anna na Rehema wanakimbizana. Neno lililopigiwa mstari lipo katika kauli gani. (a)Kutendeana (b)kutendewa (c)kutendana (d)kutendea

12.Katika sentensi “Sita kuwepo” kiambishi kinachoonyesha ukanushi ni kipi. 

(a)ta (b)po (c)ku (d)si

13.Mwanamke yule alikaa .............. baada ya kufiwa na mume wake (a)eda (b)head (c)arobaini (d)fungate

14.Baraka aliona ................. kuwa miongoni mwa aliofaulu somo la hesabu 

(a)fadhili (b)fahari (c)fahiri (d)fadhila

15.Mchezo wa simba na Yanga ............ kutokana na klabu ya yanga kugoma kucheza sa 1:00 usiku

(a)ulihahirishwa (b)uliahirishwa (c)uliairishwa (d)uliahilishwa

16.Hisan haifi. Methali hii in amaana gani? (a)timiza ahadi yako (b)weka akiba (c) ukifanya mema utakumbukwa daima (d) ringia utajiri wako.

17.Vijana wengi wana tabia nzur. Maneno “Wengi” na Nzuri” ni aina ya maneno gani?

(a)Vivumishi (b)nomino (c)viwakilishi (d)vielezi.

18.Kiti cha dhahabu hakikaliwi na watu. Kitendawili hiki kina maana ya 

(a)jua (b)miba (c)moto (d)nyuki

19.Heri kufa macho kuliko ............ metahali hii inakamilishwa na kifungu kipi cha maneno

(a)kuumia moyo (b)kufa jicho (c)kujikwaa ulimi (d)kufa moyo

20.Kisawe cha neno “Faragha” Ni ..............

(a)hadarani (b)pembezoni (c)mafichoni (d)kivulini

21.Mtu ............ anaruhusiwa kuishu mahali ............... ilimradi tu hajavunja sheria na taratibu za nchi. Maneno yanayokamilisha tungo hii ni yapi kati ya haya yafuatayo. 

(a)yoyote, popote (b)yeyote, popote (c)popote,  yoyote(d)popote, yeyote

22.Tutaimba kabla ya kuondoka shuleni. Katika neno “Tutaimba” silabi inayoonyesha nafsi ni ipi. 

(a)tu (b)a (c)na (d)tu na na

23. “Uma sikio” nini maana ya nahau hii .................

(a)ng’ata sikio (b)toa sikio (c)kula sikio (d)nong’oneza

24.kuku wangu ameangua kifaranga. Upi ni wingi wa sentensi hii

(a)kuku zangu zimeangua vifaranga (b)kuku wetu wameangua vifaranga 

(c)makuku yetu yameangua mavifaranga (d)kuku zetu zimeangua vifaranga

25.Nyumba hii ni ya ............ kubwa sana. Neno lipi linakamilisha senensi hii 

(a)samani (b)zamani (c)shamini (d)thamani

26.Neno “Aliyeng’ang’ania” lina silabi ngapi? (a)nne (b)tatu (c)sita (d)saba

27.Maneno “Mzuri mweupe, mwembamba, mkali” yakitumika pamoja na majina katika sentensi huwa

(a)Kielezi (b)nomino (c)kiwakilishi (d)kivumishi.

28.Ng’ombe dume aliyehasiwa na kufanya shudhuli nzito za kilimo huitwaje

(a)fahali (b)beberu (c)gegedu (d)maksai

29.Neno “msonobari” lina aina ngapi za irabu (a)1 (b) 2 (c)4 (d)3

30.Tegua kitendawili kifuatacho. “Jini mnywa damu haangazi bila damu”

(a)kisima (b)kinywa na maneno (c)mto (d)kibatari

 

USHAIRI

Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu swali la 31 – 35 

Kiswahili lugha pana, wote tunaifahamu

Na sisi tunakiona, kwa pamoja twafahamu,

Uhuru tulipigana, na Nyerere afahamu,

Kiswahili lugha yetu, Watanzania twaringa

 

Wasanii watetea, Kiswahili kutumika,

Hata vijijini pia, Kiswahili chasifika,

Wazungu watamania, lulu zetu kusifika,

Kiswahili lugha yetu, watanzania twaringi

 

MASWALI

31.Shairi hili lina beti ngapi? (a) mbili (b)tatu (c)saba (d)moja

32.Ni wapi ambako kiswahili chasifika?(a)mjini (b)mashambani (c)vijijini (d)vyuoni

33.Kina cha mwisho katika ubeti wa pili ni (a) ia (b)ika (c)ka (d) a

34.Shairi hili lina mizani mingapi? (a)16 (b)17 (c)18 (d)8

35Nani wanaotajwa kukitamani kiswahili. (a)waarabu (b)wazungu (c)watanzania (d)wasanii

 

 

SEHEMU B UTUNGAJI.

Panga sentensi zifuatazo kwa kuzipa herufi A,B,C,D na E ili zilete mtiririko mzuri

36.Hivyo alimwandikia shangazi yake aliyeko Dodoma

37. Watahiniwa wote walifanya mitihani siku hyo

38Barua hiyo ilihusu mambo muhimu yaliyohitajika shuleni

39.Nyamizi alikuwa mmoja wa watahiniwa hao

40.Matokeo yalipotolewa alibahatika kuchagulia miongoni mwa watahiniwa

 

SEHEMU C. UFAHAMU

Soma kwa makini habari ifuatayo kisha jibu swali la 41 – 45 kwa kuandika jibu sahihi.

 Siku moja mganga mkuu wa Zahanati alishauri uongozi wa kiji kujenga wodi mbili. Alishauri ijengwe wodi ya waototo na akina mama. Mganga mkuu alishauri hivyo ili kuwaondolea adha wazazi wenye watoto wadogo na wajawazito. Hii inatokana na huduma ya kliniki kupatikana mbali

 

 Viongozi wa kijiji waliunga mkono wazo lake na kuwasihi wanakijiji kuchangia kwa moyo mweupe ilikufanikisha zoezi hili na wananchi walifanya jitihada na kujitoa kwa hali na mai. Maana waliamini kuwa mtaka cha uvunguni sharti ainame na pia umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.

 

MASWALI

41.Kichwa cha habari hii ni kipi? ...................................

42.Kwa nini mganga mkuu alishauri uongozi wa kijiji kujenga wodi ya watoto na wajawazito ..................

43.Taja nahau mbili zilizotumika katika habari hiii

  1. ....................................................
  2. ....................................................

44.Mwandishi ana maana gani anaposema walifanya jitihad ...............................

