FORM TWO KISWAHILI EXAMS SERIES

OFISI YA RAISI, 

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA UTUMILIFU KIDATO CHA PILI

021

Muda: 2:30

KISWAHILI

Mwaka: 2024

Maelekezo 

1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi (10). 

2. Jibu maswali yote kwenye nafasi ulizopewa. 

3. Sehemu A na C zina alama kumi na tano (15) kila moja na sehemu B ina alama sabini (70). 

4. Zingatia maelekezo ya kila sehemu na ya kila swali. 

5. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa bluu au mweusi. 

6. Vifaa vyote vya mawasiliano visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha upimaji. 

7. Andika Namba yako ya Upimaji katika kila ukurasa sehemu ya juu upande wa kulia. 

SEHEMU A (Alma 15) 

Jibu maswali ,yote katika sehemu hii. 

1. Katika vipengele (i) hadi (x), chagua herufi ya jibu sahihi kisha andika herufi ya jibu hilo katika kisanduku ulichopewa.

(i) Chagua neno linalofaa kujaza sentensi: "Mtoto alikuwa na ________ kwa mama yake." 

  1.               upendo 
  2.                hasira 
  3.               huzuni
  4.               woga

(ii) Ni ipi kati ya yafuatayo sio aina ya swali linaloweza kuulizwa katika mazungumzo ya kawaida? 

  1.               Swali la wazi 
  2.                Swali la ndiyo au hapana 
  3.               Swali la kuthibitisha 
  4.               Swali la kuuliza maoni 

(iii) Ni ipi kati ya yafuatayo sio tamathali ya heshima inayotumika katika Kiswahili? 

  1.               Tafadhali 
  2.                Asante 
  3.               Samahani 
  4.               Ndiyo 

(iv) Ni ipi kati ya yafuatayo sio nyenzo ya lugha inayoweza kutumika kujifunza Kiswahili? 

  1.               Kamusi
  2.                Kitabu cha sarufi  
  3.               Tovuti ya kujifunza Kiswahili
  4.               Wimbo wa Kiswahili

(v) Ni ipi kati ya semi zifuatazo zina maana ya "Usipoteze matumaini"? 

  1.               Mwamba hauvunjiki kwa maneno
  2.                Kidogo kidogo hujaza kibaba
  3.               Haraka haraka haijawahi kusalimu 
  4.               Usilie kabla ya kuanguka

(vi) Mimi ni nani? Nina miguu minne, lakini siwezi kutembea. Nina nyumba, lakini siishi ndani yake. Nina kichwa, lakini sina akili. Mimi ni nani? 

  1.               Mti 
  2.                Nyumba 
  3.               Meza 
  4.               Gari

(vii) Hadithi maarufu ya Kiswahili inayohusu sungura na mamba inaitwa nini? 

  1.               Sungura na Mbweha 
  2.                Sungura na Kombora 
  3.               Sungura na Bongo
  4.               Sungura na Mamba

(viii) Ni ipi kati ya nahau zifuatazo zina maana ya "Kuwa mwangalifu"? 

  1.               Kuwa mjanja kama nyoka 
  2.                Kuwa mkali kama simba 
  3.               Kuwa mpole kama mwana-kondoo
  4.               Kuwa macho kama bundi
  1.               Nyenzo kuu za lugha ya mazungumzo ni
  1.               Usimuliaji
  2.                Mdomo
  3.               Maandishi
  4.               Vitendo
  5.                Ishara
  1.                 Tamadhali inayofanya kitu kisicho na uhai kutenda kama binadamu
  1.               Sitiari
  2.                Tashihisi
  3.               Tashibiha
  4.               Mubalaga
  5.                Takriri

2. Oanisha dhima za nyimbo za fasihi simulizi zilizo katika orodha A na aina za nyimbo kutoka orodha B kisha andika herufi ya jibu sahihi katika kisanduku ulichopewa.

Orodha A

Orodha B

  1. Husimulizi kama mifano ya kuadiri watu
  2. Husimilia chimbuko la asili kitu Fulani
  3. Husimulia kwa nia ya kuchekesha na kukejeli.
  4. Husimulia kwa lengo la kuwaasa watoto
  5. Husimulia kuhusu matukio ya kihistoria
  1.               Soga
  2.                Tarihi
  3.               Vigano
  4.               Visasili
  5.                Hadithi
  6.                Mizungu
  7.               Ngano.

SEHEMU B: ALAMA 70

3. Tumia mofimu zifuatazo kuonesha thamani ilizopewa katika paradise Mfano Li- Kuonesha wakati uliopita (Aliondoka)

  1.                      ta - kuonesha wakati ujao   
  2.                      o - kuonesha mzizi wa neno -  
  3.                      ni - kuonesha kitenzi kishirikishi-  
  4.                      ku- kuonesha urejesho kwa mtendwa-  
  5.                      ki - kuonesha udurushaji -  
  6.                      me - kuonesha hali timilifu -  
  7.                      kwa - kuonesha mahali -  
  8.                      a - kuonesha nafsi -  
  9.                      ka - kuonesha kauli ya kutendeka -  
  10.                      ku - kuonesha wakati uliopita -  

4. Rafiki yako amepewa kazi na Mwalimu wake wa kiswahili, akusanye kazi mbalimbali za fasihi simulizi kutoka jamii za kitanzania lakini ameshindwa na kusema hajui namna ya kuzipata. Kwa kutumia ujuzi wako wa somo la kiswahili mueleze rafiki yako njia tano za kukusanya kazi za fasihi hiyo.

5. Sentensi zifuatazo ni tata. Toa maana mbili kwa kila sentensi ili kudhibitisha utata huo

i) Masudi ameiba kanga

a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

ii) Kaka amenunua tai

a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

iii) Daktari aliniunga mkono

a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

iv) Tausi amemwandikia mama yake barua

a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

v) Juma alimpigia mwanangu mpira

a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

6. a)Eleza maana ya lugha ya mazungumzo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

b) Taja mambo manne yanayotakiwa kuzingatia wakati wa mazungumzo

i) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

ii) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

iii) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

iv) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

c) Eleza dhima tano za lugha

i. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .. 

ii. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

iii. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

iv. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

 v. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

7. Kila mhusika ana kazi yake katika kazi ya fasihi. Taja kazi moja moja ya wahusika wafuatao.

  1.                Fanani
  2.                Hadhira
  3.                 Wanyama
  4.                Binadamu
  5.                Mahali

8. Mzee Kimwaga ni fanani mahiri ambaye kila jioni hukaa na wajukuu zake na kuwatolea vitendawili. Jana amewapa vitendawili vitano lakini hakuna aliyeweza kuvitegua. Tumia utaalamu wako ulioupata kwenye somo la fasihi kuvitegua.

(i) Yeye anatuona, sisi hatumuoni.

(ii) Popote niendapo ananifuata

(iii) Nyumba yangu haina mlango

(iv) Kitu kidogo kimemtoa Mfalme kitini.

(v) Mzazi ana miguu bali mzaliwa hanayo

 

9. Soma kifungu cha habari kisha jibu maswali yanayofuata:

“Wanangu chukueni vigoda mketi niwausie ya dunia, maana ya jana sio ya leo na ya leo sio ya kesho. Zama zetu hatukupata kumuona mwanamke akivaa kaptura wala bukta, pia hatukupata kumuona mwanaume katoga masikio wala kusuka nywele. Leo ni jambo la kawaida kuona hayo, tena hayo ni madogo kuna makubwa zaidi ya hayo.

Ukistajaabu ya Musa utaona ya Firauni. Binti yangu angalia sana mwanaume atakayekuoa. Unaweza kudhani umeolewa na mwanaume, kumbe ni mke mwenzio, kwako mumeo huko nje ni mke wa mtu.

Nawe kijana wangu sikuachi pakavu, kuwa makini na mwanamke utakayemuoa. Usije kuoa mwanamke ambaye ndani kwako ni mkeo lakini nje ni mume wa mtu.

MASWALI:

(i) Pendekeza kichwa cha habari kinachofaa kwa habari uliyoisoma kisichozidi maneno matatu 

(ii) Toa maana ya maneno yafuatayo:

  1.                Vigoda
  2.                Kutoga 

(iii) Andika methali iliyotumika katika habari hii 

(iv) Mwandishi anazungumzia nini katika wosia wake?

(v) Mwandishi ana maana gani anaposema “Kwako mumeo huko nje ni mke wa mtu”.

SEHEMU C. (ALAMA 15)

10. Mwandikie baba yako barua ambaye ni mkuu wa shule ya sekondari Mlandizi SLP 540 Mwanza kumuomba hela ya safari ya kutembelea mbuga za wanyama. Jina lako liwe Makongoro Mchele wa SLP 90 Moshi.

 

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 178  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 178  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA

UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI NUSU MUHULA

MACHI -2024

KISWAHILI

SEHEMU A: UFAHAMU(Alama 15)

  1.      Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata.

      Miaka ya hivi karibuni kumetokea ajali nyingi hapa duniani. Wengi tumesikia taarfa za ajali mbalimbali kutoka katika vyombo vya habari na baadhi yetu tumeshuhudia kwa macho yetu. Kila aliye sikia au kuona ajali hizo alivaa uso wa huzuni. Kwani nyingi zilikua za kutisha mno, wapo watu walio katika miguu, mikono  masikio na hata kunyofolewa macho na viungo vingine vya mwili. Ukiachilia mbali majeruhi na wale walionusurika, wapo Ndugu na marafiki zetu waliopotezxa maisha. Wengi tulipata machungu yaliokithiri, tulilia na kuwalaani wote tuliofikiria ndio waliosabaisha ajali hizo.

      Waliokufa katika ajali hizoni wadogowadogo watu wazima na hata vikongwe wanawake kwa wanaume. Kama ilivyo desturi kifo hakibagui na huvuna roho za watu wa umri na jinsia zote. Wazazi wengi wanaofariki katika ajali hizi huacha watoto ambao hawamo katika utaratibu wa kuendelea kielimu. Badala wanaingia katika kujitaftia ririki badala ya kujisomea. Watot wengi hufanya kazi ya kubeba mizigo, uvuvi kuchimba madini na migodibiashsara ndogondogo na hata kazi za nyumbani.

        Watoto hao walioachwa hukumbwa na matatizo mengi wafanyapo kazi katika sehemu hizo.kwakua wengi wao hawana upeo mkubwa wa mambo, hujikuta wakifanya kazi bila kufuata kanuni zaafya. Hali hiyo husababisha magonjwa kama kifua kikuu na hata kupata ajali mbaya, wafanyapo kazi migodini, ambazo zinaweza kusababish akifo au vilema vya maisha. Wengi huingizwa kwenye bishara za ukahaba na kupata mimba zisizitarajiwa tena katika umri mdogo. Wengine huambikzwa magonjwa kama UKIMWI.

          Pamoja na usemi wa ukweli kua “ Ajali haina kinga” Ajali nyingi zinazotokea zinatokana na makosa yetu wenyewe. Hizi tukiamua, tunaweza kuzizuia kwani penye nia pana njia. Hivyo hivyo suala la kuwapatia Elimu watoto  walioathirika na ajali liwe la kufa na kupona. Kama Taifa ni lazima tupige vita ajira kwa watoto, ikiwa kweli tunataka kwenda na wakati. Vinginevyo tutabaki nyuma.

 

1 (a) Andika herufi ya jibu sahihi

  1.     Mwandishi amesema kuwa wanaokufa katika ajali ni
  1. Watu wa aina zote
  2. Watoto wadogo
  3. Watu wazima
  4. Vikongwe, wanawake na wanaume
  1.  Ipi si kweli kuhusu maneno wanaoajiriwa watoto?
  1.    Kwenye machimbo ya madini
  2.    Kwenye biashara ndogondogo
  3.    Kazi za nyumba
  4.    Kwenye ofisi za serikali
  1.                        Ajira kwa watoto husababishwa na :-
  1.    Kutokuwepo na shule za kutosha
  2.       Vifo vya wazazi na ugumu wa maisha
  3.       Kampeni za vyama za siasa
  4.       Madeni ya nchi
  1.                         Ili watoto waweze kufanikiwa katika maisha yao ya baadaye ni lazima jamii:
  1.    Ipige vita rushwa
  2.    Ifuate sisa ya ujamaa na kujitegemea
  3.    Iwape watoto Elimu
  4.    Ijenge barabara nzuri
  1.   Moja ya haya yafuatayo sio ajali ya kujitakia :-
  1.    Gari kuanguka kutokana na mwendokasi
  2.    Kuzidisha uwezi wa uzito katika vyombo vya usafiri
  3.    Kuendesha vyombo vya usafiri pasipo kuzingatia sheria
  4.    Kuzuka kwa vimbunga vinavyoleta maafa makubwa
  1.                         Mwandishi anaamini kua tunaweza kuzuia ajali kwa
  1.    Kumwomba Mungu atuepushe na ajali hata kama atufuati kanuni na sheria
  2.    Kutoendesha magari katika barabara mbaya
  3.    Kuwa makini katika kuendesga vyombo vya usafiri
  4.    Kutowaruhusu wazazi wenye watoto kutumia vyombo vua usafiri

 

i

ii

iii

iv

v

vi

 

 

 

 

 

 

(b) Eleza maana ya misemo ifuatayo kama ilivyotumika habari uliyoisoma

  1.     Alivaa uso wa huzuni
  2.  Liwe la kufa na kupona
  3.         Penye nia pana njia

(c) Andika kichwa cha habari kisichozidi maneno matatu

  1.         Andika ufupisho wa habari hii usiozidi maneno sitini (60)

 

SEHEMU B: SARUFI

ALAMA 20

 

  1.         (a)Nyumbua maneno yafuatayo lwa kutumia kauli ya kutendesha
  1.     Lima
  2.  Imba
  3.                        Piga
  4.                         Fyeka
  5.   Ita

                (b) Unda nomino moja tuu kutokana na kila kitenzi katika vitenzi vifuatavyo.

  1.     Lea
  2.  Nyoa
  3.                        Pika
  4.                         Cheza
  5.   Soma
  1.         Bainisha aina ya nomino zifuatazo .

Mfano Mayai – Nomino ya kawaida

  1.     Papai
  2.  Mungu
  3.                        Arusha
  4.                         Upepo
  5.   Jumamosi

SEHEMU C: MAWASILIANO NA UTIMIZI WA LUGHA.

ALAMA 20

  1.         Onesha rejesta zifuatazo hutumika katika mazingira gani?
  1.     Mimi wali kuku, huyu wali maharage na pale ng’ombe
  2.  Zuia babu kula hivyo vichwa
  3.                        Napenda kujibu swali la nyongeza la mheshimiwa kama ifuatavvo
  4.                         Ndugu Matata, unahukumiwa kwa kosa la jinai la kuiba mali ya umma
  5.   Jipatie mahitaji ya jikoni, nyanya , vitunguu, karoti, pilipili, na ndimu , vyote vipo
  1.         Bainisha sifa tano za misimu
  2.         Fafanua tofauti tano za lugha ya kimaandishi na lugha ya kimazungumzo

SEHEMU D: FASIHI KWA UJUMLA

ALAMA 30

  1.         Kamilisha methali zifuatazo
  1.             Hakuna masika....................................................................
  2.             Mchinga mwiko ..................................................................
  3.             Chanda chema ...................................................................
  4.             Asiyefunzwa na mamaye ...................................................
  5.             Dalili ya mvua ....................................................................
  1.          
  1.             Taja vipera vitano vya ushairi
  2.             Taja njia tano zakuhifdhi kazi za fashi simulizi
  3.             Taja dhima tano za hadithi

SEHEMU E: UANDISHI WA INSHA/ UTUNGAJI

ALAMA 15

  1.    Kwa kingatia hoja tano(5) andika insha isiyopungua maneno 100 ma isiyosodo maneno 150 kuhusu athari za ugojwa wa Corona [Covid 19]

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 169  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 169  

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA

NA SERIKALI ZA MITAA

JAMHURI  YA MUUNGANO YA TANZANIA

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA PILI

KIDATO CHA PILI

AGOSTI 2023


 

        021                                                KISWAHILI

        Muda: Saa 2:30                                                                        Year: 2023 

 

Maelekezo

1  Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi (10)

2  Jibu msawali yote 

3   Sehemu A ina alama kumi na tano (15) sehemu B ina alama sabaini (70) na sehemu C ina alama kumi na tano (15)

4    Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa

5   Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa bluu au mweusi

6   Vifaa vyote vya mawasiliano visivyoruhusiwa havitakiwi kwenye chumba cha upimaji

7    Andika Namba yako ya Mtihani katika kila ukurasa sehemu ya juu upande wa kulia 

 

SEHEMU A (Alama 15)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

1.         Chagua herufi ya jibu sahihi katika kipengele (i) hadi (x) kisha andika herufi ya jibu sahihi katika visanduku vilivyopo upande wa kulia wa karatasi yako. 

(i)           Sikumpata mofu ‘-ku’ ina dhima gani?

A.    Wakati uliopita  C. Umoja 

B.     Uyakinishi          D. Nzizi wa neno

(ii)        Sitiari ni __________________

A.    Kufananisha vitu viwili au zaidi kwa kutumia viunganishi

B.     Neno au mistari kadhaa pamoja na silabi hujirudia 

C.     Huusisha kujenga picha akilini 

D.    Kulinganisha vitu viwili au zaidi bila viunganishi

(iii)      Wazo kuu la kimatumizi katika kazi za fasihi huitwa 

A.    Ujumbe  C. Falsafa B. Dhamira            D. Mtazamo

(iv)       Tunaimba vizuri sana kiambishi “Tu” kina dhima ipi?

A.    Huonesha nafsi ya kwanza wingi          C. Huonesha nafsi ya tatu umoja

B.     Huonesha nafsi ya pili wingi     D. Huonesha nafsi ya tatu wingi

(v)         _______________ ni hadithi zinazoelezea asili ya watu vitu na maumbo mbalimbali ulimwenguni katika hali ya kufikirika tu.

A.    Tarihi      C. Visasili

B.     Ngano    D. Soga

(vi)       Mambo yanayojenga umbo la ndani la kazi ya fasihi ni yapi?

