?> KISWAHILI STANDARD FOUR EXAMS SERIES
KISWAHILI STANDARD FOUR EXAMS SERIES

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA KWA SHULE ZA MSINGI,

NUSU MUHULA WA KWANZA – MACHI-2024

MUDA: ..........

SUBJECT: SAYANSI     DARASA LA: 4

JINA: …………………………………………………..  TAREHE: ......................

 

Chagua herufi ya jibu sahihi

1. Kipimajoto kina mrija ambao una kimiminika ndani, kinachoitwa

(A)Sentigrade (B) Rekoda (C) usindikaji (D) zebaki

2. _______ ni hali ya hewa inayotuzunguka kwa muda mfupi.

(A) hali ya hewa (B) mwanga wa jua (C) kipima joto (D) joto

3. Ni ipi kati ya zifuatazo sio njia ya kuharibu mazingira?

(A) kukata miti (B) kuchoma msitu(C) kupanda miti (D) kufuga kupita kiasi

4. Mwelekeo wa upepo hupimwa kwa kutumia chombo kinachoitwa _____

(A) kipimo cha mvua(B) Vane ya upepo (C) mwelekeo wa dira (D) uchunguzi

5. Utumiaji wa kemikali zenye sumu katika uchafuzi wa uvuvi

(A) maji (B) hewa (C) nchi kavu (D) samaki

6. Kiasi cha maji katika hewa ambayo ni katika mfumo wa mvuke inaitwa

(A) unyevu (B) mawingu (C) mvua (D)upepo

7. Joto hupimwa ndani

(A) milimita za zebaki (B) digrii za sentigredi (C) kilogramu za sentigredi (D) milimita za sentigredi

8. Mwanga na joto linalotokana na jua wakati hakuna mawingu ni

(A) unyevu (B) mvua (C) mawingu juu ya (D) mwanga wa jua

9. Ni aina gani ya hali ya hewa ambayo huwalazimisha watu kuvaa jaketi, gumbooti na kubeba miavuli?

(A) upepo (B) mawingu (C) Jua (D) mvua

10. Kitengo cha kipimo kwa kasi ya upepo ni

(A) milimita (B) mwelekeo wa dira (C) digrii sentigredi (D)kilomita /saa(km/saa).                                                        

 

Oanisha maneno katika safu A na maelezo katika safu B hili kupata jibu sahihi.

SAFU  A

SAFU B

  1. Mazingira
  2.  Njia ya kutunza kumbukumbu za kihistoria
  3. Uchimbaji madini
  4.  Unyevu
  5. Pima joto
  6. Jumla ya njia ya maisha
  7. Sherehe za harusi
  8. Umuhimu wa taarifa za kihistoria
  9. Upepo
  10. Barometer

A. Utamaduni

B. Mwendo wa hewa karibu nasi

C. Chochote kinachotuzunguka

D. Pima shinikizo la anga

E. Kujenga ushirikiano

F. Ni mchakato wa kuchimba madini kutoka ardhini.

G. Tovuti ya kihistoria

H. Kipima joto

I. Inatumika kwa kizazi kijacho

J. Hygrometer

 

 

 

3.Chagua neno sahihi hapa chini ili kujaza nafasi iliyotolewa kinasa mwanga wa jua, kituo cha hali ya hewa, mtaalamu wa hali ya hewa, harusi, kilimo.

1. ___________ Sherehe wakati mwanamume na mwanamke wanapooana

2. Mtu anayesoma hali ya hewa anaitwa _______________

3. Jina la mahali ambapo hali ya hewa inarekodiwa ni nini? _______________

4. Kilimo na ufugaji hurejelewa kuwa _________ shughuli

5. ______________________________ ni chombo kinachotumiwa kupima mwanga wa jua.

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 97

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA

UPIMAJI WA DARASA LA NNE NUSU MUHULA

MACHI -2024

KISWAHILI

MUDA:..................                                                      

JINA_____________________________________

MAELEKEZO:

  1. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  2. Kumbuka kuandika majina yako.
  3. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.

 

SEHEMU A:

IMLA 

1. Sikiliza kwa makini sentensi utakazosomewa kisha andika kwa usahihi

i.

ii.   

iii. 

iv.  

v. 

SEHEMU B:

SARUFI, MISAMIATI NA MATUMIZI YA LUGHA

2. Chagua herufi ya jibu sahihi kisha jaza katika mabano

i. Tulipokuwa tukijisomea aliniambia nikamilishe sentensi hii” babu na bibi kumwona shangazi kesho. A. Walikwenda B. Na C. Huenda D. Watakwenda 

ii. Mwalimu aliuliza neno lipi linakamilisha sentensi hii kwa usahihi? Baba yangu alikula wali _____kijiko A. Na B. Kwa C. Mwa D. Pamoja 

iii. Dereva ni kwa mwendesha vyombo vya nchi kavu rubani ni kwa mwendesha ndege. Je, nahodha ni kwa A. Manju B. Vyombo vya majini C. Ni kwa mabaharia D. Vyombo vya angani 

iv. Upi ni ukanushi sahihi wa neno “Ataimba” A. Huimba B. Hataimba C. Ataimba D. Hajaimba 

v. Rafiki yangu alinionesha zeruzeru tulipokuwa kanisani. Kisha nilimuuliza neno lipi ni kisawe cha zeruzeru? A. Chotara B. Suriama C. Albino D. Muakasti 

vi. Mwalimu alisema yakinisha sentensi ifuatayo “Elimu haina mwisho”  A. Elimu si mwisho C. Elimu ina mwisho B. Elimu inafika mwisho D. Elimu ni mwisho 

vii. Nilipenda kujua kama unafahamu neno mchwa linaundwa na silabi zipi? A. M,ch,wa B. M,c,h,w,a C. M,chwa D. Mchwa 

viii. Jamila anafanya kazi katika maktaba ya taifa. Je, Jamila ni nani? A. Mkutubi B. Maktabalisti C. Mfanyakazi D. Mnajimu 

ix. Mzee Kalumanzila anatibu watu kwa kutumia mitishamba. Je, neno “Kalumanzila” lina silabi ngapi? A. Tatu B. Nne C. Tano D. Kumi na moja 

x. Bibi yake Sampuluna ni mzee sana hawezi hata kulima shamba tena. Je, neno gani lina maana sawa na mwanamke mzee? A. Abu B. Shaibu C. Buda D. Ajuza 

xi. Kitoto chake kinacheza mpira vizuri. Wingi wa neno lililopigiwa mstari ni upi? A. Mtoto B. Chitoto C. Vitoto D. Watoto 

xii. Mtakapokuja kwenye mazishi msigombanie  mali za watu. Neno lililopigiwa mstari lina silabi mwambatano ngapi? A. Mbili B. Tatu C. Moja D. Nne 

xiii. Samaki mkunje angalli mbichi. Wingi wa sentensi hii ni upi? A. Samaki wakunje angali wabichi C. Masamaki yakunje yangali mabichi B. Samaki mkunje wabichi D. Samaki wabichi yakunjwe 

xiv. Mjomba alipanda juu ya mnazi kuangua nazi. Je, mtu anayeangua nazi anaitwaje? A. Muanguaji B. Mkwezi C. Mgemaji D. Mkunazi 

xv. Umoja wa sentensi hii ni upi? Wajuaji wale hawatafanikiwa A. Wajuaji hawa hawatafanikiwa C. Hatafanikiwa mjuaji B. Mjuaji huyu hatafanikiwa D. Mjuaji huyu atafanikiwa 

 

SEHEMU C: METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI 

3. Jibu maswali yote kwa kuchagua jibu sahihi; 

i. Wanafunzi wote wa darasa la nne tulikata shauri kusoma kwa bidi ili tufaulu mitihani yetu. Je, nahau kata shauri ina maana gani? A. Kubaliana B. Shirikiana C. Amua D. Kata tamaa 

ii. Mwanaheri ni mtoto wa kwanza katika familia yao. Je, Mwanaheri hujulikana kama A. Kitinda mimba B. Kilembwe C. Mwanambee D. Mziwanda

iii. Mzee Umbe alirudi mapema nyumbani mara baada ya kumwaga unga kazini kwake. Je, nahau mwaga unga ina maana gani? A. Kuwahi kazini B. Kumaliza kazi mapema C. Kufukuzwa kazi D. Ajiriwa 

iv. Lipi kati ya haya yafuatayo ni jibu la kitendawili hiki” Gari moshi relini? A. Treni B. Zipu C. Msitu D. Reli 

v. Liwali amekonda sana lakini hana dawa. Je, jibu la kitendawili hiki ni lipi? A. Sisimizi B. Siafu C. Sindano D. Pini 

vi. Mzee Jamali alisema loo! nalipa faini kosa lisijui. Ndipo tulipokumbuka jibu la kitendawili hiki ni A. Usingizi B. Kutereza C. Kujikwaa D. Kuanguka 

vii. Tulipofika stesheni tulikuta treni la abiria likianza safari, ghafla rafiki yangu aliniambia gari moshi relini. Ndipo nilipojua anataka jibu la kitendawili hicho. A. Dereva B. Sisimizi C. Siafu D. Zipu 

viii. Tulipofungwa karata na baba nililalamika sana ndipo mama aliposema “Asiyekubali kushindwa  A. Hawezi B. Hathaminiki C. Hatashinda D. Si msindani 

ix. Maige huuza bidha kwa bei ya rejareja kwa kuzunguka nazo mtaani. Je Maige ni nani? A. Dalali B. Machinga C. Muuzaji D. Mhandisi 

x. Mama Jamila hapendi watoto wamwage chakula pindi wanapo shiba. Hupenda kuwaambia wakifunike na kukihifadhi kwa matumizi ya baadae. Je, ni methali gani itatumika kusisitiza maelezo hayo. A. Haba na haba hujaza kibaba C. Chovya chovya humaliza buyu la asali B. Chembe na chembe mkate hua D. Akiba haiozi 

4. Tumia maneno yaliyopo kwenye mabano ili kujaza sehemu zilizoachwa wazi 

Muda, Mvua, Mbayuwayu, Vitoweo, Hasira, Kunepa, Ujumbe, Kiongozi, Kucheza, kumbukumbu 

i. Alijiweka mbele kila wakati ili achaguliwe kuwa................................ wao. 

ii. Tawi lilianza............................. baada ya kutua ndege wengi.

iii. Alipotuamuru tuondoke tulijawa na ...............................................

iv. Hatukuona ndege yoyote isipokuwa .............................................tu wakila kumbikumbi. 

v. Tulipopata .....................................wa kuuguliwa kwake sote tulikwenda kumsalimia. 

