?>
OFISI YAWAZIRI MKUU-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA
KISWAHILI DARASA LA TATU
MUDA: SAA 1: 30 MWAKA 2026
JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________
JINA LA SHULE________________________________________________
Maelekezo
SEHEMU A: IMLA ALAMA 10
1. Sikiliza kwa makini sentensi zifuatazo kisha ziandike katika nafasi uliyopewa.2. SEHEMU B: SARUFI NA MISAMIATI ALAMA 30
(i) Wingi wa neno jani ni majani, wingi wa neno jino ni meno je wingi wa neno mbweha ni(v) Neno chakula lina silabi ngapi?
3. OANISHA MANENO YA SEHEMU A NA SEHEMU B ILI KUPATA MAANA SAHIHI
| SEHEMU A | MAJIBU | SEHEMU B |
|
|
4. JIBU MASWALI YAFUATAYO KWA KUCHAGUA JIBU SAHIHI KUTOKA KWENYE KISANDUKU.
| Rubani, Jokofu, Mwerevu, Matunda, ? . |
SEHEMU C;UFAHAMU (ALAMA 10)
5. SOMA HABARI KISHA JIBU MASWALI YAFUATAYO
Jaribu ni mwanafunzi wa darasa la 3,katika shule ya msingi mkoani. Jaribu anaishi na baba na mama yake pamoja na ndugu zake watatu.dada yake anaitwa Rukia na wadogo zake wawili ni ALEX na John.
MASWALI
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 161
JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026
KISWAHILI DARASA LA III
1. Sikiliza kwa makini sentensi zinazosomwa na msimamizi kisha uziandike kwa usahihi.
i)_____________________________________________________________
ii) _____________________________________________________________
iii) _____________________________________________________________
iv) _____________________________________________________________
v) _____________________________________________________________
2. Chagua herufi ya jibu sahihi kisha uaindike kwenye kisanduku.
i) Neno ng’ang’ania lina silabi ngapi?
ii) Kisawe cha neno mandhari ni _______________
iii) Dada alifua nguo zake jana. Sentensi hii ipo katika wakati gani?
iv) Silabi ipi ina sauti ya herufi mwambatano katika neno Pweza?
v) Katika maneno yafuatayo ni neno lipi litatangulia kuingizwa kwenye kamusi?
3. Oanisha fungu A na fungu B ili kupata maana kamili
| FUNGU A | FUNGU B |
|
|
4. Panga sentensi zifuatazo kwa mtiririko kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E
i) Akaanza kula mimea ya mahindi____________________
ii) Akakimbia na kuingia shambani_____________________
iii) Mbuzi akakimbia hadi kwenye zizi lake ________________
iv) Mbuzi alipita nje ya nyumba ya bibi ________________
v) Bibi alipomuona akaenda kumfukuza _______________
5. Soma Habari ifuatayo kwa makini kisha ujibu maswali
Sisi tunaishi katika Kijiji cha Dingalo. Hapa Kijijini basi huondoka na kurudi kila siku. Basi hilo linaitwa Lipayo. Lipayo huanza safari zake kila siku alfajiri. Wasafiri hulisubiri kituoni. Likikaribia kituoni hupiga honi kwa nuvu. Wale wanaochelewa hukimbia ili kuliwahi. Watu hukaa kwenye viti mapema, kish abasi huondoka kuelekea mjini.
i) Basi linalotoka Dingalo linaitwaje?________________________________________
ii) Basi hilo husafiri siku zipi?_______________________________________________
iii) Lipayo linakaribia kituoni hufanya nini?_____________________________________
iv) Watu hufanya nini kabla y abasi kuondoka kuelekea mjini?______________________
v) Habari uliyoisoma inahusu nini?___________________________________________ .
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 160
OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA
JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA TATU
MUDA: SAA 1: 30
JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________
JINA LA SHULE________________________________________________
Maelekezo
1. Chagua herufi ya jibu sahihi na ujaze katika kisanduku
i. Ziwa gani lina kina kirefu Tanzania na Afrika?
ii. Ni umbo gani la sura ya nchi inavutia zaidi watalii?
iii. Mlima Meru upo katika mkoa gani?
iv. Ni kazi nyingine unayoweza kufanya ukitoa uvuvi kama unaishi katika eneo lenye bahari na ziwa__________
v. Katika kundi lifuatalo ni lipi linahusisha wanyama wanaofugwa nyumbani?
2. OANISHA KUNDI A NA KUNDI B
|
| Kundi A | Majibu | Kundi B |
| i. | Mlima Kilimanjaro | A. Somo linalohusu mahusiano kati ya binadamu na mazingira B. Ziwa lenye kina kirefu Afrika C. Mfano wa Beseni D. Vitu vyote vinavyomzunguka binadamu E. Mlima mrefu Tanganyika F. Mbuga kubwa kuliko zote Tanzania | |
| ii. | Ziwa victoria | ||
| iii | Jiografia | ||
| iv. | Mbuga ya wanyama ya Nyerere | ||
| V. | Mazingira |
3. CHAGUA JIBU KATIKA KISANDUKU NA UJAZE KWENYE NAFASI ZILIZOACHWA WAZI
| Dunia, Uvuvi, Utalii, Anga, Mwanajiografia |
i. Mtu anayetembea sehemu fulani kwa ajili ya kujifunza au kufurahia ________________
ii. ___________________ni shughuli za kiuchumi zinazofanywa na watu waishio karibu na vyanzo vya maji. Mfano bahari, ziwa na mto
iii. _____________________ni safu inayoundwa na mchanganyiko wa gesi mbalimbali kama vile oksijeni na kabondayoksaidi
iv. Ni sayari ya tatu katika mfumo wa jua______________________________________
v. Mtu anaejifunza kuhusiana na jiografia anaitwa?______________________________
4. JAZA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI
i. Shughuli ya kiuchumi inayohusisha kulima mazao na ufugaji wa wanyama huitwa
__________________________________________________
ii. Sehemu kubwa ya dunia imeundwa na _______________________________________
iii. Madini pekee yanayochimbwa Tanzania ni ____________________________________
iv. Sehemu ya dunia iliyoundwa na maji ni ______________________________________
v. Taja vitu viwili vinavyotengenezwa na mwanadamu vilivyopo shuleni
a. ____________________________________________
b. _____________________________________________
5. SOMA KIFUNGU CHA HABARI NA UJIBU MASWALI YAFUATAYO
Mlima ni umbo la ardhi lenye mwinuko mrefu zaidi juu ya uso wa dunia. Sehemu ya juu ya mlima huitwa kilele cha mlima. Kwenye kilele cha mlima huwa na theruji na barafu. Mlima huwa na mteremko mkali.
Tanzania kuna milima inayotofautiana urefu. Mfano mlima mrefu kupita yote ni mlima Kilimanjaro wenye urefu wa mita 5895. Na juu ya mlima kuna theruji na barafu. Hii ni kwasababu kadri mwinuko wa ardhi unavyoongezeka joto hupungua. Pia mlima Kilimanjaro ni wa kwanza kwa urefu barani Afrika.
MASWALI
i. Tunaitaje sehemu ya juu ya mlima
________________________________________________________________________
ii. Mlima mrefu Afrika upo katika mkoa gani?
________________________________________________________________________
iii. Kwanini kilele cha mlima Kilimanjaro kimefunikwa kwa theruji na barafu?
________________________________________________________________________
iv. Kulingana na habari uliyoisoma mlima Kilimanjaro una urefu gani?
_______________________________________________________________________
v. kichwa cha habari kinachofaa habari hii ni
______________________________________________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE JIOGRAFIA EXAM SERIES 159
OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA
HISABATI DARASA LA TATU
MUDA: SAA 1: 30
JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________
JINA LA SHULE________________________________________________
Maelekezo
| NA. | SWALI | KAZI NA JIBU | |||||||||
| 1. | i) Idadi ya wanyama katika kijiji cha visiga ni elfu tisini na kumi na nane. Andika idadi ya wanyama kwa tarakimu. | ||||||||||
| ii) Andika namba zifuatazo kwa kifupi. 50 000+7000+600+40+8 | |||||||||||
| iii) Mwalimu Juma wa somo la hisabati aliwauliza wanafunzi kuandika 990021 kwa kirefu, ikiwa wewe ni miongoni mwa wanafunzi wa darasa la tatu jibu lako sahihi lingekuwa lipi? | |||||||||||
| iv) Namba ipi ipo kwenye thamani ya nafasi ya maelfu katika 870213? | |||||||||||
| v) Panga namba zifuatazo kuanzia ndogo hadi kubwa 303,33,301,31,330 | |||||||||||
| 2. | i) Andika namba zinazokosekana kwenye huu mtiririko 76,73,70, ______ 64 | ||||||||||
| ii) Joyce alipata alama 78 katika jaribio la kwanza la wiki. Kama jaribio la pili la wiki alianguka kwa alama 19. Je alipata alama ngapi katika jaribio la pili la wiki? | |||||||||||
| iii) tarakimu ipi ina thamani kubwa katika namba hii 14809 | |||||||||||
| iv) Tumia =, > or <. 1010 _____ 10010 | |||||||||||
| v) Andika namba inayowakilishwa na thamani ya nafasi ya hizi namba 5 makumi, 3 mamoja, 5 makumi elfu na 0 mamia. | |||||||||||
| 3. | i) Tafuta jumla ya 1906 na 408 | ||||||||||
| ii) Toa 39368 – 3789 = | |||||||||||
| iii) Andika 2321789 kwa maneno | |||||||||||
| iv) Mwajuma alikuwa na shilingi 5050 akampa rafiki yake shilingi 4050. Je alibaki na shilingi ngapi? | |||||||||||
| v) Kama wiki moja ina siku saba. Je kuna siku ngapi katika wiki tatu? | |||||||||||
| 4. | i) Andika kipimo kidogo kuliko vyote cha urefu | ||||||||||
| ii) Taja kipimo rasmi kinachotumika kupima uzani wa vitu mbalimbali | |||||||||||
| iii) Futikamba inatumika kupima vipimo vya nini? | |||||||||||
| iv) Y + 567 = 1009 thamani ya Y ni ngapi? | |||||||||||
| v) Baraka ana sarafu ya shilingi 200. Anataka kuibadilisha kwa sarafu za shilingi 50. Je atakuwa na sarafu ngapi za shilingi 50? | |||||||||||
| 5. | i) Chora umbo bapa linaloundwa na nukta hizi
| ||||||||||
| ii) Kuna vipande vya mstari vingapi
| |||||||||||
| iii) Andika majina ya maumbo haya.
| |||||||||||
| Soma jedwali lifuatalo linaloonyesha jumla ya alama za wanafunzi wa darasa la tatu katika mtihani wa jaribio la mwezi wa nne
| |||||||||||
| iv) Ni alama ngapi Natalia alipata zaidi ya joyce? | |||||||||||
| v) Panga majina ya wanafunzi kulinga na alama walizopata kuanzia kubwa kwenda ndogo. |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 158
OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU SAYANSI
MUDA: SAA 1: 30
JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________
JINA LA SHULE________________________________________________
Maelekezo
SEHEMU A
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
1. Jibu kipengele cha (i) hadi (v) kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi na kuandika katika kisanduku. (i) Maada ni kitu chochote chenye _______ na huchukua nafasi:
(A) Thamani (B) Ujazo (C) Hewa D) uzito [ ]
(ii) Chanzo kikuu cha nishati ya mwanga na joto ni _________
(A) jua (B) umeme (C) moto (D )taa [ ]
(iii) Rasuli alivyotoka nje ya nyumba aliona ukungu mzito, Pia akawa anahisi baridi. Je Rasuli alitumia milango ipi ya fahamu?
(iii) Kiumbe mmojawapo aliyepo katika kundi la reptilia miongoni mwa hawa ni _______
(A) Kobe (B)chura (C) Mbuni (D) Kiboko [ ]
(iv) Wanyama wenye uti wa mgongo wamegawanyika katika makundi makuu _____
(A) matano (B)matatu (C) manne (D) sita [ ]
(v) ) Moja za sifa ya viumbehai ni kujongea. Chura hujongea kwa namna gani?
A. Kutambaa (B). Kutembea (C). Kuruka (D). Kurukaruka [ ]
2. Jibu kipengele cha (i) hadi (v) kwa kuoanisha maelezo katika orodha A na orodha B, kasha uandike herufi ya jibu sahihi kwenye mabano uliyopewa.
| ORODHA (A) | MAJIBU | ORODHA (B) |
| i. Sifa mojawapo ya viumbehai. | | A.Mhandisi B.Mfamasia C.Daktari wa nyama D. Kucheka E. Umami F. Kuitikia vichocheo. G. Hadubini |
| ii.Hutumika kuchunguza viumbehai wadogo wasioonekana kwa macho | | |
| iii.Mwanasayansi anayeshughulika na kutengeneza, kutoa na kusimamia matumizi ya madawa. | | |
| iv. Ladha ya chakula yenye viono mchanganyiko. | | |
| v.Mwanasayansi anayebuni na kutengeneza miundo mbinu kama majengo | |
3. Jibu kipengele cha (i) hadi (vi) kwa kujaza nafasi ukitumia maneno uliyopewa katika kiboksi
| Matamvua , hawataongezeka idadi, Pua, matatu, wasio na uti wa mgongo, amfibia, Reptilia, watakufa, manne |
(i) Konokono na Panzi ni viumbe hai waliopo kwenye kundi gani la viumbehai?_______________ (ii) __________________________ Ogani gani inahusika na kutambua harufu ya vitu mbalimbali (iii) ________________ ni kundi la wanyama wenye uti wa mgongo, mfano chura.
