?> EXAM SERIES EXAM
STANDARD THREE TERMINAL SERIES

OFISI YAWAZIRI MKUU-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA 

KISWAHILI DARASA LA TATU 

MUDA: SAA 1: 30 MWAKA 2026

 JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________ 

JINA LA SHULE________________________________________________ 

Maelekezo 

  1. Karatasi hii ina maswali Matano (5) tu.
  2. Jaza maswali yote kwenye nafasi uliyopewa
  3. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu ya bluu au nyeusi

SEHEMU A: IMLA ALAMA 10 

1. Sikiliza kwa makini sentensi zifuatazo kisha ziandike katika nafasi uliyopewa.
  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  3. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  4. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  5. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

2. SEHEMU B: SARUFI NA MISAMIATI ALAMA 30 

(i) Wingi wa neno jani ni majani, wingi wa neno jino ni meno je wingi wa neno mbweha ni
  1. Mbeha
  2. Mbweha
  3. Mambweha
  4. Limbweha
(ii)  Kisawe cha neno tisa ni
  1. kumi
  2. Mosi
  3. Kenda
  4. Tatu
(iii) Mzee juma ni masikini sana kinyume cha maskini ni
  1. Tajiri
  2. Fukara
  3. Hohehahe
  4. Maarufu
(iv)  Mtoto wa shangazi aumjomba anaitwa . . . . . . . . ..
  1. Mpwa
  2. Kilembwe
  3. Shemeji
  4. Binamu

(v) Neno chakula lina silabi ngapi?

  1. Nne
  2. Tano
  3. Mbili
  4. Tatu

3. OANISHA MANENO YA SEHEMU A NA SEHEMU B ILI KUPATA MAANA SAHIHI 

SEHEMU A 

MAJIBU

SEHEMU B 

  1. Ukoo wetu hauishiwi na safari
  2. Bega kwa bega
  3. Akiba
  4. Bafu
  5. gulio

  1. Maliwato
  2. Haiozi
  3. Siafu
  4. Mahali penye mkusanyiko wa wauzaji na wanunuzi wa bidhaa.
  5. Kufanya kazi kwa kushirikiana.

4. JIBU MASWALI YAFUATAYO KWA KUCHAGUA JIBU SAHIHI KUTOKA KWENYE KISANDUKU

Rubani, Jokofu, Mwerevu, Matunda, ? . 
  1. Chungwa,embe,papai,ndizi kwa pamoja huitwa? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. Kinyume cha neno mjinga ni . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
  3. Mtu anayeongoza ndege huitwa . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
  4. Juma,unakwenda wapi . .. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
  5. Chombo kinacho hifadhi vitu ili visiharibike huitwa . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

SEHEMU C;UFAHAMU (ALAMA 10) 

5. SOMA HABARI KISHA JIBU MASWALI YAFUATAYO

Jaribu ni mwanafunzi wa darasa la 3,katika shule ya msingi mkoani. Jaribu anaishi na baba na mama yake pamoja na ndugu zake watatu.dada yake anaitwa Rukia na wadogo zake wawili ni ALEX na John. 

MASWALI 

  1. Jaribu anasoma darasa la ngapi? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
  2. Shule anayosoma Jaribu inaitwaje? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
  3. Kitinda mimba katika familia yao anaitwa nani? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
  4. Familia ya akina jaribu ina jumla ya watu wangapi? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..
  5. Habari hii ina muhusu nani? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 161

JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA

MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026

KISWAHILI DARASA LA III

1. Sikiliza kwa makini sentensi zinazosomwa na msimamizi kisha uziandike kwa usahihi.

i)_____________________________________________________________

ii) _____________________________________________________________

iii) _____________________________________________________________

iv) _____________________________________________________________

v) _____________________________________________________________

2. Chagua herufi ya jibu sahihi kisha uaindike kwenye kisanduku.

i) Neno ng’ang’ania lina silabi ngapi?

  1. tatu
  2. nne
  3. tano
  4. sita

ii) Kisawe cha neno mandhari ni _______________

  1. Vitendo
  2. nadharia
  3. mazingira
  4. majengo

iii) Dada alifua nguo zake jana. Sentensi hii ipo katika wakati gani?

  1. Ujao
  2. uliopo
  3. timilifu
  4. uliopita

iv) Silabi ipi ina sauti ya herufi mwambatano katika neno Pweza?

  1. Pwe
  2. za
  3. Pw
  4. we

v) Katika maneno yafuatayo ni neno lipi litatangulia kuingizwa kwenye kamusi?

  1. lima
  2. darasa
  3. beseni
  4. chandarua

3. Oanisha fungu A na fungu B ili kupata maana kamili

FUNGU A

FUNGU B

  1. Piga marufuku
  2. Ndondondo si
  3. Bwana afya porini
  4. Maliwato
  5. Fung ana fungua semi
  1. Chururu
  2. Sehemu maalumu ya kujisaidia, kuoga na kujiweka katika hali ya unadhifu.
  3. (“ ”)
  4. Kataza au zuia
  5. Fisi

4. Panga sentensi zifuatazo kwa mtiririko kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E

i) Akaanza kula mimea ya mahindi____________________

ii) Akakimbia na kuingia shambani_____________________

iii) Mbuzi akakimbia hadi kwenye zizi lake ________________

iv) Mbuzi alipita nje ya nyumba ya bibi ________________

v) Bibi alipomuona akaenda kumfukuza _______________

5. Soma Habari ifuatayo kwa makini kisha ujibu maswali

Sisi tunaishi katika Kijiji cha Dingalo. Hapa Kijijini basi huondoka na kurudi kila siku. Basi hilo linaitwa Lipayo. Lipayo huanza safari zake kila siku alfajiri. Wasafiri hulisubiri kituoni. Likikaribia kituoni hupiga honi kwa nuvu. Wale wanaochelewa hukimbia ili kuliwahi. Watu hukaa kwenye viti mapema, kish abasi huondoka kuelekea mjini.

i) Basi linalotoka Dingalo linaitwaje?________________________________________

ii) Basi hilo husafiri siku zipi?_______________________________________________

iii) Lipayo linakaribia kituoni hufanya nini?_____________________________________

iv) Watu hufanya nini kabla y abasi kuondoka kuelekea mjini?______________________

v) Habari uliyoisoma inahusu nini?___________________________________________ .

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 160

OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI

MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA

JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA TATU

MUDA: SAA 1: 30

JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________

JINA LA SHULE________________________________________________

Maelekezo

  1. Karatasi hii ina maswali matano (5).
  2. Jaza maswali yote kwenye nafasi uliyopewa
  3. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu ya bluu au nyeusi

1. Chagua herufi ya jibu sahihi na ujaze katika kisanduku

i. Ziwa gani lina kina kirefu Tanzania na Afrika?

  1. Ziwa Tanganyika
  2. Ziwa Victoria
  3. Ziwa Manyara 
  4. Ziwa Eyasi

ii. Ni umbo gani la sura ya nchi inavutia zaidi watalii?

  1. Mlima
  2. Tambalare
  3. Uwanda wa juu
  4. Besini 

iii. Mlima Meru upo katika mkoa gani?

  1. Kilimanjaro
  2. Arusha
  3. Tanga
  4. Pwani 

iv. Ni kazi nyingine unayoweza kufanya ukitoa uvuvi kama unaishi katika eneo lenye bahari na ziwa__________

  1. Kilimo cha umwagiliaji 
  2. Uvunaji wa mazao.
  3. Kuwinda wanyama 
  4. Ufugaji

v. Katika kundi lifuatalo ni lipi linahusisha wanyama wanaofugwa nyumbani?

  1. Pundamilia, Swala, Nyangumi
  2. Ng’ombe, Mbuzi, Kondoo
  3. Simba, Ng’ombe, Kifaru
  4. Kuku, Bata, Mjusi

2. OANISHA KUNDI A NA KUNDI B

 

Kundi A

Majibu

Kundi B

i.

Mlima Kilimanjaro


A. Somo linalohusu mahusiano kati ya binadamu na mazingira

B. Ziwa lenye kina kirefu Afrika

C. Mfano wa Beseni

D. Vitu vyote vinavyomzunguka binadamu

E. Mlima mrefu Tanganyika

F. Mbuga kubwa kuliko zote Tanzania

ii.

Ziwa victoria


iii

Jiografia


iv.

Mbuga ya wanyama ya Nyerere


V.

Mazingira


3. CHAGUA JIBU KATIKA KISANDUKU NA UJAZE KWENYE NAFASI ZILIZOACHWA WAZI

 Dunia, Uvuvi, Utalii, Anga, Mwanajiografia

i. Mtu anayetembea sehemu fulani kwa ajili ya kujifunza au kufurahia ________________ 

ii. ___________________ni shughuli za kiuchumi zinazofanywa na watu waishio karibu na vyanzo vya maji. Mfano bahari, ziwa na mto

iii. _____________________ni safu inayoundwa na mchanganyiko wa gesi mbalimbali kama vile oksijeni na kabondayoksaidi

iv. Ni sayari ya tatu katika mfumo wa jua______________________________________

v. Mtu anaejifunza kuhusiana na jiografia anaitwa?______________________________

4. JAZA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI

i. Shughuli ya kiuchumi inayohusisha kulima mazao na ufugaji wa wanyama huitwa 

__________________________________________________

ii. Sehemu kubwa ya dunia imeundwa na _______________________________________ 

iii. Madini pekee yanayochimbwa Tanzania ni ____________________________________

iv. Sehemu ya dunia iliyoundwa na maji ni ______________________________________

v. Taja vitu viwili vinavyotengenezwa na mwanadamu vilivyopo shuleni

a. ____________________________________________

b. _____________________________________________

5. SOMA KIFUNGU CHA HABARI NA UJIBU MASWALI YAFUATAYO

Mlima ni umbo la ardhi lenye mwinuko mrefu zaidi juu ya uso wa dunia. Sehemu ya juu ya mlima huitwa kilele cha mlima. Kwenye kilele cha mlima huwa na theruji na barafu. Mlima huwa na mteremko mkali.

Tanzania kuna milima inayotofautiana urefu. Mfano mlima mrefu kupita yote ni mlima Kilimanjaro wenye urefu wa mita 5895. Na juu ya mlima kuna theruji na barafu. Hii ni kwasababu kadri mwinuko wa ardhi unavyoongezeka joto hupungua. Pia mlima Kilimanjaro ni wa kwanza kwa urefu barani Afrika.

 MASWALI

i. Tunaitaje sehemu ya juu ya mlima

________________________________________________________________________ 

ii. Mlima mrefu Afrika upo katika mkoa gani?

________________________________________________________________________ 

iii. Kwanini kilele cha mlima Kilimanjaro kimefunikwa kwa theruji na barafu?

________________________________________________________________________ 

iv. Kulingana na habari uliyoisoma mlima Kilimanjaro una urefu gani?

_______________________________________________________________________ 

v. kichwa cha habari kinachofaa habari hii ni

______________________________________________________________________


LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE JIOGRAFIA EXAM SERIES 159

OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI

MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA

HISABATI DARASA LA TATU

MUDA: SAA 1: 30

JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________

JINA LA SHULE________________________________________________

Maelekezo

  1. Karatasi hii ina maswali matano (5).
  2. Jaza maswali yote kwenye nafasi uliyopewa
  3. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu ya bluu au nyeusi
NA.
SWALI
KAZI NA JIBU
1.

i) Idadi ya wanyama katika kijiji cha visiga ni elfu tisini na kumi na nane. Andika idadi ya wanyama kwa tarakimu.


ii) Andika namba zifuatazo kwa kifupi. 50 000+7000+600+40+8


iii) Mwalimu Juma wa somo la hisabati aliwauliza wanafunzi kuandika 990021 kwa kirefu, ikiwa wewe ni miongoni mwa wanafunzi wa darasa la tatu jibu lako sahihi lingekuwa lipi?


iv) Namba ipi ipo kwenye thamani ya nafasi ya maelfu katika 870213?


v) Panga namba zifuatazo kuanzia ndogo hadi kubwa 303,33,301,31,330


2.

 i) Andika namba zinazokosekana kwenye huu mtiririko

76,73,70, ______ 64


ii) Joyce alipata alama 78 katika jaribio la kwanza la wiki. Kama jaribio la pili la wiki alianguka kwa alama 19. Je alipata alama ngapi katika jaribio la pili la wiki?


iii) tarakimu ipi ina thamani kubwa katika namba hii 14809


iv) Tumia =, > or <. 1010 _____ 10010


v) Andika namba inayowakilishwa na thamani ya nafasi ya hizi namba 5 makumi, 3 mamoja, 5 makumi elfu na 0 mamia.


3. 

i) Tafuta jumla ya 1906 na 408


ii) Toa 39368 – 3789 =


iii) Andika 2321789 kwa maneno


iv) Mwajuma alikuwa na shilingi 5050 akampa rafiki yake shilingi 4050. Je alibaki na shilingi ngapi?


v) Kama wiki moja ina siku saba. Je kuna siku ngapi katika wiki tatu?


4.

 i) Andika kipimo kidogo kuliko vyote cha urefu


ii) Taja kipimo rasmi kinachotumika kupima uzani wa vitu mbalimbali


iii) Futikamba inatumika kupima vipimo vya nini?


iv)  Y + 567 = 1009 thamani ya Y ni ngapi?


v) Baraka ana sarafu ya shilingi 200. Anataka kuibadilisha kwa sarafu za shilingi 50. Je atakuwa na sarafu ngapi za shilingi 50?


5. 

i) Chora umbo bapa linaloundwa na nukta hizi

image


ii) Kuna vipande vya mstari vingapi

image


iii) Andika majina ya maumbo haya.

image


Soma jedwali lifuatalo linaloonyesha jumla ya alama za wanafunzi wa darasa la tatu katika mtihani wa jaribio la mwezi wa nne

jina

Warren

Joyce

Jesse

Natalia

alama

89%

79%

95%

85%


iv) Ni alama ngapi Natalia alipata zaidi ya joyce?


v) Panga majina ya wanafunzi kulinga na alama walizopata kuanzia kubwa kwenda ndogo.



LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 158

OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI

MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU SAYANSI 

MUDA: SAA 1: 30

JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________ 

JINA LA SHULE________________________________________________ 

Maelekezo 

  1. Mtihani huu una sehemu mbili A na B zenye jumla ya maswali tano (5).
  2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo uliyopewa kwa kila kipengele
  3. Zingatia usafi wa kazi.
  4. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu ya bluu au nyeusi

SEHEMU A 

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

1. Jibu kipengele cha (i) hadi (v) kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi na kuandika katika kisanduku. (i) Maada ni kitu chochote chenye _______ na huchukua nafasi:

(A) Thamani (B) Ujazo (C) Hewa D) uzito [    ]

(ii) Chanzo kikuu cha nishati ya mwanga na joto ni _________

(A) jua (B) umeme (C) moto (D )taa [    ] 

(iii) Rasuli alivyotoka nje ya nyumba aliona ukungu mzito, Pia akawa anahisi baridi. Je Rasuli alitumia milango ipi ya fahamu?

  1. Ngozi na masikio 
  2. ulimi na ngozi, 
  3. Ngozi na macho 
  4. macho, masikio na ngozi [    ]

(iii) Kiumbe mmojawapo aliyepo katika kundi la reptilia miongoni mwa hawa ni _______

(A) Kobe (B)chura (C) Mbuni (D) Kiboko [    ]

(iv) Wanyama wenye uti wa mgongo wamegawanyika katika makundi makuu _____

(A) matano (B)matatu (C) manne (D) sita [    ]

(v) ) Moja za sifa ya viumbehai ni kujongea. Chura hujongea kwa namna gani? 

A. Kutambaa (B). Kutembea (C). Kuruka (D). Kurukaruka [    ]

2. Jibu kipengele cha (i) hadi (v) kwa kuoanisha maelezo katika orodha A na orodha B, kasha uandike herufi ya jibu sahihi kwenye mabano uliyopewa.

ORODHA (A)

MAJIBU

ORODHA (B)

i. Sifa mojawapo ya viumbehai.


A.Mhandisi

B.Mfamasia

C.Daktari wa nyama

D. Kucheka E. Umami

F. Kuitikia vichocheo.

G. Hadubini

ii.Hutumika kuchunguza viumbehai wadogo wasioonekana kwa macho


iii.Mwanasayansi anayeshughulika na kutengeneza, kutoa na kusimamia matumizi ya madawa.


iv. Ladha ya chakula yenye viono mchanganyiko.


v.Mwanasayansi anayebuni na kutengeneza miundo mbinu kama majengo


3. Jibu kipengele cha (i) hadi (vi) kwa kujaza nafasi ukitumia maneno uliyopewa katika kiboksi

Matamvua , hawataongezeka idadi, Pua, matatu, wasio na uti wa mgongo, amfibia, Reptilia, watakufa, manne

(i) Konokono na Panzi ni viumbe hai waliopo kwenye kundi gani la viumbehai?_______________ (ii) __________________________ Ogani gani inahusika na kutambua harufu ya vitu mbalimbali (iii) ________________ ni kundi la wanyama wenye uti wa mgongo, mfano chura.

(iv)Samaki wanatumia ____________kwa ajili ya kupumua.

(v) Nini kitatokea endapo viumbehai hawatazaliana? _______________________

SEHEMU B.

4. Chunguza picha ifuatayo kishajibu maswali kwa usahihi.

MASWALI 

Taja majina ya sehemu zilizooneshwa kwa herufi

(i) Herufi M inaonyesha sehemu inayoitwa _________________

(ii) Herufi N inaonesha sehemu inayoitwa __________________

(iii) ________________ ni sehemu iliyoonyeshwa kwa herufi O. ________________ 

(iv) Picha hiyo inaonesha kiungo cha mwili kinachoitwa _______________?

(v) Kazi ya kiungo cha mwili kinachoonekana katika picha hiyo ni ______________ 

5. Panga sentensi zifuatazo ili zilete maana kuhusu mtiririko sahihi wa utunzaji wa ngozi ya binadamu.Mtiririko sahihi upe herufi A - E

(i) Kula vyakula bora na kunywa maji ya kutosha ili kuendelea kutunza ngozi yako.

(ii) Paka mafuta ya ngozi mara baada ya kuoga.

(iii) Safisha ngozi yako kwa kuoga.

(iv). Tumia maji safi, dodoki na sabuni wakati wa kuoga.

(v) Kausha mwili wako kwa kutumia taulo safi baada ya kuoga.

i

ii

iii

iv

v





.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 157

OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI

MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU SAYANSI 

MUDA: SAA 1: 30

JINA LA MWANAFUNZI: _________________________________________ 

JINA LA SHULE________________________________________________ 

Maelekezo 

  1. Mtihani huu una sehemu mbili A na B zenye jumla ya maswali sita (6)
  2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo uliyopewa kwa kila kipengele 
  3. Zingatia usafi wa kazi. 
  4. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu ya bluu au nyeusi

SEHEMU A (Alama 22)

1. Chagua herufi ya jibu kisha uandike kwenye kiboma ulichopewa.  

(i) Ni lipi kati ya ya masomo yafuatayo linahusika na uchunguzi wa majaribio ya vitu katika ulimwengu halisi?_______

  1. Hisabati
  2. Sayansi
  3. Jiographia
  4. Kiingereza

(ii) Stecy anapendelea ladha chachu Anapaswa kula

  1. Nyama
  2. Chumvi
  3. Tunda la chungwa
  4. Limao

(iii) Viumbe hai ni vitu vyenye uhai. Ni kitu gani kati ya vifuatavyo sio kiumbe hai?

  1. Ng”ombe
  2. Mmea wa muhindi
  3. Inzi
  4. Gari

(iv) Kuna hali ngapi za mada?

  1. Tatu
  2. Tano
  3. Nne
  4. Mbili

(v) Ni tawi gani la sayansi kati ya hizi inahusika na uhusiano kati ya mada na nguvu: 

  1. Kemia
  2. Fizikia
  3.  Biologia
  4. Famasia

2.  Oanisha milango ya fahamu kutoka orodha A na kazi zake katika orodha B Kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika sehemu ya jibu iiliyopo

Orodha A

 Jawabu

Orodha B

i) Jicho


A) Hutumika katika kuonja

B) Hutumika katika kunusa

C) Hutumika katika kulia

D) Hutumika katika kusikia

E) Hutumika katika kuona

F) Hutumika katika kula

G) Hutumika katika kuhisi

ii) Ngozi


iii) Ulimi


iv) Pua


v) Sikio


3.  Chagua jibu sahihi kutoka kwenye kisanduku kisha jaza nafasi iliyoachwa wazi.

Hewa, Daktari wa binadamu, lishe, jua, mazingira, Daktari wa mifugo

(i) Mwanasayansi anayegundua ugonjwa na kutibu watu hospitalini __________________________

(ii) Kitu chochote kinachomzunguka mwanadamu ____________________

(iii) Mchanganyiko wa gesi mbalimbali _____________________________

(iv) Chanzo kikuu cha nishati duniani ______________________________

(v) Sifa ya viumbe kuhitaji chakula ________________________________

(vi) Sayansi inayohusiana na uchunguzi na matibabu kwa Wanyama____________________________________

SEHEMU B (Alama 28)

4.  Pangilia sehemu zifuatazo za mwili wa binadamu kwa mfuatano sahihi kulingana na jinsi zinavyohusika katika kusikia kwa kuzipa herufi B, C, D, E, F na G katika nafasi uliyopewa.Hatua ya (vii) imetumika kama mfano

i.

Neva ya auditori


ii.

Mifupa mitatu milaini


iii.

Ubongo


iv.

Koklea


v.

Ngoma ya sikio


vi.

Mfereji wa sikio


vii.

Pinna

A

5.  Soma picha ifuatayo hapa chini kisha ujibu maswali yanayofuata.

image

(i)  Picha hii inaonesha nini? _______________________________________

(ii)  Taja makundi mawili ya viumbe hai vilivyo oneshwa hapo juu

  1. _____________________________
  2. _____________________________

(iii)  Taja tawi la Sayansi linalohusika na vitu hivyo hapo juu _______________

(iv)  Ni kiumbe gani kimeoneshwa hapo juu hujitengenezea chenyewe chakula?

