FORM FOUR KISWAHILI EXAMS SERIES

JAMHURI YA MUNGANO WA TANZANIA

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA

MTIHANI WA UPIMAJI – KISWAHILI

KIDATO CHA NNE- MACHI 2024

Muda : Saa 3

Maelekezo 

  1.         Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na moja (11).
  2.         Jibu maswali yote katika sehemu A na B, na maswali mawili (2) ktutoka sehemu C ambapo swali la tisa (9) ni la lazima.
  3.         Sehemu A ina alama kumi na sita (16), sehemu B alama hamsini na nne (54) na sehemu C ina alama thelathini (30)
  4.         Zingatia maelekezo ya kila sehemu na ya kila swali.
  5.         Vifaa vya mawasiliano na vitu visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani.
  6.               Andika namba ya yako ya mtihani katika kila ukurasa wa kujitabu  chako cha kujibia 

SEHEMU A (ALAMA 16)

  1.         Chagua herifi ya jibu sahihi katika kipengele cha (i-x) kisha andika herufi ya jibu hilo kwenye karatasi ya kujibia.
  1.     Kikundi cha maneno kinachoonesha jambo lililotengwa na mtenda katika sentensi hujilikanaje
  1. Chagizo
  2.  Kitenzi
  3.  Kivumishi
  4. Shamirisho
  5.  Nomino
  1.  Viambishi vya O- rejeshi vya nomino “gari’ ni vipi kati ya vifuatavyo?
  1. O-YO
  2.  YE
  3.  LO-YO
  4. O-ZO
  5.  PO-YO
  1.                        Neno “Ngamia’  lipo katika ngeli ipi?
  1. I-ZI
  2.  YU-A-WA
  3.  KI-VI
  4. LI-YA
  5.  U-ZI
  1.                         Aina ipi ya maneno huyayanua zaidi kuhusu tendo au kivumishi kati ya haya yafuatayo?
  1. Kitenzi
  2.  Kihusishi
  3.  Kielezi
  4. Kiungaishi
  5.  Kiwakilishi
  1.   Ni neno lipi hufanya kazi na mofomo huru kati ya haya?
  1. Uji
  2.  Uzuri
  3.  Uchache
  4. Ufa
  5.  Mtoto
  1.                         Maneno yafuatayo yana maana zaidi ya moja ispokua:
  1. Ua
  2.  Kata
  3.  Paa
  4. Mbuzi
  5.  Nyau
  1.                      Katika neno ‘umempeleka” mofimu ipi inawakilisha kauli ya kutendea?
  1. –me-
  2.  –m-
  3.  –a-
  4. –e-
  5.  Pelek
  1.  Mbinu ya kufupisha maneno katika ushairi ili kupata ulinganifu wa mizani huitwaje?
  1. Tafsida
  2.  Inkisoni
  3.  Inkishafi
  4. Thathilitha
  5.  Ufupisho
  1.                         Kati ya zifuatazo, methali ipi ni tofauti na zingine?
  1. Ujanja mwingi mbele giza
  2.  Akili nyingi huondoa marifa
  3.  Mdharau bui huibuka yeye
  4. Ukupigao ndio ukufunzao
  5.  Mdharau mwiba, mguu huota tende
  1.   Ubainishaji wa maneno ya kuzua au yasiyo rasmi katika lugha huhusisha alama ipi ya uandishi kati yahizi?
  1. Mkato
  2.  Nukta
  3.  Mtajo
  4. Nukta- pacha
  5.  Nukta mkato.

 

  1.         Oanisha maelezo ya orogha A na yaliyopo katika Orodha B ili lipata maana kamili.

Orodha A

Orodha B

  1. Ngano
  2. Visakale
  3. Visasili
  4. Vigano
  5. mashairi
  1. Ni hadithi fupifupi za kuchekesha na kukejeli
  2. Ni hadithi zinazoelezea makosa na uovu wa watu fulani na kueleza maadili yanayofaa
  3. Ni hadithi ambazo husimulia kuhusu matukio ya kihistoria
  4. Ni hadithi ambazo husumulia asili ya watu, wanyama, miti na vitu visivyo na uhai
  5. Ni hadithi zinazotumia wahusika kama vile wanyama, miti na watu kuonya na kueleza kuhusu maisha
  6. Ni mpangilio maalumu wa maneno wenye ruwaza mahususi ya silabi na mkato.

 

SEHEMU B

ALAMA 54

  1.         Andika methali inayohusiana na mambo yafuatayo.
  1.     Vidole vya binadamu
  2.  Ukulima
  3.                        Imani ya binadamu kwa Mungu
  4.                         Ulevi
  5.   Unyonge
  6.                         Mwizi
  1.         Andika sentensi zifuatazo katika hali timilifu
  1.     Petro huwatembelea wazazi wake
  2.  Mimi ninamshinda Asha kwa mbio
  3.                        Wewe ni abiria lazima ulipe nauli
  4.                         Mchezaji anarusha mpira
  5.   Mwalimu anafundisha somo la kiswahili
  1.         (a) bainisha dhima tano za viambishi katika lugha ya kiswahili

(b) bainisha mzizi katika maneno ya sentensi zifuatazo (vitenzi)

  1.     Mtoto anacheza mpira
  2.  Mzee amelala ndani
  3.                        Mimi sipendi utani
  4.                         Sote tumekula pipi
  1.         Eleza kazi za mofimu tegemezi zilizochorewa mstari katika maneno yafuatayo:
  1.             Hatutasaidiana
  2.             Kitoto
  3.             Akija
  4.             Nilikunywa
  5.             Hakumtaka
  6.             Ninalima
  1.         Andika Insha isiopungua maneno miambili kuhusu “UKIMWI”
  2.         Soma kifungu cha habari, kisha  jibu maswali yanayofuata

        “Ndugu wazazi kumbe safari yenu inahusu harusi ya Zaituni?”. Mkuu wa shule aliwauliza wazazi, “Ndiyo”, wazazi walijibu kwa pamoja bila aibu. “Inategemewa kufungwa lini”?. Mkuu aliendelea kuhoji.

        “Harusi hii ilikua ifanyike wakati Zaituni alipofika kidato cha nne, lakini Zaituni huyu ametufanyia uhuni na vituko visivyoelezeka. Nasi sasa tunachukiwa na kijiji kizaima na kudharauliwa na kila mtu. Hii imetuudhi sana, tumetungiwa nyimbo na kufanyiwa kila shutuma. Hatuna raha, hivyo tumeonelea bora tuje kukuomba umfukuze shule ili kiburi kimwishe. Nasi tupo tayari kukulipa kiasi chochote cha fedha ukitimiza haja yetu hii”.  Mzee Abdalah aluelezea. Muda wote huu mkuu wa shule alikua akimtazama mzee kwa chati sana. Kisha akauliza swali la kuchochea zaidi “ Zaituni ana kiburi kumbe?”

         Mama Zaituni hakutaka hilo limpite, himahima akatoa maelezo yake  “ Mama wee, Zaituni usimwone hiivi, Zaituni manangu hataki kufuata utamaduni wetu wa kuoelewa. Zaituni ati achague mchumba mwenyewe, ati mahari haioni kama ni kitu cha msingi. Kiburi hicho kinatokana na Elimu mliyompa”. Mtoto sasa ameharibika, anafanya apendavyo. Hii Elimu gani isiyojali adabu wala utii? Mama Zaituni alimaliza huku jasho na machozi yanamtoka.

          Hapa mkuu wa shule aliona kwanza awaelimishe kabla hajawatolea kauli ya mwisho. Alikwisha tambua kwamba wazazi wa Zaituni walikua wameachwa nuuma na wakati. Kila upya wa mawazo waliuita kiburi. 

 

Maswali

  1.             Wazazi wa Zaituni walikwenda shule kufanya nini?
  2.             Wazazi walisema kuwa Zaituni amefanya kosa gani?
  3.             Eleza mgogoro mkuu uliopo kati ya Zaituni na wazazi wake
  4.             Fupusha habari hio kwa maneno yasiyopungua 50 na yasiozidi 60.

SEHEMU C

ALAMA 30

Jibu maswali mawili kutoka katika sehemu hii

ORODHA YA VITABU.

USHAIRI. 

Wasakatonge – M.S. Khatibu (DUP)

Malenga Wapya – TAKILUKI (DUP)

Mashairi ya ChekaCheka T.A. Mvungi (EP&D LTD)

 

RIWAYA

Takadini – Ben J Henson (MBS)

Watoto wa Mama Ntilie – E. Mbogo (H.P)

Joka la Mdimu – A. J. Safari (H.P )

 

TAMTHILIYA

Orodha – Stebe Reynolds (M.A)

Kilio Chetu – Medical Aid Foundation (TPH)

Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe – E. Semzaba (ESC)

  1.         “Jamii ya watanzania kwa sas inaongozwa na wanawake katika sekta mbalimbali” kwa kutumia Riwanya mbili ulizosoma eleza nafasi ya mwanamke katika jamii, toa hoja tatu kwa kila RIWAYA.
  2.         Wahusika ni kipengele kimoja wapo cha umbo la nje la kazi ya fasihi. Kwa kutimia mhusika mmoja kutoka kila kitabu onesha ujumbe unaowasilishwa na waandishi wa tamthiliya kuoitia matendo yao ( hoja tatu kutoka kila kitabu)
  3.    Mshairi ni kama taa imulikayo gizani ili kufuchua kilkichojifcha. Thibitisha ukweli wa kauli hii kwa kutoa hoja tatu kutoka kila diwani kati ya mbili ulizosoma.

 

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 181  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 181  

OFISI  YA   RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA PILI

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

    021                                                         KISWAHILI 

MUDA:  SAA:3                                                                              AUG, 2023

                                                         Maelekezo.

  1.               Mtihani huu una sehemu tatu A, B na C.
  2.               Jibu maswali yote katika sehemu A, B na maswali mawili (2) kutoka katika sehemu C .Swali namba tisa (9) ni lazima.
  3.               Zingatia maagizo ya kila swali.
  4.               Andika namba yako ya Mtihani kwenye kila karatasi ya kujibia.

 

                                           SEHEMU A. ( Alama 16 )

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

 

  1.               Chagua herufi ya jibu sahihi, kisha andika jibu hilo katika kisanduku ulichopewa.

 

  1. Nomino inapokwenda likizo ni aina gani ya neno huchukua pahala pake ?


  1.              Kivumishi          
  2.               kiwakilishi       
  3.              kielezi
  4.             Nomino za kawaida   
  5.               kitenzi 


 

  1. Ubeti wa shairi wenye mistari mitatu huitwa


  1.              Sabilia    
  2.               Takhimisa   
  3.              Tathilitha 
  4.             Tathnia 
  5.               Tamolitha


 

  1. Dhana mojawapo kati ya hizi huwa na dhima ya kuokoa muda


  1.              Fasihi 
  2.               Ufahamu  
  3.              Hadithi  
  4.             Masimulizi  
  5.               Lugha fasaha


 

  1. Kategoria ya kisarufi inayowakilisha wakati katika kitenzi ni?


  1.              Njeo  
  2.               Shina   
  3.              Kiambishi awali  
  4.             Leksimu 
  5.               Mtendwa


 

  1. Zifuatazo ni tanzu za fasihi simulizi isipokuwa


  1.              Ushairi  
  2.               Maigizo  
  3.              Semi  
  4.             Hadithi  
  5.               Shairi


  1. Upi ni mzizi wa neno “watakapopambanisha


  1.              Pambana 
  2.               Pambanish 
  3.              Pambani
  4.             Pamban 
  5.               Pamb


 

  1. Sitaki, sitaki, nasema sitaki kabisa kusikia. Katika lugha ya kisanii sentensi hii ina


  1.              Tashihisi   
  2.               Sitiari  
  3.              Takriri  
  4.             Tafsida  
  5.               Tashibiha


 

  1. Kipi kati ya vipengele vifuatavyo hakibainishi muundo katika shairi la kimapokeo


  1.              Mizani   
  2.               Vina  
  3.              Beti  
  4.             Kituo  
  5.               Kina


 

  1. Ni kauli ipi iliyotumika katika kuunda neno “ Hawakupotea
  1.              Kauli ya kutendea  
  2.               Kauli ya kutenda  
  3.              Kauli ya kutendeana 
  4.             Kauli ya kutendewa  
  5.               Kauli ya kutendana

 

  1. “Waandishi wa fasihi huzungumzia watu wenye mienendo isiyokubalika katika jamii ili kukemea mienendo hiyo.”Katika tamthiliya ulizosoma , ni wahusika wepi kati ya wafuatao wana mienendo isiyokubalika ?
  1.              Ngoswe, Baba Anna na Suzi
  2.               Joti, Ngoswe na Mama Furaha
  3.              Mazoea, Mama Furaha na Joti
  4.             Ngoswe, Joti na Padre James.
  5.               Padre James, Ngoswe na Baba Anna

 

 

 

 

  1.               Chagua kifungu cha maneno kutoka orodha B kinachotoa maelezo sahihi ya maneno kutoka orodha A. Andika herufi ya jibu sahihi katika jedwali hapo chini.

ORODHA A

ORODHA B

  1. Sehemu ya neno ambayo hutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja la sauti.
  2. Viambajengo vya sentensi.
  3. Semantiki
  4. Pangaboi
  5. Mkazo
  6. Fonolojia
  1.               Miamabatano ya maneno
  2.               Silabi
  3.              Mkato
  4.             Konsonati
  5.               Kiima na Kiarifu
  6.               Sarufi  maana katika sentensi
  7.              Shadda
  8.             Sarufi matamshi
  9.                  Irabu
  10.                 Kiimbo 

 

 

 

SEHEMU B ( Alama 54 )

Jibu maswali yote kutoka sehemu hii

  1.               Eleza  maana ya kielezi na mazingira manne ambayo kielezi huweza kujipambanua. Kisha tunga sentensi moja kwa kila aina ya mazingira .
  2.               Onesha mzizi wa maneno yafuatayo
  1. Mapigano
  2. Walitumikishwa
  3. Onesha
  4. Amekula
  5. Alimnong”oneza
  6. Walipokunywa

 

  1.               Lugha ya Kiswahili hutumia njia mbalimbali katika kujipatia msamiati wake. Onesha ni njia ipi iliyotumika kuunda maneno yafuatayo.
  1. Divai
  2. Hataza
  3. UDA
  4. Bahasha
  5. Imla
  6. Cherehani

 

  1.               Chama cha Kiswahili cha Afrika ( CHAKA) ni miongoni mwa taasisi zilizojitahidi katika kukuza na kueneza Kiswahili Barani Afrika . Eleza majukumu sita  ya chama hiki katika kufanikisha azma hiyo.

 

  1.               Kwa kutumia Riwaya ya Takadini na Watoto Wa Mama Ntiliye, onesha namna mwanamke alivyochorwa kama mtu mwenye huruma na fadhila. Thibitisha hoja hiyo kwa kutumia wahusika wawili kutoka katika kila kitabu kwa kutoa hoja tatu kwa kila Riwaya.

 

  1.               Soma shairi lifuatalo, kisha jibu maswali yanayofuata

TOHARA

Tohara, kwa mwanamke, ni hatari,

Madhara, kwa wake uke, hushamiri,

Hasara, ya peke yake, hudhiri,

                  Zinduka

Epuka, hao ngariba, wajuaji,

Hufika, navyo viroba, wachinjaji,

Kumbuka, hawana tiba, wauwaji,

                  Zinduka.

Kiwembe, kilichofuka, na kibutu,

Viumbe, huathirika, ni kwa kutu, 

Siombe, ya kakufika, mwanakwetu.

                 Zinduka.

Mzazi, kujifunguwa, idhihali,

Huwezi, kujitanuwa, ni muhali,

Ni wazi, husumbuliwa na misuli,

                  Amka.

