JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI
015 ELIMU YA DINI YA KIISLAMU
Muda: saa 2:30 Mwaka: 2024
Maelekezo
Hati hii ina sehemu A B na C zenye jumla ya maswali kumi 10.
Jibu maswali yote.
Sehemu A ina alama 15 sehemu B ina alama 70 na sehemu C ina alama 15.
Maandishi yote lazima yawe kwa wino mweusi au bluu na michoro lazima iwe kwa penseli.
Simu za mkononi na vitu visivyoruhusiwa havitaruhusiwa ndani ya chumba cha mtihani
FOR EXAMINER’S USE ONLY
QUESTION NUMBER
SCORE
EXAMINER’S INITIIALS
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
TOTAL
CHECKER’S INITIALS
SEHEMU A (Alama 15)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
1. Katika kipengele (i) - (x) chagua jibu sahihi kisha andika herufi yake katika kisanduku.
(i) Kwa kuzingatia mtazamo wa Uislamu juu ya dhana ya elimu ni kipengele gani kina bainisha mgawanyo sahihi wa elimu?
Elimu dunia na elimu akhera
Elimu ya mwongozo na elimu ya Qur'an
Elimu ya mazingira na elimu ya shule
Elimu ya mwongozo na elimu ya mazingira
Choose Answer :
(ii) Bainisha hoja inayoeleza kazi kuu ya Dini katika maisha kwa mujibu wa Uislamu.
Kuweka njia ya mahusiano baina ya watu
Kuwanusuru watu katika namna zote za uonevu
Kufafanua asili ya wanadamu na malengo yao
Kukamilisha hitajio la mtu kiroho na kiitikadi
Choose Answer :
(iii) Ukipewa nafasi ya kwenda kuhiji Makka kwa kigezo cha kuzingatia aina ya Hijja iliyo nafuu kwa mtu anayetoka mbali utachagua aina gani?
Tamattu
Qiraan
Umrah
Ifraad
Choose Answer :
(iv) Ni kafara gani anayetekeleza mtu aliyevunja kiapo halali kwa mujibu wa Uislamu?
Kufunga miezi mitatu bila kuacha
Kufunga siku saba mfululizo
Kufunga siku tatu mfululizo
Kufunga miezi miwili
Choose Answer :
(v) Mzee Faki ni baba mwenye mke mmoja ambaye ni mjamzito na wana watoto wanne mmoja kati yao ni wa kulea ambaye si Muislamu. Ni kiasi gani cha nafaka anapaswa kutoa kwa ajili ya Zakatul-Fitr?
Kg. 10
Kg. 12.5
Kg. 15
Kg. 17.5
Choose Answer :
(vi) Katika mchakato wa kuhifadhiwa Qur'an hapo mwanzo Mtume (S.A.W) aliwaamrisha maswahaba wake kukusanya na kuiandika Qur'an mafungu mangapi?
Saba
Mawili
Matatu
Thelathini
Choose Answer :
(vii) Hoja gani inabainisha umuhimu wa kushuka Qur'an kidogo kidogo kwa muda wa miaka 23?
Kutoa nafasi ya maandalizi ya kuihifadhi kimaandishi
Kurahisisha mchakato wa usomaji na uandishi wake
Kutoa nafasi kwa Masahaba kufanya shughuli zingine
Kutoa nafasi kwa waumini kuihifadhi na kuitekeleza
Choose Answer :
(viii) Hadithi kamilifu inahakikiwa katika vipengele gani muhimu?
Isnad Rawi na Mutawatir
Isnad Matin na Rawi
Isnad Matin na Mutawatir
Isnad Mutawatir na Riwaya
Choose Answer :
(ix) Bainisha hoja iliyoibua na kuonesha umuhimu wa sayansi ya Hadithi.
Kutambua vigezo vya uchujaji wa Hadithi
Kutambua historia ya waandishi wa Hadithi
Kutambua Hadithi sahihi na zisizo sahihi
Kutambua historia ya wapokezi wa Hadithi
Choose Answer :
(x) Kwa nini katika karne ya 6 A.D ulimwengu unatajwa kuwa katika kipindi cha Jahiliyyah?
Hapakuwa na mafundisho yoyote ya dini
Maisha yalikuwa katika zama za mawe
Watu hawakuwa na maarifa
Maovu ya aina mbalimbali yalienea
Choose Answer :
2. Oanisha maelezo ya makundi ya wanaostahiki kupewa Zaka katika Orodha A na majina ya makundi hayo katika Orodha B kisha Andika herufi ya jibu sahihi katika sehemu ya kuandiikia majibu uliyopewa.
Orodha A
Orodha B
Wasioweza kumudu mahitaji yao ya kila siku mpaka wasaidiwe
Walioharibikiwa njiani kwa kuibiwa au kuishiwa matumizi yao muhimu
Wanaofanya shughuli za kuhuisha
Dini ya Uislamu
Walotezwa nguvu au kumilikiwa Waliopungukiwa na Mahitaji yao ya kila siku.
8. Utambuzi binafsi na mwelekeo wa mwanadamu unategemea tafsiri aliyonayo juu ya mambo matatu ya akihistoria. Fafanua mambo hayo kwa mujibu wa Uislamu.