________________________________________

(v)  Ni sehemu gani ya mmea hutumika kutengeneza chakula?

___________________________________________________________

(vi)  Toa faida moja ya mimea katika Maisha ya kila siku __________________________________________________

6.  (a) Taja makundi makuu mawili ya Wanyama

  1.  __________________________
  2. __________________________

(b) Taja sehemu inayotumiwa na Samaki katika upumuaji__________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 156

OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU

SOMO: SAYANSI

MUDA: SAA 1:30

Jibu maswali yote 1. Chagua jibu sahihi kisha weka herufi sahihi panapohusika

i).Somo linalohusika na kufanya majaribio na uchunguzi ili kupata majibu sahihi_______

  1. lugha 
  2. jigrafia 
  3. historia 
  4. sayansi [ ]

ii).Mariamu alimuuliza Aneth kuwa mtu anayefanya shughuli za kisayansi huitwaje?_____

  1. mwanasayansi 
  2. mwanamaji 
  3. mwanasiasa 
  4. mwanamiundo [ ] 

iii).Mwalimu Kamanzi aliuliza wanafunze wake kwamba kuna matawi mangapi ya sayansi?____ 

  1.  manne 
  2.  matano 
  3.  matatu 
  4.  saba [ ] 

iv). Kenedy ana ndoto za kuwa mhandisi wa barabara.Je mwalimu wake atamshauri asome tawi gani la sayansi?______ 

  1.  kemia 
  2.  fizikia 
  3.  baiolojia 
  4.  historia

v). Wewe kama mwanafunzi unatumia ogani gani kumsikia mwalimu wako? __[ ]

  1.  pua 
  2.  sikio 
  3.  ulimi 
  4.  jicho

 2. OANISHA FUNGU A NA FUNGU B KULETA MAANA KAMILI

Na

Fungu A 

Majibu

Fungu B

i.

Sikio


A. Ladha ya utamu

ii.

Ulimi


B. Kusikia sauti

iii.

Maada


C. Tawi la Sayansi

iv.

Botania


D. Malaria

v.

Mbu


E. Vitu vigumu

3.Soma habari hii kisha jibu maswali yafuatayo

Siku moja mwalimu wa sayansi aliingia darasani akiwa na chati inayoonesha taaluma zinazohusiana na Sayansi. Udaktari wa binadamu, ualimu, ufamasia, uhandisi, utaalamu wa kemia, utaalamu wa mimea na udaktari wa wanyama. Baada ya kutaja taaluma hizi tulipenda sana somo la sayansi na kuanza kusoma kwa bidi

MASWALI:

i. Taaluma inayohusu ubunifu wa kutengeneza miundo mbinu. Mtaalamu huitwaje? _____________

ii. Taaluma inayohusu kutengeneza na kusimamia dawa.Mtaalamu huitwaje?________________________________________

iii. Taaluma inayohusu kufundisha sayansi. Mtaalamu huitwaje?______________________________________

iv. Taaluma inayohusu kutibu binadamu. Mtaalamu huitwaje? _______________

v. Taaluma inayohusu tiba kwa wanyama. Mtaalamu huitwaje? ______________

vi. Taaluma inayohusu utaalamu wa kikemia. Mtaalamu huitwaje? ____________

 4.Tazama picha hizi kisha jibu maswali yanayofuata 

Maswali

i. Taja jina la kifaa katika picha A hapo juu _________________________

ii. Bainisha kazi moja ya kifaa katika picha A _________________________

iii. Taja majina ya vifaa vyote katika picha B

a). __________________________

b).__________________________

c) ___________________________

d).__________________________

5. Jaza nafasi zilizoachwa wazi

i. Sikujua alipokuwa anaumwa walimshauri afike hospitalini,kabla hajapewa dawa walimshauri atembelee chumba maaluma kwa ajili ya uchunguzi unafikiri chumba hicho kinaitwaje? __________________

ii. Ni sehemu gani ya jicho huruhusu mwanga kuingia kwenye jicho?___________________________

iii. Mlango upi wa fahamu unaweza kutambua rangi ya kijani ya spinachi? ____________

iv. Seli katika ulimi zenye neva zinakusanya taarifa ya ladha huitwaje? ________________

v. Taja mifano miwili ya viumbe hai wanaojongea kwa kutambaa.

a)._____________________________

b)._____________________________

6. i) Makundi makuu mawili ya viumbe hai nayo ni ___________na ________

 ii) Kundi la wanyama limegawanyika katika makundi 2 ambayo ni _____________________________ na_____________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 155

OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TATU

SOMO: HISABATI

Muda Saa 2:00

MAELEKEZO: 

  • Jibu maswali yote

Na

SWALI

KAZI

JIBU

1.

a) Ni namba ipi kamili iliongezwa ili kupata:

3 + 30,000 + 7,000 = _____




b) 234 − 19 =




c) 590 + 690 =




d) Jaza namba inayokosekana:

998, 999, _____, 1001




e) Andika namba ndogo zaidi inayoweza kutengenezwa kwa tarakimu 9, 2, 9, 0 na 1.




f) Shule ina wanafunzi 894. Thamani ya tarakimu 9 katika namba hiyo ni ipi?



2.

a) Ni sehemu (sehemu ya jumla) ipi imechorwa kivuli katika mchoro ufuatao




b) Hamisi alikuwa na mkate mmoja na akala sehemu 3/9 yake. Ni sehemu gani ya mkate ilibaki?





c) 317 + 517 =




d) Andika 34 kwa maneno.




e) Ni nusu lita ngapi (1/2 lita) zipo katika lita 2?



3.

a) Daftari moja la mazoezi linauzwa shilingi 2000. Utahitaji sarafu ngapi za shilingi 500 ili kununua daftari hilo?




b) Shilingi 3500 + Shilingi 950 =



c) Shs Sts 

   350 50

−150 65

___________

____________



4.

a) Ni saa ngapi zinaonyeshwa na uso wa saa hapa chini?



b) Kuna saa ngapi kutoka saa 1800 hadi saa 2300?



c) Asha alikuwa na maumivu ya kichwa siku ya Ijumaa saa 1808. Andika muda huo kwa mfumo wa saa 12.



d) Kuna siku ngapi katika wiki 2?



a) Panga ujazo ufuatao kuanzia mdogo hadi mkubwa:

450 ml, 40 ml, 2 L na 4 ml.



b) Umbali kutoka shuleni hadi zahanati ni sentimita 800. Umbali huo ni mita ngapi?



5.

c) Ni kipi kizito kati ya gramu 1000 na kilo 1?



6.

a) Andika jina la umbo hapo chini

b) Kuna mistari mingapi iliyonyooka kwenye mchoro ulio hapa chini?




c) Kuna vipande vingapi vya mistari kwenye mchoro ulio hapa chini?




d) Umbo lenye pande tano na pembe tano linaitwa ______.



LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 154

JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA

MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026

SAYANSI

DARASA LA III

1. Andika herufi ya jibu sahihi kwenye mabano

i.Utabiri wa matokeo ya kubuni kuhusu tatizo fulani huitwaje?

  1. jaribio
  2. hitimisho
  3. Dhanio 
  4. tatizo

ii.Binadamu ana milango ya fahamu mitano. Je, ni mlango upi wa fahamu huhusika na kuhisi hali mbalimbali kama vile joto, baridi na mguso? 

  1. macho 
  2. masikio 
  3. ulimi 
  4. ngozi

iii.Ni kundi lipi la viumbe ambao huzaa watoto na kunyonyesha?

  1. amfibia 
  2. reptilia 
  3. ndege 
  4. mamalia

iv.Kuna mimea inayozaliana kwa kutoa maua na isiyotoa maua. Je, ni mmea upi kati ya ifuatayo hautoi maua? 

  1. maharage 
  2. mahindi 
  3. kunde 
  4. mvinje

v.Teknolojia ya habari na mawasiliano hutuwezesha kupata habari na elimu mbalimbali. Je, ni kifaa kipi kati ya vifuatavyo si kifaa chaTEHAMA? 

  1. simu 
  2. gari 
  3. redio 
  4. kompyuta

2. Oanisha maelezo kutoka kifungu A na hatua kutoka kifungu B. 

KIFUNGU A

KIFUNGU B

  1.  Hatua ya kwanza ya uchunguzi wa kisayansi
  2.  Utabiri wa matokeo ya jaribio la kisayansi
  3.  Kuzipanga data, kuzichambua na kuziweka katika iu arat mzu i
  4. Hatua ambayo huthibitisha au kukanusha dhanio
  5.  Hatua ya mwisho ya uchunguzi wa kisayansi
  1. Kuchambua data
  2. Hi imisho
  3.  Kubaini a i o
  4.  Kuandika taarifa
  5.  Dhania

3. Chagua kundi la wanyama katika sanduku kujaza nafasi zilizoachwa wazi.

i.Binadamu, ng’ombe, mbuzi na popo ni wanyama katika kundi la ……………………………………………

ii.Kenge, mamba, mjusi na kobe ni baadhi ya wanyama katika kundi la …………………………………

iii.Chura ni wanyama katika kundi la ………………………………………………………………………………………………

iv.Kuku, kanga na tausi ni wanyama katika kundi la …………………………………………………………………….

v.Perege na Kambale ni wanyama katika kundi la ……………………………………………………………………….

4. Soma habari kisha jibu maswali yanayofuata.

Sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya uchunguzi na majaribio. Uchunguzi na majaribio hufanyika ili kubaini ukweli wa mambo. Sayansi ina matawi makuu matatu ambapo kila tawi linahusika na aina fulani ya maarifa. Matawi hayo ni Fizikia na Kemia na Baiolojia. Fizikia ni tawi la sayansi linalohusu uhusiano wa maada na nishati, Kemia ni tawi la sayansi linalohusu muundo na tabia za maada na mabadiliko yanayotokea katika maada na Baiolojia ni tawi la sayansi linalohusu viumbehai.

Maswali

i.Kwanini tunafanya uchunguzi na majaribio ya kisayansi? …………………………………………………...

ii.Ni tawi lipi la sayansi linalohusu uhusiano wa maada na nishati? ……………………………………….

iii.Ni tawi lipi la sayansi linalohusu muundo, tabia na mabadiliko ya maada? ……………………….

iv.Maarifa yanayopatikana kwa kufanya uchunguzi na majaribio yanaitwaje? ……………………

v.Fabian anataka kuwa daktari wa binadamu. Je, ni tawi gani la Sayansi itabidi kulisomea zaidi? …………………………………………………………………………………………..

5. Chunguza picha kisha jibu maswali.


i. Taja jina la ogani iliyooneshwa kwa namba 1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

ii. Taja jina la ogani iliyooneshwa kwa namba 2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

iii. Taja jina la ogani iliyooneshwa kwa namba 3. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

iv. Taja kazi ya ogani iliyooneshwa kwa namba 1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

v. Taja kazi ya ogani iliyooneshwa kwa namba 2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 153

JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA

MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026

SANAA NA MICHEZO -  DARASA LA III

MUDA SAA 1:30

1. SEHEMU A CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI KISHA UIANDIKE KATIKA KISANDUKU

1.  Chagua herufi ya jibu sahihi na kisha andika katika kisanduku

i.  Kundi la waigizaji walifanya maonyesho, wanafunzi walikwenda kuangalia, je, Kundi la watu wanaotazama hujulikana kama?

  1. Hadhira
  2. Waigizaji
  3. Watazamaji

 ii. Darasa la tatu wamefundishwa kitendo cha kufuatisha kitu au jambo la wengine, je, Kitendo hiki huitwa nini?

  1. Kuimba
  2. Kuigiza
  3. Kucheza

 iii. Je, Ni kundi ganii kati ya yafuatayo linawakilisha ala za muziki za kupuliza?

  1. Ngoma, marimba na filimbi
  2. Kayamba, manyanga na ngoma
  3. Tarumbeta, filimbi na baragumu

 iv. Sanaa ya kutengeneza vitu kwa kutumia udongo wa mfinyanzi huitwa ____ 

  1. Kuigiza
  2. Ufinyanzi
  3. Kuimba

v.  Zifuatazo ni faida za kufanya mazoezi ya mwili ISIPOKUWA __________ 

  1. Kuapata magonjwa
  2. Kuzuia magonjwa
  3. Kulinda afya

2.  Oanisha kifungu A na B ili kupata maana kamili

KIFUNGU A

MAJIBU

KIFUNGU B

i.  Ngoma

 

A: Nguo wanazovaa waigizaji

B: Watu wanaoangalia maonyesho

C: Kifaa cha kuchorea

D: Ala za muziki za kugonga

E: Ala za muziki za nyuzi

F: Mtu anayeigiza

G: Mahali pa kuigizia

ii.  Mavazi ya kuigizia

 

iii.  Muigizaji

 

iv.  Hadhira

 

v.  Penseli

 

3.  Chagua jibu sahihi katka mabano

i.  Viumbe hai hutumia _______________________ kuwasiliana (sauti, mawingu, hewa)

ii.  Sauti ya ng’ombe ni __________________ ( moooo, nyauuu, meeeee)

iii.  _________________ni mfano wa viumbe visivyo hai ambavyo hutoa sauti. (pikipiki. Miti, binadamu)

iv.  _______________________ni mfano wa viumbe hai ambavyo hutoa sauti. (maji, upepo, jogoo)

v.  Mbwa hutoa sauti kwa kufanya nini?______________________________ (kulia, kubweka, kucheka)

4.  jaza nafasi zilizoachwa wazi

i.  Taja aina ya udongo unaohitajika wakati wa kufinyanga vitu ___________________________ 

ii. Kifaa kinachotumika kuondoa vipande vya mawe na uchafu wakati wa kuandaa udongo wa mfinyanzi huitwa? _____________________

iii.  Mimi ni mahali ambapo kazi ya Sanaa hufanyika, je, Mimi ni nani? _____________________________ 

iv. Wanafunzi wa darasa la nne waliimba wimbo wa taifa kwa sauti ya kwanza pekee, aina ya uimbaji huu huitwa ________________________________ 

v. Hamisi anafanya kazi ya kutengeneza vyungu, je, Utaitaje shughuli ya kutengeneza vitu kwa kutumia udongo? ___________________________

5.  Angalia picha ifuatayo kisha jibu maswali uliyoulizwa

i.  Wanafunzi wanafanya nini katika picha hapo juu? ____________________________________ 

ii.  Kundi la waimbaji huitwaje? ______________________________

iii.  Kuzalisha sauti za muziki kwa kutumia sauti huitwa __________________________________ 

iv.  Ala gani ya muziki ya kupuliza imeonekana katika picha hiyo? _______________________________________

v.  Taja ala moja ya muziki ya kuvuta nyuzi inayoonekana katika picha __________________________________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MICHEZO EXAM SERIES 152

JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA

MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026

SANAA NA MICHEZO DARASA LA III

MUDA: SAA 1: 30

MAELEKEZO:

  1. Jibu maswali yote
  2. Jibu maswali kulingana na maelekezo uliyopewa

SEHEMU A:

1. Kuchagua herufi ya jibu sahihi

i. ______________ ni mchezo unaochezwa kwa kutumia mikono

  1. Mpira wa miguu
  2. Rede
  3. Kuruka 

ii. Rede,kukimbia na chupa kichwani,bao,kukimbia na yai kwenye kijiko , zote kwa pamoja huitwa?_________

  1. Michezo ya asili
  2. Michezo ya kufurahisha
  3. Michezo ya kutujengea uadui 

iii. Baadhi ya jamii watu hutumia sanaa kuzalisha vitu kwa kutumia udongo wa mfinyanzi. Hii hujulikana kama?

  1. Ufinyanzi
  2. Uigizaji
  3. Uandishi 

iv. Uigizaji unajumuisha vipengele vine muhimu. Ipi kati ya vifuatavyo sipo moja wapo ya vipengele hivyo?

  1. Mwigizaji
  2. Hadhira
  3. Mpishi

v. Kama Watoto watano wanacheza mchezo wa kugombania kiti. Je ni viti vingapi vinatakiwa viwepo?

  1. Kiti kimoja
  2. Viti vitano
  3. Viti vinne

2. Oanisha sentensi za kifung A na jibu sahihi kutoka kifungu B kisha Andika jibu katika nafasi Uliyopewa

KIFUNGU A

MAJIBU

KIFUNGU B

i. Ala za kupuliza
  1. Kayamba
  2. Fidla
  3. Lipenenga
  4. Ngoma
  5. Sahani
  6. Bao
  7. Picha
ii. Ala za kugonga
iii. Ala za nyuzi
iv. Ala za kutikisa
v. Kitu halisi

3. Andika KWELI au SI KWELI

i. Picha ni kitu halisi kinachoweza kuchorwa_______________ 

ii. Ni vigumu kuigiza sauti ya viumbe visivyo hai_______________ 

iii. Uimbaji ni utoaji wa sauti ya kimuziki kwa kutumia sauti___________ 

iv. Wakati tunaimba wimbo wa Taifa hatusimami wima_______________ 

v. Kila ala ya muziki ina sauti yake______________

4. Jaza nafasi zilizoachwa wazi

i. Kifaa kinachotumika kutoa sauti na kufanya muziki uvutie kinaitwa?________________

ii. Tunachora picha kwa kutumia kifaa kinachoitwa?_______________

iii. Rede huchezwa na wachezaji wangapi?_______________________ 

iv. Udongo unaotumika kutengeneza vitu mbalimbali huitwa?______________ 

v. __________________ ni kitendo cha kufuatisha jambo la mtu mwingine

5. Panga hatua zifuatazo za uchoraji picha kwa kutumia penseli katika mpangilio sahihi kwa kuzipa herufi A,B,C,D, na E

i. Koleza mistari ya picha kwa usahihi wa ujumbe na mwonekano wa maumbo _________

ii. Anza kuchora picha ya vitu unavyotaka kuvichora kwa kutumia mistari miepesi _________

iii. Rekebisha sehemu ambayo umekosea kwa kutumia kifutio _________

iv. Andaa karatasi na penseli ya kuchorea _________

v. Chagua vitu unavyotaka kuvichora _________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MICHEZO EXAM SERIES 150

PRIME MINISTER’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

CLASS THREE TERMINAL EXAMINATION

MATHEMATICS

TIME: 1:30 HOURS

NAME OF THE PUPIL: ___________________________________________________

NAME OF THE SCHOOL: _________________________________________________

Answer all question in this section

No.

Questions

Working space and answers

1.i)

The number of animals in Visiga village is ninety thousand and eighteen. Write the number of animals in figures

 

ii)

Write down the following numbers briefly. 50 000+7000+600+40+8

 

iii)

Teacher Juma of the mathematics subject asked the students to write 990021 in depth, if you are among the third-grade students what would be your correct answer?

 

iv)

Which digit is in thousands place value?  In 870213

 

v)

Re- arrange the following numbers in ascending order. 303,33,301,31,330

 

2. i)

Write the missing number in this series 

76,73,70, ______ 64

 

ii)

Joyce scored 78 marks in the first weekly test and if the second weekly test she dropped by 19 marks. What marks did she get in the second weekly test?

 

iii)

Which digit has the highest value in this number 14809

 

iv)

 Use the sign of =, > or <. appropriately

1010 _____ 10010

 

v)

Write the number represented by the following place values. 5 tens, 3 ones,  5 ten thousand and 0 hundred.

 

3.  i)

Find the sum of 1906 and 408

 

ii)

 Work out 39368 – 3789 =

 

iii)

 Write 2321789 in words 

 

iv)

Mwajuma had 5050 shillings and gave his friend 4050 shillings. How much money did she remain with?

 

v)

If one week has seven days. How many days are there in three weeks?

 

4.   

i)

Write down the smallest measure of height

 

ii)

Name the official measurement used to measure the weight of various objects

 

iii)

What is the strap used to measure the dimensions of?

 

iv)

  Y + 567 = 1009 find the value of Y

 

v)

Baraka has a coin of 200 shillings. He wants to exchange it for 50 shillings coins.

How many 50 shillings will he have?

 

5.   

i)

Draw a flat shape formed by these dots

 

image

 

ii)

How many line segments are there in this figure

 image

 

 

iii)

Name the figure below

image

 

 

Study the table bellows of the marks scored by standard three pupils in April monthly test.

Name 

Warren

Joyce

Jesse

Natalia

Marks 

89%

79%

95%

85%

 

iv)

 How many more marks did Natalia scored than Joyce?

 

v)

Arrange the name of the pupil corresponding with their scored in descending order

 

 


 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MATHEMATICS EXAM SERIES 149

JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA

MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026

HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI -  DARASA LA III

1. SEHEMU A CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI KISHA UIANDIKE KATIKA KISANDUKU

i. Ipi miongoni mwa tabia zifuatazo huonesha kitendo cha heshima?

  1. Kumpisha mkubwa kukalia kiti kwenye gari
  2. Kukataa kuagizwa na mkubwa wako
  3. Kucheza na wanyama
  4. Kutumia lugha mbaya

ii. Tanzania ni nchi iliyoundwa na mataifa mawili Tanganyika na Zanzibar. Ni lini muungano wa nchi hizo?

  1. 9/12/1961
  2. 26/12/1964 
  3. 14/10/1999
  4. 26/4/1964

iii. Ipi kati ya hizi ni maana Sahihi ya historia?

  1. Hadithi za zamani
  2. atukio muhimu yaliyopita 
  3. Nyimbo za zamani
  4. Mfano wa tamaduni katika jamii

iv. Jambo Gani la kihistoria liliweza kugunduliwa kwenye bonde la Olduvai, Arusha?

  1. Masalia ya wanyama pori 
  2. Fuvu la binadamu wa kale 
  3. Maandishi ya watu wa kale
  4. Michoro ya watu wa kale

v. Ukitaka kuona vifaa vilivyotumika na watu wa kale napa Tanzania utatembelea eneo Gani?