    Maswali

  1.               Umepata ujumbe gani katika utanzu huu wa shairi .    
  2.               Unafikiri mwandishi anasisitiza nini katika shairi hili.    
  3.                Taja dhamira mbili zinazopatikana katika shairi hili.    
  4.               Eleza kwa ufupi muundo uliotumika katika shairi hili.    
  5.               Mwandishi amtumia mtindo gani katika utanzu huu wa ushairi.        
  6.                 Taja kituo katika ubeti wa kwanza mpaka wa tatu.    

 

 

 

 

                                                        SEHEMU C ( Alama 30 )

Jibu maswali mawili tu  (2)  kutoka sehemu hii swali la (9) ni lazima.

  1.               Katika jamii yeyote ile kuna watu wanaokwamisha maendeleo kusonga mbele na hatimaye kujiangalia wao wenyewe na kuacha wengine kuhangaika katika maisha ya kila siku. Kwa kutumia diwani mbili ulizosoma eleza athari wanazozisababisha katika jamii. Toa hoja tatu katika kila diwani.
  2.          Kwa kutumia Riwaya ya Takadini na Watoto Wa Mama Ntiliye , eleza ni jinsi gani mwanaume ameonekana kuwa kikwazo cha maendeleo katika jamii.
  3.          Jadili jinsi wasanii wawili wa Tamthiliya mbili ulizosoma  walivyotumia mbinu ya kicheko kutoa ujumbe  waliokusudiwa kwa wananchi.                                                                                                                                                                                                                                                

                                                  ORODHA YA VITABU                

  USHAIRI

Wasakatonge                                                 M.S Khatibu ( DUP)

Malenga Wapya                                            TAKILUKI ( DUP )

Mashairi ya Chekacheka                              T.A Mvungi ( EP & DLTD)

 

 RIWAYA

Takadini                                                          Ben Hanson ( MBS )

Watoto Wa Mama Ntiliye                            E. Mbogo ( H.P)

Joka la Mdimu                                              A.J Safari ( H.P)

 

TAMTHILIYA

Orodha                                                            Steve Raynolds (M.A )

Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe                 E.Semzaba ( ESC)

Kilio Chetu                                                       Medical Aid Foundation ( TPH)

 

 

1

 

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 165  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 165  

PRESIDENT OFFICE REGIONAL ADMNISTRATION

AND LOCAL GOVERNMENT

SECONDARY EXAMINATION SERIES 

COMPETENCE BASED ASSEMENT

KISWAHILI  FORM FOUR 

TERMINAL EXAMS MAY – 2023 

 

021

MUDA: MASAA 3

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C na zenye jumla ya maswali 11.
  2. Jibu maswali yote kutoka sehemu A, B na chagua mawili kutoka sehemu C
  3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na kila swali
  4. Andika kwa kutumia kalamu ya wino wa blue au nyeusi
  5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyo ruhusiwa kwenye chumba cha mtihani havirusiwi
  6. Andika namba yako mtihani katika kila ukurasa wa katatasi yako ya kujibia.

 

SEHEMU A (Alama 16)

Jibu maswali yote kutoka sehemu hii.

  1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vingele (i) hadi (x) kisha andika herufi ya jibu
  1. Katika kipindi cha harakati cha harakati za kudai Uhuru lugha ya kiswahili ilipata kukua na kuenea kwa zaidi kwa maana ya kuongeza msamiati na kukua kimatumizi, katika kipindi hico maneno yafuatayo yaliibuka.


  1. Uhuru na umoja, Uhuru na kazi
  2. Baba kabwela, unyonyaji
  3. Kupe, Baba kabwela, Uhuru na kazi
  4. Uhuru na Umoja, unyonyaji, kupe
  5. Kupe, umoja na kazi, baba kabwela


  1. Kuimba kwake kunafurahisha. Neno lililopigwa mstari ni aina gani ya neno?


  1. Kitenzi
  2. Kivumishi
  3. Kiwakilishi
  4. Kihisishi
  5. Nomino


  1. Ni lugha mseto ya muda inayozuka pindi makundi mawili yeye lugha mbili tofauti yakutanapo


  1. Lugha ya vizalia
  2. Pigini
  3. Kibantu
  4. Kiswahili
  5. Kiunguja


  1. Lugha ya Kiswahili hujiongeza msamiati kwa njia mbalimbali. Je, neno kengele limeundwa kwa njia gani?


  1. Kutohoa
  2. Kubadili mpangilio wa herufi
  3. Kuiga sauti
  4. Urudufishaji
  5. Kuambatanisha maneno


  1. “Nimesema sikutaki sikutaki sikutaki” Je hii ni tamathali gani ya semi


  1. Tashibiha
  2. Taniaba
  3. Tafsida
  4. Tashititi
  5. Takriri


  1. Bainisha neno lenye kiambishi kinachodokeza kauli ya kutendesha katika orodha ya maneno hapa chini


  1. Kupigiwa
  2. Paza
  3. Limika
  4. Temeana
  5. Oana


  1. Mwalimu alikuwa anafundisha. Neno lililopigwa mstari ni?


  1. Kitenzi kisaidizi
  2. Kitenzi kishirikishi
  3. Kitenzi kikuu
  4. Kielezi cha sifa
  5. Kivumishi cha idadi


  1. Sifa ipi haitofautishi fasihi simulizi na andishi


  1. Ukubwa
  2. Uwasilishaji
  3. Uhifadhi
  4. Ukuaji
  5. Ukongwe


  1. neno lipi kati ya haya ni mofimu huru?


  1. Uji
  2. Uzuri
  3. Uchache
  4. Ufa
  5. Cheza


  1. Ni hatua inayofuata baada ya kipengele cha mwisho wa barua katika uandishi wa barua rasmi


  1. Jina la mwandishi
  2. Cheo cha mwandishi
  3. Saini ya mwandishi
  4. Salamu za maagano
  5. Kichwa cha barua.


 

  1. Oanishi dhana zilizo katika Orodha A kwa kuchagua herufi ya dhana husika katika Orodha B, kisha andika herufi husika katika karatasi ya majibu.

 

ORODHA A

ORODHA B

  1. Makosa ya upatanisho wa kisarufi
  2. Hatua ya kwanza ya uchanganuzi wa sentensi
  3. Misemo ya picha ambayo huleta maana iliyofichika
  4. Ni kanuni, sheria na taratibu zinazowabana wazungumzaji wa lugha wapate kuelewana.
  5. Ni sehemu ya neno inayobakia baada ya kuondoa aina zote za viambishi.
  6. Sehemu ya neno ambayo huweza kutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu la sauti
  1. Mzizi asili maana
  2. Sarufi
  3. Kuanisha aina za sentensi
  4. Tanakali sauti
  5. Tungo tata
  6. Ng’ombe watoa maziwa mengi
  7. Mzizi/kiini
  8. Kuainisha aina za maneno
  9. Misimu
  10. Nahau
  11. Irabu
  12. Silabi

 

SEHEMU B (Alama 54)

Jibu maswali yote

  1. (a) Upatanisho wa kisarufi ni kigezo kimoja wapo kinachounda ngeli za nomino. Kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi panga nomino zifuatayo katika ngeli zake. (i)Ugonjwa (ii) Sukari               (iii) Mchungwa               (iv)Uovu              (v)Maziwa

(b)Kwa kutumia nomino (i) – (iv) hapo juu, tunga sentensi moja yenye kiambishi cha O-rejeshi kwa kila nomino.

  1. (a)Utata katika mawasiliano huweza kusababishwa na mambo mengi. Taja mambo manne yanayosababisha utata katika mawasiliano

(b)Maneno yafuatayo yana maana zaidi ya moja. Toa maana mbili za maneno haya 

(i)Paa  (ii)Mbuzi (iii)Kaa (iv)Ua  (v)Kanga 

  1. (a)Ainisha neno TUPA na neno KAA katika tungo zifuatazo
  1. Tafadhali kaa hapa unisubiri
  2. Hicho kisu kinapaswa kunolewa kwa tupa
  3. Kilichobaki tupa kule
  4. Watu wa pwani hula kaa
  5. Baba ameleta tupa toka sokoni

(b) Toa sababu nne za msingi ni kwa nini watumiaji wa lugha huongeza msamiati wa lugha

  1. (a) Waingereza ni wadau wakubwa katika kukuza na kufanya lugha ya Kiswahili kuwa hai kama ilivyo katika lugha ya kiingereza kwa kuzingatia shughuli za kielimu katika kipindi chao. Onesha ni kwa namna gani waingereza walikipa kiswahili mashiko yaliokiandaa kuwa hivi kilivyo leo (hoja tano)

(b) Kwa maoni yako unafikiri ni kwa jinsi gani matumizi ya picha na michoro yanamsaidia mtumiaji wa kamusi (hoja nne)

 

  1. Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata

Siku zote madereva hupambana na hatari mbalimbali wanapoendesha magari yao barabarani. Hatari hizo husababishwa na ubovu wa magari, uzembe wa waenda kwa miguu na hali ya barabara yenyewe. Kusudio la taifa siku zote ni kuwa na dereva wa kujihami, ambaye atahakikisha usalama barabarani wakati wote. Dereva bora lazima awe na utaalamu wa kutosha katika kazi yake, awe na mbinu kadhaa za kutumia katika kukwepa ajali na kujiokoa yeye, gari lake na watumiaji wengine wa barabara. Lazima uwezo wake wa kuhisi na kutambua hatari uwe mkubwa. Asiendeshe kwa kudhani au kubahatisha bali awe na uhakika. Ang’amue hatari mapema na aamue kuwepa hatari na vikwazo vya barabara.

 Si hivyo tu, bali pia ajitahidi kuepuka hatari na kuzuia janga kutokea. Ajifunze na atumie mbinu mbalimbali wakati ufaao. Aendeshe kwa kufikiria mbele zaidi na akihisi tatizo atekeleze maamuzi mara moja. Asingojee yatokee aepushe shari asiweze kuwa dereva mwenzake ndiye atasimamia bali asimamie yeye.

 Wanafunzi wanakwenda shuleni na wazee wamo hatarini zaidi kuliko watu wazima. Hivyo ni muhimu watu hao walindwe na kufundisha juu ya vyombo vya moto wahakikishe ubora wa afya zao kabla kuendesha. Aidha magari yakaguliwe mara kwa mara ili yasisababishe ajali za barabarani. Tukizingatia hayo ajali za barabarani zitapungua kama siyo kuisha kabisa. 

 

MASWALI 

  1. Pendekeza kichwa cha habari kinachofaa kwa habari uliyosoma
  2. “Dereva bora ni yule anayejihami” usemi huo una maana gani?
  3. Taja watumiaji wawili wa barabara ambao wapo hatarini zaidi wawapo barabarani kulingana na habari uliyosoma
  4. Orodhesha hatari tatu anazokumbana nazo dereva anapokuwa barabarani.
  5. Toa maana ya maneno yaliyopigiwa mstari kama yalivyotumika kwenye habari hili.

 

  1. Mkuu wa Chuo cha Utalii Mweka ametangaza nafasi tatu za kazi za udereva tarehe 12/3/2023. Wewe kama miongoni mwa wahitimu wa kidato ch anne 2022 umeliona tangazo hilo. Andika barua kwa mkuu wa chuo cha utalii cha Mweka. SLP 3090 Kilimanjaro, ukiomba nafasi ya kazi ya udereva chuoni hapo. Jina lako liwe Masumbuko Mateso wa SLP 1215 Bukoba.

SEHEMU C (Alama 30)

Jibu maswali mawili (2) kutoka sehemu hii

ORODHA YA VITABU TEULE

RIWAYA

Takadini

Watoto wa Mama Ntilie

Joka la Mdimu

TAMTHILIYA

Orodha 

Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe

Kilio Chetu 

USHAIRI

Wasakatonge 

Malengawapya 

Mashairi ya cheka cheka

 

  1. Jamii ya kitanzania inakabiliwa na matatizo mbalimbali ya kijamii yanayokwamisha maendeleo. Thibitisha kauli hii kwa kutoa hoja tatu kwa kila riwaya kati ya riwaya mbili ulizozisoma.
  2. Kwa kutumia hoja tatu kwa kila tamthiliya kutoka tamthiliya mbili ulizosoma. Jadili kufaulu kwa mwandishi katika kipengele cha utumizi wa tamathali za semi
  3. Mtunzi wa mashairi ni mhariri sana katika kutumia miundo tofautitofauti ili kuipamba kazi yake ya fasihi. Thibitisha ukweli wa kauli hii kwa kuonesha miundo mitatu iliyotumika kwa kila ushairi uliosoma.

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 154  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 154  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KIDATO CHA NNE

021 KISWAHILI

MUDA: SAA 3:00 MACHI : 2023

MAELEZO

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C.
  2. Jibu maswali yote kutoka sehemu A, B na chagua maswali matatu kutoka sehemu C.
  3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na kila swali.
  4. Andika kwa kutumia kalamu ya wino wa bluu au nyeusi.
  5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyo ruhusiwa kwenye chumba cha mtihani haviruhusiwi.
  6. Andika namba yako ya mtihani katika kila ukurasa wa karatasi yako ya kujibia.

SEHEMU A (alama 15)

Jibu Maswali yote Katika sehemu hii

1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x) kisha andika herufi ya jibu hilo katika karatasi ya kujibia.

(i) Neno lipi kati ya maneno haya linaweza kudokeza hisia za mtenda au mtendwa

  1. Kiunganishi
  2. Kivumishi
  3. Kihisishi
  4. Kielezi
  5. Kiwakilishi

(ii) Lahaja ya kimtang’ata huongelewa sehemu gani ya Pwani ya A.Mashariki?

  1. Kaskazini mwa Pwani ya Tanga.
  2. Kisiwa cha Unguja.
  3. Kisiwa cha Mafia.
  4. Pwani ya Somalia
  5. Kisiwa cha Lamu

(iii) Kategoria ya kisarufi inayowakilisha wakati katika kitenzi.

  1. Leksimu
  2. Kiambishi awali
  3. Shina
  4. Mtendewa/mtendwa
  5. Njeo

(iv) Zifuatazo ni dhima za picha na mchoro katika kamusi isipokuwa ipi?

  1. Huvuta umakini wa mtumiaji kamusi.
  2. Huwawezesha watumiaji kamusi kuunda dhana ya jambo.
  3. Maumbo hunata katika kumbukumbu za watumiaji.
  4. Huchafua kamusi na kuifanya ichukize kwa watumiaji.
  5. Huwawezesha watumiaji kamusi kuona mfanano

(v) Ipi ni maana ya nahau “mbiu ya mgambo” kati ya maana hizi hapa chini.

  1. Tia aibu
  2. Tangazo maalumu
  3. Fanya Tashtiti
  4. Mluzi wa mgambo
  5. Sare za mgambo

(vi) Upi ni mzizi wa neno anakula?

  1. Kul
  2. La
  3. L
  4. Kula
  5. a

(vii) Mama Zita anakuja” Tungo hii ni tata, utata huo umesababishwa na nini?

  1. “Msamiati” mama kuwa na maana zaidi ya moja.
  2. Matumizi yasiyo kuwa bayana ya viunganishi na vihusishi.
  3. Matumizi ya lugha ya kifasihi.
  4. Kutozingatia taratibu za uandishi.
  5. Kosa la upatanishi wa kisarufi.

(viii) Kwa vipi ngonjera ni igizo?

  1. Ina urari wa vina na mizani.
  2. Inaimbika
  3. Inahusu utendaji
  4. Hufanyika mbele ya jukwaa
  5. Inahusisha wahusika binadamu.

(ix) Kifungu cha maneno ambacho hujibu maswali ya ziada kuhusu tendo katika sentensi huitwa. _______________

  1. Kiigizi
  2. Kirai Nomino
  3. Tungo
  4. Kirai kielezi
  5. Kikundi kivumishi

(x) Ili mzungumzaji wa lugha aweze kuwasiliana kwa usahihi anahitaji mambo manne ambayo ni _______________

  1. Mahusiano ya wahusika, muundo, mahali, lengo
  2. Lengo, mada, mandhari, umbo
  3. Mahali, mada, muda, wahusika
  4. Mada, mandhari, lengo,uhusiano wa wahusika
  5. Maudhui, lengo, mada, maana.

