?>
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUJIPIMA KWA SHULE ZA MSINGI
MACHI 2025
DARASA LA TATU HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI
2. Andika majibu matendo yasiyofaa au yanayofaa
i. Kutokupenda kufanya kazi
ii. Kuwahi shuleni
iii. Kuchelewa kurudi nyumbani
iv. Kutoroka shuleni
v. Kuwasaidia wasiojiweza
3. Toa majibu katika maswali yafuatayo
i. Historia ya Tanzania ni elimu kuhusu matukio yaliyojitokea nchini
ii. Maadili ni nini? ……………………….
iii. Historia inaweza kuhusu maisha yetu binafsi, familia au ………………
iv. Raisi wa awamu ya pili wa Jamuhuri ya muungano alikuwa anaitwa…………
v. Kuwasaidia mzigo watu wazee ni miongoni mwa matendo katika jamii ………………..
SEHEMU B: 4. JIBU NDIYO AU HAPANA
i. Kuwathamini na kuwalea wazee ni matendo ya kimaadili
ii. Kuwaheshimu watu waliokuzidi umru sio jambo la kimaadili
iii. Kusema ukweli ni jambo la kimaadili
iv. Sehemu mojawapo ya vyanzo vya historia ya Tanzania ni makumbusho ya taifa
v. Kuwanyanganya na kuwadhalilisha ni jambo la kimaadili
LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISTORIA STANDARD THREE EXAM SERIES 99