JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA RAISI TAWALA ZA MIKOA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA UTIMILIFU KIDATO CHA NNE KANDA
(MIKOA YA MBEYA, SONGWE, NJOMBE, RUKWA & KATAVI)
021 KISWAHILI
MUDA SAA 3 MWAKA 2023
MAELEKEZO:
SEHEMU A: (alama 16)
1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika sehemu hii. Andika herufi ya jibu hilo katika kijitabu hako cha kujibia.
i. Neno lipi kati ya maneno yafuatayo linaweza kudokeza mtenda au mtendwa?
ii. Njia ipi ya kuhifadhi fasihi simulizi imetokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia?
iii. Zifuatazo ni dhana sahihi za mswahili isipokuwa:-___________
iv. Joshua ni mwanafunzi wa kidato cha nne alialikwa kwenye sherehe ya matambiko na alipata nafasi ya kuongea ili kuwaelimisha jamii kuhusiana na athari za matambiko na alitoa athari moja ambayo ni,__________
v. Wafanyabiashara kutoka Rukwa na Iringa walikutana kwa lengo la kufanya biashara, lakini kati yao ilizuka lugha ambayo ilirahisisha mawasiliano katika biashara zao. Kwa kutumia maarifa ya somo la Kiswahili lipi ni jina la lugha hiyo kati ya majinayafuatayo?_______
vi. Oi na Mari waliafikiana kuwa “watamfitinia” mwalimu wao kwa mkuu wa shule yao. Je azimio hilo la Oi na Mari lipo katika kauli ipi kati ya zifuatazo?
vii. Asia aliandika habari kuhusu nchi ya Tanzania, katika habari hiyo alizingatia mpangilio mzuri na unaoeleweka kwa wasomaji wa habari yake, Je kwa uelewa wako alichokizingatia Asia kinajulikana kama nini?
viii. Ni jambo gani linalodhihirisha upekee wa kazi Fulani ya kifasihi?________
ix. Bainisha sentensi ambatano zenye muundo wa sentensi changamano mbili kati ya sentensi zifuatazo______
x. Dhima kuu ya rejesta katika lugha ni ipi?____________
2. Oanisha maelezo ya dhana yaliyo katika orodha A kwa kuchagua herufi ya dhana husika katika Orodha B. kisha andika herufi husika katika karatasi ya majibu.
ORODHA A | ORODHA B |
|
|
SEHEMU B: (Alama 54)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
3. (a) Bainisha mzizi wa asili wa kila neno katika maneno yafuatayo:
i. Mkimbizi
ii. Mlaji
iii. Muumbaji
iv. Nisingelipenda
v. Waligawana
(b) Upatanisho wa kisarufi ni kigezo kimojawapo kati ya vigezo vya kuunda ngeli za nomimo. Thibitisha dai hili kwa kutunga sentesi mbili katika kila ngeli kwenye ngeli zifuatazo:-
i. Ngeli ya pili ii. Ngeli ya tatu iii. Ngeli ya nne iv. Ngeli ya tano
4. (a) Fafanua maana ya misimu kama inavyofasiriwa katika lugha ya Kiswahili
(b) Misimu ina sifa nyingi katika lugha ya Kiswahili. Taja sifa tano za misimu katika lugha.
5. (a) Tofautisha dhana ya kukua na kuenea kwa lugha ya kiswahili.
(b) Ukuaji na ueneaji wa lugha ya Kiswahili, umepitia vipindi vingi tofauti, fafanua kwa mifano mambo sita (6) yaliyosaidia kukua na kuenea kwa lugha ya Kiswahili baada ya uhuru.
6. (a) Nini maana ya semi?
(b) Semi zina vipera vyake. Fafanua vipera vitano na kutoa mfano mmoja kwa kila kipera.
7. Soma simu ifuatayo kwa makini, kisha jibu swali linalofuata chini yake;
Kutoka katika simu hiyo hapo juu, jifanye unasoma shule ya sekondari Makolo SLP 13 Njombe, Andika barua kwa mkuu wa shule kupitia kwa mwalimu wa darasa kuomba ruhusa ya siku nane (8).
8. Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata chini yake:
Maimuna alikuwa ni binti mwenye miaka sita alipokuwa anaanza kusoma darasa la kwanza katika shule ya msingi Minjingu. Alikuwa na tabia, sura na umbo zuri. Pia alikuwa na uwezo mkubwa darasani na ndoto ya kusoma mpaka chuo kikuu na kuishi maisha mazuri baadaye. Kutokana na tabia yake na uwezo wake mzuri darasani, walimu walimpenda sana na kumtia moyo mara kwa mara katika masomo yake.
