?> EXAM SERIES EXAM
STANDARD SEVEN TERMINAL SERIES

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA UMAHIRI KWA SHULE ZA MSINGI

UPIMAJI DARASA LA SABA MTIHANI WA MWIGO

URAIA NA MAADILI

2024

MAELEKEZO:

1. Mtihani huu una sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali Sita (6) 

2. Jibu maswali yote katika kila sehemu 

3. Majibu yote yaandikwe katika karatasi hii 

4. Tumia kalamu ya wino wa rangi ya bluu au mweusi 

5, Simu za mikononi na vifaa vingine visivyohitajika haviruhusiwi katika rhumba cha mtihani. 

6. Andika kwa usahihi Jina lako na Jina la Shule kwenye sehemu ulizopewa. 

SEHEMU A:

1. Chagua herufi ya jibu sahihi na andika herufi yake kwenye mabano uliyopewa. 

i) Chombo cha juu kabisa cha uongozi katika Halmashauri ya wilaya, mji au manispaa ni 

(a) kamati ya kudumu 

(b) baraza la madiwani 

(c) kitengo cha sheria 

(d) mkurugenzi 

(e) mipango na takwimu 

 ii) Ni ishara gani inayoonyesha kwamba Taifa limepatwa na msiba mkubwa? 

(a ) bendera ya CCM kupepea nusu mlingoti 

(b) bendera ya Taifa kupepea nusu mlingoti 

(c) bendera ya shule kupepea nusu mlingoti 

(d) bendera ya CHADEMA kupepea nusu mlingot 

(e) bendera ya Taifa kupandishwa 

iii) Maruma, anaishi na baba, bibi, shangazi yake Sinda pamoja na bibi yake kalamu. Je, Maruma anaishi katika aina gani ya familia? 

(a) familia ya awali 

(b) familia ya mtoto yatima 

(c)familia ya mzazi mmoja 

(d) familia pana 

(e) familia ya baba, mama na watoto 

iv) Mimi ni miongoni mwa alama za Taifa la Tanzania. Ninatumika kuonyesha amani, upendo, umoja na kuitambulisha Tanzania kama nchi huru, mimi ni nani? (a) bendera ya Taifa 

(b) fedha ya Tanzania 

(c) ramani ya Tanzania 

(d) nembo ya Taifa 

(e) mwenge wa uhuru 

 v) Kwa mujibu ya sheria ya mtoto ya mwaka 2009 iliyofanyiwa marekehisho mwaka 2014. Kwenye sheria hil ufuatao ni wajibu wa mtoto isipokuwa; 

(a) kuwatil wazazi wake 

(b) kutunza na kulmarisha mila na desturi 

(c) kufanya kazi kwa ajili ya kusaidia familia 

(d) kuhudumia jamii yake na Taifa 

(e) kuwanyanyasa watoto katika mazingira yote 

vi) Ni nani kati ya wafuatao sio miongoni mwa watu wenye mahitaji maalumu; 

(a) mwenye ulemavu wa macho

(b) mwenye ulemavu wa akili 

(c) masikini 

(d) mzee 

(e) mgeni 

vii) CCM na CHADEMA vilishiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020; Je, ni chombo gani kilisimama uchaguzi huo? 

(a) TAKUKURU 

(b) TARURA 

(c) Tume ya taifa ya uchaguzi 

(d) Tume ya Taifa ya upelelezi 

(e) utawala bora 

viii) Elimu ya zimamoto na uokoaji ni muhimu kutolewa kwa wanajamii iii kukabiliana na majanga ya mato. Je ni namba gani ya dharura hupigwa wakati wa tukio la moto; 

(a) 116 

(b) 113 

(c) 114 

(d) 100 

(e) 102 

ix) Mwenyekiti wa vikao vya baraza la mawaziri ni nani? 

(a) Rais 

(b) makamu wa Rais 

(c) Rais wa Zanzibar 

(d) waziri mkuu 

(e) jaji mkuu 

x) Shughuli mbalimbali za kibinadamu zinachangia uharibifu wa mazingira zifuatazo ni shughuli za utunzaji wa mazingira isipokuwa; 

(a) kupanda miti sehemu zisizo na miti 

(b) kupanda miti ambapo kulikuwa miti 

(c) kukata miti bila kupanda miti 

(d) kupanda miti karibu na vyanzo vya maji 

(e) kilimo cha umwagiliaji 

2. Oanisha vifungu vifuatavyo kwa kuandika herufi za vifungu vya maoeno au majibu kwenye jedwali Ia majibu 

KIFUNGU A

KIFUNGU B: 

  1.                     Ngoma ya kikabila inayochezwa ili kuhamasisha ari ya kufanya kazi
  2.                   Faida ya elimu ya afya ya uzazi kwa vijana
  3.                 Umri sahihi wa kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  4.                 Mazungumzo yanayoongozwa na mtu mwenye ujuzi wa kutoa mwongozo na kutatua matatizo au changamoto
  5.                   Utawala wa sheria kama moja ya misingi ya demokrasia

 

A. Miaka 55 na zaidi 

B. Gobogobo toka ardhi ya wasukuma 

C. Kuwasaidia vijana kufanya maamuzi sahihi 

D. Miaka 40 na zaidi 

E. Kunasihi au kutoa ushauri nasaha 

F. Hakuna aye juu ya sheria 

G. Kusababisha momonyoko wa maadili 

H. Mnasihi Lizombe kutoka Songea 

J. Inapunguza ari ya kuwa mzalendo 

 

 

3. Jaza nafasi zilizoachwa wazi

i) Bunge.la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaongozwa na Spika ambaye huchaguliwa 

na ……………… 

ii) Kuna sura ngapi kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?   

iii) Ni yupi kati ya viongozi wa shule ana wajibu wa kusimamia shughuli za kila siku shuleni? 

iv) Kila mhimili wa serikali una umuhimu na majukumu yake. Ni mhimili upi wa serikali unashughulika na miswada iliyopendekezwa?  

v) Mavazi ya kitamaduni hubeba utambulisho wa jamii fulani. je, vazi gani huvaliwa na wanawake wa kabila Ia Kigogo?  

SEHEMU B: 

4. Jaza taarifa au nafasi zilizoachwa wazi kwenye jedwali lifuatalo 

Na.

TAASISI YA UMOJA WA MATAIFA

KAZI INAYOFANYA

1

UNESCO

…………………………….

2

 

CHAKULA NA KILIMO

3

UNHCR

……………………….

4

……………………….

WAFANYAKAZI ULIMWENGUNI

5

WHO

………………………………………

 

5. Malizia maelezo yafuatayo kwa usahihi 

i) Iwapo Rais aliyepo madarakani akifariki, ni taratibu zipi za kisheria zitachukuliwa kujaza nafasi yake?   

ii) Ni lini Tanzania ilifanya uchaguzi wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi? 

iii) Ni katika jiji gani kuna makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki? 

iv) Afisa Mtendaji wa Kata anapatikanaje?  

 v) Ni chombo kipi maalumu kina wajibu wa kuwalinda raia na mall zao nchini Tanzania? 

SEHEMU C: 

6. Jifunze kwenye picha ifuatayo kisha jibu maswali yafuatayo.

  1.        Ni awamu ipi ya Urais nchini Tanzania ilitumikiwa au kuongozwa na kiongozi ianayeonekana kwenye picha?  
  2.      Ni yupi kati ya Marais sita wa Tanzania alimfuata kiongozi huyo baada ya kumaliza muda wake?
  3.    Ni hatua ipi muhimu ya kujenga uchumi ilichukuliwa au kuruhusiwa na kiongozi huyo kwa maendeleo ya nchi yetu na watu wake?
  4.    Kiongozi aliyeonyeshwa pichani aliwahi kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Ni yupi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wakati huo?
  5.      Sasa hivi kiongozi huyo ni hayati, ni tarehe ipi yalifanyika mazishi yake kitaifa huko Unguja baada ya kupewa heshima za mwisho na watanzania? 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN URAIA EXAM SERIES 109

PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY SCHOOL NEW FORMAT COMPETENCE EXAMS

MOCK EXAMINATION

STANDARD SEVEN-SOCIAL STUDIES AND VOCATIONAL

2024

 

TIME: 1:30HRS                                                                                                         INSTRUCTIONS

  1. This exam consists of sections A , B and C
  2. There  are seven questions in total
  3. Answer all questions from each section
  4. Use a blue or black ink pen
  5. Show your working clearly
  6. Electronic devices are not allowed in exam room

 

SECTION  A:

1. Choose the letter of the correct answer and write its letter in the brackets provided

i) The teacher of Social studies taught his students about the best ways to take care of the environment. What should be done with industrial waste to protect the environment? 

(a) cover 

(b) recycle 

(c) hide 

(d) burn 

(e) litter

ii) Historians use various methods to preserve historical records. Which method involves digging in the ground to find ancient human remains, buildings and tools? 

(a) Anthropology 

(b) oral tradition 

(c) National museum 

(d) Archeology 

(e) publications

iii) Class  three students measured one of the elements of the weather and recorded the answer in millimetres. What element of the weather did they measure? 

(a) heat 

(b) sunlight

(c) air pressure 

(d) wind 

(e) rain

iv) Kimuya is the farmer of cashew crops. Do you think the idea is from which region of Tanzania that produces that crop?

 (a) Morogoro 

(b) Singida 

(c) Dodoma 

(d) Mtwara 

(e) Kagera

v) Mountain areas and highlands are colder than areas that are near sea level. How much do you think the temperature will drop every time you go 1000 meters above sea level? 

(a) 6 °C 

(b) 0.6 °C 

(c) 0.06 °C 

(d) 100 meters 

(e) 600C

vi) Tanzania is a country blessed with many types of minerals. What minerals are found in Manyoni-Singida, Bahi-Dodoma and Namtumbo-Ruvuma? 

(a) Tanzanite 

(b) gold 

(c) uranium 

(d) salt 

(e) iron 

vii) Farmers are advised to use good breeding methods to protect the environment. What are the effects of raising many animals in a small area? 

(a) cattle get fat 

(b) shepherds get tired 

(c) soil erosion 

(d) vegetation increases 

(e) too many livestock in a small area

viii) Juhudi primary school has planned to have an educational tour to visit the historical site which is famous for the paintings that show the hunting methods used by the ancient people. What historical site will they visit? 

(a) Isimila 

(b) Engaruka 

(c) Olduvai Gorge 

(d) Kilwa

(e) Kondoa Irangi

 ix) The reduction of snow in Mount Kilimanjaro has been caused by the increase in temperature on the Earth's surface. What activity can be used to deal with the problem? 

(a) burning forests and cutting trees 

(b) planting trees and taking care of the environment 

(c) farming on the sides of mountains 

(d) careless harvesting of forests 

(e) raising many animals in a small area

 x) On the surface of the Earth there are winds that blow from one place to another. Which wind blows from south to north? 

(a) north wind 

(b) north wind 

(c) dry wind 

(d) west wind 

(e) monsoon winds

xi) Fourth grade students learn about the relationship between the sun, plants and water on the Earth's surface. What is the result of that relationship? 

(a) occurrence of wind 

(b) occurrence of rain 

(c) freezing of water 

(d) occurrence of cyclone 

(e) melting of ice

 xii) Seventh grade students visited a large modern goat farming farm. What kind of breeding is that? 

(a) traditional farming 

(b) ranching 

(c) domestic farming 

(d) shifting cultivation

(e) monoculture

xiii) The stone age is divided into three periods. Which Stone Age lasted between 3,000,000 BC to 300,000 BC? 

(a) the ancient stone age 

(b) the iron age 

(c) the last age 

(d) the middle stone age 

(e) the digital age

xiv) Five students were told to name the wrong traditions and customs that take place in society. One of the students mentioned the wrong answer. What answer do you think was mentioned by the student? 

(a) male circumcision 

(b) female genital mutilation 

(c) child marriage 

(d) killing of people with skin deformities 

(e) forced marriage

xv) Majaliwa lives with his mother, his siblings, a domestic worker and his grandfather. According to your understanding, what kind of family is this? 

(a) husband and wife 

(b) extended family 

(c) nuclear family 

(d) single parent family 

(e) orphan

2. Match the information in LIST A that goes with LIST B

LIST A

LIST B

i) He was the leader of BEACO trading company during the British rule.

ii) Memory of African heroes such as Isike, Mkwawa and others

iii) It was a liberation party in Angola under the leader Augustino Netto

iv) It is the date on which the Geographical event occurs when the earth is far from the sun.

v) He dares to invest business capital with the aim of self-employment and increasing income

A. Entrepreneurship

B. January 3rd

C. Karl Peters

D. ANC

E. 25 July

F. William Macknon

G. Entrepreneur

H. On September 1

I. The 4th of July

J. MPLA

K. Otto Von Bismarck

 

SECTION B: SHORT ANSWERS

3. Answer the following questions correctly

i) Which of the first Portuguese sailors managed to reach the East African Coast in 1498?

ii) Which of the imaginary lines are drawn on the map from North to South?

 iii) An iron box is used to straighten clothes to kill germs and remove creases or wrinkles from clothes. How many types of iron box are there?

4. Complete the following information as you learned in class.

i) Which institution was established by the colonialists in Tanganyika for the purpose of finding and managing laborers?

ii) Tanzania is blessed with abundant natural and manufactured resources. Which resource carries all the resources?

iii) There are various ways to prepare and cook food. Which method of cooking food uses the most water?

5. Answer the following questions as directed to each question

i) John was told to draw a map of his neighborhood. So he was looking for the correct measurement of the map. What type of map scale would you advise him to use?

ii) Which of the previous Presidents in Africa fought for the independence of Malawi?

6. Complete the following information

i) The word assertiveness as used in entrepreneurship means

ii) Mount Kilimanjaro is the pride of our country and is the source and attraction of tourists in the country. It has an altitude of 5895 meters above sea level. What  type of mountain is it.

SECTION CMAPS, DRAWINGS AND CALCULATIONS

7. Read the following questions and then write the correct answers

I) If the earth spends 1 hour around 15 degrees of longitude. How long will it take the earth to rotate 60 degrees around the sun?

ii) If the scale of the map is 1:500,000. How many kilometers above the ground will be represented by 1 centimeter on the map?

 iii) Study the following diagram and then name the climate model measured by the diagram, the model is…………………

 

iv) Do we call it the special clothing used by artists in acting or dancing?

v) What type of port is indicated by the letter B on the map?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SOCIAL EXAM SERIES 108

PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY SCHOOL NEW FORMAT COMPETENCE EXAMS

MOCK EXAMINATION 

STANDARD SEVEN-SCIENCE AND TECHNOLOGY

2024

 

TIME: 1:30HRS                                                                                                         

INSTRUCTIONS

  1. This exam consists of sections A , B and C
  2. There  are eight questions in total
  3. Answer all questions from each section
  4. Use a blue or black ink pen
  5. Show your working clearly
  6. Electronic devices are not allowed in exam room

 

SECTION A:

1. Choose the letter of the correct answer and write its letter in the brackets provided

i. Animals are divided into two groups, vertebrates and invertebrates. Which of the following does not have a backbone? (a) snake (b) squid (c) fish (d) frog (e) bird

ii. Air is a mixture of various gases found in the atmosphere. Which of the following gases is used to preserve drinks such as soda and juice? (a) Nitrogen (b) Oxygen (c) Carbon dioxide (d) Argon (e). Hydrogen

iii. Plants absorb water molecules from the soil through the roots to different places. What method does a plant use to absorb water? (a) Osmosis (b) diffusion (c) diffusion (d) absorption (e) distribution

iv. Examine the following diagram and then answer the question that follows.

 

(a) south (b) north (c) south and south (d) north and south (e) north and north

v. The Science teacher taught his fourth grade students the steps to conduct a scientific investigation. What is the second step of scientific investigation? (a) formulate a hypothesis (b) define the problem (c) interpret the results (d) conclude (e) analyze the data

v. What is the correct order of matter to separate by molecular tension from smallest to largest? (a) solid, gas, liquid (b) liquid, solid, gas (c) gas, liquid, solid (d) solid, liquid, gas (e) liquid, solid, gas

vii. As an IT specialist, if you are given the responsibility to advise weather forecasters, what type of antenna would you advise them to use to predict weather forecast changes?

(a) yagi-uda (b) loop antenna (c) dish (d) spot antenna (e) diameter antenna

viii. What part of the flower is represented by this drawing?

 

(a) pistil (b) stamen (c) sepals (d) corolla (e) stigma

ix. A chemical change is a change in matter that causes something new to appear. Which of the following is a chemical change? (a) melting of ice (b) melting of wax (c) burning of paper (d) melting of candle (e) vapor into water

x. In the diagram below, which part of the plant's food is manufactured?

 

2. Match the class of fire in LIST A with the causes of fire for each class in LIST B, then write the letter of the correct answer.

LIST A

LIST B

  1. Class A
  2. Class B
  3. Class C
  4. Class D
  5. Class F

A. Combustion of flammable gases such as butane, propane, methane.

B. Cooking oil

C. Burning of solid things like wood, paper, clothes

D. Explosive and flammable liquids

E. Fire of metals such as magnesium and iron-based substances.

F. Electric shock

 

3. Fill in the blanks

i) ………………….is the part of the brain that coordinates all voluntary actions

ii) The force that makes an object float is called………………………..

iii) A bicycle is made up of three types of simple machines, those machines are lever, ……..and axles

iv) ……………is a device that captures and transmits electromagnetic waves to communication devices such as radios, mobile phones and televisions

v) Write the formula for finding the current in a circuit if the voltage and resistance are known

SECTION B.

4. i) There are four main types of safety signs, name only two signs which are red and blue

ii) Explain the meaning of density

iii) State two characteristics of objects that float in water

5. i) What is the meaning of photosynthesis?

ii) Main switches are connected to what other equipment to protect circuits and buildings?

iii) A process by which molecules move from a higher concentration to a lower concentration is known as……………………………………………..

6. i) Briefly explain the meaning of internet

ii) Explain the differences between the networks

iii) Complete the following equation:

 

a) X represents

b) Y represents

iv) Why is the left ventricle more muscular than the right ventricle?

SECTION C

7. Write the names of the parts shown in Roman numerals

 

8. i) Find the density of an object with a mass of 640 grams and a volume of 800 cm3

ii) Find the mass of an object with a mass of 10 kg and an acceleration of gravity meters per second for 10 seconds.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SCIENCE EXAM SERIES 107

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA UMAHIRI KWA SHULE ZA MSINGI

MTIHANI WA MWIGO

DARASA LA SABA-SAYANSI NA TEKNOLOJIA

2024

 

MUDA: 1:30                                                                                                         

MAELEKEZO

  1. Mtihani huu una SEHEMU tatu yaani, A,B na C
  2. Maswali yapo saba kwa ujumla
  3. Jibu maswali yote katika kila sehemu
  4. Tumia kalamu ya wino yenye rangi nyeusi au ya bluu
  5. Onyesha kazi yako vizuri
  6. Vifaa vya elektroniki haviitajiki katika chumba cha mtihani

SEHEMU A:

1. Chagua herufi ya jibu sahihi na andika herufi yake kwenye mabano uliyopewa 

i. Wanyama wamegawanyika katika makundi mawili, wenye uti wa mgongo na wasio na uti wa mgongo. Yupi kati ya wafuatao hana uti wa mgongo? (a) nyoka (b) ngisi (c) samaki (d) chura (e) ndege 

ii. Hewa ni mchanganyiko wa gesi mbalimbali zinazopatikana katika angahewa. 3e, kati ya gesi hizo ni ipi hutumika kuhifadhi vinywaji kama vile soda na juisi? (a) Naitrojeni (b) Oksijeni (c) Kabonidayoksaidi (d) Agoni (e). Haidrojeni 

iii. Mimea hufyonza molekyuli za maji toka kwenye udongo kupitia kwenye mizizi kwenda sehemu mbalimbali. Ni njia ipi ambayo mmea hutumia kufyonza maji?  (a) osmosisi (b) uenezi (c) difyusheni (d) kunyonya (e) usambazaji 

iv. Chunguza mchoro ufuatao kisha jibu swali linalofuata. 

(a) Kus (b) Kas (c) Kus na Kus (d) Kas na Kus (e) Kas na Kas 

v. Mwalimu wa Sayansi aliwafundisha wanafunzi wake wa darasa la nne hatua za kufanya uchunguzi wa kisayansi. Hatua ya pili ya uchunguzi wa kisayansi ni ipi? (a) kubuni dhanio (b) kabainisha tatizo (c) kutafsiri matokeo (d) hitimisho (e) kuchambua data 

vi. Upi ni mpangilio sahihi wa maada kutengana na kani ya mvutano ya molekyuli kuanzia ndogo hadi kubwa? (a) yabisi, gesi, kimiminika (b) kimiminika, yabisi, gesi (c) gesi, kimiminika, yabisi (d) yabisi, kimiminika, gesi (e) kimiminika, yabisi,-gesi 

vii. Wewe kama mtaalamu wa Tehama ukipewa dhamana ya kushauri watabiri wa hall ya hewa utawashauri watumie aina gani ya antena kutabiri mabadiliko ya hall ya hewa? 

(a) yagi-uda  (b) antena kitanzi (c) dishi (d) antena kidoa (e) antena kipenyo

 

viii. Ni sehemu gani ya ua inawakilishwa na mchoro huu; 

(a) pistili  (b) stameni (c) sepali (d) kikonyo  (e) stigima

ix. Badiliko la kikemikali ni badiliko la maada ambalo husababisha kitu kipya kutokea. Lipi ni badiliko la kikemikali kati ya haya yafuatayo? (a) kuyeyuka kwa barafu (b) kuyeyuka kwa nta (c) kuungua kwa karatasi (d) kuyeyuka kwa mshumaa (e) mvuke kuwa maji 

x. Katika mchoro ufuatao hapo chini ni sehemu gani chakula cha mmea.hutengenezwa?  

2. Oanisha madaraja ya mato katika sehemu A na visababishi vya mato kuwaka kwa kila daraja katika sehemu B,kisha andika herufi ya jibu sahihi

SEHEMU A

SEHEMU B

  1. Moto daraja A
  2. Moto daraja B
  3. Moto daraja C
  4. Moto daraja D
  5. Moto daraja F
  1. Kuungua kwa gesi zinazowaka kama butani, prepani, methane.
  2. Mafuta ya kupikia
  3. Kuungua kwa vitu yabisi kama kuni,karatasi,nguo
  4. Vimiminika vinavyolipuka na kuwaka
  5. Moto wa metali mfano magnesiamu na vitu vyenye asili ya chuma.
  6. Hitilafu ya umeme

 

 

3. Jaza nafasi zilizoachwa wazi 

i)  ni sehemu ya ubongo ambayo huratibu mijongeo ya matendo yote ya hiari 

ii) Kani inayofanya kitu kuelea inaitwa  

iii) Baiskeli imeundwa na aina tatu za mashine sahili,mashine hizo ni nyenzo,  na  na ekseli i

v)   ni kifaa ambacho hunasa na kusambaza mawimbi sumaku umeme kwenye vifaa vya mawasiliano kama vile redio,simu za mkononi na runinga 

v) Andika kanuni ya kutafuta mkondo wa umeme katika sakiti kama kiwango cha volteji na ukinzani ikijulikana  

SEHEMU B.

4. 

i) Zipo aina kuu nne za alama za usalama,taja alama mbili tu ambayo zina rangi nyekundu na blue   

ii) Eleza maana ya densiti e 

iii) Eleza sifa mbili za vitu vinavyoelea kwenye maji

5. i) Nini maana ya usanishaji chakula? 

ii) Swichi kuu huunganishwa na kifaa gani kingine Hi kulinda sakiti na majengo? 

iii) Myeyusho mweneo ambao molekyuli za maana husambaa kutoka ukolevu mkubwa kwenda ukolevu hafifu hujulikana kama  

6. i) Eleza kwa kifupi maana ya intaneti 

ii) Eleza tofauti zilizopo kati ya mtandao 

iii) Kamilifa mlinganyo ufuatao:

a) X inawakilisha  

b) Y inawakilisha  

iv) Ni kwanini ventrikali ya kushoto ina misuli mikubwa zaidi ya ile ya ventrikali ya kulia? 

 

SEHEMU C

7. Andika majina ya sehemu zilizowazi 

8. i) Tafuta densiti ya kitu chenye tungano gramu 640 na ujazo wa sentimeta 800 

ii) Tafuta uzito wa kitu chenye tungamo kilogramu 10 na mchapuko wa uvutano meta kwa sekunde kwa sekunde 10 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 106

PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY SCHOOL NEW FORMAT COMPETENCE EXAMS

PRE-MOCK EXAMINATION 

STANDARD SEVEN- MATHEMATICS 

2024

 

TIME: 1:30HRS                                                                                                         

INSTRUCTIONS

  1. This exam consists of sections A , B and C
  2. There  are eight questions in total
  3. Answer all questions from each section
  4. Use a blue or black ink pen
  5. Show your working clearly
  6. Electronic devices are not allowed in exam room

SECTION A

  1. What is the sum of the total value of andin the number?
  2. Karen had  in her bank account .She deposited  more in the account. She later withdrew  for school fees. How much money remained in her bank account?
  3. Create a pattern of  numbers starting from  The rule of subtracting is.
  4. A jerican has a capacity of  litres. Ann used the jerican to fetch water times. How many litres of water did she fetch?
  5. A farmer had litres of milk. He shared the milk equally among his four sons. How much milk did each child get?(2 mks)
  6. What is the place value of digit in the number?
  7. Hussein scored  points in a digital fun game. What was the total value of digit in the number?
  8. Work out 
  9. What is the sum of  and ?
  10. Work out  +14  

2. Solve the puzzles

  1. The roman numbers MCMLVI were written on school board to show attendance on Monday. If 17 pupils were absent each day in preceding days, find the number of pupils present on Friday.
  2. A school has 720 pupils, If 12.5% of them are girls, find the number of boys.
  3. Juma left home with his car at 8:30 am, he took 21/2 to arrive at his work place. When did he arrive at work?
  4. Think of a number; subtract nine from the number, the answer is ¼ of that number. Find the number.
  5. A child age is 0.25 that of the father, if the father is 40 years, find the age of the child.
  6. A dress cost 8000 shillings. If Nasma was given 30% discount, what amount did she pay for the dress?

SECTION B

3. 

i. Mrs. Juma  baked 120 breads for the school bake sale. In the morning, she sold 35 breads. Her daughter baked another 40 breads to add to the sale. In the afternoon, they sold 70 breads. How many breads did they have left at the end of the day?

ii. A rectangular garden plot has a length of 12 meters and a width of 8 meters. What is the area of the garden plot? If the gardener wants to put a fence around the entire garden, what is the perimeter of the garden?

iii. A soccer tournament has 16 teams. In each round of the tournament, half the teams are eliminated. How many rounds will it take to determine a champion team?

4: 

  1. Sarah wants to buy a new bike that costs shs. 150000. She earns shs. 10000 a week for doing chores. If she saves all her earnings, how many weeks will it take her to save enough money for the bike?
  2. A roll of ribbon is 20 meters long. Maya uses 3.5 meters to decorate a gift, and then cuts another 6 meters for a craft project. How much ribbon is left on the roll?
  3. A party mix recipe calls for 3 cups of flour, 2 cups of peanuts, and 1 cup of cereal. If you want to triple the recipe, how many cups of each ingredient will you need?

5.

i. In a class, the ratio of boys to girls is 3:5. If there are 24 boys in the class, how many students are there in total?

ii. Simplify the following expression: 5x +2y – x +9y

iii. Write the number 9.9984 into three decimal places

6.

i. Rearrange the digits in the number 64809725 to form the smallest eight digit number and write it in words

ii. In a certain farm 1/12 of the animals are donkeys, 1/3  are goats, 1/8 are camels, 5/24 cows and the rest are sheep. Arrange the fractions representing each type of the animal in descending order.

iii. The area of a square farm is 14400m2. What is its perimeter?

SECTION C.

7.

i. The data below shows ages of 24 children playing hide and seek game in a village.
7,8,6,8,6,7,8,6,7,9,6,8
9,7,8,6,6,7,8,7,8,7,9,5
Represent the data in the frequency table below. (5mks)

 Age (years)

 Tally

 Frequency 

 5

 

 

 6

 

 

 7

 

 

 8

 

 

 9

 

 

ii. The figure below shows a circular fishing pond. If peter went round it once, what distance did he cover?

iii. What is the area of the shaded part in the figure below;

C:UsersRABBIDownloadsG7T1S1002mathQ8.PNG

8.

i. The perimeter of the rectangle below is 50 cm. Find its area

ii. A goat is tied with a rope on a tree. If the length of the rope is 14 cm. Find the grazing area of the goat

iii. Work out the area of the triangle below.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MATHEMATICS EXAM SERIES 105

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA UMAHIRI KWA SHULE ZA MSINGI

UPIMAJI DARASA LA SABA MTIHANI WA MWIGO

MAARIFA NA STADI

2024

 

MUDA: 1:30                                                                                                         

MAELEKEZO

  1. Mtihani huu una SEHEMU tatu yaani, A,B na C
  2. Maswali yapo manane kwa ujumla
  3. Jibu maswali yote katika kila sehemu
  4. Tumia kalamu ya wino yenye rangi nyeusi au ya bluu
  5. Onyesha kazi yako vizuri
  6. Vifaa vya elektroniki haviitajiki katika chumba cha mtihani

 

MAELEKEZO 

1. Mtihani huu una sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali Saba (7) 

2. Jibu maswali yote katika kila sehemu 

3. Majibu yote yaandikwe katika karatasi hii 

4. Tumia kalamu ya wino wa rangi ya bluu au mweusi 

5. Simu za mikononi na vifaa vingine visivyohitajika haviruhusiwi katika chumba cha mtihani. 

6. Andika kwa usahihi Jina lako na Jina la Shule kwenye sehemu ulizopewa. 

SEHEMU A:

1. Chagua herufi ya jibu sahihi na andika herufi yake kwenye mabano uliyopewa

i) Mwalimu wa somo la Maarifa ya jamii aliwafundisha wanafunzi wake juu ya njia bora za utunzaji wa mazingira. Je, takatata za viwandani zifanywe nini iii kulinda mazingira? (a) kufukia (b) kurejeleza (c) kuficha (d) kuchoma (e) kutupa taka hovyo 

ii) Wanahistoria hutumia njia mbalimbali kutunza kumbukumbu za kihistoria. Njia ipi inahusisha kufukua ardhini kutafuta mabaki ya kale ya binadamu, majengo na zana? (a) Athropolojia (b) masimulizi ya mdomo (c) makumbusho ya Taifa (d) Akiolojia (e) machapisho 

iii) Wanafunzi wa darasa Ia tatu walipima kipengele kimojawapo cha hali ya hewa na wakarekodi jibu katika milimita. Je, walipima kipengele gani cha hail ya hewa? (a) jotoridi (b) mwanga wa jua (c) mgandamizo wa hewa (d) upepo (e) mvua 

iv) Mawazo ni mkulima wa zao Ia korosho. Unafikiri mawazo anatoka mkoa gani wa Tanzania unaozalisha zao hilo? (a) Morogoro (b) Singida (c) Dodoma (d) Mtwara (e) Kagera  

v) Maeneo ya milimani na uwanda wa juu ni baridi kuliko maeneno ambayo yapo karibu na usawa wa bahari. Je, unafikiri jotoridi litapungua kiasi gani kila unapopanda meta 1000 kutoka usawa wa bahari? (a) 6 °C (b) 0.6°C (c) 0.06 °C (d) meta 100 (e) 600C 

vi) Tanzania ni nchi iliyobarikiwa kuwa na aina nyingi za madini. Je, ni madini gani hupatikana Manyoni-Singida, Bahi-Dodoma na Namtumbo-Ruvuma? (a) Tanzanait (b) dhahabu (c) urani (d) chumvi (e) chuma  

vii) Wafugaji wanashauriwa kutumia mbinu bora za ufugaji iii kutunza mazingira. Yapi ni madhara ya ufugaji wa mifugo mingi katika eneo dogo? (a) mifugo kunenepa (b) wachungaji kuchoka (c) mmomonyoko wa udongo (d) majani kuongezeka (e) mifugo mingi katika eneo dogo 

viii) Shule ya msingi Mafanikio imepanga kuwa na ziara ya kimasomo kutembelea eneo Ia kihistoria ambalo ni maarufu kwa michoro inayoonyesha mbinu za uwindaji zilizotumiwa na watu wa kale. Je, ni eneo gani la kihistoria watalitembelea? (a) Isimila (b) Engaruka (c) Olduvai Gorge (d) Kilwa (e) Kondoa Irangi 

 ix) Kupungua kwa theluji katika mlima Kilimanjaro kumesababishwa na ongezeko Ia joto katika uso wa Dunia. Ni shughuli ipi inaweza kutumia kukabiliana na tataizo hilo? (a) kuchoma misitu na kukata miti (b) kupanda miti na kutunza mazingira (c) kulima kandokando ya milima (d) uvunaji hovyo wa misitu (e) kufuga mifugo mingi katika eneo dogo

 x) Katika uso wa Dunia kuna pepo zinazovuma kutoka eneo moja kwenda jingine. Je, ni upepo gani unavuma kutoka kusini kuelekea kaskazini? (a) upepo wa kusi (b) upepo wa kaskazini (c) upepo mkavu (d) upepo wa magharibi (e) pepo za monsoon 

xi) Wanafunzi wa darasa Ia nne waijifunza juu ya uhusiano uliopo kati ya jua, mimea na maji juu ya uso wa Dunia. Yapi ni matokeo ya uhusiano huo? (a) kutokea kwa upepo (b) kufanyika kwa mvua (c) kuganda kwa maji (d) kutokea kwa kimbunga (e) kuyeyuka kwa barafu

 xii) Wanafunzi wa darasa is saba walitembelea shamba kubwa Ia ufugaji wa mbuzi wa kisasa. Je, hiyo ni aina gani ya ufugaji. (a) ufugaji wa jadi (b) ranchi (c) ufugaji wa ndani (d) ufugaji wa kuhama hama (e) ufugaji wa sehemu moja 

xiii) Zama za mawe zimegawanyika katika vipindi vitatu. Zama zipi za mawe zilidumu kati ya miaka 3,000,000KK hadi 300,000KK? (a) zama za kale za mawe (b) zama za chuma (c) zama za mwisho (d) zama za kati za mawe (e) zama za kidigitali 

xiv) Wanafunzi watano waliambiwa wataje mila na desturi potofu zinazofanyika katika jamii. Mmoja wa wanafunzi alitaja jibu ambalo si sahihi. Unadhani ni jibu gani Iilitajwa na mwanafunzi huyo? (a) tohara kwa wanaume (b) ukeketaji kwa wanawake (c) ndoa za utotoni (d) mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (e) ndoa za kulazimishwa 

xv) Majaliwa anaishi na mama yake, ndugu zake, mfanyakazi wa ndani na babu yake. Kulingana na uelewa wako hii ni aina gani ya familia? (a) mume na mke (b) familia pana (c) familia ya awali (d) familia ya mzazi mmoja (e) yatima 

2. Oanisha maelezo ya kifungu A yanayoendana na kifungu B 

KIFUNGU A

KIFUNGU B

  1.               Alikuwa ni kiongozi wa kampuni ya kibiashara ya BEACO wakati wa utawala wa Waingereza.
  2.             Kumbukumbu ya mashujaa wa Kiafrika kama vile Isike, Mkwawa na wengine
  3.          Kilikuwa ni chama cha ukombozi nchini Angola chini ya Mzee Augustino Netto 
  4.          Ni tarehe ambayo tukio la Kijiografia hutokea ambapo dunia huwa mbali kutoka kwenye jua.
  5.             Anathubutu na kuwekeza mtaji wa biashara kwa lengo la kujiajiri na kuongeza kipato

 

  1. Ujasiliamali
  2. Tarehe 3 Januari
  3. Karl Peters
  4. ANC
  5. 25 Julai
  6. Wiliam Macknon
  7. Mjasiliamali
  8. Tarehe 1 septemba
  9. Tarehe 4 julai
  10. MPLA
  11. Otto Von Bismark

 

SEHEMU B: MAJIBU MAFUPI

3. Jibu maswali yafuatayo kwa usahihi 

i) Ni yupi kati ya mabaharia wa kwanza kutoka Ureno alifanikiwa kufika Pwani ya Afrika Mashariki mwaka 1498?   

ii) Ni ipi kati ya mistari ya kufikirika huchorwa kwenye ramani kutoka upande wa Kaskazini kuelekea Kusini?  

 iii) Pasi inatumika kunyoosha nguo kuua vijidudu na kuondoa mikunjo au makunyanzi kwenye nguo. je, kuna aina ngapi za pasi?   

4. Malizia maelezo yafuatayo kama ulivyojifunza darasani

i) Ni taasisi ipi ilianzishwa na wakoloni nchini Tanganyika kwa lengo la utafutaji na usimamizi wa vibarua?  

ii) Tanzania imebarikiwa kuwa na rasilimali nyingi za asili na kutengenezwa. Ni rasilimali ipi inabeba rasilimali zote?  

iii) Kuna njia mbalimbali za kutayarisha na kupika vyakula. Ni njia ipi ya kupika chakula inatumia maji mengi?  

5. Jibu maswali yafuatayo kama.ulivyoelekezwa kwenye kila swali 

i) John aliambiwa achore ramani ya mtaa wake. Hivyo alikuwa anatafuta kipimio sahihi cha ramani. Ni aina ipi ya kipimio cha ramani utamshauri aitumie? 

ii) Ni yupi kati ya Marais wa awali barani Afrika alipigania uhuru wa nchi ya Malawi? 

6. Malizia maelezo yafuatayo 

i) Neno uthubutu kama linavyotumika kwenye ujasiliamali linamaanisha 

ii) Mlima Kilimanjaro ni fahari ya nchi yetu na ni chanzo na kivutio cha watalii nchini. Una mwinuko wa mita 5895 juu ya usawa wa bahari. Aina ya mlima huo ni 

SEHEMU C:  RAMANI, MCHORO NA KUKOKOTOA. 

Soma maswali yafuatayo kisha andika majibu sahihi

7. I) Kama dunia inatumia saa 1 kuizunguka nyuzi 15 za longitudo. Itachukua muda gani dunia kuzunguka jua kwa nyuzi 60? 

ii) Kama kipimio cha ramani ni 1:500,000. Ni kilomita ngapi juu ya ardhi zitawakilishwa kwa sentimita 1 kwenye ramani?  

 iii) Jifunze kwenye mchoro ufuatao kisha taja kielelezo cha hali ya hewa kinachopimwa na mchoro huo, kielelezo hicho ni   

iv) Tunaitaje mavazi maalum yanavotumika na wasanii kwenye kuigiza au kucheza ngoma? 

v) Aina gani ya bandari imeonyeshwa kvya herufi B kwenye ramani? 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 104

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA UMAHIRI KWA SHULE ZA MSINGI

UPIMAJI DARASA LA SABA MTIHANI WA MWIGO

KISWAHILI

2024

 

MUDA: 1:30                                                                                                         

MAELEKEZO 

1. Mtihani huu una sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali Sita (6) 

2. Jibu maswali yote katika kila sehemu 

3. Majibu yote yaandikwe katika karatasi hii 

4. Tumia kalamu ya wino wa rangi ya bluu au mweusi 

5. Simu za mikononi na vifaa vingine visivyohitajika haviruhusiwi katika chumba cha mtihani. 

6. Andika kwa usahihi :Jina lako na Jina la Shule kwenye sehemu ulizopewa. 

SEHEMU A: (Alama 20)

1. Sikiliza kwa makini hadithi itakayosomewa na msimamizi, kisha jibu swali la i- v kwa kuandika herufi ya jibu iililo sahihi kwenye mabano. 

i) Sifa za mwalimu zilivuma maana yake? (a) sifa zilipeperushwa (b) sifa zilisikika bara zima la Afrika (c) sifa zake zilisikika na kuenea pote   (d) sifa za mwalimu zilisambaa Tanzania nzima (e) mwalimu alifahamika sana 

ii) Mwalimu Nyerere alikuwa ni miongoni mwa watu gani barani Afrika? (a) watu makini (b) watu wakubwa (c) watu walemavu (d) watu mashuhuri (e) watu walevi 

iii) Hekima na busara za Mwalimu Nyerere zilioneshwa katika (a) hotuba zake (b) umri wake (c) watu wakubwa (d) umaarufu wake (e) uongozi wake 

iv) Hotuba za Mwalimu Nyerere zilikuwa na mpangiko mzuri wa (a) maneno (b) lugha (c) utaratibu (d) matamshi (e) falsafa 

v) Mwalimu Nyerere alikuza, aliendeleza na kuimarisha (a) lugha ya Taifa (b) mitaala  (c) kiswahili (d) kingereza (e) muhtasari 

 

2. Chagua jibu lililo sahihi kutoka katika machaguo uliyopewa, kisha andika parandesi ulizopewa

  1.        Mjomba amekwenda kumuona bibi. Neno lipi limetumika kama kielezi katika sentensi hii? (a) Bibi (b) Kijiji (c) Amekwenda (d) Mjomba (e) Kumuona
  2.       Baba, mama, mimi na wadogo zangu tunapenda kula ugali. Sentensi hii ipo katika nafsi ya ngapi? (a) Ya tatu umoja (b) Ya tatu wingi (c) Ya pili umoja (d) Ya kwanza wingi (e) Ya kwanza umoja
  3.     Humo------------ alimoingia yule nyoka. Neno lipi linakamilisha sentensi hii kwa usahihi?

(a)Ndiye (b) Ndiko (c) Ndipo (d) Ndio (e) Ndimo 

  1.    Neno lipi ni tofauti na mengine kati ya haya yafuatayo? (a) Mpasuko (b) Mshikamano (c) Ushirikiano (d) Umoja (e) Muungano
  2.       "Jana asubuhi walisoma kitabu cha hadithi" Kiambishi cha njeo ni kipi? (a) Wa- (b) Li- (c) -soma-(d) -a (e) -Ii-
  3.    Mfuko umechanika vibaya, neno lililopigiwa mstari lipo katika ngeli gani? (a) KI-VI (b) LI-YA (c) I-ZI (d) A-WA. (e) U-1
  4.  Neno bughudha lina silabi ngapi? (a) Tatu (b) Mbili (c) Nne (d) Sita (e) Nane
  5.            Mtu mwenye taaluma ya ujuzi wa kubuni kutengeza au kurekebisha barabara, au mitambo anaitwa nani? (a) Rubani (b) Dereva(c) Mkutubi  (d) Mhandisi (e) Mhunzi

ix) Vifuatavyo ni vipengele vya barua ya kirafiki, isipokuwa  (a) Anuani ya mwandishi (b) Tarehe (c) Anuani ya mwandikiwa (d) Mwanzo wa barua (e) Jina la mwandishi 

 x) Maneno yafuatayo yameandikwa kwa kirefu, fupisha maneno Teknolojia ya Habari na Mawasiliano. . (a) Teknolojia (b) Habari (c) TMH (d) Mawasiliano (e) Tehama 

3. Oanisha maneno ya sehemu A na maana yake katika sehemu B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi kwenye nafasi uliyopewa 

SEHEMU A

SEHEMU B

  1. Mofa
  2. Kiini
  3. Saladi
  4. Mafya
  5. Mseto
  1.               Chanzo, sababu au undani wa jambo, kisa au tukio
  2.               Mafiga
  3.               Mvurugano wa mambo hali ya vurugu, ugomvi au sokomoko
  4.              Mchanganyiko wa vitu au mambo mbalimbali
  5.                Mkate uliotengenezwa kwa unga wa nafaka
  6.                Mchanganyiko wa mboga au matunda unaoliwa bila kupikwa

 

4. Panga sentensi zifuatazo ili zilete mtiririko unaofaa kwa kuziandika upya

i) Waliamini kuwa mtu anayeugua Ukimwi amelogwa 

ii) Hivi sasa ugonjwa huu unafahamika na kila mtu anachukua tahadhari

  1.                 Wengi wao walihusisha ugonjwa huu na imani za kishirikiana
  2.                   Zamani watu wengi hawakuwa na elimu ya kutosha juu ya ugonjwa wa Ukimwi
  3.                 Hivyo walihangaika mchana na usiku kutafuta waganga wa kienyeji

5. Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu maswali yanayofuata. 

Kidato nimemaliza, tangu ule mwaka juzi, 

Maswali nimemaliza, kwa walimu na wajuzi, 

Mingi pia nimecheza, michezo kwao juzi, 

Sanaa nayo elimu, shuleni sikutegea 

Najionea fahari, kuitwa mtaalamu, 

Napata nyingi safari, kwa wangu utaalamu, 

Sitochoka kukariri, nilopata kwa walimu,

 Elimu kitu muhimu, usilaumu walimu. 

Utaukosa uhondo, neema tele na raha, 

Kumbukizi la mikondo, sikuliona fedheha,

 Nyota pia na vimondo, havikunipa jeuri, 

Elimu nguzo muhimu, pata ukajionee 

MASWALI. 

i) Shairi ulilosoma lina jumla ya beti kamilifu ngapi?   

ii) Neno "fedheha" kama lilivyotumika katika ubeti wa tatu lina maana gani? 

iii) Kwa kuzingatia sifa Ea mashairi, shairi hili ni aina gani ya shairi? 

iv) Andika vina vya kati na mwisho katika ubeti wa pill  na  

 v) Kituo katika ubeti wa tatu kina mizani ngapi?  

SEHEMU C: 

6. Kamilisha barua ifuatayo kwa kutumia maneno yaliyopo kwenye kisanduku. 

Andika majibu sahihi katika sehemu wazi 

i. Mbwa wetu ni mkali sana. neno lilopigiwa mstari ni aina gani ya maneno? ________________________ 

ii. Nini jibu la kitendawili hiki? “Chungu cha mwitu hakipiki wapishi wake wakaiva.” ___________________ 

iii. Nitasoma sana ili nifaulu mtihani wangu. Sentensi hii ipo katika nafsi ipi? ________________________ 

iv. Mwanafunzi aliyechelewa shuleni amefukuzwa. Hii ni aina gani ya tungo? ________________________ 

v.Je, kamusi ina sehemu kuu ngapi? _______________________________

 

Habari isomwe na msimamizi kwa kuzingatia kanuni za usomaji. Maelekezo kwa msimamizi 

(i) Uwaruhusu wangfunzi wasikilize lava umakini 

(ii) Soma habari kwa umakini. 

(iii) Wanafunzi hawaruhusiwi kujibu maswali wakati unasoma habari. 

(iv) Soma habari mara mbili, kisha waruhusu wajibu maswali i-v. 

Hayati Mwalimu Nyerere ni miongoni mwa watu mashuhuri Barani Afrika. Popote alipotembea sifa zake zilivuma kwa wingi wa heshima na busara zake zilizojidhihirisha katika hotuba zake alizowahi kutoa. Alitumia Kiswahili fasaha bila ya kuingiza maneno ya lugha kutoka Ughaibuni. Mamia na maelfu ya Watanzania walipenda kusikiliza hotuba zake kwa hamu kubwa bila ya kuchoka na mpangilio mzuri wa lugha ya Kiswahili aliyoitumia mara nyingi kuhutubia Taifa. Zaidi ya hayo, Hayati Mwalimu Nyerere hatasahaulika kwa kipaji cha kukuza, kuendeleza na kuimarisha Kiswahili. Kama ilivyo ada kwa watanzania wote kuendeleza Kiswahili.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 103

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA UMAHIRI KWA SHULE ZA MSINGI

MTIHANI WA MWIGO

DARASA LA SABA-HISABATI

2024

 

MUDA: 1:30                                                                                                        

MAELEKEZO

  1. Mtihani huu una SEHEMU tatu yaani, A,B na C
  2. Maswali yapo Nane kwa ujumla
  3. Jibu maswali yote katika kila sehemu
  4. Tumia kalamu ya wino yenye rangi nyeus au ya bluu
  5. Onyesha kazi yako vizuri
  6. Vifaa vya elektroniki haviitajiki katika chumba cha mtihani

 

SEHEMU A

1. Je, jumla ya thamani ya jumla ya 7 na 6 katika nambari  ni nini?

2. Karen alikuwa na  kwenye akaunti yake ya benki .Aliweka  zaidi kwenye akaunti. Baadaye aliondoa  kwa ajili ya karo ya shule. Ni pesa ngapi zilizobaki kwenye akaunti yake ya benki?

3. Tengeneza muundo wa nambari 3 kuanzia  Kanuni ya kutoa ni 111

4. Mkebe ana ujazo wa lita . Ann alitumia Mkebe kuchota  maji mara . Alichota lita ngapi za maji?

5. Mkulima alikuwa na lita  za maziwa. Aligawa maziwa kwa usawa kati ya wanawe wanne. Kila mtoto alipata maziwa kiasi gani? (mks 2)

6. Thamani ya nafasi ya tarakimu 6 katika nambari  ni ipi?

7. Hussein alifunga pointi  katika mchezo wa kidijitali wa kufurahisha. je, jumla ya thamani ya tarakimu 6 ilikuwa nini?

8. Kokotoa 

9. Je, jumla ya  na ?

10. Kokotoa:  +14  

2. Tatua mafumbo

i. Nambari za roman MCMLVI ziliandikwa kwenye bodi ya shule ili kuonyesha mahudhurio siku ya Jumatatu. Ikiwa wanafunzi 17 hawakuhudhuria kila siku katika siku zilizopita, tafuta idadi ya wanafunzi waliokuwepo siku ya Ijumaa.

ii. Shule ina wanafunzi 720, ikiwa 12.5% yao ni wasichana, tafuta idadi ya wavulana.

iii. Juma aliondoka nyumbani na gari lake saa 8:30 asubuhi, alichukua 21/2 kufika kazini kwake. Alianza safari yake lini?

iv. Fikiria nambari, toa tisa kutoka kwa nambari, jibu ni ¼ ya nambari hiyo. Tafuta nambari.

v. Umri wa mtoto ni 0.25 ule wa baba, ikiwa baba ana miaka 40, tafuta umri wa mtoto.

vi. Nguo moja iligharimu shilingi 8000. Ikiwa Nasma alipewa punguzo la 30%, alilipa kiasi gani kwa mavazi?

SEHEMU B

3.

i. Bi. Juma alioka mikate 120 kwa ajili ya uuzaji wa mikate ya shule. Asubuhi, aliuza mikate 35. Binti yake alioka mikate mingine 40 ili kuongeza mauzo. Alasiri, waliuza mikate 70 nyingine. Je, mwisho wa siku walikuwa na mikate mingapi?

ii. Kiwanja cha bustani cha mstatili kina urefu wa mita 12 na upana wa mita 8. Je! ni eneo gani la shamba la bustani? Ikiwa mtunza bustani anataka kuweka uzio kuzunguka bustani nzima, ni eneo gani la bustani?

iii. Mashindano ya mpira wa miguu yana timu 16. Katika kila duru ya mashindano, nusu ya timu huondolewa. Itachukua raundi ngapi kuamua timu bingwa?

4:

i. Sarah anataka kununua baiskeli mpya inayogharimu sh. 150000. Anapata sh. 10000 kwa wiki kwa kufanya kazi za nyumbani. Ikiwa atahifadhi mapato yake yote, itamchukua wiki ngapi kuokoa pesa za kutosha kwa baiskeli?

ii. Roll ya Ribbon ina urefu wa mita 20. Maya hutumia mita 3.5 kupamba zawadi, na kisha kukata mita nyingine 6 kwa mradi wa ufundi. Ni Ribbon ngapi iliyobaki kwenye safu?

iii. Kichocheo cha mchanganyiko wa karamu kinahitaji vikombe 3 vya unga, vikombe 2 vya karanga na kikombe 1 cha nafaka. Ikiwa unataka kuongeza mapishi mara tatu, utahitaji vikombe vingapi vya kila kiungo?

5.

i. Katika darasa, uwiano wa wavulana na wasichana ni 3:5. Ikiwa kuna wavulana 24 darasani, kuna wanafunzi wangapi kwa jumla?

ii. Rahisisha usemi ufuatao: 5x +2y - x +9y

iii.andika nambari 9.9984 katika sehemu tatu za desimali

6.

i. Panga upya tarakimu katika nambari 64809725 ili kuunda nambari ndogo zaidi ya tarakimu nane na iandike kwa maneno.

ii. Katika shamba fulani 1/12 ya wanyama ni punda, 1/3 ni mbuzi, 1/8 ni ngamia, ng'ombe 5/24 na wengine ni kondoo. Panga sehemu zinazowakilisha kila aina ya mnyama kwa mpangilio wa kushuka.

iii. Eneo la shamba la mraba ni 14400m2. Mzunguko wake ni nini?

SEHEMU C

7.

  1. 1. i. Data iliyo hapa chini inaonyesha umri wa watoto 24 wakicheza mchezo wa kujificha na kutafuta katika kijiji.
    7,8,6,8,6,7,8,6,7,9,6,8
    9,7,8,6,6,7,8,7,8,7,9,5
    Wakilisha data katika jedwali la masafa hapa chini.

Umri(years)

kuhesabu

 Mzunguko

 5

 

 

 6

 

 

 7

 

 

 8

 

 

 9

 

 

ii. Takwimu hapa chini inaonyesha bwawa la uvuvi la mviringo. Ikiwa peter aliizunguka mara moja, alienda umbali gani?

iii. Je! ni eneo gani la sehemu yenye kivuli kwenye umbo hapa chini;

C:UsersRABBIDownloadsG7T1S1002mathQ8.PNG

8.

i. Mzunguko wa mstatili chini ni 50 cm. Tafuta eneo lake

ii. Mbuzi hufungwa kwa kamba juu ya mti. Ikiwa urefu wa kamba ni 14 cm. Tafuta eneo la malisho ya mbuzi

iii. Tafuta eneo la pembetatu hapa chini.

