?>
OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU SAYANSI
MUDA: SAA 1: 30
JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________
JINA LA SHULE________________________________________________
Maelekezo
SEHEMU A
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
1. Jibu kipengele cha (i) hadi (v) kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi na kuandika katika kisanduku. (i) Maada ni kitu chochote chenye _______ na huchukua nafasi:
(A) Thamani (B) Ujazo (C) Hewa D) uzito [ ]
(ii) Chanzo kikuu cha nishati ya mwanga na joto ni _________
(A) jua (B) umeme (C) moto (D )taa [ ]
(iii) Rasuli alivyotoka nje ya nyumba aliona ukungu mzito, Pia akawa anahisi baridi. Je Rasuli alitumia milango ipi ya fahamu?
(iii) Kiumbe mmojawapo aliyepo katika kundi la reptilia miongoni mwa hawa ni _______
(A) Kobe (B)chura (C) Mbuni (D) Kiboko [ ]
(iv) Wanyama wenye uti wa mgongo wamegawanyika katika makundi makuu _____
(A) matano (B)matatu (C) manne (D) sita [ ]
(v) ) Moja za sifa ya viumbehai ni kujongea. Chura hujongea kwa namna gani?
A. Kutambaa (B). Kutembea (C). Kuruka (D). Kurukaruka [ ]
2. Jibu kipengele cha (i) hadi (v) kwa kuoanisha maelezo katika orodha A na orodha B, kasha uandike herufi ya jibu sahihi kwenye mabano uliyopewa.
| ORODHA (A) | MAJIBU | ORODHA (B) |
| i. Sifa mojawapo ya viumbehai. | | A.Mhandisi B.Mfamasia C.Daktari wa nyama D. Kucheka E. Umami F. Kuitikia vichocheo. G. Hadubini |
| ii.Hutumika kuchunguza viumbehai wadogo wasioonekana kwa macho | | |
| iii.Mwanasayansi anayeshughulika na kutengeneza, kutoa na kusimamia matumizi ya madawa. | | |
| iv. Ladha ya chakula yenye viono mchanganyiko. | | |
| v.Mwanasayansi anayebuni na kutengeneza miundo mbinu kama majengo | |
3. Jibu kipengele cha (i) hadi (vi) kwa kujaza nafasi ukitumia maneno uliyopewa katika kiboksi
| Matamvua , hawataongezeka idadi, Pua, matatu, wasio na uti wa mgongo, amfibia, Reptilia, watakufa, manne |
(i) Konokono na Panzi ni viumbe hai waliopo kwenye kundi gani la viumbehai?_______________ (ii) __________________________ Ogani gani inahusika na kutambua harufu ya vitu mbalimbali (iii) ________________ ni kundi la wanyama wenye uti wa mgongo, mfano chura.
(iv)Samaki wanatumia ____________kwa ajili ya kupumua.
(v) Nini kitatokea endapo viumbehai hawatazaliana? _______________________
SEHEMU B.
4. Chunguza picha ifuatayo kishajibu maswali kwa usahihi.

MASWALI
Taja majina ya sehemu zilizooneshwa kwa herufi
(i) Herufi M inaonyesha sehemu inayoitwa _________________
(ii) Herufi N inaonesha sehemu inayoitwa __________________
(iii) ________________ ni sehemu iliyoonyeshwa kwa herufi O. ________________
(iv) Picha hiyo inaonesha kiungo cha mwili kinachoitwa _______________?
(v) Kazi ya kiungo cha mwili kinachoonekana katika picha hiyo ni ______________
5. Panga sentensi zifuatazo ili zilete maana kuhusu mtiririko sahihi wa utunzaji wa ngozi ya binadamu.Mtiririko sahihi upe herufi A - E
(i) Kula vyakula bora na kunywa maji ya kutosha ili kuendelea kutunza ngozi yako.
(ii) Paka mafuta ya ngozi mara baada ya kuoga.
(iii) Safisha ngozi yako kwa kuoga.
(iv). Tumia maji safi, dodoki na sabuni wakati wa kuoga.
(v) Kausha mwili wako kwa kutumia taulo safi baada ya kuoga.
| i | ii | iii | iv | v |
| . |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 157
OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU SAYANSI
MUDA: SAA 1: 30
JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________
JINA LA SHULE________________________________________________
Maelekezo
SEHEMU A (Alama 22)
1. Chagua herufi ya jibu kisha uandike kwenye kiboma ulichopewa.
(i) Ni lipi kati ya ya masomo yafuatayo linahusika na uchunguzi wa majaribio ya vitu katika ulimwengu halisi?_______
(ii) Stecy anapendelea ladha chachu Anapaswa kula
(iii) Viumbe hai ni vitu vyenye uhai. Ni kitu gani kati ya vifuatavyo sio kiumbe hai?