Tabia ya Maimuna ilianza kubadilika siku hadi siku alipofikia darasa la sita baada ya kufikisha umri wa kuvunja ungo. Kwani alizidi kunawiri na umbo lake likazidi kuonekana vizuri. Mabadiliko hayo yalitokana na yeye kujiingiza katika suala la mapenzi ambapo alikuwa akifuatwa na wavulana wengi kwa sababu ya umbile lake la kuvutia.
Baada ya kuhitimu elimu ya msingi, Maimuana alijiunga na elimu ya sekondari na hapo ndipo suala la mapenzi kwake lilizidi kupamba moto zaidi mpaka kufikia hatua ya kutojali kitu chochote duniani. Yeyote yule ambaye angejitokeza kumueleza habari za mapenzi hakuweza kukataa. Kutokana na tabia hiyo watu walimfananisha na daladala ambayo hupandwa na kila mtu, nguo ambayo huvaliwa na kila mtu na dampo ambapo kila uchafu hutupwa. Tabia yake iliendelela mpaka chuo kikuu ambapo ilifika hatua ya kutoa mimba hovyohovyo bila kuwaza njia njia zitumikazo kuzuia. kukimbilia hospitalini kupima afya yake na daktari alibaini ana ugonjwa wa UKIMWI pia alikuwa amepoteza uwezo wa kubeba mimba.
Hatimaye Maimuna alihitimu masomo yake na kupata mchumba na ndoa ikafanyika. Siku ya ndoa hiyo halaiki ya watu walihudhuria kwenye sherehe. Baada ya miezi mitano Maimuna alipata homa kali na Maskini! Maimuna alisikitika sana alipopata habari hizo na mwisho daktari alimshauri ameze dawa, ale matunda, afanye mazoezi, apumzishe mwili wake, aishi kwa matumaini na kumrudia Muumba wake. Maswali:
i. Pendekeza kichwa kinachofaa kutokana na habari uliyosoma.
ii. Eleza maana ya maneno yaliyokolezwa wino kama yalivyotumika kwenye habari.
iii. Daktari alimshauri nini Maimuna baada ya kupima afya yake? (Hoja mbili)
iv. Ni sababu ipi iliyopelekea tabia ya Maimuna kubadilika?
SEHEMU C : (Alama 30)
Jibu maswali mawili katika sehemu hii, swali la kumi na moja (11) ni la lazima.
ORODHA YA VITABU KWA SWALI LA 10-11
TAMTHILIYA:
RIWAYA
USHAIRI
9. Msanii yeyote wa kazi ya fasihi anafananishwa na mwamvuli kwa jamii yake, kwakuwa anatumia macho yake kuona maovu yaliyomo katika jamii na hutumia kalamu yake kuishauri na kuikinga jamii yake isipatwe na mabaya. Thibitisha kauli hii kwa kudadavua maovu yaliyoibuliwa na waandishi wa riwaya mbili ulizosoma. Hoja tatu kwa kila riwaya.
10. Kutokukubaliana miongoni mwa wanajamii kumekuwa chanzo cha mivutano mbalimbali kati yao na kupelekea kukosekana kwa amani, utulivu na utengamano katika jamii. Onesha ukweli wa kauli hii kwa kufafanua mivutano iliyoibuliwa na waandishi wa tamthiliya mbili ulizosoma kwa kutoa hoja tatu kwa kila kitabu.
11. Ubora wa mashairi haubebwi na maudhui yake tu bali kwa kiasi kikubwa huchagizwa na lugha itumikayo katika kazi hizo. Jadili kauli hii ukieleza jinsi waandishi walivyotumia jazanda kuboresha na kupamba kazi zao. Hoja tatu kwa kila diwani.
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 178
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 178
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MKOA WA TABORA
MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA, KIDATO CIA NNE
021 KISWAHILI
(Kwa Watahiniwa Walioko na Wasioko Shuleni)
Muda: Saa 3 Jumanne, Mel 9, 2023, Mchana.
MAELEKEZO
SEIIEMU A: (ALAMA 16)
1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika kipengele Cha (i) hadi (x), kisha andika herufi ya jibu hilo katika kijitabu Cha kujibia ulichopewa.
