FORM ONE KISWAHILI EXAMS SERIES

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KISWAHILI KIDATO CHA KWANZA.

MUHULA WA KWANZA

MAELELKEZO

  1.               Mtihani huu una sehemu A,B,C,D na E.
  2.               Jibu maswali yote.

 

  1.         Chagua herufi ya jibu sahihi katika vinpengele i-x andika herufi ya jibu sahihi katika jedwali.
  1.             Neno chachandu lina silabi ngapi?
  1.         Tatu
  2.          Nne
  3.         Tano
  4.         Tisa
  1.           Mwanafunzi hodari anasoma. Neno lililo pigwa mstari lni aina gani ya neno?
  1.         Nomino
  2.          Kielezi
  3.         Kivumishi
  4.         Kiwakilishi
  1.         Ili mawasliano yawe mazuri wazungmzaji wanatakiwa kutumia.....
  1.         Lugha ya kiswahili
  2.          Lugha ya taifa
  3.         Lugha fasaha
  4.         Lugha asili
  1.         “nimemkuta hayupo” hili nio kosa la:..
  1.         Maana
  2.          Mantiki
  3.         Matamshi
  4.         Muundo
  1.           Wingi wa neno shule ni:-
  1.         Shuleni
  2.          Mashule
  3.         Vishule
  4.         Shule
  1.         Nahau inayosema “amevaa miwani” Inamaanisha nini?
  1.         Amependeza
  2.          Ana makengeza
  3.         Amelewa
  4.         haoni
  1.       “a,e,i,o,u, hizi ni
  1.         Irabu
  2.          Silabi
  3.         Konsonati
  4.         Sentensi
  1.     ...... ni neno kuanzia moja na hutoa ujumbe kamili.
  1.         Herufi
  2.          Sentensi
  3.         Silabi
  4.         Kosonati.
  1.         Tulicheza ngoma na kuimba usiku kucha. Katika sentensi hiii watenda ni nafsi ipi?
  1.         Ya tatu wingi
  2.          Ya pili wingi
  3.         Ya kwanza wingi
  4.         Ya kwanza Umoja
  1.           Neno lipi ni tofauti na mengine?
  1.         Sahibu
  2.          Ajuza
  3.         mwandani
  4.         mwenzi

2. Oanisha nahau zilizo katika Orodha A na maana zake katika Orodha B.

ORODHA A

ORODHA B

(i)            Ameoa

  1.         Ana mkono mrefu
  2.          Kula mlungula
  3.         Mtu mwenye ndimi mbili
  4.         Atalijia jiji
  5.          Kapata jiko
  6.          Kula pilau
  7.         Na kuolewa

 

(ii)          Shauri yako

(iii)        Ni mwizi

(iv)        Kula rushwa

(v)          kigeugeu

SEHEMU B

3a) Taja matumizi matano ya kamusi

b) Eleza maana ya 

  1.             kidahizo
  2.           kitomeo

4. Kwa kutumia kiswahili sanifu, panga sentensi zifuatazo kwa ufasaha.

  1.             Mtoto kizuri amekuja
  2.           Anakujaga kila siku
  3.         Siwezi kukimbia nina kufua
  4.         Mbuzi zangu zinaumwa
  5.           Chai imeingia nzi

 

SEHEMU C

5. Tunga sentensi moja kwa kila neno lililopigiwa mstari kwa kufuata maelekezo.

  1.             Vizuri kama kiwakilishi
  2.           Vizuri kama kivumishi
  3.         Vizuri kama kielezi
  4.         Mama kama nomino
  5.           Mama kama kuhisishi

 

6.     Bainisha vitenzi vilivyotumika katika sentensi zifuatazo

  1.             Mtoto amekwisha oga
  2.           Yeye hakutaka kunisikiliza
  3.         Bibi anakula ugali
  4.         Tutaendelea kuomba mpaka tupewe
  5.           Mimi nilikua nalilia sana

 

SEHEMU D

7.   Kamilisha kielelezo kufuatacho juu ya matawi ya sanaa 


 

8    Taja dhima tano za fasihi

9.  a)Taja vipengele vitano vinavyounda fani na vipengele vitano vinavyounda maudhui

b)Taja tofauti tano kati ya fasihi simulizi na fasihi andishi

SEHEMU E.

10  Andika barua kwa mama yako umuombe aje akuchukue shuleni mara tu utakapo maliza mitihani yako ya muhula wa kwanza 

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 175  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 175  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA

UPIMAJI WA KIDATO CHA KWANZA NUSU MUHULA

MACHI -2024

KISWAHILI

SEHEMU A: UFAHAMU

Alama 15

  1.      Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata

        UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini. Upungufu huu wa kinga mwilini husababishwa na aina ya virusi vinavyo shambulia chembechembe hai nyaupe zilizomo ndai ya damu. Chembechembe hizo nyeupe za damu ndizo zinazojenga kinga ya mwili dhidi ya majonjwa. Uharubifu wa chembechembe hizo baadaye hufikia kiwango ambacho huufanya mwili upoteze kinga yake dhidi ya maradhi. 

       Virusi hivyo vinashambulia chembechembe nyeupe ndani ya damu vimepewa jina la Virusi vya UKIMWI, Kwa kifupi (VVU). Katika mwili wa binadamu virusi hivi huishi katika majimaji ya mwilini.

      Virusi vya ukimwi sio UKIMWI, kuna tofauti kubwa kati ya mtu mwenye VVU na mgonjwa wa UKIMWI. Kama ilivyoelezwa VVU ni Virusi ambavyo hushambulia chembechembe hai nyeupe zinazojenga na kulinda mwili, lakini UKIMWI ni ile hali ya mtu kukosa kinga ya mwili kiasi kwamba akipata ugonjwa wowote, unamshambulia sana na haponi kwa haraka.

       Baada ya kuambukizwa mtu anaeza kuishi na VVU hata miaka kumi bila kuonyesha dalili yoyote ya ugojwa wa UKIMWI. Hivyo huezi kujua kama mtu ana VVU kwa kumangalia kwa macho tu. 

Maswali

  1.             Andika kichwa cha habari kinachofaa kwa habari uliyoisoma, kisichozidi maneno matano
  2.             Andika kirefu cha UKIMWI
  3.             Virisi vya UKIMWI vina madhara gani mwilini mwa binadamu?
  4.             Kuna tofauti gani kati ya UKIMWI na VVU?
  5.             Fafanua kazi ya chembechembe nyeupe za damu katika mwili wa binadamu.

 

SEHEMU B: SARUFI

Alama 30

2.  Elezea maana ya maneno yafuatayo

  1.             Nomino
  2.             Kitenzi
  3.             Kielezi
  4.             Kuvumishi
  5.             Kihisishi

3. Ainisha maneno yaliopigiwa mistari katika tungo zifuatazo.

  1.     Mti mkavu umekatwa
  2.  Banda la kuku limejengwa vibaya
  3.                         Wanafunzi  wangu wamefaulu mtihani
  4.                         Yule ni mwizi
  5.   Twiga hutembea kwa madaha

4.  Taja aina nne za sarufi

SEHEMU C: MAWASILIANO NA MATUMIZI YA LUGHA

Alama 30

5. Eleza madhara matano yatakayojitokeza endapo mtimiaji wa lugha hatatumia lugha fasaha

6. Kwa sentensi zifuatazo andika kweli au si kweli

  1.     Lugha ni kitambulisho muhimu cha jamii
  2.  Fani na maudhui ni anyanja kuu za lugha
  3.                         Umbo, sauti na mpangilio na maana ni tanzu ne za sarufi
  4.                         Mawasiliao ya binadami hutunia zaidi vyombo vya habari na simu tu
  5.   Lugha hubadilika kutokana  na mazingira

7. Maneno yafuatayo yana maana zaidi ya mbili kwa kila neno. Taja maaana mbili lwa kila neno

  1.     Tende
  2.  Paa
  3.                         Nyanya

8. Eleza faida nne za kutumia lugha fasaha

 

SEHEMU D: FASIHI KWA UJUMLA

Alama 10

9. Tegua Vitendawili vifuatavyo.

  1.                Gari langu halitumii mafuta
  2.                Napigwa faini kosa silijui
  3.                Kamba yangu ndefu lakini haifungi kuni
  4.                Ukiona njigi utazani njege na ukiona njege utazani njigi
  5.                Nyumba yangu ndogo lakini wapangaji wengi
  6.                Nasika mkeka lakini nalala chini
  7.                Kila aendako huacha alama
  8.                Nikimpiga mwanangu watu hucheka
  9.                Anatembea na nyumba yake
  10.                Nyumba yangu ina nguzo moja

 

 

SEHEMU E: UANDISHI WA INSHA / UTUNGAJI

Alama 15

10.  Mwandikie barua rafiki yako umwelezee hali halisi ya masomo ilivyo shuleni kwenu.

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 163  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 163  

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA

KIDATO CHA KWANZA

KISWAHILI NOVEMBA 2023

Muda: 2:30

MAELEZO 

  1. Mtihani huu una sehemu A, B na C
  2. Jibu maswali yote. Ikiwa na maswali 6
  3. Simu za mkononi haziruhusiwi katika chumba cha mtihani

SEHEMU A (Alama 30)

1. Chagua jibu sahihi katika maswali yafuatayo;

  1. Ni kiambishi kipi kinachodekeza ukanushi kati ya vifuatavyo
  1. Wa-
  2. Sh-
  3. –a
  4. Si-
  5. Na-
  1. Ni kauli inayotumia maneno ya kawaida lakini hutoa maana tofauti kabisa na iliyopo kwenye maneno yale.
  1. Mafumbo
  2. Nahau
  3. Misemo
  4. Semi
  5. Hadithi
  1. Neno lipi kati ya haya yafuatayo halihusiani na ushairi?
  1. Mshororo
  2. Kipande
  3. Bahari
  4. Dayalojia
  5. Muwala
  1. Nyenzo kuu za lugha ya mazungumzo ni
  1. Usimuliaji
  2. Mdomo
  3. Maandishi
  4. Vitendo
  5. Ishara
  1. Tamadhali inayofanya kitu kisicho na uhai kutenda kama binadamu
  1. Sitiari
  2. Tashihisi
  3. Tashibiha
  4. Mubalaga
  5. Takriri
  1. Silabi zinazotokea katikati au mwishoni mwa kila mstari wa shairi huitwa.
  1. Vina
  2. Mizani
  3. Sitiari
  4. Vituo
  5. Sauti
  1. Juma ameenda Dodoma. Neno Dodoma limetumika kama
  1. Kihisishi
  2. Nomino
  3. Kiwakilishi
  4. Kielezi
  5. Fani
  1. Bosi samahani, kuna barua hapa. Mtindo huu wa mazungumzo unatumika wapi?
  1. Ofisini
  2. Kiwandani
  3. Shambani
  4. Kanisani
  5. Shuleni
  1. Dhana ipi kati ya hizi zifuatazo haina maana zaidi ya moja?
  1. Kaka amefua nguo
  2. Nipe sahani ya kulia
  3. Eva amenunua kanga
  4. John amempigia mpira
  5. Zote hapo juu
  1. Konsonanti na Irabu ni
  1. Herufi kuu
  2. Fonimu
  3. Tanzu za lugha
  4. Sauti
  5. Vitamkwa

2. Oanisha dhima za nyimbo za fasihi simulizi zilizo katika Orodha A na aina za nyimbo kutoka Orodha B. Kisha andika herufi ya Jibu sahihi katika kisanduku ulichopewa.