45. Andika kisawe cha neno “Aidha” ....................................................................

 

 

KISWAHILI DARASA LA TANO

MAELEKEZO KWA MSIMAMIZI

Zingatia yafuatayo kabla ya kusoma maelekezo kwa watahiniwa:

  1. Hakikisha unasoma hadithi kwa sauti na taratibu kwa mara ya kwanza huku ukizingatia alama zote za uandishi zilizopo katika hadithi hyo. Unaposoma kwa mara ya pili ongeza kidogo kasi ya usomaji.
  2. Muda utakaotumia kuwasomea watahiniwa hadithi ni dakika tano (05) na muda utakaotumika kwa watahiniwa kujibu maswali ni dakika tano (05). Sehemu hii itafanyika kwa dakika kumi (10)
  3. Wasomee watahiniwa kwa sauti maelekezo (1 hadi 3)

 

MAELEKEZO KWA WATAHINIWA

  1. Nitasoma kwa sauti hadithi mara mbili, hivyo kila mmoja asikilize kwa makini.
  2. Nikisoma hadhiti kwa mara ya kwanza, sikiliza bila kujibu maswali na nikimaliza kusoma kwa mara ya pili, jibu swali la 1 hadi 5 kisha endelea kujibu maswali mengine (6 hadi 45)
  3. Nitaanza kusoma kifungu cha habari/hadithi sasa hivyo sikiliza kwa umakini.

 

KIFUNGU CHA HABARI

 

 Wakati elimu haijakua, watu hawakujua kuhusu Dunia yetu. Walikuwepo walioamini kuwa Dunia ni tambarare kama meza, wakiamini kuwa mtu anaweza kutembea hadi akafika mwisho wa Dunia na kuanguka kwenye shimo kubwa. Wengine waliamini kuwa kama ungeendelea kwenda, mwishowe ungegusa Mbingu. Baadaye wataalamu wa anga walithibitisha kuwa, Dunia ni umbo la duara kama tufe.

 

 

 

1

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FIVE EXAM SERIES 53

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TANO

KISWAHILI

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEKEZO:

  1.                Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  2.                Kumbuka kuandika majina yako.
  3.                Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.

SEHEMU A: SARUFI NA FASIHI

  1.                Nilipomwomba mwalimu wetu ruhusa ya kwenda msalani, alikataa kwa jino na ukucha ______
  1.              Katakata  B.Ng’o

C.        Hapana hapana D.Ng’a

  1.                Ni sentensi ipi iliyosahihi
  1.              Shati lake ninyeupe
  2.               Alipoesha chai kwa kikombe
  3.               Alituhadithia akiwa usingizini
  4.              Aling’orota akiwa usingizini
  1.                Hali yakuwa mke au mume ni
  1.              Jinsi B.Jinsia

C.       Sinzia D.maumbile

  1.                Neno jicho liko katika ngeli ipi?
  1.              I-ZI  B.JI-MA

C.        A-WA  D.LI-YA 

  1.                Tegua kitendawili hiki

Nyumbani mwangu mnashetani ambaye daima anakunywa maji yangu

  1.              Shamba B.Mtoto

C.         Taa  D.mtungi

  1.                Nini ni maana ya semi hii; Chakula alichokipika kilikuwa asali.
  1.              Kilikuwa kitamu
  2.               Kilipikwa kwa viungo
  3.               Kilitiwa asali
  4.              Kiliwekwa nyuki
  1.                Tumia amba ipasavyo

Kipofu ______ tulimwona amerudi

  1.              Ambacho  B.Ambaye

C.       Ambako  D.aliye

  1.                Fupisha maneno haya

           Wajomba zako

  1.              Wajombako B.wajombanu

C.        Wajombazo  D.mjombako

  1.                Nywele za mwilini zinazoota mgongoni, mikononi, miguuni na kifuani huitwa
  1.              Mvi  B. nywele

C.        Donya  D. malaika

  1.            Kitenzi kunja katika hali ya kutendeana ni

A         kunjakunja  B.kunjia

C.        kunjiana  D. kunjisha

  1.            Ni sentensi ipi iliyo katika hali ya mazoea
  1.              mama hupika chakula kitamu
  2.               mama anapika chakula kitamu
  3.               mama atapi kachakula kitamu
  4.              mama alipika chakula kitamu
  1.            Yeye .........................shahada ya uhandisi
  1.              Alitunukiwa
  2.               Walitunukiwa
  3.               Tulitunukiwa
  4.              Vilitunukiwa
  1.            Elimu ni ukombozi wa jamii nyingi. Wa ni aina gani ya neno?
  1.              Kivumishi
  2.               Kihisishi
  3.               Kiunganishi
  4.              Kihusishi
  1.            Mama amekata chungwa. Mama ni
  1.              Mtenda
  2.               Mtendewa
  3.               Mtendesha
  4.              Mtendeka
  1.            Mwaka hujao tutaingia darasa la saba. Sentensi hii iko katika wakati gani?
  1.              Wa sasa
  2.               Uliopo
  3.               Uliopita
  4.              Ujao
  1.            Mahindi yamekobolewa vizuri. Mahindi ni
  1.              Mtendwa
  2.               Mtenda
  3.               Mtendeka
  4.              Mtendesha
  1.            Mtoto alikwenda sokoni......................miguu
  1.              Na
  2.               Kwa
  3.               Ya
  4.              Wa
  1.            Watoto.......................ni wapole sana
  1.              Yangu
  2.               Chao
  3.               Wangu
  4.              Vyangu
  1.            Wingi wa neno shule ni.......................
  1.              Mashule
  2.               Kashule
  3.               Shuleni
  4.              Shule
  1.            Mtu anayelima mazao mbalimbali shambani anaitwa?
  1.              Mkulima
  2.               Mwindaji
  3.               Mpanda maua
  4.              Rubani
  1.            .......................hufanya kazi ya kuhazimisha vitabu maktaba
  1.              Mhandisi
  2.               Mwanajeshi
  3.               Mhadhiri
  4.              Mkutubi
  1.            Mtu anayeajiriwa kulinda nchi yake huitwa?
  1.              Mhadhiri
  2.               Mkulima
  3.               Machinga
  4.              Mwanajeshi
  1.            Mtu anayefundisha chuo kikuu huitwa?
  1.              Mhadhiri
  2.               Mkutubi
  3.               Dereva
  4.              Mwanajeshi
  1.            ..................hufanya kazi ya kununua na kuuza bidhaa
  1.              Daktari
  2.               Mfanyabiashara
  3.               Mhadhiri
  4.              Mwanajeshi
  1.            Chombo maalum cha majini kinachotumika kuvusha watu na mizigo kwenda ng’ambo ya pili huitwa?........................................
  1.              Daladala
  2.               Pikipiki
  3.               Basi
  4.              Kivuko.
  1.            Ali hula ugali kila Jumatano. Sentensi hii iko katika hali gani?
  1.              Mazoea
  2.               Umaskini
  3.               Majigambo
  4.              Dhanifu
  1.            Neno linaloingizwa kwenye kamusi ili lipatiwe maana huitwaje?
  1.              Nomino
  2.               Kidahizo
  3.               Kitomeo
  4.              Kitenzi
  1.            Mtu anayefanya kazi ya kufundisha darasani huitwa?
  1.              Tabibu
  2.               Utingo
  3.               Mwalimu
  4.              Mwanafunzi
  1.            Kisawe cha neno adimu ni kipi?
  1.              Patikana
  2.               Change
  3.               Chache
  4.              Chenga
  1.            Mtu mwenye taaluma ya sheria huitwa?
  1.              Mwanataaluma
  2.               Mwanagenzi
  3.               Mwanahabari
  4.              Mwanasheria.