(i) Neno lipi kati ya maneno haya linaweza kudokeza hisia za mtenda au mtendwa
(ii) Kategoria ya kisarufi inayowakilisha wakati katika kitenzi.
(iii) Sarah alipozunguniza kwa mara ya kwanza kwenye mkutano walimgundua kuwa ametoka mkoa wa Mara, Kitu gani kilimfanya agundulike?
(iv) Kifungu cha maneno ambacho hujibu maswali ya ziada kuhusu tendo katika sentensi huitwa?
(v) Dhana mojawapo kati ya hizi huwa na dhima ya kuokoa muda
(vi) Ipi ni tofauti ya msingi kati ya Mashairi na Ngonjera?
(vii) Ni muundo upi wa ushairi wa fasihi unaundwa na mistariimishororo mitano?
viii. Neno mama lina mofimu ngapi?
ix. Kanuni za kipekee katika utunzi wa kazi za fasihi andishi ambazo hutofautisha utunzi mmoja wa fasihi andishi na utunzi ni Nvingine usio wa kifasihi hujulikana kama:
x. Mtangazaji wa televisheni huhakikisha watazamaji wanapata habari sahihi kwa wakati. Katika fasihi kazi hiyo hufanywa na nani kati ya hawa wafuato?
2. Oanisha maana ya dhana zilizopo katika orodha A na dhana husika katika orodha B kisha andika herufi ya jibu sahihi katika kijitabu chako cha kujibia.
ORODHA A | ORODHA B |
|
|
SEHEMU B; (ALAMA 54)
Jibu maswali yote katika sehemu hii
3.
4. Batuli alitaka kuhifadhi methali na vitendawili kwa njia ya kichwa tu kwa ajili ya kizazi kijacho. Lakina Kibuyu alimkataza asifanye hivyo badala yake atumie njia nyingine
5. Ukiwa kama Mtendaji wa Kata ya Chemchem andaa hotuba utakayoisoma mbele ya
viongozi wa chini yako kuhusu ufanikishaji wa ujenzi wa madarasa katika kata yako.
6. Eleza kinagaubaga tofauti zilizopo kati ya lugha ya mazungumzo na lugha ya maandishi kwa kuzingatia vipengele vifuatavyo;
7. Upatanisho wa kisarufi ni kigezo kimojawapo kati ya vigezo vya kuunda ngeli za nomino. Thibitisha dai hilo kwa kutunga sentensi ukitumia ngeli zifuatazo:-
8. Soma kifungu habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata:
"Ndugu wazazi, kumbe safari yenu inahusu harusi ya Maria ?".Mkuu wa shule aliwauliza wazazi."Ndiyo," wazazi walijibu kwa Pamoja bila aibu."inategemewa kufugwa lini ."Mkuu aliendelea kuhoji. Harusi hii ilikuwa ifanyike wakati Maria anapofika kidato cha nne, Lakini Maria huyu ametufanyia uhuni na vituko visivyoelezeka. Nasi sasa tunachukiwa kijiji kizima na kudharauliwa na kila mtu.Hii imetuudhi sana, tumetungiwa nyimbo na kufanyiwa kila shutuma. Hatuna raha ;hivyo tumeonelea bora tuje kukuomba umfukuze shule ili kiburi kimwishie .Nasi tupo tayari kukulipa kiasi chochote cha fedha ukitimiza haja yetu hii,"Mzee Abdallah alieleza." Muda wote mkuu wa shule alikuwa akimtazama Mzee kwa chati sana .Kisha akauliza swali la kuchochea zaidi: Maria ana kiburi kumbe?"
Mama Maria hakutaka hilo limpite ,hima hima akatoa maelezo yake ."Mama wewe ,Maria usimuone hivi. Maria mwanangu hataki kufuata utamaduni wetu wa kuolewa. Maria ati achague mchumba mwenyewe, ati mahari haiyoni kama ni kitu cha msingi. Kiburi hicho kinatokana na elimu mliyompa.
Mtoto sasa ameharibika .Anafanya apendavyo elimu gani isiyojali adabu.wala utii?" Mama Maria alimaliza huku jasho na machozi yanamtoka".
Hapa mkuu wa shule aliona kwanza awaelimishe kabla hajawatolea kauli ya mwisho.Alikwishatambua kwamba wazazi wa Maria walikuwa wameachwa nyuma na wakati .Kila upya wa mawazo waliuita kiburi.