 

SEHEMU D: UTUNGAJI

5. Panga sentensi zifuatazo katika mtiririko maalumu kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E 

i. Baada ya kusubiri kwa nusu saa basi liliwasili na nikapanda basi hilo kwenda Bunda. 

ii. Abilia wote walishuka kwenye basi. 

iii. Liliwasili mjini Mwanza, gari moshi lilisimama taratibu na kutangaza kuwa hapo ndipo mwisho wa basi. 

iv. Nami nilishuka na kwenda moja kwa moja kwenye kituo cha basi. 

v. Mimi na abiria wenzangu tulisafiri kwa Amani na kufika Bunda salama jioni. 

SEHEMU E: UFAHAMU 

6. Soma habari ifuatayo kwa usahihi kisha jibu maswali utakayoulizwa. 

Hapo zamani za kale kulitokea mgogoro mkubwa sana kati ya ndege na wanyama. Juhudi za kumaliza mgogoro huu zilionekana kugonga mwamba na hatimaye vita ilianza. Wakati majeshi hayo mawili ya wanyama na ndege yakijiandaa kupigana, popo alisita kuchagua upande wa kujiunga na kivita. Jeshi la ndege lilifika nyumbani kwa popo na kumwambia. “Twende vitani ewe popo ndege mwezetu”. Popo alikataa na kusema “mimi ni mnyama na si ndege kama ninyi”. Baadaye jeshi la wanyama lilifika nyumbani kwa popo na kumwambia ni ndege na wala si mnyama kama ninyi”. Basi kukawa na ngurumo za kutisha za wanyama shupavu kama vile simba, duma na tembo, na ndege shupavu kama vile tai na mbuni. Majike wenye ndama na majike wenye makinda walihisi kiama chao kimefika.

Kwa bahati nzuri sana, katika dakika za mwisho kuelekea vita, muafaka ulifikiwa kati ya pande zote mbili na vita ikaepukikwa. Kukawa na Amani badala ya mapigano. Makundi yote mawili yakawa na shamrashamra za kusheherekea kuepukana na mgogoro. Kuona hivyo, popo naye alitamani kuwa sehemu ya shamrashamra hizo. Alikwenda kwa ndege akitaka kujiunga nao lakini ndege walimfukuza. Baadaye akaenda kwenye kundi la wanyama nao walimfukuza. Popo akabaki kuwa njia panda kwani hakuruhusiwa kujiunga na kundi la ndege au kundi la wanyama. 

MASWALI 

i. Mwandishi ameeleza katika habari kuwa kulikuwa na mgogoro. Je, mgogoro uliotokea hapo zamani uliwahusu kina nani?  

ii. Mwandishi amesema juhudi zote ziligonga mwamba. Je, maneno yaliyopigiwa mstari yana maanisha nini?   

iii. Katika hadithi uliyoisoma wametumia neno “kiama” Je neno kiama lina maana gani? 

iv. Kutokana na hadithi uliyosoma nani alibaki njia panda? 

v. Kutokana na habari uliyosoma hadithi hii inahusu nini?

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 96

OFISI YA RAISI

WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI UNAOPIMA UMAHIRI

MTIHANI WA MAANDALIZI-OCTOBA-2023

KISWAHILI – DARASA LA NNE

MUDA 1:30 MASAA

JINA ..................................................................  SHULE ...................................

MAELEZO

  1.                              Mtihani huu una sehemu tano, A, B, C, D na E
  2.                              Ina jumla ya maswali matano yenye vipengele vitano
  3.                              Jibu maswali yote kulingana na maelezo ya kila swali
  4.                              Mtihani wote una alama 50

 

SEHEMU A

IMLA

  1.                Sikiliza kwa makini sentensi zitakazosomwa, kisha ziandike kwa usahihi.
  1. ……………………………..
  2. …………………………….
  3. ……………………………...
  4. ……………………………….
  5. ……………………………….

SEHEMU B

MSAMIATI NA SARUFI

  1.                Chagua jibu sahihi na uandike herufi yake kwenye nafasi iliyoachwa wazi.
  1. Neno “Katu” lina maana gani? …………
  1.               Hapana
  2.               Ndiyo
  3.               Siyo
  4.              Kamwe
  1. Kinyume cha neno “pandisha” ni ……………
  1.               Shusha
  2.               Dondosha
  3.               Achia
  4.              Bonyeza
  1. Neno mang’amung’amu lina silabi ngapi? …….
  1.               Sita
  2.               Saba
  3.               Tatu
  4.              Tano
  1. Kengele zilizovaliwa miguuni wakati wa kucheza ngoma huitwa: ……
  1.               Filimbi
  2.               Njagu
  3.               Kwato
  4.              Njuga
  1. Ng’ombe dume huitwa …………
  1.               Fahali
  2.               Fahari
  3.               Ndama
  4.              Beberu

SEHEMU C

LUGHA YA KIFASIHI

Methali, Nahau na vitendawili

  1.                Kamilisha methali, nahau au vitendawili vifuatavyo kwa kuchagua jibu sahihi kutoka kwenye mabano.

 

  1. “Mwanaishi ni mchoyo”. Ni nahau ipi kati ya hizi zifuatazo inaelezea tabia ya Mwanaisha? …………

(amekula chumvi nyingi, ana mkono mrefu, ana mkono wa birika, ana inda)

  1. Askari wangu ni mpole lakini adui wanamhara. Jibu la kitendwawili hiki ni ………. (mhindi, mbwa, panya, paka)
  2. Siku hizi Juma amekuwa popo. Nahau ‘kuwa popo” maana yake ni …….

(kuwa mkweli, kuwa kigeugeu, kuwa mpole, kuwa muungwana)

  1. Mjomba hataki tuonane. Jibu la kitendawili hiki ni ………….

(Kisongo, kope, macho, uso)

  1. Hana mbele wala nyuma. Ni nini maana ya nahau hii? ………..

(Masikini, tajiri, mgonjwa, mdhaifu)

 

SEHEMU D

UTUNGAJI

  1.                Kamilisha aya ifuatayo kwa kujaza maneno sahihi kutoka kwenye jendwa.

Ukwasi  dalali   bidhaa   mavazi  makazi

Baraka ni (i) …………. Katika soko la Miembeni. Ukifika sokoni hapo utamkuta Baraka akinadi (ii) ….. mbalimbali kama vile (iii) ……. Shughuli hii imemletea Baraka (iv) …… katika maisha yake. Baraka alikuwa anaishi katika nyumba ya kupanga na sasa amehamia katika (v) ……. Yake.

SEHEMU E

UFAHAMU

  1.                Soma habari ifuatayo kwa makini kisha jibu maswali yanayofuata.

Madini ni maliasili inayotupatia fedha nyingi. Tunayo machimbo ya almasi na dhahabu. Vilevile kuna machimbo ya ulanga, bati, rubi na tanzanite. Dhahabu hutumika kutengeneza mapambo kama vile bangili, herein, mikufu na pete.

Ni muhimu kila mtu aelewe faida ya kutunza kila maliasili tuliyonayo. Wanyama wakitunzwa vizuri huzaliana vizuri, miti ikitunzwa vizuri hukua haraka. Tukitunza misitu itatutunza. Misitu inatupatia mvua ya kutosha, hewa safi na miti ya mbao.

Maswali

  1. Kichwa cha habari kinachofaa kwa habari hii ni ……………
  2. Aina za madini zilizotajwa katika habari hii ni ………..
  3. Bangili, herein, mikufu na pete hutengenezwa kwa kutumia madini ya ………..
  4. Taja faida moja tunayoipata kutokana na misitu.
  5. Madini ni maliasili inayotupatia …………….

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 88

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA, SERIKALI ZA MITAA 

MTIHANI WA  NUSU MUHULA WA PILI

KISWAHILI DARASA LA NE

AGOSTI-2023

SEHEMU A

IMLA

  1. Sikiliza kwa makini sentensi zitakazosomwa, kisha ziandike kwa usahihi.
  1. ……………………………..
  2. …………………………….
  3. ……………………………...
  4. ……………………………….
  5. ……………………………….

SEHEMU B

MSAMIATI NA SARUFI

  1. Chagua jibu sahihi na uandike herufi yake kwenye nafasi iliyoachwa wazi.
  1. Neno “Katu” lina maana gani? …………
  1. Hapana
  2. Ndiyo
  3. Siyo
  4. Kamwe
  1. Kinyume cha neno “pandisha” ni ……………
  1. Shusha
  2. Dondosha
  3. Achia
  4. Bonyeza
  1. Neno mang’amung’amu lina silabi ngapi? …….
  1. Sita
  2. Saba
  3. Tatu
  4. Tano
  1. Kengele zilizovaliwa miguuni wakati wa kucheza ngoma huitwa: ……
  1. Filimbi
  2. Njagu
  3. Kwato
  4. Njuga
  1. Ng’ombe dume huitwa …………
  1. Fahali
  2. Fahari
  3. Ndama
  4. Beberu

SEHEMU C

LUGHA YA KIFASIHI

Methali, Nahau na vitendawili

  1. Kamilisha methali, nahau au vitendawili vifuatavyo kwa kuchagua jibu sahihi kutoka kwenye mabano.

 

  1. “Mwanaishi ni mchoyo”. Ni nahau ipi kati ya hizi zifuatazo inaelezea tabia ya Mwanaisha? …………

(amekula chumvi nyingi, ana mkono mrefu, ana mkono wa birika, ana inda)

  1. Askari wangu ni mpole lakini adui wanamhara. Jibu la kitendwawili hiki ni ………. (mhindi, mbwa, panya, paka)
  2. Siku hizi Juma amekuwa popo. Nahau ‘kuwa popo” maana yake ni …….

(kuwa mkweli, kuwa kigeugeu, kuwa mpole, kuwa muungwana)

  1. Mjomba hataki tuonane. Jibu la kitendawili hiki ni ………….

(Kisongo, kope, macho, uso)

  1. Hana mbele wala nyuma. Ni nini maana ya nahau hii? ………..

(Masikini, tajiri, mgonjwa, mdhaifu)

 

SEHEMU D

UTUNGAJI

  1. Kamilisha aya ifuatayo kwa kujaza maneno sahihi kutoka kwenye jendwa.

Ukwasi  dalali   bidhaa   mavazi  makazi

Baraka ni (i) …………. Katika soko la Miembeni. Ukifika sokoni hapo utamkuta Baraka akinadi (ii) ….. mbalimbali kama vile (iii) ……. Shughuli hii imemletea Baraka (iv) …… katika maisha yake. Baraka alikuwa anaishi katika nyumba ya kupanga na sasa amehamia katika (v) ……. Yake.

SEHEMU E

UFAHAMU

  1. Soma habari ifuatayo kwa makini kisha jibu maswali yanayofuata.

Madini ni maliasili inayotupatia fedha nyingi. Tunayo machimbo ya almasi na dhahabu. Vilevile kuna machimbo ya ulanga, bati, rubi na tanzanite. Dhahabu hutumika kutengeneza mapambo kama vile bangili, herein, mikufu na pete.