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN HISABATI EXAM SERIES 102

PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY SCHOOL NEW FORMAT COMPETENCE EXAMS

PRE- MOCK EXAMINATION

STANDARD SEVEN-ENGLISH

2024

 

TIME: 1:30HRS                                                                                                         

INSTRUCTIONS

  1. This exam consists of sections A , B and C
  2. There  are seven questions in total
  3. Answer all questions from each section
  4. Use a blue or black ink pen
  5. Show your working clearly
  6. Electronic devices are not allowed in exam room

 

SECTION A

1. Choose the correct answer and write the letter on the bracket 

  1. What does Mrs. Smith do for a living?
  1.               Construction worker
  2.               Teacher
  3.               Doctor
  4.              Soccer coach
  5.                Herder
  1. Which of the following activities does Ben NOT participate in?
  1.               Swimming
  2.               Piano lessons
  3.               Building model rockets
  4.              Soccer
  5.                All
  1.                What is one thing the Smith family always does together?
    1.               Build model rockets
    2.               Attend soccer games
    3.               Go swimming
    4.              Eat dinner
    5.                Watching news
  2.                The word "active" in the passage most closely means:
    1.               Busy
    2.               Lazy
    3.               Athletic
    4.              Quiet
    5.                Sharp
  3.                Based on the passage, which statement is most likely true?
  1.               The Smith family doesn't enjoy spending time together.
  2.               The Smith family values family time.
  3.               The Smith children don't like their extra-curricular activities
  4.              The Smith parents always put work before family
  5.                The Smith family spends time playing

 

2. Choose the most correct answer and write its letter in the spaces provided

  1.            Sarah ______ her homework every evening.
    1.        do
    2.         does
    3.         did
    4.        doing
    5.          dos
  2.    We went fishing ______ the river last weekend.

A. at

B. by

C. in

D. under

E. Beside

  1.  I would like ______ piece of cake, please.

A. the

B. a

C. an

D. some

E. Have

  1.  They haven't _______ the movie yet.

A. see

B. saw

C. seen

D. seeing

E. Watching

  1.    Could you please pass me ______ salt?

A. – (no article needed)

B. a

C. an

D. the

E. did

  1.  The birds _______ south for the winter.

A. fly

B. flies

C. flew

D. flown

E. Went

  1.            I am excited ______ my upcoming vacation.

A. for

B. about

C. with

D. on

E. of

  1.          We ______ to the store yesterday afternoon.

A. go

B. gone

C. went

D. going

E.Goes

  1.  She ______ a talented musician.

A. am

B. is

C. are

D. be

E. was

  1.                   The dog chased the squirrel ______ the tree.
    1.     up
    2.      down
    3.      over
    4.     into
    5.       under

 

  1. Complete the sentences below using the correct form of word
  1. The children ran ________ through the park, their laughter echoing in the air. (joy)
  2. Despite the difficult task, Sarah approached the problem with ________ and solved it quickly. (determine)
  3. The old tree stood ________ against the stormy winds, its roots firmly planted in the ground. (defiant)
  4. After a long day, a ________ cup of tea was exactly what I needed. (soothe)
  5. The audience burst into ________ applause at the end of the spectacular performance. (enthusiasis)

4.  Match the items in LIST A and with the words in LIST B and write the letter of the correct answer in spaces

LIST A

LIST B

  1. These are word with same sound but different meaning and spelling
  2. John is the man from Ghana, he is a…..
  3. It is the suffix in the word employment, this is..
  4. Mwajuma eats neither meat nor fish, that is to say she is a…………
  5. A place where milk is processed and sold is…
  1. Employ
  2. Homonyms
  3. Butchery
  4. Ment
  5. Homophones
  6. Vegetarians
  7. Dairy
  8. Ghananian
  9. Synonyms.

 

  1. Fill in the blanks with the correct word
  1. I saw a ………………..of bees at the jungle
  2. The moon laughed at me, identify the figure of speech for underlined words.
  3. Joseph is to gentleman as Jane is to……………………………………….
  4. They all failed examinations……………..they worked hard in class
  5. Feisal scored the best goal in yesterday’s match. Which degree of adjective is the underlined word?

6.

The Wind's Song

The wind whispers secrets to the trees, 

A gentle song on a summer breeze. 

It rustles the leaves, a playful sound, 

And carries the scent of flowers around.

 

With a mighty gust, it takes to the sky, 

And dances with clouds as they float by. 

The wind's wild song, it fills the air, 

A melody heard everywhere

 Short Answer Questions

  1. What kind of sounds does the wind make in the first part of the poem?
  2. How does the wind's song change in the second part of the poem?
  3. What images does the poem use to describe how the wind moves? (Example
  4. Does the poem make the wind seem gentle or powerful? Explain your answer.
  5. If you could ask the wind one question, what would it be?

 

7.Read the passage below and answer questions that follow

Living in a big city is an exciting experience. There's always something to do and see. Museums, theaters, and sports stadiums offer endless entertainment. Cities boast diverse restaurants serving food from all over the world. Public transportation systems like buses and subways make getting around easy, even if you don't own a car. However, city life isn't without its challenges. Crowded streets and constant noise can be overwhelming. Apartments are often small and expensive. Despite these drawbacks, many people find the energy and opportunities of a city make it a thrilling place to live.

Short Answer Questions

  1.       According to the passage, what are two advantages of living in a city?
  2.       What are two potential challenges of living in a city?
  3.       Does the passage describe city life in a mostly positive or mostly negative way? Explain your answer.
  4.       If you could live anywhere, would you choose a big city, a small town, or a rural area? Why?
  5.       Imagine you're writing a guide for someone moving to a big city for the first time. What's one important piece of advice you would give them?

 

Passage: 

The Busy Smith Family

The Smith family is always on the go! Mr. Smith is a construction worker who leaves for work early in the morning. Mrs. Smith is a teacher at the local elementary school. Their two children, Emily and Ben, are both active in sports and clubs. Emily plays soccer and takes piano lessons. Ben is on the swim team and loves building model rockets. Even though they have a busy schedule, the Smith family always makes time for dinner together each night.

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 101

PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY SCHOOL NEW FORMAT COMPETENCE EXAMS

PRE-MOCK EXAMINATION 

STANDARD SEVEN-CIVICS AND MORAL

2024

 

TIME: 1:30HRS                                                                                                         

INSTRUCTIONS

  1. This exam consists of sections A , B and C
  2. There  are Six questions in total
  3. Answer all questions from each section
  4. Use a blue or black ink pen
  5. Show your working clearly
  6. Electronic devices are not allowed in exam room

SECTION A

1. Choose the correct answer and write the letter on the bracket 

i) The highest governing body in a district, city or municipal council is 

(a) standing committee 

(b) councilors 

(c) legal department 

(d) director 

(e) planning and statistics

 ii) What is the sign that shows that the Nation has suffered a great tragedy? 

(a) CCM flag flying at half mast 

(b) National flag flying at half mast 

(c) School flag flying at half mast 

(d) CHADEMA flag flying at half mast 

(e) National flag being raised

iii) Maruma, he lives with his father, grandmother, his aunt Sinda and his grandmother Kalam. What kind of family does Maruma live in? 

(a) nuclear family 

(b) orphan family 

(c) single parent family 

(d) extended family 

(e) family of father, mother and children

iv) I am one of the national symbols of Tanzania. I am used to show peace, love, unity and introduce Tanzania as a free country, who am I? 

(a) National flag 

(b) Tanzanian currency 

(c) Tanzanian map 

(d) National emblem 

(e) Torch of freedom

v) According to the child act of 2009 which was amended in 2014, the following are the responsibilities of the child except; 

(a) to kill his parents 

(b) to maintain and strengthen traditions and customs 

(c) to work to support the family 

(d) to serve his community and the Nation 

(e) to abuse children in all circumstances

vi) Who among the following is not among people with special needs? 

(a) visually impaired 

(b) mentally disabled 

(c) poor 

(d) old 

(e) foreigner

vii) CCM and CHADEMA participated in the 2020 general election; What was the entity that supervised the election? 

(a) PCC 

(b) TARURA 

(c) National Electoral Commission 

(d) National Intelligence Commission 

(e) good governance

viii) Fire and rescue education is important to be provided to community members to deal with floods. What is the emergency number to call during a fire incident; 

(a) 116 

(b) 113 

(c) 114 

(d) 100 

(e) 102

ix) Who is the chairman of the cabinet meetings? 

(a) President 

(b) Vice President 

(c) President of Zanzibar 

(d) Prime Minister 

(e) Chief Justice

x) Various human activities contribute to the destruction of the environment, the following are environmental care activities except; 

(a) planting trees in areas without trees 

(b) planting trees where there were trees 

(c) cutting down trees without planting trees 

(d) planting trees near water sources 

(e) irrigated agriculture

2. Match the following sentences by writing the letters of the sentences or the answers in the table for the answers.

LIST A

LIST B

i) A tribal dance played to inspire the spirit to work

ii) The benefit of reproductive health education for young people

iii) The correct age to run for the Presidency of the United Republic of Tanzania

iv) Conversations led by someone with the skills to provide guidance and solve problems or challenges

v) The rule of law as one of the foundations of democracy

A. 55 years and older

B. Gobogobo from the land of Sukuma

C. To help young people make the right decisions

D. 40 years and above

E. Counseling or counseling

F. No one is above the law

G. Cause moral erosion

H. Adviser Lizombe from Songea

A. It reduces the spirit of being a patriot

 

3. Fill in the blanks.

i) The Parliament of the United Republic of Tanzania is headed by a Speaker who is elected

by ………………

ii) How many chapters are there in the Constitution of the United Republic of Tanzania?

iii) Which of the school leaders is responsible for managing the daily activities of the school?

iv) Each arm of the government has its own importance and responsibilities. Which one deals with the proposed bills?

v) Traditional clothing carries the identity of a certain community. What clothes are worn by the women of gogo tribe?

SECTION  B:

4. Fill in the information or blank spaces in the following table

S/N

UN BODY

FUNCTIONS

1

UNESCO

……………………………………

2

…………………………….

Food and agriculture

3

UNHCR

…………………………………….

4

………………………………………………..

Deals with workers worldwide

5

WHO

……………………………………….

 

5. Complete the following information correctly

i) If the incumbent President dies, what legal procedures will be taken to fill his position?

ii) When did Tanzania hold the first election under the multi-party system?

iii) In which city is the headquarters of the East African Community?

iv) How is the Ward Executive Officer found?

 v) Which special body has the responsibility to protect citizens and their property in Tanzania?

 

 

 

 

SECTION C

6. Use the picture below to answer questions that follow;

i) Which phase of the Presidency in Tanzania was served or led by the leader seen in the picture?

ii) Which of the six Presidents of Tanzania followed the leader after finishing his term?

iii) Which important step to build the economy was taken or allowed by that leader for the development of our country and its people?

iv) The leader shown in the picture was once the President of the Revolutionary Government of Zanzibar. Who was the President of the United Republic of Tanzania at that time?

v) Right now the leader is dead, what date was his national funeral held in Unguja after he was given the last respects by Tanzanians?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN CIVICS EXAM SERIES 100

UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

TERMINAL EXAMINATIONS -MAY 2023

SOCIAL STUDIES & VOCATION SKILLS

STANDARD SEVEN 

Time 1:30 Hours

Pupil’s Name.......................................................................................................

Instructions

  1.               This paper consists of section A and B with total of forty-five questions
  2.               Answer all questions in each section
  3.               For questions 1 – 40 put your choice in the box provided
  4.               For question 41 – 45 write your answer by filling the spaces provided
  5.               All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room.

SECTION A

Choose the correct answer and write its letter in the space provided.

  1.               What is the reason behind rural to urban migration in East Africa?
  1.              Good weather conditions in towns
  2.              Good areas to build houses for living
  3.              The possibility of getting formal and informal employment in towns
  4.              Total unavailability of areas for agriculture in the villages
  5.              It is easier to get chances to travel abroad
  1.               Which of the following was not the importance of fire in the Middle Stone Age?
  1.              Roasting meat
  2.              Clearing the environment
  3.              Warming bodies
  4.              Making glue
  5.              Making metal tools
  1.               Environmental degradation can be caused by the following except:
  1.              Cutting down trees indiscriminately
  2.              Smoke from industries
  3.              Massive livestock keeping
  4.              Mining
  5.              Increase in natural resources
  1.               Normally, wind blows from areas of:
  1.              Low to high pressure areas
  2.              Very warm air to very cold air areas
  3.              High to low pressure areas
  4.              High to low humid areas
  5.              Heavy clouds to light clouds areas
  1.               Before the 16th century Kilwa town was famous in the trading of


  1.              Ivory
  2.              Copper
  3.              Slaves
  4.              Gold
  5.              Spices


  1.               The Chief of Nyamwezi who fought the German colonialists between year 1891 and 1894 was:


  1.              Mazengo
  2.              Mirambo
  3.              Isike
  4.              Msiri
  5.              Mkwawa


  1.               During the colonial period, Africa culture declined because of the following reasons except:
  1.              Prohibition of some traditions and customs by colonialists
  2.              Being despised through colonial education
  3.              Emphasis on the use of Africa languages which was done by the educated Africans
  4.              Many Africans adopted foreign culture
  5.              Colonial education failed to satisfy African traditions and customs
  1.               African traditions and culture are important because
  1.              They improve science and technology
  2.              They maintain African culture
  3.              They strengthen Africa beliefs
  4.              They reduce drought and hunger
  5.              They hinder plans between one nation and another
  1.               German colonialists started levying poll/head tax in order:
  1.              To provide it to the poor people in Germany
  2.              To provide social services in Villages
  3.              To increase the income of a governor
  4.              To increase citizens’ income
  5.              To make people work in the colonial farms
  1.           Afro Shiraz Party originated from the merging of:
  1.              Africa Association and Pemba People’s Party
  2.              Shiraz Association and Muslim Association
  3.              Zanzibar and Pemba People’s Party and Umma Party
  4.              Africa Association and Shiraz Association
  5.              Zanzibar National Party and Zanzibar and Pemba People’s party
  1.           One way of advertising business is
  1.              Using rude language
  2.              Using social media
  3.              Telling relatives
  4.              Selling fresh commodities
  5.              Observing expiry date.
  1.           Three ethnic groups in Tanzania which participated in slave trade were:
  1.              Hehe, Bena and Nyambo
  2.              Zaramo, Zigua and Luguru
  3.              Chagga, Pare and Sambaa
  4.              Hangaza, Haya and Kurya
  5.              Nyamwezi, Haya and Sumbawanga
  1.           The united Republic of Tanzania was established on


  1.              26th January 1964
  2.              9th December 1961
  3.              9th December 1962
  4.              12th January 1964
  5.              26th April 1964


  1.           In Which century did the first European reach the Cape of Good Hope?


  1.              11
  2.              12
  3.              13
  4.              14
  5.              15


  1.           The war which broken out in Rwanda in 1994 was caused by


  1.              Tribalism
  2.              Wealth
  3.              Corruption
  4.              Feudalism
  5.              Capitalism


  1.           ............ is the leader of the armed liberation struggle that led to the independence of Mozambique in 1975


  1.              Augustino Neto
  2.              Samora Machel
  3.              Ahmed Skoi Tour
  4.              Ahmed Ben Bella
  5.              Filipe Nyusi


  1.           All the following are economic are struggles by African nations to eliminate neo-colonialism, except:
  1.              Establishing and strengthening regional and economic cooperation in Africa
  2.              Establishing and strengthening the African Development Bank
  3.              Increasing the export of raw materials to developed nations
  4.              Establishing and promoting manufacturing industries in Africa
  5.              Encouraging Africans to use their own products
  1.           Which of the following archaeological sites is not found along the coast of Tanzania?
  1.              Kilwa
  2.              Bagamoyo
  3.              Pangani
  4.              Olduvai Gorge
  5.              Zanzibar
  1.           Food which cannot be packed in hot posts is ............
  1.              Chapatti
  2.              Juice
  3.              Tea
  4.              Meat
  5.              Beans
  1.           Savannah type of climate/vegetation is found between ....... latitudes north and south of the Equation
  1.              0° - 5°
  2.              23° - 35°
  3.              5° - 15°
  4.              0° - 15°
  5.              20° - 30°
  1.           Areas which receive heavy annual rainfall in Tanzania are:
  1.              Those which have many rivers
  2.              Those which are close to the ocean, lakes, rivers and mountains
  3.              Areas at the centre of Tanzania
  4.              Areas which are beside the Rift Valley
  5.              Settlement areas
  1.           On 21st March and 23rd September, the sun is overhead at:
  1.              The North pole
  2.              Tropic of Capricorn
  3.              Tropic of cancer
  4.              Greenwich
  5.              Equator
  1.           Why do many people shift to towns from villages?
  1.              There are no tarmac roads in the villages
  2.              There are all sorts of entertainments in towns
  3.              There are farms in villages
  4.              There is no poverty in towns
  5.              There are employment opportunities and better social services in towns.
  1.           In which ways can a map scale be shown?
  1.              By sentences, line and ratio
  2.              Fraction, sentence and numbers
  3.              Large scale, middle scale and small scales
  4.              Ratios, fractions and kilometers
  5.              Sentence, small scale and miles
  1.           What are the three main types of transportation?
  1.              Land, water and air
  2.              Air, roads and radios
  3.              Telephones, land and roads
  4.              Television, radio and networks
  5.              Land, water and telephones
  1.           One of the ways used to prevent soil erosion is
  1.              To keep many livestock
  2.              To cultivate in steep slopes
  3.              To burn the remains of crops
  4.              To build small houses
  5.              To plant a lot of trees
  1.           Why is equatorial vegetation evergreen?
  1.              There are many rivers and high humidity
  2.              There is heavy rainfall and high humidity
  3.              There is fertile soil and strong winds
  4.              There are winds and heavy rainfall
  5.              Presence of thick forests and heavy rainfall
  1.           The main difference between planets and stars is that
  1.              Stars rotate around the sun
  2.              Planets provide electric energy
  3.              Planets rotate around the sun and stars provide light energy
  4.              Stars rotate and revolve around the sun
  5.              Stars fall down on oceans
  1.           The economy of Tanzania depends much on the following activities except;
  1.              Industries and minerals
  2.              Communalism and livestock keeping
  3.              Agriculture and tourism
  4.              Industries and business
  5.              Agriculture and industries
  1.           Environmental pollution in cities can be controlled by
  1.              Controlling the increase of people
  2.              Using modern toilets
  3.              Using clean water
  4.              Controlling the use of plastic bags
  5.              Burning the rubbish
  1.           Which among the following is the major cattle ranch in Tanzania?
  1.              Manyara
  2.              Uyole
  3.              Maswa
  4.              Kongwa
  5.              Mkata
  1.           Which of the following is not an importance of washing clothes
  1.              Killing dangerous micro-organisms
  2.              Removing odour
  3.              Preventing development of lice
  4.              Giving garments good smell
  5.              Making clothes fade
  1.           Which of the following is a positive effect of slave trade in Tanganyika?
  1.              Death of many people
  2.              Decline in number of elephants
  3.              Decline in production activities
  4.              Fear
  5.              growth of small towns
  1.           the stone Age is divided into ....... periods
  1.              three
  2.              two
  3.              four
  4.              five
  5.              one
  1.           African resistance against colonial invasion failed due to
  1.              Lack of unity and poor weapons
  2.              Lack of strong chiefdoms
  3.              Africans being uncivilized
  4.              Europeans being more than Africans
  5.              Inferiority of African leaders
  1.           Who led the Mandinka people of West Africa in opposing French invasion of their countries?
  1.              King Menelik II
  2.              Samori Toure
  3.              Hendik Witbooi
  4.              Samuel Maherero
  5.              Kenneth Kaunda
  1.           Which of the following countries got her independence in 1961?
  1.              Zimbabwe
  2.              South Africa
  3.              Angola
  4.              Tanganyika
  5.              Kenya
  1.           The main source of natural light to earth is
  1.              Fire flies
  2.              Moon
  3.              Stars
  4.              Asteroids
  5.              Sun
  1.           Who among the following is not among the East African heroes?
  1.              Milton Obote
  2.              Jomo Kenyatta
  3.              Abeid Karume
  4.              Samora Machel
  5.              Julius Nyerere.
  1.           The remains of Zinjanthroupus were discovered by .............
  1.              Dr Leonard and Mary Leaky
  2.              Dr Richard and Marry leaky
  3.              Dr Olduvai Leaky
  4.              Dr Winston churchill
  5.              Dr living stone

 

SECTION B

For equations 41 – 45, write the correct answers in the spaces provided.

  1.           They study of heavenly bodies is called...............
  2.           What do you understand by armed struggle for independence? ..........
  3.           Tanzania introduced nationalization through the Arusha Declaration. Nationalization means.................
  4.           What is menstruation period? ...........
  5.           Name any two effects of the movement of the moon to the earth

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SOCIAL EXAM SERIES 77

UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

TERMINAL  EXAMINATIONS -MAY 2023

SCIENCE & TECHNOLOGY

STANDARD SEVEN 

Time 1:30 Hours

Pupil’s Name.......................................................................................................

Instructions

  1.               This paper consists of section A and B with total of forty-five questions
  2.               Answer all questions in each section
  3.               For questions 1 – 40 put your choice in the box provided
  4.               For question 41 – 45 write your answer by filling the spaces provided
  5.               All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room.

SECTION A

Choose the correct answer and write its letter in the space provided.

  1.               Which among the following is not a benefit of sports to our health?
  1.              They help in building strong muscles
  2.              To protect the body from attacks by diseases and infections
  3.              Causes blood pressure
  4.              Provide recreation
  5.              Help in maintaining a healthy body
  1.               A solution of sugar and water is a necessary first aid to a victim of:
  1.              Malaria and headache
  2.              Diarrhea and vomiting
  3.              Backbone and typhoid fever
  4.              T.B and influenza
  5.              Fracture
  1.               Which of the diseases below is not sexually transmitted?
  1.              AIDS
  2.              Trichomona
  3.              Syphilis
  4.              Chlamydia
  5.              Trachoma
  1.               Which of the vitamins below is produced in the body by the action of sunlight?
  1.              Vitamin A
  2.              Vitamin B
  3.              They prevent diseases
  4.              They restore vitamins and minerals in the body
  5.              They restore worn worn out cells in the body.
  1.               What is the advantage of vaccinations?
  1.              They reduce pain
  2.              They cure diseases
  3.              They prevent diseases
  4.              They restore vitamins and minerals in the body
  5.              They restore worn out cells in the body.
  1.               Which of the following bacteria causes Turber Culosis (TB)?
  1.              All bacteria in the air
  2.              Bacilli
  3.              Plasmodium
  4.              Fungi
  5.              Amoeba
  1.               Which of the following statements is False?
  1.              A laptop has an internal system unit
  2.              A laptop has an external system unit
  3.              The speaker is one of the computer output devices
  4.              The monitor is part of the hardware of the computer
  5.              Computers can help people carry out money transactions.
  1.               The following activities destroy water sources except:
  1.              Cutting down trees
  2.              Burning forests
  3.              Grazing a lot of livestocks around water sources
  4.              Disposing chemical wastes in the water sources
  5.              Fetching cooking water from water sources.
  1.                The figure below shows a sewing machine. Study it then answer the questions that follow.

 

 

 

 

 

The correct naming of parts labelled A to E is

  1.              Small wheel, axle, cord, large wheel and treadle
  2.              Axle, hand wheel, belt, band wheel and treadle
  3.              Needle, hand wheel, belt, treadle and pedal
  4.              Head, hand wheel, rope, band wheel and treadle
  5.              Non of the above
  1.           It is most suitable to construct a pit latrine on a high ground because:
  1.              It is easier to erect a wall
  2.              Smell from the toilet will be far from the ground level
  3.              It is difficult for it to wear out
  4.              Ground water will be far from the level of the latrine
  5.              The latrine will not be filled up in a short time
  1.           The following are advantages of using educational computer games, except...........
  1.              They bring reading, counting and writing into reality
  2.              They help pupils to learn things by doing
  3.              They motivate pupils to learn and work hard
  4.              They make pupils to become addicted to computer games
  5.              They make it easier for pupils to learn arithmetic using a calculator.
  1.           Which are the most important conditions for seed germination? ..............

Soil, sunlight, and water

Soil, air and water

Moderate warmth, warmth, water and oxygen 

Moderate warmth, soil and sunlight

Water, soil and carbon dioxide 

  1.           A class of living things/organisms which can live on land and in water is known as
  1.              Amphibians
  2.              Anthropods
  3.              Fish
  4.              Aves/birds
  5.              Mammals
  1.           Which of the following living things is not a mammal? ..........
  1.              A bat
  2.              A whale
  3.              A lion
  4.              A rabbit
  5.              A crocodile
  1.           Carefully observe the figure below (Figure 1) and answer the question that follows:

 

 

 

 

The organism shown in Figure 1 feeds on.........

  1.              Honey
  2.              Flesh
  3.              Grains
  4.              Matter from water
  5.              Decayed matter
  1.           The plant illustrated below grows in

 

 

 

  1.              Dense forests
  2.              Water
  3.              In long grasses
  4.              Deserts
  5.              Mountains
  1.           Why do some plants shed their leaves during winter?
  1.              To retain their water
  2.              To facilitate transpiration
  3.              To store food
  4.              To conserve the soil
  5.              To nourish the soil
  1.           Figure 3 below is a sketch of a flower

 

 

 

 

Which part of the flower attracts insects for pollination?

  1.              1
  2.              2
  3.              3
  4.              4
  5.              5
  1.           The source of electricity in a dry cell is .......... energy
  1.              Solar
  2.              Mechanical
  3.              Sound
  4.              Magnetic
  5.              Chemical
  1.           Kibata used 50 Newton to push a wall all day without success. Which of the correctly describes this event?
  1.              Kibata did work
  2.              Kibata used a lot of force
  3.              Kibata did not work
  4.              Kibata did useful work
  5.              Kibata used a small force
  1.           If the incident angle is 60°, what will be the reflected angle in a plane mirror?
  1.              90°
  2.              40°
  3.              30°
  4.              60°
  5.              45°
  1.           Study the figure then answer the question that follows.

 

 

 

 

 

If the current flowing through the circuit is 5 amperes, what is the resistance of the circuit (in ohms?)

  1.              100
  2.              50
  3.              10
  4.              4
  5.              0.4
  1.           Mzee Juakali hanged a bar magnet in air. Which side of the earth will the north pole of the magnet point to?
  1.              South
  2.              North
  3.              East
  4.              West
  5.              North-east
  1.           Musa used 10 Newtons to push a wheelbarrow a distance of 5m. What amount of work (In Joules) did Musa do?
  1.              15
  2.              50
  3.              3
  4.              0.5
  5.              5
  1.           In a scientific investigation, what leads a person (a scientist) to predict the outcome/to form a hypothesis?
  1.              Understanding the problem
  2.              A lengthy observation
  3.              Seeing
  4.              Conducting an experiment
  5.              Touching
  1.           Which type of computer network is shown below?

 

 

 

  1.              WAN
  2.              LAN
  3.              SAN
  4.              WAM
  5.              LAW
  1.           Which sense organs are used to collect information in a scientific experiment?
  1.              The nose, eyes, the skin, the tongue and ears
  2.              The nose, ears, the skin, feet and the tongue
  3.              Ears, the skin, the nose, feet and hands
  4.              Ears, the nose, the skin, eyes and hands
  5.              Eyes, feet, the tongue, ears and the nose
  1.           The following data was obtained after measuring the heights (in cm) of five plants: 10, 12, 15, 28 and 40.What is the average height of the plants (in cm)?
  1.              File tab
  2.              Home tab
  3.              Insert tab
  4.              Cut and paste tab
  5.              Page layout tab
  1.           The following are tab menus found on the menu bar in Excel program, except .......
  1.              File tab
  2.              Home tab
  3.              Insert tab
  4.              Cut and paste tab
  5.              Ampere
  1.           Which of the following is a unit for measuring length?
  1.              Kilogram
  2.              Centimeter
  3.              Ruler
  4.              Volt
  5.              Ampere
  1.           What is the importance of the ozone layer?
  1.              It increases heat on the earth’s surface.
  2.              It protects us against harmful solar radiations
  3.              It reduces the amount of carbon dioxide gas in the atmosphere
  4.              It increases rain on earth
  5.              It decreases cold on the earth’s surface.
  1.           The following are are steps involved when searching for information using the search engines. Study tem carefully and arrange them in their correct order.
  1. Type the keyword of your search in the Google search bar that appears and click “Google search”
  2. Type the web address www. google.com on the web address bar and press “Enter” on the keyboard
  3. Evaluate your search results and click on one of the topics to pen it.
  4. Double click on way web browser on your computer screen
  5. Read the content on the web page and verify whether it suits your needs

Which of the letters below shows the correct order of the steps to be followed?

  1.              v, ii, i, iii, iv
  2.              i, ii, iv, iii, v
  3.              iv, ii, I, iii, v
  4.              iv, iii, i, iii, v
  5.              v, i, ii, iii, iv
  1.           The following are precautions to take for long term safe keeping of the television, except..........
  1.              Keeping the television in a safe and dry environment
  2.              Switching off the television when not in use
  3.              Covering the television to protect it from dust
  4.              keeping the television in a area with enough air circulation
  5.              keeping the television near fire to keep it warm
  1.           The following are among the components of the blood circulatory system:
  1.              The heart, white blood cells and blood
  2.              White blood cells, red blood cells and blood vessels
  3.              The heart, lungs and blood
  4.              Living blood cells, water and the heart
  5.              The heart, blood vessels and blood
  1.           Waste products filtered by the kidney are transported to the urine bladder through pipes known as
  1.              Bronchioli
  2.              Urethra
  3.              Oesophagus
  4.              Ureters
  5.              Fallopian tubes
  1.           Figure 5 below is a diagram of a human tooth. Study it and answer the question that follows.

 

Letter Z in the figure represents ............

  1.              Layer
  2.              Tooth head
  3.              Root
  4.              Blood vessel (blood vessels and nerves)
  5.              Gum
  1.           Which part of the heart is heart is responsible for pumping blood to all parts of the body?
  1.              Left auricle
  2.              Left ventricle
  3.              Right auricle
  4.              Right ventricle
  5.              Vena cava
  1.           The ...... helps us to look for specific information on the internet using a keyword
  1.              Television
  2.              Word program
  3.              Spreadsheet program
  4.              Email
  5.              Search engine
  1.           The rusting of iron is an example of a ....... change.
  1.              Chemical
  2.              Physical
  3.              Colour
  4.              Liquid
  5.              Density
  1.           What measures should be taken to prevent malnutrition?
  1.              Eating a lot of food
  2.              Educating parents about a balanced diet
  3.              Keeping our environment clean
  4.              Keeping our bodies clean
  5.              Eating roasted and good-smelling foods

 

SECTION B

In questions 41 – 45, write the correct answer in the space provided.

 

  1.           (i) A change of matter that does not lead to change in mass in known as:

(ii)Kwashiorkor is a malnutrition disorder caused by:

  1.           (i)Which nutrients are available in foods that build the body?

(ii)Study the following food chain:

PLANTS  BUFFALO CHEETAH

If all the cheetahs leave the environment, what will happen to the:

  1.               Number of plants?
  2.               Number of buffaloes?
  1.           Study the following figure carefully then answer the questions that follow.

 

 

 

 

  1. The figure above shows machines used to generate electricity using .......
  2. Why is the energy used by the above machine said to be more reliable than that due to wind or waves? ........
  1.           (i)When hydrogen and oxygen gases combine, they form a compound called .........

(ii) ................ is the most abundant gas in the atmosphere 

  1.           Study the diagram below carefully and answer the questions that follow:

  1.               What is the name of the cells marked P?
  2.              What is the function of the part marked X?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SCIENCE EXAM SERIES 76

UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

 TERMINAL EXAMINATIONS MAY

CIVIC & MORAL EDUCATION

STANDARD SEVEN 

Time 1:30 Hours

Pupil’s Name.......................................................................................................

Instructions

  1.               This paper consists of section A and B with total of forty-five questions
  2.               Answer all questions in each section
  3.               For questions 1 – 40 put your choice in the box provided
  4.               For question 41 – 45 write your answer by filling the spaces provided
  5.               All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room.

SECTION A

Choose the correct answer and write its in the space provide.

  1.               The head teachers of public schools are appointed by ..........
  1.              Regional Education Officers
  2.              Ward Education Officers
  3.              District Commissioners
  4.              District Education Officers
  5.              Minister for Education
  1.               What is the symbolic meaning of the black colour on the national flag? .........
  1.              Charcoal
  2.              Independence
  3.              People of Tanzania
  4.              People of Africa
  5.              Vegetation
  1.               The secretary of the school committee is
  1.              One of the parents
  2.              Academic teacher
  3.              Discipline teacher
  4.              Head teacher
  5.              School secretary
  1.               Why is it important to respect other people’s cultures? ..........
  1.              It creates misunderstanding
  2.              It promotes good relationship
  3.              It promotes tribalism
  4.              It promotes bad relationship
  5.              It is a way of showing outdated cultural practices
  1.               Which of the following is not a way of showing love to oneself? .......
  1.              Having enough sleep
  2.              Eating a balanced diet
  3.              Observing hygiene
  4.              Overeating
  5.              Doing physical exercises
  1.               The national symbol found at the centre of the presidential flag is ...........
  1.              Green colour
  2.              National flag
  3.              Coat of arms
  4.              The constitution
  5.              National currency
  1.               A dangerous behavior among these is ............
  1.              Eating nutritious food
  2.              Studying according to your timetable
  3.              Seeking advice
  4.              Being involved in drug abuse
  5.              Participating in group discussions
  1.               The act of pretending to believe in something but acting differently is called ..........
  1.              Transparency
  2.              Reliance
  3.              Hypocrisy
  4.              Betrayal
  5.              Integrity
  1.               Which of the following is not cyber crime?
  1.              Spreading xenophobic materials
  2.              Data espionage
  3.              Publication of pornographic materials
  4.              Spreading unconfirmed information
  5.              E-learning and commerce
  1.           A pregnant woman should patiently wait for a period of how many months before delivery? ...........
  1.              Six
  2.              Nine
  3.              Two
  4.              Seven
  5.              Ten
  1.           Which of the following is an outdated belief? ........
  1.              All people are equally important.
  2.              Doing good to others brings blessings
  3.              God is a Supreme Being
  4.              White people are better than the black
  5.              Marrying a relative is bad.
  1.           Which of the following is not a responsibility of a Tanzania High commissioner or ambassador?
  1.              Promoting Tanzanian culture
  2.              Promoting tourism
  3.              Processing travelling documents for those planning to visit Tanzania
  4.              Promoting trade between Tanzania and host countries
  1.           Having negative feelings about other people is called ..............
  1.              Love
  2.              Hatred
  3.              Jealousy
  4.              Pride
  5.              Selfishness
  1.           Appointment of a Prime Minister is done by the president but approved by ......
  1.              Cabinet
  2.              The parliament
  3.              National assembly
  4.              Speaker
  5.              Attorney General
  1.           The term of parliament refers to a period of ......
  1.              One month
  2.              Two years
  3.              Five months
  4.              Five years
  5.              Ten years
  1.           A feeling that makes children set fire on things like mattresses and clothes is called ........
  1.              Caring
  2.              Curiosity
  3.              Hatred
  4.              Bitterness
  5.              envy
  1.           Who is the secretary of the word Development council?
  1.              Councillor
  2.              Village Executive officer
  3.              Ward Executive Officer
  4.              Village chairperson
  5.              District commissioner
  1.           According to the constitution of the United Republic of Tanzania, dispensation of justice is the responsibility of ............
  1.              Parliament
  2.              The President
  3.              Chief Justice
  4.              The judiciary system
  5.              Citizens
  1.           Which of the following does not promote unity in Tanzania? .......
  1.              Celebrating National Days
  2.              Using Kiswahili language
  3.              Inter tribe marriages
  4.              Distributing national resources among few regions
  5.              Emphasizing nationality rather than tribalism
  1.           Indirect democracy is a system where leaders rule on behalf of ..........
  1.              Pupils
  2.              Government
  3.              Themselves
  4.              Parliamentarians
  1.           Visually impaired people read books written in text called .............
  1.              Encyclopaedia
  2.              Quran
  3.              Braile
  4.              Bible
  5.              Dictionary
  1.           Which of the following is not a right of a child?
  1.              To play
  2.              To get education
  3.              To be loved
  4.              To get any kind of information
  5.              To get medical care
  1.           The language which is deeply rooted rooted in all parts of Tanzania is
  1.              Sukuma
  2.              English
  3.              Chinese
  4.              Kiswahili
  5.              Chagga
  1.           Drug trafficking is a negative effect of ...........
  1.              Poaching
  2.              International relations
  3.              Globalization
  4.              Deforestation
  5.              Global peace
  1.           Who is the secretary to the district council?
  1.              District Commissioner
  2.              District Executive Director
  3.              District Education Officer
  4.              District Administrative Secretary
  5.              District Legal Officer
  1.           One advantage of collaborating in doing household chores is that ..........
  1.              Long time is used
  2.              Family ties are broken
  3.              Hatred is developed
  4.              Work takes a shorter time
  5.              Work is not well done
  1.           Analyzing things critically means .............
  1.              Having a rough idea about them
  2.              Examining them in detail
  3.              Having a glance at them
  4.              Liking them
  5.              Reading about them
  1.           A governmental organization that protects and promotes human rights among these is .....
  1.              Tanzania Women Lawyers Association
  2.              Legal Human Right centre
  3.              Commission for Human Rights and Good Governance
  4.              Tanzania Media Women Association
  5.              HakiElimu
  1.           Which of the following is a global organization that was formed on 24th October 1945?
  1.              UN
  2.              AU
  3.              SADC
  4.              EAC
  5.              Commonwealth
  1.           The following are some of the rescue equipment except .......
  1.              Fire blankets
  2.              Fire extinguishers
  3.              First Aid kit
  4.              Protective clothing
  1.           All these are importance of Cybercrime Act except .....
  1.              It reduces cyber bullying
  2.              It protects IT users
  3.              It protects human rights
  4.              It promotes standards of acceptable behavior
  5.              It reduces chances of investigating crimes
  1.           Personal ambitions on what we want to achieve in life are called....
  1.              Achievements
  2.              Goals
  3.              Life goals
  4.              Short term goals
  5.              Priorities
  1.           Helping people with special needs in our society is the responsibility of .........
  1.              Doctors
  2.              The rich
  3.              The elderly
  4.              Government leaders
  5.              All citizens
  1.           A dishonest act of using public office for personal gain is called ............
  1.              Sabotage
  2.              Crime
  3.              Corruption
  4.              Integrity
  5.              Democracy
  1.           The workers’ holiday is commemorated on .................
  1.              8th August
  2.              7th July
  3.              7th April
  4.              1st May
  5.              26th April
  1.           A man died of COVID-19 and the community forced the window to be married by another man. This cultural practice is called ..............
  1.              Second marriage
  2.              Gender discrimination
  3.              Widow inheritance
  4.              Child labour
  5.              Early marriage
  1.           The High Court of Tanzania is headed by the
  1.              Principal Judge
  2.              Chief Justice
  3.              Speaker
  4.              Resident Magistrate
  5.              Justice
  1.           An act that involves breaking the law is called.....
  1.              Evil
  2.              Crime
  3.              Act
  4.              Talent
  5.              Betrayal
  1.           The habit of exposing secret information of another person is called .....
  1.              Love
  2.              Resilience
  3.              Optimism
  4.              Betrayal
  5.              transparency
  1.           Who among the following are not the needy people in the community?
  1.              Orphans
  2.              Fire victims
  3.              The elderly
  4.              The rich
  5.              Street children

 

SECTION B

Read the passage below and answer the questions that follow.

Election is a legal procedural process of obtaining representative leaders. General elections in Tanzania take place after every five years.

 

Tanzania is a multi-party state. This means it has many political parties. Out of all the parties, there is only one party that rules. The party in power in power is called the ruling party. The system of multi-partism was reintroduced in the year 1992. The first multi-party elections were held in the year 1995. The political party which has been in power for a long time is Chama cha Mapinduzi. Its closest competitor is Chama cha Demokrasia na Maendeleo. All political parties must be registered by the registrar of political parties in order to operate.

 

Questions

  1.           The political party in power is known as ...................
  2.           When was the multi-party system reintroduced in Tanzania? .............
  3.           What do you understand by “multi-party system?” .............
  4.           According to the passage, all political parties must be registered by .............
  5.           A legal process of getting leaders by voting is called ...........

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN CIVICS EXAM SERIES 75

UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

TERMINAL  EXAMINATIONS-MAY 2023 

ENGLISH 

STANDARD SEVEN 

Time 1:30 Hours

Pupil’s Name.........................................................................................................

Instructions

  1.               This paper consists of section A and B with total of forty-five questions
  2.               Answer all questions in each section
  3.               For questions 1 – 40 put your choice in the box provided
  4.               For question 41 – 45 write your answer by filling the spaces provided
  5.               All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room.

SECTION A

Listen to the passage below being read by the teacher. Then answer question questions 1 – 5 by writing the letter of the correct answer in the space provided.

 

One day, Adili was going to school when he met a very old beggar. Adili greeted him but the old man’s voice was too low to be heard. Adili was sure that the old man was hungry. He quickly opened his bag and took out his lunch box. He handed the lunch box to him. The man thanked him and ate the food happily. After he had eaten, he returned the lunch box to Adili and Adili walked away happily. During lunch time, Adili had nothing to eat. His class teacher asked him about what had happened. Adili explained to the teacher about what had happened as other pupils listened quietly. The teacher was highly impressed with what Adili had done. He said to Adili, “You are such a kind boy”. He took Adili to the office and gave him food.

 

  1.               What is the story about?
  1.              Food
  2.              Lunch box
  3.              A boy called Adili who helped an old beggar
  4.              Class teacher
  5.              A boy who never had lunch
  1.               Why di Adili give the old beggar his food?
  1.              Because he did not want to eat that day
  2.              Because he hated eating
  3.              Because the food he had was not his favourite
  4.              Because he was sure that the old beggar was hungry and needed food
  5.              Because his class teacher had told him to do so
  1.               What did the old man do after he was given some food?
  1.              He rejected the offer
  2.              He thanked Adili and ate the food happily
  3.              He walked away
  4.              He showed disappointment
  5.              He asked for more food
  1.               How did the teacher react after hearing Adili’s story?
  1.              He punished Adili for interacting with strangers
  2.              He informed other teachers.
  3.              He told the pupils to behave like Adili
  4.              He was highly impressed with what Adili had done
  5.              He was very angry
  1.               How can you describe Adili?
  1.              He is a kind boy
  2.              He is disobedient
  3.              He loves food
  4.              He hates food
  5.              He dislikes beggars

 

Choose the letter of the correct answer and write it in the space provided

  1.               Our teacher has been ............. us for seven years.


  1.              Taught
  2.              Teaches
  3.              Teaching
  4.              Is teaching
  5.              Teach


  1.               While Allen was reading, his sister ................. some dinner


  1.              Prepare
  2.              Is preparing
  3.              Prepares
  4.              Preparing
  5.              Was preparing


  1.               These days my young brother ....... how to read


  1.              Know
  2.              Knowing
  3.              Known
  4.              Is knowing
  5.              Knows


  1.               The boy has ........... since last night


  1.              Singing
  2.              Sang
  3.              Been sung
  4.              Been singing
  5.              Sing


  1.           Our cat is ............. the car


  1.              Inside to
  2.              Out
  3.              Of
  4.              Away From
  5.              In front


  1.           That is ................ the car


  1.              John
  2.              Johns’
  3.              It John
  4.              He
  5.              John’s


  1.           The country ...... people live in peace is Tanzania.


  1.              Whose
  2.              Which
  3.              What
  4.              Who
  5.              Whom


  1.           Mangoes were ripe ...... eaten.


  1.              So to
  2.              Enough to be
  3.              Enough
  4.              So that
  5.              That


  1.           Flowers were ...... by the pupils


  1.              Watered
  2.              Watering
  3.              They water
  4.              Water
  5.              Are watering


  1.           Which of the following sentences is correct?
  1.              Although I am young, but I can play netball.
  2.              Although I am young, I can plays netball
  3.              Although I am young, I can plays netball.
  4.              Although I am young, but I can’t netball
  5.              Although am young, I can’t play netball
  1.           Amina said, “I’m much better.” The indirect speech of the sentence will be
  1.              Amina said she is much better.
  2.              Amina said that, she was better
  3.              “She was doing well”
  4.              Amina says “she was better”
  5.              Amina said that she was much better.
  1.           Juma ................ to hospital yesterday


  1.              Go
  2.              Goes
  3.              Went
  4.              Gone
  5.              Is going


  1.           The teacher is sick, ......... she?


  1.              Is
  2.              Was
  3.              Can
  4.              Isn’t
  5.              Him


  1.           Mary brought the box by ......


  1.              Herself
  2.              Himself
  3.              Themselves
  4.              Her
  5.              him


  1.           ......... is Fatuma beautiful ......... intelligent


  1.              Too .....to
  2.              So .....that
  3.              Not only ..... but also
  4.              As ....... as
  5.              Both ......and


  1.           Amour ............. a doctor. He’s teacher at the University


  1.              Aren’t
  2.              Isn’t
  3.              Doesn’t
  4.              Not
  5.              Didn’t


  1.           Please meet Jagen and Wara. ........ are from Spain


  1.              Their
  2.              Them
  3.              This
  4.              There
  5.              They


  1.           Do you have a computer? Yes, .......


  1.              I have
  2.              I got
  3.              I’ve got
  4.              I am
  5.              Am I


  1.           ....... two hundred students in our school.


  1.              They are
  2.              It is
  3.              There are
  4.              There is
  5.              Them are


  1.           Can I have ......... sugar please?


  1.              Any
  2.              A few
  3.              Some
  4.              Few
  5.              Many


  1.           We haven’t seen ............. here


  1.              One children
  2.              Any children
  3.              Some childrens
  4.              A children
  5.              Much children


  1.           What is your father? ........
  1.              He’s a techer
  2.              He’s Juma
  3.              He’s teaching
  4.              He’s at home
  5.              He is watching television
  1.           I go ...... school in Bunda


  1.              To
  2.              In
  3.              On
  4.              At
  5.              From


  1.           We have lunch ...... one o’clock


  1.              To
  2.              At
  3.              In
  4.              On
  5.              up


  1.           Motor racing is the .............. sport in the world


  1.              Expensivest
  2.              As expensive
  3.              Expensive
  4.              More expensive
  5.              Most expensive


  1.           The word “pair” means............


  1.              One thing
  2.              Two things
  3.              Three things
  4.              Four things
  5.              Five things


  1.           Your shirt is similar to mine. The word “Similar” means............
  1.              Correct
  2.              Light
  3.              Shiny
  4.              Bright
  5.              Like
  1.           Usually, the pupils play games. The opposite of “Usually” is..........


  1.              Seldom
  2.              Useless
  3.              Few
  4.              Useful
  5.              Difficult


  1.           The plural of the word “furniture” is.........


  1.              Furnitures
  2.              Tables
  3.              Furniture
  4.              Chairs
  5.              Beds


  1.           A place where milk is produced is called......


  1.              Dairy
  2.              Diary
  3.              Diaries
  4.              Supermarket
  5.              Butcher


 

SECTION B

COMPOSITION

This section has five mixed sentences. Arrange the sentences so as to make a good composition by giving them letters A – E 

 

  1.           The highest peak of Mount Kilimanjaro is 5,895 meters high
  2.           There are many mount in Africa
  3.           Mount Kilimanjaro is the highest in the continent
  4.           Its surroundings occupy 755km2 and it is an attractive area for tourists
  5.           It has two snow peaks, kibo and Mawenzi

 

SECTION C

COMPREHENSION

Read the passage below and answer the questions that follow.

Pollution is the release of unwanted materials such as plastic bags, cans, untreated waste products, and smoke into the land, atmosphere, rivers and oceans. These disturb the natural process of the earth. These materials are known as pollutants. Very often, these pollutants are waste products from industrial, agricultural or domestic processes. The earth has natural processes which are very good at breaking down and recycling natural waste. However, waste has become excessive in most places and the natural recycling systems have become overloaded.

 

There are different kinds of pollution such as air, land and water pollution. The air we breathe can be dirty and dangerous because of the pollutants it may contain. This could lead to illnesses like cancer, asthma and reduced brain growth in children. Power stations, factories, motor vehicles and fuel burning in homes are the main causes of air pollution which is carried by the wind and spread in our environment. We can stop pollution by doing the following: buy and use environmentally friendly products, never drop used materials/ containers everywhere, join in a local project to clean up your neighbourhood, save energy and remember to turn off the radio, cooking fire, TV and lights when they are not being used.

 

QUESTIONS

  1.           According to the passage, what is pollution/
  2.           Why is it important to breathe clean air?
  3.           What are pollutants?
  4.           How is polluted air carried from one place to another?
  5.           The different kinds of pollution include land, air and ............ pollution.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 74

OFISI YA RAISI

WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA MSINGI

MTIHANI WA  MUHULA WA KWANZA –MEI 2023

KISWAHILI – DARASA LA SABA

MUDA 1:30 MASAA

JINA ..................................................................  SHULE ...................................

MAELEZO

  1. Karatasi hii ina kurasa nne zenye maandishi yenye sehemu, A, B, C, D na E zenye maswali arobaini na tano (45)
  2. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  3. Kumbuka kuandika majina yako, na shule yako kwenye karatasi ya kujibia
  4. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.
  5. Tumia kalamu ya wino wa bluu au nyeusi kwa maswali yote uliyopewa.

SEHEMU A

Sikiliza kwa makini habari inayosomwa na msimamizi kisha jibu maswali 1 – 5 kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi na kuandika katika karatasi ya kujibia.

 

Utalii ni aina ya biashara. Nchi zote zilizoendelea na zinazoendelea hutumia biashara hii kama chanzo cha mapato. Nchi hizi zina vivutio vya utalii kama vile wanyama pori, milima mirefu, fukwe za kuvutia, mito na maziwa. Watalii hutumia pesa kwa ajili ya chakula, malazi, usafiri na mambo mengine. Kwa njia hii, nchii inayotembelewa na watalii hujipatia pesa nyingi.

 

  1. ............. ni aina ya biashara


  1. Ufugaji
  2. Usafiri
  3. Utalii
  4. Biashara
  5. Wanyama pori


  1. Kipi kati ya vifuatavyo si katika vivutio vya utalii?
  1. Wanyama pori
  2. Milima mirefu
  3. Mito
  4. Maziwa
  5. Watalii
  1. Nchi zilizoendelea na zinazoendelea hutumia utalii kama ............
  1. Chanzo cha mapato
  2. Biashara
  3. Chakula
  4. Mavazi
  5. Usafiri
  1. Nchi inayotembelewa na watalii hufaidika kwa .....
  1. Burudani
  2. Chakula
  3. Malazi
  4. Utalii
  5. Pesa nyingi
  1. Kwa nini baadhi ya nchi hutembelewa na walii?
  1. Kwa sababu ni kubwa
  2. Kwa sababu ni nchi zilizoendelea
  3. Kwa sababu ni nchi zinazoendelea
  4. Kwa sababu zina watu wengi
  5. Kwa sababu zina vivutio vya utalii

 

Chagua herufi ya jibu sahihi na kisha andika katika karatasi ya kujibia.

