?> EXAM SERIES EXAM
STANDARD SEVEN MIDTERM SERIES

OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA 

JARIBIO LA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024 

                         SOMO: URAIA NA MAADILI DARASA: VII 

SEHEMU A (ALAMA 20) 

1. Katika kipengele cha i-x chagua herufi ya jibu sahihi 

  1. Ofisa mtendaji wa kata ndiye mwakilishi wa mkurugenzi wa halmashauri katika ngazi ya kata. Je, hupatikanaje? A. kwa kuteuliwa na mkurugenzi B. kwa kuteuliwa na diwani C. kwa Kuchaguliwa na wenyeviti wa mitaa D. kwa kuchaguliwa miongoni mwa watendaji wa mitaa E.kuajiriwa na serikali [ ]
  2. Jambo lipi sio huduma inayoweza kutolewa kwa watu wenye mahitaji maalum? A. uadilifu B. msaada wa kisheria C. makazi D. msaada wa kiafya E. ushauri [ ]
  3. Migogoro na mapigano katika jamii ni athari zinazosababishwa na nini? A. kukosekana kwa wasomi B. mahusiano mabaya C. kuwepo kwa matajiri D. ukame E. mafuriko [ ]
  4. Seleman ni mwanafunzi wa darasa la V katika shule ya msingi Mawazo, amebaini kuwepo kwa vitendo visivyofaa shuleni kwao. Utamshauri atumie njia ipi ili kufikisha taarifa au maoni kwa uongozi wa shule? A. mkutano wa wazazi B. sanduku la posta C. sanduku la maoni D. ubao wa matangazo E. aende kituo cha polisi [ ]
  5. Mtaa wa Kihodombi una barabara, zahanati pamoja na shule. Je, kwa jina moja tunaitaje? A. miundombinu ya serikali B. mali za Rais C. miundombinu ya jamii D. rasilimali E. majengo ya umma
  6. Mwongozo unaohusu mbinu za kupanga mipango ya maendeleo ya shule hutumiwa na nani? A. serikali ya mtaa B. uongozi wa shule C. wazazi na walezi D. mwalimu mkuu E. kamati ya shule [ ]
  7. Mkurugenzi wa halmashauri ana majukumu yafuatayo isipokuwa;- A. kusimamia shughuli zote za maendeleo katika halmashauri B. kusimamia shughuli za uchaguzi mkuu katika eneo lake C. kuwa katibu wa vikao vya baraza la madiwani D. kuwasimamia wakuu wa idara katika halmashauri E. kuwawakilisha wananchi katika vikao vya halmashauri [ ]
  8. Ni kwa namna gani mwanafunzi anaweza kupata ufafanuzi wa jambo linalomtatiza wakati wa vipindi darasani? A. kusoma kwa bidii B. kusikiliza upya C. kuandika nukuu za somo D. kuuliza maswali E. kuwasilisha maoni [ ]
  9. Wavuti ambapo watu huujumuishwa pamoja na kutumiana ujumbe au kuwa na nijadala kupitia simu za mkononi au kompyuta huitwaje? A. TEHAMA B. mawasiliano C. mitandao ya kijamii D. uwajibikaji E. teknolojia [ ]
  10. Shule inamahitaji mbalimbali, lipi kati ya haya yafuatayo si miongoni mwa mahitaji ya shule? A. chakula B. fedha C. ardhi D. watoto wa matajiri E. maji [ ]

2. Oanisha kipengele kutoka sehemu A na kipengele kutoka sehemu B ii kupata maana sahihi, kisha andika herufi ya jibu sahihi. 

3. Tumia maneno uliyopewa katika kisanduku cha maneno kujibu kipengele cha i-v 

Kiranja mkuu, uwajibikaji, 114, udadisi, mwanasheria mkuu, uvumilivu, 113,ustahimilivu, ubishi  

  1. Kim ana tabia ya kuhoji kila kitu wakati wa kujifunza darasani au nje ya darasa
  2. Kiongozi anayepatikana kwa njia ya kidemokrasia 
  3. Namba inayotumika kutoa taarifa kwa jeshi la Zimamoto pindi janga la moto linapotokea 
  4. Hayati Lowasa alijiuzulu nafasi ya Waziri mkuu kutokana na kashfa ya kampuni ya Richmond
  5. Manka ni kijana anayeweza kuhimili mambo mazito bila ya kulalamika. Kwa maneno mengine tungeweza kusema Manka ana tabia ipi? 

SEHEMU B (ALAMA 20) 

4. Umepewa vipengele vya mpangokazi wa kujitolea, tumia herufi A-E kuzipanga sentensi hizo kwa kuzingatia mpangilio wa vipengele hivyo. 

A. Malengo B. Muda C. Mahitaji D. Utekelezaji E. Tathmini 

  1. Miche ya matunda na kivuli, samadi na majembe 
  2. Je, miche na maua yaliyopandwa imetunzwa vyema?
  3. Kuboresha mazingira ya shule yetu.
  4. Wanafunzi kuandaa maeneo kwa ajili ya kupanda miti, kulima eneo hilo, kukusanya samadi, kupanda na kuimwagilia kila siku
  5. Kufikia mwezi Aprili shule yetu iwe na miti ya matunda na kivuli yakutosha

5. Katika kipengele cha i-v andika jibu lako kwa maelezo mafupi

  1. Mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa yamekuwa na changamoto mbalimbali. Zitaje tunu mbili za taifa ambazo zinaweza kutumiwa katika mapambano hayo. na 
  2. Ni muhimu kila shule kufanya vikao vya baraza la wanafunzi ili kuruhusu kila mwanafunzi kutoa maoni yake. Je,nani huwa mwenyekiti wa baraza la wanafunzi?
  3. Ikiwa wewe ni mwanafunzi wa darasa la VII ambaye umepata elimu ya Uraia na Maadili; ni nini utapaswa kufanya katika matukio haya?
  1. Unapowakosea wengine bila kujua 
  2. Unapokosewa na wengine kwa bahati mbaya 
  1. Utamsaidiaje mwanafunzi mwenzako mwenye tabia ya kugombana na rafiki zake?
  2. Tarehe 19.03.2021 Tanzania ilishuhudia kuandikwa historia mpya ya kuapishwa kwa Dr. Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuambiea;-
  1. Nini kilitokea na kupelekea Dr. Samia Suluhu Hassan kuapishwa na kuwa Rais?
  2. Ikiwa uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani hufanyika kila baada ya miaka mitano, je, ni lini Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi huo kama Rais aliyopo madarakani aliapishwa mwaka 2021?

SEHEMU C (ALAMA 10) 

6. Chunguza kwa makini picha ulizopewa kisha tumia picha hizo kujibu kipengele cha i-v 

  1. Picha hii inawakilisha baadhi ya vitu ambavyo hulitambulisha taifa letu kwa mataifa mengine. Je, kwa jina moja huitwaje?
  2. Ni alama ipi kati ya hizo hutumika kama mhuri wa nyaraka za serikali?
  3. Mwenge wa uhuru hukimbizwa nchi nzima kila mwaka kwa lengo la kukagua miradi yote inayotekelezwa na serikali. Je, kilele cha mbio za mwenge huo huwa ni tarehe ngapi?
  4. Ikiwa umeona shuleni kwenu bendera ya taifa inapepea nusu mlingoti;

a). Je, inakua inaashiria nini?  

b). Ni nani mwenye mamlaka ya kutoa tamko la bendera kupepea nusu mlingoti?  

v. Je, picha ya twiga huashiria uwepo wa nini nchini kwetu?  

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN URAIA EXAM SERIES 99

PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY EXAMINATION SERIES

NEW FORMAT BASED-STANDARD SEVEN EXAMINATION

SUBJECT: SOCIAL STUDIES

MID TERM -1 MARCH 2024

TIME: 1:40HR

Instructions: 

  1. This paper consists of three sections; A, B and C with a total of 8 questions
  2. All answers must be written in blue or black ink.
  3. Remember to write your name and other particulars in the given spaces.
  4. Answer all questions according to the instructions in each section.
  5. Keep your work neat and smart.
  6. Cellular phones, tablets and calculators are not allowed in the examination room.

 

SECTION A: (20 marks) 

  1. Choose the correct answer from the given alternatives and write its letter in the space provided (15 marks)
  1. Kazi bila malipo was told to record the amount of rainfall in Chawote village that was received on Thursday. He used a rain gauge so as to get the actual readings. At What height did he place the rain gauge for the recordings? A.30m B.20cm C.30km D.30cm E.20m [ ]
  2. A certain element of weather which comprise a mass of small water droplets or ice crystals floating in the sky as well as protecting living things from intense sunrays during the day is known as A.ozone B.mesosphere C.temperature D.clouds E.umbrella [ ]
  3. Clouds can be measured by using a special camera mounted on satellites moving around the sky or by optical estimation using our eyes. In which unit are clouds measured? A.millibars B.degrees of Celsius C.oktas D.percentage E.km/ hr [ ]
  4. Weather is the daily atmospheric condition of a particular place recorded at a given period of time. Weather elements are recorded and measured in different units. Which instruments are kept in the Stevenson screen? A.rain gauge B.thermometers C.barometers D.hygrometer E.nephology
  5. v.Since drought is a hazard which occurs gradually, farmers livestock keepers and other stakeholders can prepare and respond to drought through strategies such as A.selling all animals before the calamity occurs B.preparing response plans to deal with drought C.auctioning campaign D.not engaging in agricultural activities E.living in exile [ ]
  6. The occurrence of drought can cause damage to people, livestock and crops as the impacts of drought tend to be more severe due to climate change. The following are side effects of drought EXCEPT: A.movement of wild animals to human settlements searching for pasture and water B.increased conflicts between farmers and pastoralists C.drying up of water sources D.loss of income by farmers and the government E.flourishing in vegetation cover [ ]
  7. Rivers have various significances as far as generation of Hydro Electric Power is concerned. In which river is the Hale dam found? A.Ruaha B.Rufiji C.Ruvuma D.Pangani E.Nile [ ]
  8. The environmental expert advised the villagers living along river Kyebazi on how to prevent water loss and soil erosion. Which pieces of advice were the villagers given? A.cultivation using terraces and proper irrigation farming B. planting forests and burning forests C.defforestation and feeding of cattle D.bathing and cooling of machines E.improper irrigation farming and use of terraces [ ]
  9. Gecko told Mr. Salamander to mention the minerals and regions where they are found in Tanzania. Which region did Mr. Salamander mention that ruby is found? A.Kagera B.Mara C.Morogoro D.Manyara E.Mbeya [ ]
  10. Mollel is a pastoralist who keeps a large number of animals on a small piece of land. Which term can be used to describe such an activity? A.Overgrazing B.overfeeding C.Boast D.overstocking E.normadic pastoralism [ ]
  11. .Punchmore was told to calculate the time of Mwanza city, f the time of Mombasa city was 12:00 noon. Which answer did she give to her classmates? [ ] A.12:00 pm B.12:00am C.6:00am D.12:00mid-day E.12:00mid night
  12. Mwendo wa bus primary school was taught about the imaginary lines which are drawn on maps. Which lines are drawn from the Western direction to the Eastern direction? [ ] A.latitudes B.equator C.longitudes D.international date line E.arctic circle
  13. An international date line is the line through which dates and days change. What happens if Kazibure crosses the international date line towards the West direction? A.decrease in a day and time B.increase in a day and time C.increase in a day and decrease in time D.decrease in a day and increase in time E.day and time remain constant [ ]
  14. Colonial trade was largely under the control of Indians and Arabs. Though there were also big trading corporations from Britain and America which opened branches in Tanganyika.Which company dealt with tobacco? A.BAT B.Smith Mackenzie C.WANELA D.SILABU E.NCU [ ]
  15. Heroes are people who are courageous and who have realized outstanding achievements in dealing with the social, economic and political challenges of their nations. Who among the following heroes do not correspond with their respective countries? A.Kwame Nkrumah -Ghana B.Augustino Neto -Angola C.Nelson Mandela - South Africa D.Jomo Kenyatta -Kenya E.Patrice Lumumba –MOZAMBIQUE [ ]

2. Match the following items in List A with the corresponding answers from List B (5 marks) 

LIST A

LIST B

  1.       a political system in which one country rules another country in association with colonialism whereby capitalist countries moved to other countries to exploit them. 
  2.     Struggling for something like when European powers struggled for colonies in Africa in the last quarter of the 19th century 
  3.   The Oman rulers shifted their capital from Muscat to Zanzibar under Sultan Seyyid Said. 
  4.   Arrival of Vasco da Gama to the Coast of East Africa 
  5.     Arrival of Barthromew Diaz to the Cape of Good Hope in South Africa 

 

  1. Scramble
  2. 1488
  3. 1498
  4. 1840
  5. Colonization
  6. Imperialism.

 

SECTION B: SHORT ANSWER QUESTIONS (20 MARKS) 

3.Fill in the blanks (@2marks) 

  1. Standard six pupils were discussing a certain element of weather which consists of a mass of small water droplets or ice crystals floating in the sky. They added on by saying that it plays an important role in determining the weather condition which is likely to occur in a particular area. Which element of weather was being discussed?
  2. After the assassination of Edwardo Mondlane, Samora Machel took over the struggle for independence in Mozambique as the political party known as FRELIMO. Which political party opposed Machel's Mozambican government? 
  3. Records which are kept in the historical sites can include fossils of animals or humans, old buildings, old paintings and tools used by past or ancient human beings. In which district is the historical site famous for having the remains of the earliest agricultural irrigation systems in Tanzania found?

4. Complete the following statements by providing correct answers (@2marks) 

  1. The Arusha declaration of 1967 was about socialism and self-reliance for the sake of Tanzanians. Why was it given that name? 
  2. Youths are taught good behaviours, ethics laws and principles governing their respective societies. The teachings emphasize education and life skills, self-reliance, love and respect. All these teachings are done during  
  3. Tanzania has established and maintained good cooperation with other African countries in different aspects such as having ambassadors who represent the nation in other countries which we cooperate, as the president may also visit another country to resolve conflicts. Which type of cooperation is the writer talking about? 

 

5. Fill in the blanks (@2marks). 

  1. Traditions and customs in beliefs played a great role in pre-colonial societies as far as building beliefs and religious foundations were concerned. This was done by performing rituals led by elders or clan leaders. Which forest is one of the popular ritual sites in Njombe region?
  2. The Kagera war between Uganda and Tanzania seriously affected the country's economy. It forced Tanzania to spend large sums of money to fight against Amin, the president of Uganda. How long did the war last?  

6.Fill in the blanks (@2marks) 

  1. When I visited my grandmother at Walienda village, she narrated a story which she was one among the witnesses of the incident whereby she witnessed the occurrence of the Kagera earthquake that happened in 2016 and killed a lot of people and destruction of infrastructures like bridges and roads. Which type of historical information was that?
  2. Man discovered fire by skewering two dry sticks known as Ulindi and Uwimbombo during the middle stone age. Humans also improved to walk on two limbs as they continued hands to make, pick up and hold things as well as use tools. That period lasted from to years ago

SECTION C (10 MARKS) 

7.MAP READING, PHOTOGRAPH INTERPRETATION AND CALCULATIONS  

  1. The temperature of Dar es Salaam at sea level is 30°C, what will be the temperature of Mbeya with altitude 1500 metres above the sea level?
  2. Coastal areas are always warmer compared to highland areas. What could be the essence of this situation?  
  3.  (a) Name the diagram shown below.

      (b)  Which weather element is measured by the device in diagram?  

  1. Kasuku went to buy shoes to the shop but he was amazed to see boxes and pieces of newspapers put in the shoes. He decided to ask the seller about the importance of such things in shoes. Which answer do you think Kasuku was given by the seller?  
  2. If the map scale is 1:25000 and its distance is 15cm, what will be the actual ground distance? 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SOCIAL EXAM SERIES 98

PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY EXAMINATION SERIES

NEW FORMAT BASED-STANDARD SEVEN EXAMINATION

SUBJECT: SCIENCE AND TECHNOLOGY [

MID TERM -1 MARCH 2024

TIME: 1:40HR

Instructions: 

  1. This paper consists of three sections; A, B and C with a total of 8 questions
  2. All answers must be written in blue or black ink.
  3. Remember to write your name and other particulars in the given spaces.
  4. Answer all questions according to the instructions in each section.
  5. Keep your work neat and smart.
  6. Cellular phones, tablets and calculators are not allowed in the examination room.

SECTION A (20 MARKS)  

QUESTION No.1: 

Multiple choices (10 marks) 

Choose the most correct answer and write its letter in the spaces provided. 

  1. Industrial fertilizers are very important in agricultural sector. Which of the following fertilizers is not made from nitrogen? A. NPK B. KAN C. SA D.DAP E. CAN [ ]
  2. Both sickle cell anaemia and albinism are hereditary disorders. However, these two disorders differ in such a way that; A. albinism can cause death while sickle cell cannot B. albinism leads to haemophilia while sickle cell leads to blood deficiency C. sickle cell anaemia is a disease while albinism is not D. albinism is the not a disease while sickle cell is not. E. sickle cell anaemia can be treated while albinism cannot. [ ]
  3. Urethra is a thin tube that plays important roles in both urinary system and reproductive system of males. Which statement is not correct about urethra? A. it connects the urinary bladder to the testes B. it connects the sperm duct to the penis C. it passes out urine during urination and sperms during copulation. D. it is the outlet of the urinary bladder E. it connects the urinary bladder to the penis. [ ]
  4. The modern advancement in science and technology has led to the invention of different complex machines. Which of the following statements is correct about a machine with high level of efficiency? A. it has high velocity ratio with low mechanical advantage B. it has zero force of friction C. it is not lubricated D. its mechanical advantage is much higher than the velocity ratio E. its effort force is greater than its load force [ ]
  5. James is a good designer who makes and paints safety sign posts in town. If he made sign X for wear safe mask and sign Y for corrosive chemicals; which colour do you think, he used to paint sign X and Y respectively? A. blue and green B. red and blue C. blue and red D. green and blue E. blue and yellow. [ ]
  6. Acids are corrosive and have sour taste. Which of the following statements gives a good meaning of acid? A. it gives hydrogen negative ions when dissolved in water B. it changes a red litmus paper to blue C. it gives hydrogen positive ions when dissolved in water D. it reacts with HCl to form salt and water only E. it changes lemon into vinegar [ ]
  7. Force is a push or pull of an object. Its unit is Newton which is also similar to the unit of weight. Which of the following units has the same meaning to that of Newton? A. Kgm/s2 B. joule/sec C. newton/kg D.msKg E. Kgm3/s [ ]
  8. Maimuna experieces headache every morning. Her mother told her that it might be either caused by her overnight studies or malaria attack. Scientifically, how do we regard the mother’s opinions? A. experimentation B. problem identification C. formulating hypothesis D.data interpretation E. hypothesis rejection [ ]
  9.  “I am an energetic gas. I am the most abundant gas in the biogas.” I am made up of two types of elements which are and  A. carbon and oxygen B. sulphur and hydrogen C. hydrogen and oxygen D.carbon and hydrogen E. hydrogen and nitrogen [ ]
  10. The stomata to plants are as gills to fish. However, the lungs to humans are as  to birds. A lungs B. spiracles C.feathers D. skin E. nose [ ]

QUESTION No.2: Matching items (5 marks) Match the items from list A with the correspondents in list B and write its letter in the spaces provided. 

QUESTION No.3

Filling the blanks (5 marks) 

  1. The smallest part of matter is called atom while a small particle of liquid or gas is called
  2. Write the formula of the main product of photosynthesis apart from oxygen
  3. The decayed remains of living things are collectively known as organic matter. What is the percentage composition of organic matter in the soil?
  4. What prevents the users from getting electric shock when an appliance develops an electric shock?
  5. State the range of temperature favourable for decaying raw materials by bacteria in the digester.  

 

SECTION B (20 MARKS):  

Short answer questions QUESTION No.4: (6 marks) 

  1. In both Microsoft word and Microsoft excel, which command is used to convert the file format?
  2. In which feature of the email where the email users can find the unsent and incomplete messages?
  3. How do we call the application software that is used to search information from the webpage?  

QUESTION No.5: (6 marks) 

  1. Both AIDS and gonorrhea are sexually transmitted diseases. However, AIDS is caused by the virus called HIV while gonorrhea is caused by the bacteria called
  2. Which disease that if it is not controlled earlier can lead to the blocking of the urethra in males? 
  3. The blood cancer also called leukemia affects the body tissue responsible for production of which type of blood cells? 

QUESTION No.6: (8 marks)

  1. The blood circulatory system helps to regulate body temperature by distributing heat through the blood. Mention two parts of the body from which the heat is generated
  2. Electric circuit is a path along which the current flows. Which type of electric circuit in which too many electric appliances can reduce the amount of electric current?
  3. During the scientific project assigned to grade seven pupils, Magezi suggested to his friends to buy a device that can convert mechanical energy into electrical energy for their project. Which device do you think Magezi suggested?

SECTION C (10 MARKS)  

QUESTION No.7: (6 marks) 

  1. Calculate the voltage in a circuit with 8 ohms, 4 ohms and 0.5ohms arranged in series with an ammeter that reads 10 amperes.
  2. What will be the density of the wooden wood that has volume of 150cm3 and weight of 6N?
  3. Calculate the velocity ratio of the machine with efficiency of 25%, given that effort force is 60N and load force is 300N

QUESTION No.8: (4 marks) Observe the diagram below and answer the questions that follow. 

i. State the principle which is verified in the set up above. 

ii. What is the usefulness of the principle in (i) above in our daily lives? 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SCIENCE EXAM SERIES 97

OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA 

JARIBIO LA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024 

                         SOMO: SAYANSI NA TEKNLOJIA DARASA: VII 

SEHEMU A: ALAMA 20 

1. Chagua herufi ya jibu sahihi (alama 10) 

  1. Mfumo wa utoaji takamwili katika mwili wa binadamu umeundwa na ogani kuu nne. Ogani ipi inahusika na kuondoa sumu pamoja na kusaga vyakula vyenye mafuta na protini? A. meno B. figo C. ini D. mapafu E. ngozi ( )
  2. Viumbe hai wamegawanyika katika makundi makuu mawili ambayo ni mimea na wanyama. Je, ni sifa zipi zinahusu makundi yote hayo mawili kwa pamoja? A. ukuaji, respiresheni na fotosinthesisi B. mjongeo, uzaaji na transpiresheni C. respiresheni, uzaaji na ukuaji D. respiresheni, transpiresheni na ukuaji E. respiresheni na fotosinthesisi ( )
  3. Ni mmea upi kati ya hii ifuatayo unaweza kubadili naitrojeni na kuwa naitreti? A. mhindi B. maharage C. mpunga D. kahawa E. pamba ( )
  4. Baada ya kupata ajali ya pikipiki mwili wa Rahma umeshindwa kuwa katika hali ya msawazo ambapo humpelekea kuyumbayumba kama mlevi pindi atembeapo barabarani. Je, ni sehemu gani ya sikio lake imeathirika? A. koklea B. vifereji nusuduara C. neva za akustika D. ngoma ya sikio E. miatus ( )
  5. Sifa mojawapo ya mimea ni kutawanya mbegu zake baada ya kukomaa. Je, ni kwanini mimea hufanya hivyo? A. ili mbegu zichukuliwe na wanyama B. ili mbegu ziongeze virutubisho C. ili mimea iendelee kustawi vizuri D. ili kupunguza uzazi E. ili mbegu ziote haraka ( )
  6. Zuhura ana tatizo la kutokwa na vidonda mdomoni mara kwa mara. Je, unafikiri Zuhura ana ukosefu wa vitamini ipi? A. C B. K C. B1 D. B12 E. D ( )
  7. Walimu wa shule ya msingi Maendeleo wanahitaji mashine ya kielektroniki yenye uwezo wa kupokea, kuchakata, kuhifadhi na kutoa taarifa za maendeleo ya wanafunzi. Je, utawashauri wanunue nini? A. program jedwali B. runinga C. tarakilishi D. printa E. kisimbuzi ( )
  8. Ni sifa ipi ya wanyama katika kundi la amfibia inawatofautisha na ndege? A. kutaga mayai B. kuishi majini C. kuishi nchi kavu D. kuwa na damu moto E. kuwa na mifupa mifupi ( )
  9. Wanafunzi wa darasa la nne walijifunza vifaa mbalimbali vya teknolojia ya habari na mawasiliano. Je, ni kifaa kipi hupokea mawimbi ya sumakuumeme ya runinga kutoka kwenye satelaiti? A. runinga B. kisimbuzi C. dishi D. plagi E. waya
  10. Kuna aina kuu tano za alama za usalama ambazo hutofautishwa kwa mfumo wa rangi, maelekezo na sifa. Je, alama za onyo au tahadhari huwakilishwa kwa rangi ipi? A. bluu B. njano C. nyekundu D. kijani E. kijivu ( )

 2. Oanisha sehemu A na sehemu B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi (Alama 05)  

Sehemu A 

i. Mfumo wa utoaji takamwili 

ii. Kasoro katika mmeng’enyo wa chakula 

iii. Mrija wa manii, urethira na tezi za kopa 

iv. Sehemu ya ndani ya ngozi 

v. Mfumo wa fahamu 

Sehemu B 

A. Mfumo wa uzazi wa mwanamke 

B. Mishipa ya damu, tezijasho na tezi mafuta 

C. Ubongo, ugweuti na neva 

D. Kuhara na kutapika 

E. Ini, mapafu, figo na ngozi 

F. Mfumo wa uzazi wa mwanaume 

G. Kiungulia na vidonda vya tumbo 

3. Katika kipengele cha i-v jibu maswali kwa kujaza jibu sahihi kwa kuchagua kwenye kisanduku cha maneno uliyopewa. (Alama 05)  

Tarakilishi, kisukari, Mifupa, Moyo, Programu Andishi, Baruapepe, Programu Jedwali 

  1. Hakikisha umeweka kichwa cha ujumbe, funga akaunti yako baada ya kuitumia na kamwe usiruhusu kisakuzi kukumbuka nywila yako. Je, hayo ni mambo ya kuzingatia wakati wa kutumia nini? 
  2. Hitilafu katika tezi ya kongosho husababisha ugonjwa gani? 
  3. Wanafunzi wa darasa la saba waliulizwa swali kuhusiana na uchambuzi na uwasilishaji wa data zilizo katika namba. Je, swali hilo lilijikita katika kufafanua dhana gani?
  4. Asia alipopimwa na daktari iligundulika kuwa na tatizo katika uzalishaji wa chembehai za damu mwilini. Je, ni nini huhusika na utengenezaji wa chembehai za damu mwilini? 
  5. Start All programs Microsoft Office word 2016 = 

SEHEMU B : MAJIBU MAFUPI (ALAMA 20) Jibu maswali kwa kifupi 

4. 

  1. Ni rangi ipi hutokea kama zao la mpambano wa gesi ya kabonidioksidi na maji ya chokaa? 
  2. Baada ya panga kusahaulika nje asubuhi tulipoamka tuliona panga likiwa na kutu. Je, kutu ni matokeo ya mchanganyiko wa nini? 
  3. H + O2 Y. Je, herufi Y katika mlinganyo huu inawakilisha nini? 

5. 

  1. Kipindupindu ni miongoni mwa magonjwa yanayoenea kwa haraka sana. Je, viini vya ugonjwa wa kipindupindu huingia mwilini kwa kupitia njia ipi? 
  2. Kila jaribio la kisayansi lina hatua muhimu za kufuatwa. Itaje hatua ya mwisho ya jaribio la kisayansi.__
  3. Utabiri kuhusu chanzo cha tatizo linalotarajiwa kufanyiwa uchunguzi hujulikanaje?

6. 

  1. Hewa, chuma na maji ni vitu vinavyoweza kupitisha joto tofauti na plastiki. Je, ni kwanini plastiki haipitishi joto?  
  2. Katika kujifunza aina mbalimbali za vioo tuligundua ya kuwa viio vinavyotumika kwenye vyombo vya usafiri kama vile magari huonesha eneo kubwa na taswira zake ni wima. Je, hizo ni sifa ya aina gani ya kioo? 
  3. Tulipowasili kwenye maabara ya uchunguzi wa vimelea vya magonjwa mbalimbali tulikuta kifaa ambacho hutumika kuchunguza vimelea hivyo ambavyo kwa macho ya kawaida haviwezi kuonekana. Je, kifaa hicho kinaitwaje? 
  4. Tunashauriwa kutunza vyema sumaku ili ziweze kubaki na ubora wake wa awali. Taja vitendo viwili vinavyosababisha kusumakua sumaku.

SEHEMU C: PICHA, MICHORO NA DHANA MBALIMBALI ZA KISAYANSI (Alama 10) 7. Chunguza mchoro ufuatao kisha jibu kipengele cha i-iii 

  1. Katika mchoro huo hapo juu unaonesha kitendo gani kinachofanywa na mmea? 
  2. Je, kitendo hicho kinachooneshwa na mmea huo kisayansi huitwaje? 
  3. Unafikiri mmea huo umehifadhiwa sehemu yenye sifa ipi hadi uoneshe hali hiyo? 

8. Chunguza kwa makini alama za wanafunzi wa darasa la saba 

  1. Taja jina la programu unayohitaji kuitumia ili kukamilisha matokeo hayo? 
  2. Andika jina la seli lilipoandikwa jina la Anganile 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 96

PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY EXAMINATION SERIES

NEW FORMAT BASED-STANDARD SEVEN EXAMINATION

SUBJECT: MATHEMATICS

MID TERM -1 MARCH 2024

TIME: 1:40HR

Instructions: 

  1. This paper consists of three sections; A, B and C with a total of 8 questions
  2. All answers must be written in blue or black ink.
  3. Remember to write your name and other particulars in the given spaces.
  4. Answer all questions according to the instructions in each section.
  5. Keep your work neat and smart.
  6. Cellular phones, tablets and calculators are not allowed in the examination room.

 

SECTION A: ANSWER ALL QUESTIONS 10MARKS 

Solve the following questions by showing the clear methods and providing correct answers in the answer sheets provided. 

QUESTION No.1 (10 marks) 

  1. The pupils discussed to write a number in figures, if 6 was in tens,1 in Hundredths and 0 in thousandths. Which number did they write correctly?
  2. The letter group is codified by the number codes as shown below. Find out the serial number of the combination which represent the letter group FAQNK

  1. Calculate the difference between the total value of a number in thousands and the total value of the number in tens. Write your answer in words given that the number is 67063.
  2. The mathematics teacher asked his pupils to write the total value of digit 6 in 0.36. Which correct answer did the pupils write?
  3. A City has a population of 3905187 people. Write that number of population in words.
  4. Kaunji has 7605 timbers more than Pangiru, if Kaunji has 963652 timbers. Find the number of timbers owned by Pangiru
  5. Suppose that maize was planted on two over five of a farm and beans planted on three over eight of the farm.

(a) Which crops occupied the larger piece of land? 

(b) Find the portion occupied by beans in decimals 

  1. Naseeb wants to know how three thousand nine hundred and eighty can be written in Roman numerals. You as a standard seven pupil now give him the correct answer
  2. Jovine has eighty-five Pineapples while Komando has seventeen Pineapples. How many more Pineapples does Komando need from Jovine in order for both to have the same number of pineapples?
  3. Which number that when multiplied by 943, its answer becomes 529966?

 

SECTION B: (30MARKS)  

QUESTION No.2 (6 marks) 

  1. A piece of cloth was 37.5cm long. If it was cut into equal pieces each was three over two cm long. How many pieces were obtained?
  2. An electric device beeps after every 25 minutes while another device beeps after 45 minutes. If they beep together at 6:00am, at what time will they beep together again?
  3. What is the difference between the sum of all prime numbers and the sum of all even numbers which found between 31 and 50?
  4. What amount of text books can be shared equally by 24 girls and 36 girls?
  5. Dungamawe wrote four equivalent fractions of three over seven in figures correctly. Which fractions did he write?
  6. The average of Zwena in her subjects was 89.746 marks. Approximate her marks to nearest tenths

QUESTION No.3 (6 marks) 

  1. From the first eight multiples of 6. Find their average
  2. If "Q" is multiplied by itself the answer will be 93636.What is the value of Q?
  3. One hundred killograms of sugar were distributed to three families J,K and L in the following ways; J family got two over five of the whole share and K family got one - third of the remaining after J, while L family got the rest. Find K family's share

QUESTION No.4 (6 marks) 

  1. A football match lasted for 4/5 hours. How many football matches can be played in 24 hours? 
  2. Swaumu deposited 60000 shillings in a bank and got the interest of 6000 Shillings. If the bank offers the interest rate of 5% per year, for how long did her money stay in the bank?
  3. Pupils were given the question as follows: 12.45×0.6+(9.8-1.4)2 -164÷4+1.52 Which correct answer did they get? 

 

QUESTION No.5 (6 marks)

  1. Hamza walked a distance of 180m in 2minutes.Find his speed in km/h
  2. Find the area of a right angled triangle whose height is 8y centimeter and base is 5y centimeter
  3. The sum of four multiples of 25 is 450.Find the product of first number and fourth number

QUESTION No.6 (6 marks) 

  1. Calculate the quarter of the half capacity of the tank with total volume of 1800 litres. Write your answer in cubic centimetres.
  2. Divide 26kg 84g 61cg by 3
  3. Teacher Ndumbalu drew the figure below on the board and told the pupils to find the value of W. If the whole class failed to get the correct answer. You as an expert of geometry, find the correct value of W

SECTION C: ANSWER ALL QUESTIONS 10MARKS 

 QUESTION No.7 (6 marks) 

  1. The following piece of metal has a hollow of diameter 28cm and height 40cm. Find the surface area of the piece of metal below

  1. Which of the area is larger between a square of length 10cm and a circle of radius 10 cm? By how much?
  2. How many triangles are there in regular octagon?

QUESTION No.8 (4 marks)

  1. Kibonzo family keeps three types of chicken namely Local chickens, Broilers and Layers. All chickens are fed with one type of food. The amount of food to feed each type of chicken in one day is as shown in the following table below;

 

 (a)Use a pie chart to represent the information above (b)Find the difference in degrees between the amount of food for local chickens and layers. 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN HISABATI EXAM SERIES 95

OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA 

JARIBIO LA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024 

                         SOMO: MAARIFA YA JAMII NA STADI ZA KAZI DARASA: VII 

SEHEMU A (ALAMA 20) 

  1. Chagua jibu sahihi na kisha uandike herufi ya jibu sahihi hilo katika nafasi uliyopewa Mpenja ni mjasiliamali ambaye ameajiri watu nane katika shughuli zake. Je, yupo katika kundi gani la ujasiriamali? A. mdogomdogo B. kati C. mkubwa D. wastani E. mdogo [ ]
  2. Wanafunzi wa darasa la sita walijifunza kuhusu mistari ya kufikirika inayochorwa katika ramani. Je, ni mistari ipi huchorwa kutoka upande wa magharibi kuelekea mashariki? A. mstarihi B. kontua C. longitudo D. Ikweta E. latitudo [ ]
  3. Ni kwa jinsi gani Misri na Zanzibar zilipata uhuru wake? A. vita vya msituni B. katiba C. mapinduzi C. mapinduzi na vita D. Mapinduzi na vita E. katiba na vita [ ]
  4. Kwanini ni muhimu kuwa na wimbo wa shule? `A. hukuza vipaji B. huenzi utamaduni wa taifa C. huleta uzalendo katika shule D. ni utambulisho wa shule E. utambulisho wa wazazi na walezi [ ]
  5. Katika kujifunza stadi za ramani, wanafunzi wengi walishindwa namna ya kuanza kusoma mistari ya gridi. Je, ni kwa namna gani mistari ya gridi huanza kusomwa? A. mistari ya ulalo halafu latitudo B. mistari ya ulalo halafu wima C. mistari ya latitudo halafu longitudo D. mistari ya ulalo tu E. mistari ya wima halafu ulalo [ ]
  6. Ni kiongozi yupi kati ya hawa wafuatao aliongoza serikali dhalimu ya makaburu nchini Afrika Kusini mwaka 1989 – 1994? A. Nelson Mandela B. Keneth Kaunda C. Idd Amin D. De Clerk E. Desmond Tutu [ ]
  7. Bunge lina viongozi mbalimbali. Yupi kati ya wafuatao ni kiongozi wa sekretarieti ya bunge? A. Waziri Mkuu B. Spika C. Katibu Kiongozi D. Kiongozi wa upinzani E. Katibu wa bunge [ ]
  8. Wanafunzi walitakiwa kumtaja kiongozi ambaye huhakikisha kuwa shughuli za kila siku shuleni zinatekelezwa, lipi lilikuwa ni jibu sahihi? A. mwalimu wa zamu B. mwenyekiti wa kamati ya shule C. mwalimu mkuu D. kaka na dada mkuu E. mwalimu wa darasa [ ]
  9. Lipi kati ya matukio yafuatayo lilitokea Ulaya kati ya karne ya 18 na 19? A. kuzuka kwa ugonjwa wa ebola B. uvamizi katika nchi za kiafrika C. kukua kwa mapinduzi ya viwanda D. kuzuka kwa vita kuu ya dunia E. Hitler kuitawala dunia [ ]
  10. Wafuatao ni wadudu waharibifu wanaopatikana nyumbani isipokuwa;- A. kunguni, panya na viroboto B. viroboto, nzi na mbu C. mbu, mende na kunguni D. mende, nzi na chawa E. chawa, viroboto na kunguni [ ]
  11. Ni katika tabianchi ipi kati ya zifuatazo ambapo hali ya joto hujitokeza katika miezi ya Juni, Septemba, Novemba na Aprili? A. tropiki B. jangwa C. Ikweta D. pwani E. nusu jangwa [ ]
  12. Katika mfumo wa jua, ni gimba lipi ambalo robotatu ya eneo lake limefunikwa na maji? A. Kausi B. Bahari C. Mirihi D. Zohari E. Dunia [ ]
  13. Majanga ya moto huweza kusababishwa na moto wa asili au shughuli za binadamu. Je, kipi ni chanzo kikubwa cha moto kwenye maeneo yenye misitu minene? A. urinaji wa asali B. uwindaji C. umeme wa radi D. milipuko ya radi E. uvutaji wa sigara [ ]
  14. Ni tukio lipi kati ya haya yafuatayo ni matokeo ya nguvu ya mvutano kati ya dunia na mwezi? A. kupatwa kwa mwezi B. kupatwa kwa dunia C. kupwa na kujaa kwa maji D. mwezi kukaa henamu E. dunia kujizungusha katika mhimili wake [ ]
  15. Kitendo cha kutekeleza wazo jipya kwa lengo la kutengeneza au kuboresha bidhaa au huduma huitwaje? A. ujasiriamali B. akili C. ubunifu D. usanii E. utundu [ ]

2. Katika swali hili umepewa sehemu A na Sehemu B. Oanisha sehemu hizo ili kupata maelezo yenye mantiki. 

Sehemu A

Sehemu B

  1. Tsunami
  1. Nguvu za asili na shughuli za binadamu
  1. Umeme wa radi na joto kali
  1. Moto wa asili
  1. Tetemeko la ardhi na mlipuko wa volikano
  1. Lava
  1. Athari za janga la moto
  1. Mawimbi makubwa ya bahari yanayosababishwa na tetemeko la ardhi la chini ya bahari
  1. Magma
  1. Aina za majanga

 

  1. Hewaukaa kuongezeka

 

  1. Miamba iliyoyeyuka kwa joto kali chini ya ardhi

 

SEHEMU B: (ALAMA 20) 

3. Mwishoni mwa mwaka 2023 wilaya ya Hanang iliyopo mkoani Manyara ilikumbwa na moja ya majanga ya asili ambalo lilipelekea kutokea kwa madhara mbalimbali.

  1. Je, ni janga gani liliikumba wilaya ya Hanang? 
  2. Taja madhara mawili yaliyosababishwa na janga hilo na 
  3. Bainisha njia mbili ambazo jamii inaweza kuzitumia kama tahadhari ili kuzuia kutokea kwa janga kama hilo na 

4. Maendeleo ya binadamu yamepitia katika vipindi mbalimbali ambavyo ni zama za mawe, zama za chuma na zama za teknolojia ya kisasa ya kidigitali. 

  1. Je, ni kitu gani huitambulisha zama husika?  
  2. Zama za mawe zimegawanyika katika zama za kale, za kati na za mwisho. Taja shughuli kuu mbili za kiuchumi ambazo binadamu alianza kuzifanya katika zama za mawe za mwisho. na 
  3. Katika zama za kati za mawe binadamu aliweza kusafiri na kuishi maeneo mbalimbali yenye baridi kali duniani; je, ni nini kilimwezesha kuweza kuishi maeneo hayo? 

5. Tabianchi ni wastani wa hali ya hewa ya eneo fulani iliyorekodiwa kwa kipindi kisichopungua miaka 30. 

  1. Kuna mambo makuu matatu yanayoathiri tabianchi,taja mambo mawili na 
  2. Ukataji wa miti na matumizi ya fueli za kisukuku huweza kusababisha ongezeko la kitu gani duniani? 

6. Kuanzia karne ya 20 Tanganyika iliwekwa chini ya utawala wa Kiingereza;- 

  1. Taja tukio kubwa la kihistoria ambalo lilitokea duniani na athari zake zikapelekea Tanganyika kuwa chini ya utawala wa Kiingereza 
  2. Bainisha aina ya utawala waliotumia Waingereza katika kuitawala Tanganyika 

SEHEMU C : ALAMA 10 

7. Chunguza jedwali ulilopewa likiwa linaonesha matukio ya kihistoria Tanzania kisha jibu maswali kipengele cha a-e 

  1. Taja angalau vifaa viwili vinavyoweza kutumika katika kukusanya taarifa za kihistoria  na 
  2. Wanahistoria hutumia vyanzo mbalimbali katika ukusanyaji na utunzaji wa kumbukumbu, taja angalau vyanzo viwili. na 
  3. Ikiwa umetembelea kijiji cha Makumbusho Dar es Salaam ili kujifunza zaidi kuhusiana na tukio la kihistoria lililotokea mwaka 1961, bainisha njia mbili utakazotumia katika kukusanya taarifa hizo.
  4. Ni sehemu gani ya makumbusho ambako zinapatikana kumbukumbu za hayati Julius K. Nyerere tu?
  5. Bainisha mataifa ambayo yalihusika katika tukio la kihistoria la mwaka 1978 – 1979.

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 94

MTIHANI WA MAJARIBIO DARASA LA SABA-MUUNDO MPYA

SOMO: KISWAHILI 

MACHI 2024 MUDA: SAA1:40

MAELEKEZO:

  1. Mtihani huu una sehemu A, B na C zenye maswali 6 yenye jumla ya vipengele 35.
  2. Tumia kalamu ya wino mweusi au bluu kujibia mtihani.
  3. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo katika kila kipengele.
  4. Zingatia usafi na mpangilio mzuri katika kazi yako.
  5.  Simu, vishikwambi na saa janja haviruhusiwi kwenye chumba cha mtihani.