Ni muhimu kila mtu aelewe faida ya kutunza kila maliasili tuliyonayo. Wanyama wakitunzwa vizuri huzaliana vizuri, miti ikitunzwa vizuri hukua haraka. Tukitunza misitu itatutunza. Misitu inatupatia mvua ya kutosha, hewa safi na miti ya mbao.

Maswali

  1. Kichwa cha habari kinachofaa kwa habari hii ni ……………
  2. Aina za madini zilizotajwa katika habari hii ni ………..
  3. Bangili, herein, mikufu na pete hutengenezwa kwa kutumia madini ya ………..
  4. Taja faida moja tunayoipata kutokana na misitu.
  5. Madini ni maliasili inayotupatia …………….

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 83

OFISI YA RAISI

WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA MSINGI

MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA –MEI 2023

KISWAHILI – DARASA LA NNE

MUDA 1:30 MASAA

JINA ..................................................................  SHULE ...................................

MAELEZO

  1.               Mtihani huu una sehemu tano, A, B, C, D na E
  2.               Ina jumla ya maswali matano yenye vipengele vitano
  3.               Jibu maswali yote kulingana na maelezo ya kila swali
  4.               Mtihani wote una alama 50

SEHEMU A

IMLA

  1.               Sikiliza kwa makini sentensi 5 zifuatazo, kisha ziandike katika nafasi zilizoachwa wazi.

 

SEHEMU B

  1.               Chagua jibu sahihi, kisha andika herufi ya jibu kwenye visanduku.
  1. Vina, mizani, mshororo, ubeti na kibwagizo ni vipengele muhimu vya nini?
  1. Mawasiliano
  2. Mashairi
  3. Habari
  4. Barua
  1. Viimbo vya lugha ya Kiswahili ni vipi kati ya hivi vifuatavyo?
  1. Mshangao, amri, maelezo, maulizo
  2. Maelezo, sauti, amri, maulizo
  3. Amri, kusoma, mshangao, maelezo
  4. Maulizo, nyimbo, maelezo, amri
  1. Ni nini maana ya nahau hii “kata uhusiano”
  1. Hubiri ujamaa
  2. Maliza uwezo
  3. Ondoa ndugu
  4. Vunja urafiki
  1. Ukibadili NOMINO iitwayo SHUTUMA utapata KITENZI gani?
  1. Shutuma
  2. Shutu
  3. Shutumu
  4. Shutum
  1. Jua huchomoza kutoka upande gani?
  1. Magharibi
  2. Mashariki
  3. Kusini
  4. Kaskazini

SEHEMU C

  1.               Oanishi maneno yenye maana sawa toka orodha A na yale ya orodha kwa kuandika namba ya swali na herufi ya jibu. Kwa kuandika namba ya swali na herufi ya jibu.

ORODHA A

ORODHA B

  1. Chumvi
  2. Ghasia
  3. Mtima
  4. Swahiba
  5. Fukara
  1.              Maskini
  2.              Moyo
  3.              Munyu
  4.              Mukari
  5.              Rafiki
  6.               Kelele
  7.              Fujo

 

SEHEMU D

  1.               Jibu maswali yafuatayo kwa majibu mafupi.
  1.              Andika neno moja linalobeba maana ya kifungu cha maneno:
  1. Kichwa, kifua, tumbo, miguu ..........
  2. Mchicha, kisamvu, kabichi, matembele ..........
  3. Pilipili hoho, biringanya, nyanya chungu, nyanya ..............
  4. Embe, pera, nanasi, chungwa ..........

 

  1.              Jibu methali, vitendawili na nahau.
  1. Mwarabu mweupe kalala jalalani ..................
  2. Kidole kimoja ..............
  3. Kula chumvi nyingi ................
  4. Haba na haba ....................

 

SEHEMU E

SHAIRI

  1.               Soma shairi hili hapa chini, kisha jibu maswali yanayofuata.

Baba ninakulaumu, shule hukunipeleka ,

Ningekuwa hakimu, jela ningekupeleka,

Ingekufaa hukumu, nyumbani ukaondoka,

Shule hukunipeleka, baba ninakulaumu

 

Na mimi ningalisoma, hadi mbali nikafika,

Barua ningalisoma, na pia kuziandika,

Lakini nimeshakwama, elimu imeponyoka,

Shule hukunipeleka, baba ninakulaumu

 

Maswali:

  1. Shairi hili lina beti ngapi?
  2. Andika kibwagizo cha shairi hili.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 74

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA MAZOEZI DARASA LA NNE

KISWAHILI 

ANNUAL FOR 2022

JIBU MASWALI YOTE

 

SEHEMU A

IMLA

  1. Sikiliza kwa makini sentensi zitakazosomwa, kisha ziandike kwa usahihi.
  1. ……………………………..
  2. ……………………………..
  3. ……………………………..
  4. ……………………………..
  5. ……………………………..

SEHEMU B

MSAMIATI NA SARUFI

  1. Chagua jibu sahihi na uandike herufi yake kwenye nafasi iliyoachwa wazi.
  1. Nyumba ya ndege huitwa …………
  1. Kinyota
  2. Kiota
  3. Kibanda
  4. Kikorongo
  1. Neno lipi kati ya yafuatayo halifanani na mengine? ……..
  1. Kikombe
  2. Sahani
  3. Kijiko
  4. Maji
  1. Shangazi ni ……….
  1. Dada wa mama
  2. Kaka wa baba
  3. Dada wa baba
  4. Mama wa baba
  1. Ng’ombe …… mtoni
  1. Walitumbukia
  2. Zilitumbukia
  3. Vilitumbukia
  4. Kilitumbukia
  1. Neno “shughuli” lina silabi
  1. Mbili
  2. Tatu
  3. Nne
  4. Tano

SEHEMU C

LUGHA YA KIFASIHI

Methali, Nahau na vitendawili

  1. Maliza au toa maana za methali, nahau au vitendawili:
  1. Kidole kimoja …………
  2. Kuku mgeni ……..
  3. Naha isemayo “Tia nanga” maana yake ni …………….
  4. Kumkalia mtu kitako maana yake ni ……………….
  5. …………….. wawili hawakai zizi moja.

SEHEMU D

UTUNGAJI

  1. Jaza nafazi zilizo wazi kwa kuchagua maneno sahihi kutoka kwenye kisanduku.

Hatimaye  wanafunzi   mvua 

Manyunyu   ukungu   baridi

 

Siku moja nilikuwa naelekea shuleni. Hali ya hewa ilibadilika kukawa na (i) …….. ambayo yalisababisha mimi nihisi (ii) ……….. (iii) ……… ulitanda kila mahali. Kengele iligongwa na (iv) …….. wote tuliingia darasani. (v) ……… mwalimu wa Kiswahili aliingia darasani. 

SEHEMU E

UFAHAMU

  1. Soma kwa makini habari ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata.

Juma na Ally ni watoto pacha. Asubuhi huenda shuleni na wanaporejea nyumbani jioni huwasaidia wazazi wao kufanya shughuli mbalimbali. Juma ni fundi katika mapishi, hivyo humsaidia mama kupika. Ally hupenda mifugo, hivyo humsaidia baba kuchunga na kukamua maziwa. Hufanya kazi zao kwa bidi. Walimu wao huwapenda sana kwa kuwa hufanya vizuri katika masomo yao ya darasa la nne.

 

Maswali

  1. Juma na Ally ni mwanafunzi wa darasa la ……………
  2. Ally humsaidia mama yake kupika. Andika kweli au si kweli …………..
  3. Walimu huwapenda Ally na Juma kwa sababu ………………
  4. Familia hii ina jumla ya watu ………………….
  5. Familia hii hufanya shughuli ya ………….. kwa ajili ya kuwapatia fedha.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 68

OFISI YA RAIS,

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA.

MTIHANI WA KUJIPIMA.

 SOMO LA KISWAHILI: DRS IV -SEPT 2022.

Muda 1: 30 

JINA LA MTAHINIWA ………………………………………………….Shule…..………….………………
1. SEHEMU A.      IMLA

  1. …………………………………………………………………………………………………………..
  2. …………………………………………………………………………………………………………..
  3. …………………………………………………………………………………………………………..
  4. …………………………………………………………………………………………………………..
  5. …………………………………………………………………………………………………………..                              

2. SEHEMU B. Chagua herufi ya jibu sahihi.

  1. Endapo ………….. mtihani wangu nitashangilia sana.                                                                                                         A) Nitafaulu B) Nilifaulu C) Nimefaulu D) Sitafaulu   [          ]
  2. Ukipika vyakula …………….vitaharibika A) Mingi B) Kingi C) Vingi D) Vinginevyo [          ]
  3. Mbuzi …………….. ni wa kisasa A) Hizi B) Hawa C) Huu D) Hii [          ]
  4. Neno lipi kati ya maneno yafuatayo lina maana moja inayojumuisha maneno haya.                                          Kabati, Meza, Kiti …… A) Misitu B) Miti C) Samani D) Bidhaa   [           ]
  5. Mzee Chitemo alituambia kuwa mwaka ……… ni wa mavuno A) Huu B) Huyu C) Hii D) Leo[       ]

3. SEHEMU C. Chagua neno ambalo halifanani na mengine na kisha liandike kwenye nafasi iliyowazi.

  1. Kalamu, Rula, Karatasi, Kofia    ……………………..………..
  2. Soda, Kahawa, Chai, Nyuki.  ………………………………….
  3. Bakuli, Kijiko, Sufuria, Jembe.  ………………………………

      Andika knyume cha maneno yafuatayo.

 iv. Adui      …………………………………………………………

 v. Huzuni   …………………………………………………………

4. SEHEMU D. AndikaUmoja ama wingi kwa maneno yafuatayo.

                              UMOJA                                   WINGI

  1.  …………………                               Marafiki       
  2.        Panya                                         ………………
  3. ………………….                                 Nyuso.

   Badili sentensi zifuatazo kuwa katika wakati ujao.

  1.  Ninasoma kitabu.               ……………………………………………………………………………..

 v.   Anaimba vizuri                    ……………………………………………………………………………. 

5. SEHEMU E,  Methali, Nahau na Vitendawili.

 

  1. Mjomba hataki tuonane ……………………………………………………………………………
  2. Hana  adabu wala staha kwa watu …………………………………………………………………...
  3. Fuata nyuki  ………………………………………………………………………………………..

    Toa maana ya nahau zifuatazo.