 

  1. Yule msichana anaimba vizuri. Neno lililopigwa mstari limetumika kama aina ipi ya maneno?
  1. Nomino
  2. Kielezi
  3. Kitenzi
  4. Kivumishi
  5. Kiwakilishi
  1. Sentensi ipi kati ya zifuatazo ipo katika kauli halisi?
  1. Mimi siendi
  2. Alisema haendi
  3. Ameenda.
  4. Alisema hataenda
  5. Alisema anaenda
  1. Nomino inayotokana na kitenzi “vaa” ni ipi?
  1. Nguo
  2. Valisha
  3. Kivalo
  4. Kivazi
  5. Vazi
  1. Neno lipi linakamilisha sentensi isemayo. Timu ya Taifa ingalicheza vizuri ....... mchezo.
  1. Ingelishinda
  2. Ingeshinda
  3. Ingashinda
  4. Ingalishinda
  5. Itashinda
  1. Siku ya Mei Mosi wafanyakazi walipita mbele ya Waziri Mkuu wakishikilia ..... yenye maneno ya kuhimiza kazi. Neno lipi linakamilisha sentensi hiyo?
  1. Mabango
  2. Libango
  3. Kibango
  4. Vibango
  5. Bango
  1. “Nguo yangu imechafuka sana.” Wingi wa sentensi hii ni upi?
  1. Nguo yangu imechafuka sana
  2. Nguo zetu zimechafuka sana
  3. Nguo yetu zimechafuka sana
  4. Nguo zao zimechafuka sana
  5. Nguo letu limechafuka sana
  1. Lipi kati ya maneno yafuatayo halina uhusiano na mengine?
  1. Ng’ombe
  2. Mbuzi
  3. Simba
  4. Chiriku
  5. Nyani
  1. Samaki, dagaa na nyama. Kwa neno moja huitwaje?
  1. Kitoweo
  2. Mboga
  3. Mchuzi
  4. Mlo
  5. Chakula
  1. Sentensi isemayo, “Itakapofika mchana .............. kuondoka” inakamilishwa kwa usahihi na neno lipi kati ya yafuatayo?
  1. Tuliruhusiwa
  2. Tutaruhusiwa
  3. Tumeruhusiwa
  4. Huruhusiwa
  5. Tunaruhusiwa
  1. Kinyume cha neno “duni” ni kipi?
  1. Thamani
  2. Kidogo
  3. Hafifu
  4. Kikubwa
  5. Imara
  1. Mzee Jumbe aliwapa wanae mawaidha juu ya maisha yao. Neno lililopigwa mstari lina maana gani?
  1. Mawazo
  2. Urithi
  3. Maonyo
  4. Mahubiri
  5. Hotuba
  1. Mtu anaesimamia kazi za shamba huitwaje?
  1. Nokoa
  2. Mnyapara
  3. Msimamizi
  4. Kiongozi
  5. Kiranja
  1. Pondamali ni kijana mwenye hila sana. Kisawe cha neno “hila” ni kipi?
  1. Hasira
  2. Ulafi
  3. Udanganyifu
  4. Ukorofi
  5. Ukabila
  1. “Jioni bahari ilikuwa ......... kwa hiyo wavuvi walivua samaki bila wasiwasi. Neno lipi linakamilisha sentensi hiyo kwa usahihi?
  1. Kupwa
  2. Shwari
  3. Kavu
  4. Baridi
  5. Joto
  1. Mama alijifunza kuendesha gari lakini bado hajafuzu. Neno “hajafuzu” lina maana ipi kati ya zifuatazo?
  1. Hajajua kuendesha
  2. Hajamaliza mafunzo hayo
  3. Hajapata leseni
  4. Hajahitimu mafunzo hayo
  5. Hatamaliza mafunzo haya
  1. “Kidole kimoja hakivunji chawa”. Methali hii ina maana sawa na methali ipi kati ya zifuatazo?
  1. Mchagua jembe si mkulima
  2. Kilema si ugonjwa
  3. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu
  4. Kuvunja kwa pakacha nafuu kwa mchukizi
  5. Kulia kwake ni kicheko kwetu
  1. Kifungu kipi cha maneno hukamilisha kitendawili kifuatacho kwa usahihi? Watoto wa binadamu ...................
  1. Huondoka na kurudi
  2. Wakiondoka hawarudi
  3. Hutangulia kuondoka
  4. Huchelewa kuondoka
  5. Huondoka pamoja na binamu.
  1. “Sina hali”. Nahau hii ina maana gani?
  1. Sina pesa
  2. Ninaumwa
  3. Sina ahueni
  4. Sijambo
  5. Sijiwezi
  1. “Udongo uwahi ungali maji” Methali hii ina maana gani?
  1. Udongo ukikauka unakuwa mgumu
  2. Kuchukua tahadhari kabla ya hatari
  3. Usitatue tatizo kabla ya hatari
  4. Udongo wenye maji usiuwahi
  5. Kukimbilia tatizo si kulitatia
  1. Tatizo la ufisadi limeota mizizi katika nchi yetu. “Kuota mizizi” ni usemi wenye maana gani?
  1. Kuibuka
  2. Kutoweka
  3. Kufifia
  4. Kuanza
  5. kushamiri
  1. “Mgonjwa aendapo hospitalini hapewi matibabu hadi ato chochote kwa mhudumu wa afya.” Nahau ipi inaelezea hali hiyo?
  1. Kutia mkono kizani
  2. Kuzunguka mbuyu
  3. Kuua tembo kwa ubua
  4. Kujikaza kisabuni
  5. Kutoa ni moyo
  1. Katika methali zifuatazo ni methali ipi ambayo haifanani na zingine?
  1. Mlilala handingwandingwa mwenye macho haambiwi tule
  2. Usimwamshe aliyelala
  3. Mwenye uchungu hambiwi liwa.
  4. Asiyeuliza hanalo ajifunzalo
  5. Mtaka cha mvunguni sharti ainame
  1. Neno lipi linakamilisha methali isemayo: Ndugu chungu jirani? ......
  1. Ndugu
  2. Rafiki
  3. Jamaa
  4. Mkungu
  5. Kinu
  1. Tegu kitendawili kisemacho “Ajihami bila silaha”kwa kuchagua neno sahihi kati ya yafuatayo:
  1. Nyoka
  2. Mbwa
  3. Kinyonga
  4. Paka
  5. Mjusi
  1. Tegua kitendawili kisemacho “Maskini huyu hata umchangie namna gani haridhiki”, kwa kuchagua neno moja kati ya yafuatayo:
  1. Tumbo
  2. Macho
  3. Pua
  4. Masikio
  5. Mdomo

 

Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu maswali 31 – 35 kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika karatasi ya kujibia.

 

  1. Heshima kitu muhimu, anachohitaji mtu

Inatakiwa kwa hamu, ili kuujenga utu,

Jambo hili ufahamu, usijedharau mtu

Ukitaka heshimiwa, nawe heshimu wengine

 

  1. Huinunui heshima, bure inapatikana

Wewe uyatende mema, fanaka kwake Rabana 

Mdogo hata mzima, onyesha pendo mwanana

Ukitaka heshimiwa, nawe heshimu wengine.

 

  1. Shairi hili lina jumla ya beti ngapi?
  1. Nne
  2. Tatu
  3. Moja
  4. Mbili
  5. Sita
  1. Mshororo mmoja wa ubeti una jumla ya mizani ngapi
  1. 8
  2. 6
  3. 16
  4. 10
  5. 12
  1. Neno Rabana katika ubeti wa pili linamtaja nani?
  1. Mungu
  2. Miungu
  3. Mfalme
  4. Baba
  5. Malenga
  1. Kibwagizo au kiitikio cha shairi hili ni;
  1. Uheshimu watu
  2. Heshima kitu cha bure
  3. Ukitaka heshimu wengine
  4. Heshima
  5. Ukitaka heshima nawe heshimu wengine.
  1. Kichwa cha shairi hili ni:
  1. Kupata heshima
  2. Heshima
  3. Heshimu wengine
  4. Dira ya heshima
  5. Heshima ni utu

 

SEHEMU B

UTUNGAJI

Umepewa Insha yenye sentensi tano (5) zilizoandikwa bila mtiririko sahihi wa mawazo zipange sentensi hizo ili ziwe na mtiririko wenye mantiki kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E ili kujibu maswali 36 – 40 

 

  1. Tutaendela kusaidiana na kushirikiana katika mambo mbalimbali hasa katika shughuli za kiuchumi, kielimu na kijamii
  2. Kumekuwa na mwingiliano wa tamaduni za kigeni katika nchi zetu mfano mavazi, lugha, ngoma, nyimbo, mila, na desturi.
  3. Lakini katika kijiji chetu cha tupendane tumeamua kudumisha upendo na ushirikiano miongoni mwetu
  4. Baadhi ya misingi mizuri ya maisha imevurugwa
  5. Mambo mengi yaliyotokea na yanayoendelea kutokea yameathiri sehemu ya utamaduni wetu.

 

SEHEMU C

UFAHAMU

Soma habari ifuatayo halafu jibu maswali (41 – 45) kwa kuandika jibu sahihi katika karatasi yako ya kujibia.

 

Kijana Makubwa alikuja juu katika kushikilia tabia yake ya ufedhuli na maringo. Kwa kuwa alikuwa msomi, hakudiriki kufumbata jembe na kulima shambani pamoja na wazazi wake. Yeye katika mawazo yake aliona kuwa alihusika na kwenda mjini kutafuta ya ukarani. Aidha Makubwa alikuwa akiwaudhi wengi kijijini, alipozungumza nao aliwamung’unyia Kiswahili kwa majivuno na ukaidi sana. Matendo na mwendo wake vilionesha kuwa alijiona mtu wa maana sana kuliko wengine na alijawa na mawazo kemkem ya ukubwa wa Madaraka.

 

Shuleni kwake, kama kijijini, Makubwa alipeanda maisha ya huria, kutenda lolote alilotaka akilini mwake. Mara nyingi alikuwa kiguu na njia, hakupenda kutulia mahali pamoja. Alikuwa hajali sheria,aliamka, alisomea alipopataka na kujivali alivyotaka. Yeye kila wakati alipenda starehe. Kazi alikuwa hafanyi, hata akazoea kusingizia mvua kwa kila wajibu ambao hakuutimiza. Lakini siku zake arobaini ziliwadia, shule haikuweza kumvumilia tena kijana Makubwa aliyependa huria kuliko nidhamu iliyokubalika na wengi. Shuleni kwake alipigwa kalamu nyekundu. Bila shaka kijijini walianza kusema, “Aliye juu mgoje chini”. Wengine walisema “Msiba wa kujitakia hauna kilio”

 

MASWALI

  1. Makubwa hakuweza shughuli za kilimo kwa sababu .............
  2. Makubwa alikuwa na tabia gani ambayo haikupendeza huko shuleni? .........
  3. Mwandishi anasema, “Alijawa na mawazzo kemkem ya ukubwa wa Madaraka” Maana ya neno kemkem ni ipi? .......................
  4. Kwa maoni yako kichwa habari hii kinaweza kuwa kipi? ...........
  5. Fundisho unalolipata katika habari hii ni “Wanafunzi tuwe na: ...............

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 73

TERMINAL EXAMINATION JULY 2022

STANDARD SEVEN

SUBJECT: SCIENCE AND TECHNOLOGY TIME:1:300 HRS

 

SECTION A: choose the correct answer among the alternative given and shade its letter to the OMR given

  1. Why it is advised to boil drinking water? A) To make it clean B) To make clear C) To make water safe D) To make water warm
  2. Why is Carbon dioxide important to plants A) Helps in formation of flowers B) Help in pollination C) Helps in respiration D) Help in fruit formation E) Help in Photosynthesis
  3. The gas responsible for adding fertility as Nitrate salts in soil is ___ a) Hydrogen ) Nitrogen C) Oxygen D) Carbon dioxide
  4. The Most important requirements for life are ___ A) Water, Food and air B) Vitamins, Water and air C) Protein, Carbohydrate and Minerals D) Water, Air and Fruits E) Air, Clothes and light
  5. In which class of lever is an axe placed? A) First class B) Second class C)Third Class D) Forth Class E) Fifth class
  6. The part of the tongue marked x detects taste sensation called ___

       C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031015491.jpg  A)Pain B) Salty C) Bitter D) Sweet E) Sour

  1. A bat have different characters of being birds or being animal. So scientifically you can classify bat in which group of Animals? A) Reptiles B) Mammals C) Birds D) Amphibian E) Owls
  2. The combination of following factors is necessary for the production of Carbohydrates in Plants A) Oxygen, Chlorophyll and water B) Carbon dioxide and water C) Carbon dioxide, Water and sunlight D) Chlorophyll, water and Sunlight E) Chlorophyll, Starch and sunlight
  3. Family Planning in Human being is so important. Which one is the best importance of family Planning?) It Help family to own a house and car B) It Increase the Number of Children in the family C) It helps families to achieve their goals of life D) It enables families to get essential requirement E) It gives happiness to family
  4. Suppose the work done by wind to move an empty tin though a distance of 200cm in its direction is 100J. Find the Force of the Wind? A) 0.5 N B) 25N C)50N D) 20,000N/J
  5. There are different methods for separating the mixture in Physical changes in such as shown picture below: Which Physical Changes are shown below: A)Decantation B) Winnowing C) Distillation D) Filtration E) Using Separating Funnel

        C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031015480.jpg

  1. There are different advise which were given to HIV/AIDS victims which one are not required to be given? A) To use drugs as instructed by experts B) To have lovers who have tested their blood C) To accept themselves D) To eat a balanced diet and examine his/ her health frequently
  2. There are many colour shown in the warning signs which one is the dominant colour in the warning signs? A) Yellow B) Red C) Green D) Blue E) White
  3. There are different meanings of AIDS, Which one is correct among the alternative given A) Absence of Body immunity  B) Loss of body immunity C) High body Immunity D) Deficience of body Immunity E) Availability of body immunity
  4. The warning sign have a lot of meaning in the environment the red colour shows that __ A) Danger B) Pass C) Wait D) Go
  5. After frog get fertilized its embryo is Called A) Nymph B) Locust Larva C) Maggot D) Tadpole E) Egg
  6. Many living organisms destroy our environment so which one is said to be the leading contributor of environment so which one is said to be the leading contributor of Environmental destruction? A) Trees B) A cow C) a Human being D) a Ostrich e) An Elephant
  7. A Cockroach has many stages in growth, which one is the second stage in its growth? A) Nymph B) Locust Larva
    C) Maggot D) Egg E) Cockroach
  8. Change 167 0___ A) 1000C B) 1200C C) 1500C D) 1080C E) 750C
  9. The Following are sources of electric energy production except: A) Waterfall B) Solar Energy C) Thunder D) Fuel
    E) Wind
  10. In which substances among the following does heat travel by conduction? A) Water and Iron B) Iron and Aluminium C) Aluminium and Vapour D) Air and Water E) Air and Iron
  11. A large portion of biogas is ___ A) Carbon dioxide B) Oxygen C) Nitrogen D) Methane E) Vapour
  12. Kimolo used 50 Newton to push a wall all the day without success, which event do you describe? A) Kimolo did work B) Kimolo used a lot of force C) Kimolo did not work D) Kimolo did useful work E) Kimolo used a small force
  13. If the incident angle is 600 what will be the reflected angle in a place mirror? A) 90B) 40C) 1200 D) 60E) 45 F) 300
  14. Study the figure 3 below then answer the question that follows: If the current flowing through the circuit is 5 amperes, What is the resistance of the circuit ( In Ohms)? 

 

 

 

                                                                  


 

  1. 100 B) 50 C) 10 D) 4 E) 0.4
  1. Which form of matter is the lightest? A) Liquid B) Ice C) Air D) Water E) Solid
  2. Study figure 4 below then answer the question which follows

C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031016020.jpg

The aim of the experiment in this figure is to find A) The Volume of the eureka can B) The amount of air in the eureka can C) The volume of the stone D) The surface area of the stone E) The perimeter of the stone

  1. The following are the types of search engines in the world which one is not? A) Google B) Mozilla Firefox C) Yahoo D) Bing E)Ask
  2. Hemoglobin is a compound found in blood in the A) White blood cells B) Red blood cells C) Blood Plasma D) Yellow bone marrow E) Body cells
  3. What kind of kind of food is a pregnant woman advised to eat? A) Protein B) Carbohydrate C) Iron and Mineral food D) Fat E) Vitamin 
  4. What is the name of the gas which supports combustions A) Oxygen B) Ozone C) Nitrogen D) Hydrogen
  5. The process of getting dissolved substances from the soil by plants is known as: A) Osmosis B) Sucking C) Diffusion D) Absorption E) Photosynthesis
  6. A chameleon usually changes its colour in order to A) Search for food B) Breath C) Reproduce D) Observes enemies E) Protect itself
  7. The Motor in the blender convert electrical energy into ___ A) Heat energy B) Mechanical energy C) light energy
    D) Potential Energy E) Chemical Energy
  8. Resident of Kairuki eat beans, Meat and rice. For better health, they need to add A) Fish B) Green Vegetables
    C) Chicken D) Bread E) Cow Peas

 

  1.            This symbol in Microsoft excel indicates A) Average B) Difference C) Autosum D) Take away  E) Mouse

 

  1. Calculate the velocity ration of the machine given that its efficiency is 40% and mechanical advantage of 2 A) 2 B) 5 C) 2.5 D) 5.2 E) 20
  2. Vari cella zoter is a virus which cause the disease called ______ A) Sore throat B) Chicken pox C) Measles
    D) Whooping Cough E) Tetanus
  3. Which one of the following Condition is not required by a germinating seed? A) Moisture B) Oxygen C) Water
    D) Suitable Temperature E) Sunlight
  4. The SI Unit of Density is ___ A) Glm3 B) Kg/m C) Kg/m3 D) glcm E) Kg/cm3

“SECTION B” In questions 41 – 45, write the correct answer in the space provided

  1. Why pregnant woman advised to test HIV/ AIDS?
  2. When gas that is breathed out (expired) is passed through lime water, the colour of the lime water turns ________
  3. Identify two insects which ander go incomplete metamorphosis
  1. _______________
  2. ________________
  1. Use the following diagram to find the value of X

  45.This sign is likely to find at_____________

 

             C:UsersNEVIJADesktopmekisspng-smoking-ban-sign-no-symbol-no-smoking-signs-5b1fd0715a9be5.9041592615288116333712.jpg                                                                                                          

 

 

Majibu

  1. C
  2. E
  3. B
  4. A
  5. C
  6. E
  7. B
  8. C
  9. D
  10. C
  11. D
  12. B
  13. A
  14. D
  15. A
  16. D
  17. C
  18. A
  19. E
  20. C
  21. B
  22. D
  23. C
  24. D
  25. D
  26. C
  27. C
  28. C
  29. B
  30. A
  31. A
  32. A
  33. E
  34. B
  35. B
  36. C
  37. B
  38. B
  39. E
  40. C
  41.  
  1. Kujua  afya yake    /to know her health
  2. Kumlinda mtoto dhidi ya  maambukizi  /to prevent ageinst HIV.
  1. Nyeupe /white
  2.   
  1. Mende/cockroach
  2. Panzi /grasshopper
  1. Gramu 350
  2. –vituo vya mafuta   /petrol filling station

-uwanja wa ndege  / air port

-shuleni    /school

- Hospitali  /hospitar.

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SCIENCE EXAM SERIES 62

MTIHANI WA DARASA LA SABA 2022

SOMO SAYANSI NA TEKNOLOJIA

SEHEMU A: chagua jibu lililosahihi kati ya machaguo uliopewa na weka kivuli herufi ya jibu sahihi kwenye karatasi ya kujibia

  1. Kwa nini inashauriwa kuchemsha maji ya kunywa? A) Ili yawe safi B) Ili maji yasiwe na mchanganyiko C) Ili maji yawe salama D) Ili maji yapate joto
  2. Kwa nini hewa ya Kabonidioksidi ni muhimu kwa mimea?
    A) Inasaidia kutengeneza maua B) Inasaidia katika uchavushaji C) Inasaidia katika upumuaji D) Inasaidia kutengeneza matunda E) Inasaidia katika usanishaji wa chakula cha mimea
  3. Gesi inayohusika kuweka mbolea yenye chumvichumvi ya nitrati katika udongo ni A) Hidrojeni B) Naitrojeni C) Oksijeni
    D) Kabonidiokside
  4. Mahitaji muhimu zaidi kwa maisha ili uweze kuishi ni __
    A) Maji, Chakula na Hewa B) Vitamini, Maji na hewa C) Protini, Wanga na Madini D) Maji, Hewa na matunda E) Hewa, Nguo na Mwanga
  5. Shoka lipo katika kundi la nyenzo daraja la ngapi?A) Daraja la Kwanza B) Daraja la pili C) Daraja la tatu D) Daraja la nne
    E) daraja la tano
  6.  Sehemu ya ulimi iliyowekwa herufi X inatambua ladha ya __

A)Kuumia B) Chumvi C) Chungu D) Utamu E) Chachu

C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031015491.jpg

  1. Popo anasifa mbalimbali ya kuitwa  ndege au mnyama. Je Kisayansi popo yupo katika kundi lipi la wanyama?A) Reptilia
    B) Mamalia C) Ndege D) Amfibia E) Njiwa
  2. Muunganiko ufuatao ni muhimu kwa mimea ili ijitengenezea  chakula chake cha wanga A) Oksijeni, Umbijani, maji B) Kaboni Dioksidi na maji C) Kabonidioksaidi, Maji na Mwanga wa Jua
    D) Umbijani, Maji na Mwanga wa Jua E) Umbijani, Wanga na Mwanga wa jua
  3. Uzazi wa mpango ni muhimu sana kwa binadamu. Kipi ni umuhimu haswa kwa uzazi wa mpango?A) Ili familia imiliki nyumba na gari B) Kuongeza idadi ya watoto C) Ili familia ifikie malengo ya maisha D) Ili familia ipate mahitaji ya msingi na ya muhimu E) Ili kuipa familia furaha
  4. Ikiwa kazi iliyofanywa na upepo ya kusukuma debe tupu kwa umbali wa sm 200 katika uelekeo wake ni joule 100.tafuta nguvu ya upepo huo a)0.5N b)N25c)N50d)N20000J
  5. Kuna njia tofauti ya kutenga mchanganyiko katika badiliko la kiumbo kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini : Je picha hii inaonyesha njia ipi ya kutenga mchanganiko?
  1. Kukamua B) Kupepeta C) Prediketo  D)Kuchuja  e)Kutumia bomba chujio

 

C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031015480.jpg

  1. Ushauri mwingi unaotolewa kwa waathirika wa UKIMWI je ni ushauri upi haupaswi kupewa?A) Kutumia dawa kama wanavyoshauriwa na wataalamu B) Kuwa na mpenzi ambaye amepima Damu C) Kujikubali wenyewe D) Kujilinda wenyewe na kuishi kwa matumaini E) Kutumia mlo kamili na kukagua afya mara kwa mara
  2. Kuna rangi nyingi zinazoonyeshwa kwenye alama za tahadhari je, rangi ya msingi ya alama za tahadhari ni A) Njano
    B) Nyekundu C) Kijani D) Bluu E) Nyeupe
  3. Kuna maana nyingi ya neno UKIMWI , Je Lipi ni mana sahihi? A) Ukosefu wa kinga mwilini B) Upotefu wa kinga mwilini
    C) Kinga kubwa mwilini D) Upungufu wa kinga mwilini
    E) Uwepo wa kinga ya mwili
  4. Rangi nyekundu katika alama za tahadhari humaanisha
    A) Hatari B) Pita C) Subiri D) Nenda
  5. Baada ya chura kuzalishwa kijusi chake huitwa ___ A) Nimfa
    B) Nzige C) Buu D) Kiluwiluwi E) Yai
  6. Viumbe hai wengi wanaharibu mazingira kiumbe hai yupi anaongoza kuharibu mazingira?A) Miti B) Ng’ombe
    C) Binadamu D) Mbuni E) Tembo
  7. Mende ana hatua nyingi katika ukuaji wake, je hatua ya pili ni A) Nimfa B) Nzige C) Kiluwiluwi D) Yai
  8. Badili nyuzi 167f kuwa sentigredi A)100 0 B)120 0C C)150 0C d)108 0c E)75 0 C
  9. Zifuatazo ni chanzo cha nishati umeme katika uzalishaji isipokuwa A) Maporomoko ya maji B) Mwanga wa jua C) Radi d) Mafuta E) Upepo
  10. Kipi kati ya vitu vifuatavyo ambacho husafirisha joto kwa njia ya mpitisho?A) Chuma na maji B) Chuma na Alumini C) Alumini na Umande D) Hewa na maji E) Hewa na chuma
  11. Sehemu kubwa ya gesi asilia ni A) kabonidayoksaidi B) Oksijeni C) Naitrojeni D) Methanoli E) Umande
  12. Kimolo zilitumia kani ya 50 newton ili kusukuma ukuta kwa siku nzima bila mafanikio, Je tukio gani litatokea? A) Kimolo kafanya kazi B) Kimolo katumia nguvu kubwa C) Kimolo hakufanya kazi yoyote D) Kimolo kafanya kazi nzuri E) Kimolo katumia nguvu kidogo
  13. Ikiwa pembe ya mwanga kutua ni 600, je pembe ya mwanga kujitokeza ni ngapi katika kioo bapa?A) 900 B) 400 C) 1200
    D) 600 E) 450 F) 300
  14. Soma sakiti rahisi ya umeme hapa chini kisha jibu maswali Ikiwa Mkondo wa umeme ni Ampea 5, Je Ukinzani wa mkondo wa umeme ngapi katika Ohm

 

 

 

  1. 100 B) 50 C) 10 D) 4 E_ 0.4
  1. Je, aina ipi ya maada ni nyepesi?A) Kimiminika B) Barafu
    C) Gesi D) maji E) Yabisi
  2. Jifunza jedwali la jaribio lifuatalo kisha jibu maswali yanafuata lengo la jaribio hili ni kutafuta

C:UsersNEVIJADesktopSKMBT_C22022031016020.jpg

A)Ujazo wa beseni B) Kiasi cha hewa kwenye beseni C) Ujazo wa jiwe D) Eneo la nje la jiwe E) Mzingo wa jiwe

  1. Yafuatayo ni aina ya injini pekuzi katika dunia, kipi siyo chenyewe A) Google B) Mozilla firefox C) Yahoo! D) Bing
    E) Uliza
  2. Himoglobini ni kompaundi inayopatikana katika damu ipi?
    A) Chembe hai nyeupeB) Chembe hai Nyekundu C) Plazima
    D) Uroto wa mifupa E) Seli za mwili
  3. Mwanamke mjamzito anapaswa kutumia aina ipi ya chakula?
    A) Protini B) Wanga C) Madini ya Chuma D) Fati E) Vitamin
  4. Ni aina ipi ya gesi ambayo husaidia katika kuunguza vitu?
    A) Oksijeni B) Ozoni C) Naitrojeni D) Hydrojeni
  5. Kitendo cha kupata vitu vilivyochanganywa kwenye udongo kwa mimea ni A) Osmosis b) Kufyonza C) Difyusheni
    D) Kumeng’enywa E) Fotosinthesisi
  6. Kinyonga hubadili Rangi yake kwa sababu __ A) Kutafuta chakula B) Kupumua C)Kuzaliana D) Kuangalia adui
    E) Kujikinga mwenyewe
  7. Mota katika blenda hubadilisha nishati ya umeme kuwa :-
    A) Nishati ya Joto B) Nishati ya mekanika C) Nishati ya Mwanga D) Nishati ya Potenshali E) Nishati ya Kemikali
  8. Familia ya Kairuki hula maharage, Nyama na Wali, Kwa afya nzuri anatakiwa kuongeza A) Samaki B) Mboga za majani
    C) Kuku D) Mkate E) Nyama ya Ng’ombe

  

  1.         Alama hii katika tanakilishi inatumika kutafuta
    A) Wastani B) Tofauti C) Jumla D) Kubeba E) Kipanya
  2. Tafuta uwiano wa mwendo dhahiri wa mashine ikiwa ufanisi wake ni 40% na manufaa ya kimakanika ni 2 A) 2 B) 5 C) 2.5 D) 5.2 E) 20
  3. Kirusi cha varisellas husababisha ugonjwa unaoitwa __
    A) Dondakoo B) Tetekuwanga C) Surua D) Mafua E) Pepopunda
  4. Mimea inayotaka kuota haihitaji vitu gani?A) Joto la wastani
    B) Umande C) Oksijeni D) Maji E) Mwanga wa jua
  5. Je, tungamo hupimwa katika A) Glm3 B)Kg/m C) Kg/m3
    D) g/cm E) Kg/cm3

SEHEMU “B” kwa swali la 41 – 45 andika herufi ya jibu sahihi kwenye sehemu iliyoachwa wazi

  1. Kwanini mwanamke mjamzito anashauriwa kupima UKIMWI?
  2. Wakati unapumua, Gesi inayotoka nje inapopitia kwenye maji hubadilisha rangi ya maji kuwa ____________
  3. Taja wadudu wa wili ambao hupitia metamofosisi isiyo kamili
  1. _______________________
  2. _______________________
  1. Tumia kielelezo hii kujibu swali lifuatalo

                                 

Tafuata thamani ya herufi “X”

  1. Alama hii mara nyingi huonekana katika eneo la ______________________

            C:UsersNEVIJADesktopmekisspng-smoking-ban-sign-no-symbol-no-smoking-signs-5b1fd0715a9be5.9041592615288116333712.jpg

 

 

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 61

 

 WIZARA YA ELIMU

MTIHANI WA SAYANSI MACHI 2021

 DARASA LA VII

 

JINA LA MTAHINIWA: ________________

  JINA LA SHULE: _____________________

 

SEHEMU A: 

CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI

  1. Mazoezinimojawapoyakupunguza …….….. [a] kutapika  [b] kuzirai  [c] kukazakwamisuli  [d] kuharisha  [e] kutokwanadamupuani
  2. Vyakulavyenyekabohadretihuwezeshamwili ……………..

[a] kuhimilimagonjwa[b] kuwanajoto[c] kukuakwaharaka  [d] kuwananguvu[e] kuwanyoronyoro

  1. Tofautikatiyatundanambeguni ………………

[a] mbeguinatundandani  [b] tundahuota  [c] tundalinakotiledonimbili   [d] mbeguhuota[e] mbeguhaziliwi

  1. Sehemuya kike yauainayohusikanauzazini ………………

[a] stameni [b] staili   [c] ovari   [d] petali   [e] sepali

  1. Sehemuyachembehaiinayohusikanakutawalashughulizote za chembehaihuitwa …… [a] saitopralazimu  [b] vokuili   [c] kloroplasti  [d] kiwambo cha seli   [e] nyukliasi
  2. Mtotomwenyemategeamepungukiwana vitamin ................

[a] K  [b] D  [c] A  [d] B  [e] C 

  1. Ukosefuwa vitamin B husababishaugonjwawa ………... [a] utiwamgongo  [b] vidondavyatumbo  [c] surua  [d] trakoma   [e] beriberi
  2. Faidamojawapoyavyakulavyaprotinikatikamiiliyetuni ……….…. [a] kukingamwilidhidiyamagonjwa  [b] kukuanakukarabatichembehai  [c] kutianguvu  [d] kuongezekauzito  [e] kutiajoto
  3. Lipikatiyamakundiyafuatayolinawakilishasifa za viumbehai ………  [a] kufa, kula nakuona                     [b] kufa, kuzaanakubadilikarangi [c] kupumua, kuisinakusikia          [d] kupumua, kuzaanakutembea   [e] kujongea, kupumuanakuzaa.
  4. Damuhuchukuaoksijeninakutoakabonidaiyoksaidikupitia ……..        [a] viribahewa  [b] kuta za mapafu   [c] koromeo  [d] kapilari  [e] pua
  5. Kukosekanakwachanikiwitikatikammeahuwezakusababisha ……… [a] mmeakukosamadinijoto   [b] mmeakushindwakusanisichakula  [c] majaniyammeakukauka    [d] majaniyammeakuwanjano              [e] majaniyammeakupukutika
  6. Fototropizimunikitendo cha mmeakuotakuelekeakwenye ……..        [a] mwanga  [b] kaniyamvutano  [c] maji  [d] giza  [e] photosinsensisi
  7. Watuwanaostahilikutoahudumaya kwanza ni ……….… [a] waganga  [b] wauguzi  [c] mtuyeyote  [d] wakunga  [e] msalabamwekundu
  8. Ugonjwaunaotokananamatatizokatikamfumowaupumuajini …..    [a] malaria kali   [b] kuzimia   [c] kifafa  [d] kisukari  [e] pumu
  9. Sautiinayosikikakwa mara ya pili baadayakuungurumahuitwa …….[a] radi  [b] ngurumo  [c] mwangwi  [d] mtu  [e] tetemeko la ardhi
  10. Ni tezikuuinayotawalautendajikaziwatezizingine …….

[a] pituitali  [b] thairoidi  [c] parathairoidi  [d] kongosho  [e] adrenali

  1. Madiniyapinimagumuzaidiyamenginekatiyayafuatayo;..

[a] ulanga  [b] dhahabu  [c] chuma  [d] makaa [e] almasi

  1. Kizio cha ukinzanini ……. [a] amita  [b] voltimita  [c] volt  [d] wati   [e] ohm
  2. Uyeyushajiwachakulachenye wanga huanzakwenye ..... [a] mdomo  [b] utumbomkubwa  [c] damu   [d] tumbo   [e] utumbomwembamba
  3. Nishatiambayohuwezakupenyakatikabaadhiyavitukamamaji, glasinahewani …………....

[a] umeme  [b] mwanga  [c] upinde  [d] sauti  [e] ngurumo

  1. Kuna aina ngapi za uchavushaji? …………….

[a] tano  [b] nne  [c] mbili  [d] tatu  [e] sita

  1. Mojawapoyahudumamuhimuyakumpamtuanayeungua moto ni …… [a] kumwagiamaji        [b] kumfunikanguo        [c] kumwagiahasadi  [d] kumfunikablangeti  [e] kumpakaasali
  2. Vimeleavinavyoharibuchembeahainyeupe za damuni ………...

[a] bacteria  [b] VVU  [c] plasm  [d] amiba  [e] kuvu

  1. Virusivya UKIMWI ushambuliaainaganiyadamu?  

[a] chembesahani            [b] chembehainyeupe           [c] chembehainyekundu   [d] hamoglobini  [e] plazimu

  1. Mchanganyikowagesimbalimbalikwapamojahuitwa …………….. [a] oksijeni  [b] haidrojeni   [c] hewa  [d] naitrojeni  [e] maada
  2. Lipikatiyayafuatayosiobadiliko la kikemikali……………………….

[a] kuozakwa taka   [b] kuchachakwamaziwa  [c] kuunguakwamkaa [d] kuyeyukakwasukari  [e] chumakupata kutu   

  1. Ni kifaaganihutumikakukuzataswirayaviolowaanuwai?

[a] darubini   [b] hadubini   [c] periskopi  [d] prizimu  [e] lenzi

  1. Samaki hupataoksijenikutokakwenyemajikwakupitia ……

[a] pua    [b] spirako  [c] matamvua  [d] mkia  [e] mapenzi

  1. Ugonjwaunaoambukizwana bacteria nahuwapatawatotowadogowenyechiniyamiakamiwili ……….…..

[a] kifadulo  [b] pepopunda   [c] surua  [e] tetekuwanga

  1. Ili kuhifadhimazingirajamboganilifanyike? ………………….[a] kutumiambolea  [b] kufugawanyamawengi  [c] kupandamitinanyasi  [d] kutupatakatakaovyo  [e] kukatamiti
  2. Sehemutupuiliyopokatikachupaya chai ambayohuzuiakupitishwakwajotohuitwa………….

[a] mnururisho  [b] mpitisho   [c] vakyumu  [d] uwazi   [e] silva 

  1. Mtotoaliyetumbonimwa mama hupatahewanachakulakupitiakwenye [a] uterasi   [b] seviksi   [c] ovary  [d]  ureta [e] plasenta
  2. Tafutathamaniya X katikamchoroufuatao:-

 

  

 

[a] kg 18  [b] kg 16  [c] kg 14  [d] kg 0 [e] kg 900 

  1. Atomimbili za haidrojenizikiunganakikemikalinaatomimojayaoksejini, kompaundiinayotengenezwahuitwa…………..

[a] chumvi   [b] gesi   [c] aside  [d] maji  [e] besi

  1. Wakatiwausikumimeahuvutahewaya ……………

[a] nitrojeni[b] oksijeni[c] kabonidaiyoksaidi[d] sodiamu[e] haidrojeni

  1. Ni kundilipi la wanyamawenyeutiwamgongolinadamuyajotozaidi?   [a] mamalia  [b] ndege [c] samakinachura [d] chura  [e] nyoka
  2. Kitendo cha mmeakujitengenezeachakulachakechenyewehuitwa …… [a] uchamvushaji  [b] osmosisi[c] fotosinsensisi[d] mlishano  [e] umbijani
  3. Kizingitimgando cha majininyuzi ngapi?  

[a] 0  [b] 100  [c] 42 [d] -100  [e] 32 

  1. Kuna njia ngapi za uzaziuzaziwampango?           

[a] moja  [b] mbili   [c] tatu   [d] nne   [e] tano

  1. Mahitajimbalimbaliyanayotolewakwajamiiilikujengaafyahuitwa …  [a] huduma za afya      [b] huduma za kwanza   [c] msaadawaharaka  [d] uzaziwampango   [e] mazoeziyaviungo

 

SEHEMU B: JAZA NAFASI WAZI

  1. Mifupaimeundwakwamadiniya ………………..…. na ……………
  2. Alamayakikemikaliinayosimamabadalayachumviyamezanihuandikwa ……………………………………………………………
  3. Badilinyuzi 1490F kuwasentigredi ………………………………….
  4. Sehemuinayopelekamialeyamwangakwenyejichoni …………….
  5.         Tajamakundimawiliyaviumbehai  A………………   B …………

MAJIBU SAYANSI DRS VII – 2021 

  1. C
  2. D
  3. D
  4. C
  5. E
  6. B
  7. E
  8. B
  9. E
  10. A
  11. B
  12. A
  13. C
  14. E
  15. C
  16. A
  17. E
  18. E
  19. A
  20. B
  21. C
  22. D
  23. B
  24. B
  25. C
  26. D
  27. B
  28. C
  29. B
  30. C
  31. C
  32. E
  33. A
  34. D
  35. B
  36. B
  37. C
  38. A
  39. A
  40. B
  41. KALISI NA FOSFORASI
  42. NaCL
  43. 650C
  44. LENZI
  45. WANYAMA NA MIMEA

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 59

WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOGIA

  JARIBIO  LA  WIKI  MAARIFA YA JAMII

DARASA LA VII  - 2021

 

SEHEMU A


Chagua herufi ya jibu sahihi

URAIA

  1. Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama katika ngazi ya wilayani: A. Mkurugenzi mtendaji wa wilaya B. Mbunge   C. Katibu tawala wilaya   D. Mkuu wa Wilaya E. Diwani   (         )
  2. Sanaa za maonyesho hujumuisha mambo yafuatayo: A. Nyimbo, hadithi na mashairi.   B. Hadithi, ushonaji nangonjera    C. Ufumaji, michezo na ngonjera D. Uchoraji, ususi na ufinyanzi     E. Maigizo, ususi na ngoma  (        )
  3. Mazao mawili yanayooneshwa kwenye nembo ya taifa ya Tanzania ni: A. Kahawa na katani   B. Katani na karafuu    C. Karafuu na pamba    D. Chai na tumbaku   E. Pamba na kahawa  (       )
  4. Nani msimamizi mkuu wa watumishi wa umma katika ngazi ya mkoa? A. Kamanda wa polisi Mkoa    B. Katibu tawala Mkoa  C. Afisa Elimu Mkoa   D. Mkuu wa Mkoa E. Mganga Mfawidhi wa  Mkoa (      )
  5. Chombo cha serikali chenye mamlaka ya kumuondoa Rais madarakani ni  A. Bunge  B. Jeshi la wananchi    C. Mahakama  D. JajiMkuu   E. Baraza la Mawaziri.
  6. Mashirika ya Umoja wa Mataifa yanayoshughulikia Wakimbizi na Elimu, sayansi na utamadunini  A. IMF na ILO B. UNESCO  na UNICEF C. UNHCR  na UNESCO D. WHO na UNHCR  E. UNEP na FAO   (       )
  7. Mkusanyiko wa sheria ambazo huiwezesha serikali kutawala nchini huitwa: A. Kanuni   B. Dira ya taifa    C. Katiba     D. Ilani ya chama tawala   E. Sera ya Nchi     (        )
  8. Ardhi, Misitu, Maji na Madini kwa pamoja huitwa:  A. Uoto wa asili   B. Mahitaji muhimu ya binadamu  C. Hifadhi za taifa  D. Rasilimali za taifa   E. Makazi ya wanyama pori    (         )
  9. Dodoma ilitangazwa kuwa makao makuu ya nchi ya Tanzania mwaka gani? A. 1961    B. 1974   C. 2015  D. 1965   E. 1973    (         )
  10. Kuna jumla ya nchi ngapi zinazounda jumuiya ya Afrika  Mashariki?  A. 3    B. 4    C. 5    D. 6     E. 7
  11. Ni wakati gani bendera ya taifa inaweza kupandishwa nusu mlingoti?  A. Msiba wa kitaifa    B. Ziara ya Rais    C. Uchaguzi wa kitaifa   D. Kuvunjwa kwa Bunge E. Rais kuondolewa madarakani    (        )
  12. Zifuatazo ni mila na desturi zisizofaa kwenye jamii isipokuwa:  A. Ukeketaji    B. Mafunzo ya ulinzi wa jadi     C. Kurithi wa jane     D. Ubaguzi wa kijinsia   E. Ndoa za utotoni    (         )

 

HISTORIA

  1. Muunganiko wa watu wenye uhusiano wa damu na wanaishi pamoja huitwa: A. Kijiji     B. Kabila    C. Familia   D. Ukoo    E. Jamii   (       )
  2. Soko kuu la biashara ya watumwa Afrika Mashariki lilikuwa wapi? A. Bagamoyo    B. Mtwara    C. Kilwa     D. Zanzibar    E. Mombasa   (        )
  3. Nchi nyingi za Afrika zilianza kupigania uhuru wao baada ya tukio lipi kati ya haya: A. Vita ya kwanza ya dunia   B. Vita ya maji maji   C. Uhuru   D. Vita ya pili ya dunia E. Jumuiya ya Mataifa  (       )
  4. Azimio la Arusha lililenga: A. Kilimo    B. Ulinzi na amani    C. Kupinga ubaguzi wa rangi    D. Sera ya Ujamaa na kujitegemea E. Uhuru wa Tanganyika
  5. .Wafanyabiashara wa mwanzo kutoka nje ya Afrika kufika pwani ya Afrika Mashariki walitokea:  A. Ulaya     B. Asia     C. Amerika Kaskazini     D. Amerika Kusini      E. Australia    (        )
  6. Angola ilipata uhuru wake mwaka 1975 chini ya uongozi wa chama gani? A. MPLA      B.FRELIMO    C. SWAPO     D. KANU    E. CPP  (         )
  7. .Nchi mbili za Afrika ambazo hazikutawaliwa kabisa na wakoloni ni zipi? A. Tanganyika na Ghana     B. Liberia na Libya    C. Ethiopia naTanganyika  D. Liberia na Zimbabwe  E. Liberia na Ethiopia (       )
  8. Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanzania alikuwa: A. Julius Nyerere    B. Rashid Kawawa    C. John Malecela   D. Edward Moringe Sokoine E. Mizengo Pinda    (          )
  9. Mwanzilishi wa kampuni ya kibiashara ya Kijerumani Afrika Mashariki (GEACo) aliitwa: A. Karl Peters  B. Cecil Rhodes    C. George Goldie    D. William Macknon   E. Frederick Lugard   (          )
  10. .Binadamu alianza kuchoma misitu ili kuwafukuza wanyama wakali katika zama zipi za mawe?  A. Mwanzo    B. Mwisho     C. Chuma    D. Kale   E. Kati
  11. Ni jamii zipi kati ya hizi zilijihusisha na biashara ya masafa marefu? A. Wayao, Wakamba na Waha   B. Wanyamwezi, Wagogo na Wakamba   C. Wayao, Wanyamwezi na Wakamba  D. Wapare, Wajaluo na Wanyamwezi   E. Wagogo, Wasukuma na Wakamba
  12. Tarehe 12/1/1964 inakumbukwa kwa tukio lipi la kihistoria? A. Uhuru na Jamhuri   B. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar    C. Azimio la Arusha D. Mapinduzi ya Zanzibar  E. Uhuru wa Tanganyika
  13. Dhana mbili zenye kuelezea chimbuko la binadamu ni: A. Dhana ya dini na sayansi   B. Dhana ya maelezo na dini   C. Dhana ya sayansi na maelezo D. Dhana ya dini na uislamu E. Dhana ya dini na ukristo    (           )
  14. Vita vya majimaji vilipiganiwa kuanzia mwaka _______mpaka_______ A. 1906-1907    B. 1904-1908     C. 1905-1907      D. 1903-1906      E. 1906-1908    (            )

 

JIOGRAFIA

  1. Dunia inapolizunguka jua hutokea nini? A. Majira ya mwaka    B. Usiku na mchana    C. Mwezi mwandamo     D. Kupwa na kujaa kwa maji  E. Kiangazi na usiku    (         )
  2. Afrika mashariki inapatikana kwenye longitude ipi? A. 45 Magharibi B. 0C. 15 MagharibiD. 45 MasharikiiE. 30 Mashariki    (             )
  3. Nchi ya Misri huzalisha nguvu za umeme kutoka katika bwawa lipi? A. Akasombo    B. Aswan   C. Kabora Bassa   D. Owen   E. Mtera   (         )
  4. .Jua la utosi kwenye latitude ya ikweta hutokea miezi ipi? A. Januari na Februari  B. Aprili na Julai   C. Machi na Septemba   D. Julai na Februari E. Mei na Juni       (         )
  5. Picha inayoonesha misitu minene na mazao kama michikichi itakuwa imepigwa kutoka katika eneo lenye hali gani? A. Kitropiki   B. Jangwa   C. Kimeditrenian    D. Kiikweta    E. Kimonsuni (         )
  6. Sehemu ya ardhi iliyo tambarare kati ya vilele au safu za milima huitwaje? A. Bonde   B. Kigongo    C. Genge    D. Pitio   E. Uwandawajuu     (          )
  7. Maziwa yanayopatikana katika bonde la ufa la Afrika Mashariki upande wa mashariki ni: A. Natron, Eyasi na Manyara B. Natron,NyasanaRukwa C. Manyara ,Nyasa na Tanganyika D. Rukwa,Natronna Victoria E. Victoria,Tanganyikana Nyasa   (          )
  8.                                                                                                                                                                                Kifaa maalum kinachotumika kupima mwendo kasi wa upepo huitwaje? A. Haigromita    B. Kipima upepo    C. Themometa    D. Barometa   E. Anemometa     (         )
  9.                                                                                                                                                                                Ni tukio gani hutokea mwezi ukiwa kati kati ya jua na dunia?  A. Kupatwa kwa dunia  B. Kupatwa kwa jua  C. Kupatwa kwa mwezi  D. Mvua kubwa E. Tetemeko la ardhi      (           )
  10.                                                                                                                                                                                Yafuatayo ni majanga ya asilii sipokuwa: A. Vita na ajali   B. Mafuriko   C. Mlipukowa volcano  D. Tetemeko la ardhi   E. Ukame   (           )
  11.                                                                                                                                                                                Ikiwa ni saa 2 asubuhi katika mji A uliopo kwenye nyuzi 30 mashariki, je itakuwa ni saa ngapi katika mji B uliopo kwenye nyuzi 90 mashariki? A. 12 asubuhi B. 3 Asubuhi    C. 6 adhuhuriD. 9 usiku E.  9 mchana      (            )
  12.                                                                                                                                                                                Mistari ya gridi husomwa kwa tarakimu sita, je zipi ni tarakimu za mstari wa ulalo katika gridi 375746?  A. 375    B. 574    C. 746     D. 375746     E. 346 (         )
  13.                                                                                                                                                                                Mwinuko, mito, maziwa ,mabwawa na mabonde ni vitu vinavyounda nini? A. Uoto wa asili    B. Bonde la ufa     C. Tabia ya nchi     D. Vyanzo vya maji   E. Sura ya nchi      (          )
  14.                                                                                                                                                                                Iwapo kipimio cha ramani ni 1:600,000. Je, Sentimeta1 inawakilisha Kilometa ngapi? A. Km 60   B. Km 0.6   C. Km 1    D. Km 6    E. Km 6000 (       )

 

SEHEMU B:

JAZA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI

  1.                                                                                                                                                                                Mhimili wa serikali unaohusika kupokea, kujadili na kupitisha bajeti ya serikali  huitwa:......
  2.                                                                                                                                                                                Mfumo wa Ukabaila ambao msingi wake mkuu ulikuwa ni ardhi uliosha mirima eneo ya kanda ya ziwa  hulijulikana kama______
  3.                                                                                                                                                                                Lengo kuu la kusaini wa kwa mkataba wa Freire kati ya sultani wa Zanzibar na Freire mwaka 1873 lilikuwa_____________
  4.                                                                                                                                                                                Unyevu hupimwa kwa kifaa maalumu kiitwacho______________________________
  5.                                                                                                                                                                                Badili nyuzi 45 za sentigred kuwa faren haiti_______________________________


LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 58

WIZARA YA ELIMU

 MAARIFA YA JAMII                                                                                

MUDA: SAA 1:30                                                                                     

 

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina maswali ishirini na tano (45)
  2. Jibu maswali yote kwa kujaza nafasi wazi au kuandika herufi ya jibu sahihi

SEHEMU A: CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI

  1. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania wa sasa anaitwa mheshimiwa __________(A)Dr.Ally Mohamed Shein (B)Samia Suluhu Hassan (C) Dr. john Pombe Magufuli (D)Kasimu Majaliwa kasimu ( D) Hussein Ally Mwinyi  (     )
  2. Muswada wa sheria huandaliwa na ________(A)wabunge (B)spika wa bunge (C) waziri wa sheria   (D) Mahakama  (E) Watanzania  (     )
  3. kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania raia anaweza kugombea urais akiwa na umri wa miaka ______(A)21 na Zaidi   (B)50 na Zaidi  (C) 18 na Zaidi  (D) 60 na zaidi  (D)40 na zaidi   (     )
  4. Nembo  ya taifa ina vitu vifuatavyo isipokuwa _________(A)Pembe za ndovu   (B) Pamba na mahindi  (C) Mwanamke na motto  (D) Jembe na nyundo (E) Mwanamke na mwanaume  (     )
  5. Vita vilivyotokea Rwanda 1994 vilitokana na _____(A)Uchaguzi  (B)Ukabila  (C) Rushwa  (D) Ukabaila  (E) Utajiri
  6. Kundi la familia anuai lenye chimbuko moja huitwa ___________ (A) jamaa  (B)Baba  na watoto  (C)Ndugu (D)Familia  ( E) Ukoo        (     )
  7.  _______________ni kipindi Fulani cha wakati katika maisha.  (A) zama (B) zana  (C)zama za mawe ( D) zama za chuma  (E) zama za ukoloni     (     )
  8. Janga kubwa linaloitikisa dunia mpaka sasa lililotokea mwishoni mwa mwaka 2019 ni _______(A) Vuguvugu la vita vya tatu vya dunia(B) Maradhi ya UKIMWI (C)Virusi vya korona (COVID 19)  (D) Moto uliotokea katika msitu wa amazon  (E) ukame          (      )
  9. Wareno wallijenga ngome ya yesu huko ______(A)Kilwa   (B) Mombasa  (C) Bagamoyo    (D)Zanzibar  ( E) Isimila
  10. Wafuatao ni mifano ya wapelelezi isipokuwa __________(A)Joseph Thompson  (B)Dr. David Livingstone  (C) Richard Burton  (D) Carl-Peters    (E) Sir. Richard Tanbull      (     )
  11. Mashamba makubwa ya kufugia wanyama huitwa?_______________(A)Ranchi (B) kongwa (C) kiborioni (D) Ufugaji (E) zizi            (     )
  12. Mtemi isike alikuwa kiongozi wa _________(A) Bunyoro (B)Wazaramo (C)Wanyamwezi (D)Maasai  (E) wahehe  (     )
  13. Utawala wa wajerumani Tanzania ulichukuliwa na____________ (A)Waarabu (B)Waingereza (C)Waafirika (D)Wabantu (E) Waburushi    (     )
  14. Ni ziwa gani linaitenganisha Tanzania na Malawi? _____(A)Nyasa (B)Victoria (C)Rukwa (D)Tanganyika ( E) Manyara                        (    ) 
  15. Mashine ndogo inayotumika kusaga vyakula na matunda huitwa ________ (A)cherehani (B)kitasa (C)blenda (D)jokofu (E) kisu na panga        (     )
  16. Mtu anayetengeneza kikapu kwa kutumia kili huitwa ______ (A)msani (B)msusi (C)mchoraji (D)mtengenezaji    (E) mwimbaji                                 (     )
  17. Mwelekeo kati ya kusini na magharibi huitwa__________(A)Kusini-kusini-magharibi (B)Kaskazini magharibi (C)Magharibu-Kusini-Magharibi (D)Kusini-magharibi  (E)  Magharibi -Kusini     (     )
  18. Ugonjwa mojawapo unaosumbua kuku ni  {a} upele {B mahepe [C] Ukurutu {D} Kichwa {E} Manjano  (     )
  19. Ni  chanzo gani cha nishati hutumika zaidi maeneo ya kijijini (A)Umeme (B)Kuni (C)Gesi asilia (D)Mafuta ya taa (E) Mkaa   (     )
  20. Biashara ya utumwa iliazishwa na __(A)Waingereza(B) Wajerumani (C) Waswahili (D)Wareno (E) Waarabu (     )
  21. Jua la utosi katika tropiki ya kansa hotokea__(A) 21 mwezi wa tatu (B) 21mwezi wa sita (C) 23 mwezi wa tisa (D) 22 mwezi wa saba (E) 20 Mwezi wa tisa (     )
  22. Kupatwa kwa mwezi  kutokea pale dunia inapokuwa katikati ya __(A)J ua namwezi (B) Sayari na nyota(C)Jua na sayari(D)Mwezi na dunia (E) Sayari na mwezi (     )
  23. Mambo yafuatayo husababisha kutokea kwa janga la Tsunami isipokuwa__(A) Mlipuko wa volcano (B) Kuanguka kwa vimondo baharini (C) Tetemeko la ardhi(D)Mafuriko (E) Maporomoko ya ardhi (     )
  24. Ziwa lenye kina kirefu kuliko yote Afrika ni (A)Nyasa (B) Turkana (C) Victoria (D)Tanganyika (E) Kyoga  (     )
  25. Sayari yenye pete katika mfumo wa jua ni; (A) Sumbura (B) Sarateni (C) Zebaki (D) Zuhura (E) Dunia (     )
  26. Kahawa, chai, pareto na pamba ni (A) Mazao ya chakula (B) Madini (C) Mazao ya muda (D) Uvuvi (E) Mazao yua biashara (     )
  27.  Kifaa kinachotumika kuwekea pasi wakati wa kupiga pasi nguo  ni (A) kibao (B) farasi (C) kiti (D) meza (E) kabati (     )
  28. Mkataba wa mwaka------ ulijulikana kuwa mkataba wa heligoland uliofanyika kati ya serikali ya Uingereza na Ujerumani (A)1886(B)1990 (C)1890 (D)1907 (E) 1884 (     )
  29. Makumbusho ya mkwawa yanapatikana__(A)Isimila (B) Amboni (C) Kalenga(D) Ruaha (E) Bagamoyo (     )
  30. Kipindi cha miaka 1000 huitwa___(A)Milenia (B)Karne(C)Mlongo(D)Kalenda (E) Zama (     )
  31. Tanzania ni mwanachama wa jumuiya zifuatazo isipokuwa __(A) SADC (B)AU ( C) ECOWAS (D) EAC  (E) NAM (     )
  32. Mikoa inayoonyesha dalili ya jangwa Tanzania ni ipi?(A)Tanga na Iringa (B) Iringa na Mbeya (C) Mwaza na mara (D) Shinyanga na Dodoma (E)  Njombe na Ruvuma (     )
  33. Watu  walio wengi Tanzania ni _(A)Waajiriwa serikalini (B)Wavuvi (C) Wakulima (D)Wafanyakazi wa benki (E) Wafanyabiashara (     )
  34. Migogoro kati ya wakulima na wafugaji husababishha na upungufu wa __(A)Eneo la kuchugia na kulima   (B)Ujuzi    (C)Vifaa vya kisasa   (D)Elimu (E) Upungufu wa wakulima (     )
  35. Madini ambayo yanaweza kuwa chanzo cha nishati ni kama__(A) Dhahabu na almasi  (B) Tanzanite na shaba  (C) Chuma na chumvi   (D) Makaa ya mawe na gesi asilia (E) Dhahabu na shaba (     )
  36. Kitendo cha kutembelea sehemu kwa ajili ya kujifunza na kustarehe huitwa (A)Vivutio vya watalii (B) Utalii (C) Biashara (D)Mtalii (E) Mpelelezi (     )
  37. Hifadhi zote za wanyama zinasimamiwa na chombo kinachoitwa (A) TRA (B) TAMWA (C)TANAPA (D)NEMC (E) TANROAD (     )
  38. Mfumo wa jua hujumuisha sayari __(A)Tisa(B)Nane(C)Themanini (D)  Kumi (E) Nne (     )
  39. Lipi kati ya yafuatayo siyo bwawa? __(A)Aswam  (B)Mtera (C) Nyumba ya mungu (D)Kidatu       (     )
  40. Njia ambayo inatumika na sayari kulizunguka jua huitwa __(A)Latitude (B)Mhimili (C)Ikweta (D)Obiti  ( E) mfumo  (     )

SEHEMU :B JAZA NAFASI WAZI

  1. ____________________ni taulo ambayo hutumika na mwanamke kujisitiri wakati wa hedhi
  2. Mistari ya kufikirika ya ulalo ambayo huchorwa juu ya uso wa dunia kaskazini na kusini mwa Ikweta hujulikana kama________________
  3. Mtu aliyefanya mambo makubwa mazuri katika nchi yake anaitwa _____________________
  4. Sanaa inayotumika kutengeza maumbo mbalimbali kwa kutumia udongo  inaitwa _________
  5. Ikiwa ni saa 3:00 asubuhi katika mji A unaopatikana longitude 300 mashariki; Je itakuwa saa ngapi katika mji B unaopatikana longitude 600mashariki?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 57

PRESIDENT'S OFFICE 
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT 
MOCK   EXAMINATION 
STANDARD SEVEN

ENGLISH

TIME: 1:30 HRS                                                           

NAME_____________________________________SCHOOL_________________________

INSTRUCTIONS

  • THIS paper consists of 45 questions with sections A,B and C
  • Select the best alternative in question 1-40
  • For question 41-45 provide the best answer
  • Write full name on the blank space above together with the name of the school
  • Ensure your work is neat and legible.