(iv)Samaki wanatumia ____________kwa ajili ya kupumua.
(v) Nini kitatokea endapo viumbehai hawatazaliana? _______________________
SEHEMU B.
4. Chunguza picha ifuatayo kishajibu maswali kwa usahihi.

MASWALI
Taja majina ya sehemu zilizooneshwa kwa herufi
(i) Herufi M inaonyesha sehemu inayoitwa _________________
(ii) Herufi N inaonesha sehemu inayoitwa __________________
(iii) ________________ ni sehemu iliyoonyeshwa kwa herufi O. ________________
(iv) Picha hiyo inaonesha kiungo cha mwili kinachoitwa _______________?
(v) Kazi ya kiungo cha mwili kinachoonekana katika picha hiyo ni ______________
5. Panga sentensi zifuatazo ili zilete maana kuhusu mtiririko sahihi wa utunzaji wa ngozi ya binadamu.Mtiririko sahihi upe herufi A - E
(i) Kula vyakula bora na kunywa maji ya kutosha ili kuendelea kutunza ngozi yako.
(ii) Paka mafuta ya ngozi mara baada ya kuoga.
(iii) Safisha ngozi yako kwa kuoga.
(iv). Tumia maji safi, dodoki na sabuni wakati wa kuoga.
(v) Kausha mwili wako kwa kutumia taulo safi baada ya kuoga.
| i | ii | iii | iv | v |
| . |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 157
OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU SAYANSI
MUDA: SAA 1: 30
JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________
JINA LA SHULE________________________________________________
Maelekezo
SEHEMU A (Alama 22)
1. Chagua herufi ya jibu kisha uandike kwenye kiboma ulichopewa.
(i) Ni lipi kati ya ya masomo yafuatayo linahusika na uchunguzi wa majaribio ya vitu katika ulimwengu halisi?_______
(ii) Stecy anapendelea ladha chachu Anapaswa kula
(iii) Viumbe hai ni vitu vyenye uhai. Ni kitu gani kati ya vifuatavyo sio kiumbe hai?
(iv) Kuna hali ngapi za mada?
(v) Ni tawi gani la sayansi kati ya hizi inahusika na uhusiano kati ya mada na nguvu:
2. Oanisha milango ya fahamu kutoka orodha A na kazi zake katika orodha B Kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika sehemu ya jibu iiliyopo
| Orodha A | Jawabu | Orodha B |
| i) Jicho | A) Hutumika katika kuonja B) Hutumika katika kunusa C) Hutumika katika kulia D) Hutumika katika kusikia E) Hutumika katika kuona F) Hutumika katika kula G) Hutumika katika kuhisi | |
| ii) Ngozi | ||
| iii) Ulimi | ||
| iv) Pua | ||
| v) Sikio |
3. Chagua jibu sahihi kutoka kwenye kisanduku kisha jaza nafasi iliyoachwa wazi.
| Hewa, Daktari wa binadamu, lishe, jua, mazingira, Daktari wa mifugo |
(i) Mwanasayansi anayegundua ugonjwa na kutibu watu hospitalini __________________________
(ii) Kitu chochote kinachomzunguka mwanadamu ____________________
(iii) Mchanganyiko wa gesi mbalimbali _____________________________
(iv) Chanzo kikuu cha nishati duniani ______________________________
(v) Sifa ya viumbe kuhitaji chakula ________________________________
(vi) Sayansi inayohusiana na uchunguzi na matibabu kwa Wanyama____________________________________
SEHEMU B (Alama 28)
4. Pangilia sehemu zifuatazo za mwili wa binadamu kwa mfuatano sahihi kulingana na jinsi zinavyohusika katika kusikia kwa kuzipa herufi B, C, D, E, F na G katika nafasi uliyopewa.Hatua ya (vii) imetumika kama mfano
| i. | Neva ya auditori | |
| ii. | Mifupa mitatu milaini | |
| iii. | Ubongo | |
| iv. | Koklea | |
| v. | Ngoma ya sikio | |
| vi. | Mfereji wa sikio | |
| vii. | Pinna | A |
5. Soma picha ifuatayo hapa chini kisha ujibu maswali yanayofuata.

(i) Picha hii inaonesha nini? _______________________________________
(ii) Taja makundi mawili ya viumbe hai vilivyo oneshwa hapo juu
(iii) Taja tawi la Sayansi linalohusika na vitu hivyo hapo juu _______________
(iv) Ni kiumbe gani kimeoneshwa hapo juu hujitengenezea chenyewe chakula?
________________________________________
(v) Ni sehemu gani ya mmea hutumika kutengeneza chakula?
___________________________________________________________
(vi) Toa faida moja ya mimea katika Maisha ya kila siku __________________________________________________
6. (a) Taja makundi makuu mawili ya Wanyama
(b) Taja sehemu inayotumiwa na Samaki katika upumuaji__________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 156
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU
SOMO: SAYANSI
MUDA: SAA 1:30
Jibu maswali yote 1. Chagua jibu sahihi kisha weka herufi sahihi panapohusika
i).Somo linalohusika na kufanya majaribio na uchunguzi ili kupata majibu sahihi_______
ii).Mariamu alimuuliza Aneth kuwa mtu anayefanya shughuli za kisayansi huitwaje?_____
iii).Mwalimu Kamanzi aliuliza wanafunze wake kwamba kuna matawi mangapi ya sayansi?____
iv). Kenedy ana ndoto za kuwa mhandisi wa barabara.Je mwalimu wake atamshauri asome tawi gani la sayansi?______
v). Wewe kama mwanafunzi unatumia ogani gani kumsikia mwalimu wako? __[ ]
2. OANISHA FUNGU A NA FUNGU B KULETA MAANA KAMILI
| Na | Fungu A | Majibu | Fungu B |
| i. | Sikio | A. Ladha ya utamu | |
| ii. | Ulimi | B. Kusikia sauti | |
| iii. | Maada | C. Tawi la Sayansi | |
| iv. | Botania | D. Malaria | |
| v. | Mbu | E. Vitu vigumu |
3.Soma habari hii kisha jibu maswali yafuatayo
Siku moja mwalimu wa sayansi aliingia darasani akiwa na chati inayoonesha taaluma zinazohusiana na Sayansi. Udaktari wa binadamu, ualimu, ufamasia, uhandisi, utaalamu wa kemia, utaalamu wa mimea na udaktari wa wanyama. Baada ya kutaja taaluma hizi tulipenda sana somo la sayansi na kuanza kusoma kwa bidi
MASWALI:
i. Taaluma inayohusu ubunifu wa kutengeneza miundo mbinu. Mtaalamu huitwaje? _____________
ii. Taaluma inayohusu kutengeneza na kusimamia dawa.Mtaalamu huitwaje?________________________________________
iii. Taaluma inayohusu kufundisha sayansi. Mtaalamu huitwaje?______________________________________
iv. Taaluma inayohusu kutibu binadamu. Mtaalamu huitwaje? _______________
v. Taaluma inayohusu tiba kwa wanyama. Mtaalamu huitwaje? ______________
vi. Taaluma inayohusu utaalamu wa kikemia. Mtaalamu huitwaje? ____________
4.Tazama picha hizi kisha jibu maswali yanayofuata

Maswali
i. Taja jina la kifaa katika picha A hapo juu _________________________
ii. Bainisha kazi moja ya kifaa katika picha A _________________________
iii. Taja majina ya vifaa vyote katika picha B
a). __________________________
b).__________________________
c) ___________________________
d).__________________________
5. Jaza nafasi zilizoachwa wazi
i. Sikujua alipokuwa anaumwa walimshauri afike hospitalini,kabla hajapewa dawa walimshauri atembelee chumba maaluma kwa ajili ya uchunguzi unafikiri chumba hicho kinaitwaje? __________________
ii. Ni sehemu gani ya jicho huruhusu mwanga kuingia kwenye jicho?___________________________
iii. Mlango upi wa fahamu unaweza kutambua rangi ya kijani ya spinachi? ____________
iv. Seli katika ulimi zenye neva zinakusanya taarifa ya ladha huitwaje? ________________
v. Taja mifano miwili ya viumbe hai wanaojongea kwa kutambaa.
a)._____________________________
b)._____________________________
6. i) Makundi makuu mawili ya viumbe hai nayo ni ___________na ________
ii) Kundi la wanyama limegawanyika katika makundi 2 ambayo ni _____________________________ na_____________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 155
OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU
SOMO: HISABATI
Muda Saa 2:00
MAELEKEZO:
| Na | SWALI | KAZI | JIBU |
| 1. | a) Ni namba ipi kamili iliongezwa ili kupata: 3 + 30,000 + 7,000 = _____ | ||
| b) 234 − 19 = | |||
| c) 590 + 690 = | |||
| d) Jaza namba inayokosekana: 998, 999, _____, 1001 | |||
| e) Andika namba ndogo zaidi inayoweza kutengenezwa kwa tarakimu 9, 2, 9, 0 na 1. | |||
| f) Shule ina wanafunzi 894. Thamani ya tarakimu 9 katika namba hiyo ni ipi? | |||
| 2. | a) Ni sehemu (sehemu ya jumla) ipi imechorwa kivuli katika mchoro ufuatao
| ||
| b) Hamisi alikuwa na mkate mmoja na akala sehemu 3/9 yake. Ni sehemu gani ya mkate ilibaki? | |||
| c) 317 + 517 = | |||
| d) Andika 34 kwa maneno. | |||
| e) Ni nusu lita ngapi (1/2 lita) zipo katika lita 2? | |||
| 3. | a) Daftari moja la mazoezi linauzwa shilingi 2000. Utahitaji sarafu ngapi za shilingi 500 ili kununua daftari hilo? | ||
| b) Shilingi 3500 + Shilingi 950 = | |||
| c) Shs Sts 350 50 −150 65 ___________ ____________ | |||
| 4. | a) Ni saa ngapi zinaonyeshwa na uso wa saa hapa chini?
| ||
| b) Kuna saa ngapi kutoka saa 1800 hadi saa 2300? | |||
| c) Asha alikuwa na maumivu ya kichwa siku ya Ijumaa saa 1808. Andika muda huo kwa mfumo wa saa 12. | |||
| d) Kuna siku ngapi katika wiki 2? | |||
| a) Panga ujazo ufuatao kuanzia mdogo hadi mkubwa: 450 ml, 40 ml, 2 L na 4 ml. | |||
| b) Umbali kutoka shuleni hadi zahanati ni sentimita 800. Umbali huo ni mita ngapi? | |||
| 5. | c) Ni kipi kizito kati ya gramu 1000 na kilo 1? | ||
| 6. | a) Andika jina la umbo hapo chini
b) Kuna mistari mingapi iliyonyooka kwenye mchoro ulio hapa chini?
| ||
| c) Kuna vipande vingapi vya mistari kwenye mchoro ulio hapa chini?
| |||
| d) Umbo lenye pande tano na pembe tano linaitwa ______. |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 154
JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026
SAYANSI
DARASA LA III
1. Andika herufi ya jibu sahihi kwenye mabano
i.Utabiri wa matokeo ya kubuni kuhusu tatizo fulani huitwaje?
ii.Binadamu ana milango ya fahamu mitano. Je, ni mlango upi wa fahamu huhusika na kuhisi hali mbalimbali kama vile joto, baridi na mguso?
iii.Ni kundi lipi la viumbe ambao huzaa watoto na kunyonyesha?
iv.Kuna mimea inayozaliana kwa kutoa maua na isiyotoa maua. Je, ni mmea upi kati ya ifuatayo hautoi maua?
v.Teknolojia ya habari na mawasiliano hutuwezesha kupata habari na elimu mbalimbali. Je, ni kifaa kipi kati ya vifuatavyo si kifaa chaTEHAMA?
2. Oanisha maelezo kutoka kifungu A na hatua kutoka kifungu B.
| KIFUNGU A | KIFUNGU B |
|
|
3. Chagua kundi la wanyama katika sanduku kujaza nafasi zilizoachwa wazi.
i.Binadamu, ng’ombe, mbuzi na popo ni wanyama katika kundi la ……………………………………………
ii.Kenge, mamba, mjusi na kobe ni baadhi ya wanyama katika kundi la …………………………………
iii.Chura ni wanyama katika kundi la ………………………………………………………………………………………………
iv.Kuku, kanga na tausi ni wanyama katika kundi la …………………………………………………………………….
v.Perege na Kambale ni wanyama katika kundi la ……………………………………………………………………….
4. Soma habari kisha jibu maswali yanayofuata.
Sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya uchunguzi na majaribio. Uchunguzi na majaribio hufanyika ili kubaini ukweli wa mambo. Sayansi ina matawi makuu matatu ambapo kila tawi linahusika na aina fulani ya maarifa. Matawi hayo ni Fizikia na Kemia na Baiolojia. Fizikia ni tawi la sayansi linalohusu uhusiano wa maada na nishati, Kemia ni tawi la sayansi linalohusu muundo na tabia za maada na mabadiliko yanayotokea katika maada na Baiolojia ni tawi la sayansi linalohusu viumbehai.