  1. Sokoni 
  2. Madukani 
  3. Makavazi
  4. Makumbusho ya Taifa

2. SEHEMU B OANISHA ORODHA A NA ORODHA B ILI KULETA MAANA SAHIHI

ORODHA A

JIBU

ORODHA B

Maarufu Kwa michoro ya mapangoni


  1. Husuni
  2. Afya
  3. Kipande Cha waya kilichopinda upande mmoja
  4. Upinde wa mvua
  5. Uzima
  6. Dini
  7. Kondoa Irangi

Jumba liliotumiwa na wafalme


Hali ya kuwa na uzima na siha


Ndoano


Imani inayohusisha kuwepo Kwa miungu


3. SEHEMU C : ANDIKA NDIYO KWA SENTENSI SAHIHI NA HAPANA KWA SENTENSI ISIYO SAHIHI

i) Kupata malezi ni wajibu wa mtoto______________________________________ 

ii) Matumizi ya ndoano na nyavu ni maarifa na ujuzi wa asili katika uvuvi_________ 

iii) Kilwa ni mji maarufu Kwa biashara ya utumwa____________________________ 

iv) Kusikiliza masimulizi si njia ya kupata taarifa za matukio ___________________

v) Uhusiano katika jamii unaweza kujengwa Kwa kushirikiana kwenye shughuli za uchumi______________________________

4. SEHEMU D: SOMA HABARI IFUATAYO KISHA JIBU MASWALI

Rushwa ni kitendo cha kutoa au kupokea fedha au kitu cha thamani Ili kuruhusu upendeleo Fulani. Rushwa inaweza fanyika shuleni, nyumbani, hospitalini, barabarani au sehemu za kazi. Mfano wa vitendo vya rushwa ni kama vile, kutoa fedha Ili kupata huduma Fulani Kwa haraka, kumpa zawadi rafiki yako Ili akufichie maovu yako. Rushwa hunyima watu haki zao pia hupunguza mapato ya serikali. Hivyo ni jukumu la kila raia kupinga vitendo vya rushwa, kutoa elimu juu ya rushwa na madhara yake na kutoa taarifa sehemu husika juu ya vitendo vya rushwa.

MASWALI

i. Pendekeza kichwa Cha habari uliyoisoma

________________________________________________________________ 

ii. Taja kitendo kimoja Cha rushwa kama kilivyoelezwa katika habari uliyoisoma

________________________________________________________________ 

iii. Je ni maeneo gani rushwa inaweza kufanyika?Taja maeneo mawili

a. ________________________________________

b. ________________________________________

iv. Kutokana na habari uliyoisoma ni nani anawajibika kupinga vitendo vya rushwa?

________________________________________________________________

v. Taja madhara ya rushwa katika jamii

________________________________________________________________

 

SEHEMU E: CHUNGUZA VIBAO VIFUATAVYO KISHA JIBU MASWALI

 MASWALI

i.  Katika mchoro hapo juu Kuna vibao vingapi?

________________________________________________________________

ii.  Vibao hivyo vinaeleza nini?

_______________________________________________________________ 

iii.  kibao Cha tatu kimeelezea nini?

________________________________________________________________ 

iv.  Haki za mtoto hutolewa na na nani?

________________________________________________________________

v.  Kibao Cha kwanza kimeelezea haki gani?

________________________________________________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISTORIA EXAM SERIES 148

PRIME MINISTER’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

CLASS THREE TERMINAL EXAMINATION

SCIENCE AND TECHNOLOGY

TIME: 1:30 HOURS

NAME OF THE PUPIL: ___________________________________________________

NAME OF THE SCHOOL: _________________________________________________

SECTION A: (22 Marks) MULTIPLE CHOICES

1.  Choose the letter of the correct answer and write it in the box provided.

(i) Which of the following bodies of knowledge involve investigation and experiment action of things in the real world?

A. Mathematics

B. Geography

C. Science

D. English

(ii) Stecy likes sour taste she should eat _______

A. Meat

B. Orange fruits

C. Salt

D. Lemon

(iii) Living things are those things which have life. Which of the following is not a living thing? _____ 

A. Cow

B. Maize plant

C. Housefly

D. Car

(iv) How many states of matter are there? ________

A. Three

B. Five

C. Four

D. Two

(v) Which of the following branches of science deals with matter in relation to energy? 

A. Chemistry

B. Physics

C. Biology

D. Pharmacy

2.  Match the sense organs in LIST A with the correct functions from LIST B by writing the letter of the correct sentence in the answer space provided.

LIST A

ANSWER

LIST B

(i) Eye


A. Used for tasting

B. used for smelling

C. Used for crying

D. Used for hearing

E. Used for seeing

F. Used for feeding

G. Used for feeling

(ii) Skin


(iii) Tongue


(iv) Nose


(v) Ear


3.  Choose the correct answer in the box then fill in the gap.

Air, Medical doctor, nutrition, sun, Environment, veterinary medicine

(i) A scientist who diagnoses and treat people in hospital ____________________ 

(ii) Everything that surrounds human being _______________________________

(iii) Mixture of different gases __________________________________________

(iv) The primary source of energy on the earth ____________________________

(v) the characteristic whereby living things need food ________________________

(vi) A science that deals with diagnosis and treatment of animals________________

SECTION B (28 Marks)

4. Arrange the following parts of the body in a chronological order of how they are involved in hearing by giving them letter B, C, D, E, F and G. Step (vii) has been used as an example

(i) Auditory nerve ___________ 

(ii) Three soft bones ___________

(iii) Brain ___________

(iv) Cochlea ___________

(v) Ear drum ___________

(vi) Ear canal ____________

(vii) Pinna _____A______

5. Study the picture below then answer the questions that follows:

(i) The picture above shows ___________________________

(ii) Mention two groups of living things shown above

a) ______________________________

b) ______________________________

(iii) Mention the branch of Science that deals with the things above __________ 

(iv) Which of the living things found in the picture above makes their own food? ___________________________

(v) Which part of a plant is used to manufacture food?________________________

(vi) Give one advantage of plants in daily life ______________________________

6 (a) Mention two main groups of animals

(i) _____________________________________________

(ii) _____________________________________________

(b) Name the structure that used by fish for breathing_____________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SCIENCE EXAM SERIES 147

PRIME MINISTER’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

CLASS THREE TERMINAL EXAMINATION

ART AND SPORTS

TIME: 1:30 HOURS YEAR 2026

NAME OF THE PUPIL: ___________________________________________________

NAME OF THE SCHOOL: _________________________________________________

INSTRUCTIONS

  1. This paper consists the total of five (5) questions.
  2. Answer all questions in the space provided.
  3. All answers must be written in capital letter with a black or blue pen.

1. Choose the correct answer and write its letter in the box provided

i. A performing art competition was held to school, a large group of pupils went to view the competition, what the group of viewers called?

  1. Audience
  2. Actor
  3. Spectators

ii. Standard three pupils were taught by arts and sports teacher that the skill of imitation something is called

  1. Singing
  2. Acting
  3. Playing

iii. Which of the following group of music instrument represent wind instrument?

  1. Drum, xylophone and whistle 
  2. Kayamba, manyanga and drums
  3. Trumpet, whistle and baragumu

iv. How do we call an art that produce various objects using a clay sol?

  1. Cooking
  2. Modelling
  3. Acting

v. the following are the importance of physical exercises EXCEPT

  1. To attract more diseases
  2. To avoid some diseases
  3. To maintain our health

2. Answer the following questions by matching the items in list A with items in list B

LIST A

ANSWERS

LIST B

i. Drums


A: clothes worn by actors

B: people viewing the performance

C: A tool for drawing

D; struck music instrument

E: string music instrument

F: a person who acts

G: a place where performing art take place

ii. costumes


iii. an actor


iv. audience


v. Pencil


3. Choose the correct answer from the blankets

i) Living thins use ________________________ to communicate (sounds, clouds, air) 

ii) The sound of a cow is ___________________ (mooo, nyau, meee)

iii) A ___________________is an example of non-living thing that produce sound. (motorcycle, tree, human being)

iv) A ______________________ is an example of living thing that produce sound.(water, wind, cock)

v) A dog produce sound when it is ____________________________________ (crying, barking, laughing)

4. Fill the blanks in the following questions.

i. Which type of the soil is used in modelling? ______________________________

ii. A tool used to remove pieces of stone and dirty when preparing a clay soil is called _____________________________________

iii. I am the place where performing art is done, who am I? _____________________________ 

iv. Standard four pupils sang a national anthem in first voice only. What is this type of singing called? ___________________________

v. Work is to make pots. How do we call the activity of making different objects by using clay soil? ___________________________________

5. Observe the picture below then answer the given questions

i. What are pupils doing?

_____________________________________________________________ 

ii. A group of singers is known as

_____________________________________________________________ 

iii. The production of musical sounds using voice is called

_____________________________________________________________ 

iv. Which wind musical instrument is shown in the picture above?

____________________________________________________________

v. Mention only one string music instrument seen in the above picture

______________________________________________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SPORTS EXAM SERIES 146

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRIME MINISTER'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT. 

TERMINAL EXAMINATION MAY 2026

SCIENCE AND TECHNOLOGY STANDARD III

1. Write the letter of the correct answer in the brackets

i. What is the prediction of design results about a particular problem called? 

  1. experiment 
  2. conclusion 
  3. Hypothesis 
  4. problem

ii. Human beings have five sense organs. Which organ is responsible for sensing various conditions such as heat, cold and touch? 

  1. eyes 
  2. ears 
  3. tongue 
  4. skin  

iii. Which group of organisms give birth to babies and breastfeed? 

  1. amphibians 
  2. reptiles 
  3. birds 
  4. mammals

iv. There are flowering and non-flowering plants. Which of the following plants does not flower? 

  1. beans 
  2. corn 
  3. pulses 
  4. pine

v. Information and communication technology enables us to access various information and education. Which of the following is not an IT device? 

  1. phone 
  2. car 
  3. radio 
  4. computer

2. Match information from section A with the steps from section B.

Section A
Answer Section B
i. The first stage of scientific investigation

  1. Analyzing the data
  2. Conclusion  
  3. Identify the problem  
  4. Write a statement
  5. Hypothesis

ii. Predicting the results of a scientific experiment
iii. Organize the data, analyze it and put it in a good order
iv. A step that proves or disproves a hypothesis
v. The final stage of scientific investigation

3. Choose a group of animals in the box to fill in the blanks.

Amphibia Reptile Fish Mammals Bird

i. Humans, cows, goats and bats are animals in the group of . . . . . . . . . . . . . . . . . 

ii. crocodiles, lizards and turtles are some of the animals in the group of . . . . . . . . . . . . 

iii. Frogs are animals in the group of . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .. 

iv . Chickens, parrots and peacocks are animals in the group of . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

v . Tilapia falcon and catfish are animals in the group of . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

4. Read the passage and then answer the questions below

Science is knowledge obtained by conducting observations and experiments. Investigations and trials are conducted to determine the facts. Science has three main branches where each branch deals with

a certain type of knowledge. The branches are Physics, Chemistry and Biology. Physics is a branch of science that deals with the relationship between matter and energy, Chemistry is a branch of science that deals with the structure and behavior of matter and the changes that occur in matter and Biology is a branch of science that deals with living things.

Questions

i. Why do we conduct scientific research and experiments? . . . . . . . . . . . . . . . . . .. 

ii. Which branch of science deals with the relationship between matter and energy? . . . . . . . . 

iii. Which branch of science deals with the structure, behavior and change of matter? . . . . . . . .

 iv. What is the knowledge gained by doing research and experiments called? . . . . . . . . . . 

v. Fabian wants to be a human doctor. Which branch of Science will you have to study more? . .

5. Examine the pictures and then answer the questions below

i.Mention the name of the organ shown by number 1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

ii. Mention the name of the organ shown by number 2 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

iii. Mention  the  name  of  organno. 3

iv. What is the uses of the organ shown by number1? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

v. What is the uses of the organ shown by number 2? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SCIENCE EXAM SERIES 145

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRIME MINISTER'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT. 

TERMINAL EXAMINATION MAY 2026

MATHEMATICS

 STANDARD III

1. Numerical concepts

i. 2165 pupils have attended the grade four national exam in 2024 in a certain ward. Write that number of pupils in words. . . . . . . . . . ..

ii. Write eight thousand eight hundred ninety-six in digits. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

iii. Combine 5 tens thousands, 3 thousands, 0 hundreds, 2 tens and 5 ones to get the corresponding number. . . . . . . . .. . .

iv. write the place value of 5 in the number 19352. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

v. Enter the value of the underlined digit position in the number 32068. . . . . . . . . . . . . . .

2. Number settings

i. Write in short 5 + 80 + 200 + 4000 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

ii. Write the number 5593 in expanded form . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

iii. Write the missing number 1010, 1020, 1030,1040, . . . . . . . . . . . . . . ..., 1060.

iv. Write the next number 60, 50, 40, 30, 20, 10, . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

v. Arrange the following numbers from the smallest number to the largest number 169, 196, 100 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

3. Number's actions Mark <, = and > in the middle room to match the following numbers

i 96
69
ii 100
100

iii. 48638 +  20961

iv. 876543 - 765452

Tsh. 200 + Tsh. 500 = Tsh.

4. Write the correct answer.

i. Name one device you can use to measure the height of a table. . . . . . .. . . . . . .

ii. The total number of pupils in a certain school is 2634. If the number of boys is 1202, find the number of girls. . . . . . . . . . . . . . ..

iii. Juma and Paulo have shared one orange in half and each has eaten a piece. What part of theorange has each eaten? . . . . . . . . . .

iv. 11/20 + 6/20 =

v. 9/14 - 8/14 =

5. Write the correct answer.

i. Which month comes after September? . . . . .. . . . . . . . . . . . . . . 

ii. Write the time shown by the following clock in numbers. . . . . . . . . . . . . . . .

             

iii. Write quarter past ten in numbers. . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

iv. Name the following shape. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

v. Write the name of the following line segment. . . . . . . . . . . . . . . . .

vi. How long is the line segment TU . . . . . . . . . . . . . . .

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MATHEMATICS EXAM SERIES 144

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRIME MINISTER'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT. 

TERMINAL EXAMINATION MAY 2026

ART AND SPORTS

 STANDARD III

INSTRUCTIONS ;

  1. Answer all questions
  2. Follow the instructions of each question

SECTION A : Multiple choices

Choose the correct answer and fill its letter in the space provided

i. _________________ is a game played using hands.

  1. Football
  2. Rede
  3. Jumping

ii. Rede, running with a bottle balance on the head, bao and running with an egg on a spoon are all called_____________

  1. Traditional games
  2. Refreshing games
  3. For creating enemy games

iii. In some communities, people use an art that produces various objects using clay soil. This art is known as_________________?

  1. Modeling
  2. Acting
  3. Writing

iv. Acting involves four essentials. Which of the following is not an essential for acting?

  1.  An actor
  2. Audience
  3. Cooker

v. If five children are playing “struggling for a chair game “how many chairs should be there?

  1. One chair
  2. Five chairs
  3. Four chairs

2. Match the items from list A with their corresponding answers from list B and write its letter in the space provided

LIST A

LIST B

  1. Wind instruments
  2. Struck instruments 
  3. string instruments 
  4. percussion instruments 
  5. a real object
  1. kayamba
  2. violin
  3. lipeneng a
  4. drums
  5. plate
  6. bao
  7. picture

SECTION B

3. Choose the answer from box below

Theme, play, Artist, picture, singing
  1. ______________ is a production of musical sounds using voice
  2. How do we call a real object which can be drawn?_______________
  3. The intended message in a work of art is called____________________
  4. A person who has skills in creating works of art is____________________
  5. An artistic composition that puts a certain idea into action or conversation is called________________

4. Fill in the blanks.

  1. An instrument which produce sounds and makes music more attractive iscalled_____________________________________
  2. We draw the pictures by using an instrument called_________________________
  3. How many players play rede game? _____________________
  4. The soil used to produce various objects is called________________________
  5.  __________________is a skill of imitating something 

5. Arrange the following procedures of drawing a picture using a pencil in a good order by giving those letters A-E and write them in the brackets given.

  1. Bold the picture lines based on the message accuracy and appearance
  2. Start drawing the picture you want using light lines
  3. Use the rubber to correct parts you have drawn incorrectly
  4. Prepare paper and pencils for drawing
  5. Choose the objects you want to draw.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SPORTS EXAM SERIES 143

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MUHULA MWEZI MEI 2026

JIOGRAFIA NA MAZINGIRA

 DARASA LA III

MUDA: SAA 1:30 

1. Jibu kipengele (i)-(vi) kwa kuchagua herufi sahihi na andika herufi hiyo kwenye kisanduku ulichopewa

i. Zipi kati ya sifa zifuatazo zinatofautisha mlima na kilima 

  1. Urefu na miteremko.
  2. Urefu na rutuba.
  3. Miamba na udongo.
  4. Ufupi na wingi wa theruji

ii. Kwa nini vilele vya baadhi ya milima kama vile mlima Kilimanjaro vimefunikwa na barafu?

  1. Kuna joto kali.
  2. Kuna mvua nyingi
  3. Kuna baridi kali 
  4. Kuna maji mengi

iii. Kipi kati ya vifuatavyo vinapatikana ndani ya nyumba?

  1.  Kisima cha maji.
  2. Shimo la taka.
  3. Kitanda.
  4. Mti

iv. Ni yupi miongoni mwa viumbe hai wafuatao huishi ndani ya maji pekee?

  1.  Samaki.
  2. Mamba .
  3. Kiboko
  4. Nyoka

v. Somo linalomuhusu binadamu na mazingira yake hujulikana kama ____________

  1. Sayansi. 
  2. Jiografia 
  3. Hisabati.
  4. Sanaa na michezo

2. Oanisha safu A na Safu B ili kuleta maana kamili

Safu A

SAFU B

  1. Mabonde
  2. Tambarare
  3. Ziwa victoria
  4. Ardhi
  5. Vilima
  1. Mfano wa besini
  2. Ni sehemu ngumu ya uso wa dunia ambayo haijafunikwa na maji
  3. Hukokea katkati ya milima au vilima
  4. Ardhi iliyoinuka kwa urefu wa wastani na haina miteremko mikali
  5. Hakuna milima,vilima,wala miinuko mikubwa

3. Jibu kipengele(i)-(ii kwa kuchagua dhana sahihi ya kijiografia kutoka kwenye kisanduku na kuiandika katika nafasi ilioachwa wazi

Mazingira,Sura ya nchi,Ziwa Tanganyika,Ziwa viktoria,Mlima Kilimanjaro,Miti,Huduma za jamii

I. Ziwa lenye kina kirefu Tanzania_____________________________________

II. Upatikana mashuleni,Hospitalini na sokoni_________________________________

III. Vitu vyote vinavyomzunguka binadamu___________________________________

IV. Mwonekano wa maumbo mbalimbali ya ardhi katika uso wa dunia________________

V. Husaidia kupunguza hewa ukaa katika anga_________________________________

4. Jaza nafasi zilizo wazi kwa kuandika jibu sahihi

A. Orodhesha milima inayopatikana kwenye mikoa ifuatayo

I. Arusha ___________________________

II. Mbeya ___________________________

B. Andika jina la mlima mrefu kuliko yote Africa ____________________________

C. Orodhesha vifaa vinavyotumika katika kufanya usafi wa mazingira ya darasani

i. ___________________________________________ 

ii. ___________________________________________

5. Soma picha ifuatayo kisha jibu maswali (i) – (iv) kwa kuandika jibu sahihi kwenye nafasi wazi

MASWALI

i. Ni shughuli gani inayofanyika kwenye picha hiyo hapo juu? ___________________________

ii. Je shughuli iliyopo kwenye picha inafanyikia wapi ___________________________________

iii. Andika vitu vinavyopatika kwenye picha.

a) ___________________________________

b) __________________________________

iv. Nini faida ya shughuli hiyo kwenye mazingira? ________________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE JIOGRAFIA EXAM SERIES 142

JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA

MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026

HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI

 DARASA LA III


1. Chagua herufi ya jibu sahihi na uandike kwenye Mabano

i) Juma aliweza kutaja vyanzo vya Historia ya Tanzania. Je kipi siyo sehemu ya vyanzo hivyo.

  1. Makumbusho ya Taifa
  2. kusoma vitabu
  3. Tovuti
  4. Kuangalia filamu ya wahindi za zamani

ii) Histora ya Tanzania imegawanyika katika nyakati ngapi?

  1. Moja
  2. Tatu
  3. Mbili
  4. Tano

 iii) Tanzania ina makabila Mangapi?

  1. 200
  2. 120
  3. Zaidi ya 120
  4. Zaidi ya 150

iv) Blandina aliulizwa na Mwalimu ni nchi gani ilipata Uhuru Mwaka 1961. Ni jibu lipi sahihi Balndina alilitoa?

  1. Kenya
  2. Tanganyika
  3. Zanzibar
  4. Uganda

v) Ni kitendo gani cha kimaadili Mwana anapaswa kumfanyia Mzazi wake?