2. Oanisha dhana zilizo katika orodha A kwa kuchagua herufi ya dhana husika katika Orodha B. kisha andika herufi husika katika karatasi ya majibu.

ORODHA A

ORODHA B

(i) Hatua ya kwanza ya uchanganuzi wa sentensi

(ii) Kanda

(iii) Shamirisho

(iv) Mofimu ni kiambishi

(v) Wingi wa shule

  1. Sentensi nyofu
  2. Ni kipatanisho cha kiarifu
  3. Shule
  4. Kuainisha maneno ya sentensi
  5. Mashule
  6. Neno tata
  7. Itakaliwa na maneno ya vitenzi
  8. Kuanisha aina ya sentensi
  9. Usemi huu ni sahihi


SEHEMU B. (Alama 40)

Jibu maswali yote

3. Uteuzi mzuri wa maneno ni lazima uzingatie unaongea nini unaongea na nani? unaongea wapi? Na kwa nini? Eleza kwa ufupi hoja nne.

4. Andika methali inayohusiana na mambo yafuatayo.

  1. Vidole vya binadamu
  2. Ukulima
  3. Imani ya binadamu kwa Mungu
  4. Ulevi

5. (a) Sentensi zifuatazo zinamakosa kisarufi ziandikwe upya kwa usahihi.

  1. Huyu hapaendi ugovi
  2. Mafanikio alidondoka pale wakati anamkimbia
  3. Mtoto angepelekwa hospitalini mapema angelipona
  4. Mzee Peko alichinja mbuzi zake zote

(b) Kwa kutumia mifano, andika miundo mine (4) ya sentensi shurutia.

6. Wewe na msaidizi wako mmehudhuria kikao cha kupanga mahafali ya kumaliza kidato cha nne. Andika kumbukumbu ya kikao kilichofanyika katika shule kilichokuwa na wajumbe nane.

7. Ukuaji na ueneaji wa lugha ya Kiswahili, umepitia vipindi vingi tofauti, fafanua kwa mifano mambo manne (4) yaliosaidia kukuza na kueneza lugha ya Kiswahili baada ya uhuru.

8. Soma kifungu cha habari kisha jibu maswali yafuatayo:

Nchi ya Tanzania hufanya uchaguzi wake kila baada ya miaka mitano, uchaguzi mkuu huhusisha uchaguzi wa Rais, Wabunge, na Madiwani. Octoba 2020 watanzania wote walikuwa katika pilikapilika za kuwapata viongozi wa kuwawakilisha katika matatizo yao.

Mtanzania aliyekuwa huru kuchagua viongozi wake alitakiwa kutimiza masharti yafuatayo:-

Awe amejiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, awe na umri wa miaka kumi na nane na kuendelea, awe raia wa Tanzania na awe na akili timamu.

Uchaguzi ulifanyika kwa amani, wananchi waliweza kuelemishwa kupitia vyombo vya habari kama redio, magazeti, Runinga pamoja na majarida. Kwa kutumia vyombo hivyo vya habari zilifika sehemu zote za nchi yaani mijini na vijijini, kila mtanzania alijua uchaguzi ni muhimu kwake kwani hutupatia viongozi bora kuendeleza demokrasia, kuleta mabadiliko nchini na kutatua migogoro mbalimabli katika jamii pamoja na kuondoa ubaguzi. Watanzania tushikamane kuendeleza amani nchini.

MASWALI:

  1. Pendekeza kichwa cha habari kifaacho kwa habari hiyo.
  2. Uchaguzi hufanyika kila baada ya miaka mingapi hapa Tanzania?
  3. Taja sifa tatu za mtu anaetakiwa kupiga kura.
  4. Unafikiri uchaguzi una umuhimu? Kama ndio au hapana toa hoja tatu.

SEHEMU ‘C’ Alama (45)

Jibu maswali matatu tu kutoka sehemu hii

9. Umealikwa kwenda kuelimisha jamii yako juu ya “madhara ya mapenzi katka umri mdogo”. Tunga mchezo mfupi wa kuigiza usiozidi maneno (300) mia tatu kuhusu mada hiyo.

ORODHA YA VITABU

 USHAIRI

  • Wasakatonge -M.S. Khatibu (DUP)
  • Malenga Wapya -TAKILUKI (DUP)
  • Mashairi ya Chekacheka-T.A Mvungi (EP & DLTP)

RIWAYA

  • Takadini-Ben Hanson (M.B. S)
  • Watoto wa Mama Ntilie-E. Mbogo (H.P)
  • Joka La Mdimu-A.J. Safari (H.P)

TAMTHILIA

  • Orodha - Steven Raymond (M.A)
  • Ngoswe penzi kitovu cha uzembe-E. Semzaba (E.S.C)
  • Kilio chetu -Medical Aid Foundation (F.P.H)

10. Mashairi siku zote hukemea uonevu katika jamii. Thibitisha kauli hii kwa kutoa hoja 3 kutoka katika kila diwani kati ya diwani mbili ulizo soma.

11. Kwa kutumia riwaya mbili ulizosoma, fafanua namna ambavyo waaandishi wametumia kipengele cha mtindo kuumba kazi zao. Eleza hoja tatu kwa kila kitabu.

12. Kwa kutumia hoja tatu kutoka kwa kila tamthiliya kutoka katika tamthiliya mbili ulizosoma. Jadili kufaulu kwa mwandishi katika kipengele cha matumizi ya lugha.

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 138  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 138  

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MKOA NA SERIKALI ZA MTAA

MTIHANI WA NUSU MUHULA WA PILI

SEPTEMBA-2022 

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12)
  2. Jibu maswali yote katika sehemu A na B na maswali matatu (3) kutoka sehemu C
  3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na ya kila swali.
  4. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani
  5. Andika namba yako ya mtihani katika kila ukurasa wa karatasi utakayojibia.

 

SEHEMU A

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

  1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) had (x), kisha andika herufi ya jibu sahihi katika karatasi yako ya kujibia.
  1. Bainisha tabia ya umbo lililopigiwa mstari katika kitenzi ib-w-a
  1. Kaulitendeka
  2. Kaulitendea
  3. Kaulitendeana
  4. Kaulitendwa
  5. kaulitendesha
  1. “Kiti cha mfalme kinaheshimiwa” katika sentensi hii neno lililopigiwa msitari ni aina gani ya neno katika uainishi wa maneno?
  1. Kiunganishi
  2. Kihusishi
  3. Nomino
  4. Kiingizi
  5. kivumishi
  1. ipi ni fasili sahihi kuhusu “Vina” miongoni mwa fasili zifuatazo?
  1. Mstari wa mwisho wa shairi unaobadilika ubeti mmoja hadi mwingine.
  2. Mistari ya mwisho wa ubeti wa ushairi wenye kujirudia kutoka ubeti mmoja hadi mwingine.
  3. Idadi ya silabi zinazopatikana katika mstari wa ubeti wa ushairi
  4. Silabi za kati na mwisho wa mstari wa ubeti wa shairi zenye mlio unaofanana
  5. Kifungu cha maneno kinachobeba wazo kuu mojawapo la ushairi.
  1. Mang’winda amekuwa mtoro sana. Neno lililopigiwa mstari limetumika kama aina gani ya neno?
  1. Kitenzi kikuu
  2. Kiunganishi
  3. Nomino
  4. Kitenzi kisaidizi
  5. Kitenzi kishirikishi
  1. Ipi kati ya zifuatazo si sifa ya fasihili simulizi?
  1. Kuwa na hali ya utendaji
  2. Kuonana kwa fanani na hadhira ana kwa ana
  3. Kutopokea mabadiliko ya papo kwa papo
  4. Kuwa kongwe Zaidi
  5. Kutolewa kwa njia ya mdomo
  1. Ipi ni maana ya Nahau “Mbinu ya mgambo” kati ya maana hizi hapa chini:
  1. Tangazo maalumu
  2. Tia aibu
  3. Fanya tashtiti
  4. Mluzi wa mgambo
  5. Sare za mgambo
  1. Kategoria ya kisarufi inayowakilisha wakat katika kitenzi
  1. Leksiumu
  2. Kiambishi awali
  3. Shina
  4. Mtendwa/Mtendwa
  5. Njeo
  1. Kila lugha duniani inakua kwa kuiongezea msamiati wake. Ikiwemo Kiswahili. Kuna njia mbalimbali zinazotumika katika kuunda msamiati wa Kiswahili. Je unafikiria maneno wayarehema,dukapapainakorosho yamepatikana kwa njia gani kati zifuatazo?
  1. Kukopa maneno
  2. Kutohoa maneno
  3. Kuangalia kitu/kufananisha umbo
  4. Kudondosha maneno
  5. Kuambisha maneno
  1. Dhana mojawapo kati ya hizi huwa na dhima ya kuokoa muda:
  1. Ufahamu
  2. Fasihi
  3. Lughafasaha
  4. Masimulizi
  5. Hadhithi
  1. Zifuatazo ni tanzu za fasihi simulizi isipokuwa:
  1. Ushairi
  2. Maigizo
  3. Shairi
  4. Hadhithi
  5. semi
  1. Oanisha maana za dhana zilizo katika Orodha Akwa kuchagua herufi ya dhana husika katika Orodha B, kisha andika herufi husika katika karatasi yako ya kujibia.

ORODHA A

ORODHA B

  1. Kueleza jambo kwa maneno machache bila kuipoteza maana yake ya msingi.
  2. Alama ya uandishi inayotenga maneno yaliyo katika orodha Fulani.
  3. Lengo lake kuu huwa ni kujiburudisha tu na si lazima kuwa na vitabu vyote anavyohitaji msomaji kuvisoma.
  4. Hutumika katika kukariri maneno yaliyosemwa na mtu mwingine
  5. Huhifadhi msamiati. Ni chanzo cha tahajia, ni chanzo cha sarufi ya lugha na hutumika katika utafiti has wahistoria ya lugha
  1. Ufahamu
  2. Mkato
  3. Ufupisho
  4. Ni aina za ufahamu
  5. Kamusi
  6. Lugha fasaha
  7. Mtajo
  8. Kusoma kwa burudani

 

SEHEMU B (Alama 40)

Jibu maswali yote katika sehemu hii

  1. Weka majina yafuatayo katika ngeli zake
  1. Ugonjwa
  2. Kipofu
  3. Mchungwa
  4. Uovu
  1. Andika methali inayohusiana na mambo yafuatayo:
  1. Vidole vya binadamu
  2. Ukulima
  3. Imani ya binadamu kwa Mungu
  4. ulevi
  1. (a) Taja njia nne zinazotumika kuunda misimu.

(b)Msimu huwa na sifa za kuendana na wakati, taja misimu mine iliyozuka kipindi cha serikali ya awamu ya tano nchini Tanzania 

  1. Ukuaji na ueneaji wa lugha ya Kiswahili umepitia vipindi vingi tofauti. Fafanua kwa mifano mambo manne (4) yaliyosaidia kuikuza na kuieneza lugha ya Kiswahili baada ya uhuru.
  2. Kwa kutumia mifano kutoka katika riwaya ya Takadini na watoto wa mama Ntilie, kwa kifupi ukitumia hoja nne, mbili kutoka kila riwaya. Eleza ni jinsi gani mwanaume ameonekana kuwa kikwazo cha maendeleo katika jamii. Tumia mzee lomolomo na Mzee Makwati.
  3. Soma kifungu cha habari kifuatacho, kisha jibu maswali yanayofuata:

Amani. Amani!

Amani huyu ndio wimbo unaohitajika kusikika masikioni mwa vizazi vyetu vilivyopo lakini na vijavyo. Huu ndo ulikuwa wosia alikuwa akiutoa mzee mmoja aitwae Majanga kwa watoto wake. Lakini pia kwa wajukuu zake. Baada ya maneno hayo mjukuu mmoja alimuuliza babu yake, kwa nini unapenda tuimbe Amani siku zote? Mzee Majanga alisema yafuatayo : Amani ndio kila kitu Amani huleta umoja na mshikamano, Amani huleta maendeleo, Amani hufanya watu kulipa hata maduhuli ya serikali, Amani hufanya watu kutunza na kulinda miundombinu mbalimbali, Amani huwafanya watu kulala fofofo, Amani huwafanya watu kujenga majumba ya kifahari, Amani huwafanya watu kula chakula na kushiba, Amani inawafanya watu kuongeza familia. Amani ni kila kitu mjukuu wangu.

Baada ya maelezo hayo yote mjukuu wa pili wa mzee Majanga alimuuliza babu yake swali tena. Kwani babu Amani kutoweka inasababishwa na nini? Mzee majanga alimueleza mjukuu wake yafuatayo. Kuna vitu na mambo mengi yanayoweza kufanya Amani ipotee miongoni mwao ni pamoja na ufisadi wa viongozi, uongozi mbaya, ukosefu wa haki miongoni mwa watu, matumizi. Matumizi mabaya ya rasimali za nchi, ukabila, vifo vya watu na hudumu mbovu kwa wananchi. Punde si punde mjukuu wa tatu aliuliza swali kwa babu yake kuwa kwani Amani ikipotea kunatokea madhara gani? Babu alimjibu mjukuu wake kwa kusema kuwa, kwanza usiombe Amani hata ya familia ikipotea maana madhara yake huwezi kuyamudu hata siku moja.

Kwanza watu hugeuka na kuwa watumwa nchini mwao. Pili vifo kuongezeka, uharibifu wa miundombinu mfano barabara, reli n.k njaa kali, nchi kumwaga damu, maandamano yasiyoisha, hudumu zote za kijamii kuzorota kwa ujumla na hakuna awezaye kufanya lolote lenye tija sehemu ambayo haina Amani. Babu alihitimisha wosia wake kwa kuwakumbusha wajukuu zake kuwa wawe mstari wa mbele kuziunga mkono juhudi za mfalme wao anazozifanya ikiwa ni pamoja na kupiga vita rushwa na ufisadi, kujenga uchumi, kujenga aina zote za miundombinu, kuboresha usafiri wa angani na majini lakini kikubwa zaidi kutumia fursa ya elimu bila malipo

Kabla babu hajakataa roho aliwambai wajukuu zake kuwa “Amani ikipotea huwezi kuirudisha kwa urahisi ni bora njaa ya tumbo kuliko njaa ya akili.”

Maswali

  1. Pendekeza kichwa cha habari hii kisichozidi maneno matatu.
  2. Unafikiri kwa nini mzee Majanga anahitaji vizazi vitunze Amani?
  3. (i)Taja mambo matatu yanayoweze kufanya Amani itoweke katika nchi

(ii) Je unahisi Amani ikipotea madhara yake huwa ni makubwa sana? Taja mawili tu.

  1. Unahisi ni kwa nini mzee Majanga anaiona njaa ya tumbo ina unafuu kuliko ile ya akili? Toa sababu mbili tu.

SEHEMU C (Alama 45)

Jibu maswali matatu (3) kutoka katika sehemu hii.

  1. Wewe ukiwa ni mfanya biashara mashuhuri wa simu kutoka kampuni ya NOKIA, andika tangazo kwa wananchi katika gazeti la Uhuru ili kuwajulisha wateja wako na wananchi kwa ujumla juu ya simu mpya unazozileta msimu wa kiangazi.

 

ORODHA YA VITABU TEULE KWA SWALI LA 10 – 12

 

USHAIRI

Wasakatonge     - M.S Khatibu (DUP)

Malenga Wapya    - TAKILUKI (DUP)

Mashari ya Chekacheka  - T.A Mvungi (EP & D.LTD)

 

RIWAYA

Takadini     - Ben J. Hanson (MBS)

Watoto wa Mama Ntilie   - E. Mbogo (H.P)

Joka la Mdimu    - A.J.Safari (HP)

 

TAMTHILIYA

Orodha     - Steve Raynolds (MA)

Ngoswe Penzi kitovu cha Uzembe - E.Semzaba (ESC)

Kilio chetu     - Medical Aid Foundation

 

  1. “Mshairi siku zote kukemea uonevu katika jamii” Thibitisha kauli hii kwa kutoa hoja tatu kutoka katika kila diwani kati ya diwani mbili ulizosoma.
  2. “Fasihi ni chuo cha kufundisha maisha kwa jamii husika.” Jadili ukweli wa kauli hii kwa kutoa hoja tatu kwa kila riwaya kati ya riwaya mbili ulizosoma
  3. Kwa kutumia hoja tatu kwa kila tamthiliya kutoka katika tamthiliya mbili ulizosoma, jadili kufaulu kwa waandishi katika kipengele cha utumizi wa tamathali za semi.