Maswali
i.Kwanini tunafanya uchunguzi na majaribio ya kisayansi? …………………………………………………...
ii.Ni tawi lipi la sayansi linalohusu uhusiano wa maada na nishati? ……………………………………….
iii.Ni tawi lipi la sayansi linalohusu muundo, tabia na mabadiliko ya maada? ……………………….
iv.Maarifa yanayopatikana kwa kufanya uchunguzi na majaribio yanaitwaje? ……………………
v.Fabian anataka kuwa daktari wa binadamu. Je, ni tawi gani la Sayansi itabidi kulisomea zaidi? …………………………………………………………………………………………..
5. Chunguza picha kisha jibu maswali.

i. Taja jina la ogani iliyooneshwa kwa namba 1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
ii. Taja jina la ogani iliyooneshwa kwa namba 2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iii. Taja jina la ogani iliyooneshwa kwa namba 3. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iv. Taja kazi ya ogani iliyooneshwa kwa namba 1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
v. Taja kazi ya ogani iliyooneshwa kwa namba 2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 153
JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026
SANAA NA MICHEZO - DARASA LA III
MUDA SAA 1:30
1. SEHEMU A CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI KISHA UIANDIKE KATIKA KISANDUKU
1. Chagua herufi ya jibu sahihi na kisha andika katika kisanduku
i. Kundi la waigizaji walifanya maonyesho, wanafunzi walikwenda kuangalia, je, Kundi la watu wanaotazama hujulikana kama?
ii. Darasa la tatu wamefundishwa kitendo cha kufuatisha kitu au jambo la wengine, je, Kitendo hiki huitwa nini?
iii. Je, Ni kundi ganii kati ya yafuatayo linawakilisha ala za muziki za kupuliza?
iv. Sanaa ya kutengeneza vitu kwa kutumia udongo wa mfinyanzi huitwa ____
v. Zifuatazo ni faida za kufanya mazoezi ya mwili ISIPOKUWA __________
2. Oanisha kifungu A na B ili kupata maana kamili
| KIFUNGU A | MAJIBU | KIFUNGU B |
| i. Ngoma |
| A: Nguo wanazovaa waigizaji B: Watu wanaoangalia maonyesho C: Kifaa cha kuchorea D: Ala za muziki za kugonga E: Ala za muziki za nyuzi F: Mtu anayeigiza G: Mahali pa kuigizia |
| ii. Mavazi ya kuigizia |
| |
| iii. Muigizaji |
| |
| iv. Hadhira |
| |
| v. Penseli |
|
3. Chagua jibu sahihi katka mabano
i. Viumbe hai hutumia _______________________ kuwasiliana (sauti, mawingu, hewa)
ii. Sauti ya ng’ombe ni __________________ ( moooo, nyauuu, meeeee)
iii. _________________ni mfano wa viumbe visivyo hai ambavyo hutoa sauti. (pikipiki. Miti, binadamu)
iv. _______________________ni mfano wa viumbe hai ambavyo hutoa sauti. (maji, upepo, jogoo)
v. Mbwa hutoa sauti kwa kufanya nini?______________________________ (kulia, kubweka, kucheka)
4. jaza nafasi zilizoachwa wazi
i. Taja aina ya udongo unaohitajika wakati wa kufinyanga vitu ___________________________
ii. Kifaa kinachotumika kuondoa vipande vya mawe na uchafu wakati wa kuandaa udongo wa mfinyanzi huitwa? _____________________
iii. Mimi ni mahali ambapo kazi ya Sanaa hufanyika, je, Mimi ni nani? _____________________________
iv. Wanafunzi wa darasa la nne waliimba wimbo wa taifa kwa sauti ya kwanza pekee, aina ya uimbaji huu huitwa ________________________________
v. Hamisi anafanya kazi ya kutengeneza vyungu, je, Utaitaje shughuli ya kutengeneza vitu kwa kutumia udongo? ___________________________
5. Angalia picha ifuatayo kisha jibu maswali uliyoulizwa
![]() |
i. Wanafunzi wanafanya nini katika picha hapo juu? ____________________________________
ii. Kundi la waimbaji huitwaje? ______________________________
iii. Kuzalisha sauti za muziki kwa kutumia sauti huitwa __________________________________
iv. Ala gani ya muziki ya kupuliza imeonekana katika picha hiyo? _______________________________________
v. Taja ala moja ya muziki ya kuvuta nyuzi inayoonekana katika picha __________________________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MICHEZO EXAM SERIES 152
JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026
SANAA NA MICHEZO DARASA LA III
MUDA: SAA 1: 30
MAELEKEZO:
SEHEMU A:
1. Kuchagua herufi ya jibu sahihi
i. ______________ ni mchezo unaochezwa kwa kutumia mikono
ii. Rede,kukimbia na chupa kichwani,bao,kukimbia na yai kwenye kijiko , zote kwa pamoja huitwa?_________
iii. Baadhi ya jamii watu hutumia sanaa kuzalisha vitu kwa kutumia udongo wa mfinyanzi. Hii hujulikana kama?
iv. Uigizaji unajumuisha vipengele vine muhimu. Ipi kati ya vifuatavyo sipo moja wapo ya vipengele hivyo?
v. Kama Watoto watano wanacheza mchezo wa kugombania kiti. Je ni viti vingapi vinatakiwa viwepo?
2. Oanisha sentensi za kifung A na jibu sahihi kutoka kifungu B kisha Andika jibu katika nafasi Uliyopewa
| KIFUNGU A | MAJIBU | KIFUNGU B |
| i. Ala za kupuliza |
| |
| ii. Ala za kugonga | ||
| iii. Ala za nyuzi | ||
| iv. Ala za kutikisa | ||
| v. Kitu halisi |
3. Andika KWELI au SI KWELI
i. Picha ni kitu halisi kinachoweza kuchorwa_______________
ii. Ni vigumu kuigiza sauti ya viumbe visivyo hai_______________
iii. Uimbaji ni utoaji wa sauti ya kimuziki kwa kutumia sauti___________
iv. Wakati tunaimba wimbo wa Taifa hatusimami wima_______________
v. Kila ala ya muziki ina sauti yake______________
4. Jaza nafasi zilizoachwa wazi
i. Kifaa kinachotumika kutoa sauti na kufanya muziki uvutie kinaitwa?________________
ii. Tunachora picha kwa kutumia kifaa kinachoitwa?_______________
iii. Rede huchezwa na wachezaji wangapi?_______________________
iv. Udongo unaotumika kutengeneza vitu mbalimbali huitwa?______________
v. __________________ ni kitendo cha kufuatisha jambo la mtu mwingine
5. Panga hatua zifuatazo za uchoraji picha kwa kutumia penseli katika mpangilio sahihi kwa kuzipa herufi A,B,C,D, na E
i. Koleza mistari ya picha kwa usahihi wa ujumbe na mwonekano wa maumbo _________
ii. Anza kuchora picha ya vitu unavyotaka kuvichora kwa kutumia mistari miepesi _________
iii. Rekebisha sehemu ambayo umekosea kwa kutumia kifutio _________
iv. Andaa karatasi na penseli ya kuchorea _________
v. Chagua vitu unavyotaka kuvichora _________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MICHEZO EXAM SERIES 150
PRIME MINISTER’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
CLASS THREE TERMINAL EXAMINATION
MATHEMATICS
TIME: 1:30 HOURS
NAME OF THE PUPIL: ___________________________________________________
NAME OF THE SCHOOL: _________________________________________________
| Answer all question in this section | ||||||||||||
| No. | Questions | Working space and answers | ||||||||||
| 1.i) | The number of animals in Visiga village is ninety thousand and eighteen. Write the number of animals in figures |
| ||||||||||
| ii) | Write down the following numbers briefly. 50 000+7000+600+40+8 |
| ||||||||||
| iii) | Teacher Juma of the mathematics subject asked the students to write 990021 in depth, if you are among the third-grade students what would be your correct answer? |
| ||||||||||
| iv) | Which digit is in thousands place value? In 870213 |
| ||||||||||
| v) | Re- arrange the following numbers in ascending order. 303,33,301,31,330 |
| ||||||||||
| 2. i) | Write the missing number in this series 76,73,70, ______ 64 |
| ||||||||||
| ii) | Joyce scored 78 marks in the first weekly test and if the second weekly test she dropped by 19 marks. What marks did she get in the second weekly test? |
| ||||||||||
| iii) | Which digit has the highest value in this number 14809 |
| ||||||||||
| iv) | Use the sign of =, > or <. appropriately 1010 _____ 10010 |
| ||||||||||
| v) | Write the number represented by the following place values. 5 tens, 3 ones, 5 ten thousand and 0 hundred. |
| ||||||||||
| 3. i) | Find the sum of 1906 and 408 |
| ||||||||||
| ii) | Work out 39368 – 3789 = |
| ||||||||||
| iii) | Write 2321789 in words |
| ||||||||||
| iv) | Mwajuma had 5050 shillings and gave his friend 4050 shillings. How much money did she remain with? |
| ||||||||||
| v) | If one week has seven days. How many days are there in three weeks? |
| ||||||||||
| 4. i) | Write down the smallest measure of height |
| ||||||||||
| ii) | Name the official measurement used to measure the weight of various objects |
| ||||||||||
| iii) | What is the strap used to measure the dimensions of? |
| ||||||||||
| iv) | Y + 567 = 1009 find the value of Y |
| ||||||||||
| v) | Baraka has a coin of 200 shillings. He wants to exchange it for 50 shillings coins. How many 50 shillings will he have? |
| ||||||||||
| 5. i) | Draw a flat shape formed by these dots
|
| ||||||||||
| ii) | How many line segments are there in this figure
|
| ||||||||||
| iii) | Name the figure below
|
| ||||||||||
|
| Study the table bellows of the marks scored by standard three pupils in April monthly test.
|
| ||||||||||
| iv) | How many more marks did Natalia scored than Joyce? |
| ||||||||||
| v) | Arrange the name of the pupil corresponding with their scored in descending order |
| ||||||||||
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MATHEMATICS EXAM SERIES 149
JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026
HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI - DARASA LA III
1. SEHEMU A CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI KISHA UIANDIKE KATIKA KISANDUKU
i. Ipi miongoni mwa tabia zifuatazo huonesha kitendo cha heshima?
ii. Tanzania ni nchi iliyoundwa na mataifa mawili Tanganyika na Zanzibar. Ni lini muungano wa nchi hizo?
iii. Ipi kati ya hizi ni maana Sahihi ya historia?
iv. Jambo Gani la kihistoria liliweza kugunduliwa kwenye bonde la Olduvai, Arusha?
v. Ukitaka kuona vifaa vilivyotumika na watu wa kale napa Tanzania utatembelea eneo Gani?
2. SEHEMU B OANISHA ORODHA A NA ORODHA B ILI KULETA MAANA SAHIHI
| ORODHA A | JIBU | ORODHA B |
| Maarufu Kwa michoro ya mapangoni |
| |
| Jumba liliotumiwa na wafalme | ||
| Hali ya kuwa na uzima na siha | ||
| Ndoano | ||
| Imani inayohusisha kuwepo Kwa miungu |
3. SEHEMU C : ANDIKA NDIYO KWA SENTENSI SAHIHI NA HAPANA KWA SENTENSI ISIYO SAHIHI
i) Kupata malezi ni wajibu wa mtoto______________________________________
ii) Matumizi ya ndoano na nyavu ni maarifa na ujuzi wa asili katika uvuvi_________
iii) Kilwa ni mji maarufu Kwa biashara ya utumwa____________________________
iv) Kusikiliza masimulizi si njia ya kupata taarifa za matukio ___________________
v) Uhusiano katika jamii unaweza kujengwa Kwa kushirikiana kwenye shughuli za uchumi______________________________
4. SEHEMU D: SOMA HABARI IFUATAYO KISHA JIBU MASWALI
Rushwa ni kitendo cha kutoa au kupokea fedha au kitu cha thamani Ili kuruhusu upendeleo Fulani. Rushwa inaweza fanyika shuleni, nyumbani, hospitalini, barabarani au sehemu za kazi. Mfano wa vitendo vya rushwa ni kama vile, kutoa fedha Ili kupata huduma Fulani Kwa haraka, kumpa zawadi rafiki yako Ili akufichie maovu yako. Rushwa hunyima watu haki zao pia hupunguza mapato ya serikali. Hivyo ni jukumu la kila raia kupinga vitendo vya rushwa, kutoa elimu juu ya rushwa na madhara yake na kutoa taarifa sehemu husika juu ya vitendo vya rushwa.
MASWALI
i. Pendekeza kichwa Cha habari uliyoisoma
________________________________________________________________
ii. Taja kitendo kimoja Cha rushwa kama kilivyoelezwa katika habari uliyoisoma
________________________________________________________________
iii. Je ni maeneo gani rushwa inaweza kufanyika?Taja maeneo mawili
a. ________________________________________
b. ________________________________________
iv. Kutokana na habari uliyoisoma ni nani anawajibika kupinga vitendo vya rushwa?
________________________________________________________________
v. Taja madhara ya rushwa katika jamii
________________________________________________________________
SEHEMU E: CHUNGUZA VIBAO VIFUATAVYO KISHA JIBU MASWALI
![]() |
MASWALI
i. Katika mchoro hapo juu Kuna vibao vingapi?
________________________________________________________________
ii. Vibao hivyo vinaeleza nini?
_______________________________________________________________
iii. kibao Cha tatu kimeelezea nini?
________________________________________________________________
iv. Haki za mtoto hutolewa na na nani?