  1. Kupigana naye
  2. Kumsaidia Mzigo
  3. Kukataa kula chakula
  4. Kutupa taka ovyo

2. Oanisha fungu A na fungu B ili kuleta maana iliyo sahihi.

FUNGU A

FUNGU B

i)Kitendo kinachofanyika mara kwa mara
ii)Kuwatunza na kuwathamini wazee
iii)Kufanya usafi
iv)Kupata Elimu
v)Hali ya watu kuungana na kufanya kazi kwa pamoja wa Mazingira
  1. Wajibu wa mtoto
  2. Haki ya mtoto
  3. Ushirikiano
  4. UhusianoE.Tabia
  5. Kitendo cha kimaadili

3. Jaza nafasi zilizoachwa wazi kwa kujaza jibu sahihi kutoka kwenye kisanduku

Mtumwa, shuleni na nyumbani, Rushwa, maadili, ukatili, Kujithamini, kujali

i) Kuwapenda, kuwaheshimu na kuwasaidia watu wengine __________________

ii) Kitendo cha kutoa au kupokea fedha au kitu cha thamani ili kutenda kilicho kinyume na haki ya mtu mwingine huitwaje _______________________

iii) Mtu anayemilikiwa na mtu Mwingine na hana uhuru anaitwaje?______________

 iv) Mwenendo au utendaji unaokubalika katika jamii huitwaje__________________

v) Matendo ya kuumiza hali ya mateso maumivu dhidi ya mtu mwingine kwa makusudi huitwaje_______________________

4. Weka alama ya (√) kwenye kisanduku kwa kubainisha matendo ya haki na wajibu

Matendo

Haki

Wajibu
i)Kupata mahitaji ya shule


ii)Kufanya kazi zinazolingana na uwezo wa mtoto


iii)Kulindwa


iv)Kuwatii wazazi


v)Kupata malezi bora


vi)Kuonya vyombo vya nyumbani


5.Soma picha hapo chini kwa makini kisha jibu maswali yanayofuata

MASWALI

i) Wanafunzi kwenye picha hapo juu wanafanya nini _________________

 ii) Hayo ni mazingira ya wapi?_______________________

 iii) Je, wanachofanya wanafunzi ni wajibu au Haki?_____________________ 

iv) Katika picha unaona wanafunzi wangapi?_______________________ 

v) Mazingira ni nini?_______________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISTORIA EXAM SERIES 141

JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA

MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026

HISABATI DARASA LA III

1. Dhana ya namba

i. Wanafunzi 2165 wamefanya mtihani wa taifa wa darasa la nne mwaka 2024 katika kata fulani. Andika idadi hiyo ya wanafunzi kwa maneno. . . . . . . . ...

ii.Andika elfu nane mia nane tisini na sita kwa tarakimu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

iii.Unganisha makumi elfu 5, maelfu 3, mamia 0, makumi 2 na mamoja 5 ili upate namba husika. . . . . . . . . . . . 

iv. Andika thamani ya 5 katika namba19352. . . . . . . . . . . . . . . . . .

v. Andika thamani ya nafasi ya tarakimu iliyopigiwa mstari katika namba 32068. . . . . . . . . . . . . . . . . .

2.     Mipangilio ya namba

i.         Andika kwa kifupi 5 + 80 + 200 + 4000 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

ii.       Fafanua namba 5593. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

iii.     Andika namba inayokosekana 1010, 1020, 1030,1040, . . . . . . . . . . . .. , 1060.

iv.     Andika namba inayofuata 60, 50, 40, 30, 20, 10, . . ... . . . . . . . .

v.       Pangilia namba zifuatazo kutoka namba ndogo kwenda namba kubwa 169, 196, 100 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

3.    Matendo katika namba

Weka alama <, = na > kwenye chumba cha katikati kulinganisha namba zifuatazo.

i 96
69
ii 100
100

iii.  48638 + 20961 =

iv. 876543 - 765452 =

v. Sh. 2 0 0 +  Sh. 5 0 0 = Sh.

4. Andika jibu sahihi.

i.  Taja kifaa kimoja unachoweza kutumia kupima urefu wa meza. . . . . . . . .

ii. Jumla ya wanafunzi katika shule fulani ni 2634. Ikiwa wavulana ni 1202, tafuta idadi ya wasichana. . . . . . . . . . . . . ..

iii.  Juma na Paulo wamegawana katikati chungwa moja na kila mmoja amekula kipande chake. Je, kila mmoja amekula sehemu gani ya chungwa hilo? . . . . .

iv. 11/20 + 6/20 =

v. 9/14 - 8/14 =

5. Andika jibu sahihi.

i. Ni mwezi upi unafuata baada ya mwezi Septemba? . . . . . . . . . . . . .

ii. Andika muda unaooneshwa na uso wa saa ifuatayo kwa tarakimu. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .. 

             

iii.    Andika saa kumi na robo kwa tarakimu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

iv. Taja jina la umbo lif uatalo. . . . . . . . .

v. Andika jina la kipande cha mstari kifuatacho . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

vi kipande cha mstari TU kina urefu gani? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 140

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRIME MINISTER'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT. 

TERMINAL EXAMINATION MAY 2026

GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT

 STANDARD III

1. Answer items (i) – (v) by choosing the correct answer and write its letter in the box provided.

i. Which of the following characteristics distinguish between a mountain from a hill?

  1. Height and slopes
  2. Height and soil fertility
  3. Rocks and soils
  4. Shortness and the abundance of snow.

ii. Why the picks of a certain mountain like that of Kilimanjaro are covered with ice?

  1. They are very hot
  2. They receive heavy rainfall
  3. They are very cold
  4. There is much water on them.

iii. Which one of the following is found inside the house?

  1. Water well
  2. Rubbish pit
  3. Bed
  4. tree

iv. Which among the following living organisms lives in the water only?

  1. Fish
  2. Crocodile
  3. Hippopotamus
  4. Snake

v. The study of human being and his environment is known as ______________

  1. Science
  2. Geography
  3. Mathematics
  4.  Arts and sports

2. Match the items in column A with those in Column B to produce a meaningful statement.

Column A

Column B

  1. Valleys
  2. Plains
  3. Lake Victoria
  4. Land
  5. Hills
  1. An example of a basin
  2. The hard part of the earth that is not covered with water.
  3. Area of lower land often down between two hills or mountains
  4. Moderately elevated landforms with round flat peaks.
  5. There are no mountains, hills, or any other higher elevations.

3. Answer item (i) – (v) by choosing the correct geographical concept and write in the space provided.

Environment, earth’s relief, lake Tanganyika, Lake Victoria, Mount Kilimanjaro, trees, social services.

i. The deepest lake in Tanzania ___________________________________

ii. Obtained in schools, hospitals, and at the market ______________________________

iii. Includes everything surround human beings _______________________________

iv. The appearance of various shapes of land on the earth’s surface __________________

v. Helps to reduce carbon dioxide in the atmosphere _________________________

4. Fill in the gaps with the correct answer.

a) Mention the mountains found in the following regions

  1. Arusha _____________________________________
  2. Mbeya ______________________________________

b) What is the name of the highest mountain in Africa? __________________________

c) Mention tools to be used when cleaning the classroom environment.

  1. _________________________________________ 
  2. _________________________________________

5. Study the following picture and then answer questions (i) to (iv) by writing the correct answer in the space provided.

Questions.

i. What is the activity taking place in the picture above? ____________________________________________

 ii. Where are the activities above conducted? ______________________________________

iii. Mention things which are found in the picture

a) ______________________________________

b) ______________________________________

iv. What is the importance of activities above to the environment? _____________________________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE GEOGRAPHY EXAM SERIES 139

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRIME MINISTER'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT. 

TERMINAL EXAMINATION MAY 2026

ENGLISH LANGUAGE STANDARD III

DICTATION

1. Listen to the words read by the invigilator then write them correctly.

i. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

ii. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

iii. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

iv. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

v. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

2. Choose the correct words from the brackets to fill in the gaps.

i. Pendo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ... television every day. (watches, watch) 

ii. They . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . their homework every evening. (does, do) 

iii. The sixth month of the year is . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . (June, July)

iv. There is a bookshop. I am going to buy . . . . . . . . . . . . . . . ... (rice, books)

v. He . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ... playing football now. (is, are)

3. Choose the correct words from the box to name the group of the following lists.

Insects Wild animals Birds Colours Domestic animals

i. Black, Yellow, Green, Brown, Red and Blue are . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

ii. Bees, Housefly, Ant, Spider, Mosquito and Cockroach are . . . . . . . . . . ...

iii. Goat, Dog, Cow, Cat, Sheep, And Donkey are . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ... 

iv. Hen, Peacock, Duck, Hawk, Ostrich and Eagle are . . . . . . . . . . . . . . . . . 

v. Antelope, Elephant, Lion, Zebra, Fox and Giraffe are . . . . . . . . . . . . . ..

4. Identify the word which does not belong to the group and write it in the space provided.

i. Book, pencil, paper, home, ruler. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ... 

ii. January, June, Tuesday, July, November. . . . . . . . . . . . . . . . . . . ... 

iii. Juice, water, maize, milk, tea. . . . . . . . . . . . . ...............................................

iv. Mango, banana, orange, tree, apple. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

v. Shirt, bed, dress, blouse, skirt. . . . . . . . . . . . . ............................................

5. Read the following letter and answer the questions that follow.

Upendo primary school, P. O. Box 25, MUFINDI.

28th October 2024.

Dear Grace,

How are you? I hope you are fine. And I am fine too and I will start the annual examinations on 15th November 2024. After doing my examinations, I am going to visit you and I will spend my holiday with you in Dodoma city. I hope you may write soon a letter to me if you may get different schedule. Your friend, Glory Questions.

i. Who is Glory going to visit?.......................................................................................................

ii. When will does Glory start her annual examinations?............................................................ 

iii. When did Glory write her letter?.............................................................................................. 

iv. In wh ich scho o l is G lory studying at which school?..................................................

v. Where does Grory want to spend her holiday with her friend? . . . . . . . . . . . . .

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 138

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUMALIZA MUHULA WA KWANZA MEI

SOMO LA KISWAHILI DARASA LA TATU

1.  SEHEMU A: IMLA.

i) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

ii)  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

iii) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

iv) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

v) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

2.  SEHEMU B: Chagua herufi ya jibu sahihi

i) Kwa kutumia herufi “sh” unaweza kuunda neno gani kati ya maneno yafuatayo?  

  1. kisima
  2. shule
  3. sokoni
  4. motokaa [     ]

ii) Juma aliondoka jana asubuhi. Sentensi hii ipo katika wakati gani?

  1. ujao
  2. uliopo
  3. uliopita
  4. ujao [     ]

iii) Ipi ni alama ya mshangao kati ya alama zifuatazo? image  

  1. .
  2. ?
  3. !
  4. , [     ]

iv) Kisawe cha neno tisa ni kipi?  

  1. kenda
  2. mosi
  3. nane
  4. jozi [     ]

v) Kinyume cha neno kumbuka ni kipi?    

  1. kumbukeni
  2. sijakumbuka
  3. sahau
  4. timiza [     ]

3.  SEHEMU C: Methali, Nahau na Vitendawili

Jaza nafasi zilizoachwa wazi kwa kuweka jibu sahihi

i) _____________________________ angali mbichi.

ii) Mwenda pole   ______________________

iii) Tajiri wa rangi  ______________________

iv) Ukoo wetu hauishiwi na safari ______________________

v) Anamkono wa birika ______________________

4.  SEHEMU D: Panga sentensi zifuatazo kwa mtiririko kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E

i) Hunywa chai na kwenda shulleni [     ]

ii) Hutandika vitanda vyao, huoga na kuvaa sare za shule [     ]

iii) Jamali, Paul na Jane wanasoma darasa la tatu [     ]

iv) Huamka mapema kila siku asubuhi [     ]

v) Baada ya masomo hurudi nyumbani [     ]

5.  SEHEMU E: UFAHAMU

Soma habari kwa makini kisha ujibu maswali

Jina langu ni Imani. Siku moja nilikua naenda shuleni. Nilipokua njiani nilikutana na

rafiki yangu Kelvi na Kenedi. Kelvi na Kenedi walikua wanachunga ng’ombe. Nikawauliza, leo hamuendi shuleni?. Kelv akajibu ndiyo hatuendi,baba ametuambia tukachunge ng’ombe yeye anakwenda kwenye mkutano. Mimi niliwajibu si vyema kukosa kwenda shuleni. Kusoma ni haki yetu

Maswali

i) Kwanini Kelv na Kenedi hawakwenda shuleni?  

ii) Msimuliaji wa habari hii anaitwa nani?

iii) Ni haki gani ya mtoto imetajwea katika habari uliyoisoma? iv) Baba yake Kelv alienda wapi?

v) Rafiki zake Imani ni nani na nani?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 116

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA  MITAA 

MTIHANI WA KUMALIZA MUHULA WA KWANZA MEI - 2025

 HISABATI – DARASA LA TATU 

JINA: ____________________________________ TAREHE: ______________

MUDA: SAA 1:30 

MAELEKEZO

 1.  Mtihani huu una sehemu A, na B zenye jumla ya maswali Sita (6) 

 2. Jibu maswali yote katika kila sehemu

 SEHEMU A: (ALAMA 36) 

 Na 1 

 SWALI 

KAZI NA JIBU

(a).

45248+20231=


(b).

Andika thamani ya nafasi ya 7 katika namba 61270


(c).

Chora ABAKASI ikionesha namba ifuatayo 4279


(d).

Andika namba inayokosekana katika mfuatano 45, 41, 37, 33, _________


(e).

   6874

-  2430


(f).

Linganisha namba ifuatazo kwa kutumia <, > au = 2000 na 3000


Na. 2



(a).

Andika kwa maneno namba ifuatayo: 3896


(b).

Andika kwa numerali: Elfu tano mia saba sitini na mbili


(c).

Andika kwa kifupi:

4000 + 200 + 50 + 1 =


(d).

Andika thamani ya namba ilipigiwa mstari 6249356


(e).

Andika kipimo kimoja cha urefu


Na. 3



(a).

Kisambu alikua na shilingi 1000 iwapo alitumia shilingi 600 kununua soda alibakiwa na shilingi ngapi?


(b).

Katika mbuga mojawapo ya wanyama nchini Tanzania, kuna Nyati 78698 na pundamilia 2323. Je, kuna jumla Wanyama wangapi katika mbuga hiyo?


(c).

    55394

 + 36738 

 


Na. 4



(a).

Kipimo cha msingi cha urefu ni kipi?


(b).

Ng’ombe hutoa lita 20 za maziwa kila siku,Je, hutoa lita ngapi za maziwa kwa siku 3?


(c).

Ukitaka kupima urefu wako unatumia nini?


(d).

Kipimo cha msingi cha uzani ni


Na. 5

 SEHEMU B: ALAMA 14 

(a).

Maria ana urefu wa meta 120 na Jovin meta 130, je kwa pamoja wa urefu wa meta ngapi?


(b).

Baba alitembea umbali Fulani kutoka nyumbani hadi kanisani, Je unahisi umbali huo tunaweza pima kwa kutumia nini kati ya SM, KM na M? ____________________


(c).

Chora mstari LM


Na. 6



(a).

Andika jina la umbo lifuatalo:

image


(b).

Andika jina la kipande cha mstari ifuatayo

D ___________________ E


(c).

Umbo la mstatili lina pembe ngapi?


(d).

Chora umbo la pentagoni.


LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 108

HE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRESIDENT'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT. 

TERMINAL EXAMINATION MAY

GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT STANDARD III

TIME: 1:30 Hours

NAME: ____________________________________ DATE: ______________

 SECTION A

 1.  Choose the correct answer  

i. Geography is the study of ____________

  1. People and animals 
  2. Animals and plants 
  3. People and environment
  4. People and plants [     ]

ii. Natural environment can be sustainable by ______________

  1. Starting industries 
  2. Building houses 
  3. Mining
  4. Protect and conserve [     ]

iii. Bee keeping depends on which important resource __________

  1. Water, leaves and rocks
  2. Trees, flowers and forest 
  3. Mountain, valley and oceans
  4. Rain, Timber and leaves [     ]

iv. The condition of the atmosphere at a given place in a given time is:-

  1. Weather 
  2. temperature 
  3. Cold 
  4. economy [     ]

v. Hard surface of the earth not covered by water is called:-

  1. Valley 
  2. Land 
  3. Mountains 
  4. plains [     ]

SECTION B:

 2.  Fill in the blanks space using the words in the box below. 

Iringa and Mbeya, ship and boat, support life , arts of speaking Imitate, living things 

i. Lakes and rivers are used for transportation by using _________________________________________________________

 ii. The importance of singing ____________________________________

 iii. Which region in Tanzania are in Southern plateau _________________________________________________________ 

iv. Doing something the way somebody does is called _________________________________________________________

v. Land is important because ___________________________________ _________________________________________________________  

SECTION C:

 3.  Match the items in List “A” with those in List “B”

SECTION A

ANSWER

SECTION B

Burning of trees [     ]
  1. NEMC
  2. Waste, dead animals, papers 
  3. Drums, whistle, marimba and trumpet
  4. Environmental pollution
  5. Landform with deep depth
Valley [     ]
National environment management council [     ]
Pollution [     ]
Musical instrument [     ]

 SECTION D: 

 4.  Fill the blanks spaces 

i. Mention two (2) items used in cleaning the environment

a. ________________________________________

b. ________________________________________

ii. The highest part of mountain is called __________________________

Name two (2) land features 

iii. ____________________________________________ 

iv. ____________________________________________

v. The best soil for pottery is _______________________________


SECTION F:

 5.  Study the picture below and answer the questions that follow:

i. Which activities take place in picture B? _________________________ 

ii. Which activity take place in picture A? _____________________ 

iii. Which product will be obtained from the activity done in picture A

________________________________________________

iv. Which product will be obtained from the activity done in picture B

________________________________________________

v. Which area does the activity done in picture A take place?

_____________________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE GEOGRAPHY EXAM SERIES 107

HE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRESIDENT'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT. 

TERMINAL EXAMINATION MAY

ENGLISH STANDARD III

TIME: 1:30 Hours

NAME: ____________________________________ DATE: ______________

 SECTION A: 

DICTATION 

1. Listen carefully to the words read to you and write them below.

i. _____________________________________________________ 

ii. _____________________________________________________ 

iii. _____________________________________________________

 iv. _____________________________________________________ 

v. _____________________________________________________

SECTION B: 

VOCABULARY 

2. Choose the correct answer and write it in the brackets provided

i. Joan repairs our clothes. She is a __________________

  1. Tailor 
  2. Sailor 
  3. Dentist 
  4. Draper [     ]

ii. Godwin has three ___________

  1. Onions 
  2. Pen 
  3. Book 
  4. Bag [     ]

iii. image W h a t is the name of this picture? __________

  1. House 
  2. Flower 
  3. Glass 
  4. Book [     ]

iv. Which word has the same beginning sound as in the word ‘that’

  1. Think 
  2. Thumb 
  3. Than 
  4. Throw [     ]

v. How do we call the young sheep? ___________

  1. Ewe 
  2. Lamb 
  3. Calf 
  4. Kid [     ]

 

 SECTION C: 

GRAMMAR AND TENSES

 3. Choose the correct answer and write it in the brackets provided.

i. Mariam _________________ a beautiful dress.

  1. Have 
  2. Has 
  3. Is 
  4. Are [     ]

ii. James __________________ a new car yesterday.

  1. Buy 
  2. Buyed 
  3. Bought 
  4. Brought [     ]

iii. Halima did not see a thief. The thief was hiding _________ the door.

  1.  On 
  2. Under 
  3. In 
  4. Behind [     ]

iv. We normally take our breakfast ________________ the morning.

  1. At 
  2. In 
  3. On 
  4. Between [     ]

v. ___________________ are ripe mangoes?

  1. This 
  2. That 
  3. These 
  4. The [     ]

 SECTION D: COMPOSITION 

4. Choose the word from the box and fill in the blanks to complete the passage meaningfully. 

Early, van, train, punishment, present, late

Kisura wake up (i) _________________ in the morning everyday. She wears her school uniform and goes to wait for the school (ii) ______________ to arrive. She arrives to school very (iii) ___________________. After parade she goes to classroom. Other pupils who came late were given (iv)_____________________ by the discipline teacher. Kisura always performs well because she is much disciplined pupil. In her final examination, she became the first best pupil in the class. Her parents gave her a (v)_________________________. She was very happy.

 SECTION E: COMPREHENSION 

5. Read the passage below and then answer the questions that follow:-

One day my dad came home earlier than usual. It was our first day of the midterm holiday. I asked him what was going to take place? he declared that we were going to visit Mikumi National Park.

In the National Park, there were instructions like “Do not feed animals, no hooting and do not littler in the park. Before arriving at the National Park, our car stopped at the fuelling station. In the National park we saw different animals like elephant, hyena, lion and giraffe.

QUESTIONS:

(i) Which National Park did they visit?

________________________________________________________

(ii) At which public place did they stop?

________________________________________________________

(iii) List down two (2) instructions found in the National park.

__________________________, _________________________ 

iv) Mention three (3) animals found at the National Park.

_________________, _______________, ___________________ 

(v) What other animals can be found at the National Park?

________________________________________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 106

PRESIDENT’S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENTS

TERMINAL EXAMINATION FOR STANDARD THREE

03E GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT

Time: 1:30 Hours May, 2025

Instructions

  1. This paper consists of sections A and B with total of six (06)questions.
  2. Answer all questions.
  3. All answers must be written in the spaces provided in each question.
  4. All answers must be written withblueorblackink pen.
  5. Cellular phones and any unathorized materials are not allowed inthe assessment room.
  6. Write your Name and Assessment Number in the spaces provided at the top right corner of every page.

SECTION A: (26 Marks)

Answer all questions in this section

  1. Answer items (i) – (viii) by choosing the letter of the correct answer and then write it in the box provided
    1. IsawJohnwearingsweaterandheavyclothesbecausehewasshivering.Which weather condition was there?

A: Warm.

B:Sunny.

C:Cold

D:Rainy

  1. Whichofthefollowinginstrumentwillnotbeusedtocleanaclasswithmudfloor?

A: A Cobweb.

B: A mop

C:Abroom

D:Adustbin

  1. Thefollowingarethenaturalharzardsexcept;

A: Hurricanes.

B:Deforestation

C: Floods

D:Earthquakes

  1. WhatistheheightofMountainKilimanjaro?

A:5985 meters

B:9855 meters

C:5895 meters

D:5859 meters

  1. Thefollowingaretheimportanceoftreesexcept;

A:Giveusshadow

B:Causesrainfall

C:Give usmedicines

D:Causesflood

  1. Whichofthefollowingfeaturescollectswaterfromthehighlyelevated areas?

A: Valley

B:Mountain

C:Hill

D:Plateau

  1. Whichofthefollowingregionsisnotcharacterizedtohaveplateaus?

A: Iringa

B: Njombe

C:Mbeya

D: Pwani

  1. Whatwillhappenifwedon’tconservetheenvironment?

A: Eruption of diseases.

B: Increaseoflivingorganisms

C:We will be healthier.