Maswali
SEHEMU C: (ALAMA 30)
Jibu maswali mawili kutoka katika sehemu hii, swali la 11 ni lazima
ORODHA YA VITABU.
USHAIRI.
RIWAYA.
TAMTHILIYA
9. Fasihi ya Kiswahili imemuweka mwanamke katika hadhi tofauti tofauti. Thibitisha usemi huu kwa kutumia hoja tatu kwa kila riwaya.
10. Chanzo cha matatizo mengi ya jamii nyingi huletwa na kusababiskwa na mwanajamii mwenyewe. Thibitisha dai hili kwa kutumia tamthilia mbili ulizozisoma. Toa hoja tatu kwa kila tamthilia.
11. Eleza kwa mifano madhubuti sababu tano (05) za uamuzi wa kuendelea kutumia Kiswahili katika mawasiliano mara tu baada ya uhuru.
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 152
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 152
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MKOA WA LINDI
MTIHANI WA DHIHAKA
KISWAHILI
KIDATO CHA NNE
021
MUDA: 3:00 MEI 2023
MAELEKEZO:
SEHEMU A :( ALAMA 16)
1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele(i) hadi(x), kisha andika herufi ya jibu sahihi katika kijitabu chako cha kujibia.
)vitu,mahali,wanyama,binadamu,fanani na maleba.
B)Hadhira,wanyama,maleba,binadamu na fanani.
C)Hadhira,binadamu,wanayama,vitu na fanani.
D) Fanani,vitu,mahali,binadamu,maleba na wanyama.
A)Maandishi.
B) Kichwa.
C).Mikanda ya video.
D)Kinasa sauti.
v.Kumbilamoto na Mchapakazi walikuwa wakibishana kuhusu miundo ya kiima na
kiarifu.Mchapakazi alitaja miundo ya kiima kuwa ni N ,W ,V , na KTG(BV).Je unadhani
Kumbilamoto alitaja miundo ipi ya kiarifu.
Vi.Katika ufundishaji wa muundo wa mashairi mwalimu alielezea kuhusu uwepo wa idadi ya
mistari katika beti .Je unafikiri mwalimu alipofundisha shairi lenye idadi ya mistari mitano
kwa kila ubeti alitaja jina gani?
Vii. “Mtangazaji wa televisheni kuhakikisha watazamaji wanapata habari sahihi na kwa
wakati” katika fasihi ,kazi hiyo hufanywa na nani kati ya hawa wafuatao?
viii. Maneno yapi kati ya haya yafuatayo yameundwa kwa njia ya uambatanishaji?
ix. Sentensi ipi kati ya hizi zifuatazo haina maana zaidi ya moja.
x. Kiswahili kilianza kutumika kama lugha ya mawasiliano na kufanywa kuwa lugha ya Taifa nchini
Tanganyika wakati gani?
2. Oanisha Maelezo yaliyopo katika Orodha A na dhana zilizopo katika Orodha B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi.
ORODHA “A” | ORODHA “B” |
i .Imani na mawazo ya mwandishi kuhusu uhusiano wa watu katika jamii |
|
ii. Hali ya mwandishi kutetea mawazo yake bila kutetereka |
|
iii. Uwiano wa mambo katika kazi ya fasihi |
|
iv. Namna mwandishi anavyoyaona mambo kwa upana na kusimamia imani yake katika maisha |
|
v. Utofautisha mwandishi mmoja na mwingine | E . Tenzi |
Vi .Tungo ndefu za kishairi zenye usimulizi wa visa na matukio. | F. Mtazamo |
|
|
|
|
|
|
SEHEMU B. (ALAMA 54)
3. a) Eleza maana ya kielezi huku ukitolea mfano mmoja.
b) Kwa kutumia mifano kwa kila hoja fafanua dhima nne za vielezi
katika lugha ya Kiswahili.
4. Kipindi Mwalimu anafundisha alimwambia Nguvukazi “njoo uchukue kibao” ,
Nguvukazi akabaki anashangaa afanye maamuzi ya kuchukua kibao kipi?.Toa
utata kwa kuelezea maana tano za neno tata hilo na kila neno toa mfano
mmoja mmoja.
5.Bainisha maneno yenye makosa katika sentensi zifuatazo kisha andika sentensi hizo kwa usahihi.
6.Malimusi na Wasakatonge walikuwa wanajadili kuhusu tenzi na mashairi ,
Malimusi anasema tenzi na mashairi zote ni tungo za kishairi hivyo zinafanana
,lakini Wasakatonge alikinzana na Malimusi kwa hoja kuntu .jadili upande wa
Wasakatonge kwa hoja nne huku ukitolea mifano hoja zako.