ORODHA A

ORODHA B

  1. Husimuliwa kama mifano ya kuadiri watu
  2. Husimulia chimbuko la asili ya kitu fulani
  3. Husimulia kwa nia ya kuchekesha na kukejeli
  4. Husimulia kwa lengo la kuwaasa watoto
  5. Husimulia kuhusu matukio ya kihistoria
  1. Soga
  2. Tarihi
  3. Vigano
  4. Visasili
  5. Hadithi
  6. Mizungu
  7. Ngano

3. Tumia mofimu zifuatazo kuonesha thamani ilizopewa katika paradise Mfano Li- Kuonesha wakati uliopita (Aliondoka)

  1. ta - kuonesha wakati ujao   
  2. o - kuonesha mzizi wa neon -  
  3. ni - kuonesha kitenzi kishirikishi-  
  4. ku- kuonesha urejesho kwa mtendwa-  
  5. ki - kuonesha udurushaji -  
  6. me - kuonesha hali timilifu -  
  7. kwa - kuonesha mahali -  
  8. a - kuonesha nafsi -  
  9. ka - kuonesha kauli ya kutendeka -  
  10. ku - kuonesha wakati uliopita -  
  1. (a) Maneno katika lugha yana dhima mbalimbali bainisha aina ya vivumishi katika tungo zifuatazo.
  1. Shamba la bibi limeota nyasi
  2. Gari dogo limepata ajali
  3. Nyumba yetu ni nzuri sana
  4. Kile kiatu ni cha mtoto
  5. Wanafunzi wangapi wanapenda mayai?

(b) Badilisha nomino zifuatazo kuwa vitenzi

  1. Wimbo
  2. Umbo
  3. Kilio
  4. Mtoro
  5. Mlo
  1. Toa maana mbili kwa kila neno
  1. Mbuni
  2. Mto
  3. Ota
  4. Pepo
  5. Shuka
  1. (a)Taja alama (5) tano za uakifishaji na kisha utoe dhima moja kwa kila alama.

(b)Kamilisha mchoro ufuatao wa vipera vya ushairi

  1. Mzee kimwaga ni fanani mahiri ambaye kila jioni hukaa na wajukuu zake na kuwatolea vitendawili. Jana amewapa vitendawili vitano lakini hakuna anayoweza kuvitegua. Tumia utaalamu wako uliopata kwenye somo la fasihi kuvitegua.
  1. Yey anatuona , sisi hatumuoni
  2. Popote niendapo ananifuata
  3. Nyumba yangu haina mlango
  4. Kitu kidogo kimemtoa maflame kitini
  5. Mzazi ana miguu bali mzaliwa hanayo
  1. Utata usababishwa na mambo mengi. Toa maana mbili katika maneno yafuatayo na weka mfano mmoja kwa kila maana.
  1. Kanga
  2. Ua
  3. Pamba
  4. Mbuzi
  5. Kata

9. Wewe ni mwanafunzi wa Kidato cha Pili  ambaye una rafiki wa Kidato cha kwanza. Rafiki yako amekuomba umfafanulie maana ya maneno yafuatayo ili aweze kuelewa zaidi, kwani darasani hakuelewa vizuri. Msaidie rafiki yako kwa kumfafanulia maneno yafuatayo:

(i) Vichekesho

(ii) Mtindo

(iii) Lakabu

(iv)Soga

(v) Dhamira

SEHEMU C (ALAMA 15)

10. Mwandikie baba yako barua ambaye ni mkuu wa shule ya sekondari Kivukoni SLP 20 Singida kumwomba hela ya safari ya kutembelea mbuga za wanyama. Jina lako liwe Mwaluko likoko SLP 350 Dodoma.

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 156  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 156  


OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA

NA SERIKALI ZA MITAA

JAMHURI  YA MUUNGANO YA TANZANIA

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA PILI

KIDATO CHA KWANZA

KISWAHILI 2023

  1. Soma kifungu cha habari kifuatacho, kisha jibu maswali

Miaka ya hivi karibuni kumetokea ajali nyingi hapa duniani. Wengi tumesikia taarifa za ajali mbalimbali kutoka katika vyombo vya habari na baadhi yetu tumeshuhudia kwa macho yetu ajali hizo. Kila aliyesikia au kuona ajali hizo alivaa uso wa huzuni kwani nyingi zilikuwa za kutisha

mno. Wapo watu walio katika miguu, mikono, masikio na hata kunyofokwa macho na wale walionusurika, wapo ndugu na marafiki zetu waliopoteza maisha. Wengi tulipata machungu yaliyo kithiri, tulilia, tulilaumu na kuwalaani wote tulio fikiria ndio walio sababisha ajali hizo.

Waliokufa katika ajali hizo ni watoto wadogo, watu wazima na hata vikongwe wanawake kwa wanaume. Kama ilivyo desturi, kifo hakibagui na kwa kweli huvuna roho za watu wa umri na jinsia zote.

Wazazi wengi wanao fariki katika ajali hizi huacha watoto ambao hawamo katika utaratibu wa kuendelezwa kielimu. Badala yao wanaingia katika utaratibu wa kujitafutia riziki badala ya kujisomea. Watoto wengi hufanya kazi za kubeba mizigo, uvuvi, kuchimba madini migodini,

vibarua mashambani, biashara ndogondogo na hata kazi za nyumbani.

Watoto hao walioachwa na matatizo mengi wafanyapo kazi katika sehemu hizo. Kwa kuwa wengi wao hawana upeo mkubwa wa mambo, hujikuta wakifanya kazi bila kufuata kanuni za kiafya. Hali hiyo huwasababishia magonjwa kama kifua kikuu na hata kupata ajali mbaya, wafanyapo kazi migodini, ambazo zinaweza kusababisha vifo au vilema vya maisha. Wengine huinginzwa kwenye biashara za ukahaba na kupata mimba zisizotarajiwa, tena katika umri mdogo. Wengine huambukizwa magojwa kama vile UKIMWI.

Pamoja na ukweli wa usemi kuwa “Ajali haina kinga”. Ajali nyingi zinatokana na makosa yetu wenyewe. Hizi tukiamua, tunaweza kuzizuia kwani penye nia pana njia. Hivyo hivyo suala la kuwapatia elimu watoto waloathirika na ajali liwe la kufa na kupona. Kama Taifa ni lazima tupige vita ajira kwa watoto, ikiwa kweli tunatakiwa kwenda na wakati vinginevyo tutabaki

nyuma.

Maswali

Andika herufi ya jibu sahihi katika maswali yafuatayo

i. Mwandishi anafahamisha kuwa wanaokufa kwa ajali ni......................................

  1. Watu wa aina zote
  2.  Watoto wadogo
  3.  Watu wazima
  4.  Vikongwe, wanawake na wanaume

ii. Ipi si kweli kuhusu maeneo wanako ajiriwa watoto?

  1. Kwenye machimbo ya madini
  2. Kwenye biashara ndogondogo
  3. Kazi za nyumbani
  4. Kwenye ofisi za serikali

iii. Ajira kwa watoto husababishwa na......................................

  1.              Kutokuwepo kwa shule za kutosha
  2.               Vifo vya wazazi na ugumu wa maisha
  3.              Kampeni za vyama vya siasa
  4.             Madeni ya nchi

iv. Ili watoto waweze kufanikiwa katika maisha yao ya badaye, lazima jamii...................

  1. Ipige vita rushwa
  2. Ifuate siasa ya ujamaa na kujitegemea
  3. Iwape watoto elimu
  4. Ijenge barabara nzuri

v. Moja ya haya yafuatayo sio ajali yakujitakia....................

A. Gari kuanguka kutokana na mwendo kasi

B. Kuzidisha uwezo wa uzito katika vyombo vya usafiri

C. Kuendesha vyombo vya usafiri pasipo kuzingatia kanuni na sheria

D. Kuzuka kwa vimbunga vinavyoleta maafa makubwa.

vi. Mwandishi anaamini kuwa tunaweza kuzuia ajali zisitokee kwa

A. Kuomba Mungu atuepushe na jali hata kama sheria na kanuni hazifuatwi

B. Kutoendesha magari katika barabara mbaya

C. Kuwa makini katika kuendesha vyombo vya usafiri

D. Kutowaruhusu wazazi wenye watoto kutumia vyombo vya usafiri

Vii. Kipi kati ya vifuatavyo chafaa kuwa kichwa cha habari uliyosoma

  1. UMUHIMU WA ELIMU
  2. VYOMBO VYA USAFIRI
  3. AJALI BARABARANI
  4. AJALI KWA WATOTO

Viii. Msemo huu una maana gani “Alivaa uso wa huzuni”

  1. Alikuwa na hasira 
  2. Alikuwa mchoyo
  3. Alikuwa mvivu
  4. Alitia huruma au alikuwa na masikitiko

ix. Kati ya misemo ifuatayo upi haukutumika katika habari

  1. Alivaa uso wa huzuni
  2. Anamkono wa birika
  3. Liwe lwa kufa na kupona 
  4. Penye nia pana njia

x. Habari hii ina aya ngapi?