A.    Falsafa, mtazamo, ujumbe, dhamira, wahusika

B.     Dhamira, ujumbe, mtazamo, migogoro, matumizi ya lugha 

C.     Dhamira ujumbe, mandhari, mgogoro, mtazamo

D.    Mtazamo, falsafa, dhamira, ujumbe na mgogoro

(vii)    Ni kutamkaji unaotambulisha asili ya mtu, 

A.    Kiimbo  C. Lafudhi

B.     Mkazo    D. Silabi

(viii)  Kwa maneno mengine fonolojia tunaweza kuiita…

A.    Sarufi muundo   C. Sarufi matamshi

B.     Pragmatiki          D. Sarufi maumbo 

       

(ix)       “Mungu yu mwema” Je, neno “yu” katika tungo hapo juu linabeba dhima ya aina gani ya neno.

A.    Nomino C. Kitenzi kisaidizi

B.     Kiwakilishi        D. Kitenzi kishirikishi

(x)         Vizuri vimeibiwa, viatu vizuri vimeibiwa na anacheza vizuri. neno vizuri limetumika kama

A.    Nomino, kiwakilishi na kivumishi        C. Kiwakilishi, kielezi na kivumishi 

B.     Kiwakilishi, kivumishi na kielezi          D. Kielezi, kiwakilishi na kiwakilishi

2.         Oanisha dhana zifuatazo katika Orodha A kwa kuchagua herufi ya maelezo husika katika Orodha B kisha andika herufi hiyo katika sehemu ya majibu kama inavyoonekana katika jedwali.

ORODHA A

MAJIBU

ORODHA B

i. Tashibiha  ii. Tashihisi iii. Tafsida  iv. Takriri

v. Mdokezo 

 

image

 

image

 

image

 

image

 

A.    Mayra alitembea, alitemea, alitembe hadi akafika 

B.    Mtoto wa mzee juma aliaga dunia katika vita vile vya makabila 

C.    Mayra akasema nitaku…………. nitakup…….

D.    Mayra alipokuwa msituni alipokelewa na sauti nyororo za ndege wakiimba. 

E.     Mzee Juma aliongea kwa hasira mithili ya mbogo aliyejeruhiwa.

 

SEHEMU B (Alama 70)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

3.         Kwa mifano thabiti eleza maana ya maneno yafuatayo 

(a)      Mofolojia

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

(b)      Shadda

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

 

(c)      Fonimu

………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

(d)      Alofoni

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

(e)      Shina

………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

4.         (a) Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli ya kutendwa 

i) Imba  ……………………………………………………………………………………. 

ii) Ruka  ……………………………………………………………………………………. 

iii) Piga  ……………………………………………………………………………………. 

iv) Soma  …………………………………………………………………………………….

 v) Omba  …………………………………………………………………………………….

(b) Onesha kivumishi katika tungo zifuatazo kisha bainisha aina gani ya kivumishi. 

i)       Mti mkavu umeanguka 

                        Kivumishi      …………………………………...………

                        Aina                …………………………………...……… 

 

ii)     Mbwa ambaye amekuja ameondoka

                        Kivumishi      …………………………………...……… 

                        Aina                …………………………………...………

 

iii)   Mwanafunzi mwingine ameletwa 

                        Kivumishi      …………………………………...……… 

                        Aina                …………………………………...……… 

iv)   Mtoto amejenga banda la kuku

                        Kivumishi      …………………………………...……… 

                        Aina                …………………………………...………

v)      Kikombe hiki kimevunjika

                        Kivumishi      …………………………………...……… 

                        Aina                …………………………………...………

5.         (a) Kitenzi kishiriki ni neno linaloonesha tabia au hali iliyokuwepo au isiyokuwepo kwa kitu au  mtu fulani. Tunga sentensi tano (05) kwa kutumia vitenzi vishirikishi tofauti na pigia  mstari  vitenzi hivyo. 

i. ……………………………………………………………………………………………… 

ii. ………………………………………………………………………………………………

 iii. ……………………………………………………………………………………………… 

iv. ……………………………………………………………………………………………… 

v. ………………………………………………………………………………………………

(b) Kwa muundo wa jedwali tambulisha nomino tano (5) zisizo na umbo dhahiri la wingi na uzipange kwa umoja na wingi wake. 

i. ……………………………………………………………………………………………… 

ii. ……………………………………………………………………………………………… 

iii. ……………………………………………………………………………………………… 

iv. ……………………………………………………………………………………………… 

v. ………………………………………………………………………………………………

6.         Kila tasnia ya uandishi ina hatua zake. Andika barua kwa mkuu wa shule ukiomba ruhusa ya kwenda hospitali kutibiwa. Barua yako ipite kwa mwalimu wako wa darasa. 

……………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

7.      “Misemo mingi hutumika kwa madhumuni ya kulinda na kuvuta umakini wa mtu.” Fafanua usemi huu kwa kutumia misemo mitano”

i.        …………………………………………………………………………………………………..

 ii. ………………………………………………………………………………………………….. 

iii. …………………………………………………………………………………………………..

 iv. …………………………………………………………………………………………………..

v. …………………………………………………………………………………………………..

8.      Soma ngonjera ifuatayo kisha jibu maswali 

1.      Hodi! hodi! naingia  Nyamazeni nawaambia,

Nataka kuwaelezea,

Sababu za kuhesabia, Sensa ni ukombozi, Kwa kila mtanzania. 

2.      Hesabu isipotimia,

Serikali isipojua,

Mipango itazimia, Sensa ni ukombozi, Kwa kila mtanzania.

3.      Serikali ikishajua,

Idadi ikatambua, 

Kila raia kumpatia,

Sensa ni ukombozi,

Kwa kila mtanzania

4.      Shule itatujengea, Hospitali zitaenea,

Maji itapanua,

Na barabara pia,

Sensa ni ukombozi,

Kwa kila mtanzania

       

5.      Elimu imeitoa, Kwenu watanzania,

Hongera mlojitoa 

Vituoni kusogea,

Nyumbani kusubiria 

Sensa ni ukombozi,

Kwa kila mtanzania

Maswali 

i.        Nini dhamira ya fanani katika utungo huu? ……………………………………………………..

ii.      Je, mtambaji ana msimamo gani kwa jamii?

………………………………………………………………………………………………….. iii) Kwa mujibu wa mwandishi ni athari gani zinaweza kujitokeza endapo sensa haitafanyika?

…………………………………………………………………………………………………..

…………………………………………………………………………………………………..

iv) Mtunzi wa utungo huu ana imani gani na falsafa ipi kuhusu sensa?

…………………………………………………………………………………………..………

 v) Taja jina la muhusika mkuu katika utungo huu.? ……………………………………………….

9.      Kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia fasihi simulizi siku hizi huhifadhiwa katika vinasa sauti kwa ajili ya kumbukumbu za baadaye. Bainisha athari tano (5) hasi zinazojitokeza fasihi simulizi inapohifadhiwa katika njia tajwa.

i.        ………………………………………………………………………………………………….. 

ii. ………………………………………………………………………………………………….. 

iii. ………………………………………………………………………………………………….. 

iv. …………………………………………………………………………………………………..

v. …………………………………………………………………………………………………..

       

SEHEMU C (Alama 15)

Jibu swali la kumi (10) katika sehemu hii.

10.  Siku zote uwapo na sherehe hualika watu tofauti ambao ni ndugu, jamaa na marafiki. Ukiwa kama kijana wa familia ya Mtunda Maembe, mwalike mama yako mdogo aitwae Neema Juma katika sherehe ya harusi ya kaka yako Paulo Maembe itakayofanyika tarehe 20/12/2023. Jina lako Omari Maembe 

………………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

 

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 159  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 159  

NAMBA YA MTAHINIWA ……………………………………………

 

 

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA MITIHANI YA MAJARIBIO YA SEKONDARI

KIDATO CHA PILI  UPIMAJI WA AWALI

 

021 KISWAHILI


Time: 2:30 Hours. MEI 2023

 

Maelekezo

 

  1. Karatasi hii in sehemu A, B and C zenye jumla ya maswali kumi (10).
  2. Jibu maswali yote.
  3. Sehem A ina alama kumi na tano (15), sehemu B ina alama sabini (70) na sehemu C ina alama kumi na tano (15).
  4. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa.
  5. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa bluu au mweusi.
  6. Vifaa vyote vya mawasiliano visivyoruhusiwa havitakiwi kwenye chumba cha upimaji.
  7. Andika Namba yako ya Mtihani katika kila ukurasa sehemu ya juu upande wa kulia.

 

 

KWA MATUMIZI YA MPIMAJI TU

NAMBA YA SWALI

SAHIHI YA MPIMAJI

ALAMA

1

 

 

2

 

 

3

 

 

4

 

 

5

 

 

6

 

 

7

 

 

8

 

 

9

 

 

10

 

 

JUMLA

 

 

SAHIHI YA MHAKIKI

 


SEHEMU A (Alama 15)

Jibu maswali yote katika seheme hii.

 

  1. Chagua jibu sahihi katika maswali yafuatayo:
    1. Ni kiambishi kipi kinachodokeza ukanushi kati ya vifuatavyo:
      1. Wa-
      2. Sh-
      3. -a
      4. Si-
      5. Na-
    2. Neno lipi kati ya haya ni mofu huru?
      1. Uji
      2. Uzuri
      3. Uchache
      4. Ufa
      5. Upweke
    3. Unyumbulishaji katika lugha ya Kiswahili huhusisha uchapikaji wa viambishi.
      1. Kabla ya mzizi wa neno
      2. Katikati ya mzizi wa neno
      3. Baada ya mzizi wa neno
      4. Kabla na baada ya vitenzi
      5. Kabla, katikati na baada ya mzizi
    4. Neno lipi kati ya haya yafuatayo halitokani na utohoaji.
      1. Posta
      2. Kompyuta
      3. Polisi
      4. Boksi
      5. Achali
    5. Utokeji wa misimu katika jamii hutegemea na
      1. Uchaguzi wa viongozi
      2. Mabadiliko ya kijamii
      3. Shughuli itendekayo
      4. Utani uliopo miongoni mwa wanajamii
      5. Kutumika na kudumu kwa muda mrefu
    6. Nyenzo kuu za lugha ya mazungumzo ni
      1. Usimuliaji
      2. Mdomo
      3. Maandishi
      4. Vitendo
      5. Ishara


  1. Utoshelezi wa muwala ni vipengele vya
    1. Mtindo
    2. Matumizi ya lugha
    3. Muundo
    4. Ujumbe
    5. Falsafa

(viii).Neno lipi kati ya haya yafuatayo halihusiani na ushahiri

  1. Mshororo
  2. Kipande
  3. Bahari
  4. Dayalojia
  5. Muwala
  1. Vipi ni ubora wa njia ya kuhifadhi kazi ya fasihi simulizi kwa kichwa?
    1. Ni kongwe
    2. Ina uhai
    3. Ina gharama
    4. Hukutana chini ya mti
    5. Ni rahisi kubadilika
  2. Vipengele vifuatavyo hutumiwa katika uandishi wa barua rasmi na barua pepe isipokuwa


  1. Anuani ya mwandishi na mwandikiwa
  2. Lengo
  3. Mada na kichwa
  4. Saini
  5. Jina la mwandishi
  1. Onesha dhana zilizopo fungu A na mifano iliyopo fungu B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi.

 

FUNGU A

FUNGU B

  1. Mzizi
  2. Mofu huru
  3. Kiambishi awali
  4. Kiambishi cha kauli
  5. Kiambishi tamati
  1. mtu
  2. sasa
  3. - cham -
  4. - chok -
  5. - an -
  6. - ji.
  7. u -


SEHEMU B (Alama 70)

Jibu maswali yote katika seheme hii.

 

  1.    Tumia mofimu zifuatazo kuonesha thamani ilizopewa katika paradise Mfano Li- Kuonesha wakati uliopita (Aliondoka)
    1. ta - kuonesha wakati ujao                                             
    2. o - kuonesha mzizi wa neon -                                         
    3. ni - kuonesha kitenzi kishirikishi-                                       
    4. ku- kuonesha urejesho kwa mtendwa-                                    
    5. ki - kuonesha udurushaji -                                            
    6. me - kuonesha hali timilifu -                                           
    7. kwa - kuonesha mahali -                                         
    8. a - kuonesha nafsi -                                                
    9. ka - kuonesha kauli ya kutendeka -                                       
    10. ku - kuonesha wakati uliopita -                                         

 

  1.    (a) Maneno katika lugha yana dhima mbalimbali, bainisha aina ya vivumishi katika tungo zifuatazo: -
    1. Shamba la bibi limeota nyasi



 

  1. Gari lililoondoka limepata ajali



 

 

  1. Nyumba yetu ni nzuri sana



 

 

  1. Kile kiatu ni cha mtoto



 

  1. Wanafunzi wangapi wanapenda mayai?



 

 

  1. Badilisha nomino zifuatazo kuwa vitenzi?
    1. Wimbo                                                      
    2. Umbo                                                       
    3. Kilio                                                         
    4. Mtoro                                                       
    5. Mlo                                                         


  1. Toa maana mbili kwa kila neno
    1. Mbuni




 

 

 

  1. Mto




 

 

 

  1. Ota




 

 

 

  1. Pepo




 

 

 

  1. Shuka




 

 

 

  1.    Sentensi zifuatazo zinabeba maana ya istilahi fulani. Zianishe istilahi hizo kwa kila sentensi. Mfano: Ni kipashio kidogo cha lugha chenye maana kisarufi Mofimu
    1. Ni aya ndogo kwenye kamusi ambayo huhusisha kidahizo na maelezo yake yote

 


  1. Ni sauti ambazo hutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja la sauti

 


  1. Ni mtindo wa lugha wa watu Fulani katika kazi maalumu                        
  2. Ni maneno ambayo huonesha hisia za mtenda au mtendwa                       
  3. Kamusi huandikwa kwa lugha moja                                      

 

  1. Kila mhusika ana kazi yake katika kazi ya fasihi. Taja kazi moja moja ya wahusika wafuatao.
  1. Fanani



 

  1. Hadhira



 


  1. Wanyama



 

 

  1. Binadamu



 

 

  1. Mahali



 

 

  1. Katika kazi ya fasihi simulizi viungo vya mwili kama vile macho, mdomo, kichwa, miguu hata mikono husaidia kufanikisha kazi hiyo na kafikisha ujumbe kwa jamii. Taja na eleza kwa kifupi faida tano (5) za kutumia viungo hivyo vya mwili vilivyotajwa hapo juu katika kazi ya fasihi simulizi.

 

  1.    
  2.    
  3.    
  4.    
  5.    

 

  1. Kila kitu kina faida na hasara zake. Kwa kila kipengele kifuatacho eleza faida moja na hasara moja.

 

  1. Utani
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  2. Matambiko
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  3. Miviga
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  4. Michezo ya watoto
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                        

 

  1. Michezo ya jukwaani
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       


SEHEMU C (Alama 15)

 

  1. Kwa hoja nne (4), fafanua hasara ambazo huweza kumkumba mtu yeyote asiyependa kushiriki mazoezi na michezo hasa kwa wanafunzi shuleni.

 

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………


…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………........

 

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 144  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 144  

 

 

 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA MTIHANI WA KUMALIZA MWAKA

KIDATO CHA PILI  

 

021 KISWAHILI


Time: 2:30 Hours. NOV 2022

 

Maelekezo

 

  1. Karatasi hii in sehemu A, B and C zenye jumla ya maswali kumi (10).
  2. Jibu maswali yote.
  3. Sehem A ina alama kumi na tano (15), sehemu B ina alama sabini (70) na sehemu C ina alama kumi na tano (15).
  4. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa.
  5. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa bluu au mweusi.
  6. Vifaa vyote vya mawasiliano visivyoruhusiwa havitakiwi kwenye chumba cha upimaji.
  7. Andika Namba yako ya Mtihani katika kila ukurasa sehemu ya juu upande wa kulia.

 

 

KWA MATUMIZI YA MPIMAJI TU

NAMBA YA SWALI

SAHIHI YA MPIMAJI

ALAMA

1

 

 

2

 

 

3

 

 

4

 

 

5

 

 

6

 

 

7

 

 

8

 

 

9

 

 

10

 

 

JUMLA

 

 

SAHIHI YA MHAKIKI

 


SEHEMU A (Alama 15)

Jibu maswali yote katika seheme hii.

 

  1. Chagua jibu sahihi katika maswali yafuatayo:
    1. Ni kiambishi kipi kinachodokeza ukanushi kati ya vifuatavyo:
      1. Wa-
      2. Sh-
      3. -a
      4. Si-
      5. Na-
    2. Neno lipi kati ya haya ni mofu huru?
      1. Uji
      2. Uzuri
      3. Uchache
      4. Ufa
      5. Upweke
    3. Unyumbulishaji katika lugha ya Kiswahili huhusisha uchapikaji wa viambishi.
      1. Kabla ya mzizi wa neno
      2. Katikati ya mzizi wa neno
      3. Baada ya mzizi wa neno
      4. Kabla na baada ya vitenzi
      5. Kabla, katikati na baada ya mzizi
    4. Neno lipi kati ya haya yafuatayo halitokani na utohoaji.
      1. Posta
      2. Kompyuta
      3. Polisi
      4. Boksi
      5. Achali
    5. Utokeji wa misimu katika jamii hutegemea na
      1. Uchaguzi wa viongozi
      2. Mabadiliko ya kijamii
      3. Shughuli itendekayo
      4. Utani uliopo miongoni mwa wanajamii
      5. Kutumika na kudumu kwa muda mrefu
    6. Nyenzo kuu za lugha ya mazungumzo ni
      1. Usimuliaji
      2. Mdomo
      3. Maandishi
      4. Vitendo
      5. Ishara


  1. Utoshelezi wa muwala ni vipengele vya
    1. Mtindo
    2. Matumizi ya lugha
    3. Muundo
    4. Ujumbe
    5. Falsafa

(viii).Neno lipi kati ya haya yafuatayo halihusiani na ushahiri

  1. Mshororo
  2. Kipande
  3. Bahari
  4. Dayalojia
  5. Muwala
  1. Vipi ni ubora wa njia ya kuhifadhi kazi ya fasihi simulizi kwa kichwa?
    1. Ni kongwe
    2. Ina uhai
    3. Ina gharama
    4. Hukutana chini ya mti
    5. Ni rahisi kubadilika
  2. Vipengele vifuatavyo hutumiwa katika uandishi wa barua rasmi na barua pepe isipokuwa
    1. Anuani ya mwandishi na mwandikiwa
    2. Lengo
    3. Mada na kichwa
    4. Saini
    5. Jina la mwandishi
  1. Onesha dhana zilizopo fungu A na mifano iliyopo fungu B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi.