 

Write the letter of the correct answer

  1. She is a letter to her mother now
    1. Wrote b. written c. writing d. writes e. home writing
  2. John always to school
    1. Goes b. go  c. went d. have gone e. going
  3. Peter and Paul         in the school garden when their mother came
    1. Work  b. was working c. were working d. works e. worked
  4. They          going to visit Serengeti National Park next month
    1. Will b. shall c. has d. were e. are
  5. He didn’t      at school early yesterday
    1. Has arrived b. arrives c. arriving d. arrive e. have arrived
  6. The boys          their books to the school library
    1. Has taken b. have taken c. will take d. shall take e. take
  7. Four months ago, Joyce          from Japan
    1. Comes b. come c. is coming d. came e. were coming
  8. Paul         his clothes since morning
    1. Has been washing b. have been washing c. shall be washing d. will be washing

e. is being washing

  1. If he          early he would have caught the bus
    1. Has come b. had come c. will come d. have come e. would come
  2. She plays netball well,         ?
    1. Doesn’t she b. don’t she c. did she d. didn’t she e. doesn’t he
  3. The chair is         by the child
    1. Broke b. break c. broken d. breaks e. breaking
  4. Amina will be         netball by this time tomorrow
    1. Playing b. played c. play d. plays e. have played
  5. President Dr. Magufuli and his wife were preparing         to go to China
    1. Ourselves b. herself c. himself d. themselves e. theirselves
  6. They won’t pass the examination          they work very hard
    1. And b. if c. unless d. even e. because
  7. Neither Peter          Joseph played football last week
    1. Either b. or c. and d. if e. nor
  8. Most of Sukuma people prefer ugali          bananas
    1. To b. except c. like d. than e. with
  9. The giraffe is the         animal in Serengeti National Park
    1. Tall b. taller c. tallest d. more tall e. most tallest
  10. The son is young enough for       to school
    1. Go b. going c. went d. goes e. gone
  11.    motorcycles and cars can be dangerous
    1. Neither b. that c. very d. both e. so
  12. There isn’t         water in the tank
    1. Some b. many c. any d. much e. few
  13.    it was raining heavily, the players were playing football
    1. If b. although c. despite of d. in spite of e. unless
  14. Chacha died          malaria
    1. From b. for c. off   d. of e. in
  15. The daughter of one’s sister is called           
    1. Aunt b. uncle c. niece d. nephew e. cousin
  16. They travelled          a bicycle from Matabe to Mgusu
    1. At b. by c. with d. in e. on
  17. My uncle has been a doctor          a year now
    1. For b. since c. on d. in e. at
  18. A person from Rwanda is called          
    1. Rwandanian b. Rwandans c. Rwandese d. Rwandas e. none
  19. Mango was not only intelligent    obedient in his class
    1. But b. but also  c. and also d. also e. but so
  20. The room is small to accommodate 40 students
    1. Too b. to c. two d. into e. onto
  21. At school we are allowed to speak  English or Kiswahili
    1. Both b. and c. either d. neither e. also
  22. A big stone is          
    1. Charle’s b. Charles c. Charles’s d. Charles’ e. Charles is

 

SECTION B: VOCABULARY

Write the letter of the correct answer

  1. A young cow is called          
    1. Kitten b. piglet c. calf d. puppy  e. chick
  2. A person whose father died is           
    1. A bachelor b. an orphan c. fatherless d. spinster e. single
  3. A person who sells meat is            
    1. Meat monger b. cow’s cutter c. butchery d. butcher e. killer
  4. Three children born at the same time to the same mother are called          
    1. Triplets b. twins c. triple d. worst e. three in one
  5. A is a house where the rabbit stays (lives)
    1. Hole b. burrow c. nest d. bullow e. house
  6. The singular form of the word ‘teeth’ is
    1. Toothpick b. toothless c. one teeth d. tooth e. teeth

SECTION C: COMPOSITION

Rearrange the following sentences so as to make a meaningful composition by giving them letters A, B, C and D

  1. She jumped out the bed and ran to her mother happily
  2. She found her mother in the kitchen with a cake and other snacks
  3. Lightness was still asleep in the morning dreaming about her birthday
  4. Suddenly, she heard her mother calling her

SECTION D: COMPREHENSION

Read the following passage carefully and then answer the questions that follow

It was on Friday morning in March 2016 when Majuto started form one at Kalangala secondary school. He reported with his mother who had carried a bucket, sweeping broom, a hoe, a beautiful school bag as well as classroom instruments.

They entered the Headmaster’s office to be registered. The Headmaster asked his mother to show

all needed things according to joining instructions then he was registered as a form one student.

Later, the teacher on duty showed him where to join his classroom. After the parade they entered their classroom where the English teacher instructed them on how they can introduce to each other. He was very glad to know how to introduce himself and his fellows

QUESTIONS

  1. In which year did Majuto start form one?
  2. Who escorted Majuto to school?
  3. Majuto’s school bag contained     
  4. Who showed form one students where to go?
  5. The suitable title for the passage is   

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 56

PRESIDENT'S OFFICE 
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT 
MOCK EXAMINATION 
STANDARD SEVEN

SOCIAL STUDIES

TIME: 1:30 HRS                                                           

NAME_____________________________________SCHOOL_________________________

INSTRUCTIONS

  •            THIS paper consists of 45 questions  with three sections
  •            Answer all questions in the spaces provided
  •            Write full name on the blank space above together with the name of the school
  •            Ensure your work is neat and legible.

Write the letter of the correct answer

  1.    The representative of people in the district meetings of local government is
    1.    The district commissioner
    2.    The village government chairperson
    3.     The ward executive officer
    4.    The district chairperson of the ruling party
    5.    The ward councilor
  2.    Clan is the union of              
    1.    Families living nearby b. many families of the same origin c. many friendly families d. father, mother and children e. united families working together
  3.    Which of the following symbols is found in the President’s flag?
    1.    Hammer b. elephant tusks c. the national emblem d. the map of Tanzania e. the map of Africa
  4.    A person who invests capital in a project of business in order to get profit is called   
    1.    A donor b. a dealer c. a broker d. an economist e. an entrepreneur
  5.    The election of members of parliament and president in Tanzania is conducted after every years

a.   10 b. 3 c. 7 d. 5 e. 6

  1.    Defence and security of our nation is a responsibility of
    1.    Tanzania People’s Defence Forces
    2.    The department of national security
    3.     The Police Force
    4.    The militia
    5.    Every citizen
  2.    The main pillars of our nation are
    1.    Parliament, government and judiciary
    2.    Tanganyika, Pemba and Unguja
    3.     The national flag, Uhuru torch and currency
    4.    Rights, responsibilities and law
    5.    Parliament, Police and Militia
  3.    The notion “all human beings are equal” means
    1.    All human beings die
    2.    All human beings are created
    3.     All human beings have the same needs
    4.    All human beings have the same humanity
    5.    They live together
  4.    The law which has not yet been signed by the President is known as
    1.    Proposal b. argument c. bill d. law e. statement
  5. The word ‘basic law’ means
    1.    Laws for mother
    2.    Government constitution
    3.     Court
    4.    Parliament
    5.    By-laws
  6. The following are international organizations except
    1.    WHO
    2.    FAO and ILO
    3.     UNDP and UNICEF
    4.    TANESCO and NDC
    5.    WHO and UNHCR
  7. The Election Commission is called
    1.    ZANU b. NEC c. ASP d. ZEC e. ZAPU
  8. The first country to attain her independence in East Africa was
    1.    Tanganyika b. Kenya c. Uganda d. Rwanda e. Angola
  9. On the national flag, which colour represents the people of Africa?
    1.    Yellow b. blue c. red d. black e. green

SECTION B: HISTORY

Write the letter of the correct answer

  1. Who was the first President of Zanzibar Revolutionary government ?
    1.    Ali Hassan Mwinnyi b. Mohammed Shamte c. Abeid Amani Karume

d. Abdalrahaman Babu e. Aboud Jumbe

  1. German ruled Tanganyika after
    1.    the First World War
    2.    the Second World War
    3.     Portuguese defeat
    4.    Establishment of UNO
    5.    Berlin Conference
  2. Explorers, missionaries and merchants in history are known as
    1.    Colonialists b. prelude to colonialism c. invaders d. neo-colonialists

e. imperialism

  1. The period of 1000 years is known as             
    1.    Century b. millennium c. decade d. year e. period
  2. Among the following countries which hosted the struggle for liberation of South African countries?


  1.    Tanzania b. Zambia c. Mozambique d. Zimbabwe e. Nigeria
  1. The Berlin Conference that aimed at dividing Africa among colonialists was conducted by     
    1.    Adolph Hitler b. Von Sodden c. Chancellor Bismarck d. Carl Peters

e. Cecil Rhodes

  1. The oldest human skull was discovered by
    1.    Louis Leakey b. Vasco da Gama c. David Livingstone d. Richard Leakey e. Charles Darwin
  2. Man discovered fire during the               
    1.    Early stone age b. late stone age c. last age d. iron age e. middle stone age
  3. Majimaji war ended in

a.   1807 b. 1905 c. 1890 d. 1885 e. 1907

  1. During the scramble and partition of Africa, Egypt was colonized by
    1.    Germany and Italy b. France and Russia c. Britain and France d. Italy and Russia e. USA and Italy
  2. One of the advantages of colonial economy was
    1.    Availability of health services everywhere
    2.    To protect the farms
    3.     Good loans
    4.    Growth of cities
    5.    Good social services
  3. Mwalimu J.K.Nyerere officially announced the use of the name TANZANIA on _

a.   29. 10. 1964 b. 22. 12. 1961 c. 26. 04. 1964 d. 09. 12. 1961 e. 10. 12. 1962

  1. Nyamwezi resistance against Germany was led by           and it was in

a.   Isike, 1882 - 1883 b. Mkwawa, 1891  1894 c. Isike, 1891  1894 d.

Kinjekitile, 1898  1903 e. Mkwawa, 1892  1893

  1. The first Prime Minister of Tanganyika was             
    1.    Amani Abeid Karume b. Rashid Kawawa c. Moringe Sokoine

d. Mwl. J.K. Nyerere e. Ali Hassan Mwinyi

  1. Ethiopia and Liberia have common traits historically because
    1.    They are rich in resources
    2.    were never invaded by colonialists
    3.     were engaged in external wars
    4.    are the headquarters of OAU
    5.    both lie in the same longitude
  2. The process of one country to rule the other economically, politically and culturally is known as
    1.    imperialism b. colonialism c. feudalism d. capitalism e. neo-colonialism
  3. The history of human beings is divided in various times known as             
    1.    periods b. centuries c. stages of development d. times e. seasons


  1. The main slave market in East Africa was in
    1.    Mombasa b. Kilwa c. Malindi d. Lamu e. Zanzibar

SECTION C: GEOGRAPHY

Write the letter of the correct answer

  1. How long does the earth take to make one rotation on its axis?
    1.    28 days b. 24 hour c. 3651/4 days d. 12 hours e. 30 days
  2. The farthest planet from the sun is
    1.    Pluto  b. Venus c. Mars d. Jupiter e. Uranus
  3. Which of the following regions of Tanzania have shown signs of desertification?
    1.    Shinyanga, Mwanza and Tabora
    2.    Kilimanjaro, Mbeya and Iringa
    3.     Lindi, Morogoro and Tabora
    4.    Shinyanga, Dodoma and Singida
    5.    Arusha, Ruvuma and Manyara
  4. The following are natural disasters except
    1.    Floods b. wars c. earthquakes d. storms e. volcanic eruptions
  5. The latitude 231/20 in the north is            
    1.    Tropic of Capricorn
    2.    Tropic of Cancer
    3.     Antarctic
    4.    Equator
    5.    Arctic
  6. The canal that separates African continent and Asia continent is called            
    1.    Gulf b. Palk c. Suez d. Red Sea e. Panama
  7. What happens when the earth is between the moon and the sun?
    1.    Eclipse of the sun b. umbra c. the overhead sun d. eclipse of the sun and the moon e. eclipse of the moon
  8.    is the highest mountain in the world
    1.    Kilimanjaro b. Elgon c. Atlas d. Everest e. Rungwe

Study the following map and then answer the questions that follow


 

 

  1. The distance between x and y shows              
  2. What is the distance from one contour to another?
  3. If point X on 300 E is 10.00 am, at what time will it be at point Y 900 E? a. 2.00 pm b. 8.00 pm c. 12.00 am d. 8.00 am e. 7.00 pm
  4. An area of land almost completely surrounded by water except a narrow part connecting it with the mainland is called                
  5. The destruction of ozone layer causes              

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SOCIAL EXAM SERIES 55

 

PRESIDENT'S OFFICE 
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT 
MOCK  EXAMINATION 
STANDARD SEVEN

MATHEMATICS

TIME: 1:30 HRS                                                           

NAME____________________________________SCHOOL_________________________

INSTRUCTIONS

  • THIS paper consists of 45 questions
  • Select the best alternative in question 1-40
  • For question 41-45 provide the best answer
  • Write full name on the blank space above together with the name of the school
  • Ensure your work is neat and legible.

      1. 26.35 + 4.569 =

a.   30.919 b. 31.818 c. 30.809 d. 31.919 e. 30.819

2. 5449 + 2498 =

a.   1268 b. 8437 c. 8374 d. 7947 e. 8347

3. 14 x 113 x 57 =

a. 19497 b. 1921 c. 64410 d. 109497 e. 90,174

4. 178.17 – 9.4956 =

a. 167.764 b. 168.6744 c. 8.3214 d. 187.6656 e. 168.674

5. 6.25 x 0.044 =

a.   0.275 b. 2.75 c. 27.5 d. 2.882 e. 28.82

6. 57780 ÷ 18 =

a.   3110 b. 3210 c. 3201 d. 2310 e. 3310

7. 22 – 42 =

a.   -20 b. 64 c. 20 d. -64 e. 30

8. 99998 – 1009 =

a.   99899 b. 98899 c. 90889 d. 98989 e. 93899

9. 28.9 + 0.17 =

a.   1.70 b. 170 c. 17 d. 29.07 e. 0.17

10. (-3) – (-7) + (+3) =

a.   +7 b. -13 c. -7 d. -10 e. -8 11. 41/4 + 24/5 =

a.   21/20 b. 81/20 c. 31/5 d. 71/20    e. 11/20

12. 4 x 24/5 =

a.   111/5 b. 81/2 c. 101/2 d. 61/2    e. 121/2 13. 111/5 ÷ 6/7 =

a.   131/20    b. 131/15    c. 131/5    d. 132/5    e. 141/15

  1. Convert 0.0125 into percentage

a. 25.1% b. 1.25% c. 25% d. 12.5% e. 125%

  1. Multiply 2km 125 m by 8

a. 16 km 1000m b. 17km c. 16km d. 17km e. 18km 0m

  1. Write 1939 into roman numbers
    1. MCMXXXIX b. MDCCCCXXXI c. MIXXXXIX d. MLDXXXIX e. MMXIX
  2. Find the greatest Common Factor (GCF) of 210 , 105, 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MATHEMATICS EXAM SERIES 54

PRESIDENT'S OFFICE 
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT 
MOCK   EXAMINATION 
STANDARD SEVEN

SCIENCE

TIME: 1:30 HRS                                                           

NAME_____________________________________SCHOOL_________________________

INSTRUCTIONS

  • THIS paper consists of 45 questions with sections A,B and C
  • Select the best alternative in question 1-40
  • For question 41-45 provide the best answer
  • Write full name on the blank space above together with the name of the school
  • Ensure your work is neat and legible.

Write the letter of the correct answer

  1.    is an example of an animal without backbone
    1. Snake b. lizard c. bat d. frog e. snail
  2. Meat, eggs, fish and milk are            foods
    1. Heat giving b. body building c. body defending d. energy giving e. vitamin
  3. The chemical formula of water is              
    1. 2HO b. H2O c. HO2 d. O2H e. 2OH
  4. One of the following arthropods is not an insect             
    1. Wasp b. flea c. cockroach d. mosquito e. spider
  5. Plants produce more oxygen              
    1. At night b. at dawn c. during dusk d. midday e. any time
  6. The life cycle of housefly follows the same pattern like those of           
    1. Butterfly and mosquito b. butterfly and grasshopper c. butterfly and locust

d. locust and mosquito e. grasshopper and locust

  1. Water mixed with salt and sugar is first aid given to the patient suffering from            
    1. Malaria and headache b. meningitis and typhoid c. tuberculosis and flu

d. HIV/AIDS and bilharzia e. diarrhoea and vomiting

  1. Red blood cells are produced by              
    1. Haemoglobin b. tissue c. red bone marrow d. plasma   e. vegetables
  2. The gamete x and y are both produced by             
    1. Ovary b. pituitary c. pancreas d. testes e. thyroid
  3. Which blood cells help in the clotting of blood after a person get an injury?
    1. Erythrocytes b. thrombocytes c. leucocytes d. plasma  e. salt
  4. Which of the following diseases are hereditary?
    1. Measles and asthma b. sickle cells and albinism c. diabetes and elephantiasis

d. small pox and sickle cell e. albinism and rickets

  1. Y + O2 + water = rust. The letter Y stands for            
    1. Copper b. zinc c. carbon d. iron e. aluminium
  2. Gaseous exchange in the human beings takes place in the        
    1. Blood b. trachea c. alveoli walls d. bronchioles e. lungs
  3. The type of soil that does not drain water easily is good for cultivation of
    1. Maize b. rice c. cassava d. millet e. potatoes
  4. The deficiency of vitamin D in the body can cause            
    1. Scurvy b. bacteria c. pellagra d. rickets e. kwashiorkor
  5. Which of the following blood vessels take blood to the heart?
    1. Vena cava b. aorta c. veins d. capillaries e. artery
  6. John squeezed a lemon and poured its juice a blue litmus paper, what happened to the litmus paper?
    1. The colour didn’t change
    2. The colour changed to yellow
    3. The colour changed to red
    4. The colour changed to black
    5. The litmus paper melted
  7. Find the value of m in the following diagram


  1. 6 kg b. 72 kg c. 54 kg d. 24 kg e. 36 kg
  1. The human body temperature is 370C, this is equivalent to how much degrees of Fahrenheit?

a.   48.4 b. 66.6 c. 87.8 d. 98.6 e. 100

  1. The SI unit of electric current is
    1. Ohm b. ampere c. joules d. newton e. volts
  2. Which of the following organs is not responsible in excreting waste products?
    1. Lungs b. kidney c. skin d. heart e. liver
  3. One of the following matters exist in three different states of matter
    1. Candle b. water c. iron d. acid e. sugar
  4. A symbol for iron is
    1. Cu b. Cl c. Fe d. K e. Al
  5.    is a normal female sex gamete
    1. Xy b. xx c. yx d. ux e. xm
  6. A person with short sightedness disease (disorder) deserves
    1. Convex lens b. concave lens c. plane lens d. microscope e. spectacles
  7. Which among the following diseases is transmitted through air?
    1. HIV b. measles c. headache d. dysentery e. typhoid
  8. The group of living organisms living in both water and land is called
    1. Arthropods b. amphibians c. reptiles d. mammals e. insects
  9.    shows seven colours of light
    1. Prism b. films c. shutter d. mirror e. rainbow
  10. Heat from the sun reaches human body through             
    1. Convection b. conduction c. humidity d. light e. radiation
  11. During pregnancy embryo receives food and air from mother through
    1. Uterus b. placenta c. fallopian tube d. ovary e. urethra
  12. Retina in human eye is equivalent to             in camera
    1. Film b. pupil c. lens d. flash e. shutter
  13. The necessary conditions for seed germination are water, air and              
    1. Fertilizer (manure) b. soil c. light d. temperature e. rainfall
  14. Low level of insulin in the body causes            
    1. Blood system b. sickle cell c. HIV d. poliomyelitis e. diabetes mellitus
  15. Which gland in human body is responsible in increasing and decreasing rate of breathing process
    1. Pituitary b. parathyroid c. thyroid d. adrenalin e. pancreas
  16. One among the following plants shows self-fertilization            
    1. Sugar cane b. cashew nuts c. maize d. banana tree e. potatoes
  17. One of the following symbols indicates a bulb            


  1. Among the following gases which is not necessary during photosynthesis?
    1. CO2  b. sunlight c. chlorophyll d. O2 e. mercury
  2. In a scientific experiment, intelligent guess is             
    1. Inquisition b. experiment c. conclusion d. hypothesis e. collection of data
  3. The following are the necessary conditions for the growth of living organisms except
    1. Food b. water c. shelter d. air e. a and b are correct
  4. The following diagram illustrates that light             


  1. Reflected in water b. penetrates in water c. bends when moving from one media to another d. bends when moving in water e. passes through glass
  1. What will happen when “N” pole and “S” of a magnet will be brought together?
  2. The part for food storage in a seed is shown by number              


 

 

  1.    is responsible to collect sound waves in ear
  2. Which part of the flower in the diagram below does not help in pollination of a maize plant?


  1. The importance of vaccination to human beings is to             

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SCIENCE EXAM SERIES 53

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWIGO DARASA LA SABA

KISWAHILI

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEKEZO:

  1. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  2. Kumbuka kuandika majina yako.
  3. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.

SEHEMU A: FASIHI NA MSAMIATI

1   Hali ya kuwa na mali nyingi au fedha huitwa  

  1.    Ubahili b. ukwasi c. ukapa d. ukata e. ukachero
  1.    Mtoto mpole hupendwa na wanafunzi wenzake darasani. Neno ‘mpole’ limetumika kama
    1.    Kiwakilishi b. nomino c. kivumishi d. kielezi e. kiungo
  2.    “Ili tuendelee          kufanya kazi kwa bidii”. Neno lipi limekosekana ili kukamilisha sentensi
    1.    Ni budi b. hatuna budi c. tuna budi d. kuna budi e. hapana budi
  3.    “Maandishi yanasomeka vizuri”. Sentensi hii ipo katika wakati gani?
    1.    Ujao b. uliopita c. mazoea d. uliopo e. timilifu
  4.    Hamza alikuwa anaimba tangu ujana wake. Neno ‘alikuwa’ ni aina gani ya kitenzi?
    1.    Kisaidizi b. jina c. kishirikishi d. kitegemezi e. sana
  5.    Mahindi, maharage, ufuta, michungwa, migomba na mihogo kwa neno moja huitwa
    1.    Mimea b. vyakula c. matunda d. mboga e. miche
  6.    Wale wanakimbia polepole. Neno ‘wale’ limetumika kama aina ipi ya maneno?
    1.    Nomino b. nafsi c. kiwakilishi d. kielezi e. kitenzi
  7.    Neno lipi kati ya maneno yafuatayo ni kinyume cha neno ‘hobelahobela’?
    1.    Faragha b. ovyo ovyo c. vizuri d. mpangilio e. ubaya
  8.    Neno moja linalojumuisha herufi a, e, i, o na u ni lipi?
    1.    Silabi b. konsonanti c. mwambatano d. irabu e. kiambishi
  9. Mzizi wa neno “amenichora” ni          
    1.    –achor- b. –nichor- c. –chorea- d. –amenich- e. –chor-
  10. Mabomba ya kupitisha moshi toka jikoni kwenda nje huitwa
    1.    Bahari b. dohari c. ghala d. hosteli e. boya
  11. Wingi wa sentensi “Yule mwali hali wali” ni      
    1.    Wale wali hali wali
    2.    Wale wali hawakuli wali
    3.     Wale wanawali hawali wali
    4.    Wale wali hawali wali
    5.    Wale wali hajala
  12. Kama angelilima shamba kubwa           
    1.    Angevuna mazao mengi
    2.    Angelivuna mazao mengi
    3.     Angalelivuna mazao mengi
    4.    Angalivuna mazao mengi
    5.    Atavuna mazao mengi
  13. Kalamu zako ni nzuri. Ukienda dukani uninunulie         . Kifungu kipi cha maneno hukamilisha sentensi hiyo?
    1.    Kama hivyo
    2.    Kama hicho
    3.     Kama hizo
    4.    Kama hiko
    5.    Mfano wa hicho
  14. Ni sentensi ipi kati ya hizi zifuatazo ipo katika kauli taarifa?
    1.    Tafadhali nichunie ng’ombe wangu
    2.    Nichunie ng’ombe wangu
    3.     Aliniomba nikamchunie ng’ombe wake
    4.    Nichunie ng’ombe tafadhali
    5.    Kwanini unanichunia ng’ombe wangu
  15. Neno ‘kuku’ liko katika ngeli ya aina gani?
    1.    KI – VI
    2.    A – WA
    3.     YU-A-WA
    4.    I-ZI
    5.    LI-YA
  16. “Ukitaka kuja unijulishe mapema”. Usemi huu ni aina gani ya sentensi?
    1.    Ambatano b. shurutia c. sahihi d. changamano e. sentensi fupi
  17. Penina huimba kila siku. Hii ni hali gani ya kitenzi?
    1.    Timilifu b. isiyodhihirika c. mazoea d. kuendelea e. kupita
  18. Kipi ni kisawe cha neno ‘tembo’?
    1.    Faru  b. ndovu c. nyati d. twiga e. mbogo
  19. Tulicheza ngoma na kuimba usiku kucha. Katika sentensi hii watenda ni nafsi ipi?
    1.    Ya tatu wingi b. ya pili wingi c. ya kwanza wingi d. ya pili Umoja  e. ya tatu Umoja SEHEMU B: LUGHA YA KIFASIHI

Andika herufi ya jibu sahihi

  1. Siku hizi siri za mafisadi zimeanikwa juani. Usemi ‘kuanikwa juani’ una maana ipi kati ya hizi zifuatazo?
    1.    Kuelezwa waziwazi
    2.    Kusemwa hadharani
    3.     Kusemwa jukwaani
    4.    Kusemwa nje ya kikao
    5.    Kuelezwa hadharani
  2. “Kidagaa kimemuozea”. Msemo huu una maana gani?
    1.    Kukwepa kulipa deni


  1.    Kutowajibika kulipa
  2.     Kuelemewa na jambo
  3.    Kupoteza Tumaini
  4.    Kulipa deni maradufu
  1. Tegua kitendawili kisemacho “bibi kafa kaniachia pete”.
    1.    Konokono b. jongoo c. tandu d. nyoka e. mende
  2. Methali isemayo “Mgaagaa na upwa hali wali mkavu” inatoa funzo gani?
    1.    Bidii huleta mafanikio
    2.    Mafanikio ni matokeo ya kazi
    3.     Bidii huleta faraja
    4.    Bidii ni kazi ya kuhangaika
    5.    Mafanikio ni ya lazima
  3. Nazi yangu yafurahisha ulimwengu pia. Jibu la kitendawili hiki ni
    1.    Moto b. mwezi c. nyota d. jua e. mbingu
  4. Kuwa na ulimi wa upanga maana yake ni
    1.    Kutoa maneno makali
    2.    Kupayuka
    3.     Kutoa maneno ovyo
    4.    Kukata maneno
    5.    Kukataa katakata
  5. Maisha ya Abunuasi yalivyo ni sawa na kukalia kuti kavu. Maana ya kukalia kuti kavu ni ipi?
    1.    Kuwa mzee sana b. kuwa na maisha ya kimwinyi c. kuwa na maisha ya kipwani

d. kuwa na maisha ya kutegemea urithi e. maisha ya kutojishughulisha

  1. Mama ameandaa meza. Maana ya Nahau kuandaa meza ni
    1.    Kusafisha na kupamba meza b. kununua meza c. kuandaa chakula mezani

d. kusafisha meza e. kupamba maua meza

  1. Wana wa mfalme ni wepesi kujificha. Maana ya kitendawili hiki ni
    1.    Masikio b. macho c. pua d. ulimi e. ini
  2. Haraka haraka haina Baraka. Kinyume cha Methali hii ni
    1.    Polepole ndio mwendo
    2.    Mpanda ovyo hula ovyo
    3.     Mtoto umeleavyo ndivyo akuavyo
    4.    Asiyekuwepo na lake halipo
    5.    Ahadi ni deni

SEHEMU C: UTUNGAJI

Zipange sentensi zifuatazo zilizochanganywa ili zilete mtiririko mzuri wa mawazo kwa kuzipa herufi A, B, C na D

  1. Dakika chache baadaye tuliona msafara wa magari ukiingia
  2. Gari hilo lilifuatwa na gari lingine lillilojaa askari wa kuzuia fujo kisha lilifuata gari la Rais


  1. Mnano saa saba hivi tuliona pikipiki ya askari wa usalama barabarani ikija mbio kama mshale
  2. Mbele ya msafara huo kulikuwa na pikipiki nne zilizofuatwa na gari la polisi lenye

king’ora

 

SEHEMU D: UFAHAMU

Soma kwa makini habari ifuatayo kisha jibu swali la 31 – 40 kwa kuandika herufi ya jibu sahihi

Umma ulipozinduka na wakawauliza wafalme walivyotajirika kinyume na matarajio ya umma, kulikuwa na vita……”watu wetu wanatuonea”. Watu hawakuwaelewa….hawakurudi nyuma, walichukua kilicho chao. Hii ndio hadithi ya kisiwa cha wafalme! Kijiji hicho kilikuwa na viwanda mbalimbali vilivyosaidia kujenga na kuinua uchumi wake.

Waliteuliwa wakurugenzi wa aina aina waliosaidiwa na watumishi wengi kukamilisha sera yao ya kazi lakini shetani mbaya – pesa! Alikuwa sehemu hii. Wakurugenzi walikula, wahasibu walikula, watumishi pia walikla. Kwa ufupi kila mtu alikula. Walipoona wanataka kushikwa kwa makosa ya kula kilicho cha umma, wakachoma moto kiwanda chao ili kupoteza ushahidi. Hasara ilibaki kwa umma. Wao wakaanzisha miradi iliyowalisha kwa kutumia pesa za umma.

Wengine nao walipoona hayo nao wakaiga. Matokeo yake vikajengwa vijiji kama vile vya wafalme. Umma pia ukashtuka, ukawauliza na kisha kuchukua haki zao kwa nguvu. Hivyo hadithi iliyotamba mwanzo ikawarudia tena watu hawa na ukweli ukabaki kuwa jamii isiyojua kiini cha matatizo yake haiwezi kuyatatua.

MASWALI

  1. Neno ‘kuzinduka’ kama lilivyotumika katika habari hii lina maana ipi?
  2. Umma ulivyoshtuka kwa mara ya pili uliamua             
  3. Shetani mbaya aliyetajwa katika habari hii ni              
  4. Shetani mbaya alikumba sehemu hii pia. Neno ‘shetani’ limetumika kama nomino ya aina

gani

  1. Katika habari hii hapa juu, Methali ipi inaweza kuwa na mafunzo sawa na habari hii hapo juu?
  2. Kisawe cha neno ‘utajiri’ ni                 

SEHEMU E: USHAIRI

Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu swali la 41 hadi 46 kwa kuandika herufi ya jibu sahihi

Nami nashika kalamu, maana menilazimu. Nawataka mfahamu, kuhusu mambo muhimu, Maana mekuwa ngumu, kuachwa na wahujumu, Rushwa ni adui wa haki, wananchi tupingeni.

 

Mepewa majina mengi, lukuki yaso idadi, Maana walafi ni wengi, kila siku wanazidi, Waheshimiwa na wengi, wamekuwa wakaidi, Rushwa ni adui wa haki, wananchi tupingeni.

 

Inaitwa takrima, au chai ya mgeni, Mnapotaka huduma, basi mikono nyosheni, Na mkijiweka nyuma, huduma isahauni, Rushwa ni adui wa haki, wananchi tupingeni.

 

MASWALI

  1. Kichwa cha shairi hili chafaa kuwa

 

  1. Shairi hili lina jumla ya beti ngapi?
  2. Neno ‘takrima’ kama lilivyotumiwa na mshairi lina maana gani?
  3. Vina vya kati vya shairi hili ni
  4. Kila ubeti wa shairi hili una jumla ya mizani

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 52

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SABA

MAARIFA YA JAMII

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

Chagua jibu sahihi kuanzia swali la 1-40, kisha andika kwenye nafasi zilizo wazi

  1.    Kundi lipi linaonesha sayari?(a)  Zebaki, Mwezi na Zuhura (b)  Dunia, Nyota na Mihiri (c)  Zebaki, Serateni na Zohari (d)  Zuhura, Dunia na Kimondo (e) Utaridi, Jua na Mwezi
  2.    Vitufe vidogo kuliko sayari vilivyoundwa kwa miamba migumu ambavyo ulizunguka jua huitwa; (a) Kometi (b) Vimondo (c) Asteroid (d) Gimbi
  3.    Nyota iliyokaribu na dunia huitwa (a) Jua (b) Mwezi (c) Venus (d) Zebaki
  4.    Jumuiya ya Africa Mashariki inaundwa na nchi ngapi? (a) 3 (b) 5 (c) 6 (d) 7
  5.    Nyumba ya Mungu inatumika kuzalisha umeme, Je inapatikana mkoa gani? (a) kigoma (b) Morogoro (c) Kilimanjaro (d) Mbeya
  6.    Ukataji  wa miti hovyo husababisha; (a) mafuriko (b) jangwa (c) Ukame (d) mvua
  7.    Mito, maziwa, bahari, na chemchem ni vyanzo vya; (a) mvua (b) maji (c) uhai (d)biashara
  8.    Lugha ambayo inawaunganisha watanzania wote ni; (a) Kiingereza (b) kiitaliano (c) kibantu (d) kiswahili
  9.    Sudan ya Kusini ilipata Uhuru wake mnamo mwaka? (a) 2010 (b) 2011 (c) 2007 (d) 2016
  10. Kati ya viongozi hawa nani hakuwa mwanzilishi wa umoja wa Afrika? (a) Kwame Nkrumah (b) Ahmed sekou (c) Nelson Mandela (D) Julius Nyerere
  11. Zifuatazo ni njia za uzalishaji mali isipokuwa? (a) kuabudu (b) biashara (c) uvuvi (d) utalii
  12. Chanzo kikukuu cha mwanga duniani ni; (a) upepo (b) Jenereta (c) Jua (d) Maji
  13. Rais wa awamu ya tano wa muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli  alifariki mwaka? (a) 2015 (b) 2020 (c) 2000 (d) 2021
  14. Jumuiya ya kwanza ya Afrika Mashariki ilivunjika mwaka? (a) 1967 (b) 1927 (c) 1947 (d) 1977
  15. Zao la kibiashara linaolimwa Unguja na Pemba ni? ( a) pareto (b) pamba (c) karafuu (d) mihogo
  16. Kipimo kidogo cha ramani hutumika kuchorea (a) maeneo madogo (b) maeneo makubwa (c) maeneo ya kati tu (d) maeneo madogo na ya kati (e) maeneo madogo na makubwa
  17. Ipi kati ya zifuatazo ni sifa ya ramani? (a) Huonesha pande zote za kitu (b) Urefu wa kitu huoneshwa (c) Umbo la asili la kitu hubakia (d) Rangi ya asili ya kitu huonekana (e) Huonesha sura ya juu ya kitu.
  18. Baadhi ya Maitafa yenye haki ya kura ya Veto katika Umoja wa Mataifa ni: (a)  Ufaransa, Uturuki na Marekani (b)  Marekani, Uingereza na China (c)  Marekani, China na India (d)  Brazili.Ufaransa na Italia (e) Urusi, China na India
  19. Viongozi wafuatao walikuwa waanzilishi wa umoja wa Nchi za Mistari wa mbele katika ukombozi wa Kusini mwa Afrika isipokuwa (a) Hayati Julius Nyerere  (a) Hayati Augustino Neto (c) Hayati Samora M. Machel  (d) Mzee Kenneth Kaunda  (e) Hayati Laurent D.Kabila
  20. Njia iliyotumiwa na mataifa ya Afrika kujikwamua kiuchumi baada ya uhuru ni: (a) kuanzisha dini. (b) kuongeza bei za pembejeo.  (c) kudumisha utawala wa kikabila. (d) kuboresha kilimo.  (e) kusisitiza ukabila.
  21. Nchi zipi zilihudhuria mkutano wa Berlin mwaka 1884 - 1885 kama watazamaji? (a) Marekani na Uholanzi (b) Kanada na Marekani (c) Hispania na Marekani (d) Polanda na Marekani
  22.  Sababu mojawapo ya kukomeshwa kwa biashara ya utumwa ilikuwa: (a) Huruma ya wazungu juu ya mateso ya watumwa (b)  Waafrika kupigania uhuru wao (c) Kupata masoko ya bidhaa za ulaya(d)  Wazungu kujali juu ya usawa wa watu wote (e) Udhaifu wa watumwa kutoka Afrika.
  23. Rais wa kwanza wa nchi ya Msumbiji alikuwa (a) Edwardo do Santos            (b)  Samora Machel (c)  Edward Mondlane  (d) Joachim Chissano  (e) Grace Machel
  24. Aliyekuwa Rais wa Tanganyika kabla ya muungano alikuwa: (a) Abeid Karume (b) Benjamin Mkapa (c) Jakaya Kikwete  (d) Julius Nyerere  (e) Rashid Kawawa
  25. Mojawapo ya udhaifu wa Umoja wa Mataifa ni: (a)  kushindwa kuzuia kuenea kwa Utandawazi (b)  Waafrika hawajawahi kupata nafasi katika uongozi wa juu katika Umoja wa Mataifa (c) baadhi ya watu tu ndio wenye kura ya turufu (d)  kushindwa kupitisha maazimio ya haki za binadamu (e)  kutokushirikishwa kwa Waafrika katika vikao vya baraza la usalama
  26. Wanachama waanzilishi wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU) walikuwa: (a) nchi huru za Afrika ya Kati (b) nchi huru za Afrika          (c) nchi huru za Afrika ya Kaskazini  (d) nchi huru za Afrika ya Magharibi  (e) nchi huru kusini mwa Afrika.
  27. Kufanya uchunguzi wa kina kabla ya kuanzisha uhusiano na nchi husaidia nini? (a) Kufahamu utajiri wa nchi inayohusika ili kufaidika (b) Kubaini usalama wa nchi inayohusika na tahadhari za kuchukua (c) Kusaidia wananchi wanaopata shida (d) Kutekeleza makubaliano
  28. Ipi siyo faida ya utamaduni katika Jamii? (a) Kudumisha umoja wa kitaifa (b) Kulinda rasilimali za taifa (c) Kuiga utamaduni mpya (d) Kulinda rasilimali za Taifa
  29. Yapi sio mafunzo yatolewayo wakati wa sherehe za Jando?(a) Kujitegemea (b) Elimu stadi za Maisha (c) Kupenda na kuthamini kazi (d) Ibada za kanisani
  30. Ipi siyo faida ya utamaduni katika Jamii? (a) Kudumisha umoja wa kitaifa (a) Kulinda rasilimali za taifa (c) Kuiga utamaduni mpya (d) Kulinda rasilimali za Taifa
  31. Ngoma gani ambayo haiowani na kabila linalocheza ngoma (a) Ngoma ya sindimba- Wamakonde (b) Ngoma ya Kasimbo- wahaya (c) Ngoma ya Mganda- Pare (d) Ngoma ya Mdundiko- wazaramo
  32. Yapi sio mafunzo yatolewayo wakati wa sherehe za Jando? (a) Kujitegemea (b) Elimu stadi za Maisha (c) Kupenda na kuthamini kazi (d) Ibada za kanisani
  33. Ipi sio utamaduni wa mtanzania? (a) Kucheza ngoma za asili (b) Vyakula vya asili (c) Sherehe za jando (d) Wanawake kuvaa suruari na sketi fupi
  34.  Mojawapo ya changamoto za kumbukumbu kwa njia ya maandishi ni (a) Huharibika haraka (b) Unahitaji masharti magumu (c) Uandishi huchukua muda mrefu (d) Ni rahisi kufanyia marekebisho
  35. Michoro ya mapangoni iliyoko Kondoa Irangi inasadikiwa kuchorwa wakati wa zama za (a) mwanzo za mawe (b) Kati za mawe (c) Mwisho za mawe (d) Chuma (e) Ugunduzi wa moto
  36. Uchafuzi wa hewa katika maeneo ya makazi unaweza kuthibitiwa kwa:  (a) matumizi ya vyoo  (b) kuchoma takataka (c)  kumwaga maji taka mitaani  (d) kuchemsha maji ya kunywa (e) kupunguza matumizi ya mifuko ya plastiki
  37. Wakati wa mvua kubwa inayoambatana na radi, watu hawaruhusiwi (a) kuvaa nguo nyekundu....... (b)  kutumia miavuli  (c) kufungua milango na madirisha (d) kujificha chini ya mti  (e)kufunga luninga na redio
  38. Ipi kati ya zifuatazo ni njia ya kuzuia mafuriko? (a) Kujenga nyumba imara. (b) Kupanda miti.(c) Kukata miti.(d) Kuchoma misitu.(e) Kujenga nyumba mabondeni.
  39. Ili kupunguza/kuondoa ongezeko la joto la dunia tunapaswa ......... (a) tuongeze utoaji wa hewa ya kabonidayoksaidi (b) tuongeze hewa ya kabonidayoksaidi inayotolewa na wanyama (c) tutumie vyanzo vya nishati vilivyo rafiki kwa mazingira (d) tuchome vichaka, misitu na nyasi(e)  tukate miti ili kupata eneo la kilimo
  40. Pepo huvuma kutoka pande zipi jua liwapo upande wa kusini mwa dunia?(a)  Kusini        (b) Magharibi  (c) Mashariki     (d) Kaskazini (e) Kaskazini-mashariki

Soma kwa makini Ramani ifuatayo; kisha jibu maswali yafuatayo;

  1. Taja jina la nchi iliyooneshwa kwa herufi R
  2. Bandari iliyoonesha kwa herufi T ipo nchi gani?
  3. Ni zao gani la biashara hulimwa katika eneo liliooneshwa kwa herufi S huitwaje?
  4. Kituo cha kuzalisha  umeme kilichooneshwa kwa herufi S huitwaje?
  5. Uchumi wa nchi iliyooneshwa kwa herufi Q hutegemea aina ipi ya madini?

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 51

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SABA

SAYANSI NA TECHNOLOJIA

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

Chagua Jibu sahihi kuanzia swali la 1-40 kisha andika jibu katika nafasi uliyopewa.

  1. Lengo kubwa la huduma za afya kwa wagonjwa ni…………..(a) Kuwafariji kutokana na matatizo mbalimbali ya kimaisha (b) Kuwasaidia kupona haraka ili warudi kwenye majukumu yao ya kawaida (c) Kuwashauri kuhusu uzalishaji maji (d) Kuwapunguzia gharama za maisha
  2. Zifuatazo ni miongoni mwa tabia hatarishi kwa vijana isipokuwa ………. (a) Ulevi (b) Kuvuta bangi (c) Kupenda kufanya kazi (d) Matumizi ya dawa za kulevya
  3. Ipi sio faida ya vituo vya huduma za afya kwa Watoto? (a) Wazazi hupata elimu ya njia bora za kuwalea Watoto (b) Husaidia kupunguza vifo vya Watoto (c) Hutoa hamasa kuhusu wazazi wote kushiriki malezi ya Watoto (d) Husaidia Watoto kupata ushauri juu ya Maisha
  4. Ni ipi kati ya sehemu zifuatazo imeunda sehemu kubwa ya damu? (a) Chembe nyeupe (b)Chumvichumvi (c) Chembe nyekundu. (d) Plazima
  5. Ni lipi ambalo sio matumizi ya kabonidayoksaidi? (a) Kuzima moto (b) Kuhifadhi chakula (c) Kuunguza (d) Kusanisi chakula
  6. Mbinu rahisi ya kujua ukubwa wa vitu visivyo na maumbo halisi ni kutumia kitu chenyewe, kopo la eureka: (a) flaski ya mviringo na maji  (b) maji na chupa (c) glasi na maji  (d) silinda ya kupimia maji (e) mizani na maji
  7.  Ni mabadiliko gani yatatokea kama mtu akipumulia kwenye uso wa kioo? (a) Kuganda  (b) Kuyeyuka  (c) Kuvukishwa (d) Matonesho  (e) Kutanuka
  8.  Kinyonga hujibadili rangi yake ili: (a) kutafuta chakula         (b)  kupumua          (c) kuzaliana (d) kutafuta maadui                          (e) kujilinda dhidi ya maadui
  9.  Endapo mito na mabwawa yatakauka, ni viumbe hai Vipi kati ya vifuatavyo vitaathirika zaidi? (a) Vyura (b) Samaki  (c) Mamba (d) Mbu (e) Nyoka
  10. Upumuaji umegawanyika katika hatua mbili ambazo ni mbadilishano wa gesi katika mapafu Pamoja na………. (a)Kuingiza na kutoa hewa kwenye damu (b) Kupitisha hewa kwenye koromeo(c)Kuingiza na kutoa hewa kwenye mapafu (d) Mapafu na kifua kusinyaa
  11. Vinyweleo na unyevunyevu unaoopatikana katika pua, husaidia……………(a) Mbadilishano wa hewa (b) Kunasa vijidudu na uchafu (c) Kusafirisha hewa kwenda kwenye mapafu (d) Kupooza hewa inayoingia mwilini kupitia puani
  12.  Vitu vinavyofanya mfumo wa damu ni pamoja na; (a) moyo, seli hai nyeupe na damu (b) seli hai nyeupe, self hai nyekundu na mishipa ya damu (c) moyo, mapafu na damu (d) seli hai za damu, maji na moyo (e)  moyo, mishipa ya damu na damu
  13. Kitu gani kitatokea endapo mfumo wa fahamu utasimama kufanya kazi?............. (a) Mtu ataanza kutetemeka. (b) Mtu ataanza kuhisi udhaifu. (c) Mtu ataanza kuhisi maumivu makali mwilini. (d) Kukosekana kwa mawasiliano ndani ya mwili. (e) Mtu ataanza kupungua uzito.
  14. Mpangilio wa vifupa vitatu katika sikio la kati ni kama ufuatao………….(a) Fuawe, nyundo, kikuku (b) Kikuku, nyundo, fuawe (c) Nyundo, kikuku, fuawe (d) Nyundo, fuawe, kikuku
  15. Mlango wa fahamu unaofanya kazi ya kuhisi baridi au joto ni……….. (a) Jicho (b) Sikio (c) Ulimi (d)Ngozi
  16. Tunaweza kujikinga na magonjwa ya moyo kwa kufanya yafuatayo: .......(a) Kula chakula na kufanya mazoezi mara kwa mara(b) Kufanya mazoezi ya mwili, kuepuka kuvuta sigara na kuepuka kunywa pombe (c) Kula chakula chenye chumvi na kunywa pombe  (d) Kufanya mazoezi ya mwili na kuvuta sigara (e) Kula vyakula vyenye mafuta na kunywa pombe.
  17. Lipi kati ya magonjwa yafuatayo huambukizwa kwa njia ya kujamiiana?(a) Polio  (b) Kipindupindu   (c)  Pepopunda(d)  Kaswende                            (e) Tetekuwanga
  18. Kazi kuu ya virutubisho vya vitamini ni kuuwezesha mwili…………..(a) Kupata nguvu za kufanya kazi (b) Kuwa na joto la kutosha (c) Kukua na kuongezeka (d) Kujilinda na magonjwa
  19. Mlo kamili ni chakula chenye………….(a) Virutubisho vya mafuta, kabohaidreti na protini, wanga na hamirojo (b) Virutubisho vya protini, kabohaidreti, mafuta, vitamini na madini (c) Virutubisho vya vitamini, madini na protini, wanga na hamirojo (d) Virutubisho vya vitamini, kalisi, potasiamu, chuma na zinki
  20. Ipi sio njia sahihi ya kuteketeza taka? (a) Kuchoma moto (b) Kurejeleza (c) Kulisha wanyama (d) Kutengeneza mboji
  21. Uzalishaji wa umeme kwa njia ya tanuri unahitaji……..(a) Maji kuendesha mitambo ya kuzalisha umeme (b) Maji yaliyochemshwa kuendesha mitambo ya kuzalisha umeme (c) Mvuke kuendesha mitambo ya kuzalisha umeme (d) Hewa ya oksijeni kuendesha mitambo ya kuzalisha umeme
  22. Tanuri likijengwa karibu na vitu vinavyoshika moto kwa haraka………(a) Husababisha taka kuwaka kwa haraka (b) Husababisha moshi mwingi wakati wa kuwaka (c) Hutoa majivu mengi Zaidi (d) Huweza kusababisha ajali ya moto
  23. Kiwango cha maji kinachopotezwa na mmea huathiriwa na hali za hewa zifuatazo... (a)  joto na unyevu     (b) unyevu na mwanga (c) upepo na mwanga wa jua                (d)  mawingu na upepo (e) unyevu na upepo
  24. Katika kurunzi, nishati ya umeme inayotoka kwenye betri hubadilishwa na kuwa: (a) nishati ya kikemikali  (b)  nishati ya joto(c) nishati ya kimakaniki     (d) nishati ya mwanga  (e) Nishati ya moto
  25. Mwanga hupinda unapopita kutoka (a) Ncha ya Kaskazini kwenda Kusini       (b)  media moja kwenda nyingine (c) Ncha ya Kaskazini kwenda Mashariki (d) Magharibi kwenda Mashariki  (e) Kaskazini kwenda Magharibi
  26. Ni gesi gani hutumika wakati wa kuzima moto?(a) Kabonidayoksaidi (b) Oksijeni (c) Haidrojeni (d) Naitrojeni
  27. Ni kwa namna gani unaweza kuzuia vitu vya chuma visioate kutu? (a) Kuviweka kwenye maji (b) Kuvipaka majivu (c) Kuviongeza oksijeni (d) Kuvipaka rangi
  28. Moto wa daraja gani hutokana na kuungua kwa vitu yabisi kama nguo na karatasi? (a) Daraja D (b) Daraja C (c) Daraja A (d) Daraja F
  29. Aina kuu mbili za mashine ni: (a) ngumu na laini (b) rahisi na tata (c) za kumenya na kutwanga  (d) puli na roda (e) roda na katapila
  30. Matumizi ya roda katika maisha ya kila siku ni: (a) kunyanyua vitu vizito  (b) kufungua vizibo vya chupa  (c) kufunga vitu  (d) kupunguza mwinuko (e) kurahisisha kukata kuni
  31. Cherehani hulainishwa kwa kutumia……….. (a) Grisi (b) Mafuta ya kupikia (c) Mafuta maalumu ya alizeti (d) Mafuta maalumu
  32. Nyambizi inazama baharini ikiwa densiti yake ni…….(a) Ndogo kuliko densiti ya maji (b) Kubwa kuliko densiti ya maji (c) Sawasawa na densiti ya maji (d) Kubwa au ndogo kuliko densiti ya maji
  33. Kitumi cha umeme kinachobadili mkondogeu wa umeme kuwa mkondo mnyofu huitwa: (a) rektifaya  (b) transista (c) amplifaya (d) resista.  (e) transfoma
  34. Umeme unaotolewa katika seli kavu, chanzo chake ni nishati gani? (a) Jua (b) Kimakanika (c) Sauti (d) Sumaku (e) Kikemikali
  35. Kipi kati ya vifuatavyo hakipitishi mkondo wa umeme? (a) Mpira  (b) Bati (c) Shaba (d) Chuma  (e) Zebaki
  36. Chunguza Kielelezo Namba 2 kisha jibu swali linalofuata