D: Wewillavoiddisease

  1. MatchtheitemsfromgroupAtothoseofgroupB

 

LISTA

ANSWER

 

LISTB

  1. Substancewhich provideproducts that areessentialstohuman life.
  1. Allthingswhichsurroundhuman being.
  1. Includeslakes,oceans,rivers,springs, swampsanddams.
  1. Alltasksperformedbypeoplesoasto generateincomeanddailyhumanlife
  1. Includeshospitals,railway,banks,hospitaletc
  1. Thingswhichcauseslossofpeoples’ properties and live

( )

( )

( )

( )

( )

( )

  1. Infrastructures
  2. Environment
  3. Hazards
  4. Resource
  5. Human activities
  6. Water sources
  7. Political activities

 

  1. (a) Arrange the following physical feature by regarding their elevation. Arrangethemfrom thehighlyelevatedfeaturetothelowestelevatedfeatureby giving them numbers 1, 2, 3 and 4 and fill in the given blanks;
  1. Plain
  2. Mountain
  3. Hill
  4. Plateau.

(b) Fill intheblanksbelow

  1. Whyisitimportant toconservethe environment?

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

  1. WhichinstitutionwasestablishedbytheTanzaniagovernmentsoastomanage environmental conservation? ....................................................................................
  2. Theweatherconditionexperiencedoveralongperiodoftimeinaregion always over 30 years is called ..............................................................................................................
  3. Mentiontwotraditionalmusicinstruments.

(a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

(b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

  1. Whenacting,wenormallywearspecialclothesforperformingseveralact.Howdo we call them? ...................................................................................................................

SECTIONB

  1. Readtheshortpassagebelowandanswerthequestionsthatfollow;

Modellingisanartthatproducesvariousobjectsusingclaysoil.Shapeslike sculpturescan also be made using cement, paper, glue and artificial clay. Communities living in areas with clay soil model various vessels such as pots, jars, cups, plates and bowls. In these communities, clay soil is mostly found alongside rivers, in anthills and in valleys. There are two ways of clay modelling. These are manual and machine modelling.

 

 

Questions

  1. Whatismodeling?.......................................................................................................................
  1. Wherecanclaysoilbefound?

..........................................................................................................................

  1. Whichitemcanbemadebyusingclaysoil?

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

  1. Mentiontwowaysofmodeling
  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  1. WhatcanbeusedtomakeSculptures?

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

  1. Carefullystudythepicturesbelowthenanswerthe questionsthatfollow:
image image



Questions

  1. Whatarethepeopledoinginpicture1?

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

  1. Mentiontwomusical instrumentsshowninpicture1

a. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

b. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

  1. Whatare thepupilsdoinginpicture2?

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

  1. Theathleticgameshownin picture2iscalled

.........................................................................................................................

  1. Whatistheimportance ofgames in our life?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE GEOGRAPHY EXAM SERIES 100

OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MSURURU WA MITIHANI YA SHULE ZA MSINGI

FOMATI MPYA-MTIHANI WA DARASA LA TATU 

SOMO: SAYANSI

SEHEMU A:

  1.  Chagua jibu sahihi
  1. Je, binadamu ana viungo vingapi vya hisia?

(A) tatu  (B) sita   (C) tano  (D) nne 

  1. Kiungo cha hisia kinachoweza kutumika kutambua rangi ya kijani ya mchicha ni

(A) jicho (B) pua (C) ngozi (D) sikio 

  1. Ni ipi kati ya zifuatazo inawakilisha kundi la viungo vya hisia

(A) pua, miguu, masikio, ngozi na ulimi (B) ulimi, masikio, pua na mdomo (C) masikio, ngozi, mikono, pua na ulimi (D) macho, masikio, ngozi, pua na ulimi 

  1. Kipi kati ya yafuatayo ni sahihi kuhusu viungo vya hisi

(A) sikio hutumika kusikia (B)macho hutumika kunusa (C) pua hutumika kuonja (D) ulimi hutumika kuhisi 

  1. Rama alipoamka asubuhi, alikuta kuna giza na baridi. Alitumia viungo gani vya hisia? (A) jicho na ngozi               (B) masikio na macho               (C) ngozi na pua               (D) pua na masikio
  2.  _____ hutoa mafuta ambayo hulainisha na kulinda ngozi

(A) nywele papillae  (B) jasho hufurahi  (D) epidermis  (D) tezi ya mafuta 

  1.  Kiini kikubwa cha sikio kinaitwa

(A) fupa la paja  (B) malleus  (C) msukumo  (D) incus 

  1.  Ladha inayogunduliwa na sehemu ya kati ya ulimi

(A) uchungu  (B) utamu  (C) umami  (D)usikivu

  1.  Kuna ________hatua zinazohusika katika kufanya uchunguzi wa kisayansi

(A) saba  (B) pale  (C) nane  (D) sita 

  1.                                 LINGANISHA MATAWI YA SAYANSI

TAWI

MAANA YA TAWI

1. Fizikia

A. Utafiti wa viumbe hai

B. Utafiti wa visukuku

C. Jambo la utafiti katika mahusiano na nishati

D. Utafiti wa hali ya hewa

E. Utafiti wa utungaji na mali ya jambo

F. Utafiti wa mimea

2. Biolojia

3. Paleontolojia

4. Kemia

5. Botania

 

          

  1.               Andika Kweli au Si kweli
  1.       Hummer hupatikana katika sikio ____________________
  2.      Ngozi ina mishipa ya fahamu na mishipa ya damu ______________
  3.       Ulimi unaweza kutambua aina tano za ladha ___________
  4.      Ulimi hutumika kunusa tu ___________
  5.       Kasoro za masikio husababisha mtu kupoteza uwezo wa kuona ___________
  1.                     Jaza nafasi zilizo wazi

1. _________________kugundua harufu ya nyenzo inayowaka.

2. ____________________ kusikia wimbo kuhusu ulinzi wa mazingira. 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 93

 

OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024

SOMO: KISWAHILI DARASA: III

 

 

IMLA:

  1.    ____________________________________
  2.    ________________________________________
  3.    ________________________________________
  4.    _______________________________________
  5.    _______________________________________

Chagua herufi ya jibu sahihi

  1.    Mtoto mtiifu ____vizuri na jamii yake

(A) anafunza  (B) amefunzwa  (C) amefaulu       

  1.    Tochi ya kaka ina _________mzuri  

(A)mwanga  (B)umbo  (C) nuru 

  1.    Kisawe cha neno television ni  

(A)runinga  (B)Tv  (C)simu  

  1.    Popo mbili za vuka mto  

(A)macho  (B)popo  (C) mwanga   

  1. Mkono wa birika ni  

(A) tajiri  (B) mkono  (C) mchoyo   

Andika visawe vya maneno haya.

  1. Treni   _____________________ __
  2. Kaa   ________________________
  3. Tembo ________________________
  4. Hela   _________________________
  5. Peni   _________________________

Andika wingi wa maneno haya 

  1. Dawati   ______________________
  2. Embe   ______________________
  3. Mlango  _____________________
  4. Mti    ______________________
  5. Kitabu   ___________________

Malizia vitendawili hivi

  1. Kuku wangu katagia mwibani ________________
  2. Popo mbili za vuka mto  _________________
  3. Tajiri wa rangi  ___________________

Kamilisha methali hizi

  1. Haba na haba  _______________________                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                            
  2. Siku za mwizi ni  ________________________

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 92

OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MSURURU WA MITIHANI YA SHULE ZA MSINGI

FOMATI MPYA-MTIHANI WA DARASA LA TATU

SOMO: JIOGRAFIA NA MAZINGIRA

SEHEMU A

  1. CHAGUA JIBU SAHIHI KISHA ANDIKA HERUFI YAKE KATIKA KARATASI ULIOPEWA
  1.  Somo linalohusu uchunguzi wa binadamu na mazingira yake linaitwa __________

(A) mazingira  (B) uso wa dunia  (C) bara  (D) jiografia 

  1. Mazingira ni ____________

(A) kitu chochote kinachotuzunguka  (B) jiografia na mazingira  (C) uso wa dunia               (D) jiografia 

  1. Mwanajiografia ni nani? ___________

(A) ni mtu anayesoma dunia (B) ni mtu anayesoma kuhusu jiografia (C) ni mtu anayesoma mazingira (D) ni mtu anayesoma kuhusu angahewa 

  1.  Ni ipi kati ya zifuatazo ni sehemu ya nyuso za dunia?

(A) anga (B) anga (C) kiti (D) viumbe hai 

  1. Je, ni rasilimali zipi muhimu kwa ufugaji wa nyuki?

(A) maji, majani na mawe (B) miti, maua na misitu (C) milima, mabonde na bahari (D) mvua, magogo na majani 

  1. Ni ipi kati ya zifuatazo ni mazingira ya kimwili au ya asili?

(A) hewa, milima, mawe na udongo (B) mimea, wanyama na watu (C) majengo, umeme na barabara (D) maji, wanyama, mimea na majengo 

  1. Je, sehemu ya mazingira ambayo ina wanyama na mimea inaitwaje?

(A) viumbe hai  (B) mazingira halisi  (C) mazingira ya kibiolojia  (D) shughuli za binadamu 

  1. Udongo, mawe, mchanga na madini huchunguzwa katika tawi gani la jiografia?

(A) jiografia halisi  (B) jiografia ya binadamu  (C) jiografia ya mazingira  

(D) jiografia ya vitendo 

  1. Nini maana ya neno la Kigiriki "graphien"?

(A) kujifunza kuhusu dunia  (B) kuandika kuhusu dunia  (C) kuelezea kuchora au kuandika               (D) dunia 

  1.  Ni ipi kati ya zifuatazo ambayo sio sehemu ya uso wa dunia?

(A) vyanzo vya maji  (B) mimea  (C) udongo na miamba  (D) angahewa 

  1. Viumbe vidogo vidogo ni pamoja na

(A) bakteria na amoeba (B) malaria na UKIMWI (c) bakteria na TB (D) malaria na amoeba.              

  

  1. Oanisha maneno katika Orodha A na maelezo katika Orodha B

ORODHA A 

ORODHA B

  1. Hewa
  1. Tunapata madini na kuweka makazi
  2. Milima
  3. Maji
  4. Oxyjeni,Kabondioxide, nitrogenI
  5. Huvutia watalii
  6. Asili, kibiolojia na kibinaadamu
  7. Jiografia ya kibinadamu, mazingira na vitendo
  8. Inahusisha viumbe vyote vilivyo hai
  9. Miamba, hewa na mabonde
  10. Chanzo cha mbao
  1. Wanyama pori
  1. Ardhi
  1. Misitu
  1. Meru,Kilimanjaro,Kenya
  1. Mito, bahari na maziwi
  1. Viumbe visivyo hai
  1. Matawi ya Jiografia
  1. Aina za mazingira
  1. Mazingira ya kibiolojia

 

  1. Jibu maswali yafuatayo
  1. Bendera ya taifa ya Tanzania ina rangi ngapi ___________________________________
  2. Andika mifano miwili ya viumbe hai _______________ na ___________
  3. Mchanganyiko wa gesi zote huitwa ______________________________
  4. Andika vipengele viwili vya mazingira yake ___________________________________
  5. ‘Jio’ maana yake ni ____________________________________________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MAARIFA EXAM SERIES 91

OFISI YA WAZIRI MKUU-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024

SOMO: HISABATI DARASA: III

Na

SWALI

NAFASI YA KAZI

JIBU

  1. i.

Andika 1572 kwa maneno

ii.

Andika "elfu nne mia saba sitini na tatu" kwa nambari

iii.

Tafuta dhamana ya namba 4 katika 4567

Iv

Taja ikiwa nambari zifuatazo zinapanda au kushuka 305, 11, 89,72,32

v.

Tumia >,

  1. I

Panga kwa mpangilio wa kupanda 22,42,13,27,6

ii.

Panga nambari zifuatazo kwa mpangilio wa kushuka 32,40,8,16,24

iii.

Jaza nambari zinazokosekana 30,32,___36,38

iv.

Jaza nambari zinazokosekana 990,960,930,___870

v.

Nini dhamana ya 7 katika 67302

  1. I

Nambari gani inakuja baada ya 3149?

Ii

Nambari gani inakuja kabla ya 1000??

Iii

Nambari gani inakuja kati ya 2349 na 2351?

Iv

Nambari gani inaonyeshwa na abacus hapa chini

V

Umbo hili linaitwaje?

  1. I

9762 + 136=

Ii

2315

+3114

5435

Iii

5237 - 2024=

Iv

5432

-3014

v.

Andika 6000 + 100 + 50 + 3 kwa kifupi

  1. I

Mtoto aliambiwa ahesabu na kuandika idadi ya masanduku kwa maneno. Jibu sahihi lilikuwa lipi

ii.

Katika shamba kuna miembe 980 na michungwa 456. Tafuta jumla ya idadi ya miti shambani

iii.

Mkulima alikusanya mayai 9529 kwa wiki. Ikiwa mayai 2779 yalivunjika, alibaki na mayai mangapi

Iv

Ni sehemu gani iliyotiwa kivuli kwenye takwimu hii

V

Andika tatu juu ya saba katika takwimu

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 90

OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MSURURU WA MITIHANI YA SHULE ZA MSINGI

FOMATI MPYA-MTIHANI WA DARASA LA TATU

SOMO: HISTORIA NA MAADILI YA TANZANIA

MAELEZO

  1. Mtihani huu una sehemu Mbili A na B na jumla ya maswali matano
  2. Sehemu ya A ina alama 26 na sehemu B ina alama 24
  3. Jibu maswali yote kulingana na maelezo ya kila swali
  4. Mtihani wote una alama 50

SEHEMU A. ALAMA 26

Jibu maswali yote

  1.       Chagua jibu sahii kutoka chaguzi ulizo pewa
  1. Kuonyesha tabia nzuri kwa wengine kwa maneno na vitendo huitwa
  1.      Kuongea
  2.      Tabia mbaya
  3.      Lugha ya adabu
  4.     Lugha ya kihuni
  1. Kitu ambacho unatakiwa kukifanya au kukitekeleza kinaitwa
  1.      Haki
  2.      Jukumu
  3.      Malengo
  4.     Wajibu
  1. Kitu ambacho kila mtu anastahili huitwa?
  1.      Jukumu
  2.      Haki
  3.      Upendeleo
  4.     Ustaarabu
  1. Ipi kati ya hizi ni haki yam toto
  1.      Kufanyizwa kazi
  2.      Kupata elimu
  3.      Kuchapwa
  4.     Kutumikishwa
  1. Vitu venye dhamana zinazopatikana kwenye mazingira huitwa?
  1.      Utajiri
  2.      Fedha
  3.      Rasilimali
  4.     Mali
  1.       Umepewa jedwali A na Jedwali B. Chagua jibu sahihi kutoka jedwali B ambalo linaendana na maelezo katika jedwali A.

Jedwali A

Jedwali B

  1. Lugha ya Taifa ya Tanzania
  2. Inaonyesha ustawi na  uhuru
  3. Utamaduni
  4. Rangi ya kijani katika bendera yetu
  1. Mwenge wa uhuru
  2. Kiswahili
  3. Ujumla wa Maisha ya watu
  4. Uoto wa asili

 

  1. Tumia maneno yaliyo kwenye kisanduku kujaza nafasi zilizowazi

 

 

  1.    Kuwa mkweli na muwazi
  2.   Vitu ambavyo mtu anastahili na anapaswa kupewa
  3.    Uwezo wa kuishi na watu hata kama mnatofautiana kimawazo
  4.   Uwezo wa kuvumilia au kujikwamua katika hali ngumu

SEHEMU YA B. ALAMA 24

JIBU MASWALI YOTE

  1. Kamilisha jedwali lifuatalo kwa kujaza maana ya rangi za bendera ya Taifa

Rangi ya Bendera

Maana yake

Kijani 

 

Manjano 

 

Samawati 

 

Nyeusi

 

  1. Angalia mchoro ufuatao kwa makini kisha jibu maswali yafuatayo

  1.             Taja alama ya Taifa ambayo imeonyeshwa hapo juu
  2.           To umuhimu wa alama hii
  3.         Alama hii utaipata wapi mara nyingi?
  4.         Taja alama nyingine mbili za Taifa ambazo unaziona hapo juu

 

  1. Soma kifungu kifuatacho kisha jibu maswali yafuatayo.

Ni muhimu sana kutunza mwili wako, akili, na nafsi kila siku na sio tu wakati unaumwa. Hili linawezekana kwa kula vyema, kufanya mazoezi, kupunguza mawazo, na kwenda mapumuziko mwili unapohitaji. Mambo haya yatakufanya ukae mwenye furaha, mwenye afya na mstahilimilivu.

  1.   Kifungu hiki kinahusu nini?
  2.  Taja njia tatu za kutunza miili yetu
  3.  Taja vitu vitatu tunapaswa kuzingatia hili kuwa na afya
  4.  Unafikiria ni nini kitatokea kama tutashindwa kutunza miili yetu.

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE URAIA EXAM SERIES 89

 

 

PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY EXAMINATION SERIES

NEW FORMAT BASED-STANDARD THREE EXAMINATION

SUBJECT: ENGLISH

TERMINAL- MAY-2024

Dictation 

  1. _________________________________________________________
  2. _________________________________________________________
  3. _________________________________________________________
  4. _________________________________________________________
  5. _________________________________________________________

Drop y then add ies to make many (plural) 

One single    many (plural) 

  1. Country    ______________________
  2. Baby    ______________________
  3. Family    ______________________
  4. Puppy    ______________________
  5. Lorry    ____________________

Occupation 

  1. A person who sells goods in a shop is called a _______________________
  2. A person who makes, tables chairs desks and cupboard out of wood is called a ________
  3. A person who make, dresses, trousers shirts and skirts is called a ____________
  4. A person who cuts peoples hair is called a ________________
  5. A person who teachers pupils at school is called a _________________

Use the words below to fill in the blanks 

Under, in , on, behind 

  1. The ball is ________________the tables
  2. The book is _______________the table
  3. The chair is ______________ the table
  4. There is water ______________ the bottle

Fill in the blanks with “a” or”an” 

  1. Furaha is washing ________________apple
  2. Dad is planting _____________tree
  3. I went to the hospital and saw doctor
  4. ___________________rabbit runs very fast

Make good sentences using the following verbs 

  1. Washing ____________________________________________________________________
  2. Playing ______________________________________________________________________

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 88

 

PRIMARY EXAMINATION SERIES

COMPETENCE BASED ASSESSMENT

 

TERMINAL EXAM MAY 2024

SUBJECT: SICENCE                  CLASS :3

NAME: …………………………………………………..   DATE: ……….........…

CHOOSE THE CORRECT ANSWER 

  1.               How many sense organs do human beings have?  (A) three  (B) six  (C) five               (D) four                                                                                     [              ]
  2.               The sense organ that can be used to detect the green colour of spinach is  (A) an eye                             (B) a nose              (C) a skin               (D) an ear               [              ]
  3.               Which of the following represents group of sense organs  (A) nose,legs,ears,skin and tongue               (B) tongue,ears,skin nose and mouth                            (C) ears, skin, hands,  nose, and tongue                             (D) eyes, ears, skin, nose and tongue                                                                                      [              ]  
  4.               Which of the following is correct about sense organs  (A) ear are used for hearing               (B)eyes are used for smelling               (C) nose is used for tasting               (D) tongue is used for feeling                                                                      [              ]
  5.               When Rama got up in the morning, he found it was dark and cold.  Which sense organs did he use?               (A) eye and skin               (B) ears and eyes               (C) skin and nose               (D) nose and ears                                                                                                   [              ]
  6.               _____ produce oil that lubricates and protect the skin  (A) hair papillae  (B) sweat glad               (D) epidermis               (D) sebaceous gland [              ]
  7.               The larges ear ossicle is called  (A) femur  (B) malleus  (C) stirrup                 (C) incus                                                                                                     [              ]
  8.               The taste detected by the central part of the tongue  (A) bitterness   (B) sweetness               (C) umami               (D)sourness                                           [              ]
  9.               There are ________steps involved in carrying out a scientific investigation  (A) seven               (B)there               (C) eight               (D) six                             [              ]

 

 

MATCH THE BRANCHES OF SCIENCE

BRANCHES

ANS

MEANING OF BRANCHES

  1. Physics

 

  1. The study of living things
  1. Biology

 

  1. The study of the fossils
  1. Paleontology

 

  1. The study matter in relations to energy
  1. Chemistry

 

  1. The study of weather
  1. Botany

 

  1. The study of composition and properties of matter

 

 

  1. The study of plants

 

 

  1.  

          

 Write True or False 

  1. The hummer is found in the ear _____________________
  2. The dermis has nerves and blood vessels ______________
  3. The tongue can detect five types of tastes ___________
  4. The tongue is used for smelling only ___________
  5. The defects to the ears causes a person to lose the ability of see _________

Fill in the blanks 

  1. _________________detecting the smell of a burning material.
  2. _____________________ hearing a song about environment protection.

What role does the part labelled a play ion the following diagram.                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SCIENCE EXAM SERIES 87

 

PRIMARY EXAMINATION SERIES

COMPETENCE BASED ASSESSMENT

TERMINAL EXAM MAY 2024

SUBJECT : MATHEMATICS      CLASS : P3

NAME: …………………………………………………..   DATE: ......................................

NO

QUESTIONS 

WORKING SPACE 

ANSWER 

  1.  

Write 1572 in words 

 

 

 

ii. 

Write “four thousand seven hundred and sixty three “in numerals 

 

 

 

iii. 

What is the place value of 4 in 4567 

 

 

 

Iv

State wether the following numbers are ascending or descending 305, 11, 89,72,32 

 

 

 

v.

Use >, < or = to fill in the blanks space 100_____90 

 

 

 

  1. I

Arrange in ascending order 22,42,13,27,6

 

 

ii.

Arrange the following numbers in descending order 32,40,8,16,24 

 

 

iii.

Fill in the missing numbers 30,32,___36,38

 

 

iv.

Write the missing number 990,960,930,___870

 

 

v.