7. Vyombo vya habari vilikuwa na mchango gani katika kukuza na kueneza lugha ya
Kiswahili kuanzia miaka ya 1961 hadi sasa?. bainisha hoja nne kwa mifano kuntu.
8.Unataka kuwa kiranja mkuu katika shule ya sekondari Kazamoyo S.L.P 10
iliyopo Morogoro ,mwandikie barua mwalimu wako wa nidhamu kumwelezea
hitaji hilo katika shule yako.
SEHEMU C (ALAMA 30)
Jibu maswali mawili kutoka sehemu hii swali la 9 ni la LAZIMA
9.”Watunzi wa kazi ya fasihi huwa na dhima anuwai kwa jamii zao kupitia kazi zao
za fasihi wanazotunga”Thibitisha dai hili kwa kutumia tamthiliya mbili
ulizosoma kwa kutoa hoja tatu kutoka kila kitabu.
10. Lugha ni mhimili katika kazi yoyote ya fasihi,Watunzi hutumia lugha kiufundi ili
kufikisha ujumbe kwa jamii husika .Kwa kutumia Jazanda au taswira tatu kutoka
katika diwani mbili ulizosoma na uonyeshe namna zinavyofikisha ujumbe kwa
jamii.
11.”Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo au mambo hayapo sawa” Kauli hii inaweza kuwiana na waandishi wa riwaya juu ya jamii inayowazunguka, kwa kutoa hoja tatu kutoka kila riwaya katika riwaya mbili ulizosoma ,Jadili kwa nini wasanii hao hulia?.
ORODHA YA VITABU TEULE
USHAIRI
Wasakatonge ……………………………………………………. M.S Khatib (Dup)
Malenga Wapya…………………………………………………. Takiluki (Dup)
Mashairi Ya Chekacheka……………………………..…..T.A Mvungi (Ep &D.Ltd)
RIWAYA
Takadini………………………………………………………..Ben J. Hanson (Mbs)
Watoto Wa Mama N’tilie ………………………………………….E. Mbogo (H.P)
Joka La Mdimu…………………..………………………………….A.J Safari (H.P)
TAMTHILIYA
Orodha…………………………………………………………..Steve Reynolds (Ma)
Ngoswe Penzi Kitovu Cha Uzembe…………………………...…….E.Semzaba (Esc)
Kilio Chetu ……………………………………………Medical Aid Foundation (Tph)
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 142
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 142
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA WILAYAYA MVOMERO
MTIHANI WA UTIMILIFU KIDATO CHA PILI
021 KISWAHILI
MUDA: MASAA 3:00 MEI 2023
Maelekezo
SEHEMU A (Alama 16)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
C. Unominishaji D. Utohozi
E. Uambatishaji
C. Kimai D. Wawe
E. Hodia
Orodha A | Orodha B |
(i) Mzizi
(ii) Mofu huru
(iii)Kiambishi awali
(iv) Kiambishi cha kauli
(v) Kiambishi tamati
(vi) Hali ya mazoea
| A. mtu
B. ha-
C. cham-
D. -chok -
E. -an -
F. -ji.
G. u-
H. sasa.
|
SEHEMU B: (Alama 54)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
kila moja ya viambishi vyake.
(b) Tunga sentensi yenye viambishi vifuatavyo vya sarufi
(b) Kwa hoja nne (4) eleza umuhimu wa lahaja katika lugha ya kiswahili.
Jina langu Athumani, Mzaliwa Tanganyika,
Tanganyika si mgeni, hakuna wa kuniteka,
Wa kuniteka pembeni, damu yangu kukauka,
Pokea ukikumbuka, fedha zinafedhehesha.
Tumekwisha kuwajuwa, pesa walizofutika,
Futika ulizopewa, tumia bila mashaka,
Mashaka utaletewa, mto huu ukivuka,
Pokea ukikumbuka, fedha zinafedhehesha.
MASWALI
SEHEMU C (Alama 30)
Jibu maswali mawili (2) kutoka katika sehemu hii. Swali la kumi (10) ni la lazima.