  1. Shika tama ………………………………………………………………………………………..
  2. Meza mate ………………………………………………………………………………………..

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 65

MTIHANI WA KISWAHILI DRS IV

 

SEHEMU A:IMLA

1__________________________________________________

2__________________________________________________

3__________________________________________________

4__________________________________________________

5__________________________________________________

 

SEHEMU B:CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI NA 

UANDIKE HERUFI YAKE

  1. Huyu__________aliyeiba kuku wetu (A)ndio (B)ndiyo (C)ni (D)ndiye
  2. Ndoo_________imejaa maji (A)hii (B) hili (C) hiki (D) kile
  3. Kasimu na Musa_______mpira kila siku (A) walicheza (B)hucheza (C)wacheze (D)kucheza
  4. Jana tulipiga domo hadi usiku wa manane (A)tulisimama (B)tulinongona (C)mdomo tuliweka (D) tulizungumza
  5. Zawadi hakufanya vizuri katika mitihani yake ya darasa la nne hivyo ilimbidi_______darasa hilo.  (A)akariri (B)Aendelee (C)akalili (D)apande

 

SEHEMU C:METHALI ,NAHAU NA VITENDAWILI

  1. Kuvuja kwa pakacha_______(A)mzigo hupungua (B)mambo huwa mazuri (C)nafuu kwa mchukuzi (D)yote ni sahihi
  2. Hakuna marefu yasiyokuwa na_________ (A)upana (B)ncha (C)mwisho (D)kina
  3. Mimi nilikubaliana na mawazo yote yaliyotolewa na wajumbe wengi. Nahau ipi inafaa kuonesha maelezo hayo? (A)omba radhi (B)unga mkono (C)kuwa macho (D)kumpa heko
  4. Nini maana ya nahau “vunjika moyo”_____(A)toa moyo (B)kupata matumizi (C)kupata Jeraha moyoni (D)kukata tamaa
  5. .Amevaa miwani maana yake ni_____(A)Ana macho manne (B)Amevaamiwani (C)amelewa  (D)ana miwani
  6. Rafiki yangu ni mharibifu lakini bado namuhitaji ……………..

(KITENDAWILI)

  1. Kulia kwake ni kicheko kwetu………………(KITENDAWILI)

 

SEHEMU D:ANDIKA NENO MOJA BADALA YA KIFUNGU CHA HABARI ULICHOPEWA

  1. Nyeupe, nyekundu, kijani, nyeusi____________________
  2. Twiga, pofu,nyati,samba___________________________
  3. Mdalasini, iliki, karafuu, kitunguu______________________

 

UFAHAMU

SOMA HABARI KISHA JIBU MASWALI YAFUATAYO.

Mwalimu alisema wanafunzi wanaweza kujieleza kupitia sanduku la maoni na mikutano ya shule. Alisema hivi karibuni, kutakuwa na baraza la shule, hata hivyo mwalimu alitahadharisha kwamba uhuru wa kujieleza una mipaka yake. Haturuhusiwi kutoa maneno ya kashfa kuhusu wengine kwani ni haki ya kila mtu kuheshimiwa.

 

MASWALI

21. Mwalimu alitahadharisha kwamba uhuru wa kujieleza una __ (A)maoni yake (B) mipaka (C) masharti yake (D) faida zake

22. Mwalimu alieleza ni_______kila mtu kuheshimiwa .

(A) haki (B) halali (C) lazima (D) faida

23.Wanafunzi wanaweza kujieleza kupitia__________

(A) mikutano tu (B)kwenye runinga (C) kisanduku cha maoni na mikutano ya shule  (D)kisanduku tu

24.Tunapojieleza kuhusu wengine haturuhusiwi kutoa maneno ya ______(A)kufurahisha (B)uwongo (C)kuumiza (D)kashfa

25.Neno tahadhari kama lilivyotumika katika kifungu hiki cha habari lina maana gani? (A )Kuwa makini (B)kuwa tayari (C)kuonya (D) B na C ni majibu


 

 

 

MAJIBU

IMLA

  1. BABA NI MVUVI WA PWEZA
  2. MWANAFUNZI MVIVU HAPENDWI NA WALIMU
  3. HIKI NI KIOO
  4. VYOMBO VIPO SHAGHALABAGHALA
  5. MTI NI MREFU SANA
  6. D
  7. B
  8. B
  9. D
  10. A
  11. C
  12. B
  13. B
  14. A
  15. C
  16. MOTO
  17. MVUA
  18. RANGI
  19. WANYAMA
  20. VIUNGO
  21. B
  22. A
  23. C
  24. B
  25. A

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 64

OFISI YA RAIS,

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA.

MTIHANI WA KUJIPIMA.

 SOMO LA KISWAHILI: DRS IV - APRIL 2022.

Muda 1: 30 

JINA LA MTAHINIWA ………………………………………………….Shule…..………….………………
1. SEHEMU A.      IMLA

  1. …………………………………………………………………………………………………………..
  2. …………………………………………………………………………………………………………..
  3. …………………………………………………………………………………………………………..
  4. …………………………………………………………………………………………………………..
  5. …………………………………………………………………………………………………………..                              

2. SEHEMU B. Chagua herufi ya jibu sahihi.

  1. Endapo ………….. mtihani wangu nitashangilia sana.                                                                                                         A) Nitafaulu B) Nilifaulu C) Nimefaulu D) Sitafaulu   [          ]
  2. Ukipika vyakula …………….vitaharibika A) Mingi B) Kingi C) Vingi D) Vinginevyo [          ]
  3. Mbuzi …………….. ni wa kisasa A) Hizi B) Hawa C) Huu D) Hii [          ]
  4. Neno lipi kati ya maneno yafuatayo lina maana moja inayojumuisha maneno haya.                                          Kabati, Meza, Kiti …… A) Misitu B) Miti C) Samani D) Bidhaa   [           ]
  5. Mzee Chitemo alituambia kuwa mwaka ……… ni wa mavuno A) Huu B) Huyu C) Hii D) Leo[       ]

3. SEHEMU C. Chagua neno ambalo halifanani na mengine na kisha liandike kwenye nafasi iliyowazi.

  1. Kalamu, Rula, Karatasi, Kofia    ……………………..………..
  2. Soda, Kahawa, Chai, Nyuki.  ………………………………….
  3. Bakuli, Kijiko, Sufuria, Jembe.  ………………………………

      Andika knyume cha maneno yafuatayo.

 iv. Adui      …………………………………………………………

 v. Huzuni   …………………………………………………………

4. SEHEMU D. AndikaUmoja ama wingi kwa maneno yafuatayo.

                              UMOJA                                   WINGI

  1.  …………………                               Marafiki       
  2.        Panya                                         ………………
  3. ………………….                                 Nyuso.

   Badili sentensi zifuatazo kuwa katika wakati ujao.

  1.  Ninasoma kitabu.               ……………………………………………………………………………..

 v.   Anaimba vizuri                    ……………………………………………………………………………. 

5. SEHEMU E,  Methali, Nahau na Vitendawili.

 

  1. Mjomba hataki tuonane ……………………………………………………………………………
  2. Hana  adabu wala staha kwa watu …………………………………………………………………...
  3. Fuata nyuki  ………………………………………………………………………………………..

    Toa maana ya nahau zifuatazo.

  1. Shika tama ………………………………………………………………………………………..
  2. Meza mate ………………………………………………………………………………………..

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 62

MTIHANI WA KISWAHILI DRS IV

 

SEHEMU A:IMLA

1__________________________________________________

2__________________________________________________

3__________________________________________________

4__________________________________________________

5__________________________________________________

 

SEHEMU B:CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI NA 

UANDIKE HERUFI YAKE

  1. Huyu__________aliyeiba kuku wetu (A)ndio (B)ndiyo (C)ni (D)ndiye
  2. Ndoo_________imejaa maji (A)hii (B) hili (C) hiki (D) kile
  3. Kasimu na Musa_______mpira kila siku (A) walicheza (B)hucheza (C)wacheze (D)kucheza
  4. Jana tulipiga domo hadi usiku wa manane (A)tulisimama (B)tulinongona (C)mdomo tuliweka (D) tulizungumza
  5. Zawadi hakufanya vizuri katika mitihani yake ya darasa la nne hivyo ilimbidi_______darasa hilo.  (A)akariri (B)Aendelee (C)akalili (D)apande

 

SEHEMU C:METHALI ,NAHAU NA VITENDAWILI

  1. Kuvuja kwa pakacha_______(A)mzigo hupungua (B)mambo huwa mazuri (C)nafuu kwa mchukuzi (D)yote ni sahihi
  2. Hakuna marefu yasiyokuwa na_________ (A)upana (B)ncha (C)mwisho (D)kina
  3. Mimi nilikubaliana na mawazo yote yaliyotolewa na wajumbe wengi. Nahau ipi inafaa kuonesha maelezo hayo? (A)omba radhi (B)unga mkono (C)kuwa macho (D)kumpa heko
  4. Nini maana ya nahau “vunjika moyo”_____(A)toa moyo (B)kupata matumizi (C)kupata Jeraha moyoni (D)kukata tamaa
  5. .Amevaa miwani maana yake ni_____(A)Ana macho manne (B)Amevaamiwani (C)amelewa  (D)ana miwani
  6. Rafiki yangu ni mharibifu lakini bado namuhitaji ……………..

(KITENDAWILI)

  1. Kulia kwake ni kicheko kwetu………………(KITENDAWILI)

 

SEHEMU D:ANDIKA NENO MOJA BADALA YA KIFUNGU CHA HABARI ULICHOPEWA

  1. Nyeupe, nyekundu, kijani, nyeusi____________________
  2. Twiga, pofu,nyati,samba___________________________
  3. Mdalasini, iliki, karafuu, kitunguu______________________

 

UFAHAMU

SOMA HABARI KISHA JIBU MASWALI YAFUATAYO.

Mwalimu alisema wanafunzi wanaweza kujieleza kupitia sanduku la maoni na mikutano ya shule. Alisema hivi karibuni, kutakuwa na baraza la shule, hata hivyo mwalimu alitahadharisha kwamba uhuru wa kujieleza una mipaka yake. Haturuhusiwi kutoa maneno ya kashfa kuhusu wengine kwani ni haki ya kila mtu kuheshimiwa.

 

MASWALI

21. Mwalimu alitahadharisha kwamba uhuru wa kujieleza una __ (A)maoni yake (B) mipaka (C) masharti yake (D) faida zake

22. Mwalimu alieleza ni_______kila mtu kuheshimiwa .

(A) haki (B) halali (C) lazima (D) faida

23.Wanafunzi wanaweza kujieleza kupitia__________

(A) mikutano tu (B)kwenye runinga (C) kisanduku cha maoni na mikutano ya shule  (D)kisanduku tu

24.Tunapojieleza kuhusu wengine haturuhusiwi kutoa maneno ya ______(A)kufurahisha (B)uwongo (C)kuumiza (D)kashfa

25.Neno tahadhari kama lilivyotumika katika kifungu hiki cha habari lina maana gani? (A )Kuwa makini (B)kuwa tayari (C)kuonya (D) B na C ni majibu


 

 

 

MAJIBU

IMLA

  1. BABA NI MVUVI WA PWEZA
  2. MWANAFUNZI MVIVU HAPENDWI NA WALIMU
  3. HIKI NI KIOO
  4. VYOMBO VIPO SHAGHALABAGHALA
  5. MTI NI MREFU SANA
  6. D
  7. B
  8. B
  9. D
  10. A
  11. C
  12. B
  13. B
  14. A
  15. C
  16. MOTO
  17. MVUA
  18. RANGI
  19. WANYAMA
  20. VIUNGO
  21. B
  22. A
  23. C
  24. B
  25. A

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 61

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA  DARASA LA NNE

KISWAHILI

MUDA:1: 30                                                             

JINA_____________________________________SHULE__________________

SEHEMU A.