SEHEMU B. METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI

Kamilisha methali zifuatazo

  1.            ..........................hali wali mkavu
  2.            Hasira ya mkizi.................................
  3.            Cha kuzama........................................................
  4.            ..............................furaha ya kunguru

Tunga sentensi kwa kutumia sentensi zifuatazo

  1.            Tia hatiani
  2.            Kula yamini
  3.            Kaza kamba

Tegua vitendawili vifuatavyo

  1.            Mdogo lakini humaliza gogo
  2.            Nina mtoto wangu nikimpa chakula analia, nikimnyima chakula halii
  3.            Nyanywa supu na nyama naitupa..............

SEHEMU C. USHAIRI

  1.                Utungo wa kifasihi unaotumia lugha ya mkato kuwasilisha ujumbe kwa hadhira huitwa?
  1.              Insha
  2.               Sanaa
  3.               Fasihi
  4.              Shairi
  1.                Mtu anayetunga mashairi anaitwa?
  1.              Mghani
  2.               Mhunzi
  3.               Mshairi
  4.              Mwandishi
  1.                Idadi ya silabi katika mshororo huitwa?
  1.              Mizani
  2.               Kituo
  3.               Vina
  4.              Herufi
  1.                Kila ubeti lazima ubebe angalau wazo...........................muhimu
  1.              Tata
  2.               Shinikizi
  3.               Moja
  4.              Kinzani
  1.                Shairi huweza kuimbwa au................
  1.              Kughaniwa
  2.               Kuchezwa
  3.               Kutambwa
  4.              kutegwa

SEHEMU D. UTUNGAJI

Panga hatua za kufanya ufupisho kwa mtiririko sahihi

  1.               Kusoma habari tena kwa mara ya pili
  2.             Kupitia ufupisho wa habri ili kuondoa makosa
  3.           Kuandika ufupisho wa habari
  4.           Kusoma habari yote ili kubaini mawazo muhimu
  5.             Kubaini wahusika katika habari

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FIVE EXAM SERIES 39

MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

STANDARD FIVE EXAMINATION SERIES

KISWAHILI, MID TERM SEPTEMBER 2021

ANSWER ALL QUESTIONS

SEHEMU A: SARUFI

Chagua jibu sahihi

  1. Sikumwona mwanafunzi..............kwenye sherehe.
  1. Yeyote
  2. Wowote
  3. Yoyote
  4. Wote
  1. Toa kinyume cha neno “saza”
  1. Weka
  2. Maliza
  3. Bakiza
  4. Sambaza
  1. Baraka ni mtoto wa shangazi. Baraka ni...........
  1. Mjomba wangu
  2. Binamu yangu
  3. Kitukuu
  4. Mjukuu wangu
  1. Yeye alikula viazi vitamu. Neno yeye limetumika katika nafsi ipi?
  1. Nafasi ya tatu wingi
  2. Nafasi ya pili umoja
  3. Nafasi ya tatu umoja
  4. Nafasi ya kwanza wingi
  1. Jana tulisoma hadithi yap aka na panya. Neno “tulisoma” liko katika wakati gani
  1. Uliopita
  2. Ujao
  3. Uliopita mtimilifu
  4. Uliopo
  1. Kinyume cha neno “adimu” ni kipi?
  1. Nyingi
  2. Tele
  3. Chache
  4. Hafifu
  1. Tumefundishwa..........kusia mbegu kwenye kitalu.
  1. Aina ya
  2. Jinsi ya
  3. Jinsia ya
  4. Dalili
  1. Neno lenye maana sawa na neno pupa ni
  1. Paparika
  2. Tatarika
  3. Jasiri
  4. Haraka
  1. Kinyume cha neno “keti” ni
  1. Kaa
  2. Simama
  3. Tembea
  4. Kimbia
  1. Anapenda kuimba nyimbo. Sentensi hii ipo katika wakati gani
  1. Uliopo
  2. Uliopita
  3. Ujao
  4. Masharti
  1. Mtu anayeongoza meli baharini huitwa
  1. Rubani
  2. Mwashi
  3. Nahodha
  4. Mkalimani
  1. Huyu.......aliyeiba kitabu cha mwalimu. Neno gani linakamilisha sentensi hii
  1. Ndio
  2. Ndiye
  3. Ndiyo
  4. Ndiwo
  1. Mwalimu anaandika ubaoni. Sentensi hii ipo katika kauli gani?
  1. Kutendeka
  2. Kutenda
  3. Kutendewa
  4. Kutendwa
  1. Kifaa kinachotumika kukusanya nyasi shambani au bustanini ni
  1. Rato
  2. Sururu
  3. Reki
  4. Kwanja
  1. Kisawe cha neno beseni ni karai na kisawe cha neno “chanda” ni
  1. Pete
  2. Neti
  3. Mtoto
  4. Kidole
  1. Wingi wa neno “unywele” ni
  1. Manywele
  2. Unywele
  3. Nywele
  4. Minywele
  1. Vifaa vya mbao kama vile meza, viti na kabati kwa pamoja huitwa
  1. Selemara
  2. Vyombo
  3. Thamani
  4. Samani
  1. Tunaimba kabla ya kuondoka shuleni. Neno “tunaimba” silabi inayoonesha njeo ni ipi?
  1. tu
  2. a
  3. na
  4. mba
  1. Jua huzama upande wa
  1. kaskazini
  2. mashariki
  3. kusini
  4. magharibi
  1. Neno “shangalabaghala” lina silabi ngapi
  1. Tano
  2. Tisa
  3. Sita
  4. Nane
  1. Kuwadia ni
  1. Kufika
  2. Kuchelewa
  3. Kuwahi
  4. Kudamka
  1. Sehemu maalum ya kuogesha ng’ombe huitwa
  1. Josho
  2. Joshi
  3. Bafu
  4. Mto
  1. Mpwa ni nani?
  1. Mtoto wa baba
  2. Mtoto wa dada
  3. Shemeji wa mama
  4. Kaka yake baba
  1. Paa ni sehemu gani ya nyumba?
  1. Juu
  2. Ndani
  3. Chini
  4. Nyuma
  1. Fundi anayetengeneza kabati, dawati na meza huitwa
  1. Mwashi
  2. Seremala
  3. Fundi mbao
  4. Mliunzi
  1. Neno ambalo halilandani na mengine ni lipi?
  1. Samli
  2. Jibini
  3. Siagi
  4. Samadi
  1. Mto wa nzige anaitwa kimatu. Mtoto wa sungura anaitwaje?
  1. Kitungule
  2. Shibri
  3. Kibwagara
  4. ...
  1. Angeliwahi hospitalini...........kamilisha sentensi hii
  1. Angepona
  2. Angalipona
  3. Angelipona
  4. Angapma
  1. Maana halisi ya neno “aghalabu” ni
  1. Mara chache
  2. Mara kwa mara
  3. Kidogo
  4. Mara nyingi
  1. Kisawe cha neno faraghani ni
  1. Hadharani
  2. Mafichoni
  3. Pembezoni
  4. Waziwazi