  1. Moja
  2. Sita

C. Tano 

D. Tatu

2. Oanisha safu ya maneno A na B

ORODHA A

ORODHA

I. Maghani

II. Semi

III. Methali

IV. Lakabu

V. Rara

A. Ni hadithi fupi nyepesi ya kishairi yenye visa vya kusisimua; rara

huimbwa au kughanwa ikiambatana na ala za muziki

B. Hizi ni hadithi za mapokeo zitumiazo wahusika kama wanyama,

miti na watu katika kuelezea au kuonya kuhusu maisha

C. Istilahi inayotumiwa kuelezea aina ya ushairi ambao hutolewa

kwa kalima au maneno badala ya kuimbwa.

D. Tungo au kauli fupifupi za kisanaa zenye kubeba maana au

mafunzo muhimu ya kijamii.

E. Semi fupi fupi zenye kueleza kwa muhtasari fikra au mafunzo,

mazito yaliyotokana na uzoefu wa kijamii

F. Haya ni majina ya kupanga ambayo baadhi ya watu hupewa

au hujipatia kutokana na sifa zao za kimwili, kinasaba, kitabia au

kimatendo.

G. Usemi uliofumbwa ambao hutolewa kwa hadhira ili iufumbue.

H. Ghani ndefu za masimulizi juu ya matendo ya mashujaa yenye uzito

kijamii au kitaifa.

 

3. Juma alibishana na Hassani kuwa kamusi haina maana na ni upotevu wa muda kusoma kamusi, Wewe kama mwanafunzi mtete hassani.

 

4. Kwa kuzingatia lafudhi na matamshi sahihi, bainisha maneno yenye makossa katika sentensi zifuatazo

a) Nimepata ujumbe wa simu wenye taarifa mbaya _______________

b) Ntoto wangu anaumwa ____________

c) Rafiki yangu naja ______________

d) Ama kweri elimu haina mwisho ________________

e) Kurara badara ya kutafuta kazi ya kufanya kunasababisha maisha kuwa

magumu _________________

5. Chunguza sentensi zifuatazo, kisha bainisha vivumishi vilivyotumika kwa kutaja ni aina gani ya kivumishi

a) Watu wachache waliumia ______________________

ii) Gari lao limegongwa natrekta _______________________

iii) Familia imemtakia la heri mtoto wao mpendwa __________________________

iv) Wanafunzi wachache wamechelewa darasani ____________________

v) Nyumba ngapi zimebomolewa na mafuriko ______________________

6. Eleza kwa kutoa mifano tofauti iliyopo baina ya fasihi simulizi na fasihi andishi kwa kuzingatia vipengele vya umri, uhifadhi, uwasilishwaji, mabadiliko na umiliki.

7. Unapowasiliana kwa lugha ya kisahili ni muhimu kuzingatia mambo gani?

8. kihusishi ni moja kati ya aina za maeneno, onesha matumizi matano ya kihusishi ‘’kwa’’

9. Lugha hutumika kama chombo, zana, kifaa au njia ya kufikia lengo Fulani. Onesha kwanini lugha inatumika katika jamii

10. Wananchi wa kijiji cha Fungafunga wanasifika kwa utaalamu wa kuchonga vinyago kutokanana na uwepo wa misitu katika kijiji cha Fungafunga. Ukiwa kama Afisa misitu tumia hoja sita (6) kuwaeleza wananchi wa kijiji cha Fungafunga kuhusu umuhimu wa misitu kwa kutunga insha isiyozidi maneno 250 .

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 142  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 142  

OFISI YA RAIS TAMISEMI NA TAWALA

ZA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA

KIDATO CHA KWANZA

KISWAHILI 2023- MEI

Muda: 2:30

MAELEZO 

  1.               Mtihani huu una sehemu A, B na C
  2.               Jibu maswali yote. Ikiwa na maswali 6
  3.               Simu za mkononi haziruhusiwi katika chumba cha mtihani

 

SEHEMU A (Alama 30)

  1.               Chagua herufi ya jibu sahihi miongoni mwa majibu kisha andika herufi ya jibu hilo
  1. Asha ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Iringa sauti zake hazina maana anapoziunuma hujumuisha kama?
  1.               Lugha ya maneno
  2.               Lugha ya kiswahili
  3.                Lugha ya Ishara
  4.               Lugha ya mazungumzo
  1. Kila mwandishi huwa na ufundi wake katika utunzi wa kazi za fasihi zake je? Jambo gani ambalo hutofautiana maandishi Janeth na Mwandishi Simba katika  utuzi wa kazi zao


  1.               Mwandiko
  2.               Mtindo
  3.                Muundo
  4.               Lugha


  1. Mwalimu wa somo la kiswahili huwa anatufundisha kando ya daraja letu. Neno lililopigiea mstari ni gani ya maneno aina gani ya maneno?
  1.               Kiunganishi
  2.               Kielezi
  1. Kutokana na wataalamu wa lugha ya kiswahili katika fasihi la neno wanakubaliana kuwa lugha ni sauti za nasibu kwa nini?
  1.               Lugha ni nyenzo ya mawasiliano
  2.               Binadamu huchagua lugha ya kuongea
  3.                Hakuna tofauti kati ya kiwe na kirejelewe
  4.               Majibu yote hayo ni sahihi
  1. Ni utaratibu wa kupanda na kushuka kwa mawimbi ya sauti wakati wa mazungumzaji


  1.               Kiimbo
  2.               Lafidhi
  3.                Mkazo
  4.               Nyimbo


  1. Kaka mkuu wa shule yetu alituelekeza kuwa chura katika ngozi yake ina mabaka mabaka pia hupendwa kuishi majini kuliko nchi kavu. Je hiyo ni hadhithi zinazohusu?


  1.               Visasili
  2.               Vigano
  3.                Ngano
  4.               Tarihi


  1. Ni umbo la ndani la kazi ya fasihi ambalo hueleza Msanii kwa yale yote aliyokusudia katika kazi yake.


  1.               Fani
  2.               Dhamira
  3.                Mtindo
  4.               Maudhui


  1. Dhana gani ya mtu wa kaskazini na nyanda za juu kusini, hudokeza utambulisho wa maneno yanayotoka?
  1.               Sauti
  2.               Lafudhi
  3.                Matamshi
  4.               Silabi
  1. Othuman anaishi tanga. Neno Tanga ni aina gani ya neno?
  2. Neno sikukuu limeundwa na silabi ngapi?


  1.               8
  2.               5
  3.                4
  4.               3


  1. Misamiati iayoingizwa katika kamusi na kukolezwa wino, pia kutoa taarifa ya msamiati hiyo kama vile aina ya neno, asili na namna neno linavyoandikwa.
  1.               Kitomeo
  2.               Kidahiao
  3.                Sampuli
  4.               Kisevo
  1.               Oanishi sentensi zenye matumizi ya vielezi katika Orodha A na aina ya vielezi katika Orodha B. Kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi.

 

Orodha A

Orodha B

  1. Daktari amenishauri ninywe daiwa kutwa mara tano
  2. Mchezaji wa timu yetu alipiga mpira chini
  3. Kaka mfupi amepita polepole
  4. Mimi sijawahi kusherekea mahafali tangu mwaka jana
  1.  Kitenzi cha mujibu
  2.   Kitenzi cha namna
  3.  Kitenzi cha wakati
  4.  Kitenzi cha mahali
  5.   Kitenzi cha idadi

 

SEHEMU B (ALAMA )50

  1.               Panga maneno kama kwenye kamusi na toa maana na tunga sentinsi kwa kila neno.
  1. Ua
  2. Panga
  3. Chizi
  4. Baba
  5. Panda
  1.               Fasihi maana ya misamiati ifuatayo
  1. Maghani
  2. Fanani
  3. Lugha
  4. Sanda
  5. Kamusi
  1.               (a)Ainisha tanzu za fasihi simulizi

(i) _______________   (ii) _______________

(iii) ______________   (iv) _______________

 

(b) Kwa kila tanzu tajwa hapo juu bainisha tanzu hizo za fasihi simulizi, zimejengwa na vipera vipi? Kwa kila tanzu ainisha hoja tano.

SEHEMU C (ALAMA) 20

  1.               (a) Toa maana ya Soga

(b) Jifanye wewe ni kiongozi wa michezo katika shule yenu, umechaguliwa kishiriki mashindano ya utungaji wa hadithi shindano linahusu sungura na fisi yenye maneno thamanini tu (80) Andika soga yenye maneno themanini tu (80) 

 

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 135  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 135  

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA

KISWAHILI KIDATO CHA KWANZA

NOVEMBA 2022

Maelekezo:

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B, na C zenye jumla ya maswali kumi (10).
  2. Jibu maswali yote kwa usahihi.
  3. Soma kwa makini maelekezo ya kila sehemu na kila swali.
  4. Andika namba yako ya mtihani katika kila ukurasa sehemu ya juu upande wa kulia.
  5. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi zilizoachwa wazi

SEHEMU A: (Alama 15)

Jibu maswali yote kwenye sehemu hii

1.Soma habari ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata kwa kuchagua herufi ya jibu sahihi.

Mazingira ni jumla ya mambo yote yanayomzunguka kiumbe katika maisha yake. Vitu hivyo vinaweza kuwa vyenye uhai kama vile wanyama, wadudu na mimea au visivyo na uhai kama vile milima, maziwa, mabonde, mito na bahari.

Uharibifu wa mazingira ni uzoroteshaji wa mazingira kwa njia ya kupunguza rasilimali kama vile hewa, maji, mimea, udongo na hata kupotea kwa wanyamapori. Mara nyingi, uharibifu wa mazingira husababishwa na vitendo vya binadamu kuangamiza viumbe vinavyomzunguka. Vitendo hivyo ni kama vile kukata miti hovyo, kulima kandokando ya vyanzo vya maji, kutupa taka hovyo na kutiririsha maji machafu kwenye vyanzo vya maji.