1. Sikiliza  kwa makini kisha andika Sentensi Kwa Usahihi

  1.               ....................................................................................................................
  2.             ....................................................................................................................
  3.           .....................................................................................................................
  4.           .....................................................................................................................
  5.             .....................................................................................................................

SEHEMU B. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA

  1.                Chagua herufi ya jibu sahihi kisha andika katika kisanduku ulichopewa.
  1.               Neno “waliandika” upo katika wakati upi?. (a) uliopo (b) uliopita (c) Ujao (d) Mazoea.
  2.             Dada wa baba yako utamwitaje? (a) bibi (b) shangazi (c) binamu (d) Wifi
  3.           Wageni wanaotembelea mbuga za wanyama huitwa? (a) Majangiri (b) wapelelezi  (c) watalii (d) Magaidi
  4.           Kinyume cha neno msafi ni...  (a) mchafu (b) uchafu (c) mbaya (d) mbaya
  5.             Neno anastahili lina silabi ngapi? .(a) mchafu (b) uchafu (c) chafu (d) mbaya

SEHEMU C. LUGHA YA KIFASIHI

  1.                Kamilisha methali, nahau, na vitendawili kwa  kujaza nafasi zilizo achwa wazi.
  1.               Kamilisha methali mwenda pole..................................................
  2.             Akiba.......................................................................................
  3.           Tegua Kitendawili Anajua kuchora ingawa hajui anachokichora................................
  4.           Mwanangu hunipa kitu kitamu lakini akichokozwa hutawanya watu.......................
  5.             Maana sahihi ya nahau “mkono wa birika” ni.......

 

SEHEMU D. UTUNGAJI

4. Panga sentensi zifuatazo katika mtiririko unaofaa ili kupata habari iliyokamilika kisha uzipe herufi A,B,C, D na E.

  1.               Alisomea shule ya upili Azania
  2.             Alizaliwa mwaka 1986
  3.           Alipata kazi ya ualimu
  4.           Alimaliza shule ya upili 2004
  5.             Aliowa mwaka 2010

SEHEMU E. UFAHAMU

5. Soma kifungu kifuatacho kisha jibu maswali

Madini ni maliasili inayotupatia fedha nyingi. Tunayo machimbo ya dhahabu na almasi. Pia kuna ulanga na bati. Dhahabu hutumika kutengeneza mapambo kama vile bangili, hereni, mikufu na pete. Ni vizuri kila mtu aelewe faida ya kutunza kila maliasili tuliyo nayo. Wanyama wakitunzwa huzaliana vizuri. Miti ikitunzwa vizuri hukua haraka. Tukitunza misitu nayo itatutunza. Itatupatia mvua ya kutosha, hewa safi na miti ya mbao na ya kujengea. Tunatakiwa tusubiri muda mrefu vitu vizaliane. Mvumilivu hula mbivu. Tukazane kupanda miti karibu na nyumba zetu ili kuzuia upepo usiharibu mapaa ya nyumba.Amani anaishi na nani?................................

  1.               Kichwa cha habari uliyoisoma ni …………………………………...…………………….
  2.              Kutokana na habari uliyoisoma ni madini mangapi yametajwa? ………………………………
  3.           Bangili, hereni, mikufu na pete hutengenezwa kwa madini gani? ………………………
  4.           Taja faida moja tunayopata kutokana na misitu. …………………………………………
  5.             Madini ni maliasili inayotupatia …………………………………………………………….

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 56

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA NNE

KISWAHILI

MUDA:1: 30                                                             

JINA_____________________________________SHULE__________________

SEHEMU A.

1. Sikiliza  kwa makini kisha andika Sentensi Kwa Usahihi

  1. .....................................................................................
  2. .......................................................................................
  3. ......................................................................................
  4. .......................................................................................
  5. .........................................................................................

SEHEMU B. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA

2. Chagua jibu lililosahihi na uandike herufi yake katika kisanduku

i. Kuku, bata, njiwa, kunguru na mwewe kwa jina moja huitwaje?____________

  1.            Wanaotaga
  2.            Ndege
  3.            Vikembe
  4.            Wenye mabawa

ii.  Ugonjwa ulienea kwa kasi. Badili sentensi hii katika wingi.

  1.            Ugonjwa yalienea kwa kasi
  2.            Wagonjwa walienea kwa kasi
  3.            Magonjwa yalienea kwa kasi
  4.            Wagonjwa wameenea kwa kas

iii.     Wanakijiji wengi.................. mkutano ule.

  1.            Walihuzulia
  2.            Walihudhuria
  3.            Waliudhuria
  4.            Walihudhulia

iv. Amosi si mwanafunzi mtiifu. Yakinisha sentensi hii.

  1.            Amosi hakuwa mwanafunzi mtiifu
  2.            Amosi anaye mwanafunzi mtiifu
  3.            Amosi hatakuwa mwanafunzi mtiifu
  4.            Amosi ni mwanafunzi mtiifu.

v. Neno lipi ukidondosha Herufi moja linabakiza neno UJUZI?

  1. Juzi
  2. Uzi
  3. Uuzi
  4. juu

SEHEMU C. METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI

Tumia  maneno yaliyo kwenye kisanduku kujibu maswali haya.

 

 

 

 

  1. Tatu tatu mpaka Tanga. Jibu la kitendawili hiki ni................................
  2. Malizia methali hii. Mwenda pole..........................................................
  3. Kata shauri maana yake ni....................................................................
  4. Popoo mbili zavuka mto. Jibu la kitendawili hiki ni..............................
  5. Malizia methali hii. Mchumia Juani.....................................................

 

SEHEMU D. UTUNGAJI. 

Weka alama za uandishi katika sentensi hizi

  1. Juma Halima na Sikitu wanacheza
  2. Yule ni mwanafunzi wa wapi
  3. Loo amefukuzwa
  4. Nyamaza kimya..............
  5. Elimu ni funguo wa maisha

 

SEHEMU E. UFAHAMU

5. Soma habari ifuatayo kisha jibu maswali kwa usahihi.

Amina na Ali ni pacha. Wanaishi katika kgiji cha Kamachumu. Wote ni wanafunzi katika shule ya Msingi Izigo. Kila siku huamka mapema na kujiandaa kwenda shuleni. Kabla ya kwenda shuleni, huwasalimia wazazi wao. Baada ya hapo, huagana nao na kuelekea shuleni. Wafikapo shuleni, huungana na wenzao kufanya usafi. Kisha huingia darasani na kuanza masomo. Watoto hawa wanapendwa na walimu wao kwa sababu ni watiifu.

 

Maswali

  1.          Amina na Ali wanasoma shule gani? _____________
  2.         Amina na Ali wanapendwa na walimu wao kwa sababu 
  3.       Pacha waliotajwa kwenye habari hii ni __________
  4.       Amina na Ali wafikapo shuleni huungana na wenzao kufanya nini?  
  5.        Amina na Ali wanaishi katika kijiji gani?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 43

WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA

MTIHANI WA KUJIPIMA

DARASA LA NNE

NUSU MUHULA WA PILI, SEPT 2021

SEHEMU A: IMLA

Sikiliza kwa makini sentensi zifuatazo kisha uziandike kwa usahihi.

  1. .
  2. .
  3. .
  4. .
  5. .

 

SEHEMU B: SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA.

6…………….ili wekewa mbolea ili istawi.

  1. Mpapai
  2. Machungwa 
  3. Mipapai
  4. Maua

7……………..inanyesha.

  1. Jua
  2. Wingu
  3. Mvua
  4. Mawingu

8.Ali alifunga…………..yote.

  1. Mlango
  2. Dirisha
  3. Nyavu
  4. Milango

9……………anataga mayai.

  1. Ng’ombe
  2. Nyati
  3. Kuku
  4. Nyumbu 

10. Mtoto wa kuku anaitwa…………

  1. Ndama
  2. Kifaranga
  3. Jogoo
  4. Mtetea

 

SEHEMU C: VITENDAWILI, METHALI NA NAHAU.

Jaza nafasi zilizoachwa wazi.

11.Subira huvuta………..

12. Ukiyastaajabu ya musa…………

13. Mkono mtupu…………

14. Mwamba ngoma…………..

15. Mkuki kwa nguruwe,…………..

16. Nahau “kuandaa meza” ina maana gani?...............

17. Kitendawili kisemacho “kaa hapa nikae pale tumfinye mchawi” jibu lake ni lipi?............

18.Kitendawili kisemacho “Watoto wa mfalme ni wepesi sana kujificha” jibu lake ni lipi?................

19.Nahau “kugonga mwamba” maana yake ni ipi?..............

20.Mjomba hataki tuonane” jibu la kitendawili hiki ni?..................

 

SEHEMU D: UFAHAMU

Soma habari ifuatayo kisha jibu maswali kwa kujaza nafasi zilizoachwa wazi.

Dada, kaka na mimi tulisafiri kwenda Manda. Tuliondoka Dodoma kwa gari hadi Kyela kwa kupitia Morogoro na Iringa.

Kyela ipo katika mkoa wa Mbeya. Tulipofika Kyela tulilala na asubuhi yake tulikwenda Itungi. Huko ndiko tulikopanda meli na kuelekea Manda. Kabla ya kufika Manda tulipitia Lupingu. Tulianza safari ya melini saa moja asubuhi na ilichukua muda was aa nane kufika hadi Manda.

Maswali 

21.Ndugu ………….walikuwa wanasafiri kwenda Manda.

  1. Watatu
  2. Wawili
  3. Mmoja
  4. Sita

22.Ndugu hao walisafiri kwa…………..kutoka Itungi.

  1. Meli
  2. Mtumbwi
  3. Jahazi
  4. Ndege

23.Kyela ipo katika mko wa…………..

  1. Mbeya
  2. Dodoma
  3. Morogoro
  4. Manda

24. Safari ya kutoka Itungi hadi Manda ilichukua saa………….

  1. Nane
  2. Nne
  3. Tisa
  4. Saba

25. Safari yetu kwa meli ilianza bandari ya………..

  1. Lupingu
  2. Kyela
  3. Manda
  4. Mbeya

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 38

OFISI YA RAIS

WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA MSINGI

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA -MACHI 2021

KISWAHILI – DARASA LA NNE

FOMATI MPYA

MUDA  1:30 MASAA                                                                                  MACHI 2021

JINA …………………………...                                 SHULE ………………………...