 

FUNGU A

FUNGU B

  1. Mzizi
  2. Mofu huru
  3. Kiambishi awali
  4. Kiambishi cha kauli
  5. Kiambishi tamati
  1. mtu
  2. sasa
  3. - cham -
  4. - chok -
  5. - an -
  6. - ji.
  7. u -


SEHEMU B (Alama 70)

Jibu maswali yote katika seheme hii.

 

  1.    Tumia mofimu zifuatazo kuonesha thamani ilizopewa katika paradise Mfano Li- Kuonesha wakati uliopita (Aliondoka)
    1. ta - kuonesha wakati ujao                                             
    2. o - kuonesha mzizi wa neon -                                         
    3. ni - kuonesha kitenzi kishirikishi-                                       
    4. ku- kuonesha urejesho kwa mtendwa-                                    
    5. ki - kuonesha udurushaji -                                            
    6. me - kuonesha hali timilifu -                                           
    7. kwa - kuonesha mahali -                                         
    8. a - kuonesha nafsi -                                                
    9. ka - kuonesha kauli ya kutendeka -                                       
    10. ku - kuonesha wakati uliopita -                                         

 

  1.    (a) Maneno katika lugha yana dhima mbalimbali, bainisha aina ya vivumishi katika tungo zifuatazo: -
    1. Shamba la bibi limeota nyasi



 

  1. Gari lililoondoka limepata ajali



 

 

  1. Nyumba yetu ni nzuri sana



 

 

  1. Kile kiatu ni cha mtoto



 

  1. Wanafunzi wangapi wanapenda mayai?



 

 

  1. Badilisha nomino zifuatazo kuwa vitenzi?
    1. Wimbo                                                      
    2. Umbo                                                       
    3. Kilio                                                         
    4. Mtoro                                                       
    5. Mlo  

         Toa maana mbili kwa kila neno

  1. Mbuni




 

 

 

  1. Mto




 

 

 

  1.                  Ota




 

 

 

  1. Pepo




 

 

 

  1. Shuka




 

 

 

  1.    Sentensi zifuatazo zinabeba maana ya istilahi fulani. Zianishe istilahi hizo kwa kila sentensi. Mfano: Ni kipashio kidogo cha lugha chenye maana kisarufi Mofimu
    1. Ni aya ndogo kwenye kamusi ambayo huhusisha kidahizo na maelezo yake yote

 


  1. Ni sauti ambazo hutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja la sauti

 


  1. Ni mtindo wa lugha wa watu Fulani katika kazi maalumu                        
  2. Ni maneno ambayo huonesha hisia za mtenda au mtendwa                       
  3. Kamusi huandikwa kwa lugha moja                                      

 

  1. Kila mhusika ana kazi yake katika kazi ya fasihi. Taja kazi moja moja ya wahusika wafuatao.
  1. Fanani



 

  1. Hadhira



 

  1. Wanyama



 

 

  1. Binadamu



 

 

  1. Mahali



 

 

  1. Katika kazi ya fasihi simulizi viungo vya mwili kama vile macho, mdomo, kichwa, miguu hata mikono husaidia kufanikisha kazi hiyo na kafikisha ujumbe kwa jamii. Taja na eleza kwa kifupi faida tano (5) za kutumia viungo hivyo vya mwili vilivyotajwa hapo juu katika kazi ya fasihi simulizi.

 

  1.    
  2.    
  3.    
  4.    
  5.    

 

  1. Kila kitu kina faida na hasara zake. Kwa kila kipengele kifuatacho eleza faida moja na hasara moja.

 

  1. Utani
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  2. Matambiko
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  3. Miviga
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  4. Michezo ya watoto
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                        

 

  1. Michezo ya jukwaani
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       

SEHEMU C (Alama 15)

 

  1. Kwa hoja nne (4), fafanua hasara ambazo huweza kumkumba mtu yeyote asiyependa kushiriki mazoezi na michezo hasa kwa wanafunzi shuleni.

 

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

 

 

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 132  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 132  

 

 

 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA MTIHANI WA KUMALIZA MWAKA

KIDATO CHA PILI  

 

021 KISWAHILI


Time: 2:30 Hours. Oktoba 2022

 

Maelekezo

 

  1. Karatasi hii in sehemu A, B and C zenye jumla ya maswali kumi (10).
  2. Jibu maswali yote.
  3. Sehem A ina alama kumi na tano (15), sehemu B ina alama sabini (70) na sehemu C ina alama kumi na tano (15).
  4. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa.
  5. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa bluu au mweusi.
  6. Vifaa vyote vya mawasiliano visivyoruhusiwa havitakiwi kwenye chumba cha upimaji.
  7. Andika Namba yako ya Mtihani katika kila ukurasa sehemu ya juu upande wa kulia.

 

 

KWA MATUMIZI YA MPIMAJI TU

NAMBA YA SWALI

SAHIHI YA MPIMAJI

ALAMA

1

 

 

2

 

 

3

 

 

4

 

 

5

 

 

6

 

 

7

 

 

8

 

 

9

 

 

10

 

 

JUMLA

 

 

SAHIHI YA MHAKIKI

 


SEHEMU A (Alama 15)

Jibu maswali yote katika seheme hii.

 

  1. Chagua jibu sahihi katika maswali yafuatayo:
    1. Ni kiambishi kipi kinachodokeza ukanushi kati ya vifuatavyo:
      1. Wa-
      2. Sh-
      3. -a
      4. Si-
      5. Na-
    2. Neno lipi kati ya haya ni mofu huru?
      1. Uji
      2. Uzuri
      3. Uchache
      4. Ufa
      5. Upweke
    3. Unyumbulishaji katika lugha ya Kiswahili huhusisha uchapikaji wa viambishi.
      1. Kabla ya mzizi wa neno
      2. Katikati ya mzizi wa neno
      3. Baada ya mzizi wa neno
      4. Kabla na baada ya vitenzi
      5. Kabla, katikati na baada ya mzizi
    4. Neno lipi kati ya haya yafuatayo halitokani na utohoaji.
      1. Posta
      2. Kompyuta
      3. Polisi
      4. Boksi
      5. Achali
    5. Utokeji wa misimu katika jamii hutegemea na
      1. Uchaguzi wa viongozi
      2. Mabadiliko ya kijamii
      3. Shughuli itendekayo
      4. Utani uliopo miongoni mwa wanajamii
      5. Kutumika na kudumu kwa muda mrefu
    6. Nyenzo kuu za lugha ya mazungumzo ni
      1. Usimuliaji
      2. Mdomo
      3. Maandishi
      4. Vitendo
      5. Ishara


  1. Utoshelezi wa muwala ni vipengele vya
    1. Mtindo
    2. Matumizi ya lugha
    3. Muundo
    4. Ujumbe
    5. Falsafa

(viii).Neno lipi kati ya haya yafuatayo halihusiani na ushahiri

  1. Mshororo
  2. Kipande
  3. Bahari
  4. Dayalojia
  5. Muwala
  1. Vipi ni ubora wa njia ya kuhifadhi kazi ya fasihi simulizi kwa kichwa?
    1. Ni kongwe
    2. Ina uhai
    3. Ina gharama
    4. Hukutana chini ya mti
    5. Ni rahisi kubadilika
  2. Vipengele vifuatavyo hutumiwa katika uandishi wa barua rasmi na barua pepe isipokuwa
    1. Anuani ya mwandishi na mwandikiwa
    2. Lengo
    3. Mada na kichwa
    4. Saini
    5. Jina la mwandishi
  1. Onesha dhana zilizopo fungu A na mifano iliyopo fungu B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi.

 

FUNGU A

FUNGU B

  1. Mzizi
  2. Mofu huru
  3. Kiambishi awali
  4. Kiambishi cha kauli
  5. Kiambishi tamati
  1. mtu
  2. sasa
  3. - cham -
  4. - chok -
  5. - an -
  6. - ji.
  7. u -


SEHEMU B (Alama 70)

Jibu maswali yote katika seheme hii.

 

  1.    Tumia mofimu zifuatazo kuonesha thamani ilizopewa katika paradise Mfano Li- Kuonesha wakati uliopita (Aliondoka)
    1. ta - kuonesha wakati ujao                                             
    2. o - kuonesha mzizi wa neon -                                         
    3. ni - kuonesha kitenzi kishirikishi-                                       
    4. ku- kuonesha urejesho kwa mtendwa-                                    
    5. ki - kuonesha udurushaji -                                            
    6. me - kuonesha hali timilifu -                                           
    7. kwa - kuonesha mahali -                                         
    8. a - kuonesha nafsi -                                                
    9. ka - kuonesha kauli ya kutendeka -                                       
    10. ku - kuonesha wakati uliopita -                                         

 

  1.    (a) Maneno katika lugha yana dhima mbalimbali, bainisha aina ya vivumishi katika tungo zifuatazo: -
    1. Shamba la bibi limeota nyasi



 

  1. Gari lililoondoka limepata ajali



 

 

  1. Nyumba yetu ni nzuri sana



 

 

  1. Kile kiatu ni cha mtoto



 

  1. Wanafunzi wangapi wanapenda mayai?



 

 

  1. Badilisha nomino zifuatazo kuwa vitenzi?
    1. Wimbo                                                      
    2. Umbo                                                       
    3. Kilio                                                         
    4. Mtoro                                                       
    5. Mlo  

         Toa maana mbili kwa kila neno

  1. Mbuni




 

 

 

  1. Mto




 

 

 

  1.                  Ota




 

 

 

  1. Pepo




 

 

 

  1. Shuka




 

 

 

  1.    Sentensi zifuatazo zinabeba maana ya istilahi fulani. Zianishe istilahi hizo kwa kila sentensi. Mfano: Ni kipashio kidogo cha lugha chenye maana kisarufi Mofimu
    1. Ni aya ndogo kwenye kamusi ambayo huhusisha kidahizo na maelezo yake yote

 


  1. Ni sauti ambazo hutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja la sauti

 


  1. Ni mtindo wa lugha wa watu Fulani katika kazi maalumu                        
  2. Ni maneno ambayo huonesha hisia za mtenda au mtendwa                       
  3. Kamusi huandikwa kwa lugha moja                                      

 

  1. Kila mhusika ana kazi yake katika kazi ya fasihi. Taja kazi moja moja ya wahusika wafuatao.
  1. Fanani



 

  1. Hadhira



 

  1. Wanyama



 

 

  1. Binadamu



 

 

  1. Mahali



 

 

  1. Katika kazi ya fasihi simulizi viungo vya mwili kama vile macho, mdomo, kichwa, miguu hata mikono husaidia kufanikisha kazi hiyo na kafikisha ujumbe kwa jamii. Taja na eleza kwa kifupi faida tano (5) za kutumia viungo hivyo vya mwili vilivyotajwa hapo juu katika kazi ya fasihi simulizi.

 

  1.    
  2.    
  3.    
  4.    
  5.    

 

  1. Kila kitu kina faida na hasara zake. Kwa kila kipengele kifuatacho eleza faida moja na hasara moja.

 

  1. Utani
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  2. Matambiko
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  3. Miviga
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  4. Michezo ya watoto
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                        

 

  1. Michezo ya jukwaani
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       

SEHEMU C (Alama 15)

 

  1. Kwa hoja nne (4), fafanua hasara ambazo huweza kumkumba mtu yeyote asiyependa kushiriki mazoezi na michezo hasa kwa wanafunzi shuleni.

 

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

 

 

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 128  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 128  

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA

FOMATI MPYA YA NECTA

KISWAHILI KIDATO CHA PILI

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina sehumu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi (10)
  2. Jibu maswali yote
  3. Sehemu A ina alama kumi na tano (15) sehemu B ina alama sabini (7)) na sehemu C ina alama kumi na tano (15)
  4. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa
  5. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa bluu au mweusi.
  6. Vifaa vyote vya mawasiliano visivyoruhusiwa havitakiwi kwenye chumba cha upimaji.
  7. Andika Namba yako ya Mtihani katika kila ukurasa sehemu ya juu upande wa kulia.

SEHEMU A (Alama 15)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

  1. Chagua jibu sahihi katika maswali yafuatayo:
  1. Ni kiambishi kipi kinachodokeza ukanushi kati ya vifuatavyo
  1. Wa-
  2. Sh-
  3. –a
  4. Si-
  5. Na-
  1. Neno lipi kati ya haya ni mofu huru?
  1. Uji
  2. Uzuri
  3. Uchache
  4. Ufa
  5. upweke
  1. unyumbulishaji katika lugha ya Kiswahili huhususha uchapikaji wa viambishi
  1. kabla ya mzizi wa neno
  2. katikati ya mzizi wa neno
  3. Baada ya mzizi wa neno
  4. Kabla na baada ya vitenzi
  5. Kabla, katikati na baada ya mzizi
  1. Neno lipi kati ya haya yafuatayo halitokani na utohoaji
  1. Posta
  2. Kompyuta
  3. Polisi
  4. Boksi
  5. Achali
  1. Utokeji wa misimu katika jamii hutegemea na
  1. Uchaguzi wa viongozi
  2. Mabadiliko ya kijamii
  3. Shughuli itendekayo
  4. Utani uliopo miongoni mwa wanajamii
  5. Kutumika na kudumu kwa muda mrefu
  1. Nyenzo kuu za lugha ya mazungumzo ni
  1. Usimuliaji
  2. Mdomo
  3. Maandishi
  4. Vitendo
  5. Ishara
  1. Utoshelezi wa muwala ni vipengele vya
  1. Mtindo
  2. Matumizi ya lugha
  3. Muundo
  4. Ujumbe
  5. falsafa
  1. Neno lipi kati ya haya yafuatayo halihusiani na ushahiri
  1. Mshororo
  2. Kipande
  3. Bahari
  4. Dayalojia
  5. Muwala
  1. Vipi ni ubora wa njia ya kuhifadhi kazi ya fasihi simulizi kwa kichwa?
  1. Ni kongwe
  2. Ina uhai
  3. Ina gharama
  4. Hukutana chini ya mti
  5. Ni rahisi kubadilika
  1. Vipengele vifuatavyo hutumiwa katika uandishi wa barua rasmi na barua pepe isipokuwa
  1. Anuani ya mwandishi na mwandikiwa
  2. Lengo
  3. Mada na kichwa
  4. Saini
  5. Jina la mwandishi
  1. Onesha dhana zilizopo fungu A na mifano iliyopo fungu B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi.

FUNGU A

FUNGU B

  1. Mzizi
  2. Mofu huru
  3. Kiambishi awali
  4. Kiambishi cha kauli
  5. Kiambishi tamati
  1. Mtu
  2. Sasa
  3. –cham-
  4. –chok-
  5. –an-
  6. –ji.
  7. u-

SEHEMU B (Alama 70)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

  1. Tumia mofimu zifuatazo kuonesha thamani zilizopewa katika paradise

Mfano: Li-Kuonesha wakati uliopita (Aliondoka)

  1. ta  - Kuonesha wakati ujao -___________________
  2. o -  Kuonesha mzizi wa neno -_________________
  3. ni  -  kuonesha kitenzi kishirikishi - _____________
  4. ku - Kuonesha urejesho kwa mtendwa - __________
  5. ki  - Kuonesha hali udurushaji -_________________
  6. me - Kuonesha hali timilifu -___________________
  7. kwa – kuonesha hali mahali -____________________
  8. a –   kuonesha nafsi -_________________________
  9. ka – kuonesha kauli ya kutendeka -______________
  10. ku –  Kuonesha wakati uliopita -_________________
  1. (a)Maneno katika lugha yana dhima mbalimbali, bainisha aina ya vivumishi katika tungo zifuatazo.
  1. Shamba la bibi limeota nyasi _____________________
  2. Gari lililoondoka limepata ajali ______________
  3. Nyumba yetu ni nzuri sana ________________
  4. Kile kiatu ni cha mtoto __________________
  5. Wnafunzi wangapi wanapenda mayai? __________

(b) Badilisha nomino zifuatazo kuwa vitenzi?

  1. Wimbo ____________
  2. Umbo ______________
  3. Kilio ______________
  4. Mtoro ______________
  5. Mlo _______________
  1. Toa maana mbili kwa akila neno
  1. Mbuni _______________
  2. Mto _________________
  3. Ota __________________
  4. Pepo ________________
  5. Shuka ________________
  1. Sentensi zifuatazo zinabeba maana ya istilahi Fulani. Zianishe istilahi hizo kwa kila sentensi.

Mfano: Ni kipashio kidogo cha lugha chenye maana kisarufi “Mofimu”

  1. Ni aya ndogo kwenye kamusi ambayo huhusisha kidahizo na maelezo yake yote
  2. Ni sauti ambazo hutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu la sauti
  3. Ni mtindo wa lugha wa watu Fulani katika kazi maalumu
  4. Ni maneno ambayo huonesha hisia za mtenda au mtendwa
  5. Kamusi huandikwa kwa lugha moja
  1. Kila mhusika ana kazi yake katika kazi ya fasihi. Taja kazi moja ya wahusika wafuatao.
  1. Fani
  2. Hadhira
  3. Wanyama
  4. Binadamu
  5. mahali
  1. katika kazi ya fasihi simulizia viungo vya mwili kama vile macho, mdomo, kichwa, miguu hata mikono husaidia kufanikisha kazi hiyo na kufikisha ujumbe kwa jamii. Taja na eleza kwa kifupi faida tano (5) za kutumia viungo hivyo vya mwili vilivyotajwa hapo juu katika kazi ya fasihi simulizi.
  2. Kila kitu kina faida na hasara zake. Kwa kila kipengele kifuatacho eleza faida moja na hasara moja.
  1. Utani
  1. Faida
  2. Hasara
  1. Matambiko
  1. Faida
  2. Hasara
  1. Miviga
  1. Faida
  2. Hasira
  1. Michezo ya watoto
  1. Faida
  2. Hasara
  1. Michezo ya jukwaani
  1. Faida
  2. Hasara

SEHEMU C (Alama 15)

  1. Kwa hoja nne (4), fafanua hasara ambazo huwezi kumkumba mtu yeyote asiyependa kushiriki mazoezi na michezo hasa kwa wanafunzi shuleni.