(iv) Kuna hali ngapi za mada?
(v) Ni tawi gani la sayansi kati ya hizi inahusika na uhusiano kati ya mada na nguvu:
2. Oanisha milango ya fahamu kutoka orodha A na kazi zake katika orodha B Kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika sehemu ya jibu iiliyopo
| Orodha A | Jawabu | Orodha B |
| i) Jicho | A) Hutumika katika kuonja B) Hutumika katika kunusa C) Hutumika katika kulia D) Hutumika katika kusikia E) Hutumika katika kuona F) Hutumika katika kula G) Hutumika katika kuhisi | |
| ii) Ngozi | ||
| iii) Ulimi | ||
| iv) Pua | ||
| v) Sikio |
3. Chagua jibu sahihi kutoka kwenye kisanduku kisha jaza nafasi iliyoachwa wazi.
| Hewa, Daktari wa binadamu, lishe, jua, mazingira, Daktari wa mifugo |
(i) Mwanasayansi anayegundua ugonjwa na kutibu watu hospitalini __________________________
(ii) Kitu chochote kinachomzunguka mwanadamu ____________________
(iii) Mchanganyiko wa gesi mbalimbali _____________________________
(iv) Chanzo kikuu cha nishati duniani ______________________________
(v) Sifa ya viumbe kuhitaji chakula ________________________________
(vi) Sayansi inayohusiana na uchunguzi na matibabu kwa Wanyama____________________________________
SEHEMU B (Alama 28)
4. Pangilia sehemu zifuatazo za mwili wa binadamu kwa mfuatano sahihi kulingana na jinsi zinavyohusika katika kusikia kwa kuzipa herufi B, C, D, E, F na G katika nafasi uliyopewa.Hatua ya (vii) imetumika kama mfano
| i. | Neva ya auditori | |
| ii. | Mifupa mitatu milaini | |
| iii. | Ubongo | |
| iv. | Koklea | |
| v. | Ngoma ya sikio | |
| vi. | Mfereji wa sikio | |
| vii. | Pinna | A |
5. Soma picha ifuatayo hapa chini kisha ujibu maswali yanayofuata.

(i) Picha hii inaonesha nini? _______________________________________
(ii) Taja makundi mawili ya viumbe hai vilivyo oneshwa hapo juu
(iii) Taja tawi la Sayansi linalohusika na vitu hivyo hapo juu _______________
(iv) Ni kiumbe gani kimeoneshwa hapo juu hujitengenezea chenyewe chakula?
________________________________________
(v) Ni sehemu gani ya mmea hutumika kutengeneza chakula?
___________________________________________________________
(vi) Toa faida moja ya mimea katika Maisha ya kila siku __________________________________________________
6. (a) Taja makundi makuu mawili ya Wanyama
(b) Taja sehemu inayotumiwa na Samaki katika upumuaji__________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 156
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU
SOMO: SAYANSI
MUDA: SAA 1:30
Jibu maswali yote 1. Chagua jibu sahihi kisha weka herufi sahihi panapohusika
i).Somo linalohusika na kufanya majaribio na uchunguzi ili kupata majibu sahihi_______
ii).Mariamu alimuuliza Aneth kuwa mtu anayefanya shughuli za kisayansi huitwaje?_____
iii).Mwalimu Kamanzi aliuliza wanafunze wake kwamba kuna matawi mangapi ya sayansi?____
iv). Kenedy ana ndoto za kuwa mhandisi wa barabara.Je mwalimu wake atamshauri asome tawi gani la sayansi?______
v). Wewe kama mwanafunzi unatumia ogani gani kumsikia mwalimu wako? __[ ]
2. OANISHA FUNGU A NA FUNGU B KULETA MAANA KAMILI
| Na | Fungu A | Majibu | Fungu B |
| i. | Sikio | A. Ladha ya utamu | |
| ii. | Ulimi | B. Kusikia sauti | |
| iii. | Maada | C. Tawi la Sayansi | |
| iv. | Botania | D. Malaria | |
| v. | Mbu | E. Vitu vigumu |
3.Soma habari hii kisha jibu maswali yafuatayo
Siku moja mwalimu wa sayansi aliingia darasani akiwa na chati inayoonesha taaluma zinazohusiana na Sayansi. Udaktari wa binadamu, ualimu, ufamasia, uhandisi, utaalamu wa kemia, utaalamu wa mimea na udaktari wa wanyama. Baada ya kutaja taaluma hizi tulipenda sana somo la sayansi na kuanza kusoma kwa bidi
MASWALI:
i. Taaluma inayohusu ubunifu wa kutengeneza miundo mbinu. Mtaalamu huitwaje? _____________
ii. Taaluma inayohusu kutengeneza na kusimamia dawa.Mtaalamu huitwaje?________________________________________