What is t he value of 7 in 67302 

 

 

 

  1.  I

Which number comes after 3149? 

 

 

 

Ii

Which number comes before 1000?

 

 

 

Iii

Which number comes between 2349 and 2351?

 

 

 

Iv

Which number is shown by the abacus below

 

 

 

 

 

 

 

V

This shape   

 is called 

 

 

  1. I

9762  +  136= 

 

 

 

 

 

Ii

  2315

+3114

  5435

 

 

 

Iii

5237  -  2024= 

 

 

 

 

Iv

 5432

-3014

 

 

 

v.

Write 6000  +  100  +  50 +  3 in short form 

 

 

 

  1. I

A child was told  to count and write the number of boxes in words.  What was the correct answer 

 

 

 

 

 

ii.

In a farm there are 980 mango trees and 456 orange trees.  Find the total number of trees in the farm 

 

 

iii.

A farmer collected 9529 eggs in a week.  If 2779 eggs broke, how many eggs did he remaind with 

 

 

Iv

What fraction is shaded in this figure 

 

 

 

 

 

 

V

Write three over seven in figures 

 

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MATHEMATICS EXAM SERIES 86

PRIMARY SERIES ASSESSMENT

NEW COMPETENCE BASED CURRICULUM

 

TERMINAL EXAM MAY 2024

SUBJECT : GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT      CLASS :3

NAME: …………………………………………………..   DATE: ……….........…

  1. CHOOSE THE MOST CORRECT ANSWER.
  1. The subject that deals with the study of human beings and his environment is called __________              (A) environment               (B) earth surface                             (C) continent               (D) geography                                                                                                                [              ]
  2. Environment is ____________  (A) anything that surround us  (B) geography and environment               (C) earth surface               (D) geography                                          [              ]
  3. Who is geographer? ___________  (A) is the person who studies earth   (B) is the person who studies about geography               (C) is the person who studies environment               (D) is the person who studies about atmosphere                             [              ]
  4. Which among the following is part of the earth surfaces?  (A) the atmosphere  (B) sky                (C) chair               (D) living things                                                                       [              ]
  5. What are the resources essential for keeping bees?  (A) water, leaves and rocks   (B) trees, flowers and forests               (C) mountains, valleys and oceans               (D) rain, logs and leaves                                                                                                                 [              ]
  6. Which of the following is physical or natural environment?  (A) air, mountains, rocks and soil               (B) plants, animals and people               (C) buildings, electricity and roads                             (D) water, animals, plants and buildings                                                                       [              ]
  7. How is the part of the environment that contains animals and plants called?  (A)ling organisms               (B) physical environment               (C) biological environment                            (D) human activities                                                                                                   [              ]
  8. Soil,rocks,sand and minerals are studied in which branch of geography?  (A) physical geography               (B) human geography               (C) environmental geography               (D) practical geography                                                                                                                 [              ]
  9. What is the meaning of the greek word “graphien’?  (A) to study about earth  (B) to write about the earth               (C) to describe draw or write               (D) the earth              [              ]
  10. Which of the following is not part of the earths surface?  (A) water bodies  (B) vegetations               (C) soils and rocks               (D) atmosphere                                           [              ]
  11. Micro-organisms include  (A) bacteria and amoeba  (B) malaria and AIDS   (c) bacteria and TB               (D) malaria and amoeba                                           [              ]

 

 

 

  1. Match the following items

LIST A 

ANSWER

LIST B

  1. Air

 

  1. We get valuable mineral and establish our settlement
  1. Wild animal

 

  1. Mountains
  1. Land

 

  1. Water bodies
  1. Forest

 

  1. Oxygen,carbondioxide, nitrogen
  1. Meru,Kilimanjaro,Kenya

 

  1. Attract tourist
  1. Rivers,oceans, lakes

 

  1. Natural, biological and human
  1. Non living things

 

  1. Human,physical and practical geography
  1. Branches of geography

 

  1. Includes all living things
  1. Types of environment

 

  1. Rocks,air valley
  1. Biological environment

 

  1. Source of timber

 

  1. Answer the following questions
  1. How many colour of Tanzania national flag _______________________
  2. Write down two example of living things _______________and ___________
  3. The mixture of all gases is called _________________
  4. Write two components of he environment _____________________and _____________________________________
  5. ‘Geo’ means ________________________________________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MAARIFA EXAM SERIES 85

 

PRIMARY EXAMINATION SERIES

COMPETENCE BASED ASSESSMENT

 

TERMINAL EXAM MAY 2024

SUBJECT : ENGLISH                  CLASS :3

NAME: …………………………………………………..  DATE: ……….........…

Dictation 

  1.                __________________________________________________________
  2.                ____________________________________________________________
  3.                _________________________________________________________
  4.                ________________________________________________________________
  5.                ______________________________________________________________

Drop y then add ies to make many (plural) 

One single      many (plural) 

  1.                Country     ________________________
  2.                Baby      _________________________
  3.                Family     ___________________________
  4.                Puppy      _________________________
  5.            Lorry      ____________________

Occupation 

  1.            A person who sells goods in a shop is called a _______________________
  2.            A person who makes, tables chairs desks and cupboard out of wood is called a ________
  3.            A person who make,dresses, trousers shirts and skirts is called a ____________
  4.            A person who cuts peoples hair is called a ________________
  5.            A person who teachers pupils at school is called a _________________

Use the words below to fill in the blanks 

Under, in , on, behind 

 

 

 

 

 

  1.            The ball is ________________the tables
  2.            The book is _______________the table
  3.            The chair is ______________ the table
  4.            There is water ______________ the bottle

Fill in the blanks with “a” or”an” 

  1.            Furaha is washing ________________apple
  2.            Dad is planting _____________tree
  3.            I went to the hospital and saw doctor
  4.            ___________________rabbit runs very fast

Make good sentences using the following verbs 

  1.            Washing ____________________________________________________________________
  2.            Playing ________________________________________________________________________

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 84

MTIHANI WA UMAHIRI KWA SHULE ZA MSINGI

MTIHANI WA MWISHO MUHULA  MEI , 2024

SOMO : KISWAHILI     DARASA : P 3 

JINA: ___________________________ TAREHE: __________

IMLA:

  1.                ____________________________________
  2.                ________________________________________
  3.                ________________________________________
  4.                _______________________________________
  5.                _______________________________________

Chagua herufi ya jibu sahihi

  1.                Mtoto mtiifu ____vizuri na jamii yake (A) anafunza  (B) amefunzwa   (C) amefaulu                                                                                                                               [              ]
  2.                Tochi ya kaka ina _________mzuri  (A)mwanga  (B)umbo  (C) nuru [ ]
  3.                Kisawe cha neno television ni  (A)runinga  (B)Tv  (C)simu  [ ]
  4.                Popo mbili za vuka mto  (A)macho  (B)popo  (C) mwanga   [ ]
  5.            Mkono wa birika ni  (A) tajiri  (B) mkono  (C) mchoyo   [ ]

Andika visawe vya maneno haya.

  1.            Treni  _____________________ __________
  2.            Kaa  _________________________________
  3.            Tembo ________________________
  4.            Hela   _________________________
  5.            Peni  _________________________

Andika wingi wa maneno haya 

  1.            Dawati   _______________________
  2.            Embe   ________________________
  3.            Mlango  _____________________
  4.            Mti    ________________________
  5.            Kitabu   ___________________

Malizia vitendawili hivi

  1.            Kuku wangu katagia mibani ________________
  2.            Popo mbili za vuka mto  _________________
  3.            Tajiri wa rangi  ___________________

Kamilisha methali hizi

  1.            Haba na haba  _______________________                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                            
  2.            Siku za mwizi ni  ________________________

 

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 83

UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

MID TERM EXAMINATIONS 

                                      MATHEMATICS

STANDARD THREE

Time 1:30 Hours

Pupil’s Name.......................................................................................................

Instructions

  1.               This paper consists of TWENTY FIVE questions
  2.               Answer all questions in each section
  3.               Ensure clarity in your work
  4.               Don’t attempt to cheat
  5.               All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room.

 

  1. Write the following number in words
  1. 4572
  2. 382
  3. 5001
  4. 207
  5. 1234

 

  1. Write the following number in words
  1. 1,000+100+50+4 __________
  2. 9,000+300+40+2 _________
  3. 0+400+30+0 ____________
  4. 3,000+0+10+6 __________

 

  1. Arrange the following in descending order
  1. 26, 36, 41, 21, 31, 16
  2. 124, 98, 110, 220, 60
  3. 196, 10, 45, 200, 0
  4. 81, 27, 45, 36, 54
  5. 10, 12, 14, 16, 18, 20
  1. Write the following fraction in numerals
  1. One – Fifths __________
  2. Two – sevenths __________
  3. A half ______________
  4. Three quarters ____________
  5. A quarter ___________
  1. Work out the following
  1. 2781 + 112=

 

 

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MATHEMATICS EXAM SERIES 54

UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

MID TERM EXAMINATIONS 

SOCIAL STUDIES

STANDARD THREE

Time 1:30 Hours

Pupil’s Name.......................................................................................................

Instructions

  1.               This paper consists of TWENTY FIVE questions
  2.               Answer all questions in each section
  3.               Ensure clarity in your work
  4.               Don’t attempt to cheat
  5.               All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room.

SECTION A

  1.               Answer items (i) to (v) by choosing the correct answer and writing its letter in the space provided.

 

  1. What is environment conservation?
  1. Pollution
  2. Protect our self
  3. Is way of protecting the environment danger or damage
  4. All things around us
  1. ____________.is the degree of hotness or coldness of a body object or place


  1. Humidity
  2. Temperature
  3. Rainfall
  4. Clouds


  1. ____________is everything that is around us


  1. Environment
  2. School
  3. Home
  4. Trees


  1. ____________.is the special place where people where people learn or get education


  1. Hospital
  2. Market
  3. School
  4. Home


  1. One of the following does not found in the school environment


  1. Desks
  2. Chalks
  3. Lion
  4. Teacher


  1. _____________is a condition of the atmosphere in a particular time and place


  1. Culture
  2. Environment
  3. Weather
  4. Wind


  1. _____________-means the total way of life in a particular society


  1. Song
  2. Tradition
  3. Culture
  4. House


  1. The basic needs we obtain from the environment are____________.


  1. Forms
  2. Cattle
  3. Shelter, food and clothes
  4. Food only


  1. Father and mother are called_____________.


  1. Parents
  2. Children
  3. Aunt
  4. Uncle


  1. The following are the element of weather EXCEPT one which is___________-


  1. Temperature
  2. Rainfall
  3. Humidity
  4. Vegetable


 

Match the items of list A with correct answer in list B

 

List A

List B

  1.            9th December 1961
  1. Dizziness and body rashes
  1.            Signs of hot weather
  1. School Environment
  1.            Planting trees and proper disposal of waste
  1. Materials for clearing
  1.            Teachers, buildings, play grounds, Plants and furniture
  1. Tanganyika got independence
  1.            Brooms, gloves, Gumboots pangas
  1. Environment conservation

 

Match the items in the List below with the correct responses in the list besides to get the meaningful sentence.

LIST A

LIST B

  1.            Railway
  1.  
  1.            A water well
  1.  
  1.            Church
  1.  
  1.            Bridge
  1.  
  1.            River
  1.  

 

Fill in the blanks to complete the following questions.

  1. The first present of our country is _______________

Mention two living things found in your Environment 

  1. _______________
  2. _______________

Mention two things found in your School 

  1. ________________________
  2. ____________________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SOCIAL EXAM SERIES 53

UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

TERMINAL EXAMINATIONS-MAY 2023 

CIVICS AND NORALS

STANDARD THREE

Time 1:30 Hours

Pupil’s Name.......................................................................................................

Instructions

  1.               This paper consists of TWENTY FIVE questions
  2.               Answer all questions in each section
  3.               Ensure clarity in your work
  4.               Don’t attempt to cheat
  5.               All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room.

SECTION A

  1.               Answer items (i) to (v) by choosing the correct answer and writing its letter in the space provided.

 

  1. ___________is one’s ability to do a certain task or activity.


  1. talent
  2. culture
  3. torch
  4. respect


  1. Things that identify a national are.


  1. symbols of trees
  2. national symbols
  3. Water
  4. school symbols


  1. The way of caring and treating other people well is knows as__________


  1. Respect
  2. Moral
  3. Civics
  4. Love


  1. To be honest is a sign of ____________.


  1. Love
  2. Hate
  3. Care
  4. Environment


  1. .A place where people go to learn is called____________.


  1. Market
  2. School
  3. Church
  4. Country


  1. Another name of school emblem is_____________.


  1. School logo
  2. School uniform
  3. School fees
  4. School boundaries


  1. Tanzania is the union of ____________countries.


  1. Two
  2. Four
  3. Six
  4. Three


  1. Tanganyika achieved its independence on_____________


  1. 12th January 1964
  2. 9th December 1961
  3. 7th July 1960
  4. 9th January 1962


  1. A_____________.is a piece of cloth representing or symbolizing a national


  1. National flag
  2. National torch
  3. National cloth
  4. National anthem


  1. ___________is a feeling of loving your country more than any other country and being proud of it


  1. Patriotic
  2. Patriotism
  3. Citizen
  4. Love


 

Match the items in the list below with the correct responses in the list besides to get the meaning full sentence

List A

List B

  1. A library
  1. The national flag, the national anthem, and the national torch
  1. National flag
  1. 26th April 1964
  1. A school
  1. A place where pupils can have self-study
  1. The union of Tanganyika and Zanzibar
  1. It is a national identity
  1. Our national symbols
  1. A place where people go to learn

 

Fill the most correct answer in the space provided

 

Mention two (2) ways that we can show respect to others

  1. ______________.
  2. ______________.

 

List four (4) color that are found in our national flag.

  1. ___________________.
  2. ___________________.
  3. _____________________.
  4. ______________________.
  5. The first president of Tanzania was______________.

 

List two (2) examples of Tanzania national symbols.

  1. ____________.
  2. _____________.
  3. Name the following national flag

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE CIVICS EXAM SERIES 52

UNITED REPUBLIC OF TANZANIZ

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

TERMINAL EXAMINATIONS -MAY 2023

ENGLISH 

STANDARD THREE

Time 1:30 Hours

Pupil’s Name.......................................................................................................

Instructions

  1.               This paper consists of TWENTY FIVE questions
  2.               Answer all questions in each section
  3.               Ensure clarity in your work
  4.               Don’t attempt to cheat
  5.               All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room.

SECTION A

  1.               Answer items (i) to (v) by choosing the correct answer and writing its letter in the space provided.

 

DICTATION 

  1.  
  2.  
  3.  
  4.  
  5.  

 

Complete the following sentences by using words in the box below 

I am fine, good morning, Juma.

Juma; 6_____________mother.

Mother; Good morning 7________________how are you?

Juma; 8______________thank you mother.

 

 

Write the plural form of the following words

  1. Book, ______________.
  1. Water,___________.
  1. Goose,____________.
  1. Orange,___________.
  1. Box,__________.

 

Write the word that does not rhyme other.

  1. Log, bag, dog, frog_______________.
  1. Right, bright, height, light, _____________.
  1. Lack, back, sack, truck, ____________.

 

Choose the words from the box which rhyme with those written in the question.

 

Yell, bin, saw, woke, hot, 

 

  1. Fell,tell,bell___________.
  1. Raw law____________.
  1. Toke, yoke____________.
  1. Dot, cot______________.
  2. Chin, kin ___________.

 

Correct the spellings in the following words.

 

  1. Fyl____________.
  2. ssacl_____________.
  3. Teer___________.
  4. og_______________

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 51

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA MAJARIBIO KWA SHULE ZA MSINGI

MTIHANI WA KISWAHILI DRS LA III 

JINA LA MWANAFUNZI ............................................

SEHEMU A: IMLA

  1. Sikiliza kwa makini sentensi zitakazosomwa kisha uandike kwa usahihi.
  1. .....................................
  2. .....................................
  3. .....................................
  4. .....................................
  5. .....................................

SEHEMU B

  1. Chagua herufi ya jibu sahihi kisha jaza kwenye kisanduku
  1. Shangazi atapika chakula. Sentensi hii ipo katika wakati gani.

(a) Uliopo  (b)Uliopita  (c)Ujao (d)Uliopita mtimilifu

  1. Mtu aliyefiwa na wazazi wake wote wawili huitwa

(a)Mgane (b)Mjane (c)Mfiwa (d)Yatima

  1. Wingi wa neno Ukuta ni

(a)Nyufa (b)Kuta (c)Ukuta (d)Maukuta

  1. Neno anastahili lina silabi ngapi

(a)Nne  (b)Tano (c)Sita  (d)Saba

  1. Kinyume cha neno msafi ni ................

(a)Mchafu (b)Uchafu (c)chafu (d)Mbaya

 

SEHEMU C:

METHALI, NAHAU, NA VITENDAWILI

  1.  
  1. Hesabu yake haina faida ni ...........................
  2. Vunjika moyo ...........................
  3. ....................................... hulia kivulini
  4. Bomu la machozi baridi ni ................
  5. Fuata mkia ni .....................

 

SEHEMU D: Mazoezi ya lugha.

  1.  
  1. Neno lenye maana sawa na neno TEMBO ni ...............
  2. Mende, kunguni, panzi, inzi, kwa pamoja huitwa ..................
  3. Mtu anayetibu wagonjwa huitwa ...............
  4. Wingi wa neno kaa ni ..................
  5. Kinyume cha neno ADUI ni .............

 

SEHEMU E: Ufahamu. Soma habari ifuatayo kisha jibu maswali.

  1.  

Juma na Alli ni watoto mapacha, asubuhi huenda shuleni na wanaporejea nyumbani jioni huwasaidia wazazi wao kufanya shughuli mbalimbali. Juma ni fundi katika mapishi, hivyo humsaidia mama kupika. Alli hupenda mifugo, hivyo humsaidia baba kuchunga na kukamua maziwa. Hufanya kazi kwa bidii. Walimu wao huwapenda sana kwa kuwa hufanya vizuri katika masomo yao ya darasa la tatu.

MASWALI

  1. Juma na Alli ni wanafunzi wa darasa la ngapi? ...........
  2. Watoto hawa huwasaidia wazazi wao kazi ya kuchunga, kukamua maziwa na .......
  3. Unafikiri kwa nini walimu wao huwapenda? ....................
  4. Familia hii ina jumla ya watu wangapi? ..............................
  5. Juma ni fundi wa nini akiwa nyumbani? ...................

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 50

WIZARA YA ELIMU

 MTIHANI WAKUMALIZIA MUHULA WA 1 JULY 2022

SOMO LA HISABATI 

DARASA LA TATU. MUDA SAA 1.

 

  1. Andika tarakimu “mia tisa na sabini na mbili”       ……………………
  2. Andika “9700” kwa maneno……………………………………………………..…………………………..
  3.  Andika thamani ya “4” katika namba 6049                …………….………
  4. Andika jina la sehemu ifuatayo:-  ᷾⅟2   ……………………
  5. Andika kwa kifupi 200 na 60 na 4, …………………………………………………….
  6. Tafuta namba inayofuata   10, 15, 20, 25,  ……….
  7. Panga namba zifuatazo kwa mpangilio unaoanza na namba ndogo hadi kubwa zaidi katika namba zifuatazo 7, 3, 4, 1, 6, 8, 5.
  8. Andika namba iliyokosekana katika nafasi ya wazi 300, 350, ………, 450.
  9. Andika namba inayotangulia namba 100 ikiwa utahesabu moja moja.     ……..
  10.          Andika namba kubwa kuliko zote katika namba zifuatazo; 60, 99, 66, 50. …….
  11.          114 + 320 =     …………
  12.            618

        + 132

         

  1.          100 – 12 =     …………
  2.          21 X 0 =       …………
  3.          909 – 100 =  ………..
  4.          Sehemu gani ya umbo imetiwa kivuli

 

  1.          Andika jina la umbo lifuatalo

 

  1.          Chora umbo la mstatili

 

 

  1.          Nusu ya chungwa ukiongeza nusu nyingine utapata sehemu gani ya chungwa ........
  2.          Umbo lipi ni bapa kati ya umbo A na umbo B?   ...........
  3.          Kuku mmoja ana miguu miwili; Je kuku watano watakuwa na jumla ya miguu mingapi ?    ...................
  4.          Shilingi 500 ukipunguza shilingi 250 itabaki shilingi ngapi?  .............
  5.          Shule ya msingi masimango inawanafunzi kama ifuatavyo;- wavulana 150, wasichana 200, Je shule ina jumla ya wanafunzi wangapi?................
  6.          Shilingi 550 + 450 = ……………..
  7.          375 + 25 + 100 = ………………………. 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

                                        

 

 

MAJIBU

  1. 972
  2. Elfu tisa na mia saba
  3. Makumi
  4. Nusu
  5. 264
  6. 30
  7. 1,3,4,5,6,7,8.
  8. 400
  9. 99
  10.                      99
  11.                      434
  12.                      750
  13.                      88
  14.                       
  15.                      809
  16.                      Robo
  17.                      Pembe tatu

 

 

18

  1. Chungwa
  2. A
  3. 10
  4. 250
  5. 350
  6. 1000
  7. 500

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 39

WIZARA YA ELIMU

MTIHANI WAKUMALIZIA MUHULA WA 1 JULY 2022

DARASA LA TATU

                                                  “SOMO LA SAYANSI

SEHEMU A; CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI

1. Chanzo cha asili cha nishati ya joto ni

      A: umeme   B:jua    C:tochi

2. Tunaota moto ili kujihifadhi dhidi ya

     A: joto   B: mwanga   C: baridi

3. Kuna aina…………………………za maada.

     A: 2   B: 3   C: 4

4. Kitendo cha kubadilishana habari/taarifa au ujumbe baina ya watu kwa kutumia njia mbalimbali huitwa.

     A: usafilishaji B: mawasiliano   C: redio

5. Sauti hutokana na……………………..

    A: mawimbi B: mitetemo ya vitu C: koromeo

6. Namna ya kudadisi jambo lisilojulikana kwa kutumia njia mbalimbali ni………………………………

    A: uchunguzi    B: hatari    C: vitu

7. Ipi kati ya hizi ni aina ya maada?

    A: kimiminika    B: kinywa    C: mwanga

8. Mdudu anayeeneza ugonjwa wa maralia huitwa…………………………………

    A: mbu   B: inzi      C: viroboto

9. Viumbehai huongezeka kwa njia ya……………………………

    A: kujongea        B: Kuzaliana   C: kulia

10. Sifa mojawapo ya viumbehai ni……………………….

     A: kucheza   B: kukua   C: kujificha

SEHEMU B:

OANISHA KUNDI A NA KUNDI B. KISHA ANDIKA HERUFI YA JIBU SAHIHI

 

KUNDI   A

KUNDI   B

11

Mwangwi

A: baadhi ya wadudu wenye sumu

12

Nyuki na tandu

B:chanzo kikuu cha asili cha nishati ya mwanga na joto

13

Sauti

C:mitetemo ya vitu mbalimbali

14

Jua

D:vifaa vya kisasa vya njia ya mawasiliano

15

Simu na luninga

E:sauti iliyorejeshwa baada ya kukutana na kitu kigumu

 

SEHEMU C: ANDIKA NDIO AU HAPANA

16. Jua siyo chanzo cha asili cha nishati ya joto…………………………...........

17. Yabisi,kimiminika,na gesi ni aina kuu tatu za maada………………………………….

18. Tandu,nyuki na nyigu si wadudu hatari……………………….

19. Mbua hueneza ugonjwa wa maralia…………………………………..

20. Kuna aina kuu mbili za nishati………………………….

 

SEHEMU D: JAZA NAFASI WAZI

21. Picha ya kitu huitwa…………………………………….

22………………………………Ni jumla ya vitu vyote vinavyo tuzunguka

23. Kiungo kinachotumika kunusa ni……………………………..

24. Chanzo cha asili cha nishati ya mwanga ni…………………………..

25. Kitendo cha kiumbe kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine huitwa……………………..

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 38

 

MINISTRY OF EDUCATION

FIRST SEMISTER COMPLETION EXAMS JULY, 2022

SUBJECT: ENGLISH : STD III: TIME:  1 HOUR.