 

SEHEMU: A (alama 20) 

  1. Sikiliza kwa makini hadithi utakayosomewa na msimamizi kisha jibu maswali yafuatayo kwa kuchagua herufi ya jibu lililo sahihi. (alama 5)
  1. Katika sherehe ziliundwa kamati mbalimbali ili kufanikisha sherehe hiyo. Kamati ya mazingira alihudumu nani? A. Panya B. Bundi C. Kipepeo D. Mjusi E. Nyuki [ ]
  2. Wanakamati wote walikuwa wanapatikana katika eneo wanaloishi lijulikanalo kama  A. Ukumbini B. Kwenye sherehe C. Harusini D.Darini E. Kamati [ ]
  3. Paka ,Panya, Bundi na Mjusi wote walikuwa katika kamati lakini chini ya uongozi wa nani kati yao? A. Paka B. Bundi C. Panya D. Mjusi E. Kipepeo [ ]
  4. Ukumbi ulipambwa kwa maua, nakshi na vito mbalimbali. Vito hutengenezwa kwa kutumia A. Maua B. Mapambo C. Madini D. Taa za rangi E. Urembo Urembo [ ]
  5. Wanakijiji walikuwa na shauku ya sherehe ya mwaka. Hii ilipelekea kuwa na maandalizi kabambe. Neno shauku limetumika likiwa na maana ya  A Pilikapilika B. Mshawasha C. Tahayari D. Kabambe E. Furaha [ ]
  1. Chagua na uandike herufi ya jibu sahihi katika sehemu ya kujibia. (alama 10)
  1. Matilda ni msichana mrembo. Urembo wake unawavutia watu wengi. Neno "Urembo" limetumika kama aina ipi ya neno? A. Kivumishi B. Kiwakilishi C. Kishirikishi D. Sifa E. Nomino. [ ]
  2. Maneno hufanana na hutofautiana kimaana. Je, neno lipi ni tofauti na mengine katika orodha ifuatayo? A Hondohondo B. Kwereakwerea C. Mkunguru D. Mumbi E. Tausi [ ]
  3. Hayati Lowasa aliwahi kusema "kutekeleza jambo kunahitaji vitendo, Tusiridhike na kutoa maelekezo tu. Maneno haya yanasadifiwa na methali ipi kati ya hizi? A. Mpanda hila huvuna ufukara B. Jumbe ni watu si kilemba C Mazoea huleta dharau D. Maagizo matupu hayahimizi kazi E Mvuvi ndiye ajuaye pweza alipo [ ]
  4. .Mwalimu alifoka kwa jazba na kusema , Kwanini mnachelewa kufika shuleni? "Je, sentensi hii ipo katika kauli ipi? A. Tata B. Halisi C. Taarifa D. Mazoea E. Isiyoeleweka
  5. Baba alituonya baada ya kuchelewa kurudi nyumbani kuwa mtu anapohusiana na mtu mbaya, huishia kuambukizwa ubaya huo. Methali ipi inashabihiana na maelezo ya baba? A. Haba na haba hujaza kibaba B. Mcheza na tope humrukia C. Kalamu mbili zilimshinda fisi D. Kiingiacho mdomoni si haramu E. Tabibu hazuii ajali [ ]
  6. ."Mtaamua kufagia au mtapiga deki?" Aliuliza Topasi. Je, sentensi hii iko katika nafsi ya ngapi? A. Wingi sana B. Pili wingi C. Tatu wingi D. Kwanza wingi E. Tatu umoja. [ ]
  7. Hapa utakapojengwa mnara mkubwa kwa ajili ya azimio la Elimu kwa vitendo. Neno lipi linakamilisha sentensi hii kwa usahihi? A. Ndiyo B. Ndo C. Ndiko D. Ndipo E. Ndimo [ ]
  8. Alifika kijijini na kuwajengea nyumba nzuri wazazi wake. Neno "kuwajengea" lipo katika kauli gani? A. kutenda B. kutendea C. Kutendeka D. Kutendwa E . Kutendeana [ ]
  9. Serikali imeendelea kuwashika mkono makundi mbalimbali ili yaweze kujikwamua kiuchumi. Shika mkono ina maana ya _____ A. Enda pamoja B. karibia C. Ongoza D. Toa msaada E. Fuatilia [ ]
  10. Mkuu wa mkoa ameendelea kuhimiza wananchi kuzingatia kanuni za afya ili kuepuka la Ebola A. ugonjwa B bala C. baa D. shida E maambukizi [ ]
  1. Oanisha Sehemu A na sehemu B ili kukamilisha maana kwa kuandika herufi ya jibu sahihi kutoka kifungu B katika sehemu ya kujibia. (alama 5)

SEHEMU: B (alama 20) 4.

Panga sentensi zifuatazo kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E ili zilete mtiririko mzuri. (alama 10) 

  1. Wanyama pori ni nyara za serikali [ ]
  2. Hivyo ni jukumu la kila mmoja kulinda rasilimali hii [ ]
  3. Msasi mmoja huuza meno hayo kwa wafanyabiashara waovu [ ]
  4. Ndovu ni miongoni mwa wanyama pori maarufu [ ]
  5. Watu wengi wamewaua tembo na kuchukua meno yao [ ]

 

5. Soma habari ifuatayo kwa umakini kisha jibu maswali yanayofuata (alama 10) Kenebegi alichukua rununu ya mama yake akiwa na nia ya kutafuta michezo mbalimbali. Akiwa katika kutafuta njia ya kuweza kuingiza nywila mara kadhaa bila mafanikio, Mama yake alimkuta na kustaajabu huku akiuliza "Ni nani kakuruhusu kuchezea rununu yangu?". Rununu hii ndio chanzo cha mapato kwa kufanya huduma mbalimbali, si vema kuichezea bila kibali changu. Kenebegi Mponjoli alimwangukia mama yake na kuahidi hatorudia tena. 

MASWALI 

  1. Baba yake na Kenebegi aliitwa nani? 
  2. Kenebegi alishindwa kuingiza nywila na kuendelea na matumizi. Neno nywila lina maana ya 
  3. Mama yake Kenebegi hutumia rununu kama nini?
  4. Rununu ni Kisawe cha
  5. Habari hii ina aya ngapi? 

SEHEMU: C (alama 10) 

6.Andika mambo matano yaliyokosekana katika barua hii

Afisa Kilimo wa Wilaya, (i)  Mvomero 3/04/2022 

(ii)  (iii)  Ndugu, YAH: KUPOKEA MBOLEA  Tafadhari rejea mada tajwa hapo juu. Tumefanikiwa kupokea mbolea mifuko 300 (mia tatu) Wakulima wamefanikiwa kupata mifuko ya mbolea kwa wakati na watafuata maelekezo ya wataalamu. Tunashukuru kwa ushirikiano (iv)  (v)  

 

 

HABARI 

Siku moja katika kijiji cha Darini kulikuwa na pilikapilika za hapa na pale. Wanakijiji walikuwa na shauku ya sherehe ya mwaka. Shauku ilichochewa na maandalizi kabambe yaliyofanywa kwa kuunda kamati mbalimbali. Kiongozi mkuu aliitwa bundi, alimteua Paka mkuu wa kamati ya vinywaji, Panya alipewa kazi ya kuhakikisha mazingira yote yanakuwa safi. Mjusi alikuwa muandaaji wa vyakula vya sherehe. Kamati ya mapambo iliyokuwa chini ya uongozi wa kipepeo iliupamba ukumbi kwa maua, nakshi na vito mbalimbali. Kila aliyefika ukumbini aligawiwa vinywaji avipendavyo na chakula akitakacho Ama kweli sherehe ilifana.

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 93

OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA 

JARIBIO LA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024 

                         SOMO: KISWAHILI DARASA: VII 

SEHEMU A (ALAMA 20) 

  1. Sikiliza kwa makini habari utakayosomewa na msimamizi wako kisha jibu kipengele cha i-v kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi
  1. Kwa mujibu wa habari uliyosikiliza nini maana ya maisha? A. Maisha ni silaha B. Maisha ni vita C. Maisha ni uhai D. Maisha ni kuishi E. Maisha ni kusoma [ ]
  2. Kwanini mwanafunzi upo shuleni? A. ili kupambana B. ili kunoa silaha C. ili ukue vyema D. ili uweze kujua maana ya maisha E. ili kucheza na wenzako [ ]
  3. Ni wapi mtu huweza kujifunza maana ya maisha? A. shuleni B. chuoni C. hakuna sehemu yoyote D. chuoni na shuleni E. kanisani [ ]
  4. Ikiwa mtu anatamani kuwa na nyumba,gari au mali yampasa kufanya nini? A. kuishi B. kwenda shule C. kuhamia mjini D. kuanzisha biashara E. kupambana [ ]
  5. Kwanini mnasisitizwa kutumia vyema muda wenu muwapo shuleni? A. ili kufaulu vyema B. ili kuepuka maisha C. ili kuyashinda maisha D. ili kutojuta baadaye E. ili kukua vyema
  1. Chagua jibu sahihi na kisha uandike herufi ya jibu sahihi hilo katika sehemu ya kujibia.
  1. Walifanya kazi ile bega kwa bega hadi ilipokamilika. Nahau “bega kwa bega” inafafanuliwa na kifungu kipi cha maneno? A. kujituma sana B. walishirikiana kwa pamoja C. walitumia nguvu nyingi D. walifanya kwa uzalendo E. walitumia maarifa sana [ ]
  2. Nahau ipi yenye maana ya “kuzama au kuogelea majini?” A. piga maji B. zama maji C. piga mbizi D. piga kumbo E. piga zengwe [ ]
  3. “Utakapowasili hapa utahutubia wananchi”. Mzungumzaji ametumia nafsi gani kati ya hizi? A. nafsi ya pili umoja B. nafsi ya kwanza wingi C. nafsi ya kwanza umoja D. nafsi ya tatu umoja E. nafsi ya tatu wingi [ ]
  4.  “Yanga wamefuzu katika hatua ya mtoano”. Kauli hiyo inawakilisha nafsi ipi kati ya hizi zifuatazo? A. nafsi ya kwanza wingi B. nafsi ya pili wingi C. nafsi ya kwanza umoja D. nafsi ya tatu umoja E. nafsi ya tatu wingi [ ]
  5. “Aminata amefaulu mtihani”, mwalimu alisema. Hiyo ni aina gani ya kauli kati ya hizi zifuatazo? A. mazoezi B. halisi C. tata D. taarifa E. tendwa [ ]
  6.  “Juma anasoma ingawa Neema anacheza”. Neno “ingawa” ni aina gani ya neno? A. kitenzi B. kihisishi C. kiiunganishi D. kielezi E. kiwakilishi [ ]
  7. Rehema _____mama yake Mary. Neno linalokamilisha sentensi hii ni lipi? A. siyo B. sio C. sie D. siye E. si [ ]
  8. Hapa ____alipozikwa hayati Ali Hassan Mwinyi. A. ndiko B. ndimo C. nipo D. ndipo E. ndicho [ ]
  9.  “Sitakubali kuondoka”. Neno “sitakubali” liko katika hali gani? A. ukanushi B. mazoea C. timilifu D. endelevu E. halisi [ ]
  10.  “Damu ni nzito kuliko maji”. Methali hii inahusiana na ipi kati ya hizi zifuatazo? A. mchumia juani hulia kivulini B. penye nia pana njia C. mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe D. mbio za sakafuni huishia ukingoni E. baada ya dhiki faraja [ ]

3. Katika sehemu hii oanisha methali zinazofanana kutoka sehemu A na B kwa kuandika herufi va jibu sahihi 

 

SEHEMU B (ALAMA 20) 

4. Katika sehemu hii kamilisha sentensi kadri ulivyoulizwa kwenye kipengele husika 

  1. Meza, kabati, kiti na kitanda kwa neno moja huitwaje? 
  2. Abdalah alitapanya mali za urithi. Kinyume cha neno tapanya ni nini? 
  3. 3. Kazi ya Amina ni kijungujiko. Kazi ya kijungujiko ni kazi ya aina ipi? 
  4. Kitoto hiki kinacheza kitoto. Neno lililopigiwa mstari limetumika kama aina ipi ya maneno?
  5. Nashon hufanya kazi ya kuhifadhi na kuazimisha vitabu kwa wasomaji katika maktaba ya mkoa. Je, Nashon ni nani? 

5. Soma shairi lifuatalo kisha jibu maswali yanayofuata 

Kaitwa mahakamani, popo kujibu shitaka, 

Hakimu naye makini, hadhira shauku tua, 

Atakiwa abaini, kwa ulimi kutamka, 

Ajitetee bayana, ni mnyama au ndege 

Hakimu nashukuru, shitaka kunisomea, 

Hakimu nashukuru, shitaka kunisomea, 

Sina jadi na kunguru, ila na pundamilia, 

Mimi ni mnyama huru, amini ninakwambia, 

Tukidaiwa ushuru, kwa Wanyama nalipia. 

Ni kweli popo napaa, na mabawa nimepata, 

Lakini mimi nazaa, hilo halina utata, 

Nazaa na kunyonyesha, sina undugu na bata 

Wale wanaopotosha , niwaonyeshe matiti. 

Maswali 

  1. Ni sababu ipi inayomfanya popo akatae ya kuwa yeye si ndege? 
  2.  Mstari wa mwisho katika kila ubeti wa shairi huitwaje? 
  3. Katika ubeti wa pili popo anasema, “sina jadi na kunguru”, usemi “sina jadi” una maana gani?
  4. Kutokana na shairi hili, unadhani ni tuhuma gani zilikua zinamkabili popo?  v.
  5. “Hakimu makini, hadhira shauku tua”. Unaelewa nini kuhusiana na neno hadhira?

 

SEHEMU C : UTUNGAJI (ALAMA 10) 

Ichunguze barua rasmi ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata;- 

Shule ya Msingi 

Ugele, 

S.L.P. 165, 

RINGO 

Tafadhali husika na barua hii. Mimi ni mwanafunzi wa darasa la saba katika shule yako. Ninaomba ruhusa ya kushiriki mashindano ya kanda ambayo yatafanyikia katika uwanja wa Samora siku ya Alhamis. Mashindano hayo yataanza mnamo saa 2:00 asubuhi na kuhitimishwa saa 8:30 mchana. Ahsante 

6. Baada ya kukamilisha kuiandika barua hiyo Lashack aliambiwa na mwalimu wake kuwa barua yake ina mapungufu mengi na kuifanya ikose sifa za kuitwa barua rasmi. Taja vipengele vitano vinavyokosekana katika barua hii. 

i. 

ii. 

iii. 

iv.

 v. 

 

Maisha ni vita daima. Wewe ni bunduki. Akili, juhudi na maarifa ndizo risasi ambazo kila binadamu ametunukiwa na Mungu. Kila mmoja alipewa silaha hizo kwa kuwa aliyetuumba alitaka tukapambane vilivyo. Inaaminika hakuna cha bure katika dunia hii. Unataka mali? Unataka gari? Unataka nyumba nzuri? Basi pambana vilivyo. Mwanafunzi upo shuleni ili kunoa silaha zako vyema. Tumieni vyema muda wenu shuleni kwa kusoma ili msijejuta mtapokuja kutana na maisha. Hakuna chuo au shule utakayoenda kusomea maana ya maisha. Ila maisha utakutana nayo kadri unavyoishi. Ukizubaa maisha yatakufundisha maana ya maisha. Ukikubali kufundishwa maana ya Maisha na Maisha basi jua ya kuwa umekwisha. Huna jeuri tena! 

Maisha ni vita daima. Wewe ni bunduki. Akili, juhudi na maarifa ndizo risasi ambazo kila binadamu ametunukiwa na Mungu. Kila mmoja alipewa silaha hizo kwa kuwa aliyetuumba alitaka tukapambane vilivyo. Inaaminika hakuna cha bure katika dunia hii. Unataka mali? Unataka gari? Unataka nyumba nzuri? Basi pambana vilivyo. Mwanafunzi upo shuleni ili kunoa silaha zako vyema. Tumieni vyema muda wenu shuleni kwa kusoma ili msijejuta mtapokuja kutana na maisha. Hakuna chuo au shule utakayoenda kusomea maana ya maisha. Ila maisha utakutana nayo kadri unavyoishi. Ukizubaa maisha yatakufundisha maana ya maisha. Ukikubali kufundishwa maana ya Maisha na Maisha basi jua ya kuwa umekwisha. Huna jeuri tena! 

Maisha ni vita daima. Wewe ni bunduki. Akili, juhudi na maarifa ndizo risasi ambazo kila binadamu ametunukiwa na Mungu. Kila mmoja alipewa silaha hizo kwa kuwa aliyetuumba alitaka tukapambane vilivyo. Inaaminika hakuna cha bure katika dunia hii. Unataka mali? Unataka gari? Unataka nyumba nzuri? Basi pambana vilivyo. Mwanafunzi upo shuleni ili kunoa silaha zako vyema. Tumieni vyema muda wenu shuleni kwa kusoma ili msijejuta mtapokuja kutana na maisha. Hakuna chuo au shule utakayoenda kusomea maana ya maisha. Ila maisha utakutana nayo kadri unavyoishi. Ukizubaa maisha yatakufundisha maana ya Maisha. Ukikubali kufundishwa maana ya Maisha na Maisha basi jua ya kuwa umekwisha. Huna jeuri tena! 

Maisha ni vita daima. Wewe ni bunduki. Akili, juhudi na maarifa ndizo risasi ambazo kila binadamu ametunukiwa na Mungu. Kila mmoja alipewa silaha hizo kwa kuwa aliyetuumba alitaka tukapambane vilivyo. Inaaminika hakuna cha bure katika dunia hii. Unataka mali? Unataka gari? Unataka nyumba nzuri? Basi pambana vilivyo. Mwanafunzi upo shuleni ili kunoa silaha zako vyema. Tumieni vyema muda wenu shuleni kwa kusoma ili msijejuta mtapokuja kutana na maisha. Hakuna chuo au shule utakayoenda kusomea maana ya maisha. Ila maisha utakutana nayo kadri unavyoishi. Ukizubaa maisha yatakufundisha maana ya Maisha. Ukikubali kufundishwa maana ya Maisha na Maisha basi jua ya kuwa umekwisha. Huna jeuri tena! 

Maisha ni vita daima. Wewe ni bunduki. Akili, juhudi na maarifa ndizo risasi ambazo kila binadamu ametunukiwa na Mungu. Kila mmoja alipewa silaha hizo kwa kuwa aliyetuumba alitaka tukapambane vilivyo. Inaaminika hakuna cha bure katika dunia hii. Unataka mali? Unataka gari? Unataka nyumba nzuri? Basi pambana vilivyo. Mwanafunzi upo shuleni ili kunoa silaha zako vyema. Tumieni vyema muda wenu shuleni kwa kusoma ili msijejuta mtapokuja kutana na maisha. Hakuna chuo au shule utakayoenda kusomea maana ya maisha. Ila maisha utakutana nayo kadri unavyoishi. Ukizubaa maisha yatakufundisha maana ya Maisha. Ukikubali kufundishwa maana ya Maisha na Maisha basi jua ya kuwa umekwisha. Huna jeuri tena! 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 92

OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA 

JARIBIO LA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024 

SOMO: HISABATI DARASA: VII

SEHEMU A : MATENDO YA KIHISABATI (ALAMA 10) 

  1. Katika kipengele cha i-x, unatakiwa kulisoma swali na kujibu kadri ulivyoulizwa
  1. Bainisha thamani ya nafasi ya tarakimu 9 katika namba 694321
  2. Andika thamani ya tarakimu iliyopigiwa mstari katika namba 5432963
  3. Ipi kati ya sehemu , , , , na 12 7 6 ni sehemu guni?
  4. Ikiwa umeambiwa uzipange XV, XC, XLVII, CI, IV na XLIV kuanzia kubwa kwenda ndogo zaidi, upi utakuwa ni mpangilio wako sahihi?
  5. Wanafunzi saba walipewa vitabu na mwalimu wao wavipange kwa mpangilio ufuatao;- 3,11,19,27,_____,_____, 51. Je, nini jumla ya vitabu alivyopewa mwanafunzi wa tano na wa sita?
  6. Tafuta hisa ya 109.2 na 6
  7. Tafuta zao la 3 8  na ,
  8. Ikiwa umepewa namba 2.25, 25%, 3 4 na -15 uzipange kwa kuanzia namba ndogo hadi kubwa zaidi. Upi utakuwa mpangilio wako sahihi?
  9. Andika namba kubwa kuliko zote itokanayo na tarakimu zifuatazo;- 9,6,7,3,0,1
  10. Tunatambua ya kuwa mwakani utatakiwa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza. Uandike mwaka huo kwa namba za kirumi

SEHEMU B: MAFUMBO (alama 30) 

2. Kokotoa kwa umakini swali la i-vi kisha andika jibu lako katika karatasi ya kujibia(Alama 1kwa kila swali) 

  1. Mwaisa ana maembe 3603 na Mary ana maembe 1623. Nini tofauti ya idadi ya maembe hayo?
  2. Bashe ana miche 789851. je, aongezewe miche mingapi zaidi ili aweze kuwa na jumla ya miche 800000?
  3. Nini jumla ya thamani ya tarakimu 6 na 4 katika namba 5761349?
  4.  Mkulima alivuna magunia 56 ya mpunga. Ikiwa aliuza magunia yote kwa shilingi 1400000;- je, kila gunia aliuza kwa shilingi ngapi?
  5. Bwana Matikiti alikuwa na kamba yenye urefu wa meta 25 na alitakiwa apunguze meta 73 5 kutoka kwenye kamba hiyo. Je, alibakiwa na kamba yenye urefu gani?
  6. Kuna wiki na siku ngapi katika siku 90?
  1. Kokotoa kipengele cha i-iii kwa umakini (Alama 2 kwa kila swali)
  1. Wanafunzi watano walitakiwa kuorodhesha namba shufwa zilizopo kati ya 104 na 114. Unadhani ni namba zipi ziliorodheshwa kwa usahihi?
  2. Zuwena aliambiwa atafute zao litokanalo na namba tasa zilizopo kati ya 11 na 19, je, lipi lilikuwa jibu lake?
  3. Zubeda alipewa kazi ya kuorodhesha vigawe vya 7 vilivyopo kati ya 15 na 35, je, ipi ilikuwa ni orodha sahihi?
  1. Kokotoa kipengele i-iii kwa usahihi (Alama 2 kwa kila swali)
  1. Nunez alikuwa na shilingi 11,000 alizopewa na bibi yake. Ikiwa 35 ya fedha hiyo aliipoteza, alibakiwa na kiasi gani?
  2. Gawanya shilingi 27,000 kwa Oruma na Manara kwa uwiano wa 7 : 3. Je, Oruma atamzidi Manara kwa kiasi cha shilingi ngapi?
  3.  Lucy alitumia shilingi 5,600 kutuma maneno 60 kwa simu ya maandishi. Ikiwa maneno 30 ya mwanzo yalilipiwa shilingi 40 kwa kila neno. Ipi ilikuwa ni gharama ya maneno 30 yaliyobaki?
  1. Kokotoa kipengele i-iii kwa usahihi (Alama 2 kwa kila swali)
  1. Kata ya Mlandege ina jumla ya walimu 50. Iwapo walimu 12 wapo likizo. Nini asilimia ya walimu waliopo kazini?
  2. Semen alinunua simu kwa shilingi 250,000 na akaiuza kwa shilingi 190,000. Je, alipata hasara ya asilimia ngapi?
  3. Ikiwa umepewa 4% uibadili na kuwa sehemu, lipi litakuwa jibu lako?
  1. Kokotoa kipengele i-iii kwa usahihi (Alama 2 kwa kila swali)
  1. Urefu wa meza ya mwalimu ni sm. 186.134 na urefu wa meza ya mwanafunzi ni sm. 96.9675. Andika tofauti ya urefu wa meza hizo katika kiwango kimoja cha desimali.
  2. Ikiwa mvua ilianza kunyesha saa 2:45 asubuhi na kukoma kunyesha saa 5:00 asubuhi. Je, mvua hiyo ilinyesha kwa muda gani?
  3. Mazombe aliwasili katika uwanja wa ndege mnamo saa 6:25 usiku. Andika muda aliowasili bwana Mazombe katika mtindo wa saa 24

SEHEMU C: STADI ZA TAKWIMU NA MAUMBO (Alama 10) 

7.Chunguza mchoro ufuatao unaoonesha kiwango cha mauzo ya mazao katika soko la Mlandege kwa mwaka 2023 kisha jibu kipengele cha i -ii(Alama 2 kwa kila swali) 

  1. Ikiwa kg.300000 za ngano ziliuzwa kwa mwaka 2023, je, ni kilogramu ngapi za viazi ziliuzwa kwa mwaka huo?
  2. Je, mauzo ya ngano yalikuwa ni asilimia ngapi ya mauzo ya mazao yote?

8. Jibu kipengele cha i-iii kwa kukokotoa swali kama lilivyoulizwa 

i. Ikiwa umepewa umbo lifuatalo ambapo mzingo wake ni sm. 26, tafuta eneo lake. 

ii. Lifuatalo ni kasha la kuhifadhia chaki Tafuta ujazo wake 

iii. Tafuta eneo la mcheduara ufuatao ikiwa kimo chake ni m..21 (Tumia π = 22 7 ) 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN HISABATI EXAM SERIES 91

PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY EXAMINATION SERIES

NEW FORMAT BASED-STANDARD SEVEN EXAMINATION

SUBJECT: ENGLISH

MID TERM -1 MARCH 2024

TIME: 1:40HR

Instructions: 

  1. This paper consists of three sections; A, B and C with a total of 7 questions
  2. All answers must be written in blue or black ink.
  3. Remember to write your name and other particulars in the given spaces.
  4. Answer all questions according to the instructions in each section.
  5. Keep your work neat and smart.
  6. Cellular phones, tablets and calculators are not allowed in the examination room.

SECTION A (20 MARKS) 

1. Listen attentively the sentences read by the invigilator and then answer correctly the questions by writing the letters of the correct answers in the spaces provided. 

  1. When Manugwa went to call the doctor, he found that the doctor  A. was sleeping B. was busy C. was in the office D. was unavailable E. was in the ward [ ]
  2. Tick! Tock! Tick! Tock! According to the knowledge you have about English Language, what figure of speech are the mentioned words? A. personification B. hyperbole C. onomatopoeia D. metaphor E. metonymy [ ]
  3. Ng’aaa! Ng’aaa! Ng’aaa! Whose voice was this? A. Nyanjiga’s B. Manugwa’s C. Ambulance’s D. Clock’s E. child’s [ ] iv.Who is giving the story? A. Manugwa B. Nyanjiga C. The doctor D. Security guard E. Nyanjiga’s husband [ ]
  4. In which context did all these happen? A. hospital B. home C. Bidii security company D. at the gate E. doctor’s office [ ]

2. Choose the correct answers and write their letters in the spaces provided. 

  1. If the players hard, they would score some more goals. A. worked B. work C. had worked D. works E. will work [ ]
  2. After the serious inspection, the district commissioner commented, “None of the villagers unprohibited crops every year.” A. grow B. grows C. were growing D. did not grew E. have grown [ ]
  3. This old woman there since her childhood. A. lived B. lives C. has lived D. has been living E. live [ ]
  4. John has a full grown tree. Add a question tag. A. hasn’t he? B. has he? C. doesn’t he? D. don’t he? E. won’t he? [ ]
  5. The oxen busy cultivating the farms at present. A. were B. was C. is D. have E. are [ ]

3. Complete the given sentences (i)-(v) by wring the correct words given in the box. 

For, So, When, Than , Yet, Or, Nor, To 

  1. When Aisha was asked why did the clothes became wet when it rained, she answered that she had hardly returned home the rain started.
  2. My sister is tall, slim and beautiful she won the Miss Universe Title.
  3. The electricity was not stable the Tanzanian government launched the electrical train.
  4. At his time, he preferred modern dances tradition ones.
  5. We will not forget Ali Hassan Mwinyi, he helped us during difficult time.

4. Match the items in LIST A with those in LIST B correctly. 

 

SECTION B (20 MARKS)  

5. Fill in the blanks with the correct answers. 

  1. ……are the words that end with the same last sounds.
  2. ‘Minute’ and ‘ ’ are the words known as homographs for they differ only in pronunciation and meaning.
  3. Yesterday our English Language teacher taught us about  . He said that it involves comparison of dissimilar things without the use of conjunctions for example Magufuli was a lion. 
  4. Fish can be identified as a school but the ants can be identified as …………….
  5. Pronouns are very useful in any language. In English Language they take the position of a in the sentences for example Aisha is here. (she is here.)

6. Read the following poem and answer the questions that follow. 

Covered in sweat 

A hard working life 

Placed at their feet 

You reap what you sow 

Written in their hearts 

Servants of humanity 

Hope is their daily bread 

A prayer for all times 

Farming is the passion 

Not for the short-sighted 

Not for the weak at heart 

Not for the lazy 

Farmers are the guardians of hope 

Farmers are unsung heroes 

Fully armed With magazines of seeds 

  1. How many verses are in the second stanza?
  2. What lessons have you learnt from the poem?
  3. “Farmers are unsung heroes”. What figure of speech is this statement?
  4. Which stanza comes with the idea that farming is for strong people?
  5. Farming is a passion. What part of speech is the word ‘passion’?

SECTION C (10 MARKS) 

7. Re-arrange the following sentences to get a meaningful passage by giving the sentences numbers 1-5. 

  1. “I don’t want peace, I like problems always.” [ ]
  2. He likes stand-up comedy and he enjoys watching different comedians performing. [ ]
  3.  It was one man watching comedy on his mobile phone who made Dani to think why can’t this man call me there! [ ]
  4. Dani is a seven years old boy who lives Kibaha with his mom and sister. [ ]
  5. One day when he was in Mwendokasi, he heard the strange voice which drew his attention. [ ]

 

PASSAGE 

Tick! Tock! Tick! Tock! The clock was busy singing while Nyanjige was seriously crying for her pregnancy had reached nine months ready to deliver. Manugwa, the fifteen years girl who accompanied Nyanjige hospital had studied in the class about all signs for pregnant women who are ready to deliver. Manugwa ran quickly to call the doctor in the office unsuccessfully. The doctor had intentionally gone back home as he always does. This doctor used to escape the evening shift as when it reaches twelve o’clock mid-night, he used to leave and go back home. Manugwa went back to her sister and decided to help her by applying the skills she had learned from her Science and Technology teacher Mr. Kalikawe. When I was at the gate in my shirt written BIDII SECURITY COMPANY, I heard the strange voice ng’aa! ng’aa! ng’aa! ng’aa! it was the new born child. Every one praised Manugwa for her heroic decision. The following day the hospital leadership rewarded Manungwa and the doctor on duty was fired and became jobless. 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 90

PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY EXAMINATION SERIES

NEW FORMAT BASED-STANDARD SEVEN EXAMINATION

SUBJECT: CIVICS AND MORALS

MID TERM -1 MARCH 2024

TIME: 1:40HR

Instructions: 

  1. This paper consists of three sections; A, B and C with a total of 8 questions
  2. All answers must be written in blue or black ink.
  3. Remember to write your name and other particulars in the given spaces.
  4. Answer all questions according to the instructions in each section.
  5. Keep your work neat and smart.
  6. Cellular phones, tablets and calculators are not allowed in the examination room.

 

SECTION A: (20 marks) 

MULTIPLE CHOICES, MATCHING ITEMS AND FILLING IN THE GAPS 

  1. Choose the correct answer from the given alternatives and write its letter in the space provided (10 marks)
  1. We all know that the needy lack important necessities and they need support. Which among the following is not a good factor to consider when educating the community about the importance of helping the needy? A. Identifying ways of motivating the community to support the needy B. Understanding ways of caring and discomforting the needy C. Identifying kinds of services and comfort for them D. Identifying different groups of the needy in our community E. Understanding different kinds of needs for every needy groups [ ]
  2. Most of the African countries got their independence through various means. When did Tanzania start to officially use the name TANZANIA? A. 12th January,1964 B. 9th December,1961 C. 26th April,1965 D. 10th December,1964 E. 29th October,1964 [ ]
  3. Anthony felt to be oppressed by being charged or accused falsely before the court of law. How do we term that situation? A. Gender equality B. Equality C. Opportunistic judgement D. Malicious charge E. Court parole [ ]
  4. When the pupils were conducting cleanliness at school, Nusrat and Aina started to fight for a broom and thus caused injuries to each other. To whom should this case be brought? A. The head teacher B. The academic teacher C. The class teacher D. The discipline teacher E. All teachers [ ]
  5. What do we call as something that is given to a person or an organisation in order to help them? A. Charity B. Donation C. First aid D. Money E. Food [ ]
  6. Peace is a condition in which there's security and calm, and in which there is no war, conflicts or violence. Which among the following acts may ruin peace and security? [ ] A. Respecting the laws and regulations B. Respecting human rights C. Maintaining of good diplomatic relations with other nations D. Disregard to human rights and national resources E. Strengthening of democracy [ ]
  7. People say, "Work is the standard measure of someone's dignity". Which among the following acts do not value human dignity? A.Helping children to cross a busy road B. Helping the elderly to carry their luggage C. Helping parents and neighbours with domestic chores D. Abusing and despising the sick E. Keeping others' secrets [ ]
  8. Why should the youth be given the reproductive health education? A. So as to help them to become immatured B. It helps them to get accurate reproductive health education, control their feelings and emotions and make good decisions C. It helps them be good business men in the future D. It prepares youth to be unaccountable leaders and experts E. It facilitates easy transmission of diseases [ ]
  9. Which leader is the head of Parliament's servants and prepares the Parliament's schedules and sessions? A. The Speaker B. the Chief Executive Officer of the Parliament C. The Attorney General D. The Deputy Speaker E. The Prime Minister
  10. Which principle of democracy allows citizens to express their views on various aspects of social, political and economic development? [ ] A. Free and fair election B. Human rights C. Freedom of expression D. Peaceful demonstrations E. Freedom of assembly

2. Match the items below from LIST A to those of LIST B by writing the letter of the correct answers in the spaces provided. (5 marks) 

3. Fill in the blanks by proving correct answers in the given spaces. (5marks) 

  1. A sum of money or other inducement offered to someone in order to dishonestly persuade him or her to act in one's favour is termed as  
  2. implements the national plans and makes the country's development policies
  3. Which act controls and regulates communication networks in Tanzania and builds good relationships between the citizens and the government?
  4. What do we regard as a court parole in judicial system? 
  5. The emergency number for reporting corrupt practices in various areas

SECTION B: (20 marks) Completing the chart and short answer questions 

4. The flow chart below shows the structure of the government of United Republic of Tanzania, complete it correctly (i)-(iv) by writing the answers in the position box and complete the statement in question of roman (v) (10marks) 

(v) State on how the leader in (iv) is obtained;   

5. Use short answers to answer the questions from this part. (10 marks)

  1. Marrying or being married under 18 years of age is illegal according to our Constitution. What are the reasons for early marriage in Tanzania? (mention 2 reasons) (a)   (b)  
  2. After the appointment of the Prime Minister, he or she can not immediately start to discharge his or her activities. Which organ is supposed to approve him or her soon after being appointed by the President? 
  3. Currently Mr. Ali Idi Siwa is the Director General of Tanzania Intelligence and Security Services (TISS). Who appointed him to serve in that position?
  4. Define the terms 'voluntary action plan' as used in school development strategies.  ...................................................................................................................
  5. Swimena always pretends to have certain beliefs, attitudes or feelings but in fact she does not have them, sometimes she lies while she knows the truth and makes fake promises. What do we call her behaviour? 

 

SECTION C: (10 marks) 

6.Read the given map below and answer the questions that follow. (@2marks) 

  1. Which region uses, Mganda and Lizombe as the famous traditional dances? 
  2. Why are the people living in the region marked with letter M said to have protected their culture up to date in Tanzania? 
  3. What is the favourite traditional food of the popular tribe living in the region marked M?
  4. The  tribe is found in the region marked with letter P and its traditional dance is called Akasimbo or Enchuma.
  5. Which countries border with Tanzania to the Southern part?  

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN CIVICS EXAM SERIES 89

WIZARA YA ELIMU

MTIHANI WA I MAARIFA YA JAMII DARASA LA SABA. JAN, 2021

JINA LA MTAHINIWA:______________________________________________________________

SEHEMU:  A CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI ZAIDI NA UIANDIKE KATIKA KARATASI YAKO YA KUJIBIA.

  1. Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884 – 1885 uliitishwa na _____ A. Carl Peters B. Johann Krapf C. Henry Stanley D. Otto Von Bismark                                                                                                [    ]
  2. Tanganyika na Zanzibar ziliungana mwaka _____ A. 1961 B. 1962 C. 1977 D. 1964                   [    ]
  3. Ipi kati ya nchi zifuatazo ilipata uhuru kwa njia ya vita?_____ A. Ghana B. Tanganyika C. Msumbiji D. Zambia                                                                                                                                          [    ]
  4. Vita vya Majimaji vilipiganwa kati ya mwaka _____ A. 1908 – 1909 B. 1907 – 1905 C. 1905 – 1097 D. 1807 – 1905                                                                                                                                  [    ]
  5. Chama kilichokuwa kinapigania uhuru wa kweli Tanganyika ni _____ A. UTP B. ASP C. TANU D. TAO                                                                                                                                                   [    ]
  6. Rais wa kwanza wa chama cha TANU alikuwa _____ A. Julius K. Nyerere B. Nkwame Nkurumah C. Oscar Kambona D. Jomo Kenyatta                                                                                              [    ]
  7. Kiongozi wa Wahehe aliyepinga uvamizi wa Wajerumani nchini Tanganyika aliitwa _____ A. Mkwawa B. Gwasa C. Mtemi Isike D. Mangi Sina                                                                          [    ]
  8. Harakati za kudai uhuru kamili barani Afrika zilianza baada ya mwaka_____ A. 1945 B. 1961 C. 1884 D. 1960                                                                                                                                     [    ]
  9. Familia zenye asili moja huitwa _____ A. Ukoo B. Jamii C. Familia D. Ndugu                             [    ]
  10. Nchi zipi hazikutawaliwa na wakoloni barani Afrika?_____ A. Ethiopia na Liberia B. Liberia na Kenya C. Rwanda na Uganda D. Tanganyika na Liberia                                                                 [    ]
  11. Shirika la umoja wa mataifa linaloshughurikia wakimbizi linaitwa_____ A. UNICEF B. UNHCR C. FAO D. WHO                                                                                                                                   [    ]
  12. Chimbuko la Umoja wa nchi huru za Afrika (OAU) ilikuwa mnamo mwaka_____ A. 1967 B. 1963 C. 2002 D. 1977                                                                                                                                [    ]
  13. Jumuiya ya kwanza ya Afrika Mashariki ilivunjika mwaka_____ A. 1977 B. 1967 C. 1948 D. 1917                                    [   ]
  14. Nchi za kwanza kuanzisha uhusiano na Tanganyika wakati wa ukoloni ni _____ na _____ A. Kenya na Msumbiji B. Uganda na Rwanda C. China na Msumbiji D. Kenya na Uganda                          [    ]
  15. Baadhi ya vyombo muhimu vinavyosaidia kuendesha Jumuiya ya Afrika Mashariki ni _____ na _____ A. Bunge na Spika wa Bunge B. Bunge na Mahakama C. Mahakama na Majaji D. Soko la pamoja na ushuru wa forodha                                                                                                           [    ]
  16. Mojawapo ya shughuli zinazofanywa na binadamu zinaweza kuharibu mazingira ni _____ A. Uchimbaji wa madini B. ufugaji wa ndani C. Ukusanyaji takataka D. urejelezaji                           [    ]
  17. Kipimio kidogo cha ramani hutumika kuchorea_____ A. maeneo makubwa B. maeneo madogo C. maeneo ya kati D. maeneo madogo na ya kati                                                                                  [    ]
  18. Ni kitu gani muhimu katika ramani kinachotumika kutafsiri vitu vyote vilivyomo kwenye ramani? _____ A. Dira B. Ufunguo C. Kipimio D. Fremu                                                                             [    ]
  19. Yafuatayo ni majanga ya asili ispokuwa_____ A. onezeko la watu na tsunami B. kimbunga na mafuriko C. tetemeko la ardhi na mafuriko D.vita na njaa                                                               [    ]
  20. Majira ya mwaka hutokea kutokana na _____ A. kupatwa kwa mwezi B. mwezi kuizunguka dunia C. dunia kulizunguka jua D. kupatwa kwa jua                                                                                  [    ]
  21. Kupwa na kujaa kwa maji husababishwa na _____ A. dunia kuwa kati ya jua na mwezi B. kupatwa kwa jua C. uvutano kati ya mwezi na dunia D. kupatwa kwa mwezi                                               [    ]
  22. Mto Ruvuma upo upande gani mwa Tanzania? _____ A. Kusini B. Kaskazini C. Mashariki D. Magharibi                                                                                                                                          [    ]
  23. Haigrometa ni kifaa kinachotumika kupima _____ A. unyevu B. Jotoridi C. Mvua D. mwanga    [    ]
  24. Latitudo, mwinuko na umbali kutoka baharini ni mambo muhimu yanayoathiri _____ A. tabia ya nchi B. mfumo wa jua C. hali ya hewa D. mikondo ya bahari                                                         [    ]
  25. Kitu muhimu katika ramani kinachotumika kuonesha uwiano wa umbali katika ramani na umbali halisi kwenye ardhi huitwa _____ A. Kipimio B. Dira C. Ufunguo D. Fremu                                [    ]
  26. Nishati gani kati ya zifuatazo inaweza kusababisha uharibifu wa mazingira? _____ A. mkaa B. jua C. maji D. upepo                                                                                                                               [    ]
  27. Sherehe za mafunzo yanayotolewa kwa vijana wa kiume ili kuwa wanajamii bora ni _____ A. jando B. unyago C. semina D. skauti                                                                                                   [    ]
  28. Bomba la kusafirishia mafuta kutoka Dar es Salaam hadi Zambia linaitwa _____ A.TAZAMA B. TAZARA C. KAPIRIMPOSHI D.TANZANAITI                                                                           [    ]
  29. Miongoni mwa mashujaa wa Afrika waliopinga uvamizi ni _____ A. Agostino Neto, Kwame Nkurumah na Otto von Bismack B. Kwame Nkurumah, Isike, na Seyyid Said C.Otto von Bismack, Isike na Agostino Neto D. mfalme Menellik wa II, Msisiri na Mkwawa                                         [    ]
  30. Mkutano wa kuigawa Afrika ulifanyika katika nchi ya _____ A. Uingereza B. Marekani C. Ujerumani D. Ufaransa                                                                                                                     [    ]
  31. Vita ya kwanza ya dunia ilipiganwa kati ya mwaka _____na _____ A. 1939 -1945 B. 1905 – 1907 C. 1914 – 1918 D. 1884 – 1885                                                                                                    [    ]
  32. Sayari yenye viumbe hai ni _____ A. Sumbura B. Mihiri C. Zuhura D. Dunia                               [    ]
  33. Dunia hulizunguka jua kwa muda wa _____ A. saa 24 B. siku 300 C. Usiku na Mchana D. Siku 365.25 au 366                                                                                                                                    [    ]
  34. Mlima mrefu kuliko yote barani Afrika ni mlima _____ A. Meru B. Kilimanjaro C. Elgon D. Himalaya                                                                                                                                           [    ]
  35. Mgandamizo wa hewa katika mazingira hupimwa kwa chombo kinachoitwa _____ A. Anemometa B. Barometa C. Kipimaupepo D. Haigrometa                                                                                  [    ]

SEHEMU: B CHUNGUZA RAMANI IFUATAYO KISHA JIBU MASWALI

C:UsersKYAMBODocumentsmocks and assorted examsMap-of-East-Africa-showing-six-regions-of-the-EMBLEM-study-area.jpg

  1. Ziwa kubwa Tanganyika limeoneshwa kwa herufigani? _____
  2. Ziwa lenye kina kirefu limeoneshwa kwa herufi gani? _____
  3. Herufi G inaonesha nchi gani? _____
  4. Nchi ya Burundi imeoneshwa kwa herufi ipi? _____
  5. Bahari ya Hindi ipo upoande upi mwa ramani ya Afrika Mashariki? _____

SEHEMU: C JAZA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI

  1. Ni nchi gani ilikuwa ya kwanza kujipatia uhuru wake toka kwa wakoloni Barani Afrika _____
  2. Chama kilichoipatia uhuru nchi ya Msumbiji kinaitwa _____
  3. Shughuli ya uzalishaji mali ambayo imeajiri watu wengi kuliko shughuli nyingine Tanzania ni _____
  4. Mji mkuu wa nchi ya Tanzania unaitwa _____
  5.            Shirika la kimataifa linaloshughulikia watoto linaitwa _____

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 60

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

PRESIDENT’ S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

MID TERM I EXAMINATIONS

SCIENCE AND TECHNOLOGY

STANDARD SEVEN

Time 1:30 Hours

Pupil’s Name............................................................