iii. Taaluma inayohusu kufundisha sayansi. Mtaalamu huitwaje?______________________________________
iv. Taaluma inayohusu kutibu binadamu. Mtaalamu huitwaje? _______________
v. Taaluma inayohusu tiba kwa wanyama. Mtaalamu huitwaje? ______________
vi. Taaluma inayohusu utaalamu wa kikemia. Mtaalamu huitwaje? ____________
4.Tazama picha hizi kisha jibu maswali yanayofuata

Maswali
i. Taja jina la kifaa katika picha A hapo juu _________________________
ii. Bainisha kazi moja ya kifaa katika picha A _________________________
iii. Taja majina ya vifaa vyote katika picha B
a). __________________________
b).__________________________
c) ___________________________
d).__________________________
5. Jaza nafasi zilizoachwa wazi
i. Sikujua alipokuwa anaumwa walimshauri afike hospitalini,kabla hajapewa dawa walimshauri atembelee chumba maaluma kwa ajili ya uchunguzi unafikiri chumba hicho kinaitwaje? __________________
ii. Ni sehemu gani ya jicho huruhusu mwanga kuingia kwenye jicho?___________________________
iii. Mlango upi wa fahamu unaweza kutambua rangi ya kijani ya spinachi? ____________
iv. Seli katika ulimi zenye neva zinakusanya taarifa ya ladha huitwaje? ________________
v. Taja mifano miwili ya viumbe hai wanaojongea kwa kutambaa.
a)._____________________________
b)._____________________________
6. i) Makundi makuu mawili ya viumbe hai nayo ni ___________na ________
ii) Kundi la wanyama limegawanyika katika makundi 2 ambayo ni _____________________________ na_____________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 155
JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026
SAYANSI
DARASA LA III
1. Andika herufi ya jibu sahihi kwenye mabano
i.Utabiri wa matokeo ya kubuni kuhusu tatizo fulani huitwaje?
ii.Binadamu ana milango ya fahamu mitano. Je, ni mlango upi wa fahamu huhusika na kuhisi hali mbalimbali kama vile joto, baridi na mguso?
iii.Ni kundi lipi la viumbe ambao huzaa watoto na kunyonyesha?
iv.Kuna mimea inayozaliana kwa kutoa maua na isiyotoa maua. Je, ni mmea upi kati ya ifuatayo hautoi maua?
v.Teknolojia ya habari na mawasiliano hutuwezesha kupata habari na elimu mbalimbali. Je, ni kifaa kipi kati ya vifuatavyo si kifaa chaTEHAMA?
2. Oanisha maelezo kutoka kifungu A na hatua kutoka kifungu B.
| KIFUNGU A | KIFUNGU B |
|
|
3. Chagua kundi la wanyama katika sanduku kujaza nafasi zilizoachwa wazi.
i.Binadamu, ng’ombe, mbuzi na popo ni wanyama katika kundi la ……………………………………………
ii.Kenge, mamba, mjusi na kobe ni baadhi ya wanyama katika kundi la …………………………………
iii.Chura ni wanyama katika kundi la ………………………………………………………………………………………………
iv.Kuku, kanga na tausi ni wanyama katika kundi la …………………………………………………………………….
v.Perege na Kambale ni wanyama katika kundi la ……………………………………………………………………….
4. Soma habari kisha jibu maswali yanayofuata.
Sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya uchunguzi na majaribio. Uchunguzi na majaribio hufanyika ili kubaini ukweli wa mambo. Sayansi ina matawi makuu matatu ambapo kila tawi linahusika na aina fulani ya maarifa. Matawi hayo ni Fizikia na Kemia na Baiolojia. Fizikia ni tawi la sayansi linalohusu uhusiano wa maada na nishati, Kemia ni tawi la sayansi linalohusu muundo na tabia za maada na mabadiliko yanayotokea katika maada na Baiolojia ni tawi la sayansi linalohusu viumbehai.
Maswali
i.Kwanini tunafanya uchunguzi na majaribio ya kisayansi? …………………………………………………...
ii.Ni tawi lipi la sayansi linalohusu uhusiano wa maada na nishati? ……………………………………….
iii.Ni tawi lipi la sayansi linalohusu muundo, tabia na mabadiliko ya maada? ……………………….
iv.Maarifa yanayopatikana kwa kufanya uchunguzi na majaribio yanaitwaje? ……………………
v.Fabian anataka kuwa daktari wa binadamu. Je, ni tawi gani la Sayansi itabidi kulisomea zaidi? …………………………………………………………………………………………..