Uharibifu wa mazingira hutokana na shughuli mbalimbali za binadamu kama vile kilimo. Binadamu hupanua mashamba kwa ajili ya shughuli za kilimo kwa kukata miti ovyo na kuchoma misitu. Ukataji wa miti ovyo na uchomaji wa misitu husababisha vifo vya viumbe hai vinavyoishi katika miti hiyo kama vile nyani, tumbili na sokwe.

Utupaji wa taka huweza kuharibu mazingira. Taka hizo hutoa harufu mbaya na kuvutia wadudu kama vile nzi. Wadudu hao husababisha magonjwa ya kuambukiza kama vile kipindupindu. 

Viwanda kutiririsha maji machafu kwenye vyanzo vya maji ni sababu nyingine ya uharibifu wa mazingira. Maji yanayotiririshwa huchafua maji yanayotumiwa na binadamu kutoka kwenye mito na maziwa hivyo husababisha magonjwa kwa binadamu kama vile kansa. Viwanda pia hutoa moshi ambao huchafua hewa inayovutwa na watu hivyo watu hupata madhara kama vile ugonjwa wa mapafu.

Maswali

i.        Kichwa kinachofaa kwa habari hii ni:

A.    Hali ya hewa

B.     Kutunza mazingira

C.     Sababu za uharibifu wa mazingira

D.    Ukataji miti ovyo

E.     Athari za mazingira

ii.      Kwa nini ni muhimu kutunza mazingira yetu?

A.    Ili kuepukana na magonjwa, vita na njaa

B.     Ili kupata mazao mengi, wanyama wengi na miti.

C.     Ili kupendezesha mazingira, kupata majalala na maziwa

D.    Ili kuepuka magonjwa, kupata mvua za kutosha na afya bora

E.     Ili kuondoa mmomonyoko wa udongo, kupata miti mingi na kuondoa unyevuunyevu

iii.    Shughuli zingine zinazofanywa na binadamu na hupelekea uharibifu wa mazingira ni:

A.    Kufuga wanyama wengi katika eneo dogo

B.     Kujenga nyumba nzuri

C.     Kusafisha maziwa yetu

D.    Kuuza madini

E.     Kufua nguo

iv.    Ugonjwa wa mapafu unaoweza kusababishwa na kuvuta hewa kutoka kwa mtu mwingine hujulikana kama vile_______

A.    Athma

B.     Kifua kikuu

C.     Pumu

D.    Kipindupindu

E.     Kansa 

v.      Magonjwa mengine yanayoweza kutupata baada ya kutupa taka ovyo ni pamoja na __

A.    Upele

B.     Amiba

C.     Pumu

D.    Kuhara

E.     Homa 

vi.    Ni ugonjwa gani wa mlipuko unaozungumziwa na mwandishi katika habari hii?

A.    Korona

B.     Kipindupindu

C.     Kansa

D.    Homa ya mapafu

E.     Maji machafu

vii.  Waziri wa tanzania mwenye dhamana ya kusimamia mazingira anaitwa _______

A.    Umi Mwalimu

B.     Tundu Antipasi Lisu

C.     Godbless Lema

D.    Majaliwa kasimu majaliwa

E.     Seleman Jafo

 viii. Kutokana na habari uliyoisoma, Rasilimali ni nini?

A.    Ni jumla ya mali aliyonayo mtu au nchi

B.     Vyanzo vya maji

C.     Upepo

D.    Barabara

E.     Mali inayopatikana kutokana na njia isiyo sahihi

ix.    Zifuatazo ni njia za kutunza mazingira

A.    Kulipua mabomu, kupanda miti na kuchimba vyoo.

B.     Kupanda miti, kutupa taka ovyo na kutiririsha maji machafu

C.     Kupanda miti, kutoa elimu dhidi ya mazingira na kuchimba mashimo ya kuhifadhi taka. D. Kuendesha magari makubwa, kujenga nyumba nzuri na kunawa mikono kabla ya kula

E. Kuwafundisha wanafunzi, kuchoma taka na kupanda maua.

x.      Ni uharibifu gani wa mazingira kati ya yafuatayo husababisha mmomonyoko wa ardhi?

A.    Kutupa vinyesi vya watoto ovyo

B.     Kupanda ukoka

C.     Kuchoma misitu

D.    Kufuga wanyama wengi

E.     Mikusanyiko ya watu

2. Oanisha safu ya maneno A na B. 

SEHEMU B: (Alama 70)

Jibu maswali yote kwenye sehemu hii

3.      Fafanua maana ya istilahi zifuatazo kama zinavyotumika kwenye lugha ya Kiswahili

(a)   Shina la neno 

…………………………………………………………………………………………………

 (b)   Sarufi 

…………………………………………………………………………………………………

 (c)   Vielezi 

…………………………………………………………………………………………………

 (d)   Sintaksia 

…………………………………………………………………………………………………

 (e)   Viambishi 

…………………………………………………………………………………………………

4.Bainisha dhima tano (5) za viambishi awali katika lugha ya Kiswahili. Kwa kila dhima toa mfano mmoja.

  1. ................................................................................................................................
  2. ................................................................................................................................
  3. ...........................................................................................................................
  4. ...........................................................................................................................
  5. ................................................................................................................................

5.a) Sentensi zifuatazo ni tata. Tunga sesntensi mbili kila sentensi ondoa utata huo.

i. Mama amenunua mbuzi

....................................................................................................................................................

ii. Baba Amina ameondoka

…………………………………………………………………………………………………

iii. Mwajuma ametumwa na Rama

…………………………………………………………………………………………………

iv. Kaka amevunja kijiko chake

…………………………………………………………………………………………………

v. Ali amempigia Asha ngoma

…………………………………………………………………………………………………

 b) Taja mifano ya kauli zinazoonyesha muktadha wa rejesta zifuatazo:

 i. Hotelini

…………………………………………………………………………………………………

ii. Sokoni

…………………………………………………………………………………………………

iii. Bandarini

…………………………………………………………………………………………………

iv. Darasani

…………………………………………………………………………………………………

v. Ndani ya basi

…………………………………………………………………………………………………

6.   (a) Panga maneno yafuatayo kama yanavyokuwa katika kamusi

     Kafeli, Tosha, Zaituni, Buriani, Roho, Paroko, Kaheshimu, Amina, Amani

       …………………………………………………………………………………………………………………………………….

(b) Fafanua dhima tano za kamusi 

  1. ...............................................................................................................
  2. ...............................................................................................................
  3. ....................................................................................................
  4. .....................................................................................................
  5. ............................................................................................................

7.         Taja methali moja ambayo ungeweza kuitumia kuonya au kuadilisha kulingana na tukio lililoelezwa hapo chini

Mfano: Mtoto alilelewa vibaya hatimaye ajawa jambazi

Methali: Samaki mkunje ingali mbichi

i.        Ndege alijenga kiota kwa kuchukua jani moja moja na hatimaye baada ya siku tatu kiota kikakamilika kujengwa.

Methali: ………………………………………………………………………………..…….

ii.      Wastara alikuwa masikini, akajibidisha sana kufanyakazi usiku kucha, hatimaye akafanikiwa kupata utajiri na kuishi maisha yenye hadhi.

Methali: ……………………………………………………………………………………….

iii.    Simba alivamia zizi la Mzee Mahende na kukamata ng’ombe mmoja, alipotoka na mkuki kumkabili, alishindwa akarudi nyuma kwa hofu kisha yowe wanakijiji wakakusanyika wakiwa na mikuki na mapanga na marungu wakampiga na kumuua.

Methali: ……………………………………………………………………………………….

iv.    Dereva aliendesha gari kwa kasi na kusababisha ajari mbaya

Methali: ……………………………………………………………………………………….

v.      Baba alipofiwa na mtoto wake alilia sana hadi akazimia

Methali: ………………………………………………………………………………………..

8.   Amina ni mwanafunzi wa darasa la saba anayesoma shule ya msingi Majimengi, tatizo la Amina alikuwa anaamini kuwa lugha haina umuhimu wowote katika jamii. Wewe kama mwanafunzi wa kidato cha pili unamshawishi vipi Amina aweze kubadili imani yake? Kwa hoja tano (05)

  1. .................................................................................................
  2. .................................................................................................
  3. ............................................................................................
  4. ............................................................................................
  5. .................................................................................................

9. Wahusika ni kipengele muhimu sana katika kazi yoyote ile ya fasihi. Onyesha aina ya wahusika katika fasihi simulizi (05).

  1. ............................................................................................
  2. ............................................................................................
  3. .......................................................................................
  4. .........................................................................................
  5. ..............................................................................................

SEHEMU C: (Alama 15)

10.  Andika insha yenye maneno 150 na yasiyozidi 200 inayohusu madhara ya mimba za utotoni 

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 111  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 111  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KISWAHILI KIDATO CHA KWANZA

MUDA: SAA 2:00          2022

 

MAELEKEZO.

  1.                Karatasi hii ina sehemu A, B, C, D na E.
  2.                Jibu maswali yote kama ilivyoelekezwa katika kila sehemu.
  3.                Zingatia mwandiko mzuri, Mpangilio na usahihi wa majibu yako.
  4.                Majibu yote yaandikwe kwenye karatasi za kujibia.

 

SEHEMU A UFAHAMU (Alama 10)

  1.                Soma kifungu cha habari kifuatacho kasha jibu maswali yafuatayo.

Aaah! Maskini ya Rabiee! Hii ndiyo nchi tuliyomo sisi!.  Nchi inayovuja jasho ,nchi masikini, nchi ambayo wanawake huvaa nguo _ _ _ _! Nchi ambayo wanawake huvaa nywele za maiti_ _ _Haya ndiyo maendeleo yetu_ _ _ _.

Haki na usawa katika nchi masikini ni ndoto. Wengi huamua kuwa mabubu mara tu deemokrasia inapopokonywa na watu wachache. Huu ni Unafiki mkubwa.Haki haipo nchini mwetu ila tu tumefumbwa macho, Tumekuwa Vipofu.

Mimi nimeamua kupambana, nitachukua panga_ _ _ nitachukua pinde _ _ _ nitachukua mishale _ _ _ nitapigana kufa na kupona. Nitapigania haki na usawa.Haki! Haki! Usawa Haki! Haki_ _ _ _ maana yake nini.