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 115  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 115  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KISWAHILI KIDATO CHA PILI, JULAI 2022

 MUDA: SAA 2:00 2022

 MAELEKEZO

1. KaratasihiiinasehemuA, B, C, D na E

2. Jibu Maswali yote

3. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa

4. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa samawati (bluu) au mweusi

5. Vifaa vyote vya mawasiliano haviruhusiwi katika chumba cha mtihani

KWA MATUMIZI YA MTAHINI TU

NAMBA YA SWALI

ALAMA

SAINI YA MTAHINI

1

 

 

2

 

 

3

 

 

4

 

 

5

 

 

6

 

 

7

 

 

8

 

 

9

 

 

10

 

 

JUMLA

 

 

SEHEMU A (Alama 15) UFAHAMU

Jibu maswali yote katika sehemu hii

1. Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika karatasi yoko ya kujibia.

Jalali mfalme na madiwani wakuu, mtakumbuka kuwa tangu zamani matendo makubwa yoyote yaliamriwa, kuanzishwa na kutendwa na watu wenye nasaba bora kama wafalme na madiwani. Watu ovyo kama alivyo mshitakiwa hawakuachwa kujishughulisha na mambo yaliyo zaidi ya yale yaliyohusiana na maisha yao wenyewe tu. Kama wangaliamriwa kujishughulisha na mambo yaliyowapita vimo vyao, kama mshitakiwa aonekanavyo kuwa ndilo kusudi lake, mabadiliko ya kuchukiza yangalikuwako mara kwa mara katika nchi.

Mikono ya mshitakiwa ni mifupi kwa kutenda wema wowote. Kwa hali kama hii nachelea kusema akiamriwa kuinyoosha katika matendo makubwa matokeo yatakuwa machafuko, uasi na maangamizi. Jumla ya watu kama yeye alivyo itazidi. Watu kama hao hawatakuwa raia wema ila mabarakala. Mchwa ukikaribia kuangamizwa hufanywa kumbikumbi na kuoteshwa mabawa mawili. Matendo ya mshitakiwa yamekwisha kuwa mabawa ya kutosha kuifanya serikali kufikiri kama yasingempasa kukomeshwa kabisa kwa mfano uwezao kumzuia mtu mwingine yoyote kuyaiga.

Wafalme na raia wa kusadikika tangu zamani walikuwa na hata sasa ni watu wasiosema uongo. Mzee kwa kijana, mwanamume kwa mwanamke, mkubwa kwa mdogo, msichana kwa mvulana wote wanaaminika. Katika maandiko ya maamuzi ya kusadikika hapana hakimu hata mmoja aliye pata kuandika kuwa mwanamume fulani alisema uongo kwa kusudi la kuficha kosa. Haipatikani habari yoyote katika mapokeo ya nchi hii isimuliayo kuwa mwanamke fulani alisingiziwa hatia. Kwa imani kama hii kusadikika imefanya maamuzi ya haki siku zote na imetukuka ulimwenguni kama nyota ya mwongozo wa hala.

Imani ya kusadikika ni nguzo imara ya majengo ya utawala wa wasidikika. Wakati mataifa mengine yalipojifurahisha kwa mambo kama vile enzi, uwezo na fahari nyingine, taifa la kusadikika lilijivuna kwa sababu ya kusadiki mambo yalitoka vinjwani mwa watu wake. Wasadikika walikuwa wamekuwa, na hata sara ni watu wanaojali sana imani hii kama wajalivyo maisha yao vitu vingine vipenzi. Haidhaniwi kuwa ruhusa ikitolewa ya utaalamu mwingine zaidi ya kusadiki kwa vijana wa nchi hii italeta faida yoyote kwao. Shaka kubwa inatumiwa kuwa utaalamu mwingine ukiamriwa hapa matata yaliyokuwa bado kuonekana na wazee wetu, sisi wenyewe wala kusimuliwa katika hadithi za kusadikika yanatokea kwa wingi. Tokeo la mashaka hayo, licha ya serikali ya kusadikika peke yake, lakini hata raia hawalitaki.

Nililizungumza shauri hili kwa uangalifu mwingi na watu walio maarufu na waliopata sifa kusadikika. Bwana Taadabuni, katibu wa serikali; Bwana komeni, Amiri Jeshi, Bwana Fujo mlinda Hazina, Bwana Boramimi, Mudir wa sheria na wateule wengine. Ilionekana kuwa kuamuru ni sawa sawa na kuyapa nafasi mabishano katika nchi. Kwa hiri, hapana mtu hata mmoja aliyeliafiki shauri la kuyaamuru mafunzo haya. Nafasi kama hiyo ikipata idhini ya serikali. Yahofiwa kuwa hatari kubwa itazikabili siasa za utawala wa nchi. Dhuluma itakuwa na kiti katika baraza za hukumu kushindana na haki. Jinai itatoka katika uficho wake ili iende uwanjani kuvutana na adili. Uhalifu utawatukuza waasi na wavunja sheria; na dharau itafunua kinywa chake kutema mate ya sumu kama bafe juu mamlaka ya serikali. Kwa mambo hayo imani ya nchi, pamoja na misingi yake, itakuwa katika maangamizi yadhaniwayo kuwa kitu chochote kikitumbukia ndani yake hakiwezi kuokoka tena.

Kwa sababu ya kudumisha sheria, dini na mamlaka, na kwa wajibu wa kazi yangu lazima nidhihirishe mbele ya baraza hili kuwa si jambo jema hata kidogo kuamuru madarasa.ya utaalamu uwezao kuwa daraja, ambayo chini yake utapita mkondo mkubwa sana wa mamabo ya kuichafua salama ya kusadikika kwa dharau, ukaidi na jinai.

Matendo ya mshitakiwa lazima yakomeshwe kwa adhabu ya mwisho katika sheria. Kazi kubwa na yenye thamani adhimu ilitendwa katika kujitengeneza na kuzidumisha kwa sheria hizi. Haivumiliki kuziona zinavunjika kwa matendo ya mtu mmoja anayetafuta ubarakala, asiyeaminika, mchache wa shukrani na mjeuri. Nguvu ya sheria za nchi lazima ithibitishe juu yake ili mtu mwingine yeyote asithubutu kuzidharau.

Maswali

(i) Udhaifu wa watu wa kusadikika ni upi?

(ii) Taja matabaka mawili ya jamii ya watu wa kusadikika

(iii) Maneno na matendo makubwa nchini kusadikika hutazamiwa yatoke kwa tabaka gani?

(iv) Kwanini mshitakiwa anafananishwa na mchwa?

(vi) Mashtaka ya mshitakiwa ni nini?

(vii) Taja sifa isiyosadikika ya wafalme na raia wa kusadikika. Kwa nini unafikiri sifa hii haisadikiki?

(viii) Msemo huu una maana gani?

  • Dhuluma itakuwa na kiti katika baraza la hukumu.

(ix) Kwa sentensi mbili au tatu toa maoni yako kuhusu madai yanayotolewa dhidi ya mshitakiwa.

(x) Pendekeza anuani ya habari hii

2. Fupisha habari uliyoisoma katika swali namba moja (1) hapo juu kwa maneno yasiyozidi mia moja (100)

SEHEMU B (Alama 20) SARUFI

Jibu maswali yote katika sehemu hii

 

3. Fafanua kazi za mofimu “U” katika sentensi zifuatazo

(i) Utaratibu huu ni mzuri

(ii) Ujumbe unaoufuata ni wa siri

(iii) Wewe U mtoto wa kaka yangu

(iv) Ungelijua usingesubiri.

(v) Unalima

(b) Tenga mofimu tangulizi mzizi na mofimu fuatishi katika maneno yafuatayo;

i. Wanaopendeza

 ii. Ametuchekesha

 iii. Wametukimbia

 iv. Atamkomesha

v. Hatutachezeana

4. (a) Sentensi zifuatazo zina makosa kwa kuzingatia usanifu wa kiswahili. Piga mstari neno lenye kosa na juu yake andika neno sahihi

(i) Mtoto angepelekwa hospitalini angelipona.

(ii) Mimi nimekaa sana kwa niaba ya kukungoja wewe.

(iii) Siku hizi bidhaa ni agali sana.

(iv) Kifaranga kinapekuwa bila kufundishwa

(v) Gari linakimbia kwa pupa.

(b) Andika alama ya V kama sentensi ni sahihi na X kama sentensi si sahihi.

i. Leksimu ni kipashio kidogo cha msamiati ambacho kina uwezo wa kusimama peke yake kama kidahizo…………………

ii. Sitiari ni mbinu ya kuuliza maswali kwa mambo ambayo unafahamu…….

iii. Yakinishi kipashio cha lugha ambacho hujenga lugha……… iv. Hali ni kategoria ya kisarufi yenye kuonesha jinsi ya kitendo kinavyotendwa ikiwa kimamalizika……………………………..

v. Msimamo ndiyo mwelekeo wa imani ya msanii katika kazi ya sanaa……..

SEHEMU C (Alama 20) MAWASILIANO NA UTUMIZI WA LUGHA

Jibu maswali yote katika sehemu hii

5.(a) Eleza ni taarifa zipi zinazohusu neno zinazoingizwa kwenye Kamusi

(b) Onesha umuhimu wa kutumia picha katika kamusi

i. …………………………………………………………………………………….. 

ii. …………………………………………………………………………………….. 

iii. ………………………………………………………………………………….....

iv. …………………………………………………………………………………….

v. …………………………………………………………………………………….

(c) Nini tofauti kati ya kamusi na kamusi wahidiya

6. (a) Katika uandishi wa tungo mbalimbali huwa kunajitokeza makosa ya aina mbalimbanabi japo msingi wake umejikita katika dhana kuu mbili. Kwa kutumia dhana hizo zibainishe kwa kutaja aina ya kosa kwa maneno yaliyopigiwa mstari kisha andika sentensi upya kwa usahihi.

(i) Mimi nimerizika nayote uliyosema Aina ya kosa

.............................................................................................

Usahihi

..........................................................................................................................................................................................

(ii) Watu wale wanaishi katika mazingara ya kutatanisha Aina ya kosa

.............................................................................................

Usahihi 

..........................................................................................................................................................................................

(iii) Ni budi nile ili niishi Aina ya kosa

.............................................................................................

...........................

Usahihi

........................................................................................................................................................................................

(iv) Mle pana maji ya moto Aina ya kosa

............................................................................................. ...........................

Usahihi

.......................................................................................................................................................................................

(v) Nimemkuta hayupo

Aina ya kosa

.............................................................................................

Usahihi

....................................................................................................................................................................................

(b) Oanisha orodha A na orodha B ili kujenga dhana sahihi. Onesha majibu yako eneo liliwekwa kujibia

Orodha A

Orodha B

  1. Wamewaibia 
  2. Za mtwara tamu sana
  3. U mtoto wa mzee Mkanyageni
  4. Jioshe
  5. Mnyumbuliko
  6. Joto laweza kusafiri kwa njia ya mnunurisho
  7. Neno lenye fonimu 3
  8. Mofu
  9. Foni
  10. Oa
  1. Uambishaji wa maneno
  2. Kishazi pekee
  3. Kivumishi cha a-unganifu
  4. Kiwakilishi
  5. Kitenzi kishirikishi
  6. Oneshea
  7. Kiambishi cha nafsi ya pili wingi
  8. Agizo
  9. Kitenzi
  10. Mnyumbuliko wa kitenzi
  11. Chai
  12. Umbo linalodhihirisha vitamkwa
  13. Ni sauti za lugha
  14. Mbao
  15. Kosa la kimsamiati
  16. Shina la silabi 2
  17. Ni maumbo ya lugha
  18. Kosa la mpangilio wa sauti
  19. Shina la silabi moja
  20. Umbo linalodhihirisha maumbo ya lugha


Orodha A

i

ii

iii

iv

v

vi

vii

viii

ix

x

Orodha B











SEHEMU D (Alama 30) FASIHI

Jibu maswali yote katika sehemu hii

 

7. Kazi za fasihi simulizi hupoteza uhai wake zikiifadhiwa katika kanda za kunasa sauti. Kwa kutumia hoja tano eleza kinagaubaga juu ya dai hili.

8. Eleza tofauti zinazojitokeza kati ya dhana zifuatozo:

(a) Methali na vitendawili

(b) Ngonjera ya kipera cha ushairi na ile ya sanaa za maonesho

(c) Mashairi na tenzi

(d) Urari na Mkarara

(e) Visasili na visakale

9. “Kazi ya utunzi wa kazi za fasihi ina miiko kanuni na taratibu zake” kwa kuthibitisha hoja hii, tunga ngonjera yenye beti tano kuhusu Umuhimu wa kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa wa Uviko -19.

SEHEMU E (Alama 15) UANDISHI/UTUNGAJI

Jibu maswali yote katika sehemu hii

10. Wewe unaitwa Jofrey Sanga Afisa rasilimali watu, unafanya kazi kwenye kampuni ya baba yako ya uzalisha wa viatilifu S.L.P 502 Mwanza na baba yako ndiye mkurugenzi wa kampuni hiyo. Mwandikie barua baba yako ukiomba kwenda kumwangalia bibi yako ambaye anaumwa.

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 108  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 108  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

 KISWAHILI KIDATO CHA PILI, JULAI 2022

 MUDA: SAA 2:00  2022

Maelekezo

l . Karatasi hii ina sehemu A, B, C, D na E zenye jumla ya maswali kumi (10)

2. Jibu maswali yote.

3. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa.

4. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa bluu au mweusi.

5. Vifaa vyote vya mawasiliano haviruhusiwi katika chumba cha

KWA MATUMIZI YA MTAHINI TU

YA SWALI

ALAMA

SAIM YA MTAHINI

1.



2.



3.



4.



5.



6.



7.



8.



9.



10.



JUMLA



SAHIHI YA MHAKIKI



SEHEMU A (Alama 15)

UFAHAMU NA UFUPISHO

l . Soma kifungu cha habari kifuatacho kishajibu maswali yanayofuata:

Miaka ya hivi karibuni kumetokea ajali nyingi hapa duniani. Wengi tumesikia taarifa za ajali mbalimbali kutoka katika vyombo vya habari na baadhi yetu tumeshuhudia kwa macho yetu ajali hizo. Kila aliyesikia au kuona alivaa uso wa huzuni, kwani nyingi zilikuwa za kutisha mno. Wapo watu waliokatika miguu, mikono, masikio na hata kunyofolewa macho na viungo vingine vya mwili.

Ukiachilia mbali majeruhi na wale walionusurika, wapo ndugu na marafiki zetu waliopoteza maisha. Wengi tulipata machungu yaliyokithiri, tulilia, tulilaumu na kuwalaani wote waliofikiri ndio waliosababisha ajali hizo. Waliokufa katika ajali hizo ni watoto wadogo, watu wazima na hata vikongwe, wanawake kwa wanaume. Kama ilivyo desturi, kifo hakibagui na kwa kweli huvuna roho za watu wa umri na jinsi zote.

Wazazi wengi wanaofariki katika ajali hizi huacha watoto ambao hawamo katika utaratibu wa kuendelezwa kielimu. Badala yake wanaingia katika kujitafutia riziki badala ya kujisomea. Watoto wengi hufanya kazi za kubeba mizigo, uvuvi, kuchimba madini migodini, vibarua mashambani, biashara ndogondogo na hata kazi za nyumbani.

Watoto hao walioachwa hukumbwa na matatizo mengi wafanyapo kazi katika sehemu hizo. Kwa kuwa wengi wao hawana upeo mkubwa wa mambo, hujikuta wakifanya kazi bila kufuata kanuni za afya. Hali hiyo huwasababishia magonjwa kama kifua kikuu na hata kupata ajali mbaya wafanyapo kazi migodini, ambazo zinaweza kusababisha vifo au ulemavu wa maisha. Wengine huingizwa kwenye biashara za ukahaba na mimba zisizotarajiwa, tena katika umri mdogo, wengine huambukizwa magonjwa kama UK.IMWI.

Pamoja na ukweli wa uşemi kuwa, "Ajali haina kinga.” Ajali nyingi zinatokana na makosa yetu wenyewe. Tukiamua tunaweza kuzizuia, kwani penye nia pana njia. Hivyo, şuala la kuwapatia elimu watoto walioathirika na ajali liwe la kufa na kupona. Kama taifa, ni lazima tupige vita ajira kwa watoto, ikiwa kweli tunataka kwenda na wakati. Vinginevyo tutabaki nyuma.

Maswali

(a) Kwa swali la (i) hadi (vi) andika herufi ya jibu sahihi

(i) Mwandishi anafahamisha kuwa wanaokufa katika ajali mbalimbali ni

  1. Watu wa aina zote 
  2. Watoto wadogo
  3. Watu 'tvazima
  4. Vikongwe, wanaume na wanawake

(ii) İpi si kweli kuhusu maeneo wanakoajiriwa watoto?

  1. Kwenye machimbo ya madini 
  2. Kwenye biashara ndogondogo
  3.  Kazi za nyumbani
  4. Kwenye ofisi za serikali

(iii) Ajira kwa watoto husababishwa na nini?

  1. Kutokuwepo shule za kutosha 
  2. Vifo vya wazazi na ugumu wa maisha.
  3. Kampeni za vyama vya siasa 
  4. Madeni ya nchi

(iv) Ili watoto waweze kufanikiwa katika maisha yao ya baadaye, lazima jamii ifanye nini?

  1. Ipiğe vita nıshwa
  2. Ifuate siasa ya ujamaa na kujitegemea
  3. lwape watoto elimu
  4. Iboreshe maeneo wanapofanya kazi watoto

(v) Mojawapo kati ya haya yafuatayo sio ajali ya kujitakia 

  1. Gari kuanguka kutokana na mwendo kasi.
  2. Kuzidisha uzito katika vyombo vya usafiri kinyume na uwezo wa chombo husika. 
  3. Kuendesha vyombo vya usafiri pasipo kuzingatia kanuni na sheria 
  4. Kuzuka kwa vimbuga vinavyoleta maafa makubwa.