5. Chunguza picha kisha jibu maswali.

i. Taja jina la ogani iliyooneshwa kwa namba 1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
ii. Taja jina la ogani iliyooneshwa kwa namba 2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iii. Taja jina la ogani iliyooneshwa kwa namba 3. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iv. Taja kazi ya ogani iliyooneshwa kwa namba 1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
v. Taja kazi ya ogani iliyooneshwa kwa namba 2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 153
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA PILI
SOMO: SAYANSI NA TEKNOLOJIA DARASA: TATU
MUDA: SAA 1:00
1. Chagua herufi ya jibu sahihi kasha iandike katika kisanduku
(i) Mtoto alipokula ndizi alisema ni tamu. Je ni sehemu gani ya ulimi ilitambua ladha ya utamu? [ ]
(ii) Binadamu ana milango mingapi ya fahamu? [ ]
(iii) Mlango upi wa fahamu unaweza kutambua rangi ya kijani ya mchicha? [ ]
(iv) jibu lipi ni sahihi kuhusu mlango wa fahamu? [ ]
(v) Siku moja wakati wa masika, Juma aliona mvua inanyesha na mawingu yametanda kisha likaingia giza, pia akahisi baridi sana, Juma alitumia milango gani ya fahamu? [ ]
2. Oanisha maneno ya kifungu A na kifungu B ili kuleta maana sahihi ya maneno.
| NA | Fungu A | JIBU | Fungu B |
| (i) | Ngozi yake kavu na imefunukwa na magamba | [ ] |
|
| (ii) | Wana Ngozi laini na yenye unyevunyevu | [ ] | |
| (iii) | Mdomo wake ni mgumu na umechongoka | [ ] | |
| (iv) | Ni poikilothemiki ambae ana msitari wa neva unaomwezesha kuhisi miguso | [ ] | |
| (v) | Huzaa watoto na kunyonyesha | [ ] |
3. Chunguza kwa uangalifu mchoro ufuatao kisha jibu maswali yafuatayo:

Maswali:
(i) Taja vitu viwili vilivyopo ndani ya kopo A.
a) ____________________________
b)______________________________
ii. Ni kitu gani muhimu kimesababisha kiumbehai aliyopo kwenye kopo B kufa?
_______________________________________________________
iii) Je, kwa nini kiumbehai aliyopo kwenye chupa A hakufa?
a) ____________________________________________________
b) ____________________________________________________
4. Jaza nafasi zilizowazi kwa kuchagua jibu sahihi kutoka katika kisanduku.
| kemia, sayansi, fizikia, maabara, baiolojia |
(i) Ni tawi la sayansi linalohusu viumbehai _____
(ii) Ni chumba au jingo linalotumika kufanya uchunguzi na majaribio ya kisayansi_____________________
(iii) Ni tawi la sayansi linalohusu uhusiano wa maada na nishati_____________________
(iv) Ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya uchunguzi na majaribio_______________________
(v) Ni tawi la sayansi linalohusu muundo na tabia za maada_________________
5. Jaza nafasi zilizo wazi.
(i) Kiungo cha mwili kinacho tumika kutambua harufu katika mazingira huitwa_______________________________
(ii) Kiungo cha mwili kinachotumia kuhisi halijoto katika mazingira ni ___________
(iii) Ni mlango wa fahamu unaotumika kutambua uwepo wa giza au mwanga_______________________
(iv) Ni ogani inayotumika kutambua uchungu dawa_____________________________
(v) Ogani inayotumika kupata taarifa ya maongezi ya watu __________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 112
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA NUSU MUHULA AGOSTI 2025
MTIHANI WA DARASA LA III
SAYANSI NA TEKNOLOJIA
1. Andika herufi ya jibu sahihi kwenye mabano
(i) Maarifa yanayopatikana kwa kufanya matendo ya uchunguzi na majaribio huitwaje?
(ii) Kaka Paulo amesomea taaluma ya kutibu wagonjwa. Je, taaluma hiyo inaitwaje?
(iii) Ili kujua ukweli wa mambo tunapaswa kufanya nini?
(iv) Ni tawi lipi la Sayansi linalohusu viumbe hai?
(v) Ipi kati ya vitu vifuatavyo si maada?