Kielelezo 

Kifaa katika Kielelezo Namba 2 hutumia tabia ipi ya mwanga?..............(a) Kuakisiwa (b)  Mpitisho  (c)  Mwachano(d)  Mgeuzo (e)Mtawanyiko

37. Kielelezo Namba 3 kinaonyesha mfano wa mashine rahisi. Ipi nafasi ya egemeo mashine inapofanya kazi?

 Kielelezo 

(a) K (b) I (c) J (d)  H (e) N

38.Asilimia kubwa ya uso wa dunia imefunikwa kwa maji. Sehemu kubwa ya maji haya hupatikana kwenye (a) bahari (b) Mito (c) maziwa  (d) mabwawa (e) madimbwi

39. Mmea uliochorwa katika kielelezo Namba 2 una sifa ya kuishi wapi?

Kielelezo Na. 2

(a) Kwenye misitu minene (b) Majini (c) Kwenye majani marefu (d) Jangwani (e) Milimani

40. Chunguza kielelezo Namba 4 kisha jibu swab linalofuata

Kielelezo 4

Ikiwa umeme unaopita katika sakiti hiyo ampi 5, kiasi cha ukinzani (R) wa waya katika sakiti hiyo ni omu              (a) 100 (b) 50 (c) 10 (d) 4 (e) 0.4

Chunguza picha hapo chini kisha jibu maswali yafuatayo;

  1. Mchoro huu  ni wa ogani gani?...................................................................
  2. Herufi a, b, h na e inawakilisha sehemu gani?........................................
  3. Ni sehemu gani inatumiwa kupitisha mwanga?...........................................
  4. Taja sehemu c na kazi yake
  5. Taja kazi ya sehemu h

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 50

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SABA

URAIA NA MAADILI

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

Chagua Jibu sahihi katika swali la 1-40. Kisha andika jibu lake atika nafasi uliopewa

  1. Mojawapo ya njia ambazo wananchi wanaweza kushiriki katika ulinzi na usalama ni...............(a) kupiga wahalifu (b) kufanya mazoezi ya viungo(c) kuwaua wahalifu  (d) kuwafichua wahalifu (e) kuwa rafiki na wahalifu
  2.  Jukumu la kuwalinda raia wa Tanzania na mali zao lipo mikononi mwa; (a) Jeshi la Wananchi la Tanzania (b) Idara ya Usalama wa Taifa (c) Jeshi la Magereza (d) Jeshi Ia Mgambo (e) Jeshi la Polisi
  3.  Vyanzo vya mapato ya serikali za mitaani pamoja na: (a) kodi ya kichwa na kodi ya rasilimali (b) ruzuku, kodi na michango mingine (c) kodi ya ardhi, na kodi ya rasilimali (d) tozo katika mazao ya mali asili (e) tozo za leseni za biashara
  4. Ipi kati ya vifuatavyo si miongoni mwa vitendo vya kulinda nchi yetu? (a) Kutoa taarifa za uhalifu (b) Kulinda mipaka ya nchi (c) Kutoa taarifa kwa wahalifu kuhusu rasilimali zilizopo nchini (d) Kusimamia sheria na kulinda rasilimali zetu
  5. ipi kati ya zifuatazo ni oja ya mbinu stahiki za kulinda rasilimali za Umma? (a) Kuzuia kwa wageni ili kupata fedha (b) Kutoa elimu ya utunzaji wa rasilimali za nchi (c) Kuzigawa kwa wananchi wazitumie (d) Kuzuia zisitumike kabisa
  6. Ni mataifa yapi kati ya yafuatayo yalianzisha umoja wa nchi zisizofungamana na upande wowote?  (a) Ulaya Mashariki. (b) Nchi zinazoendelea (c) Ulaya Magharibi.  (d) Amerika ya Kusini (e) Amerika ya Kaskazini
  7. Tanzania inapata faida gani kwa kuongeza biashara yake ya kimataifa?(a) Kuongeza majengo (b) Kupunguza wajasiriamali wa ndani (c)Kuongeza deni (d) Kupunguza mikataba ya kibiashara  (e) Kuongeza fedha za kigeni
  8. Upi si umuhimu wa kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na mataifa mengine? (a) Kupata utaalamu na teknolojia (b) Kudumisha utamaduni wa Mtanzania (c) Kukuza migogoro kati ya nchi na nchi (d) Kupata pesa za kigeni
  9. Tanzania imefanya nini katika kujenga jamii inayoheshimu utamaduni wake? (a) Kuwakinga raia wake na utandawazi (b) Kufundisha lugha za asili (c) Kuwa na vyombo vya kuendeleza utamaduni (d)Kuzuia tamaduni zote za kigeni
  10. Moja ya mambo yafuatayo si kweli kuhusu mambo ambayo mgonjwa wa ukimwi anapaswa kutendewa: (a) kustaafishwa kazini (b) kula pamoja (c) kucheza naye  (d) kujadiliana naye kuhusu maendeleo yake (e) kupewa tiba kwa magonjwa nyemelezi
  11. Mambo ambayo kila mwanadamu anastahili kupata bila kujali kabila, utaifa au jinsia huitwa: (a) Utawala bora. (b) Haki za binadamu. (c) Utawala wa sheria.  (d) Demokrasia.  (e) Usawa wa kijinsia
  12. Moja ya matukio yanayokiuka Haki za Binadamu nchini Tanzania ni.............(a) Mauaji ya vikongwe na maalbino (b)Ukataji na upandaji mid (c) kuwafungulia mashtaka wahalifu (d) kufukuzwa kazi viongozi wasio waadilifu(e) Serikali kusimamia ukusanyaji kodi
  13. Kuzingatia sheria, haki za bianadamu, ukweli na uwazi, na uhuru wa vyombo vya habari ni misingi ya (a)Urasimu (b) Utawala wa sheria (c) Ujamaa wa kiafrika (d)Demokrasia ya Uwakilishi (e) utawala bora
  14. Haki za binadamu zinapaswa kutolewa kwa watu wote bila kujali .(a)vyama vya siasa. (b) katiba ya nchi.(c)haki za makundi maalumu. (d) umri wa mtu. (e) rangi, dini, jinsi na kabila.
  15.   Mambo yote ambayo watu wote wanastahili bila ya kujali kabila, utaifa au jinsia ya huitwa(a) utawala bora (b) haki za binadamu (c) utawala wa sheria (d) demokrasia (e) usawa wa kijinsia
  16. Chombo cha juu katika maamuzi kwenye serikali ya kijiji ni ..................(a)  Serikali ya kijiji (b) Kamati ya ulinzi na usalama(c) Mkutano mkuu wa kijiji (d) Afisa Mtendaji wa kijiji(e) Kamati ya Maendeleo ya kijiji
  17. Nani mwenye mamlaka ya kufanya uteuzi wa mabalozi wa kuiwakilisha Tanzania nchi za nje? (a) Baraza la mawaziri (b) Wabunge wa bunge la jamuhuri ya Tanzania (c) Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania (d) Waziri mkuu
  18. Ipi ni kazi kubwa ya mabalozi wa Tanzania katika nchi za nje? (a) Kukuza ushirikiano wa kidiplomasia, uchumi, kijamii, kisiasa, kiutamaduni na kiteknolojia na mataifa mengine (b) Kufanya biashara za kimataifa (c) Kuandaa ziara za viongozi nje ya nchi (d) Kuunda umoja wa mataifa ya kigeni
  19. Ni kwa namna gani mhimili wa Mahakama hutumia makongamano na mihadhara katika kusimamia haki za binadamu nchini? (a) Hutoa elimu kwa wananchi ili kupata haki zao bila kubughudhiwa au kuonewa kwa namna yoyote (b) Hutoa elimu kwa wananchi juu ya namna ya kuacha watumishi wa mahakama kufanya uamuzi wa utashi wao tu (c) Hutoa elimu kwa wananchi juu ya kutokukemea vitendo vya rushwa na ufisadi (d) Hutoa elimu juu ya namna ya watu kudai haki zao kwa woga
  20. Ipi kati ya yafuatayo si majukumu ya serikali katika kusimamia haki za binadamu? (a) Kutoa huduma za kijamii (a) Kuzuia haki isitendeke kwa wahalifu (b) Kulinda amani na utulivu (c) Kulinda rasilimali za nchi
  21. Ipi kati ya vitendo vifuatavyo kinaonesha umuhimu wa kuheshimu Imani na itikadi za wengine? (a) Kubeza Imani za wengine (b) Kuchonganisha watu kwenye jamii (c) Kuishi bila kubaguana kwa misingi ya kiimani na kiitikadi (d) Kuishi kwa raha bila ykujali vurugu za kiitikadi
  22. Ipi ni mojawapo ya ishara ya kuheshimu sheria za shule? (a) Kuchelewa shule (b) Kuchonganisha wanafunzi wenzako (c) Kufuata sheria za shule (d) Kuheshimu wakubwa tu
  23. Mwanafunzi hutegemea nini anapowajibika na kujituma katika shughuli zake? (a) Hisia zake (b) Hisia za watu wengine (c) Hisia za wazazi (d) Hisia za walimu
  24. Mijadala kwa vikundi ni njia ya majadiliano yenye faida gani kwa mwanafunzi? (a) Humwezesha kuuliza maswali (b) Humfanya kuwa huru kujadili (c) Humsaidia kupoteza muda (d) Hujifunza namna ya kujenga hoja bora
  25. Ipi kati ya zifuatazo si hatua za kufanya uamuzi sahihi? (a) Kufahamu tatizo (b) Kutengeneza mikakati (c) Kutathmini (d) Kutokubaliana na changamoto
  26. Njia ipi kati ya zifuatazo Ni njia za kuelimisha jamii juu ya kutekeleza mipango? (a) Kujitenga na watu (b) Kujitenga na watu wasiokujua (c) Kushirikiana na watu wengine (d) Kujitenga na watu wasiokupenda
  27. Ipi ni hatua mojawapo muhimu katika kutatua changamoto wakati wa kutekeleza mipango? (a) Kubaini kiini na ukubwa wa changamoto (b) Kuwekeza Zaidi katika utekelezaji wa mipango (c) Kupata ushauri wa namna ya kutekeleza mipango (d) Kuvumilia changamoto katika utekelezaji wa mipango
  28. Lipi kati ya mambo yafuatayo si muhimu katika kujiwekea malengo katika Maisha? (a) Ujuzi wa kutathmini (b) Kuandaa rasilimali (c) Kujua kiingereza (d)Ari ya kufikia lengo
  29. Kwa nini mihemko humfanya mtu ashindwe kufanya uamuzisahihi? (a) Hutanguliza faida mbele (b) Hana muda wa kufanya tathmini ya athari za uamuzi wake (c) Huongozwa na mihemko kutenda jambo (d) Hutafakari sana na kutenda jambo baadaye
  30. Ipi kati ya zifuatazo si faida za kubuni njia mbadala katika kukabiliana na tatizo? (a) Husaidia kutatua changamoto iliyoshindikana (b) Husaidia kushughulikia tatizo lililokosa ufumbuzi (c) Husaidia kupata utatuzi wa tatizo jipya (d) Husaidia kupata muda wa ziada wa kujifurahisha na kutafakari
  31. Ipi kati ya zifuatazo ni maana sahihi ya neno mawasiliano? (a) Mfumo wa kupashana habari na ujumbe (b) Taaluma ya utafutaji habari (c) Kazi ya kujitolea kutafuta habari (d) Mfumo wa kujua habari zilizofichwa
  32. Ipi kati ya njia zifuatazo ni sahihi kuepuka kufanya makosa ya mitandao ya mawasiliano? (a) Kufungua kesi polisi (b) Kutii sheria na kanuni (c) Kutotumia mitandao (d) Kutotumia simu za mikononi
  33. Ipi kati ya yafuatayo siyo matumizi sahihi ya fedha kwa mwanafunzi kutekeleza majukumu yake katika jamii? (a) Kutumia fedha kwa ajili ya matembezi na kula vyakula vizuri (b) Kuanzisha shughuli mbalimbali za uzalishaji mali kama kilimo (c) Kununua vifaa kwa ajili ya kutekeleza shughuli za kilimo (d) Kutumia fedha kujifunza mafunzo ya ujasiriamali ili kupata maarifa ya uwekezaji
  34. Kutunza vyanzo vya maji kama mito, maziwa na bahari huleta faida gani katika jamii? (a) Husaidia wasiojiweza kupata huduma za maji (b) Kufanya maji yaishe haraka ili kutafuta vyanzo vingine (c) Kuongeza wigo wa upatikanaji wa maji ya uhakika (d) Hupunguza upatikanaji wa maji na shughuli za uzalishaji mali
  35. Mwanafunzi anawezaje kushiriki kazi ya ujenzi wa miundombinu ya barabara? (a) Kuendesha mitambo ya kujenga barabara (b) Kulima barabara na kufukia mashimo katikati ya barabara (c) Kukagua na kubaini mashimo ya barabara tu (d) Kuwaelimisha mafundi ujenzi namna ya kujenga barabara
  36. Kwanini mitazamo tofauti ya madhara ya rushwa katika jamii hutokea? (a) Utendaji duni wa kazi (b) Elimu duni juu ya rushwa (c) Ukosefu wa mipango (d) Watoaji na wapokeaji wa rushwa kutoshitakiwa
  37. Taasisi zisizo za kiserikali zina wajibu gani katika jamii? (a) Kuelimisha walioathiriwa na rushwa tu (b) Kuwapa msaada wa kifedha walioathiriwa na matukio ya rushwa (c) Kutoa elimu kwa umma juu ya madhara ya rushwa (d) Kupambana na wanaotoa taarifa za rushwa kwenye jamii
  38. Kuendelea kwa tatizo la rushwa ni changamoto inayozikabili taasisi za Serikali na asasi zisizo za kiserikali kwa sababu gani? (a) Wananchi wana Imani kwamba rushwa ni nzuri (b) Wananchi wa Tanzania ni wakarimu (c) Maadili na uadilifu unakosekana (d) Watu wanataka kuwa na maendeleo binafsi na ya nchi
  39. Ni lipi jukumu lako katika kudumisha umoja miongoni mwa wanafunzi wenzako? (a) Kutoa kauli mbalimbali au kushiriki shughuli zinazodumisha umoja kama vile kusoma Pamoja (b) Kuongoza wanafunzi wengine kuandamana na kudai haki pale wanapokosa uji au chai shuleni (c) Kutetea wavivu na wazembe katika shughuli za darasani (d) Kujitenga na wanafunzi wenzako ili uweze kufanya vizuri darasani
  40. Ni njia ipi kati ya zifuatazo hujenga umoja na mshikamano katika jamii? (a) Kuwa mvivu na kujenga chuki kwa wanaokuchukia (b) Kuchagua marafiki wenye akili timamu na wenye fedha tu (c) Kuwapenda Zaidi ndugu zako na kuwapendelea kuliko watu usiowafahamu (d) Kuheshimu kila mtu bila kujali rika lake, itikadi yake au dini yake

Jibu maswali yafuatayo kwa umakini.

  1. Taja mihimili mitatu ya dola
  2. Taja kazi mbili za bunge la taifa
  3. Kiongozi mkuu katika bunge ni nani?
  4. Taja misingi miwili inayoweza saidia mihimili ya dola kufanya kazi vizuri
  5. Ni nini maana ya mahakama?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN URAIA EXAM SERIES 49

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

PRESIDENT’ S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

TERMINAL EXAMINATIONS

ENGLISH LANGUAGE

STANDARD SEVEN

Time1:30 Hours

Pupil’s Name............................................................

INSTRUCTIONS

  1. This paper consists of section A and B with total of forty five questions
  2. Answer all questions in each section
  3. For questions 1-40 put your choice in the box provided
  4. For question 41-45 write your answer by filling the spaces provided
  5. All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room

SECTION A: GRAMMAR

CHOOSE THE CORRECT ANSWER

1. Mr Andrew, the headmaster ___________ a newspaper now. 

(A) Will read (B)is reading (C)reading (D)reads

2. The women ____________ to the market every Saturday 

(A) Are going (B)going (C)goes (D)meet

3. When Subira was going to school she ___________________

(A) was meeting (B)was met (C)met (D)meet

4. Elvis ________________ the question which the teacher wrote on the blackboard. 

(A) have answered (B)answering (C)answered (D)answers

5. Did you ___________ your bag yesterday. (A)took (B)tooked (C)take (D)takes

6. Mosquitoes _________ malaria. (A)carries (B)carry (C)carried (D)has carried

7. Children always __________ playing (A)like (B)likes (C)are liking (D)disliking 

8. Jane likes telling ______________ (A)lies (B)lie (C)laying (D)lied

9. The pupils have _____ football since morning. (A)played (B)been playing (C)was playing (D)been played 

10. My brother ____________ potatoes every year in his garden. (A)grown (B)grew (C)grows (D)growing

11. Did the pupils _______their homework last night? (A)are finishing (B)finished (C)is finished (D)finish

12. The cow is healthy because it _________ good food. (A)eat (B)eating (C)eats (D)eaten

13. The teachers usually _______________ to school at seven O’clock every day. (A)comes (B)are coming (C)come (D)came

14. The football matches _______ before we arrived at the playground (A)had start (B)started (C)had starting (D)had started

15. The women always __________ to the gymnasium every weekend. (A)go (B)goes (C)went (D)going 

16. Snails normally ___________ slowly. (A)walk (B)walks (C)walking (D)was walked

17.I meet Susan ___________ her new bicycle yesterday. (A)Ride (B)Rode (C)riding (D)was riding 

18. The boy _____________ in Dar es Salaam for three years. (A)Has been living (B)have been living (C)has been leaving (D)have been leaving

19. The girls __________ in the garden now. (A)is working (B)are working (C)working (D)words

20. The poor man _______ ten thousand shillings by the president (A)was giving 

(B) was given (C)giving (D)gave

21. Maria was cooking bananas when her brother (A)Arrive (B)arriving (C)comes (D)is coming 

22. The girls __________ their books to the library already; (A)has taken (B)will take 

(C) Shall taken (D)have taken

23. Every year, Tanzania ___________ a lot of visitors from different countries all over the world. 

(A)Receive (B) receives (C)receiving (D)received 

24.___________ Halima clean her teeth every day? (A)DO (B)Does (C)is (D)has 

25. The lazy pupils __________ their homework. (A)have not did (B)has not done 

(C) have not do (D)have not done.

26. The pupils __________ their books at the moment. (A)read (B)reads (C)reading (D)is reading 

27. I prefer athletics _______ wrestling. (A)than (B)for (C)to (D)with

28. Our teacher has been __________ us for seven years. (A)Taught (B)teaches (C)teaching (D)is teaching

29. Tanzania is ________ the East Africa countries. (A)Either (B)among (C)between (D)at 

30. The river flows _________ the two mountains. (A)Along (B)Among (C)between (D)in

 

SECTION B. VOCABULARY

31. The daughter of your aunt is your _____ (A) sister (B)nephew (C)niece (D)cousin 

32. A bird flies, a person walks, a snake glides and a cow. (A)wanders, (B)wonders (C)wander (D)wonder

33. Mr Mpunda tests eye sight and sells spectacles, so he is called _________

(A) a doctor (B)detective (C)optician (D)chemist

34.The father of you father is your _________ (A)grandson (B)grandfather (C)in law (D)grand child

35. A young pig is called __________(A)piglet (B)calf (C)lamb (D)sow

36. Mr Jumbe is a dentist. He works in a _______ (A)court (B)Hospital (C) Farm (D)office

37. Orchid, rose, daisy and hibiscus can be classified under ___________ (A)Beverages (B)food (C)gardener (D)flowers

38. Mukasa is a citizen of Uganda. He is _______ (A)ugandan (B)Uganda (C)ugandese (D)Ugandan

39. He does not eat meat or fish. He is a __________(A)veteran (B)veterinary (C)vegetarian (D)vegetation

40. Another Meaning for the word “purchaser” is _________ (A)sell (B)buy (C)selling (D)exchange

 

SECTION C. COMPOSITION

This section has four mixed sentences. Arrange the sentences in a meaningful sequence to make a good composition by assigning them letters A-D

41. She was attacked by a crocodile and died immediately

42. She jumped into the pool without reading the caution sign written, “crocodiles inside”

43. It was a hot sunny day and what Mary wanted was some water to cool herself

44. She then saw a pool of water a cross the road

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 48


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINI DARASA LA VII JULAI 2021

KISWAHILI

Muda: saa 1 : 30

MAELEKEZO:

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

SEHEMU A: 

SIKILIZA KWA MAKINI HADITHI UTAKAY-OSOMEWA NA MSIMAMIZI.KISHA JIBU SWALI LA 1 – 5 

HADITHI

Hapo zamani za kale palikuwa na kijiji kiitwacho Faru. Faru ni kijiji kilichokuwa karibu na msitu mkubwa wenye wanyama wakali. Wanakijiji wa Faru waliishi maisha ya raha sana. Kiongozi wao aliitwa Adabu, alikuwa kiongozi shupavu na mzalendo. Wanakijiji walimpenda kwa sababu alikuwa anajitoa kwa ajili ya kijiji chake, alipenda haki na alipigania maendeleo ya kijiji chake. 

Siku moja Adabu akiwa nyumbani kwake alisikia kelele nje ya nyumba yake. Alipotoka nje aliona kundi kubwa la wanakijiji wameshikilia silaha mbalimbali kama vile rungu, sime na magongo, hakujua ni ya kazi gani? Akauliza kwa shauku “kuna nini?” Mzee Funzi akajibu kwa hofu “tumevamiwa! tumevamiwa! na simba. “Simba?” Adabu aliuliza huku akikimbia kurudi ndani, akatoka na mshale. Punde si punde ilisikika ngurumo nyuma ya nyumba yake. 

Adabu akawaambia “Msiogope” kisha akawagawa katika makundi mawili ili kumzunguka na kumshambulia simba. Baada ya kukuru kakara za muda mrefu wanakijiji walifanikiwa kumuua simba. “Ama kweli jifya moja haliinjiki chungu,” alisikika akisema kijana mmoja. Wanakijiji waliondoka kwa furaha na kila mmoja alirudi nyumbani. Mpaka sasa wanakijiji wa Faru wanaishi kwa amani na ushirikiano.

1. Adabu alikuwa Kiongozi mwenye tabia gani kati ya zifuatazo? ________ 

  1. Mwongo na shupavu 
  2. Shupavu na mwoga 
  3. Mkakamavu na mvivu 
  4. Shupavu na mzalendo 
  5. Mpenda raha sana     [       ]

2. Kwa nini Adabu alipendwa na Wanakijiji? ______________ 

  1. Alipenda haki 
  2. Aliua simba 
  3. Alikuwa na mshale 
  4. Alikuwa na nguvu 
  5. Alikuwa msomi     [       ]

3. Nani alipiga kelele akisema tumevamiwa na simba? ____ 

  1. Wanakijiji 
  2. Mzee Funzi 
  3. Kijana
  4. Adabu 
  5. Kiongozi

4. Kwa nini Adabu aliwagawa wanakijiji katika makundi mawili? _______ 

  1. Wamfukuze simba 
  2. Wamuue simba 
  3. Wamuone simba 
  4. Wamtege simba 
  5. Wamtishie simba

5. Je unapata funzo gani kutokana na hadithi uliyoisikiliza? ________ 

  1. Tunapaswa kushirikiana 
  2. Ni lazima kumpiga simba 
  3. Ni vizuri watu kukusanyika 
  4. Tunapaswa kubeba silaha 
  5. Ni lazima kumuua simba     [       ]

6. Mtu asiyepokea ushauri wa wengine huishia kuharibikiwa katika maisha. Ni methali ipi kati ya zifuatazo itafaa kufikisha ujumbe huu? _______ 

  1. Asiyekuwepo machoni na moyoni hayupo. 
  2. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. 
  3. Asiye na mengi ana machache. 
  4. Asiyeangalia huishia ningalijua. 
  5. Asiyeuliza hana ajifunzalo     [       ]

7. “Mama alimwagiza Chitemo, “Nenda ukanunue mboga za majani.” Sentensi hii ipo katika kauli ipi kati ya zifuatazo? __ 

  1. Taarifa 
  2. Mazoea 
  3. Halisi
  4. Tata
  5. Mbiu     [       ]

8. Katika maneno yafuatayo neno lipi halilandanina mengine? ________________________ 

  1. Ndovu 
  2. Mbogo 
  3. Faru 
  4. Korongo 
  5. Nyumbu     [       ]

9. “Akibeba watoto hawezi kuwashusha.” Maana ya kitendawili hiki ni sawa na kitendawili kipi kati ya hivi? _____ 

  1. Hausimami hausimiki 
  2. Mjomba hataki tuonane 
  3. Pazia la Mungu 
  4. Bomu la machozi 
  5. Babu amelala ndani ndevu ziko nje.     [       ]

10. Tumemsikia Nadi akisema, “Mimi huwa ninapenda kusoma jioni.” Sentensi ipi kati ya zifuatazo inatoa taarifa ya alichokisema Nadi? ____ 

  1. Nadi alisema kuwa yeye huwa anapenda kusoma jioni. 
  2. Nadi alisema kuwa mimi huwa napenda kusoma jioni. 
  3. Nadi alisema kuwa yeye alikuwa anapenda kusoma jioni. 
  4. Nadi alisema kuwa mimi nilikuwa ninapenda kusoma jioni 
  5. Nadi alisema kuwa weweunapenda kusoma jioni.     [       ]

11. Migodela alipopata taarifa ya msiba,alirudi nyumbani na kukuta msiba umekwisha. Ni nahau gani inaweza kutumika kueleza hali hiyo kati ya hizi? ______________ 

  1. Kaa kitako 
  2. Anua matanga 
  3. Enda jongomeo 
  4. Kusanya virago 
  5. Kata shauri.     [       ]

12. Katika sentensi “Shangazi alimwambia kuwa atakapopata nauli atakuja kijijini”, mzungumzaji ametumia nafsi gani kati ya hizi? ________________________ 

  1. Nafsi ya pili wingi
  2. Nafsi ya tatu wingi 
  3. Nafsi ya tatu umoja 
  4. Nafsi ya pili umoja 
  5. Nafsi ya kwanza wingi     [       ]

13. Selule ni kijana mchapakazi hodari aliyelima bustani kubwa ya mboga za majani kisha kuuza na kujipatia fedha za kutosha. Ni methali ipi kati ya hizi inafaa kuelezea hali hii? _____________________ 

  1. Simba mwenda pole ndiye mla nyama. 
  2. Mchumia juani hulia kivulini
  3. Mwenda tezi na omo marejeo ngamani.
  4. Mpanda hovyo hula hovyo. 
  5. Mla mla leo mla jana kala nini?     [       ]

14. Babu alisema “Kilimo ni uti wa mgongowa taifa letu.” Je babu alimaanisha nini kati ya yafuatayo? _____________ 

  1. Kilimo hakitegemewi 
  2. Kilimo kinategemewa 
  3. Kilimo hakifurahishi 
  4. Kilimo kinafurahisha 
  5. Kilimo kinachosha

15. “Afadhali jirani mchawi _________.” Ni kifungu kipi kati ya vifuatavyo kinakamilisha methali hii kwa usahihi? 

  1. kuliko mlevi 
  2. kuliko mjeuri 
  3. kuliko mmbea 
  4. kuliko mwongo 
  5. kuliko mnafiki     [       ]

16. “Nyafu alipotoka kazini alianza kukata maji hadi usiku wa manane.” Je Nyafu alifanya nini kati ya mambo yafuatayo? __ 

  1. Alikunywa uji 
  2. Alikunywa chai 
  3. Alikunywa pombe
  4. Alikunywa maziwa
  5. Alikunywa maji     [       ]

17. Pembua ana tabia ya kumwaga chakula kinachobaki baada ya kushiba. Je utatumia methali ipi kati ya zifuatazo kumshauri Pembua aache tabia hiyo? _______________ 

  1. Nyongeza haigombi. 
  2. Mwenye shibe hamjui mwenye njaa. 
  3. Akiba haiozi. 
  4. Haba na haba hujaza kibaba.
  5. Usiache mbachao kwa msala upitao     [       ]

18. Baba yangu ni “MHADHIRI” wa Chuo Kikuu cha Dodoma. Je, Baba yangu anafanya kazi gani kati ya hizi zifuatazo? _____ 

  1. Anasoma masomo ya Chuo Kikuu 
  2. Anasajili wanafunzi wa Chuo Kikuu 
  3. Anafundisha wanachuo wa Chuo Kikuu 
  4. Anafuatilia nidhamu ya wanachuo 
  5. Anahudumia wageni katika Chuo     [       ]

19. Alaa! Kumbe umekuja kwangu leo? Katika sentensi hii neno lililotumika kama kihisishi ni lipi kati ya yafuatayo? _ 

  1. umekuja
  2. kumbe 
  3. leo 
  4. alaa! 
  5. kwangu     [       ]

20. “Kabwela amefiwa na wazazi wake wote wawili.” Je, Kabwela atakuwa na sifa ipi kati ya zifuatazo? ___

  1. Yatima 
  2. Mgane 
  3. Mjane 
  4. Muathirika
  5. Mpweke

21. “Mjomba alikwenda kumuona bibi kijijini.” Ni neno lipi kati ya yafuatayo limetumika kama kielezi katika sentensi hii? ____ 

  1. bibi 
  2. alikwenda 
  3. mjomba 
  4. kijijini
  5. kumuona.

22. “Ninakwenda sokoni.”Sentensi hii ipo katika kauli gani kati ya zifuatazo? ________________________________ 

  1. Tata
  2. Taarifa 
  3. Halisi 
  4. Masharti
  5. Ombi     [       ]

23. Wingi wa sentensi “nimeamua kusoma kwa bidii” ni upi kati ya sentensi zifuatazo? _____ 

  1. Wameamua kusoma kwa bidii 
  2. Umeamua kusoma kwa bidii 
  3. Mmeamua kusoma kwa bidii
  4. Tumeamua kusoma kwa bidii 
  5. Ameamua kusoma kwa bidii     [       ]

24. Methali ipi hutumika kumuonya mtu asiyesikiliza ushauri wa wakubwa? _____

  1. Hakuna masika yasiyokuwa na mbu 
  2. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu 
  3. Asiyekuwepo na lake halipo. 
  4. Akupaye kisogo sio mwenzako. 
  5. Kidole kimoja hakivunji chawa     [       ]

25. Kukiwa kuna shida ndogo itatuliwe mapema kabla haijawa kubwa. Methali ipi inahusiana na kifungu hicho cha maneno kati ya hizi? ________________________________ 

  1. Hauchi hauchi unakucha 
  2. Mwanzo wa ngoma ni lele 
  3. Usipoziba ufa utajenga ukuta 
  4. Penye miti hapana wajenzi.
  5. Fimbo ya mnyonge ni umoja     [       ]

26. Mashaka ni mtu asiyependa kutunza vitu kwa manufaa ya baadaye. Ni methali ipi kati ya zifuatazo itamsaidia kubadili mwenendo wake? __________________________ 

  1. Akili ni nywele 
  2. Akiba haiozi 
  3. Abwebwaye hujishika 
  4. Adui mpende. 
  5. Ahadi ni deni     [       ]

27. Jogoo washamba ______ Kifungu kipi cha maneno kinaka-milisha kwa usahihi methali hiyo? 

  1. hawiki mjini
  2. huwika mjini 
  3. huwika alfajiri 
  4. huliwa mjini 
  5. hawiki jioni

28. Bute anapenda kudadisi sana ili kuelewa jambo. Methali ipi kati ya zifuatazo inaelezea umuhimu wa tabia ya Bute? _______________________ 

  1. Asiye na bahati habahatishi 
  2. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu 
  3. Asiye na mengi ana machache
  4. Asiyeuliza hana ajifunzalo 
  5. Asiyefahamu urafiki si rafiki     [       ]

29. “Bandu bandu humaliza gogo.” Methali ipi kati ya zifuatazo inafanana na hii? __________ 

  1. Pole pole ndio mwendo. 
  2. Mtaka cha uvunguni sharti ainame.
  3. Samaki mkunje angali mbichi. 
  4. Chovya chovya humaliza buyu la asali.
  5. Mtaka yote kwa pupa hukosa yote     [       ]

30. Mwalimu Kaze aliwapa wanafunzi wake maswali ya chemshabongo. Nahau “chemshabongo” kama ilivyotumika katika sentensi hii ina maana gani kati ya zifuatazo? ____

  1. Changamsha akili 
  2. Fikiri kwa makini
  3. Sumbua akili 
  4. Fikiri sana 
  5. Amsha ubongo     [       ]

31. Uongozi wa mtaa ulivalia njuga tatizo la uporaji. Nahau “valia njuga” kamailivyotumika katika sentensi hii ina maana gani? _____________ 

  1. Kufuatilia kwa jazba 
  2. Kufuatilia kwa hasira 
  3. Kufuatilia kwa makini 
  4. Kufuatilia kwa siri 
  5. Kufuatilia kwa tahadhar     [       ]

32. Mama alipanga vyombo kabatini. Kinyume cha neno “panga” ni lipi kati ya yafuatayo? __________ 

  1. pangisha
  2. pangusa 
  3. pangua 
  4. panua 
  5. pango     [       ]

33. Babu yangu analima mashamba kwa ustadi. Nomino ipi inatokana na kubadilishwa kwa kitenzi “lima”? ________ 

  1. Limisha
  2. Limiana 
  3. Limika
  4. Mkulima 
  5. Kalime     [       ]

34. Neno linalotokana nakudondosha silabi moja katika neno “sabuni” ni lipi kati ya yafuatayo? ___________________ 

  1. suna 
  2. buni 
  3. bunia 
  4. ibua 
  5. nusa     [       ]

35. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aling’atuka madarakani. Katika sentensi hii, kisawe cha neno “NG’ATUKA” ni kipi kati ya vifuatavyo? _____ 

  1. Kujiuzulu 
  2. Kustaafu 
  3. Fukuzwa kazi
  4. Kustaafishwa 
  5. ng’atua

SEHEMU B: KWA KUTUMIA MANENO YALIYOMO KWENYE KISANDUKU KAMILISHA BARUA IFUATAYO KWAKUJIBU SWALI LA 36 – 40

Baraka Kazingumu, M. Tumaini, Nakutakia utekelezaji mwema, S. L. P 21, YAH. KUPANDISHWA CHEO NA KUBADULISHIWA MAJUKUMU

36.__________

Nachingwea.

04.10.2020

37._________________________

Shule ya Msingi Kisovu,

S. L. P 41,

Namtumbo.

Ndugu,

38._______________________________

Rejea kichwa cha habari hapo juu.

Napenda kukujulisha kuwa kutokana na utendaji kazi wako mzuri umepandishwa cheo kutoka Mwalimu wa Michezo kuwa Afisa Utamaduni na Michezo wa Wilaya ya Kwetu kuzuri. Hivyo, unatakiwa kuhamia Makao Makuu ya Wilaya punde upatapo barua hii na utawajibika kwa nafasi hiyo.

39._________________________

40._________________________

Masumbuko Tumaini

Mkurugenzi

SEHEMU C: UFAHAMU SOMA KWA MAKINI HABARI IFUATAYO KISHA JIBU SWALI 41 - 45

Kachiku ni kijana mwenye tabia nzuri anayeishi na wazazi wake katika mtaa wa Kibaoni. Alibahatika kuzaliwa peke yake katika familia ya kitajiri. Wazazi wake walimpenda na kumdekeza sana, walimsomesha katika shule nzuri yenye gharama kubwa kwa lengo la kupata elimu bora.

Tabia ya Kachiku ilianza kubadilika kutokana na kuambatana na makundi mabaya shuleni. Kachiku alitumia muda mwingi sana kuzurura mitaani na vijiweni badala ya kusoma. Aliamini kwamba utajiri wa wazazi wake ni nguzo katika maisha yake, akasahau kwamba; “mtegemea cha nduguye hufa maskini. ”Hatimaye, tabia ya Kachiku ikakithiri akaanza kulewa na kuvuta sigara. Unywaji wapombe ulipomkolea akaanza kukwapua vitu vidogovidogo nyumbani kwao ili apate fedha ya kukata maji. Aidha, alikuwa akirudi nyumbani akiwa amelewa chakari. Tabia hiyo haikuwafurahisha wazazi wake. Walijitahidi kumkanyana kumweleza madhara yake lakini alikaidi kama ilivyo ada “sikio la kufa halisikii dawa.”Hakupenda kuwasikiliza wazazi wake na aliona kama wanampotezea muda.

Kadiri siku zilivyozidi kwenda ndivyo tabia ya Kachiku ilivyozidi kuwa mbaya. Akaanza kuvunja nyumba za watu na kuiba mali zao. Siku moja, Kachiku na wenzake walikwenda kuiba duka la jirani yao. Kwa bahati walikamatwa na askari aliyekuwa doria. Wazazi wa Kachiku walipigwa na butwaa baada ya kupata taarifa za kukamatwa kwa kijana wao. Kesi ilisikilizwa mahakamani na mwishowe Kachiku alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela. 

41. Kichwa cha habari hii kingefaa kuwa kipi? ____________

42. Kutokana na habari uliyoisoma ni tabia gani mbaya alizokuwa nazo Kachiku? Taja mbili.

________________________, _______________________

43. Nini maana ya neno “kanya” kama lilivyotumika katika habari uliyoisoma? _______________________________

44. Kwanini Kachiku alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela? ___________________________________________

45. Unapata funzo gani kutokana na habari uliyoisoma?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 39


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINI DARASA LA VII JULAI 2021

HISABATI

Muda: saa 1 : 30

MAELEKEZO:

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 jibu kwa kuonyesha njia katika nafasi iliyoachwa wazi


1. Ipi kati ya sehemu zifuatazo ni sehemu rahisi ya 45%? 

  1. 9/
  2. 2/
  3. 9/20 
  4. 20/
  5. 45/10       [         ]

2. Namba ya Kirumi inayowakilisha 49 ni

  1. LXIX 
  2. XVIX 
  3. XLIX
  4. LVXI 
  5.  XLXI       [         ]

3. Chausiku ana shilingi 9,000. Amepungukiwa na asilimia ngapi ya fedha ili kununua katoni moja yenye chupa 24 za juisi, iwapo chupa moja ya juisi huuzwa kwa bei ya shilingi 500? 

  1. 75% 
  2. 33.3% 
  3. 25% 
  4. 50% 
  5. 66.7%       [         ]

 4. Kazimoto alichagua wanafunzi watano ili waandike kipeuo cha pili cha jumla ya namba witiri zilizopo kuanzia 1 hadi 11. Je, lipi ni sahihi kati ya majibu yafuatayo?

  1. 4
  2. 6       [         ]

 5. Wanafunzi watano walipewa tarakimu 1, 3, 8, 9, 2, 4, 5 ili waunde namba nzima kubwa kuliko zote kwa kutumia tarakimu hizo. Je, ni namba ipi iliyoundwa ambayo ni kubwa kuliko nyingine? 

  1. 9,834,521 
  2. 9,843,521 
  3. 9,853,421
  4. 9,854,321 
  5. 9,845,321       [         ]

 6. Shule ilikusanya ada shillingi 39,076. Katika makusanyo haya ni tarakimu ipi inawakilisha mamia? 

  1. 9       [         ]

 7. Matokeo ya uchaguzi wa viongozi uliofanyika shuleni yalikuwa kama ifuatavyo; Zawadi alipata kura 876, Baraka kura 718 na Waridi kura 561. Tofauti ya kura nyingi zaidi na ndogo zaidi ni ipi kwa namba za Kirumi? 

  1. DLXI 
  2. CLVII 
  3. CLVIII
  4. DCCXVIII 
  5. CCCXV       [         ] 

 8. Wanafunzi watano walishindana kukimbia mbio awamu 3 kwa kupunguza hatua 6 kwa kila awamu. Iwapo walianzia hatua ya 59, yupi alimaliza awamu zote kwa mpangilio sahihi? 

  1. 59, 53, 47, 41 
  2. 59, 65, 71, 78 
  3. 59, 53, 41, 35 
  4. 59, 65, 78, 84 
  5. 59, 53, 47, 31       [         ] 

 9. Upi ni mpangilio sahihi wa kupungua wa namba witiri zilizopo kati ya 50 na 60? 

  1. 61, 59, 57, 55, 53 
  2. 59, 57, 55, 53, 51 
  3. 58, 56, 54, 52, 50 
  4. 59, 53 
  5. 59, 58, 57, 56, 55, 54, 53, 52, 51       [         ]

 10. Shule tatu R, S na T ziligawana dazeni 120 za vitabu kama ifuatavyo; R alipata 1/ya vitabu vyote na S alipata 60% ya vitabu vilivyobaki. Ikiwa vitabu vilivyobaki vilikuwa vya Shule T. Je, shule T ilipata vitabu vingapi? 

  1. 480 
  2. 576 
  3. 120 
  4. 384 
  5. 320       [         ]

 11. Mwalimu alichagua wanafunzi watano ili kupanga namba zifuatazo 0.04, 2%, 1/4, 1 na 2. Upi ni mpangilio sahihi kati ya ifuatayo? 

  1. 1, 1/4, 2, 0.04, 2% 
  2.  –2, 1, 0.04, 2%, 1/
  3. 2, 2%, 0.04, 1/4, 1 
  4. 1, 2%, 0.04, 1/4,
  5. 0.04, 2, 2%, 1, 1/      [         ]

 12. Ni namba ipi inayofuata katika mpangilio wa namba zifuatazo? 17, 21, 25, 29, ______________ 

  1. 37 
  2. 33 
  3. 28 
  4. 30
  5. 43       [         ]

13. Ipi ni namba ndogo kuliko zote katika seti ya namba zifuatazo? { 0.75, – 1, 0.5, 0, – 3/4, }

  1.  0 
  2. 0.5 
  3. 0.75
  4.  –1
  5.  –3/      [         ]

 14. Nini thamani ya 15 x ( 14 + 8 )?

  1.  +90 
  2. 37 
  3. 90
  4. +330 
  5. 330       [         ]

 15. Je, kuna 0.36 ngapi katika 14/5

  1. 50 
  2. 20 
  3. 500       [         ]

 16. Nini zao la 0.9 na 3.21? 

  1. 2.889 
  2. 2.789 
  3. 28.89 
  4. 2.31 
  5. 4.11       [         ]

 17. Josephine huuza kuku 60 kila mwezi kwa faida ya Shilingi 3,000 kwa kila kuku. Je, kwa mwaka mmoja Josephine hupata faida ya kiasi gani kutokana na biashara hiyo? 

  1. 21,600,000
  2. 2,160,000
  3. 720,000 
  4. 36,000 
  5. 180,000       [         ]

 18. Tafuta thamani ya 44/5 ÷ 48 = 

  1.  1/5 
  2.  1/10 
  3.  1/2 
  4.  10/
  5. 1/100        [         ]

19. Mwalimu aliwapa wanafunzi kazi ya kutafuta thamani ya mtajo 8 – (3 + +8). Je, ni lipi jibu sahihi walilopata? 

  1.  –
  2. +19 
  3. +13 
  4. +3
  5. 13       [         ]

 20. Wazazi wa watoto watatu Asha, Juma na Jamila walikuwa na kiasi cha fedha kama ifuatavyo: Mzazi wa Asha Sh. 1,039,000, mzazi wa Juma Sh. 929, 000 na mzazi wa Jamila Sh. 820,000. Kama wazazi wa Juma na Jamila wangeunganisha fedha zao, wangemzidi mzazi wa Asha kwa kiasi gani cha fedha? 

  1. Sh 710,000 
  2. Sh 601,000 
  3. Sh 611,000 
  4. Sh 619,000 
  5. Sh 219,000       [         ]

 21. Bwana Ngasa alivuna mazao yafuatayo; maharage magunia 20, mahindi magunia 60, mpunga magunia 50 na karanga magunia 30. Ikiwa aliuza 1/ya magunia ya kila zao, je, aliuza magunia mangapi ya mazao yote? 

  1. Magunia 42 
  2. Magunia 32 
  3. Magunia 22 
  4. Magunia 12 
  5. Magunia 28       [         ]

 22. Shamba la ng’ombe wa maziwa huzalisha lita 254,567 za maziwa kwa siku. Ni kiasi gani cha maziwa kitazalishwa kwa siku 43? 

  1. Lita 10,646,381 
  2. Lita 10,945,381 
  3. Lita 10,946,381 
  4. Lita 10,846,381 
  5. Lita 10,746,381       [         ]

 23. Garimoshi liliondoka Arusha saa 5 na dakika 10 asubuhi na kutumia muda wa saa 15 na dakika 15 kufika jijini Dar es Salaam. Je, garimoshi hilo lilifika Dar es Salaam saa ngapi? (Jibu liwe katika utaratibu wa saa 12). 

  1. 8:25 usiku 
  2. 8:25 adhuhuri 
  3. 2:25 usiku 
  4. 2:25 asubuhi 
  5. 3:15 usiku       [         ]

 24. Viwanja vinne vya makazi viliuzwa kwa jumla ya shilingi 5,500,000. Ikiwa viwanja vitatu viliuzwa kwa shilingi 1,257,000 kila kimoja, je, kiwanja cha nne kiliuzwa kwa shilingi ngapi? 

  1. sh 1,375,000 
  2. sh 2,632,000 
  3. sh 2,989,000 
  4. sh 3,771,000 
  5. sh 1,729,000       [         ]

25. Gawanya miaka 95 na miezi 8 kwa 28.

  1. Miaka 3 na miezi 0 
  2. Miaka 3 na miezi 5 
  3. Miaka 5 na miezi 3 
  4. Miaka 3 na miezi 4 
  5. Miaka 5 na miezi 4       [         ]

 26. Jumla ya saa 6 na dakika 30 na saa 3 na dakika 45 ni ipi? 

  1. Saa 9 na dakika 75 
  2. Saa 9 na dakika 15 
  3. Saa 10 na dakika 05 
  4. Saa 10 na dakika 25 
  5. Saa 10 na dakika 15       [         ]

 27. Ni nini tofauti ya saa 8 dakika 20 na saa 5 dakika 45 

  1. Saa 14 na dakika 05
  2. Saa 2 na dakika 75 
  3. Saa 2 na dakika 35 
  4. Saa 3 na dakika 25 
  5. Saa 13 na dakika 65       [         ]

 28. Miaka 2015, 2016, 2017, 2018 na 2019 ni muda waliozaliwa watoto katika familia tano tofauti. Upi ni mwaka mrefu?

  1. 2015 
  2. 2016 
  3. 2017
  4. 2018 
  5. 2019       [         ]

 29. Jamali alipewa picha ya umbo la pembe tano lenye ukubwa wa pembe kama ilivyooneshwa kwenye Kielelezo Na. 1. Kama mtaalamu wa Hisabati, ipi kati ya zifuatazo ni thamani ya y?

  1. 20 
  2. 38 
  3. 88       [         ]

30. Juma alipewa kazi ya kujenga banda la kuku na akalijenga kama linavyoonekana katika umbo lifuatalo: Kama mtaalamu wa maumbo ya kihisabati, umbo hili linaitwaje? 

  1. Pembetatu pacha 
  2. Pembetatu mraba 
  3. Pembetatu sawa 
  4. Pembetatu gun
  5. Pembetatu sambamba 

31. Mandalu alipanga kutumia siku 3 kujaza tenki la maji lenye kipenyo cha m 14 na kimo cha m 5. Ikiwa hujaza m3 154 za maji katika tenki hilo kwa siku. Je, siku ngapi zaidi zitahitajika kujaza tenki zima? (Tumia π = 22/7). 

  1. 6
  2. 7       [         ]

32. Ikiwa eneo la trapeza ABCD ni sm2 160, upi ni urefu wa BE? 

  1. Sm 8 
  2. Sm 10 
  3. Sm 5 
  4. Sm 20 
  5. Sm 13       [         ]

33.Mwajuma alipewa kipande cha nguo chenye urefu wa dekameta 71/4. Urefu huo ni sawa na meta ngapi za kitambaa? 

  1. m 725 
  2. m 7.25
  3. m 72,500 
  4. m 72.5
  5. m 7,250       [        ]

34. Mzazi wa Kinje na Mzazi wa Kelo kwa pamoja walinunua kg 189 g 600 za sukari. Ikiwa waligawana sukari hiyo kwa kiwango kinacholingana, je, ni kiasi gani cha sukari kila mzazi alipata? 

  1. kg 90 g 375 
  2. kg 94.5 g 300 
  3. kg 94 g 350 
  4. kg 94 g 800 
  5. kg 94 g 300       [         ] 

35. Chupa ya maji ina ujazo wa ml 350. Je, katoni 2 za chupa za maji zina jumla ya lita ngapi ikiwa kila katoni ina chupa 24?

  1. lita 1.68 
  2. lita 168 
  3. lita 1,680 
  4. lita 16.8 
  5. lita 0.168       [         ]

 36. Maganga hutembea umbali wa km 4 m 8 sm 12 kwa siku moja. Je, atatembea umbali gani kwa siku 15? 

  1. km 61 m 21 sm 80 
  2. km 61 m 21 sm 180 
  3. km 60 m 80 sm 20 
  4. km 60 m 20 sm 80 
  5. km 60 m 121 sm 80       [         ]

 37. Ikiwa nyuzi za umbo lenye pembe nne ni 3t – 100, 2t + 250, 45o – t na 4t + 600. Thamani ya herufi t katika umbo hilo ni ipi? 

  1. 15o 
  2. 30o 
  3. 60o 
  4. 90o 
  5. 120       [         ]

 38. Kiwanja cha mpira wa miguu kina mzingo wa mita 112. Ikiwa urefu wa kiwanja hicho ni Meta (x – 2) na upana wake ni Meta ( 21/x – 5), thamani ya itakuwa ngapi?

  1. 56 
  2. 98 
  3. 18
  4. 14 
  5. 42       [         ]

 39. Darasa lina jumla ya wanafunzi 9. Wastani wa uzito wa wanafunzi 5 ni kilogramu 20. Tafuta jumla ya uzito wa wanafunzi wote ikiwa wastani wa uzito wa wanafunzi waliobaki ni kilogramu 30. 

  1. Kilogramu 50 
  2. Kilogramu 450
  3. Kilogramu 100
  4. Kilogramu 220
  5. Kilogramu 130       [         ]

40. Ikiwa wastani wa sh 100, sh 250, sh 350 na sh 3p ni sh 205, thamani ya herufi ‘p’ itakuwa ngapi? 

  1. 40 
  2. 120 
  3. 85
  4. 165 
  5. 161       [         ] 


SEHEMU B: 

MATENDO YA KIHISABATI, MAUMBO NA MAFUMBO

41. Idadi ya wanafunzi waliohitimu Darasa la Saba mwaka 2018 katika Kata yetu ilikuwa 600. Kati ya hao, 71/2% hawakufaulu mtihani. Je, ni sehemu gani ya wahitimu walifaulu mtihani?

42. Peo tatu za shamba lenye umbo la mstatili ni A ( – 4, 1 ), B ( – 4, – 2 ), na C ( 3, –2 ). Tumia grafu ya majira ya nukta kutafuta peo ya nne.

43. Kijiji cha Mtakuja kilitaka kujenga Zahanati katika kiwanja kinachowakilishwa na umbo lifuatalo:

44. Katika shule ya msingi Railway, mwanafunzi akipata daraja A katika somo lolote, mmiliki wa shule humlipa mwalimu shilingi 10,000 kwa kila A kama motisha kwenye somo lake. Ikiwa mwalimu wa Hisabati alipata shilingi 1,250,000, je ni wanafunzi wangapi walipata daraja A katika somo hilo?