Instructions

  1. This paper consists of section A and B with total of forty-five questions
  2. Answer all questions in each section
  3. For questions 1-40 put your choice in the box provided
  4. For question 41-45 write your answer by filling the spaces provided
  5. All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room

SECTION A (40 MARKS)

Choose the correct answer and shade its corresponding letter in the special answer sheet (OMR) provided 

1.The natural and the best food for new born child is ………..

(A)cow’s milk (B)nutritious milk (C)Mother’s milk (D)porridge (E)artificial milk 

2.James got a cut injury on his leg but unfortunately the bleeding prolongs for a long time without get to clot. What do you think is lacking in James blood which lead to the continuously bleeding?

(A)blood plasma (B)white blood cells (C)blood platelets (D)red blood cell €red pigments

3.Which software is used to protect, detect and prevent the virus in computer?

(A)Loop antenna (B)tool box (C)bar (D)antivirus (E)detector 

4.Jane entered her room and found her husband has fallen, due to an electric shock. Jane will help her husband by ……. (A)breathing in him a fresh air (B)give him clean drinking water (C)giving him milk (D)giving him shower (E)shaking him strongly

5.The part of the flower that attracts insects to come and help in pollination is ……..

(A)petal (B)stigma (C)sepal (D)stalk (E)pistil

6.If you observe a person who cut tree at a distance you will see the act of cutting before the sound of cutting. This is because………

(A)an axes is blunt (B)light travels more slowly than sound (C)sound travels more slowly than light

(D)the one who cuts the tree does so lazily (E)the job of cutting a tree is difficult

7. Mrs.Johari used a force of 10N to lift a load for height of 5metres. How much work did Mrs Johari do?

(A)100joules (B)20 Newton’s (C)50 joules (D)10 kilograms

8.Which part of human eye allows light to enter into eye? (A)retina (B)eyelids (C)lens (D)iris (E)pupils

9.Ashura has got twins who do not resemble. What happened in the womb?

(A)two oval were fertilizer by different male gametes (B) the fertilized oval got divided into two

(C)two oval were fertilized by one male gamete (D)two oval were fertilized by one male gamete

(E)three oval were fertilized by different male gametes 

10.Which one among the following organism is contribute greatly on environmental degradation?

(A)tree (B)cattle (C)crow (D)man (E)elephants 

11.Which of the following searches would find information on computer games?

(A)Computer games (B)game pads (C)Computer and games (D)games maker (E)computer CPU

12.In the human body there is 75% of ………… (A)fats (B)bone (C)water (D)blood (E)skin

13.Which part of digestive system is concerned with absorptions of water?

(A)larger intestine (B)pancreas (C)stomach (D)mouth (E)small intestine

14.Excessive carbon dioxide causes air pollution. Which is the appropriate way of removing it from the environment? (A)building more porous dams (B) keeping more animals (C) planting more trees (D)constructing high buildings (E)introduce more schools.

15.Animals which live both in water and on land are called

(A)reptiles (B)mammals (C)amphibians (D)fish (E)hippopotamus 

16.The part of a plant cell that contain the green pigment involved in making plant food is known as 

(A)photosynthesis (B)chlorophyll (C)tissue (D)nucleus (E)cell wall

17.Both a mango tree and a monkey can respire, loco mote, sense and move. Categorically, these things are grouped as (A)mankind (B)living things (C)movers (D)locomotion (E)items

18.Grade 7 pupils were taught about sustainable energy sources or alternative energy. They were told that these sources have little or no harmful effects on the environment and are renewable. Which of the following energy sources was not part of the lesson?

(A)sunlight (B)wind (C)petroleum (D)waterfalls (E)biogas

19.Calculate the amount of current flowing through a wire of resistance 20Ω, if the voltage is 4v.

(A)0.2A (B)0.5A (C)5A (D)2A (E)80A

20. Kidawa wanted to make ice cubes. She put some water in the freezer. After some 10 minutes, ice cubes had not been made. What could be reason for failure to have ice cubes in 10 minutes?

(A)The freezer freezes fast things first. Times for water cubes weren’t ready

(B)The freezer was just stubborn. (C)water used could have been contaminated 

(D)water temperature had not yet reached 0°C

(E)water temperature had not yet reached 100°C

21.Mbuni kept two ripe avocadoes in the basket. After three days, she found all avocadoes rotten. Which of the following changes in matter occurred to the avocadoes?

(A)normal change (B)physical change (C)chemical change (D)biological change €growth

22.Which computer program is used to protect a computer against harmful programmers? (A)growth (B)antivirus (C)Uninterruptible power supply (D)surge protector (E)wide area Network

23.Standard four pupils were asked to name examples of levers available in their environment. Which levers named among of the following represent only first-class lever?

(A)seesaw, wheelbarrow, broom (B)crowbar, seesaw, pair of scissors 

(C)hook, bottle opener, pair of scissors (D)broom, hook spade (E)spade, tongs, fishing rod

24.A child touched a hot frying pan and was seen crying thereafter since he was burnt. How did the child get burnt? (A)through radiation of heat (B)through light rays from the pan (C) through conduction of heat (D) through the process of convection (E)through heat cooling 

25.Which one is not a health principle among the following? (A)regular medical checkup (B)eating plenty of proteins (C) doing physical exercise (D) using safe and clean water (E)resting and sleeping 

26.Chausiku is in her form six vacation. Of recent, she experiences nausea, urinates frequently and her breasts have increased in size. Moreover, her menstruation stopped. What could have happened to Chausiku?              (A) second stage puberty (B) cancer disease (C) has urinary infections (D) could be pregnant (E) uses poor family planning methods

27.Depressed man, has a reduced thinking capacity and makes decisions quickly. Moreover, the same man has a general weakness of muscles and bones. What’s wrong with this man?

  1. He probably eats too much fats and oil foods
  2. He probably oversleeps yet he does manual work
  3. He could be using his body a lot during physical exercises
  4. It could be that he doesn’t do physical exercises at all
  5. His body systems, brain and muscles are not communicating.

28.Masumbuko improves his body immunity through using antiretroviral drugs and a balanced diet. How did he know that he is living with human immunodeficiency Virus

(A)loss of body weight (B)he had fever (C)abused drugs for a long time

(D)had unprotected sexual intercourse (E)he tested positive

29.People selling seedlings and flowers in Tanzania mostly use plastic water bottles, paint cans and other similar wastes. How do these people contribute to waste management?

(A)by selling their products (B)by recycling wastes (C)by reusing wastes (D)by employing others (E)by growing flowers

30.What is the advantage of measuring things using standard measuring tools among the following especially if different people measure the same thing? Results do not change (A)results do not change (B) it uses simple tools like jugs (C) no accuracy (D)any tool can do it (E) no skill is required

31.A child dropped some items in the first aid box which were not supposed to be part of this box. Abdul’s aunt told him to check the box and remove those items. Which items did Abdul remove among the following;

(A)pairs of scissors (B)rolls of cotton (C)pain killers (D)bottles of spirit (E)stapling pins

32.Epidemic diseases are communicable diseases that can spread rapidly and affect many people in a short time. These diseases include the following except 

(A)dengue fever (B)meningitis (C)Ebola (D)covid 19 (E)Tetanus

33.Electricity is so important but it should be utilized carefully. Devices used to protect our electric devices, circuits and buildings include the following except

(A)a fuse (B)earth wire (C)circuit breaker (D)ohmmeter (E)stabilizers

34.Which of the following is a use of water in its solid state?

(A)generating energy (B)domestic purposes (C) preparing food (D) making juice (E)preventing meat

35.What causes an object to move in a certain direction after a push or pull?

(A)weight (B)force (C)up thrust (D)gravitational (E)friction

36.The following five units were listed by a standard 6 pupil to show her father what she knows in science and technology. Which of them represents acceleration due to gravity? 

(A)g/cm3 (B)m/sec2 (C)joules (D)newton (E)kg

37.How are plasmodium parasites carried from one person to another?

  1. When many mosquitoes bite a person
  2. When culex mosquitoes bite human beings
  3. When human beings live with animals in the same house.
  4. When female anopheles mosquitoes bite person
  5. When tsetse flies bite human beings

38.My uncle’s blood was screened tasted and found that was infected with HIV which type of blood my uncle is required to mostly get? (A)maize and protein (B)fruits and vegetables (C)balance diet (D)vegetables and maize (E)mangoes and cassava 

39.Which is the smallest blood vessel in the blood circulatory system?

(A)arteries (B)vessels (C)veins (D)capillaries (E)aorta

40.The change of state of matter which involve the formation of vapour scientifically known as 

(A)sublimation (B)evaporation (C)deposition (D)condensation (E)transpiration 

 

SECTION B (10 Marks)

For questions 41 – 45, write your answer in the space provided in the special form (OMR) by using a blue or black ink pen.

41.When giving first aid to person burnt by hot liquids like tea or water, you need to cool the burn with clean cool water for about thirty minutes. What is the importance of this action?

42.Government workers around the capital city, need a computer connection which enable them ease their work. Which type of computer connection will you recommend them to use?

43.What is the best way of removing dust effect of sweating from our bodies? 

44.A doctor told Alex to stop eating too fast. He was also told to eat small amount of meals at regular intervals, and if possible, reduce the intake of beans and cold sweet potatoes. Which digestive problem did Alex have?

45.Health specialist insists that people should frequently perform exercises. Why is it important to adhere to this advice?  

1

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SCIENCE EXAM SERIES 47

PRESIDENT'S OFFICE 
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT 
MID TERM 1 EXAMINATION 
STANDARD SEVEN

ENGLISH

TIME: 1:30 HRS 

NAME_____________________________________SCHOOL_________________________

 

INSTRUCTIONS

  • This paper consists of 45 questions with sections A,B and C
  • Select the best alternative in question 1-40
  • For question 41-45 provide the best answer
  • Write full name on the blank space above together with the name of the school
  • Ensure your work is neat and legible.

SECTION A (36 Marks)

Listen carefully to the passage read by invigilator and then answer the questions that follow by shading the letter of correct answer in the special answer sheet (OMR) provided.

1.According to doctors, coffee is .....................

(A)Dangerous (B) Sweet (C)Poisonous (D)Not Dangerous (E)Bitter

2. We can improve to do well in manual work and .........................

(A) Work (B)Game (C)Drinking (D)Exercise (E)Sports 

3. Drinking too much coffee may cause health changes such as 

(A)Heart attack (B) Malaria (C) Stomach (D) Hunger (E) Blood pressure

4.People who live in cold areas drink coffee so as to make their bodies ...............

(A)Fat (B)Heavy (C)Light (D)Cured (E)Warm

5.Coffee growers should always no t feel....... despite the negative effects of drinking coffee

(A)Worst (B)Sad (C)Weak (D)Weak (E)Good

 

Choose the words that complete the sentences by shading the letter of the correct answer in the special answer sheet (OMR) provide 

6.Jerry, Alex and Frank ..... around the field which is found at Mlimani village.

(a)Jogging (b)jogs (c)jog (d)used to jogged (e)were jogging 

7. The field was large ...... to start games and sport  (a)as (b)so that (c)enough (d)in order to (e)that

8.We ........ much time to spend when we were at home during holiday 

(a)have (b)was (c)did (d(had (e) are 

9.His cow died ................... anthrax (a)of (b)for (c)from (d)with (e)by 

10. He is .......... meet his friends for special tour next year .(a)going (b)will go (c)going to (d)go to (e)goes to

11......... the fact she was a smart girls when failed to pass exam

(a)in spite (b)although (c)despite (d)even though (e)in spite of 

12.The match was ......... tough for Simba football Club to score three goals. 

(a)Such (b) so (c)very (to (e)too

14. I am the best boy in the classroom . (a)aren’t I? (b) am I (c)Isn’t it? (d)do I? (e)aren’t?

15They received present because they were good ............ English subject. (a)for (b)on (c)in (d)at (e)from

16.She ....... attend gym every weekend (a)do (b)did (c)don’t (d)doesn’t (e)done

17.The lady was successful one in the whole village. The underlined word fall under which part of speech 

(a)preposition (b)adjective (c)adverb (d)pronoun (e)verb

18.Please give me .......... milk (a)much (b)any (c)many (d)few (e)some

19.The tables and chairs are ........... wood. (a) made by (b)made for (c)made from (d)made of (e)made in 

20.Amani is not only smart ..................... clever  (a)enough (b)but too (c)but also (d)and (e)but

21.This is the girl .... father won the general election last year. (a)whose (b)which (c)where (d)that (e)who

22.The pupils have......... a lot of mistakes. (a)doing (b)done (c)did (d)have done (e)has done

23.The first school bell, rings ........ Seven o’clock every morning (a) on (b)for (c)by (d)in (e)at

24.Mrs Onyango has been staying in this house .............. 2002.(a)until (b)about (c)up (d)since (e)for

25.Excuse me madam, where is ........ nearest bank (a)an (b)it (c)the (d)their (c)are 

26.The pupils are eating mangoes. Change the sentence into passive voice. (a)Mangoes are eating pupils (b)Mangoes are being eaten by the pupils (c)pupils are being eaten mangoes (d)Mangoes are eaten by the pupils (e)Mangoes were eaten by the pupils.

27............. his father .............. his mother attended the school meeting last week (a)neither ..... or .... (b)neither ..... or ..... (c)either ..... or ..... (d) not ..... only.... (e)either .... nor ....

28.The opposite of the word arrive is .......................(a)Went (b)Depart (c)Go (d)come (e)Departed 

29.He was late ....... he was slowly preparing himself to trip (a)for (b)or else (c)yet (d)and (e)as

30. Do you have ........... problem? (a)any (b)some (c)many (d)little (e)much

31.A list of twelve items is referred as .................. (a)list (b)pair (c)set (d)dozen (e)pricelist.

32.The synonym of the word cry is ........................ (a)confuse (b)emotion (c)weep (d)joyful (e)heartless 

33.A person who does not eat fish or meat is called. (a)vegetarian (b)meat eater (c)vegetable (d)fish eaten (e)fishtarian

34.I saw ......... of judges on the television (a)a bevy (b)a hode (c)a host (d)a troupe (e)a jury

35Mr.Huruma meet a ....... friend in the marathon competition. 

(a)Spanish’s (b)Span (c)Spanish (d)Spanian (e)Spania

36.Muttons meat from ................. (a)fish (c)cattle (c)goat (d)sheep (e)wholes

SECTION B (4 Marks)

COMPOSITION

This section has four mixed sentences. Arrange the sentences so as to make a good composition by giving them letter A – D shade the letters of the correct answer in (OMR) provided.

37.Even though she was always sick she like to study hard

38.Last term, she was the first in her class

39.Rose was the last born in a family of five children

40.She would go to school even if it was raining.

 

SECTION D (10 Marks)

Comprehension

Read the following passage carefully and answer the question that follow by writing the correct answers in the special answer sheet (OMR) provided. Use blue or black ink pen.

 

In our society we are surrounded by resources that mostly bring benefits to us. The resources are such as land, water bodies, minerals, forest, electricity, roads, dams, railways and many others. There are natural resources and man-made resources that contribute a lot of activities to be fulfilled. Despite the presence of these resources people have been destroying them regardless of the benefits they provide. The destructions come through many ways such as cutting down trees, mining, overgrazing, poaching and stealing oil in electricity transformers.

 

However, it is the responsibility of everyone to protect the resources in the society and to report the people who destroy the resources for the own interests. In fact the destructions of resources may lead the society into calamity.

 

Most of the people do destroy the resources intentionally although it is normally insisted that the national resources should be kept for the benefits of all people and nation at large.

 

QUESTIONS 

41.What are the impact of destruction of resources ............................

42. The writer classifies two groups of resources which are

  1. ...........................................................................
  2. ...........................................................................

43.Who is responsible to protect the resources in the society? ........................

44. Suggest the suitable title from the passage above...........................

45. Mention one benefit of each of the following resources 

  1. .............................................................
  2. .............................................................

 

1

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 46

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

PRESIDENT’ S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

MID TERM I EXAMINATIONS

SOCIAL STUDIES

STANDARD SEVEN

Time1:30 Hours

Pupil’s Name............................................................

Instructions

  1. This paper consists of section A and B with total of forty five questions
  2. Answer all questions in each section
  3. For questions 1-40 put your choice in the box provided
  4. For question 41-45 write your answer by filling the spaces provided
  5. All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room

SECTION A (40 Marks)

Choose the correct answer and shade its corresponding latter in special answer sheet (OMR) provided.

1.Earth rotates on its own axis we get day and night. How many hours does the Earth takes to complete one rotation? (a)12 (b)36(c)48(d)6(e)24

2.The National flag has four colours which representing the most important elements in (a)Green (b)Black (c)Blue (d)Yellow (e)Red

3.When parents fulfils his/her child’s school requirements it remains ...... for the student to read. (a)Right (b)custom (c)responsibility (d)Will (e)must 

4.The current constitution of the United Republic of Tanzania was formally adopted and come into force in a year ........... (a)1992 (b)1993 (c)1987 (d)1988 (e)1977

5.The Berlin conference was organized by chancellor Otto Von Bismarck with the aim of diving the African continent into colonies in ...........

6.The lines drawn on the map showing the same height above sea level are called .............. 

(a)spur (b)contour (c)longitude (d)Greenwhich (e)Latitude

7.Human history is divided into three period known as ........... (a)Period (b)Age 

(c)Times (d)Decade (e)millennia

8.The one-party system in the country started in 1965. When did the multi-party system Tanzania start? 

(a)1990 (b)1991 (c)1992 (d)1993 (e)1995

9.Which among the following occur first in the history of Tanzania? 

(a)Union of Tanganyika and Zanzibar (b)Zanzibar revolution (c)Republic of Tanzania 

(d)Zanzibar minority independence (e)abolition of multi partism 

10.During the first word war Tanganyika was under which colonial?

(a)Arabs (b)British (c)German (d)Portugues (e)French

11.The first president of the United republic of Tanganyika was J.K.Nyerere. Who was the first president of Zanzibar? (a)Amani Abeid Karume (b)Ali Hasani Mwinyi (c)Idris Abdul Wakili 

(d)Abeid Amani Karume (e)Julius K.Nyerere 

12.In history there are many sources of historical information. Oral tradition is one of the way of preserving and store historical..........(a)events (b)grandparents (c)written (d)living things (e)school

13.For any country to be development must have government pillar. The following are Tanzania pillar (a)Parliament, cabinet, and Court (b)Parliament, Army and Police (c)Parliament, speaker and court (d)Cabinet, Police and Parliament (e)army court and police

14The first General election under multipart system was held on the year.........

(a)1995 (b)2020 (c)2015 (d)2010 (e)2005

15.There are three types of citizenship in Tanzania. Which are citizen by Naturalization, citizen by birth and citizen by .......... (a)birth (b)theft (c)descent (d)agreement (e)force 

16.The united nation agency deals with refuguees is known as UNHCR. What are the causes of refuguees in African continent? (a)poverty (b)to international player (c)to bring peace and solidarity (d)unemployment (e)political instability

17.What are the things which makes Mtera Dam in Tanzania and Owen Dam in Uganda to be potential?

(a) tourists and transportation (b)industries (c)amount of fish (d)generate electricity (e)forest

18.Tanzania is the union of two countries which Tanganyika and Zanzibar. Each year we celebrate the union of this two countries in. (a)24/12 (b)26/4 (c)26/04 (d)26/04/1964 (e)9/12/1961

19.Dr.Louis Leakey and Dr.Marry leakey discovered the skull of earliest man (Zinjathropus) in which year? (a)1992 (b)1959 (c) 1859 (d) 1885 (e) 2015

20.Comunity is group of people who live together and share the common interest. A clan is a union of ....

(a)family which work together (b)many families which are friends (c)father, mother, and children (d)many family under the same origin  (e)families which stay nearby 

21.Each society it has its own life style. Culture is ....... (a)beliefs, customs, traditions, taboos, and norms of the society (b) singing and dancing (c)way of living (d) way of conducting ritual in the society (e)customs and traditional of the society.

22.Which of the following national symbols is found at the Tanzania’s Presidential flag?

(a)National flag  (b)Uhuru tourch (c)Coat of Arms (d)national Anthem (e)national currency.

23.The common wealth organization is voluntary union of countries which were under the rule of during colonial period (a)British (b)German (c)France (d)Russian (e)Italy

24.The great part of Africa continent was invaded in .......

(a)15th and 17th C(b)17th to 18th C(c)18th to 19th C (d)12th to 15th C (e)8th to 9th C

25.The standard seven pupils were planning to have study tour to visit a certain National park that is found in Morogoro region. Which national park is that? (a)Mikumi (b)Serengeti (c)Ruaha (d)Selous (e)Tarangire

26.Grid references are lines drawing on the map vertical and horizontal. When reading grid references we start with lines of ...... (a) horizontal (b)right (c)left (d)vertical (e)sides

27.Weather is average conditions of atmosphere recorded over a short period of time. The following are elements of weather except .....

28.You visited your aunt and given dirty bedroom. Which disease are likely to get by sleeping in that room. (a)diarrhea and flue (b)coughing and vomiting (c)flue and cheast pain (d)diarrhea and vomiting (e)fever and chest pain

29. Majority of farmers in Tanzania transport their agricultural products to the market for selling.

(a)airways and roads (b)roads and railway (c)Water ways and airways (d)railways and airways (e)waterways and roads

30.In which period did man begun to stand and walk on two limbs? (a)iron age (b)early stone age (c)middle stone age (d)digital age (e)late stone age.

31.Among agencies of colonialism was explore. Who was German explore signed bogus treat with chief Mangungo of Msovero? ..........(a)Dr livingstone (b)Carl Peter (c)Dr.Charles Dawen (d)Vasco da Gama (e)Dr Louis Leakey

32.The Government of United Republic of Tanzania recognizes the importance of sports and games as means of entertaining and uniting the citizen. Which organ is more responsible in the supervision and development of sports in Tanzania? (a)The National Vouncil of Tanania (b)The national Kiswahili Council of Tanzania (c)the national amateur sport council of Tanzania (d)The National sports council of Tanzania (e)Tanzania football federation

33.The following historical sites are found in Tanzania Except

34.Why are girls and boys advised to maintain the cleaness of armpits and genital parts during puberty?

(a)to avoid sexual desire (b)to avoid diseases like cholera (c)to attract their busband (d)to prevent unpleasant smell (e)to prevent HIV

35.I am creative, risk taker, hardworking so as fulfill my plans. Who am I? 

(a)business man (b)entrepreneur (c)buyer (d)skillful (e)seller

36The first town in East Africa to make its own currency was .............

(a)Mombasa (b)Kilwa (c)Zanzibar (d)Bagamoyo (e)Sofala

37.There many reasons for the invasion, but the main reason why the colonialist invaded Africa was 

(a)Building the continent of Africa (b)to preach Christianity (c)to make Africa rich (d)to exploit the natural resources of Africa continent (e)to copy Africa culture 

38.Standard six records the temperature from Monday to Sunday as follows 20°C, 32°C, 30°C, 24°C, 27°C, 22°C, respectively. What is the weekly average temperature?

(a)26.5°C (b)32°C (c)27°C (d)20°C (e)25.83°C

39.Which name is used to describe the destructive vegetation which affect fish breeding areas in lake Victoria? (a)water hyacinth (b)mangrove (c)pampas grass (d)alfalfa (e)veldt 

40.......... are suitable for deep frying. (a)eggs (b)carrots (c)apples (d)potatoes (e)vegetables 

 

SECTION B (10 Marks)

For questions 41 – 45, write your answer in the space provided in the special form (OMR) by using a

blue or black ink pen

41.Why is it advisable to sort garments before washing them? .....................................

42 Class five pupil drew a map which his fellow pupils failed to identify the size of the area and where it belongs. Which assential elements of map were not obeyed .......................

43.During colonial period all African countries were colonized by European Capitalists. Name two countries which were not colonized ................... and .........................

44.Stone age are divided into three stage. What are the great achievement of man during the Middle stone age?

45. Mention two principles of an entrepreneurship .......................... and .......................

1

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SOCIAL EXAM SERIES 45

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

PRESIDENT’ S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

MID TERM I EXAMINATIONS

CIVICS AND MORALS

STANDARD SEVEN

Time1:30 Hours

Pupil’s Name............................................................

Instructions

  1. This paper consists of section A and B with total of forty five questions
  2. Answer all questions in each section
  3. For questions 1-40 put your choice in the box provided
  4. For question 41-45 write your answer by filling the spaces provided
  5. All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room

 

SECTION A

Choose the correct answer and write its letter to the OMR provided.

1. Misuse of family resources may lead to ...... (a)Increase of richness (b) promoe unity and piece (c)Increase love in the family (d)Shortage of basic needs in the family (e)Promote in quality

2.Which symbol shows our country as an independent country? ......

 (a)Nationalcurrency (b)Coat of Arms (c)National flag (d)Uhuru torch (e)National Antherm

3. According to the constitution of Tanganyika of the year 1961 the head of the state was the ....... (a)Prime Minister (b)Governor (c)President (d)Parliament Secretary (e)Speaker of Parliament

4.One of the worst human rights abuses in Tanzania is ..... (a)Cutting and Planting trees (b)Murder of the elderly and Albino (c)To charge for criminals (d)Government oversee tax collection

 (e)The presence of Prisons in the country

5.A person responsible for controlling pupils behavior in school is ...... (a)The school committee chairmsn (b)Discipline teacher (c)Assistant head teacher (d)Academic teacher (e)Class teacher.

6.Supervision of all government activities in Parliament is ....... (a)Speaker of the Parliament 

(b)Chief judge (c)Attorney general (d)Prime Minister (e)President 

7.The orld health international organization is .......... (a)UNDP (b)WHO (c)FAO (d)UNESCO (e)UNO

8............ is the fair and equal representation of everyone in governance. (a)Security 

(b)Democracy (c)Constitutions (d)Multiparty (e)PCCB

9.Tanzania celebrate .......... on 12th January each year. (a)Independence (b)The union (c)Zanzibar Revolution (d)First election (e)Uhuru Tourch

10.The effects of domestic violence are ....... (a)Death and Cooperation (b)Peace (c)Love each other (d)Separation of the family (e)Joy and happy in the family

11.The importance of the presidential flag is ........ (a)To visit in various areas (b)To show the authorizes of the President (c)Encouraging the torch of freedom (d)To advertise the country of Tanzania (e)To protect the president

12. Which of the following acts of protecting school properties? ........................

  1. Not reporting your fellow pupil who has broken a table in the classroom
  2. Leaving water taps open or electric lights on even if no one is using them
  3. Littering the school environment
  4. Reporting to the school management an act which destroy the property of a particular school
  5. Cutting down schools strees

13.Who is responsible for protecting our National freedom and Peace? ..............

(a)The migration department only. (b) every citizen (c)the police only (d)the national intelligence unit only (e) auxiliary police.

14.The backbone of the economy of Tanzania is ........................... (a)Agriculture (b)Livestock (c)Minerals (d)Tourism (e)Fishing

15.A person obtains Tanzania citizenship by birth inheritance and (a)By visiting parents who live in Tanzania (b)To use vote identity (c)To be registered (d)Visiting embassy offices (e)To recommend yourself.

16.Who is the current deputy president of Tnzaia (a)Kassim Majaliwa (b)Edward Lowasa 

(c)Samia Suluhu(d)Job Ndugai (e)Tulia Akson

17.Which of the following is not a legal service ........... (a)Sunction (b)Inheritance confiscation 

(c)Sexual abuse (d)Medical treatment (e)quarantine 

18.Defense and security in the family is the responsibility of ..... (a)The father only 

(b)The family watchman (c)The father and mother only (d)All family members (e)brother and sister only.

19.Whoc is the head of Municipal council? (a)Chairperson (b)Mayor (c)Councilor (d)Municipal Director (e)Ward executive officer

20.The Multiparty system was introduced in Tanzania in which year ? ........ (a)1998 (b)1995 

(c)1992 (d)1996 (c)1991

21.One way of showing respect to the community members is ..... (a)Cheating (b)Fighting others 

(c)Using rude language (d)behaving bad (e)Greetings

22.The blind, the deaf and lame are among the ............(a)Lame (b)Neglected people 

(c)People with special need (d)rude people (e)People who cannot do things effectively

23.The first president of the United Republic of Tanzania was Mwalimu Julius Nyerere and the vice President was .......... (a)Sheikh Abeid Aman Karume (b)Salimu Ahmed Sakimu 

(c)Ibrahim Lipumba (d)Maalim Seif (e)Dr.Hussein Mwinyi 

24.The president is the head of the state, some of his responsibility are as follows except ......

(a)Appointing primaryMinister and some government officials

(b) Appointing councilors (c)Terminate them when needed to do so (d)Reshuffle the abinet when he sees its necessary (e)Parole the convicts when he sees its necessary.

25.Why do you think peer group discussion are effective in promoting youth’s participation....... 

(a)It enable age-mates to discuss issues freely (b)They have different vision (c)They have high IQ (d)They can help others (e)The same age group is difficult to discuss issues.

26.What should we do when National Flag raised or lowered down? ................... 

(a)keep walking (b)Run (c)Playing Musi (d)To fly (e)Standing attention

27.The National Currency of Tanzania is issued and controlled by the (a)NMB Bank (b)CRDB Bank (c)NBC Bank (d)Central Bank of Tanzania (BOT) (e)Uchumi commercial Bank (UCB)

28.Man-made resources are ........., ........ and ........ (a)Road, forests and dams (b)Buildings, electricity and minerals (c)Road, industry and dams (d)Farms, Rivers and Mountains (e)Oceans, lakes and tall buildings

29.Which is the Main function of the Police Officers?..... (a)To talk to the pupils about laws of the school (b)To beat criminals (c)Protect people of the nation and their properties 

(d)To beat those who violate the laws (e)To interact with criminals 

30.What should we do if we fail performing a particular activity in the first time. (a)We should disappear (b)We should know that we can’t do that activity.(c)We should try again (d)We should despair (e)We should cry.

31.Helping the Old and the sick cleaning the environment of the street is among the (a)Community work (b)Hard work (c)Easy work (d)International work (e)Wastage of time.

32.General election in Tanzania is conducted after ............. years. (a)Three (b)Five (c)Two (d)One (e)ten

33.The chairperson of a local government in an area is ..... (a)appointed by the District commissioner (b)Elected by the councilors (c)Elected by members of parliament (d)Elected all villagers 

(e)Elected by all

34.If one forces to do risk behavior ........ (a)You must quiet (b)You must run away (c)Tell the teacher, parent or police (d)Fight back (e)Laughing 

35.The First step in solving a conflict among pupils is .... (a)Listening to them (b)Encouraging them to forgive one another (c)Shaking hands with one another (d)By separating them (e)Beat them.

36.The Institution which investigate and prosecutes corrupt people in Tanzania is (a)PCCB (b)Judiciary (c)Police (d)JWTZ (e)Parliament

37.Culture is ..... (a)activities which you like (b)Total of life in a society (c)Life of people (d)Foreign languages (e)Natural activities which was done by the people

38. ............ is the employment of children in any work. (a)Man labour (b)Social worker (c)Children labour (d)Adult Labour (e)Work

39.Our parliament meets in which city? ......... (a)Dodoma (b)Dar es Salaam (c)Chato (d)Mbeya (e)Arusha

40.A peson who loves and sacrifices for his country and even ready to die for his/her country is known as (a)Dictator (b)Citizen (c)Patriot (d)Resilient (e)Activist 

SECTION B

Answer all question in the space provided. Each question carries 2 Marks

41.The president of the United Republic of Tanzania is sworn by .....................................

42.Suggest two ways of preventing corruption (i)............................. (ii).............................

43.Mention two way of preserving water sources (i) ............................. (ii) .......................

44.What is environment? .....................................

45.What challenges may make you seek guidance and counseling while you are at school?

  1. .................................................................................
  2. .................................................................................

 

1

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN CIVICS EXAM SERIES 44

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS

WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA- MACHI-2022

URAIA NA MAADILI   DARASA LA SABA.

SEHEMU A: CHAGUA JIBU SAHIHI KUTOKA YALE ULIOPEWA

  1. Msaidizi wa mkuu wa mkoa katika shughuli zake za utendaji ni nani? A. ofisa elimu mkoa B. katibu tawala wa mkoa C. mkuu wa idara ya utawala na utumishi mkoa D. ofisa afya wa mkoa
  2. Mwenyekiti wa halmashauri ngazi ya wilaya huongoza akina nani? A. wenyeviti wa mtaa B. makatibu tawala C. madiwani wa halmashauri D. mtendaji wa kata
  3. Katika ofisi ya kata, nani ni mtendaji mkuu? A. Diwani D. Ofisa mtendaji wa kata C. Ofisa mazingira wa kata D. Ofisa maendeleo wa kata
  4. Wanachama wa vyama tofauti vya siasa wanapokosoana na kushindana kwa misingi ya haki, ukweli na amani, hali hii tunaweza kuiita: A. Utulivu na kisiasa B. Uvumilivu wa kisiasa C. Changamoto za kisiasa D. Ukomavu wa kisiasa
  5. Mtu anapata uraia wa Tanzania kwa kuzaliwa, kurithi na: A. Kuwatembelea wazazi wanaoishi Tanzania B. Kutumia kitambulisho cha mpiga kura C. Kujiandikisha D. Kubatizwa
  6. Sifa mojawapo ya mtu anayeomba uraia wa Tanzania: A. Aukubali uraia wanchi alikotoka kwa maandishi B. Sio lazima kutangaza kwenye vyombo vya habari C. Awe hajawahi kukutwa na kosa lolote la jinai toka aingie nchini. D. Awe Tajiri
  7. Ni kitendo kipi sio sahihi? A. Kuheshimu sala za wakristo B. Kudharau mavazi ya kiislamu C. Kutopiga kelele darasani D. Kutumia lugha ya taifa
  8. Tunapopata changamoto katika maisha tunapaswa? A. Kulia B. Kukata tama C. Kuwa mvumilivu na kutafuta suluhisho D. Kudai haki
  9. Lengo la uvumilivu ni A. Kuvumilia mateso B. Kukata tama C. Kutafuta njia sahihi za kutatua shida D. Kufikia malengo
  10. Ni kitendo gani kati ya hivi huchangia kuharibu rasilimali maji? A. Kukata miti kwenye vyanzo vya maji B. Kutochoma moto misitu C. Kutotiririsha maji machafu D. Kutunza miti
  11. Ni kitendo gani kati ya hivi huchangia kuharibu rasilimali ardhi? A. Kulima matuta kwa kukinga mteremko B. Kuchoma misitu wakati wa kusafisha mashamba C. Kuweka mbolea ya samadi shambani D. Kutumia mbolea ya dukani
  12. Upi si umuhimu wa kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na mataifa mengine? A. Kupata utaalamu na teknolojia B. Kudumisha utamaduni wa Mtanzania C. Kukuza migogoro kati ya nchi na nchi D. Kupata pesa za kigeni
  13. Lugha ya Kiswahili imejenga uhusiano na mataifa mengine katika nyanja zifuatazo isipokuwa:A. Biashara za ndani na nje ya nchi B. Michezo ya kimataifa  C. Utalii na utamaduni wa Kitanzania  D. Kuharibu ushirikiano
  14. Umoja wa hiari wa nchi huru zilizowahi kutawaliwa na Uingereza hufahamika kama: A. Jumuiya ya Madola B. Umoja wa Mataifa C. Nchi zinazoendelea    D. Umoja wa Afrika E. Shirikisho la Mataifa
  15. Kwa nini tunajaribu nadharia mbalimbali kwa vitendo? A. Kuthibitisha ukweli wake B. Kuzitofautisha C. Kuzifanya ziweze kukubalika kimataifa D. Kubaini zisizofaa
  16. Tunawezaje kudhibitisha mambo tuliyojifunza? A. Iwapo tutafaulu katika mitihani B. Iwapo tutaeleza wengine C. Iwapo tutayatumia katika maisha yetu D. Iwapo tutayakiri
  17. Tunapojifunza na wenzetu tunapata faida zifuatazo isipokuwa: A. Kujenga kumbukumbu ya muda mrefu B. Kujenga tabia ya uvumilivu C. Kupendelea wengine D. Kujenga urafiki
  18. Unawezaje kuongeza ufanisi katika kujifunza? A. Kubeba vitabu vingi B. Kusoma kwa vikundi C. Kucheza na wenzako D. Kufanya mtihani
  19. Ni hatua zipi wanafunzi wanatakiwa kuchukua wanapoona katika eneo la shule wageni wanaowatilia shaka? A. Kutoa taarifa kwa jeshi la Wananchi la Tanzania. B.  Kutaarifu Kamati ya Shule kuhusu uwepo wa wageni. C.  Kuwapiga wageni kabla ya kuwafikisha Mahakamani. D. Kuwakamata wageni na kuwahoji. E. Kutaarifu Walimu kuhusu uwepo wa wageni.
  20. Jukumu la kuwalinda raia wa Tanzania na mali zao lipo mikononi mwa A. Jeshi la Wananchi la Tanzania B. Idara ya Usalama wa Taifa C. Jeshi la Magereza D. Jeshi Ia Mgambo E. Jeshi la Polisi
  21. Huduma za kisheria kwa wahitaji huweza kupatikana sehemu gani? A. Asasi binafsi za utetezi wa haki za binadamu, mahakamani na magereza B. Kwa mwanasheria, mahakamani, na asasi binafsi za utetezi wa haki za binadamu C. Shuleni, vituo vya polisi na vituo vya afya D. Mahakamani, ofisi za vijiji na magereza
  22. Nini umuhimu wa kuwahudumia na kuwafariji wahitaji katika jamii? A. Kujenga upendo na kuthamini utu B. Kudumisha udugu na kujitangaza C. Kulinda haki za binadamu na haki za kisiasa D. Kukuza utegemezi kwa wahitaji
  23. Kati ya vitendo vifuatavyo kimojawapo si kitendo cha kusaidia kuhamasisha amani kwenye jamii A. Kubishana na majirani zako B. Kutumia mitandao ya kijamii kupinga ubaguzi C. Kutumia mikutano na semina kujadili umoja D. Kuandaa kisamafunzo na ngonjera kuhamasisha upendo katika jamii
  24. Kujisitiri na kuwasitiri wengine vinasaidiaje jamii? A. Kuhamasisha amani katika jamii B. Kuthamini utu C. Kutokujipenda sana D. Kujipenda kwanza na wengine baadaye
  25. Ipi ni hatua ya hadhari ya kuchukua kabla ya janga la moto kutokea? A. Kuziba mdomo na blanketi Kuwapa majeruhi matibabu B. Kujenga nyumba zenye milango na madirisha ya mbele C. Kujenga nyumba zenye milango na madirisha ya dharura
  26. Ni jaribio lipi hatari Zaidi linaloweza kuleta na kusababisha mlipuko wa moto katika maeneo yetu? A. Matumizi ya mkaa wa kisasa B. Kutumia jiko la mafuta ya taa kwa uangalifu C. Kuwasha jiko la gesi bila kuzingatia taratibu za kiusalama D. Majibu a, b na c yote ni sahihi
  27. Taasisi zisizo za kiserikali zina wajibu gani katika jamii? A. Kuelimisha walioathiriwa na rushwa tu B. Kuwapa msaada wa kifedha walioathiriwa na matukio ya rushwa C. Kutoa elimu kwa umma juu ya madhara ya rushwa D. Kupambana na wanaotoa taarifa za rushwa kwenye jamii
  28. Kuzuia na kupambana na rushwa nchini husaidia kukuza uchumi wa nchi na kuleta maendeleo katika uboreshaji wa jambo lipi katika Taifa? A. Miundombinu B. Masilahi ya watu wachache C. Watoa rushwa D. Afya za wapokea rushwa
  29. Mwanafunzi anawezaje kushiriki kazi ya ujenzi wa miundombinu ya barabara? A. Kuendesha mitambo ya kujenga barabara B. Kulima barabara na kufukia mashimo katikati ya barabara C. Kukagua na kubaini mashimo ya barabara tu D. Kuwaelimisha mafundi ujenzi namna ya kujenga barabara
  30. Kutunza vyanzo vya maji kama mito, maziwa na bahari huleta faida gani katika jamii?A. Husaidia wasiojiweza kupata huduma za maji B. Kufanya maji yaishe haraka ili kutafuta vyanzo vingine C. Kuongeza wigo wa upatikanaji wa maji ya uhakika D. Hupunguza upatikanaji wa maji na shughuli za uzalishaji mali
  31. Kati ya vitendo vifuatavyo kimojawapo si kitendo cha kusaidia kuhamasisha amani kwenye jamii A. Kubishana na majirani zako B. Kutumia mitandao ya kijamii kupinga ubaguzi C. Kutumia mikutano na semina kujadili umoja D. Kuandaa kisamafunzo na ngonjera kuhamasisha upendo katika jamii
  32. Kujisitiri na kuwasitiri wengine vinasaidiaje jamii? A. Kuhamasisha amani katika jamii B. Kuthamini utu C. Kutokujipenda sana D. Kujipenda kwanza na wengine baadaye
  33. Kutenda haki husaidia kulinda uhuru na umoja wa taifa kwa sababu gani? A. Viongozi wa nchi hutoa maagizo B. Watu huwa na uhuru wa kufanya lolote walipendalo C. Raia huwa huru kufanya ugaidi D. Wananchi huipenda nchi yao
  34. Ipi kati ya zifuatazo ni njia za haraka za kutangaza fursa zilizopo Tanzania katika nchi za kigeni? A. Tovuti, mitandao ya kijamii, majarida, na vipeperushi B. Simu za mkononi C, Mikutano ya kisiasa D. Redio
  35. Ipi kati ya njia zifuatazo hukuza uhusiano Zaidi miongoni mwa mataifa? A. Usafirishaji wa bidhaa B. Uwekezaji C. Utalii D. Utandawazi
  36. Ni kwa namna gani mhimili wa Mahakama hutumia makongamano na mihadhara katika kusimamia haki za binadamu nchini? A. Hutoa elimu kwa wananchi ili kupata haki zao bila kubughudhiwa au kuonewa kwa namna yoyote B. Hutoa elimu kwa wananchi juu ya namna ya kuacha watumishi wa mahakama kufanya uamuzi wa utashi wao tu C. Hutoa elimu kwa wananchi juu ya kutokukemea vitendo vya rushwa na ufisadi D. Hutoa elimu juu ya namna ya watu kudai haki zao kwa woga
  37. Ni jukumu la nani kuimarisha haki za binadamu, ulinzi na usalama nchini? A. Serikali B. Vyombo vya dola C. Mihimili ya dola D. Raia wote
  38. Uchambuzi wa mahitaji kama hatua ya kuandaa mpangokazi huhusisha kuandaa kitu gani? A. Nyaraka za mpangokazi B. Sura za mpangokazi C. Tathmini ya malengo ya taasisi D. Kubainisha na kuandaa rasilimali zinazohitajika
  39. Ni jinsi gani mpangokazi wa kujitolea husaidia kugawa majukumu shuleni? A. Kila mmoja hutambua na kutekeleza majukumu yake kutokana na mpangokazi B. Kila mtu kutekeleza mambo yake binafsi C. Kila mmoja kutekeleza kila jukumu lililo ndani ya mpangokazi kwa muda wake mwenyewe D. Kila mmoja ataamua ni kwa namna gani atatimiza majukumu bila kupangiwa
  40. Tarehe saba mwezi wan ne kila mwaka tunaadhimisha sikukuu gani hapa Tanzania? A. karume day B. Nyerere day C. Siku ya wakulima D. Siku ya Muungano

SEHEMU C. JIBU MASWALI YAFUATAYO KWA UFASA

  1. Rais wa Muungano wa Jamhuri wa Tanzania anaapishwa na nani?............................
  2. Pendekeza njia mbili za kukabili ufisadi………………………………………………
  3. Taja njia mbili ya kulinda rasilimali maji………………………………………….
  4. Je mazingira ni nini?...............................................................................................
  5. Taja faida mbili za uhusiano wa Tanzania na Mataifa Mengine……………………

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN URAIA EXAM SERIES 43

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA DARASA LA SABA

SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MUDA:1: 30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEKEZO:

  1. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  2. Kumbuka kuandika majina yako.
  3. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.