2. Oanisha fungu A na B ili kupata sentensi sahihi
| FUNGU A | JIBU | FUNGU B |
| (i) Macho | [ ] | A. Kusikia sauti za vitu mbalimbali |
| (ii) Pua | [ ] | B. Kuonja ladha kama utamu na chachu |
| (iii) Ulimi | [ ] | C. Kuhisi joto, baridi na miguso |
| (iv) Masikio | [ ] | D. Kuhisi harufu |
| (v).Ngozi | [ ] | E. Kuona vitu mbalimbali katika mazingira |
3. Chagua jibu kutoka kwenye kisanduku kujaza nafasi iliyo wazi.
| Kemia , Fizikia , Baiolojia , Maabara , Taaluma za kisayansi |
(i) Tawi la Sayansi linalohusu uhusiano wa maada na nishati. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(ii) Tawi la Sayansi linalohusu muundo na tabia za maada. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iii) Tawi la Sayansi linalohusu viumbehai. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iv) Chumba au jengo maalumu linalotumika kufanyia majaribio ya kisayansi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(v) Udaktari, ualimu na uhandisi. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
4. Soma habari kisha jibu swali la 16 hadi 20.
Sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya uchunguzi na majaribio. Ili kupata ukweli wa mambo mbalimbali yanayotutatiza tunapaswa kufanya uchunguzi na majaribio. Sayansi imegawanyika katika matawi makuu matatu ambayo ni Baiolojia inayohusu viumbe hai, Fizikia inayohusu uhusiano wa maada na nishati na Kemia inayohusu muundo na tabia za maada.
(i). . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya uchunguzi na majaribio.
(ii) Tawi la Sayansi linalohusu uhusiano wa maada na nishati. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iii) Tawi la Sayansi linalohusu muundo na tabia za maada. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iv) Tawi la Sayansi linalohusu viumbehai. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(v) Sayansi imegawanyika katika matawi mangapi? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
5. Chunguza picha kisha jibu maswali yafuatayo
|
|
(i). Picha zinazoonesha viumbehai zimeoneshwa kwa herufi zipi? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(ii). Picha inayoonesha kitu ambacho si kiumbehai imeoneshwa kwa herufi ipi? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iii). Taja jina la kiumbe aliyeoneshwa kwa herufi C. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(iv). Kiumbe aliyeoneshwa kwa herufi C anafanya nini? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
(v). Taja kazi ya kifaa B. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 105
OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MSURURU WA MITIHANI YA SHULE ZA MSINGI
FOMATI MPYA-MTIHANI WA DARASA LA TATU
SOMO: SAYANSI
SEHEMU A:
(A) tatu (B) sita (C) tano (D) nne
(A) jicho (B) pua (C) ngozi (D) sikio
(A) pua, miguu, masikio, ngozi na ulimi (B) ulimi, masikio, pua na mdomo (C) masikio, ngozi, mikono, pua na ulimi (D) macho, masikio, ngozi, pua na ulimi
(A) sikio hutumika kusikia (B)macho hutumika kunusa (C) pua hutumika kuonja (D) ulimi hutumika kuhisi
(A) nywele papillae (B) jasho hufurahi (D) epidermis (D) tezi ya mafuta
(A) fupa la paja (B) malleus (C) msukumo (D) incus
(A) uchungu (B) utamu (C) umami (D)usikivu
(A) saba (B) pale (C) nane (D) sita
| TAWI | MAANA YA TAWI |
| 1. Fizikia | A. Utafiti wa viumbe hai B. Utafiti wa visukuku C. Jambo la utafiti katika mahusiano na nishati D. Utafiti wa hali ya hewa E. Utafiti wa utungaji na mali ya jambo F. Utafiti wa mimea |
| 2. Biolojia | |
| 3. Paleontolojia | |
| 4. Kemia | |
| 5. Botania | |
|
|
1. _________________kugundua harufu ya nyenzo inayowaka.
2. ____________________ kusikia wimbo kuhusu ulinzi wa mazingira.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 93
OFISI YA RAIS
WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MITIHANI YA KUJIPIMA MSINGI
MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA -MACHI 2021
SAYANSI – DARASA LA TATU
FOMATI MPYA
MUDA 1:30 MASAA MACHI 2024
JINA …………………………... SHULE ………………………...
MAELEZO
SEHEMU A
JIBU MASWALI YOTE
| Kundi A | Kundi B |
|
|
SECTION B
Mawasiliano ni kitendo cha kupashana Habari au kutoa taarifa kwa njia mbalimbali.
Njia za mawasiliano zimegawanyika katika aina kuu mbili. Njia hizi ni za asili na za kisasa. Baadhi ya vifaa vya asili ni baragumu na ngoma. Vifaa vya kisasa ni runinga, radio, simu na kompyuta. Kuna faida mbalimbali za kutumia njia za kisasa za mawasiliano. Mfano, kutoa taarifa kwa watu wengi kwa muda mfupi. Pia, zinatumika kuhifadhi picha za matukio mbalimbali. Simu hurahisisha huduma mbalimbali. Huduma hizo ni Pamoja na kutuma na kupokea taarifa au fedha, pia kupiga picha.