 45. Bahati alikuwa na kalamu 8 na penseli 12. Aliamua kuwagawia rafiki zake kalamu 3 na penseli 5. Iwapo aliuza idadi ya kalamu zilizobaki kwa shilingi 200 kila moja, penseli zilizobaki kwa shilingi 100 kila moja, je, alipata jumla ya kiasi gani cha fedha?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN HESABU EXAM SERIES 38

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINIDARASA LA VII JULAI 2021

MAARIFA YA JAMII

Muda: saa 1 : 30

MAELEKEZO:

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

SEHEMU : A 

CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI 

1. Ardhi ni rasilimali ambayo isipotunzwa vizuri inaweza kusababisha hatari katika maisha ya viumbe hai na rasilimali nyingine. Ipi ni njia bora itakayotumika kutunza rasilimali hiyo kati ya zifuatazo? ______

  1. Kuongeza idadi ya wakulima mashambani
  2. Kutoa elimu juu ya matumizi sahihi yaardhi
  3. Kuhimiza wafugaji kuongeza idadi ya mifugo
  4. Kuwahimiza wananchi kutumia mbolea za viwandani
  5. Kuhimiza upandaji miti katika maeneo ya wazi     [     ]

2. Katika sikukuu ya wakulima kauli mbiu iliyotolewa na Waziri Mkuu ilikuwa ni, “Kilimo ni uti wa mgongo katika uchumi wa Tanzania”. Kauli mbiu hiyo inamaana gani? ______________________________

  1. Ni shughuli inayofanywa na watu matajiri
  2. Hufanyika kwa kutumia matrekta na majembe ya kukokotwa na ng’ombe
  3. Ndio shughuli kuu ya uzalishaji mali
  4. Hufanyika sehemu zenye vyanzo vya maji pekee
  5. Mazao yanayovunwa huuzwa nje ya nchi     [     ]

3. Mwalimu Kazimoto alifundisha kuhusu shughuli ya kilimo cha mazao ya biashara kilichofanywa Tanganyika kabla ya uhuru. Je, wanafunziwalibaini mazao yapi ya biashara? _____________________

  1. Korosho, maharage,mkonge na pareto
  2. Mahindi, kahawa, chai na pareto
  3. Kahawa,pareto,mkonge na chai
  4. Zabibu, kahawa,chai na maharage
  5. Pareto, korosho,chai na mahindi     [     ]

4. Wakulima wengi nchini Tanzania hupeleka mazao sokoni kuuza. Ninjia zipi kuu za usafirishaji zinazotumika? ___________________________

  1. Barabara na Reli
  2. Anga na Barabara
  3. Maji na Anga
  4. Reli na Anga
  5. Maji na Barabara     [     ]

5. Shughuli za kilimo huweza kuharibu ardhiikiwa hazikufanyika kwa uangalifu. Ni kwa namna gani kilimo kinaweza kuharibu ardhi? ______

  1. Kwa kutumia mbolea ya asili
  2. Kwa kulima kwa kubadilisha mazao
  3. Kwa kulima matuta ya kukinga mteremko
  4. Kwa kutumia mbolea za viwandani
  5. Kwa kupanda miti karibu na shamba     [     ]

6. Ukurasa wa 3kati ya 96.Shamba la Bwana Tembo ambalo lipo pembeni ya mlima Pina limepungukiwa na rutuba kutokana na momonyoko wa udongo. Kama mtaalam wa mazingira ninini chanzocha momonyoko huo? _________________________________

  1. Shamba kuwa katika mteremko mkali
  2. Shamba kuwa na miti mingi
  3. Samadi kuwekwa shambani
  4. Shamba kupandwa mazao mengi ya mizizi na nafaka
  5. Mazao kubadilishwa shambani kila mwaka     [     ]

7. Shughuli za kibinadamu kandoya mto Matumaini huleta madhara kwa jamii inayouzunguka. Ni madhara gani yanasababishwa na shughuli za ukataji miti ovyo pembeni mwa mto huo? _________ 

  1. Ukosefu wa maji viwandani 
  2. Uchafuzi wa hewa 
  3. Ardhi kupoteza rutuba 
  4. Kukauka kwa vyanzo vya maji 
  5. Kupungua kwa uvuvi     [     ]

8. Wazo ni mkulima ambaye anataka kuanzisha kilimo katika eneo ambalo ni nusu jangwa. Kama Afisa kilimo niushauri gani utampa?________ 

  1. Kulima mazao yanayovumilia ukame 
  2. Kuachana na shughuli za kilimo 
  3. Kulima msimu wa mvua tu 
  4. Kutumia mbolea ya viwandani tuwakati wa kilimo
  5. Kutumia samadi peke yakewakati wa kilimo     [     ]

9. Ukiwa ni kiongozi wa klabu ya kutunza mazingira, utampa ushauri gani mtu anaye kata miti ovyo kwa ajili ya kupata nishati? ___________________

  1. Kutumianishati mbadala rafiki kwa mazingira 
  2. Kujificha asikamatwe na Maafisa Misitu 
  3. Kuhifadhivyema mabaki ya miti iliyokatwa 
  4. Kuuzakuni na mkaa kujiongezea kipato 
  5. Kukatamiti ya ndani ya misitu ili asijulikane     [     ]

10. Ni tukio lipi la kihistoria lilitokea Tanganyika mwaka 1926? _______

  1. Kuanza kwa Vita Kuu ya Pili ya Dunia
  2. Kuanzishwa kwa chama cha African Association
  3. Kuanzishwa kwa Baraza la Bunge 
  4. Uhuru wa Tanganyika 
  5. Kuanzishwa kwa vyama vingi     [     ]

11. Ukurasa wa 4kati ya 911.Wanafunzi wa Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Mwenge wanapanga safari ya kimasomokwenda kuona mabaki yamifumo ya kilimo cha umwagiliaji iliyotumiwa na watu wa kale. Ni eneolipi la kihistoria utawashauri kutembelea? _________ 

  1. Engaruka 
  2. Amboni
  3. Isimila 
  4. Olduvai Gorge 
  5. Kondoa Irangi     [     ]

12. Maeneo yafuatayo ya kihistoria yanapatikana Tanzania isipokuwa _________________________________ 

  1. Rusinga 
  2. Olduvai Gorge 
  3. Engaruka 
  4. Kondoa Irangi 
  5. Kaole     [     ]

13. Historia ya ukombozi wa Tanzania ilianza na vyama vya ustawi wa wafanyakazi kama vile TTACSA mwaka 1922 kilichobadilishwa kuwa TAA mwaka 1929 na baadae kuwa TANU mwaka 1954. Je, ni kwa nini TAA ilibadilishwa kuwa chama cha TANU mwaka 1954? ____________

  1. Kuwaunganisha watu wote katika kudai uhuru 
  2. Kuwa chama cha kisiasa kwa ajili ya wafanyakazi tu 
  3. Kuwaunganisha watu wote kupigana vita vya ukombozi 
  4. Kuunganisha vyama vyote vya siasa katika harakati za ukombozi 
  5. Kuwa chama cha kutetea ustawi wa wakulima     [     ]

14. Wanafunzi wa Darasa la Sita walirekodi viwango vya jotoridi kuanzia Jumatatu hadi Jumapili kama ifuatavyo: 200C, 320C, 300C, 240C, 270C, 270C na 220C mtawalia. Je,upi ni wastani wa jotoridi kwa wiki? ___________ 

  1. 200C 
  2. 320C 
  3. 270 C
  4. 26.20 C 
  5. 260     [     ]

15. Umepewa jukumu la kutoa mafunzo kwa wanakijiji wa Kijiji cha Juhudi juu ya fursa mbalimbali za kibiashara ambazo zinaweza kufanyika katika vipindi mbalimbali vya mwaka. Je, ungewashauri kufanya biashara ya kuuza miavuli katikakipindi gani? __________________ 

  1. Wakati wa Kiangazi 
  2. Wakatiwa Kipupwe 
  3. Wakati wa Vuli 
  4. Wakati wa Masika 
  5. Wakati wa Baridi     [     ]

16. Wanafunzi wa Darasa la Nne walifundishwa kuhusu vipengele mbalimbalivya hali ya hewa. Ni kundi lipilinawakilisha vipengele vya hali ya hewa walivyojifunza? ___________________________________ 

  1. Jotoridi, udongo, mvua na unyevuanga 
  2. Anga, mwangajua, mgandamizohewa na upepo 
  3. Maji, udongo, jotoridi na mawingu 
  4. Mgandamizohewa, jotoridi, mvua na mwangajua 
  5. Mvua, jotoridi mgandamizohewa na anga     [     ]

17. Baraka anatafuta msaada wako kumwezesha kujibu swali kuhusu dhana ya “utamaduni”. Je, ni vielelezo vipi vya utamaduni utakavyo-mpa Baraka ili aweze kuielewa vizuri dhana hiyo? ________ 

  1. Lugha, mila na tohara 
  2. Mila, desturi na lugha 
  3. Mila, desturi na miiko 
  4. Tohara, mila na desturi 
  5. Lugha, mila na makumbusho     [     ]

18. Ngoma za asili, uchongaji, uchoraji na maigizo ya jadi ni miongoni mwa mambo ya kitamaduni yanayovutia watalii. Ni neno gani lifaalo kwa vipengele hivi vya utamaduni? ___________________________ 

  1. Mila
  2. Sanaa 
  3. Michezo 
  4. Lugha 
  5. Miiko     [     ]

19. Kiongozi kutoka Wizara inayosimamia Utamaduni aliwataka vijana kuacha kushabikia tamaduni za kigeni na kudharau tamaduni za Kiafrika. Je, nini lengo la ushauri huo? __________________________ 

  1. Kulinda maslahi ya wageni
  2. Kulinda maslahi ya viongozi 
  3. Kupata fursa ya kutembelea nchi za nje
  4. Kulinda rasilimali za Taifa
  5. Kufurahiarasilimali za Taifa     [     ]

20. Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Harambee husisitiza wanafunzi wake kushiriki katika michezo ya jadi. Lipi katiya yafuatayo ni lengo lake kuu? __________________________ 

  1. kukuza kufikiri na kucheza 
  2. kuwezesha maamuzi na kuwa mbinafsi 
  3. kukuza kufikiri na kufanya maamuzi 
  4. kuongeza uzuri wa nyimbo na kufikiri 
  5. kutanua utawala wa sheria nakufanyamaamuzi     [     ]

21. Fikiria umeteuliwa kuongea na mojawapo ya makundi rika katika jamii yako kuhusu mahusioano mema miongoni mwao. Lipi kati ya yafuatayo ungelisisitiza? ________ 

  1. Kuheshimiana na kusaidiana
  2. Kusaidiana na kugombana 
  3. Kusalimiana na kudharauliana 
  4. Kuheshimiana na kubaguana 
  5. Kuelewana na kuogopana     [     ]

22. Kama kuna wazazi na watoto, hii ni familia ya awali. Je, familia hii itaitwaje baada ya vifo vya wazazi wao? _________________________ 

  1. Familia pana 
  2. Familia ya watoto 
  3. Familia ya watoto yatima
  4. Familia tegemezi 
  5. Familia ya watoto wa mitaani     [     ]

23. Ukoloni katika nchi nyingi za Kiafrika ulikuwa na hasara zaidi kuliko faida. Kama mwanahistoria, ipi unadhani ni athari ya kijamii iliyotokana naukoloni katika Tanganyika? ________________________ 

  1. Kusaini mikataba na watawala wenyeji na kuleta mazao mapya
  2. Kuanzishwa kwaelimu rasmi na kueneza Ukristo 
  3. Kusaini mikataba na watawala wenyeji na kujenga barabara
  4. Kuanzishwa kwa mazao mapya na kuteua machifu kama watawala
  5. Kuleta elimu rasmi na kusaini mikataba na watawala wenyeji     [     ]

24. Nchi nyingi za Afrika kuwa wanachama wa jumuiya mbalimbali inadhihirisha umuhimu wa jumuiya hizokwa nchi husika. Unadhani nini kitatokea endapo nchi itavunja uhusiano huo? ________ 

  1. Kutakuwa na maendeleo makubwa katika nchi 
  2. Kushuka kwa uchumi na kudorora kwa amani 
  3. Kutumia bidhaa za nchi nyingine na kukua kwa maendeleo 
  4. Kuongeza wajuzi katika nchi na dunia 
  5. Kupata fursa ya kuungana na mataifa tajiri     [     ]

25. Mnamo robo ya mwisho ya karne ya 19, Mataifa ya Ulaya yaligombea maeneo ya Afrika kwasababu walitaka malighafi, masoko, wafanyakazi na sehemu ya kuweka vitega uchumi. Maeneo yafuatayo yaligombaniwa isipokuwa ___________________

  1. Maeneo ya kando kando ya Bahari au Ukanda wa Pwani 
  2. Maeneo yenye hali ya hewa nzuri na ardhi yenye rutuba 
  3. Maeneo yenye maziwa na mito mikuu
  4. Maeneo yenye utajiri wa madini na rasilimali nyingine 
  5. Maeneo yenye viwanda vingi vya kuzalisha bidhaa     [     ]

26. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anatambulika kuwa ni shujaa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Ni nini kinachomfanya atambulike hivyo? _______________ 

  1. lihudhuria vikao vya UNO huko Ulaya 
  2. Alipinga vikali aina zote za ubaguzi wa rangi na kidini 
  3. Alipinga vikali urejeshwaji wa mfumowa vyama vingi 
  4. Aliwahamasisha Watanganyika kutumia mapambano ya silaha
  5. Alihamasisha mapinduzi katika kupigania uhuru     [     ]

27. Kuanzia mwaka 1985 hadi 2015 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliongozwa na marais watatu. Ipi ni orodha sahihi ya Marais hao? _________

  1. Julius K. Nyerere, Ali H. Mwinyi and Bejamin W. Mkapa 
  2. Julius K. Nyerere, Ali H. Mwinyi na Jakaya M. Kikwete 
  3. Ali H. Mwinyi, Benjamin W. Mkapa na Jakaya M. Kikwete 
  4. Julius K. Nyerere, Abeid A. Karume na John P. Magufuli 
  5. Benjamin W. Mkapa, Jakaya M. Kikwete na John P. Magufuli     [     ]

28. Mwalimu aliwaambia wanafunziwakekuwa mistari ya latitudo huwa na mizingo tofauti tofauti kutegemea na mahali ulipo. Ni mstari upi wenye mzingo mrefu kati ya hii ifuatayo?_______________________________

  1. Tropiki ya Kaprikoni 
  2. Mzingo wa Aktiki
  3. Mstari wa Ikweta 
  4. Tropiki ya Kansa 
  5. Mzingo wa Antaktiki     [     ]

29. Wakati wa kipindi cha somo la Maarifa ya Jamii mwalimu aliwapa wanafunzi ramani ya Tanzania yenye vitu vya asili na vilivyotengenezwa na binadamu kwa lengo la kujifunza. Je, hiyo ilikuwa ni ramani ya ainagani? _________________________________ 

  1. Ramani za takwimu 
  2. Ramani za kisiasa 
  3. Ramani za kontua
  4. Ramani za topografia 
  5. Ramani za miji     [     ]

30. Mtalii aliwasili nchini Tanzania kupitia uwanja wa ndege wa Kilimanjaro na kuelekea moja kwa moja katika hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro bila ya kupokelewa na mwenyeji yeyote. Ni kifaa kipikati ya vifuatavyo kilimwezesha kufika huko? _______________ 

  1. Skeli
  2. Hali ya hewa
  3. Ramani 
  4. Mwelekeo wa jua
  5. Picha 3     [     ]

31. Bahati alichora ramani ya kijiji chao bila kuonesha kipimio cha ramani. Ni adhari ipi atakayoipata mtumiaji wa ramani hiyo? _______________________ 

  1. Kushindwa kufahamu mipaka ya kijiji
  2. Kutofahamu ukubwa halisi wa kijiji
  3. Kutozitambua alama zilizotumika
  4. Maudhui ya ramani kutoeleweka 
  5. Mazao ya chakula yaliyo kijijini kutoonekana vizuri     [     ]

32. Fikiria kuwa umealikwa kamamtaalamu wa mambo ya hali ya hewakuelezea umuhimu wa tabaka la ozoni kwajamii. Je,ungeelezanini? __ 

  1. Huzuia kansa ya ngozi 
  2. Huzuia mmomonyoko wa udongo 
  3. Huongeza idadi ya watu
  4. Husababisha kutengenezeka kwa mvua 
  5. Huongeza uoto wa asili     [     ]

33. Rafiki yangu alisafiri kwenda Ulaya kumtembelea shangazi yake kipindi cha likizo. Kulikuwa na baridi kali iliyoambatana na mchana kuwa mfupi kuliko usiku. Je, hali hiyo inawakilisha msimu upi wa mwaka? __________ 

  1. Kiangazi 
  2. Masika 
  3. Kipupwe 
  4. Vuli 
  5. Mvua     [     ]

34. Wanafunzi wa Darasa la Tatu walijifunza kuwa,kuna sayari nane zinazounda mfumo wa jua ambazo baadhi zipo mbali na nyingine zipo karibu na jua. Je, ni Sayari ipi miongoni mwa zifuatazo ipo karibu zaidi na jua? ___________ 

  1. Sumbula
  2. Kausi 
  3. Zuhura
  4. Zebaki
  5. Dunia     [     ]

35. Tanzania ni nchi iliyojaaliwa kuwa na madini ya aina mbalimbali. Ni kundi lipi kati ya yafuatayo hujumuisha madini ya vito? _________ 

  1. Dhahabu, chumvi na chuma 
  2. Almasi, rubi na tanzanaiti 
  3. Almasi, dhahabu na chuma 
  4. Cobalt, rubi na tanzanaiti 
  5. Chumvi, dhahabu na almasi     [     ]

36. Wanafunzi wa Darasa la Saba walipewa aina mpya ya vifungo kwa ajili ya mashati yao. Ni kanuni ipi wanapaswa kuzingatia wakati wakushona vifungo hivyo? ____________________________________ 

  1. Kuchagua uzi wenye rangi tofauti na vifungo walivyopewa 
  2. Kuchagua sindano inayoendana na kitambaa cha shati 
  3. Kuanza kushona mshono wa kushikiza 
  4. Kutumia sindano kubwa kuliko tundu la kifungo 
  5. Kupitisha uzi upande wa juu ya kitambaa cha shati     [     ]

37. Umemtembelea shangazi yako na kupewa chumba kichafu cha kulala. Ni magonjwa gani unaweza kuyapata kwa kulala kwenye chumba hicho? ___________ 

  1. Kuharisha na kutapika 
  2. Kukohoa na kutapika 
  3. Mafua na kifua 
  4. Malaria na kifua 
  5. Kuharisha na mafua     [     ]

38. Bwana Nzima amepanga kusafiri na amedhamiria kufungasha nyama kwa ajili ya safari yake. Ungemshauri kutumia mojawapo ya njia zipi kuandaa nyama hiyo ili kuzuia kuharibika? ___________________ 

  1. Kukaanga, kuchemsha na kuchoma 
  2. Kuchemsha, kubanika na kukaanga 
  3. Kutokosa, kukaanga na kuchoma 
  4. Kuchoma, kukaanga na kubanika 
  5. Kuchoma, kubanika na kupika kwa mvuke     [     ]

39. Mwalimu wa Stadi za Kazi aliwaongoza wanafunzi kufinyanga chungu na kuwapa mbinu za kukikausha vizuri. Je, kuna umuhimu gani wa kukikausha chungu hicho? ____________________________________ 

  1. Kukifanya kiwe imara 
  2. Kukifanya kiwe na rangi nyeusi 
  3. Ili kuweza kukiweka nakshi 
  4. Kukifanya kuwana harufu ya kuungua 
  5. Kukifanya kiwe chepesi     [     ]

40. Mimi ni mbunifu, mwenye uthubutu na ninajituma katika kutimiza malengo yangu. Je, mimi ni nani? ______________________________ 

  1. Mjasiriamali 
  2. Mtu mwenye ujuzi 
  3. Mfanyabiashara 
  4. Mnunuzi 
  5. Muuzaji     [     ]


SEHEMU B

JIBU MASWALI YAFUATAYO KWA KUELEZA KWA KIFUPI

41. Eleza kwa kifupi tofauti kati ya mjasiriamali mtumishi na mjasiriamali mfanyabiashara? __ ____________________________________

42. Mlipuko wa volkano katika kijiji cha Kikuu umeleta madhara kwa jamii. Bainisha madhara chanya mawili ya mlipuko huo ___________

43. Bi Atupele aliwataka wanafunzi waorodheshe tabia ya nchi ya maeneo waliyotoka. Mmoja wa wanafunzi alitaja kuwepo kwa mvua nyingi, kiwango cha juu cha jotoridi na uwiano mdogo wa joto kwa mwaka mzima. Je, eneo hilo lina tabia gani ya nchi? __________

44. Tabu alitembelea kituo cha hali ya hewa kilichopo uwanja wa ndege wa Mwanza kuchukua takwimu za hali ya hewa ya eneo hilo, na kuwasilisha takwimu hizo katika Jedwali kama ifuatavyo:

Mwezi
Jan. Feb. Mach Apr Mei Juni Juli Agu. Sep Okt Nov Dis.
Joto(0 C) 22.5 25 25 25.5 25.5 25.5 25.5 25.5 26.1 26.1 26.1 26.6
Mvua (mm) 198 340 431 350 280 230 160 71 15 12 15 66
  1. Ni mwezi upi ulikuwa na mvua na jotoridi kubwa? __________________________
  2. Ni aina ipi ya tabia ya nchi inawakilishwa na taarifa zilizopo kwenye jedwali? _________________________________________

45. Ni kwa nini Chifu Mkwawa alijulikana kama shujaa katika jamii yake ___________________________________________________________________________________________________________________________ 


LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 37

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINIDARASA LA VII JULAI 2021

SAYANSI

Muda: saa 1 : 30

MAELEKEZO:

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

SEHEMU A

CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI  

1. Ni katika kiungo kipi cha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula virutubisho hufyonzwa? ______ 

  1. Utumbo mwembamba 
  2. Utumbo mpana 
  3. Tumbo la chakula 
  4. Kifuko nyongo 
  5. Umio wa chakula     [       ]

2. Kijiji cha Mirwa kilikumbwa na baa la njaa kutokana na uvamizi wa vipepeo. Je, vipepeo hao walikuwa katika hatua ipi ya ukuaji?_____ 

  1. Buu 
  2. Kipepeo. 
  3. Yai 
  4. Kiwavi 
  5. Tunutu

3.  Ni kanuni ipi hutumika kuonyesha uhusiano uliopo kati ya mkondo wa umeme, volteji na ukinzani katika sakiti ya umeme?__ 

  1. R=VI
  2. V=RI
  3. V=R/I
  4. R=I/V
  5. V=I/R    [       ]

4. Katika gesi zifuatazo, ipi unaweza kuitumia kuzima kitu kinachowaka? ___________ 

  1. Oksijeni 
  2. Nitrojeni 
  3. Kabon monoksaidi 
  4. Hyadrojeni 
  5. Kaboni dayoksaidi     [       ]

5. Umepewa kazi ya kutafuta densiti ya maji. Je utatoa jibu lako katika kizio gani? _____________ 

  1. Kg/m3 
  2. J/sm3 
  3. N/m3 
  4. Kg/sm3 
  5. m/sm36     [       ]

6. Umeambiwa ufungue Program jedwali, je ni hatua zipi utaufuata? ________

  1. Bofya menu ya start → Microsoft office →Programu jedwali 
  2. Bofya menu ya start → Microsoft word → Programu jedwali
  3. Bofya menu ya start → program jedwali → Microsoft office
  4. Bofya menu ya start → programu jedwali → Microsoft word 
  5. Bofya menu ya start → Microsoft office → Microsoft word     [       ]

7. Kijana mwenye nguvu na afya alisukuma ukuta kwa muda wa dakika kumi na ukuta huo haukudondoka. Kwa nini kijana huyo anaonekana hajafanya kazi _____________ 

  1. Alisukuma ukuta ambao haukusogea umbali wowote 
  2. Alitumia nguvu kidogo katika kuusukuma ukuta huo 
  3. Hakufuata mbinu za kisayansi katika kuusukuma ukuta 
  4. Hakujua uzito wa ukuta aliokuwa anausukuma     [       ]

8. Tabia ipi ya mwangahuwakilishwana upinde wa mvua unaoonekana katika mawingu ukiwana rangi mbalimbali saba? ____________________

  1. Kuakisiwa 
  2. Kusharabiwa 
  3. Kung’aa 
  4. Kutawanyika 
  5. Mnunuriko     [       ]

9. Baadhi ya watuhutoaharufu mbaya mwilini licha ya kuwa wanaoga kila asubuhi na jioni. Je, ushauri upi unapaswa kutolewa kwaoili kuondokana na tatizo hilo? _______________ 

  1. Kutumia maji safi na salama 
  2. Kutumia maji safi na kupaka mafuta 
  3. Kusafisha sehemu za siri na kwapa
  4. Kutumia sabuni na kupaka mafuta 
  5. Kutumia pafyumu     [       ]

10. Madhara ya kuwa na VVU/UKIMWI yanaweza kuwa kwa mtu binafsi, familia au Taifa. Yafuatayo ni madhara kwa mtu binafsi isipokuwa ____ 

  1. Hofu ya kifo 
  2. Kuugua mara kwa mara 
  3. Unyanyapaa 
  4. Kupunguza nguvukazi 
  5. Kupoteza diraya maisha     [       ]

11. Ili kuzima moto katika kitu kinachowaka, inashauriwa kufunika kwa nguo nzito kama blanketi. Nini lengo la kufanya hivyo? ___________________

  1. Kuondoa gesi ya oksijeni 
  2. Kuondoa gesi ya kaboni dayoksaidi 
  3. Kuongeza gesi ya kaboni monoksaidi 
  4. Kuondoa gesi ya naitrojeni 
  5. Kupunguzanguvu ya moto     [       ]

12. Nishati ya aina gani hupatikana kama matokeo ya vitu kugongwa na kupulizwa? ____ 

  1. Nishati ya sauti 
  2. Nishati ya umeme
  3. Nishati ya mwanga
  4. Nishati ya mawimbi 
  5. Nishati ya joto     [       ]

13. Ukitazama maji yaliyotulia vizuri utaiona sura yako. Kitendo hicho kinaonesha tabia gani ya mwanga? ________ 

  1. Kusafiri 
  2. Kupinda 
  3. Kupenya 
  4. Kuakisiwa 
  5. Kusharabiwa     [       ]

14. Wanafunzi wa Darasa la Saba walifanya jaribio la kurusha juu kipande cha chuma na puto lililojazwa hewa. Matokeo yake puto lilielea juu na chuma kilianguka chini. Je ni sifa ipi iliwezesha puto kuelea? __________ 

  1. Kuwa na uzito na hewa kwa ndani 
  2. Kuwa na hewana uzito kwa ndani 
  3. Kuwa na uwazi na uzito kwa ndani 
  4. Kuwa na mabawa na hewa kwa ndani 
  5. Kuwa na uwazi nahewa kwa ndani     [       ]

15. Namna ipi ya maada ni nyepesi zaidi kuliko zingine? _______

  1. Kimiminika 
  2. Barafu 
  3. Hewa 
  4. Maji 
  5. Yabisi     [       ]

16. Mwalimu wa Darasa la Sita anataka kuandaa matokeo ya mtihani ya nusu muhula kwa kutumia programu ya tarakilishi ili kuokoa muda. Je,utashauri kutumia programu gani? _______ 

  1. Programu jedwali 
  2. Program andishi 
  3. Programu endeshi 
  4. Program tumizi 
  5. Programu sakuzi     [       ]

17. Wanafunzi wa Darasa la Saba walipewa kazi ya kutengeneza antena. Je, ni hatua ipi ya kwanza wanatakiwa kuzingatia kabla ya kuanza kutengeneza antena? ____________________ 

  1. Kuchagua aina ya antenna 
  2. Kusanifu antenna 
  3. Kubaini matumizi ya antenna 
  4. Kuchagua vifaa vya kutumia
  5. Kuunda antenna     [       ]

18. Uwezo alimuona fundi mitambo akiweka kilainishi kwenye sehemu ya toroli inayoshikilia gurudumu. Je, nini umuhimu wa kufanya hivyo? __________ 

  1. Kuzuia vumbi 
  2. Kufanya ziwe safi 
  3. Kuzuiakutu 
  4. Kuzuia uchafu 
  5. Kupunguza msuguano     [       ]

19. Mwalimu mkuu amewapa Wanafunzi wa Darasa la saba kazi ya kupakia mifuko ya mahindi kwenye lori. Je,watatumia mashine ipi kurahisisha kazi hiyo? ______________________ 

  1. Kamba 
  2. Wenzo 
  3. Kabari 
  4. Gurudumu 
  5. Roda     [       ]

20. Misumari yote iliyoachwa njena fundi seremala alipokuwa anarekebisha moja ya darasa la shule ilibadilika rangi na kuwa kahawia. Je, ninikilisababisha kutokea kwa rangi hiyo? __________________ 

  1. Unyevunyevu na oksijeni 
  2. Mwanga na oksijeni 
  3. Unyevunyevu na mwanga 
  4. Nitrojeni na unyevunyevu
  5. Oksijeni na nitrojeni     [       ]

21. Watoto walipotembelea hifadhi ya Taifa,walipewa kifaa kilichosaidia kuwaona wanyama waliokuwa mbali. Je, unafikiri walipewakifaa gani? ____________ 

  1. Hadubini 
  2. Periskopu 
  3. Darubini (
  4. Miwani 
  5. Kamera     [       ]

22. Unahitaji kufanya nini ili kutoa msaada wa awali kwa mtu anayeungua moto uliosababishwa nakulipuka kwa mafuta ya petroli? __________ 

  1. Kumtoa nguo zote 
  2. Kummwagia maji 
  3. Kumfunika blanketi zito 
  4. Kumfunika na kitambaa cha baridi 
  5. Kumpeleka hospitali     [       ]

23. Mkulima ameumwa na nyoka mguuni Kama mtaalamu wa sayansi, utampa msaada gani wa awali? __________________ 

  1. Kumpeleka hospitali 
  2. Kumfunga sehemu ya juu ya alipoumwa 
  3. Kumsugua kwa majivu na chumvi 
  4. Kumsafisha jeraha kwa maji safi na sabuni 
  5. Kumlaza chali huku miguu ikiwa juu     [       ]

24. Ni jozi ipi inawakilisha magonjwa yanayotokana na kurithi kasoro katika vinasaba kutoka kizazi kimoja kwenda kingine? _____________ 

  1. Selimundu na hemophilia 
  2. Kifafa na homa ya ini
  3. Ualibino na kichocho 
  4. Pumu na kaswende
  5. Hemofilia na kifua kikuu     [       ]

25. Umeshauriwa na vijana wenzako kujiunga na kikundi cha kufanya mazoezi. Kamamtaalamu katika sayansi ya afya, kwa nini ni muhimu kupokea ushauri huo? __________ 

  1. Kuimarisha uhusiano na watu
  2. Kupata marafiki wema 
  3. Kuimarisha afya ya mwili 
  4. Kujua aina za michezo 
  5. Kujua wachezaji bora     [       ]

26. Baada ya baba yao kupata homa kali, vidonda vya koo, kuvuja damu puani, masikioni na kinywani, watoto wake walionekana wakimkumbatia kama ishara ya upendo. Siku chache baadae, wote walipata dalili hizoza ugonjwa. Je waliugua ugonjwa gani? _______________________ 

  1. Ndui 
  2. Kichocho
  3. Ebola 
  4. Kuhara damu 
  5. Kipindupindu     [       ]

27. Asidi inayopatikana tumboni husaidia katika mmeng’enyo wabaadhi ya vyakula. Je, asidi hiyo ina kazi gani nyingine? ____ 

  1. Kuwezasha ufyonzaji wa virutubisho 
  2. Kuua vijidudu ambavyo vipo kwenye chakula 
  3. Kuwezesha misuli ya tumbo kusaga chakula 
  4. Kuyeyusha madini ambayo yapo kwenye chakula 
  5. Kumalizia mchakato wa kumeng’enya chakula     [       ]

28. Baada ya uchunguzi wa kitaalamu,iligundulika kuwa Bwana Chapakazi alikula chakula kilichokuwa na sumu. Ni ogani ipi ilitumika kupambana na matatizo ya afya aliyoyapata Bwana Chapakazi? __________________ 

  1. Ini 
  2. Figo 
  3. Ngozi 
  4. Moyo 
  5. Mapafu     [       ]

29. Ogani zipi zinaunda mfumo wa utoaji takamwili wa mamalia? ____ 

  1. Ini, figo, ngozi na mapafu 
  2. Figo, mapafu, nyongo na kongosho 
  3. Ini, figo, kibofu na mapafu 
  4. Ngozi, kibofu, figo na kongosho 
  5. Mapafu, ngozi, kibofu na figo     [       ]

30. Mzee Karanga alijikata katika kidole chake,damu iliyokuwa ikitoka ilishindwa kuganda kwa muda mrefu. Je, unafikiri Mzee Karanga amekosa nini katika damu yake? _____________ 

  1. Seli nyekundu 
  2. Chembe sahani 
  3. Plazima
  4. Seli nyeupe 
  5. Himoglobini     [       ]

31. Mwalimu alifanya jaribio la kuotesha mbeguya mmea ndani ya kisanduku kilichokuwa na tundu upande mmoja. Baada ya kuota,ilipinda kuelekea upande wenye tundu. Je, matokeo hayo yanaonesha nini? _______ 

  1. Mimea hukua kuelekea nje 
  2. Mimea hukua kufuata mwanga
  3. Mimea huhitaji eneo la wazi ili ikue 
  4. Mimea hupinda wakati wa ukuaji
  5. Mimea hujongea kwa kupinda     [       ]

32. Ndugu yako ana matatizo ya kutoona mbali. Utamshauri atumie vyakula gani mara kwa mara ili vimsaidie katika tatizo lake? __________ 

  1. Ndizi, machungwa na karanga 
  2. Wali, nanasi na nyama 
  3. Embe, chungwa na spinachi
  4. Karoti, mihogo na maharagwe 
  5. Mkate, ndizi na mihogo     [       ]

33. Mwanafunzi anataka kutengeneza sakiti rahisi ili apate mwanga katika nyumba. Je, ni vifaa vipi anavyotakiwa kuunganisha ili kufikia lengo hilo _______ 

  1. Gropu, waya na swichi 
  2. Selikavu, fyuzi na kikata sakiti 
  3. Selikavu, waya na glopu 
  4. Swichi, ethi na fyuzi 
  5. Fyuzi, waya na ethi     [       ]

34. Ungeambiwa utoe mfano wa kifaa chochote kinachotumika kama nyenzo daraja la pili,ungetaja kitu gani? __________ 

  1. Toroli 
  2. Mkasi 
  3. Nyundo
  4. Koleo 
  5. Fagio     [       ]

35. Ni kifaa kipi hutumika kuhifadhi kichakato kikuu? __________ 

  1. Monita 
  2. Skrini 
  3. Kashamfumo 
  4. Kibodi 
  5. Kiteuzi

36. Ipi ni kazi ya pau nyumbani kwenye programu andishi? _______ 

  1. Kufanya marekebisho kwenye waraka
  2. Kuchomeka michoro kwenye waraka 
  3. Kuandaa yaliyomo kwenye waraka 
  4. Kuandaa barua pepe
  5. Kuonyesha jina la faili     [       ]

37. Sakiti ya umeme imeunganishwa na kikinza ambacho hakibadiliki. Nini kitatokea kwenye mkondo wa umeme ikiwa volteji itaongezeka? __________

  1. Mkondo wa umeme utaongezeka 
  2. Mkondo wa umeme hautobadilika 
  3. Mkondo wa umeme utapungua
  4. Mkondo wa umeme utaongezeka na baadae kupungua 
  5. Mkondo wa umeme utapungua na baadae kuongezeka     [       ]

38. Vyanzo mbalimbali vya nishati zinazotumika kupikia majumbani huwa na madhara kwenye mazingira. Sababu ipi inaifanya nishati itokanayo na gesivunde kuwa nzuri kwa matumizi? ____ 

  1. Haitoimoshi katikauzalishaji wake 
  2. Inatoa gesi ya oksijeni 
  3. Inatoa gesi ya kabonidayoksaidi 
  4. Haina gharama katika uzalishaji
  5. Haitumiki kwa wingi     [       ]

39. Mwalimu alifundisha mambo mbalimbali kuhusu mabadiliko ya kiumbo. Je,ni mfano upiulitolewa na mwalimu kuelezea mabadiliko hayo? ____________

  1. Kuoza kwa mimea au wanyama 
  2. Chuma kupata kutu 
  3. Kuyeyusha sukari kwenye maji 
  4. Kuunguza kipande cha mti 
  5. Kuchachuka kwa maziwa     [       ]

40. Upi ni mpangilio sahihi wa maada kuanzia yenye kani kubwa hadi ndogo ya mvutano kati ya molekuli? _______________ 

  1. Yabisi, gesi na kimiminika
  2. Kimiminika, yabisi na gesi 
  3. Gesi, kimiminika na yabisi 
  4. Yabisi, kimiminika na gesi 
  5. Kimiminika, gesi na yabisi     [       ]

SEHEMU B

41. Chunguza Kielelezo kifuatacho kinachohusu mabadiliko ya kiumbo ya maji kisha jibu swali linalofuata

Kwa kutumia herufi A – D, bainisha mchakato unaosababisha mabadiliko ya hali moja kwenda nyingine kama mshale unavyoelekeza ____________________________________________________________________ 

42. Shule ya Msingi Chechemea iliandaa mahitaji ya vifaa vya kieletroniki vinavyohitajika pamoja na gharama zake kama inavyoonekana katika mkekakazi ufuatao:-


A

B

C

D

1

Namba

Jina la kifaa

Idadi

Gharma (Tsh.)

2

1

Televisheni

1

300,000

3

2

Tarakilishi

2

800,000

4

3

King’amuzi

1

90,000

5

4

Printa

1

250,000

6

5

Jumla



  1. Kifaa chenye jina la “tarakilishi” kipo katika seli gani? ________________________
  2. Je,utatumia fomula gani kupata jumla ya gharama za vifaa vyote?___________________

43. Mtu anaweza kuwa na magonjwa kama pumu, kisukari, kansa na shinikizo la damu kwa muda mrefu bila kuonesha dalili zozote. Magonjwa haya kwa pamoja yana sifa gani nyingine? ___

44. .Mara nyingi,mtu mwenye maambukizi ya VVU/UKIMWI huugua kifua kikuu. Kwa nini hutokeahivyo? _______________

45. (a)Ni kiungo kipi hupitisha virutubisho na hewa ya oksijeni kutoka kwa mama kwenda kwa kijusiwakati wa ujauzito? ___

(b)Kwa nini mwanamke ambaye ovari zake hazifanyi kazi hawezi kushika ujauzito? ______

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 36

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

SERIES EXAMINATION

STANDARD VII – MAY 2021

SOCIAL STUDIES

TIME: 1:30 HOURS 

INSTRUCTIONS 

1. This paper consists of 45 questions in section A, B, C, D and E 

2. Answer all questions 

3. Read all given instructions in the special answer sheet (OMR) and fill in all the needed information 

4. Write your name and examination number correctly on your answer sheet provided 

5. Use HB pencil for question 1 – 40 and blue or black pen for question 41 – 45 

6. Cellular phones and other printed materials are not allowed in the examination room

SECTION A: MULTIPLE CHOICE QUESTIONS 

Choose the most correct answer from the given alternatives and shade its letter in the answer 
sheet provided

1. Which action among the following does NOT cause environmental degradation?

  1.  Deforestation C. Bush and forests burning E. Wastes mismanagement 
  2. Afforestation D. Industrial activities

2. Which method among the following can be used to prevent floods?  

  1. Building houses in low land areas C. Crop rotation E. Building durable houses
  2. Cutting down trees    D. Planting trees

3. A sudden vibration or shaking that occurs in the upper layer of the earth’s surface is known as:

  1. Earth quake    C. Landslide E. Tornadoes 
  2. Volcanic eruption D. Tsunami

4. The temperature is higher in Dar es salaam, Tanga, Lindi and Mtwara than in Njombe, Arusha and Mbeya due to the difference in:

A. Latitude B. Elevation C. Attitude D. Rainfall E. Longitude  

5. The following are the advantages of being familiar with the weather of the places where we are living, EXCEPT: 

  1.  To choose the types of clothes to wear
  2. To take precautions of bad weather conditions
  3. To plan for agricultural activities
  4. It helps the pilots to take precautions before landing or flying their airplanes  ]
  5.  It helps to know the historical events that occurred in the past

6. How many years make a century?  

A. Ten years B. Twenty years   C. One hundred years D. Fifty years 

E. One thousand years

7. Which of the following hazards are associated with global warming?

  1. Earth quakes and wars C. Accidents and volcanic eruption E. Droughts and Floods
  2. Lightning and floods            D. Landslide and mud flows  

8. A prolonged period of abnormally low rainfall in a certain area is known as:

A. Drought    B. Flood C. Famine D. Landslide E. Hazard 

9. Which method of keeping historical records is mostly useful to illiterate people?

A. Written records B. Journals C. Oral narratives D. Library  E. Archives 

10. The skull of the earliest man was discovered at Olduvai Gorge by:

  1. Dr. Louis Leakey C. Dr. Livingstone E. Karl Peters  ]
  2. Dr. Charles Darwin D. Vasco Da Gama

11. Which of the following historical sites is famous for the ancient drawings and rock paintings? 

A. Isimila B. Kilwa C. Engaruka D. Olduvai Gorge E. Kondoa Irangi

12. The early man domesticated animals and plants during:

  1. Old Stone Age C. Iron Age  E. Digital Technology Age
  2. Middle Stone Age D. Late Stone Age  

13. Mkwawa is remembered as one among the heroes of our country because:

  1.  He discovered the skull of the earliest man at Olduvai Gorge
  2.  He signed bogus treaties with the British colonialists  
  3.  He organized and led the Maji maji war
  4.  He fought bravely against the German colonialists in Tanganyika
  5.  He proposed the theory of evolution of mankind

14. How many countries were the members of the East African Community between 1967-1977?

A. Two B. Five C. Three D. Six E. Seven  

15. When did the Germans stop colonizing Tanganyika?

  1.  After the Berlin conference        C. After the First Word War    E. After Maji Maji war
  2. After the formation of TANU     D. After the Second World War

16. The scramble for and partition of East Africa was completed by signing the Helgoland treaty between the Germans and the British in the year:                            ]

A. 1840 B. 1842 C. 1896 D. 1886 E. 1890

17. The agents of colonialism who came to Africa with an agenda of spreading Christianity were:

A. Traders B. Explorers C. Missionaries D. Settlers E. Arabs 

18. Who among the following was the first British governor in Tanganyika?

  1. Julius Von Soden C E.dward Twinning  E. Donald Cameron
  2. Horrace Byatt D. Richard Turnbull

19. Who was led the African National Congress (ANC) during the struggle for independence in Tanganyika? 

  1. John Rupia   C. Martin Kayamba   E. Zuberi Mtemvu
  2. Oscar Kambona   D. Mohammed Shamte

20. Drama, dance and films are examples of:  

A. Fine arts     B. Performing arts C. Craft arts D. Literary arts  E. Invisible arts

21. What is the benefit of traditional dances?  

  1.  They promote laziness                D. They lead to the spread of HIV/AIDS
  2.  They promote gender inequality   E. They promote culture of a particular society
  3. They promote early marriages

22. Mtemi Isike and Mirambo were the leaders of:

A. Gogo B. Yao C. Nyamwezi D. Hehe E. Ngoni  

23. Most African countries got their political independence in:

A. 1950s B. 1960s C. 1900s D. 1970s E. 2000s

24. The pipeline that transports crude oil from the port of Dar es salaam to Ndola in Zambia is known as: A. TANAPA  B. TAZARA C. TAZAMA   D. SONGAS E .TIPER

25. What is the difference in time between Kigali 300 E and Mogadishu 600E?

A. 30 minutes B. 15 minutes C. 3 hours D. 1 hour E. 2 hours 

26. Which of the following map symbols represents a mountain peak?


 


27. What type of map scale is suitable for drawing a map of the classroom?  ]

A. Ratio scale B. Medium scale C. Linear scale D. Small scale 

E. Large scale

28. Which heavenly body appears at the centre during the lunar eclipse?

A. Sun B. Moon C. Earth D. Mercury E. Neptune  ]

29. The line of latitude that is marked 23 1/2 o North of Equator is known as:

  1. Tropic of Cancer C. Greenwich meridian E. Antarctic circle
  2.  Tropic of Capricorn D. Arctic circle

30. The length of day and night is equal when the sun is overhead at the:

  1. Equator              C. Tropic of Capricorn  E. Southern Pole 
  2.  Prime Meridian  D. Tropic of Kansa

31. The following are NOT commercial crops, EXCEPT: 

A. Maize  B. Banana C. Cassava D. Sorghum E. Pyrethrum

32. The hardest minerals which are used for decorations and cutting glasses are called:

A. Diamond B. Gold C. Tanzanite D. Limestone E. Coal  

33. Which production activity among the following takes place in the areas with reliable rainfall and fertile soils?

A. Mining B. Fishing C. Industry D. Farming E. Pastoralism 

34. The following are advantages of the tourism, EXCEPT:

  1. To get foreign currency C. Increase of national income E. Growth of national economy
  2. Employment opportunities D. Environmental degradation  

35. Mtibwa, Kilombero, Kagera and Moshi are famous areas for growing:

A. Tea B. Sisal C. Coffee D. Cotton E. Sugar cane 

36. An activity that involves the exchange of goods or services from one person to another for money is known as:

A. Tourism B. Trade C. Transportation D. Selling E. Buying  

37. The art of making various items such as mats, carpets and baskets using fibres is known as:

A. Sculpturing B. Modeling C. Weaving D. Pottery E. Printing 

38. One of the signs of puberty for girls is:

  1. Strong voice C. Growth of hair on the chin E. Good smell 
  2. Expansion of chest D. Beginning of menstruation

39. Why is it recommended to frequently open the oven when baking bread?

A. To increase taste C. To add salt   E. To remove sugar 

B .To make the bread boil fast D. To avoid the bread to be burnt

40. The money that an entrepreneur makes in a business after paying the costs involved is known as: A. Expenditure B. Capital              C. Sales              D. Savings              E. Profit                            ]

SECTION B: SHORT ANSWER QUESTIONS 

Answer the following questions by supplying short answers in the spaces provided in your 
answer sheet

41. Why should we dry our bodies after bathing?

42. Who is the current chairperson of East Africa Community (EAC)?

43. Briefly explain how transportation stimulates economic development of Tanzania

44. The first Vice President of the United Republic of Tanzania was called

45. Explain any two negative effects of fire hazards 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SOCIAL EXAM SERIES 35

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

SERIES   EXAMINATION

STANDARD VII – MAY 2021

CIVICS AND MORAL STUDIES

TIME: 1:30 HOURS 

INSTRUCTIONS 

1. This paper consists of 45 questions in section A, B, C, D and E 

2. Answer all questions 

3. Read all given instructions in the special answer sheet (OMR) and fill in all the needed information 

4. Write your name and examination number correctly on your answer sheet provided 

5. Use HB pencil for question 1 – 40 and blue or black pen for question 41 – 45 

6. Cellular phones and other printed materials are not allowed in the examination room

SECTION A: MULTIPLE CHOICE QUESTIONS 

Choose the most correct answer from the given alternatives and shade its letter in the 
answer sheet provided

1. An act of showing polite behavior towards others is known as:

A. Apologizing 

B. Respect 

C. Resilience 

D Betrayal 

E. Hypocrisy 

2. Who is responsible for helping the needy?

  1.              Government leaders only 
  2.              D. Religious and government leaders
  3.              Family members only 
  4.              E. Parents 
  5.              The government and everyone in the society

3. The national symbol which shows the power and authorities of the President of Tanzania is called:

  1.              Picture of the President C. National Emblem E. National torch 
  2.              The State House D. President’s flag

4. What do the pictures of the crossed axe and hoe on the Tanzania’s coat of arms represent?

  1.              Defense and security C. Natural resources E. Unity and solidarity
  2.              Peace and love D. Workers and peasants 

5. The following are countries which share borders with Tanzania, EXCEPT: 

A. Rwanda B. Burundi C. Kenya D. Zambia E. Somalia 

6. Patriotism, socialism, unity, peace and human dignity are some of our:

  1.              National symbols C. National culture E. Human rights
  2.              National values D. National resources 

7. The feeling of strongly loving and supporting one’s country and being ready to defend and protect it is termed as:

A. Integrity B. Resilience C. Patriotism D. Democracy E. Socialism 

8. The activities which people do without expecting anything in return are known as:

  1.              Risk behaviors C. Self-discipline E. Responsibilities
  2.              Voluntary activities D. Involuntary activities 

9. The social and cultural relationship between male and female in the community is termed as: A. Gender              B. Sex              C. Culture              D. Traditions E. Customs 

10. Who is the topmost leader in the structure of the school leadership?

  1.              School Matron C. Head teacher E. Deputy head teacher
  2.              School director D. Academic teacher 

11. Who prepares the school timetable?

  1.              Head teacher C. Academic teacher E. Head prefect
  2.              Discipline teacher D. Assistant head teacher 

12. Which of the following traditions and customs needs to be preserved?

  1.                 Respecting elders C. Widow Inheritance E. Early marriages
  2.                 Stigmatizing the disabled people D. Forced marriages 

13. An act of pretending to be good to someone but acting differently is termed as:

A. Hypocrisy B. Tolerance C. Respect D. Transparency E. Integrity 

14. A person who has trained to advise people with social or personal problems is known as:

A. Trainer B. Mentor C. Advocate D. Counselor E. Patriot 

15. Which of the following actions does NOT show respect to the community members?

  1.                 Greeting C. Dressing decently E. Helping elders
  2.                 Using polite language D. Using abusive language 

16. The following are the qualities of an educated person, EXCEPT: 

A. Integrity B. Conducting research C. Innovative D. Confidence 

E. Hypocrisy

17. Which of the following actions shows misuse of public resources in our country?

  1.              Participating in general election C. Fraud E. Honesty 
  2.              Obeying laws of the country D. Trustworthy

18. A person who uses violent acts or force to threaten peace and security in a given country is known as:

A. Refugee B. Patriot C. Ambassador D. Terrorist E. Poacher 

19. The law that prohibits the manufacture, supply, importation and use of plastic bags in Tanzania came into force on:

  1.              1st June 2019 C. 25th April 2017 E. 26th January 2006
  2.              1st July 2000 D. 18th March 2018 

20. What is the advantage of obeying laws and regulations?

  1.              It creates wars and misunderstandings D. It promotes fear and disunity
  2.              It endangers the security of the society E. It promotes unity and insecurity 
  3.              It promotes peace and harmony

21. Defense and security of our nation and its resources is the responsibility of:

  1.              Government leaders C. All Tanzanians E. Local governments
  2.              Police force D. Tanzania People’s Defense Force 

22. Which institution is responsible for collecting taxes and other lawful contributions in Tanzania? A. TANAPA              B. BASATA              C. TAA              D. TRA              E. E. TBS                            ]

23. The executive organ of the village government is:

  1.              Village Chairperson C. Village assembly E. Village Committee
  2.              Village Council D. Ward assembly 

24. The leader who is elected by the citizens at the ward level is called:

  1.              Village chairperson C. Member of parliament E. Village Executive Officer
  2.              Ward Councilor D. Ward Executive Officer 

25. The following leaders are appointed by the President of the United Republic of Tanzania, EXCEPT: 

  1.                 Prime Minister C. District Executive Director E. Inspector General of Police
  2.                 Regional commissioners D. Regional Police Commissioner 

 26. Which action among the following does NOT promote good governance at school? 

  1.              Conducting election of school prefects D. Protecting the school resources
  2.              Conducting class meetings and school assemblies E. Involving pupils in decision making
  3.              Breaking the school rule and regulation

27. Who is the main leader of all government businesses in the National Assembly of Tanzania?

  1.              President C. Speaker E. Vice president
  2.              Prime Minister D. Deputy speaker 

28. At which level of the judicial system of Tanzania are the treason and murder cases heard?

  1.              Primary court C. High court E. District court
  2.              Court of Appeal D. Resident Magistrate court 

29. The Resident Magistrate Courts are also known as:

  1.              High courts C. District courts E. Courts of appeal
  2.              Primary courts D. Regional courts 

30. In which year was the Court of Appeal of Tanzania established?

  1.              1975              C. 1964 E. 2005
  2.              1979              D. 1996 

31. What does the analysis of the action plan for doing voluntary activities include?

  1.                 Evaluation of objectives C. Action plan documents E. Setting goals
  2.                 Preparation of resources D. Action plan chapters 

By MADEP 0767632301 / 0678827971 DSM © 2021


32. A planned event which involves selling and buying goods and which is done in competition form is known as:

  1.              Petty business C. Domestic trade E. Auction
  2.              Investment D. Charity dinner 

33. Which of the following donations is NOT helpful to a school?

  1.              Furniture C. Soft drinks like soda and beer E. Text books
  2.              Scholastic materials D. School uniforms 

34. Where is legal aid provided?

A. At school B. At home C. At the court D. In prison E. At the church 

35. The situation in which there is security and calm, and in which there is no war, conflicts or violence is referred to as:

A. Peace B. Defense C. Laws D. Relationship E. Respect 

36. Which of the following actions promotes peace and security in the community?

  1.              Breaking the laws C. Disobeying the community laws E. Voluntary obedience of laws
  2.              Quarrelling with others D. Developing bad habits 

37. An act of exposing or revealing the secret of a person to an enemy is known as:

  1.              Backbiting C. Betrayal E. Hypocrisy
  2.              Self-respect D. Gossiping 

38. Which organ is responsible for firefighting and rescue operations in Tanzania?

  1.              Police force C. Mgambo militia E. Sungusungu
  2.              Prison force D. Fire and Rescue force 

39. In which year was the fire and rescue force of Tanzania formed?

A. 1997 B. 2003 C. 2007 D. 2013 E. 2017 

40. Sozi’s house was burning as a result of an electric shock. Which number would Sozi dial to ask for help from the organ that deals with firefighting and rescue operations?

A. 112 B. 114 C. 114 D. 100 E. 113 

SECTION B: SHORT ANSWERS QUESTIONS 

Answer questions 41-45 by writing the correct answers in the spaces provided in your answer sheet

41. How does a voluntary action plan help pupils to perform well in their studies?

42. The main organ that coordinates and implements all development activities at the ward is called

43. Who swears in the winner a presidential election?

  1. Which organ in Zanzibar Revolutionary Government has the same function as the Parliament of the United Republic of Tanzania?              
  2. Mention two reasons as to why the school song is important
  1.                           
  2.            