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 123  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 123  

Namba ya Mwanafunzi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

JULAI 2022

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

MAELEKEZO

  • Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12)
  • Jibu maswali yote katika sehemu A na B na maswali matatu (3) kutoka katika sehemu C.
  • Zingatia maagizo ya kila sehemu ya kila swali
  • Simu ya mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani.
  • Andika namba yako ya mtihani katika kila ukurabawa kitabu chako cha kujibia.

SEHEMU A (ALAMA 15)

1.Jibu maswali yote Katika sehemu hii,

(i) Ni aina ya wahusika ambao hawabadiliki na wamepewa majina ambayo humfanya msomaji aelewe tabia na matendo yao;

  1. Wahusika wakuu
  2. Wahusika bapa sugu
  3. Wahusika duara
  4. Wahusika bapa vielelezo
  5. Wahusika shinda

(ii) Vishazi tegemezi vimegawanyika katika aina kuu mbili ambazo ni;

  1. Vishazi tegemezi viwakilishi na vielezi
  2. Vishazi tcgemezi vivumishi na viunganishi
  3. Vishazi tegemezi vumishi na vielezi
  4. Vishazi tegcmezi vikuu na visaidizi
  5. Vishazi tegemezi nomino na vihusishi

(iii) Anatoa ufafanuzi juu ya ubantu wa Kiswahili kwa kuelezea wakazi wa mwambao waliojulikana kama "Wazanji" na watawala wao waliojulikana kama "Wakilimi"

  1. Ali-Idris
  2. Al-Masudi
  3. Marco Polo
  4. Ibin Batuta
  5. Fumo Liyongo

(iv) Ni lahaja zinazopatikana Mombasa;-

  1. Kitumbatu, kingazija, kimvita na kingare
  2. Kizwani kintang'ta, kinakunduchi na kibajuni
  3. Kijomvu, kingare, chichifundi, na kimvita
  4. Kitumbatu, kingare, kimvita na chichifundi
  5. Kimvita, chichifundi, kingazija na kijomvu

(v) Mofimu ku iliyopigiwa mstari imebeba dhima gani katika kitenzi sikukukumbuka

  1. Ukanushi wakati uliopita
  2. Ukanushi nafsi ya kwanza umoja
  3. Kauli ya kutendeka
  4. Kiambishi kirejeshi kauli ya kutenda
  5. Kudokeza mtendwa

(vii) Sehemu ya mzizi asilia iliyoambikwa kiambishi "a" mwishoni

  1. Shina
  2. Mzizi huru
  3. Mofu
  4. Kauli
  5. Mofimu huru

(viii) Ni tamathali ya semi ambayo Jina la mtu hutumiwa kwa watu wengine wenye tabia, mienendo, hulka au kazi sawa na mtu huyo

  1. Taniaba
  2. Tabaini
  3. Majazi
  4. Tashtiti
  5. Ritifaa

(ix) Neno SHADARA limepatikana Iwa kutumia njia gani ya uundaji wa maneno?

  1. Kutohoa
  2. Ufupishaji
  3. Miambatano
  4. Uhulutishaji
  5. Kukopa

(x) Chama cha kukuza na kueneza Kiswahili "TAKILUKI" kilianzishwa mwaka

  1. 1964
  2. 1967
  3. 1979
  4. 1972
  5. 1965

(xi) Aina ya hadithi za ngano zenye wahusika wanyama tu hujulikana kama,

  1. Hekaya
  2. Hurafa
  3. Istiara
  4. Soga
  5. Vigano

2. Chagua kifungu cha maneno kutoka orodha B kinachotoa maelezo sahihi ya maneno neno katika orodha A.

ORODHA A

ORADHA B

  1. Kauli
  2. Lakabu
  3. Kitenzi kishirikishi
  4. Bendera
  5. Prediketa
  1. Kireno
  2. Jutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja la sauti
  3. Huoncsha hali ya kuwepo au kutokuwa kwa jambo/kitu
  4. Husaidia kitenzi kikuu kukamilisha maana
  5. Uhusiano uliopo kati ya kiima na kitenzi au kiima kitenzi na yambwa
  6. Kihindi
  7. Majina yakupanga ambayo baadhi ya watu hupewa kutokana na sifa zao za kimaumbile au kinasaba
  8. Ni kipcra cha ushairi
  9. Sehemu ya kiarifu ambayo hukaliwa na kitenzi
  10. Kipashio cha kiarifu kinachooncsha mtenda wa jambo

SEHEMU B ( Alama 40)

3. Bainisha aina ya kauli katika vitenzi vilivyopigiwa mstari, huku ukifafanua kiambishi kinachojenga kauli hiyo katika tungo zifuatazo.

(i) Matukio ya ubakaji yanaogofya

Waoga wanafahamika

(iii) Nyumba itajengwa na wazazİ

(iv) Dawa za kienyeji zilimlevya sana

4. Huku ukuota mifano. Fafanua dhima nne za mofimu "M" katika lugha ya Kiswahili.

5. Fafanua kwa hoja nne, mambo yanayothibitisha kuwa asili ya lugha ya Kiswahili ni pwani ya Afrika ya Mashariki,

6. Methali hutawaliwa na vipengele mbalimbali vya lugha, onesha vipengele vya lugha vilivyotumika katika utunzi wa methali zifuatazo.

(i) Kibuzi na kibuzi hununa jahazi

(ii) Akili ni mali

(iii) Farasi hamuwawezi, tembo mtawalishani?

(iv) Baniani mbaya kiatu chakc dawa.

(v) Avumayc 'baharini papa, kumbe wengine wapo

7. Soma shairi lifuatalo, kisha jibu maswali yanayofuata Mtu wa fikra njema, kwa watu umcacha jina

Chuma chetu imara, Afrika na dunia nzima,

Mikakati imara lojenga, Tanzania nuru kuangaza

Jiwe Ietu limeondoka takuenzi daima

Katika yote dunia, Jinalo lilivema

Misimamo yenye mashiko, ndiyo yako şifa njema

Nia kubwa kujenga, boma, ndiyo ndoto yako imara

Chuma chetu kimelala, hakika umeacha alama


'Umoja uliujenga, utengano likemea

Uchapakazi ulihimiza, nani alibaki nyuma?

Macndeleo kuyajcnga, Elimu hukuacha nyuma.

Nguzo yetu imeinama, nyoyo zetu zimechutama

Wangu wosia naweka, aloacha kuyaenzi

Uzalendo tuudumishe, Ufisadi tuupinge

Vizazi vijavyo tupate hadilhia, mazuri ya mwamba wetu.

Takuombea daima, lalc kwa ushindi shujaa.

Maswali

(a) (i) Shairi hili limejegwa kwa kutumia muundo gani?

(ii)Fafanua mambo ya msingi yakuzingatia wakati wa uchambuzi wa muundo katika ushairi (Hoja Nne)

(b) Onesha upekee wa mıvandishi katika shairi hili (Hoja Nne)

(c) Mwandishi ana maana gani anaposema jiwe, mwamba chuma na nguzo?

(d) Andika kichwa cha habari cha shairi hili.

(e) Mwandishi anahimiza nini katika kumuenzi shujaa.

8. Kijiji chenu cha Kiloza kimeanzisha mradi wa kilimo cha umwagiliaji. Wewe kama afisa manunuzi, andika barua katika kampuni ya Olotu inayojihusisha na uuzaji pembejeo za kilimo kuangiza bidhaa zitakazotumika katika kuendesha mradi. Jina lako ni Ombeni Mtapewa.

SEHEMU C (Alama 45)

Jibu maswali matatu kutoka katika sehemu hii.

9. Ni kweli kwamba lugha ya Kiswahili imevuka mipaka na kuenea katika maeneo mbalimbali duniani. Thibitisha ukweli wa dai hili (Hoja - 5)

TAMTHILYA

Orodha - Steve Reynolds (MA)

Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe -E. Semzaba (ESC)

Kilio chetu - Medical Aid Foundation

RIWAYA

Takadini - Ben Hnson (MBs)

Mamantilie - Emanuel Mbogo

Joka la mndimu - A. J. Safari (HP)

USHAIRI

Cheka cheka - T. Muungi

Malenga wapya - Takiluki

Wasaka tonge - Mohamed Seif Khatibu

10. Washairi ni wataalamu wazuri na waliobobea katika kutumia jazanda zinazotoa ujumbe kwajamii. Tumia jazanda tatu kwa kila diwani mbili uliyosoma.

11. Lugha ni kipengele cha msingi katika ujenzi wa kazi ya fasihi ambayo husaidia katika kufikisha wazo la msanii kwa jamii. Kwa kutumia riwaya teule mbili (2) ulizozisoma. Jadili jinsi wasanii wa riwaya hizo walivyotumia kipengele cha tamathali za semi hoja Sita (6)

12. Mwandishi ni Mjenzi wa jamii. Thibitisha ukweli wa dai hili kwa kutoa hoja tatu kutoka katikaTamthilia mbili ulizozisoma


FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 101  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 101  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KISWAHILI KIDATO CHA NNE

MUDA: SAA 3:00        MAY  2022

 

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B, na C, zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12)
  2. Jibu maswali yote kama ilivyoelekezwa katika kila sehemu. A na B maswali matatu kutoka sehemu C
  3. Sehemu A ina alama kumi natano (15), sehemu B alama arobaini (40) na sehemu C ina alama arobaini na tano (45)
  4. Zingatia mwandiko mzuri, Mpangilio na usahihi wa majibu yako.
  5. Majibu yote yaandikwe kwenye karatasi za kujibia.

 

 

SEHEMU A

Jibu maswali yote katika sehemu hii

  1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika kipengtele cha (i) hadi (x) kisha andika herufi ya jibu sahihi katika karatasi ya kujibia
  1. Lugha huweza kuchukua maneno kutoka katika lugha za asili, baini maneno hayo katika orodha ifuatayo;
  1. Bendera na meza
  2. Bunge na shule
  3. Hela na mtutu
  4. Godoro na sharubati
  5. Kitivo na ngeli
  1. Ipi ni aina ya tungo ambayo muudo wake una kitenzi ndani yake? Kitenzi hiko huweza kutoa taarifa kamili au isiyo kamili.
  1. Kishazi
  2. Kirai
  3. Shamirisho
  4. Yambwa
  5. Sentensi
  1. Katika neon wanaimba, kuna viambishi vingapi?
  1. 4
  2. 8
  3. 3
  4. 5
  5. 6
  1. Ni mchakato wa uundaji wa maneno kwa kupachika viambishi kabla na baada ya mzizi wa neno.
  1. Utohoaji
  2. Uambishaji
  3. Mnyambuliko
  4. Uambatishaji
  5. Urudufishaji
  1. Kitomeo huweza kuwa na taarifa kadha wa kadha. Je ipi kati ya zifuatazo si taarifa sahihi inayopatikana katika kitomeo?
  1. Wingi wa neon
  2. Aina ya neno
  3. Mfano wa matumizi
  4. Asili ya neno
  5. Mnyumbuliko wa maneno
  1. Katika maneno choka na chako ni mbinu gani imetumika katika kuunda maneni hayo?
  1. Uradidi
  2. Uambishaji
  3. Uhulutishaji
  4. Mpangilio tofauti wa vitamkwa
  5. unyumbulishaji
  1. Vipashio vya lugha hupangwa kidarajia kuanzia kidogo kwenda kikubwa katika mpangilio huo ni kipashio kipi kikubwa cha lugha?
  1. Kirai
  2. Neno
  3. Sentensi
  4. Kishazi
  5. Sauti
  1. Kutokana na kigezo cha tabia muhusika JOTI ni aina gani ya mhusika?
  1. Mhusika shida
  2. Mhusika bapa
  3. Mhusika foili
  4. Mhusika mkuu
  5. Mhusika duara
  1. Waingereza wanakumbukwa kwa mchango wao mkubwa kwa kufanya jambo moja la pekee tofauti na Waarabu na Waingereza katika kukuza na kueneza lugha ya Kiswahili enzi za utawala wao, jambo gani hilo.
  1. Kutoa elimu kwa lugha ya Kiswahili
  2. Kusafirisha manamba kutoka sehemu mbalimbali na kuwa fundisha Kiswahili
  3. Kuteua lahaja ya kiunguja na kuisanifisha
  4. kuhimizA matumizi ya lugha ya Kiswahili katika ofisi zao
  5. kuchapisha kamusi mbalimbali za lugha ya kiswahili
  1. Ipi ni maana ya nahau “Uso mkavu”
  1. Uso usio na mafuta
  2. Uso usio na nuru
  3. Uso usio na haya
  4. Uso usio na shukurani
  5. Uso wenye mabaka mabaka

 

 

 

 

 

  1. Oanisha maana ya dhana zilizo katika ORODHA A kwa kuchangua herufi ya dhana husika katika ORODHA B

ORODHA A

ORODHA B

  1. Ngeli
  2. Sentensi
  3. Nomino za pekee
  4. Neno lenye mofimu nne
  5. Kiambishi cha nafsi ya pili wingi
  1. Pangani, Asha, Usingizi na John
  2. Anayesinzia ni mvivu
  3. Chaki
  4. PAMUKU
  5. Wanaimba
  6. Mnaimba
  7. Mtoto
  8. Chai
  9. Kariakoo, Tanga, Iringa na Ali
  10. Wewe ni mvivu

 

SEHEMU B (Alama 40)

Jibu maswali yote ya sehemu hii kwa kuzingatia maelekezo ya kila swali.

 

  1. Taja mambo manne (4) yakuzingatia katika uandishi wa kumbukumbu za mikutano
  2. Badili vishazi tegemezi vifuatavyo kuwa vishazi huru
  1. Mtoto aliyelia jana usiku
  2. Kazi zinazofanywa
  3. Jambo litakalomsumbua
  4. Kitabu kinachosomwa
  1. Kwa mwanafunzi anayeijua vizuri sarufi ya lugha ya Kiswahili ni rahisi kutambua makossa yanayotokea katika lugha. Kwa hoja nne (4) na mifano fafanua makossa ya kisarifi yanayojitokeza katika utumiaji wa lugha kwa mwanafunzi wa kitanzania.
  2. Ainisha sentensi zifuatazo, kisha toa sababu moja (1) yaa uainishaji huo kwa kila sentensi.
  1. Mkate uliotupatia umeharibika
  2. Sanga alikuwa amelala
  3. Aliadhibiwa kwa kuwa alifanya makossa
  4. Mwalimu akirudi tutaendelea na somo
  1. “Licha ya lugha ya Kiswahili kuteuliwa kuwa lugha ya Taifa la Tanzania, bado inakabiliwa na changamoto mbalimbali kwa sasa” Onesha ukweli wa kauli hiyo kwa hoja nne (4)
  2. Vifuatavyo ni vipera vya tanzu za fasi simulizi. Onesha tofauti iliyopo baina ya jozi za vipera hivyo
  1. Visakale na visasili
  2. Ngonjera na majingambo
  3. Mizungu na misemo
  4. Wimbo na utenzi

 

 

 

 

 

 

 

SEHEMU C (Alama 45)

Jibu maswali matatu (3) kutoka sehemu hii

 

  1. Anna ni mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Kibo. Alikutwa na simu licha ya katazo la serekali na shule kuwa hairuhusiwi mwanafunzi kumiliki simu akiwa shuleni. Baada ya kukutwa na simu hiyo alihojiwa na mwalimu nwa nidhamu. Kwa kutumia ukurasa mmoja na nusu (11/2) andika namna mazungumzo yao yalivyokuwa. 
  2. Waandishi wengi wamejadili suala la ukombozi katika Nyanja tofauti tofauti. Kwa kutumia Diwani mbili ulizosoma fafanua kwa hoja tatu (3) kutoka katika kila Diwani, ni kwa jinsi gani waandishi hao wamejadili suala hilo.
  3. “Mojawapo ya asasi zinazokumbwa na changamoto nyingi kwa sasa ni asasi ya ndoa.” Thibitisha kauli hiyo kwa kutoa hoja tatu (3) kwa kila kitbu kutoka katika riwaya mbili ulizosoma.
  4. Mara nyingi matatizo yanapotokea katika jamii, watu huyatatua kwa njia zisizofaa. Kwa kutumia tamthilia mbili kati ya ulizosoma, fafanua kwa hoja tatu (3) kutoka katika kila tamthilia jinsi matatizo yaliyojitokeza na yalivyotatuliwa kwa njia zisizofaa.