(vi)Mwandishi anaamini kuwa tunaweza kuzuia ajali zisitokee kwa...

  1. Kumwomba Mungu atuepushe na ajali hata kama sheria na kanuni hazifuatwi.
  2. Kutoendesha magari katika barabara mbaya.
  3. Kuwa makini katika kuendesha vyombo vya usafıri.
  4. Kutowaruhusu wazazi wenye watoto kutumia vyombo vya usafiri.

Majibu:

(i)

(ii)

(iii)

(iv)

(v)

(vi)







(vii) (a) Eleza maana ya misemo ifuatayo kama ilivyotumika katika habari uliyosoma.

  • Alivaa uso wa huzuni . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  • Liwe la kufa na kupona . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  • Penye nia pana njia . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

(b) Andika kichwa cha habari hii kisichozidi maneno matatu.

2. Andika ufupisho wa habari hii usiozidi maneno sitini (60)

SEHEMU B (Alama 20)

SARUFI

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

3. Bainisha mzizi wa asili wa kila katika sentensi zifuatazo:-

(i) Wanafunzi wanapigana darasani  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ii) Watoto walifungiana milango . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iii) Sisi hatupendani  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iv)Mtoto anacheza mpira  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(v) Vifaa feki viliharibiwa  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(vi) Mwalimu anafundisha somo la Kiswahili  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(vii) Jana hatukusomeana . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(viii) Wanafunzi wanalima shamba la shule  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ix)Mvua ilinyesha leo asubuhi  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(x) Juma anaruka kamba  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

4. (a) Eleza maana ya maneno yafuatayo: 

(i) Kitenzi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ii) Kidahizo  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iii) Uambishaji  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iv) Irabu  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(b) Bainisha aina ya nomino zifuatazo:

(i) Malaika  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ii) Arusha  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iii) Kabati  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iv) Bunge  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(v) Njaa  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

SEHEMU C (Alama 20)

MAWASILIANO NA UTUMIZI WA LUGHA

5. Maneno yafuatayo yana maana zaidi ya moja. Toa maana mbili kwa kila neno.

(a) Kombe

  1.  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(b) Tupa

  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(c) Kata

  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(d) Tai

  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(e) Paa

  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

6. (a) Bainisha mazingira zinamotumika rejesta zifuatazo:

(i) Zuia babu, kula hivyo vichwa vitatu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ii) Ndugu Madongo Kuinuka, unatuhumiwa kwa kosa la jinai la kuiba mali ya umma. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iii) Jipatie mahitaji ya jikoni nyanya, vitunguu, karoti, hoho, pilipili na ndimu, vyote vipo. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iv)Napenda kujibu swali la nyongeza la Mheshimiwa kama ifuatavyo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(v) Mimi kuku ugali moja, huyu wali maharage na wale pale mbuzi kitunguu moja. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(b) Taja sifa tano (5) za misimu.

  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  3. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  4. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  5. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

SEHEMU D (Alama 30)

FASIHI KWA UJUMLA

7. Kamilisha methali zifuatazo;

(a) Usidharau nazi

(b) hakiachi kunika.

(c) Kuvunjika kwa koleo

(d) Jiwe moja

(e) Kazi isiyo faida

8. "Semi ni moja ya tanzu nne zinazounda fasihi simulizi." Thibitisha kauli hii kwa kubainisha vipera vitano (5) vya semi.

(i) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ii) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iii) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iv) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(v) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

9. Eleza kwa ufupi dhima kuu tano (5) za hadithi.

SEHEMU E (Alama 15)

UANDISHI WA INSHA/UTUNGAJI

10. Kwa kuzingatia hoja nne (4) andika insha isiyopungua maneno mia na hamsini (150) na isiyozidi maneno mia mbili (200) kuhusu athari za ugonjwa wa Corona (COVID 19)

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 107  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 107  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

 

2021

KISWAHILI                                                                                     KIDATO CHA PILI.

MUDA SAA 2:30

MAELEKEZO.

  1.    Karatasi hii ina sehemu A, B, C, D na E.
  2.    Jibu maswali yote.
  3.    Majibu yaandikwe kwenye karatasi ya kujibia maswali.

SEHEMU A:(Alama 15)

UFAHAMU

  1.    Somo kifungu kifuatacho kasha jibu maswali yafuatayo.

Binadamu ni kiumbe huhitaji kuwa na rafiki ili aewze kuondoa ukiwa kwa kumletea faraja. Kwa kawaida marafiki hufahamiana, huzoeana na kuchangamkiana katikamaongezi. Marafiki huweza kupatikana popote yaani katika mazingira ya nyumbani, shuleni na kazini, msikitini, kanisani na hata safarini.

Kutokana na ukweli kwamba ushauri wa marafiki huwa na nguvu na ni rahisi kwa marafiki kuambukizana tabia, rafiki anaweza kusababisha huzuni badala ya furaha, kwa hiyo ni muhimu kuchunguza kwanza tabia ya mtu anayetaka kuanzisha uhusiano naye. Ni heri kukosarafiki wa kufaa ni Yule mwenye tabia njema, busara na uaminifu. Ni Yule anayekutakia mafanikio mema katika maisha yako.

MASWALI.

  1.          Andika kichwa cha habari uliyosoma kwa kutumia neon moja.
  2.          Kwanini binadamu anahitaji kuwa na marafiki?
  3.          Mtu anaweza kupata marafiki kutoka wapi?
  4.          Kwanini ushauri wamarafiki huwa na nguvu?
  5.          Tabia gani si nzuri kwa rafiki yako kuwa nazo?
  1.    Andika ufupisho wa habari uliyosoma kwa maneno yasiyozidi 20.

 

SEHEMU B (Alama 20)

SARUFI

  1.    (a)  Eleza maana ya maneno yafuatayo katika unga wa sarufi na toa mfano mmoja tu kuthibitisha kauli yako.
  1.          Mofimu.
  2.          Uambishaji.
  3.          Unyumbuaji.
  4.          Mzizi.
  5.          Shina.

(b) Bainisha vivumishi katika sentensi zifuatazokwa kuvipigia mstari kisha utaje ni aina gani ya

Kivumishi.

  Mfano:   Mtoto mdogo analima shamba.

    V. Sifa

  1.          Maembe mengi yameoza.
  2.          Mtoto mwenye busara amefika.
  3.          Kitabu cha maria ni kizuri.
  4.          Bakuli langu ni kubwa kuliko zote.
  5.          Mti mrefu umepigwa na radi.
  1.    (a)  Eleza dhima za mofimu zilizopigiwa mstari katika maneno yafuatayo.

Mfano:   Nitampigia – Hii ni mofimu ya njeo huonesha wakati ujao.

  1.          Amekuja   (me)
  2.          Walimdondosha   (wa)
  3.          Akija   (ki)
  4.          Vilivyovunjika    (vyo)
  5.          Walionana     (an)

(b) Eleza kwa ufupi maana ya maneno yafuatayo.

  1.          Sarufi.
  2.          Sarufi matamshi  (fonolojia)
  3.          Sarufi maumbo   (Mofolojia)
  4.          Safufi miundo   (sintaksia)
  5.          Sarufi maana   (semantikia).

 

SEHEMU C (Alama 20)

MAWASILIANO NA UTUMIZI WA LUGHA.

 

  1.    (a)  Eleza kwa ufupi tabia tano (5) za lugha.
  1.          ________________________________________________________________
  2.          __________________________________________________________________
  3.          __________________________________________________________________
  4.          __________________________________________________________________
  5.          _________________________________________________________________

(b) Andika rejesta ya kila sentensi kulingana na muktadha wake.

  1.          Ndiyo afande! Nitawapeleka sasa hivi. ________________________________________
  2.          Tumia moja kutwa mara tatu. _______________________________________________
  3.          Wali jaa mchuzi juu._______________________________________________________
  4.          Ndege nyingi zilikuwa zinatua na kupaa. ______________________________________
  5.          Bwana asifiwe. __________________________________________________________
  1.    (a)  Taja mam bo makuu matano(5) yanayopatikana kwenye maana ya lugha.

 

(b)Sentensi zifuatazo ni tata. Toa maana mbili kwa kila sentensi.

  1.    Mtoto amelalia uji.
  2.    Tafadhari Aisha nipe sahani ya kulia.
  3.    Ameuwa simba.
  4.    Gari limempitia.
  5.    Aisha amemwandikia mjomba barua

SEHEMU D (Alama  30)

FASIHI KWA UJUMLA.

  1.    (a) Eleza kwa ufupi maana ya dhana zifuatazo.
  1.          Vina.
  2.          Mkarara.
  3.          Fani.
  4.          Maudhui.
  5.          Mizani.

 

(b) Kamilisha jedwali lifuatalo kwa kujaza vipengele husika.

Vipengele vya fani.

Vipengele vya maudhui.

  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           

 

  1.    (a) Kamilisha methali zifuatazo.
  1.          Mwanzo wa ngoma._______________________________________________________
  2.          Vita vya panzi.___________________________________________________________
  3.          Si ving’aavyo vyote_______________________________________________________
  4.          Ngoma ivumavyo.________________________________________________________
  5.          Siku ya kufa nyani. _______________________________________________________

(b) Tegua vitendawili vifuatavyo.

  1.          Pana ng’ombe miongoni mwa kundi la ndama.__________________________________
  2.          Mwenye kuitwa amefika lakini mjumbe bado hajarudi.___________________________
  3.          Wazungu wawili wanachungulia dirishani. _____________________________________
  4.          Mtoto wangu usipompa chakula haongei. _____________________________________
  5.          Mzungu katoka ulaya na jani la mgomba. ______________________________________
  1.    Soma shairi lifuatalo kisha jibu maswali yafuatayo.
  1.    Korona ugonjwa gani, umezua tahruki,

Chanjo haipatikani, ulaya hakulaliki,

Tiba haijulikani,    Dunia haifurukuti,

Korona inamaafa,       kujikinga ni LAZIMA.

 

  1.    Hofu kubwa imetanda, wakubwa kwa wadogo,

Mafua homa kupanda, utaona eti gugo,

China mpaka mpanda, korona haina wigo,

Korona inamaafa,     kujikinga ni LAZIMA.

 

  1.    Harufu ya umauti, imeibuka ulaya,

Uchumi wapigwa kati, korona haina haya,

Wanakalia kamati, kumfuta mbaya.

Korona inamaafa,      kujikinga ni LAZIMA.

 

  1.    Taharuki kila nyumba, mahitaji kukusanya,

Hatuna tena kuremba, bajeti kali kuminya,

Sokoni kusombasomba,     njaa isipate mwanya,

Korona inamaafa,      kujikinga ni LAZIMA.

 

MASWALI.

  1.      Bainisha muundo aliotumia mshairi.
  2.   Bainisha muundo wa shairi hilo.
  3. Eleza dhamira tatu (3) zinanzopatikana katika shairi letu.
  4.  Eleza ujumbe wa shairi hili.
  5.    Andika kichwa cha habari cha shairi hili kwa kutumia maneno matatu.

 

 

SEHEMU E (Alama 15)

UANDISHI WA INSHA/ UTUNGAJI.

  1. Kwa maneno yasiyopungua 150 na yasiyozidi 200 andika insha kuhusu umuhimu wa Maji katika jamii kwa kutumia hoja sita.

1

 

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 101  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 101  

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA

KISWAHILI KIDATO CHA PILI

 

021                                                                         

MUDA: SAA 2:30                                                       MACHI- 2022

image

                                                                                     

Maelekezo

1.      Karatasi hii ina sehemu A, B, C, D na E.

2.      Jibu maswali yote.

3.      Fuata maelekezo ya kila swali.

4.      Majibu yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa.

5.      Majibu yote yaandikwe kwa wino wa bluu au mweusi

6.      Simu za mkononi haziruhusiwi katika chumba cha mtihani.

7.      Andika Namba yako ya Mtihani upande wa juu kulia wa kila ukurasa wa karatasi yako.

 

 

KWA MATUMIZI YA MTAHINI TU

NAMBA YA SWALI

ALAMA

SAINI YA MTAHINI

1

 

 

2

 

 

3

 

 

4

 

 

5

 

 

6

 

 

7

 

 

8

 

 

9

 

 

10

 

 

JUMLA

 

 

SAINI YA MHAKIKI

 

 

 

SEHEMU A: (Alama 15) UFAHAMU

1. Soma kwa makini shairi lifuatalo, kisha jibu maswali yanayofuata:

Shime basi waungwana, Umoja kutekeleza,

Mabibi hadi Mabwana, harambe nguvu kukoza,

Mpaka wetu vijana, tusije tukalegeza,

Nchi inayopendeza, ni watu kusikilizana.

 

Watu wakishikamana, hata amani huwepo,

Mambo kukubaliana, ndipo waendeleapo, Viongozi pia kutuna, kazi yao inyookapo, Nchi inayopendeza, ni watu kusikilizana.

 

Kaditama kwelezana, hapo basi nanyamaza,

La zaidi sina tena, ni hayo niloeleza, Basi shime kuungana, usawa kutekeleza,

Nchi inayopendeza, ni watu kusikilizana.

 

Maswali:

 

(i)         Pendekeza kichwa cha habari kisichozidi maneno matano.

 (ii)      Shairi hili linahusu nini? 

 

(iii)    Waungwana ni watu wa aina gani.

 (iv)     Nini maana ya kaditama?

 (v)       Kiitikio cha shiri hili ni kipi?

2. Fupisha shairi ulilosoma kwa maneno yasiyozidi arobaini (40).

 

SEHEMU B: (Alama 20)

 

SARUFI

 

3.(a) Tumia mzizi wa kitenzi – IMB – Kunyumbulisha maneno katika hali zifuatazo kwa  kupigia mstari kinyumbulishi hicho kinachoonesha kazi (hali) hiyo.

                (i)       Hali ya urejeshi  .......................................................................................

               (ii)      Njeo..........................................................................................................

   (iii)     Hali ya ukanushi nafsi ya tatu umoja.....................................................

 (iv)       Hali ya kutendwa..................................................................................

 (v)        Hali ya kutendeka..................................................................................

   (b)    Ainisha maneno yaliyopigiwa mstari katika sentensi zifuatazo:

(i)                 Samia anasoma vizuri   ____________________________________________

(ii)              Vizuri vinaliwa na matajiri    _______________________________________

(iii)            Vyombo vizuri vimenunuliwa  ______________________________________

(iv)             Huyu ni mkorofi.  _______________________________________________

(v)               Baba na mama wanapendana sana ___________________________________

4.  (a) (i)          Nini maana ya mofimu?

 (ii)       Ubainishaji wa mofimu huzingatia mambo kadhaa. Taja mambo manne (4) yanayomwezesha mtumiaji wa lugha kubainisha mofimu.

 

(b) Mzee Kimbo alinunua kamusi na kumpatia binti yake aitwaye Fatma. Binti yule alipoifungua ndani ile Kamusi aliona picha na michoro mingi katika sehemu mbalimbali ya ile Kamusi. Akamuuliza baba yake, ‘Kwani hizi picha na michoro ina kazi gani? Mbona kama zinajaza tu nafasi na kuifanya Kamusi iwe kubwa na nzito? Inanipa kazi kuibeba!! Msaidie Mzee Kimbo kujibu swali hilo kwa kutoa hoja tano za kumuelewesha binti yake.

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

                 

SEHEMU C: (Alama 20)

 

MAWASILIANO NA MATUMIZI YA LUGHA

 

5.        (a)      Nini maana ya lugha fasaha?

_________________________________________________________________

_________________________________________________________________

_________________________________________________________________

(b)      Onesha madhara manne (04) yanayoweza kutokea endapo mtumiaji wa lugha  hatatumia lugha fasaha.

6.        Baini makosa katika sentensi zifuatazo kwa kupigia mstari, kisha ziandike vizuri         kuepuka makosa hayo.

 

(a)   Duka la madawa limefungwa.

____________________________________________________________________

 

(b)   Chai imeingia nzi.

____________________________________________________________________

 

(c)   Sisi wote tulikusanyika uwanjani.

____________________________________________________________________

 

(d)   Nyinyi mnapenda kula matunda?

____________________________________________________________________

 

(e)   Hakuna mtu yoyote aliyechelewa kufika.

____________________________________________________________________

 

SEHEMU D: (Alama 30)

 

FASIHI KWA UJUMLA

 

7.      Tungo zifuatazo zinafanana vipera mbalimbali vya tanzu za fasihi simulizi. Baini vipera hivyo katika kila tungo zifuatazo:

(a)   Kuku wangu katagia mibani _____________________________________________

(b)   Aso hili ana lile  _______________________________________________________

(c)   Nitasikiliza nikusikie kukusikia nitasikia kwa kusikia sauti yako 

      ____________________________________________________________________

(d)   Mchuma janga hula na wa kwao

___________________________________________________________________________

(e)   Papai limevia nyumbani lakini siwezi kulila

____________________________________________________________________

 

8.      Baadhi ya watu hudai kuwa utungaji wa majigambo ni mgumu sana lakini kutunga majigambo si jambo gumu asilani.

Thibitisha kauli hii kwa kuandika kanuni tano (5) za kuzingatia katika uandishi wa majigambo.