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN CIVICS AND MORALS EXAM SERIES 34

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

SERIES   EXAMINATION

STANDARD VII – MAY 2021

SCIENCE

TIME: 1:30 HOURS 

INSTRUCTIONS 

1. This paper consists of 45 questions in section A, B, C, D and E 

2. Answer all questions 

3. Read all given instructions in the special answer sheet (OMR) and fill in all the needed information 

4. Write your name and examination number correctly on your answer sheet provided 

5. Use HB pencil for question 1 – 40 and blue or black pen for question 41 – 45 

6. Cellular phones and other printed materials are not allowed in the examination room

 

SECTION A: MULTIPLE CHOICES

Choose the correct answer by writing its letter on answer sheet provided.

  1.         A part of a flower which receives pollens is called __________________________

A. Style 

B. Stigma 

C. Stamen 

D. Ovary 

E. Filament

  1.         A form of static electricity produced when two clouds of different charges collide is known as  

A. Lightening 

B. Thunder 

C. Generator 

D. Atomic 

E. Rectifier

  1.         Convert 1220F into 0C. 

A. 500C 

B. 600C 

C. 700C 

D. 400C 

E. 550c

  1.         The following are chemical changes EXCEPT. 
    A. Evaporating of water 

B. Cording of milk 

C. Burning of paper 

D. Rusting of iron 

E. Decaying of matter

  1.         In the following structure of a neurone part labeled B shows. 

A. Axon 

B. Nucleus 

C. Cytoplasm 

D. Dendrite 

E. Cell

6. The inner walls of a thermos flask are…………in colour to prevent heat loss.

A. Copper 

B. Gold 

C. Yellow 

D. Silver 

E. Cell 

7. The main function of the white blood cells is to  
A. Manufacturing blood 

B. Protect the body against diseases

C. Help blood clothing 

D. Give the blood its red colour 

E. To transport oxygen

8. The outcome of union between a male gamete X and female gamete Y is 

A. Fraternal twins 

B. Baby girl 

C. Baby boy 

D. Identical twins 

E. Siamese

9. Which among the following lists shows characteristics of living things? 

A. Dying, seeing and feeding 

B. Dying, reproducing and changing colour 
C. Respiring, sensing and hearing 

D. Breathing, reproducing and walking

E. Moving, respiring and reproducing

10. In order to maintain of our bodies we are advised to ______________________

  1.        Do physical exercise, eating balanced diet and resting
  2.        Oversleep, eating balanced diet and playing
  3.        Avoid manual work, eating balanced diet and sleeping
  4.        Do physical exercise and participate in sports
  5.        Eat well and do physical exercise all the time.

11. A tube that takes urine from the kidney to the urinary bladder is called __ 

A. Urethra 

B. Ureta 

C. Uterus 

D. Urine 

E. Fallopian tube

12. The bacteria that cause trachoma attacks the inner part of the eye and the part called  

A. Pupil 

B. Skin 

C. Conjunction 

D. Retina 

E. Iris

13. The following are the symptoms of (COVID 19) EXCEPT 
A. Headache, fever, flu, breathing difficulties 

B. Fever, headache, chest pain

C. Fatigue, flue and headache 

D. Coughing, flu and fatigue 
E. Sweating, coughing and flu

14. Myopia is a problem that can be corrected by using with_____________lens. 

A. Flat 

B. Concave 

C. Carved 

D. Convex 

E. spherical

15. All visible things __________light. 

A. Reflect 

B. Omit 

C. Absorb 

D. Bend 

E. Pass

  1.     We can measure a temperature of a body using  __________________________

A. Barometer 

B. Thermometer 

C. Hygrometer 

D. Ammeter 

E. Ohmmeter

  1.     Animals that feed on flesh are known as _______________________________

A. Carnivores 

B. Herbivores 

C. Omnivores 

D. Prey 

E. Reptiles

  1.     A device used to observe germs in the laboratory is known as_________________

A. Binocular 

B. Film 

C. Microscope D. Barometer 

E. Thermometer

  1.     The male part of a flower consist of __________________________________[ ]

A. Stigma and anther 

B. Anther and filament 

C. Style and filament

D. Ovary and style 

E. Stalk and ovary

  1.     Blood uses __ to clot in order to prevent blood loss when a person is injured
    A. Plasma 

B. Red blood cells 

C. White blood cells 

D. Fibrinogen 

E. Oxygen

  1.     A poisonous gas found in a burning charcoal is called  ______________________

A. CO2 

B. CO 

C. O2 

D. H2

E. N2

  1.     Oestrogen hormone is manufactured by ________________________________

A. Ovary 

B. Testes 

C. Urethra 

D. Vagina E. Urinary bladder

  1.     A gas taken out by pants as a waste product during photosynthesis is called 
    A. Hydrogen 

B. Carbon dioxide 

C. Cabornmonoxide 

D. Nitrogen 

E. Oxygen

  1.     All arteries carry oxygenated blood EXCEPT. 

A. Aorta 

B. Hepatic artery 

C. Vena cava 

D. Pulmonary 

E. Renal artery

  1.     An electric device that converts direct current (DC) into alternating current (AC) is called  

A. Medulla 

B. Rectifier 

C. Amplifier 

D. Voltmeter

E. Inveter

  1.     A force that enables human to walk without sliding is called  _________________

A. Friction

B. Attraction 

C. Temperature

D. Chemical 

E. Repulsion

  1.     In human digestive system , the hydrochloric acid can be found in the part called __ 

A. Liver 

B. Intestine

C. Gastric juice 

D. Stomach 

E. Kidney  

  1.     One of the following is NOT among the characteristics of carbon dioxide. 

A. Doesn’t have a fixed shape 

B. It is heavier than air 

C. Colorless

D. Doesn’t react with litmus 

E. All are correct

  1.     Whale and dolphins are some of___________that live in the ocean. 

A. Reptiles 

B. Mammals 

C. Fish 

D. Cattles 

E. Amphibians

  1.     An effort of 30kg was used to raise a load weighing 120kg. the mechanical advantage was  

A. 3 Joules 

B. 4 Joules 

C. 4              D. 5 kg 

E. 3

  1.     Which among the following lists shows a balanced diet? 

A  Rice, beans, ugali 

B. Cassava, Potatoes, ugali 

C. Rice, meat and beans 
D. Ugali, meat and fruits 

E. Vegetables, meat and spinach

  1.     Mr. Taluma is a short sighted person. We can help him by giving him spectacles with _____lens. 

A. Convex 

B. Flat 

C. Concave 

D. spherical 

E. Round

  1.     Farid carried a load weighing 35kg and stood with it on a road whose distance is 8km. calculate his work done.              

A. 100 Joules 

B. 280 Joules 

C. 2800 Joules 

D. 0 Joules 

E. 31

34. What does the symbol below represent in electricity?

A. Ammeter 

B. Bulb 

C. Direct current 

D. Transformer 

E. Ohmmeter

35. Calculate the current flowing through the circuit below. 

A. 0.75A 

B. 4.5 A 

C. 0.25A 

D. 7.5 A 

E. 2A

  1. When blood reaches the lungs it gains______________gas. 

A. Oxygen 

B. Carbon dioxide 

C. Hydrogen 

D. Nitrogen 

E. Helium

  1. The following are advantages of using internet EXCEPT. 

A. Advertisement 

B. Employment 

C. Communication 

D. Entertainment 
E. Cyber crime

  1. Part of radio which receives sound waves is known as _____________________

A. Turner 

B. Speaker 

C. Radio 

D. Antenna 

E. Meter band

  1. After fertilization the young one of a frog is known as _____________________

A. Larva 

B. Tadpole 

C. Pupa 

D. Egg 

E. Adult

  1. The poisonous substance found in cigarette which affects human lungs is called ___

 A. Caffeine 

B. Alcohol 

C. Nicotine 

D. Chlorine 

E. Methane 

SECTION B: SHORT ANSWERS QUESTIONS

  1. Culex mosquito is known is known for spreading a disease called
  2. Find the value of x in the following diagram.
  3. IRON + Y + WATER = RUST, Letter Y stands for________
  4. What is the value of angle Y from the diagram bellow?

  1. A ray marked B in a diagram above is called

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SCIENCE EXAM SERIES 33

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

SERIES  EXAMINATION

STANDARD VII – MAY 2021

ENGLISH LANGUAGE


TIME: 1:30 HOURS 

INSTRUCTIONS 

1. This paper consists of 45 questions in section A, B, C, D and E 

2. Answer all questions 

3. Read all given instructions in the special answer sheet (OMR) and fill in all the needed information 

4. Write your name and examination number correctly on your answer sheet provided 

5. Use HB pencil for question 1 – 40 and blue or black pen for question 41 – 45 

6. Cellular phones and other printed materials are not allowed in the examination room

 

SECTION A; GRAMMAR

Choose the correct words that complete the sentences by shading the letter of the correct answer in the answer sheet provided. 

  1. Mbua is ____________________________________________ a letter to her mother now.
    1. Wrote   (B) was writing  (C) write  (D) Written  (E) Writing
  2. Mtweve was cooking banana when her brother ________________________________
    1. Arrived  (B) arriving   (C) comes  (D) is coming  (E) arrive
  3. Students ____________________________ Mikumi National Park next month.
    1. Visit   (B) Visits   (C) will visit  (D) Visiting  (E) Visited
  4. The children always ___________________________________ playing with toys
    1. Liked   (B) like   (C) liking  (D) likes  (E) likeness
  5. _______________________________ Halima clean her teeth every day?
    1. Do   (B) does   (C) is   (D) has  (E) have
  6. I have been _____________________________________ for you for three hours
    1. Waiting  (B) waited   (C) waits  (D) wait  (E) Waiter
  7. Did you ____________________________ your homework last night?
    1. Finishes (B) finished   (C) finish  (D) finishing  (E) do finish
  8. Diamond is a great musician ____________________________________________?
    1. Is it  (B) Isn’t she   (C) is he  (D) Isn’t Diamond  (E) Isn’t he
  9. The teachers ________________________________ teaching mathematics at the moment
    1. Is   (B) were   (C) have  (D) are  (E) shall
  10.            Write the indirect speech for the sentence “I shall be writing exams this time tomorrow” he said.
    1. He said that he could be writing his exams the following day
    2. He said that he would be writing his exams the following day
    3. He said that he should be writing his exams the following day
    4. He said that he should be writing his exams this time tomorrow
    5. He said hat he shall be writing his exams the following day
  11. He will not pass his examination ___________________________________ he works hard
    1. But   (B) because   (C) even  (D) Unless  (E) and
  12. Witness is not ___________________________ tall __________________________ Allan

(A) Too ____to  (B) so ____ that  (C) as ___ as (D) either ___or (E) both ___ and 

  1. Inspite ____________________ his sickness he went to attend the meeting
    1. For   (B) into   (C) of   (D) to   (E) at

 

  1. The farmers can __________________________________ plant beans nor maize this year
    1. Either   (B) bot   (C) not  (D) neither  (E) also
  2. The bus moved slowly ____________________________ the bus stand
    1. Towards  (B) under   (C) over  (D) onward  (E) with
  3. The sun __________________________ from East to West
    1. Rises   (B) Rise   (C) Rising  (D) Rose  (E) Are Rising
  4. The lion was ________________________________ by the Masai hunters
    1. Kill   (B) Killing   (C) Killed  (D) Kills  (E) is killing
  5. Mr. Mangula is _____________________________________ honest man
    1. A   (B) an    (C) some  (D) the  (E) is killing
  6. I saw John eating Ugali _______________________________ a spoon

 (A) by   (B) with   (C) and  (D) for  (E) from 

20. Many passengers injured  ________________________________ in the accident.

 (A) themselves (B) our self   (C) themself (D) myself  (E) herself 

21. Mount Kilimanjaro is ____________________________________ than Mount Kenya 

 (A) higher  (B) high  (C) the highest   (D) very higher  (E) an highest 

22. This is the place ___________________________________ an accident happened last year 

 (A) who (B) whom  (C) where  (D) whose  (E) which 

23. I saw him throw a stone ______________________________ the window 

 (A) through (B) over  (C) in   (D) by   (E) on 

24. They travelled from Mwanza to Morogoro ____________________________ air plane 

 (A) by  (B) on   (C) with   (D) in    (E) at 

25. Nyanzobe and Nyanzara bought _____________________________ umbrella 

 (A) un  (B) an   (C) a    (D) the   (E) are  

26. It is known that the cow died ___________________________________ a year now 

 (A) by  (B) of   (C) for    (D) at    (E) on 

27. My uncle has been a teacher ________________________________ a year now 

 (A) at  (B) in   (C) on   (D) since   (E) for 

28. _________________________________________ Neema is beautiful, but also intelligent. 

 (A) both (B) either  (C) not only   (D) either   (E) and 

29. There isn’t ____________________________________ sugar in the tea 

 (A)an  (B) some  (C) many   (D) any   (E) little 

30. We have ________________________________ money in our pockets. 

 (A) many (B) plenty   (C) few   (D) much  (E) lot of 

 

SECTION B. VOCABULARY

Choose the correct answer that completes the sentences. 

31. A man whose wife has died is called a _______________________________________

 (A) Widower   (B) Widow  (C) orphan  (D) troublesome  (E) bachelor 

32. A person who flies an airplane is called a _____________________________________

 (A) police  (B) navigator  (C) judge  (D) pilot   (E) driver 

33. A pedestrian is a person who ______________________________________

 (A) pedals the bicycle   (B) walks on foot   (C) travels by car 

 (D) uses a pedal   (E) travels by train 

34. The plural form of the word sheep is _________________________________

 (A) Sheeps (B) ships  (C) sheep  (D) ship  (E) sheepy

35. A person who cuts other people’s hair is called a _____________________________

 (A) saloon  (B) barber  (C) hair cutter   (D) hair dresser  

(E) hair salon 

36. The pupils were ______________________ for winning their match against their opponents 

 (A) congratulated (B) celebrate   (C) praise   (D) confirmed                (E) concurred 

SECTION C: COMPOSITION

This section has four mixed sentences. Re arrange the sentences so as to make a good composition by giving them letter A, B, C and D shade the letter of the correct answer in your answer sheet. 

37. They were expecting to see their mother come through the gate at any moment 

38. “Why do you think she has not yet come” asked Kataga. “May be the bus from the market was late” answered Kimaro. 

39. One evening Kimaro and his younger sister Kataga were sitting on the door step of their house. 

40. It was now a quarter past six and she had not yet returned. 

 

SECTION D: COMPREHENSION

Read the following passage carefully then answer queston 41-45 by filling in the blanks shortly. 

My name is Baraka. My father’s name is Daudi and my mother’s name is Amina. I have two sisters Hawa and Anna while Hawa is older than I am. Anna is younger than I am. I have an elder brother Ado and younger twin brothers Kulwa and Doto. 

Our father is a businessman in Maendeleo town in the southern region of Tanzania. He has a big store of farm tools like hoes, pangas, slashers and spare part for tractors and oxen pulled carts. This mean our father has a home in Maendeleo town. 

We have original home in Mpapa village where our mother, brothers, sisters and bigger family unit live. This means that our grandparents, our uncles, aunties and our cousins live in Mpapa and work on coffee and maize farms. We also cultivate beans, pears and sunflower seeds. 

My elder brother and my sister Hawa have already completed school. Ado works with the coffee curing plant in Mbinga as mechanic. Hawa is a nurse at Majengo mission hospital. I myself am now in standard seven and I am hoping to do the primary school leaving examination toward the end of this year. 

During the holiday I normally join my mother, young brothers and sister and help in the farm work. We cultivate a lot of maize. We use some of it for our daily meals while we sell the rest to get some money for other uses. We also have a big coffee farm. Coffee is our main cash crop. 

QUESTIONS

41. Whos is the writer of this passage? ____________________________________________

42. How many brothers does Baraka have? _________________________________________

43. Which word that explain Mr. Daudi’s work _______________________________________

44. Where is the original residence of the writer’s family unit live?________________________

45. What is the main cash crop pf the area you have read about? ________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 32

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YAK RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINI MWISHO WA MUHULA

 

KISWAHILI

SEHEMU A SARUFI

Sikiliza kwa makini kifungu cha habari kitakachosomwa na msimamizi kisha jibu maswali 1-5

  1.                Kulingana na kifungu maji yameelezwa kuwa ni
  1.              Hewa
  2.               Mvua
  3.               Uhai
  4.              bahari
  1.                Neno ukame ni sawa na msimu upi?
  1.              Kiangazi
  2.               Vuli
  3.               Kipupwe
  4.              masika
  1.                Ni ukuzaji upi wa maji hutekeleza upanuzi wa uchumi wanchi?
  1.              Kupatia mifugo
  2.               Kusafiria
  3.               Kutolea umeme
  4.              Kuoshea vyombo
  1.                Watu wanaosafirisha maji hawatumii
  1.              Mikokoteni
  2.               Mitungi
  3.               Mifuko
  4.              magari
  1.                Kulingana na kifungu kuna madhehebu ambayo _______ watu wao majini
  1.              huwazalia
  2.               huwaoza
  3.               huwabatiza
  4.              huwauza

 

Sarufi, msamiati na lugha ya kifasihi

6. Fanani aliihakikishia hadhira yake usalama. Maana ya neno fanani ni ____

A. Msikilizaji 

B. Msimuliaji 

C. Mpambe 

D. Mnoko 

E. Mstaarabu

7. Neno lipi kati ya haya lipo katika ngeli ya LI – YA?

A. Ugonjwa 

B. uzima 

C. ufunguo 

D. mbeleko 

E. sherehe

8. Sina nasaba na wewe. Neno lililopigiwa mstari lina maana ya

A. Ukoo 

B. hamu 

C. shauku 

D. dukuduku 

E. haja

9. Watu wengi walihudhuria katika……….. ya harusi ya dada yangu.

A. Kalamu 

B. mahari 

C. Karamu 

D. Mbwembwe 

E. sherehe

10. ni mtu mwenye elimu ya nyota.

A. Mwananyota 

B. Mtabiri 

C. Mnajimu D. Mganga 

E. Bingwa

  1.                     Uliona              baada ya kuingia visiwa vya Pemba? 

A. Ujasiri B. fahali C. hodari D.kuona E. fahari

  1.        Wanafunzi watafanya mtihani wa Kiswahili wiki ijayo, kifungu cha maneno “wiki ijayo” kinaonyesha ___              

A. Kielezi B. kivumishi C. kitenzi D. nomino E. kiwakilishi

  1.                     Katika kitenzi “wanalima” mzizi ni upi?

              

  1.                      Ukila embe bichi utaumia tumbo. Neno lililopigiwa mstari ni aina gani ya kivumishi?[ 

A. Idadi B. a__unganifu C. sifa D. kuonyesha E. kumiliki

  1.                     Neno lenye maana sawa au karibu sawa na “maamuma” ni 

A. Marehemu B. mwonevu C. Mjumbe D. Mfuasi E. kati

  1.                     Chakula hiki kina__________________tamu. 

A. Radha B. ladha C. laza D. raza E. latha

  1.                     Mtoto akizaliwa _______________________________________________________

A. Tungesherehekea B. tutafurahi C. tungalifurahi E. furaha D. furahisha

  1.                     Mchanganyiko wa mboga au matunda unaoliwa bila kupikwa huitwa ____________________

A. Mchicha B. nyanya C. kabichi D. saladi E. kachumabri

19. Mpira umegonga mwamba nusura goli liingie. Neno gani linaonesha kitenndwa? [ ]

A. Mwamba B. Nusura C. Goli D. mpra E. liingie

20. Kifaa kinachotumika kuhifadhi kisu huitwa ________________________________[ ]

A. Podo B. ala C. waleti D. rafu E. hori

21. Tegua kitendawili hiki” Maji ya kisima hiki hayawezi kumaliza kiu” [ ]

A. uji B. mate C. Soda D. dafu E. chai

 22. Waliendesha kilimo kwa nguvu zote. Ni nahau ipi inayoendana na melezo haya? [ ]

A. Kufa na kupona B. kufuatana sanjari C. kucheza shere

D. kutia moyo E. kumchimba mtu

23. Mjumbe wetu yu maji wodini. Nini maana ya nahau hii? [ ]

A. Amepona B. Amekaa C. Anacheka D. Amezidiwa E. Buheri wa afya

24. Bura yangu sibadili na rehani. Methali ipi ina maana sawa na hii? 

A. Usiache mbachao kwa msala upitao B. akiba haiozi C. Sikio la kufa halisikii dawa

D. Mfa maji haachi kutapatapa E. Haba na haba hujaza kibaba

25. Majambazi wale walipanga njama zao katika pembe za chaki. Nini maana ya usemi uliopigiwa mstari?              

A. Mahali pa wazi B. Penye haiki ya watu C. Nje ya nyumba

D. Mahali pa siri pasipojulikana E. Mhali pa wazi kuingia

26. Kamilisha methali, baada ya tufani  ______________________________________

A. raha B. huja shwari C. mateso D. mapatano E. huja fujo

27. Mgosi alikuwa na kichwa cha panzi. Msemo “kichwa cha panzi” una maana ipi? 

A. Msikivu sana B. Ana utambuzi C. Msahaulifu sana D. Ana kumbukumbu

E. Mtiifu sana

28. Methali ipi kati ya hizi zifuatazo inapingana na hii, Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu? A. Panya wengi hawachimbi shimo B. Kidole kimoja hakivunji chawa              

  1.                          Palipo na wengi hapaharibiki neno
  2.                          Mkono mmoja hauchinji ng’ombe E. Jifya moja haliinjiki chungu

29. Kamilisha methali hii, “Ukiona zinduna
A. Kuna ajali B. ujue kuna jambo C. ujue kuna fedha D. ambari iko nyuma E. hausimiki

30. Kitendawili, Dume wangu amelilia machungani ______________________________

A. Moto B. radi C. mvua D. jua E. mwezi

31. Mjomba alimpiga___________shangazi ikiwa ni ishara ya upendo. 

A. pasi B. makofi C. viboko D. mguu E. busu

32. Mtu aliyezaliwa nawe kwa baba, kwa mama au kwa wazazi wote wawili utamwitaje?

A. kaka B. binamu C. ndugu D. dada E. jamaa 

33. ____ kwamba wananchi wengi wanajua kusoma na kuandika. 

A. imethihirika B. imezihirika C. imethihirika D. imedhihirika

E. imedhihilika

34. Mahaliambako vita hupiganwa hujulikana kama ______________________________

A. dimba B. medani C. ulingo D. uga E. uzio

35. Mafuta yanayotokana na wanyama kama ng’ombe au ngamia ambayo hutumika kupikia huitwa __ 

        A. mtindi B. siagi C. jibini D. mgando E. samli

SEHEMU YA B

UTUNGAJI

Panga sentensi zifuatazo katika mtiririko unaofaa kwa kuzipa herufi A to E

36. Mwalimu na wanafunzi wenzangu walinipongeza sana.

37. Mwezi uliopita tulifanya jaribio la Kiswahili.

38. Sasa naendelea kujiandaa kwa ajili ya mtihani wa taifa mwezi Septemba.

39. Baada ya siku moja, matokeo ya jaribio hilo yalitoka.

40. Mimi nilifanikiwa kupata alama tisini na kuwa wa kwanza katika darasa.

SEHEMU C: UFAHAMU

Soma habari ifuatayo, kasha jibu maswali.

Waandishi mashuhuri ambao walikuwa hodari kwa kufikiri na kutunga mambo yenye tija, ilipofika safari kwenda kusiko na rejea basi halikuweza kuwa na saburi wote wamekwenda zao. Walikuwa watu wenye kupendwa na walipenda kuwafadhili wenzao. Watu hawa walipendwa kwa mapenzi ya ajabu mfano hakuna. Imebaki historia maana kurejea hawawezi hata tulie vilio na machozi ya damu hawawezi kurudi watu hao. Walitenda mambo kwa hekima zote katika uhai wao, basi wakawa wenye kuvuma kwa vyeo na sifa zao. Wote wamezama na zimebaki sifa zao.

MASWALI

  1. Watu ambao wanazungumzia kwenye habari walikuwa akina nani?_____________________
  2. Mwandishi wa habari hii ameelekeza kuwa, watu wanazungumzia wamekwenda

wapi?_____________________________________________________________

  1. Nini maana ya neno saburi kama ilivyotumika kwenye habari? _______________________
  2. Kwanini mwandishi anasema watu hai walikuwa hodari?
  3. Mwandishi anaposema wote wamezama ana maanisha nini?

 

KIFUNGU CHA SWALI LA KWANZA

Maji ni uhai. Maji huhitajika katika maisha yetu ya kila siku. Tunahitaji maji ya kunywa, kupika , kuoshea na kupatia mifugo yetu

Maji ni muhimu katika kilimo. Mimea haiwezi kustawi bila maji. Maeneo ya nchi ambayo hayana mvua au mito hayavutii watu wengi kuishi humo. Wenyeji wa sehemu hizo hukabiliwa na ukame miaka nenda miaka rudi. Baadhi yao hufa kwa njaa. Wengine hukonda na kuwa wembamba kama sindano kwa kukosa lishe bora

Viwanda navyo huhitaji maji ili kuendeleza shughuli zao. Nguvu za umeme anghalabu hutolewa kwenye mianguko ya maji. Bila umeme nchi haiwezi ikastawi ipasavyo kiuchumi.

Katika nchi imani za kidini, kuna madhehebu ambayo hutumia maji kubatiza waumini wao. Watu wengi huamini ni baraka kutoka kwa mungu.

Watu wengi huuza maji na kujipatia riziki zao. Wao hutumia mitungi, mikokoteni na hata magari kusafirisha maji

Maji ni muhimu katika nyanja za usafiri . kuna maeneo makubwa ya nchi yenye maji pakee. Haya huitwa bahari abiria wanakosafiri majini hutumia meli kwa hivyo matumizi ya maji ni chungu nzima. Kwa kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame hatuna budi kuhifadhi maji na pia kutunza sehemu yanakotoka ili yaendelee kutufaa.

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 31

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YAK RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINIDARASA LA VII MAY 2020

MAARIFA YA JAMII

Muda: saa 1

MAELEKEZO:

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

SEHEMU A: MASWALI YA KUCHAGUA 

Chagua jibu sahihi kisha siliba herufi ya jibu hilo katika karatasi ya kujibia uliyopewa

1. Shughuli zifuatazo zinasababisha uchafuzi wa mazingira, ISIPOKUWA:

  1.            Ukataji miti ovyo C. Kuchoma misitu na vichaka E. Kutupa taka ovyo [ ]
  2.            Kupanda miti D. Shughuli za viwanda

2. Njia mojawapo ya kuzuia mafuriko ni:

  1.            Kujenga nyumba kwenye mabonde C. Kilimo cha mzunguko E. Kujenga nyumba zinazohamishika
  2.            Kukata miti D. Kupanda miti [ ]

3. Mtetemo wa ghafla unaotokea juu ya uso wa dunia hujulikana kama:

  1.                 Tetemeko la ardhi C. Maporomoko ya ardhi E. Tufani [ ]
  2.                 Mlipuko wa volkano D. Tsunami

4. Joto la Dar es salaam, Tanga, Lindi na Mtwara ni kubwa kuliko la Njombe, Arusha na Mbeya kutokana na tofauti ya: 
A. Latitudo B. Mwinuko C. Mtazamo D. Mvua E. Longitudo [ ]

5. Zifuatazo ni faida za kufahamu hali ya hewa ya eneo fulani, ISIPOKUWA:

  1.            Kuchagua aina ya mavazi ya kuvaa
  2.            Kuchukua tahadhari dhidi ya majanga ya hali ya hewa
  3.            Kupanga shughuli za kilimo
  4.            Huwasaidia marubani kuchukua tahadhari kabla ya kurusha ndege au kutua [ ]
  5.            Kujua matukio ya kihistoria yaliyotokea hapo zamani

6. Karne moja ni sawa na miaka mingapi?

A. 10 B. 20 C. 100 D. 50 E. 1000 [ ]

7. Miongoni mwa majanga yanayosababishwa na kuongezeka kwa joto duniani ni:

  1.            Tetemeko la ardhi na vita C.Ajali na mlipuko wa volkano E. Ukame na mafuriko
  2.            Radi na mafuriko D. Maporomoko ya ardhi na mmomonyoko wa udongo [ ]

8. Hali ya upungufu au ukosefu wa mvua kwa kipindi cha muda mrefu hujulikana kama:

A. Ukame B. Mafuriko C. Njaa D. Kipupwe E. Majanga [ ]

9. Njia ipi ya kuhifadhi kumbukumbu za matukio ya kihistoria hutumiwa zaidi na watu wasiojua kusoma na kuandika? A. Vitabu              B. Maandishi C. Mazungumzo ya mdomo D. Maktaba E. Nyaraka              [              ]

10. Fuvu la kichwa cha mtu wa kale zaidi liligunduliwa katika bonde la Olduvai na:

  1.            Dk. Louis Leakey C. Dk. Livingstone E. Karl Peters [ ]
  2.            Dk. Charles Darwin D. Vasco Da Gama

11. Eneo la kihistoria ambalo ni maarufu kutokana na michoro ya mapangani nchini Tanzania ni:

A. Isimila B. Kilwa C. Engaruka D. Olduvai Gorge E. Kondoa Irangi [ ]

12. Binadamu wa kale alianza kilimo na ufugaji katika kipindi cha:

  1.            Zama za Mawe za Kale C. Zama za Chuma E. Zama za Kidijitali
  2.            Zama za Mawe za Kati D. Zama za Mawe za Mwisho [ ]

13. Mkwawa anakumbukwa kama miongoni mwa mashujaa wa nchi yetu kwa sababu:

  1.              Aligundua fuvu la kichwa cha mtu wa kale zaidi katika bonde la Olduvai
  2. Alisaini mikataba ya ulaghai na Waingereza [ ]
  3.              Aliongoza vita vya Majimaji dhidi ya Wajerumani
  4.              Alipambana na Wajerumani kwa ujasiri mkubwa
  5.              Aliasisi nadharia ya chimbuko la mwanadamu

14. Nchi ngapi zilikuwa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuanzia mwaka 1967 hadi1977?

A. Mbili B. Tano C. Tatu D. Sita E. Saba [ ]

15. Utawala wa Wajerumani nchini Tanganyika ulifika kikomo mwaka gani?

  1. Baada ya mkutano wa Berlin C. Baada ya vita vya Kwanza vya dunia E. Baada ya vita vya Maji Maji
  2. Baada ya kuundwa kwa TANU D. Baada ya vita vya pili vya dunia

16. Mgawanyo wa Afrika Mashariki kati ya Wajerumani na Waingereza ulikamilika mara baada ya kusainiwa kwa Mkataba wa Helgoland mwaka:

A. 1840 B. 1842 C. 1896 D. 1886 E. 1890 [ ]

17. Kundi gani la vitangulizi vya ukoloni lilifika Afrika kwa lengo kuu la kueneza dini ya Ukristo?

A. Wafanyabiashara B. Wapelelezi C. Wamisionari D. Walowezi E. Waarabu [ ]

18. Gavana wa kwanza wa Waingereza nchini Tanganyika alikuwa nani?

  1.                   Julius Von Soden C E.dward Twinning E. Donald Cameron [ ]
  2.                   Horrace Byatt D. Richard Turnbull

19. Chama cha ANC wakati wa harakati za kudai uhuru nchini Tanganyika kiliongozwa na nani?

  1.                   John Rupia C. Martin Kayamba E. Zuberi Mtemvu [ ]
  2.                   Oscar Kambona D. Mohammed Shamte

20. Maigizo,nyimbo na filamu ni mifano ya aina gani ya sanaa?

  1.                   Sanaa ghibu C. Sanaa za ufundi E. Sanaa zisizoonekana
  2.                   Sanaa za maonyesho D. Sanaa za fasihi [ ]

21. Ngoma za asili zina faida gani kwa jamii?

  1.     Huchochea uvivu D. Husababisha maambukizi ya magonjwa
  2.     Huleta utengano E. Huimarisha utamaduni wa jamii husika [ ]
  3.    Husababisha ndoa za utotoni

22. Mtemi Isike na Mirambo walikuwa ni viongozi wa kabila gani?

A. Gogo B. Yao C. Nyamwezi D. Hehe E. Ngoni [ ]

23. Nchi nyingi za Afrika zilianza kupata uhuru wao katika miaka ya:

A. 1950 B. 1960 C. 1900 D. 1970 E. 2000 [ ]

24. Bomba la mafuta linaloanzia Dar es salaam hadi Ndola nchini Zambia linaitwa:

A. TANAPA B. TAZARA C. TAZAMA D. SONGAS E .TIPER [ ]

25. Kuna tofauti gani ya muda kati ya mji wa Kigali uliopo nyuzi 300 Mashariki na mji wa Mogadishu uliopo nyuzi 600 Mashariki?

A. Dakika 30 B. Dakika 15 C. Masaa 3 D.Saa 1 E. Masaa 2 [ ]

26. Alama ipi ya ramani kati ya hizi zifuatazo huwakilisha kilele cha mlima?

  1.        Ni aina ipi ya kipimio cha ramani inaweza kutumika kuchora ramani ya darasa?

A. Kipimio cha uwiano B. Kipimio cha kati C. Kipimio cha mstari D. Kipimio kidogo E. Kipimio kikubwa                                                                                                                                                                  [              ]

  1.        Ni gimba lipi kati ya magimba yafuatayo huwa katikati ya magimba mengine wakati wa kupatwa kwa mwezi?
  1.            Jua
  2.            Mwezi
  3.            Dunia
  4.            zebaki
  5.             Kausi.

    29. Mstari wa latitude wenye nyuzi 231/2 kaskazini mwa ikweta hujulikan a kama;

  1.            Tropiki ya kansa
  2.            Meridani kuu
  3.            Mzingo wa antaktiki
  4.            Tropiki ya kaprikoni
  5.             Mzingo wa aktiki

30. Urefu wa mchana na usiku huwa sawa wakati jua linapokuwa la utosi katika;

  1.            Ikweta
  2.            Tropiki ya kaprikoni
  3.            Ncha ya kusini
  4.            Meridian kuu
  5.             Mzingo wa aktiki

         31. Urefu wa mchana na usiku huwa wakati jua linapokuwa la utosi katika;

  1.            Ikweta
  2.            Tropiki ya kaprikoni
  3.            Ncha ya kusini
  4.            Meridian kuu
  5.             Tropiki ya kansa.
  1.        Yafuatayo ni mazao ya chakula, ISIPOKUWA:

A. Mahindi B. Ndizi C. Mihogo D. Ulezi E. Pareto [ ]

  1.        Madini magumu zaidi ambayo hutumika katika mapambo na kukatia vioo hujulikana kama:

A. Dhahabu B. Shaba C. Tanzanaiti D. Chokaa E. Makaa ya mawe [ I

33. Shughuli ipi ya uzalishaji mali kati ya hizi zifuatazo hufanyika zaidi katika maeneo yenye udongo wenye rutuba na mvua za kutosha?

A. Uchimbaji wa madini B. Uvuvi C. Viwanda D. Kilimo E. Ufugaji [ I

34. Zifuatazo ni faida za utalii, ISIPOKUWA:

  1.              Hutupatia fedha za kigeni C. Kuongezeka kwa pato la taifaa              E. Kukua kwa uchumi wa taifa
  2.              Hutupatia ajira D. Uchafuzi wa mazingira [ I

35. Mtibwa, Kilombero, Kagera na Moshi ni maeneo maarufu kwa kilimo cha:

A. Chai B. Mkonge C. Kahawa D. Pamba E. Miwa [ I

36. Shughuli inayohusisha kuuza na kununua bidhaa hujulikana kama:

A. Utalii B. Biashara C. Uchukuzi D. Uuzaji E. Ununuzi

37. Sanaa ya kutengeneza bidhaa mbalimbali kama vile mikeka, mazuria na vikapu kwa kutumia majani au magome ya miti hujulikana kama:

  1.              Uchongaji
  2.               Ufinyanzi
  3.               Ufumaji
  4.              Upakuaji
  5.               Uchapaji

38. Miongoni mwa dalili za kubalehe kwa wanawake ni:

  1.              Kuwa na sauti nzito
  2.               Kuota ndevu
  3.               Kupanuka kwa kifua hedhi
  4.              Kutoa harufu nzuri

39. Kwanini unashauriwa kufunua jiko mara wakati wa kuoka mikate?

  1.              Kuongeza ladha
  2.               Kuongeza chumvi
  3.               Kuondoa sukari
  4.              Kufanya mikate ichemke haraka
  5.               Kuepuka kuunguza mikate

40. Kiasi cha fedha kinachobakia kwa mjasiriamali mara baada ya kulipa gharama za mtaji wa biashara hujulikana kama: A. Matumizi              B. Mtaji              C. Mauzo              D. Akiba              E. Faida              

SEHEMU B: MASWALI YA MAJIBU MAFUPI 

Jibu swali la 41-45 kwa kuandika majibu sahihi katika karatasi ya kujibia uliyopewa

  1.   Kwanini tunashauriwa kukausha maji mwilini mara baada ya kuoga?
  2.   Mwenyekiti wa sasa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ni nani?
  3.   Eleza kwa kifupi ni kwa jinsi gani shughuli za uchukuzi huchangia katika maendelelo ya taifa
  4.   Makamu mkuu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikuwa nani?
  5.   Eleza athari mbili za majanga ya moto 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 30

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YAK RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINI  DARASA LA VII MAY 2020

SAYANSI

 

Muda: saa 1

MAELEKEZO:

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

SEHEMU A: KUCHAGUA

  1.                  Sehemu ya ua ambayo hupokea chavua au poleni huitwa _____________

A. Staili 

B. Stgma 

C. Stameni 

D. Ovari 

E. Filament

  1.   Matokeo ya umeme tuli baada ya mawingu kuganda katika mizazi huitwa  

A. radi 

B. ngurumo 

C. jenereta 

D. atomi 

E. rectifier

  1.      Jotoridi 1220F ni nyuzi ngapi za sentigredi  ______________________

A. 500C 

B. 600C 

C. 700C 

D. 400C

  1.                  Ipi katika ya ifuatayo sio badiliko la kikemikali katika maada_________

A. Uvukizwaji wa maji 

B. Kuganda kwa maziwa 

C. Kuunguza karatasi

D. Kutu kwenye chuma 

E. Kuoza kwa maada

  1.                  Katika muundo wa neva ufuatao herufi B inawakilisha nini? 

A. Askoni 

B. Nukliasi 

C. Saitoplazimu 

D. Dendraiti 

E. Seli

6. Ukuta wa ndani wa chupa ya cha umepakwa rangi ya _____ili kuzuia upotevu wa joto. 
A. Shaba 

B. dhahabu 

C. manjano 

D. Fedha 

E. Almasi 

7. Kazi za seli hai nyeupe za damu ni  A. Kutengeneza damu 

B. Kulinda mwili dhidi ya magonjwa 

C. Kugandisha damu 

D. Kuipa damu rangi nyekundu 

E. Kusafirisha oksijeni

8. Ni matokeo ya muungano wa gamete X ya kiume na gamenti ya XX ya kike?

A. Mapacha wasiofanana 

B. Mtoto wa kike 

C. Mtoto wa kiume 

D. Mapacha wanaofanana 

E. Mapacha walioungana

9. Lipi kati ya makundi yafutayo linawakilisha sifa za viumbe hai? 

A. Kufa, kula ma kuona 

B. Kufa, kuzaa na kubadilika rangi

C. Kujongea, kupumua na kuzaa 

D. Kuoumua, kuzaa na kutembea

E. Kujongea, kupumua na kuzaa

10. Ili kudumisha afya ya mwili tunapaswa ______________________

  1.        Kufanya mazoezi, kula chakula bora na kupumzika
  2.        Kutofanya kazi ngumu, kufanya mazoezi na kulala
  3.        Kufanya mazoezi na kushiriki michezo
  4.        Kula vizuri na kufanya mazoezi muda wote.

11. Mrija unaotoa mkojo kutoka kwenye figo na kupeleka kwenye kibofu unaitwa

A. Urethra 

B. Ureta 

C. Uterasi 

D. Urine 

E. Mrija wa falopia

12. Virusi vya trakoma hushambulia sehemu ya ndani ya kope na sehemu ipi? 

A. Mboni 

B. Ngozi 

C. Konjaktiva 

D. retina 

E. iris

13. Zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa corona (COVID19) ISPOKUWA. 

  1.        Kichwa kuuma, mafua makali na kushindwa kupumua
  2.        Mafua makali yanayotililila, kushindwa kuona na kupumuza vizuri
  3.        Mwili kuchoka, mafua makali na kaushindwa kupumua
  4.        Kushindwa kupumua, mwili kuchoka au kukosa nguvu
  5.        Kutoka jasho jingi, kukohoa na mafua

 

  1. Tunaweza kurekebisga kasoro ya kutokuona mbali kwa kutumia miwani yenye lenzi _ 

A. Bapa 

B. mboneyo 

C. Mkunjo 

D. mbinuko 

E. Nyembamba 

  1. Vitu vinavyoonekana vina sifa ya __________________________

A. Kuakisi mwanga 

B. kutoa mwanga 

C. kusharabu mwanga 
D. Kusafirisha mwanga 

E. Kusafirisha mwanga

  1. Tunapima jotola kitu kwa kutumia nini ______________________

A. Barometa 

B. Themometa 

C. haigrometa 

D. amita 

E. voltimeta

  1. Wanyama walao nyama pekee wanaitwa _____________________

A. Kanivorasi 

B. Habivorasi 

C. Omivorasi D. fruit vorasi 

E. wawindaji

  1. Chombo kinachotumika kupima viini vya magonjwa katika maabara kinaitwa___

A. Darubini 

B. filamu 

C. hadubini 

D. barometa 

E.kipimajoto 

  1. Sehemu ya kiume ya ua huundwa na ________________________

A. Stigma na kichavua 

B. kichavua na filament 

C. staili na filomenti

D. Ovari na staili 

E. Kikonyo na ovari

  1. Damu hutumia______kujigandisha ili kuzuia upotevu wa damu mtu anajeruhiwa.

A. Plasma 

B. Seli nyekundu 

C. Seli nyeupe 

D. Fibrinojeni 

E. Oksijeni 

  1. Mkaa unagesi ya sumu ijulikanayo kama _____________________

A. Co2 

B. CO 

C. O2 

D. H2 

E. N2

  1. Oestrojeni hutengenezwa kwenye __________________________

A. Ovari 

B. Korodani 

C. Koroidi 

D. Uke 

E. Kibofu

  1. Gesi ipi hutolewa nje kama uchafu katika tendo la mmea wa kijani unapojitengenezea chakula chake.              

A. H2 

B. CO2 

C. CO 

D. N2 

E. O2

  1. Ateri zote hupitisha damu yenye oksijeni nyingi isipokuwa _________

A. Ateri kuu 

B. Aota 

C. Ateri ya vena 

D. Ateri ya mapafu 

E. Ateri ya renali

  1. Kitumi cha umeme kinachobadili mkondo wa umeme kuwa mkondo nyoofu huitwa ___ 

A. Medulla 

B. Rektifaya 

C. Kilunza 

D. Volti 

E. Amita 

  1. Binadamu anapotembea hatelezi na kuanguka kwa urahisi kwa sababu ya kani _____ 

A. Msuguano 

B. Mvutano 

C. Joto 

D. Kemikali 

E. Mnyanyuo 

  1. Katika mfumo wa usagaji chakula, asidi ya haigrokloriki hupatikana katika __ 

A. Ini 

B. utumbo 

C. maji ya gastriki 

D. Tumbo 

E. Figo 

  1. Ifuatayo siyo sifa ya kubanidayoksaidi
    A. Haina umbo maalum 

B. Uzani mkubwa kuliko hewa 

C. Haina rangi 

D. Batili kwa litmus 

E. Zotes sawa

  1. Nyangumi na pomboo (Nguva) hawa ni baadhi ya ____wanaoishi baharini.

A. Samaki 

B. mamalia 

C. wanyama 

D. mifugo 

E. kambale

  1. Tafuta manufaa ya kimakanika ikiwa mzigo wa kg 120 uliobebwa na jitihada ya kg 30. 

A. Toure 3 

B. Joure 4 

C. kg 5 

D. 4 

E. 3 

  1. Kundi lipi kati ya makundi yafuatayo huunda mlo kamili?
    A. Ugali, maharage na viazi 

B. mihogo, ugali na kisamvu 

C. wali, nyama na maharage 

D. Ugali, nyama na matunda 

E. Mchicha. Nyama na kisamvu

  1. Mzee Taluma anatatizo la kutokuona mbali badala yake anaona karibu, Tunamsaidia Mzee Taluma kwa kumpatia miwani yanye lenzi gani?              

A. Mbinuko 

B. bapa 

C. mbonyeo 

D. Mche 

E. Duara

  1.        Farid alibeba mzigo wenye uzito wa kg 35 na kusimama nao kwenye barabara yenye urefu wa km 3. Tafuta kazi na fackily.              

A. Toule 100 

B. Toule 12.5 

C. Toule 20 

D. Hakufanya kazi 

E. Toule 31 4

  1.        Alama hii inawakilisha nini? 

A. Amita B. Taa ya umeme C. Umeme mkondogeuD. Transifoma

E. Nyoka aina ya chatu

  1.        Tafuta kiasi cha umeme unapopita katika Sakiti nzima. 

 


 

A. Ampia 0.75 B. Ampia 4.5 C. Ampia 0.25 D. Ampia 7.5 E. Ampia 02

  1.        Damu inaingia kwenye mapafu huchukua hewa ya ________________

A. Oksijeni B. Kabonidayoksaidi C. Haidrojeni D. Naitrojeni E. Heliamu

  1.        Zifuatazo ni faida za kutumia intaneti ISIPOKUWA. 

A. Matangazo B. Ajira C. Mawasiliano D. Burudani E. Uhalifu

  1.        Sehemu ya redio ambayo hupokea mawimbi ya sauti huitwa__________

A. Tuni B. Spika C. Redio D. Antena E. Mitabendi

  1.        Baada ya utungishaji kitoto cha chura hujulikana kama______________

A. Lava B. Tadipoli C. obuu D. Yai E. Chura

  1.        Sumu inayopatikana katika moshi wa sigara ambayo huathiri mapafu ya binadamu inajulikana kama ____

A. Gafeni B. Alcohol C. Nikoteni D. Klorini E. Methani 

SEHEMU B: MAJIBU MAFUPI

  1.        Mbu aina ya kyuleksi hueneza ugonjwa unaoitwa__________
  2.        Tafuta thamai ya X katika mchoro ufuatao ______________

  1.             CHUMA + Y + MAJI = KUTU. Herufi Y inasimama badala ya
  2.             Ipi ni thamani ya pembe Ykatika mchoro ufuatao?_________

Mwale unaowakilishwa na herufi B katika mchoro hapo juu unaitwa

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 29

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YAK RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINI DARASA LA VII MAY 2020

URAIA NA MAADILI

Muda: saa 1

MAELEKEZO:

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

SEHEMU A: MASWALI YA KUCHAGUA 

Chagua jibu sahihi kisha siliba herufi ya jibu hilo katika karatasi ya kujibia uliyopewa

1. Kitendo cha kuonesha tabia njema kwa watu hujulikana kama:

A. Kuomba msamaha B. Heshima C. Ustahimilivu D. Usaliti .E. Unafiki 

2. Jukumu la kuwasaidia watu wenye mahitaji maalumu ni la nani?

  1.  Viongozi wa serikali pekee        D. Viongozi wa dini na wa serikali
  2.   Wanafamila pekee                     E. Wazazi 
  3.   Serikali na kila mtu ndani ya jamii

3. Alama ya taifa inayowakilisha mamlaka ya Rais wa Tanzania ni ipi?

  1. Picha ya Rais      C. Ngao ya taifa            E. Mwenge wa uhuru 
  2. Ikulu                   D. Bendera ya Rais

4. Picha ya shoka na jembe katika ngao ya taifa huwakilisha nini?

  1.                   Ulinzi na usalama C. Rasilimali za taifaE. Uhuru na umoja
  2.                   Amani na upendo D. Wafanyakazi na wakulima [ ]

5. Nchi ipi kati ya hizi zifuatazo haipakani na Tanzania katika upande wowote?

A. Rwanda B. Burundi C. Kenya D. Zambia E. Somalia [ ]

6. Uzalendo, ujamaa, umoja, amani na utu wa watu ni miongoni mwaza taifa.

  1.                   Alama              C. Tamaduni E. Haki
  2.                   Tunu              D. Rasilimali [ ]

7. Hali ya mtu kuipenda nchi yake na kuwa tayari kuilinda hujulikana kama:

A. Uadilifu B. Ustahimilivu C. Uzalendo D. Demokrasia E. Ujamaa 

8. Shughuli ambazo watu hufanya kwa kupenda wao wenyewe pasipo kulazimishwa au kutarajia malipo hujulikana kama:

  1. Tabia hatarishi                   C. Nidhamu binafsi       E. Majukumu
  2. Shughuli za kujitolea         D. Kazi za shuruti 

9. Uhusiano wa kijamii au kiutamaduni uliopo kati ya mwanamke na mwanaume hujulikana kama:

A. Jinsia B. Jinsi C. Utamaduni D. Mila E. Desturi

10. Kiongozi wa juu zaidi katika muundo wa utawala wa shule ni nani?

  1. Mlezi wa shule            C. Mwalimu mkuu    E. Mwalimu mkuu msaidizi
  2.  Meneja wa shule        D. Mwalimu wa taaluma

11. Ratiba ya masomo shuleni huandaliwa na nani?

  1.  Mwalimu mkuu            C. Mwalimu wa taaluma          E. Kiranja mkuu
  2.  Mwalimu wa nidhamu D. Mwalimu mkuu msaidizi 

12. Mila na desturi zipi kati ya hizi zifuatazo zinafaa kuhifadhiwa na kuenziwa?

  1. Kuheshimu wazee            C. Kurithi wajane              E. Ndoa za utotoni
  2. Kubagua walemavu          D. Ndoa za kulazimishwa 

13. Kitendo cha kujifanya mwema machoni mwa watu lakini kiuhalisia siyo mwema hujulikana kama:

A. Unafiki B. Uvumilivu C. Heshima D. Uwazi E. Uadilifu 

14. Mtu anayetoa ushauri nasaha kwa watu wenye matatizo mbalimbali katika jamii hujulikana kama:

A. Mkufunzi B. Muwezeshaji C. Wakili D. Mnasihi E. Mzalendo                                                                          

15. Kitendo gani kati ya hivi vifuatavyo hakionyeshi heshima miongoni mwa wanajamii?

  1. Kusalimia                      C. Kuvaa mavazi ya heshima          E. Kuwasidia wazee
  2. Kutumia lugha ya staha D. Kutukana 

16. Mtu aliyesoma ana sifa zifuatazo, ISIPOKUWA:

A. Ni muadilifu B. Ni mtafiti C. Ni mgunduzi D. AnajiaminiE. Unafiki 

17. Jambo gani kati ya haya yafuatayo linaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za taifa?

  1.   kushiriki katika uchaguzi                 C. Kula rushwa E. Uadilifu 
  2.  Kutii sheria za nchi                           D. Uaminifu

18. Mtu anayetumia nguvu za kijeshi kuvuruga amani ya nchi fulani hujulikana kama:

A. Mkimbizi B. Mzalendo C. Balozi D. Gaidi E. Jangili 

19. Sheria inayokataza uzalishaji, uingizwaji na matumizi ya mifuko ya plastiki nchini Tanzania ilianza kutumika lini?

  1.  1 Juni 2019                            C. 25 Aprili 2017                           E. 26 Januari 2006
  2.  1 Julai 2000                            D. 18 Machi 2018 [ I

20. Kuna faida gani kutii sheria za nchi bila shuruti?

  1.  Husababisha vita                            D. Huleta uoga na utengano
  2.  Huvuruga amani ya nchi                E. Huleta umoja na utengano 
  3.   Huleta umoja na mshikamano

21. Ulinzi na usalama wa taifa letu na rasilimali za taifa ni jukumu la nani?

  1. Viongozi wa serikali   C. Watanzania wote       E. Serikali za mitaa
  2. Jeshi la polisi              D. Jeshi la Wananchi wa Tanzania 

22. Chombo kinachohusika na ukusanyaji wa kodi na mapato mengine ya serikali nchini Tanzania  hujulikana kama: A. TANAPA              B. BASATA              C. TAA              D. TRA              E. TBS           

23. Chombo kinachohusika na utekelezaji na usimamizi wa miradi ya maendeleo ya kijiji ni:

  1. Mwenyekiti wa kijiji            C. Mkutano mkuu wa kijiji      E. Kamati ya kijiji
  2.  Halmashauri kuu ya kijiji    D. Mkutano mkuu wa kata 

24. Kiongozi anayechaguliwa na wananchi katika ngazi ya kata hujulikana kama:

  1.  Mwenyekiti wa kijiji                    C. Mbunge E. Afisa mtendaji wa kijiji
  2. Diwani                                           D. Afisa mtendaji wa kata 

25. Viongozi wafuatao wanateuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ISIPOKUWA: 

  1. Waziri Mkuu .                        C. Mkurugenzi wa wilaya     E. Inspekta mkuu wa polisi
  2. Wakuu wa Mikoa                   D. Kamanda wa polisi wa mkoa 

26. Jambo lipi kati ya haya yafuatayo haliimarisha utawala bora shuleni?

  1. Kuchagua viranja                          D. Kulinda rasilimali za shule
  2. Kufanya vikao vya darasa             E. Kuwashirikisha wanafunzi katika maamuzi           
  3. Kutoheshimu sheria za shule

27. Kiongozi mkuu wa shughuli za kila siku bungeni ni nani?

  1. Rais                      C. Spika              E. Makamu wa Rais
  2. Waziri mkuu        D. Naibu spika 

28. Mashauri yanayohusu kesi za uhaini au mauaji husikilizwa katika ngazi ipi ya mahakama?

  1. Mahakama ya mwanzo         C. Mahakama kuu E. Mahakama ya wilaya
  2. Mahakama ya Rufaa            D. Mahakama ya Hakimu Mkazi 

29. Mahakama ya Hakimu Mkazi kwa jina lingine hujulikana kama:

  1.  Mahakama kuu                 C. Mahakama ya wilaya      E. Mahakama ya Rufaa
  2.  Mahakama ya mwanzo    D. Mahakama ya mkoa 

30. Mahakama ya Rufaa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliundwa mwaka gani?

  1. 1975                         C. 1964                    E. 2005
  2.  1979                        D. 1996 

31. Tathmini ya mpango kazi wa hiari inahusiana na nini?

  1. Kutathmini malengo              C. Nyaraka za mpango kazi          E. Kuweka malengo
  2. Kuandaa rasilimali                 D. Sura za mpango kazi

32. Tukio la kuuza bidhaa za kampuni au taasisi kwa njia ya kushindanisha bei hujulikana kama:

  1. Biashara ya magendo  C. Biashara ya ndani  E. Mnada

      B. Uwekezaji D. Harambee

33. Msaada upi kati ya hii ifuatayo hauna manufaa kwa maendeleo ya shule?

  1. Samani                        C. Soda na bia           E.Vitabu
  2. Vifaa vya kujifunzia    D. Sare za shule 

34. Msaada wa kisheria hutolewa wapi zaidi?

A. Shuleni B. Nyumbani C. Mahakamani D. Gerezani E. Kanisani             

35. Hali ya kuwa na utulivu pasipo kuwa na vita katika nchi hujulikana kama:

A. Amani B. Ulinzi C. Sheria D. Uhusiano E.Heshima 

36. Kipi kati ya vitendo vifuatavyo huimarisha amani na usalama wa nchi?

  1.  Kuvunja sheria C. Kutotii sheria E. Kutii sheria bila shuruti
  2.   Kugombana na wengine D. Kuendeleza matendo maovu 

37. Kitendo cha kutoa siri ya mtu kwa adui yake hujulikana kama:

  1. Kusengenya  C. Usaliti E. Unafiki
  2. Nidhamu binafsi D. Umbea 

38. Majanga ya moto pamoja na shughuli za uokoaji nchini Tanzania hushughulikiwa na:

  1. Jeshi la polisi C. Jeshi la Mgambo E. Sungusungu
  2.  Jeshi la zimamoto D. Jeshi la Zimamoto na uokoaji 

39. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji la Tanzania liliundwa mwaka gani?