________________________________________________________________
v. Kibao Cha kwanza kimeelezea haki gani?
________________________________________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISTORIA EXAM SERIES 148
PRIME MINISTER’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
CLASS THREE TERMINAL EXAMINATION
SCIENCE AND TECHNOLOGY
TIME: 1:30 HOURS
NAME OF THE PUPIL: ___________________________________________________
NAME OF THE SCHOOL: _________________________________________________
SECTION A: (22 Marks) MULTIPLE CHOICES
1. Choose the letter of the correct answer and write it in the box provided.
(i) Which of the following bodies of knowledge involve investigation and experiment action of things in the real world?
A. Mathematics
B. Geography
C. Science
D. English
(ii) Stecy likes sour taste she should eat _______
A. Meat
B. Orange fruits
C. Salt
D. Lemon
(iii) Living things are those things which have life. Which of the following is not a living thing? _____
A. Cow
B. Maize plant
C. Housefly
D. Car
(iv) How many states of matter are there? ________
A. Three
B. Five
C. Four
D. Two
(v) Which of the following branches of science deals with matter in relation to energy?
A. Chemistry
B. Physics
C. Biology
D. Pharmacy
2. Match the sense organs in LIST A with the correct functions from LIST B by writing the letter of the correct sentence in the answer space provided.
| LIST A | ANSWER | LIST B |
| (i) Eye | | A. Used for tasting B. used for smelling C. Used for crying D. Used for hearing E. Used for seeing F. Used for feeding G. Used for feeling |
| (ii) Skin | | |
| (iii) Tongue | | |
| (iv) Nose | | |
| (v) Ear | |
3. Choose the correct answer in the box then fill in the gap.
| Air, Medical doctor, nutrition, sun, Environment, veterinary medicine |
(i) A scientist who diagnoses and treat people in hospital ____________________
(iii) Mixture of different gases __________________________________________
(iv) The primary source of energy on the earth ____________________________
(v) the characteristic whereby living things need food ________________________
(vi) A science that deals with diagnosis and treatment of animals________________
SECTION B (28 Marks)
4. Arrange the following parts of the body in a chronological order of how they are involved in hearing by giving them letter B, C, D, E, F and G. Step (vii) has been used as an example
(i) Auditory nerve ___________
(ii) Three soft bones ___________
(iii) Brain ___________
(iv) Cochlea ___________
(v) Ear drum ___________
(vi) Ear canal ____________
(vii) Pinna _____A______
5. Study the picture below then answer the questions that follows:
![]() |
(i) The picture above shows ___________________________
(ii) Mention two groups of living things shown above
a) ______________________________
b) ______________________________
(iii) Mention the branch of Science that deals with the things above __________
(iv) Which of the living things found in the picture above makes their own food? ___________________________
(v) Which part of a plant is used to manufacture food?________________________
(vi) Give one advantage of plants in daily life ______________________________
6 (a) Mention two main groups of animals
(i) _____________________________________________
(ii) _____________________________________________
(b) Name the structure that used by fish for breathing_____________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SCIENCE EXAM SERIES 147
PRIME MINISTER’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
CLASS THREE TERMINAL EXAMINATION
ART AND SPORTS
TIME: 1:30 HOURS YEAR 2026
NAME OF THE PUPIL: ___________________________________________________
NAME OF THE SCHOOL: _________________________________________________
INSTRUCTIONS
1. Choose the correct answer and write its letter in the box provided
i. A performing art competition was held to school, a large group of pupils went to view the competition, what the group of viewers called?
ii. Standard three pupils were taught by arts and sports teacher that the skill of imitation something is called
iii. Which of the following group of music instrument represent wind instrument?
iv. How do we call an art that produce various objects using a clay sol?
v. the following are the importance of physical exercises EXCEPT
2. Answer the following questions by matching the items in list A with items in list B
| LIST A | ANSWERS | LIST B |
| i. Drums | | A: clothes worn by actors B: people viewing the performance C: A tool for drawing D; struck music instrument E: string music instrument F: a person who acts G: a place where performing art take place |
| ii. costumes | | |
| iii. an actor | | |
| iv. audience | | |
| v. Pencil | |
3. Choose the correct answer from the blankets
i) Living thins use ________________________ to communicate (sounds, clouds, air)
ii) The sound of a cow is ___________________ (mooo, nyau, meee)
iii) A ___________________is an example of non-living thing that produce sound. (motorcycle, tree, human being)
iv) A ______________________ is an example of living thing that produce sound.(water, wind, cock)
v) A dog produce sound when it is ____________________________________ (crying, barking, laughing)
4. Fill the blanks in the following questions.
i. Which type of the soil is used in modelling? ______________________________
ii. A tool used to remove pieces of stone and dirty when preparing a clay soil is called _____________________________________
iii. I am the place where performing art is done, who am I? _____________________________
iv. Standard four pupils sang a national anthem in first voice only. What is this type of singing called? ___________________________
v. Work is to make pots. How do we call the activity of making different objects by using clay soil? ___________________________________
5. Observe the picture below then answer the given questions
![]() |
i. What are pupils doing?
_____________________________________________________________
ii. A group of singers is known as
_____________________________________________________________
iii. The production of musical sounds using voice is called
_____________________________________________________________
iv. Which wind musical instrument is shown in the picture above?
____________________________________________________________
v. Mention only one string music instrument seen in the above picture
______________________________________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SPORTS EXAM SERIES 146
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRIME MINISTER'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT.
TERMINAL EXAMINATION MAY 2026
SCIENCE AND TECHNOLOGY STANDARD III
1. Write the letter of the correct answer in the brackets
i. What is the prediction of design results about a particular problem called?
ii. Human beings have five sense organs. Which organ is responsible for sensing various conditions such as heat, cold and touch?
iii. Which group of organisms give birth to babies and breastfeed?
iv. There are flowering and non-flowering plants. Which of the following plants does not flower?
v. Information and communication technology enables us to access various information and education. Which of the following is not an IT device?
2. Match information from section A with the steps from section B.
| Section A | Answer | Section B |
| i. The first stage of scientific investigation |
| |
| ii. Predicting the results of a scientific experiment | ||
| iii. Organize the data, analyze it and put it in a good order | ||
| iv. A step that proves or disproves a hypothesis | ||
| v. The final stage of scientific investigation |
3. Choose a group of animals in the box to fill in the blanks.
| Amphibia Reptile Fish Mammals Bird |
i. Humans, cows, goats and bats are animals in the group of . . . . . . . . . . . . . . . . .
ii. crocodiles, lizards and turtles are some of the animals in the group of . . . . . . . . . . . .
iii. Frogs are animals in the group of . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
iv . Chickens, parrots and peacocks are animals in the group of . . . . . . . . . . . . . . . . . .
v . Tilapia falcon and catfish are animals in the group of . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
4. Read the passage and then answer the questions below
Science is knowledge obtained by conducting observations and experiments. Investigations and trials are conducted to determine the facts. Science has three main branches where each branch deals with
a certain type of knowledge. The branches are Physics, Chemistry and Biology. Physics is a branch of science that deals with the relationship between matter and energy, Chemistry is a branch of science that deals with the structure and behavior of matter and the changes that occur in matter and Biology is a branch of science that deals with living things.
Questions
i. Why do we conduct scientific research and experiments? . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
ii. Which branch of science deals with the relationship between matter and energy? . . . . . . . .
iii. Which branch of science deals with the structure, behavior and change of matter? . . . . . . . .
iv. What is the knowledge gained by doing research and experiments called? . . . . . . . . . .
v. Fabian wants to be a human doctor. Which branch of Science will you have to study more? . .
5. Examine the pictures and then answer the questions below

i.Mention the name of the organ shown by number 1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
ii. Mention the name of the organ shown by number 2 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iii. Mention the name of organno. 3
iv. What is the uses of the organ shown by number1? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
v. What is the uses of the organ shown by number 2? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SCIENCE EXAM SERIES 145
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRIME MINISTER'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT.
TERMINAL EXAMINATION MAY 2026
MATHEMATICS
STANDARD III
1. Numerical concepts
i. 2165 pupils have attended the grade four national exam in 2024 in a certain ward. Write that number of pupils in words. . . . . . . . . . ..
ii. Write eight thousand eight hundred ninety-six in digits. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iii. Combine 5 tens thousands, 3 thousands, 0 hundreds, 2 tens and 5 ones to get the corresponding number. . . . . . . . .. . .
iv. write the place value of 5 in the number 19352. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
v. Enter the value of the underlined digit position in the number 32068. . . . . . . . . . . . . . .
2. Number settings
i. Write in short 5 + 80 + 200 + 4000 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
ii. Write the number 5593 in expanded form . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
iii. Write the missing number 1010, 1020, 1030,1040, . . . . . . . . . . . . . . ..., 1060.
iv. Write the next number 60, 50, 40, 30, 20, 10, . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
v. Arrange the following numbers from the smallest number to the largest number 169, 196, 100 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
3. Number's actions Mark <, = and > in the middle room to match the following numbers
| i | 96 | 69 | |
| ii | 100 | 100 |
iii. 48638 + 20961
iv. 876543 - 765452
Tsh. 200 + Tsh. 500 = Tsh.
4. Write the correct answer.
i. Name one device you can use to measure the height of a table. . . . . . .. . . . . . .
ii. The total number of pupils in a certain school is 2634. If the number of boys is 1202, find the number of girls. . . . . . . . . . . . . . ..
iii. Juma and Paulo have shared one orange in half and each has eaten a piece. What part of theorange has each eaten? . . . . . . . . . .
iv. 11/20 + 6/20 =
v. 9/14 - 8/14 =
5. Write the correct answer.
i. Which month comes after September? . . . . .. . . . . . . . . . . . . . .
ii. Write the time shown by the following clock in numbers. . . . . . . . . . . . . . . .
iii. Write quarter past ten in numbers. . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iv. Name the following shape. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

v. Write the name of the following line segment. . . . . . . . . . . . . . . . .
vi. How long is the line segment TU . . . . . . . . . . . . . . .
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MATHEMATICS EXAM SERIES 144
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRIME MINISTER'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT.
TERMINAL EXAMINATION MAY 2026
ART AND SPORTS
STANDARD III
INSTRUCTIONS ;
SECTION A : Multiple choices
Choose the correct answer and fill its letter in the space provided
i. _________________ is a game played using hands.
ii. Rede, running with a bottle balance on the head, bao and running with an egg on a spoon are all called_____________
iii. In some communities, people use an art that produces various objects using clay soil. This art is known as_________________?
iv. Acting involves four essentials. Which of the following is not an essential for acting?
v. If five children are playing “struggling for a chair game “how many chairs should be there?
2. Match the items from list A with their corresponding answers from list B and write its letter in the space provided
| LIST A | LIST B |
|
|
SECTION B
3. Choose the answer from box below
| Theme, play, Artist, picture, singing |
4. Fill in the blanks.
5. Arrange the following procedures of drawing a picture using a pencil in a good order by giving those letters A-E and write them in the brackets given.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SPORTS EXAM SERIES 143
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA MWEZI MEI 2026
JIOGRAFIA NA MAZINGIRA
DARASA LA III
MUDA: SAA 1:30
1. Jibu kipengele (i)-(vi) kwa kuchagua herufi sahihi na andika herufi hiyo kwenye kisanduku ulichopewa
i. Zipi kati ya sifa zifuatazo zinatofautisha mlima na kilima
ii. Kwa nini vilele vya baadhi ya milima kama vile mlima Kilimanjaro vimefunikwa na barafu?
iii. Kipi kati ya vifuatavyo vinapatikana ndani ya nyumba?
iv. Ni yupi miongoni mwa viumbe hai wafuatao huishi ndani ya maji pekee?
v. Somo linalomuhusu binadamu na mazingira yake hujulikana kama ____________
2. Oanisha safu A na Safu B ili kuleta maana kamili
| Safu A | SAFU B |
|
|
3. Jibu kipengele(i)-(ii kwa kuchagua dhana sahihi ya kijiografia kutoka kwenye kisanduku na kuiandika katika nafasi ilioachwa wazi
| Mazingira,Sura ya nchi,Ziwa Tanganyika,Ziwa viktoria,Mlima Kilimanjaro,Miti,Huduma za jamii |
I. Ziwa lenye kina kirefu Tanzania_____________________________________
II. Upatikana mashuleni,Hospitalini na sokoni_________________________________
III. Vitu vyote vinavyomzunguka binadamu___________________________________
IV. Mwonekano wa maumbo mbalimbali ya ardhi katika uso wa dunia________________
V. Husaidia kupunguza hewa ukaa katika anga_________________________________
4. Jaza nafasi zilizo wazi kwa kuandika jibu sahihi
A. Orodhesha milima inayopatikana kwenye mikoa ifuatayo
I. Arusha ___________________________
II. Mbeya ___________________________
B. Andika jina la mlima mrefu kuliko yote Africa ____________________________
C. Orodhesha vifaa vinavyotumika katika kufanya usafi wa mazingira ya darasani
i. ___________________________________________
ii. ___________________________________________
5. Soma picha ifuatayo kisha jibu maswali (i) – (iv) kwa kuandika jibu sahihi kwenye nafasi wazi
![]() |
MASWALI
i. Ni shughuli gani inayofanyika kwenye picha hiyo hapo juu? ___________________________
ii. Je shughuli iliyopo kwenye picha inafanyikia wapi ___________________________________
iii. Andika vitu vinavyopatika kwenye picha.
a) ___________________________________
b) __________________________________
iv. Nini faida ya shughuli hiyo kwenye mazingira? ________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE JIOGRAFIA EXAM SERIES 142
JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026
HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI
DARASA LA III
1. Chagua herufi ya jibu sahihi na uandike kwenye Mabano
i) Juma aliweza kutaja vyanzo vya Historia ya Tanzania. Je kipi siyo sehemu ya vyanzo hivyo.
ii) Histora ya Tanzania imegawanyika katika nyakati ngapi?
iii) Tanzania ina makabila Mangapi?
iv) Blandina aliulizwa na Mwalimu ni nchi gani ilipata Uhuru Mwaka 1961. Ni jibu lipi sahihi Balndina alilitoa?
v) Ni kitendo gani cha kimaadili Mwana anapaswa kumfanyia Mzazi wake?