MAELEZO

  1. Mtihani huu una sehemu tano, A, B, C, D, na E
  2. Ina jumla ya maswali matano yenye vipengele vitano
  3. Jibu maswali yote kulingana na maelezo ya kila swali
  4. Mtihani wote una alama 50

 

   Jibu maswali yote

          IMLA    

  1. Sikiliza na andika sentensi Kwa usahihi.
  1. _____________________________________
  2. _____________________________________
  3. _____________________________________
  4. _____________________________________
  5. _____________________________________

MATUMIZI YA LUGHA

(i) Mwombeki alikuja na Kyoma.Sentensi hii katika wakati ujao itakuwaje?______________                                                  [     ]   

  1. Kyoma anakuja na Mwombeki
  2. Mwombeki atakuja na Kyoma  
  3. Mwombeki amekuja
  4. Mwombeki na Kyoma huja

(ii) Kanusha sentensi hii.Mjuni hufuga samaki bwawani_____ [      ]

  1. Mjuni hafugi samaki bwawani 
  2. Mjuni hatafuga samaki
  3. Mjuni halifuga samaki bwawani 
  4. Mjuni hamefuga samaki.

(iii) Nomino SOMO ikibadilishwa kuwa tendo tutapata nini?_[      ]

  1. Masomo 
  2. soma  
  3. usomaji 
  4. kisomo

(iv) Wananchi wengi__________mkutano ule                            [      ]

  1. Walihudhuria  
  2. waliudhuria 
  3. Walihudhuria 
  4. walihuzuria

(v) Ni neno lipi tunalipata tukidondosha herufi moja ya neno KABATI

A. Kaba  B. kabari C.kaati   D. bakati                                     [     ]

         

 

 METHALI,NAHAU NA VITENDAWILI

Kamilisha methali,nahau,na vitendawili vifuatavyo kwa kuchagua jibu sahihi kutoka kwenye mabano.

  1. Maana ya nahau piga ukope ni_______________(lewa/konyeza)
  2. Wingi si__________________(utumwa,hoja)
  3. Maana ya nahau amevaa miwani ya mbao ni______(haoni,sinzia)
  4. Bwana afya wa porini ______________(samba,fisi)
  5. Kamilisha kitendawili hiki. Mwanangu analia mwituni_________________(nyani,shoka)

 

UTUNGAJI

Zipange sentensi zifuatazo katika mtiririko unaoleta maana.Anza na ya kwanza kwa kuzipa herufi A hadi ya mwisho herufi E

  1. Walimu walianza kunipa zawadi kwa ufaulu wangu mzuri.______
  2. Sasa niko darasa la nne__________
  3. Nilipoingia darasa la tatu nikawa naweza kusoma vizuri________
  4. Mwaka juzi nilikuwa darasa la pili___________
  5. Nilikuwa sijui kusoma vizuri________________

                    

UFAHAMU

  1. Soma habari hii kasha jibu maswali yafuatayo

Ilikuwa siku ya Jumamosi nilipohudhuria harusi ya dada yangu Sinta. Siku hiyo watu wengi walifika katika ukumbi uliopo Sakina wakiwemo majirani wetu. Rafiki yangu Hassani hakuweza kufika kwa sababu alikuwa mgonjwa. Ugonjwa wa Malaria ulikuwa unamsumbua mara kwa mara. Hata hivyo wazazi wake walishiriki katika sherehe hiyo. Watu walikula na kunywa kwa furaha. Sherehe ilimalizika usiku. 

Jibu maswali haya;

  1. Nani alikuwa anaolewa siku hiyo ya Jumamosi? ___________________________
  2. Nani hakuhudhuria sherehe hiyo? _______________________________________
  3. Je, ugonjwa wa malaria unaenezwa na mdudu gani? ________________________
  4. Je, neno “hudhuria” lina maana gani? _____________________________
  5. Je, kichwa cha habari ni kipi? _____________

a) Ugonjwa wa malaria   b) Ufahamu                                       [        ]

c) Jibu maswali haya       d) Harusi ya Sinta

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 29

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA NNE

KISWAHILI

MUDA:1:30

JINA_____________________________________SHULE_________________________

SEHEMU A: IMLA(ALAMA 10)1.Sikiliza kwa makini sentensi utakazo somewa na mwalimu kisha uandike kwa usahihi

i.______________________________________________

ii. _____________________________________________

iii. ____________________________________________

iv. ____________________________________________

v. _____________________________________________

SEHEMU B: MSAMIATI, SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA10)2.Chagua jibu kwa kuandika heruf iya jibu sahihi katika mabano

i.Tulishuhudia _______ ikimiminika juu ya kilele cha mlima Kilimanjaro

A. theluji

B. theruji

C. dheluji

D. dheruji

ii. _________ ni vifaa tunavyo tumia majumbani

A. samani

B. thamani

C. zamani

D. dhamani

iii. “Wanafunzi waliosoma“ sentensi hii ipo katika wakati gani?

A. ujao

B. timilifu

C. uliopo

D. uliopita

iv. Mtoto aliyezaliwa bila pua huitwa _____________

A. toinyo

B. kigego

C. kiziwi

D. bubu

v. Neno“ nadra‘ lina jumla ya konsonati ngapi?

A. tano

B. mbili

C. sifa

D. tatu

SEHEMU C: LUGHA YA KIFASIHI (ALAMA 10)3. Kamilisha methali, vitendawili na nahau zifuatazoi. 

i. Kuku mgeni ___________________________________________________________

ii. Viti vyote nimekalia isipikuwa hicho ________________________________________

iii. Mgaagaa na upwa _____________________________________________________

iv. Nyumba yangu inanguzo moja ___________________________________________

v. John amevaa chupa maneno“amevaachupa“yana maana gani? _________________________________________________________________

SEHMU D: UTUNGAJI (ALAMA 10)4.Panga sentensi zifuatazo katika mtiririrko uliosahihi kwa kuzipa herufi A, B, C, na E.

i. Alizaliwa mjini namtumbo( )

ii.Alijiunga na jeshi la Wananchi mara baada ya kumaliza shule()

iii. Amina ni mtoto pekee wa bwana na bibi Kazimoto ()

iv. Alisoma shule ya msingi kawekamo jijini Mwanza ()

v. Kwasasa ni mwanajeshi wa jamhuri ya muunganowa Tanzania ()

SEHEMU E: UFAHAMU (ALAMA 10)Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu maswali yanayofuata

Dunia imesimama,Huzuni imetawala.

Korona nihimahima, Hakuna hata kulala,Sadiki sioukoma, Hakuna hata kulala

Tahadhari chukueni, korona epukeni

MASWALI

i.Taja vina vyakati na mwisho katika shairi ulilosoma _______________

ii. Neno “ Sadiki” kamali livyotumika katika shairi lina maana gani ______________

iii. Shairi lina mizani mingapi ___________________

iv. Andika kituo cha shairi ulilosoma ____________________

v. Shairi lina mishororo mingapi ___________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 22


 

THE PRESIDENT’S OFFICE

MINISTRY OF EDUCATION, LOCAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

KISWAHILI- AUGUST-SEPTEMBER

STD FIVE

TIME: 1.30 HRS                                                                                           2020

NAME:_______________________________________CLASS:___________

          MAELEZO

1.Mtihani huu una sehemu A,B,C,D na E yenye jumla ya maswali 45. 

2.Jibu maswali  yote. 

3.Huruhusiwi kuingia na simu au matini yoyote kwenye chumba cha mtihani. 4.Zingatia usafi katika kazi yako. 

SEHEMU A: SARUFI

 Katika swali la 1-20, weka kivuli katika herufi ya jibed lililo sahihi katika karatasi yako ya kujibia. 

1.Sweta langu limeshonwa na fundi mzoefu. “Mzoefu” ni aina gani ya neno?

 A. Kielezi

 B. Kivumishi 

C. Kiunganishi 

D. Nomino 

E. Kitenzi 

2.“Ningejua ukweli wa mambo kabla ____ hapa bure saa hizi”. Neno gani linakamilisha sentensi hiyo? 

A. nisingalikuja 

B. ningekuja 

C. singelikuja 

D. nisingelikua 

E. nisingekuja 

3.“UKIWMI unaua!” Mbunge alisema. Ipi ni kauli taarifa ya sentensi hiyo kati ya hizi zifuatazo:- 

A.Mbunge aliwaambia UKIMWI unaua 

B.Mbunge alisema UKIMWI unaua. 

C.UKIMWI unaua, mbunge alisema.

 D.Mbunge alisema kwamba UKIMWI unaua. 

E.Mbunge alieleza UKIMWI unaua. 

 4.“Anna anatembea polepole ______ twiga” Kifungu kipi cha maneno kina kamilisha sentensi hiyo?

 A. mithili ya 

B. mathalani ya 

C. mahadhi ya 

D. mathiri ya 

E. madhali ya 

5.Neno lipi halilandani na maneno mengine miongoni mwa haya yafuatayo? 

A. Msonge 

B. Tembe 

C. Daraja 

D. Kibanda 

E. Ghorofa 

6.Sentensi ipi kati ya hizi zifuatazo ni kauli ya kutendea? 

A. Watoto wanacheza mpira. 

B. Mpira unachezwa na watoto 

C. Watoto wanachezeana mpira 

D. Watoto wanachezea mpira 

E. Mpira unachezeshwa na watoto 

7.“Tumejifunza ____ kujikinga na VVU na UKIMWI.” Kifungu kipi cha maneno kati ya vifungu vifuatavyo kinakamilisha sentensi hiyo? 

A. ibara ya 

B. jinsi ya 

C. jinsia ya 

D. hali ya 

E. aina ya 

 8.Neno “Mazingaombwe” lina silabi ngapi? 

A. sita    B. Saba    C. tano   D. nne   E. Tatu 

 9.Kisawe cha neno “dhiki” ni kipi kati ya maneno yafuatayo:-

A. karabu B. raha C. shida D. adha E. faraja 

 10.Watafunga shule mwezi ujao. Mtenda katika sentensi hii ni. A. Sisi B. Mimi C. Yeye D. Wao E. Yule 

11.“Yeye ndiye mwizi aliyepigwa jana jioni.” Sentensi hii ni aiana gani? 