MASWALI

  1.                 Andika kichwa cha habari hii _______________________________________________
  2.                Je mwandishi analaani juu ya nini? ______________________________________
  3.                 Taja matatizo manne ambayo mwandishi anayakemea
  1.                  _____________________________________________
  2.                _____________________________________________
  3.             _____________________________________________
  4.              _____________________________________________

d) Haki na usawa vitapatikana kwa njia gani? ______________________________

e) Andika maana ya maneno yaliyopigiwa mstari.

  1.                 Inapopokonywa.
  2.                Unafiki.
  3.                 Vipofu.

SEHEMU B (Alama 30)

UTUMIZI WA LUGHA.

  1.                Kwa kutumia mifano toa maana ya maneno yafuatayo.


  1.                 Kidahizo.   
  2.                Kitomeo.   
  3.                 Kamusi.
  4.                Lugha.   
  5.                 Sherehe


 

  1.                (a) Kwa kutumia matumizi ya Kiswahili sanifu, sentensi zifuatazo zina makosa. Ziandikwe upya kwa ufasaha.

                    Kwa mfano

  •                    Kiti mkubwa amevunjika.

                            Usahihi- Kiti kikubwa kimevunjika.

  1.                  Chai imeingia nzi.
  2.                Anakwenda baba kesho safari.
  3.             Humwambiaga lakini haelewi.
  4.              Ng’ombe zangu zimeibiwa.
  5.                Daktari nina kifua sijalala usiku kucha.

(b)  Andika athari tano za kutotumia lugha kwa ufasaha.

  1.                (a)  Taja matumizi Matano (5) ya kamusi.

(b)  Kamusi hugawanyika katika sehemu ngapi? Zitaje.

(c)  Taja mambo mawili yanayopatikana katika utangulizi wa kamusi.

 

SEHEMU C: (Alama 20)

SARUFI

  1.                (a)  Kitenzi kikuu huweza kutumika sambamba na kitenzi kingine kukamilisha sentensi. Kwa kuandika upya sentensi katika karatasi uliyopewa, Bainisha vitenzi vilivyotumika katika sentensi zifuatazo.

                  Mfano

- Amina alikuwa anakula chakula kitamu.

      Ts       T

  1.                  Mgeni wangu amekwisha wasili.
  2.                Amina hakutaka kumuhudhi.
  3.             Mafundi wote wanashona viatu.
  4.              Wataendelea kumsubiri hadi kesho.
  5.                Gari lilikuwa limeharibikia mlimani Kitonga.

(b)   Ainisha maneno yaliyopigiwa mstari katika sentensi zifuatazo.

  1.                  Viti vizuri viwili vimevunjika.
  2.                Ah! alitaka kuja shuleni.
  3.             Wewe ndiye ndugu yangu.
  4.              Wachezaji wote walifanya mazoezi ya viungo.
  5.                Ndizi hizi zimeoza.
  1.                (a)   Tunga sentensi moja kwa kila neno lililoandikwa kwa hati mcharazo.
  1.                  Vizuri kama kiwakilishi.
  2.                Vizuri kama kivumishi.
  3.             Vizuri kama kielezi.
  4.              Mama kama Nomino.
  5.                Mama kama kihisishi.

(b)  Tunga sentensi zenye miundo ifuatayo:-  kwa kupigia mstari sentensi hiyo kuonesha aina hizo 

        za maneno.

             Mfano:    N   +   T + E =

                  Mama anapika jikoni.

        N         T        

  1.                  H + N + T + E
  2.                N + V + V + TS + Ts + T
  3.             W + t + N + V
  4.              W + V + T
  5.                T

SEHEMU D: (Alama 30)

FASIHI    

  1.                (a)  Sanaa ni nini?

(b)  Nakili kisha ukamilishe kielelezo kifuatacho.

 

 

 

 

 

 (a)Fasihi ina dhima/kazi mbalimbali katika jamii. Taja tano (5) na uzieleze kwa ufupi.

(a)   Taja vipengele vitano (5) vinavyounda Fani katika kazi ya fasihi.

(b)   Taja vipengele vitano (5) vinavyounda Maudhui katika kazi ya fasihi.

 

SEHEMU E: (Alama 10)

UTUNGAJI.

10.   Mwandikie barua rafiki yako umweleze kuhusu hali halisi ya masomo ilivyo shuleni kwenu. 

 zingatia taratibu za uandishi wa barua za kirafiki katika uandishi wako.

1

 

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 94  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 94  

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA

KISWAHILI KIDATO CHA KWANZA

MUDA : SAA 2:00

MAELEKEZO.

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B, C, D na E.
  2. Jibu maswali yote kama ilivyoelekezwa katika kila sehemu.
  3. Zingatia mwandiko mzuri, Mpangilio na usahihi wa majibu yako.
  4. Majibu yote yaandikwe kwenye karatasi za kujibia.

 

SEHEMU A UFAHAMU (Alama 10)

  1. Soma kifungu cha habari kifuatacho kasha jibu maswali yafuatayo.

Aaah! Maskini ya Rabiee! Hii ndiyo nchi tuliyomo sisi!.  Nchi inayovuja jasho ,nchi masikini, nchi ambayo wanawake huvaa nguo _ _ _ _! Nchi ambayo wanawake huvaa nywele za maiti_ _ _Haya ndiyo maendeleo yetu_ _ _ _.

Haki na usawa katika nchi masikini ni ndoto. Wengi huamua kuwa mabubu mara tu deemokrasia inapopokonywa na watu wachache. Huu ni Unafiki mkubwa.Haki haipo nchini mwetu ila tu tumefumbwa macho, Tumekuwa Vipofu.

Mimi nimeamua kupambana, nitachukua panga_ _ _ nitachukua pinde _ _ _ nitachukua mishale _ _ _ nitapigana kufa na kupona. Nitapigania haki na usawa.Haki! Haki! Usawa Haki! Haki_ _ _ _ maana yake nini.

MASWALI

  1. Andika kichwa cha habari hii _______________________________________________________
  2. Je mwandishi analaani juu ya nini? __________________________________________________
  3. Taja matatizo manne ambayo mwandishi anayakemea
  1. _____________________________________________
  2. _____________________________________________
  3. _____________________________________________
  4. _____________________________________________

d) Haki na usawa vitapatikana kwa njia gani? ____________________________________________

e) Andika maana ya maneno yaliyopigiwa mstari.

 (a) Inapopokonywa.

 (b) Unafiki.

 (c) Vipofu.

SEHEMU B (Alama 30)

UTUMIZI WA LUGHA.

  1. Kwa kutumia mifano toa maana ya maneno yafuatayo.

(a) Kidahizo.   (b) Kitomeo.   (c) Kamusi.

(d) Lugha.   (e) Sherehe.

  1. (a) Kwa kutumia matumizi ya Kiswahili sanifu, sentensi zifuatazo zina makosa. Ziandikwe upya kwa ufasaha.

                    Kwa mfano

  • Kiti mkubwa amevunjika.

                            Usahihi- Kiti kikubwa kimevunjika.

  1. Chai imeingia nzi.
  2. Anakwenda baba kesho safari.
  3. Humwambiaga lakini haelewi.
  4. Ng’ombe zangu zimeibiwa.
  5. Daktari nina kifua sijalala usiku kucha.

(b)  Andika athari tano za kutotumia lugha kwa ufasaha.

  1. (a)  Taja matumizi matano(5) ya kamusi.

(b)  Kamusi hugawanyika katika sehemu ngapi? Zitaje.

(c)  Taja mambo mawili yanayopatikana katika utangulizi wa kamusi.

 

SEHEMU C:  (Alama 20)

SARUFI

  1. (a)  Kitenzi kikuu huweza kutumika sambamba na kitenzi kingine kukamilisha sentensi. Kwa kuandika upya sentensi katika karatasi uliyopewa, Bainisha vitenzi vilivyotumika katika sentensi zifuatazo.

                  Mfano

- Amina alikuwa anakula chakula kitamu.

      Ts       T

  1. Mgeni wangu amekwisha wasili.
  2. Amina hakutaka kumuhudhi.
  3. Mafundi wote wanashona viatu.
  4. Wataendelea kumsubiri hadi kesho.
  5. Gari lilikuwa limeharibikia mlimani Kitonga.

(b)   Ainisha maneno yaliyopigiwa mstari katika sentensi zifuatazo.

  1. Viti vizuri viwili vimevunjika.
  2. Ah! alitaka kuja shuleni.
  3. Wewe ndiye ndugu yangu.
  4. Wachezaji wote walifanya mazoezi ya viungo.
  5. Ndizi hizi zimeoza.
  1. (a)   Tunga sentensi moja kwa kila neno lililoandikwa kwa hati mcharazo.
  1. Vizuri kama kiwakilishi.
  2. Vizuri kama kivumishi.
  3. Vizuri kama kielezi.
  4. Mama kama Nomino.
  5. Mama kama kihisishi.

(b)  Tunga sentensi zenye miundo ifuatayo:-  kwa kupigia mstari sentensi hiyo kuonesha aina hizo 

        za maneno.

             Mfano:    N   +   T  +  E  =

                  Mama anapika jikoni.

        N         T        

  1. H  + N +  T +  E
  2. N  +  V  +  V +  TS  +  Ts  +  T
  3. W  +  t  +  N  +  V
  4. W  +  V + T
  5. T

SEHEMU D:  (Alama 30)

FASIHI    

  1. (a)  Sanaa ni nini?

(b)  Nakili kisha ukamilishe kielelezo kifuatacho.

 

 

 

 

(a)Fasihi ina dhima/kazi mbalimbali katika jamii. Taja tano (5) na uzieleze kwa ufupi.

(a)   Taja vipengele vitano (5) vinavyounda Fani katika kazi ya fasihi.

(b)   Taja vipengele vitano (5) vinavyounda Maudhui katika kazi ya fasihi.

 

SEHEMU E:    (Alama 10)

UTUNGAJI.

10.   Mwandikie barua rafiki yako umweleze kuhusu hali halisi ya masomo ilivyo shuleni kwenu. 

         zingatia taratibu za uandishi wa barua za kirafiki katika uandishi wako.