2. Oanisha fungu A na fungu B ili kuleta maana iliyo sahihi.
| FUNGU A | FUNGU B |
| i)Kitendo kinachofanyika mara kwa mara ii)Kuwatunza na kuwathamini wazee iii)Kufanya usafi iv)Kupata Elimu v)Hali ya watu kuungana na kufanya kazi kwa pamoja wa Mazingira |
|
3. Jaza nafasi zilizoachwa wazi kwa kujaza jibu sahihi kutoka kwenye kisanduku
| Mtumwa, shuleni na nyumbani, Rushwa, maadili, ukatili, Kujithamini, kujali |
i) Kuwapenda, kuwaheshimu na kuwasaidia watu wengine __________________
ii) Kitendo cha kutoa au kupokea fedha au kitu cha thamani ili kutenda kilicho kinyume na haki ya mtu mwingine huitwaje _______________________
iii) Mtu anayemilikiwa na mtu Mwingine na hana uhuru anaitwaje?______________
iv) Mwenendo au utendaji unaokubalika katika jamii huitwaje__________________
v) Matendo ya kuumiza hali ya mateso maumivu dhidi ya mtu mwingine kwa makusudi huitwaje_______________________
4. Weka alama ya (√) kwenye kisanduku kwa kubainisha matendo ya haki na wajibu
| Matendo | Haki | Wajibu |
| i)Kupata mahitaji ya shule | √ | |
| ii)Kufanya kazi zinazolingana na uwezo wa mtoto | ||
| iii)Kulindwa | ||
| iv)Kuwatii wazazi | ||
| v)Kupata malezi bora | ||
| vi)Kuonya vyombo vya nyumbani |
5.Soma picha hapo chini kwa makini kisha jibu maswali yanayofuata
![]() |
MASWALI
i) Wanafunzi kwenye picha hapo juu wanafanya nini _________________
ii) Hayo ni mazingira ya wapi?_______________________
iii) Je, wanachofanya wanafunzi ni wajibu au Haki?_____________________
iv) Katika picha unaona wanafunzi wangapi?_______________________
v) Mazingira ni nini?_______________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISTORIA EXAM SERIES 141
JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026
HISABATI DARASA LA III
1. Dhana ya namba
i. Wanafunzi 2165 wamefanya mtihani wa taifa wa darasa la nne mwaka 2024 katika kata fulani. Andika idadi hiyo ya wanafunzi kwa maneno. . . . . . . . ...
ii.Andika elfu nane mia nane tisini na sita kwa tarakimu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iii.Unganisha makumi elfu 5, maelfu 3, mamia 0, makumi 2 na mamoja 5 ili upate namba husika. . . . . . . . . . . .
iv. Andika thamani ya 5 katika namba19352. . . . . . . . . . . . . . . . . .
v. Andika thamani ya nafasi ya tarakimu iliyopigiwa mstari katika namba 32068. . . . . . . . . . . . . . . . . .
2. Mipangilio ya namba
i. Andika kwa kifupi 5 + 80 + 200 + 4000 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
ii. Fafanua namba 5593. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
iii. Andika namba inayokosekana 1010, 1020, 1030,1040, . . . . . . . . . . . .. , 1060.
iv. Andika namba inayofuata 60, 50, 40, 30, 20, 10, . . ... . . . . . . . .
v. Pangilia namba zifuatazo kutoka namba ndogo kwenda namba kubwa 169, 196, 100 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
3. Matendo katika namba
Weka alama <, = na > kwenye chumba cha katikati kulinganisha namba zifuatazo.
| i | 96 | 69 | |
| ii | 100 | 100 |
iii. 48638 + 20961 =
iv. 876543 - 765452 =
v. Sh. 2 0 0 + Sh. 5 0 0 = Sh.
4. Andika jibu sahihi.
i. Taja kifaa kimoja unachoweza kutumia kupima urefu wa meza. . . . . . . . .
ii. Jumla ya wanafunzi katika shule fulani ni 2634. Ikiwa wavulana ni 1202, tafuta idadi ya wasichana. . . . . . . . . . . . . ..
iii. Juma na Paulo wamegawana katikati chungwa moja na kila mmoja amekula kipande chake. Je, kila mmoja amekula sehemu gani ya chungwa hilo? . . . . .
iv. 11/20 + 6/20 =
v. 9/14 - 8/14 =
5. Andika jibu sahihi.
i. Ni mwezi upi unafuata baada ya mwezi Septemba? . . . . . . . . . . . . .
ii. Andika muda unaooneshwa na uso wa saa ifuatayo kwa tarakimu. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
iii. Andika saa kumi na robo kwa tarakimu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iv. Taja jina la umbo lif uatalo. . . . . . . . .

v. Andika jina la kipande cha mstari kifuatacho . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
vi kipande cha mstari TU kina urefu gani? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 140
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRIME MINISTER'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT.
TERMINAL EXAMINATION MAY 2026
GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT
STANDARD III
1. Answer items (i) – (v) by choosing the correct answer and write its letter in the box provided.
i. Which of the following characteristics distinguish between a mountain from a hill?
ii. Why the picks of a certain mountain like that of Kilimanjaro are covered with ice?
iii. Which one of the following is found inside the house?
iv. Which among the following living organisms lives in the water only?
v. The study of human being and his environment is known as ______________
2. Match the items in column A with those in Column B to produce a meaningful statement.
| Column A | Column B |
|
|
3. Answer item (i) – (v) by choosing the correct geographical concept and write in the space provided.
| Environment, earth’s relief, lake Tanganyika, Lake Victoria, Mount Kilimanjaro, trees, social services. |
i. The deepest lake in Tanzania ___________________________________
ii. Obtained in schools, hospitals, and at the market ______________________________
iii. Includes everything surround human beings _______________________________
iv. The appearance of various shapes of land on the earth’s surface __________________
v. Helps to reduce carbon dioxide in the atmosphere _________________________
4. Fill in the gaps with the correct answer.
a) Mention the mountains found in the following regions
b) What is the name of the highest mountain in Africa? __________________________
c) Mention tools to be used when cleaning the classroom environment.
5. Study the following picture and then answer questions (i) to (iv) by writing the correct answer in the space provided.
![]() |
Questions.
i. What is the activity taking place in the picture above? ____________________________________________
ii. Where are the activities above conducted? ______________________________________
iii. Mention things which are found in the picture
a) ______________________________________
b) ______________________________________
iv. What is the importance of activities above to the environment? _____________________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE GEOGRAPHY EXAM SERIES 139
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRIME MINISTER'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT.
TERMINAL EXAMINATION MAY 2026
ENGLISH LANGUAGE STANDARD III
DICTATION
1. Listen to the words read by the invigilator then write them correctly.
i. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
ii. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iii. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iv. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
v. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
2. Choose the correct words from the brackets to fill in the gaps.
i. Pendo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ... television every day. (watches, watch)
ii. They . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . their homework every evening. (does, do)
iii. The sixth month of the year is . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . (June, July)
iv. There is a bookshop. I am going to buy . . . . . . . . . . . . . . . ... (rice, books)
v. He . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ... playing football now. (is, are)
3. Choose the correct words from the box to name the group of the following lists.
| Insects Wild animals Birds Colours Domestic animals |
i. Black, Yellow, Green, Brown, Red and Blue are . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
ii. Bees, Housefly, Ant, Spider, Mosquito and Cockroach are . . . . . . . . . . ...
iii. Goat, Dog, Cow, Cat, Sheep, And Donkey are . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
iv. Hen, Peacock, Duck, Hawk, Ostrich and Eagle are . . . . . . . . . . . . . . . . .
v. Antelope, Elephant, Lion, Zebra, Fox and Giraffe are . . . . . . . . . . . . . ..
4. Identify the word which does not belong to the group and write it in the space provided.
i. Book, pencil, paper, home, ruler. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
ii. January, June, Tuesday, July, November. . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
iii. Juice, water, maize, milk, tea. . . . . . . . . . . . . ...............................................
iv. Mango, banana, orange, tree, apple. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
v. Shirt, bed, dress, blouse, skirt. . . . . . . . . . . . . ............................................
5. Read the following letter and answer the questions that follow.
Upendo primary school, P. O. Box 25, MUFINDI.
28th October 2024.
Dear Grace,
How are you? I hope you are fine. And I am fine too and I will start the annual examinations on 15th November 2024. After doing my examinations, I am going to visit you and I will spend my holiday with you in Dodoma city. I hope you may write soon a letter to me if you may get different schedule. Your friend, Glory Questions.
i. Who is Glory going to visit?.......................................................................................................
ii. When will does Glory start her annual examinations?............................................................
iii. When did Glory write her letter?..............................................................................................
iv. In wh ich scho o l is G lory studying at which school?..................................................
v. Where does Grory want to spend her holiday with her friend? . . . . . . . . . . . . .
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 138
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUMALIZA MUHULA WA KWANZA MEI
SOMO LA KISWAHILI DARASA LA TATU
1. SEHEMU A: IMLA.
i) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
ii) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iii) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
iv) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
v) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
2. SEHEMU B: Chagua herufi ya jibu sahihi
i) Kwa kutumia herufi “sh” unaweza kuunda neno gani kati ya maneno yafuatayo?
ii) Juma aliondoka jana asubuhi. Sentensi hii ipo katika wakati gani?
iii) Ipi ni alama ya mshangao kati ya alama zifuatazo?
iv) Kisawe cha neno tisa ni kipi?
v) Kinyume cha neno kumbuka ni kipi?
3. SEHEMU C: Methali, Nahau na Vitendawili
Jaza nafasi zilizoachwa wazi kwa kuweka jibu sahihi
i) _____________________________ angali mbichi.
ii) Mwenda pole ______________________
iii) Tajiri wa rangi ______________________
iv) Ukoo wetu hauishiwi na safari ______________________
v) Anamkono wa birika ______________________
4. SEHEMU D: Panga sentensi zifuatazo kwa mtiririko kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E
i) Hunywa chai na kwenda shulleni [ ]
ii) Hutandika vitanda vyao, huoga na kuvaa sare za shule [ ]
iii) Jamali, Paul na Jane wanasoma darasa la tatu [ ]
iv) Huamka mapema kila siku asubuhi [ ]
v) Baada ya masomo hurudi nyumbani [ ]
5. SEHEMU E: UFAHAMU
Soma habari kwa makini kisha ujibu maswali
Jina langu ni Imani. Siku moja nilikua naenda shuleni. Nilipokua njiani nilikutana na
rafiki yangu Kelvi na Kenedi. Kelvi na Kenedi walikua wanachunga ng’ombe. Nikawauliza, leo hamuendi shuleni?. Kelv akajibu ndiyo hatuendi,baba ametuambia tukachunge ng’ombe yeye anakwenda kwenye mkutano. Mimi niliwajibu si vyema kukosa kwenda shuleni. Kusoma ni haki yetu
Maswali
i) Kwanini Kelv na Kenedi hawakwenda shuleni?
ii) Msimuliaji wa habari hii anaitwa nani?
iii) Ni haki gani ya mtoto imetajwea katika habari uliyoisoma? iv) Baba yake Kelv alienda wapi?
v) Rafiki zake Imani ni nani na nani?
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 116
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUMALIZA MUHULA WA KWANZA MEI - 2025
HISABATI – DARASA LA TATU
JINA: ____________________________________ TAREHE: ______________
MUDA: SAA 1:30
MAELEKEZO
1. Mtihani huu una sehemu A, na B zenye jumla ya maswali Sita (6)
2. Jibu maswali yote katika kila sehemu
SEHEMU A: (ALAMA 36)
| Na 1 | SWALI | KAZI NA JIBU |
| (a). | 45248+20231= | |
| (b). | Andika thamani ya nafasi ya 7 katika namba 61270 | |
| (c). | Chora ABAKASI ikionesha namba ifuatayo 4279 | |
| (d). | Andika namba inayokosekana katika mfuatano 45, 41, 37, 33, _________ | |
| (e). | 6874 - 2430 | |
| (f). | Linganisha namba ifuatazo kwa kutumia <, > au = 2000 na 3000 | |
| Na. 2 | | |
| (a). | Andika kwa maneno namba ifuatayo: 3896 | |
| (b). | Andika kwa numerali: Elfu tano mia saba sitini na mbili | |
| (c). | Andika kwa kifupi: 4000 + 200 + 50 + 1 = | |
| (d). | Andika thamani ya namba ilipigiwa mstari 6249356 | |
| (e). | Andika kipimo kimoja cha urefu | |
| Na. 3 | ||
| (a). | Kisambu alikua na shilingi 1000 iwapo alitumia shilingi 600 kununua soda alibakiwa na shilingi ngapi? | |
| (b). | Katika mbuga mojawapo ya wanyama nchini Tanzania, kuna Nyati 78698 na pundamilia 2323. Je, kuna jumla Wanyama wangapi katika mbuga hiyo? | |
| (c). | 55394 + 36738
| |
| Na. 4 | ||
| (a). | Kipimo cha msingi cha urefu ni kipi? | |
| (b). | Ng’ombe hutoa lita 20 za maziwa kila siku,Je, hutoa lita ngapi za maziwa kwa siku 3? | |
| (c). | Ukitaka kupima urefu wako unatumia nini? | |
| (d). | Kipimo cha msingi cha uzani ni | |
| Na. 5 | SEHEMU B: ALAMA 14 | |
| (a). | Maria ana urefu wa meta 120 na Jovin meta 130, je kwa pamoja wa urefu wa meta ngapi? | |
| (b). | Baba alitembea umbali Fulani kutoka nyumbani hadi kanisani, Je unahisi umbali huo tunaweza pima kwa kutumia nini kati ya SM, KM na M? ____________________ | |
| (c). | Chora mstari LM | |
| Na. 6 | ||
| (a). | Andika jina la umbo lifuatalo: ![]() | |
| (b). | Andika jina la kipande cha mstari ifuatayo D ___________________ E | |
| (c). | Umbo la mstatili lina pembe ngapi? | |
| (d). | Chora umbo la pentagoni. | |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 108
HE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRESIDENT'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT.