 

ORODHA YA VITABU 

USHAIRI 

Wasakatonge      M.S. Khatibu (DUP)

Malenga Wapya      TAKILUKI (DUP)

Mashairi ya chekecheka     T.A. Mvungi (EP&D.LTD

 

RIWAYA 

Takadini      Ben J. Hanson (MBS)

Watoto wa Mama N’tilie     E. Mbongo

Joka la mdimu      A.J. Safari 

 

TAMTHILIA 

Orodha       Steve Reynolds (MA)

Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe    E. Semzaba (ESC)

Kilio Chetu       Medical Aid Foundation (TPH)

 

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 97  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 97  

 

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

PRESIDENT’S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

 

FORM IV MOCK EXAMINATION 2022

 

012      HISTORY

TIME: 3:00 HOURS                                                                   JULY, 2022

 

INTRUCTIONS

  1.               This paper consists of section A,B and C with a total of nine (9) questions.
  2.               Answer all questions in sections A,B and three questions from section C
  3.               Cellular phone and any unauthorized materials are not allowed in the examination room
  4.               All drawing should be in pencil
  5.               Write your examination number on every page of your answer booklet(s)

 

SECTION A (20 MARKS)

Answer all questions in this section.

  1.               For each of the items (i) – (xv), choose the correct answer from the given alternatives and write its letter beside the item number in the answer booklet provided.
  1.                 What were the major social effects of interactions among the people of Africa
  1.               Increase of population and famine.
  2.               Intermarriages and emergence of new languages
  3.               Development of social services and loss of originality.
  4.               Growth of towns and  urban
  1.               Why is Otto von Bismarck famous in history?
  1.               He summoned and chaired the Berlin conference of 1884 – 1885
  2.               He was the founder of league of nations after the first word war
  3.               He solved the conflict between Germany and Italy.
  4.               He sponsored Anglo – Germany Treaty of 1890.
  1.            What was the most common method of farming in pre – colonial Africa?
  1.               Shifting cultivation
  2.               Mixed farming
  3.               Permanent crop cultivation
  4.               Plantation agriculture
  5.               Slash and burn cultivation

 

 

  1.             The early development of animal and plant domestication is called.
  1.               Revolution
  2.               Neolithic Revolution
  3.               Revolutionary
  4.               Revolution of people
  5.               Neolithic development
  1.               Which were the stages in the evolution of man.
  1.               Homohabilis and walking by two limbs.
  2.               Zinjantrous and homosapiens
  3.               Homo habilis and homo erectus
  4.               Homo sapien and Australopithecus
  1.             The colonial imperial charted companies failed in their mission to rule African colonies because.
  1.               Other European companies were against them
  2.               They had little capital and skilled manpower to run colonial administration.
  3.               The colonies were producing less and therefore were not profitable.
  4.               Imperialist state were too far to support them during resistances.
  5.               African chiefs refused towivic with the company admistrators.
  1.          Who were the main East African traders in the long – distance trade
  1.               Yao, makonde  and haya
  2.               Yao, makua and Nyamwezi
  3.               Kamba, Nyamwezi and sukuma
  4.               Nyamwezi, kamba and Kikuyu
  1.        What were the factors which led to the growth and consolidation of oyo empire in the 14thc?
  1.               Military strength and invasion of by Bariba and Nupe.
  2.               Invasion of French and Portuguese
  3.               Development of trade and good division of lab our
  4.               Presence of good climate
  5.               Weak leaders and constant warfare
  1.             The North African people were interacting with people from west African mainly through
  1.               The trans – continental trade
  2.               The trans – Saharan trade
  3.               Transition
  4.               Sahara desert
  5.               The trans Atlantic slave trade
  1.               The African contact with middle East and far East dates back to as early as
  1.               300 BC
  2.               200 BC
  3.               200 AD
  4.               300 AD
  5.               1000 AD
  1.             Which of the following were the countries which used armed struggle means to gain their political independence
  1.               Kenya and Tanganyika
  2.               Uganda and Rwanda
  3.               Mozambique and Angola
  4.               Cape Verde and Burkina Faso
  5.               Angola and Cameroon.
  1.          As a historian why some areas in Africa were reserved by the colonialists?
  1.               Were areas for recreation of the colonial masters.
  2.               Were areas for getting cheap lab our
  3.               Wanted to settle resistances
  4.               They were desert areas
  1.        When the commercial capitalism Took place in Europe?
  1.               Between 1500 and 1750
  2.               Between 1600 and 1800
  3.               Between 1750 and 1840
  4.               Between 1800 and 1860
  5.               Between 1500 and 1650
  1.        Muammar Ghadafii was the famous African leader who was killed in 2011 the American army force and other European allied forces was the president of!
  1.               Congo DRC
  2.               Tanzania
  3.               Uganda
  4.               Egypt
  5.               Libya
  1.           In most parts of pre-colonial Africa the ruling classes appropriated Africa the ruling classes appropriated surplus through
  1.               Lab our services and wars
  2.               War conquest
  3.               Looting and plundering
  4.               Taxation and low wages
  5.               Harsh treatment.

 

  1.               Match the descriptions in list A with the corresponding names of the rovutions in list B by writing the letter of the correct response beside the item number in the answer booklet provided

LIST A

LIST B

  1.                 The greatest land lord who ruled Zanzibar
  2.               The powerful leader among the Nyamwezi and sukuma who organized the process of opening up new land
  3.            Gold deposits were discovered in Transval.
  4.             A leader of royal Niger company
  5.               A treaty signed between British consul and the sultan of Zanzibar in Zanzibar.
  1.               The year when America got her independence
  2.               Indian independence
  3.               Mwinyimkuu
  4.               Zanzibar revolution
  5.               Hamarton treaty
  6.                 Mtemi
  7.               1873
  8.              Shkasulu
  9.                 George Turban goldie
  10.                 1867

 

SECTION B (35 MARKS)

Answer all question in this section

  1.               Answer the following questions briefly;
  1.                 How would you relate between Otto von Bismark and Berlin conference?
  2.               Why do you think chief lobe ngula II of Ndebele will never forgotten by the British?
  3.            Why Othman Dan Fodio is considered as hero in the history of west Africa?
  4.             How would you prove that missionaries were the gents of capitalism?
  5.               Why KinjekitileNgwale is highly remembered by the Germans?

 

  1.               Arrange the following historical events in chronological order by writing number 1 – 6 beside the item number in the answer booklet provided.
  1.                 The development of trans-Atlantic slave trade was a result of European advancement in maritime technology and mercantilism.
  2.               There was the emergence of class of merchants who were interested merchants who were interested in buying and selling of commodies
  3.            During the fifteenth and sixteenths centuries, mercantilism was gaining importance in the European continent
  4.             Trans – Atlantic slave trade was the trade which was conducted across the Atlantic ocean
  5.               Between 1400 and 1600 European nations had developed rapidly in maritime technology like building ships which were able to reach several ports of the world.
  6.             Trans – Atlantic slave trade started in the is the after the discovery of Americas (new world) by Christopher Columbus

 

  1.               A). Draw a sketch map of East Africa and mark the following important railway mark the following important railway stations during the colonial rule:Mombasa to kampala to kasese via Kisumu, Dar es salaam to Kigoma, Tabora to mwanza and Tanga to Moshi

B) Outline at least five features of colonial transport and communication networks during colonial rule.

 

SECTION C: (45MARKS)

ANSWER THREE (3) QUESTIONS FROM THIS SECTION

  1.               What are the major limitations of archaeology as a source of historical information? Give six points
  2.               Elaborate six contributions of religious protest to the rise of mass nationalism in Africa
  3.               How did the colonial government establish and consolidate settler agriculture in Kenya? Limit your answer to six points.
  4.               Explain the role played by companies and Associations in preparing African for colonization. Limit your answer to six points.

 

1

 

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 94  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 94  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KIDATO CHA NNE  

021KISWAHILI

MUDA: SAA 3:00           2021

 

MAELEKEZO

  1.    Karatasi hii ina sehemu A,B,C, na D
  2.    Zingatia maagizo ya kila sehemu na kila swali.
  3.    Majibu yote yaandikwe kwa wino wa bluu au mweusi.
  4.    Jibu maswali yote katika sehemu A,B,C na maswali matatu sehemu D, swali la tisa ni lazima.

SEHEMU A (Alama 10)

  1.    Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x), kisha andika herefu ya jibu hilo.
  1.          Ni jambo gani linalodhihirisha umbo la nje ya kazi ya fasihi?
  1.  Muundo
  2.  Jina la kitabu
  3.  Fani
  4.  Mtindo.
  1.          Ni sehemu ya neno ambayo  huweza kutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja lasauti.
  1.  Irabu
  2.  Konsonati
  3.  Mofu
  4.  Silabi
  1.          leta wali kuku.hii ni aina gani ya rejista?
  1.  rejesta ya hotolini
  2.  rejesta ya hospitalin
  3.  rejesta ya mtaani
  4.  rejista ya shambani
  1.          Ipi maana inayoelekeana na methali hii? ‘chanda chema huvikwa pete’
  1.  Mwanamke mrembo
  2.  Mtoto wa kike mwenye tabia njema hupendwa
  3.  Mtoto mzuri huvaa nguo zikampendeza
  4.  Bibi harusi
  1.          ..........ni hadithi zinazozungumzia matukio ya kihistoriya.
  1.  ngano
  2.  tarihi
  3.  visasili
  4.  soga
  1.          Mara nyingi fasihi simulizi huzingatia uwepo wa ;
  1.  fanani na hadhira
  2.  mtunzi
  3.  fanani
  4.  hadhira
  1.          Upi ni mzizi wa neno anakula?
  1.  Kul
  2.  La
  3.  L
  4.  Akul
  1.          Ni jambo gani linalodhihirisha upekee wa kazi Fulani ya kifasihi?
  1.  muundo wa kazi husika
  2.  wahusika wa kazi husika
  3.  mtindo wa kazi husika
  4.  jina la kazi husika
  1.          Neno lipi kati ya maneno haya linaweza kudokeza mtenda au mtendwa?
  1.  kiunganishi
  2.  kihisishi
  3.  kielezi
  4.  kiwakilishi
  1.          Ni sifa ipi haitofautishi fasihi simulizi na fasihi andishi?
  1.  ukubwa
  2.  uwasilishwaji
  3.  uhifadhi
  4.  ueneaji

SEHEMU B (Alama 5)

 

  1.    Oanisha sentensi za kifungu A, kwa kuchagua jibu sahihi katika kifungu B, andika jibu lako kwa usahihi katika kisanduku ulichopewa hapo chini;

 

KIFUNGU A

KIFUNGU B

  1.      Huonesha mpangilio wa maneno kialfabeti,jinsi yanavyoandikwa kutamkwa na maana zake.
  2.   Mjengo au umbo la kazi ya fasihi.
  3. Maneno yasiyo sanifu yanayozungumzwa na kikundi kidogo cha watu.
  4.  Taauluma inayoshughulikia maumbo au mjengo wa maneno katika tungo.
  5.    Ni mtindo wa lugha inayozungumzwa kulingana na muktadha na kusudi maalum.
  1.    Tanzu za fasihi.
  2.    Rejesta
  3.    Misimo.
  4.    Sarufi maumbo.
  5.    Misimu.
  6.     Mofimu.
  7.    Muundo.
  8.    Nomino.
  9.      Kamusi.

 

KIFUNGU: A

  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           

KIFUNGU B

 

 

 

 

 

 

SEHEMU C: ALAMA 40;

Jibu maswali yote katika sehemu hii

  1.    Eleza maana ya kielezi kwa kutoa mfano wa sentensi moja.

 

  1.    Kwa kila tungo uliyopewa pigia mstari kielezi na kisha taja ni kielezi cha aina gani?
  1.          Darasani kuna utulivu mkubwa.
  2.          Wanafunzi wanaimba kimasihara.
  3.          Mwalimu amerudi tena.
  4.          Nitaondoka wiki ijayo.

 

  1.    Toa maana tano(5) za neno “ Kibao” kisha tunga sentensi moja kwa kila maana ulitoa.

 

  1.    Taja njia nne (4) zitumikazo kuunda misamiati na utoe mfano kwa kila njia.

 

  1.    Taja aina mbili za Mashairi na maana zake.

 

 

  1.    Soma shairi lifuatalo kisha jibu sehemu hii.

 

Utu wa binadamu, ni kama yai na kuku,

Utu niile nidhamu,mola aliyo kukhuluku,

Ubinadamu ni damu,ya utu wa kila siku,

Utu wowote wa mtu,ni kuwajali wenzake.

 

Yeyote mwanadamu, ana asili ya mtu,

Yaani kwenye yake damu, hakikosi hiki kitu,

Utu sifa maalum,ya mtu kuitwa mtu,

Utu wowote wa mtu, ni kuwajali wenzake.

 

Utu ni kiumbe hai, tunacho chaonekana,

Utu kamwe haudai, tabia ya kujivuna,

Utu ni ule uhai,ushikao uungwana.

Utu wowote wa mtu, ni kuwajali wenzake

 

Utu unayo aibu, na tabia ya muhali,

Utu huenda na jibu,kila imani na ukweli,

Utuwe hauna tabu,tabia ya ujalili,

Utu wowote wa mtu,ni kuwajali wenzake.

 

MASWALI

  1.    Pendekeza kichwa cha shairi ulilosoma
  2.    Eleza maana ya maneno yaliyopigiwa mstari kama yalivyotumika katika shairi ulilosoma.
  1.        Kukhuluku
  2.     Uungwana
  3.   ujalili.
  4.    Muhali.
  1.     Mwandishi anasisitiza nini katika utanzu huu wa shairi
  2.    Onesha muundo na mtindo uliotumika katika shairi hili.
  3.    Umepata ujumbe gani katika shairi hili? Toa hoja mbili.

 

SEHEMU D(Alama 45)

Jibu maswali matatu (3) kutoka katika sehemu hii swali la 9 ni lazima

9. Ukiwa kiongozi wa michezo katika shule ya Sekondari Kizota S L P 30 Dodoma, andika barua kwa mkuu wako wa shule kupitia kwa mwalimu wa michezo kuomba kuongezewa siku za michezo shuleni. jina lako liwe Sikunjema Afya.

 

10 “Msanii ni kinda la jamii husika anayoandika kuihusu jamii hiyo”. Jadili kauli hii kwa kutumia hoja tatu kutoka katika kila diwani kati ya diwani mbili zilizoorodheshwa.

 

11. “Wahusika katika kazi za fasihi ni mfano wa kuigwa na jamii kwa tabia na matendo yao”. Thibitisha kauli hii kwa kutumia hoja tatu kwa kila mhusika kutoka katika tamthilliya mbili zilizoorodheshwa.

12.Elimu ni ufunguo wa Maisha. Fafanua kauli hii kwa kutoa hoja tatu kwa kila kitabu kati ya vitabu viwili vya riwaya vilivyoorodheshwa.