SEHEMU B  LUGHA YA KIFASIHI METHALI NAHAU NA VITENDAWILI

Kamilisha methali

  1. Ng’ombe halemewi na
  2. Baniani mbaya
  3. Ukiona vyaelea

Tegua vitendawili

  1. Akitembea huringa hata akiwa hatarini
  2. Ukumbuu wa babu ni mrefu

Toa maana ya nahau zifuatazo

  1. Mkono wa birika
  2. Ana ndimi mbili

SEHEMU C UTUNGAJI

Sentensi zifuatazo zimeandikwa bila kufuata mtiririko sahihi. Zipange kwa kuzifa A, B, D, na E

  1. Baada ya kazi kubwa ya kutwa nzima hurudisha mifigo yao kijijini giza linapoan kuingia.
  2. Baada ya kuhitimu elimu ya msingi hivi sasa wanafanya kazi ya kuchunga kondoo na mbuzi
  3. Huko machungani husimuliana hadithi mbalimbali
  4. Shango na mkumbo ni marafiki
  5. Wanaishi katika kijiji cha kinambe

SEHEMU D USHAIRI

Soma shairi kwa makini kisha ujibu maswali utakayoulizwa

Mtihani umefika, tumekaa darasani,

Kiswahili twaandika, lugha yetu ya thamani,

Vijana hebu amka, na kalamu mkononi,

Msome bila pambao, msikalie maneno.

Maswali

  1. Idadi ya silabi katika mstari mmoja wa shairi unaitwa
  1. Mshororo
  2. Mizani
  3. Vina
  4. Urari
  1. Kila mshororo katika shairi hili una mizani ngapi?
  1. Minne
  2. Nane
  3. Kumi na sita
  4. Kumi
  1. Je, shairi hili lina beti ngapi?
  1. Mbili
  2. Tatu
  3. Nne
  4. moja

 

 

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FIVE EXAM SERIES 34

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA MSINGI

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA -MACHI 2021

KISWAHILI – DARASA LA TANO

FOMATI MPYA

MUDA 1: 30 MASAA MACHI 2021

JINA …………………………... SHULE ………………………...

MAELEZO

  1. Mtihani huu una sehemu mbili A B na C
  2. Jibu maswali yote kulingana na maelezo ya kila swali
  3. Mtihani wote una alama 50

SEHEMU A MSAMIATI:

 Chagua herufi ya jibu sahihi

1. Ndani ya pochi mama aliweka fedha na nguo ………. A. yake B. zake C. ake D. yetu [       ]

2. Bakari na mwasiti walipewa ……….. kali. A. adhabu B. adabu C. azabu D. asabu [       ]

3. Kuna msemo usemao, siku za mwizi ni ……… A. kumi B. nyingi C. arobaini D. hamsini [       ]

4. Mtu asiye na meno huitwa ………. A. kibogoyo B. kipofu C. kiwete D. kiziwi [       ]

5. Katika ajali ya treni rafiki yangu ……… kichwa. A. alivunjika B. alipasuka C. alikatika D. aliruka [       ]

6. Mwalimu mkuu aliwaita wale …………

A. kufika shuleni. A. cWaliochelewa B. watakaochelewa C. dwachelewaji D. wasiochelewa [       ]

7. Endapo ………. Mtihani mtashangilia. A. mtafauru B. mtafaulu C. mkifaulu D. nimefaulu [       ]

8. Mtoto mwenye adabu ……….

A. hupendwa na watu nwengi B. hupigwa na mwalimu C. hulia ovyo D. hukimbia ovyo [       ]

9. Mvungu ni sehemu ya ………

A. kndo ya kitanda B. mbele ya kitanda C. juu ya kitanda D. chini ya kitanda [       ]

10. Nini maana ya kutia nanga ……….… A. kutia uzito jambo

B. kufika mwisho wa jambo C. kuanza kutenda jambo D. kuzorotesha jambo [       ]

11. …………… mama yangu alipopona malaria.

A. Ningefarijika B. Nitafarijika C. Ninafarijika D. Nilifarijika [       ]

12. …….... Wasiofuata sheria za barabarani husababisha ajali.