(i)     ____________________________________________________________________

___________________________________________________________________________ _______

 

(ii)  __________________________________________________________________________

___________________________________________________________________________

 

(iii)                        __________________________________________________________________________

___________________________________________________________________________ ________

 

(iv) __________________________________________________________________________

___________________________________________________________________________

 

(v)____________________________________________________________________________

__________

_____________________________________________________________________________ ____

 

 

 

9.      Wewe ni mwanafunzi wa Kidato cha Pili ambaye una rafiki wa Kidato cha kwanza. Rafiki yako amekuomba umfafanulie maana ya maneno yafuatayo ili aweze kuelewa zaidi, kwani darasani hakuelewa vizuri. Msaidie rafiki yako kwa kumfafanulia maneno yafuatayo:

(i)     Vichekesho ___________________________________________________________

_______________________________________________________________________________ ________

(ii)  Mtindo ______________________________________________________________

_______________________________________________________________________________ ________

 

(iii)                        Lakabu_______________________________________________________________ ______________________________________________________________________________

(iv)Soga ________________________________________________________________

_______________________________________________________________________________ ________

 

(v)   Dhamira _____________________________________________________________

_______________________________________________________________________________ ________

 

SEHEMU E: (Alama 15) UANDISHI/UTUNGAJI

10. Wewe ni mwanafunzi wa kidato cha Pili, ukiwa likizo kijijini kwenu Mafyati kilichopo Wilaya ya Nachingwea S.L.P. 99 Nachingwea, serikali ya kijiji imeandaa sherehe ya makaribisho ya mwenge. Katika sherehe hiyo miongoni mwa wanaotarajiwa kualikwa ni pamoja na Mkuu wa Mkoa. Kwa niaba ya serikali ya kijiji, Andika barua ya kumualika kiongozi huyo katika sherehe hiyo. Anuani ya Mkuu wa Mkoa ni S.L.P. 602, Lindi. Jina lako liwe HALIM SAID au HALIMA SAID.

 

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 91  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 91  

THE PRESIDENT’S OFFICE

MINISTRY OF EDUCATION, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

COMPETENCE BASED  SECONDARY EXAMINATION SERIES

ANNUAL  EXAMINATION

FORM TWO

KISWAHILI

021                                                      

MUDA: SAA 2:30                                                       November, 2021

image

Maelekezo

1.Karatasi hii ina sehemu A, B, C, D na E.

2.Jibu maswali yote.

3.Fuata maelekezo ya kila swali.

4.Majibu yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa.

5.Majibu yote yaandikwe kwa wino wa bluu au mweusi

6.Simu za mkononi haziruhusiwi katika chumba cha mtihani.

7.Andika Namba yako ya Mtihani upande wa juu kulia wa kila ukurasa wa karatasi yako.

KWA MATUMIZI YA MTAHINI TU

NAMBA YA SWALI

ALAMA

SAINI YA MTAHINI

1



2



3



4



5



6



7



8



9



10



JUMLA



SAINI YA MHAKIKI


SEHEMU A: (Alama 15) UFAHAMU

1. Soma kwa makini shairi lifuatalo, kisha jibu maswali yanayofuata:

Shime basi waungwana, Umoja kutekeleza,

Mabibi hadi Mabwana, harambe nguvu kukoza,

Mpaka wetu vijana, tusije tukalegeza,

Nchi inayopendeza, ni watu kusikilizana.

Watu wakishikamana, hata amani huwepo,

Mambo kukubaliana, ndipo waendeleapo, Viongozi pia kutuna, kazi yao inyookapo, Nchi inayopendeza, ni watu kusikilizana.

Kaditama kwelezana, hapo basi nanyamaza,

La zaidi sina tena, ni hayo niloeleza, Basi shime kuungana, usawa kutekeleza,

Nchi inayopendeza, ni watu kusikilizana.

Maswali:

(i)Pendekeza kichwa cha habari kisichozidi maneno matano.

_____________________________________________________________________

(ii)Shairi hili linahusu nini? 

   ___________________________________________________________________________

(iii)Waungwana ni watu wa aina gani.

  ____________________________________________________________________

(iv)Nini maana ya kaditama?

   ____________________________________________________________________

(v)Kiitikio cha shiri hili ni kipi?

             ____________________________________________________________________

2. Fupisha shairi ulilosoma kwa maneno yasiyozidi arobaini (40).

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________ ________________________________________________________________________ ________________________________________________________________________

________________________________________________________________________ ________________________________________________________________________ ________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________ ________________________________________________________________________ ________________________________________________________________________

________________________________________________________________________ ________________________________________________________________________ ________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

________________________________________________________________________ ________________________________________________________________________

________________________________________________________________________

SEHEMU B: (Alama 20)

SARUFI

3.(a) Tumia mzizi wa kitenzi – IMB – Kunyumbulisha maneno katika hali zifuatazo kwa  kupigia mstari kinyumbulishi hicho kinachoonesha kazi (hali) hiyo.

                (i)       Hali ya urejeshi  

_____________________________________________________________________ (ii) Njeo

_____________________________________________________________________

(iii)Hali ya ukanushi nafsi ya tatu umoja

_______________________________________________________________

(iv)Hali ya kutendwa

_______________________________________________________________

(v)Hali ya kutendeka

_______________________________________________________________

   (b)    Ainisha maneno yaliyopigiwa mstari katika sentensi zifuatazo:

(i)Samia anasoma vizuri   ____________________________________________

(ii)Vizuri vinaliwa na matajiri    _______________________________________

(iii)Vyombo vizuri vimenunuliwa  ______________________________________

(iv)Huyu ni mkorofi.  _______________________________________________

(v)Baba na mama wanapendana sana ___________________________________

4.  (a) (i)          Nini maana ya mofimu?

  ___________________________________________________________________________                  ___________________________________________________________________________ _______

(ii)       Ubainishaji wa mofimu huzingatia mambo kadhaa. Taja mambo manne (4) yanayomwezesha mtumiaji wa lugha kubainisha mofimu.

 _______________________________________________________________                         _______________________________________________________________

   _______________________________________________________________

  _______________________________________________________________

                                _______________________________________________________________

(b) Mzee Kimbo alinunua kamusi na kumpatia binti yake aitwaye Fatma. Binti yule alipoifungua ndani ile Kamusi aliona picha na michoro mingi katika sehemu mbalimbali ya ile Kamusi. Akamuuliza baba yake, ‘Kwani hizi picha na michoro ina kazi gani? Mbona kama zinajaza tu nafasi na kuifanya Kamusi iwe kubwa na nzito? Inanipa kazi kuibeba!! Msaidie Mzee Kimbo kujibu swali hilo kwa kutoa hoja tano za kumuelewesha binti yake.

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

_____________________________________________________________________

SEHEMU C: (Alama 20)

MAWASILIANO NA MATUMIZI YA LUGHA

5.(a)      Nini maana ya lugha fasaha?

_________________________________________________________________

_________________________________________________________________

_________________________________________________________________

(b)      Onesha madhara manne (04) yanayoweza kutokea endapo mtumiaji wa lugha  hatatumia lugha fasaha.

__________________________________________________________________

__________________________________________________________________ __________________________________________________________________ __________________________________________________________________

__________________________________________________________________

6.Baini makosa katika sentensi zifuatazo kwa kupigia mstari, kisha ziandike vizuri         kuepuka makosa hayo.

(a)Duka la madawa limefungwa.

____________________________________________________________________

(b)Chai imeingia nzi.

____________________________________________________________________

(c)Sisi wote tulikusanyika uwanjani.

____________________________________________________________________

(d)Nyinyi mnapenda kula matunda?

____________________________________________________________________

(e)Hakuna mtu yoyote aliyechelewa kufika.

____________________________________________________________________

SEHEMU D: (Alama 30)

FASIHI KWA UJUMLA

7.Tungo zifuatazo zinafanana vipera mbalimbali vya tanzu za fasihi simulizi. Baini vipera hivyo katika kila tungo zifuatazo:

(a)Kuku wangu katagia mibani _____________________________________________

(b)Aso hili ana lile  _______________________________________________________

(c)Nitasikiliza nikusikie kukusikia nitasikia kwa kusikia sauti yako 

      ____________________________________________________________________

(d)Mchuma janga hula na wa kwao

___________________________________________________________________________

(e)Papai limevia nyumbani lakini siwezi kulila

____________________________________________________________________

8.Baadhi ya watu hudai kuwa utungaji wa majigambo ni mgumu sana lakini kutunga majigambo si jambo gumu asilani.

Thibitisha kauli hii kwa kuandika kanuni tano (5) za kuzingatia katika uandishi wa majigambo.

(i)____________________________________________________________________

___________________________________________________________________________ _______

(ii)__________________________________________________________________________

___________________________________________________________________________

(iii)__________________________________________________________________________

___________________________________________________________________________ ________

(iv) __________________________________________________________________________

___________________________________________________________________________

(v)____________________________________________________________________________

__________

_____________________________________________________________________________ ____

9.Wewe ni mwanafunzi wa Kidato cha Pili ambaye una rafiki wa Kidato cha kwanza. Rafiki yako amekuomba umfafanulie maana ya maneno yafuatayo ili aweze kuelewa zaidi, kwani darasani hakuelewa vizuri. Msaidie rafiki yako kwa kumfafanulia maneno yafuatayo:

(i)Vichekesho ___________________________________________________________

_______________________________________________________________________________ ________

(ii)Mtindo ______________________________________________________________

_______________________________________________________________________________ ________

(iii)Lakabu_______________________________________________________________ ______________________________________________________________________________

(iv)Soga ________________________________________________________________

_______________________________________________________________________________ ________

(v)Dhamira _____________________________________________________________

_______________________________________________________________________________ ________

SEHEMU E: (Alama 15) UANDISHI/UTUNGAJI

10. Wewe ni mwanafunzi wa kidato cha Pili, ukiwa likizo kijijini kwenu Mafyati kilichopo Wilaya ya Nachingwea S.L.P. 99 Nachingwea, serikali ya kijiji imeandaa sherehe ya makaribisho ya mwenge. Katika sherehe hiyo miongoni mwa wanaotarajiwa kualikwa ni pamoja na Mkuu wa Mkoa. Kwa niaba ya serikali ya kijiji, Andika barua ya kumualika kiongozi huyo katika sherehe hiyo. Anuani ya Mkuu wa Mkoa ni S.L.P. 602, Lindi. Jina lako liwe HALIM SAID au HALIMA SAID.

___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________ ___________________________________________________________________________

___________________________________________________________________________


FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 83  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 83  

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA KWA KIDATO CHA PILI

MUHULA WA KWANZA

2021-MEI

MUDA SAA 3

Maelekezo.

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C Zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12)
  2. Jibu maswali yote katika sehemu A and B na maswali matatu (3) kutoka sehemu C
  3. Sehemu A ina alama kumi na tano (15), sehemu B alama arobaini (40) na sehemu C INA ALAMA arobaini na tano (45).
  4. Zingatia maelekezo ya kila sehemu na kila swali.
  5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani.
  6. Andika namba yako ya mtihani katka kila ukurasa wa kijitabu chako cha kujibia.

SEHEMU A ( Alama 15)

UFAHAMU

1.          Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata:

Jambo moja kubwa katika mambo ya huzuni kwa watu wote sasa lilitokea. Mke wangu mpenzi alishikwa na maradhi, na baada ya muda kidogo wa udhaifu na rnaumivu akafariki dunia. Utengano huu kati yetu ulitokea baa.da ya miaka kumi ya kuishi pamoja kwa mavenzi, amani, raha na baraka. Tukio hili lilikuwa pigo kubwa sana kwangu na msiba mkubwa katika n.yumba nzima. Marehemu huyu aiikuwa tuna ya maisha vangu, tegerneo na mshauri. 'mwema. Alinisaidia katika mambo mengi wakati wa maisha yetu pamoia anabavo yangalinishinda kuyatenda mimi peke yangu.

Sura yake ilikuwa jamali kwa kimo cha kadiri, use ulikuwa mviringo wa yai, nywele nyeusi za kushuka, paji papa, nyusi za upindi, macho mazuri yalikuwa na taza.mo juu ya kila kite, kope za kutana, masikio ya kingo yasiyopitwa na sauti ndogo, nieno ya rnwanya yaliyojipanga vizuri mithili ya lulu katika chaza, ulimi wa fasaha na maneno ya kiada yaliyotawaliwa, midomo imara isiyokwisha tabasamu. Sauti pole na tamu kama kidevu cha .mfuto katikati yake palikuwa na kidi .mbwi kidogo. Shingo kama mnara ambayo juuyake paliota kichwa cha mawazo mengi, chini ya shingo mabega yalikuwa kama matawi maua, kifua cha madaha, mikono ya mbinu, tumbo jembamba na miguu ya mvungu. tizuri wake ulikuwa kamili. Kwa tabia alikuwa mwaminifu na mfano wa kuiga katika nyumba.

     Wanawake ni wengi kama walivyo wanaume lakini wenye sura kama    ilivyoelezwa ni adimu 

sana kukutana nao duniani. Kabla ya kuoa nililitafuta namna yake muda wa miaka kumi . Kitu nilichokuwa nikitafuta kwa muda wote mwisho nilikipata, lakini baada ya miaka

kumi mingine kilikwenda safari ya watu wasikorudi na wito usiofika. Mauti yake ya maperna yalikuwa- ni msiba na hasara kubwa sana kwangu. Nilishindwa kujizuia kama nilivyotaka, machozi yalinitoka mengi sana na yalikuwa hayazuiliki sababu ya pigo zito lililonijia.

Maswali

(a) Andika kichwa cha habari uliyosoma kwa maneno yasiyozidi matano

 …………………………………………………………………………………………

(b) (i) Ni jambo gani kubwa liletalo huzuni kwa watu wote lililomtokea 

  Mwandishi wa habari hii?

  …………………………………………………………………………………………

  …………………………………………………………………………………………

  …………………………………………………………………………………………

 (ii) Ni muda gani mwandishi wa habari hii aliishi na Mkewe baada 

  ya harusi yao?

  …………………………………………………………………………………………

  …………………………………………………………………………………………

(c) (i) Mke wa Mwandishi wa habari hii alikuwa na tabia ya namna gani?

  …………………………………………………………………………………………

  …………………………………………………………………………………………

  …………………………………………………………………………………………

(ii) Katika aya ya pili Mwandishi ana maana gani anaposema uzuri wake ulikuwa kamili?

 ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

(d) Andika maana ya maneno au vifungu vya maneno kama vilivyotumika katika habari uliyosoma:

 (i) Tunu:  …………………………………………………………………………………….

   …………………………………………………………………………………….

 (ii) Kimo cha kadiri: ………………………………………………………………

     ……………………………………………………………..

 (iii) Adimu:   …………………………………………………………….

 (iv) Safari ya watu wasikorudi: ……………………………………………………

  1.                Andika ufupisho wa habari ulyosoma kwa maneno sitini (60).

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

SEHEMU B: (ALAMA 20)

SARUFI

  1.                (a) Nyambua maneno yafuatayo yawe katika kauli ya kutendeana.

(i) Toa

(ii) Fyeka

(iii) Ondoa

(iv) Piga

(v) Imba

 (b) Nominisha vitenzi vifuatavyo:-

  (i) Lea

  (ii) Nyoa

  (iii) Pika

  (iv) Cheza

  (v) Soma

  1.                Bainisha aina za Vielezi katika Sentensi zifuatazo:-

(a) Aliahidi kumpenda Ana daima kudumu

(b) Kabati lile limepasuka mara tano

(c) Mtoto yule alijibu kihuni

(d) Jina limetumbukia majini chubwi 

(e) Vyombo VIPO kabatini 

(f) Watoto walizungumza taratibu 

(g) Alifeli mara tatu kabla ya kuhamia 

(h) Asha ni mpole

(i) Leo ni sikukuu ya mashujaa

(j) Simfahamu vizuri yule mtu niliyemkuta.

SEHEMU C: (ALAMA 20)

MAWASILIANO NA UTUMIZI WA LUGHA

  1.                Eleza maana ya Istilahi zifuatazo na toa mfano kwa kila maana.

(a) Kidahizo

(b) Silabi

(c) Lugha

(d) Irabu

(e) Konsonanti.

  1.                Maneno yafuatayo yana maana za ya moja. Toa maana mbili kwa kila neno huku ukitunga sentensi.

(a) Kanga

(b) Mbuzi

(c) Kichwa

(d) Ulezi

(e) Nyota

SEHEMU D: (ALAMA 30)

FASIHI KWA UJUMLA

  1.                Tegua Vitendawili vifuatavyo:

(i) Nasuka mkeka lakini nalala chini ……………………………………………………..

(ii) Kila aendapo huweka alama  ……………………………………………………..

(iii) Nikimpiga mwanangu watu hucheza ……………………………………………………..

(iv) Anatembea na nyumba yake  …………………………………………………….

(v) Nyumba yangu ina nguzo moja …………………………………………………..

  1.                Kamilisha methali zifuatazo:-

(i) Baniani mbaya  ………………………………………………………….

(ii) Mgaagaa na upwa ………………………………………………………….

(iii) Siri ya mtungi  …………………………………………………………

(iv) Hakuna marefu  …………………………………………………………

(v) Vita vya Panzi  …………………………………………………………

  1.                Fafanua vipengele vifuatavyo:-

(a) Mandhari: ……………………………………………………………………………………

(b) Wahusika:……………………………………………………………………………………..

(c) Fanani: ………………………………………………………………………………………..

(d) Hadhira: ………………………………………………………………………………………..

(e) Muundo: …………………………………………………………………………………………

  1.                Andika baaarua ya Kirafiki ukimjulisha Shangazi yako anayeishi Dodoma kuwa mnakaribia kufunga Shule mwezi Juni hivo akutumie nauli. Anuani yaake ni 2021 Dodoma. Jina lako liwe Akilimali wa Kirima Sekondari.

1

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 62  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 62  

Nambari ya Mtahiniwa.....................................................

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA KWA KIDATO CHA PILI

NUSU MUHULA WA KWANZA

2021-MACHI

MUDA SAA 3

Maelekezo.

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C Zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12)
  2. Jibu maswali yote katika sehemu A and B na maswali matatu (3) kutoka sehemu C
  3. Sehemu A ina alama kumi na tano (15), sehemu B alama arobaini (40) na sehemu C INA ALAMA arobaini na tano (45).
  4. Zingatia maelekezo ya kila sehemu na kila swali.
  5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani.
  6. Andika namba yako ya mtihani katka kila ukurasa wa kijitabu chako cha kujibia.

SEHEMU A ( Alama 15)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

  1. Soma habari hii na kisha jibu maswali yafuatayo hapa chini;

Giza totoro jukwaani. Sauti ya mtoto aliaye na mshichana anamwongoa kwa wimbo.

“Oowa Oowa mtoto Oowa

Usilie mtoto usilie

Mama kaenda kazini O-owa

Baba kaenda kazini O-owa

Kukuletea haluwa O-owa

Owa Owa mtoto.....