SEHEMU A.

Chagua jibu lililo sahii, kisha liandike kwenye kijisanduku

  1. Damu huweza kupungua kutokana na nini?  A. Kupungua kwa seli nyeupe, vitamini A na madini chuma b. Kupungua kwa vitamini B, protini na plazima c. Maji kuongezeka mwilini, kupungua madini ya chuma na protini d. Kupungua kwa madini ya ayani na vitamini mwilini
  2. Ni ipi kati ya sehemu zifuatazo imeunda sehemu kubwa ya damu? A. Chembe nyeupe b. Chumvichumvi  c. Chembe nyekundu d. Plazima
  3. Tawi dogo kabisa la ateri huitwa a. Kapilari b. Bronchioli c. Vena d. Vali
  4. Himoglobini ni muhimu sana katika kutengeneza a. Seli hai nyeupe za damu b. Seli hai nyekundu za damu c. Plazima ya damu d. Seli zinazogandisha damu
  5. Njia za uzazi wa mpango ambazo ni salama kwa afya ya mama ni............. a. kitanzi na sindano  b. njia ya asili c. sindano na vidonge  d. vidonge na kondomu d. kondomu na sindano
  6. Uzazi wa mpango una umuhimu gani kwa familia? A. Huwezesha familia kumiliki nyumba b. Huongeza idadi ya Watoto c. Huwezesha familia kumudu safari za Pamoja d. Huwafanya wanafamilia kuwa na furaha e. Huwezesha familia kupata chakula cha kutosha.
  7. Magonjwa ya zinaa huambukizwa kwa njia ya: a. kugusana  b. kupeana damu c. kucheza pamoja  d. kuchangia vikombe e. kujamiiana
  8. Sehemu zifuatazo hufanya kazi sawa ya kuhifadhi gamete za uzazi kwa binadamu: a. mirija ya falopio na mirija ya manii b. uume na uke c. korodani na uterasi d. ovari na uume e. ovari na korodani
  9. Dalili ya balehe kwa msichana na mvulana ni………….. a. Kukua na kutanuka matiti b. Kuota ndevu c. Kuota nywele kwapani d. Sauti kuwa nyororo e. kuwa mrefu
  10. Njia mojawapo ya kukabiliana na changamoto za balehe ni……….  A. Kuepuka matumizi ya vilevi b. Kulala siku nzima c. Kuangalia sinema d. Kufanya kazi bila kupumzika e. kulala
  11. Mojawapo ya mabadiliko ya kiakili ya mvulana wakati wa kubalehe ni. A. Kutaka kuwa huru b. Uwezo wa kutambua mambo kuongezeka c. Kuongeza uwezo wa kuelewa mawazo d. Kuongeza uwezo wa kuelewa mawazo ya mtu mwingine e. kutaka kuoa
  12. Wagonjwa wa kisukari hupewa huduma ya …………wanapohudhuria kliniki. A.Kuongezewa maji b. Kuongezewa damu c. Ushauri wa lishe d. Kifedha e. kuombewa
  13. Chakula cha asili na bora zaidi kwa mtoto mchanga ni…………. A. Maziwa ya mama b. Maziwa ya ng’ombe c. Maziwa ya kopo d. Uji wa lishe. Maji
  14. Ipi sio faida ya maziwa ya mama? A. Yanazuia ulemavu ambao unaweza kutokea b. Mtoto hupata kinga ya asili c. Ni rahisi na salama d. Yana joto halisi linalohitajika na mtoto. Kunenepa
  15. Magonjwa ya kurithi husababishwa na……….. a. Kasoro za vinasaba vya urithi b. Athari za uchafuzi wa mazingira c. Vimelea vya magonjwa d. Upungufu wa kinga mwilini e. njaa
  16. Moja kati ya zifuatazo ni dalili ya ugonjwa wa anemia selimundu………… a. Damu kutoka mfululizo kwenye jeraha b. Mishipa ya damu kupasuka hasa iliyo kwenye tishu laini c. Kupata choo chenye damu d. Kupungukiwa na damu mara kwa mara e. kukosa nguvu
  17. Dawa zinazoongeza damu kuganda wakati mgonjwa wa hemofilia amepata jeraha……… a. Hupunguza athari za hemofilia b. Huongeza athari za hemofilia c. Hazina msaada kwa mtu mwenye hemofilia d. Hutibu tatizo la hemofilia e. uongeza afya
  18. Upi sio ugonjwa wa kurithi? A. Hemofilia b. Alibino c. Goita d. Selimundo e. homa
  19. Kipi kati ya vifuatavyo ni maarufu kwa kuchangia maambukizi ya WU katika jamii? A. Uchangiaji wa sindano, miswaki, damu na ngono zembe. B. Kanda za video, nyimbo, muziki na maigizo. C. Televisheni, magazeti na vipeperushi kuhusu WU. D. Kondomu, wataalamu wa afya, semina na taasisi za UKIMWI. E. Tohara kwa wanaume na wanawake.
  20. Virusi Vya Ukimwi hushambulia aina gani ya chembe hai katika damu? A. chembe sahani b. chembe hai nyeupe c. Chembe hai nyekundu d. Hemoglobini e. Plazima
  21. Mgonjwa wa UKIMWI anastahili kupata mlo maalumu ili a. aweze kupona haraka b. asiambukize watu VVU c. awe na nguvu ya kufanya kazi d. mwili upambane na maradhi e. VVU viangamie kabisa
  22. Hali ya mtu kuzimia hutokana na ukosefu wa damu katika ....... a. Tumbo b. Figo c. Mapafu d. Moyo e. Ubongo
  23. Huduma ya kwanza anayopewa mtu aliyezimia ni: a.  kumpa hewa ya oksijeni b.  kumpa juisi ya nazi mbichi c.  kumlaza juu chini na kumbonyeza tumbo d.  kumpa maji yaliyochanganywa na glukosi e. kumpa juisi ya malimao, sukari na chumvi
  24. Huduma ya kwanza ni nini? A. Msaada wa dharura apewao mgonjwa na daktari. B. Msaadawa awali apewao mgonjwa kabla ya kupelekwa hospitali. C. Msaada kwa ajili ya mtu aliyeungua moto.  D. Msaada kwa ajili ya mtu aliyeumwa na nyoka.  E. Msaada kwa ajili ya mtu aliyevunjika mfupa.
  25.  Mojawapo ya huduma ya huduma muhimu ya kumpa mtu aliye ungua moto ni;- a. kummwagia maji b. kumfunika nguo c. kumwagia aside d. kumfunika blanketi e. kumpaka asali
  26. taka zinazooza huweza kutumika kutengeneza………. A. vifaa vya kisayansi b. vifaa vya kuteka maji c. chakula cha wadudu d. mboji e. umeme
  27. utawi wa vimelea vya magonjwa unaweza kuchangiwa na……….. a. taka ngumu tu b. udhibiti wa taka c. mlundikano wa taka d. uzalishaji wa mboji e. uchafu
  28. wakati wa kufanya usafi wa mazingira glavu huvaliwa ili………… a. kupunguza uchafu yabisi b. kuondoa harufu mbaya c. kujikinga na maambukizi ya magonjwa d. kuongeza unadhifu kazini. e. kuwa warembo
  29. Mfano wa anwani za injini pekuzi mseto ni: a. Yandez b.Bing c.Google d. Firefox e. ubuntu
  30. Injini ambayo hutumia program maalum kutafuta taarifa kutoka mamilioni ya wavuti za tovuti mbalimbali huitwa? A. Injini saraka b. Injini pekuzi c. Injini pekuzi mtambaza d.Injini pekuzi e. mesto
  31. Ipi sio faida ya matumizi ya baruapepe? A. Kupunguza gharama b. Rahisi kurejea c. Si rahisi kupotea d. Humfikia mlengwa haraka e. nafuu. Kwa gharama
  32. Makundi ya alama za usalama ni……….. a. Alama za kuzuia, alama za onyo, alama za lazima na alama za dharura b. Alama za dharura, alama za binafsi na alama hatarishi c. Alama za amri, alama za kuzuia na alama za kukubali d. Alama za hospitali, alama za onyo, alama za barabarani na alama za angani
  33. Alama za lazima au amri huoneshwa kwa rangi gani? A. Njano b. Nyekundu  c, Bluu d. Kijani e. kijivu
  34. Kipi kati ya vifuatavyo hakitumii sumaku? A. Kipaza sauti  b. Simu ya mezani c. Redio d.  Simu ya mkono  e. Pasi
  35. Matumizi ya roda katika maisha ya kila siku ni: a. kunyanyua vitu vizito  b. kufungua vizibo vya chupa  c. kufunga vitu  d. kupunguza mwinuko e. kurahisisha kukata kuni.
  36. Jeki, parafujo, mkasi na patasi ni aina za mashine rahisi ziitwazo a. Tata  b. Nyenzo  c. Ekseli  d. Rola  e. Roda
  37. Kama densiti ya kitu ni ndogo kuliko ya maji, nini kitatokea ukidondosha kitu hicho kwenye maji? A. Kitazama b. Kitaelea c. Kitazama na kuelea d. Kitazama au kuelea e. yote sahihi
  38. Densiti ya kitu ni tungamo ya kizio kimoja cha………….. a. Uzito b. Urefu c. Kina d. Ujazo e. upana
  39. Katika kunasa mawimbi ya utabiri wa hewa, ipi ni antena bora zaidi kati ya hizi zifuatazo? A. Antena kidoa b. Antena ya Yagi-Uda c. Antena ya mchirizo akisi d. Antena ya kitanzi e. antenna janja
  40. Ipi ni tungo sahihi kuhusu vitumi vya mawasiliano ambavyo havijaunganishwa kwa waya? A. Vinaweza vikawasiliana bila antenna b. Haviwezi kuwasiliana bila antenna c. Vinaweza kuwasiliana kwa antena ya upande mmoja tu d. Haviwezi kuwasiliana bila antena kitanzi e.vinaweza kuungua.

SEHEMU B:

  1. Nini maana ya magonjwa ya kurithi? Taja dalili nne za ugonjwa wa seli
  2. Eleza madhara ya mabaya ya intaneti kwa jamii
  3. Eleza kwa ufupi umuhimu wad amu
  4. Taja mabadiliko yanayotokea kwa wasichana wakati wa bahehe
  5. Eleza maana ya barua pepe.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 42

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA DARASA LA SABA

MAARIFA YA JAMII

MUDA:1: 30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEKEZO:

  1. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  2. Kumbuka kuandika majina yako.
  3. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.

SEHEMU A: CHAGUA JIBU SAHIHI KUTOKA YALE ULIOPEWA

  1. Ni tabia gani inachangia kuuwa biashara? A. Kukopa benki b. Usimamizi mzuri c. Kuajiri ndugu d. Kutumia pesa kwa utaratibu uliopangwa e. kuwa na bajeti
  2. Ipi sio tabia ya mjasiriamali? A. Kufanya kazi kwa bidi b. Ubunifu c. Kujiburudisha baada ya kazi d. Kutokata tamaa e.ujasiri
  3. Serikali inaweza kusaidia wajasiriamali wanao chipukia kwa; a. Kuwapa mtaji b. Kuboresha mazingira ya kufanya biashara c. Kuwafungulia biashara d. Kuwazawadia wanaofanya vizuri e. kuwatoza kodi kubwa
  4. Pareto hutumika kutengenezea: a. manukato b. dawa za kuulia wadudu c. vipodozi d. jeli e. mapambo
  5. Aina kuu mbili za biashara ni: a. biashara ya mkopo na ya malipo b. biashara ya mkopo na kubadilishana c. biashara ya mtaji na fedha d. Biashara ya hisa na ya mitaji e.biashara ya ndani na ya nje
  6. Mikoko ni aina ya uoto upatikanao pembezoni mwa: a. mito  b.  maziwa c. bahari d. mabwawa e. visima
  7.  Biashara ya ndani ni ile inayohusisha bidhaa ... a. zinazotengenezwa nje ya nchi. B. zinazotengenezwa na kuuzwa ndani ya nchi. C. zinazozalishwa ndani ya nchi. D. zinazotengenezwa na kuuzwa nje ya nchi. E. zinazouzwa nje ya nchi.
  8. Vitu viwili vinavyopatikana katika mazingira ya nyumbani ni: a. vitanda na madawati b. madarasa na maktaba c. vitanda na vyombo vya jikoni d. mlingoti wa bendera na vitanda e. viwanja vya michezo na madarasa
  9. Watu wanaoishi kandokando mwa bahari na maziwa hujihusisha na shughuli za: a. kilimo b. uvuvi c. uvunaji magogo d. ufugaji e. usafirishaji
  10.  Mbuga za wanyama zinazopatikana Tanzania ni: a. Serengeti, Ruaha na Mikumi b. Tarangire, Katavi na Ngorongoro c. Serengeti, Manyara na Ngorongoro d. Selous, Serengeti na Mikumi e. Mkomazi, Selous na Ngorongoro
  11. Uvuvi usio endeleevu waweza kusababisha yafuatayo kasoro: a. vifo vya watu b. vifo vya Samaki c. uchafuzi wa maji d. umaskini e. utajiri
  12. Mikoa inayolima zao la ndizi Tanzania ni: a. Kagera, Kilimanjaro na Mbeya b. Mbeya, Kagera na Lindi c. Kagera, Singida na Shinyanga d. Arusha, Morogoro na Shinyanga e. Singida, Lindi na Kagera
  13. Ranchi ni eno lililotengwa kwa: a. kilimo cha mazao a. machinjio ya ngombe c. ufugaji wa ngombe d. josho la ngombe e. kuotesha majani
  14. Jua la utosi katika mwezi Disemba huwa katika .  a. Kizio cha Kusini.   B. Tropiki ya Kansa.          C.  Ikweta.  D. Kizio cha Kaskazini.        E. Tropiki ya Kaprikoni.
  15.  Kundi lipi linaonesha sayari? A.  Zebaki, Mwezi na Zuhura b.  Dunia, Nyota na Mihiri c. Zebaki, Serateni na Zohari d. Zuhura, Dunia na Kimondo d.Utaridi, Jua na Mwezi
  16.  Majira ya mwaka hutokea kutokana na ... a. kupatwa kwa mwezi b. mwezi kuizunguka dunia c. dunia kulizunguka jua  d. kupatwa kwa jua e. kuongezeka kwa joto.
  17. Chanzo kikuu cha mnishati katika fumo wa jua ni:a. Dunia  b.  Sayari  c.  jua  d. Mwezi  e. Nyota
  18.  Ni sayari zipi kati ya zifuatazo zina miezi? A. Dunia, Kamsi, Mihiri na Zuhura. B. Dunia, Zohari, Zuhura na Kamsi. C. Dunia, Sumbula, Sarateni na Kamsi. D. Sarateni, Zebaki, Dunia na Kamsi. E. Dunia, Sumbula, Sarateni na Zebaki.
  19. Sehemu ya muhimu ya ramani inayoelezea kuhusu alama zilizotumiwa katika ramani ni a. ufunguo b. fremu c. dira d. kipimio e. kichwa cha ramani
  20.  Katika kuonesha mahali kwa kutumia mistari ya gridi katika ramani huanza kusomwa namba za mstari gani? . a. Ulalo halafu wima. B. Wima halafu ulalo. C. Kushoto halafu kulia. D. Kulia halafu juu. E Kulia halafu kushoto.
  21.  Iwapo umbali wa kilometa 25 kwenye ardhi unawakilishwa na urefu wa sentimeta 5 kwenye ramani. Kipimo cha ramani ni ... a. 1:20000 b. 1:100000 c. 1:50000 d. 1:500000 e. 1:10000
  22.  Picha iliyopigwa katika uoto wa savanna huonesha ... a. misitu minene. B. nyasi ndefu. C. miti iliyochongoka juu. D. miti yenye umbile la mwavuli. E. nyasi fupi.
  23. Njia iliyotumiwa na mataifa ya Afrika kujikwamua kiuchumi baada ya uhuru ni: a. kuanzisha dini. B. kuongeza bei za pembejeo.  C. kudumisha utawala wa kikabila. D. kuboresha kilimo.  E. kusisitiza ukabila.
  24. Kitendo cha nchi changa kulazimika kuzingatia matakwa na maslahi ya nchi za kibeberu huitwaje? A. ukoloni mkongwe  b. ukoloni mamboleo c. ubepari d. umangimeza  e.utandawazi
  25. Viongozi wafuatao walikuwa waanzilishi wa umoja wa Nchi za Mistari wa mbele katika ukombozi wa Kusini mwa Afrika isipokuwa a. Hayati Julius Nyerere  b. Hayati Augustino Neto c. Hayati Samora M. Machel  d. Mzee Kenneth Kaunda  e. Hayati Laurent D.Kabila
  26. Lipi kati ya yafuatayo ni miongoni mwa madhara ya ukoloni? A. kuzorota kwa viwanda vya serikali b. kukua kwa utamaduni wa Kiafrika c. kukomeshwa kwa ubaguzi wa rangi d. kuwepo kwa demokrasi e. elimu ilitolewa bure
  27.  Wakati wa mvua kubwa inayoambatana na radi, watu hawaruhusiwi a. kuvaa nguo nyekundu....... b. kutumia miavuli c. kufungua milango na madirisha d. kujificha chini ya mti e. kufunga luninga na redio
  28. Janga la kimazingira linalosababishwa na nguvu za asili pekee linaitwa a. Ukame b. Tetemeko la ardhi c. Mmomonyoko wa udongo d. Njaa e. Uchafuzi wa mazingira
  29. Lipi kati ya majanga yafuatayo husababishwa na binadamu a. Vita b. Ukame c. Milipuko ya volcano d. Tetemeko la ardhi e. Kimbunga
  30.  Moja ya majanga yanayoletwa na nguvu za asili na kazi za binadamu ni: a. miipuko wa volcano b. tsunami. C. kitropiki. D. radi. E. mmomonyoko wa udongo.
  31. Chanzo kikuu cha wakimbizi Afrika Mashariki na Kati ni:a. uchochezi wa mataifa ya kijamaa yaliyosambaratika b. migogoro na vita vya wenyewe kwa wenyewe c. tamaa ya makundi yenye uwezo wa kupigana d. uvivu, njaa, ukame na kukosa demokrasia e. kuzaliana kwa wingi kwa kundi moja dhidi ya mengine
  32. Moja ya mbinu iliyotumika kudhoofisha teknolojia ya Waafrika wakati wa ukolono ni  a. kufundisha masomo ya sayansi. b.  kuanzisha viwanda vya kisasa katika Afrika. C. kubinafsisha viwanda vya Afrika. D.  kuleta bidhaa za viwandani kutoka ulaya. E. kufundisha Waafrika teknolojia ya Ulaya.
  33. Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884-1885 uliitishwa na ..a. Carl Peters  b.Johann Krapf  c. Henry Stanley  d. David Livingstone e. Otto Von Bismarck.
  34. Mwanzilishi wa mfumo wa utawala wa mlango wa nyuma katika Afrika alikuwa ... a. Horace Byatt b. Friedrick Lugard c. Richard Turnbull d. Donald Cameroon e. Edward Twinning
  35. Ni Taifa lipi la kibepari liliitawala Tanganyika kuanzia mwaka 1891 hadi 1918? A.  Ujerumani  b.  Uingereza c.  China  d.  Ureno  e. Ufaransa
  36. Tanzania ipo kusini mwa a. lkweta  b. Tropiki ya kaprikoni c. Greenwich  d. Ncha ya kaskazini e. Muhimili wa dunia
  37. Yafuatayo ni mambo yalisababishwa na uharibifu wa uoto isipokuwa: a. Kimbunga na tufani b. upungufu wa maji na nusu jangwa c. mmomonyoko wa udongo na kupotea kwa viumbe hai d. njaa na mifugo mingi kufa e. Uchimbaji madini na utengenezaji barabara
  38. Bainisha njia sahihi ya kuzuia athari za mazingira zinazotokana na kilimo: a. Kulima kilimo cha zao moja. B. Kulima kwenye vyanzo vya maji. C. Kilimo cha kuhamahama. D. Kukata miti kandokando ya shamba. E. Kutumia mbolea ya asili.
  39. Viashiria vya utandawazi ni pamoja na............... a. kupungua kwa tofauti ya kipato b. uchumi wa soko huria c. kupungua kwa umaskini d. kuwepo kwa ushindani wa kutengeneza silaha e. kuwepo kwa bidhaa nyingi toka viwanda vya ndani
  40. Biashara ya kimataifa inahusisha............... a. uingizaji na usafirishaji wa bidhaa nje ya nchi  b. uingizaji bidhaa kutoka nje ya nchi tu c. usafirishaji bidhaa kwenda nje ya nchi tu d. kufanya biashara kwa kutumia pesa e. kukopa fedha kutoka nje ya nchi

SEHEMU B: JIBU MASWALI KWA UFASAHA

Jaza nafasi zilizoachwa wazi

  1. Wapiganaji wa chama cha FRELIMO walipata mafunzo ya kijeshi katikanchi ya ……………………….. na kufanikiwa kuleta uhuru wa kweli Msumbiji
  2. Mwalimu Julius Nyerere alifanikiwa kuongoza harakati za kudai uhuru wa Tanganyika akiwa kiongozi wa chama cha……………………………
  3. Katika    harakati za kudai uhuru, baadhi ya nchi za Afrika zilizopata uhuru wake kwa njia ya mapinduzi ni ………………………… na ………………………………………….
  4. Ni mkoa upi nchini Tanzania ni maarufu kwa ukulima wa pamba?...........................................
  5. Binadamu aliweza kutembea kwa miguu miwili aliitwa?..........................................................

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 41

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA KWA SHULE ZA MSINGI

NUSU MUHULI YA KWANZA- MACHI

HISABATI- DARASA LA SABA

FOMATI MPYA

MUDA 1:30 SAA MACHI 2021

JINA …………………………...SHULE………………………...

MAELEKEZO

  1. Mtihani huu una maswali 45 katika sehemu mbili A na B
  2. Sehemu A chagua jibu sahihi kutoka yale uliopewa
  3. Sehemu B unatakiwa ukokotoe kwa kuonyesha njia
  4. Tumia kalamu ya wino wa bluu au mweusi

SWALI

KAZI

JIBU

  1. 6.894-5.759=
  1. 1.085
  2. 1.045
  3. 1.135
  4. 1.125
  5. 1.145


  1. 898+ 5,773=
  1. 6,571
  2. 6,661
  3. 6,561
  4. 6,671
  5. 5,561


  1. 345 x 25 =
  1. 7625
  2. 7505
  3. 8605
  4. 8525
  5. 8625


  1. 71/4 x 21/4 =
  1. 143/16
  2. 165/16
  3. 166/16
  4. 167/16
  5. 141/16


  1. 20085 ÷ 65 =
  1. 39
  2. 209
  3. 48
  4. 309
  5. 38


  1. (-18) x(-18)=
  1. -324
  2. -264
  3. +324
  4. -264
  5. +234


  1. 15,614-T =14,659, Thamani ya T ni
  1. 855
  2. 955
  3. 1055
  4. 965
  5. 1065


  1. 2.3 x 0.48 x 1.05 =
  1. 1.0542
  2. 1.1382
  3. 1.1544
  4. 1.065
  5. 1.1592


  1. (-24) – (-10) =
  1. -14
  2. -4
  3. +14
  4. 34
  5. -34


  1. 23.4 + 5.2 =
  1. 28.5
  2. 28.6
  3. 20.2 
  4. 30.5 
  5. 20.8


  1. 38.27 x 12
  1. 45.924 
  2. 4595.4
  3. 459.24
  4. 40.24 
  5. 30.45


  1. Badili 5/2 kuwa desimali
  1. 2.5 
  2. 2.4 
  3. 2.6 
  4. 1.5 
  5. 0.5


  1. Badili 0.125 kuwa sehemu rahisi
  1. 1/4
  2. 1/8 
  3. 1/16 
  4. 1/32 
  5. 4/32


14. – 11 x (+5)=

  1.  +55 
  2.  155 
  3.  +15 
  4.  -55 
  5.  5


15. -3100 ÷ (-124) =

  1.  +15 
  2.  +25 
  3. 25 
  4. -43 
  5.  +45


16. Badili 0.0011 kuwa asilimia

  1. 11%
  2. 110%
  3. 0.011%
  4. 0.11%
  5. 1.1%


17. (siku 9 saa 7 ) x 6 =

  1. Siku 55 saa 18
  2. Siku 54 saa 42
  3. Siku 57 saa 06
  4. Siku 53 saa 18
  5. Siku 58 saa 03


18. iwapo x;y = 2.5:6.5, tafuta thamani ya y ikiwa x -1.5

  1. 3.73
  2. 4.90
  3. 9.75
  4. 10.00
  5. 3.90


19. tafuta jumla ya namba tasa kati ya 36 na 42.

  1. 78
  2. 117
  3. 195
  4. 156
  5. 273


20. badili 1,694 kuwa katika tarakimu za kirumi

  1. MCDXCIV
  2. MCDCXIV
  3. MDCXCVI
  4. MDCXCIV
  5. MDCIXCV


21. Ipi kati ya namba 43, 47, 51, 53 na 59 sio namba tasa?

  1. 47
  2. 51
  3. 53
  4. 59
  5. 43


22. badili 21/2% kuwa decimali

  1. 0.105
  2. 0.25
  3. 0.215
  4. 0.025
  5. 0.125


23. Tafuta kipeuo cha pili cha 8464

  1. 82 
  2. 88 
  3. 72 
  4. 92 
  5. 62


24. Tafuta idadi ya namba shufwa zilizopo kati ya 0 na 10

  1. 20 
  2. 24 
  3. 5


25. Andika saa 7:30 mchana katika mtindo wa saa 24.

  1. 0130 
  2. 0730 
  3. 1330 
  4. 1430 
  5. 1230


26. 30. Tafuta eneo la duara lifuatalo II = 22/7

  1. sm 154 
  2. ms2 616 
  3. 616 
  4. sm2 154 
  5. 156


27. Tafuta tofauti kati ya vipeuo vya pili vya 324 na 256.

  1. 14 
  2. 16 
  3. 18 
  4. 34


28. Kadiria 2,349,673 katika maelfu ya karibu.

  1. 2,340,000
  2. 2,300,000
  3. 2.349,000
  4. 2,350,000
  5. 2,000,000


29. kigawo kikubwa cha shirika (K.K.S) cha 8,18, na 24 ni;

  1. 4. 
  2. 6. 
  3. 8.


30. Tafuta mzigo wa msambamba ufuatao

  1. sm 54 
  2. sm54 
  3. sm 30 
  4. sm 15 
  5. sm50


31. Tafuta eneo la Trapeza ifuatayo:-

  1.  sm 2 15 
  2. sm 2 18 
  3. sm 1 96 
  4. sm 18 
  5. sm 15


32. Tafuta kipenyo cha mcheduara ufuatao iwapo ujazo wake ni sm3 61.6 (Tumia Pai =22/7)

  1. 1.4 sm
  2. 1.96 sm
  3. 2.8 sm
  4. 6.16 sm
  5. 3.92 sm


33. Tafuta eneo la sehemu iliyotiwa kivuli

  1.  sm 2 18 
  2.  sm2 126 
  3.  sm 36 
  4.  sm 36 
  5. 126


34. Tafuta eneo la nyuso za mche mstatili ufuatao:-

  1. sm 376 
  2. sm 4.3 
  3. sm 376 
  4. sm4.5 
  5. sm 4.5


35. Tafuta mzingo wa pembetatu pacha PQR.

  1. 6 sm
  2. 14 sm
  3. 28 sm
  4. 22 sm
  5. 38 sm


36. Tafuta eneo la umbo ABCD

  1. sm 2 4.3 
  2. sm 4.3 
  3. 4.4 
  4. sm 2 4.5 
  5. 4.5


37. Tafuta ukubwa wa pembe ABC katika umbo lifuatalo


  1. 500
  2. 600
  3. 650
  4. 700
  5. 900


38. Martha hutembea kwa mwendokasi wa kilometa 2 kwa saa kutoka nyumbani hadi dukani. Ikiwa hutumia nusu sasa, je, ni umbali gani kutoka nyumbani hadi dukani?

  1. km 1
  2. km 2
  3. km 3
  4. km 4
  5. km 5.


39. Dawati moja katika chumba cha darasa la sita hukaliwa na wanafunzi 3. Ikiwa chumba cha darasa hilo kina wanafunzi 75 Je? Kina madawati mangapi?

  1. 20 
  2. 15
  3. 25 
  4. 30 
  5. 35


40. Shule ya msingi Mapinduzi ina wanafunzi 690. Ikiwa 2/3 ya wanafunzi walifanya vizuri kwenye jaribio la hisabati.Je? ni wanafunzi wangapi hawakufanya vizuri ?

  1. 230 
  2. 330 
  3. 450 
  4. 460 
  5. 660.


SEHEMU B.

KOKOTOA MASWAHILI YAFUATAYO KWA KUONYESHA NJIA.

41. Juma alijibu kwa usahihi maswali 45 kati ya maswali 50 ya mtihani wa somo la Kiswahili. Je Juma alipata asilimia ngapi?

42. Gari la Meri husafiri umbali wa km 20 kwa mwendokasi wa km 80 kwa saa. Je hutumia muda gani kukamilisha safari yote?

43. Halima alipewa sh. 20,000/= kwa ajili ya kununua vitu vifuatavyo:-

Mchele kg 2 @ 2200

Sukari kg 3 @ 2000

Sigara pacti 2 @ 500

Vitunguu kg 2 ½ @ 1500 .Je? alibakiwa na shilingi ngapi?

44. Mshahara wa Saguti ni shillingi 456,500 kwa mwezi. Ikiwa mshahara huo utapanda kwa asilimia 26, je mshahara mpya utakua shillingi ngapi?

45. Tafuta Thamani ya M

2m + 0.5 = 13.5



LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN HESABU EXAM SERIES 27

PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY EXAMINATION SERIES

FIRST MID TERM EXAMINATION- MARCH

SOCIAL STUDIES- STANDARD SEVEN

NEW FORMAT

TIME1:30 HRS MARCH 2021

NAME …………………………...SCHOOL………………………...

INSTRUCTIONS

  1. This paper consists of 45 question with section A and B
  2. Choose the best choice in question 1-40
  3. For section B solve the question showing your working
  4. Use blue or black ink pen.

SECTIONA: SELECT THE CORRECT ANSWER FROM ALTERNATIVES GIVEN

PART I: CIVICS

  1. In the administrative structure of local government; who heads the district and municipal council?
  1. Ruling party
  2. Executive director
  3. District officer
  4. Committee at each level
  5. District administrative officer
  1. Who is responsible for protecting the sovereignity and bounderies of our country? ……….
  1. Citizens
  2. Government
  3. People defence forces
  4. President
  5. Prime minister
  1. Which of the following is the highest tool in decision making in the village government?
  1. Village government
  2. Defense and security committee
  3. Village general meeting
  4. Village executive officer
  5. Village development committee
  1. Which organ is responsible for running correctional facillities?- ………
  1. Mercenaries
  2. Police
  3. JWTZ
  4. Prisons
  5. Immigrations
  1. Culture is a society can be expressed in the following ways except:- …..
  1. Food
  2. Clothes
  3. Work
  4. Music
  5. Tourism
  1. The body responsible for supervising the election of councilors, members of parliament and the president in Tanzania is:
  1. Police Force
  2. National electoral commission
  3. High court
  4. Office of political party registration
  5. Office of the prime minister
  1. The best action to take when you want to start a new business is…………
  1. Copy business strategies from neighbours
  2. Involve relatives in your business
  3. Ensure availability of goods and market
  4. Have a big capital
  5. There should be settlement of people
  1. Who is responsible for security and protection of our nation?
  1. People defence force
  2. Department of national security
  3. The national police
  4. Mercenaries.
  5. Every citizen.
  1. The sign that represents national resources in the national emblem is _______________
  1. Mount Kilimanjaro
  2. Spear
  3. Cashew nuts
  4. Ocean Current
  5. Elephant Tusks
  1. Globalization is a system that emphasizes;
  1. Communication and information technology in developing countries
  2. Equal rights to every one in the world
  3. Multi-party system in developing countries
  4. Free trade between countries
  5. Private sector in developing countries
  1. What is entrepreneurship?
  1. Any business that makes profit
  2. Investment in business
  3. Small and medium enterprises.
  4. Private sector
  5. The ability to risk in business
  1. The leader of government business in the parliament is;_______
  1. Speaker
  2. Prime minister
  3. Attorney general
  4. All members of parliament
  5. President of the united republic of Tanzania
  1. An administrative unit bigger than a ward but smaller than a district is called;
  1. Village
  2. Region
  3. Constituency
  4. Zone
  5. Division
  1. What does the yellow color represent in the national flag?__________
  1. Natural vegetation
  2. The Tanzania People
  3. Minerals
  4. Water
  5. Agriculture
  1. The following are family basic needs _________
  1. Food , clothing, and car
  2. food, clothing and television
  3. clothing, shelter and food
  4. Food, shelter television
  5. food, shelter clothing and traditional dances.

HISTORIA

  1. Arusha declaration was about…………
  1. independence and work
  2. politics and agriculture
  3. Education for all
  4. socialism and self reliance
  5. multi-party democracy.

17. In which century did the first traders from Asia reach Tanganyika?

  1. 15th century
  2. 19th century
  3. 8th century
  4. 9th century
  5. 12th century
18. A group of family with the same origin is called ………
  1. Father and children
  2. clan
  3. relatives
  4. family members
  5. family

19. In pre-colonial period, the role of African chiefs was

  1. Dispute resolution
  2. Signing agreement with colonists
  3. Increase the number of livestock
  4. Build houses
  5. Establish ujamaa villages

20. The first treaty that was signed in 1822 to abolish slave trade in Tanganyika and Zanzibar was called.

  1. The Morseby Treaty
  2. The Frere Treaty
  3. The Heligoland Treaty
  4. The Harmaton Treaty
  5. The Berlin Conference

21. Which among the following countries got their independence through armed struggle?

  1. Angola, Ghana and Kenya
  2. Zimbabwe, Angola and Mozambique
  3. Msumbiji, Liberia and Zimbabwe
  4. Uganda, Rwanda and Tanzania
  5. Kenya, Uganda and Liberia

22. At what stage of evolution did man start walking in two legs?

  1. Primate
  2. Homo sapiens
  3. Homo habilis
  4. Zinjanthropus
  5. Homo erectus

23. Which of the following factors greatly contributed to scramble and partition of African Continent?

  1. To civilize Africans
  2. Economic demands by capitalist countries
  3. Economic demands by Asia socialist countries
  4. Industries revolution in Africa
  5. Capitalist countries to be seen as the best compared to others

24. _________ is a production system that lasted for the shortest time in African Continent.

  1. Communalism
  2. Socialism
  3. Ukabaila
  4. slavery
  5. Capitalism

25. In which continent is the ealier man though to have lived?.......

  1. Africa
  2. Europe
  3. Australia
  4. America
  5. Asia
  1. The earliest people to arrive in Tanganyika and Zanzibar were?
  1. Traders
  2. Missionaries
  3. Explorers
  4. Settlers
  5. Arabs
  1. The African communities which resisted colonial rule were
  1. Nandi and Hehe
  2. Sangu and Wabena
  3. Waha and kamba
  4. Buganda and the Bena
  5. Bena and the Pare
  1. Rock painting in Tanzania can be found in ______
  1. Olduvai Gorge
  2. Russinga
  3. Kondoa Irangi
  4. Isimila Iringa
  5. Pangani Tanga
  1. Struggle for independence in African Countries started After
  1. Formation of United Nations
  2. Disintegration of soviet union
  3. Second world war
  4. Abolishment of slave Trade
  5. The emergency of multi-party democracy
30. A part of earth surface surrounded by water is called________
  1. Peninsular
  2. Island
  3. estuary
  4. Gulf
  5. continent

31. How do we get the total number of people in a given area?

  1. Counting young children
  2. Counting the dead
  3. Counting refugees
  4. Finding the area of given place
  5. Carrying out a census

32. Two things that makes up environment are __________

  1. Plants and Animals
  2. Mountain and swamps
  3. Living and Non-living Things
  4. Human being and animal
  5. Water and air

33.We can prevent environment degradation by________

  1. Use of plastic containers
  2. Throwing things any howly
  3. Use of industrial fertilizer
  4. Animal keeping
  5. Recycling wastes.

34. The earth rotates on its own axis to get;___

  1. day and night
  2. Seasons
  3. Solar eclipse
  4. Lowering of earth’s temperature
  5. Time difference between same longitude

35. We can harvest rain water for later use by using;

  1. Buckets and pipes
  2. Bottle and containers
  3. Wells and bottle
  4. Wells and containers
  5. Bucket and bottle

36. Which of the following lakes is found on the eastern rift valley?__

  1. Turkana
  2. Albert
  3. Kyoga
  4. Tanganyika
  5. Edward

37. The leading country in Africa in producing rubber is .…….

  1. Liberia
  2. Ghana
  3. Nigeria
  4. Burundi
  5. Gabon

38. A climatic region with huge forests and plants like coconut is likely to be;

  1. Equatorial climate
  2. Tropical climate
  3. Monsoon climate
  4. Mediterranean climate
  5. Cold climate

39. Which community was involved in long distance trade in southern Tanganyika before colonial period?

  1. Maasai
  2. Kamba
  3. Chagga
  4. Nyakyusa
  5. Hehe

40. Which of the following is a reason for rapid population growth?

  1. Migration and birth
  2. Lack of family planning knowledge
  3. Giving birth and good health
  4. Earlier marriages
  5. Increases of refugees

USE THE MAP BELOW TO ANSWER QUESTION 41-45


41. Letter F represents which Island?…………………………

42. Which lake is marked with letter D :-………………..

43. The country marked A is:- ……………………

44. What is the name of the national park marked G? …………………………

45. The name of railway line marked B is:- ……………….

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SOCIAL EXAM SERIES 26

THE PRESIDENT’S OFFICE, MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY EXAMINATION SERIES

MID TERM EXAMINATIONS- MARCH 2021

ENGLISH LANGUAGE - STANDARD SIX

CURRENT RECOMMENDED FORMAT

TIME 1:30 HRS MARCH 2021

NAME…………………………... SCHOOL………………………...INSTRUCTIONS 

1. This paper consists of 45 questions in section A, B, C, D and E

2. Answer all questions

3. Read all given instructions in the special answer sheet (OMR) and fill in all the needed information

4. Write your name and examination number correctly on your answer sheet provided

5. Use HB pensil for question 1 – 40 and blue or black pen for question 41 – 45

6. Cellular phones and other printed materials are not allowed in the examination room

SECTION A; GRAMMAR

Choose the correct words that complete the sentences by shading the letter of the correct answer in the answer sheet provided. 