1

 

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 84  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 84  

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA PILI AUG 2021

KISWAHILI KIDATO CHA KWANZA                    MUDA : SAA 2:30

MAAGIZO

  1.            Mtihani huu una sehemu nne (04) A, B, C na D
  2.          Jibu maswli yote
  3.        Fuata maagizo ya kila sehemu na swali.
  4.        Andika majina yako matatu.
  5.          Mpangilio mzuri wa kazi uta zingatiwa

 

SEHEMU A (Alama 10).

UFAHAMU

  1.          Soma kwa makini habari ifuatayo kasha jibu maswali yanayo fuata;

Ugonjwa hatari wa UKIMWI umeenea kwa kasi sana katika nchi masikini  ikiwepo nchi ya Tanzania.Kuna sababu mbalimbali zinazo changia hali hii. Sababu kubwa ni umasikini .

   Wasichana na wanawake wengi hupenda kujiuza kama bidhaa sokoni ili wapate fedha ya kujikimu  katika maisha yao . Hufanya hivyo kwa kuji rahisisha kwa wanaume wenye bulungutu  la fedha.Wanawake hawa ujipeleka kwenye mabaa au kwenye vilabu vya pombe, wakisha kunywa na kuvaa miwani wote huingia katika ulimwengu mwingine ambako huanza kuambukizana virusi vya UKIMWI.

      Sababu nyingine ni raha na starehe ambayo watu wengi huifurahia.Hufanya hivyo ili kujistarehesha wao wenyewe . Hutumia miili yao kama sehemu ya burudani katika maisha yao. Hukumbatiana ili kujisahaulisha taabu na misukosuko katika maisha.

  Sababu nyingine ni ukosefu wa elimu juu ya ugonjwa huu, watu wengi hawajafundishwa adhari za ugonjwa huu kwa jamii . Hivyo hawa jui maana ya UKIMWI,wao hufikiri kwamba UKIMWI ni ndoto na hakuna ugonjwa wa aina hii hali hiii imesababisha baadhi ya vijana ………..

    Njia zinazo eneza ugonjwa huu ni nyingi nikitaja nitaonekana  mmbea kwani kila mmoja anazifahamu.Athari za UKIMWI katika jamiii nikama vileb kifo,kushuka kwa shughuli za uzalishaji mali n.k.

 

MASWALI

  1.            Eleza maana ya maneno yaliyo pigiwa mstari.
  1.           ……………………………………………………………………………………………………
  2.          ……………………………………………………………………………………………………
  3.           ………………………………………………………………………………………………….
  4.          ……………………………………………………………………………………………………
  5.           ……………………………………………………………………………………………………
  1.             Ni kwa vip UKIMWI huchangia kushuka kwa shughuli za uzalishaji mali?.........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................
  2.           Taja sababu nne zinazo eneza ugojwa wa UKIMWI
  1.              ……………………………………………………………………………………………….
  2.          ……………………………………………………………………………………………….
  3.                 ……………………………………………………………………………………………..
  4.                                                                                                                                                                                                                                  ……………………………………………………………………………………………….
  1.           Fafanua sababu kuu inayo changia kuenea kwa ugonjwa huu katika nchi masikini kama Tanzania………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..
  2.          Andika kichwa cha habari kisicho zidi maneno matano(05)

……………………………………………………………………………………………………….

SEHEMU B (Alama 20)

UTUMIZI WA LUGHA NA USAHIHI WA MAANDISHI

  1.                 (a)  Taja mambo makuu manne(04) ambayo yana jenga lugha.
  1.               ………………………………………………………………………………..
  2.             ………………………………………………………………………………………
  3.              ………………………………………………………………………………………..
  4.               ……………………………………………………………………………………….

b.  Lugha ni chombo muhimu sana katika jamii. Nini umuhimu wake katika jamii?

  1.               ...........................................………………………………………………………..
  2.                ………………………………………………………………………………………………………
  3.              ……………………………………………………………………………………………………..
  4.               ………………………………………………………………………………………………………..
  5.              ………………………………………………………………………………………………………..

c. Eleza maana ya dhana zifuatazo;

  1.            Ufasaha……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
  2.                Mawasiliano………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
  3.              Lugha…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
  4.           Matamshi sahihi ……………………………………………….......................................................................................................................................................
  5.          Lugha fasaha …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

SEHEMU C (Alama 20)

SARUFI

  1.          a) Taja matawi manne (04) ya sarufi;
  1.            ……………………………………………………………..
  2.          …………………………………………………………….
  3.        ……………………………………………………………………
  4.        ……………………………………………………………….

b) Tunga sentensi kwa kutumia  vipashio vifua tavyo

  1.                  mfano; N+t+N=  Mtoto   ni    Mgonjwa  

                                 N        t          N

  1.              N+V+E=…………………………………………………………………………………
  2.          W+TS+T+E=…………………………………………………………………………..
  3.           N+t+N+V=……………………………………………………………………………
  4.          H+N+T=………………………………………………………………………………..

 

SEHEMU D (Alama 50)

                                   FASIHI KWA UJUMLA

  1.          a) Taja sifa tano (05) za faihi simulizi
  1.            ……………………………………………………………………………………………………..
  2.          …………………………………………………………………………………………………….
  3.        ……………………………………………………………………………………………………..
  4.        …………………………………………………………………………………………..
  5.          ……………………………………………………………………………………………..

b)  Eleza maana ya maneno yafuatayo

  1.                  Maigizo …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
  2.                Sanaa ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
  3.              Methali …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
  4.               Fasihi…………………………………….……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
  5.                 Majigambo…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

c) Taja vipengele vitano (05) muhimu vya fasihi simulizi.

  1.                  ……………………………………………………………………………………………………
  2.                ………………………………………………………………………………………………
  3.              ……………………………………………………………………………………………………
  4.               …………………………………………………………………………………………………..
  5.                 …………………………………………………………………………………………………..

d) Kamilisha methali zifuatazo

  1.                Mgaagaa na upwa………………………………………………...................
  2.                Dua la kuku halimpati mwewe……………………………………………..
  3.                Kizuri cha jiuza …………………………………………………………………….
  4.                Heri nusu shari……………………………………………………………………
  5.                Usimlaumu dobi………………………………………………………………..

e) Taja vipengele vitano vya fani

  1.                …………………………………………………………
  2.                ……………………………………………………….
  3.                ………………………………………………………..
  4.                ………………………………………………………….
  5.                …………………………………………………………..

FASIHI SIMULIZI

FASIHI ANDISHI

  1.                                                                                                                                                                                                                                    

  1.                                                                                                                                                                                                                                  

ii

  1.                                                                                                                                                                                                                                

iii

  1.                                                                                                                                                                                                                                

iv

  1.                                                                                                                                                                                                                                   

V

f) Taja tofauti tano (05) kati ya fasihi simulizi na fasihi andishi

 

 

 

 

                                                                                                                                                                                         

                            

1 | Page

 

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 70  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 70  

Nambari ya mtahiniwa...............................................

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA KWA KIDATO CHA KWANZA

NUSU MUHULA WA KWANZA

2021-MACHI

MUDA SAA 2

Maelekezo.

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C Zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12)
  2. Jibu maswali yote katika sehemu A and B na maswali matatu (3) kutoka sehemu C
  3. Sehemu A ina alama kumi na tano (15), sehemu B alama arobaini (40) na sehemu C INA ALAMA arobaini na tano (45).
  4. Zingatia maelekezo ya kila sehemu na kila swali.
  5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani.
  6. Andika namba yako ya mtihani katka kila ukurasa wa kijitabu chako cha kujibia.

SEHEMU A ( Alama 15)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

UFAHAMU

  1. Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali kwa kuandika hrufi ya jibu sahihi katika jedwali lilichorwa chini ya swali.

Watu wote walirudi makwao. Shida ilienea katika nchi ya Kufikirika. Watu walikuwa hawakufanya kazi kwa muda wa miaka sita mfululuzo kwa sababu wote walishughulika katika kutafuta tiba ya ugumba wa Mfalme na utasa wa Malkia. Hasara zilizotokea katika muda ule zilikuwa ni kubwa na nyingi; hata zilikuwa hazilingani na hasara zozote nyingine ambazo wato wa Kufikirika waliweza kukumbuka kuwa waliziona zamani katika nchi yao. Mashamba yalitupwa.  Mitambo, vinu na viwanda vilikuwa havina watu. Mazizi na maghala yalikuwa tupu kabisa.  Nusu ya sarafu na majohari katika hazina ilipotea. Kazi katika mashimo na nyingine zilifungwa. Waandishi walitupa chini kalamu zao na wanazuoni waliacha vitabu vyao wazi.

Nchi ambayo zamani ilikuwa ya shibe, utajiri, nguo, tafriji na neema zote sasa ilikuwa imegeuka nchi ya njaa; umasikini na uhitaji wa kila namna ulikuwa mbele ya watu. Maisha haya mapya yalisumbua watu sana hata yakawa hayavumiliki. Afya ya watu ilitishwa na maradhi. Vifo vilitokea kwa wingi mno.  Shida hii ilipaswa kuzuiwa au Wafikirika wote wangalipanguswa katika uso wa ardhi, ilikuwa ni wajibu wa kila mtu kutenda awezavyo kujisaidia mwenyewe, watoto wake nan chi yake. Basi baada ya marejeo kila mtu alijitia katika kazi yake kwa bidii zote.

Isipokuwa watoto, Wafikirika wote walikuwa wana desturi ya kufanya kazi kwa muda mwingi kuliko watu wote katika mataifa mengine ya dunia. Muda wa kufanya kazi katika nchi yao ulikuwa ni saa kumi na mbili. Saa mbili zilitumiwa kwa maburudisho katika michezo saa mbili nyingine zilikuwa ni za mapumziko na saa nane ni za kulala katika kila saa ishirini nan ne au siku moja.  Vitanda vilikuwa havina watu juu baada ya muda wa saa nane za kulala isipokuwa wagonjwa na watoto wadogo wadogo tu. Kama si kwa sababu ya faida ya afya hata saa nane za kulala zingalipunguzwa kuwa saa saba au sita tu. Shauri la kupunguza wakati wa kulala lilipelekwa mbele ya madiwani wan chi ya Kufikirika na wasimamizi wa kazi. Lilikubaliwa na halmshauri ndogo lakini halikufaulu katika halmashauri kuu kwa sababu ilidhaniwa kuwa hofu ya hatari juu ya maisha itakuwa kubwa sana. Kwa hivi halikupata idhini ya serikali.  Wafikirika walikuwa na umoja madhubuti ambao ulisimama imara mbele ya machafuko yoyot. Shauri moja jema lilikubaliwa na kushangiliwa na wot na baya lilikataliwa na kila mtu.