Mara kwawaka umeme na fujo yaanza. Mayowe ya wanawake wanaoomboleza kwa kelele sana na kwa sauti ya kusikitisha sana. Taa zaanza kuwaka polepole na wanawake watatu wanapanda jukwaani polepole. Wawili wanapiga mayowe sana na kulia kwa kwikwi. Mmoja wa hao asikitisha sana maana ni mtoto mbichi wa kama miaka 16 hivi ana mimba na amevaa matambara; mikono kichwani akilia sana. Wa pili ana mtoto mchanga mkononi aliyfunikwa vizuri – mama huyu pia amevaa vizuri lakini analia kwa uchungu. Wa tatu anayepanda jukwaani mbele ana mtoto mgongoni, kitunga kikukuu-kuu alichojiangika begani na tita la kuni kichwani.  Amelemewa sana na mizigo hiyo. Yeye halii lakini anaonyesha huzuni na ananungunika. Mara kwa mara awatazama hao wawili waliao na kusema huku waliao wakipunguza mayowe – asema huku akitua tita la kuni na kitunga.

(kwikwi zangungua)

MKE III: Basi wanangu basi, subira huvuta heri. 

Tulieni msijighasi epukeni shari. 

Shikeni ngao, msi, mjitetee mjisetiri. 

Ajifanyao, jabari sawia mwondoeni.

    (kwikwi)

(huku akifutafuta machozi)

MKE II Subira huvuta heri, walishasema wahenga 

Kwetu ilileta shari, kamwe haikutukinga. 

Na waliao majabari, vipi tutawapinga?

 Dunia hii ya mawi, dunia ya wanaume

MKE III Juhusi huleta pato, na penye nia njia 

Shupaeni mpate pito, mpate mnayoania. 

Futeni yenu majuto, msigange yalopita.

Yalopita si ndwele, gangeni yanayokuja.

MKE I (Akifutafuta machozi)

 Tugange yanayokuja, si ndwele yaliyopita. 

Ela bado yanakuja, ya mbele hayajapita.  

Yafuliza moja moja yaja yakitusuta. 

Kwenye dunia ya wawi, dunia ya wanaume

MKE III Fungateni masombo, tayari kupia vita. 

Ondoeni ulimbo, ambao unawavuta 

mwende charazwa fimbo, hayo myakatae kata

Mnyakue wenu uhuru, mpate kunufaika

 MKE II Tawezaje nufaika, uhuru kuunyakua?

Il’hali twahangaika, kila kipembe kufukuta

Ili tupate kupika, wanetu wapate kua

Nasi twazidi konga, kunyonywa na kunyanyaswa?

MKE III Hayo msiyakubali, kuwa ni yenu jaala

Maisha muyamikie, fanyeni hala hala

Utumwa muuondoe, nao wapige lahaula

Wakose wa kunyonya, wakome kuwanyanyasa

 MKE I  Mama hebu nisikiza, name nataka kusema

   Kabla ya kuwachagiza nao wapate kukoma

   Kwanza tutajiuliza, yetu hali kuisoma

   Tujielezee vyema, ulivyo unyonge wetu.

 MKE II Kiko kingine kipenge’ lazima tuufahamu

   Uovu pia unyonge, wa wetu mahasimu

   Ndipo nao tujikinge, pas na kujihujumu

   Bila hayo kuyajua, kamwe hautafaulu.

 MKE III Yafuteni machozi, muweze tena kucheka,

   Kicheko ambukizi, nipate name kucheka

   Nipate maliwazi, niweze kufuhahika.

   Pigeni mioyo konde, mpate wenu uhuru.

 MKE I + II (Waangaliana kutabasamu na kusema pamoja......)

   Haki tutapigania, hadi mwisho wa malimwengu

   Vipi wao wamilkia, raha za ulimwengu

   Dini na pia sheria, mrututu twala uchungu

   Patupu twaambulia ila tabu na dhiki?

   (kwa sauti ya juu)

   Tumechoka, tumechoka, mzigo huu kuubeba

   Nao sasa twawatwika, vijana na kina baba

   Wapate nao kuchoka wajue tabu kubeba

   Huku ukitukanwa, kunyonywa na kunyanyaswa

   Mizigo tuliyopewa, haya yetu maumbile

   Siyo ya kuongezewa, vibaya itukalile

   Miamba, wana kuzaliwa, miezi ya uwele

   Si mchezo, si masikhara, ni mzigo mzito kubeba

   (Kwa Kelele)

   Wanawake tuungane, mabibi tuungani

   Haki zetu kuzidai, tusikubali kunyonywa

   Dunia haiwi yao tuka.........

 MKE III (Akiwakadiza)

   Basi basi wangu

   Anzeni jitegemea, muondoe kupuuzwa

   Muweze jifurahisha msiwe mkigandamizwa

   Msikubali kunyanyaswa, kuonewa (Kwa sauti)

 MKE I  (Akiwasogelea watazamaji)

   Nanyi wake wenzangu, amkeni msidanganywe

   Fikirini malimwengu, jitokezeni munene

   Vueni haya,  machungu, tuungane tupigane

   Uhuru wetu na haki, lazima tutazipata

       -TUTAZINYAKUA.

 MKE II Ole wenu waume, myanyasao wake zetu

   Mlio mapaka shume, itafika zamu yenu

   Mshike jembe kiume, kuauni mama zenu

   Mlowanyonya bila haya, karne nenda

   Karne rudi AMKENI MJITEGEMEE

 MKE I + II Hatutakubali tena, kunyonywa twawaapia

   Tuliponynywa sana, na mkoloni mlaaniwa

   Pamoja tulipigana, uhuru kunyakuliwa

   Leo tumepata uhuru, imekuaje mtuangamize

   ONDOENI WENU UBEBERU

   Ikiwa mumekubali, kiuchumi kutawaliwa

   Kwetu sis ni muhali, na nyinyi kuumbuliwa 

   Mliofanywa mafahali, gumba wasothaminiwa

   Wakoloni wawanyonye, nanyi mutunyonye sis?

   KATU HATUNYONYWI MARADUFU

   Vueni wenu ugumba, na ubeberu uacheni

   Dua sote twaomba, uchumi tufanikisheni

   Watoto tunaoumba, waishi stareheni

   Pamoja tushikamane, Kujenga dunia bora

   TUUNGANI KATIKA USAWA

   Njia panda tumefika, ya mababu, ya kisasa

   Yetu twataka kufyeka, maana twacha visa

   Vya fisi mhadithika, tuepuke lake kosa

   Waume tushikamane, kujenga dunia bora

   TUUNGANE KATIKA USAWA.

MASWALI

  1. (a) Taja na onesha kwa mifano dhamiri 3 zilizojitokeza

(b)Onesha mgogoro uliopo katika habari hii

 (c) Eleza kwa ufupi ujumbe wa mwandishi

  1. (a) Kwa mifano dhahiri elezea vipengele viwili vya matumizi ya lugha

(b) Onesha aina mbili za maleba yaliyotumika.

SEHEMU B

UTUMIZI WA LUGHA NA USAHIHI WA MAANDISHI

  1. (a) Eleza maana ya kielezi kwa kutoa mfano wa sentensi moja.

.................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

(b) Kwa kila tungo uliyopewa pigia mstari kielelezi na kisha taja ni cha aina gani

  1. Darasani kuna utulivu mkubwa
  2. Wanafunzi wanaimba kimasihara
  3. Mwalimu amerudi tena
  4. Nitaondoka wiki inayokuja

(c) Fafanua utata uliopo katika sentensi zifuatazo:

  1. Mama anafurahia pango

................................................................................................................................................................................................................................

  1. Mwalimu analima barabara

................................................................................................................................................................................................................................

  1. Alimpigia ngoma

................................................................................................................................................................................................................................

  1. Baba anaunda

................................................................................................................................................................................................................................

  1. Tafadhali nipe sahani ya kulia

................................................................................................................................................................................................................................

  1. (a) Mnyumbuliko ni nini

........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

(b) Kwa kutumia mifano, taja dhima nne za mnyumbuliko katika lugha ya Kiswahili;

........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

(c) Taja kazi nne za lugha katika jamii

  1. ................................................................................................................
  2. ................................................................................................................
  3. ...............................................................................................................
  4. ................................................................................................................

SEHEMU C

SARUFI

  1. (a) Eleza dhima za mofimu zilizopigwa mstari katika maneno yafuatayo:

Sitaki:.....................................................................................................

Amekiondoa.............................................................................................

Wamejiua.................................................................................................

Umesoma..................................................................................................

Mazungumzo.............................................................................................

(b) Eleza maana ya utilahi zifuatazo;

  1. Uambishaji.....................................................................................
  2. Mzizi...............................................................................................
  3. Sarufi.............................................................................................
  4. Kiimbo.............................................................................................
  5. Kitendawili.......................................................................................
  1. (a) eleza njia tano za uundaji wa maneno ya Kiswahili kwa kutoa mfano mmoja kwa kila njia.
  1. ..............................................................................................................
  2. ..............................................................................................................
  3. ..............................................................................................................
  4. ................................................................................................................
  5. ...............................................................................................................

(b) Nyambua maneno yafuatayo katika kauli ya kutendeka

  1. Imba........................................................................................................
  2. Lima........................................................................................................
  3. Oga.........................................................................................................
  4. Piga..........................................................................................................
  5. Soma.......................................................................................................

SEHEMU D

FASIHI KWA UJUMLA

  1. (a) Taja sifa tano (5) za fasihi simulizi;
  1. ..............................................................................................................
  2. ..............................................................................................................
  3. ..............................................................................................................
  4. ................................................................................................................
  5. ...............................................................................................................

(b) Taja vipengele vitano (5) vinavyounda fani katika kazi ya fasihi;

  1. ..............................................................................................................
  2. ..............................................................................................................
  3. ..............................................................................................................
  4. ................................................................................................................
  5. ...............................................................................................................
  1. (a) Makazi ni njia mojawapo za uhifadhi wa kazi za fasihi simulizi. Taja njia tano za uhifadhi kwa kazi za fasihi.
  1. ..............................................................................................................
  2. ..............................................................................................................
  3. ..............................................................................................................
  4. ................................................................................................................
  5. ...............................................................................................................

(b) Fasihi ina umuhimu gani kwa jamii. Taja

  1. ..............................................................................................................
  2. ..............................................................................................................
  3. ..............................................................................................................
  4. ................................................................................................................
  5. ...............................................................................................................

SEHEMU E

UTUNGAJI/UANDISHI

  1. Kwa kutumia mchoro taja sehemu au muundo wa barua ya kikazi.

..................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

..................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

..................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

1 | Page

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 52  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 52  

THE PRESIDENT'S OFFICE

MINISTRY OF REGIONAL GOVERNMENT AND LOCAL GOVERNMENT

AUGUST-SEPTEMBER   EXAMINATION SERIES

KISWAHILI  FORM-2

2020

TIME: 2:30 HRS

SEHEMU A

1.  Soma hadithi ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata:

Katika nchi ya ughaibuni kulikuwa na mfalme mwenye dharau na maringo sana, aliwaona wananchi wake kama wajinga. Watu wake waliishi bila amani na walichukia vitendo vya mfalme wao. Mfalme huyo alikuwa anajigamba kuwa yeye ni tajiri kuliko wafalme wote katika nchi za jirani. Kwa ujumla mfalme huyo alikuwa mnyanyasaji na mwenyekebehi nyingi.

imageimageMfalme alikuwa mwenye kufuru sana, hata alidiriki kutamka kwenye mkutano wa hadhara kuwa hajawahi kuona njaa. Mzee mmoja mwenye busara aitwaye Bwana Adili alimwambia mfalme kuwa asihofu atampeleka mahali njaa inakopatikana. Bwana Adili kwa kukubaliana na mfalme walipanga siku ya safari ya kwenda kumwonesha mahali ilipo njaa. Safari hiyo ilikuwa na masharti kuwa hakuna kula chochote asubuhi na hakuna kubeba masurufu yoyote yakiwemo maji, ingawa Bwana Adili kwa ujanja wake alibeba.

Safari ilianza asubuhi mapema huku mfalme akiwa na furaha kubwa ya kwenda kuona njaa. Walitembea mwendo wa saa zisizopungua ?ita, mfalme akawa amechoka sana akamwomba Bwana Adili wapumzike. Uchovu huo imageulitokana na ukweli kwamba mfalme hakuwahi kwenda mwendo mrefu kwa miguu. Wakati wa mapumziko mfalme alimwomba Bwana Adili maji na mkate lakini Bwana Adili alimnyima, walipumzika kwa muda wa saa moja na safari ikaendelea. Ilipofika jioni mfalme alikuwa amechoka kabisa kwani mwendo ulikuwa mrefu na njaa ilimuuma mno. Walipumzika chini ya mti, mfalme alimuuliza Bwana Adili, mbona hatufiki safari yetu? Bwana Adili hakumjibu chochote bali alichukua mkate akala na kunywa maji, mfalme alihisi njaa kali, alimwomba Bwana Adili mkate na maji lakini alimnyima.

Hali ya mfalme ilizidi kuwa mbaya sana, ndipo Bwana Adili akamwambia nitakupa maji na mkate ule lakini uahidi kwa maandishi kuwa utaacha dharau na majivuno kwa watu. Mfalme alipiga magoti mbele ya Bwana Adili na kuchukua karatasi na kalamu aliyopewa na Bwana Adili na kuahidi kwa maandishi kuwa ataacha kabisa tabia ya dharau na majivuno. Bwana Adili alipokea maelezo ya mfalme na akampa mkate na maji. Mfalme alipomaliza kula alimshukuru sana, ndipo Bwana Adili alipomgeukia mfalme na kumweleza kuwa hakuna maskani ya njaa bali hali aliyokuwa nayo mtu asipokula chakula. Waliporudi mfalme aliitisha mkutano wa hadhara. aliwaomba radhi wananchi wake na tangu siku hiyo mfalme aliishi kwa upendo na wananchi wote.

Maswali

(a)(i)     Bwana Adili alitoa masharti gani ya safari?.........................................

(ii)    Kwa nini Bwana Adili alitoa masharti uliyoeleza katika kipengele

(b)     Toa methali moja inayolingana na fundisho linalopatikana katika hadithi uliyosoma.

(c)     Toa maana za maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika hadithi uliyosoma:

(i)Anajigamba ..................

(ii)Kebehi .....................

(iii) Kufuru ..................

(iv)Masurufu . .......................

 (v) Maskani....................

2.   Andika ufupisho wa habari uliyosoma kwa maneno 60.

SEHEMU B

SARUFI

3. (a) Bainisha aina za maneno yaliyopigiwa mstari katika tungo zifuatazo: Mfano: Sisi tunacheza mpira uwanjani. image

Jibu: Kiwakilishi ... .... ..... ......

(i)Kuku yu bandani . .............

(ii)Maskini! Ameumia! ...............

(iii)Wako hatakiwi hapa .................

(iv)Dagaavva Kigoma ni watamu ................

(v)Mtoto alikuwa anacheza mpira . ..................

(b) Unda vitenzi kutokana na nomino zifuatazo:

(i) Kiumbe                                                

(ii) Pigo  

(iii)Mteule  

(iv)Mlinzi    

(v)Kiongozi

(vi) Mchezo 

(vii) Adhabu

(viii) Muundo  

(ix) Chakula 

(x)  Mtego 

4. Tunga sentensi kwa kutumia aina za maneno zifuatazo:

Mfano: Jina usiku litumike kama kielezi

Wote wawili waliondoka jana usiku image 

(i) Mimi litumike kama kiwakilishi . ................

(ii) Letu litumike kama kivumishi . ...............

(iii) Tutaendelea litumike kama kitenzi kisaidizi .................. 

(iv) Na litumike kama kiunganishi . ..........................

(v) Upendo litumike kama nomino dhahania ..................

SEHEMU C

MATUMIZI YA LUCHA NA USAHIHI WA MAANDISHI

5. (a) Andika kwa usahihi maneno yaliyokolezwa wino kama yalivyotumka katika tungo zifuatazo:

(i) Mashirikiano ni muhimu kwetu .................

(ii) Mimi ni mwanainji wa Tanzania ...............

(iii)Mama anakaaga jikoni anapopika ............

(iv) Hakuna mapungufu yaliyojitokeza ........

(v) Hajafika mwanafunzi yoyote leo ..................

(vi) Huyu ni rafiki angu.................................

(b)     Eleza maana mbili kwa kila tungo.

(i) Mama anaota.

(ii)Tafathali nipe sahani ya kulia.

(iii)Vijakazi wanalima barabara.

(iv)Amekanyaga mtoto.

(v) Shangazi anawachezea wanangu.

6. (a)     Andika KWELI kama sentensi ni sahihi au SIO KWELI kama sentensi si sahii
 (i) Tafadhali mpikie ugali. Hii ni tungo tata ......... 

(ii) Kifaa kinachotumika kulia chakula kiitwacho uma wingi wake ni uma ... ... ...

(iii) Rejesta ni misimu ya Kiswahili . 

(iv) Amekula chumvi nyingi. Hii ni nahau 

(v) Mbili kutwa mara tatu. Ni rejesta ya kujifunza hesabu ........

(b) Eleza kwa kifupi dhima tano za lugha katika jamii.

 

SEHEMU D

FASIHI SIMULIZI

7. (a) Eleza kwa kifupi maana ya dhana zifuatazo:

(i) Shairi .............

(ii)Vichekesho ... ... ...

(iii)Ngonjera ... ......

(iv)Visasili .............

(v) Mapingiti ..............

8.   Jaza nafasi iliyoachwa wazi kukamilisha methali zifuatazo:

(i) Samaki mkunje ........................

(ii) ............njaa mwana malegeza. 

(iii) ..........hutanda na kuyeyuka. 

(iv)  Ajidhaniaye kasimama .........

 (v) ...........usiilalie mlango wazi.

 9.  Soma shairi lifuatalo kisha jibu maswali yanayofuata:

Mwanafunzi ikibali, mbeleya wako mwalimu.

Katika siku si mbali, utakuwa aalimu,

Kujitia baradhuli, baadaye ulaumu,

Mbeleya wako mwalimu, mwanafunzi ikibali.

Usijifanye kiburi, kujifanya chakaramu,

Hiyo wanaita shari, ndaniyake ina sumu,

Hivi hauna habari, heshima kitu adimu,

Mbeleya wako mwalimu, mwanafunzi ikibali.