TERMINAL EXAMINATION MAY
GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT STANDARD III
TIME: 1:30 Hours
NAME: ____________________________________ DATE: ______________
SECTION A
1. Choose the correct answer
i. Geography is the study of ____________
ii. Natural environment can be sustainable by ______________
iii. Bee keeping depends on which important resource __________
iv. The condition of the atmosphere at a given place in a given time is:-
v. Hard surface of the earth not covered by water is called:-
SECTION B:
2. Fill in the blanks space using the words in the box below.
| Iringa and Mbeya, ship and boat, support life , arts of speaking Imitate, living things |
i. Lakes and rivers are used for transportation by using _________________________________________________________
ii. The importance of singing ____________________________________
iii. Which region in Tanzania are in Southern plateau _________________________________________________________
iv. Doing something the way somebody does is called _________________________________________________________
v. Land is important because ___________________________________ _________________________________________________________
SECTION C:
3. Match the items in List “A” with those in List “B”
| SECTION A | ANSWER | SECTION B |
| Burning of trees | [ ] |
|
| Valley | [ ] | |
| National environment management council | [ ] | |
| Pollution | [ ] | |
| Musical instrument | [ ] |
SECTION D:
4. Fill the blanks spaces
i. Mention two (2) items used in cleaning the environment
a. ________________________________________
b. ________________________________________
ii. The highest part of mountain is called __________________________
Name two (2) land features
iii. ____________________________________________
iv. ____________________________________________
v. The best soil for pottery is _______________________________
SECTION F:
5. Study the picture below and answer the questions that follow:
| |
i. Which activities take place in picture B? _________________________
ii. Which activity take place in picture A? _____________________
iii. Which product will be obtained from the activity done in picture A
________________________________________________
iv. Which product will be obtained from the activity done in picture B
________________________________________________
v. Which area does the activity done in picture A take place?
_____________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE GEOGRAPHY EXAM SERIES 107
HE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRESIDENT'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT.
TERMINAL EXAMINATION MAY
ENGLISH STANDARD III
TIME: 1:30 Hours
NAME: ____________________________________ DATE: ______________
SECTION A:
DICTATION
1. Listen carefully to the words read to you and write them below.
i. _____________________________________________________
ii. _____________________________________________________
iii. _____________________________________________________
iv. _____________________________________________________
v. _____________________________________________________
SECTION B:
VOCABULARY
2. Choose the correct answer and write it in the brackets provided
i. Joan repairs our clothes. She is a __________________
ii. Godwin has three ___________
iii.
W h a t is the name of this picture? __________
iv. Which word has the same beginning sound as in the word ‘that’
v. How do we call the young sheep? ___________
SECTION C:
GRAMMAR AND TENSES
3. Choose the correct answer and write it in the brackets provided.
i. Mariam _________________ a beautiful dress.
ii. James __________________ a new car yesterday.
iii. Halima did not see a thief. The thief was hiding _________ the door.
iv. We normally take our breakfast ________________ the morning.
v. ___________________ are ripe mangoes?
SECTION D: COMPOSITION
4. Choose the word from the box and fill in the blanks to complete the passage meaningfully.
| Early, van, train, punishment, present, late |
Kisura wake up (i) _________________ in the morning everyday. She wears her school uniform and goes to wait for the school (ii) ______________ to arrive. She arrives to school very (iii) ___________________. After parade she goes to classroom. Other pupils who came late were given (iv)_____________________ by the discipline teacher. Kisura always performs well because she is much disciplined pupil. In her final examination, she became the first best pupil in the class. Her parents gave her a (v)_________________________. She was very happy.
SECTION E: COMPREHENSION
5. Read the passage below and then answer the questions that follow:-
One day my dad came home earlier than usual. It was our first day of the midterm holiday. I asked him what was going to take place? he declared that we were going to visit Mikumi National Park.
In the National Park, there were instructions like “Do not feed animals, no hooting and do not littler in the park. Before arriving at the National Park, our car stopped at the fuelling station. In the National park we saw different animals like elephant, hyena, lion and giraffe.
QUESTIONS:
(i) Which National Park did they visit?
________________________________________________________
(ii) At which public place did they stop?
________________________________________________________
(iii) List down two (2) instructions found in the National park.
__________________________, _________________________
iv) Mention three (3) animals found at the National Park.
_________________, _______________, ___________________
(v) What other animals can be found at the National Park?
________________________________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 106
PRESIDENT’S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENTS
TERMINAL EXAMINATION FOR STANDARD THREE
03E GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT
Time: 1:30 Hours May, 2025
Instructions
SECTION A: (26 Marks)
Answer all questions in this section
A: Warm.
B:Sunny.
C:Cold
D:Rainy
A: A Cobweb.
B: A mop
C:Abroom
D:Adustbin
A: Hurricanes.
B:Deforestation
C: Floods
D:Earthquakes
A:5985 meters
B:9855 meters
C:5895 meters
D:5859 meters
A:Giveusshadow
B:Causesrainfall
C:Give usmedicines
D:Causesflood
A: Valley
B:Mountain
C:Hill
D:Plateau
A: Iringa
B: Njombe
C:Mbeya
D: Pwani
A: Eruption of diseases.
B: Increaseoflivingorganisms
C:We will be healthier.
D: Wewillavoiddisease
|
LISTA | ANSWER |
LISTB |
| ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) |
|
(b) Fill intheblanksbelow
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
(a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
(b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
SECTIONB
Modellingisanartthatproducesvariousobjectsusingclaysoil.Shapeslike sculpturescan also be made using cement, paper, glue and artificial clay. Communities living in areas with clay soil model various vessels such as pots, jars, cups, plates and bowls. In these communities, clay soil is mostly found alongside rivers, in anthills and in valleys. There are two ways of clay modelling. These are manual and machine modelling.
Questions
..........................................................................................................................
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
![]() | ![]() |
Questions
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
a. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
b. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
.........................................................................................................................
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE GEOGRAPHY EXAM SERIES 100
OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MSURURU WA MITIHANI YA SHULE ZA MSINGI
FOMATI MPYA-MTIHANI WA DARASA LA TATU
SOMO: SAYANSI
SEHEMU A:
(A) tatu (B) sita (C) tano (D) nne
(A) jicho (B) pua (C) ngozi (D) sikio
(A) pua, miguu, masikio, ngozi na ulimi (B) ulimi, masikio, pua na mdomo (C) masikio, ngozi, mikono, pua na ulimi (D) macho, masikio, ngozi, pua na ulimi
(A) sikio hutumika kusikia (B)macho hutumika kunusa (C) pua hutumika kuonja (D) ulimi hutumika kuhisi
(A) nywele papillae (B) jasho hufurahi (D) epidermis (D) tezi ya mafuta
(A) fupa la paja (B) malleus (C) msukumo (D) incus
(A) uchungu (B) utamu (C) umami (D)usikivu
(A) saba (B) pale (C) nane (D) sita
| TAWI | MAANA YA TAWI |
| 1. Fizikia | A. Utafiti wa viumbe hai B. Utafiti wa visukuku C. Jambo la utafiti katika mahusiano na nishati D. Utafiti wa hali ya hewa E. Utafiti wa utungaji na mali ya jambo F. Utafiti wa mimea |
| 2. Biolojia | |
| 3. Paleontolojia | |
| 4. Kemia | |
| 5. Botania | |
|
|
1. _________________kugundua harufu ya nyenzo inayowaka.
2. ____________________ kusikia wimbo kuhusu ulinzi wa mazingira.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 93
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024
SOMO: KISWAHILI DARASA: III
IMLA:
Chagua herufi ya jibu sahihi
(A) anafunza (B) amefunzwa (C) amefaulu
(A)mwanga (B)umbo (C) nuru
(A)runinga (B)Tv (C)simu
(A)macho (B)popo (C) mwanga
(A) tajiri (B) mkono (C) mchoyo
Andika visawe vya maneno haya.
Andika wingi wa maneno haya
Malizia vitendawili hivi
Kamilisha methali hizi
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 92
OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MSURURU WA MITIHANI YA SHULE ZA MSINGI
FOMATI MPYA-MTIHANI WA DARASA LA TATU
SOMO: JIOGRAFIA NA MAZINGIRA
SEHEMU A
(A) mazingira (B) uso wa dunia (C) bara (D) jiografia
(A) kitu chochote kinachotuzunguka (B) jiografia na mazingira (C) uso wa dunia (D) jiografia
(A) ni mtu anayesoma dunia (B) ni mtu anayesoma kuhusu jiografia (C) ni mtu anayesoma mazingira (D) ni mtu anayesoma kuhusu angahewa
(A) anga (B) anga (C) kiti (D) viumbe hai
(A) maji, majani na mawe (B) miti, maua na misitu (C) milima, mabonde na bahari (D) mvua, magogo na majani
(A) hewa, milima, mawe na udongo (B) mimea, wanyama na watu (C) majengo, umeme na barabara (D) maji, wanyama, mimea na majengo
(A) viumbe hai (B) mazingira halisi (C) mazingira ya kibiolojia (D) shughuli za binadamu
(A) jiografia halisi (B) jiografia ya binadamu (C) jiografia ya mazingira
(D) jiografia ya vitendo
(A) kujifunza kuhusu dunia (B) kuandika kuhusu dunia (C) kuelezea kuchora au kuandika (D) dunia
(A) vyanzo vya maji (B) mimea (C) udongo na miamba (D) angahewa
(A) bakteria na amoeba (B) malaria na UKIMWI (c) bakteria na TB (D) malaria na amoeba.
| ORODHA A | ORODHA B |
|
|
| |
| |
| |
| |
| |
| |
| |
| |
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MAARIFA EXAM SERIES 91
OFISI YA WAZIRI MKUU-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024
SOMO: HISABATI DARASA: III
| Na | SWALI | NAFASI YA KAZI | JIBU |
| Andika 1572 kwa maneno | ||
| ii. | Andika "elfu nne mia saba sitini na tatu" kwa nambari | ||
| iii. | Tafuta dhamana ya namba 4 katika 4567 | ||
| Iv | Taja ikiwa nambari zifuatazo zinapanda au kushuka 305, 11, 89,72,32 | ||
| v. | Tumia >, | ||
| Panga kwa mpangilio wa kupanda 22,42,13,27,6 | ||
| ii. | Panga nambari zifuatazo kwa mpangilio wa kushuka 32,40,8,16,24 | ||
| iii. | Jaza nambari zinazokosekana 30,32,___36,38 | ||
| iv. | Jaza nambari zinazokosekana 990,960,930,___870 | ||
| v. | Nini dhamana ya 7 katika 67302 | ||
| Nambari gani inakuja baada ya 3149? | ||
| Ii | Nambari gani inakuja kabla ya 1000?? | ||
| Iii | Nambari gani inakuja kati ya 2349 na 2351? | ||
| Iv | Nambari gani inaonyeshwa na abacus hapa chini | ||
| V | Umbo hili linaitwaje?