B
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 81
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA SERIKALI ZA MITAA
MITIHANI WA KUJIPIMA
MWISHO WA MWAKA- NOVEMBA 2023
SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Jina: ____________________________________________
TAREHE: ________________ DRS 3
SEHEMU A:
1. Chagua jibu sahihi na uandike barua yake katika sanduku lililotolewa
i. Ni yupi kati ya wanyama wafuatao si mnyama mwenye sumu?
A. Uyoga B. Scorpion C. Tarantula D. nyoka
ii.Ni mdudu gani kati ya wafuatao husababisha kuenea kwa malaria ?__________________________
A. Virusi B. Nyumba ya Mlezi C. Mbu dume D. Mbu jike
iii.Kiumbe yupi kati ya viumbe wafuatao hujonge kwa kuruka ?___________________________
A. Nyoka na nyuki B. nyuki na konokono C. Juma na kuku D. kipepeo na kuku
iv.Upi ni mfano wa njia ya mawasiliano ya jadi ?__________________________
A. Pembe, ngoma B. Redio, Simu C.Televisheni D.Simu ya mkononi
v.Ipi kati ya vitu vifuatavyo husababisha kuundwa kwa kimvuli
A. Maji B. glasi C. jiwe D. Hewa
2. Linganisha vitu katika kikundi A na sambamba yao katika kikundi B
| ORODHA A | JIBU | ORODHA B | |
| i | Sauti, joto na mwanga | A. Hutengeneza nguo na kuonekana smart | |
| ii. | Nishati ya Kinetic | F. ina kinetic na nishati. | |
| iii | Nishati ya Sauti | I. Nishati hutokana na mwendo wake wa kitu | |
| Iv | Nishati ya joto | J. Nishati kutokana na mtetemo wa kitu | |
| v | Nishati ya Mitambo | K. Nishati kutokana na kuchoma. |
3.Tumia maneno katika sanduku ili kujibu swali linalofuata.
| Kubadilishana kwa gesi,Jongoo,Makazi, Mazingira, tarumbeta ya malaika,nyuki,Imara, harufu, kifo |
i. _______________________ ni jozi ya mimea yenye sumu
ii. Mahali ambapo viumbe hai huish huitwa ________________________________________________________
iii. _____________________________Kitu chochote kilichotuzunguka .
iv. Tunapaswa kuhifadhi maji ili kuzuia ______________________________cha wanyama
v. Yupi ni mdudu wa sumu _______________________________________________________________
4. jibu maswali kwa usahihi
i. mawasiliano ni nini ? ______________________________________________________________________
ii. Chakula kilichoshamili aina zote za chakula kinaitwaje? ___________________________________________
iii. Andika viumbe vitatu vya sumu __________________________________________________________
iv. ___________________________________ni mfano wa wanyama wa majini .
v. Nini maana ya maada i? ______________________________________________________________________________
5. Tumia picha inayofuata ili kujibu maswali yaliyo hapo chini.
Maswali
i. Taja jina ya sehemu iliyoandikwa na herufi "S"_______________________________________________
ii. Katika mchoro hapo juu kuna sehemu ambayo uhusika na kufyonza maji na madini katika chakula ?
_______________________________________________________________________________________________
iii. Ni herufi ipi katika mchoro hapo juu uhusika na kufyonza wanga katika chakula ? __________________________
iv. Eleza kazi ya herufi "R "katika Mfumo wa mmeng`enyo wa chakula?_____________________________
________________________________________________________________________________________________
v.Katika mchoro huu ni sehemu gani hupatikana aside ya haidrokloliki ambayo uhusika na kuua vimelea na vijidudu katika chakula ?
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 72
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUJIPIMA SHULE ZA MSINGI
NUSU MUHULA WA PILI
AGOSTI – 2023
SOMO: SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Jina: ____________________________________ TAREHE: _____________ DRS 3
MUDA: SAA 1:30
MAELEKEZO
SEHEMU A:
1. Chagua jibu sahihi na uandike barua yake katika sanduku lililotolewa
i. Ni yupi kati ya wanyama wafuatao si mnyama mwenye sumu?