 

 

 

ORODHA YA VITABU

USHAIRI

Wasakatonge  M.S. Khatibu (DUP)

Malenga Wapya  TAKILUKI (DUP)

Mashairi ya Chekacheka T.A.Mvungi (EP & D.LT.D)

RIWAYA

Takadini  Ben J. Hanson (Mbs)

Watoto Wa Mama N’tilie  E. Mbogo (H.P)

Joka La Mdimu  A.J.Safari (H.P)

TAMTILIYA

Orodha  Steve Reynolds (Ma)

Ngoswe Penzi Kitovu Cha Uzembe  E.Semzaba (Esc)

Kilio Chetu  Medical Aid Foundation(Tph)

 

1

 

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 91  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 91  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KIDATO CHA NNE

021                        KISWAHILI

MUDA: SAA 3:00                                                     APRILI: 2022

 

MAELEKEZO

1. Karatasi hii ina sehemu A, B, C, na D

2. Zingatia maagizo ya kila sehemu na kila swali.

3. Majibu yote yaandikwe kwa wino wa bluu au mweusi.

4. Jibu maswali yote katika sehemu A, B, C na maswali matatu sehemu D, swali la tisa ni lazima.

 

SEHEMU A (Alama 10)

1.Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x), kisha andika herefu ya jibu hilo.

i) Ni jambo gani linalodhihirisha umbo la nje ya kazi ya fasihi?

  1. Muundo
  2. Jina la kitabu
  3. Fani
  4. Mtindo.

ii) Ni sehemu ya neno ambayo huweza kutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja la sauti.

  1.  Irabu
  2. Konsonati
  3. Mofu
  4. Silabi

iii) leta wali kuku.hii ni aina gani ya rejista?

A. Rejesta ya Hotolini

B. Rejesta ya Hospitalin

C. Rejesta ya Mtaani

D. Rejista ya Shambani

iv) Ipi maana inayoelekeana na methali hii? ‘chanda chema huvikwa pete’

  1. Mwanamke mrembo
  2. Mtoto wa kike mwenye tabia njema hupendwa
  3. Mtoto mzuri huvaa nguo zikampendeza
  4. Bibi harusi

v) ..........ni hadithi zinazozungumzia matukio ya kihistoriya.

  1.  Ngano
  2.  Tarihi
  3.  Visasili
  4.  Soga

vi) Mara nyingi fasihi simulizi huzingatia uwepo wa;

  1.  Fanani Na Hadhira
  2.  Mtunzi
  3.  Fanani
  4.  Hadhira

vii)Upi ni mzizi wa neno anakula?

  1. Kul
  2. La
  3. L
  4. Akul

viii)Ni jambo gani linalodhihirisha upekee wa kazi Fulani ya kifasihi?

  1.  Muundo wa kazi husika
  2.  Wahusika wa kazi husika
  3.  Mtindo wa kazi husika
  4.  Jina la kazi husika

ix) Neno lipi kati ya maneno haya linaweza kudokeza mtenda au mtendwa?

  1. Kiunganishi
  2. Kihisishi
  3. Kielezi
  4. Kiwakilishi

x) Ni sifa ipi haitofautishi fasihi simulizi na fasihi andishi?

  1. Ukubwa
  2. Uwasilishwaji
  3. Uhifadhi
  4. Ueneaji 

 

SEHEMU B (Alama 5)

 

2. Oanisha sentensi za kifungu A, kwa kuchagua jibu sahihi katika kifungu B, andika jibu lako kwa usahihi katika kisanduku ulichopewa hapo chini;

 

 KIFUNGU A

KIFUNGU B

  1. Huonesha mpangilio wa maneno kialfabeti,jinsi yanavyoandikwa kutamkwa na maana zake.
  2. Mjengo au umbo la kazi ya fasihi.
  3. Maneno yasiyo sanifu yanayozungumzwa na kikundi kidogo cha watu.
  4. Taauluma inayoshughulikia maumbo au mjengo wa maneno katika tungo.
  5. Ni mtindo wa lugha inayozungumzwa kulingana na muktadha na kusudi maalum.

 

 

 

  1.         Tanzu za fasihi.

 

  1.         Rejesta.

 

  1.         Misimo.

 

  1.         Sarufi maumbo.

 

  1.         Misimu.

 

  1.          Mofimu.

 

  1.         Muundo.

 

  1.         Nomino.

 

  1.          Kamusi.

 

 

KIFUNGU: A

I

II

III

IV

V

KIFUNGU B

 

 

 

 

 

 


 

 

SEHEMU C: ALAMA 40

Jibu maswali yote katika sehemu hii

 

3. Eleza maana ya kielezi kwa kutoa mfano wa sentensi moja.

4. Kwa kila tungo uliyopewa pigia mstari kielezi na kisha taja ni kielezi cha aina gani? 

i) Darasani kuna utulivu mkubwa.

     ii) Wanafunzi wanaimba kimasihara.

     iii) Mwalimu amerudi tena.

     iv)  Nitaondoka wiki ijayo.    

5. Toa maana tano (5) za neno “Kibao” kisha tunga sentensi moja kwa kila maana ulitoa.

6.Taja njia nne (4) zitumikazo kuunda misamiati na utoe mfano kwa kila njia. 

7. Taja aina mbili za Mashairi na maana zake. 

8. Soma shairi lifuatalo kisha jibu sehemu hii.

Utu wa binadamu, ni kama yai na kuku,

Utu niile nidhamu, mola aliyo mtunuku,

Ubinadamu ni damu, ya utu wa kila siku,

Utu wowote wa mtu, ni kuwajali wenzake.

 

Yeyote mwanadamu, ana asili ya mtu,

Yaani kwenye yake damu, hakikosi hiki kitu,

Utu sifa maalum, ya mtu kuitwa mtu,

Utu wowote wa mtu, ni kuwajali wenzake.

 

Utu ni kiumbe hai, tunacho chaonekana,

Utu kamwe haudai, tabia ya kujivuna,

Utu ni ule uhai, ushikao uungwana.

Utu wowote wa mtu, ni kuwajali wenzake

 

Utu unayo aibu, na tabia ya muhali,

Utu huenda na jibu, kila imani na ukweli,

Utuwe hauna tabu, tabia ya ujalili,

Utu wowote wa mtu, ni kuwajali wenzake.

 

 

MASWALI

  1. Pendekeza kichwa cha shairi ulilosoma
  2. Eleza maana ya maneno yaliyopigiwa mstari kama yalivyotumika katika shairi ulilosoma.
  1. Kukhuluku
  2. Uungwana
  3. ujalili.
  4. Muhali.
  1.  Mwandishi anasisitiza nini katika utanzu huu wa shairi
  2. Onesha muundo na mtindo uliotumika katika shairi hili.
  3. Umepata ujumbe gani katika shairi hili? Toa hoja mbili.

 

SEHEMU D (Alama 45)

 

Jibu maswali matatu (3) kutoka katika sehemu hii swali la 9 ni lazima

9. Ukiwa kiongozi wa michezo katika shule ya Sekondari Kizota S L P 30 Dodoma, andika barua kwa mkuu wako wa shule  kupitia kwa mwalimu wa michezo kuomba kuongezewa siku za michezo  shuleni. jina lako liwe Siku njema Afya.

 

10 “Msanii ni kinda la jamii husika anayoandika kuihusu jamii hiyo”. Jadili kauli hii kwa kutumia hoja tatu kutoka katika kila diwani kati ya diwani mbili zilizoorodheshwa.

 

11. “Wahusika katika kazi za fasihi ni mfano wa kuigwa na jamii kwa tabia na matendo yao”. Thibitisha kauli hii kwa kutumia hoja tatu kwa kila mhusika kutoka katika tamthilliya mbili zilizoorodheshwa.

12.Elimu ni ufunguo wa maisha. Fafanua kauli hii kwa kutoa hoja tatu kwa kila kitabu kati ya vitabu viwili vya riwaya vilivyoorodheshwa.

 

ORODHA YA VITABU

USHAIRI

Wasakatonge                                                     M.S. Khatibu (DUP)

Malenga Wapya                                                TAKILUKI (DUP)

Mashairi ya Chekacheka                                   T.A.Mvungi (EP & D.LT.D)

RIWAYA

Takadini                                                            Ben J. Hanson (Mbs)

Watoto Wa Mama N’tilie                                   E. Mbogo (H.P)

Joka La Mdimu                                                   A.J.Safari (H.P)

TAMTILIYA

Orodha                                                             Steve Reynolds (Ma)

Ngoswe Penzi Kitovu Cha Uzembe                   E.Semzaba    (Esc)

Kilio Chetu                                                       Medical Aid Foundation (Tph)

 

 

1

 

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 80  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 80  

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KWANZA

KIDATO CHANNE

021KISWAHILI

(Kwa watahiniwa Walioko na Wasiokuwa Shuleni)

MUDA: SAA 3MEI 2021


Maelekezo

1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12).

2. Jibu maswali yote kutoka sehemu A, Bna chagua maswali matatu (03)kutoka sehemu C.

3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na kila swali.

4.Andika kwa kutumia kalamu ya wino wa bluu au nyeusi

5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa haziruhusiwikatika chumba cha mtihani.

6. Andika namba yako ya mtihani katika kila karatasi yako ya kujibia.

UFAHAMU 

SEHEMU A: ALAMA 15

  1.                Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i-x) kisha andika herufi ya jibu sahihi hilo katika kisanduku.
  1.               Neno gani linaweza kujitokeza kama kitenzi kishirikishi.

(A)  Anakimbia   (B) Huyu  (C) Alikuwa

(D) Nimesafiri   (E) Mtoto.

  1.             Sentensi sahihi huwa na miundo mingapi ya Kitenzi?

(A) Miwili    (B) Mitatu  (C) Mnne

(D) Mmoja   (E) Haina

  1.           ‘’Vizuri vinajiuza’’ neno ‘’Vizuri’’ katika sentensi hii ni aina gani ya neno?

(A) Kielezi   (B) Kivumishi (C) Kitenzi

(D) Kiwakilishi   (E)  Nomino

  1.           Katika neno ‘’Nimemkamata’’ kiambishi ‘’me’’ kina dhima gani?

(A)  Kuonyesha nafsi (B) Wakati uliopita

(C)  Urejeshi wa mtendwa (D) Hali ya masharti

(E) Wakati timilifu.

  1.             Neno ‘’NZI’’ lina silabi ngapi?

(A) Tatu   (B) Moja  (C) Nne

(D) Mbili   (E) Tano

  1.           Njia ipi ya kuhifadhi fasihi simulizi iliyo tokana na maendeleo ya 

Sayansi?

  (A) Njia ya kichwa  (B) Njia ya maandishi

(C)  Njia ya simu  (D) Njia ya kanda za Sinema na Video   (E)              Njia ya magazeti.

  1.         Kati ya wahusika wafuatao yupi si muhusika wa fasihi simulizi.

(A) Binadamu  (B) Wanyama

(C) Lugha   (D) Vitu na mahali

(E) Hadhara.

  1.      Vifuatavyo ni vipashio vidogo kabisa vya kiisimu isipokuwa:-

(A) Sentensi  (B) Konsonanti 

(C) Mofimu   (D) Irabu

(E) Silabi

  (ix) Mtindo wa lugha unapatikana katika mada ya:

   (A) Kamasi   (B) Viambishi

   (C) Musimu   (D) Rejesta  (E) Ngeli.

  (x) Ni jambo gani linalodhihirisha upekee wa kazi fulani ya kifasihi.

   (A) Muundo wa kazi husika (B) Wahusika wa kazi za fasihi

   (C) Jina la kazi husika   (D) Jina la mtunzi wa kazi husika

   (E) Mtindo wa kazi husika.  

  1.                Chagua maneno katika orodha B, ukioanisha na maelezo yaliyotolewa katika orodha A kwa kuandika herufi ya jibu sahihi.

ORODHAA

ORODHAB

(i) Sherehe/shughuli zinazofanywa na jamii katika 

    kipindi maalumu cha mwaka.

A. Vichekesho

(ii) Maigizo mafupi yaliyojaa ucheshi na mzaha.

B. Miviga

(iii) Kitenzi kishirikishi kipi kinaonekana kukubali 

    kuwepo kwa hali fulani 

C. si

(iv) Sehemu ya neno ambalo hutumika kuandika 

     jina jipya.

D. ni 

(v) Tabia ya kuonyesha nafsi

E. Mizizi

F. Shina

G. Kauli

H. Kitenzi

SEHEMU B.

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

  1.                Bainisha aina za Viwakilisha vilivyomo katika sentensi zifuatazo:-

(i)  Kile kimetiwa rangi nyeupe

(ii) Upi umeisha?

(iii) Vifaranga vya Juma vipo, vyako havipo.

(iv) Ambao wamefika hapa ni Wanasayansi

(v)  Wangapi wamekula Mayai

(vi) Wale hawasomi kwa sababu hawana karo.

(vii) Watoto wako wamefika, wangu bado.

(viii) Ambaye anataka kujiunga na Jeshi afike Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

(ix) Nyinyi mlifanya uchaguzi vizuri

(x) Ile ya kijani si mali yake.

  1.                (a) Bainisha kwa mfano mmoja miundo mitano ya Kirai Nomino (KN)

(b) Toa maana ya maneno yafuatayo:-

 (i) Kiima (ii) Kiarifu  (iii) Prediketi  (iv) Shamirisho

 (v) Chagizo.

  1.                Toa maana ya maneno yafuatayo:-

(i) Paa  (ii) Panga  (iii) Kata

(iv) Mbuzi  (v) Kaa

  1.                Vitenzi vya Kiswahili vina tabia zake. Bainisha tabia tano za vitenzi vya Kiswahili huku ukitoa mfano mmoja kwa kila tabia.
  1.                (a)  Tunga Shairi la beti mbili la muundo wa tabia kuhusu unyanyasaji wa

Kijinsia. Zingatia kanuni za kimapokeo.

 (b) Onesha na uelezee kanuni zifuatazo kama zilivyojitokeza katika shairi 

  Uliliotunga. (i) vina  (ii) mizani  (iii) kipande

  (iv) mshororo.

  1.                Umechaguliwa kuandika kumbukumbu za kikao cha harusi huko kijijini kwenu. Kwa kuzingatia vipengele muhimu vya uandishi na kumbukumbu za kikao. Andika kumbukumbu za kikao hicho.

SEHEMU C (ALAMA 45)

Jibu maswali matatu (3) kutoka katika sehemu hii.

  1.                Kiswahili ni Kiarabu kwa jina, lakini ni Kibantu kwa asili yake. Thibitisha dai hili kwa hoja za Kiisimu.
  2.            ‘’Mwandishi amemchora Mwanamke katika nafasi mbalimbali’’. Thibitisha kauli hivyo kwa hoja tano(5) kutoka katika tamthiliya mbili ulizosoma.
  3.            Kwa kutumia Riwaya mbili ulizosoma, onesha uhalisia wa dhamira nne kwa kila kitabu kwa jamii.
  4.            Taswira ni kipengele muhimu katika kupamba kazi ya ushairi n kufikisha ujumbe kwa hadhira. Kwa kutumia Diwani mbili thibitisha ukweli huu kwa hoja nne kwa kila kitabu.

1

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 54  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 54  


THE PRESIDENT'S OFFICE

MINISTRY OF REGIONAL GOVERNMENT AND LOCAL GOVERNMENT

PRE-NATIONAL  EXAMINATION SERIES-1

KISWAHILI  FORM-4

2020

TIME: 3:00 HRS

Maelekezo

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12).
  2. Jibu maswali yote katika sehemu A na B na maswali matatu (3) kutoka sehemu C.
  3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na ya kila swali.
  4. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani.
  5. Andika Namba yako ya Mtihani katika kila ukurasa wa kijitabu chako cha kujibia.

SEHEMU A (Alama 15)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x), kisha andika herufi ya jibu hilo katika kijitabu chako cha kujibia.

(i) Neno lipi kati ya maneno haya linaweza kudokeza mtenda au mtendwa?

  1. Kiunganishi   
  2. Kivumishi
  3. Kihisishi 
  4. Kiwakilishi 
  5. Kielezi

 

(ii) Ni sentensi ipi haina kitenzi kisaidizi?