| ||
| 9762 + 136= | ||
| Ii | 2315 +3114 5435 | ||
| Iii | 5237 - 2024= | ||
| Iv | 5432 -3014 | ||
| v. | Andika 6000 + 100 + 50 + 3 kwa kifupi | ||
| Mtoto aliambiwa ahesabu na kuandika idadi ya masanduku kwa maneno. Jibu sahihi lilikuwa lipi
| ||
| ii. | Katika shamba kuna miembe 980 na michungwa 456. Tafuta jumla ya idadi ya miti shambani | ||
| iii. | Mkulima alikusanya mayai 9529 kwa wiki. Ikiwa mayai 2779 yalivunjika, alibaki na mayai mangapi | ||
| Iv | Ni sehemu gani iliyotiwa kivuli kwenye takwimu hii
| ||
| V | Andika tatu juu ya saba katika takwimu |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 90
OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MSURURU WA MITIHANI YA SHULE ZA MSINGI
FOMATI MPYA-MTIHANI WA DARASA LA TATU
SOMO: HISTORIA NA MAADILI YA TANZANIA
MAELEZO
SEHEMU A. ALAMA 26
Jibu maswali yote
| Jedwali A | Jedwali B |
|
|
SEHEMU YA B. ALAMA 24
JIBU MASWALI YOTE
| Rangi ya Bendera | Maana yake |
| Kijani |
|
| Manjano |
|
| Samawati |
|
| Nyeusi |
|

Ni muhimu sana kutunza mwili wako, akili, na nafsi kila siku na sio tu wakati unaumwa. Hili linawezekana kwa kula vyema, kufanya mazoezi, kupunguza mawazo, na kwenda mapumuziko mwili unapohitaji. Mambo haya yatakufanya ukae mwenye furaha, mwenye afya na mstahilimilivu.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE URAIA EXAM SERIES 89
PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
PRIMARY EXAMINATION SERIES
NEW FORMAT BASED-STANDARD THREE EXAMINATION
SUBJECT: ENGLISH
TERMINAL- MAY-2024
Dictation
Drop y then add ies to make many (plural)
One single many (plural)
Occupation
Use the words below to fill in the blanks
Under, in , on, behind
Fill in the blanks with “a” or”an”
Make good sentences using the following verbs
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 88
PRIMARY EXAMINATION SERIES
COMPETENCE BASED ASSESSMENT
TERMINAL EXAM MAY 2024
SUBJECT: SICENCE CLASS :3
NAME: ………………………………………………….. DATE: ……….........…
CHOOSE THE CORRECT ANSWER
MATCH THE BRANCHES OF SCIENCE
| BRANCHES | ANS | MEANING OF BRANCHES |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
| |
Write True or False
Fill in the blanks
What role does the part labelled a play ion the following diagram.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SCIENCE EXAM SERIES 87
PRIMARY EXAMINATION SERIES
COMPETENCE BASED ASSESSMENT
TERMINAL EXAM MAY 2024
SUBJECT : MATHEMATICS CLASS : P3
NAME: ………………………………………………….. DATE: ......................................
| NO | QUESTIONS | WORKING SPACE | ANSWER |
| | Write 1572 in words |
|
|
| ii. | Write “four thousand seven hundred and sixty three “in numerals
|
|
|
| iii. | What is the place value of 4 in 4567
|
|
|
| Iv | State wether the following numbers are ascending or descending 305, 11, 89,72,32
|
|
|
| v. | Use >, < or = to fill in the blanks space 100_____90
|
|
|
| Arrange in ascending order 22,42,13,27,6 |
|
|
| ii. | Arrange the following numbers in descending order 32,40,8,16,24 |
|
|
| iii. | Fill in the missing numbers 30,32,___36,38 |
|
|
| iv. | Write the missing number 990,960,930,___870 |
|
|
| v. | What is t he value of 7 in 67302
|
|
|
| Which number comes after 3149?
|
|
|
| Ii | Which number comes before 1000?
|
|
|
| Iii | Which number comes between 2349 and 2351?
|
|
|
| Iv | Which number is shown by the abacus below
|
|
|
| V | This shape is called |
|
|
| 9762 + 136=
|
|
|
| Ii | 2315 +3114 5435
|
|
|
| Iii | 5237 - 2024=
|
|
|
| Iv | 5432 -3014
|
|
|
| v. | Write 6000 + 100 + 50 + 3 in short form
|
|
|
| A child was told to count and write the number of boxes in words. What was the correct answer
|
|
|
| ii. | In a farm there are 980 mango trees and 456 orange trees. Find the total number of trees in the farm |
|
|
| iii. | A farmer collected 9529 eggs in a week. If 2779 eggs broke, how many eggs did he remaind with |
|
|
| Iv | What fraction is shaded in this figure
|
|
|
| V | Write three over seven in figures |
|
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MATHEMATICS EXAM SERIES 86
PRIMARY SERIES ASSESSMENT
NEW COMPETENCE BASED CURRICULUM
TERMINAL EXAM MAY 2024
SUBJECT : GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT CLASS :3
NAME: ………………………………………………….. DATE: ……….........…
| LIST A | ANSWER | LIST B |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MAARIFA EXAM SERIES 85
PRIMARY EXAMINATION SERIES
COMPETENCE BASED ASSESSMENT
TERMINAL EXAM MAY 2024
SUBJECT : ENGLISH CLASS :3
NAME: ………………………………………………….. DATE: ……….........…
Dictation
Drop y then add ies to make many (plural)
One single many (plural)
Occupation
Use the words below to fill in the blanks
Under, in , on, behind
Fill in the blanks with “a” or”an”
Make good sentences using the following verbs
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 84
MTIHANI WA UMAHIRI KWA SHULE ZA MSINGI
MTIHANI WA MWISHO MUHULA MEI , 2024
SOMO : KISWAHILI DARASA : P 3
JINA: ___________________________ TAREHE: __________
IMLA:
Chagua herufi ya jibu sahihi
Andika visawe vya maneno haya.
Andika wingi wa maneno haya
Malizia vitendawili hivi
Kamilisha methali hizi
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 83
UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ
PRESIDENT’S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT
MID TERM EXAMINATIONS
MATHEMATICS
STANDARD THREE
Time 1:30 Hours
Pupil’s Name.......................................................................................................
Instructions
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MATHEMATICS EXAM SERIES 54
UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ
PRESIDENT’S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT
MID TERM EXAMINATIONS
SOCIAL STUDIES
STANDARD THREE
Time 1:30 Hours
Pupil’s Name.......................................................................................................
Instructions
SECTION A
Match the items of list A with correct answer in list B
| List A | List B |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Match the items in the List below with the correct responses in the list besides to get the meaningful sentence.
| LIST A | LIST B |
| |
| |
| |
| |
| |
Fill in the blanks to complete the following questions.
Mention two living things found in your Environment
Mention two things found in your School
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SOCIAL EXAM SERIES 53
UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ
PRESIDENT’S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT
TERMINAL EXAMINATIONS-MAY 2023
CIVICS AND NORALS
STANDARD THREE
Time 1:30 Hours
Pupil’s Name.......................................................................................................
Instructions
SECTION A
Match the items in the list below with the correct responses in the list besides to get the meaning full sentence
| List A | List B |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Fill the most correct answer in the space provided
Mention two (2) ways that we can show respect to others
List four (4) color that are found in our national flag.
List two (2) examples of Tanzania national symbols.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE CIVICS EXAM SERIES 52
UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ
PRESIDENT’S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT
TERMINAL EXAMINATIONS -MAY 2023
ENGLISH
STANDARD THREE
Time 1:30 Hours
Pupil’s Name.......................................................................................................
Instructions
SECTION A
DICTATION
Complete the following sentences by using words in the box below
| I am fine, good morning, Juma. |
Juma; 6_____________mother.
Mother; Good morning 7________________how are you?
Juma; 8______________thank you mother.
Write the plural form of the following words
Write the word that does not rhyme other.
Choose the words from the box which rhyme with those written in the question.
| Yell, bin, saw, woke, hot, |
Correct the spellings in the following words.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 51
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MITIHANI YA MAJARIBIO KWA SHULE ZA MSINGI
MTIHANI WA KISWAHILI DRS LA III
JINA LA MWANAFUNZI ............................................
SEHEMU A: IMLA
SEHEMU B
(a) Uliopo (b)Uliopita (c)Ujao (d)Uliopita mtimilifu
(a)Mgane (b)Mjane (c)Mfiwa (d)Yatima
(a)Nyufa (b)Kuta (c)Ukuta (d)Maukuta
(a)Nne (b)Tano (c)Sita (d)Saba
(a)Mchafu (b)Uchafu (c)chafu (d)Mbaya
SEHEMU C:
METHALI, NAHAU, NA VITENDAWILI
SEHEMU D: Mazoezi ya lugha.
SEHEMU E: Ufahamu. Soma habari ifuatayo kisha jibu maswali.
Juma na Alli ni watoto mapacha, asubuhi huenda shuleni na wanaporejea nyumbani jioni huwasaidia wazazi wao kufanya shughuli mbalimbali. Juma ni fundi katika mapishi, hivyo humsaidia mama kupika. Alli hupenda mifugo, hivyo humsaidia baba kuchunga na kukamua maziwa. Hufanya kazi kwa bidii. Walimu wao huwapenda sana kwa kuwa hufanya vizuri katika masomo yao ya darasa la tatu.
MASWALI
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 50
WIZARA YA ELIMU
MTIHANI WAKUMALIZIA MUHULA WA 1 JULY 2022
SOMO LA HISABATI
DARASA LA TATU. MUDA SAA 1.
+ 132
MAJIBU
|
|
18
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 39
WIZARA YA ELIMU
MTIHANI WAKUMALIZIA MUHULA WA 1 JULY 2022
DARASA LA TATU
“SOMO LA SAYANSI”
SEHEMU A; CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI
1. Chanzo cha asili cha nishati ya joto ni
A: umeme B:jua C:tochi
2. Tunaota moto ili kujihifadhi dhidi ya
A: joto B: mwanga C: baridi
3. Kuna aina…………………………za maada.
A: 2 B: 3 C: 4
4. Kitendo cha kubadilishana habari/taarifa au ujumbe baina ya watu kwa kutumia njia mbalimbali huitwa.
A: usafilishaji B: mawasiliano C: redio
5. Sauti hutokana na……………………..
A: mawimbi B: mitetemo ya vitu C: koromeo
6. Namna ya kudadisi jambo lisilojulikana kwa kutumia njia mbalimbali ni………………………………
A: uchunguzi B: hatari C: vitu
7. Ipi kati ya hizi ni aina ya maada?
A: kimiminika B: kinywa C: mwanga
8. Mdudu anayeeneza ugonjwa wa maralia huitwa…………………………………
A: mbu B: inzi C: viroboto
9. Viumbehai huongezeka kwa njia ya……………………………
A: kujongea B: Kuzaliana C: kulia
10. Sifa mojawapo ya viumbehai ni……………………….
A: kucheza B: kukua C: kujificha
SEHEMU B:
OANISHA KUNDI A NA KUNDI B. KISHA ANDIKA HERUFI YA JIBU SAHIHI
|
| KUNDI A | KUNDI B |
| 11 | Mwangwi | A: baadhi ya wadudu wenye sumu |
| 12 | Nyuki na tandu | B:chanzo kikuu cha asili cha nishati ya mwanga na joto |
| 13 | Sauti | C:mitetemo ya vitu mbalimbali |
| 14 | Jua | D:vifaa vya kisasa vya njia ya mawasiliano |
| 15 | Simu na luninga | E:sauti iliyorejeshwa baada ya kukutana na kitu kigumu |
SEHEMU C: ANDIKA NDIO AU HAPANA
16. Jua siyo chanzo cha asili cha nishati ya joto…………………………...........
17. Yabisi,kimiminika,na gesi ni aina kuu tatu za maada………………………………….
18. Tandu,nyuki na nyigu si wadudu hatari……………………….
19. Mbua hueneza ugonjwa wa maralia…………………………………..
20. Kuna aina kuu mbili za nishati………………………….
SEHEMU D: JAZA NAFASI WAZI
21. Picha ya kitu huitwa…………………………………….
22………………………………Ni jumla ya vitu vyote vinavyo tuzunguka
23. Kiungo kinachotumika kunusa ni……………………………..
24. Chanzo cha asili cha nishati ya mwanga ni…………………………..
25. Kitendo cha kiumbe kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine huitwa……………………..
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 38
MINISTRY OF EDUCATION
FIRST SEMISTER COMPLETION EXAMS JULY, 2022
SUBJECT: ENGLISH : STD III: TIME: 1 HOUR.
1.DICTATION
2.GRAMMAR. CHOOSE THE CORRECT ANSWER AND WRITE ITS LETTER
3.FILL IN THE MISSING LETTERS
4.COMPOSITION: FILL IN THE BLANKS USING THE WORDS IN THE BOX
5.COMPREHENSION
My name is Bosco Ndunguru.
I am nine years old .
I standard three pupil.
I like playing football.
I live in Mkako village.
QUESTIONS
i.He is………..Ndunguru
ii.He is ………years old
iii.He is a standard…….. pupil
iv.He lives in ……….village
v.He likes playing ………….
1.DICTATION STANDARD THREE MARCH 2022
1.DICTATION STANDARD THREE MARCH 2022
1.DICTATION STANDARD THREE MARCH 2022
1.DICTATION STANDARD THREE MARCH 2022
1.DICTATION STANDARD THREE MARCH 2022
1.DICTATION STANDARD THREE MARCH 2022
MARKING SCHEM ENGLISH STANDARD THREE APRIL 2022
1.DICTATION STANDARD THREE APRIL 2022
2. i. C
ii. B
iii.C
iv.A
v.A
3. i.Cup
ii.Orange
iii.Tree
iv.hen
v.chair
4. i.an
ii.hello
iii.fine
iv. old
v.live
5. i. Bosco
ii.nine
iii.three
iv.Mkako
v.football
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 37
MINISTRY OF EDUCATION
TERMINAL EXAMINATION JULY 2022
STANDARD THREE.
SCIENCE SUBJECT.
SECTION A: CHOOSE THE LETTER OF THE CORRECT ANSWER.
A: Electricity B: sun C: torch
2.Sitting nearby fire helps us protect our bodies against……………………………
A: heat B: light C: cold 3.There are……………………. states of matter.
A) 2 B) 3 C) 4.