1.DICTATION

  1. ………………………………………………………………
  2. ………………………………………………………………
  3. ………………………………………………………………
  4. ………………………………………………………………
  5. ………………………………………………………………

2.GRAMMAR.  CHOOSE  THE   CORRECT  ANSWER   AND   WRITE   ITS  LETTER

  1. …………….morning  teacher.  (A) Afternoon   (B)Evening  (C) Good 
  2. My……………………is  Juma.  (A) Sir  (B) name (C) My
  3. I……………….nine  years  old.  (A)is   (B) a  (C) am
  4. I am  a   standard   three……………………. (A) pupil (B)teacher   (C) father
  5. That  is   a ……………… (A)chair   (B) cheir  (C) char

3.FILL  IN   THE  MISSING  LETTERS

  1. C…P
  2. O…ange
  3. T...ee
  4. …en
  5. C…air

4.COMPOSITION:  FILL   IN  THE   BLANKS   USING   THE   WORDS   IN  THE   BOX

 

  1. That  is  ……orange.
  2. …………..Baraka ,  how   are  you?
  3. I am  ……………,  thank  you.
  4. I  am   eight   years ……………
  5. I…………….in   Mkako   village.

5.COMPREHENSION

My  name   is   Bosco   Ndunguru.

I am   nine    years   old .

I   standard    three   pupil.

I  like  playing    football.

I live  in   Mkako   village.

QUESTIONS

i.He is………..Ndunguru

ii.He is ………years old

iii.He is a standard…….. pupil

iv.He lives in ……….village

v.He likes playing ………….

1.DICTATION  STANDARD     THREE   MARCH   2022

  1. Book
  2. Teacher
  3. Elephant
  4. Umbrella
  5. Spoon

 

1.DICTATION  STANDARD     THREE   MARCH   2022

  1. Book
  2. Teacher
  3. Elephant
  4. Umbrella
  5. Spoon

 

1.DICTATION  STANDARD     THREE   MARCH   2022

  1. Book
  2. Teacher
  3. Elephant
  4. Umbrella
  5. Spoon

 

1.DICTATION  STANDARD     THREE   MARCH   2022

  1. Book
  2. Teacher
  3. Elephant
  4. Umbrella
  5. Spoon

 

1.DICTATION  STANDARD     THREE   MARCH   2022

  1. Book
  2. Teacher
  3. Elephant
  4. Umbrella
  5. Spoon

1.DICTATION  STANDARD     THREE   MARCH   2022

  1. Book
  2. Teacher
  3. Elephant
  4. Umbrella
  5. Spoon

MARKING  SCHEM   ENGLISH   STANDARD   THREE   APRIL   2022

 1.DICTATION  STANDARD     THREE   APRIL 2022

  1. Book
  2. Teacher
  3. Elephant
  4. Umbrella
  5. Spoon

2. i. C

    ii. B

   iii.C

   iv.A

   v.A

3. i.Cup

    ii.Orange

   iii.Tree

   iv.hen    

    v.chair

4. i.an

   ii.hello

  iii.fine

   iv. old

   v.live

5. i. Bosco

   ii.nine

   iii.three

   iv.Mkako

   v.football

 

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 37

MINISTRY OF EDUCATION

TERMINAL EXAMINATION JULY 2022

STANDARD THREE.

SCIENCE SUBJECT.

SECTION   A:  CHOOSE THE LETTER OF THE CORRECT ANSWER.

  1. The first source of heat energy is……………………….

A: Electricity B: sun   C: torch

2.Sitting  nearby  fire  helps us  protect our  bodies against……………………………

               A: heat       B: light      C: cold                                                                                                                            3.There are……………………. states of matter.

               A) 2                B) 3  C) 4.

 4.The  action  of exchanging  news  information  and message  among  people  through  different  ways/media  is called………………

            A:T transportation    B: communication   C: radio      

5. Sound   is caused by ……………………..

                A: waves     B:   vibration      C: throat

6. Questioning of anything that is not yet known by using different way is 

  (A) Investigation (B) Dangerous (C) Objects.

7. Which of the following is a type of state?

         (A)Liquid (B) Mouth (C) Light

8. An insect that spreads malaria is called --------------------

A: Mosquito B: Flies C

9. Living things multiply by ---------------

A: Movement B: Giving birth C: Crying 

10. One of the characteristics of living thing is ------------------------

A: Playing B: Growth C Hiding 

 

 

SECTION B

MATCH THE ITEMS IN PART “A” AND “B” AND WRITE THE CORRECT LETTER OF MATCHING ITEM FROM PART “B”

NO,

PART A

PART B

11

Echo

  1. Some poisonous insects

12

Bees and Centipedes

  1. The first source of light and heat energy

13

Sound

  1. Vibration of things

14

Sun

  1. Modern tools for communication

15

Phone and Television 

  1. Is a reflected sound

 

SECTION “C

WRITE “TRUE” OR “FALSE”

16. Sun is not the first source of heat and energy………………………..

17. Had substances, liquid and gaseous are the three main types of state……………………………

18. Centipedes,Bees and wasps are not dangerous insects……………………………………………….

19. Mosquitoes transmit Malaria ………………………..

20. There are two types of energy …………………………

 

SECTION D

FILL IN THE BLANKS

21. Objects picture is called …………………………….

22. ………………………………………..is a collection of all things that surrounds us

23. Organ used to smell is …………………………………………

24. The original source of light energy is …………………………………..

25. The action of an organism moving from point A to point B is called ………………………………………..


 


MARKING SCHEME.SCIENCE. STD III. JULY 2022.


 

1. B

2. C

3. B

4. B

5. B

6. A

7. A

8. A

9. B

10. B

11. E

12. A

 

 

13. C

14. B

15. D

16. FALSE

17. TRUE

18. FALSE

19. TRUE

20. FALSE

21. IMAGE

22. ENVIRONMENT.

23. NORSE

24. SUN

25. MOVEMENT


 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SCIENCE EXAM SERIES 36

OFFICE OF THE PRESIDENT, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY

TERMINAL EXAMINATION-MAY- STD 3

MATHEMATICS

TIME: 1:30                                                             

NAME_____________________________________SCHOOL_________________________

INSTRUCTIONS

  1.                This paper consists of 25 questions
  2.                Answer all questions
  3.                Show your working
  4.                The exam carries a total of 50 marks
  5.                 

QUESTION

WORK

ANSWER

  1. Find place value of 9 in  3729
  2. Write in short form, 9000+800+80+1
  3. Write in numbers three thousand, five hundred and thirty seven.
  4. Write in long form, 8076
  5. Write in words, 7638
  6. Write the number we obtain from these values, eight thousands ,eight hundreds, six tens and three ones
  7. Fill the missing numbers, 1120, 1121,......, ........, .......
  8. Add horizontally, 4111 +341
  9. Add vertically,

    4320

+ 1203

 

  1. Asha collected 6980 bottle tops and  bakari collected 2118 bottle tops ,how many bottle tops did they collect altogether?
  2. 887-499
  3. Jane carried 75 eggs to the market. On her way he met John and sold for him 37 eggs. How many eggs did Jane take to the market?
  4. 4526-3112
  5. 9723+1788
  6.   9854

-3465

  1. Holili primary school has five thousand six hundred and 90 pupils, if the number of boys is two thousand seven hundred, how many girls are there?
  2. Maria’s shop has both mobile phones and landline telephones totaling 2972. If 1235 are mobile phones, how many landline phones are there?
  3. 16 x 4 =
  4. 84 x 6 =
  5. Teacher bought 8 boxes of chalk. If each box has 30 pieces of chalk, how many chalks are there?
  6. A car carries 55 passengers at once. How many passengers will six cars  of the same type carry?
  7. A ward has 6328 residents, another one has 2590 residents. How many people are there in the two wards?
  8. Write in words  5/8
  9. How many  1/8 are there in a whole?
  10. How many legs do four goats have?

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MATHEMATICS EXAM SERIES 35

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA NNE

HISABATI

MUDA: 1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

MAELEZO

  1.                Mtihani huu una maswali 25
  2.                Jibu maswali yote
  3.                Onyesha kazi yako
  4.                Mtihani wote una alama 50

SWALI

KAZI

JIBU

  1. Bainisha thamana ya 9 katika namba 3729
  2. Andika namba hii kwa kifupi, 9000+800+80+1
  3. Andika kwa tarakimu, Elfu tatu mia tano themanini na saba
  4. Andika namba kwa kirefu, 8076
  5. Andika namba kwa maneno, 7638
  6. Andika namba inayotokana na dhamani hii, maefu nane,mamia nane, makumi sita na mamoja tatu
  7. Jaza namba inayokosekana katika mpangilio huu, 1120, 1121,......, ........, .......
  8. Jumlisha kwa ulalo, 4111 +341
  9. Jumlisha kwa wima,

    4320

+ 1203

 

  1. Asha alikusanya vizibo 6980 na bakari vizibo 2118,jumla walikusanya vizibo vingapi?
  2. 887-499
  3. Jane alibeba mayai sabini na tano kuelekea sokoni. Njiani alimuuzia John mayai thelathini na saba. Jane alifika dukani na mayai mangapi?
  4. 4526-3112
  5. 9723+1788
  6.   9854

-3465

  1. Shule ya msingi ya Holili ina wanafunzi elfu tano mia sita na tisini. Ikiwa wavulana ni elfu mbili mia saba, wasichana ni wangapi?
  2. Duka la Maria lina simu ya mkononi na mezani 2972. Ikiwa simu za mkononi ni 1235, simu za mezani ni ngapi?
  3. 16 x 4 =
  4. 84 x 6 =
  5. Mwalimu alinunua makasha 8 ya chaki. Kila kasha lilikuwa na chaki 30. Makasha yote yalikuwa na chaki ngapi?
  6. Gari moja linauwezo wa kubeba abiria 55 kwa mara moja. Magari 6 ya ina hiyo hiyo yatabeba jumla ya abiria wangapi?
  7. Kata moja ina wakazi 6328 na kata nyingine ina wakazi 2590. Je kata zote mbili zina jumla ya wakazi wangapi?
  8. Andika kwa maneno 5/8
  9. Kuna 1/8 ngapi katika nzima?
  10. Mbuzi wawili ni sehemu gani ya mbuzi sita?

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HISABATI EXAM SERIES 34

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO DARASA LA TATU

MAARIFA YA JAMII

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEKEZO

  1.                Mtihani huu una sehemu Mbili A na B na jumla ya maswali matano (5)
  2.                Sehemu ya A ina alama 26 na sehemu B ina alama 24
  3.                Jibu maswali yote kulingana na maelezo ya kila swali
  4.                Mtihani wote una alama 50

SEHEMU A. ALAMA 30

JIBU MASWALI YOTE KATIKA SEHEMU HII

  1.                Jibu Kipengele cha (i)-(viii) kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi na kuandika kwenye kisanduku.
  1.               Chanzo cha asili cha joto ni..................(a) mvua (b) mawingu (c) jua (d) mwanga
  2.             Jambo mojawapo la kudumisha utamaduni wa Kitanzania ni kama vile.........(a)  kuimba nyimbo (b) kuvuta bangi (c) kuiba mifugo (d) vita
  3.           Ipi ni faida ya kiafyia waipatayo wanafunzi kwa kucheza ngoma za kitamaduni? (a) kuendeleza utamaduni (b) kupata hamasa ya kufanya kazi (c)kupata zawadi mbalimbali (d) kufanya mwili uwe imara na afya.
  4.           Mtoto wa mjomba anaitwaje? (a) shangazi (b) binamu (c) mama mdogo (d) ami
  5.             Tanganyika ilipata Uhuru wake mwaka? (a) 1964 (b) 1962 (c) 1961 (d) 1963
  6.           Baba wa Taifa wa Tanzania anaitwa?..............(a) John Pombe Magufuli (b) Julius Kambarage Nyerere (c) Edward Sokoine (d) Al Hassan Mwinyi
  7.         Familia yenye watu wengi huitwa? (a) familia ya awali (b) familia pana (c) familia kubwa (d) familia ya mume na mke.
  8.      Uharibifu wa mazingira unaweza kusababisha.........(a) ushindi kwa jamii (b) kuenea kwa magonjwa (c) kupatikana kwa hewa safi (d) kupata mvua.
  1.                Oanisha sentensi za safu A  na safu B ili kuleta maana

Safu A

SAFU B

  1.               Eneo linalopandwa miti, maua, matunda na mboga.
  2.             Eneo kubwa na kame ambalo huwa mchanga na isilo na nyasi wala miti.
  3.           Vitu vyote vinavyomzunguka kiumbe katika maisha yake
  4.           Kiwango cha Joto au baridi kilichopo katika hewa
  5.             Mtindo wa jumla wa maisha ya jamii fulani
  1.               Maficho
  2.                Ukame
  3.                Jangwa
  4.               Mazingira
  5.                Jotoridi
  6.                utamaduni

 

SHEMU B. 

  1.               Jibu maswali yote

Tanzania imeongozwa na viongozi wakuu mbalimbali katika awamu tano zilizopita. Viongozi hawa wamekuwa na mchango mkubwa kwa maendeleo ya Taifa letu. Katika awamu za uongozi wao, waliweza kulinda amani ya nchi. Vile vile, umoja na mshikamano katika jamii zetu za Tanzania umeimarishwa na viongozi.

Tunajivunia pia ulinzi na usalama unaosimamiwa na viongozi wetu. Aidha, maendeleo katika sekta za afya na Elimu yamesimamiwa na viongozi wetu. Viongozi hao wametuongoza vyema, hivyo  tuwaheshimu na kuwapenda

  1.               taja rais wa awamu ya pili wa Tanzania......................................................................................
  2.             taja michango ya viongozi wakuu katika taifa letu......................................................................
  3.           taja rais aliyeoongoza Tanzania kwa muda mrefu zaidi............................................................
  4.           Je tunapaswa kuwafanyia nini viongozi wetu?........................................................................
  5.             Tangu Tanzania ipate Uhuru, kuna awamu ngapi?...................................................................
  1.               Chunguza kifaa kifuatacho kisha jibu maswali

  1.               Taja jina la kifaa kinachoonyeshwa hapo juu...................................
  2.             Taja kazi ya kifaa kinachooneshwa hapo juu............................
  3.           Ni wapi unaweza kulipata kifaa hiki?.............................................
  4.           Ni nini chanzo cha joto?................................................................
  5.             Taja adhari moja ya joto kali kwa mimea............................................

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MAARIFA EXAM SERIES 33

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TATU

SAYANSI NA TECHNOLOJIA

MUDA: 1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

MAELEZO

  1.                Mtihani huu una sehemu Mbili A na B na jumla ya maswali matano
  2.                Sehemu ya A ina alama 26 na sehemu B ina alama 24
  3.                Jibu maswali yote kulingana na maelezo ya kila swali
  4.                Mtihani wote una alama 50

SEHEMU A. ALAMA 28

JIBU MASWALI YOTE KATIKA SEHEMU HII

  1.                Jibu Kipengele cha (i)-(viii) kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi na kuandika kwenye kisanduku.
  1.               Ipi kati ya hizi ni aina ya maada? (a) kimiminika (b) kinywa (c) umbali (d) joto
  2.             Kuna aina.......................za maada (a) mbili (b) tatu (c) tano (d) nne
  3.           Ni yupi mdudu hatari kati ya hawa wafuatao? (a) nyuki (b) panzi (c) kumbikumbi (d) mbayuwayu
  4.           Chanzo cha vitamin ni pamoja na..(a) chapatti (b) embe (c) nyama (d) ugali
  5.             Nini kazi ya mate katika mmeng’enyo wa chakula? (a) kulainisha chakula (b)kulainisha mdomo (c) kulainisha meno (d)kulainisha ulimi
  6.           Faida ya matumizi ya simu ni pamoja na....(a) Kunyoosha nguo (b) kurahisisha mawasiliano (c) kutibu magonjwa (d) kuvunja ndoa
  7.         Mdudu anayeeneza ugonjwa wa malaria huitwa? (a) mbu (b) inzi (c) viroboto (d) kupe
  8.      Viumbehai wakikosa hewa, (a) huishi (b) hufa (c) hutembea (d) hunawiri
  1.                Jibu Vipengele (i)-(vi) kwa kuoanisha maelezo katika Orodha A na hali za maada katika orodha B. ANDIKA herufi ya jibu katika nafasi uliopewa.

Orodha A

ORODHA B

  1.               Hali ya maada nyepesi zaidi
  2.             Hali ya maada yenye umbo maalum
  3.           Mfano wa maada katika hali yabisi
  4.           Maada inayochukua umbo la chombo
  5.             Mfano wa maada katika hali ya gesi.
  1.               Gesi
  2.                Soda
  3.                Mvuke
  4.               Kimiminika
  5.                Chembechembe
  6.                Chaki
  7.                Yabisi.

 

  1.                Jibu vipengele (i)-(v) kwa kuchagua neno sahihi kutoka kwenye kisanduku na kuliandika kwenye nafasi uliopewa.

Baragumu, faili, yowe, ukinzani, jotoridi, yabisi

  1.               Kiwango cha joto au baridi katika mwili..................
  2.             Uzuiaji wa mtiririko au mwendo wa kitu
  3.           Hali yenye kukakamaa na kuwa ngumu kwa ukavu.
  4.           Pembe kubwa iliyotobolewa inayopulizwa na kutoa sauti
  5.             Taarifa iliyohifadhiwa katika jalada au kwenye compyuta

SEHEMU YA B.(ALAMA 20)

  1.               Soma habari ifuatayo kisha jibu vipengele (i)-(v)

Njia za mawasiliano zimegawanyika ,katika aina kuu mbili. Njia hizi ni za asili na kisasa. Baadhi ya vifaa vya asili ni baragumu na ngoma.

Vifaa vya kisasa ni runinga, radio, simu na kompyuta. Kuna faida mbalimbali za kutumia njia za kisasa za mawasiliano.

Mfano, kutoa taarifa kwa watu wengi kwa muda mfupi. Pia, zinatumika kuhifadhi picha za matukio mbalimbali. Simu hurahisisha huduma mbalimbali.

Huduma hizo ni pamoja na kutuma na kupokea taarifa au fedha, pia kupiga picha.

  1.               Taja njia mbili kuu za mawasiliano...........................................................................
  2.             Taja vifaa viwili vya kisasa vya mawasiliano..............................................................
  3.           Ni njia ipi bora ya kutoa taarifa kwa haraka kwa watu wengi?.................................
  4.           Taja matumizi matatu ya simu...................................................................................
  5.             Taja njia mbili za jadi za mawasiliano........................................................................
  1.               Chunguza picha uliopewa kisha jibu kipengele (i)-(v)

  1.               Kifaa kinachoonyeshwa kwenye picha kinaitwaje?............................................
  2.             Onyesha sehemu inayonasa mawimbi kwa kutumia herufi A................................................
  3.           Onesha sehemu inayoonyesha picha kwa kutumia herufi B......................................
  4.           Kifaa hiki hutumia nishati gani?.................................................................................
  5.             Taja faida ya kifaa hiki katika maisha yetu............................................................................

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 32

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA DARASA LA TATU

KISWAHILI

MUDA:1: 30                                                             

JINA_____________________________________SHULE__________________

SEHEMU A.

1. Sikiliza  kwa makini kisha andika Sentensi Kwa Usahihi

  1.              ....................................................................................................................
  2.           ....................................................................................................................
  3.         .....................................................................................................................
  4.         .....................................................................................................................
  5.            .....................................................................................................................