ORODHA YA VITABU KWA SWALI LA 10 – 11
USHAIRI
Wasakatonge - M.s Khatibu (Dup)
Malenga Wapya - TAKILUKI (Dup)
Mashairi ya Chekacheka - T. A Mvungi (Ep & DLTD)
RIWAYA
Takadini - Ben Hanson(MBS)
Watoto wa Mama n’tilie - E. Mbogo (H.P)
Joka la Mdimu - A. J Safari (H.P)
TAMTHILIYA
Orodha - Steve Raynolds (MA)
Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe - E. semzaba (ESC)
Kilio Chetu - Medical Aid Foundation (TPH)
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 131
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 131
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SEREKALI ZA MITAA.
MKOA WA KILIMANJARO.
MTIHAN1 WA UTAMIRIFU WA KIDATO CHA NNE MKOA.
MSIMBO: 021 KISWAHILI
MUDA :SAA 3 MEI 2023
MAELEKEZO
SEHEMU A. (Alama 16)
1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i)-(x), kisha andika here] ya jibu hilo kwenye karatasi ya kujibia.
(i). Neno maji limeundwa kutokana na njia ipi kati kati ya hizi zifuatazo?
ii). Kikundi cha maneno kinachoonesha jambo lililotendwa na mtenda katika sentensi hujulikanaje?
iii). Viambishi vya O - rejeshi vya nomino "gari" ni ya vifuatavyo?
iv)Ni maelezo maalumu yanayotolewa kwenye hadhara ya watu.
v) Ingawa zipo njia mbalimbali za uundaji wa maneno mapya, Ni njia ipi inayotumika kuunda neno jipya kwa kubadili kategoria ya neno?.
vi).Ukiwa kama mwanafunzi wa kidato cha nne, unaweza kusema kiimbo hufasiliwaje katika mazungumzo ya lugha ya Kiswahili?
vii) Aina za maneno hufafanua kuhusu mambo mbalimbali .Onesha aina ya neno ambalo hufafanua zaidi kuhusu tendo au kivumishi kati ya haya yafuatayo?
viii) Kuna ngeli tisa za nomino za Kiswahili, katika ngeli hizo kila nomino huwekwa katika ngeli yake.Neno Ngamia lipo katika ngeli ipi kati ya hizi?
ix) Mwalimu wa Kiswahili aliwafundisha Wanafunzi wake aina mbili za mofimu na mifano yake.Ukiwa kama mwanafunzi wa kidato cha nne, onesha ni neno lipi kati ya haya yafuatayo hufanya kazi ya mofimu huru?.
x) Sentensi zote za Kiswahili huundwa kwa miundo mbalimbali.Ni sentensi ipi kati ya zifuatazo yenye muundo wa kiwakilishi+kirai kivumishi+kitenzi kikuu+kirai nomino?
2.Oanisha maelezo ya Orodha A na maneno katika Orodha B,kisha andika herufi ya jibu sahihi katika karatasi yako ya kujibia.
ORODHA A | ORODHA B |
i Kupangilia visa na matukio katika maandishi kwa lengo la kuburudisha,kuelimisha na kuakisi hall halisi ya jamii. ii. Masimulizi ya kubuni yanayosawiri tukio,tabia na migogoro katika katika maisha iii. Mchezo wa kuigiza unaoandikwa ill utendwe jukwaani iv. Mambo ya kubuni yenye mawanda mapana,lugha ya kinathari, mchangamano wa visa ,dhamira na wahusika kadhaa v. Mambo ambayo msanii wa kazi ya fasihi anayawasilisha katika jamii yake. vi. Ni tamathali ya semi ambayo mtu huulizwa swali ambalo tayari ana jibu lake |
|
SEHEMU B (Alarm 54)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
3. Wewe ni mwanaisimu mbobezi wa lugha ya Kiswahili.Tumia utalaamu wako kutoa elimu juu ya kazi za mofimu tegemezi zilizokolezwa wino kwenye maneno yafuatayo:
4. Usanaa wa fasihi hujitokeza katika vipengele mbalimbali muhimu.Kwa kutoa maana ya sanaa, taja vipengele vinne vinavyoonesha usanaa wa fasihi.
5. Wapo baadhi ya wanazuoni wa somo la Kiswahili wanaodai kuwa Kamusi ya Kiswahili haina tija. Ukiwa kama mwanafunzi wa Kidato cha Nne. toa hoja sita kukanusha dai hili.
6. Ingawa Kiswahili kimepata kukua na kuenea sana hata kabla ya kupata uhuru wa Tanganyika.Unafikiri ni sababu zipi zilizosaidia kuenea kwa Kiswahili kuanzia mwaka 1961.Toa hoja sita na mifano kwa kila jibu lako.