  1. Samwel is the man  . . . . . . . . . . . . . . . . .  Is in charge of the department
    1. what
    2. which
    3. where
    4. Whom
    5. Who
  2. This is the factory . . . . . . . . . . . . . . . . .makes yoghurt
    1. Which
    2. where
    3. who
    4. whereas
    5. whom
  3. Students  . . . . . . . . . . . . . . . . .Mikumi National Park next month.
    1. Visit
    2. Visits
    3. will visit
    4. Visiting
    5. Visited
  4. The children always  . . . . . . . . . . . . . . . . .playing with toys
    1. Liked
    2. like
    3. liking
    4. likes
    5. likeness
  5. The workers are going home . . . . . . . . . . . . . . . . .?
    1. Are they
    2. is it
    3. isn’t it
    4. has they
    5. aren’t they
  6. The company exported maize flour, . . . . . . . . . . . . . . . . .?
    1. Isn’t it
    2. is it
    3. didn’t
    4. didn’t it
    5. did it
  7. Did you  . . . . . . . . . . . . . . . . . your homework last night?
    1. Finishes
    2. finished
    3. finish
    4. finishing
    5. do finish
  8. Diamond is a great musician  . . . . . . . . . . . . . . . . .?
    1. Is it
    2. Isn’t she
    3. is he
    4. Isn’t Diamond
    5. Isn’t he
  9. The teachers . . . . . . . . . . . . . . . . . teaching mathematics at the moment
    1. Is
    2. were
    3. have
    4. are
    5. shall
  10. Write the indirect speech for the sentence “I shall be writing exams this time tomorrow” he said.
    1. He said that he could be writing his exams the following day
    2. He said that he would be writing his exams the following day
    3. He said that he should be writing his exams the following day
    4. He said that he should be writing his exams this time tomorrow
    5. He said hat he shall be writing his exams the following day
  11. He will not pass his examination _________ he works hard
    1. But
    2. because
    3. even
    4. Unless
    5. and
  12. They are  . . . . . . . . . . . . . . . . ..more goods
  1. bought
  2. buying
  3. buy
  4. buys
  5. buyed

13. I am . . . . . . . . . . . . . . . . ..about safety measures in a factory

  1. learning
  2. learnt
  3. learn
  4. learns
  5. running
  1. The farmers can ___________ plant beans nor maize this year
    1. Either
    2. bot
    3. not
    4. either
    5. also
  2. The factory is  . . . . . . . . . . . . . . . . ..goods for export
    1. process
    2. processes
    3. processed
    4. processing
    5. make
  3. The sun _____________ from East to West
    1. Rises
    2. Rise
    3. Rising
    4. Rose
    5. Are Rising
  4. Pay for the earings and . . . . . . . . . . . . . . . . .them in your bag
    1. remove
    2. cover
    3. wear
    4. put
    5. worn
  5. Mr. Musoka is _________________ honest man
    1. A
    2. an
    3. some
    4. the
    5. is killing
  6. I saw Brandon eating Ugali _____________ a spoon
  1. by
  2. with
  3. and
  4. for
  5. from

20. The spectators all cheered the elegant . . . . . . . . . . . . . . . . .on the catwalk

  1. staff
  2. competitors
  3. viewers
  4. judges
  5. singers

21. Mount Kilimanjaro is ______________ than Mount Kenya

  1. higher
  2. high
  3. the highest
  4. very higher
  5. an highest

22. The boutique almost  . . . . . . . . . . . . . . . . .fire yesterday

  1. catch
  2. caught
  3. caughted
  4. catching
  5. catches

23. Did you  . . . . . . . . . . . . . . . . .the tailor making the kitenge trousers?

  1. hear
  2. look
  3. find
  4. saw
  5. looks

24. They travelled from Mwanza to Morogoro . . . . . . . . . . . . . . . . . air plane

  1. by
  2. on
  3. with
  4. in
  5. at

25. Gardiner carried . . . . . . . . . .umbrella because it was raining

  1. un
  2. an
  3. a
  4. the
  5. are

26. James and Carlton went to school . . . . . . . . . . . . . . . . .bus.

  1. by
  2. of
  3. for
  4. at
  5. on

27. My uncle has been a teacher  . . . . . . . . . . . . . . . . . a year now.

  1. at
  2. in
  3. on
  4. since
  5. for

28. The girl walked under the . . . . . . . . . . . . . . . . .of trees on their way to the park

  1. altitude
  2. canopy
  3. deposit
  4. forest
  5. surface

29. There isn’t __________ sugar in the tea

  1. an
  2. some
  3. many
  4. any
  5. little

30. We get . . . . . . . . . . . .straws from recycled plastic

  1. Thin blue drinking
  2. blue drinking thin
  3. thin drinking blue
  4. drinking blue thin
  5. drinking straw

SECTION B. VOCABULARY

Choose the correct answer that completes the sentences. 

31. A man whose wife has died is called a

  1. Widower
  2. Widow
  3. orphan
  4. troublesome
  5. bachelor

32. A person who treats teeth is called

  1. police
  2. navigator
  3. doctor
  4. pilot
  5. dentist

33. A pedestrian is a person who ________

  1. pedals the bicycle
  2. walks on foot
  3. travels by car
  4. uses a pedal
  5. travels by train

34. The plural form of the word sheep is

  1. Sheeps
  2. ships
  3. sheep
  4. ship
  5. sheepy

35. A person who cuts other people’s hair is called a ________

  1. saloon
  2. barber
  3. hair cutter
  4. hair dresser
  5. hair salon

36. The pupils were _________ for winning their match against their opponents

  1. congratulated
  2. celebrate
  3. praise
  4. confirmed
  5. concurred

SECTION C: COMPOSITION

This section has four mixed sentences. Re arrange the sentences so as to make a good composition by giving them letter A, B, C and D shade the letter of the correct answer in your answer sheet. 

37. They were expecting to see their mother come through the gate at any moment

38. “Why do you think she has not yet come” asked Kataga. “May be the bus from the market was late” answered Kimaro.

39. One evening Kimaro and his younger sister Kataga were sitting on the door step of their house.

40. It was now a quarter past six and she had not yet returned.

SECTION D: COMPREHENSION

Read the following passage carefully then answer queston 41-45 by filling in the blanks shortly. 

A long time ago hare and the elephant were great friends. They ate together and drank together and even wore same clothes. It was unusual to see the hare wearing oversized clothes that belonged to the Elephant. The Hares clothes went only as far as the head and so in an attempt to please the hare, the elephant wore the Hares clothes on his head. One day as the hare was walking around the village, he found a pair of shoes. The shoes belonged to Assumpta, the chief’s daughter. The Hare tried them and when they fitted he took them and went on his way proudly showing off to the elephant. The elephant wanted a similar pair of shoes. They had to be exactly the same size and Colour. The hare said he would make the Elephants feet smaller first. He said they should start working the next day at a secret place where no one else would see him. The Hare made a big fire and heated an iron on it with the red hot iron he started slicing the Elephant’s feet. The Elephant did not want to show any signs of pain, when at last he could not bear the pain, he yelled out loudly.

“Elephant”, said the hare mockingly, “your size does not allow you to cry like a baby. Don’t you want the shoes?” actually I don’t feel any pain at all,” lied the Elephant. It was however very painful and when the hare burned to add some firewood in fire, the elephant took off at a great speed. He did not go very far, though because his feet were already very swollen. No wonder the elephant has such big feet, they have remained swollen. That evening the hare went to the village. Someone spotted Assumpta’s shoes that the hare was wearing. The hare was cornered and that day he became soup for the Assumptas family. Before he died he said that he had learnt his lesson.

QUESTIONS

41. Why would the Elephant wear hares clothes on the head?

____________________________________________

42. Which part of speech is the word proudly as used in the passage

_________________________________________

43. The Elephant wanted a pair of shoes like the hares because

_______________________________________

44. Who was Assumpta? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .. . . . . . . . . . . . . . . . . . . .. . . . . . . . . . . . . . . . . . . .. . . . . . . . . . . . . . . . . . . .. . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

45. The best title for this passage is. . . . . . . . . . . . . . . . . . . .. . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 25

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA MSINGI

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA -MACHI 2021

URAIA NA MAADILI – DARASA LA SABA

FOMATI MPYA

MUDA1:30 MASAA       MACHI 2021

JINA …………………………...SHULE ………………………...

MAELEKEZO 
  • Jibu maswali yote
  • Tumia kalamu ya wino wa bluu au mweusi kwa swali la 41-45
  • Hakikisha kazi yako inakuwa safi
  • Tumia penseli kuweka kivuli kwa majibu sahihi

SEHEMU A:Chagua jibu sahihi.

1. Mtu anayedhibiti mwenendo wa wanafunzi shuleni ni..

  1.  Mwenyekiti wa kamati ya shule 
  2.  Mwalimu wa nidhamu
  3.  Mwalimu mkuu msaidizi 
  4.  Mwalimu wa taaluma
  5.  Mwalimu wa somo
  1. Tunaposema sheria mama tunamaanisha nini?
  1. sheria zinazohusu akina mama,
  2. katiba ya nchi,
  3. bunge,
  4. Baraza la Mawaziri
  5. baraza la madiwani.
  1. Chombo cha juu katika maamuzi kwenye serikali ya kijiji ni ..................
  1. Serikali ya kijiji 
  2. Kamati ya ulinzi na usalama
  3. Mkutano mkuu wa kijiji 
  4. Afisa Mtendaji wa Kijiji
  5. Kamati ya Maendeleo ya kijiji
  1. Chombo cha kitaifa kinachotunga sheria za nchi ni;
  1. Bunge,
  2. Mahakama,
  3. Jeshi la polisi,
  4. Baraza la madiwani
  5.  baraza la wawakilishi Zanzibar.
  1. Ipi kati ya sarafu zifuatazo ina picha ya Rais wa kwanza wa Zanzibar?.................
  1. Sarafu ya shilingi mia moja 
  2. Sarafu ya shilingi mia mbili
  3. Sarafu ya shilingi hamsini 
  4. Sarafu ya silingi ishirini
  5. Sarafu ya shilingi kumi
  1. Sheria ambayo imepitishwa na bunge ila bado haijasainiwa na Rais ni_________
  1. katiba,
  2. maoniyawananchi,
  3. muswada,
  4. mawaidha
  5. mjadala.
  1. Maliasili zinazovutia watalii na kuchangia katika kukuza uchumi wa Tanzania ni..................
  1. ardhi 
  2. mito 
  3. mifugo
  4.  madini 
  5.  mbuga za wanyama
  1. Chombo ambacho kimepewa mamlaka yakuendesha utawala wanchi kwamisingi maalumu__________
  1. Bunge,
  2. Chama cha siasa,
  3. Serikali,
  4. Jeshi 
  5. polisi.
  1. Kiongozi anayepatikana kwa kuchaguliwa katika ngazi ya kata ni________
  1. OfisaMtendaji,
  2. Diwani,
  3. Mwenyekiti,
  4. Kitongoji
  5. Mwenyekitiwahalmashauri.
  1. Wajibu wa serikali katika kujenga maadili ya viongozi ni....................
  1. Kuwakopesha magari viongozi wote
  2. Kuimarisha mfumo wa chama kimoja cha siasa
  3. Kusimamia sheria za utumishi wa umma
  4. Kuhamisha watumishi wasio waadilifu
  5. Kuajiri watumishi wenye elimu ya juu to
  1. Nyimbo,ngoma,mashairi na masimulizi kwa neon moja huitwa_______.
  1. burudani, 
  2. mazoezi, 
  3. sanaa za maonyesho,
  4. elimu
  5. asili
  1. Maana ya utamaduni ni:-
  1. Ushabiki wa kitu au jambo unalolipenda
  2. Mtindo wa jumla wa maisha ya watu katika jamii au taifa Fulani
  3. Shughuli za asili zinazofanywa na watu
  4. Yote sahihi
  1. Baadhi ya alama zipatikanazo kwenye fedha ya Tanzania ni
  1. Twiga Tembo, Nembo ya taifa na sura ya rais
  2. Nembo , nyumbu na kifaru
  3. Mwenge , twiga na sokwe
  4. Mwenge wa uhuru
  1. Umuhimu wa bendera ya rais ni
  1. Kutembelea katika ziara mbalimbali tu
  2. Kuonyesha mamlaka ya rais
  3. Kuhamasisha mwenge wa uhuru
  4. Kuonyesha heshima kwa rais
  1. Chimbuko la sheria zote nchini Tanzania ni;
  1. Fedha ya Tanzania
  2. Katiba ya Jamhuri wa muungano wa Tanzania.
  3. Vyama vya siasa
  4. Bunge
  1. Rangi ya bluu iliyopo katika bendera ya taifa uwakilisha;
  1. Watanzania
  2. Madini
  3. Maji ambayo ni mito, maziwa na bahari nchini Tanzania
  4. Uoto wa asili
  1. Alama ambayo hutumika kuonyesha umiliki wa mali na nyaraka za serikali tu ni;
  1. Picha ya makamu wa rais
  2. Bendera ya taifa
  3. Nembo ya Taifa
  4. Ndege ya Taifa
  1. Ni ishara gani inayoonyesha kwamba taifa limepatwa na msibu mkubwa?
  1. Bendera zote kupepea nusu mlingoti
  2. Bendera ya taifa kupepea nusu mlingoti
  3. Bendera ya taifa kutopandishwa kabisa siku ya tukio
  4. Watu kutokwenda kazini
  1. Ni siku ambazo viongozi hupata fursa kueleza mafanikio na changamoto zinazohitaji kufanyiwa kazi
  1. Siku za kukimbizwa mwenge wa uhuru tu
  2. Sikukuu ya mapinduzi ya Zanzibar tu
  3. Sikukuu za kitaifa
  4. Sikukuu ya krismas
  1. Zipi kati ya hizi ni mila zisizofaa katika jamii?
  1. Kufanya kazi kwa ushirikiano
  2. Kuwakeketa wasichana
  3. Kuhamasisha wanaume na wanawake kushirikiana kufanya kazi za nyumbani hili kujiongezea kipato.
  4. Kuoa jinsia moja
  1. Mifano ya vikundi vinavyoweza kuundwa shuleni ni kama;
  1. Skauti, klabu za mazingira, klabu ya TAKUKURU.
  2. Klabu za masomo
  3. Upatu, ushirikiano na vyama vya siasa
  4. Skauti, singeli na ngoma za asili.
  1. Maendeleo yafamilia huletwa na_
  1. Baba
  2. Mama
  3. Mama na Baba
  4.  Wanafamiliawote
  5. babunabibi
  1. Kipi ni miongoni mwa tabia za kiutamaduni huchangia kuenea kwa vvu/ukimwi ---------
  1. Ndoa za utotoni na ukeketaji
  2. Kurithi wajane na ukeketaji
  3. Ngoma za asili na ndoa za kulazimishwa
  4. Imani za vyakula na ngoma za asili
  5. Ukeketaji na mauaji ya vikongwe
  1. Alama inayowakilisha wafanyakazi katika Nembo yaTaifa ni? ------------
  1. Jembe
  2. Mkuki
  3. Pembe za ndovu
  4. Mwenge wa uhuru
  5. Shoka
  1. Mwenenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya,Miji,manispaa na Jiji huchaguliwa na ;
  1. Wajumbe wa Bunge
  2. Mkuu wa Mkoa
  3. Madiwani
  4. Rais
  5. Ofisi ya Waziri Mkuu.
  1. Bunge limeundwa na sehemu kuu mbili nazo ni; ---------
  1. Spika na wabunge
  2. Waziri wa sheria na Wabunge
  3. Rais na Wajumbe wa Bunge
  4. Waziri Mkuu na Spika 
  5. Mwanasheria Mkuu wa  Serikali na Spika.
  1. Waendao kwamiguu barabarani wanashauriwa kutembeakwa -----------
  1. Kutumia upande wakulia wa barabara
  2. Kutumia upande wa kushoto wa barabara
  3. Kuangalia upande wa kulia na kushoto wa barabara
  4. Kushikana mikono
  5. Kuangalia taa za usalama barabarani
  1. Jukumumojawapo la Baraza la madiwanini ……
  1. Kupitisha bajeti ya wizara
  2. Kumshauri Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya
  3. Kuhudhuria vikao vya Bunge
  4. Kuteua mkuu wa Wilaya 
  5. Kuapishawatendajiwavijiji.
  1. mkurugengezi wa halmashauri huteuliwa na …… 
  1. Rais
  2. mkuu wa mkoa 
  3. madiwani
  4. mkuu wa wilaya
  1. Maana ya utamaduni ni
  1. ushabiki wa kitu
  2. mtindo wa jumla ya maisha ya watu watu
  3. shughuli za asili zinazo fanywa na watu
  4. ngoma na filimbi
  5. mila na desturi
  1. Ufundi wa kuwasilisha hisia na mawazo yaliyomo katika fikra huitwa:
  1. Mila
  2. Desturi
  3. Sanaa
  4. Utamaduni.
  1. Asili, mila, jadi Imani na desturi za jamii Fulani huitwa?
  1. Utamaduni
  2. Desturi
  3. Sanaa
  4. Mila
  1. Jambo la kawaida linalotendwa kila siku na jamii huitwa?
  1. Lugha
  2. Sanaa
  3. Desturi
  4. Mila
  1. Wareno walifika pwani ya Africa Mashariki mwaka?
  1. 1540
  2. 1498
  3. 1497
  4. 1690
  1. Lengo la waarab wa Omani kuja pwani ya afrika ilikuwa
  1. Kilimo
  2. Uvuvi
  3. Biashara
  4. Upagazi.
  1. Mreno wa kwanza kufika katika pwani ya Afrika mashariki alijulikana kama
  1. William Mackinnon
  2. Charles Stokes
  3. Vasco Dagama
  4. Karl Peters
  1. Wareno walifika katika Mji wa kilwa mnamo karne ya
  1. 15
  2. 16
  3. 19
  4. 18
  1. Nini maana ya uhusiano?
  1. Hali ya watu wawili na Zaidi wenye malengo ya Pamoja
  2. Hali ya kugombana baina ya mt una mtu
  3. Hali ya kufanya kazi peke yako
  4. Mshikamano
  1. Kipi kati ya vifuatavyo ni chombo cha sheria kinasimamiahaki?
  1. Polisi
  2. Bunge
  3. Shule
  4. Mahakama
  5. Jeshi
  1. Wajumbe wa Kamati ya Shule huchaguliwa na ………..
  1. Mwalimu mkuu 
  2. Wazazi 
  3. Walimu shuleni 
  4. Mtendaji wa kijiji 
  5. Diwani.

JAZA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI;

41.Kiongozi mkuu wa shughuli za kila siku  Bungeni ----------

42.Ni nani mwenyekiti wa baraza la mawaziri…………………….

43._____________ni kiongozi mkuu wa kisiasa katika kata………..

44.Bendera ya taifa ina rangi ngapi?_________________-

45.Katibu wa vikao vya baraza la madiwani katika Ngazi ya Halmashauri  ni_________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN URAIA EXAM SERIES 24

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA MSINGI

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA -MACHI 2021

SAYANSI NA TECHNOLOGIA – DARASA LA SABA

FOMATI MPYA

MUDA1:30 MASAA       MACHI 2021

JINA …………………………...SHULE ………………………...

MAELEZO

  1. Mtihani huu una sehemu Mbili A na B na jumla ya maswali matano
  2. Sehemu ya A ina alama 40 na sehemu B ina alama 10
  3. Jibu maswali yote kulingana na maelezo ya kila swali
  4. Mtihani wote una alama 50

Chagua herufi ya jibu sahihi.

1. Ipi kati ya hizi sio sehemu ya hewa

  1. Oksijeni
  2. Hydrogeni
  3. Agoni
  4. Nitrojeni.

2. Ukuaji wa viumbe hai unahusu uongezekaji wa yafuatayo isiopokuwa;

  1. Kimo
  2. Uzani
  3. Unene
  4. Umbo la seli

3. Kipi sio mahitaji muhimu ya ukuaji wa mimea 

  1. Gesi ya kabonidayoksaidi
  2. Maji
  3. Gesi ya Nitrojeni
  4. Mwanga na joto

4. Kazi ya umbijani ni:-

  1. Kutengeneza chakula
  2. Kunasa nishati ya jua
  3. Kuchanganya maji na nishati ya jua
  4. Kupatia mmea rangi ya kujani

5. Kitendo cha mimea kusanisi chakula kwa kutumia nishati ya mwanga wa jua huitwa

  1. Usanisi
  2. Fotosinthesis
  3. Usanisuru
  4. Upumuaji.

6.  Kinachosababisha sauti kutokea ni__________

  1. mawimbi
  2. kelele
  3.  mitetemo
  4.  kuongea
  5.  koromeo

7. Sehemu kubwa ya mwili wa binadamu ni__________

  1. Misuli
  2.  mifupa
  3.  damu
  4.  homoni
  5.  maji

8.  Lipi kati ya haya si badiliko la kikemikali __________

  1. Kuvutika kwa mpira
  2.  kupata kutu kwa chuma
  3.  kuchacha kwa maziwa
  4.  kuni kuwa mkaa.
  5.  kuungua kwa karatasi

9. Ugonjwa upi kati ya magonjwa haya hauenezwi kwa ngono_________

  1. Ukimwi 
  2.  kisonono
  3.  kuhara
  4.  gono
  5.  kaswende

10. Kama mmea hupumua kwa kutumia stomata zilizomo kwenye majani je binadamu hupumua kwa kutumia nini?

  1. Pua
  2.  mdomo
  3.  mapafu
  4.  koromeo
  5.  yote sawa

11. Sumu kali inayopatikana kwenye moshi wa sigara huitwa_________

  1. Nikotini
  2.  opiamu
  3.  kodeini
  4.  marijuana
  5.  kokeini

12. Kichocho ni ugonjwa unaoshambulia sehemu gani ya mwili wa binadamu?

  1. Ini
  2.  figo
  3.  kibofu
  4.  mapafu
  5.  moyo

13. Ili mmea ustawi unahitaji maji, hewa na _________

  1. Mwanga
  2.  joto
  3.  udongo
  4.  mbolea
  5.  upepo

14. Damu kutoka kwenye moyo kwenda sehemu mbalimbali za mwili huwa ina _________

  1. Kabonidayoksaidi
  2.  mvuke mwingi
  3.  oksijeni nyingi
  4.  maji ya kutosha
  5.  naitrojeni

15. Mmea hujitengenezea chakula  kwenye ___________

  1. Shina
  2.  chanikiwiti
  3.  tawi
  4.  mizizi
  5.  jani

16. Katika udongo kuna viumbe hai pamoja na _______

  1. Sayansi
  2.  mwezi
  3.  hewa
  4.  watu
  5.  wadudu

17. Usafirishaji wa chakula mwilini hufanywa na;

  1. Moyo
  2. Mapavu
  3. Damu
  4. Neva
  5. Misuli.

18. Tazama kwa makini kielelezo namba 2 kisha jibu maswali yanayofuata:

Alama Y inawakilisha sehemu iitwayo:

  1.  petali
  2.  filamenti
  3.           chavulio
  4.           pistili
  5.  Ovari

19. Umeme ni mtiririko wa __________

  1. Mwanga
  2.  protini
  3.  elektroni
  4.  nyutroni
  5.  yote sawa.

20. Mionzi  ya jua hutufikia kwa njia ya _________

  1. Msafara
  2.  mpitisho
  3.  mnururisho
  4.  yote sawa
  5.  hakuna jibu

21. Nini kitatokea iwapo idadi ya wanyama wanaokula nyama katika eneo ni kubwa kulikc idadi ya wanaokula majani?

  1. Majani yatapungua
  2. Majani yatabakia kama yalivyokuwa awali
  3. Majani yatanyauka
  4. Majani yataongezeka
  5. Majani yataliwa

22. Wanyama wanaokula nyama tu huitwa_________

  1. Omnivorous
  2.  habivorous
  3.  samba
  4.  chui
  5.  carnivorous

23. Kuota ndoto nyevu na kupata hedhi ni dalili za __________

  1. Kuzaa
  2.  kuelekea utu uzima
  3.  kuumwa
  4.  yote sawa
  5.  hakuna jibu

24, . …………..hutaga mayai majini hata kama yeye huishi nchi kavu

  1. Kobe
  2. Kasa
  3. Chura
  4. Mamba
  5. Nyangumi

25. …………………huishi majini lakini hutaga mayai yake nchi kavu

  1. Papa
  2. Kobe
  3. Mjusi
  4. Kasa
  5. Mamba

26.……………ni mammalian lakini hana tezi za jasho

  1. Popo
  2. Nyangumi
  3. Mbwa
  4. Panya
  5. Sungura

27. . ………………hunatoa mbegu lakini hautoi maua

  1. Mchungwa
  2. Mvinje
  3. Mhindi
  4. Mwembe
  5. Mpera

28. Kiwango cha maji kinachopotezwa na mmea huathiriwa na hali za hewa zifuatazo...

  1.  joto na unyevu     
  2.  unyevu na mwanga
  3. upepo na mwanga wa jua               
  4.  mawingu na upepo
  5. unyevu na upepo

29. Kukosekana kwa chanikiwiti katika mmea huweza kusababisha:

  1. mmea kukosa madini joto
  2. mmea kushindwa kusanisi chakula
  3. majani ya mmea kukauka 
  4. majani ya mmea kuwa njano
  5. maj ani ya mmea kupukutika.

30. Tendo Ia mimea kusafirisha maji kutoka kwenye mizizi hadi kwenye majani huitwa:

  1. osmosis 
  2. difyusheni 
  3. msukumo
  4. mgandamizo 
  5. mjongeo

31. Ni Vipi kati ya viumbe hai vifuatavyo hujitengenezea chakula chao kwa kutumia klorofili?

  1. Wadudu
  2. Mimea 
  3. Wanyama 
  4. Virusi 
  5. Ndege

32. Tafuta ukubwa wapembe  Y  katika mchoro huu.

 (a) 900  (b) 350(c) 550(d) 800(e) 600

33. Alama ifuatayo katika sakiti yak umeme inawakilisha nini?

A mita .

B Glopu 

C.Swichi 

D.betri 

E.Ukinzani

34. Lipi ni badiliko la kiumbo?

  1. Kuchacha kwa maziwa
  2. Kuunguza karatasi
  3. Maji kuwa mvuke
  4. Pambano kati ya tindikali na nyongo 
  5. Mimea kuoza

35. Kimeng’enya kinachobadili mafuta (fati) kuwa aside fati au glycerol huitwa _________

  1. Anylopsim
  2.  ptyalin
  3.  lipase
  4.  erepsin
  5.  fototropism

36. Ipi kati ya yafuatayo hutumika kutabiri kuhusu tatizo katika uchunguzi wa kisayansi?

  1. kukusanya data
  2. dhanio
  3. kuchambua data
  4. hitimisho 
  5. kutoa maoni.

37. Kitendo cha mmea kujipatia chakula chake na namna inavyokitumia huitwa ______

  1. Usanisi nuru
  2.  osmosisi
  3.  nutrition
  4.  fotosinthesis
  5.  fototropism

38. Ni ubongo wa mnyama yupi kati ya wafuatao umeundwa kiutaalamu zaidi kuliko wengine?

  1. Binadamu
  2. Farasi
  3. Sungura 
  4. Sokwe
  5. Nyani

39. Ni kipi kati ya vifuatavyo husababisha upungufu wa damu katika mwili wa binadamu?

  1. Ukosefu wa vitamini B
  2. Ukosefu wa ayani C. 
  3. Ukosefu wa kalsiamu 
  4. Ukosefu wa protini 
  5. Ukosefu wa fosfeti.

40. Ni katika nyenzo daraja gani ambapo jitihada huwa katikati _______

  1. La kwanza
  2. ) la tatu
  3.  hakuna jibu
  4.  yote sawa
  5.  la pili

SEHEMU B

Jibu maswali yafuatayo (41-45) Kutokana na picha uliopewa

41.Taja kazi ya sehemu ya mimea iliyoonyeshwa hapo juu

42. Ni sehemu gani kati ya zilizoonyeshwa hutoa mbegu za kike?

43.Onyesha sehemu ambapo ushavushaji hutokea?

44.Katika ya sehemu zilizoonyeshwa, ni ipi hubadilika na kuwa tunda baada ya uchavushaji

45. Eleza kwa ufupi jinsi uchavushaji hutokea katika ua kama hili.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SCIENCE EXAM SERIES 23

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA MSINGI

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA -MACHI 2021

KISWAHILI – DARASA LA SABA

FOMATI MPYA

MUDA1:30 MASAA MACHI 2021

JINA …………………………...SHULE ………………………...

SEHEMU A SARUFI

Chagua jibu sahihi

  1. “Mwanamuziki Hodari aliimba nyimbo vizuri” Kielezi katika sentensi hii ni kipi? (a) hodari (b) aliimba (c) mwanamuziki (d) vizuri (e) Nyimbo.
  1. Neno MBWA lina silabi ngapi? (a) nne (b) mbili (c) tatu (d) moja (e) sifuri.
  1. Kisawe cha neno shaibu ni…………………(a) barabara (b) baneti (c) kigori (d) ajuza (e) buda.
  1. Katika neno “Wanifuata” kiambishi kinachoonesha njeo ni (a) –wa- (b) –fuat-

(c)-ni-(d)-na-(e)-a-

  1. Kipi kinyume cha neno aghalabu?
  1. Mara nyingi (b) mara kwa mara (c) nadra (d) muda wote (e) kila wakati.
  1. Mtoto wa nzige anaitwa kimato. Mtoto wa simba anaitwaje?
  1. Shibli (b) Kitungule (c) Ndama (d) Mwanasimba (e) Kinda
  1. Kinyume cha neno ughaibuni ni (a) nchi jirani (b) nchi za mbali
  1. magharibi (d)nyumbani (e) mashariki
  1. Wewe subiri. Neno wewe lipo katika nafsi ya (a) kwanza umoja (b) pili wingi
  1. Pili Umoja (d) tatu wingi (e) tatu umoja
  1. Alimua kuweka ________ ili kulinda nyumba yake baada ya kuibiwa (a) bawaba
  1. Bawabu (c) ukuta (d) Mbwa E.)Mgambo
  1. Neno lipi ni tofauti na maneno mengine kati ya yafuatao (a) senge’nge (b) wigo (c) ukuta (d) ukingo (e) barabara
  1. Mwanafunzi anapika ugali. Mzizi wa neno anapika ni(a)ana(b)pika(c)pik (d) anap
  1. “Ukifanya vizuri utapongezwa,” sentensi hii ni ya aina gani? (a) kutenda
  1. Shurutia (d)Kutendeana (e) kutendwa
  1. Wanyama wengi wanaishi msituni. Neno mstuni ni……… (a) kitenzi (b) kielezi
  1. kivumishi (d)kiwakilishi (e) kiunganishi
  1. “Uji huu una sukari na maziwa”. Ukanushi wa kauli hii ni upi?
  1. Uji huo hauna sukari ila maziwa
  2. Uji huu hauna sukari wala maziwa
  3. Uji huo hauna sukari bila maziwa
  4. Uji huu sukari bila maziwa
  5. Uji huu hauna lakini una maziwa
  1. Neno kitongoji lina kosonati ngapi? (a) Moja (b) Mbili (c) Tano (d) Tatu (e) Kumi
  1. Neno lipi kati ya yafuatayo halilandani na mengine? (a) kuonja (b) kuona

(c)kunusa (d) kusikia (e) kutoa jasho

  1. Alipofika Shuleni aliwakuta Wanafunzi wanaimba nyimbo vizuri. Sentensi

hii inahusika na ngeli ipi? (a) U-YA (b) LI-YAK (c) A-WA (d) U-ZI (e) KI-VI

  1. Mahindi, maharage, ufuta, michungwa, migomba na mihogo kwa neno moja ni; (a) mimea

(b) nyakula (c) matunda (d) mboga (e) Miche

19. Neno lipi kati ya maneno yafuatayo lina maana saw ana neno “zuzu”

(a) mjanja (b) Mpole (c) mjinga (d) mzubafu (e) Mzururaji

20. Kisawe cha neno chumvi ni _____ (a) (Mbogo) (b) Munyu (c) Saladi

(d) Chachanda (e) Mbogamboga

SEHEMU B

METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI

21. Msemo "kubarizi" maana yake ni kukusanyika kwa ajili ya .

  1. Sherehe
  2. mkutano
  3. mazungumzo ya kawaida
  4. burudani
  5. chakula cha pamoja

22. Methali isemayo "Kila mtoto na koja lake" ina maana gani?

  1. Kila binadamu ana mapungufu yake.
  2. Kila mtoto ana matatizo yake.
  3. Kila mtoto ana mapungufu yake.
  4. Kila mtoto ana wazazi wake.
  5. Kila binadamu ana tabia yake.

23. Nahau isemayo "kuvishwa kilemba cha ukoka" ina maana gani?

  1. Kupewa sifa unazostahili
  2. Kupewa sifa mbaya
  3. Kupewa sifa nyingi
  4. Kupewa sifa chache
  5. Kupewa sifa usizostahili

24. Tegua kitendawili kifuatacho: "Nyumbani kwangu kuna jini mnywa maji."

  1. Kikombe
  2. Kata
  3. Kinywa
  4. Kibatari
  5. Mtungi

25. Methali ipi kati ya hizi zifuatazo haifanani na zingine?

  1. Mtegemea nundu haachi kunona.
  2. Nazi haishindani na jiwe.
  3. Mlinzi wa kisima hafi kiu.
  4. Mchumia juani hulia kivulini.
  5. Baada ya dhiki faraja.

26. Mwamba ngoma .. Kifungu kipi cha maneno kinakamilisha methali hiyo?

  1. hualika watu wengi
  2. hufanya maandalizi mengi
  3. huimba nyimbo nyingi
  4. ngozi huvutia kwake
  5. hucheza na jamaa zake

27.Ni methali ipi kati ya zifuatazo inahimiza ushirikiano katika jamii?

  1. Chanda chema huvikwa pete
  2. Mchumajanga hula na wa kwao
  3. Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu
  4. Mwenda pole hajikwai
  5. Wapishi wengi huharibu mchuzi

28. "Uzururaji umepigwa marufuku".Nahau umepigwa marufuku ina maaña gani?

  1. Umezoeleka
  2. Umepigwa winda
  3. Umepigwa konde
  4. Umekithifi
  5. Umekatazwa

29. "Mwenye nguvu Neno linakamilisha methali hii?

  1. mfunge
  2. usimkamate
  3. mkimbie
  4. usimpigie
  5. mpishe

30. "Haba na haba hujaza kibaba" Methali hii inatoa funzo gani?

  1. Umuhimu wa kupima vitu
  2. Tunajiwekea akiba
  3. Vitu hupimwa na kibaba tu
  4. Tunapawa kupima vibaba
  5. Kibaba hujaza vitu.

SEHEMU D

USHAIRI

Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu maswali 41 - 46 kwa Kuweka kivuli katika herufi ya jibu.

Mtu kujitegemea, huwajambo Ia lazima,

Usipende subiria, kusaidiwa daima,

Huwezi kuendelea, ndugu usipojituma,

Kamwe hupati heshima, usipojitegemea.

Kama Mungu kakuumba, mzima huna kilema, Fedheha kuombaomba, takuwa mtu wa nyuma, Hutakuja kujigamba, ukikudharau umma. Kamwe hupati heshima, usipojitegemea.

Kazi mtu usidhani, sharti niya kusoma,

Ya kuleta ofisini, na kuhesabu ndarama,

Waweza kwenda shambani, ushikejembe kulima, Kamwe hupati heshima, usipojitegemea.

Utaambiwa doezi, mtu uso taadhima,

Pengine uitwe mwizi, umezoea dhuluma, Wajapo wapelelezi, ndiwe watakuandama, Kamwe hupati heshima, usipojitegemea.

31. Katika shairi ulilosoma neno "ndarama" lina maana ipi?

  1. Mali
  2. Pesa
  3. Gharama
  4. Amana
  5. Thamani

32. Kisawe cha neno "taadhima" ni kipi?

  1. Heshima
  2. Taashira
  3. Dhamiri
  4. Dhima
  5. Dhamana

33. Ujumbe unaopatikana katika shairi hili unaweza kuwasilishwa kwa methali ipi kati ya zifutazo? ........

  1. Mkulima ni mmoja walaji ni wengi
  2. Mchagua jembe si mkulima
  3. Mkulima hasahau jembe kiserema
  4. Mkulima halaumu jembe lake
  5. Kilimia kikizama kwa jua huibuka

34. Katika shairi ulilosoma kituo bahari ni kipi?

  1. Mtu kujitegemea, huwa jambo la lazima.
  2. Kama Mungu kakuumba, mzima huna kilema.
  3. Utaambiwa doezi, mtu uso taadhima.
  4. Waweza kwenda shambani, ushike jembe kulima
  5. Kamwe hupati heshima, usipojitegemea.

35. Katika shairi ulilosoma nusu mstari una mizani ngapi?

  1. Nane
  2. Mbili
  3. Tatu
  4. Nne
  5. Kumi na tano

SEHEMU D: UTUNGAJI

Zipange Sentensi kwa kuzipa herufi A,B,C,D na E ili kupata mantiki

  1. Baada ya kusubiri kwa nusu saa, basi liliwasili na nikapanda kwenda bunda
  1. Abiria wote walishuka kutoka kwenye gari moshi
  1. Lilipowasili mjini mwanza, gari moshi lilisimama taratibu na kutangaza kuwa hapo ndio ulikua mwisho wa safari yake.
  1. Nami nilishuka na kwenda moja kwa moja hadi kituo cha mabasi
  1. Mimi na abiria wenzangu tulisafiri kwa amani na kufika bunda salama jioni.

SEHEMU E: UFAHAMU

Soma habari ifuatayo kasha jibu maswali yafuatayo kwa kujaza nafasi

Watanzania hatuna budi kujivunia amani na utulivu tulivyonavyo. Angalia majirani zetu wanavyozikimbia Nchi zao kwa sababu ya vita vya mara kwa mara. Kutokana na Amani tunapiga hatua katika sekta za kilimo na uwekezaji. Wakulima wamepiga hatua katika kutumia jembe la kukokotwa na wanyama, matumizi ya mbolea na mbegu bora. Nasikitishwa na migomo ya mara kwa mara ya wafanyakazi. Hebu tujiulize chanzo ni nini? Mimi nashauri haki na wajibu viende sambamba ili kuleta ufanisi katika kazi, hatimayee kuepuka migogoro katika Jamii yetu ili tuendelee kuwa na amani daima.

MASWALI

  1. Mwandishi wa habari hii anawapongeza watu wake kujivunia nini? ___________
  1. Majirani zake Mwandishi wanakimbia Nchi zao kutokana na kitu gani?_________
  1. Mambo gani yakiwa sawiya katika Jamii yataleta ufanisi katika kazi? __________
  1. Sekta zipi zimesonga mbele kutokana na utulivu uliopo Nchini? ______________
  1. Watu wanaokimbia machafuko katika Nchi zao na kwenda Nchi jirani wanaitwaje? ________________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 22

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA MSINGI

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA KWANZA -MACHI 2021

MAARIFA YA JAMII – DARASA LA SABA

FOMATI MPYA

MUDA1:30 MASAA MACHI 2021

JINA …………………………...SHULE ………………………...

MAELEZO

  1. Mtihani huu una sehemu Mbili A na B na jumla ya maswali matano
  2. Sehemu ya A ina alama 40 na sehemu B ina alama 10
  3. Jibu maswali yote kulingana na maelezo ya kila swali
  4. Mtihani wote una alama 50

SEHEMU A: CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI

KIPENGELE I: URAIA

  1. Katika muundo wa kiutawala wa serikali za mitaa, wilaya na manispaa zinaongozwa na:
  1. Chama tawala
  2. Mkurugenzi mtendaji
  3. Mkuu wa wilaya
  4. Kamati yenyewe
  5. Afisa utawala wa wilaya
  1. Mwenye wajibu wa kulinda Uhuru na mipaka ya nchi ni ……….
  1. Mwananchi mwenyewe
  2. Serikali
  3. Jeshi la wananchi wa Tanzania
  4. Rais
  5. Waziri mkuu
  1. Katika muundo wa kiutawala wa serikali za mitaa, wilaya na manispaa zinaongozwa na:
  1. Chama tawala
  2. Mkurugenzi mtendaji
  3. Mkuu wa wilaya
  4. Kamati yenyewe
  5. Afisa utawala wa wilaya
  1. Jeshi linalohusika kurekebisha tabia za wahalifu ni:- ………
  1. Mgambo
  2. Polisi
  3. JWTZ
  4. Magereza
  5. Uhamiaji
  1. Utamaduni katika Jamii unaweza kuonekana katika yote isipokuwa:- …..
  1. Chakula
  2. Mavazi
  3. Kufanyakazi
  4. Ngoma
  5. Utalii
  1. Chombo chenye mamlaka ya kusimamia uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani Tanzania ni:
  1. Jeshi la polisi
  2. Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  3. Mahakama Kuu
  4. Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa
  5. Ofisi ya Waziri Mkuu
  1. Njia nzuri unapotaka kuanza biashara mpya ni…………
  1. kuiga mikakati ya biashara kutoka kwa majirani
  2. kuhusisha Ndugu katika biashara zako
  3. Kuangalia upatikanaji wa bidhaa na soko
  4. Kuwa na mtaji mkubwa
  5. Kuwa na makazi ya watu.
  1. Ulinzi na usalama wa taifa letu ni jukumu la:
  1. Jeshi Wananchi wa Tanzania
  2. kitengo cha Usalama wa Taifa
  3. Jeshi la Polisi
  4. mgambo
  5. kila mwananchi
  1. Maliasili ya Taifa huwakilishwa kwenye nembo ya Taifa kwa kutumia alama ya _______________
  1. Mlima Kilimanjaro
  2. mkuki
  3. karafuu
  4. mawimbi ya bahari
  5. pembe za tembo
  1. Utandawazi ni mfumo unao hamasisha:
  1. teknolojia ya habari na mawasiliano katika nchi zinazoendelea
  2. haki sawa kwa kila mmoja duniani
  3. mfumo wa vyama vingi katika nchi zinazoendelea
  4. biashara huria baina ya mataifa
  5. sekta binafsi katika nchi zinazoendelea
  1. Nini maana ya ujasiriamali?
  1. Bishara yoyote yenye faida
  2. Uwekezaji kwenye biashara
  3. Biashara ndogondogo
  4. Sekta binafsi
  5. Ujasiri wa kumiliki mali
  1. Kiongozi anayeshughulikia shughuli za Serikali Bungeni ni;_______
  1. Spika wa Bunge
  2. Waziri Mkuu
  3. mwanasheria Mkuu wa Serikali
  4. Wabunge wote
  5. Rais wa Jamhuri ya Muungano
  1. Eneo la kiutawala ambalo ni kubwa kuliko kata lakini ni dogo kuliko Wilaya linaitwa____
  1. Kijiji
  2. Mkoa
  3. Jimbo
  4. Ukanda
  5. Tarafa
  1. Katika bendera ya Taifa rangi ya njano huwakilisha nini__________
  1. Uoto wa Asili
  2. Watu wa Tanzania
  3. Madini
  4. Maji
  5. Kilimo
  1. Mahitaji ya msingi ya familia ni kama _________A.chakula , malazi, na magari (B.chakula, nguo na televisheni C. Nguo, malazi na chakula D chakula, malazina televisheni E.Chakula, malazi mavazi na ngoma za Asili.