SEHEMU B. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA

  1.               Chagua herufi ya jibu sahihi kisha andika katika kisanduku ulichopewa.
  1.              Juma alikuwa ................ ya mti akichuma maembe. (a) ndani ya (b) juu ya (c) kando ya (d) chini ya.
  2.           Lulu na Kiba walitia maembe...........................ndoo (a) kando ya (b) chini ya (c) juu ya (d) ndani ya.
  3.         Shangazi ni..........(a) kaka yake baba (b) kaka yake mama (c) mdogo wake dada (d) mdogo wake kaka.
  4.         Kutoa msaada maana yake ni  (a) kumpa mtu zawadi (b) kumpongeza (c) kumaidia mtu kuondoa tatizo au shida (d) kumpa mtu pesa ili asirudie kuomba tena.
  5.            Kinyume cha neno chomoza ni...(a) giza (b) mwanga (c) zama (d) usiku

SEHEMU C. LUGHA YA KIFASIHI

  1.               Kamilisha methali, nahau, na vitendawili kwa  kujaza nafasi zilizo achwa wazi.
  1.              Kuuliza...................(a) haina baraka (b) ni ujanja (c) si ujinga (d) ni uzembe
  2.           Akiba.................(a) ni hazina (b) haiozi (c) ni thamani (d) ni faida
  3.         Kafa huku akining’inia.............(a) mende (b) nyuki (c) buibui (d) inge
  4.         Mwanangu hunipa kitu kitamu lakini akichokozwa hutawanya watu...(a) asali  (b) nzi (c) nyuki (d) inge.
  5.            Maana sahihi ya nahau “unga mkono ni” (a) shiriki (b) saidia (c) kubaliana (d) kataa

SEHEMU D. UTUNGAJI

4. Panga sentensi zifuatazo katika mtiririko unaofaa ili kupata habari iliyokamilika kisha uzipe herufi A,B,C, D na E.

  1.              Jamali, Hamisi na Rehema wanasoma darasa la tatu
  2.           Hunywa chain a kuelekea shuleni
  3.         Huamuka asubuhi kila siku
  4.         Hutandika vitanda vyao, huoga na kuvaa sare za shule
  5.            Hufagia darasa lao na uwanja wa shule

SEHEMU E. UFAHAMU

5. Soma kifungu kifuatacho kisha jibu maswali

Amani anaishi na bibi yake katika kijiji cha Kilole. Anamsaidia bibi yake shughuli za nyumbani. Humsaidia kusafisha nyumba, kupika, kuosha nyombo na kufua.Juzi amani alimuuliza bibi yake, “bibi unajua kusoma?” bibi akajibu, “ Ninajua kusoma na kuandika. Amani akasema, sawa bibi kesho nitaleta kitabu change ili tusome pamoja.

  1.              Amani anaishi na nani?................................
  2.           Je Amani anajua kusoma?....................................
  3.         Taja shughuli tatu Amani humsaidia bibi yake..................
  4.         Je Bibi yake Amani anajua kusoma?
  5.            Taja kijiji ambacho Amani huishi..................

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE STADI EXAM SERIES 31

PRESIDENT'S OFFICE 
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT 
 TERMINAL EXAMINATION MAY
STANDARD THREE

ENGLISH

TIME: 1:30 HRS                                                           

NAME_____________________________________SCHOOL_________________________

INSTRUCTIONS

  • THIS paper consists of  SECTIONS A, B, C and D
  • Answer all questions from each section as per instruction given
  • Write full name on the blank space above together with the name of the school
  • Ensure your work is neat and legible.

SECTION A. DICTATION
 

  1. Listen careful to the sentences being ready and write them down
  1. ................................................................................................................
  2. ................................................................................................................
  3.                       ................................................................................................................
  4.                       ................................................................................................................
  5. .................................................................................................................
  1. SECTION B. VOCABULARY

Write the correct answer from (i) to (v) in the spaces provided

  1. The brother of your father is called...(a) aunt (b) uncle (c) brother (d) grandfather
  2. The fifth month of the year is; (a) march (b) june (c) may (d) april
  3.           A ripe orange has ....................color.(a) blue (b) yellow (c) orange (d) green
  4.           The opposite of the word fat is......(a) thin (b) short (c) small (d) huge
  5. Which is not a domestic animal? (a) sheep (b) cow (c) dog (d) zebra

SECTION C. GRAMMAR

  1. Fill in the blanks with the correct word provided in the brackets
  1. Mother went to the market and bought..........(egg, an egg, the egg, )
  2. An insect that bites people and causes malaria...(bee, wasp, butterfly, mosquito)
  3.                       The mother of your mother is...........(aunt, grandmother, step mother)
  4.                       A person who takes care of sick people...(doctor, nurse, dentist)
  5. The month we celebrate Christmas is...( January, November, December)

SECTION D. COMPOSITION

  1. Use words provided in the box to complete the composition below.

Brushes, breakfast, school, face, wakes, uniform

 

Grace .....................up in the morning. She washes her............... and  then ..........................her teeth. The mother prepares breakfast for her. After wearing her .....................she sits on the dinning to take........ and runs to................

SECTION E. COMPREHENSION

  1. READ the passage below and answer questions that follows

Tunu lives with her parents. On a school day, Tunu wakes up early in the morning. She brushes her teeth. She puts on her school uniform. She eats breakfast and goes to school. After school, she returns home. She does her homework in the evening. She eats dinner and goes to bed.

  1. Tunu wakes up ................in the morning
  2. She lives with her.......................................
  3.                       She does her................in the evening
  4.                       She.......................................dinner
  5. After dinner she .........................to bed

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 30

OFFICE OF THE PRESIDENT MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

SOCIAL STUDIES- TERMINAL EXAMINATION-MAY

STANDARD THREE

TIME: 1:00 HOUR

INSTRUCTIONS

  • This paper consists of FIVE questions in two sections A and B
  • Answer all questions as per instructions given in each questions

 SECTION A: (56 MARKS) 

1. Answer items (i)  (viii) by choosing the letter of the correct answer and write it in the box provided

  1. All the things that surround us are termed as:
  1. Atmosphere 
  2. Air
  3. Water 
  4. Environment
  1. Which of the following things is NOT found in school environment?
  1. Classrooms 
  2. Police station
  3. National flag 
  4. Playground
  1. Which of the following is a non- living component of environment?
  1. Stone 
  2. Animals
  3. Plant 
  4. Bird

iv. One of the effects of destroying our environment is:

  1. Overgrazing 
  2. Outbreak of diseases
  3. Availability of food 
  4. Growth of plants

v. Which of the following clothes are worn during the hot weather?

  1. Vest and shorts 
  2. Sandals and T-shirts
  3. Sweaters and jackets 
  4. Mini skirts

vi. Which of the following is a way of protecting ourselves from hot weather?

  1. Playing on sun 
  2. Avoiding taking bath
  3. Drinking too much water 
  4. Drinking hot tea

vii. Which of the following are the signs of hot weather?

  1. Shivering and stomach ache 
  2. Shivering and having pale fingers
  3. Sweating and thirsty 
  4. Sweating and shivering

viii. We say it is cold when the temperature is:

  1. Very High 
  2. Constant
  3. Very low 
  4. Average

2. Match the cleanliness tools in LIST A with their uses in LIST B by writing the their correct answers in the brackets

 LIST A

LIST B

(i) Dustpan

(ii) Hoe

(iv) Slasher

(v) Dustbin

(vi) Broom

(vii) Mop
  1. Is used for cutting tall grass
  2. Is used for mopping the floor
  3. Is used for collecting rubbish
  4. Is used for burning papers
  5. Is used for collecting rubbish
  6. Is used for keeping wastes
  7. Is used for digging the ground
  8. Is used for washing hands

SECTION B: (44 MARKS) 

3. Fill in the blanks by supplying the correct answers

  1. The daily condition of the atmosphere observed at a particular place is known as              
  2. The degree of hotness or coldness of an object or a place is called_____
  3. What is the name of an instrument used to measure temperature?_____
  4. What is the standard unit of temperature__________________
  5. The process of cutting down trees without replanting others is called__
  6. The condition of having no rain for a long period of time is known as___
  7. Write one advantage of a clean environment____________________

4. Observe the picture below then answer the questions that follow

a. What are the pupils shown on the above picture doing?______________

 b. What type of environment is shown by the picture above?____________

 c. Identify two tools that are used by the pupils on the picture above

d. Write down two things that are found in the environment shown by the picture above

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SOCIAL EXAM SERIES 6

OFFICE OF THE PRESIDENT MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

SCIENCE- TERMINAL EXAMINATION-MAY

STANDARD THREE

TIME: 1:00 HOUR

INSTRUCTIONS

  • This paper consists of FIVE questions in two sections A and B
  • Answer all questions as per instructions given in each questions

SECTION A: (60 Marks) 

1. Choose the most correct answer from the alternatives given and write its letter in the box provided

 (i)    Which among the following is a living thing?

  1. Plants 
  2. Air
  3. Water 
  4. Stone

(ii) The two components of environment are

  1. Water and air 
  2. Animals and plants
  3. Land and water 
  4. Living and non-living things

 (iii) Which one among the following is NOT a characteristic of living environment?

  1. Feeding 
  2. Growing
  3. Breathing 
  4. Flying

(iv) Which of the following is a natural source of light?

  1. Sun 
  2. Bulb
  3. Candle 
  4. Torch         

(v) Which pair among the following consists of solid objects?

  1. Ice and stone 
  2. Water vapour and ice
  3. Pure water and wood 
  4. Kerosine and water  

2. Match the items in LIST A with their correct response from LIST B and write the answers in the brackets provided

LIST A LIST B

(i) The ability to do work

(ii) The reflected sound

(iii) The energy that enable us to see

(iv) The type of energy formed by vibration

(v) The transfer of heat energy through air

  1. Echo
  2. Reflection
  3. Radiation
  4. Energy
  5. Sound
  6. Light
  7. Convection

3. Choose  the correct answer from the box and fill in the gaps in each question.

Reproduction, locomotion, excretion, growth, breathing

  1. The increase in size and weight of an organism is called ________________
  2. The ability of an organism to form a new organism of its own kind is referred to

as____________________________________________________

  1. refers to the removal of waste products from the body of a living organism.
  2. An action of an organism to move from one place to another is called ______
  3. The process of an organism to take in and take out air is called__________
    SECTION B: (40 MARKS) 

4. Read the passage below then answer the questions that follow

Matter is anything that has weight and occupies space. All things that we can see, touch or feel are matters. All matters are made up of the smallest particles known as atoms. These particles are invisible with our naked eyes.

There are three states of matter. These are solid, liquid and gas. Solid matters are made up of tightly packed particles. Such things include stones, wood and papers. Solid matters normally have specific shapes. Examples of liquid matters are water, milk and kerosene. Liquid matters have no specific shape rather they occupy the shape of the container which they are placed in. The gaseous matters are those whose atoms are loosely packed. Examples of gaseous matters are water vapour, smoke, Oxygen and Carbon dioxide.

However, some substances can exist in both three states of matter. An example of those substances is water. Pure water is in liquid form. When the pure water is boiled at an average temperature of 100oC it turns in to vapour which is gaseous state. Similarly, when the temperature is exposed to the temperature of 0o C it freezes and becomes and ice which is a solid state.

QUESTIONS 

  1. Anything that has mass and occupies space is called__________________
  2. All matters are made up of the smallest particles called________________
  3. Which substance can exist in both three states of matter?_______________
  4. According to the passage above, the pure water boils at an average temperature of              
  5. What is the freezing point of water according to the above passage?__________

5. Observe the organisms below and use them to answer questions that follows.

A. 

 

B. 

 

C. 

 

D. 

  1. What is the name of the organism marked number A?_____________
  2. What is the habitat of the organism marked A?________________
  3. Which organism can live both in water and on land?______________
  4. The organism marked C is called_________________________
  5. The organism shown by the pictures lettered_____________and_________are
    poisonous organisms.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SCIENCE EXAM SERIES 5

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

SAYANSI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA TATU

MUDA: 1.30      DARASA…………………

MAELEKEZO

  •      Mtihani huu na maswali matano katika sehemu mbili
  •      Jibu maswali yote kulingana na maelezo uliopewa katika kila swali.

SEHEMU A: (ALAMA 60) 

1. Chagua jibu sahihi kati ya hayo uliopewa nauandike jibu lake katika nafasi iliyoachwa wazi.

(i) Kipi kati ya vifuatavyo ni kiumbe hai?

  1. Mimea 
  2. Hewa
  3. Maji 
  4. jiwe

(ii) Kipi kati ya hizi kinaunda mazingira?

  1. Maji na Hewa 
  2. Wanyama na mimea
  3. Ardhi na maji 
  4. Viumbe hai, na viumbe visivyo hai

(iii) Kipi sio sifa ya viumbe hai?

  1. Kula 
  2. Kukua
  3. Kupumua 
  4. kupaa

(iv) Kipi kati ya hizi sio chanzo asilia chaa mwanga?

  1. Jua 
  2. Taa ya umeme
  3. Mshumaa 
  4. Tochi

(v) Kipi kati ya hizi ni yabizi?

  1. Barafu na jiwe 
  2. Mvuke na baridi
  3. Maji na jiwe 
  4. Mafuta taa na maji  

 2. Oanisha majibu katikajedwali lifuatalo hili kuleta maana

S/N

Orodha A

Orodha B

(i) Huduma ya kwanza

(ii) Baadhi ya wadudu wenye sumu

(iii) Baada ya kutoa huduma ya kwanza

(iv) Huduma ya kwanza inaweza kutolewa na

(v) Huduma ya kwanza hutolewa lini?

  1. ngena kipepeo
  2. mpeleke aliyejeruhiwa hospitalini au kwenye zahanati
  3. Kupunguza maumivu na kuokoa maisha
  4. Nyuki na tandu
  5. Mtu yeyote
  6. Wembe, pamba, spiriti na glovu
  7. Maji ya kitunguu saumu na jivu
  8. Msaada unaotolewa kwa majeruhi kabla ya kwenda hospitalini
  9. Mpeleke aliyejeruhiwa nyumbani.

 3. Chagua jibu sahihi kujaza nafasi zilizo wazo

kuzaa, kusogea, kuondoa taka mwili, kukua, Kupumua

  1. Kuongeeka kwa kimo na uzito wa kiumbe hai ______________________
  2. Uwezo wa viumbe hai kuongezeka 
  3. Kuondoa uchafu mwilini
  4. Uwezo waviumbe hai kutoka sehemu moja hadi nyingine…………
  5. Kuingiza na kutoa hewa mwilini…………………………
     

SEHEMU B: (ALAMA 40) 

4. (a) Taja hatua za kupigasimu kwa kutumiasimu ya mkononi

    (b) Eleza tofauti ya simu ya mkononi na simu ya mezani

    (c ) Jaza sehemu za simu zilizoonyeshwa kwa mistari katika mchoro    huu

 5. Tazama michoro ifuatayo kasha jibu maswali.

A.

 

B. 

 

C. 

 

D.

  1. Taja jina la mnyama mwenye herufi A?_______________________
  2. Je mnyama mwenye herufi A anaishiwapi?___________________
  3. Kiumbe kipi kinaishi nchi kavu na majini?____________________
  4. Kiumbe chenye herufi C ni_____________________________
  5. Viumbe vipi kati ya hizi zilizoonyeshwa hapo zinasumu?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 4

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MAARIFA YA JAMII- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA TATU

MUDA: 1.30      

MAELEKEZO

SEHEMU A: (56 %) 

1. Jibu maswali (i)-(viii) kwakuchagua herufi yajibu sahihi kasha andika katika nafasi uliyopewa.

  1. Vitu vyote vinanyotuzunguka tunaviita?
  1. Anga
  2. Hewa
  3. Maji
  4. Mazingira
  1. Kipi kati ya hivi hakipatikani mazingira ya shule?
  1. Darasa
  2. Kituo cha police
  3. Bendera ya taifa
  4. Uwanja wa mpira
  1. Kati ya hizi ni gani ambayo ni sehemu ya mazingira isiyo na uhai?
  1. Jiwe
  2. mimea
  3. wanyama
  4. ndege.
  1. Moja ya madhara ya uharibifu wa mazingira ni?
  1. Kufuga wanyama wengi
  2. Mlipuko wa magonjwa
  3. Upatikanaji wa chakula
  4. Ukuaji wa mimea
  1. Wakati wa joto kali tunapaswa kuvaanguozipi?
  1. Kaptula na vesti
  2. Malapa na T-shati
  3. Sweta na Jaketi
  4. Sketi fupi
  1. Mojawapo ya njia za kujikinga na joto kali ni?
  1. Kucheza juani
  2. Kuepuka kuoga
  3. Kunywa maji mengi
  4. Kunywa chai moto
  1. Dalili za hali ya joto kuwa juu ni?
  1. Kutetemeka na kuumwa na tumbo
  2. Kutetemeka na vidole kupauka
  3. Kutoa jasho na kiu
  4. Kutoa jasho na kutetemeka
  1. Tunasema kuna baridi wakati hali ya joto ni?
  1. Iko juu sana
  2. Ya kawaida
  3. Ya chini sana
  4. Ya wastani.

2. Andika ndiyo kwa sentensi iliyo sahihi, au hapana kwa sentensi isiyo sahihi.

  1. Mvua husaidia kukuza mimea
  2. Fagio na jembe ni vifaa vinavyotumika katika utunzaji wa mazingira
  3. Sweta na jaketi ni mavazi yanayovaliwa wakati wa baridi
  4. Mifugo na ardhi ni rasilimali……
  5. Nyota na mwezi huonekanawakati wa mchana.

SEHEMU B. ALAMA 44.

3. Jaza nafasi zilizo wazi kwa kutumia jibu sahihi.

  1. Mabadiliko ya kila siku yamazingira huitwa……………………………….
  2. Hali ya kitu kuwa joto au baridi hutwa…………………………………….
  3.  Kifaa kinachotumika kupima joto huitwa…………………………………
  4. Taja aina mbili ya vifaa vinavyotumika kupima joto
  5. Kukta miti bila kupanda kuna weza kusababisha…………….
  6. Hali ya kukosekana mvua kwa muda mrefu huitwa…………………..
  7. Mojawapo ya faida ya mazingira masafi ni………………………………

4. Jibu maswali yafuatayo kwa kujaza nafasi wazi.

  1. Taja faida tatu za jua
  2. Vitu gani vingine vinapatikana katika mfumo wa jua
  3. Taja sayari zinazozunguka jua
  4. Taja mambo matatu yanayoweza kufanywa wakati wa jua.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MAARIFA EXAM SERIES 3

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KISWAHILI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA TATU

MUDA: 1.30      

MAELEKEZO

SEHEMU A. IMLA

ANDIKA MANENO YAFUATAYO( MZAZI/MLEZI ATAJE MANENO)

  1. ………………………………………………… ………………………… ……… …………………
  2. …………………………………… ……………………… ……… ……… …………… ……………
  3. ………………………… …………………………… ……………… ……………… ………………
  4. ……………………………… ……………………………… ……………… ………… ……………
  5. ……………………… ……………………………… …………………… …………… ……………

SEHEMU B. CHAGUA JIBU SAHIHI.

  1. Ndani ya pochi la mama aliweka nguo…………………………..
  1. Lake
  2. Yake
  3. Zake
  4. Zao
  1. Baraka na anna walipewa…………………….
  1. Adabu
  2. Adhabu
  3. Azabu
  4. Athabu
  1. Viatu……………..ni vyangu
  1. Yote
  2. Yoyote
  3. Vyote
  4. Wingi
  1. Ukipika vyakula………………………………………. Vitaharibika
  1. Kingi
  2. Vingi
  3. Mingi
  4. Kichache
  1. Lipi kati ya mazao haya ni nafaka?
  1. Mahindi
  2. Nazi
  3. Pamba
  4. Kahawa

SEHEMU C. 

Andika neno moja linaloendana na yafuatayo

a)    Pikipiki, ndege, baiskeli, gari

b)   Maembe, fenesi, nanasi, chungwa

c)    Sketi, kaptula, suruali, shati

d)   Ng’ombe, mbuzi, kondoo, paka, 

e)    Kaka, mjomba, bibi, binamu.

SEHEMU D.

Andika sentensi zifuatazo katika hali ya wingi

  1. Mfuko huu ni mkubwa
  2. Meza hii ni safi
  3. Nyumba hii ni nzuri
  4. Kitabu hiki ni kidogo
  5. Jiwe hili ni kubwa

SEHEMU E.

Malizia methali zifuatazo;

  1. Mvumilifu…………………………………………………………………………………
  2. Kuuliza………………………………………………………………………………………
  3. Mwenda pole………………………………………………………………………………
  4. Siku za mwizi………………………………………………………………………………
  5. Akiba……………………………………………………………………………………………

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 2

OFFICE OF THE PRESIDENT MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

ENGLISH- TERMINAL EXAMINATION-MAY

STANDARD THREE

TIME: 1:00 HOUR

INSTRUCTIONS.

Answer all questions

SECTION A.

Look at the pictures below and write the name of each.

  1. C:wampwwwafricaimagespple.jpg………………………………………………

 

 

2. ……………………………

 

3. …………………………….

 

4. ……………………………………..

 

 

5. ……………………………………...

 

 

SECTION B.

In each of the following, name an insect that is described.

  1. An insect that makes a sweet liquid called honey……… ……………………………………………
  2. An insect that has beautifully colors and feeds on nectar from flowers………………………
  3. An insect that stays in anthill and are very many……………………………………………………..
  4. An insect is common at homes and spread diseases…………… ……………………………………
  5. An insect that transmits malaria………… …………………… ………………………………………………..

SECTION C.

Fill in the blanks below with the correct answer.

  1. My name is……………………………………………………..
  2. My mothers name is…………………………………………
  3. My father’s name is…………………………………………
  4. My sister’s name is…………………………………………..
  5. My brother’s name is………………… …………… ……………………………

SECTION D.

Fill in the blanks with the correct words

Juma……………………….up ealier in themorning.He brushes his teeth. He ………………………breakfast. He………………………………to school. He……………………football in the evening. He ………… …………….dinner.

 SECTION  E.

Fill in the blanks using words in the box.

 

 

  1. Please sister, ………………………..I eat a banana?
  2. Please…………………………………..may I come in?
  3. Please Juma,……………………borrow your pen?
  4. Please sir,…………………………….I go out?
  5. …………………………madam, may I sit with Juma?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 1

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256