7. Soma kifungu cha habari kisha jibu maswali yafuatayo.
-Ndugu wazazi, kumbe safari yenu inahusu harusi ya Zaituni ?".Mkuu wa shule aliwauliza wazazi."Ndiyo," wazazi walijibu kwa Pamoja bila aibu."inategemewa kufugwa lini ."Mkuu aliendelea kuhoji. Harusi hii ilikuwa ifanyike wakati Zaituni anapofika kidato cha nne, Lakini Zaituni huyu ametufanyia uhuni na vituko visivyoelezeka. Nasi sasa tunachukiwa kijiji kizima na kudharauliwa na kila mtu.Hii imetuudhi sana, tumetungiwa nyimbo na kufanyiwa kila shutuma. Hatuna raha ;hivyo tumeonelea bora tuje kukuomba umfukuze shule ili kiburi kimwishie .Nasi tupo tayari kukulipa kiasi chochote cha fedha ukitimiza haja yetu hii,"Mzee Abdallah alieleza." Muda wote mkuu wa shule alikuwa akimtazama Mzee kwa chati sana .Kisha akauliza swali la kuchochea zaidi: Zaituni ana kiburi kumbe?"
Mama Zaituni hakutaka hilo limpite ,hima hima akatoa maelezo yake ."Mama wewe ,Zaituni usimuone hivi. Zaituni mwanangu hataki kufuata utamaduni wetu wa kuolewa. Zaituni ati achague mchumba mwenyewe, ati mahari haiyoni kama ni kitu cha msingi. Kiburi hicho kinatokana na elimu mliyompa.
Mtoto sasa ameharibika .Anafanya apendavyo elimu gani isiyojali adabu.wala utii?" Mama Zaituni alimaliza huku jasho na machozi yanamtoka".
Hapa mkuu wa shule aliona kwanza awaelimishe kabla hajawatolea kauli ya mwisho.Alikwishatambua kwamba wazazi wa Zaituni walikuwa wameachwa nyuma na wakati .Kila upya wa mawazo waliuita kiburi.
Maswali.
8. Wewe ni daktari katika hospitali ya Rufaa ya Bugando unayehusika na kitengo cha magonjwa ya Watoto, umealikwa katika cha Nyakato kwenda kuzungumza na
wanakijiji juu ya swala la utapia mlo . Andika risala utakayoitoa kwa Mkuu wa wilaya ya Nyamagana kuwahimiza wanakinikuwapa Watoto mlo kamili.
SEHEMU C (Alama 30)
Jibu maswali mawili (2) kutoka katika sehemu hii. Swali la kumi na moja (11) ni la lazima.
ORODHA YA VITABU.
USHAIRI.
RIWAYA.
TAMTHILIYA
9. -Kumekuwa na mgogoro mkuwa sana kati ya wazazi na vijana jambo ambalo limepelekea vijana wengi kushindwa kuishi na wazazi wao ili hall wakiwa katika umri mdogo na kupelekea vijana hao kukumbwa na changamoto mbalimbali katika maisha yao ya ukuaji na hatimaye kushindwa kutimiza ndoto zoa".Kwa kutumia tamthiliya mbili ulizosoma toa hoja tatu (3) kwa kila tamthiliya kwa kuonesha chanzo cha migogoro hiyo na namna ya kuitatuta.
10. "Mienendo ya wahusika ni muhimu katika ujenzi wa dhamira za mwandishi wa kazi ya fasihi". Thibitisha kauli hii ukionesha jinsi mienendo ya wahusika ilivyofanikisha kuibua dhamira .Toa hoja tatu kwa kila kitabu kutoka katika riwaya mbili ulizosoma.
11. "Mshairi ni kama taa imulikayo gizani ili kufichua kilichojificha ".Thibitisha ukweli wa kauli hii kwa kutoa hoja tatu kutoka kila diwani kati ya mbili ulizosoma.
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 120
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 120
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MKOA WA PWANI
MTIHANI WA UTAMILIFU KIDATO CHA NNE
KISWAHILI
(Kwa Watahiniwa walioko na wasiokuwa shuleni)
Muda: Saa 3 Mwaka 2023
MAELEKEZO
SEHEMU A (Alama 16)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
1 . Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) — (x), kisha andika herufi ya jibu hilo ltwenye kijjtabu chako cha kujibia.