A. Marubani B. Manahodha C. Madereva D. Mabaharia [       ]

13. Mtu anayeongaoza meli huitwa ……… A. rubani B. nahodha C. dereva D. utingo [       ]

14. Nimepatwa na ……. Kutokana na msiba wa mjomba.

A. majozi B. furaha C. njaa D. homa [       ]

15. Usipoziba ………. Utajenga ukuta. A. mwanya B. ufa C.nafasi D. upenyo [       ]

16. Mkoa wa Iringa ni mojawapo ya mikao iliyoko nyanda za juu …….

A. kaskazini B. mashariki C. mashariki D. kusini [       ]

17. Alitembea …….. miguu kutoka shuleni hadi nyumbani. A. na B. wa C. kwa D. cha[       ]

18. Mtoto huyu alikuwa na bidii darAsani …….. hakufaulu mtihani.

A. hata vile B. hata hivyo C. hivyo D. angalau [       ]

19. Kama ungaliomba kitabu kile …… A. ningelikupa B. ningalikupa C. nitakupa D. nakupa[       ]

20. Hadi sasa hakuna mtu ………..aliyekamatwa kuhusika na wizi ule.

A. yeyote B. wowote C. vyovyote D. yoyote [       ]

21. Mwalimu aliwataka wanafunzi wamsikilize kwa makini? Sentensi hii ipo katika kauli ipi?

A. taarifa B. halisi C. kutendwa D. [       ]

22. Sikuweza kutambua ni nani amelala kitandani kwa sababu alijifunika shuka………..

A. lote B. gubigubi C. zima D. nzima [       ]

23. Kisawe cha neno shaibu ni ………. A. barabara B. banati C. ajuza D. kogori [       ]

24. Neno “haiba” lina maana sawa na neno lipi kati ya haya?

A. amani na utulivu B. urembo wa mavazi C. urembo wa sura D. mwenendo mzima [       ]

25. Matonya alioa msichana wa hirima yake”. Neno hirima lian maana sawa na ………..?

A. kabila B. nasaba C. rika D. jinsi [       ]

26. Furaha alishikwa na “fadhaa” alipobaini ameuziwa mali ya wizi neno “fadhaa” katika sentensi hii lina maana ya ……… A. mshangao B. hofu C. ghadhabu D. chuki [       ]

27. Mbuzi dume huitwa bebebru, je ng’ombe dume huitwa? ………….

A. fahari B. fahali C. furaha D. ng’ombe [       ]

28. John ni mahiri wa kughani mashairi na tenzi. Neno “mahiri” lina maana ya …………

A. sahihi B. nadhibu C. bingwa D. mjinga [       ]

29. Panga herufi hizi ili zilete neno sahihi la Kiswahili “masuria”

A. sufuria B. misumari C. masaria D. suriama [       ]

30. Umoja wa neno “nyayo” ni upi?......... A. unyayo B. upele C. nyanya D. kinyayo [       ]

SEHEMU B: 

METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI

31. Nahau ipi inabeba ujumbe wa mtu kufanya mipango ya siri yenye hili………..

A. kula kiapo B. kula yamini C. kula ugali D. kula njama [       ]

32. “Kaa chonjo” nahau hii ina maana gani?.......... A. jihadhari B. kaa vizuri C. kazana D. jitahidi[       ]

33. James ameniunga mkono katika suala hili, mana yake ni ……..

A. amenipiga B. amemkwepa C. amekubaliana na mimi D. amenichangamkia [       ]

34. Kamilisha methali hii “ Asiyeuliza……….”

A. ni mpole B. hajaelewa C. hana ajifunzalo D. ameelewa [       ]

35. Kamilisha methali isemayo “Baniani mbaya ……..

A. dawa ya moto B. kulia kweupe C. kiatu chake dawa D. ukamuuliza dawa [       ]

36. Tegua kitendawili hiki; Huuawa na uzazi wake……….. A. kinyonga B. konokono C. nzi D. papasi [       ]

37. Mwanzo wa methali “………. ujue anatunga sheria” ni upi?

A. kuuliza B. ukiona kobe kainama C. mwenda pole D. kobe tembea haraka [       ]

38. Rafiki yangu ni mharibifu lakini bado namhitaji. Tegua kitendawili ……….

A. kobe B. moto C. papai D. kinyonga [       ]

39. Nini maana ya nahau “ponea chupuchupu”……..

A. kumpongeza B. wahi hospitali C. nusurika D. kunywa supu [       ]

40. Kuongeza maneno ya uongo katika jambo. Nahau ipi yenye maana hiyo?..................

A. kata shauri B. piga uvivu C. tia chumvi D. piga winda [       ]

SEHEMU C: UTUNGAJI

Umepewa habari yenye sentensi tano zilizoandikwa bila mtiririko sahihi wa mawazo, katika swali la 41 – 45 zipange csentensi hizo ili ziwe na mtiririko wenye mantiki kuzipa herufi A, B, C, D, E

41. Ukataji miti kwa wingi kwa ajili ya shighuli za ujenzi na shughuli zingine huweza kusababisha nchi yetu ya Tanzania kuwa jangwa________

42. Kutokana na miti, watu hujenga nyumba nzuri za kila namna zinazopendeza na za kudumu_________

43. Hivyo ni muhimu kwa kila mtu kupanda mti kila anapopakata mti kwani nchi isiyo na miti ni sawa na mtu ambaye hana mpangilio wa mambo yake_______

44. Miti ina faida nyingi sana kwa binadamu__________

45. Hivyo kila mmoja wetu atunze mazingira yetu yawe ya kuvutia kwa kutunza miti, kila mtu anaweza________ kupendezesha mazingira kwa pamoja inawezezkana kubadilisha nchi yetu kuwa ya kijani kupitia utunzaji wa miti______________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FIVE EXAM SERIES 24

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TANO

KISWAHILI

MUDA:1:30

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEKEZO:

  1. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  2. Kumbuka kuandika majina yako.
  3. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.

SEHEMU A: FASIHI NA MSAMIATI

Chagua jibu sahihi kisha andika herufi yake kwenye mabano

  1. Neno lenye maana sawa na neno "uhasama" ni
  1. Uadui
  2. Uhuru
  3. Uturo
  4. Uzembe
  1. Ni alama ipi ya uandishi kati ya alama zifuatazo huonesha mshangao au mshituko? 
  1. (!)
  2. (?)
  3. (:)
  4. (" " )
  1. Madini ya              yanachibwa mkoani Geita.
  1. Dhahabu
  2. Zahabu
  3. Dhaahabu
  4. Thahabu
  1. Ni kauli ipi husema yale yaliyosemwa na mtu mwingine bila kutumia maneno yaleyale ya msemaji?
  1. Kauli halisi
  2. Kauli taarifa
  3. Kauli tata 
  4. Kauli hai
  1. "Ninapenda wali na samaki", mama alisema. Sentensi hii iko katika kauli gani?
  1. Taarifa
  2. Halisi
  3. Kanushi 
  4. Tata
  1. Watakaochelewa
  1. Wataadhibiwa
  2. Wataazibiwa
  3. Wanasamehewa 
  4. Wanaadhibiwa
  1. Wingi wa neno "kiti" ni
  1. Maviti
  2. Kiti
  3. Viti
  4. Vyeti
  1. Katika neno "Mtalima" kiambishi cha nafsi ni kipi?
  1. — m —
  2. m —
  3. — ta —
  4. — ta
  1. Kiambishi wakati katika neno "Nitafua" ni kipi?
  1. N —
  2. — i —
  3. — t —
  4. — ita —
  1. Neno "Mama" lina silabi ngapi?
  1. 3
  2. 9
  3. 2
  4. 4
  1. Mimi najifunza lugha ya Kiswahili. Sentensi hii ipi katika nafsi ipi?
  1. Nafsi ya III umoja
  2. Nafsi ya II wingi
  3. Nafsi ya I umoja
  4. Nafsi ya II wingi
  1. Mwalimu aliwambia wanafunzi wajisomee. Neno "aliwambia" lina silabi ngapi?
  1. 8
  1. Ngisi, mamba, kamongo, kibua kwa neno moja ni
  1. Wadudu
  2. Vyura
  3. Samaki 
  4. Nyoka
  1. Mziwanda ni mtoto wa ngapi kuzaliwa?
  1. Wa kwanza
  2. wa kati 
  3. wa mwisho
  4. wa dada

15.tutalima shamba la shule.

