?> HISTORIA STANDARD THREE EXAMS SERIES
HISTORIA STANDARD THREE EXAMS SERIES

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA KWA SHULE ZA MSINGI 

MACHI 2025

DARASA LA TATU HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI

 

  1. Tumia maneno yafuatayo kujaza swali la 1 hadi 5 

 

  1.   Raisi wa kwanza wa Tanganyika alikua anaitwa 
  2.  Kabla ya mungano Tanzania ilikua inaitwa 
  3. Kusaidiai kuwatunza, kuwatharnini na kuwalea wazee ni  
  4. Taifa la kwanza kuitawala na kufanya koloni lake Tanganyika 
  5.  Tanganyika na Zanzibar ziliungana mwaka 1964 na kuunda jamuhtiriya

2. Andika majibu matendo yasiyofaa au yanayofaa 

i. Kutokupenda kufanya kazi  

ii. Kuwahi shuleni  

iii. Kuchelewa kurudi nyumbani  

iv. Kutoroka shuleni 

v. Kuwasaidia wasiojiweza  

3. Toa majibu katika maswali yafuatayo 

i.  Historia ya Tanzania ni elimu kuhusu matukio yaliyojitokea nchini 

ii. Maadili ni nini?  ……………………….

iii. Historia inaweza kuhusu maisha yetu binafsi, familia au ………………

iv. Raisi wa awamu ya pili wa Jamuhuri ya muungano alikuwa anaitwa………… 

v. Kuwasaidia mzigo watu wazee ni miongoni mwa matendo  katika jamii ………………..

SEHEMU B: 4. JIBU NDIYO AU HAPANA 

i. Kuwathamini na kuwalea wazee ni matendo ya kimaadili 

ii. Kuwaheshimu watu waliokuzidi umru sio jambo la kimaadili 

iii. Kusema ukweli ni jambo la kimaadili   

iv. Sehemu mojawapo ya vyanzo vya historia ya Tanzania ni makumbusho ya taifa  

v. Kuwanyanganya na kuwadhalilisha ni jambo la kimaadili 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISTORIA STANDARD THREE EXAM SERIES 99

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256