A. Uyoga B. Scorpion C. Tarantula D. nyoka
ii.Ni mdudu gani kati ya wafuatao husababisha kuenea kwa malaria ?__________________________
A. Virusi B. Nyumba ya Mlezi C. Mbu dume D. Mbu jike
iii.Kiumbe yupi kati ya viumbe wafuatao hujonge kwa kuruka ?___________________________
A. Nyoka na nyuki B. nyuki na konokono C. Juma na kuku D. kipepeo na kuku
iv.Upi ni mfano wa njia ya mawasiliano ya jadi ?__________________________
A. Pembe, ngoma B. Redio, Simu C.Televisheni D.Simu ya mkononi
v.Ipi kati ya vitu vifuatavyo husababisha kuundwa kwa kimvuli
A. Maji B. glasi C. jiwe D. Hewa
2. Linganisha vitu katika kikundi A na sambamba yao katika kikundi B
|
| ORODHA A | JIBU | ORODHA B |
| i | Sauti, joto na mwanga |
| A. Hutengeneza nguo na kuonekana smart |
| ii. | Nishati ya Kinetic |
| F. ina kinetic na nishati. |
| iii | Nishati ya Sauti |
| I. Nishati hutokana na mwendo wake wa kitu |
| Iv | Nishati ya joto |
| J. Nishati kutokana na mtetemo wa kitu |
| v | Nishati ya Mitambo |
| K. Nishati kutokana na kuchoma. |
3.Tumia maneno katika sanduku ili kujibu swali linalofuata.
| Kubadilishana kwa gesi,Jongoo,Makazi, Mazingira, tarumbeta ya malaika,nyuki,Imara, harufu, kifo |
i. ____________________________________________________ ni jozi ya mimea yenye sumu
ii.mahali ambapo viumbe haihuish huitwa ___________________________________
iii. _______________________________________Kitu chochote kilichotuzunguka .
iv. Tunapaswa kuhifadhi maji ili kuzuia __________________________________cha wanyama
v. Yupi ni mdudu wa sumu ____________________________________________________
4. jibu maswali kwa usahihi
i. mawasiliano ni nini ? ______________________________________________________________________
ii. Chakula kilichoshamili aina zote za chakula kinaitwaje? ___________________________________________
iii. Andika viumbe vitatu vya sumu __________________________________________________________
iv. _______________________________________________ ni mfano wa wanyama wa majini .
v. Nini maana ya maada i? _________________________________________________________________
5.Tumia picha inayofuata ili kujibu maswali yaliyo hapo chini.
Maswali
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 56
WIZARA YA ELIMU
MTIHANI WAKUMALIZIA MUHULA WA 1 JULY 2022
DARASA LA TATU
“SOMO LA SAYANSI”
SEHEMU A; CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI
1. Chanzo cha asili cha nishati ya joto ni
A: umeme B:jua C:tochi
2. Tunaota moto ili kujihifadhi dhidi ya
A: joto B: mwanga C: baridi
3. Kuna aina…………………………za maada.
A: 2 B: 3 C: 4
4. Kitendo cha kubadilishana habari/taarifa au ujumbe baina ya watu kwa kutumia njia mbalimbali huitwa.
A: usafilishaji B: mawasiliano C: redio
5. Sauti hutokana na……………………..
A: mawimbi B: mitetemo ya vitu C: koromeo
6. Namna ya kudadisi jambo lisilojulikana kwa kutumia njia mbalimbali ni………………………………
A: uchunguzi B: hatari C: vitu
7. Ipi kati ya hizi ni aina ya maada?
A: kimiminika B: kinywa C: mwanga
8. Mdudu anayeeneza ugonjwa wa maralia huitwa…………………………………
A: mbu B: inzi C: viroboto
9. Viumbehai huongezeka kwa njia ya……………………………
A: kujongea B: Kuzaliana C: kulia
10. Sifa mojawapo ya viumbehai ni……………………….
A: kucheza B: kukua C: kujificha
SEHEMU B:
OANISHA KUNDI A NA KUNDI B. KISHA ANDIKA HERUFI YA JIBU SAHIHI
|
| KUNDI A | KUNDI B |
| 11 | Mwangwi | A: baadhi ya wadudu wenye sumu |
| 12 | Nyuki na tandu | B:chanzo kikuu cha asili cha nishati ya mwanga na joto |
| 13 | Sauti | C:mitetemo ya vitu mbalimbali |
| 14 | Jua | D:vifaa vya kisasa vya njia ya mawasiliano |
| 15 | Simu na luninga | E:sauti iliyorejeshwa baada ya kukutana na kitu kigumu |
SEHEMU C: ANDIKA NDIO AU HAPANA
16. Jua siyo chanzo cha asili cha nishati ya joto…………………………...........
17. Yabisi,kimiminika,na gesi ni aina kuu tatu za maada………………………………….
18. Tandu,nyuki na nyigu si wadudu hatari……………………….
19. Mbua hueneza ugonjwa wa maralia…………………………………..
20. Kuna aina kuu mbili za nishati………………………….
SEHEMU D: JAZA NAFASI WAZI
21. Picha ya kitu huitwa…………………………………….
22………………………………Ni jumla ya vitu vyote vinavyo tuzunguka
23. Kiungo kinachotumika kunusa ni……………………………..
24. Chanzo cha asili cha nishati ya mwanga ni…………………………..
25. Kitendo cha kiumbe kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine huitwa……………………..
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 38
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TATU
SAYANSI NA TECHNOLOJIA
MUDA: 1:30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEZO
MAELEZO
SEHEMU A. ALAMA 28
JIBU MASWALI YOTE KATIKA SEHEMU HII
| Orodha A | ORODHA B |
|
|
| Baragumu, faili, yowe, ukinzani, jotoridi, yabisi |
SEHEMU YA B.(ALAMA 20)
Njia za mawasiliano zimegawanyika ,katika aina kuu mbili. Njia hizi ni za asili na kisasa. Baadhi ya vifaa vya asili ni baragumu na ngoma.