  1. Yeye
  2. sisi
  3. wao
  4. mimi
  1. Ninyi                 tacheza mpira. Kiambishi kipatanishi ni
  1. Wa —
  2. na —
  3. m —
  4. to —
  1. Wingi wa neno cherehani.
  1. Macherehani
  2. Vyerehani 
  3. Mcherehani
  4. Micherehani
  1. Samwel hakufika shuleni leo_________anaumwa.
  1. Ingawa
  2. lakini
  3. mpaka
  4. Kwa kuwa
  1. Mtu anayefua na kupiga nguo pasi huitwa:
  1. Mhunzi
  2. Dobi
  3. Sonara
  4. Mwashi
  1. Tumesafirisha___________mia mbili yenye mahindi
  1. Miti
  2. Magunia 
  3. Mawe
  4. Vitabu
  1. Nini wingi wa yeyeni
  1. Wewe
  2. wao
  3. Ninyi
  4. Sisi

SEHEMU B: METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI

  1. Mama nieleke
  1. Chupi
  2. Kitanda
  3. Taa
  4. Bakuli
  1. Anachora ingawa hajui achoracho
  1. Chaki
  2. Kalamu
  3. Konokono
  4. Nyuki.
  1. Kila mara yeye hutemeba na nyumba yake
  1. Kobe
  2. Konokono
  3. Mpira
  4. Uyoga.
  1. Mgeni asiyependwa
  1. Moto
  2. Upepo
  3. Kifo
  4. Radi.
  1. Nzi hatui juu ya damu ya simba
  1. Maziwa
  2. Bahari
  3. Moto
  4. Ugali moto
  1. Nikiondoka watu hawaonani
  1. Mwangaza
  2. Giza
  3. Jua
  4. Mwezi.
  1. Mimi hula sana lakini sishibi
  1. Moto
  2. Maji
  3. Bahari
  4. Nzige.
  1. Popoo mbili za vuka mto
  1. Popo
  2. Macho
  3. Mwanamke mjamzito
  4. Wingu.
  1. Daima yeye hunifuata niendapo
  1. Jua
  2. Mwezi
  3. Kivuli
  4. Mkia.
  1. Nikitembea watu hulia
  1. Kivuli
  2. Maji
  3. Kifo
  4. Radi.
  1. Ikismama maisha ukwama
  1. Roho
  2. Moyo
  3. Mvua
  4. Hewa.

SEHEMU C: USHAIRI

Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali hapo chini.

Kazi zote duniani, namba wani mkulima,

Anapita kila fani, hata kama hakusoma,

Kula haendi sokoni, au kuomba kwa Juma,

Zunguka dunia nzima, kazi bora ni kilimo

Maswali

  1. Shairi hili lina mistari mingapi?
  1. 2
  2. 16 
  3. 8
  1. Kichwa cha shairi hili ni __________
  1. Mkulima
  2. Biashara 
  3. Mfanyabiashara 
  4. Mfugaji
  1. Mshororo wa pili wa shairi una mizani_____________
  1. 4
  2. 16
  3. 8

SEHEMU D: UTUNGAJI

Zipange sentensi zifuatazo kwa mtiririko wa mawazo kwa kuzipa herufi A, B, C, D na C

  1. kanga hutaga mayai na kuyaatamia kwa siku ishirini na nane______________
  2. wakianza kuatamia katika siku moja hupishana kutotoa kwa siku saba
  3. hutaga mayai na kuyaatamia kwa siku ishirini na moja___________________
  4. kanga naye ni ndege anayefugwa na binadamu siku hizi
  5. kuku ni ndege anayefugwa na binadamu______________

SEHEMU E: UFAHAMU

Soma kwa makini habari kisha jibu maswali utakayoulizwa.

Ngonjera ni ushairi wa majibizano ambao una pande mbili zinazojibizana kuhusu jambo fulani, upande mmoja huwa sahihi na wa pili huwa umepotoka. Lengo la majibizano ni kuusahihisha upande uliopotoka. Hili linapotokea, ngonjera huwa imefikia kilele chake. Ngonjera zilitumika sana katika uenezaji wa siasa ya ujamaa Tanzania mnamo miaka ya 1970. Ngonjera huwa tofauti kidogo na malumbano kwa sababu katika malumbano, washairi hujibizana, na si lazima wapate suluhisho la majadiliano yao.

MASWALI

  1. kutokana na habari uliyoisoma hapo juu. Ni nini maana ya ngonjera?
  2. ni kipindi kipi ngonjera zilikuwa zikitumika zaidi hasa kufikisha ujumbe kwa siasa ya ujamaa kwa watanzania?
  3. kuna tofauti gani kati ya ngonjera na malumbano?
  4. kwenye ngonjera huwa kuna pande kuu
  5. kichwa cha habari hii ni

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FIVE EXAM SERIES 18

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KISWAHILI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA SITA

MUDA: 1.30 

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina kurasa nne zenye maandishi yenye sehemu A,B, C, na D zenye maswali arobaini na tano (45).
  2. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  3. Kumbuka kuandika majina yako, na shule yako kwenye karatasi ya kujibia.
  4. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.
  5. Tumia kalamu ya wino wa bluu au nyeusi kwa maswali yote uliyopewa.