A. Sahihi B. changamano C. Ambatano D. Shurutia E. Tegemezi 

 12.Hotuba ya Mwenyekiti iliwatia moyo wanakijiji “Kutia moyo” maana yake ni:-

A. kutia hamasa 

B. kuhuzunisha 

C. kukasirisha 

D.kuchochea moto 

E. kuchangamsha 

 13.“Bwana Jitihada alijenga ua mkubwa kuzunguka nyumba nzima. “Wingi wa neno ua ni:-

A. Ua 

B. nyua 

C. Maua 

D. Viua 

E. Uani 

14.Nimenunua pete yenye ____ kubwa. 

A. Zamani 

B. dhamani 

C.thamani 

D. samani 

E. bei 

15.Katika neno “tutakuja” kiambishi cha wakati ni____

A. Tu     B. –ku-     C. –ja-   D. –u-    E. –ta- 

16.Katika sentensi zifuatazo ipi ni sahihi? 

A.Kuku yangu ametaga mayai B.Kuku zangu zimetaga mayai

C. Kuku wangu wametaga mayai 

D. Kuku wangu hutaga miyai 

E. Kuku zangu ametaga mayai 

 17.Mwalimu wetu wa somo la Kiswahili ni muungwana sana. Neno “ni” limetumika kama aina ipi ya kitenzi?

 A. kitenzi kisaidizi 

B. kitenzi kikuu 

C. kitenzi kishirikishi 

D. kitenzi kitegemezi 

E. kitenzi tegemezi 

 18.Kikombe kimevunjika. Sentensi hii iko katika kundi lipi la ngeli za nomino? A. ki-vi,      B. u-zi     C. li-ya     D. zi    E. a-wa 

19.Asha anakula kwa kijiko. Neno “kwa” katika sentensi hiyo limetumika kama:- 

A. kivumishi 

B. kielezi 

C. kihusishi 

D. kitenzi kisaidizi 

E. kitenzi kishirikishi 

20.Wingi wa neno cherehani ni upi kati ya maneno yafuatayo?

 A.Vyelehani 

B. vyerehani 

C. vyerahani 

D. vyelahani 

E. cherehani 

 SEHEMU B: LUGHA ZA KIFASIHI

 Chagua herufi ya jibu sahihi kasha weka kivuli herufi hiyo mbele namba ya swali katika karatasi ya kujibia. 

21.Usiache mbachao kwa mswala upitao. Methali ambayo inauhusiano nahii ni ipi? 

A. Ufalme kama mvua hupiga na kupita. 

B. Usisahau ubaharia kwa sababu ya unahodha. 

C. Ukiwanalako, usitazame la mwenzio. 

D. Ujananitembo la nazi, halikuwahikupita. 

E. Usishindane na kari, kari ni mjawa Mungu.

 22.Maana ya nahau isemayo “Vunjika moyo” inafananishwa na:- 

A.Kupata ugonjwa wa moyo 

B. Kupasuka moyo 

C. Kukereketwa moyo 

D. Kusinyaa moyo 

E. Kata tamaa 

23.Kukubali kwa ulimi ni msemo wenye maana ipi? 

A. Kukubali kwa dhati 

B. Kukubali bila kusema neno 

C. Kukubali kimoyomoyo 

D.Kukubali kwa moyo mmoja 

E. Kukubali kwa maneno. 

24.Tegua kitendawili hiki. “Uzi mwembamba umefunga dume kubwa.” A. Usingizi B. Mawingu C. Ndoto D. Mvua E. Ugonjwa

 25.Neno lipi linakamilisha methali isemayo “_____Janga hula na wakwao” 

A. Mchuma B. Mpata C. Muona D. Mpewa E. Mnunua 

 26.“Maneno mengi hula vitendo. “Kati ya tafsiri zifuatazo ipi inayotoa maana sahihi ya msmo huo? 

A.Ukifanya kazi bila kuhusisha jambo jingine itakamilika kwa wakati.

B. Fanya kazi kwa bidii 

C. Dalili ya mvua ni mawingu

D. Kutoa ni moyo sio utajiri 

E. Ukifanya kazi kwa bidii utapata faida kubwa 

 27.Ukitaka kuruka agana na nyonga. Methali hii ina toa funzo gani? 

A. fikiri kwanza kabla ya kutenda jambo lolote 

B. asiye na nyonga haruki angani 

C. huruhusiwi kuruka kabla ya kuuliza nyonga 

D. pima nyonga zako kwanza kabla ya kuruka 

E. tusikubali kuruka kabla ya kuuliza 

28.Methali “kidole kimoja hakivunji chawa” inafanana na ipi kati ya zifuatazo? A.Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu 

B.Haraka haraka haina Baraka 

C.Penye miti hakuna wajenzi 

D.Usiache mbachao kwa msala upitao 

29.Methali isemayo “chanda chema huvikwa pete” inakinzana na methali ipi kati ya zifuatazo? 

A. asiye kujua hakuthamini 

B. mchumia juani hulia kivulini 

C. samaki mkunje angali mbichi 

D. aisifuye mvua imemnyea 

E. bandu bandu humaliza gogo 

 30.Ukumbuu wa babu mrefu. Jibu la kitendawili hiki ni lipi? 

A. njaa B. kisogo C. shingo D. ugonjwa E. ulimi 

 SEHEMU C: USHAIRI 

Soma shairi lifuatalo kisha jibu swali la 31-36 kwa kusiliba alama yenye jibu sahihi mbele ya namba ya swali kwenye karatasi ya kujibia. I.Si mali wala elimu, hadhi ya mtu matendo, Kifuku hata msimu, enenda mwema menendo, Wanaopenda kaumu, nao wakupe mapendo, Hadhi ya mtu matendo, si mali wala elimu. II.Matendo yaliyotimu, yasiyomapindopindo, Yanufaisha elimu, Katika wao mkondo, Ukitenda kiwazimu, mavuno yake uvundo, Hadhi ya mtu matendo, si mali wala elimu. 

Maswali 

31.Vina vya kati na vya mwisho vya shairi hili ni ......A. Ndo na mu B. mu na mu C. mu na ndo D. Hadhi na elimu E. u na o 

32.Mshairi anaeleza kwamba, ukitenda mambo kiwazimu matendo yako yatakua A. Elimu B. Isimu C. Uhondo D. Kidogo E. Uozo 

 33.Neno hadhi kama lilivyotumika katika shairi lina maana ya .... A. mali B. heshima C. Upendo D. amani E. mapindopindo 

 34.Mstari mmoja wa shairi huitwa ..... A. Mzani B. Mshororo C. Kituo D. KinaE. Kituo bahari 

 35.Kichwa cha shairi hili kinafa kiwe....... A. Matendo ya watu B. Elimu C. Kupata elimu D. Kupata mali 

36.Kiitikio katika shairi hili ni ..........A.Matendo yaliyotimu, yasiyomapindopindo B.Yanufaisha elimu, Katika wao mkono C.Ukitenda kiwazimu, mavuno yake uvundo D.Hadhi ya mtu matendo, si mali wala elimu E.Hadhi ya mtu matendo, matendo yaliyotimu 

 SEHEMU D: UTUNGAJI/UANDISHI WA HABARI NA BARUA

 Panga sentensi zifuatazo katika mtiririko mzuri wa mawazo kwa kuzipa herufi A,B,C na D na kusiliba herufi hizo mbele ya namba ya swali husika kwenye karatasi yako ya kujibia. 

37.Alizaliwa Mkoani Mara mwaka 1922. 

38.Taifa halitamsahau kwani amejenga misingi imara ya amani na utulivu 39.Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndiye Baba wa Taifa. 

40.Alisoma nchini elimu ya msingi na sekondari na baadaye alipata shahada ya uchumi na historia huko Uingereza. 

SEHEMU E: UFAHAMU 

Soma kwa makini habari ifuatayo kisha jibu maswali yafuatayo kwa kumalizia sehemu iliyoachwa wazi. 

Kwa namna moja au nyingine binadamu hupenda burudani. Burudani zipo za aina nyingi mathalani uogeleaji, kutazama televisheni na michezo kadhaa na kadha. Pamoja na burudani zilizokwishaainishwa, muziki ni burudani ambayo hukonga nyoyo za binadamu na hata wanyama. Muziki huweza kumtoa nyoka pangoni na kumtuliza panya kwenye utambaa panya. Muziki ni zaidi ya burudani kwani humsheheneza binadamu hisia mbalimbali za jana, leo na kesho. Muziki huleta furaha, muziki huleta karaha, muziki ...... Wewe acha tu hata kichanga mja hutikisa kichwa. 

MASWALI 

41.Kuogelea, michezo, kutazama televishen ni aina mbalimbali za ......

42.Neno gani limetumika kumaanisha mtoto aliyezaliwa hivi karibuni?..............................................................................................

43.Andika neno moja linalomaanisha aina ya burudani inayozungumziwa katika habari hii ........................................

44.Andika neno lenye maana sawa na neno “mathalani” kama ilivyotumika katika habari hii ...............................................

45.Muziki huleta furaha na vilevile huleta ....................................

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 20


 

OFISI YA RAIS

WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KISWAHILI- AUGUST-SEPTEMBER EXAM

DARASA LA NNE

MUDA : Saa 1 na NUSU

JINA LA MWANAFUNZI___________________________________ 

JINA LA SHULE___________________________________________ 

MKOA_________________________________________________________ 

WILAYA_________________________________________________ 

MAELEZO

  1. Jibu Maswali yote.

 

SEHEMU A: IMLA

1.Sikiliza kwa makini sentensi zinazosomwa na msimamizi wa mtihani kisha uziandike kwa usahihi.

i.______________________________________________________________

ii._______________________________________________________________

iii._______________________________________________________________

iv._______________________________________________________________

v.______________________________________________________________

 

SEHEMU B: MSAMIATI, SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA

2.Chagua jibu sahihi kisha andika herufi ya jibu hilo kwenye kisanduku:i.Neno Mchwalinaundwa na silabi zipi?

(a). M, c,h,w,a

(b). M,chwa

(c). M, ch, w, a

(d). M, ch,wa

ii.Neno HESHIMA lina irabu ngapi?

(a). Sita

(b). Tatu

(c). Mbili

(d). Tano

iii. Neno lipi kati ya linaweza kuundwa kwa kudondosha silabi moja katika neno MWALIMU?

(a).Elimu

(b). Wali

(c). Walimu

(d). Mwali

iv.Lipi kati ya maneno yafuatayo halifanani na mengine?

(a). Mbuni

(b). Kunguru

(c). Bundi

(d). Nzige

v.Yakinisha sentensi hii: “Elimu haina mwisho”

(a). Elimu siyo mwisho

(b). Kusoma kuna mwisho

(c). Elimu nimwisho

(d). Elimu ina mwisho

SEHEMU C: METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI

3.(a). Kamilisha methali zifuatazo

.i.Umoja ni nguvu_____________________________________

ii.____________________________________ yasiyokuwa na mbu.