HISTORIA

  1. Azimio la Arusha lilihusu…………
  1. Uhuru na kazi
  2. siasa na kilimo
  3. Elimu kwa wote
  4. Siasa ya ujamaa na kujitegemea
  5. mfumowavyamavingi
  1. Wafanyabiashara kutoka bara la Asia walifika Tanganyika kwa mara ya kwanza mnamo
  1. Karne ya 15
  2. Karne ya 19
  3. Karne ya 8
  4. Karne ya 9
  5. Karne ya 12
  1. Kundi la familia anuai Lenye chimbuko moja huitwa ………
  1. Baba na watoto
  2. ukoo
  3. ndugu
  4. wanandugu
  5. familia
  1. Kabla ya ukoloni majukumu ya kiongozi wa ukoo yalikuwa ni pamoja na:
  1. kutatua migogoro
  2. kusaini mikataba na wakoloni
  3. kuongeza idadi ya mifugo
  4. kujenga nyumba
  5. kuanzisha vijiji vya ujamaa
  1. Azimio la Arusha lililenga zaidi:
  1. uhuru na kazi
  2. siasa na kilimo
  3. elimu kwa wo?e
  4. ujamaa na kujitegemea
  5. mfumo wa vyama vingi
  1. Zipi kati ya Nchi zifuatazo zilipata uhuru kwa njia ya mtutu wa bunduki?................
  1. Angola, Ghana na Kenya
  2. Zimbabwe, Angola na Msumbiji
  3. Msumbiji, Liberia na Zimbabwe
  4. Uganda, Rwanda na Tanzania
  5. Kenya, Uganda na Liberia
  1. Mwanadamu alianza kutembea kwa miguu miwili katika hatua gani ya mabadiliko?
  1. Primate
  2. Homo sapiens
  3. Homo habilis
  4. Zinjanthropus
  5. Homo erectus
  1. Dhamira ya kuligombea na kuligawa bara la Afrika karne ya 19 ilichochewa zaidi na jambo gani kati ya hayo yafuatayo?
  1. ili kuwastaarabisha waafrika
  2. matakwa ya kiuchumi ya Nchi za kibeberu
  3. matakwa ya kiuchumi ya Nchi za kijamaa barani Asia
  4. mapinduzi ya viwanda barani Afrika
  5. Nchi za kibepari kutaka zionekane bora zaidi kuliko zingine
  1. _________ ni mfumo wa uzalishaji mali uliodumu kwa muda Mfupi kuliko mifumo mingine yote barani Afrika.
  1. Ujima
  2. Ujamaa
  3. Ukabaila
  4. Utumwa
  5. Ubepari
  1. Inasadikika kuwa Binadamu wa kwanza aliishi.......
  1. Afrika
  2. Ulaya
  3. Australia
  4. Amerik26.
  1. Watangulizi wa kwanza wa ukoloni kuwasili Zanzibar na Tanganyika walikuwa:
  1. wafanya biashara
  2. Wamisionari
  3. Wapelelezi
  4. Walowezi
  5. Waarabu
  1. Jamii za Afrika ya Mashariki zilizopinga ukoloni kwa silaha ni pamoja na:
  1. Wanandi na Wahehe
  2. Wasangu na Wabena
  3. Waha na Wakamba
  4. Waganda na Wabena
  5. Wabena na Wapare
  1. Michoro ya mapangoni Nchini Tanzania inapatikana ______
  1. Olduvai Gorge
  2. Russinga
  3. Kondoa Irangi
  4. Isimila Iringa
  5. PanganiTanga
  1. Mapambano ya kudai Uhuru katika bara la Afrika yalianza baada ya:
  1. Kuundwa kwa Umoja wa Mataifa
  2. Kusambaratika kwa Umoja wa Kisovieti
  3. Vita Kuü ya Pili ya Dunia
  4. Kupigwa marufuku biashara ya watumwa
  5. Kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi
  1. Sehemu ya ardhi iliyozungukwa na maji pande zote huitwa________
  1. Penisula
  2. Kisiwa
  3. Rasi
  4. Ghuba
  5. Bara
31. Tunapataje idadi ya watu katika sehemu fulani?
  1. Kwa kuhesabu watoto wachanga
  2. Kwa kuhesabu wafu
  3. Kwa kuhesabu wakimbizi
  4. Kwa kukokotoa eneo Ia sehemu
  5. Kwa kufanya sensa
  1. Vitu viwili vinavyounda mazingira ni __________
  1. mimea na wanyama
  2. milima na mabwawa
  3. vitu vyenye uhai na visivyo na uhai
  4. binadamu na wanyama
  5. maji na hewa
  1. Uharibifu wa mazingira unaweza kudhibitiwa kwa________
  1. matumizi ya mifuko ya plastiki
  2. utupaji taka ovyo
  3. matumizi ya mbolea za viwandani
  4. ufugaji wa wanyama
  5. kuchakata taka
  1. Dunia inajizungusha yenyewe katika Muhimili wake tuapata ;___
  1. Usiku na mchana
  2. Majira mbalimbali ya Mwaka
  3. Kupatwa kwa Jua
  4. Kupungua kwa jotoridi Duniani
  5. Kutofautiana kwa nyakati katika Longitudo moja.
  1. Maji ya mvua yanaweza kukingwa na kuhifadhiwa kwa matumizi ya baadaye kwa kutumia:
  1. Ndoo na mabomba
  2. Chupa na majaba
  3. Visima na chupa
  4. Visima na mapipa
  5. Ndoo na chupa
  1. Mojawapo kati yak maziwa yafuatayo lipo katika bonde la ufa la mashariki__
  1. Turkana
  2. Albert
  3. Kyoga
  4. Tanganyika
  5. Edward
  1. Nchi ambayo hustawisha zao la mpira kwa wingi katika bara la Afrika ni .…….
  1. Liberia
  2. Ghana
  3. Nigeria
  4. Burundi
  5. Gabon
  1. Picha inayoonesha msitu mnene na mazao kama minazi yawezakuwa inawakilisha eneo lenye:
  1. Hali ya hewa ya kiikweta
  2. Hali ya hewa ya kitropiki
  3. Hali ya hewa ya kimonsun
  4. Hali ya hewa ya kimediteranian
  5. Hali ya hewa ya baridi
  1. Kabila lililojishughulisha na biashara ya masafa marefu kusini mwa Tanganyika kabla ya ukoloni Afrika Mashariki ni ____________
  1. maasai
  2. kamba
  3. chagga
  4. nyakyusa
  5. hehe
    1. Mojawapo ya sababu za kuongezeka kwa idadi ya watu na kuzaliana ni:
    1. uhamiaji na kuzaliana
    2. watu kukosa elimu ya maisha
    3. Kuzaliana na afya
    4. Ndoa za watu wenye umri mdogo
    5. Ongezeko Ia wakimbizi


    TUMIA RAMANI IFUATAYO KUJIBU SWALI LA 41-45

    41. Herufi F inawakilisha kisiwa cha…………………………

    42. Herufi D inawakilisha ziwa :-………………..

    43. Herufi A ninchi ya:- ……………………

    44. Herufi G ni mbuga ya …………………………

    45. Herufi B ni reli ya:- ……………….

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 21

OFISI YA RAISTAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINI YA AWALIDARASA LA SABA (VII) -2021

SOMO:URAIA NA MAADILIMUDA: SAA 1:30

MAELEKEZO 

  • Jibu maswali yote
  • Tumia kalamu ya wino wa bluu au mweusi kwa swali la 41-45
  • Hakikisha kazi yako inakuwa safi
  • Tumia penseli kuweka kivuli kwa majibu sahihi

SEHEMU A:Chaguajibusahihi.

  1. Waziri mkuu huteuliwa na Rais kutoka miongoni mwa______________.a)madiwani, b)wenyeviti wa mitaa,                     c) wabunge, d)katibu wa wizara (e) wakuu wa mikoa[       ]
  2. Tunaposema sheria mama tunamaanisha nini? a)sheria zinazohusu akina mama, b)katiba ya nchi, c)bunge, d)Baraza la Mawaziri (e) baraza la madiwani.[     ]
  3. Mwakilishi wawananchi katika halmashauri ya wilaya au manispaa ni _______.a)mbunge, b) diwani, c)ofisi ya Mtendaji, d)mwenyekiti wa kijiji (e) diwani viti maalumu [       ]
  4. Chombo cha kitaifa kinachotunga sheria za nchi ni; a)Bunge, b)Mahakama, c)Jeshi la polisi, d)Baraza la madiwani (e) baraza la wawakilishi zanzibar[       ]
  5. Uchaguzi mkuuwa Rais,Wabunge na Madiwani utafanyika mwaka_____a)2019, b)2020, c)2022, d)2023 (e) 2025 [       ]
  6. Sheria ambayo imepitishwa na bunge ila bado haijasainiwa na Rais ni_________ a)katiba, b)maoniyawananchi, c)muswada, d)mawaidha (e) mjadala.[       ]
  7. Nchi yetu nimuungano wanchi mbili zenye serikali ngapi? A)Tatu,b)mbili, c)moja, d)nne (e) nne[       ]
  8. Chombo ambacho kimepewa mamlaka yakuendesha utawala wanchi kwamisingi maalumu__________a)Bunge, b)Chama cha siasa, c)Serikali, d)Jeshi  (e) polisi.[       ]
  9. Kiongozi anayepatikana kwa kuchaguliwa katika ngazi ya kata ni________a)OfisaMtendaji,b)Diwani, c)Mwenyekiti, d)Kitongoji ( e ) mwenyekitiwahalmashauri[       ]
  10.                     Mapato ya serikali zamitaa hutokanananini? a)Misaada ya nchi wahisani, b)Mikopo katikamabenki, c)Ruzuku , kodi mbalimbali na michango yawananchi, d)Wizi ( e) faini.[       ]
  11.                     Nyimbo,ngoma,mashairi na masimulizi kwa neon moja huitwa_______.a)burudani,  b)mazoezi,  c)sanaa za maonyesho, d)elimu (E) asili.[       ]
  12.                     Zoezi la kuhesabu watu huitwa_________.a)hesabu, b)makazi, c)idadi, d)sensa (e) jumla kuu y a watu.[       ]
  13.                     Kiongozi mkuu wa shughuli za serikali katika bunge ni________.a)Jajimkuu, b)Mwanasheriamkuu, c)Spikawabunge, d)MakamuwaRai (E) maziri mkuu.[       ]
  14.                     Chama kilicholeta uhuru wa Tanganyika kilikuwa __________a)TAA, b)ZANU, c)ZANUPF, d)TANU ( e) ccm[       ]
  15.                     Hatua yamwisho ya maendeleo ya kiuchumi yamaisha ya binadamu ilikuwa___________.a)ujima, b)ujamaa, c)ukabaila, d)ubepari (e) umwinyi.[       ]
  16.                     Uchaguzi mkuu husimamiwa na chombo kipi kati ya hivi?a)Takukuru, b)Tume ya ofisi yaWaziriMkuu, c)ofisi ya utumishi, d)Tume yaTaifa ya uchaguzi( e) tamisemi[       ]
  1.                     Mawazo yajumla kuhusu namna yakukuza uchumi huitwa _______a)mipango ya uchumi, b)sera ya uchumi, c)ujasiriamali wa uchumi, d)mbinu za kukuza uchumi (e) kujiajili.[       ]
  2.                     ____________nikuzalisha,kusambaza na kutumia mali ili kuwaletea wananchi maendeleo.a)Rasilimali, b)Maliasili, c)Uchumi, d)Ujasiriamali.(e) kujiajili[       ]

19.Uwezo wakukabiliana na changamoto huitwa (a) uadilifu (b) ujasiri (c) kipaji (d) kuaminika (e) nguvusana [  ]

20.Nembo ya taifa nikielelezo cha_______(a)uhuru wanchi yetu(b )umoja,uwezonanguvuzataifaletu(c)uzalendo (d) hapakazitu (e) kupiganiauhuru

21.Maendeleo yafamilia huletwa na_(a) Baba (b) Mama(c) Mama na Baba(d) Wanafamiliawote (e )babunabibi

22.Kipi ni miongoni mwa tabia za kiutamaduni huchangia kuenea kwa vvu/ukimwi ---------(a)Ndoa za utotoni na ukeketaji (b)Kurithi wajane na ukeketaji (c) Ngoma za asili na ndoa za kulazimishwa (d) Imani za vyakula na ngoma za asili (e)Ukeketaji na mauaji ya vikongwe

23.Alama inayowakilisha wafanyakazi katika Nembo yaTaifani? ------------(a)Jembe (b)Mkuki (c) Pembezandovu ( d) Mwengewauhuru ( e) Shoka

24.Mwenenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya,Miji,manispaa na Jiji huchaguliwa na ;A.)Wajumbe wa Bunge B.)Mkuu wa Mkoa C.)Madiwani D.)Rais E.)Ofisi ya Waziri Mkuu.

25.Bunge limeundwa na sehemu kuu mbili nazo ni; ---------(a)Spika na wabunge (b) Waziri wa sheria na Wabunge (c) Rais na Wajumbe wa Bunge (d) Waziri Mkuu na Spika  (e)Mwanasheria Mkuu wa  Serikali na Spika.

26.Waendao kwamiguu barabarani wanashauriwa kutembeakwa -----------(a)Kutumia upande wakulia wa barabara (b)Kutumia upande wa kushoto wa barabara (c)Kuangalia upande wa kulia na kushoto wa barabara (d)Kushikana mikono ( e)Kuangalia taa za usalama barabarani

27. Jukumumojawapo la Baraza la madiwanini ……A. Kupitisha bajeti ya wizara B. Kumshauri Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya C. Kuhudhuria vikao vya Bunge D. Kuteua mkuu wa Wilaya  E. Kuapishawatendajiwavijiji. 

28 mkurugengezi wa halmashauri huteuliwa na ……  A. Rais (b) mkuu wa mkoa  (d)madiwani (E) mkuu wa wilaya

29.Maana ya utamaduni ni(a)ushabiki wa kitu(b)mtindo wa jumla ya maisha ya watu watu (c) shughuli za asili zinazo fanywa na watu(d) ngoma na filimbi (e )mila na desturi

30.Mwenge wa uhuru uliwashwa kwa mara ya kwanza lini? (a) 9/12/1962(b)9/12/1961(c)26/4/1964(d) 9/12/1960( E)10/12/1968

31.Katiba ni nini?(a) ratiba ya Tanzania (b)uhuru wa kufanyajambo(c)kitabu cha sheria(d) jumla ya kanuni, taratibu au sheria(E ) Ni mwongozo wa maisha ya kila raia watanzania

32.Kiongozi mkuu katika wilaya ni (a)mkurugenzi(b) katibu tawala(c)mkuu wa wilaya(d) afisa mtendaji( e)afisa mipango wawilaya

33.Katika ofisiya kata nani ni mtendajimkuu?(a) diwani (b) afisamtendajiwa kata  (c)mtendaji wa kijiji( d)afisa elimu kata (e) afisa tarafa

34.Ukataji wa miti ovyo na uchomaji misitu unawezakusababisha ___(a)mvua nyingi(b)kuchafua mazingira(c)ukame na bala la njaa(d)mavuno mengi(e ) vifo

35.Watu,misitu,madini ardhi,maji na wanyamaporini ___(A)maliasili(B)vitu vya thamani(C)rasilimali za taifa(D)mazao(e)  misitu

36.Kiongozi bora anatakiwa awe nasifa ipi kati yahizi?(a)anayependwa na watu wengi(b)anayetawala kwa kufuata haki(c)aliyechaguliwa kwa kazi nyingi( d  )asiyependa makuu (e) mpenda starehe na anasa

37.Kanuni zinazowekwa shuleni na nyumbani husaidia (a)kufuata utaratibu na kudhibiti nidhamu(b)ukiukwaji wa haki za mototo ubabe wa wazazi(c) kuletafujo(d) kuletaupendonyumbani (e) amaninautulivu

38.Kipi kati ya vifuatavyo ni chombo cha sheria kinasimamiahaki?(a)polisi(b)bunge(c)shule(d)mahakama(e) jeshi

39. Kuna ainatatuzaUraia, yaaniUraiawaKuandikishwa, KuzaliwanaUraiawa               A. Kupewa B. Kuokota C. Kurithi D. Kukubali E. kulazimishwa. 

40. Wajumbe wa Kamati ya Shule huchaguliwa na ………..A.)Mwalimu mkuu B.)Wazazi C.)Walimu shuleni D.)Mtendaji wa kijiji E.)Diwani.

JAZA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI;

41.Kiongozi mkuu wa shughuli za kila siku  Bungeni ----------

42.Mtendaji mkuu wa shughuli za kila siku za serikali katika Ngazi ya Wilaya ni____________________

43._____________ni kiongozi wa kuchaguliwa katika kata.

44.Bendera ya rais ina rangi ngapi?_________________-

45.Katibu wa vikao vya baraza la madiwani katika Ngazi ya Halmashauri  ni_________________

MUONGOZO WA MAJIBU YA URAIA NA MAADILI : DARASA LA SABA 2021

1.

C

26

A

2.

B

27

B

3.

B

28

A

4.

A

29

B

5.

E

30

B

6.

C

31

D

7.

B

32

C

8.

A

33

B

9.

B

34

C

10.

C

35

C

11.

C

36

B

12.

D

37

A

13

E

38

D

14

D

39

C

15

B

40

B

16

D

41

SPIKA WA BUNGE

17

B

42

KATIBU TAWALA (DAS)

18

C

43

DIWANI

19

B

44

MBILI

20

B

45

MKURUGENZI

21

D

22

B

23

E

24

C

25

C

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN URAIA EXAM SERIES 20

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YAK RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA TATHMINI YAAWALI DARASA LA VII JAN 2020

KISWAHILI

SEHEMU A SARUFI

Chagua jibu sahihi

  1. Wao ni watiifu sana kwa Walimu wao. Neno Watiifu ni aina gani ya maneno (a) Kitendwa (b) Kiwakilishi (c) Nomino (d) Kitenzi (e) Kivumishi
  1. Neno lipi linakamilisha Sentensi isemayo; “Humo ______________ alimoingia yule nyoka  (a) ndiye (b) ndipo (c) ndiyo (d) ndimo (e) ndiko
  1. Ngeli ya umoja ya neno ‘’Ugonjwa’’ ni ipi @ K (b) I (c) Z (d) Y (e) U
  1. Katika neno “Wanifuata”  kiambishi kinachoonesha njeo ni (a) –wa- (b) –fuat-

          (c)-ni-(d)-na-(e)-a-

  1. Neno  “cherekochereko” limeundwa na silabi ngapi?
  1. Nane (b) kumi na moja (c) saba (d) mbili (e) sita
  1. Mtoto wa nzige anaitwa kimato. Mtoto wa simba anaitwaje?
  1. Shibli (b) Kitungule (c) Ndama (d) Mwanasimba (e) Kinda
  1. Loo! Amefeli mtihani. Neno loo! limetumika kama (a) kihisishi (b) kiwasilishi
  1. kielezi (d)kitenzi (e)Nomino
  1. Wewe subiri. Neno wewe lipo katika nafsi ya (a) kwanza umoja (b) pili wingi
  1. Pili Umoja (d) tatu wingi (e) tatu umoja
  1. Alimua kuweka ________ ili kulinda nyumba yake baada ya kuibiwa (a) bawaba
  1. Bawabu (c) ukuta (d) Mbwa E.)Mgambo
  1. Neno kuliwaza lina maana sawa na (a) kufariji (b) kutuliza (c) kufikiria (d) kuota (e) kuhuzunika
  1. Mwanafunzi anapika ugali. Mzizi wa neno anapika ni(a)ana(b)pika(c)pik (d) anap
  1. Nitakupa sasa hivi kwa sababu baadaye sitakuwa na ________ wa kuja (a) saa
  1. Fursa (d)Wasaa (e) Nafasi
  1. Wanyama wengi wanaishi msituni.  Neno mstuni ni……… (a) kitenzi (b) kielezi
  1. kivumishi (d)kiwakilishi (e) kiunganishi
  1. Hadi sasa hakuna Mwanafunzi ____aliyeshindwa kufanya Mtihani wa Taifa (a)yoyote (b) wowote (c) yeyote (d) wowote
  1. Neno kitongoji lina kosonati ngapi? (a) Moja (b) Mbili (c) Tano (d) Tatu (e) Kumi
  1. Watalii wengi hufika Tanzania ili ____Mbuga za wanyama (a) kuzuru (b) kuthuru

          (c)kudhuru (d) kufuru (e) kudhulu

  1. Alipofika Shuleni aliwakuta Wanafunzi wanaimba nyimbo vizuri.  Sentensi

hii inahusika na ngeli ipi? (a) U-YA (b) LI-YAK (c) A-WA (d) U-ZI (e) KI-VI

  1. ______ni mtu ambaye hajawahi kuowa au kuolewa maishani mwake. (a) Ajuza

(b) Mseja (c) Shaibu (d) Buda (e) Mzee

      19. Yule Bibi kizee ameishi miaka mia moja. Miaka mia moja ni sawa na __

             (a) Karne (b) Muongo (c) Milele (d) Milenia (e) Daima

       20. Kisawe cha neno chumvi ni _____ (a) (Mbogo) (b) Munyu (c) Saladi 

             (d) Chachanda (e) Mbogamboga

SEHEMU B

METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI

  1. Methali ipi kati yak hizi ni tofauti na nyingine? (a) Mwendapole hajikwai (b) Kawia ufike (c) Ngojangoja huumiza matumbo (d) Harakaharaka haina baraka
  1. polepole ndio mwendo
  1. Ubwabwa wa mwana mtamu ni……… (a) Usingizi (b) Uvivu (c) Mtamu (d) Mafuta e) Wali
  2. Bibi kizee chapepeta mafuta. Jibu la kitendawili hiki ni……. (a) Alizeti (b) Mpunga (c) Pamba (d) Chikichi (e) Uwele
  1. Nahau ipi ina maana sahihi na ile isemayo sina hali……. (a) kufa kishujaa

(b) Kupoteza maisha (c) Sina mbele wala nyuma (d) Machozi kulenga (e) Tajiri

     25. “Kata shauri” ina maana ya __ (a) kata kamba (b) kata macho (c) Amua (d) jihoji   

            (e) fikiri

  1. Malizia methali hii “kutoa ni moyo (a) si ujinga (b) si ulemavu (c) si utajiri (d) si uchoyo (e) si ulevi
  1. “Ba funua ba funika” Jibu la kitendawili hiki ni (a) kulima (b) kula (c) kucheza

           (d) kutembea (e) kula

  1. Nimepigwa faini kosa silijui (a) kujikwaa (b) Mwizi (c) kutembea (d) Mwalimu

(e)Mtoto

  1. Jifya moja ______ Chungu. Malizia methali hii. (a) tofali (b) umeme (c)jiko la

            mkaa (d) haliinjiki  e.)Halikati

  1. Toa maana ya kitendawili hiki “Ngozi ndani nyama nje” (a) Kobe (b) Embe
  1. Papai (d) Firigisi (e) Nanasi

SEHEMU C: USHAIRI

Soma ushair kasha jibu maswali

Mtima imenikuna, kwa dafina teletele,

Samaki wa kumimina, change,sato, kolekole,

Ziwa la kirefu kina, kina kirefu milele,

Thamani ya Nchi yangu, haimithiliki kamwe.

Kamwe haimithiliki, ukitazama Bahari

Bandari hazipimiki, mimi naona fahari

Uvuvi haushikiki, pwani yote itayari

Nani bado haelewi? Ajikune nimuone.

  1. Nini maana ya neno “mtima” kama lilivyotumika katika shairi (a) moyo

(b) kichwa (c) chanda (d) akili (e) watu

  1. Shairi hili lina jumla ya beti ngapi? (a) 2 (b) 3 (c)4 (d) 16 (e) 8
  1. Vina vya kati na vya mwisho katika ubeti wa pili ni (a) ki,ki (b) me,no (c) ki, li

d) ki, ri (e) wi,ne

  1. Samaki aliowataja mshairi ni _____(a) kolekole, konbe, sato

(b) sato,sangara,kolekole (c) kolekole, sato, change (d) changu, sato, perege 

(e) hakuna jibu

     35. Mstari mmoja wa kila shairi huitwa (a) mshororo (b) vina (c) mizani (d) mkarara, 

           (e) kitoshelezi

SEHEMU D: UTUNGAJI

Zipange Sentensi kwa kuzipa herufi A,B,C,D na E ili kupata mantiki

  1. Akasikia sauti kwa mbali akimuita “UUU”
  1. Alipofika katikati ya msitu akasoma ile aya kwa utulivu
  1. Alipokwisha pata maelezo yake akaondoka hadi msituni
  1. Mweka nadhiri akasema “Njoo”!
  1. Alipomaliza akapaza sauti “Shetani ee”

SEHEMU E: UFAHAMU

Soma habari ifuatayo kasha jibu maswali yafuatayo kwa kujaza nafasi

Watanzania hatuna budi kujivunia amani na utulivu tulivyonavyo.  Angalia majirani zetu wanavyozikimbia Nchi zao kwa sababu ya vita vya mara kwa mara. Kutokana na Amani tunapiga hatua katika sekta za kilimo na uwekezaji. Wakulima wamepiga hatua katika kutumia jembe la kukokotwa na wanyama, matumizi ya mbolea na mbegu bora.  Nasikitishwa na migomo ya mara kwa mara ya wafanyakazi.  Hebu tujiulize chanzo ni nini? Mimi nashauri haki na wajibu viende sambamba ili kuleta ufanisi katika kazi, hatimayee kuepuka migogoro katika Jamii yetu ili tuendelee kuwa na amani daima.

MASWALI

  1. Mwandishi wa habari hii anawapongeza watu wake kujivunia nini? ___________
  1. Majirani zake Mwandishi wanakimbia Nchi zao kutokana na kitu gani?_________
  1. Mambo gani yakiwa sawiya katika Jamii yataleta ufanisi katika kazi? __________
  1. Sekta zipi zimesonga mbele kutokana na utulivu uliopo Nchini? ______________
  1. Watu wanaokimbia machafuko katika Nchi zao na kwenda Nchi jirani wanaitwaje? ________________

MUONGOZO WA MAJIBU YA SOMO LA KISWAHILI: DARASA LA SABA 2021

1.

E

26

C

2.

D

27

D

3.

E

28

A

4.

C

29

D

5.

E

30

D

6.

A

31

A

7.

A

32

A

8.

C

33

D

9.

B

34

B

10.

A

35

A

11.

C

36

D

12.

D

37

B

13

B

38

A

14

C

39

E

15

C

40

C

16

A

41

AMANI NA UTULIVU

17

C

42

VITA VYA MARA KWA MARA

18

B

43

HAKI NA WAJIBU

19

A

44

KILIMO NA UWEKEZAJI

20

B

45

WAKIMBIZI

21

C

22

A

23

A

24

C

25

C

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 19

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MAARIFA YA JAMII DARASA LA SABA 2021

TATHIMINI YA AWALI

SEHEMU A: CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI

KIPENGELE I: URAIA 

  1. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaitwa mheshimiwa……(A) Dr.Ally Mohamed Shein (B)Bakili Mluzi  (C)  Edgar Rungu (D) Dr John Pombe Magufuli     (E)Kasimu Majaliwa Kasimu (  )
  1. Mwenye wajibu wa kulinda Uhuru na mipaka ya nchi ni ……….(A) Mwananchi mwenyewe (B)Serikali (C) Jeshi la wananchi  wa Tanzania   (D) Rais  (E) Waziri mkuu
  1. Muswada wa sheria huandaliwa na …………..(A) Spika wa Bunge (B) Wabunge (C)    Waziri wa sheria (D) Ofisi ya mwanasheria mkuu wa Serikali E.Mahakama.
  1. Jeshi linalohusika kurekebisha tabia za wahalifu ni:- ………(a) Mgambo (B) Polisi (C) JWTZ (D) Magereza  (E) Uhamiaji
  1. Utamaduni katika Jamii unaweza kuonekana katika yote isipokuwa:- …..(A)Chakula (B) Mavazi (C) Kufanyakazi (D) Ngoma (E)  Utalii
  1. Kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania raia anaweza kugombea Urais akiwa na umri wa miaka ………(A) 21 na zaidi (B) 40 na zaidi (C)18 na zaidi (D) 50 na zaidi (E) 61 na zaidi
  1. Njia nzuri unapotaka kuanza biashara mpya ni…………(A)kuiga mikakati ya biashara kutoka kwa majirani (B) kuhusisha Ndugu katika biashara zako C.Kuangalia upatikanaji wa bidhaa na soko D.)Kuwa na mtaji mkubwa E.)Kuwa na makazi ya watu.
  1. Kiongozi anayeteuliwa na Rais ili aongoze shughuli  zote za Serikali katika Wilaya anaitwa __________________ (a) Mkuu wa  Wilaya (b) Mwenyekiti wa Halmashauri  (c) KatibuTawala Wilaya   (d) Diwani     (e) Mkurugenzi wa Halmashauri.
  1. Maliasili ya Taifa huwakilishwa kwenye nembo ya Taifa kwa kutumia alama ya _______________ (a) Mlima Kilimanjaro (b) mkuki (c) karafuu (d) mawimbi ya bahari (e) pembe za tembo
  1. Jumuiya ya Madola ni Muungano wa hiari wa Nchi zilizowahi kuwa chini ya Utawala wa __ (a) Ujerumani (b) Ufaransa (c) Italia (d)  Ureno (e) Uingereza
  1. Vitu vinavyounda utamaduni  wa Taifa ni pamoja na______A. Sanaa na Lugha B. Makazi na fedha C. Sheria na Mila D. Sanaa na walimu E. jeshi na Serikali
  1. Kiongozi anayeshughulikia shughuli za Serikali Bungeni ni;_______ A. Spika wa Bunge B. Waziri Mkuu  C.mwanasheria Mkuu wa Serikali D. Wabunge wote E. Rais wa Jamhuri ya Muungano
  1. Eneo la kiutawala ambalo ni kubwa kuliko kata lakini ni dogo kuliko Wilaya linaitwa____A. Kijiji B. Mkoa C. Jimbo D. Ukanda E. Tarafa
  1. Katika bendera ya Taifa rangi ya njano huwakilisha  nini__________ A.Uoto wa Asili B. Watu wa Tanzania C. Madini D. Maji E. Kilimo
  1. Mahitaji ya msingi ya familia ni kama _________A.chakula , malazi, na magari  (B.chakula, nguo na televisheni   C. Nguo, malazi na chakula D chakula, malazina televisheni E.Chakula, malazi mavazi na ngoma za Asili.

HISTORIA

  1. Azimio la Arusha lilihusu………… (a) Uhuru na kazi (b) siasa na kilimo (c) Elimu kwa wote (d)Siasa ya  ujamaa na kujitegemea (e) mfumowavyamavingi
  1. Hatua ya mwanzo aliyopitia binadamu katika harakati za kupambana na mazingira yake ni ___ (A) Mshikamano (B) Utumwa (C)Umoja (D) Ujima (E) Ujamaa
  1. Kundi la familia anuai Lenye chimbuko moja huitwa ………(A)Baba na watoto (B) ukoo   (C) ndugu                   (D)  wanandugu   (E) familia
  1. Historia ya Maisha ya binadamu inaweza kugawanywa katika zama kuu mbili nazo ni…… (A) zama za mawe na Sayansi na Teknolojia (B) zama za chuma na zama za mawe(C) zama za mawe za kale (D) zama za mawe za kale na zama za  mawe za kati(E) zama za chuma na zama za mwisho
  1. Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika aliitwa ____ (A) RashidiKawawa

(B)Julius K. Nyerere (C) Abeid Karume (D) Edward Sokoine (E) Ahamed Salimu

  1. Zipi kati ya Nchi zifuatazo zilipata uhuru kwa njia ya mtutu wa bunduki?................

(A)Angola, Ghana na Kenya (B) Zimbabwe, Angola na Msumbiji 

(C) Msumbiji, Liberia na Zimbabwe (D) Uganda, Rwanda na Tanzania  

(E) Kenya, Uganda na Liberia    

  1. Vita vilivyotokea Rwanda mwaka 1994 vilitokana na ________

              (A) Ukabila (A) Utajiri (C)   rushwa (D) ukabaila (E) ubepari

  1. Dhamira ya kuligombea na kuligawa bara la Afrika karne ya 19 ilichochewa zaidi na jambo gani kati ya hayo yafuatayo?A.ili kuwastaarabisha waafrika B.matakwa ya kiuchumi ya Nchi za kibeberu  C.matakwa ya kiuchumi ya Nchi za kijamaa barani Asia D.mapinduzi ya viwanda barani Afrika E.Nchi za kibepari kutaka zionekane bora zaidi kuliko zingine
  1. _________ ni mfumo wa uzalishaji mali uliodumu kwa muda Mfupi kuliko mifumo mingine yote barani Afrika. A.  Ujima                 B. Ujamaa C.Ukabaila D.Utumwa  E. Ubepari
  1. Inasadikika  kuwa Binadamu wa kwanza aliishi.......A.frika B. Ulaya  C.Australia D. Amerika


  1. Uongozi katika koo mbalimbali ulianza binadamu alipoanzisha A.Makazi ya muda B. Makazi ya kudumu C.Makazi ya kuhamahama D.Mfumo wa kutembea E.Makazi ya pangoni
  1. Alikuwa kiongozi Mkuu wa jamii za Wahaya………… A.Abatwazi B.Omukama C.Abatwale D. Abankole E.Mukama
  1. Michoro ya mapangoni Nchini Tanzania inapatikana ______A.Olduvai Gorge  B.Russinga   C.Kondoa Irangi   D.Isimila Iringa E.PanganiTanga
  1. Historia ya Pwani ya  Afrika Mashariki inaonesha kuwa bandari ya Kilwa na Sofala zilikuwa zinasafirisha dhahabu ng’ambo. Dhahabu hiyo ilitoka……A. Zambia B. Botswana  C. Zimbabwe  D. Congo E.Angola
  1. Sehemu ya ardhi iliyozungukwa na maji pande zote huitwa________(A) Penisula (B) Kisiwa (C) Rasi(D) Ghuba              (E) Bara [              ]
  2. Mfumo wa umwagiliaji wa Gezira ni maarufu  kwa uzalishaji wa________(A) Pamba  (B) Chai   (C) Katani                            (D) Ndizi              (E) Mpunga              [              ]
  3. Vitu viwili vinavyounda mazingira ni __________(A) mimea na wanyama (B) milima na mabwawa      (C) vitu vyenye uhai na visivyo na uhai(D) binadamu na wanyama(E) maji na hewa              [              ]
  4. Uharibifu wa mazingira unaweza kudhibitiwa kwa________ (A) matumizi ya mifuko ya plastiki  (B) utupaji taka ovyo(C) matumizi ya mbolea za viwandani (D) ufugaji wa wanyama (E) kuchakata taka
  1. Dunia inajizungusha yenyewe katika Muhimili wake tuapata ;___ (A) Usiku na mchana (B) Majira mbalimbali ya Mwaka (C) Kupatwa kwa Jua (D) Kupungua kwa jotoridi Duniani (E) Kutofautiana kwa nyakati katika Longitudo moja.              [              ]
  1. Nchi yenye watu wengi barani Afrika ni ___________ (A) Algeria (B) Nigeria (C) Tanzania (D) Libya              (E) Ghana                                          [              ]
  1. Mojawapo kati yak maziwa yafuatayo lipo katika bonde la ufa la mashariki__(A) Turkana  (BAlbert      (C) Kyoga              (D) Tanganyika (E) Edward                            [              ]
  1. Nchi ambayo hustawisha zao la mpira kwa wingi katika bara la Afrika ni .…….(A) Liberia (BGhana (C) Nigeria              (D) Burundi                            (E) Gabon                            [              ]
  2. Ni mikoa ipi kati ya hii ifuatayo ni maarufu kwa uzalishaji wa kahawa____(A) Shinyanga na Dodoma (B) Morogoro na Iringa              (C) Iringa na Mbeya              (D) Kagera na Kilimanjaro (E) Kagera na Mbeya
  1. Kabila lililojishughulisha na biashara ya masafa marefu kusini mwa Tanganyika kabla ya ukoloni Afrika Mashariki ni ____________
  1. Mfanyabiashara maarufu wa Kijerumani aliyesaini mkataba wa kilaghai na Chifu Mangungo wa Musovero aliitwa……………………….A) William Maknnon B.)Karlpeters C.)David Livingstone D.)Vasco da Gama E.)John Speke

TUMIA RAMANI IFUATAYO KUJIBU SWALI LA 41-45

  1. Herufi F inawakilisha kisiwa cha…………………………
  2. Herufi D inawakilisha ziwa :-………………..
  1. Herufi A ninchi ya:- ……………………
  2. Herufi G ni mbuga ya …………………………
  3. Herufi B ni reli ya:- ……………….

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 18

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA MTIHANI WA TATHIMINI YA AWALI .

SOMO: SAYANSI NA TEKNOLOJIA.DARASA LA SABA.JAN 2021

MUDA: SAA 1:30

MAELEKEZO:-

  1. Mtihani huu una maswali 45.
  2. Jibu maswali yote kama ulivyoelekezwa katika kila sehemu.

SEHEMU A:

Chagua herufi ya jibu sahihi.

  1. Mwili wa binadamu una milango mingapi ya fahamu?
  1. Saba (B) mitano (C) sita (D) miwili (E) mmoja
  1. Mkojo huchujwa katika sehemu gani ya mwili?
  1. Figo (B) mapafu (C) kibofu (D) moyo (E) ini
  1. Kifuko cha nyongo huhifadhiwa kwenye________
  1. Figo (B) ini (C) moyo (D) mapafu (E) mbavu
  2. Viumbe wafuatao wapo katika kundi lipi la Wanyama? Nyoka, Kobe na

           Kinyonga A. Reptilia B.Amfibia C. Mamalia D Ndege  E. wadudu

        4  Viumbe wafuatao wapo katika kundi lipi la Wanyama? Nyoka, Kobe na

           Kinyonga A. Reptilia B.Amfibia C. Mamalia D Ndege  E. wadudu

5.Kinachosababisha sauti kutokea ni__________

  1. mawimbi (B) kelele (C) mitetemo (D) kuongea (E) koromeo

6 .Sehemu kubwa ya mwili wa binadamu ni__________

  1. Misuli (B) mifupa (C) damu (D) homoni (E) maji

7.Lipi kati ya haya si badiliko la kikemikali __________

  1. Kuvutika kwa mpira (B) kupata kutu kwa chuma (C) kuchacha kwa maziwa (D) kuni kuwa mkaa.E kuungua kwa karatasi

8.Ugonjwa upi kati ya magonjwa haya hauenezwi kwa ngono_________

  1. Ukimwi  (B) kisonono (C) kuhara (D) gono E.kaswende

9.Kama mmea hupumua kwa kutumia stomata zilizomo kwenye majani je binadamu hupumua kwa kutumia nini?

  1. Pua (B) mdomo (C) mapafu (D) koromeo (E) yote sawa

10.Sumu kali inayopatikana kwenye moshi wa sigara huitwa_________

  1. Nikotini (B) opiamu (C) kodeini (D) marijuana (E) kokeini

11.Kichocho ni ugonjwa unaoshambulia sehemu gani ya mwili wa binadamu?

  1. Ini (B) figo (C) kibofu (D) mapafu (E) moyo

12.Ili mmea ustawi unahitaji maji, hewa na _________

  1. Mwanga (B) joto (C) udongo (D) mbolea (E) upepo

13.Damu kutoka kwenye moyo kwenda sehemu mbalimbali za mwili huwa ina _________

  1. Kabonidayoksaidi (B) mvuke mwingi (C) oksijeni nyingi (D) maji ya kutosha (E) naitrojeni

14.Mmea hujitengenezea chakula  kwenye ___________

  1. Shina (B) chanikiwiti (C) tawi (D) mizizi (E) jani

15.Katika udongo kuna viumbe hai pamoja na _______

  1. Sayansi (B) mwezi (C) hewa (D) watu (E) wadudu

16.Viazi, mihogo, mahindi, mchele na ndizi ni baadhi ya vyakula vyenye ______

  1. Hamirojo (B) mafuta (C) vitamin (D) protini (E) hakuna jibu

17.Umeme wa radi ni mfano mzuri wa _________

  1. Umeme tuli (B) umeme mwendo (C) sakiti (D) yote sawa (E) hakuna jibu.

18.Umeme ni mtiririko wa __________

  1. Mwanga (B) protini (C) elektroni (D) nyutroni (E) yote sawa.

19.Mionzi  ya jua hutufikia kwa njia ya _________

  1. Msafara (B) mpitisho (C) mnururisho (D) yote sawa (E) hakuna jibu

20.Mojawapo ya maada zifuatazo zimeundwa na kaboni tu __________

  1. Kabonidayoksaidi (B) mkaa (C) chokaa (D) oksijeni (E) hakuna jibu

21.Wanyama wanaokula nyama tu huitwa_________

  1. Omnivorous (B) habivorous (C) samba (D) chui (E) carnivorous

22.Kuota ndoto nyevu na kupata hedhi ni dalili za __________

  1. Kuzaa (B) kuelekea utu uzima (C) kuumwa (D) yote sawa (E) hakuna jibu

23.Mmea hukua kwa kufuata hatua zifuatazo ______

  1. Mmea-tunda-mbegu-utungisho (B) mmea-ua-utungisho-mbegu (C) mbegu-mmea-ua-utungisho (D) yote sawa (E) hakuna jibu

24.Mbegu huhifadhi chakula chake katika ______

  1. Kiini tete (B) epikapi (C) kotiledoni (D) sepali (E) petali

25.Mfumo wa binadamu una tezi kuu ngapi?

  1. 7 (B) 4 (C) 6 (D) 3 (E) 2

26.Sehemu ya kike ya ua huitwa _______

  1. Stigma (B) ovary (C) stameni (D) pistil (E) kichavua

27.Vipimo vya msingi vya umeme ni __________

  1. Ohm,volt,ampia (B) glopu,betri,ohm (C) waya,betri,glopu (D) kilowati,glopu,ohm (E) hakuna jibu

28.Sehemu inayosharabu chakula mwilini huitwa ___________

  1. Utumbo mwembamba (B) kongosho (C) ini (D) tumbo (E) utumbo mpana

29.________ husaidia kugandisha damu mwilini upatapo na jeraha.