Wafikirika waliweza kufanya kazi bora na za kuajabisha mno wakati wa mataifa mengine walipokuwa wamo katika usingizi, uvivu, anasa au uzembe. Kutwa walikuwa katika kazi na katika fikira za kujistawisha. Mtu ambay hafanyi kazi kwa muda wa saa kumi na mbili alikuwa na aibu kwa mwenziwe; hasara kwa serikali na kwake mwenyewe. Kumwita mtu mvivu katika Kufikirika ilikuwa si dhihaka ya kusameheka ila hatia kubwa mno kwa sababu nchi hiyo haikuwa na mtu mvitu hata mmoja. Kwa sheria za Kufikirika uvivu ulikuwa una tafsiri ya wizi wa wakati.  Mwizi wa wakati alipatilizwa kwa adhabu ngumu sawa na mwizi wa mali au kitu kingine. Kazi kubwa, ngumu na nzito kwa watu wa Kufikirika zilikuwa ni sawa sawa kabisa na mabandia ya mchezo kwa watoto wadogo. Ari ya kila mtu ilikuwa ni kutenda tendo kubwa na lililo bora kuliko mwingine. Hii ni desturi inayodumu hata sasa katika nchi ya Kufikirika

MASWALI;

  1. Kichwa cha habari kinachofaa kwa habari hii ni;
  1. Kufikirika     d) Maisha ni shida
  2. Kilimo katika nchi ya kufikirika e) Maisha mapya yenye faraja
  3. Magtokeo ya kutofanya kazi
  1. Wananchi wa Kufikirika waliacha kufanya kazi kwa muda mrefu kwa sababu;
  1. Walikuwa wamechoka  
  2. Walipewa likizo    
  3. Mfalme wao alikuwa mgonjwa
  4. Malkia alikuwa mgonjwa
  5. Walikuwa wanatafuta tiba ya Mfalme wako na mke wake
  1. Mwandishi anasema “shida hii ilipaswa kuzuiwa au Wafikirika wote wangalipanguswa katika uso wa ardhi” ana maana kuwa;
  1. Watalazwa ardhini   d) Watavuna mazao bora
  2. Wangekufa    e) Watawajibika ipaswavyo kwa mfalme wao
  3. Watalima mazo mengi
  1. Wananchi wa Kufikirika waliipenda kazi kuliko usingizi kwa sababu:
  1. Muda wao mwingi waliutumia kufanya kazi
  2. Ilikubaliwa na halmashauri yao
  3. Waliamriwa hivyo na serikali yao
  4. Waliogopa machafuko
  5. Walikuwa tayari kupunguza muda wao wa kulala kufikia sass aba usiku au sita kwa siku.
  1. Shauri la kuongeza saa za kufanya kazi ililipelekwa mbele ya madiwa na hawa;
  1. Walikubaliana na pendekezo hili
  2. Walipinga muswada huo
  3. Walikubaliana lakini wakalipeleka mbele kwa uamuzi
  4. Walifurahi bila kutoa uamuzi
  5. Waliwafukuza walioleta pendekezo hilo.
  1. Mwandishi anasema usingizi unamsaidia Mwanakufikirika kuwa;
  1. Mpiganaji bora    d) Mnyonge
  2. Mfanyakazi mwenye uchovu  e) Mkulima hodari
  3. Mwananchi mwenye afya bora
  1. Mwandishi anaposema “Umoja madhubuti uliosimama imara” ana maana ya;
  1. Umoja sharti usimame  d) Kupata idhini ya serikali
  2. Umoja usiotetereka  e) Umoja ni dhihaka inayosamehewa
  3. Umoja si nguvu
  1. Asiyefanya kazi katiak nchi ya Kufikirika alifananishwa na;
  1. Jangili     d) Mpenda anasa
  2. Mvivu wa kutupwa   e) Mzemb e
  3. Mwizi wa mali au kitu chochote
  1. Mwandishi anaposema “anapatilizwa” ana maana kuwa
  1. Anafanya jambo   d) anapokewa
  2. Anahukumiwa   e) anabatizwa
  3. Anasamehewa
  1. Juhudi ya kutokubali kushindwa bali kufanikiwa ilioneshwa na kila Mwanakufikirika kwa;
  1. Kufanya kazi kila siku
  2. Kutumia muda wao kuburudika
  3. Kupenda michezo
  4. Kufanya kila jambo vizuri zaidi kuliko Mwanakufikirika mwingine
  5. Kuwa mabandia wa michezo

MAJIBU

i

ii

iii

iv

v

vi

vii

viii

ix

x

SEHEMU B (ALAMA 25)

  1. (a) Andika neno lenye kosa katika tungo zifuatazo:

Mfano: 

  1. Mama anakaa au huoni:

Kosa.  Anakaa

  1. Juma anapanga nyumbani

Kosa......................................................................

  1. Mama anasomaga kitabu

Kosa......................................................................

  1. Daktari ameniunga mkono wangu wote

Kosa........................................................................

  1. Mwalimu anapiga kula kumchagua Raisi

Kosa.......................................................................

  1. Kyama chetu cha Mapinduzi kimeshindwa

Kosa..........................................................................

  1. Mtoto anariaria nini? Hapa sipendi mimi

Kosa,........................................................................

 (b)Taja nchi tano unazozifahamu zinatumia lugha ya Kiswahili;

  1. .....................................................................................
  2. ....................................................................................
  3. ....................................................................................
  4. ....................................................................................
  5. ....................................................................................

(c) Ukioanisha Orodha A na orodha B utapata muunganiko ulio sahihi. Andika herufi inayoleta usahihi ikioanishwa Orodha A na Orodha B.

ORODHA A

ORODHA B

  1. Barua pepe
  2. Irabu
  3. Lugha ya mazungumzo
  4. Kiswahili
  5. Anakula
  1. Kitenzi
  2. Njia ya mawasiliano
  3. Sauti
  4. Maumbo
  5. Tanzania
  6. Lugha inayotumika Zanzibar
  7. Aina ya lugha ya Kiswahili
  8. Hutumia mdomo katika matumizi yake

MAJIBU

Orodha A

i

ii

iii

iv

v

Orodha B

 (d) Kuna Irabu ngapi katika maneno yafuatayo;

 Mfano

  1. Anasoma

Irabu 2

  1. Atacheza

Irabu ...........................................

  1. Palilia

Irabu............................................

  1. Sambamba

Irabu.............................................

  1. Katisheni

Irabu............................................

  1. Amesomoa

Irabu............................................

 (e) Panga majina yafuatayo kwa mtiririko unaotakiwa;

  1. Zawadi
  2. Juma
  3. Annarose
  4. Matayo
  5. Kalamu

Andika kwa mpangilio mzuri

  1. .....................................................................
  2. .....................................................................
  3. .....................................................................
  4. .....................................................................
  5. ....................................................................

SEHEMU C (ALAMA 15)

SARUFI

  1. (a) Pigia msitari vivumishi katika maneno yafuatayo;
  1. Mtu huyu anaimba vizuri
  2. Wale wanacheza mpira mzuri
  3. Yeye ni mchawi katika kijiji hiki
  4. Wale wa shangazi wamefaulu

(b) Taja aina za vitenzi

  1. .........................................................................
  2. .........................................................................
  3. ...........................................................................
  4. ..........................................................................

(c) Tunga sentensi kwa kutumia

N + T

W +V + T + E

T

SEHEMU D (ALAMA 40)

FASIHI KWA UJUMLA

  1. (a) Katika Orodha A kuna methali zinazofanana na methali za orodha B.  chagua methali za Orodha B zinazofanana na Orodha A na kisha kujaza herufi katika kisanduku hapo chini.

ORODHA A

  1. Mtoto umleavvyo ndivyo akuavyo
  2. Usipo ziba ufa utajenga ukuta
  3. Haraka haraka haina Baraka
  4. Kujikwaa sio kuanguka bali ni kwenda mbele
  5. Asiyesikia la mkuu huvunjika guu

ORODHA B

  1. Siko la kufa halisikii dawa
  2. Samaki mkunje anali mbichi
  3. Bandu bandu humaliza gogo
  4. Polepole ndio mwendo
  5. Kufa kufaana
  6. Kukopa harusi kulipa matanga
  7. Kukosea njia ndio kujua njia


MAJIBU

Orodha A

i

ii

iii

iv

v

Orodha B

(b) Taja aina tano za wanyama zinazoweza kutumika katika kazi ya fasihi mara kwa mara zaidi kwenye hadithi.

  1. .........................................................................................
  2. .........................................................................................
  3. .........................................................................................
  4. .........................................................................................
  5. ..........................................................................................

(c) Katika habari ifuatayo taja methali tano (5) zilizotumika.

Wanadamu huwa kwenye mambo mengi magumu sana lakini wali deni mchuzi karadha na hivyo mafanikio yatakuwepo. Kadhalika Mungu hufufua mfu kitangani kwani bila yeye tusingeweza sisi wanadamu. Mungu ni mtoa hukumu, mauti ni faradhi, ni lazima wote tupite huko. Mkono mtupu haulambwi lakini kwa maneno hayo hayana nafasi katika utukufu wa Mungu. Tunapaswa kupambana na maisha na mwisho tufanikiwe na si kutoa lawama tu kwani mlevi si mnywa tembo hata mla mali hulewa. Tusiende mienendo isiyo  mizuri.

  1. ...........................................................................................................
  2. ...........................................................................................................
  3. ...........................................................................................................
  4. ........................................................................................................
  5. .......................................................................................................

(d) Taja nyenzo tano zinazotumika katika uchongoji

  1. ..............................................................................
  2. .............................................................................
  3. .............................................................................
  4. .............................................................................
  5. .............................................................................

