OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUMALIZA NUSU MUHULA KIDATO CHA KWANZA
HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI 2025
MUDA 2:30
MAELEKEZO
1. Karatasi hii Ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi 10
2. Jibu maswali yote kwenye nafasi ulizopewa
3. Sehemu A na C Zina alama kumi na Tano (15) Kila na sehemu B Ina alama sabini (70)
4. Zingatia maelezo ya Kila sehemu na ya Kila swali
5. Andika jina lako juu ya karatasi hii.
SEHEMU A. Alama 15
1. Chagua jibu sahihi kutoka machuguzi uliopewa kwa vipengele (i)- (x) kasha andika jibu lake katika nafasi uliopewa.
i) Somo la historia ya Tanzania na maadili linaundwa na dhana kuu mbili nazo ni
ii) Ni miongozo inayotawala tabia na matendo ya mtu mmoja mmoja au jamii kwa ujumla. dhana hii imebebwa na neno
iii) Neno maadili linapotumika huweza pia kuashiria au kuimarisha Tunu za jamii au taifa ni zipi Kati ya zifuatazo
vi) Tunaweza kuwakaribisha wageni kwa furaha na kuwapa heshima kubwa ikiwa pamoja na kukirimiwa kwa
v) Mazingira ya kiliografia yanaweza kuathiri shughuli za binadamu kama vile
vi) Kwa kutumia uchambuzi wa makabila Tanzania ni nchi yenye makundi ya makabila yote yanayopatikana barani Afrika makundi hayo ni
vii) Kihistoria kundi kubwa la tatu la watanzania ambalo ni jamii ya wafugaji walioingia nchini Tanzania wakitokea kusini mwa sudani ni
viii) Jamii za wakushito zinahusisha makabila kama
ix) Kwa hapa Tanzania jamii za Wanilo ni kama
x) Morani ni kundirika katika jamii ya kimasai la vijana wenye umri Kati ya miaka
A) 18 na 35
B)18 na 40
C)18 na 60
D) 18 na 80
2. OANISHA JIBU LA ORODHA 'A' NA JIBU LA ORODHA 'B'
ORODHA A | ORODHA B |
|
|
SEHEMU B. Alama 70
Jibu maswali yote katika sehemu hii
3. Mkude ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya wavulana buingu . Ameshindwa kuelewa maana ya maneno yafuatayo kwenye somo la historia ya Tanzania na maadili. Msaidie kumuelezea maana ya maneno hayo.
a) Tunu za taifa
b) maadili
c) Jiografia
d) Jamii
e) wajibu
4. Ukiwa kama mwanafunzi wa kidato cha kwanza mkondo A waelezee wanafunzi wenzako umuhimu wa kuwa na maadili katika jamii na taifa kwa ujumla.
5.Warioba ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza alichaguliwa na jamii yake kuelezea namna ambavyo vijana wanaweza kujengwa kwa kuwa na tabia njema. Msaidie warioba katika kuwaeleza vijana vitu vinavyojenga tabia njema katika jamii zetu nukta Tano.
6. Ukiwa Kama mwanafunzi kutoka shule ya sekondari chekeleni. waelezee wanafunzi wenzio kwanini jamii za Asili ya kitanzania zilihama kutoka eneo Moja kwenda eneo jingine nukta Tano
7. Kwa kutumia nukta Tano tofautisha jamii za Asili za wakichembe na jamii za Asili za kibantu.
8. Kwa kumtumia mtaalamu "EMILE DURKHEIM" (1884) Toa dhana ya neno 'Jamii'
9. Eleza Tofauti iliyopo Kati ya maadili yaliyojengwa katika jamii za Asili na jamii za sasa za kitanzania
SEHEMU C Alama 15
Jibu swali la kumi
Bainisha changamoto za kukuza maadili katika jamii unamoishi na Kisha toa mapendekezo ya jinsi ya kuzitatua.
FORM ONE HISTORIA EXAM SERIES 201
FORM ONE HISTORIA EXAM SERIES 201