  1. Seli nyeupe (B) seli nyekundu (C) chembe sahani (D) hakuna jibu (E) yote sawa

30. Tafuta ukubwa wapembe  Y  katika mchoro huu.

 

 350

      Y0

 (a) 900  (b) 350(c) 550(d) 800(e) 600

31. Alama ifuatayo katika sakiti yak umeme inawakilisha nini?

A. Amita .B Glopu C.Swichi D.betri E.Ukinzani

32. Mwanga unaposafiri kutoka kwenye media moja kwenda nyingine A.hunyooka B.kuakisi C.hupinda D.mwangwi E.kusharabiwa   (        )              

33.Kimeng’enya kinachobadili mafuta (fati) kuwa aside fati au glycerol huitwa _________

  1. Anylopsim (B) ptyalin (C) lipase (D) erepsin (E) fototropism

34.Kizio cha ukinzani ni ___________

  1. Amita (B) voltimita (C) ohm (D) joule

35.Kitendo cha mmea kujipatia chakula chake na namna inavyokitumia huitwa ______

  1. Usanisi nuru (B) osmosisi (C) nutrition (D) fotosinthesis (E) fototropism

36.Ukosefu wa vitamin _______ husababisha matege.

  1. C (B) K (C) B (D) A (E) D

37.Vitamin D hupatikana katika ______

  1. Chungwa, limao na mboga za majani (B) maziwa, samaki, ini (C) nafaka isiyokobolewa, mboga za majani na kiini cha yai (D) yote sawa (E) hakuna jibu

38.Ni katika nyenzo daraja gani ambapo jitihada huwa katikati _______

  1. La kwanza (B) la tatu (C) hakuna jibu (D) yote sawa (E) la pili

39.Ukuta wa ndani wa chupa ya chai huzuia upotevu wa joto kwa njia ya_____

  1. Unyevu nyevu (B) mpitisho (C) mnururisho (D) hewa. E.Msafara

    40.  Mende hupitia hatua ngapi za ukuaji? A. Mbili B. Tatu C. Nne D. Tano E. Sita

SEHEMU D

Jibu maswali yafuatayo (41-45)

41.Badili 60Ëšc kuwa Fareinheit ______

42.Asidi +metali = chumvi + Y,  Y ni sawa na ______

43.Tofauti ya potenshali kati ya ncha za waya ni volti 12. Kiasi cha mkondo wa umeme unaopita ni ampia 0.4. Je, waya huo una ukinzani wa ohm ngapi?.......................

44.Kokotoa manufaa ya kimakanika, ikiwa jitihada ni kilogramu 400 inayotumika kunyanyua mzigo wenye uzito wa kilogramu 800 kwa kutumia roda huru…….

  1. Fundi alitumia kani ya Newton 50 kufanya kazi ya joule 75 kuinua chuma cha gari.Je Chuma hicho kiliinuliwa umbali gani?..................................

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 17

PRESIDENT’S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

FIRST TRIAL EXAMINATION

STANDARD VII – JANUARY 2021

ENGLISH LANGUAGE

TIME: 1:30 HOURS 

INSTRUCTIONS 

1. This paper consists of 45 questions in section A, B, C, D and E 

2. Answer all questions 

3. Read all given instructions in the special answer sheet (OMR) and fill in all the needed information 

4. Write your name and examination number correctly on your answer sheet provided 

5. Use HB pensil for question 1 – 40 and blue or black pen for question 41 – 45 

6. Cellular phones and other printed materials are not allowed in the examination room


SECTION A; GRAMMAR

Choose the correct words that complete the sentences by shading the letter of the correct answer in the answer sheet provided. 

  1. Mbua is ____________________________________________ a letter to her mother now.
    1. Wrote   (B) was writing  (C) write  (D) Written  (E) Writing
  2. Mtweve was cooking banana when her brother ________________________________
    1. Arrived  (B) arriving   (C) comes  (D) is coming  (E) arrive
  3. Students ____________________________ Mikumi National Park next month.
    1. Visit   (B) Visits   (C) will visit  (D) Visiting  (E) Visited
  4. The children always ___________________________________ playing with toys
    1. Liked   (B) like   (C) liking  (D) likes  (E) likeness
  5. _______________________________ Halima clean her teeth every day?
    1. Do   (B) does   (C) is   (D) has  (E) have
  6. I have been _____________________________________ for you for three hours
    1. Waiting  (B) waited   (C) waits  (D) wait  (E) Waiter
  7. Did you ____________________________ your homework last night?
    1. Finishes (B) finished   (C) finish  (D) finishing  (E) do finish
  8. Diamond is a great musician ____________________________________________?
    1. Is it  (B) Isn’t she   (C) is he  (D) Isn’t Diamond  (E) Isn’t he
  9. The teachers ________________________________ teaching mathematics at the moment
    1. Is   (B) were   (C) have  (D) are  (E) shall
  10.            Write the indirect speech for the sentence “I shall be writing exams this time tomorrow” he said.
    1. He said that he could be writing his exams the following day
    2. He said that he would be writing his exams the following day
    3. He said that he should be writing his exams the following day
    4. He said that he should be writing his exams this time tomorrow
    5. He said hat he shall be writing his exams the following day
  11. He will not pass his examination ___________________________________ he works hard
    1. But   (B) because   (C) even  (D) Unless  (E) and
  12. Witness is not ___________________________ tall __________________________ Allan

(A) Too ____to  (B) so ____ that  (C) as ___ as (D) either ___or (E) both ___ and 

  1. Inspite ____________________ his sickness he went to attend the meeting
    1. For   (B) into   (C) of   (D) to   (E) at
  1. The farmers can __________________________________ plant beans nor maize this year
    1. Either   (B) bot   (C) not  (D) neither  (E) also
  2. The bus moved slowly ____________________________ the bus stand
    1. Towards  (B) under   (C) over  (D) onward  (E) with
  3. The sun __________________________ from East to West
    1. Rises   (B) Rise   (C) Rising  (D) Rose  (E) Are Rising
  4. The lion was ________________________________ by the Masai hunters
    1. Kill   (B) Killing   (C) Killed  (D) Kills  (E) is killing
  5. Mr. Mangula is _____________________________________ honest man
    1. A   (B) an    (C) some  (D) the  (E) is killing
  6. I saw John eating Ugali _______________________________ a spoon

 (A) by   (B) with   (C) and  (D) for  (E) from 

20. Many passengers injured  ________________________________ in the accident.

 (A) themselves (B) our self   (C) themself (D) myself  (E) herself 

21. Mount Kilimanjaro is ____________________________________ than Mount Kenya 

 (A) higher  (B) high  (C) the highest   (D) very higher               (E) an highest 

22. This is the place ___________________________________ an accident happened last year 

 (A) who (B) whom  (C) where  (D) whose  (E) which 

23. I saw him throw a stone ______________________________ the window 

 (A) through (B) over  (C) in   (D) by   (E) on 

24. They travelled from Mwanza to Morogoro ____________________________ air plane 

 (A) by  (B) on   (C) with   (D) in    (E) at 

25. Nyanzobe and Nyanzara bought _____________________________ umbrella 

 (A) un  (B) an   (C) a    (D) the   (E) are               

26. It is known that the cow died ___________________________________ a year now 

 (A) by  (B) of   (C) for    (D) at    (E) on 

27. My uncle has been a teacher ________________________________ a year now 

 (A) at  (B) in   (C) on   (D) since   (E) for 

28. _________________________________________ Neema is beautiful, but also intelligent. 

 (A) both (B) either  (C) not only   (D) either   (E) and 

29. There isn’t ____________________________________ sugar in the tea 

 (A)an  (B) some  (C) many   (D) any   (E) little 

30. We have ________________________________ money in our pockets. 

 (A) many (B) plenty   (C) few   (D) much  (E) lot of 

SECTION B. VOCABULARY

Choose the correct answer that completes the sentences. 

31. A man whose wife has died is called a _______________________________________

 (A) Widower   (B) Widow  (C) orphan  (D) troublesome  (E) bachelor 

32. A person who flies an airplane is called a _____________________________________

 (A) police  (B) navigator  (C) judge  (D) pilot   (E) driver 

33. A pedestrian is a person who ______________________________________

 (A) pedals the bicycle   (B) walks on foot   (C) travels by car 

 (D) uses a pedal   (E) travels by train 

34. The plural form of the word sheep is _________________________________

 (A) Sheeps (B) ships  (C) sheep  (D) ship  (E) sheepy

35. A person who cuts other people’s hair is called a _____________________________

 (A) saloon  (B) barber  (C) hair cutter   (D) hair dresser  

(E) hair salon 

36. The pupils were ______________________ for winning their match against their opponents 

 (A) congratulated (B) celebrate   (C) praise   (D) confirmed                (E) concurred 

SECTION C: COMPOSITION

This section has four mixed sentences. Re arrange the sentences so as to make a good composition by giving them letter A, B, C and D shade the letter of the correct answer in your answer sheet. 

37. They were expecting to see their mother come through the gate at any moment 

38. “Why do you think she has not yet come” asked Kataga. “May be the bus from the market was late” answered Kimaro. 

39. One evening Kimaro and his younger sister Kataga were sitting on the door step of their house. 

40. It was now a quarter past six and she had not yet returned. 

SECTION D: COMPREHENSION

Read the following passage carefully then answer queston 41-45 by filling in the blanks shortly. 

My name is Baraka. My father’s name is Daudi and my mother’s name is Amina. I have two sisters Hawa and Anna while Hawa is older than I am. Anna is younger than I am. I have an elder brother Ado and younger twin brothers Kulwa and Doto. 

Our father is a businessman in Maendeleo town in the southern region of Tanzania. He has a big store of farm tools like hoes, pangas, slashers and spare part for tractors and oxen pulled carts. This mean our father has a home in Maendeleo town. 

We have original home in Mpapa village where our mother, brothers, sisters and bigger family unit live. This means that our grandparents, our uncles, aunties and our cousins live in Mpapa and work on coffee and maize farms. We also cultivate beans, pears and sunflower seeds. 

My elder brother and my sister Hawa have already completed school. Ado works with the coffee curing plant in Mbinga as mechanic. Hawa is a nurse at Majengo mission hospital. I myself am now in standard seven and I am hoping to do the primary school leaving examination toward the end of this year. 

During the holiday I normally join my mother, young brothers and sister and help in the farm work. We cultivate a lot of maize. We use some of it for our daily meals while we sell the rest to get some money for other uses. We also have a big coffee farm. Coffee is our main cash crop. 

QUESTIONS

41. Whos is the writer of this passage? ____________________________________________

42. How many brothers does Baraka have? _________________________________________

43. Which word that explain Mr. Daudi’s work _______________________________________

44. Where is the original residence of the writer’s family unit live?________________________

45. What is the main cash crop pf the area you have read about? ________________________


  1. E
  2. A
  3. C
  4. B
  5. B
  6. A
  7. C
  8. E
  9. D
  10. C
  11. D
  12. C
  13. C
  14. D
  15. A
  16. A
  17. C
  18. B
  19. B
  20. A
  21. A
  22. C
  23. A
  24. A
  25. B
  26. B
  27. E
  28. C
  29. D
  30. D
  31. A
  32. D
  33. B
  34. C
  35. B
  36. A
  37. B
  38. D
  39. A
  40. C
  41. Baraka
  42. Three Brothers
  43. Businessman
  44. Mpapa Village
  45. Coffee 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 16

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI YA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA DARASA LA SABA

MUDA : 2:30

MAARIFA YA JAMII

MAELEZO KWA MTAHINIWA

  1. Mtihani huu unamaswali 50
  2. Jibu Maswali Yote
  3. ANDIKA Majibu yako kwa Herufi kubwa
  4. Hakikisha kazi yako inasomeka vyema

Chagua Jibu sahihi.

1. Katibu kata anachaguliwa na:

  1. Wanachama wa chama tawala
  2. Mkutano mkuu wa kata
  3. Wananchi wa kata ile
  4. Mkutano wa kijiji wa mwaka
  5. Kamati ya kijiji

2. Kamati ya maendeleo ya kata inaundwa na wafuatao isipokuwa:

  1. Katibu kata
  2. Afisa mtendaji wa Kata
  3. Katibu Kata wa viti maalumu
  4. Afisa mtendaji wa Mkoa
  5. Kamanda wa Polisi wa Mkoa

3. Mwakilishi wa Rais katika ngazi ya mkoa ni:

  1. Katibu tawala wa Mkoa
  2. Mkurugenzi mtendaji wa manispaa
  3. Mkuu wa Mkoa
  4. Afisa mtendaji wa Mkoa
  5. kamanda wa Polisi wa mkoa

4. Kauli mbiu ya Tanzania iliyopo kwenye nembo ya taifa ni:

  1. uhuru na maendeleo
  2. uhuru na kazi
  3. uhuru na umoja
  4. uhuru na amani
  5. umoja na amani

5. Wimbo wa taifa una beti ngapi?

  1. Tatu
  2. Mbili
  3. Nne
  4. Tano
  5. Sita

6. Kazi ya kamati ya shule ni:

  1. Kusimamia maendeleo ya taaluma
  2. Kutoa ushauri juu ya maambukizi ya UKIMWI
  3. Kuidhinisha uteuzi wa waalimu
  4. Kusimamia nidhamu ya waalimu
  5. Kusimamia ujenzi na maendeleo ya shule.

7. Chombo chenye mamlaka ya kusimamia uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani Tanzania ni:

  1. Jeshi la polisi
  2. Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  3. Mahakama Kuu
  4. Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa
  5. Ofisi ya Waziri Mkuu

8. Haki ya kumiliki mali iko katika kipengele kipi cha haki za binadamu?

  1. Kijamii na kiuchumi
  2. Kisiasa na kiuchumi
  3. Kikatiba na kisiasa
  4. Kijamii na Kisiasa
  5. Kijamii na Kiutamaduni

9. Ulinzi na usalama wa taifa letu ni jukumu la:

  1. Jeshi Wananchi wa Tanzania
  2. kitengo cha Usalama wa Taifa
  3. Jeshi la Polisi
  4. mgambo
  5. kila mwananchi

10.Mojawapo ya kazi za mgamboni:

  1. kukamata wahalifu na kuwapeleka kwenye kituo cha polisi
  2. kuadhibu wanaovunja sheria mijini
  3. kuzuia ajali za moto
  4. kukusanya kodi ya maendeleo mijini
  5. kuzuia na kupambana na rushwa

11. Utandawazi ni mfumo unao hamasisha:

  1. teknolojia ya habari na mawasiliano katika nchi zinazoendelea
  2. haki sawa kwa kila mmoja duniani
  3. mfumo wa vyama vingi katika nchi zinazoendelea
  4. biashara huria baina ya mataifa
  5. sekta binafsi katika nchi zinazoendelea .

12.Nini maana ya ujasiriamali?

  1. Bishara yoyote yenye faida
  2. Uwekezaji kwenye biashara
  3. Biashara ndogondogo
  4. Sekta binafsi
  5. Ujasiri wa kumiliki mali

13. Mtumishi wa umma ambaye ni Mbunge kwa mujibu wa nafasi yake katika utumishi wa umma ni ....

  1. Jaji Mkuu
  2. Katibu Mkuu Kiongozi
  3. Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
  4. Msajili wa vyama vya siasa.
  5. Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

14. Ni chombo gani chenye jukumu la kumchagua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa?

  1. Baraza la Udhamini la Umoja wa Mataifa.
  2. Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
  3. Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
  4. Sekretarieti ya Umoja wa Mataifa.
  5. Mahakama Kuu ya Kimataifa.

15. Chimbuko la familia ni:

  1. babu na bibi
  2. baba na mama
  3. shangazi na mjomba
  4. watoto na wazazi
  5. kaka na dada

16. Kiongozi mkuu wa shule ni:

  1. mwalimu mkuu msaidizi
  2. mwalimu wa taaluma
  3. kiranja mkuu
  4. mwalimu mkuu
  5. mwalimu wa nidhamu

17. Nini faida ya mgawanyo wa kazi katika familia?

  1. Hudhoofisha familia
  2. Huchochea utengano
  3. Huleta udikteta
  4. Huleta maendeleo
  5. Huleta mitafaruku

18. Moto uligunduliwa katika:

  1. Zama za Mawe za Kale
  2. Zama za Mawe za Kati
  3. Zama za Chuma
  4. Zama za Mawe za Mwisho
  5. Zama za Viwanda

19. Uchoraji wa wanyama katika mapango ulianza kufanywa na binadamu katika:

  1. Zama za Chuma
  2. Zama za Mawe za Kati
  3. Zama za Mawe za Kale
  4. Zama za Mawe za Mwisho
  5. Zama za Mavve za Mwanzo

20. Mabaki ya Zinjanthropus yaliyopatikana katika bonde la Olduvai mwaka 1959 yaligunduliwa na:

  1. David Livingstone
  2. Fredrick Lugard
  3. Louis Leakey
  4. Carl Peters
  5. Charles Darwin

21.Utawala waWaingereza nchini Tanganyika uliisha mnamo .....

  1. karne ya 15
  2. karne ya 19
  3. karne ya 20
  4. karne ya 18
  5. karne y 17

22.Vita vilivyozuka nchini Ruanda mwaka 1994 vilisababishwa na:

  1. ukabila
  2. ubaguzi wa rangi
  3. rushwa
  4. ukabaila
  5. ubepari

23. Watangulizi wa kwanza wa ukoloni kuwasili Zanzibar na Tanganyika walikuwa:

  1. wafanya biashara
  2. Wamisionari
  3. Wapelelezi
  4. Walowezi
  5. Waarabu

24. Makoloni ya Ujerumani katika Afrika yalikuwa ..

  1. Naijeria, Namibia na Togo.
  2. Gambia, Togo na Namibia.
  3. Kameruni, Togo na Namibia.
  4. Namibia, Tanganyika na Naijeria.
  5. Kameruni, Tanganyika na Senegal.

25.Ni mataifa yapi kati ya yafuatayo yalianzisha umoja wa nchi zisizofungamana na upande wowote?

  1. Ulaya Mashariki.
  2. Nchi zinazoendelea
  3. Ulaya Magharibi.
  4. Amerika ya Kusini
  5. Amerika ya Kaskazini

26. Wajerumani walitawala Tanganyika baada ya .....

  1. Vita Kuu ya Kwanza.
  2. Vita Kuuya Pili.
  3. Mkutano wa Berlin.
  4. Kuundwa kwa UNO.
  5. Kushindwa kwa Wareno.

27.Katika Zama za Mwanzo za Mawe binadamu .....

  1. alianza kufuga wanyama na ndege.
  2. aligundua moto.
  3. alijihusisha na kilimo na biashara.
  4. aliongeza uwezo wa kuzalisha chakula.
  5. aliishi kwa kutegemea mazingira.

28. Jamii zilizokuwa maarufu kwa kufua chuma hapa Tanganyika ni pamoja na ...

  1. Wapare na Wazinza.
  2. Wapare na Wagogo.
  3. Wazinza na Wasukuma
  4. Wapare na Wajaluo.
  5. Wazinza na Wagogo.

29. Soko kuu la watumwa Zanzibar lilifungwa mwaka ......

  1. 1873
  2. 1822
  3. 1845
  4. 1820
  5. 1900

30. Mojawapo ya athari za kugawanywa kwa bara la Afrika ilikuwa .........

  1. kukua kwa viwanda vya Afrika.
  2. kudumaa kwa viwanda vya Afrika.
  3. kuboreshwa kwa uchumi wa jadi.
  4. kudumisha utamaduni wa Kiafrika.
  5. kuanza kwa biashara ya utumwa

31.Taifa la pili kuitawala Zanzibar lilikuwa ......

  1. Uingereza.
  2. Ujerumani.
  3. Ureno.
  4. Oman.
  5. Ufaransa.

32. Bidhaa zilizoletwa Tanganyika kutoka Bara la Asia kuanzia karne ya nane zilikuwa ni pamoja na ....

  1. pembe za ndovu na dhahabu.
  2. Ngozi na bunduki
  3. Chumvi na shaba
  4. Nguo na ngano
  5. Nguo na watumwa

33. Pepo huvuma kutoka pande zipi jua liwapo upande wa kusini mwa dunia?

  1. Kusini
  2. Magharibi
  3. Mashariki
  4. Kaskazini
  5. Kaskazini-mashariki

34. Tunapataje idadi ya watu katika sehemu fulani?

  1. Kwa kuhesabu watoto wachanga
  2. Kwa kuhesabu wafu
  3. Kwa kuhesabu wakimbizi
  4. Kwa kukokotoa eneo Ia sehemu
  5. Kwa kufanya sensa

35. Mojawapo ya madhara ya ongezeko kubwa Ia watu nchini Tanzania ni:

  1. Kuongezeka kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe
  2. Ongezeko Ia utegemezi
  3. Uhaba wa huduma za kijamii
  4. Kupungua kwa eneo Ia nchi
  5. Upungufu wa wasomi

36. Maji ya mvua yanaweza kukingwa na kuhifadhiwa kwa matumizi ya baadaye kwa kutumia:

  1. Ndoo na mabomba
  2. Chupa na majaba
  3. Visima na chupa
  4. Visima na mapipa
  5. Ndoo na chupa

37. Jua la utosi katika mwezi Disemba huwa katika .

  1. Kizio cha Kusini.
  2. Tropiki ya Kansa.
  3. Ikweta.
  4. Kizio cha Kaskazini.
  5. Tropiki ya Kaprikoni.

38. Bainisha vyanzo vya umeme kati ya vifuatavyo: ....

  1. Nguvu ya maji, madini na nyaya.
  2. Upepo, nguvu ya maji na transfoma.
  3. Nguvu ya maji, upepo na jua.
  4. Makaa ya mawe, nyaya na transfoma.
  5. Nguvu ya maji, transfoma na makaa ya mawe.

39. Picha iliyopigwa katika uoto wa savanna huonesha ...

  1. misitu minene.
  2. nyasi ndefu.
  3. miti iliyochongoka juu.
  4. miti yenye umbile la mwavuli.
  5. nyasi fupi.

40. Athari kuu za viwanda katika mazingira ni .....

  1. kuchafua maji, hewa na harufu mbaya.
  2. kutoa moshi na matumizi makubwa ya nguvu ya nishati.
  3. uchafuzi wa hewa, udongo na harufu mbaya.
  4. kumwaga kemikali na kutoa moshi.
  5. uchafuzi wa hewa, maji na ardhi.

41. Zao la mkonge hulimwa katika mikoa ipi Tanzania? ....... .

  1. Tanga na Mbeya.
  2. Morogoro na Pwani.
  3. Morogoro na Tanga.
  4. Kilimanjaro na Manyara.
  5. Mtwara na Singida

42. Nchi za Kusini mvva Afrika ni pamoja na:

  1. Angola, Afrika Kusini na Namibia
  2. Afrika Kusini, Burundi na Malawi
  3. Malawi, Msumbiji na Rwanda
  4. Zimbabwe, Botswana na Tanzania
  5. Swaziland, Lesotho na Nigeria

43. Ni mikoa ipi nchini Tanzania imeonesha dalili za kuenea kwa jangwa?

  1. Shinyanga, Tabora na Mwanza
  2. Kilimanjaro, Iringa na Mbeya
  3. Lindi, Morogoro na Tabora
  4. Shinyanga, Dodoma na Singida
  5. Arusha, Ruvuma na Manyara

44. Kundi lipi linaonesha sayari?

  1. Zebaki, Mwezi na Zuhura
  2. Dunia, Nyota na Mihiri
  3. Zebaki, Serateni na Zohari
  4. Zuhura, Dunia na Kimondo
  5. Utaridi, Jua na Mwezi

45. Ongezeko Ia joto duniani, ukame, mafuriko na vimbunga ni matokeo ya athari zitokanazona

  1. uharibifu wa mazingira
  2. tsunami iliyotoka Asia
  3. ongezeko kubwa Ia watu katika nchi za Ulaya
  4. matumizi ya mabomu ya nyuklia
  5. Mvua nyingi

46. Kitu muhimu katika ramani kinachotumika kuonesha uwiano wa umbali katika ramani na umbali halisi kwenye ardhi huitwa.

  1. Skeli
  2. Dira
  3. Ufunguo
  4. Fremu
  5. Jina la ramani

47. Nishati gani kati ya zifuatazo inaweza kusababisha uharibifu wa mazingira?

  1. Jua
  2. Upepo
  3. Maji
  4. Mkaa.
  5. Kinyesi cha wanyama

48. Ufugaji wa kisasa wa wanyama huzingatia nini? ..

  1. Utamaduni wa jamii
  2. Ubora wa wanyama na mazao yao.
  3. Kuwepo kwa ardhi ya kutosha.
  4. Mbuga za asili za kulishia mifugo.
  5. Hali ya hewa.

49. Majira ya mwaka hutokea kutokana na ...

  1. kupatwa kwa mwezi
  2. mwezi kuizunguka dunia
  3. dunia kulizunguka jua
  4. kupatwa kwa jua
  5. kuongezeka kwa joto.

50. Mikoa ipi ina mashamba makubwa ya Chai?

  1. Pwani, Njombe na Iringa
  2. Ruvuma na Morogoro
  3. Morogoro, Njombe na Iringa.
  4. Kilimanjaro na Mbeya
  5. Mbeya, Njombe na Iringa

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 6

PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

STANDARD SEVEN MID TERM EXAMINATIONS- APRIL 2020

TIME : 2:30 HOURS

SOCIAL STUDIES

INSTRUCTIONS

  1. This Examinations Consists Of 50  Questions
  2. Answer All Questions
  3. Write Your Answers In Capital Letters
  4. Make Your Work Legible

SECTION A

Choose the correct answer from the Alternatives given

1.  The district chairperson is chosen by

  1. District Executive Director
  2.  Defense and security committee
  3. Minister in the office of the president
  4. Ward Executive Officer
  5. Ward councilors

2.   Which one of the following resources attracts tourists and contributes to the national income?

  1. Land
  2. Rivers
  3. Livestock
  4. Minerals
  5. Parks

3.The governments responsibility of ensuring leaders integrity involves

  1. Giving loans in terms of vehicle to each
  2.  Establishing a single party system
  3. Establishing public service work rules
  4. Transferring corrupt employees
  5. Employing of qualified servants

4. What is the difference between customs and traditions

  1. Customs change frequently thanTraditions
  2. Traditions more change frequently than customs
  3. Customs are habits while traditions are actions
  4. Customs are habits that can change to become traditions
  5. Traditions change more frequently than practices

5. Use of public office for selfish interests is called

  1. Handouts
  2.  Corruption
  3. Patriotism
  4. Selfish
  5. Entrepreneurship

6.  Powerful capitalist nations that scrambled for Africa were

  1.  Britain, Germany, France,Belgium, Italy and Portugal
  2. Britain, Germany, France, China,Spain and America
  3.  Britain, Germany, France, Japan, Spain and Belgium
  4. Britain, Germany France, china and Japan
  5.  Britain,   Germany, France,Belgium, Italy and china

7.  The founder of the Britain business company in East Africa (IBEACO) was called

  1.  David Livingstone
  2. Karl Peters
  3. Mungo Park
  4. William Macknon 
  5.  Seyyid Said

8.  The archaeologist who discovered the human skull at Olduvai Gorge was called

  1. Charles Darwin
  2. Zinjanthropus
  3. Homo Habilis 
  4.  David leakey
  5.  Louis Leakey

9. Which mode of production involved collective ownership of the major means of production?

  1. Slavery
  2.  Ethnicity
  3. Capitalism      
  4. Communalism
  5. Socialism

10.  What caused the Maji Maji war?

  1. Portuguese took Tanzania into slavery
  2. Kinjekitile was annoyed by hostility of the Germans and Arabs
  3. Tanzanians were beaten by the British
  4. Germans forced people to work in the cotton farms
  5. Sultan Seyyid Said persecuted and enslaved Africans

11. Which of the following map scales represent a small area on the ground? 

  1. 1:50
  2. 1: 500,000
  3. 1:50,000
  4. 1:5000
  5. 1:500

12.  Fold mountains occur in areas with?

  1. Rock layers
  2. Volcanic rocks and fire
  3. Hot rock
  4. Rock variable
  5. Volcanic rocks

13. Which one of the following is the main danger of overpopulation?

  1. Decrease criminal cases
  2. Increase in employment opportunities
  3.  Decrease in capital
  4. Decrease in small scale business 
  5. Insufficiency in social services

14. International trade involves

  1. Import and export of goods
  2. Importation of goods
  3. Exportation of goods
  4. Currency business
  5. Borrowing funds from other countries

15. Which regions are mainly concerned with transportation using the Indian Ocean?

  1. Mwanza, Pemba, Zanzibar and Mtwara
  2. Tanga, Mtwara, Kigoma and Pwani
  3. Zanzibar, Pemba, Mwanza and Kigoma
  4. Kilimanjaro, Kigoma, Tanga and Zanzibar
  5. Dar es Salaam, Tanga, Mtwara

16.  The ward councilor is elected by:

  1. All member of the ruling party. 
  2. Ward General Assembly
  3. Citizens living in the respective ward
  4. Village general assembly
  5. Village council

17.  Ward development committee consists of the following leaders, except: 

  1.  Ward councilor 
  2. Ward executive officer
  3. Special seats councilor
  4. Ward Education Coordinator
  5. Ward secretary

18.   A motto of Tanzania found on the national Coat of Arms is:

  1.  Freedom and Development
  2. Freedom and Work
  3. Freedom and Unity
  4. Freedom and Peace          
  5. Freedom and security

19. The things that every person deserves regardless of tribe, Nationality and gender are called; 

  1.  Good governance
  2.   Human Rights
  3.   Rule of Law
  4.  Democracy
  5.   Gender equality

20. Participation of pupils in the election of their leaders in a school strengthens:

  1. Constitutional leadership at school
  2.  Leadership of the Head of the school
  3. Bureaucracy at school
  4. Security at school
  5.  Good governance at the school.

21. The importance of Zebra Crossing Sign is;

  1. To reduce congestion of Carson the road.
  2. To enable the disabled people to cross the road safely
  3. To enable the pedestrians to cross the road safely.
  4. To give warning of the presence of livestock near the road.
  5. To give warning about pres ence of railway near the road.

22.Speaker of the Assembly of the United Republic of Tanzania is elected by 

  1.  The citizens
  2.   Members of the Parliament
  3.   Ministers
  4.  Councellors
  5.   Chief justice

23. What is the advantage of division of labour in a family?

  1. It weakens the family
  2. It encourages divisions
  3.  It causes dictatorship
  4. It brings developments
  5. It causes conflicts

24.1n which age was fire discovered?

  1.  Early stone age
  2. Middle stone age
  3.  Iron stone age
  4.  Late stone age
  5. Industrial age

25.   Uvinza is well known in Tanzania due to production of:

  1. Coal
  2. Copper
  3. Iron
  4. Salt
  5. Gold

26.   The remains of Zinjanthropus that were found in the Olduvai Gorge were discovered by:

  1. David Livingstone
  2. Fredrick Lugard
  3. Lous Leakey
  4. Carl Peters
  5. Charles Darwin

27.   Three East Africa tribes that participated in the Long Distance Trade before colonialism were:

  1. The Hehe, Nyamwezi and Turkana
  2. The Karamajong, Sukuma and Pokot
  3. The Maasai, Yao and Sukuma
  4. The Yao, Nyamwezi and
  5. The Yao, Nyamwezi and Kamba

28.   The first treaty that was signed in 1822 to abolish slave trade in Tanganyika and Zanzibar was called.

  1. The Morseby Treaty 
  2. The Frere Treaty
  3. The Heligoland Treaty
  4. The Harmaton Treaty
  5. The Berlin Conference

29.   The Majimaji war was caused by;

  1. Magic water water from the Rufiji
  2. Lust of the witch doctors
  3. Exploitation done by the Germans
  4. Cruelty of the Matumbi of Songea
  5. Testing of local weapons

30.   Up to 1914 the states that were free in the continent of Africa were:

  1. Tanganyika and Zanzibar
  2. Ethiopia and Liberia
  3. Ghana and Egypt
  4. Somalia and Djibout    
  5. South Africa and Rwanda

31.People who are living along the shores of Oceans and lakes normally deal with;

  1. Agriculture
  2. Fishing
  3. Lumbering
  4. Livestock keeping
  5. Transportation

32.Which one among the following is a characteristic of maps?

  1. Showing all sides of the item
  2. Length of the item is shown
  3. The structure of the item
  4. Actual colour of the item is seen
  5. Top view of the item is seen

33.  Which one among the following hazards is caused by both natural and Human factors

  1. Huricane
  2. Volcanic eruption
  3. Bom blast
  4. Fire
  5. war

34. Fishing which is unstustainable leads to the following; except?

  1. Death of people
  2. death of fish
  3. Environmental pollution
  4. Poverty
  5. Richness

Study the photograph below and answer questions 40,41,42 and 43.

35. Name the crop shown on the photograph

  1. Maize
  2. Rice
  3. Sisal
  4. Wheat
  5. Millet

36.     It is important to observe one of the following while singing the national anthem:

  1.  Holding the national flag
  2.   stand still and attentive
  3.   Look at the right side
  4.  raise up the right hand
  5.   sit down calmly

37.  Advantages of defense and security in schools include

  1. To increase the number of pupils enrolment 
  2. To ensure peaceful and orderly learning environment
  3. To ensure teachers and students arrive at school on time
  4. To broaden the scope of democracy in school 
  5. To facilitate the construction of classrooms and teachers houses.

38.     Good governance    can be  strengthened in schools through the following ways; 

  1. students to elect their leaders
  2. students to know income and expenditure of the school
  3. student leaders to have final say on any issue
  4. student leaders to respect the views of their fellow students
  5. students to accept advice from their teachers

39. Which of the following traditions can spread HIV/AIDS?

  1. Traditional dances 
  2. food taboos
  3. bearing  many children
  4. widow inheritance
  5. bride price.

40. the main objective of constitutional changes of 1962 in Tanzania were?

  1. To from a government of national unity 
  2. to form a federal government
  3. to form a local government
  4. to form a republic government
  5. to form a transition government

41. An extended family is closely related to a special group known as

  1. Tribe
  2. Society
  3. Lineage
  4. Neighbour
  5. Village

42. The earliest system of which a society owned all major means of production commonly was called

  1. Feudalism
  2.  Communism
  3. Socialism
  4. Friendship
  5. Communalism

43. The first Portuguese to reach the Southern part of Africa was called

  1.   King Henry
  2.   Bartholomew Diaz 
  3.  Vasco da Gama
  4.   David Livingstone
  5.    Cecil Rhodes

44.  Major groups of agents of colonialism which came to Tanganyika and Zanzibar were

  1. Soldiers, Administrators and Traders 
  2.  Missionaries, Journalists and Traders
  3.  Explorers, Administrators and Traders
  4. Journalists, Explorers and Soldiers
  5. Explorers, Missionaries and Traders

45. Some of the French colonies in Africa were

  1.  Togo and Morocco
  2.   Senegal and Ghana
  3.   Nigeria and Tunisia        
  4.  Senegal and Morocco 
  5.    Angola and Tunisia

46. The Arusha Declaration emphasized that development of the country must be on the basis of

  1. Dependency and aids
  2. International trade
  3. Socialism and self-reliance
  4. Single party and democracy
  5. Privatization and investments

47. Environment is

  1. Living things and non-living organisms 
  2.  Living organisms, houses and water
  3. All things that surround human being
  4. Land, buildings and oceans
  5. Plants, domestic animals and houses

49.  The main source of the solar system is

  1.  earth
  2. planet
  3. sun
  4. moon
  5.  star

50.   A pass is an area in land surface that shows

  1. an area with the rift valley
  2. an area with block mountains
  3. the mountain summits
  4. a flat landscape 
  5. a gap between two mountain ranges

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SOCIAL EXAM SERIES 5

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI YA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA DARASA LA SABA

MUDA: 2:30 

KISWAHILI

MAELEZO KWA MTAHINIWA

  1. Mtihani huu unamaswali 50
  2. Jibu Maswali Yote
  3. ANDIKA Majibu yako kwa Herufi kubwa
  4. Hakikisha kazi yako inasomeka vyema

SEHEMU A: SARUFI

 Katika swali la 1 — 20, weka kivuli katika herufl ya jibu lililo sahihi katika karatasi yako ya kujibia 

1.Neno lipi kati ya haya lina maaana sawa na shari?

  1.  Ubunifu
  2. Umaarufu
  3. Uzembe
  4. Ugomvi
  5. Uzushi

2.      Shida alivaa nguo za kijeshi wakati wa mkutano.Neno "za kijeshi" ni aina gani ya neno?

  1. Kivumishi
  2. Kielezi
  3. Kitenzi
  4. Kiwakilishi 
  5.  Nomino

3.      Hicho ulichopata sikupata lakini nimepata hiki" katika sentensi hii, maneno "hicho na hiki"ni aina gani ya maneno?

  1. Vivumishi 
  2. Viwakilishi
  3. Vielezi    
  4. Vitenzi
  5. Nomino

 4.      Ni sentensi ipi iliyo sahihi kimuundo  kati ya zifuatazo?

  1. Amenunua gari mashaka
  2. Mashaka gari amenunua 
  3. Amenunua mashaka gari 
  4. Mashaka amenunua gari
  5. Gari amenunua mashaka.

5.      Maana ya neno "faraghani" ni ipi kati ya hizi?

  1. Wazi wazi
  2. Kivulini
  3. Pembejeo
  4. Mafichoni
  5. Hadharani

6.      Wingi wa sentensi "Mbuzi wamepotea" ni upi?

  1. Mbuzi zetu zimepotea
  2. Mbuzi yetu zimepotea
  3. Mbuzi wetu wamepotea 
  4.  Mbuzi zetu wamepotea
  5. Mbuzi yetu wamepotea.

7.   Kinyume cha neno "duwaa" ni kipi?

  1. Shangaa
  2. Staajabu
  3.  Bashasha
  4. Pumbaa
  5.  Butwaa

8.  "Uvumilivu ulimfanya Pendo apate zawadi. "Uvumilivu ni aina gani ya neno?

  1. Nomino
  2.  Kitenzi
  3. Kivumishi
  4. Kihisishi
  5. Kiwakilishi

9.       Yupi kati ya wafuatao ni lazima awe mwanaume?

  1. Mjomba 
  2. Binamu
  3. Mjukuu
  4.  Ndugu 
  5. Mzee

10. "Walimu watafundisha masomo yao vizuri". Sentensi hii ipo katika wakati gani?

  1. Uliopita 
  2.  Ujao
  3. Uliopo
  4. Mazoea
  5. Timilifu

11.     "Wanafunzi hodari watapewa zawadi". Sentensi hiyo ipo katika wakati gani?

  1. Ujao 
  2.  Timilifu 
  3. Uliopita   
  4.  Mazoea 
  5. Uliopo

12.     Maji yamejaa "pomoni" Neno "pomoni" ni aina ipi ya neno?

  1. Nomino  
  2.  Kiwakilishi   
  3. Kielezi
  4. Kihisishi  
  5. Kivumishi

13.     Kati ya maneno "Sherehi, Sherehe, Shamrashamra, Hafla, Tafrija" neno lipi halihusiani na mengine?

  1. Sherehi  
  2. Sherehe 
  3.  Shamrashamra 
  4. Hafia 
  5. Tafrija

14.     Neno lipi kati ya maneno yafuatayo lina maana sawa na "thubutu"?

  1. Ufidhuli  
  2. Ujasiri 
  3. Umahiri 
  4. Ukakamavu 
  5. Utashi

15."Kuzua kizaazaa" ni msemo wenye maana gani?

  1. Ushabiki   
  2. Upendeleo
  3. Malumbano
  4. Masikitiko  
  5. Majungu 

16, "Mlima meru unafuka moshi" Ukanusha wa sentensi hii ni upi?

  1. Mlima meru unawaka moshi
  2. Mlima meru unatoa moshi.
  3. Mlima meru unafukiza moshi D. 
  4. Mlima meru haufuki moshi 
  5. Mlima meru hauwaki moshi.

17.       Panga maneno yafuatayo kwa kuanzia na neno ambalo katika familia hiyo linaonesha aliyetangulia kuzaliwa hadi wa mwisho kuzaliwa: Baba, kitukuu, babu, kilembwe, mjukuu, kilembwekeza.

  1. Babu, Baba, Mjukuu, Kitukuu,Kilembwe, Kilembwekeza
  2.  Baba, mjukuu, kitukuu, kilembwe,  kilembwekeza, babu
  3. Kilembwekeza, kitukuu, mjukuu, bab babu, kilembwe
  4. Babu, mjukuu, kitukuu, kilembwe, kilembwekeza, baba
  5. Mjukuu, kitukuu, baba, babu, kilembwe, kilembwekeza

18. Katika vitenzi "sitafyeka" na "hupendi" ni silabi zipi zinazoonesha ukanushi?

  1. ta na hu
  2. ta na pe
  3. ka na ndi 
  4.  si na hu
  5. fye na pe.

19. Neno lipi kati ya haya halilandani na mengine?

  1. Cheka
  2. Tabasamu
  3. Furaha 
  4.  Sherehe 
  5.  Shere.

20.   Ni methali ipi kati ya zifuatazo inahimiza ushirikiano katika jamii?

  1. Chanda chema huvikwa pete
  2. Mchumajanga hula na wa kwao
  3. Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu
  4. Mwenda pole hajikwai
  5.  Wapishi wengi huharibu mchuzi

20.   Ni methali ipi kati ya zifuatazo inahimiza ushirikiano katika jamii?

  1. Chanda chema huvikwa pete
  2. Mchumajanga hula na wa kwao
  3. Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu
  4. Mwenda pole hajikwai
  5. Wapishi wengi huharibu mchuzi

21.      Methali isemayo, "Katika msafara wa mamba na kenge wamo" iko sawa na methali ipi kati ya zifuatazo?

  1. Akutukanaye hakuchagulii tusi. 
  2.  Kila kiboko na kivuko chake.
  3. Amulikaye nyoka huanzia miguuni mwake. 
  4. Tajiri na mali yake maskini na mwanawe. 
  5.  Hakuna masiki yasiyo na mbu.

22.      Diengi anapenda kuwarairai watu. "l<urairai watu" ni msemo wenye maana ipi?

  1. Kuwasihi watu ili apate cheo anachokipenda
  2. Kusema na watu kwa maneno mazuri
  3. Kusema na watu ili uwape chochote
  4.  Kusema kwa watu kwajili ya kuwatapeli
  5. Kuwabembeleza watu ili wasimpangie kazi

23.      Msemo "kubarizi" maana yake ni kukusanyika kwa ajili ya .

  1. Sherehe 
  2.  mkutano 
  3.  mazungumzo ya kawaida 
  4. burudani 
  5.  chakula cha pamoja

24.      Methali isemayo "Kila mtoto na koja lake" ina maana gani? 

  1. Kila binadamu ana mapungufu yake.
  2.  Kila mtoto ana matatizo yake.  
  3. Kila mtoto ana mapungufu yake. 
  4.  Kila mtoto ana wazazi wake.  
  5. Kila binadamu ana tabia yake.