(e) Andika habari kuhusu historia ya maisha yako;

....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

1 | Page

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 52  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 52  

THE PRESIDENT'S OFFICE

MINISTRY OF REGIONAL GOVERNMENT AND LOCAL GOVERNMENT

AUGUST-SEPTEMBER   EXAMINATION SERIES

KISWAHILI

2020

TIME: 2:30 HRS

SEHEMU A

1.  Soma hadithi ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata:

Katika nchi ya ughaibuni kulikuwa na mfalme mwenye dharau na maringo sana, aliwaona wananchi wake kama wajinga. Watu wake waliishi bila amani na walichukia vitendo vya mfalme wao. Mfalme huyo alikuwa anajigamba kuwa yeye ni tajiri kuliko wafalme wote katika nchi za jirani. Kwa ujumla mfalme huyo alikuwa mnyanyasaji na mwenyekebehi nyingi.

imageimageMfalme alikuwa mwenye kufuru sana, hata alidiriki kutamka kwenye mkutano wa hadhara kuwa hajawahi kuona njaa. Mzee mmoja mwenye busara aitwaye Bwana Adili alimwambia mfalme kuwa asihofu atampeleka mahali njaa inakopatikana. Bwana Adili kwa kukubaliana na mfalme walipanga siku ya safari ya kwenda kumwonesha mahali ilipo njaa. Safari hiyo ilikuwa na masharti kuwa hakuna kula chochote asubuhi na hakuna kubeba masurufu yoyote yakiwemo maji, ingawa Bwana Adili kwa ujanja wake alibeba.

Safari ilianza asubuhi mapema huku mfalme akiwa na furaha kubwa ya kwenda kuona njaa. Walitembea mwendo wa saa zisizopungua ?ita, mfalme akawa amechoka sana akamwomba Bwana Adili wapumzike. Uchovu huo imageulitokana na ukweli kwamba mfalme hakuwahi kwenda mwendo mrefu kwa miguu. Wakati wa mapumziko mfalme alimwomba Bwana Adili maji na mkate lakini Bwana Adili alimnyima, walipumzika kwa muda wa saa moja na safari ikaendelea. Ilipofika jioni mfalme alikuwa amechoka kabisa kwani mwendo ulikuwa mrefu na njaa ilimuuma mno. Walipumzika chini ya mti, mfalme alimuuliza Bwana Adili, mbona hatufiki safari yetu? Bwana Adili hakumjibu chochote bali alichukua mkate akala na kunywa maji, mfalme alihisi njaa kali, alimwomba Bwana Adili mkate na maji lakini alimnyima.

Hali ya mfalme ilizidi kuwa mbaya sana, ndipo Bwana Adili akamwambia nitakupa maji na mkate ule lakini uahidi kwa maandishi kuwa utaacha dharau na majivuno kwa watu. Mfalme alipiga magoti mbele ya Bwana Adili na kuchukua karatasi na kalamu aliyopewa na Bwana Adili na kuahidi kwa maandishi kuwa ataacha kabisa tabia ya dharau na majivuno. Bwana Adili alipokea maelezo ya mfalme na akampa mkate na maji. Mfalme alipomaliza kula alimshukuru sana, ndipo Bwana Adili alipomgeukia mfalme na kumweleza kuwa hakuna maskani ya njaa bali hali aliyokuwa nayo mtu asipokula chakula. Waliporudi mfalme aliitisha mkutano wa hadhara. aliwaomba radhi wananchi wake na tangu siku hiyo mfalme aliishi kwa upendo na wananchi wote.

Maswali

(a)(i)     Bwana Adili alitoa masharti gani ya safari?.........................................

(ii)    Kwa nini Bwana Adili alitoa masharti uliyoeleza katika kipengele

(b)     Toa methali moja inayolingana na fundisho linalopatikana katika hadithi uliyosoma.

(c)     Toa maana za maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika hadithi uliyosoma:

(i)Anajigamba ..................

(ii)Kebehi .....................

(iii) Kufuru ..................

(iv)Masurufu . .......................

 (v) Maskani....................

(d)     Andika ufupisho wa habari uliyosoma kwa maneno 60.

SEHEMU B

MATUMIZI YA LUCHA NA USAHIHI WA MAANDISHI

2. (a) Andika kwa usahihi maneno yaliyokolezwa wino kama yalivyotumka katika tungo zifuatazo:

(i) Mashirikiano ni muhimu kwetu .................

(ii) Mimi ni mwanainji wa Tanzania ...............

(iii)Mama anakaaga jikoni anapopika ............

(iv) Hakuna mapungufu yaliyojitokeza ........

(v) Hajafika mwanafunzi yoyote leo ..................

(vi) Huyu ni rafiki angu.................................

(b)     Eleza maana mbili kwa kila tungo.

(i) Mama anaota.

(ii)Tafathali nipe sahani ya kulia.

(iii)Vijakazi wanalima barabara.

(iv)Amekanyaga mtoto.

(v) Shangazi anawachezea wanangu.

(c)     Andika KWELI kama sentensi ni sahihi au SIO KWELI kama sentensi si sahii
 (i) Tafadhali mpikie ugali. Hii ni tungo tata .........

(ii) Kifaa kinachotumika kulia chakula kiitwacho uma wingi wake ni uma ... ... ...

(iii) Rejesta ni misimu ya Kiswahili . 

(iv) Amekula chumvi nyingi. Hii ni nahau 

(v) Mbili kutwa mara tatu. Ni rejesta ya kujifunza hesabu ........

SEHEMU C

SARUFI

3. (a) Nyumbua maneno yafuatayo na kuunda maneno manne kwa kila neno:

(i) Angalia ... ... ...

(ii)Chukua ...............

(iii)Oga ... ... ...

(iv)Kata . . ................

(v)Omba ... ... ..........

(b) Tumia maneno yafuatayo kama nomino na utunge sentensi moja kwa kila neno:

(i) Starehe . ..............

(ii) Ukweli .........

(iii)Utaalamu ...... .. 

 (iv) Umoja ... ... ...

(v) Uzembe ...........

(vi) Ukarimu .... ..... image

(viii) Upweke .. .....

(vii) Ushujaa . .........

(ix) Upendo ... ... ...    

(x) Furaha . .............

(c) Kitenzi kikuu huweza kutumika sambamba na kitenzi kingine kukamilisha sentensi. Katika sentensi zifuatazo bainisha vitenzi vilivyotumika. Sentensi ya kwanza ni mfano:

(i) Aliyekuja atasafiri kesho.

(ii) Mgeni wangu amekwisha kuwasili.

(iii) Amina hakutaka kumuudhi.

(iv)Mafundi wangali wanashona viatu. image

(v)Wataendelea kumsubiri hadi kesho.

(vi) Gari lilikuwa limeharibika mlimani Kitonga 

SEHEMU D : FASIHI SIMULIZI

4.Eleza kwa kifupi maana ya dhana zifuatazo:

(i) Maigizo 

(ii) Semi ......... 

(iii) Tarihi .

(iv) Majigambo ..........

(v) Mizani . . . . . . . ..

(b) Jaza nafasi iliyoachwa wazi kukamilisha methali zifuatazo:

(i)Hamadi kibindoni ... ... ...

(ii).. ......yasiyokuwa ncha.

(iii)......... si mwisho wa uhunzi.

(iv)Mwenye shibe .............

(v)......... embe tunda la msimu.

(c) Soma shairi lifuatalo kisha jibu maswali yanayofuata:

Kweli kito mahabubu, Muweza mjaze kweli,

Kweli siriya ajabu, huwapa watufadhili,

Kweli chimbo la dhahabu, linahimili kweli,

Kweliyajambo hekima, na mifanoya akili.

Kweli nguvuya imani, moyoni muwe na kweli,

Kweli kitu cha thamani, fahariyetu ni kweli,

Kweli itupe makini, tutoe majibu kweli,

Kweli kwa mtu ni tija, woga huvunjwa na kweli.

Kweli huniadabisha, utu huletwa na kweli,

Kweli hunielimisha,jinsiya kuwa kamili,

Kweli hunipa maisha,ya mwangaza wa kandili,

 Kweli haina kiwango, manufaa yake kweli.

Kweli katika baraza, maongeziyawe kweli, 

Kweli au hupendeza,zamaza kujibu swali, 

Kweli itakuongoza, uweze kufanya kweli,

Kweli huwa mfaulu, katika pambono kali.

Kweli leo iwe pambo, upambile kweli kweli,

Kweli ikujaze mambo,yoteyaliyoya kweli,

Kweli ikupe kiimbo, chenye majibu ya kweli,

Kweli tatua mafumbo, uwemahiri wa kweli.

Kweli hapa kaditama, ni mimi mtunzi kweli, Kweli ikujaze mema, ufaulu kweli kweli, Kweli itakupa chema, Kidato cha tatu kweli, Kweli mhimili wako, pokea kwa dhati kweli.

MASWALI

(i) Mtunzi wa shairi hili anatoa ujumbe gani?

(ii)Katika ubeti wa pili mshairi anasisitiza jambo gani?

(iii)Bainisha kina bahari katika shairi ulilosoma.

(iv) Mstari wa mwisho katika kila ubeti wa shairi ulilosoma huitwaje? Toa sababu moja. (v) Mshairi ana maana gani anaposema," Kweli mhimili wako, pokea kwa dhati kweli."

(vi) Toa maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika shairi ulilosoma.

  •   Mahabubu
  •    Fahari            
  •    Kandili
  •    Zama
  •     Mahiri

SEHEMU E 
 UANDISHI WA INSHA/UTUNGA)I

5. Andika mazungumzo au dayalojia kati ya mzazi na mwanawe juu ya rnatokeo ya mtihani wa muhula yasiyoridhisha ukilenga mzazi kutoa ushauri wa jinsi ya kupata ufaulu bora muhula unaofuata.

Mzazi: ............................................................................... 

Mtoto: ................................................................................

Mzazi: ............................................................................... 

Mtoto: ................................................................................

Mzazi: ............................................................................... 

Mtoto: ................................................................................

Mzazi: ............................................................................... 

Mtoto: ................................................................................ 

Mzazi: ............................................................................... 

Mtoto: ................................................................................

 

 

 

 

 

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 24  

FORM ONE KISWAHILI EXAM SERIES 24  

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256