(b).Tegua vitendawili vifuatavyo

(iii). Fuu funika fuu funua_________________________________

(iv). Baba kafa kaniachia pete ______________

(c). Nahau kata shauri ina maana gani? ______________

SEHEMU D: UTUNGAJI

4.Weka alama za uandishi katika sehemu zilizoachwa wazi 

Mfano: Unaitwa nani?

i.Mimi ni mwanafunzi ______

ii.Je, unasoma wapi_______

iii.Juma _____Anita na Jenifa wanasoma darasa la nne.

iv. Loooh_______ maji yamemwagika.

v.“Acheni kupika kelele_______Mwalimu alisema

 

SEHEMU E: UFAHAMU

5.Soma kwa makini hadithi ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuataHapo zamani za kale kulitokea mgogoro mkubwa sana kati ya ndege na wanyama. Juhudi zote za kumaliza mgogoro huu zilionekana kugonga mwambana hatimaye vita ilianza. Wakati majeshi hayo mawili ya wanyama na ndege yakijiandaa kupigana, popo alisita kuchagua upande wa kujiunga nao kivita. Jeshi la ndege lilifika nyumbani kwa popo na kumwambia “ Twende vitani ewe popo ndege mwenzetu”Popo alikataa na kusema “ Mimi ni mnyama na si ndege kama ninyi”. Baadaye jeshi la wanyama nalo lilifika nyumbani kwa popo na kumwambia “ Twende vitani ewe popo mnyama mwenzetu”. Popo alikataa tena na kujibu “ Mimi ni ndege na wala si mnyama kama ninyi”. Basi kukawa na ngurumo za kutishaza wanyama shupavukama vile simba, duma na tembo, na ndege shupavu kama vile tai na mbuni. Majike wenye ndama na majike wenye makinda walihisi kiama chao kimefika. Kwa bahati nzuri sana, katika dakika za mwisho kuelekea vita, muafakaulifikiwakati ya pande hizo mbili na vita ikaepukwa. Kukawa na amani badala ya mapigano. Makundi yote mawili yakawa na shamrashamraza kusherehekea kuepukana na mgogoro. Kuona hivyo, popo naye alitamani kuwa sehemu ya shamrashamra hizo. Alikwenda kwa ndege akitakakujiunga nao lakini ndege walimfukuza. Baadayae akaenda kwenye kundi la wanyama nao walimfukuza. Popo akabaki kuwa njia panda kwani hakuruhusiwa kujiunga na kundi la ndege au kundi la wanyama.

 

MASWALI

i.Mgogoro uliotokea hapo zamani uliwahusu akina nani?__________________________________________________

ii.Nini maana ya nahau kugonga mwambakama ilivyotumika katika hadithihapo juu?________________________________________

iii.Neno kiamakatikahadithi hapo juu lina maana gani?_____________________________________________________

iv.Neno lipi katika hadithi uliyosoma hapo juu lina maana sawa na neno shangwe?__________________________________________

v.Nani alibaki njia panda?______________________________________Kwanini?_______________

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 15

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MWISHO MWAKA-KISWAHILI

DARASA LA NNE

MUDA: 1.30                                                  2020

JINA:_______________________________MKONDO:___________

          MAELEKEZO

  1. Mtihani huu una sehemu A, B, C, D na E zenye jumla ya maswali 5
  2. Jibu maswali yote katika kila sehemu.
  3. Majibu yote yaandikwe kwa herufi kubwa ISIPOKUWA Imla.
  4. Andika majina yako matatu, shule, wilaya na mkoa kwa usahihi.
  5. Hakikisha kazi yako ni safi.

 

SEHEMU A:

IMLA:

 Sikiliza kwa makini sentensi utakazosomewa kisha uziandike kwa usahihi

  1.                                            .
  2.                                             .
  3.                                             .
  4.                                             .
  5.                                             .

SEHEMU B: MATUMIZI YA LUGHA

 Chagua herufi ya jibu sahihi

6. Neno lipi halilandani na mengine                                                       

  1. Mawio
  2. Macheo
  3. Machweo
  4. masika

   7. Ni neno lipi haliwezi kutokana na jina mwanchi?                                  

  1. Nchi
  2. Mwana
  3. Mchi
  4. mwamko

  8.  Yupi kati ya hawa ni lazima awe mwanamke?                                       

  1. Mjomba
  2. Binamu
  3. Mpwa
  4. ajuza

9. Tukitaka kufaulu mtihani yetu_________________ kusoma kwa bidii 

  1. sina budi
  2. hamna budi 
  3. hawana budi
  4. hatuna budi

10. Wamekuja wote_______________ Munira ambaye anaumwa                

  1. ingawa
  2. isipokuwa
  3. pamoja
  4. lakini

SEHEMU C: LUGHA YA KIFASIHI

11.  Malizia methali hii, Ukitaka kuruka _________________ 

12.  Japo kuna maktaba nyumbani kwao lakini Joni hapendi kukaa na kujisomea, mara nyingi Juma huenda kwa akina Joni kuomba muda japo kidogo apate kusoma vitabu. Juma anatamani mno kuwe na maktaba nyumbani kwao lakini wazazi wake hawana uwezo huo. Methali ipi inafaa kwa maelezo haya

13.  Mwenyekiti ameahirisha kikao baada ya wajumbe kuja wamevaa miwani,
 nahau vaa miwani ina maana gani?          

14.  Andika nahau iliyo kinyume na ile isemayo tia moyo____________ 

SEHEMU D: UTUNGAJI

Weka alama za uandishi katika sentensi zifuatazo kwa kuandika alama sahihi katika nafasi iliyoachwa wazi

15. Utamaliza kazi yako saa ngapi ______________ 

16. Ebo   amemaliza ugali wote ule………………..

17. Juma  Sharifu na Ayubu wamegombana…………..

18. Shangazi amekwenda kumpokea baba___________ 

19. Watoto wataletwa na nani………….   

SEHEMU E: UFAHAMU

Soma habari ifuatayo kwa makini kisha jibu maswali yafuatayo

Tulianza safari alfajiri ya saa kumi na moja.Ulikuwa ni umbali wa kilomita

sitini kutoka pwani hadi kwenye mazalia ya samaki. Baada ya kufika mjengi alitushauri tutege nyavu chache tu kwani hali ya hewa haikuridhisha. Baada ya kutega tulianza safari ya kurudi pwani . Ghafla tulipigwa na dhoruba . Jahazi

lilianza kuyumba na tanga letu likararuka. Haraka mimi na Mwekwa tulitweka tanga la akiba na kulifunga chapuchapu. Msengi na Hongoa walichukua buli na kuanza kutoa maji yaliyokuwa yanaingia jahazini. Tulipata shida mno, baada ya siku mbili majini tuliwasili salama pwani. Tuliponea chupuchupu, tulikata tamaa na kusubiri miujiza ya Maulana ili tubaki hai.

MASWALI

20. Msimuliaji wa habari hii na wenzake wanafanya kazi gani? __________ 

21. Kulikuwa na watu wangapi katika jahazi ?__________ 

  22. Kitambaa maalumu kinachofungwa katika jahazi ili kulisaidia kutembea kinaitwaje?_________ 

23. Andika nahau moja iliyotumika katika habari hii _________ 

24. Taja kisawe cha neno Maulana kama lilivyotumika katika habari hii

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 9

OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA DARASA LA NINE

APRILI-2020  MUDA:SAA 1:30

KISWAHILI

MAELEZO KWA MTAHINIWA

  1. MTIHANI HUU UNAMASWALI JUMLA YA 25
  2. JIBU MASWALI YOTE
  3. ANDIKA MAJIBU KWA HERUFI KUBWA
  4. KAZI YAKO IWE SAFI.

SOMA HABARI IFUATAYO KISHA UJIBU MASWALI.

 Hapo zamani palikuwa na watu waishio katika kijiji kimoja kiitwacho shukajeni. Siku  moja  kijiji hicho kilipatwa na kipindi cha njaa  ambapo hawakuwa na  chakula cha kula ilikupata  nguvu ya kuwinda wanyama. Ikatokea mvulana mmoja ambaye alikuwa shujaa katika kijiji kingine ambacho kilikuwa jirani na Shukajeni . Alipo ingia katika shukajeni alisali na kuomba dua hadi kijiji hicho kikapata chakula  cha kula na kupata nguvu.

Kisha mvulana huyo shujaa akafanywa kuwa kiongozi  wa kijiji hicho.

JIBU MASWALI YAFUATAYO.

   1.Katika kijiji hicho kazi yao ilikuwa nini? …

2.Kipindi  gani  kilizuka katika kijiji hicho?   … … … … … … ..

3.Kwa nini mvulana  aliye kuja katika  kijiji cha Shukajeni aliteuliwa  kuwa  kiongozi?   … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … .

4.Umejifunza nini  kutokana na habari uliyoisoma?   … … … … … … … … … … … … .....

5.Jiji lao lilikuwa laitwaje?       … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … .              

TUNGA SENTENSI KWA KUTUMI A  MANENO YAFUATAYO.

6. shujaa       … … … … … … … … … … … … … … … … ..

7. kuwinda   … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … …

8.njaa   … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … …

9. kula  … ....................................... ............... ....................... .............. ...... 

10. nguvu   … … .

ANDIKA MANENO MANNE YANAYOWAKILISHWA NA NENO LA JUMLA

11. Vyombo

12. wanyama

13. vinywaji

14. kamusi

15. wachezaji

UTUNGAJI

16. Simulia sherehe  uliyowahi  kuhudhuria.   

        ZINGATIA YAFUATAYO:-  

1.  kichwa cha habari.

2. walioshiriki katika sherehe.

3. kitu kilicho kufurahisha

4. kitu kilicho kuchukiza

KANUSHA MANENO YAFUATAYO.

17. Sisi tunapenda  nyama ya swala.   … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … …

18. Mpoki  alipanda  mabasi  ya  mwendokasi.     … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … .

19. Baba atarina asali yetu  wiki ijayo.   … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … .

20. Wote walishangaa kwa  kifo  chake.   … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … .

21. Wazazi  watawanunulia  watoto wao  sare  za  shule.   … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … .

ANDIKA  VITENDAWILI  VYENYE  MAJIBU  YAFUATAYO.

22. Jogoo … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … …

23. ugali     … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … …

24. macho   … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … …

25. mlango   … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … …

26. uyoga   … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … .

27. utelezi   … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … … ....

             OANISHA  SEHEMU  A’’  na   B’’  kwa  kuandika  jibu  sahihi.

28.unga mkono

A] kuwa mwangalifu

29.kuwa macho

B]futwa kazi

30.bega kwa bega

C]kushirikiana

31.pigwa kalamu

D]fariki

32.kata roho

E]kubaliana


Swali

28.

29.

30.

31.

32.


Jibu





LEARNINGHUBTZ.CO.TZKISWAHILI STANDARD FOUR EXAM SERIES 2

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256