Vifaa vya kisasa ni runinga, radio, simu na kompyuta. Kuna faida mbalimbali za kutumia njia za kisasa za mawasiliano.
Mfano, kutoa taarifa kwa watu wengi kwa muda mfupi. Pia, zinatumika kuhifadhi picha za matukio mbalimbali. Simu hurahisisha huduma mbalimbali.
Huduma hizo ni pamoja na kutuma na kupokea taarifa au fedha, pia kupiga picha.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 32
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TATU
SAYANSI
MUDA:1: 30
JINA_____________________________________SHULE__________________
Chagua Jibu Sahihi
SEHEMU B.
Linganisha kifungu A na Kifungu B ili kupata maana
| Kifungu A | Kifungu B |
|
|
SEHEMU C.
Chagua neno sahihi ili kujaza nafasi wazi
Jotoridi, ukinzani, yabisi, meng’enya, sumu,spiriti
SEHEMU D.
Jaza Nafasi zilizoachwa wazi
SEHEMU E.
Chunguza picha ifuatayo kisha jibu maswali

Taja sehemu zenye Herufi A- L
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 20
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MITIHANI YA KUJIPIMA MSINGI
MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA -MACHI 2021
SAYANSI NA TECHNOLOJIA – DARASA LA TATU
FOMATI MPYA
MUDA1:30 MASAA MACHI 2021
JINA …………………………...SHULE ………………………...
MAELEZO
SEHEMU A
JIBU MASWALI YOTE
| Kundi A | Kundi B |
|
|
| JOTORIDI, MTUMBWI, UKINZANI, YABISI, MAADA |
SEHEMU B
Mawasiliano ni kitendo cha kupashana Habari au kutoa taarifa kwa njia mbalimbali.
Njia za mawasiliano zimegawanyika katika aina kuu mbili. Njia hizi ni za asili na za kisasa. Baadhi ya vifaa vya asili ni baragumu na ngoma. Vifaa vya kisasa ni runinga, radio, simu na kompyuta. Kuna faida mbalimbali za kutumia njia za kisasa za mawasiliano. Mfano, kutoa taarifa kwa watu wengi kwa muda mfupi. Pia, zinatumika kuhifadhi picha za matukio mbalimbali. Simu hurahisisha huduma mbalimbali. Huduma hizo ni Pamoja na kutuma na kupokea taarifa au fedha, pia kupiga picha.
| A | ![]() |
| B | ![]() |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 14
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
SAYANSI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
DARASA LA TATU
MUDA: 1.30 DARASA…………………
MAELEKEZO
SEHEMU A: (ALAMA 60)
1. Chagua jibu sahihi kati ya hayo uliopewa nauandike jibu lake katika nafasi iliyoachwa wazi.
(i) Kipi kati ya vifuatavyo ni kiumbe hai?
(ii) Kipi kati ya hizi kinaunda mazingira?
(iii) Kipi sio sifa ya viumbe hai?
(iv) Kipi kati ya hizi sio chanzo asilia chaa mwanga?
(v) Kipi kati ya hizi ni yabizi?
2. Oanisha majibu katikajedwali lifuatalo hili kuleta maana
| S/N | Orodha A | Orodha B |
| (i) Huduma ya kwanza (ii) Baadhi ya wadudu wenye sumu(iii) Baada ya kutoa huduma ya kwanza (iv) Huduma ya kwanza inaweza kutolewa na(v) Huduma ya kwanza hutolewa lini? |
| |
3. Chagua jibu sahihi kujaza nafasi zilizo wazo
kuzaa, kusogea, kuondoa taka mwili, kukua, Kupumua
SEHEMU B: (ALAMA 40)
4. (a) Taja hatua za kupigasimu kwa kutumiasimu ya mkononi
(b) Eleza tofauti ya simu ya mkononi na simu ya mezani
(c ) Jaza sehemu za simu zilizoonyeshwa kwa mistari katika mchoro huu

5. Tazama michoro ifuatayo kasha jibu maswali.
A. 
B. 
C. 
D. 
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSAYANSI STANDARD THREE EXAM SERIES 4