A. 1997 B. 2003 C. 2007 D. 2013 E. 2017 

40. Nyumba ya Sozi ilikuwa inaungua moto kutokana na kupata hitilafu ya umeme. Je, ni namba gani ya simu Sozi angeweza kuipigia ili kuomba msaada kwa jeshi linalohusika na uzimaji wa moto na uokoaji?

A. 112 B. 114 C. 114 D. 100 E. 113                                                                                                                [              ]
SEHEMU B: MASWALI YA MAJIBU MAFUPI 

Jibu swali la 41-45 kwa kuandika majibu sahihi katika karatasi ya kujibia uliyopewa

41. Ni kwa namna gani mpango kazi wa hiari humsaidia mwanafunzi kufaulu vizuri katika masomo yake?

42. Chombo kikuu kinachosimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kata hujulikana kama

43. Baada ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania Rais mteule huapishwa na nani?

44. Ni chombo kipi cha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kina kazi sawa na bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

45. Taja faida mbili za kuwa na wimbo wa shule

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN URAIA EXAM SERIES 28

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MAARIFA YA JAMII - MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA SABA

MUDA: 1.30      

MAELEKEZO

  1. Mtihani huu una maswali 50
  2. Jibu maswali yote katika nafasi uliopewa
  3. Hakikisha kazi yako ni safi
  4. Usijaribu kuibia

SEHEMU A.

1. Ni madini yapi yanayopatikana Tanzania pekee?

  1.  Dhahabu 
  2.  Urani
  3.  Almasi
  4. Tanzanaiti 
  5.  Makaa ya mawe

2. Uvuvi usio endelevu hufanyika kwa kutumia:

  1. Mitego
  2. Meli kubwa
  3. Nyavu mraba ndogo
  4. Ugwe
  5. Nyavu mraba kubwa

3. Kuna makundi mangapi ya uoto wa asili?

  1.  Matatu 
  2.  Manne 
  3.  Mawili 
  4.  Matano 
  5.  Sita

4. Lengo kuu la mabadiliko ya katiba ya Tanzania mwaka 1962 yalikuwa

  1. kuunda serikali ya umoja wa kitaifa
  2. kuunda serikali ya shirikisho
  3. kuunda serikali ya mtaa
  4. kuunda serikali ya jamhuri
  5. kuunda serikali ya mpito.

5. Umoja wa Afrika ulianzishwa rasmi mwaka gani?

  1.  2002 
  2.  2001 
  3.  1963 
  4.  1945 
  5.  1999

6. Ubugabire ni mfumo wa Umwinyi uliajengwa juu ya umiliki wa:

  1.  ngombe 
  2.  viwanda 
  3.  ardhi
  4.  wafanyakazi wa kigeni 
  5.  watumwa

7. Mfumo wa kwanza ambapo jamii ilimiliki njia zote za uzalishaji kijamaa huitwa :.............

  1.  Umwinyi 
  2.  Ukomunisiti 
  3.  Ujamaa
  4.  Urafiki 
  5.  Ujima

8. Ipi ni athari ya ongezeko kubwa la watu?.................

  1. Kupungua kwa uhalifu
  2. Ongezeko la ajira
  3. Kupungua kwa maji
  4. Kupungua kwa biashara ndogondogo
  5. Kutotosheleza kwa huduma za jamii

9. Tatizo kubwa linalowakabili wakulima wengi wa Afrika Mashariki ni pamoja na ................

  1. uwepo wa mvua nyingi mwaka mzima •
  2. mvua zisizoaminika
  3. uwepo wa masoko ya uhakika
  4. uhaba wa maeneo ya kulima
  5. matumizi ya mbolea za chumvi

10. Milima mikunjo hutokea katika maeneo yenye...............

  1.  miamba tabaka 
  2.  miamba ya volkano na moto
  3.  miamba geu 
  4.  miamba mato
  5.  miamba volcano

11. Janga la kimazingira linalosababishwa na nguvu za asili pekee linaitwa

  1.  Ukame 
  2.  Tetemeko la ardhi
  3.  Mmomonyoko wa udongo 
  4.  Njaa
  5.  Uchafuzi wa mazingira

12. Wakati wa mvua kubwa inayoambatana na radi, watu hawaruhusiwi

  1.  kuvaa nguo nyekundu.......
  2.  kutumia miavuli 
  3.  kufungua milango na madirisha
  4.  kujificha chini ya mti 
  5.  kufunga luninga na redio

13. Rais Julius Kambarage Nyerere na Kwame Nkurumah walikuwa

  1. waanzilishi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
  2. waanzilishi wa Umoja wa Mataifa.
  3. waanzilishi wa Jumuiya ya Mataifa.
  4. waanzilishi wa Umoja wa Nchi Huru za Kiafrika.
  5. waanzilishi wa Jumuia ya Madola.


14. Kwa nini vita vya Maji Maji vilitokea?..............

  1. Wareno waliwapeleka Watanganyika utumwani.
  2. Kinjekitile alikasirisha na uhasama wa Wajerumani na Waarabu.
  3. Watanganyika walipigwa mijeledi na Waingereza.
  4. Wajerumani waliwalazimisha watu kufanya kazi katika mashamba ya pamba.
  5. Sultani Seyyid Said aliwatesa na kuwatumikisha Waafrika.

15. Binti wa shangazi yako huitwa................

  1.  Mpwa 
  2.  Binamu 
  3.  Mama mkwe 
  4.  Shemeji 
  5.  Dada

16. Ni lini binadamu alianza kuchoma misitu iii kuwafukuza wanyama wakali?.................

  1. Wakati wa Zama za Chuma
  2. Wakati wa Zama za Mwanzo za Mawe
  3. Wakati wa Zama za Kale za Mawe
  4. Wakati wa Zama za Mwisho za Mawe
  5. Wakati wa Zama za Kati za Mawe

17. Mwanzilishi wa mfumo wa utawala wa mlango wa nyuma katika Afrika alikuwa ...

  1. Horace Byatt
  2. Friedrick Lugard
  3. Richard Turnbull
  4. Donald Cameroon
  5. Edward Twinning

18.  Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884-1885 uliitishwa na ..

  1. Carl Peters 
  2. Johann Krapf 
  3. Henry Stanley 
  4. David Livingstone
  5. Otto Von Bismarck.

19. Familia hujumuisha

  1. marafiki, watoto na ndugu
  2. baba, mama na watoto
  3. majirani, ndugu na watoto
  4. majirani watoto na marafiki
  5. baba, mama na majirani

20. Moja ya athari mbaya ya utandawazi kwa Tanzania ni ...

  1. kuongezeka kwa idadi ya wageni nchini
  2. kumomonyoka kwa maadili katika jamii
  3. kuongezeka kwa uhasama baina ya vyama vya siasa
  4. kuongezeka kwa uhuru wa vyombo vya habari
  5. ongezeko la matumizi ya teknolojia ya habari

21. Utawala wa sheria maana yake ni ...

  1. wananchi kujichukulia sheria mkononi
  2. polisi kuadhibu wanaovunja sheria
  3. sheria kuchukua mkondo wake
  4. mahakama kukamata wanaovunja sheria
  5. mamlaka ya mahakama kutunga sheria

22. Kuzingatia sheria, haki za bianadamu, ukweli na uwazi, na uhuru wa vyombo vya habari ni misingi ya

  1. Urasimu
  2. Utawala wa sheria
  3. Ujamaa wa kiafrika
  4. Demokrasia ya Uwakilishi
  5. utawala bora

23. Mwenyekiti wa kikao cha maendeleo katika kata ni .

  1. Diwani wa kata
  2. Afisa Huduma za ugani
  3. Afisa Maendeleo wa kata
  4. Mratibu Elimu wa kata
  5. Afisa Mtendaji wa kata

24. Mto uliooneshwa kwa herufi E unaitwa:

  1.  Tana           
  2.  Galana
  3.  Naili         
  4.  Malagarasi 
  5.  Ruaha

 25. Mlima maarufu unaopatikana katika eneo lenye herufi C huitwa:

  1.  Kilimanjaro               
  2.  Rungwe
  3.  Meru    
  4.  Usambara 
  5.  Uluguru

26.  Nchi inayooneshwa kwa herufi B ni maarufu kwa uzalishaji wa madini yanayoitwa:

  1.   Dhahabu
  2.  Tanzanaiti
  3.  Makaa ya Mawe
  4.   Almasi
  5.   Shaba

27. Ongezeko Ia joto duniani, ukame, mafuriko na vimbunga ni matokeo ya athari zitokanazona

  1.  uharibifu wa mazingira
  2.  tsunami iliyotoka Asia
  3.  ongezeko kubwa Ia watu katika nchi za Ulaya
  4.  matumizi ya mabomu ya nyuklia
  5.  Mvua nyingi

28.  Faida ya ushirikiano kati ya shule na jumuiya inayozunguka shule ni pamoja na:

  1.  ulinzi na usalama wa shule kuimarika
  2.  ongezeko Ia idadi ya watoto wanaoandikishwa shule
  3.  nafasi za ajira kwa jamii inayozunguka shule kuongezeka 
  4.  shughuli za biashara kuzunguka eneo Ia shule kuongezeka
  5.  walimu wengi kupata nyumba za kupanga jirani na shule

29. Ni hatua zipi wanafunzi wanatakiwa kuchukua wanapoona katika eneo la shule wageni wanaowatilia shaka? 

  1.  Kutoa taarifa kwa jeshi la Wananchi la Tanzania. 
  2.  Kutaarifu Kamati ya Shule kuhusu uwepo wa wageni.
  3.  Kuwapiga wageni kabla ya kuwafikisha Mahakamani.
  4.  Kuwakamata wageni na kuwahoji.
  5.  Kutaarifu Walimu kuhusu uwepo wa wageni.


 30. Uchumi wa soko huria, ushindani wa kidemokrasia katika siasa na kukua kwa teknolojia ya habari na mawasiliano ni viashiria vya

  1.  ujasiriamali 
  2.  utawala bora 
  3.  utawala wa sheria 
  4.  utandawazi 
  5.  haki za binadamu

31.  Rangi nyeusi katika bendera yetu huwakilisha:

  1.  Mimea      
  2.  Madini
  3.  Watu   
  4.  Ardhi 
  5.  Mbuga za wanyama

32.  Sababu kubwa ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi Tanzania ni:

  1.  kutekeleza matakwa ya wahisani
  2.  kulinda haki za makundi maalumu katika jamii
  3.  kuvutia wawekezaji wa nje
  4.  kutekeleza maelekezo ya Umoja wa Mataifa
  5.  kupanua demokrasia

33.  Haki ya kumiliki mali iko katika kipengele kipi cha haki za binadamu?

  1.  Kijamii na kiuchumi   
  2.  Kisiasa na kiuchumi
  3.  Kikatiba na kisiasa               
  4.  Kijamii na Kisiasa 
  5.  Kijamii na Kiutamaduni

34.  Ulinzi na usalama wa taifa letu ni jukumu la:

  1.  Jeshi Wananchi wa Tanzania 
  2.  kitengo cha Usalama wa Taifa
  3.  Jeshi la Polisi
  4.  mgambo
  5.  kila mwananchi

35. Utandawazi ni mfumo unao hamasisha:

  1. teknolojia ya habari na mawasiliano katika nchi zinazoendelea
  2. haki sawa kwa kila mmoja duniani
  3. mfumo wa vyama vingi katika nchi zinazoendelea
  4. biashara huria baina ya mataifa
  5. sekta binafsi katika nchi zinazoendelea . 

36. .Mojawapo ya udhaifu wa Umoja wa Mataifa ni:

  1.  kushindwa kuzuia kuenea kwa Utandawazi
  2.  Waafrika hawajawahi kupata nafasi katika uongozi wa juu katika Umoja wa Mataifa
  3.  baadhi ya watu tu ndio wenye kura ya turufu
  4.  kushindwa kupitisha maazimio ya haki za binadamu
  5.  kutokushirikishwa kwa Waafrika katika vikao vya baraza la usalama

37. Mkutano wa kuligawa bara la Afrika ulifanyika:

  1. Berlin
  2. London
  3. Roma
  4. Paris
  5. New York

38. Katika zama za mawe za mwisho ugawanyaji majukumu katika jamii ulifanyika kwa misingi ya:

  1. hekima na utajiri
  2. hekima na umri
  3. uzoefu na hekima 
  4. umri na jinsia 
  5. utajiri na umri

39.Utawala waWaingereza nchini Tanganyika uliisha mnamo .....

  1. karne ya 15 
  2. karne ya 19 
  3. karne ya 20 
  4. karne ya 18 
  5. karne y 17

40. Watangulizi wa kwanza wa ukoloni kuwasili Zanzibar na Tanganyika walikuwa:

  1.  wafanya biashara   
  2. Wamisionari  
  3. Wapelelezi
  4. Walowezi                            
  5. Waarabu

41. Mataifa ya Ulaya yaliyokuwa yakipigania Mto Nile yalikuwa:

  1.  Ufaransa na Ubelgiji
  2.  Uingereza na Ujerumani
  3.  Ufaransa na Ureno
  4.  Uingereza na Ufaransa 
  5.  Ubelgiji na Ureno

42. Tunapataje idadi ya watu katika sehemu fulani?

  1. Kwa kuhesabu watoto wachanga
  2. Kwa kuhesabu wafu
  3. Kwa kuhesabu wakimbizi
  4. Kwa kukokotoa eneo Ia sehemu 
  5. Kwa kufanya sensa

43. Mojawapo ya sababu za kuongezeka kwa idadi ya watu na kuzaliana ni:

  1. uhamiaji na kuzaliana
  2.  watu kukosa elimu ya maisha
  3.  Kuzaliana na afya
  4. Ndoa za watu wenye umri mdogo
  5. Ongezeko Ia wakimbizi

44.  Ni yapi kati ya madini yafuatayo ambayo ni chimbuko Ia nishati ya kinyuklia? 

  1. Makaa Yã mawe              
  2.  Uraniam           
  3.  Shaba
  4.  Almasi                                          
  5.  Dhahabu

45.  Mikoko ni aina ya uoto upatikanao pembezoni mwa:

  1.  mito
  2.  maziwa
  3.  bahari 
  4. mabwawa 
  5. visima

SEHEMU B

Jibu maswali yafuatayo kwa kuandika jibu lililo sahihi.

46. Nini maana ya ujasiriamali?

47. Taja tabia mbili za wajasiriamali

48.Taja changamoto mbili zinazowakumba wajasiriamali Tanzania.

49. Taja fursa za kibiashara zinazopatikana katika ufuo wa bahari

50. Mfanyabiashara sio mjasiriamali, eleza.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 10

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

SAYANSI - MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA SABA

MUDA: 1.30

MAELEKEZO

  1. MTIHANI  HUU UNA MASWALI 50
  2. JIBU MASWALI YOTE KWENYE NAFASI YA KARATASI ULIOPEWA
  3. HAKIKISHA KAZI YAKO NI SAFI
  4. DUMISHA UAMINIFU KATIKA KAZI YAKO.

SEHEMU A. CHAGUA JIBU SAHIHI KUTOKA YALE ULIOPEWA.

1. Usafirishaji wa chakula mwilini hufanywa na: 

  1. moyo     
  2. damu
  3. misuli                                     
  4. mapafu
  5. maji

2. Tazama kwa makini kielelezo namba 2 kisha jibu maswali yanayofuata:

Alama Y inawakilisha sehemu iitwayo:

  1.  petali
  2.  filamenti
  3.  chavulio
  4.  pistili
  5.  ovari

3. Lipi kati ya magonjwa yafuatayo huambukizwa kwa njia ya kujamiiana?

  1.  Polio  
  2.  Kipindupindu         
  3.  Pepopunda
  4.  Kaswende                            
  5.  Tetekuwanga

4. Lipi kati ya mafungu yafuatayo ya vyakula hulinda mwili?

  1.  Samaki na maziwa          
  2.  Ugali na ndizi
  3.  Maharagwe na karanga 
  4.  Mayai na kabichi 
  5.  Matunda na mboga za majani

5. Umuhimu wa asidi ya haidrokloric katika tumbo ni:

  1.  kubadili hali ya besi katika tumbo
  2.  kulainisha mafuta tumboni
  3.  kuongeza uchachu tumboni
  4.  kumengenya vyakula vya sukari tumboni 
  5.  kuua wadudu wanaoingia tumboni na chakula.

6. Kipi kati ya vifuatavyo vinapaswa kudumishwa? 

  1. Kutumia kikombe kimoja wakati wa kunywa maji. 
  2. Kunawa mikono kabla ya mlo katika karai moja. 
  3. Kupika mboga za majani na nyama kwa muda mrefu.
  4. Kuchemsha na kuchuja maji ya kunywa. 
  5. Kuogelea katika mito na mabwawa.

7. Mbungo husababisha ugonjwa uitwao ....

  1.  homa ya matumbo     
  2.  nagana
  3. malale                                           
  4. matende                
  5. homa ya ini

8. Tunaweza kujikinga na magonjwa ya moyo kwa kufanya yafuatayo: .......

  1. Kula chakula na kufanya mazoezi mara kwa mara
  2.  Kufanya mazoezi ya mwili, kuepuka kuvuta sigara na kuepuka kunywa pombe
  3.  Kula chakula chenye chumvi na kunywa pombe 
  4. Kufanya mazoezi ya mwili na kuvuta sigara 
  5. Kula vyakula vyenye mafuta na kunywa pombe

9. Ili kujikinga dhidi ya malaria ni muhimu .........

  1.  kumeza mchanganyiko wa madawa
  2.  kutumia dawa za mitishamba
  3.  kutumia vyandarua vilivyowekwa dawa
  4.  kujifunika na blanketi Zito lililowekwa dawa 
  5.  kufanya mazoezi kila mara

10.  Mojawapo ya kazi za misuli katika mwili ni:

  1.  kuwezesha kujongea
  2.  kuruhusu damu kupita 
  3.  kuruhusu maji kupita
  4. kuruhusu hewa kupita 
  5.  kuimarisha mwili

11.  Lipi kati ya mambo yafuatayo si sahihi kumfanyia mtu aliyebanwa misuli?

  1.  Kuchua eneo lililoathirika kwa kiganja
  2.  Kuchua kwa kukandamiza eneo lililoathirika hadi misuli ilegee
  3.  Kuuchua msuli kwa kitambaa na maji baridi 
  4.  Kuweka kemikali zitakazowezesha misuli kulegea
  5.  Kulala juu chini na kuchua msuli ulioathirika kvva maji moto.

12. Huduma ya kwanza anayopewa mtu aliyezimia ni:

  1.  kumpa hewa ya oksijeni
  2.  kumpa juisi ya nazi mbichi
  3.  kumlaza juu chini na kumbonyeza tumbo
  4.  kumpa maji yaliyochanganywa na glukosi
  5.  kumpa juisi ya malimao, sukari na chumvi

13. Mtandao wa watu wenye virusi vya UKIMWI unatanuka kwa kuwa

  1.  matumizi ya kondom na simu za mkononi yameongezeka
  2.  matangazo kuhusu UKIMWI yameboreshwa
  3.  kuna ongezeko la mahusiano ya kingono yasiyo salama
  4.  elimu ya UKIMWI inatolewa kwa watu wachache
  5.  watu wenye UKIMWI wanazingatia kanuni za kujikinga na UKIMWI

14.     Mwanga hupinda unapopita kutoka

  1.  Ncha ya Kaskazini kwenda Kusini      
  2.  media moja kwenda nyingine
  3.  Ncha ya Kaskazini kwenda Mashariki 
  4.  Magharibi kwenda Mashariki 
  5.  Kaskazini kwenda Magharibi


15.     Hewa ya kabonidaiyoksidi hutumika kuzima moto kwasababu:

  1.  haichochei uwakaji
  2.  ni nzito kuliko hewa
  3.  haiwaki
  4.  hunyonya joto
  5.  huungana na oksijeni

16. Mifupa imeundwa kwa madini ya:

  1.  Sodiamu na kalsiamu
  2. Kalsiamu na oksijeni
  3. Fosforasi na kalsiamu 
  4.  Salfa na fosforasi
  5.  Kalsiamu na chuma 

17.    Sumaku inaweza kuvuta vitu vyenye asili ya:

  1.  mpira     
  2.  udongo  
  3.  madini  
  4. karatasi 
  5. chuma

18.Katika kurunzi, nishati ya umeme inayotoka kwenye betri hubadilishwa na kuwa:

  1.  nishati ya kikemikali  
  2.  nishati ya joto
  3.  nishati ya kimakaniki     
  4.  nishati ya mwanga 
  5.  Nishati ya moto

19.Mojawapo ya hatua za kufuata unapoandaa jaribio la kisayansi ni: 

  1.  uchunguzi    
  2.  udadisi
  3.  utambuzi wa tatizo    
  4.  utatuzi wa tatizo
  5.  kuandaa ripoti

20.  Lipi kati ya magonjwa yafuatayo husambazwa na inzi na mende? 

  1. Tetekuwanga   
  2. Kuhara        
  3. Kifaduro
  4. Utapia mlo 
  5. Homa ya matumbo

21. Lipi kati ya yafuatayo linapaswa kuzingatiwa kabla ya kumhudumia mgonjwa wa UKIMWI?

  1.  Vaa nguo safi 
  2.  Nawa kwa sabuni 
  3.  Vaa glovu 
  4.  Sali 
  5.  Mruhusu apumzike


22. Kiwango cha maji kinachopotezwa na mmea huathiriwa na hali za hewa zifuatazo...

  1.  joto na unyevu     
  2.  unyevu na mwanga
  3. upepo na mwanga wa jua               
  4.  mawingu na upepo
  5. unyevu na upepo

23. Tunaweza kusababisha mmomonyoko wa ardhi kwa kufanya mojawapo ya mambo yafuatayo:

  1. Kukata miti
  2. Kuongeza mbolea kwenye udongo
  3. Kuotesha nyasi 
  4.  Kuweka matuta lavenye maeneo ya mteremko
  5.  Kupanda miti 

24.   Tazama mchoro ufuatao unaoonesha sehemu za ndani za mbegu ya haragwe....

Ni sehemu ipi inayohusika na kuilinda mbegu isiharibiwe na wadudu waharibifu mabadiliko ya jotoridi? 

  1. 2
  2. 3
  3. 5
  4. 4
  5. 1

25. Hatua ya kwanza ya utafiti wa kisayansi ni 

  1.  kuanza jaribio 
  2. kukusanya data
  3.  kutambua tatizo   
  4.  kuchanganua data
  5.  kutafsiri matokeo

26. Bahati aliweka karatasi nyekundu ya litmus kwenye myeyuko asioutambua. Rangi ya karatasi ya litmas ilibadilika na kuwa bluu.Hii inaonesha kuwa myeyuko ule ulikuwa .........

  1.  asidi 
  2.  besi 
  3.  maji 
  4.  mafuta  
  5.  spiriti

27.Nini kitatokea iwapo ncha mbili za KASKAZINI za sumaku zitaletwa pamoja?

  1.  Zitavutana kwa nguvu
  2.  Zitavutana kuelekea upande mmoja
  3.  Zitasukumana
  4.  Hakuna kitakachotokea
  5.   Zitavunjika

28. Dhana ya kuakisiwa kwa mwanga inadhihirika katika moja ya vifaa vifuatavyo: 

  1.  Hadubini 
  2.  Televisheni 
  3.  Saa
  4.  Balbu 
  5.  Miwani

29.  Ipi kati ya vifuatavyo huzunguka dunia toka magharibi kwenda mashariki?

  1. Jua    
  2. Nyota 
  3. Mwezi
  4.  Kimondo  
  5. Sayari

30. Mojawapo ya kazi za mifupa ni kutengeneza:

  1.  seli visahani 
  2.  plasma
  3.  selihai nyeupe  
  4. selihai nyekundu
  5.  selihai za kugandisha damu

31. Uhuru ana tatizo la meno yanayovunjika na miguu dhaifu. Ni virutubisho gani utamshaufi atumie ili kutatua tatizo lake hili?

  1.  Madini ya chuma           
  2.  Madini ya fosforasi
  3.  Madini ya kasiamu   
  4. Madini joto
  5. Vitamini K

32. Kazi ya uta mgongo katika mfumo wa fahamu wa mwanadamu ni

  1.  Kuongoza matendo ya hiari   
  2.  kuongoza matendo yasiyo ya hiari 
  3.  Kuongoza miondoko ya mwili  
  4.  kudumisha umbo la mwili 
  5.  kupeleka taarifa katika mfumo mkuu wa fahamu.

33. Katika hali ya kawaida, kutu ni matokeo ya mjibizo wa athari za kikemikali kati ya:

  1.  shaba, maji na oksijeni  
  2.  sodiamu, maji na oksijeni
  3.  kalsiamu, maji na oksijeni    
  4.  chuma, oksijeni na maji 
  5.  maji, oksijeni na potasiamu

34. Njia zifuatazo huweza kutumiwa kuhifadhi vyakula na mazao ili visiharibike ISIPOKUWA:

  1.  kuoka  
  2.  kutumia asali
  3.  kukausha    
  4.  kutumia chumvi 
  5. kutumia maji

35.  Yafuatayo ni makundi ya vyakula isipokuwa:

  1.  madini ya chumvi chumvi  
  2.  vitamini
  3. Maji   
  4. protini 
  5. hamirojo

36. Mlishano sahihi ni:

  1. Mwewe  Nyasi  Chui  mbuzi 
  2.  Nyasi  Mwewe  chui  mbuzi
  3.  Chui    Mwewe  Nyasi  mbuzi
  4. Nyasi  mbuzi  chui    mwewe
  5. Mwewe  chui  mbuzi  nyasi 

37. Sehemu tatu kuu zinazounda mfumo wa damu ni:

  1.  ateri, vena na kapilari
  2.  damu, moyo na mapafu
  3.  damu, mishipa ya damu na moyo
  4.  mishipa ya damu, moyo na valvu 
  5.  moyo, aota na ateri

38.  Matatizo katika mfumo wa uzazi wa wanawake hutokana na upungufu wa hol zifuatazo 

  1. Pituitari na insulin
  2. Estrojen na projesteron
  3. Thyroksin na pituitari
  4. Estrojen na insulin
  5.  Thairoksin na estrojen

39. Lipi kati ya makundi yafuatayo ni sifa zinazotumika kutambua wanyama wa kundi la reptilia?

  1. Kutaga mayai, kuwa na damu baridi na kuishi majini. 
  2. Kutaga mayai, kuishi majini na kuishi nchi kavu.
  3. Kutaga mayai, kuwa na damu ya joto na kuishi nchi kavu.
  4.  Kutaga mayai, kuwa na damu baridi na kupumua kwa kutumia mapezi.
  5. Kutaga mayai, kupumua kwa kutumia ngozi na kuishi majini.

40. Kukosekana kwa chanikiwiti katika mmea huweza kusababisha:

  1. mmea kukosa madini joto
  2. mmea kushindwa kusanisi chakula
  3. majani ya mmea kukauka 
  4. majani ya mmea kuwa njano
  5. maj ani ya mmea kupukutika.

41. Sehemu ya chembe hai inayohusika na kutawala shughuli zote za chembe hai huitwa:

  1. saitoplazimu 
  2. vakuoli
  3. kloroplasti 
  4. kiwambo cha seli
  5. nyukliasi

42. Sehemu ya kike ya ua inayohusika na uzazi ni:

  1. stameni 
  2. staili 
  3. ovari
  4. Petali
  5. Sepali

43. Tofauti kati ya tunda na mbegu ni: 

  1. Mbegu ina tunda.
  2. Tunda huota.
  3. Tunda lina kotiledoni mbili. 
  4. Mbegu huota. 
  5. Mbegu haziliwi.

44. Vyakula vyenye kabohaidreti huwezesha mwili:

  1. kuhimili magonjwa
  2. kuwa na joto
  3. kukua kwa haraka 
  4. kuwa na nguvu 
  5. kuwa mwororo

45. Mapumziko baada ya kazi ni muhimu kwa sababu gani?

  1. Mwili hupoa. 
  2. Mwili hutulia.
  3. Mwili hurejesha nishati. 
  4. Mwili hufanya shughuli nyingine.
  5. Mtu hupata fursa ya kulala.

SEHEMU B. Jaza nafasi zilizowazi kwa kutoa majibu mafupi.

46. (a) Taja mahitaji mawili muhimu kwa ukuaji wa mimea

      (b) Mapacha wanaofanana wanatokana na nini…………………

47.  Sumaku ni nini?

48. Eleza matumizi ya sumaku

49. Mkondo waumeme unapimwa na kifaa kinaitwa………………………..

50. Kizio cha mkondo wa umeme ni? ..............................................

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 9

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KISWAHILI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA SABA

MUDA: 1.30                                                        DARASA LA VII

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina kurasa nne zenye maandishi yenye sehemu A,B, C,D na E zenye maswali arobaini na tano (45).
  2. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  3. Kumbuka kuandika majina yako, na shule yako kwenye karatasi ya kujibia.
  4. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.
  5. Tumia kalamu ya wino wa bluu au nyeusi kwa maswali yote uliyopewa.

SEHEMU : A SARUFI

Chagua herufi ya jibu sahihi kisha uiandike kwenye karatasi ya kujibia uliyopewa

1. Wingi wa neon uteo ni nini?

  1. Mateo
  2. Teo
  3. Uteo
  4. Mauteo
  5. Lungo.

2. Kitenzi “anapigwa” kipo katika kauli gani?

  1. Kutenda
  2. Kutendwa
  3. Kutendewa
  4. Kutendeka
  5. Kutendesha

3. Wingi wa neon “paka” ni ipi?

  1. Mipaka
  2. Paka
  3. Mapaka
  4. Vipaka
  5. Wapaka.

4. Kisawe cha neon bahati ni kipi kati ya maneno yafuatayo?

  1. Tunu
  2. Sudi
  3. Shani
  4. Hiba
  5. Hidaya

5. Ni neon lipi kati ya haya yafuatayo halilandani na mengine?

  1. Fikiri
  2. Dodosa
  3. Uliza
  4. Hoji
  5. Saili

6. Juma aliondoka hivi punde; maneno “hivi punde” yanamaana gani?

  1. Haraka
  2. Muda mrefu
  3. Karibuni
  4. Kwa pupa
  5. Kwa haraka

7. Sweta langu limeshonwa na fundi mzoefu, “mzoefu” ni aina gani ya neon?

  1. Kielezi
  2. Kivumishi
  3. Kiunganishi
  4. Nomino
  5. Kitenzi

8. Mlinzi wa mlango huitwaje?

  1. Boharia
  2. Baharia
  3. Bawaba
  4. Banati
  5. Bawabu

9. Neno lipi tofauti na mengine katika maneno yafuatayo?

  1. Maji
  2. Maziwa
  3. Soda
  4. Juisi
  5. Samli

10. Nywele zinazoota kuanzia kwenye maskio mpaka kwenye mashavu huitwa?

  1. Mvi
  2. Sharafa
  3. Ndevu
  4. Sharubu
  5. Kope

11. Sehemu ngo’mbe huogeshwa hili kuwaepusha na magonjwa hutwa?

  1. Mto
  2. Ziwa
  3. Bwawa
  4. Josho
  5. Joshi

12. Joshua yupo jikoni anapaa samaki. Neno anapaa kama lilivyo tumika katika sentensi lina maana gani?

  1. Kuwapaka samaki chumvi
  2. Kuondoa magamba ya samaki
  3. Kuondoa mifupa katika samaki
  4. Kukausha samaki kwa moto
  5. Kuwakata samaki vipande vipande.

13. Siku ya nne baada ya leo huitwa?

  1. Mtondo
  2. Mtondo kutwa
  3. Mtondogoo
  4. Kesho kutwa
  5. Mtondogoo kutwa

14. Msemo usemao “kushikwa sikio” una maana ipi?

  1. Kusemwa
  2. Kunong’onezwa
  3. Kuelezwa
  4. Kusengenywa
  5. Kuonywa

15. “Bwana mkubwa amelala ndani lakini ndevu zipo nje zapepea” Jibu sahii la kitendawili hiki ni

  1. Ulezi
  2. Mpunga
  3. Ngano
  4. Mahindi
  5. Mtama

16. Kisawe cha eupe ni kipi?

  1. Chokaa
  2. Angavu
  3. Theluji
  4. Ukunga
  5. Angaza

17. Kimatu ni motto wa nani?

  1. Nzige
  2. Nyuki
  3. Inzi
  4. Kipepeo
  5. Buibui

18. Kitenzi “piga” kikiwa katika hali ya kutendeka kitakua neon lipi?

  1. Pigia
  2. Pigwa
  3. Pigika
  4. Pigiwa
  5. Pigana

19. “Sote tunafanya mtihani darasani” Neno darasani limetumika kama aina gani ya neon?

  1. Kielezi
  2. Kivumishi
  3. Kitenzi
  4. Kiwakilishi
  5. Nomino

20. Ni sentensi ipo sahii kimuundo katika zifuatazo?

  1. Amenunua gari mashaka
  2. Mashaka gari amenunua
  3. Amenunua mashaka gari
  4. Mashaka amenunua gari
  5. Gari amenunua mashaka.

SEHEMU B. LUGHA YA KIFASIHI.

Katika swali la 21-30, andika jibu sahili la kila swali.

21. Watoto wa mfalme ni rahisi kujificha” Jibu la kitendawili hiki ni………..

  1. Macho
  2. Vifaranga
  3. Siafu
  4. Mvi
  5. Sungura

22. Kamili methali. “Heri kufa macho kuliko…………

  1. Kujikwaa ulimi
  2. Kuumia moyo
  3. Kuzama majini
  4. Kufa moyo
  5. Kufa jicho moja

23. Anatengeneza mchuzi mtamu sana lakini hapiki jikoni. Lipi jibu la kitendawili hiki?

  1. Ng’ombe
  2. Nyuki
  3. Mbuzi
  4. Muwa
  5. Kuku

24. Nimeugua kwa muda mrefu sana, lakini sasa ni…………wa afya. Neno lipi linakamilisha sentensi hii?

  1. Hoi
  2. Buheri
  3. Buheli
  4. Mzuri
  5. Mwingi

25. Wakikua mama yao huwatupa mbali kwa kishindo. Jibu la kitendawili hiki ni lipi?

  1. Mbalika
  2. Nzi
  3. Mhindi
  4. Embe
  5. Mtama

26. Kamilisha methali hii.Mwamba ng’oma……………

  1. Hualika watu wengi
  2. Hufanya maandalizi mengi
  3. Huimba nyimbo nyingi
  4. Ngozi huvutia kwake
  5. Hucheza na jamaa zake

27. Tegua kitendawili kifuatacho. “Nyumbani kwangu kuna jini mnywa maji”

  1. Kikombe
  2. Kata
  3. Kinywa
  4. Kibatari
  5. Mtungi

28. Ni methali ipi kati ya hizi inafanana na isemayo, mwenda pole hajikwai?

  1. Haba na haba hujaza kibaba
  2. Fuata nyuki ule asali
  3. Awali ni awali hakuna awali mbovu
  4. Mchumia juani hulia kivulini
  5. Baada ya dhiki faraja

29. Methali isemayo, “mgaagaa na upwa hali wali mkavu inatoa funzo gani?

  1. Bidii huleta maafanikio
  2. Mafanikio ni matokeo ya kazi
  3. Bidii huleta faraja
  4. Bidii ni kazi ya kuhangaika
  5. Mafanikio ni ya lazima.

30. Methali ipi kati ya hizi  haitoi onyo kuhusu tabia ya mtu?

  1. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu
  2. Kiburi si maungwana
  3. Motto mkaidi mngoje siku ya ngoma
  4. Mkaidi hafaidi mpaka siku ya idi
  5. Mt0to mwerevu hafunzi adabu

SEHEMU C. UFAHAMU.

Soma kifungu kifuatacho kwa makini kasha jibu maswali 31-40.

Jua lilikuwa linaunguza mithili ya moto. Hapakuwa na nyasi wala miti iliyokuwa na majani ya rangi ya kijani.Kila uoto ulikuwa wa rangi ya kahawia kavu! Aidha kupata tone la maji ya kunywa ilikuwa ndoto kwani mito na visima vyote vilikauka kau.Baada https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image073.jpgkuhangaika kwa njaa na kiu, ndipo wanyama waliamua waitishe mkutano ili wajadili hatua ya kuchukua. Makundi • ya wanyama wa aina mbalimbali walikutana chini ya mbuyu. Swala, nyani, mbawa na tembo wote walikuwepo.

"Kama mjuavyo mimi ndimi mfalme wa wanyama wote.Niungurumapo hapana achezae kwa hiyo bila shaka mtakubali kuwa mimi ndiye mwenyekiti wa mkutano huu."alitangaza simba.Wanyama wote walitazamana na kutikisa vichwa kwa ishara ya kuafiki. Kisha alisimama na kusema "Mheshimiwa mwenyekiú, jana nilisikia mlindimo toka upande wa magharibi. Hivyo ninashauri sote tuhame na kuelekea upande huo ili tuokoe maisha yetu kwani huko kuna dalili ya mvua."Wanyama wote waliunga mkono hoja hiyo,isipokuwa kobe ambaye alisema, "mheshimiwa mwenyekiti, endapo kweli tumeazimia kuhama, sisi akina kobe tunaomba mtubebe kwani kasi yetu ya kutembea ni ndogo mno."

Baada ya kila mnyama kutoa rai yake ,Mwenyekiti alisimama na kusema, "Nimesikia yote mliyosema, kabla ya kuanza kuhama nakutuma wewe ngombe upeleke ujumbe wetu kwa binadamu ili waache kuharibu mazingira, kwani hicho ndicho kiini cha matatizo yanayotusibu.Wewe ni kiungo baina yetu na binadamu." ngombe alikubali.

Baada ya kufika ujumbe ule, binadamu alijibu kuwa alikwishaelewa tatizo Ia mazingira na tayari alikuwa na mpango kabambe wa kuchinja mifugo yote ili kutekeleza ushauri wa wataalamu wa mazingira wa kuiokoa dunia na janga Ia jangwa. Kusikia hivyo ngombe alichanja mbuga kuelekea kwa wanyama wengine.

31.  Kwa mujibu wa habari uliyo soma, mkutano wa wanyama ulifanyika wapi?

  1. Kwa mfalme
  2.  Kisimani
  3. Chini ya mbuyu D. 
  4. Kwenye majani
  5. Jangwani.

32.  Mwenyekiti wa mkutano wa wanyama alikuwa nani?

  1. Ng ombe
  2.  Kobe
  3. Nyati
  4. Simba
  5. Nyani

33. Hali ya kukauka kwa mito,visima nyasi na miti kunakutokana na ukosefu wa mvua inaitwaje?

  1. Ukame
  2. Uoto https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image049.jpg
  3.  Kahawia https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image011.jpg
  4.  loto
  5. Janga.

34. Jina lingine Ia mnyama aliye washauri wanyama wote kuhamia upande ambako kulikuwa na dalili ya mvua ni lipi kati ya https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image042.jpgyafuatayo.

  1.  Ndovu B.
  2.  Ngwena
  3. Mbega 
  4.  Kima
  5. Mbogo.

35.Katika habari uliyo soma sababu iliyomfanya kobe kutoafiki moja kwa moja hoja ya kuhama ni ipi?

  1. alikuwa mpinzani wa mwenyekiti ,
  2. aliogopa kuachwa nyuma, https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image022.jpg
  3. kulikuwa na jua kali
  4. wanyama wengine wangeweza kumla,
  5. kobe ni mvivu kutembea.

36. kwa mujibu wa habari hii ,uharibifu mkubwa wa mazingira hufanywa na nani?

  1. tembo
  2.  mbawala
  3.  swala https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image083.jpg
  4. binadamu
  5.  nyani.

37. Neno lipi kati ya yafuatayo lina maana sawa na neno janga?

  1. Maafa 
  2.  Kiu https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image062.jpg
  3. Ukame 
  4. angwa 
  5. Joto.

38.  Kifungu cha maneno "alichanjambuga"kinamaana gani?

  1. Alijirudi
  2. Alitembea
  3. Alikimbia
  4. Alirudi https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image056.jpg
  5. Aliruka

39.  Binadamu alikusudia kuchinja wanyama wa aina gani

  1. Wanyama pori wote
  2. Ngombe na simba  https://myfiles.space/user_files/30996_4958b541bbe404eb/1569855423_kiswahili-2017_files/image056.jpg
  3. Wanyama wadogo wote
  4. Wanyama wakubwa wote
  5. Wanyama wote wanaofugwa

40.  Kichwa cha somo uliyosoma kingefaa kiwe kipi?

  1. Kiangazi na jangwa
  2. Matatizo ya binadamu
  3. Jua kali
  4.  Uhamisho wa wanyama
  5. Uharibifu wa mazingira 

SEHEMU D. USHAIRI

Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu maswali 41 - 46 kwa kuweka kivuli katika herufiya jibu.

Nimekwisha peleleza, karibu kila mahali,

Mule wanamotangaza, matangazo lugha mbili, Juu kuwa Kingereza, Chini kuwa Kiswahili, Juu kiwe Kiswahili, Chini kiwe Kingereza.

Kitangazwe Kingereza, baada ya Kiswahili

Hivi tutapotimiza, lugha itakuwa ghali,

Hivi mnavyofanyiza, sana mnaidhalili,

Juu kiwe Kiswahili, Chini kiwe Kingereza

Serikali bembeleza, tafakari tafadhali,

Jambo hili kueleza, kwa zingine serikali Kiswahili kutangaza, kuwa Chini twakidhili Juu kiwe Kiswahili, Chini kiwe Kingereza.

Tuache kukipumbaza, kwa andiko au kauli, Kwa nyuma kukisogeza, kukipa kisulisuli,

Lazima kuyafukuza, yawezayo kikatili,

Juu kiwe Kiswahili, Chini kiwe Kingereza

Na wenyewe kujikaza, kwa bidii za kimwili kiswahili kutukuza, tukivalie bangili,

Ngomani kutumbuiza, waume na wanawali Juu kiwe Kiswahili, Chini kiwe Kingereza.

41. Katika shairi hilo mstari wa pili katika ubeti wa pili una mizani mingapi?

  1. Tano
  2. mbili
  3. kumi na sita
  4. nane
  5. thelathini na tatu

42. Katika ubeti wa nne, vina ni vipi?

  1. Za na li 
  2. La na li
  3. La na ya
  4. Ju na za
  5. Tu na li

43.      Kituo ni kipi katika shairi hili?

  1. Nimekwisha peleleza, karibu kila mahali
  2.  Kitangazwe Kingereza, badala ya Kiswahili 
  3. Serikali bembeleza, tafakari tafadhali
  4. Tuache kukipumbaza, kwa andiko na kauli
  5. Juu kiwe Kiswahili, Chini kiwe Kingereza

44.      Shairi hili linahimiza kuhusu nini?

  1. Kudumisha na kuendeleza mila
  2. Kudumisha na kuendeleza jadi zetu
  3. Kudumisha lugha ya Kingereza
  4.  Kudumisha na kuendeleza Kiswahili 
  5.  Kudumisha na kuendeleza lugha

45.      Ujumbe unaopatokana katika shairi hili unafanana na methali ipi?

  1. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. 
  2.  Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
  3. Mkono usioweza kuukata ubusu. 
  4.  Ukitaka cha uvunguni sharti uiname.
  5. Ukipata chungu kipya usitupe cha zamani.

46.      Kutokana na shairi ulilosoma neno "kutukuza” lina maana ipi?

  1. Shutumu 
  2.  Laumu
  3. Heshimu 
  4. Fadhaisha
  5. Kasirisha

 SEHEMU D. UTUNGAJI

Panga sentensi nne (4) zifuatazo hili ziwe kwa mtiririko wenye mantiki kwa kuzipa herufi A, B,C na D.

47. Zizi hilo limegawanywa katika sehemu mbili

48. Baba yangu anafuga mbuzi Ng’ombe na kondoo

49. Nje ya nyumba yetu kuna zizi kubwa

50. Sehemu moja ni ya ngo’ombe na nyingine ni ya mbuzi na kondoo.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 8

THE PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, LOCAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

ENGLISH- TERMINAL EXAMINATION-MAY

STD SEVEN

TIME: 1.30 HRS                                                   2020

NAME:_________________________________CLASS:___________

          INSTRUCTIONS

  1. This paper consists of three sections A, B,C and D
  2. Answer all questions in all sections
  3. All answers should be written in spaces provided
  4. Ensure clarity in your work

SECTION   A.  GRAMMAR.

Choose the words that complete the sentences by shading the letters of the correct answer.

1. He always ………………………………..when he was young

  1. Cry
  2. Cries
  3. Cried
  4. Crying
  5. Does cry

2. The snake………………….by Mrs. Mwenda

  1. Was killed
  2. Had killed
  3. Were killed
  4. Was kill
  5. Have killed.

3. If you…………….hard you will pass your examinations

  1. Work
  2. Worked
  3. Had worked
  4. Was working
  5. Works

4. My brother’s daughter is my………………………..

  1. Nephew
  2. Child
  3. Niece
  4. Uncle
  5. Daughter

5. The girl…………….came here yesterday is my daughter

  1. Which
  2. Whose
  3. What
  4. Whom
  5. Who

6. Most children go to school…………………….foot

  1. By
  2. With
  3. Using
  4. In
  5. On

7. Girls like to go out alone at night……………………….

  1. Are they?
  2. Do they?
  3. They do?
  4. Aren’t they?
  5. Don’t they?

8. Arusha and Dar es salaam are ………………………..business centers

  1. All of
  2. More of
  3. Either 
  4. Both
  5. Each.

9. The headmaster has been waiting for the watchman ………………one hour

  1. Since
  2. For
  3. Against
  4. Fore
  5. Until

10. My father ………..the car he bought

  1. Was shown
  2. Show
  3. Has shown
  4. Are showing
  5. Is shown.

11. Many people………………….cassava next season

  1. Is planting
  2. Are planting
  3. Are planted
  4. Will plant
  5. Was planting.

12. Our sister………………….her left leg last year.

  1. Is breaking
  2. Broke
  3. Will broke
  4. Was breaking
  5. Has broken

13. My car looks dirty but yours looks …………

  1. More dirty
  2. Dirtiest
  3. Dirtier
  4. Most dirty
  5. Dirty.

14. Usually the sun …………in the west..

  1. Sank
  2. Is sinking
  3. Sinks
  4. Was sinking
  5. Sunk.

15. Dan is a slow driver. He …………to drive more carefully.

  1. Should
  2. Could
  3. Would
  4. Ought
  5. Shall.

16. The books…………………….on the shelf

  1. Were arranged
  2. Was arranged
  3. Were arranging
  4. Arrange
  5. Arranges.

17. The national football team…………….won the match.

  1. Is
  2. Are
  3. Were
  4. Has
  5.  Shall

18. Many living things are ...............animals or insects

  1. Both
  2. Too
  3. Either
  4. Neither
  5. As

19. The pen on the desk belongs to me, so it is

  1. imagehers
  2. his
  3. imagetheirs
  4. mine
  5. my

20. The fire that ..................       the whole village started from here.

  1. destroys
  2.  destroyed
  3. destroying
  4. will destroy
  5. have destroyed

21.The fire that ..................       the whole village started from here.

  1. destroys
  2.  destroyed
  3. destroying
  4. will destroy
  5. have destroyed

22.The fire that ..................       the whole village started from here.

  1. destroys
  2.  destroyed
  3. destroying
  4. will destroy
  5. have destroyed

23.imageThe girl who picked flowers started with the...................   beautiful to the least beautiful ones.

  1. ore 
  2. most
  3. less 
  4. not very
  5. a little

24. Chausiku does all the home work   ... she wants to be first in class.

  1. Inspite of
  2. despite
  3. even
  4. but
  5. because

25. The lazy pupils _____________ their homework.

  1. have not did
  2. has not done
  3. have not do
  4. have not done
  5. have did

 26. Every year, Tanzania ___________ a lot of visitors from different countries all over the world.

  1. has taken
  2. will take
  3. shall take
  4. take
  5. have taken

27. He will not pass his examination _____________ he works hard

  1. but
  2. because
  3. even
  4. unless
  5. and.

28. David and Willy were preparing _____________ to go to school.

  1. themself
  2. themselves
  3. theirselves
  4. yourselves
  5. ourselves

29.My sister has bought _____________new dress.

  1. it
  2. you
  3. she
  4. he
  5. her

30. The patient had died ……………….lack of water

  1. with
  2. by
  3. from
  4. of
  5. for.

SECTION B. VOCABULARY.

31. A person who meants shows is called

  1. Shoe maker
  2. Tailor
  3. Sewer
  4. Cobbler
  5. Pedestrian

32. A gun is a ……………………..

  1. Weapon
  2. Fire work
  3. Fire wood
  4. Hot pot
  5. Knife.

33. A person who tests and treats people eyes is called

  1. An eye doctor
  2. A chemist
  3. An optician
  4. A surgeon
  5. A dentist

34. A doctor works in a………………..

  1. Shop
  2. Court
  3. Church
  4. Hospital
  5. Farm

35. Gold, diamond and tanzanite are……….

  1. Chemical
  2. Medicines
  3. Liquids
  4. Minerals
  5. Ores

36. A group of birds flying together is called;

  1. Troop
  2. Flock
  3. Herd
  4. fleet
  5. bunch

37. He cuts and sells meat……………..

  1. Doctor
  2. Butchery
  3. Butcher
  4. Shopkeeper
  5. Seller

SECTION C. COMPOSITION WRITING,

Arrange the following sentences to give a meaningful sentences by giving them letters A-D.

38. While in Dar es salaam, they wrote about what they have seen

39. When they returned home, they told their friends about their enjoyable journey

40. Ali and his friends were excited by their trip to Dar es salaam Trade Fair

41. At the fair, they saw a lot of displays

              SECTION D. COMPREHENSION

Read the following passage carefully and then answer the questions that Follow.

Lilato had a dream. He dreamt that someone gave him an egg. He was very happy and started wondering what to do with it. He thought of either eating it or keeping it in his pocket so that it would be warm and finally hatch and become a chick.

He thought of how this chick would grow into a hen and lay more eggs which will also hatch into more chickens. He would then sell some of those chickens and become a rich man. After getting a lot of money, Lilato thought of building an iron roofed house with glass windows. It would be a beautiful and big house.

While dreaming, Lilato walked excitedly. He jumped and the egg fell from his pocket and broke. He cried, saying that he will never be a rich man. Suddenly, he woke up and thanked God that it was only a dream.

42. Lilato decided to……………………the eggs

  1. Keep
  2. Sell
  3. Hide
  4. Eat
  5. throw

43. The people usually dream when they are………………….

  1. Sleeping
  2. Walking
  3. Sitting
  4. Resting
  5. Wondering

44. Lilato was happy because he was given;

  1. A big house
  2. Iron sheets
  3. A chicken
  4. An egg
  5. A chick.

45. Lilato thought he could get a lot of money by;

  1. Selling eggs and chicken
  2. Building a big house
  3. Selling a big house
  4. Keeping a big house
  5. Keeping eggs.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 7

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256