  1.  Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa mtiifu.
  2. Watoto wanatakiwa kulala mapema ili wawahi shuleni.
  3. Paka alikuwa anataka kula chakula cha mbwa.
  4. Juma alikuwa anasoma kitabu cha hadithi za mapenzi.
  5. Robert Kelly anataka kuja kutumbuiza mwezi Desemba.

(iii)  Ni sentensi ipi inawakilisha kikamilifu wahusika wa fasihi simulizi?

  1. Vitu, mahali, wanyama, binadamu, fanani na maleba.
  2. Hadhira, wanyama, maleba, binadamu na fanani.
  3. Hadhira, binadamu, wanyama, vitu, mahali na fanani. 
  4. Fanani, vitu, mahali, binadamu, maleba na wanyama.
  5. Wanyama, manju, binadamu, vitu, mahali na maleba.

 

(iv)  Bainisha seti ya maneno inayofaa kuingizwa kwenye kamusi kwa kuzingatia mpangilio wa alfabeti.

  1. Jabali, jadhibika, jabiri, jadi, jalada
  2. Jabali, jabiri, jadhibika, jadi, jalada
  3. Jabali, jadi, jadhibika, jalada, jabiri 
  4. Jabiri, jabali, jalada, jadi, jadhibika
  5. Jabali, jalada, jabiri, jadhibika, jadi

 

(iv) Watoto hawa wanacheza vizuri neno “Vizuri” ni aina gani ya neno? 

  1. Kivumishi 
  2. Kielezi 
  3. Kiwakilishi 
  4. Kivumishi cha sifa 
  5. Kihisishi 

 

(v) Kiswahili ni kibantu kwa kuwa:- 

  1. Kinaongewa na wabantu wengi 
  2. Ni lugha ya Taifa 
  3. Kina maneno mengi ya kibantu 
  4. Kimethibitishwa kiisimu na kihistoria 
  5. Wasomi wengi wamethibitisha hivyo.  


(vi) Ni jambo gani linalodhihirisha upekee wa kazi fulani ya kifasihi? 

  1. Muundo 
  2. Mtindo 
  3. Wahusika 
  4. Jina la mtunzi  
  5. Jina la kazi husika 

(vii) Ipi ni fasili sahihi kuhusu tungo? 

  1. Maneno yanayoonesha uhusiano baina ya neno moja na jingine. 
  2. Kipashio kidogo katika lugha kinachotumika kama dhana ya kuchambulia lugha Fulani. 
  3. Matokeo ya kuweka na kupanga pamoja vipashio sahili ili kujenga vipashio vikubwa zaidi. 
  4. Kipashi cha kimuundo chenye neno moja na kuendelea 
  5. Maneno yenye kutoa maana kamili


(viii) Nini maana ya sentensi sahili. 

  1. Ni sentensi yenye kishazi kuu kimoja au zaidi pamoja na kishazi tegemezi.
  2. Ni sentensi yenye kishazi huru 
  3. Ni sentensi yenye kuonesha masharti 
  4. Ni sentensi yenye maana nyingi 
  5. Ni sentensi yenye vishazi vingi 


(ix) Zifuatazo ni sifa za pijini isipokuwa 

A.      Pijini huwa na maneno kutoka lugha mbili au zaidi

B.      Pijini hutokea kurahisisha mawasiliano baina ya watu ambao kila mmoja 

            ana lugha yake

C.      Miundo ya maneno na tungo katika pijini imerahisishwa ili kukidhi 

            mawasiliano

D.     Pijini haina msamiati mwa kutosha, hivyo wazungumzaji hutumia sana 

           ishara

  E.       Pijini ina watu ambao kwao hiyo ni lugha yao ya kwanza

 

2. Oanisha maana za dhana za uandishi zilizo katika orodha A kwa kuchagua herufi ya dhana husika katika orodha B kisha andika herufi husika katika orodha B kisha andika herufi husika katika karatasi ya kujibia. 

 

Orodha    A

Orodha   B

  1. Sehemu ya neno inayobakia baada ya kuondolea aina zote za viambishi. 
  2. Hujengwa na mzizi asilia pamoja na viambishi tamati vijenzi 
  3. Mzizi unaobakia baada ya kuondondewa viambishi tamati maana. 
  4. Mzizi wowote yaani mzizi asilia au mzizi wa mnyumbuliko 
  5. Sehemu ya neno ambayo huweza kutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu la sauti 
  1. Mzizi asilia 
  2. Irabu 
  3. Mzizi/ kiini 
  4. Silabi 
  5. Mzizi wa mnyumbuliko 
  6. Shina la kitenzi 
  7. Mzizi asilia maana 
  8. Kitenzi 
  9. Mnyumbuliko 
  10. Uambishaji  

 

3.   (a) Eleza maana ya kielezi kwa kutoa mfano wa sentensi moja.

(b) Kwa kila tungo uliyopewa pigia mstari kielezi na kisha taja ni cha aina gani.
 (i) Darasani kuna utulivu mkubwa  

(ii) Wanafunzi wanaimba kimasihara.
(iii) Mwalimu amerudi tena.
 (iv)  Nitaondoka wiki inayokuja. 

4. Moja ya faida ya misimu ni kuhifadhi historia ya jamii. Toa mfano mmoja wa misimu zagao iliyovuma Tanzania katika vipindi vifuatavyo:
(a) Muda mfupi baada ya kupata uhuru.
(b) Miaka ya Azimio la Arusha.
(c) Njaa ya mwaka 1974/1975.
(d) Miaka ya vita vya Kagera.
 (e)   Kipindi cha hali ngumu ya maisha baada ya vita vya Kagera.

5. Taja aina za sentensi zifuatazo kisha eleza muundo ujengao kila sentensi.

  1. Maisha ni safari ndefu.
  2. Ukisoma kwa bidii utafaulu kwa kiwango cha juu.
  3. Mtoto aliyelazwa hospitalini ameruhusiwa kwenda nyumbani.
  4. Nitakuja leo ingawa nitachelewa sana.
  5. Alinunua madaftari lakini kitabu cha Kiswahili alipewa na mwalimu.

6. (a) Eleza maana ya Kiambishi.

(b) Bainisha viambishi vilivyopo katika vitenzi vifuatavyo:

  1. Tunalima.
  2. Wanatembea.
  3. Godoro.

7. Katika kila sentensi andika neno moja lenye maana sawa na maelezo ya sentensi husika.

  1. Mtu anayechunguza uhalifu.
  2. Ng’ombe dume aliyehasiwa.
  3. Chombo cha usafiri kinachopita juu ya vyuma.
  4. Mti unaozaa matunda yanayotengenezwa kinywaji cha kahawa.
  5. Sehemu ndogo ya nchi iliyochongoka na kuzungukwa na bahari katika sehemu zake tatu.

 

1. Soma kwa makini kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata.

Ustaarabu ni jambo jema ambalo hupendwa na kila jamii yenye utashi hapa duniani. Kila jamii yenye ustaarabu mambo yake huendeshwa kwa kuzingatia kanuni na taratibu zinazoeleweka. Maamuzi na mafanikio mbalimbali miongoni mwa wanajamii hutolewa bila hamaki wala kukurupuka. Kanuni na taratibu hizo huiongoza jamii kufikia upeo wake kimaendeleo kuanzia ngazi za chini kabisa ambayo ni familia mpaka ngazi ya juu kabisa ambayo ni taifa. Taratibu na kanuni hizo huwekwa katika chombo kimoja maalumu kinachoitwa katiba.

Katiba ni jumla ya sheria, kanuni na taratibu fulani zilizokubaliwa kuwekwa na jamii au taifa fulani kama dira ya maisha ya kila siku ya jamii au taifa hilo. Taifa bila katiba ni sawa na behewa la garimoshi bila injini. Hivyo katiba ina umuhimu wa kipekee katika taifa lolote lile.

Katika nchi zenye utamaduni wa kidemokrasia, katiba huundwa kutokana na maoni ya wananchi wake kwa utaratibu maalumu uliowekwa na serikali. Aghalbu, maoni na mawazo yaliyotolewa na wananchi huwa ni chimbuko la katiba hiyo. Wananchi hujiona ni sehemu ya utawala. Kwa upande wa pili wa sarafu, nchi zenye utaratibu wa kiimla, katiba hutayarishwa na watawala kwa maslahi yao binafsi. Katiba hutumiwa kama sera kwa maslahi ya watawala. Maoni na mawazo ya wananchi hayazingatiwi katika kuunda katiba.

Umuhimu wa katiba huonekana na kujidhihirisha waziwazi katika maisha ya kila siku ya nchi yoyote ile. Kwanza, katiba huelekeza wajibu wa ila mwanajamii kwa taifa lake na wajibu wa viongozi walio madarakani kwa wananchi au raia. Pili, katiba huonesha na kuainisha haki ambazo kila raia anastahili kupata na pia taratibu za kufuata katia kudai au dupewa haki hizo. Mbali na hayo, katiba hutoa utaratibu wa jinsi ya kuwapata viongozi wetu katika ngazi mabalimbali za kisiasa na kijamii. Pia uhuru wa mtu binafsi hulindwa na katiba. Hivyo, katika nchi ambayo ina katiba inayokidhi matarajio ya wananchi wote mambo huwa mazuri na kamwe chombo hakiwezi kwenda mrama.

Aidha, wananchi hawana budi kuelewa maana ya katiba ili waweze kutoa maoni na mapendekezo ya kuunda katiba mpya au kuimarisha iliyopo. Ni muhali kwa mtu asiyejua maana ya katiba kutoa maoni kuhusu katiba. Wananchi hupaswa kuelimishwa kupita semina, warsha na makongamano mbalimbali ili kujua katiba zao na kutoa maoni kuhusu uundaji wa katibu mpya.

Hata hivyo, wananchi wengi hasa vijana hawajitumi katika kuzijua katiba za nchi zao au kutoa maoni ya uundaji wa katiba mpya. Athari zake ni kutojua haki zao za msingi na kuburutwa kama mkokoteni na watawala katika mambo mbalimbali. Vilevile hulalamikia mambo ambayo hawakuchangia mawazo.

Hivyo basi, ni vizuri kwa wananchi kutambua, kuthamini na kuheshimu uwepo wa katiba kama kiongozi kizuri katika kuonesha njia muafaka ya kujiletea maendeleo kisiasa, kijamii, kiuchumi na kiutamaduni kwa nchi husika.

Maswali

(a)  Toa maana ya maneno yote yaliyokolezwa wino kama yalivyotumika katika habari uliyosoma.

(b) Kwa mujibu wa habari uliyosoma, taja mambo mazuri mawili yatokanayo na uwepo wa katiba katika nchi.

(c)  Kwanini mwandishi anasema katiba hutumiwa kama sera kwa maslahi ya watawala?

(d) Je, ni hofu gani aliyonayo mwandishi dhidi ya vijana kuhusu katiba?

(e) Andika kichwa cha habari uliyosoma kisichozidi maneno matano (5).

SEHEMU C (Alama 45)

Jibu maswali matatu (3) kutoka katika sehemu hii.

9.   Andika insha ya hoja isiyopungua maneno mia mbili na hamsini (250) na isiyozidi maneno mia tatu (300) kuhusu ‘Madhara ya Madawa ya Kulevya nchini Tanzania’.

ORODHA YA VITABU KWA SWALI LA 10-12

USHAIRI

Wasakatonge   -  M.S. Khatibu (DUP)

Malenga Wapya  - TAKILUKI (DUP) 

Mashairi ya Chekacheka  -  T.A. Mvungi (EP & D. LTD)

RIWAYA

 Takadini     -   Ben J. Hanson (MBS)

Watoto wa Mama Ntilie  -  E. Mbogo (H.P) 

Joka la Mdimu   -   A.J .Safari (H.P.)

TAMTHILIYA

Orodha   -    Steve Reynolds (MA)

Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe - E. Semzaba (ESC)

Kilio Chetu  -  Medical Aid Foundation (TPH)

10. "Fasihi ya Kiswahili imemweka mwanamke katika hadhi tofauti tofauti." Thibitisha usemi huu kwa kutumia hoja tatu kwa kila riwaya kutoka katika riwaya mbili ulizosoma.

11. “Ustadi wa msanii hudhihirishwa na fani”. Dhihirisha kauli hiyo kwa kutumia vipengele vitatu vya lugha kwa kila diwani kutoka katika diwani mbili ulizosoma.

12. Kwa kutumia diwani mbili ulizosoma eleza jinsi taswira tatu kutoka katika kila diwani zilivyotumiwa na msanii kuwasilisha ujumbe kwa jamii.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 27  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 27  

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA MWIGO WA KISWAHILI

KIDATO CHA NNE

MUDA  3:00                                                                      JUNI 2020 

Maelekezo

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12).
  2. Jibu maswali yote katika sehemu A na B na maswali matatu (3) kutoka sehemu C.
  3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na ya kila swali.
  4. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani.
  5. Andika Namba yako ya Mtihani katika kila ukurasa wa kijitabu chako cha kujibia.

SEHEMU A (Alama 15)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x), kisha andika herufi ya jibu hilo katika kijitabu chako cha kujibia.

(i) Neno lipi kati ya maneno haya linaweza kudokeza mtenda au mtendwa?

  1. Kiunganishi   
  2. Kivumishi
  3. Kihisishi 
  4. Kiwakilishi 
  5. Kielezi

(ii) Ni sentensi ipi haina kitenzi kisaidizi?

  1.  Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa mtiifu.
  2. Watoto wanatakiwa kulala mapema ili wawahi shuleni.
  3. Paka alikuwa anataka kula chakula cha mbwa.
  4. Juma alikuwa anasoma kitabu cha hadithi za mapenzi.
  5. Robert Kelly anataka kuja kutumbuiza mwezi Desemba.

(iii)  Ni sentensi ipi inawakilisha kikamilifu wahusika wa fasihi simulizi?

  1. Vitu, mahali, wanyama, binadamu, fanani na maleba.
  2. Hadhira, wanyama, maleba, binadamu na fanani.
  3. Hadhira, binadamu, wanyama, vitu, mahali na fanani. 
  4. Fanani, vitu, mahali, binadamu, maleba na wanyama.
  5. Wanyama, manju, binadamu, vitu, mahali na maleba.

(iv)  Bainisha seti ya maneno inayofaa kuingizwa kwenye kamusi kwa kuzingatia mpangilio wa alfabeti.

  1. Jabali, jadhibika, jabiri, jadi, jalada
  2. Jabali, jabiri, jadhibika, jadi, jalada
  3. Jabali, jadi, jadhibika, jalada, jabiri 
  4. Jabiri, jabali, jalada, jadi, jadhibika
  5. Jabali, jalada, jabiri, jadhibika, jadi

(v) Ni sifa ipi haitofautishi fasihi simulizi na fasihi andishi?

  1. Ukubwa 
  2. Uhifadhi
  3. Uwasilishaji
  4. Ukuaji
  5. Ueneaji

(vi) Jozi ipi ina vipengele sahihi vinavyounda umbo la ndani la kazi ya fasihi simulizi?

  1. Falsafa, muundo, ujumbe, wahusika
  2. Mandhari, msimamo, ujumbe, dhamira
  3. Ujumbe, mtazamo, migogoro, dhamira 
  4. Ujumbe, msimamo, dhamira, wahusika
  5. Lugha, mgogoro, falsafa, mtindo

(vii) "Ngombe zangu wanatoa maziwa mengi." Kosa lililojitokeza katika tungo hii ni lipi kati ya haya?

  1. Unyumbuaji wa maneno
  2. Udondoshaji wa herufi 
  3. Unyumbuaji wa maneno 
  4. Upatanisho wa kisarufi
  5. Uongezaji wa kiambishi

(viii)  "Serikali imeweka mikakati kabambe ili kupunguza umasikini."Neno "ili" katika sentensi hii ni aina gani ya neno?

  1. Kielezi        
  2. Kiunganishi
  3. Kiwakilishi 
  4. Kihisishi
  5. Kivumishi

(ix) Mpangilio sahihi wa vipashio vinavyounda lugha ya Kiswahili ni upi?