 SEHEMU A. SARUFI

Chagua jibu sahii  katika maswali yafuatayo;

1. Wanafunzi waliopiga kelele darasani walipewa………………………..

  1. Athabu
  2. Azabu
  3. Adhabu
  4. Asabu.

2. Neon “waliandikiwa” lipo katika wakati upi kati ya nyakati zifuatazo.

  1. Ulipo
  2. Uliopita
  3. Ujao
  4. Mazao

3. Dada wa baba yako utamwitaje?

  1. Shangazi
  2. Wifi
  3. Binamu
  4. Bibi.

4. Wingi wa maneno “Mchanga mwingi” ni upi kati ya maneno yafuatayo?

  1. Michanga mingi
  2. Michanga mwingi
  3. Mchanga mingi
  4. Mchanga mwingi.

5. Wageni wanaotembelea mbuga za wanyama huitwaje?

  1. Majangili
  2. Wapelelezi
  3. Watalii
  4. Magaidi.

6. Mama yangu…………………..chakula kizuri jana jioni.

  1. Anapika
  2. Atapika
  3. Alipia
  4. Hupika

7. Siku ya pili baada ya leo huitwa?

  1. Juzi
  2. Kesho kutwa
  3. Mtondogoo
  4. Mtondo

8. Wingi wa neon ufundi ni upi kati ya maneno yafuatayo?

  1. Mafundi
  2. Fundi
  3. Vifundi
  4. Ufundi

9. Ni neno lipi kati ya maneno yafuatayo yenye maana inayojumuisha maneno upinde, bunduki, mkuki na mshale,

  1. Silaha
  2. Vipuli
  3. Malighafi
  4. Samaki.

10. Mwakani…………….darasa la tano. Ni neno lipi linakamilisha sentensi hii kwa usahii?

  1. Niliingia
  2. Ninaingia
  3. Nitaingia
  4. Nimeingia.

11. …………likilia kuna jambo

  1. La polisi
  2. La mtu
  3. La mgambo
  4. La jeshi

12. Mtu anayeendesha ndege huitwa…………………..

  1. Rubani
  2. Nahodha
  3. Utingo
  4. Dereva

13. Ni marufuku mifugo yote………………….karibu na hifadhi za taifa.

  1. Kutembelea
  2. Kucheza
  3. Kukimbia
  4. Kuzurura.

14. Watu wengi walilima…………………yam to rufiji

  1. Katikati
  2. Kando
  3. Ndani
  4. Nyuma.

15. Ziwa Tanganyika liko upande wa ………………..mwa nchi ya Tanzania

  1. Magharibi
  2. Kaskazini
  3. Kusini
  4. Mashariki.

16.  Ipi ni sentensi sahihi kati ya hizi iliyoandikwa katika wakati uliopita nafasi ya kwanza umoja?

  1. Wakulima wali
  2. Tulisuka vikapu
  3. Wanaimba wimbo
  4. Walishona nguo ndefu

17. Katika sentensi hizi, ipi ina vitu vinavyohesabika?

  1. Maji, hewa, machungwa
  2. Sukari, kanga, unga
  3. Viazi, mihogo, maboga
  4. Chumvi,embe, maji.

18. Katika shairi, vina ni………………………

  1. Maneno mapya
  2. Jumla ya namba
  3. Silabi za kati na mwisho
  4. Mistari kidogo.

19. Kamilisha methali ifuatayo.”Mchagua nazi huinukia..”

  1. Koroma
  2. Dafu
  3. Mbata
  4. Kifuu

20. “Kiti cha mjomba wangu ni kizuri” nini wingi wa sentensi hii?………….

  1. Viti vya mjomba wangu ni vizuri
  2. Viti vya wajomba wangu ni kizuri
  3. Viti vya wajomba zangu ni vizuri
  4. Viti vya wajomba wangu ni vizuri.

SEHEMU B.

Andika neno moja linalowakilisha kundi la maneno yafuatayo ………… ………… 

21. Darasa, nyumba, ofisi, vyoo…………… 

22. Mende, siafu, nyuki,kipepeo…………… 

23. Jumatatu, jumanne,alhamisi……………… 

24. Sato,perege, kambale,kamba……………… 

25. Shati, suruali, kaptula, sketi………………… 

 Kamilisha methali na vitendawili vifuatavyo.

26. Mwana kidonda mjukuu…………… 

27. Mchagua jembe……………………… 

28. Haba na haba………………  

29. Nina chemchem isiyokauka……………… 

30. Tajiri wa rangi…………………… 

SEHEMU C. 

Kamilisha nafasi zilizoachwa wazi kwa kuchagua jibu lililo sahihi kutoka katika kisanduku kifuatacho.

Kusengenya,mtu,uyoga,katani,Kuishi,miaka mingi, kumsuta mtu, barabara,kilema, mwizi, kuwa tajiri sana

31. Nahau, ‘’Ana mkono mrefu maana yake ni ipi?...................

32. Kitendawili kisemacho “kamba yangu ni ndefu lakini haifungi kuni maana yake ni ipi…….

33. Nahau kula chumvi nyingi maana yake ni……….

34. Kitendawili kisemacho “nyumba yangu ina nguzo moja” jibu lake ni lipi?……………

35. Nahau “kumkalia kitako” maana yake ni ipi?...........................

SEHEMU D.

Tumia maneno uliyopewa kwa kula sentensi kujaza nafasi zilizoachwa wazi.

36. Watoto ______ chakula kitamu (wanapenda, watalia, wanaimba, walitenda)

37. Otaigo alipofika sokoni_________mjomba anauza viatu (atamkuta, hukuta, alimkuta, angemkuta)

38. Baba yake Eliza_____________ akida (ataita, anaitwa, anaitika, ameitwa)

39. Kesho jioni___________ mtoni (nitakwenda, nilienda, nimekwenda, nimeenda)

40. Leo Mwalimu __________elimu kwa vitendo. (himiza, alihimiza, huhimiza, anahimiza)

41. Mwasije atakapokuwa mkubwa_________ ghorofa (anajenga, hujenga, atajenga, akijenga)

42. Kijana yule angalighani shairi__________mtukutu    (asingalikuwa,asingelikuwa, asingekuwa,angekuwa)

43. Mama____________sasa hivi kwenda dukani (aliondoka,  alikwishaondoka, ameondoka, keshaondoka)

44. Kila siku ________ shuleni kwa miguu. (tulikwenda, tumekwenda,  tunakwenda, tutakwenda.)

45. Jana ________kitabu kinachoelezea utii wa watoto kwa wazazi na walimu.   (nimesoma, nilisoma, nitasoma anasoma.)

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FIVE EXAM SERIES 10

OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA DARASA LA TANO

APRIL-2020  MUDA:SAA 2:00

KISWAHILI

MAELEZO KWA MTAHINIWA

  1. MTIHANI HUU UNAMASWALI JUMLA YA 50
  2. JIBU MASWALI YOTE
  3. ANDIKA MAJIBU KWA HERUFI KUBWA
  4. KAZI YAKO IWE SAFI.

SEHEMU A. 

Chagua jibu sahii kutoka kwenye majibu uliopewa.