4.The action of exchanging news information and message among people through different ways/media is called………………
A:T transportation B: communication C: radio
5. Sound is caused by ……………………..
A: waves B: vibration C: throat
6. Questioning of anything that is not yet known by using different way is
(A) Investigation (B) Dangerous (C) Objects.
7. Which of the following is a type of state?
(A)Liquid (B) Mouth (C) Light
8. An insect that spreads malaria is called --------------------
A: Mosquito B: Flies C
9. Living things multiply by ---------------
A: Movement B: Giving birth C: Crying
10. One of the characteristics of living thing is ------------------------
A: Playing B: Growth C Hiding
SECTION B
MATCH THE ITEMS IN PART “A” AND “B” AND WRITE THE CORRECT LETTER OF MATCHING ITEM FROM PART “B”
| NO, | PART A | PART B |
| 11 | Echo |
|
| 12 | Bees and Centipedes |
|
| 13 | Sound |
|
| 14 | Sun |
|
| 15 | Phone and Television |
|
SECTION “C”
WRITE “TRUE” OR “FALSE”
16. Sun is not the first source of heat and energy………………………..
17. Had substances, liquid and gaseous are the three main types of state……………………………
18. Centipedes,Bees and wasps are not dangerous insects……………………………………………….
19. Mosquitoes transmit Malaria ………………………..
20. There are two types of energy …………………………
SECTION D
FILL IN THE BLANKS
21. Objects picture is called …………………………….
22. ………………………………………..is a collection of all things that surrounds us
23. Organ used to smell is …………………………………………
24. The original source of light energy is …………………………………..
25. The action of an organism moving from point A to point B is called ………………………………………..
MARKING SCHEME.SCIENCE. STD III. JULY 2022.
1. B
2. C
3. B
4. B
5. B
6. A
7. A
8. A
9. B
10. B
11. E
12. A
13. C
14. B
15. D
16. FALSE
17. TRUE
18. FALSE
19. TRUE
20. FALSE
21. IMAGE
22. ENVIRONMENT.
23. NORSE
24. SUN
25. MOVEMENT
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SCIENCE EXAM SERIES 36
OFFICE OF THE PRESIDENT, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY
TERMINAL EXAMINATION-MAY- STD 3
MATHEMATICS
TIME: 1:30
NAME_____________________________________SCHOOL_________________________
INSTRUCTIONS
| QUESTION | WORK | ANSWER |
4320 + 1203
-3465
|
|
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MATHEMATICS EXAM SERIES 35
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA NNE
HISABATI
MUDA: 1:30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEZO
MAELEZO
| SWALI | KAZI | JIBU |
4320 + 1203
-3465
|
|
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 34
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO DARASA LA TATU
MAARIFA YA JAMII
MUDA:1:30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEKEZO
SEHEMU A. ALAMA 30
JIBU MASWALI YOTE KATIKA SEHEMU HII
| Safu A | SAFU B |
|
|
SHEMU B.
Tanzania imeongozwa na viongozi wakuu mbalimbali katika awamu tano zilizopita. Viongozi hawa wamekuwa na mchango mkubwa kwa maendeleo ya Taifa letu. Katika awamu za uongozi wao, waliweza kulinda amani ya nchi. Vile vile, umoja na mshikamano katika jamii zetu za Tanzania umeimarishwa na viongozi.
Tunajivunia pia ulinzi na usalama unaosimamiwa na viongozi wetu. Aidha, maendeleo katika sekta za afya na Elimu yamesimamiwa na viongozi wetu. Viongozi hao wametuongoza vyema, hivyo tuwaheshimu na kuwapenda

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MAARIFA EXAM SERIES 33
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TATU
SAYANSI NA TECHNOLOJIA
MUDA: 1:30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEZO
MAELEZO
SEHEMU A. ALAMA 28
JIBU MASWALI YOTE KATIKA SEHEMU HII
| Orodha A | ORODHA B |
|
|
| Baragumu, faili, yowe, ukinzani, jotoridi, yabisi |
SEHEMU YA B.(ALAMA 20)
Njia za mawasiliano zimegawanyika ,katika aina kuu mbili. Njia hizi ni za asili na kisasa. Baadhi ya vifaa vya asili ni baragumu na ngoma.
Vifaa vya kisasa ni runinga, radio, simu na kompyuta. Kuna faida mbalimbali za kutumia njia za kisasa za mawasiliano.
Mfano, kutoa taarifa kwa watu wengi kwa muda mfupi. Pia, zinatumika kuhifadhi picha za matukio mbalimbali. Simu hurahisisha huduma mbalimbali.
Huduma hizo ni pamoja na kutuma na kupokea taarifa au fedha, pia kupiga picha.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 32
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA DARASA LA TATU
KISWAHILI
MUDA:1: 30
JINA_____________________________________SHULE__________________
SEHEMU A.
1. Sikiliza kwa makini kisha andika Sentensi Kwa Usahihi
SEHEMU B. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
SEHEMU C. LUGHA YA KIFASIHI
SEHEMU D. UTUNGAJI
4. Panga sentensi zifuatazo katika mtiririko unaofaa ili kupata habari iliyokamilika kisha uzipe herufi A,B,C, D na E.
SEHEMU E. UFAHAMU
5. Soma kifungu kifuatacho kisha jibu maswali
Amani anaishi na bibi yake katika kijiji cha Kilole. Anamsaidia bibi yake shughuli za nyumbani. Humsaidia kusafisha nyumba, kupika, kuosha nyombo na kufua.Juzi amani alimuuliza bibi yake, “bibi unajua kusoma?” bibi akajibu, “ Ninajua kusoma na kuandika. Amani akasema, sawa bibi kesho nitaleta kitabu change ili tusome pamoja.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE STADI EXAM SERIES 31
PRESIDENT'S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
TERMINAL EXAMINATION MAY
STANDARD THREE
ENGLISH
TIME: 1:30 HRS
NAME_____________________________________SCHOOL_________________________
INSTRUCTIONS
SECTION A. DICTATION
Write the correct answer from (i) to (v) in the spaces provided
SECTION C. GRAMMAR
SECTION D. COMPOSITION
| Brushes, breakfast, school, face, wakes, uniform |
Grace .....................up in the morning. She washes her............... and then ..........................her teeth. The mother prepares breakfast for her. After wearing her .....................she sits on the dinning to take........ and runs to................
SECTION E. COMPREHENSION
Tunu lives with her parents. On a school day, Tunu wakes up early in the morning. She brushes her teeth. She puts on her school uniform. She eats breakfast and goes to school. After school, she returns home. She does her homework in the evening. She eats dinner and goes to bed.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 30
OFFICE OF THE PRESIDENT MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
SOCIAL STUDIES- TERMINAL EXAMINATION-MAY
STANDARD THREE
TIME: 1:00 HOUR
INSTRUCTIONS
SECTION A: (56 MARKS)
1. Answer items (i) – (viii) by choosing the letter of the correct answer and write it in the box provided
iv. One of the effects of destroying our environment is:
v. Which of the following clothes are worn during the hot weather?
vi. Which of the following is a way of protecting ourselves from hot weather?
vii. Which of the following are the signs of hot weather?
viii. We say it is cold when the temperature is:
2. Match the cleanliness tools in LIST A with their uses in LIST B by writing the their correct answers in the brackets
| LIST A | LIST B |
| (i) Dustpan (ii) Hoe(iv) Slasher (v) Dustbin(vi) Broom (vii) Mop |
|
SECTION B: (44 MARKS)
3. Fill in the blanks by supplying the correct answers
4. Observe the picture below then answer the questions that follow

a. What are the pupils shown on the above picture doing?______________
b. What type of environment is shown by the picture above?____________
c. Identify two tools that are used by the pupils on the picture above
d. Write down two things that are found in the environment shown by the picture above
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SOCIAL EXAM SERIES 6
OFFICE OF THE PRESIDENT MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
SCIENCE- TERMINAL EXAMINATION-MAY
STANDARD THREE
TIME: 1:00 HOUR
INSTRUCTIONS
SECTION A: (60 Marks)
1. Choose the most correct answer from the alternatives given and write its letter in the box provided
(i) Which among the following is a living thing?
(ii) The two components of environment are
(iii) Which one among the following is NOT a characteristic of living environment?
(iv) Which of the following is a natural source of light?
(v) Which pair among the following consists of solid objects?
2. Match the items in LIST A with their correct response from LIST B and write the answers in the brackets provided
| LIST A | LIST B |
| (i) The ability to do work (ii) The reflected sound(iii) The energy that enable us to see (iv) The type of energy formed by vibration(v) The transfer of heat energy through air |
|
3. Choose the correct answer from the box and fill in the gaps in each question.
Reproduction, locomotion, excretion, growth, breathing
as____________________________________________________
4. Read the passage below then answer the questions that follow
Matter is anything that has weight and occupies space. All things that we can see, touch or feel are matters. All matters are made up of the smallest particles known as atoms. These particles are invisible with our naked eyes.
There are three states of matter. These are solid, liquid and gas. Solid matters are made up of tightly packed particles. Such things include stones, wood and papers. Solid matters normally have specific shapes. Examples of liquid matters are water, milk and kerosene. Liquid matters have no specific shape rather they occupy the shape of the container which they are placed in. The gaseous matters are those whose atoms are loosely packed. Examples of gaseous matters are water vapour, smoke, Oxygen and Carbon dioxide.
However, some substances can exist in both three states of matter. An example of those substances is water. Pure water is in liquid form. When the pure water is boiled at an average temperature of 100oC it turns in to vapour which is gaseous state. Similarly, when the temperature is exposed to the temperature of 0o C it freezes and becomes and ice which is a solid state.
QUESTIONS
5. Observe the organisms below and use them to answer questions that follows.
A. 
B. 
C. 
D. 
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SCIENCE EXAM SERIES 5
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
SAYANSI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
DARASA LA TATU
MUDA: 1.30 DARASA…………………
MAELEKEZO
SEHEMU A: (ALAMA 60)
1. Chagua jibu sahihi kati ya hayo uliopewa nauandike jibu lake katika nafasi iliyoachwa wazi.
(i) Kipi kati ya vifuatavyo ni kiumbe hai?
(ii) Kipi kati ya hizi kinaunda mazingira?
(iii) Kipi sio sifa ya viumbe hai?
(iv) Kipi kati ya hizi sio chanzo asilia chaa mwanga?
(v) Kipi kati ya hizi ni yabizi?
2. Oanisha majibu katikajedwali lifuatalo hili kuleta maana
| S/N | Orodha A | Orodha B |
| (i) Huduma ya kwanza (ii) Baadhi ya wadudu wenye sumu(iii) Baada ya kutoa huduma ya kwanza (iv) Huduma ya kwanza inaweza kutolewa na(v) Huduma ya kwanza hutolewa lini? |
| |
3. Chagua jibu sahihi kujaza nafasi zilizo wazo
kuzaa, kusogea, kuondoa taka mwili, kukua, Kupumua
SEHEMU B: (ALAMA 40)
4. (a) Taja hatua za kupigasimu kwa kutumiasimu ya mkononi
(b) Eleza tofauti ya simu ya mkononi na simu ya mezani
(c ) Jaza sehemu za simu zilizoonyeshwa kwa mistari katika mchoro huu

5. Tazama michoro ifuatayo kasha jibu maswali.
A. 
B. 
C. 
D. 
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 4
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MAARIFA YA JAMII- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
DARASA LA TATU
MUDA: 1.30
MAELEKEZO
SEHEMU A: (56 %)
1. Jibu maswali (i)-(viii) kwakuchagua herufi yajibu sahihi kasha andika katika nafasi uliyopewa.
2. Andika ndiyo kwa sentensi iliyo sahihi, au hapana kwa sentensi isiyo sahihi.
SEHEMU B. ALAMA 44.
3. Jaza nafasi zilizo wazi kwa kutumia jibu sahihi.
4. Jibu maswali yafuatayo kwa kujaza nafasi wazi.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MAARIFA EXAM SERIES 3
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
KISWAHILI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
DARASA LA TATU
MUDA: 1.30
MAELEKEZO
SEHEMU A. IMLA
ANDIKA MANENO YAFUATAYO( MZAZI/MLEZI ATAJE MANENO)
SEHEMU B. CHAGUA JIBU SAHIHI.
SEHEMU C.
Andika neno moja linaloendana na yafuatayo
a) Pikipiki, ndege, baiskeli, gari
b) Maembe, fenesi, nanasi, chungwa
c) Sketi, kaptula, suruali, shati
d) Ng’ombe, mbuzi, kondoo, paka,
e) Kaka, mjomba, bibi, binamu.
SEHEMU D.
Andika sentensi zifuatazo katika hali ya wingi
SEHEMU E.
Malizia methali zifuatazo;
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 2
OFFICE OF THE PRESIDENT MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
ENGLISH- TERMINAL EXAMINATION-MAY
STANDARD THREE
TIME: 1:00 HOUR
INSTRUCTIONS.
Answer all questions
SECTION A.
Look at the pictures below and write the name of each.
………………………………………………
2.
……………………………
3.
…………………………….
4.
……………………………………..
5.
……………………………………...
SECTION B.
In each of the following, name an insect that is described.
SECTION C.
Fill in the blanks below with the correct answer.
SECTION D.
Fill in the blanks with the correct words
Juma……………………….up ealier in themorning.He brushes his teeth. He ………………………breakfast. He………………………………to school. He……………………football in the evening. He ………… …………….dinner.
SECTION E.
Fill in the blanks using words in the box.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 1