  1. Mofimu, kishazi, kirai, neno na sentensi.
  2. Mofimu, neno, kirai, sentensi na kishazi.
  3. Neno, kirai, Kishazi, sentensi na mofimu.
  4. Neno, mofimu, kirai, kishazi na sentensi. 
  5. Mofimu, neno, kirai, kishazi na sentensi.

(x) Ni jambo gani linalodhihirisha upekee wa kazi fulani ya kifasihi?

  1. Muundo wa kazi husika.
  2. Wahusika wa kazi husika. 
  3. Jina la kazi husika.
  4. Jina la mtunzi wa kazi husika.
  5. Mtindo wa kazi husika.

2. Oanisha istilahi za fasihi simulizi katika orodha A na maana zake katika Orodha B.

Orodha A

Orodha B

  1. Ngonjera

  2. Uhakiki

  3. Soga

  4. Unyago

  5. Mashairi ya kimapokeo.

  1. Mafunzo yanayoambatana na ngoma yatolewayo kwa watoto wa kike.

  2. Maongezi kati ya watu wawili au zaidi yasiyo na lengo maalum.

  3. Kitendo cha kupima kwa kuchambua na kufafanua kaziya fasihi ili kuona ubora na udhaifu wake.

  4. Majibizano ya watu wawili au zaidi katika mtindo wa kishairi.

  5. Mashairi ambayo hufuata kanuni maalum katika utunzi wake

 SEHEMU B (Alama 40)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

3. Taja njia zilizotumika kuunda maneno yafuatayo:

  1. Amirijeshi
  2. Kiswahili
  3. Kifaru
  4. Chajio.

4.Andika nahau yenye maana sawa na tungo zifuatazo:

  1. Jumanne ni kijana mchoyo.
  2. Alitoa hongo ili apate kazi
  3. Halima amefariki dunia
  4. Musa ni mropokaji sana
  5. Mwalimu wetu ameona

5.(a). Kwa kila tungo uliyopewa pigia mstari kielezi na kisha taja ni cha aina gani.
 (i) Darasani kuna utulivu mkubwa 

(ii) Wanafunzi wanaimba kimasihara.
(iii) Mwalimu amerudi tena.
 (iv)  Nitaondoka wiki inayokuja.

 (b) Toa maana tano tofauti za neno “kibao” kisha tunga sentensi moja kwa kila maana uliyotoa.

6.(a) Taja aina za sentensi zifuatazo kisha eleza muundo ujengao kila sentensi.

  1. Maisha ni safari ndefu.
  2. Ukisoma kwa bidii utafaulu kwa kiwango cha juu.
  3. Mtoto aliyelazwa hospitalini ameruhusiwa kwenda nyumbani.
  4. Nitakuja leo ingawa nitachelewa sana.
  5. Alinunua madaftari lakini kitabu cha Kiswahili alipewa na mwalimu.

b. Eleza dhima za mofimu "li" kama ilivyotumika katika sentensi zifuatazo:

  1. Shamba letu li kubwa sana.
  2. Wlishelewa kurudi.
  3. Tunalifuatilia.
  4. Limeharibika.
  5. Shikilia.

7. Andika sentensi zifuatazo katika hali ya ukanushi:

  1. Ameshiba sana.
  2. Watoto wengi wanaogelea.
  3. Mvua ilinyesha kwa wingi sana.
  4. Kijana anakula chakula kingi.
  5. Mimi nasoma polepole.

8. Soma kwa makini kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata.

Nchi yetu ya Tanzania imejulikana sana kutokana na mazingira yake yanayowavutia watalii. Hali yake ya hewa ni nzuri na yenye kutamanika. Mvua yake si nyingi na haichukizi bali ni ya rasharasha na tena ni ya hapa na pale. Majira yenyewe ya masika ni mafupi sana na hayana baridi kama huko ulaya.

Kitu hasa kinachowavutia watalii kutembelea nchi yetu ni pwani zetu ambazo zina mchanga mweupe na laini. Mchanga wenyewe hauna matope wala uchafu wowote. Kandokando ya pwani hizo kuna vichaka vyenye miti yenye rangi chanikiwiti na maua ya sampuli nyingi ya kutamanisha. Maua hayo yapo ya rangi nyekundu na vilevile hunukia vizuri, ama huweza kuwa na rangi ya manjano na kisha yakawa mviringo.

Kando kidogo unaweza kuona mawe makubwa yenye mapango makubwa mweusi ambamo wanyama wakubwa na wakali kama chui huishi. Pengine hata wanyama wa kuchekesha na hata watundu kama tumbili na kima huonekana humo.

Pembezoni, ambapo ni nje ya pwani zetu, kuna mashamba yenye mimea ya rangi ya kijani ikinawiri hasa wakati wa masika. Kipindi hiki wakulima nao huwa wanajishughulisha na matayarisho pamoja na maendeleo ya kazi zao za kila siku. Baadhi yao hupenda kufanya kazi huku wamevaa majoho marefu meupe au pengine shuka za kaniki zilizochakaa. Aidha, wengine hawajishughulishi kamwe na mambo ya mavazi kwani wao huvaa vikoi vikuukuu na vilivyokwajuka, bila kujali wapita njia.

Zaidi ya pwani zetu, watalii huvutiwa sana na mbuga zetu za wanyama wa porini. Wengi wa wanyama katika mbuga zetu huwa na gozi zenye madoa ya rangi za kuvutia. Pengine hata maungo yao huwa ya kutisha na yasiyokuwa ya kawaida. Mathalani ukimwona kifaru unadhani amekasirika na kwamba anataka kukurarua vipande vipande. Simba naye anajulikana kwa makucha yake marefu ya kutisha. Kiboko kwa upande wake, anajulikana kwa unene wake. Tumbo lake ni kubwa la kuchekesha kwani kila umwonapo utadhani matumbo yataporomoka dakika yoyote.

Basi mambo kama hayo na mengine mengi, ndiyo yanayowavutia watalii kuja kwetu. Watalii hawa ambao wengine kati yao ni warefu na pia wachangamfu lakini wapo walio wembamba na wepesi katika kuipanda milima yetu. Hata hivyo, wapo pia wazee vikongwe wenye ari na nguvu katika kuipanda milima hiyo. Wote hawa wanakuwa na hamu ya kutembelea vivutio vyetu. Baada ya kutembelea sehemu mbalimbali, hurudi kwao na furaha isiyo kipimo huku wakituachia fedha nyingi za kigeni.

(a) Andika kichwa cha habari hii kisichozidi maneno manne.

(b)  Taja dhamira kuu inayotokana na habari hii

(c)  Mwandishi anatoa ushahidi gani kuthibitisha kuwa nchi yetu ina vivutio vingi vya utalii?

(d) “Wenyeji wa nchi yetu ya Tanzania nao ni sehemu ya vivutio vya utali” Thibitisha kauli hii kwa mujibu wa habari uliyosoma

(e)  Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika kufungu cha habari

  1. Chanikiwiti
  2. Vilivyokwajuka

SEHEMU C (Alama 45)

Jibu maswali matatu (3) kutoka katika sehemu hii.
9. Umechaguliwa kutoa risala kwa niaba ya wanakijiji wa kijiji cha Kisombogho, wanaotaka kutoa shukrani zao kwa Mkuu wa Wilaya aliyewachimbia kisima cha maji kijijini hapo. Andika risala utakayoisoma siku ya kikao.

ORODHA YA VITABU KWA SWALI LA 10-12

USHAIRI

Wasakatonge   -  M.S. Khatibu (DUP)

Malenga Wapya  - TAKILUKI (DUP) 

Mashairi ya Chekacheka  -  T.A. Mvungi (EP & D. LTD)

RIWAYA

 Takadini     -   Ben J. Hanson (MBS)

Watoto wa Mama Ntilie  -  E. Mbogo (H.P) 

Joka la Mdimu   -   A.J .Safari (H.P.)

TAMTHILIYA

Orodha   -    Steve Reynolds (MA)

Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe - E. Semzaba (ESC)

Kilio Chetu  -  Medical Aid Foundation (TPH)

10.Fasihi simulizi ikihifadhiwa katika maandishi hupoteza uhai na uhalisia wake. Fafanua changamoto nne zinazoweza kujitokeza kwa kuhifadhi fasihi simulizi katika maandishi.

11. "Mshairi ni mwalimu wa viongozi wa nchi." Jadili kauli hii kwa kutoa hoja tatu kutoka katika kila diwani kati ya diwani mbili ulizosoma.

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 24  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 24  

OFISI YA RAIS

WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA NUSU MUHULU- MACHI-2020

            KISWAHILI

SEHEMU A (Alama 10)

UFAHAMU

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

1. Soma kwa makini kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata;

Nchi yetu ya Tanzania imejulikana sana kutokana na mazingira yake yanayowavutia watalii. Hali yake ya hewa ni nzuri na yenye kutamanika. Mvua yake si nyingi na haichukizi bali ni ya rasharasha na tena ni ya hapa na pale. Majira yenyewe ya masika ni mafupi sana na hayana baridi kama huko ulaya.

Kitu hasa kinachowavutia watalii kutembelea nchi yetu ni pwani zetu ambazo zina mchanga mweupe na laini. Mchanga wenyewe hauna matope wala uchafu wowote. Kandokando ya pwani hizo kuna vichaka vyenye miti yenye rangi ya chanikiwiti na maua ya sampuli nyingi ya kutamanisha. Maua hayo yapo ya rangi nyekundu na vilevile hunukia vizuri, ama huweza kuwa na rangi ya manjano na kisha yakawa mviringo.

Kando kidogo unaweza kuona mawe makubwa yenye mapango makubwa meusi ambamo wanyama wakubwa na wakali kama chui huishi. Pengine hata wanyama wa kuchekesha na hata watundu kama tumbili na kima huonekana humo.

Pembezoni, ambapo ni nje ya pwani zetu, kuna mashamba yenye mimea ya rangi ya kijani ikinawiri hasa wakati wa masika. Kipindi hiki wakulima nao huwa wanajishughulisha na matayarisho pamoja na maendeleo ya kazi zao za kila siku. Baadhi yao hupenda kufanya kazi huku wamevaa majoho marefu meupe au pengine shuka za kaniki zilizochakaa. Aidha, wengine hawajishughulishi kamwe na mambo ya mavazi kwani wao huvaa vikoi vikuukuu na vilivyokwajuka, bila kujali wapita njia.

Zaidi ya pwani zetu, watalii huvutiwa sana na mbuga zetu za wanyama wa porini. Wengi wa wanyama katika mbuga zetu huwa na ngozi zenye madoa ya rangi za kuvutia. Pengine hata maungo yao huwa ya kutisha na yasiyokuwa ya kawaida. Mathalani ukimwona kifaru, utadhani amekasirika na kwamba anataka kukurarua vipande vipande. Simba naye anajulikana kwa makucha yake marefu ya kutisha. Kiboko kwa upande wake, anajulikana kwa unene wake. Tumbo lake ni kubwa la kuchekesha kwani kila umwonapo utadhani matumbo yataporomoka dakika yoyote.

Basi mambo kama hayo na mengine mengi, ndiyo yanayowavutia watalii kuja kwetu. Watalii hawa ambao wengine kati yao ni warefu na pia wachangamfu lakini wapo walio wembamba na wepesi katika kuipanda milima yetu. Hata hivyo, wapo pia wazee vikongwe wenye ari na nguvu katika kuipanda milima hiyo. Wote hawa wanakuwa na hamu ya kutembelea vivutio vyetu. Baada ya kutembelea sehemu mbalimbali, hurudi kwao na furaha isiyo kipimo huku wakituachia fedha nyingi za kigeni.

 

Maswali

  1. Andika kichwa cha habari hii kisichozidi maneno manne.
  2. Taja dhamira kuu inayotokana na habari hii
  3. Mwandishi anatoa ushahidi gani kuthibitisha kuwa nchi yetu ina vivutio vingi vya utalii?
  4. “ wenyeji wan chi yetu ya Tanzania nao ni sehemu ya vivutio vya utalii” Thibitisha kauli hii kwa mujibu wa habari uliosoma.
  5. Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika kifungu cha habari;
  1. Chanikiwiti
  2. Vilivyokwajuka

2. Fupisha habari ulioisoma kwa maneno yasiozidi arobaini (40)

 

 

SEHEMU B (Alama 25)

 

SARUFI NA UTUMIZI WA LUGHA

 

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

 

 

3. (a) Eleza maana ya utohoaji.

    (b) Maneno yafuatayo yametoholewa kutoka lugha gani.

  1. Picha
  2. Duka
  3. Shule
  4. Rehema
  5. Shati
  6. Trekta
  7. Ikulu
  8. Bunge
  9. Achali

 

4.  Taja aina za sentensi zifuatazo kisha eleza muundo ujengao kila sentensi.

  1. Maisha ni safari ndefu
  2. Ukisoma kwa bidiii utafaulu kwa kiwango cha juu.
  3. Mtoto aliyelazwa hospitalini ameruhusiwa kwenda nyumbani.
  4. Nitakuja leo ingawa nitachelewa sana.
  5. Alinunua madaftari lakini kitabu cha Kiswahili alipewa na mwalimu.

 

5. (a) Eleza maana ya urejeshi katika kitenzi.

    (b) Tunga sentensi tatu zinazoonesha urejeshi wa:

  1. Mtenda nafsi ya tatu umoja.
  2. Mtendwa (idadi – wingi)
  3. Mtenda (kitu)

 

6. Bainisha tabia za maumbo yaliyokolezwa wino katika vitenzi ulivyopewa.

  1. Futa ubao
  2. Hutafaulu mtihani
  3. Ametualika
  4. Mtoto hulia mara nyingi
  5. Yeye ni mwalimu
  6. Mgonjwa amejilaza chini
  7. Wanavisoma vitabu vyao
  8. Paka amepigwa
  9. Mti umekatika.

 

7. (a) Eleza maana na dhima ya kiunganishi katika sentensi.

    (b) Tunga sentensi mbili kwa kila kiunganishi kifuatacho;

  1. Kwa sababu
  2. Kama
  3. Ingawa
  4. Lakini

 

 

 

8.  Jifanye kuwa mfanyabiashara wa mchele na unataka kuitangaza biashara yako nje na ndani ya nchi. Andika tangazo kuhusu biashara hiyo na jina lako liwe Pera Mlavi.

 

 

SEHEMU C. (Alama 45)

 

FASIHI KWA UJUMLA

 

Jibu maswali matatu (3) kutoka katika sehemu hii. 

 

 

ORODHA YA VITABU:

 

USHAIRI

Wasakatonge                                                                         -                       M.S. Khatiby (DUP)

Malenga Wapya                                                                    -                       TAKILUKI (DUP)

Mashairi ya ChekaCheka                                                    -                       T.A. Mvungi (EP & D. LTD)

 

 

RIWAYA

Takadini                                                                                 -                       Ben J. Hanson (MBS)

Watoto wa Mama N’tilie                                                      -                       E. Mbogo (H.P)

Joka la Mdimu                                                                      -                       A.J. Safari (H.P)

 

 

TAMTHILIYA

Orodha                                                                                   -                       Steve Reynolds (MA)

Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe                                      -                       E. Semzaba (ESC)

Kilio chetu                                                                              -                       Medical Aid Foundation (TPH)

 

 

 

9. “Waandishi wa tamthiliya wameshindwa kufikisha ujumbe kwa jamii iliyokusudiwa.” Kanusha kauli hii kwa kutumia hoja tatu kwa kila kitabu kotoka katika tamthiliya mbili ulizosoma.

 

10. “Mshairi ni mwalimu wa viongozi wa nchi.” Jadili kauli hii kwa kutoa hoja tatu kutoka katika kila diwani kati ya diwani mbili ilizosoma.

 

11. Kwa kutumia hoja tatu kwa kila tamthiliya kutoka katika tamthiliya mbili ulizosoma, jadili kufaulu kwa waandishi katika kipengele cha utumizi wa tamathali za semi.

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 4  

FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 4  

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256