1.      Ni sentensi ipi iliyo sahihi kimuundo kati ya zifuatazo? 

  1.  Amenunua gari mashaka
  2. Mashaka gari amenunua 
  3. Amenunua mashaka gari 
  4. Mashaka amenunua gari https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569667722_kisw-2018_files/image008.jpg
  5.  Gari amenunua mashaka.

2.      Wingi wa sentensi "Mbuzi wamepotea" ni upi?

  1. Mbuzi zetu zimepotea
  2. Mbuzi yetu zimepotea
  3. Mbuzi wetu wamepotea 
  4.  Mbuzi zetu wamepotea
  5. Mbuzi yetu wamepotea.

3. Wewe unasoma kwa bidii"wingi wa sentensi hii ni upi? https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569667722_kisw-2018_files/image030.jpg

  1.         Sisi tunasoma kwa bidii 
  2.          Wale wanasoma kwa bidii
  3.         Nyinyi mnasoma kwa bidii 
  4.         Ninyi tunasoma kwa bidii 
  5.         Wao wanasoma kwa bidii

4. "Wasichana saba wamechaguliwa kujiunga na kozi ya uhandisi." Neno na ni aina gani ya neno?

  1. Kitenzi
  2. Nomino
  3. Kiwakilishi 
  4.  Kielezi
  5.  Kiunganishi.

5. Neno lipi kati ya haya halilandani na mengine?

  1. Cheka
  2. Tabasamu
  3. Furaha 
  4.  Sherehe 
  5.  Shere.

6.   "Maji yakimwagika hayazoolekl hii ina maana gani kati ya zifuatayo?

  1. Ukitaka usizoe maji,usimwage
  2. Tuwe waangalifu katika kutenda jambo
  3. Tuwe waangalifu tunapobeba maji
  4. Maji yakimwagika hugeuka matope
  5. Jambo lililoharibika halitengenezeki

7. Kiwanda hutoa ajira kwa wananchi "kiwanda" ni aina gani ya neno?

  1.  Kivumishi
  2.  Kiwakilishi
  3.  Nomino
  4.   Kielezi
  5.   Kitenzi

8.Kisawe cha neno "ndovu" ni kipi kati ya maneno yafuatayo?

  1. Nyati
  2. Faru
  3. Nyumbu 
  4. Tembo
  5. Mbogo.

9..Kisawe cha neno ”mviringo” ni kipi?

  1. bapa
  2. duara
  3. mstatili
  4. pembe tatu
  5. pembe nne

10. Wakikua mama yao huwatupa mbali kwa kishindo.Jibula kitendawili hiki ni lipi?

  1. Mbalika https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image053.jpg
  2. Nzi             https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image054.jpg
  3. Mhindi 
  4.  Embe 
  5. Mtama.

11. Wakikua mama yao huwatupa mbali kwa kishindo.Jibula kitendawili hiki ni lipi?

  1. Mbalika https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image053.jpg
  2. Nzi             https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image054.jpg
  3. Mhindi 
  4.  Embe 
  5. Mtama.

12. "Anatengeneza mchuzi mtamu sana lakini hapiki jikoni" kitendawili hiki jibu lake ni lipi?

  1. Ngombe
  2. Nyuki 
  3. Mbuzi 
  4. Muwa
  5. Mbuzi.

13. "Ukiona vyaelea vimeundwa" methali https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image070.jpghii ina maana gani?

  1.  https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image032.jpghttps://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image005.jpgUbora wa kitu hautegemei upya https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image055.jpgwake,
  2.  Vitu vinavyoelea baharini ni meli, 
  3.  Vitu vya thamani hupatikana kwa jasho, https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image029.jpg
  4.  Vitu vimeumbwa ili vielee,
  5.   Vitu vya thamani vimeundwa.

14.  Katika sentensi zifuatazo ipi ina maana sahihi?..

  1. Sikuwa najua Halima ni dada yako.
  2. Sikujua kuwa Halima ni dada yako. 
  3. Sikuwa ninajua Halima ni dada yako.
  4. Sikuwa ninajua kwamba Halima ni dada yako.

15.    Ni neno lipi kati ya yafuatayo ni kisawe cha neno "hifadhi"? .

  1. Weka 
  2.  Panga    
  3. Tunza 
  4.  Ficha  
  5.  Funga

16.          "Mjukuu wangu hupenda kuniamkia kila mara." Sentensi hiyo ipo katika kauli gani? 

  1. Kutendwa  
  2. Kutenda  
  3. Kutendeka
  4. Kutendana  
  5.  Kutendewa

17.      "Mwanamuziki hodari aliimba nyimbo vizuri.” Kielezi katika sentensi hii ni kipi? ........

  1. Hodari 
  2.  Aliimba 
  3. Mwanamuziki
  4. Nyimbo  
  5. Vizuri

18.      Mama Ntilie akiondoka, uondoke naye. Sentensi hii ipo katika wakati gani? ........

  1. Ujao 
  2.  Timilifu 
  3.  Shurutia 
  4.  Uliopo 
  5.  Mazoea.

19.      Mpira umegonga mwamba nusura goli liingie. Neno lipi linaonesha kitendwa? ........

  1. Nusura 
  2.  Goli  
  3. Mpira 
  4.  Mwamba 
  5. Liingie.

20.      Ni neno lipi kati ya haya yafuatayo ni tofauti na mengine? ........

  1. Sahibu 
  2.  Ajuza 
  3. Msiri
  4. Mwandani 
  5.  Mwenzi

SEHEMU B.

Tunga sentensi kwa kutumia maneno ya sehemu A na B ili kukamilisha maana.

Na.

SEHEMU A

SEHEMU B

  1. Nyoka 
  2. Kuku 
  3. Mbwa 
  4. Ng’ombe
  5. Sufuria 
  6. Chota 
  7. Mto 
  8. Moto 
  9. Runinga 
  10. Pasi 
  1. Shimo 
  2. Totoa 
  3. Kibanda 
  4. Maziwa 
  5. Chakula 
  6. maji
  7. Tiririka 
  8. unguza
  9. Habari 
  10. Nguo 

SEHEMU D.

Jibu maswali yafuatayo kwa ndio au hapana.

  1. Mimea ni sehemu ya mazingira………………….
  2. Mimea haina faida kwa binadamu………… ……………….
  3. Samba chui na mbwa hula majani……… ……………
  4. Baadhi ya mimea ni dawa…………… … ………..
  5. Mboga za majani hujenga na kulinda mwili……… …………

SEHEMU E. Kamilisha methali zifuatazo

  1. ……… ………, hupata koroma
  2. Jogoo wa shamba, ……… ……………..
  3. Dau la mnyonge,……………… ……….
  4. ……… ……….si mkulima
  5. ……… …..mguu houta tende

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FIVE EXAM SERIES 2

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256