Nahau isemayo "kuvishwa kilemba cha ukoka" ina maana gani?

  1. Kupewa sifa unazostahili 
  2.  Kupewa sifa mbaya 
  3.  Kupewa sifa nyingi 
  4.  Kupewa sifa chache
  5. Kupewa sifa usizostahili

26.   "Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa ulimwengu." Ni methali ipi inafanana na methali hii?

  1. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu
  2. Asiye na mwana aelekee jiwe 
  3. Asiye na bahati habahatishi
  4. Asiyejua kufa atazame kaburi
  5. Asiyekubali kushindwa si mshindani.

27.   "Haba na haba hujaza kibaba" Methali hii inatoa funzo gani?

  1. Umuhimu wa kupima vitu
  2. Tunajiwekea akiba
  3. Vitu hupimwa na kibaba tu 
  4. Tunapawa kupima vibaba 
  5.  Kibaba hujaza vitu.

28.   "Heri kufa macho kuliko ……………."Methali hii UKAMILISHWA na kifungu kipi cha maneno?

  1. kujikwaa ulimi
  2. kuumia moyo
  3. kuzama majini
  4. kufa moyo
  5. kufa jicho moja

29.   "Maji yakimwagika hayazoolekl hii ina maana gani kati ya zifuatayo?

  1. Ukitaka usizoe maji,usimwage
  2. Tuwe waangalifu katika kutenda jambo
  3. Tuwe waangalifu tunapobeba maji
  4. Maji yakimwagika hugeuka matope
  5. Jambo lililoharibika halitengenezeki

30.   "Amani haiji kifungu hiki cha maneno kinakamilisha methali usahihi?

  1. ila kwa mzozo mkubwa
  2. ila kwa malumbano makali
  3.  bila kuwa na imani 
  4. ila kwa ncha ya upanga 
  5. bila makubaliano.

30.   "Amani haiji kifungu hiki cha maneno kinakamilisha methali usahihi?

  1. ila kwa mzozo mkubwa
  2. ila kwa malumbano makali
  3.  bila kuwa na imani 
  4. ila kwa ncha ya upanga 
  5. bila makubaliano.

SEHEMU C. UFAHAMU.

Soma kwa makini habari ifuatayo kisha jibu maswali 31-40 kwa kuweka kivuli katika herufi ya jibu lililo sahihi katika karatasi yako ya kujibia.

Jua lilikuwa linaunguza mithili ya moto. Hapakuwa na nyasi wala miti iliyokuwa na majani ya rangi ya kijani.Kila uoto ulikuwa wa rangi ya kahawia kavu! Aidha kupata tone la maji ya kunywa ilikuwa ndoto kwani mito na visima vyote vilikauka kau.Baada ya kuhangaika kwa njaa na kiu, ndipo wanyama waliamua waitishe mkutano ili wajadili hatua ya kuchukua. Makundi  ya wanyama wa aina mbalimbali walikutana chini ya mbuyu. Swala, nyani, mbawa na tembo wote walikuwepo. 

"Kama mjuavyo mimi ndimi mfalme wa wanyama wote.Niungurumapo hapana achezae kwa hiyo bila shaka mtakubali kuwa mimi ndiye mwenyekiti wa mkutano huu."alitangaza simba.Wanyama wote walitazamana na kutikisa vichwa kwa ishara ya kuafiki. Kisha alisimama na kusema "Mheshimiwa mwenyekiú, jana nilisikia mlindimo toka upande wa magharibi. Hivyo ninashauri sote tuhame na kuelekea upande huo ili tuokoe maisha yetu kwani huko kuna dalili ya mvua."Wanyama wote waliunga mkono hoja hiyo,isipokuwa kobe ambaye alisema, "mheshimiwa mwenyekiti, endapo kweli tumeazimia kuhama, sisi akina kobe tunaomba mtubebe kwani kasi yetu ya kutembea ni ndogo mno."

Baada ya kila mnyama kutoa rai yake ,Mwenyekiti alisimama na kusema, "Nimesikia yote mliyosema, kabla ya kuanza kuhama nakutuma wewe ngombe upeleke ujumbe wetu kwa binadamu ili waache kuharibu mazingira, kwani hicho ndicho kiini cha matatizo yanayotusibu.Wewe ni kiungo baina yetu na binadamu." ngombe alikubali.

Baada ya kufika ujumbe ule, binadamu alijibu kuwa alikwishaelewa tatizo Ia mazingira na tayari alikuwa na mpango kabambe wa kuchinja mifugo yote ili kutekeleza ushauri wa wataalamu wa mazingira wa kuiokoa dunia na janga Ia jangwa. Kusikia hivyo ngombe alichanja mbuga kuelekea kwa wanyama wengine.

31.  Kwa mujibu wa habari uliyo soma, mkutano wa wanyama ulifanyika wapi?

  1. Kwa mfalme
  2.  Kisimani
  3. Chini ya mbuyu D. 
  4. Kwenye majani
  5. Jangwani.

32.  Mwenyekiti wa mkutano wa wanyama alikuwa nani?

  1. Ng ombe
  2.  Kobe
  3. Nyati
  4. Simba
  5. Nyani

33. Hali ya kukauka kwa mito,visima nyasi na miti kunakutokana na ukosefu wa mvua inaitwaje?

  1. Ukame
  2. Uoto
  3.  Kahawia
  4.  Loto
  5. Janga.

34. Jina lingine Ia mnyama aliye washauri wanyama wote kuhamia upande ambako kulikuwa na dalili ya mvua ni lipi kati ya yafuatayo.

  1.  Ndovu B.
  2.  Ngwena
  3. Mbega 
  4.  Kima
  5. Mbogo.

35.Katika habari uliyo soma sababu iliyomfanya kobe kutoafiki moja kwa moja hoja ya kuhama ni ipi?

  1. alikuwa mpinzani wa mwenyekiti ,
  2. aliogopa kuachwa nyuma,
  3. kulikuwa na jua kali
  4. wanyama wengine wangeweza kumla,
  5.  kobe ni mvivu kutembea.

36. kwa mujibu wa habari hii ,uharibifu mkubwa wa mazingira hufanywa na nani?

  1. tembo
  2.   mbawala
  3.   swala
  4. binadamu
  5.   nyani.

37. Neno lipi kati ya yafuatayo lina maana sawa na neno janga?

  1. Maafa 
  2.   Kiu
  3.  Ukame
  4. Jangwa 
  5.  Joto.

38.  Kifungu cha maneno "alichanjambuga"kinamaana gani?

  1. Alijirudi
  2. Alitembea
  3. Alikimbia
  4. Alirudi
  5. Aliruka

39.  Binadamu alikusudia kuchinja wanyama wa aina gani

  1. Wanyama pori wote
  2. Ngombe na simba  
  3. Wanyama wadogo wote
  4. Wanyama wakubwa wote
  5. Wanyama wote wanaofugwa

40.  Kichwa cha somo uliyosoma kingefaa kiwe kipi?

  1. Kiangazi na jangwa
  2. Matatizo ya binadamu
  3. Jua kali
  4.  Uhamisho wa wanyama
  5. Uharibifu wa mazingira

SEHEMU D. USHAIRI

Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu maswali 41 - 46 kwa Kuweka kivuli katika herufi ya jibu.

Mtu kujitegemea, huwajambo Ia lazima,

Usipende subiria, kusaidiwa daima,

Huwezi kuendelea, ndugu usipojituma,

Kamwe hupati heshima, usipojitegemea.

Kama Mungu kakuumba, mzima huna kilema, Fedheha kuombaomba, takuwa mtu wa nyuma, Hutakuja kujigamba, ukikudharau umma. Kamwe hupati heshima, usipojitegemea.

Kazi mtu usidhani, sharti niya kusoma,

Ya kuleta ofisini, na kuhesabu ndarama,

Waweza kwenda shambani, ushikejembe kulima, Kamwe hupati heshima, usipojitegemea.

Utaambiwa doezi, mtu uso taadhima,

Pengine uitwe mwizi, umezoea dhuluma, Wajapo wapelelezi, ndiwe watakuandama, Kamwe hupati heshima, usipojitegemea.

41.      Katika shairi ulilosoma neno "ndarama" lina maana ipi? 

  1. Mali
  2. Pesa
  3.  Gharama
  4. Amana
  5. Thamani

42.      Kisawe cha neno "taadhima" ni kipi? 

  1. Heshima
  2. Taashira
  3. Dhamiri
  4. Dhima
  5. Dhamana

43.      Ujumbe unaopatikana katika shairi hili unaweza kuwasilishwa kwa methali ipi kati ya zifutazo? ........

  1. Mkulima ni mmoja walaji ni wengi 
  2. Mchagua jembe si mkulima
  3. Mkulima hasahau jembe kiserema 
  4.  Mkulima halaumu jembe lake
  5. Kilimia kikizama kwa jua huibuka

44.      Katika shairi ulilosoma kituo bahari ni kipi? 

  1. Mtu kujitegemea, huwa jambo la lazima. 
  2.  Kama Mungu kakuumba, mzima huna kilema.
  3. Utaambiwa doezi, mtu uso taadhima.
  4. Waweza kwenda shambani, ushike jembe kulima 
  5.  Kamwe hupati heshima, usipojitegemea.

45.      Katika shairi ulilosoma nusu mstari una mizani ngapi? 

  1. Nane
  2. Mbili
  3. Tatu
  4.  Nne
  5. Kumi na tano

46.      Neno "fedheha" kama lilivyotumika katika shairi hili lina maana gani?

  1.  Maudhui
  2. Lawama
  3. Adibu
  4.  Adhibu 
  5.  Aibu

SEHEMU E

UTUNGAJI

Umepewa habari yenye sentensi nne (4) zilizoandikwa bila mtiririko sahihi wa mawazo katikaswali la 47 - 50. Zipange sentensi hizo iii ziwe na mtiririko wenye mantiki kwa kuzipa herufi A,B,C na D. Andika herufi ya jibu sahihi katika karatasi ya kujibia.

47.Kwa njia hii, vizazi vilivyofuata viliweza kujua uvumbuzi uliofanywa kabla yao.

48. Jambo muhimu lililofanywa na mababu zetu ni kuhifadhi kumbukumbu za uvumbuzi waokwa kuchora kila kifaa walichovumbua.

49. Kwa kutumia vizazi vilivyotangulia nasi pia tunaweza kuvumbua vitu vipya ambavyovitaweza kutuletea maendeleo zaidi.

50. Hivyo maisha ya binadamu yakaendelea kuwa bora na yenye manufaa kila siku.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 4

PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

STANDARD SEVEN MID TERM EXAMINATIONS- APRIL 2020

TIME : 2:30 HOURS

ENGLISH LANGUAGE

INSTRUCTIONS

  1. This Examinations Consists Of 50  Questions
  2. Answer All Questions
  3. Write Your Answers In Capital Letters
  4. Make Your Work Legible

SECTION A.  LANGUAGE STRUCTURE.

Choose the correct answer from the Alternatives given

1.  I usually ......... my friends on Sunday. 

  1. visits
  2. visited
  3. visit
  4. visiting
  5. visitor

2. The building over there ..........of concrete

  1. were made
  2. are made
  3. has made
  4. have made
  5. is made

3. she ...............the money when the thief robbed her

  1. counts
  2. is counting
  3. was counting
  4. counting
  5. counted

4. he ..........for two days last week

  1. travels
  2. travelled
  3. travelling
  4. travel
  5. traveler

5. The leaders..........to London tomorrow

  1. will fly
  2. flew
  3. flies
  4. had flown
  5. have flown

6. Joseph was reading while his uncle............TV

  1. Is watching
  2. were watching
  3. does watching
  4. was watching
  5. are watching

7. We ...................visiting you next month

  1. shall been
  2. were been
  3. have been
  4. will been
  5. shall been

8.Malima................to Tanga tomorrow evening

  1. will go
  2. have gone
  3. was going
  4. has gone
  5. went

9.My sister in-law............cleaning the house all morning

  1. have being
  2. has being
  3. has been
  4. have been
  5. was been

10.The prisoners have been....................from jail

  1. realize
  2. releasing
  3. releases
  4. released
  5. realized

11.  Pagans are........................ Christians Muslims.

  1.  either......nor
  2. neither. . . .. nor
  3. either...neither
  4. neither.. ..either 
  5. neither. ...or

12.  Do you have .......................problems?

  1.  some 
  2.  many
  3.  much
  4. any
  5. tittle

13.An elephant is the....................... in the national park. 

  1. largest
  2. most largest 
  3.  larger
  4.  more larger
  5.  most larger

14.He goes to school late every

  1.  wasnt he
  2. isnt he
  3. hasnt
  4. havent he
  5. doesnt he

15.  ………………….they keep quite will be punished.

  1. enough
  2. although
  3. but
  4. unless
  5. For

16.  The repaired machine is strong to pull the car

  1. enough 
  2.  so that
  3.  in order
  4.  For
  5. Of

17 .Nyakomba walks ...............................with a stick.

  1.  slow
  2. very slowest
  3.  slowly
  4. slower
  5. more slow

18.My friend suffers malaria

  1. of
  2. by
  3.  from
  4.  with
  5.   in

19.        Usually girls look at

  1. himself
  2.  herself
  3. itself
  4.  themselves
  5.  yourself

21. We travelled.................. two days to Burundi.

  1.  on
  2. to
  3. from
  4.  of
  5. for

21.  Nyato was.........................in her house before she sold it.

  1. lived
  2. lives
  3. live
  4. leaving
  5. living

22.   If it we shall go to town by taxi.

  1. rained
  2.  is rain
  3. rains
  4. rain
  5.  had rained

23.   Magambo is not only fat also strong........................

  1. but
  2. so
  3.  as
  4. and
  5. that

24.   He is suffering     headache.

  1. with
  2.  for
  3. by
  4. of
  5. from

25.   When you visit Serengeti National Park, you ................many animals.

  1. were seeing
  2.  are seeing
  3. have seen
  4.  will see
  5.  seeing

26.   The doctor went.............................the room where the patient was resting

  1. by
  2. on
  3. Into
  4. at
  5. along

27.  The fire that ..................       the whole village started from here.

  1. destroys
  2.  destroyed
  3. destroying
  4. will destroy
  5. have destroyed

28.  The fire that ..................       the whole village started from here.

  1. destroys
  2.  destroyed
  3. destroying
  4. will destroy
  5. have destroyed

29.   The door was open there was nobody in the house.

  1. in spite
  2.  even
  3. despite
  4.  besides
  5. although

30. Salma played netball badly ...................she was sick.

  1.  although
  2. because
  3.  but
  4.  Unless
  5.  even if

SECTION B. GROUP NOUNS

For each of the following questions, choose

The correct answer and shade its letter in the answer sheet provided.

31.  A group of birds flying together is called a

  1.  troop
  2. flock
  3. herd  
  4.  fleet 
  5. bunch

32.   A person who tests and treats peoples eyes is called

  1. an eye doctor
  2.  a chemist
  3.  an optician
  4.  a surgeon
  5.  a dentist

33.  Gold, Diamond and tanzanite are

  1. chemicals
  2.  medicines
  3.  liquids
  4. minerals
  5.  mountains

34.  A person whose job selling meat is known as a

  1. butcher
  2. butchery
  3. shopkeeper
  4. seller
  5.  butler

35.  A doctor works in a

  1. shop
  2. court
  3. church
  4. hospital
  5.  farm

36.  Africa, Asia, America, and Europe are

  1. regions
  2. continents
  3. countries
  4. cities
  5. towns

SECTION C: COMPOSITION

This section has four mixed sentences. Arrange the sentences so as to make a good composition by giving them letters A-D. Shade the letter of the correct answer in your answer sheet.

37.She was attacked by a crocodile and died immediately.

39.It was a hot sunny day and what Mary wanted was some water to cool her body.

38.She jumped into the pool without reading the caution sign written, “crocodiles inside.”

39.It was a hot sunny day and what Mary wanted was some water to cool her body.

40.She then saw a pool of water across the road.

SECTION D: COMPREHENSION

Read the following passage carefully and then answer the questions that follow by shading the letter of the correct answer in your answer sheet.

Tourism is a type of business. Both developed and undeveloped countries use this business as a source of income. These countries have tourist attractions such as wild animals, high mountains, attractive beaches, rivers and lakes. Tourists spend money on food, accommodation, transport and many other things. In this way a country which is visited by many tourists can make a lot of money.

Tanzania is one of those countries which are visited by tourists every year. She gets a lot of money from attracting tourists. The tourists pay visits to National parks such as Ngorongoro, Serengeti, Manyara and Mikumi. Some wild animals found in those parks are lions, elephants, tigers, antelopes, hippopotamus, buffaloes, zebras and baboons. The tourists can also take photos and buy books containing information about wild life.

Apart from visiting National parks, tourists also climb Mount Kilimanjaro which is a snow-capped mountain. This is the highest mountain in Africa with a height of over five thousand meters above sea level. Mountain climbers are helped by guides and potters. Tourists pay the guides and potters. Most tourists enjoy staying in Tanzania because of the tourist attractions which she has.

41.What is the source of income in many countries?

  1.     Animals 
  2.       Accommodation 
  3.       Transport 
  4.      Photos 
  5.       Tourism.

42.A person who travels for the purpose of visiting another place for pleasure is a __________.

  1.     potter 
  2.       tourist 
  3.       guide 
  4.      guard 
  5.       native

43.According to the passage, where is tourism conducted?

  1.     Developed countries 
  2.      Developing countries
  3.     Developing and developed countries 
  4.      Many countries 
  5.       Tropical countries.

44.Who pays the potters?

  1. Tanzania
  2. Tourism
  3. Animals
  4. Tourists
  5. Guides.

45.The opposite of the word “income” is __________.

  1. expensive
  2. experience
  3. outcome
  4. expense
  5. expenditure

46.What else do tourists do apart from visiting National parks in Tanzania?

  1. Buy clothes 
  2. Climb the mountain 
  3. Stay in Tanzania 
  4.  Open business 
  5.  Visit lakes.

47.Tourists’ money is spent on which of the following items?

  1.  Food, accommodation and transport 
  2.    Food, clothes and photos 
  3.    Transport and shopping 
  4.   Accommodation and clothes
  5.    Buying animals.

48.According to the passage, which are the animals found in the national parks?

  1.  Lions, elephants and hyena 
  2.      Tigers, buffaloes and peacocks
  3.      Lions, impala and antelopes
  4.      Lions, elephants and baboons
  5.       Zebras, tigers and wild pigs.

49.How high is the highest mountain in Africa?

  1. Over five hundred kilometers 
  2. About five thousand meters 
  3. Over five thousand meters 
  4.  Over five thousand kilometers
  5.  About five thousand centimeter.

50.What does the pronoun “She” stands for in this passage?

  1. A girl 
  2.  A woman 
  3.  A mountain
  4.  A tourist 
  5.  A country.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 3

PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

STANDARD SEVEN MID TERM EXAMINATIONS- APRIL 2020

TIME : 2:30 HOURS

SCIENCE

INSTRUCTIONS

  1. This Examinations Consists Of 50 Questions
  2. Answer All Questions
  3. Write Your Answers In Capital Letters
  4. Make Your Work Legible

SECTION A.

Choose the correct answer from the Alternatives given

1. Which pair among these is concerned with reproduction in plants and animals correctly?.

  1. Ovary in plants and sperms in animals
  2. Filament in plants and fallopian in animals
  3. Fruits in plants and testis in animals
  4. Flowers in plants and uterus in animals
  5. Seeds in plants and ovary in animals

2.Rice reproduces through

  1. Leaves
  2. Seeds
  3. Roots
  4. Suckers
  5. Branches

3. Caterpillar is one of the stages ofgrowth of a

  1. Bee
  2. Tsetse fly
  3. Jigger
  4. Cockroach
  5. Butterfly

4. Which of the following are characteristic of animals?

  1. They grow, they breath, they eat , they move
  2. They grow, they breath, they sleep, they move
  3. They grow, they breath, they move, they reproduce
  4. They grow, they see, they move, they reproduce
  5. They grow, Speak, they move, they reproduce

5. Which among the following is a mammal

  1. Snail
  2. Duck
  3. Bat
  4. lizard
  5. Frog

6. The following are essentials for health and growth of plants except

  1. Fertilizer from factories
  2. Water
  3. Carbon dioxide air
  4. Light from the sun
  5. Fertile soil

7. Air that is highly required by animals for their survival is

  1. Oxygen
  2. Carbon dioxide
  3. Nitrogen
  4. Hydrogen
  5. Carbon monoxide

8.A disease caused by defects of red blood cells is called

  1. Beriberi
  2. Sickle cell
  3. Cancer
  4. Diabetes
  5. Tuberculosis

9.What kind of glass can we use make our images look better?

  1. Convex mirror
  2. Concave mirror
  3. Flat mirror
  4. Convex lens
  5. Concave lens

10.Which part in the digestive system concerned with protein digestion

  1. Mouth
  2. Small intestines
  3. Large intestines
  4. Oesophagus
  5. Stomach

11.What are the diseases caused by malnutrition?

  1. Marasmus, kwashiorkor, tickets
  2. Obesity, diabetes, coughing and dysentery
  3. Marasmus, kwashiorkor, paralysis and yellow fever
  4. Rickets, trachoma and marasmus
  5. Bilharzia, Malaria, tuberculosis and rickets

12.Which of the following nutrients are more suitable to children under five years?

  1. Carbohydrates, water and proteins
  2. Proteins, vitamins and salt
  3. Salt, proteins and water
  4. Vitamins, carbohydrates and water
  5. Carbohydrates, water and salt

13..Which of the following sentences gives a clear meaning of first aid?

  1. An immediate aid rendered to a person before taking him to hospital
  2. An immediate aid rendered to a person after reaching him to hospital
  3. An immediate aid rendered to a person by a health professional
  4. An aid rendered to a person whon has fainted
  5. An aid rendered to a person who has been bitten by a snake

14.What would you do if you happened to see clothes worn by your friend on fire?

  1. Applying him with oil
  2. Putting water on the wounds
  3. Covering him with a heavy blanket or a heavy cloth
  4. Blowing him with oxygen
  5. Undressing him the burnt clothes

15.Why do people living with HIV AIDS need foods with a lot of nutrients?

  1. Their disease is a long term disease
  2. Their life is short so they need enough fats
  3. They frequently feel hungry
  4. They need to strengthen their body immunity
  5. They need to be fat in order to avoid stigma from people

16.Which action among these proves that air occupies space in the environment?

  1. Breathing through the mouth and nose
  2. Air bubbles from a bottle of water immersed in the water
  3. Long time coughing
  4. Moisture passing through the air
  5. Dropping a stone into an overflowing can

17.What is the main step that follows after discovering a problem in scientific investigation?

  1. Starting a deep investigation
  2. Formulating a hypothesis
  3. Preparing a procedure
  4. Preparing a scientific experiment
  5. Collecting information and data

16.How can iron be prevented from rusting?

  1. By applying ash
  2. By washing it using water
  3. By painting it
  4. By covering it with mud
  5. By covering it with sooth

17.Which among the following combinations is pure metal

  1. Chlorine, zinc, diamond and gold
  2. Iron, carbon, nitrogen and oxygen
  3. Oxygen, zinc, sulphur and chlorine
  4. Copper, iron, carbon monoxide and zinc
  5. Gold, zinc, aluminium and silver

18.Clouds falling down nearing the earth surface are known as

  1. Mist
  2. Salt
  3. Hydrogen
  4. Ice
  5. Rain

19.The main groups of living things are:-

  1. Plants and birds
  2. plants and lizards
  3. animals and leaves
  4. plant and animals
  5. animals and bacteria.

20.Which of the following are types of seed, which are self dispersing?

  1. Coconut and cotton
  2. Cowpea and pigeon pea
  3. Cowpea and pawpaw
  4. Mango and guava
  5. Orange and pigeon pea

21. A disease which results from respiratory system problem is

  1. Asthma
  2. severe malaria
  3. fainting
  4. epilepsy
  5. diabetes

22.Family planning methods which are more safe for the health of the mother are

  1. loops and injection
  2. natural methods
  3. injection and pills
  4. pills and condom
  5. condom and injection

23.A person who suffered an electricshock can beassisted by the use of

  1. legs
  2. iron bar
  3. dry wood
  4. hands
  5. wet wood

24.The gas used to extinguish fire is

  1. Hydrogen
  2. carbon dioxide
  3. nitrogen
  4. carbon
  5. Oxygen

25. Which of the following sentences has the correct meaning of AIDS?

  1. Loss of body immunity
  2. high body immunity
  3. absence of body immunity
  4. deficiency of body immunity
  5. ability of body immunity

26.The relationship betweenmagnet and electricity is

  1. The source of magnet is atomic energy
  2. Electricity resist magnetism
  3. Wherever there is magnet, there is electricity
  4. Wherever there is electricity, there is magnetism
  5. Magnetism resist electricity

27. The unit measure of force is

  1. Meter
  2. Kilogram
  3. Joule
  4. Kilometer
  5. Newton

28. What is the meaning of friction?

  1. . A force which produce motion
  2. A force which stops motion
  3. a force which accelerates motion
  4. a force opposite to motion
  5. an incident force

29.Which of the following lists of materials are in the group of complex machines?

  1. padlock, hammer and scissors
  2. wheelbarrow, razor blade and hammer
  3. a razor blade, padlock and a bicycle
  4. a sewing machine, pad Jock and a bicycle
  5. a razor blade, padlock and a wheelbarrow

30.Records of experiments are important because they are used to do the following except

  1. to compare the results of one experiment and others
  2. to give information of the experiment
  3. to be used as reference by other experts
  4. to enable other experiment s to be conducted
  5. to issue unconfirmed reports

31.In order to come up with hypothesis for a scientific experiment there must be

  1. An experiment
  2. some data
  3. report
  4. an apparatus
  5. a problem

32.Blood deficiency is caused by

  1. Decrease of white cells, iron and vitamin
  2. Decrease of vitamin, protein and plasma
  3. Increase of water in the body, decrease of iron and protein
  4. Increase of platelets, iron and vitamin
  5. Decrease of iron, vitamin, and protein.

33.Elements found in the table salt are

  1. potassium and chlorine
  2. sodium and chlorine
  3. potassium and sodium
  4. sodium and sulphur
  5. calcium and magnesium

34. Night blindness is caused by lack of;

  1. vitamin K
  2. vitamin A
  3. vitamin E
  4. vitamin C
  5. vitamin B

35. Matter is made up of many small particles known as

  1. Valency
  2. compound
  3. element
  4. atom
  5. molecule

36. In order for iron to get rust, It requires humidity and;

  1. hydrogen
  2. carbon
  3. neon
  4. oxygen
  5. nitrogen

37.What are the results of oxidation of glucose in the blood?

  1. water, oxygen and heat water,
  2. heat and carbon monoxide energy,
  3. Water and carbon dioxidedew,
  4. heat and carbon dioxide
  5. oxygen, energy and sweat

38.The function of the bile in the digestive system is

  1. to kill germs
  2. to dissolve proteins
  3. to break down fats
  4. dissolve starch
  5. to absorb water

39.Which organs are strengthened by calcium mineral and vitamin

  1. tongue and nose
  2. skin and stomach
  3. bones and teeth
  4. lungs and liver
  5. kidney and bladder

40.When carbon dioxide combines chemically in a plant with water in the presence of light energy it gives

  1. carbon dioxide and water
  2. carbohydrate and oxygen
  3. carbohydrate and heat
  4. carbohydrate and chlorophyll
  5. carbohydrate and carbon hydroxide

41.The action of a human being to faint is a result of absence of blood in the;

  1. Stomach
  2. Kidney
  3. Lungs
  4. Heart
  5. Brain

42. what is the difference between malaria and typhoid?

  1. malaria attacks blood vessels, typhoid attacks nerves
  2. malaria is caused by mosquitoes, typhoid is caused by flies.
  3. malaria is treated in four days while typhoid is treated in seven days
  4. malaria is caused by plasmodium, typhoid is caused by bacteria
  5. malaria is accompanied by head pains, typhoid is accompanied by back ache

43.1n order to prevent new infections of AIDS, people are advised;

  1. To swallow pills and to do physical exercises.
  2. To be faithful and get rid cf unsafe sex.
  3. To prevent touching one ary other and avoiding co-operation with the victims
  4. Not eating together and exchanging clothes with the victims
  5. To be given vaccination of AIDS and TB

44. Which among the followingcauses a plastic bottle to shrink when the air inside it is pulled outside?

  1. Air pressure inside the bottle being bigger than outside the bottle
  2. Air pressure outside the battle is being bigger than inside the bottle
  3. Air pressure outside and inside the bottle being equal
  4. Air pressure inside the bottle being smaller than that pulling the air
  5. Air pressure outside the bottle being equal to the volume of air in the mouth

45. Bending of a ray of light is the result of the light that passes from;

  1. The North pole to the South pole
  2. One medium to another
  3. The North pole to the East
  4. The West to the East
  5. The North pole to the West.

46. (a) State two important necessities for the growth of a plant

(b) Identical twins are a result of… … … … … … … … … …

47. If a pupil can lift a load of a weight of 10 Newton, and carrying it home, distance of 500m, how much work will he do?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SCIENCE EXAM SERIES 2

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI YA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA DARASA LA SABA SAYANSI

MUDA : 2:30 

MAELEZO KWA MTAHINIWA

  1. Mtihani huu unamaswali 50
  2. Jibu Maswali Yote
  3. ANDIKA Majibu yako kwa Herufi kubwa
  4. Hakikisha kazi yako inasomeka vyema

SEHEMU A.

 Chagua jibu sahii kutoka yale uliopewa baada ya kila swali.

1.  Aina kuu mbili za mashine ni:

  1. ngumu na laini
  2.  rahisi na tata
  3. za kumenya na kutwanga 
  4. puli na roda
  5. roda na katapila

2. Mojawapo ya njia za kuondoa takamwili katika mwili ni:

  1.  kutema mate 
  2.  kukojoa
  3. kuoga 
  4. kunawa mikono 
  5. kutoa machozi

3. Mbegu ya kike ambayo haijarutubishwa huitwa:

  1.  kondo 
  2.  yai
  3. uterasi 
  4. ovari    
  5. mrija wa falopio

4. Sehemu zinazounda mfumo wa upumuaji katika mwanadamu ni:

  1.  pua, mdomo na tumbo
  2. mapafu, pua na ini
  3. pua, mapafu na masikio 
  4. koromeo, mapafu na kongosho
  5. mapafu, pua na mdomo

5. Usafirishaji wa chakula mwilini hufanywa na: 

  1. moyo     
  2. damu
  3. misuli                                     
  4. mapafu
  5. maji

6.  Mbegu za mimea uhifadhi chakula katika:

  1.  mizizi 
  2. majani      
  3. shina
  4. kotiledoni 
  5. tunda

7. Lipi kati ya mafungu yafuatayo ya vyakula hulinda mwili?

  1.  Samaki na maziwa          
  2.  Ugali na ndizi
  3.  Maharagwe na karanga 
  4.  Mayai na kabichi 
  5.  Matunda na mboga za majani

8. Umuhimu wa asidi ya haidrokloric katika tumbo ni:

  1.  kubadili hali ya besi katika tumbo
  2.  kulainisha mafuta tumboni
  3.  kuongeza uchachu tumboni
  4.  kumengenya vyakula vya sukari tumboni 
  5.  kuua wadudu wanaoingia tumboni na chakula.

9. Viungo vinavyohusika katika kutoa takamwili mwilini ni:

  1.  figo, ini na moyo            
  2.  ini, ngozi na figo 
  3.  mapafu, moyo na figo              
  4.  moyo, figo na ngozi 
  5.  Ngozi, Ini na Moyo

10. Wanawake wajawazito wanashauriwa kula kiwango kikubwa cha vyakula vifuatavyo: 

  1.  Wanga, mafuta na hamirojo
  2.  Mafuta, vitamini na protini
  3.  Protini, vitamini na madini ya chumvichumvi
  4.  Madini ya chumvichumvi na vitamini pekee 
  5. Protini, hamirojo na udongo pekee

11. Ili kujikinga dhidi ya malaria ni muhimu .........

  1.  kumeza mchanganyiko wa madawa
  2.  kutumia dawa za mitishamba
  3.  kutumia vyandarua vilivyowekwa dawa
  4.  kujifunika na blanketi Zito lililowekwa dawa 
  5.  kufanya mazoezi kila mara

12.  Mojawapo ya kazi za misuli katika mwili ni:

  1.  kuwezesha kujongea
  2.  kuruhusu damu kupita 
  3.  kuruhusu maji kupita
  4. kuruhusu hewa kupita 
  5.  kuimarisha mwili

13. Mtu anayetapika na kuharisha anapaswa kupewa:

  1.  asidi, maziwa na maji
  2.  maziwa, besi na sukari 
  3. maji, besi na maziwa
  4. chumvi, sukari na maji 
  5. sukari, asidi na besi

14. Huduma ya kwanza anayopewa mtu aliyezimia ni:

  1.  kumpa hewa ya oksijeni
  2.  kumpa juisi ya nazi mbichi
  3.  kumlaza juu chini na kumbonyeza tumbo
  4.  kumpa maji yaliyochanganywa na glukosi
  5.  kumpa juisi ya malimao, sukari na chumvi

15. UKIMWI husambazwa kwa kupitia:

  1.  kusalimiana kwa kushikana mikono na mgonjwa wa UKIMWI
  2.  kulala chumba kimoja na mgonjwa wa UKIMWI
  3.  kuongea na mwathirika wa UKIMWI 
  4.  kuwekewa damu
  5.  kuosha nguo za mwathirika wa UKIMWI.

16. Ili kuepuka kupata maambukizi mapya ya UKIMWI tunashauriwa:

  1. kumeza dawa na kufanya mazoezi
  2.  kuwa mwaminifu na kuepuka ngono zembe
  3.  kuepuka kushirikiana na waathirika
  4.  kuepuka kula pamoja na kubadilishana nguo na waathirika 
  5.  kupata chanjo ya UKIMWI na Kifua Kikuu.

17.     Mwanga hupinda unapopita kutoka

  1.  Ncha ya Kaskazini kwenda Kusini      
  2.  media moja kwenda nyingine
  3.  Ncha ya Kaskazini kwenda Mashariki 
  4.  Magharibi kwenda Mashariki 
  5.  Kaskazini kwenda Magharibi

18. Chembe ndogo kabisa za maada zinazounda elementi na zinazohusika katika kutengenezz bondi za kikemikali huitwa:

  1.  molekyuli      
  2.  elektroni      
  3.  protoni
  4.  atomi                                     
  5.  nyutroni

19. Msuguano baina ya kifaa cha plastiki kama chana na nywele huzalisha:

  1.  oksijeni         
  2.  chaji za umeme
  3.  sumaku 
  4.  mfereji 
  5.  molekyuli za mafuta

20.  Ipi kati ya alama zifuatazo inawakilisha atomi ya klorini?

  1.  K
  2.  P
  3.  Na
  4.  CI
  5. H

21. Ipi kati ya zifuatazo ni kazi za sumaku?

  1.  Kutengeneza uga sumaku na kunyanyua mizigo
  2.  Kuzalisha umeme na kuunda dira
  3.  Hutumika katika vipaza sauti na hutengeneza uga sumaku
  4.  Kuvuta ncha ya kaskazini na kuzalisha umeme 
  5.  Kuonesha mwelekeo na kuundia spika.

22. Aina kuu mbili za sakiti za umeme ni:

  1. mkondo geu na mnyoofu
  2. sambamba na mfuatano
  3.  mkondo geu na sambamba
  4. mkondo mnyoofu na mkondo geu
  5. mkondo mnyoofu na sambamba

23.  Asidi ikiungana na besi huunda:

  1. chumvi na maji
  2. kaboneti ya sodiamu
  3. chumvi na besi
  4. maji na asidi
  5. chumvi na oksijeni

24.    Sumaku inaweza kuvuta vitu vyenye asili ya: 

  1.  mpira     
  2.  udongo  
  3.  madini  
  4. karatasi 
  5. chuma

25.Je ni sehemu ipi ya jicho ambamo taswira hutengenezwa?

  1. Irisi      
  2.  Lenzi    
  3.  Kano 
  4.  Filim    
  5.  Retina

26.Katika kurunzi, nishati ya umeme inayotoka kwenye betri hubadilishwa na kuwa:

  1.  nishati ya kikemikali  
  2.  nishati ya joto
  3.  nishati ya kimakaniki     
  4.  nishati ya mwanga 
  5.  Nishati ya moto

27.Nini maana ya dhanio katika utafiti wa kisayansi?

  1.  ni wazo tu
  2.  ni utabiri wa matokeo ya kubuni 
  3.  utabiri wa matokeo ya jaribio
  4.  wazo la kina       
  5.  mawazo yaliyojengwa kabla ya utafiti

28. Gesi inayotumiwa na mimea kutengeneza protini ni:

  1.  carbondayoksaidi
  2.  haidrojen
  3.  oksijen
  4.   naitrojen                                         
  5.    gesi asilia

29. Tunaweza kusababisha mmomonyoko wa ardhi kwa kufanya mojawapo ya mambo yafuatayo:

  1. Kukata miti
  2. Kuongeza mbolea kwenye udongo
  3. Kuotesha nyasi 
  4.  Kuweka matuta lavenye maeneo ya mteremko 
  5.  Kupanda miti 

30. Mojawapo ya kazi ya misuli katika mwili ni:

  1.  kuzuia kutokwa damu 
  2.  kuwezesha mwendo
  3.  kutengeneza selihai nyeupe      
  4.  kushikilia meno mahali pake 
  5.  kuiwezesha kunyooka

31. Mionzi ambayo hupinda zaidi mwanga unapopinda ni ile ya . ....

  1.  rangi nyekundu 
  2.  njano 
  3.  bluu iliyoiva 
  4.  bluu      
  5. zambarau

32. Kipi kati ya vifuatavyo hakitumii sumaku?

  1. Kipaza sauti 
  2. Simu ya mezani
  3. Redio
  4.  Simu ya mkono 
  5. Pasi

33. Kipimio cha kazi ni:

  1. kilogramu   
  2. Newton
  3. Tani
  4.  Joule  
  5. Gramu

34. Hatua ya tatu ya utafiti wa kisayansi ni .........

  1. kuchambua data                           
  2. kutafsiri matokeo
  3. kuandaa na kuanza jaribio             
  4. ukusanyaji wa data
  5. kutambua tatizo

35.Nini kitatokea iwapo ncha mbili za KASKAZINI za sumaku zitaletwa pamoja?

  1.  Zitavutana kwa nguvu
  2.  Zitavutana kuelekea upande mmoja
  3.  Zitasukumana
  4.  Hakuna kitakachotokea
  5.   Zitavunjika

36. Dhana ya kuakisiwa kwa mwanga inadhihirika katika moja ya vifaa vifuatavyo: 

  1.  Hadubini 
  2.  Televisheni 
  3.  Saa
  4.  Balbu 
  5.  Miwani

37. Uwepo wa viumbehai, maji na hewa ni sifa ya sayari ipi?

  1.  Zebaki 
  2.  Mihiri 
  3.  Utaridi
  4.  Dunia 
  5. Sarateni

38. Uhuru ana tatizo la meno yanayovunjika na miguu dhaifu. Ni virutubisho gani utamshaufi atumie ili kutatua tatizo lake hili?

  1.  Madini ya chuma           
  2.  Madini ya fosforasi
  3.  Madini ya kasiamu   
  4. Madini joto
  5. Vitamini K

39. Kazi ya uta mgongo katika mfumo wa fahamu wa mwanadamu ni

  1.  Kuongoza matendo ya hiari   
  2.  kuongoza matendo yasiyo ya hiari 
  3.  Kuongoza miondoko ya mwili  
  4.  kudumisha umbo la mwili 
  5.  kupeleka taarifa katika mfumo mkuu wa fahamu.

40. Katika hali ya kawaida, kutu ni matokeo ya mjibizo wa athari za kikemikali kati ya:

  1.  shaba, maji na oksijeni  
  2.  sodiamu, maji na oksijeni
  3.  kalsiamu, maji na oksijeni    
  4.  chuma, oksijeni na maji 
  5.  maji, oksijeni na potasiamu

41. Njia zifuatazo huweza kutumiwa kuhifadhi vyakula na mazao ili visiharibike ISIPOKUWA:

  1.  kuoka  
  2.  kutumia asali
  3.  kukausha    
  4.  kutumia chumvi 
  5. kutumia maji

42. Ugonjwa utokanao na ukosefu wa madini ya chuma kwenye mlo ni:

  1.  matende    
  2.  kwashakoo
  3.  upungufu wa damu    
  4.  Unyafuzi
  5.  beriberi

43. Sehemu tatu kuu zinazounda mfumo wa damu ni:

  1.  ateri, vena na kapilari
  2.  damu, moyo na mapafu
  3.  damu, mishipa ya damu na moyo
  4.  mishipa ya damu, moyo na valvu
  5.  moyo, aota na ateri

44.  Matatizo katika mfumo wa uzazi wa wanawake hutokana na upungufu wa hol zifuatazo 

  1. Pituitari na insulin
  2. Estrojen na projesteron
  3. Thyroksin na pituitari
  4. Estrojen na insulin
  5.  Thairoksin na estrojen

45. Lipi kati ya makundi yafuatayo linawakilisha sifa za viumbe hai?

  1. Kufa, kula na kuona
  2. Kufa, kuzaa na kubadilika rangi 
  3. Kupumua, kuishi na kusikia 
  4. Kupumua, kuzaa na kutembea.
  5. Kujongea, kupumua na kuzaa.

46. Fototropizimu ni kitendo cha mmea kuota kuelekea kwenye:

  1. mwanga 
  2. kani ya mvutano 
  3. maji 
  4. giza
  5. kemikali.

47. Sehemu ya chembe hai inayohusika na kutawala shughuli zote za chembe hai huitwa:

  1. saitoplazimu 
  2. vakuoli
  3. kloroplasti 
  4. kiwambo cha seli
  5. nyukliasi

48. Vyakula vyenye kabohaidreti huwezesha mwili:

  1. kuhimili magonjwa
  2. kuwa na joto
  3. kukua kwa haraka 
  4. kuwa na nguvu 
  5. kuwa mwororo

49. Mabadiliko ya maada yasiyosababisha mabadiliko katika uzito yanajulikana kama :

  1. mabadiliko ya kikemikali 
  2. mabadiliko ya kiumbo 
  3. mabadiliko ya ujazonene
  4. mabadiliko ya hali
  5. mabadiliko ya asili.

50. Mchanganyiko wa gesi mbalimbali kwa pamoja huitwa

  1. oksijeni 
  2. haidrojeni 
  3. hewa 
  4. naitrojeni 
  5. maada.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SCIENCE EXAM SERIES 1

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256