Katika hii sayari, namba moja ni elimu,

Usiipate sufuri, kisha hapo ulaumu,

Maisha haya safari, mwana kitu adimu,

Mbeleya wako mwalimu, mwanafunzi ikibali.

Ni walezi mashuhuri, hivyo wana umuhimu, 

Wameishika nambari, kutokana na kalamu, 

Usimwendeshe chuchuri, uidumishe nidhamu, 

Mbeleya wako mwalimu, mwanafunzi ikibali.

Mwalimu baba na mama, hilo wazi ufahamu,

Hivyo tazama ndarama, zisisababishe-ghamu, 

Neno hili ni la zama, shika nakupajukumu,

Mbeleya wako mwalimu, mwanafunzi ikibali.

Sitapenda kukuchosha, kwa mengi kukushutumu, image

Nakutakia maisha,ya shuleyenye utamu,

Ili upate bashasha,na mema kutakadamu,

Mbeleya wako mwalimu, mwanafunzi ikibali.

MASWALI

(i)Mtunzi wa shairi hili anatoa ujumbe gani?

(ii)Ni mambo gani matatu ambayo mwanafunzi unatakiwa imagekuyaepuka kama yalivyoelezwa katika shairi ulilosoma?

(iii) Bainisha kituo bahari katika shairi ulilosoma.

(iv)Bainisha vina vya kati na vya mwisho vya shairi ulilosoma.

(v)Mshairi ana maana gani anaposema, Neno hili ni la zama, shika nakupa jukumu.”

(vi) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika shairi ulilosoma:

  • Ikibali ..... ... .
  •  Baradhuli ...........
  • Kutakadamu .........
  •  Chuchuri .........
  • Bashasha .........

SEHEMU E : UANDISHI WA INSHA/UTUNGAJI

10. Wewe ni miongoni mwa Watanzania wanaopenda kuishi maisha marefu, hivyo unakerwa sana na tatizo la ajali za barabarani. Andika barua kwenye gazeti la Uhuru ukipendekeza kwa serikali hatua gani zichukuliwe iii kuthibiti ajali za barabarani. Toa hoja tatu tu.

 

 

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 34  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 34  

THE PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, LOCAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

KISWAHILI- BACK TO SCHOOL EXAMINATION-JUNE

FORM TWO

Time 2:30 Hours JUNE 2020

Maelekezo

1. Karatasi hii in sehemu A, B, C, D na E zenye jumla ya maswali kumi (10) .

2. Jibu maswali yote .

3. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa.

4. Majibu yote yaandikwe kwa kaalamu yenye wino wa bluu au mweusi.

5. Vifaa vyote vya mawasiliano visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani.

6. Andika Namba yako ya Mtihani katika kila ukurasa sehemu ya juu upande wa kulia.

SEHEMU A

1. Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata.

Siku zote madereva hupambana na hatari mbalimbali wanapoendesha magari yao barabarani. Hatari hizo husababishwa na obuvu wa magari, uzembe wa waenda kwa miguu na hali ya barabara yenyewe. Kusudio la Taifa siku zote ni kuwa na dereva wa kujihami, ambaye atahakikisha usalama barabarani wakati wote.

Dereva bora lazima awe na utaalamu wa kutosha katika kazi yake, awe na mbinu kadhaa za kutumia katika kukwepa ajali na kujiokoa yeye, gari lake na watumiaji wengine wa barabara. Lazima uwezo wake wa kuhisi na kutambua hatari uwe mkubwa. Asiendeshe kwa kudhani au kubahatisha, bali awe na uhakika. Angamue hatari mapema na aamue kukwepa hatari na vikwazo vya barabarani.

Si hivyo tu, bali pia ajitahidi kuepuka hatari na kuzuia janga kutokea. Ajifunze na atumie mbinu mbalimbali wakati ufaao. Aendeshe kwa kufikiri mbele zaidi na akihisi tatizo atekeleze maamuzi mara moja. Asingojee yatokee, aepushe shari, asiwaze kuwa dereva mwenzake ndiye atasimama bali asimame yeye.

Wanafunzi wanaokwenda shuleni na wazee wamo hatarini zaidi kuliko watu wazima. Hivyo, ni muhimu watu hao walindwe na wafundishwe juu ya usalama barabarani. Kwa hiyo waendesha vyombo vya moto, wahakikishe ubora wa afya zao kabla ya kuendesha. Aidha, magari yakaguliwe mara kwa mara ili yasisababishe ajali za barabarani. Tukizingatia hayo ajali za barabarani zitapungua kama siyo kuisha kabisa.

MASWALI

(a) "Dereva bora ni yule anayejihami." Usemi huo una maana gani?

(b) (i) Usalama barabarani unamhusu nani hasa?

(ii) Taja watumiaji wawili wa barabara ambao wapo hatarini zaidi wawapo barabarani kulingana na habari uliyosoma.

(c) Orodhesha hatari tatu anazokumbana nazo dereva anapokuwa barabarani.

image(d) Pendekeza kichwa cha habari kinachofaa kwa habari uliyosoma kisichozidi maneno matano.


2. . Fupisha habari uliyosoma kwa maneno yasiyopungua sitini (60).

SEHEMU B

SARUFI

3. Eleza dhima mbili kwa kila mofimu iliyopigiwa mstari

(a) Mama atakuja kesho.

(b) Mti umeanguka.

(c) Mwalimu alimfundisha Juma.

(d) Ninakupenda.

(e) Sitakuja shuleni kesho.

4.Eleza kazi moja ya mofimu tegemezi iliyopigiwa mstari katika maneno yafuatayo. (i) Alicheza

(ii)Tunasoma

(iii)Hawachezi

(iv)Anayepika

(v)Huandika

SEHEMU C (Alama 20)

MAWASILIANO NA UTUMIZI WA LUGHA

5. Onesha rejesta zifuatazo hutumika katika mazingira gani.

(a) Mimi kuku ugali moja, huyu wali maharage na wale pale Ng’ombe.

……………………………………………………………………………………………....

……………………………………………………………………………………………....

(b) Zuia babu, kula hivyo vichwa vitatu.

……………………………………………………………………………………………....

……………………………………………………………………………………………....

(c) Napenda kujibu swali la nyongeza la Mheshimiwa kama ifuatavyo.

……………………………………………………………………………………………....

……………………………………………………………………………………………....

(d) Ndugu Madongo Kuinuka unatuhumiwa kwa kosa la jinai la kuiba mali ya umma.

……………………………………………………………………………………………....

……………………………………………………………………………………………....

(e) Jipatie mahitaji ya jikoni, nyanya, vitunguu, karoti, hoho, pilipili na ndimu vyote vipo.

……………………………………………………………………………………………....

……………………………………………………………………………………………....

6.Eleza maana ya lugha fasaha kisha onesha madhara manne (4) yanayoweza kutokea endapo mtumiaji wa lugha hatatumia lugha fasaha.

SEHEMU D (Alama 30)

FASIHI KWA UJUMLA

7. Kamilisha methali zifuatazo:

(a) Hakuna masika ..……………………………………………………………………………

(b) Mchonga mwiko ……………………………………………………………………………

(c) Chanda chema ...……………………………………………………………………………

(d) Asiyefunzwa na mamaye ..…………………………………………………………………

(e) Dalili ya mvua ...……………………………………………………………………………

8.(a) Soma shairi lifuatalo kisha jibu maswali yanayofuata.

Haya shime tuitane, sote tushirikiane,

Wala tusitegeane, kwa pamoja tushikane, Aliye mwoga anene, kabisa tusigombane, Tutie jembe mpini tuteremke shambani.

Njaa ikituvamia, sote tutaangamia,

Hakuna cha kungojea, lazima kuizuia, Si kitu cha kuchezea, mbona itatuumbua?

Tutie jembe mpini, tuteremke shambani.

MASWALI

(i)Shairi hili lina beti ngapi? (ii)Kila mshororo wa kila ubeti una mizani ngapi?

(iii)Kina cha kati cha ubeti wa pili ni kipi?

(iv)Kibwagizo cha shairi hili ni kipi?

(v)Shairi hili lipo katika kundi gani la mashairi?

(b) Baioisha tanzu ya kila kipera kwa vipera vya fasihi simulizi vifuatavyo:

Ci) Utani (ii) Miviga

(iii)Tenzi

(iv)Kisasili

(v)Ngano

9.(a) Taja sehemu kuu tatu za kitendawili.

(b) Taja wahusika wawili wa kitendawili.

(c) Mbali na fasihi, taja aina nyigine tano za sanaa.

SEHEMU E (Alama 15)

UANDISHI WA INSHA/UTUNGAJI

10. Kwa kuzingatia hoja nne, andika insha isiyopungua maneno mia moja na hamisi (150) na

isiyozidi maneno mia mbili (200) kuhusu Umuhimu wa Lugha ya Kiswahli.

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 28  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 28  

MTIHANI WA NUSU MUHULA KISWAHILI KIDATO CHA PILI

MUDA : SAA 2:00       APRIL, 2020

MAELEKEZO:

  • Mtihani huu una sehemu A,B,C,D na E.
  • Jibu maswali yote katika sehemu zote
  • Majibu yote yaandike kwenye nafsi zilizowekwa.

SEHEMU A :UFAHAMU

1. Soma kifungu cha habari kifuatacho, kasha jibu maswali yanayofuata, kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi.

Afrika ni bara tajiri lenye rasilimali nyingi na adhimu. Utajiri wa bara hilo hauendani na utajiri wa wenyeji wa bara hilo, yaani waafrika. Yapo mambo mengi yanayosababisha mambo mbalimbali yaende ndivyo sivyo. Yapo ya kihistoria, kiuchumi, kisiasa na kiutawala.

Nchi mbalimbali za kiafrika hukabiliwa na majanga lukuki . majanga hayo tunaweza kuyagawa katika aina kuu mbili, nayo ni majanga ya asili na “majanga watu”. Majanga ya asili ni kama vile tetemeko la ardhi, mafuriko, ukame, mlipuko wa volcano na vimbunga. Majanga haya hutokana na nguvu za asili za dunia ambazo zipo juu ya uwezo wa binadamu. Aidha, “majanga watu” ni kama vile rushwa, matumizi mabaya ya madaraka, upendeleo, ufujaji wa mali ya umma, matumizi mabaya ya rasilimali za nchi, wivu, choyo na ubinafsi.

Haya yote uwepo wake hutokana na harakati za binadamu katika jamii husika. Kuna watu katika mfumo wa serikali hufumba macho na kuyaziba masikio ili wasione na kusikiliza kilio cha walalahoi. Kati ya watu hao likuki nchini, anajitokeza shujaa mwokozi. Shujaa huyu anaizunguka nchi yake nzima kujinadi kuwa yeye ni mzalendo,atawatoa kutoka nchi dhalimu na kuwavusha kwenye bahari ya misukosuko na mazila mengi hadi kwenye nchi tulivu ya asili na maziwa. Sauti kali inamtoka, ikipasua miamba na kuvunja kila aina ya hofu na uovu wa maneno. Sauti ilijipenyeza masikioni hadi mioyo ya wanajamii kote nchini. Wananchi wake wakampenda na kujipatia tumaini jipya. Hivyo, basi kwa kutumia “vichinjio” vyao wakakata shauri kumpa nafasi ili hatamu aishike. Ama kweli, tabia ni kama ngozi ya mwili, haibadiliki.

Maswali 

(i) Kichwa cha habari chafaa kuwa:- 

A. Utajiri wa Afrika 

B. Uongozi mbaya Afrika 

C. Uchumi wa nchi za Afrika 

D. Rasilimali za Taifa 

(ii) Majanga watu yanaweza kuwakilishwa na:- 

A. Rushwa na mafuriko

B. Ufisadi na ubinafsi

C. Uchoyo na Kimbunga 

D. Ukabila na volcano.

(iii) Majanga ya asili katika jamii ni kama vile:- 

A. Radi na mafuriko   B. Tetemeko la ardhi na ufisadi

C. Kimbunga na ukabila  D. Choyo na wivu. 

(iv) Neno walala hoi lina maana gani kama lilivyo tumika kwenye habari? 

A. Watu wliochoka sana 

B. Watu wanaolala wakiwa hoi 

C. watu maskini wa kipato cha chini 

D. Watu walioumia sana 

(v) Rasilimali za nchi ni kama vile 

A. Misitu ina wanyamapori

B. Gesi asilia na majengo 

C. Hifadhi za taifa na viwanda 

D. Madini na biashara

(vi) Kulifumbia macho jambo maana yake ni:- 

A. Kufumba macho 

B. kuliziba jambo Fulani 

C. Kutoliona jambo Fulani 

D. Kupuuza na kutolizingatia jambo Fulani.

(vii) Shujaa kujinadi kuwa yeye ni mzalendo; maana yake ni:-

A. mgombea wa nafasi ya uongozi kuwa mzalendo

B. shujaa kuwa na uzalendo wa kweli katika jamii 

C. Mgombea nafasi ya uongozi kuwashawishi wananchi ili wamchague ili apambanie hali zao nay a nchi 

D. Shujaa kujinadi kwa mbwembwe na maneno mengi ya ushawishi

(viii) Baadhi ya wanajamii waliopewa dhamana ya kuongoza jamii zao wanalaumiwa kwa:- 

A. Kutenda kinyumbe na ahadi walizotoa 

B. Kuwa wazalendo na wapambanaji.

C. Kuanguka nchi nzima kujinadi 

D. Kupenda nchi na jamii yao 

(x) Mwandishi anatuambia nini katika habari hii?

 A. Majanga watu ni mengi sana.

 B. Viongozi wajinadi nchi nzima ili wapewe fursa. 

 C. Bara la Afrika lina rasilimali nyingi.

 D. Ili kujenga jamii mpya na bara ni lazima kuyaondoa majanga watu 

(x) Bahari ya misukosuko na madhila mengi kama ilivyotumika kwenye habari, maana yake ni:- 

A. Nchi zenye matatizo na mahangaiko mengi 

B. Nchi yenye bahari nyingi 

C. Nchi yenye faida nyingi 

D. Nchi yenye rasilimali mbalimbali.

 

Andika ufupisho wa habari ulivyoisoma kwa maneno kati ya 50 na 70.

……………………………………………………………………………………………………………………………………….

………………………………………………………………………………………………………………………………………..

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………………………………………...

SEHEMU B:20%

UTUMIZI WA LUGHA NA USAHIHI WA MAANDISHI.

Eleza umuhimu na kutumia lugha fasaha

(i) ………………………………………………………………………………………………………………………………..

(ii) ……………………………………………… ………………………… ………………………………………...

(iii) ………………………………… ………………………………… ………………………………………..

(iv) …………………………………… ………………………………… ………………………………...

(v) ……………………………… …………………………………………… ……………………………….

Eleza kwa mifano dhima tano (5) muhimu za lugha katika mawasiliano.

(i) ……………………………………… ……………………………… ……………………………… ……

(ii) ……………………………… ………………………………… ……………………………………

(iii) …………………………………… ………………………… …………………………………

(iv) ……………………………………… ………………………………… ……………………………………………

(v) …………………………… ……………………………………… ………… ……………………………

 

(a) Tambulisha maeneo ya asili wanayotoka wazungumzaji wa Lugha zifuatazo:-

(i) Aisee chalii wangu twende zetu ngarenaro.

………………………………………………………………………………………………………………………………

(ii) Chamaki nchanga kimbanika njuli chana

 ………………………………………………………………………………………………………………..

(iii) Aroo nenda nenda kure karare

 …………………………………………………………………………………………………………………

(iv) Aise Mangi siku hisi biashara ni mbaya ni mbaya kweli

 …………………………………………………………………………………………………………………

(v) Mwe! Mihogo imecheleza balaha shambani 

 …………………………………………………………………………………………………………………

  (b) Tambulisha itaofa wa wazungumzaji wa lugha zifuatazo:-

 (i) Mtoto yako inaishi fashi gani?

  ……………………………………………………………………………………………………………………

 (ii). Am ! am ! sisi iko kuja Tansazia mara kwa mara 

  ……………………………………………………………………………………………………………………

 (iii) Bibi yangu inaishi na nyanya yangu kule Kaunti. 

  ……………………………………………………………………………………………………………………

 (v) Chijana vuipi? Jikaza Chiume 

  ……………………………………………………………………………………………………………………

SEHEMU C: 25%

SARUFI.

taja aina za maneno yaliyopigiwa mstari katika sentensi zifuatazo:

(i) Amina ndiye aliyeleta hii zawadi

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

(ii) Kuimba kwake kumemfurahisha Kasisi 

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

(iii) Chumbani kumevurujika 

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

(iv) Nenda nje ukapunge hewa 

 ……………………………………………………………………………………………………………………………..

(v) Hata wewe umekosea 

 …………………………………………………………………………………………………………………………….

 

Toa maana ya maneno yafuatayo na kasha kila neno ulitungie sentenzi moja.

(i) Vipukusi.

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

(ii) Barakoa 

……………………………………………………………………………………………………………………………..

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

(iii) Kiwiko 

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

(iv) Corona 

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

(v) Karantini 

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

 ………………………………………………………………………………………………………………………………

Eleza kwa mifano dhima tano za mofimu:

  1. ……………………………………………………………………………………………………………………
  2. ……………………………………………………………………………………………………………………
  3. ……………………………………………………………………………………………………………………
  4. ……………………………………………………………………………………………………………………
  5. ……………………………………………………………………………………………………………………

SEHEMU D:

FASIHI SIMULIZI 15%

 

Eleza sifa tano bainifu za fasihi simulizi.

  1. ……………………………………………………………………………………………………………………
  2. ……………………………………………………………………………………………………………………
  3. ……………………………………………………………………………………………………………………
  4. ……………………………………………………………………………………………………………………
  5. ……………………………………………………………………………………………………………………

SEHEMU E:15%

UANDISHI.

Andika barua kwa mdogo wako anayeishi Mwanza na umwelezee tahadhari ya kupambambana na homa kali ya mapafu ya “Covid 19”. Anuani yako ni, S.L.P 120, Tanga na anuani ya mdogo wako ni S.L.P 112, Mwanza.

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 10  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 10  

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256