Mwalimu Flora Komba aliwasisitiza wanafunzi katika somo la Kiswahili kuwa lugha hutengwa katika mafungu mawili, maana ya msingi na maana ya ziada. Je, maana ya ziada hushughulikiwa na tawi lipi la sarufi?
(ii) Fag, big na Antisosho ni mojawapo ya njia itumikayo kuunda misimu ikiwemo:-
(iii) Duka letu limejaa Vitu kedekede. Neno lililopigiwa msitari ni aina gani ya neno?
(iv) Kuna vyombo mbalimbali vya kukuza na kuendeleza lugha ya Kiswahili nchini Tanzania ikiwemo taasisi ya kiswahili na lugha za kigeni Zanzibar (TAKILUKI). Je, taasisi hii iliundwa mwaka gani?
(v) Katika kazi ya fasihi kuna wahusika ambao hawabadiliki na kupewa majina ambayo hufanya msomaji aelewe tabia na matendo yao. Je wahusika hao huitwaje?
(vi) VVanafunzi wa kidato cha nne katika Shute ya Sekondari Saja wanatarajia kufanya rnahafali ya 9 ifikapo mwezi Oktoba 2023 tangu kuanzishwa kwa Shule hiyo, umeteuliwa kuwa katibu wa vikao vya mahafali hiyo. Ni jambo gani kati ya haya yafuatayo si la kuzingatia wakati wa uandishi wa kumbukumbu?
(vii) Bi Upendo Batista ana mwezi mmoja tu tangu awasili nchini Tanzania akitokea Jiji la Liverpool nchini Uingereza na ameanza kujifunza lugha ya Kiswahili. Mwalimu wake amemuagiza akanunue kamusi Mahuluti. Mfafanulie aina hiyo ya kamusi
(viii) Mwalimu Okollah amewapa wanafunzi wake kazi ya darasani ya kutunga hadithi, mwisho wa hiyo hæv fithi isomeke "Asiyesikia la mkuu huvunjika guu" Je, hiki ni kipera gani cha inacnthi?
(ix) Matumiaji wa lugha kjswahili anapotamka baadhi ya silabi kwenye neno huongeza nguvu kutamka kuzidi nyingine, hali hiyo huitwa?
(x) Ukiwaa kama mtaalamu wa lugha ya kiswahili hususani katika mada ya mjengo wa Tungo, unafikiri ni awanini kiwakilishi na kihisishi havijapewa hadhi ya vikundi au virai badala yake hutokea katika kirai nomino (KN) na Sio katika aina nyingine ya virai?
2. Oanisha maana ya dhana ya vifungu vya maneno vilivyo katika ORODHA A kwa kuchagua herufi ya dhana husika katika ORODHA B, Kisha andika herufi husika katika kijitabu chako cha kujibia.
ORODHA A | ORODHA B |
(i) Kula kichwa (ii) Aya ndogo yenye kidahizo na taarifa zake zote zinazohitajika. (iii)Maana yake ni aina au mgawanyo. (iv) Bahasha-baghsha (v) Ameaga dunia. (vi) Mtiririko mzuri wa mawazo kutoka ubeti mmoja hadi ubeti mwingine ambao hukamilisha maana ya shairi zima. |
|
SEHEMU B (Alama 54)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
3. (a) Kumekuwa na mabishano ya wanafunzi juu ya matumizi ya kiambishi "Kwa”wengi wao husadifu kuwa hakuna matumizi yoyote ya kiambishi hiko. Ukiwa mtaalamu wa kiswahili, waoneshe kwa mifano dhima tano (05) za kiambishi "Kwa”.
(b) Kwa kutoa mifano thabiti, fafanua majukumu manne (04) ya mnyumbuliko katika lugha ya kiswahili.
4. Mmepewa kazi na mwalimu wa kiswahili kuhusu dhana ya kiarifu. Ukiwa kama mmoja wao uliyeshiriki mjadala, fafanua vipashio sita (06) vya kiarifu (Kila kimoja thibitisha kwa mfano bayana).
5. Kiswahili ni lugha adhimu ambapo imekua kwa kasi sana na hadi sasa kutumika na mataifa mbalimbali. Kwa kutumia hoja sita (06) zenye mashiko, elezea mchango wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kukuza na kueneza Kiswahili kimataifa (nje ya mipaka ya Tanzania)
6. Diwani wa kata yenu ya Serengeti ameandaa harambee kwaajili ya kuchangia ujenzi wa Mabweni. Kwa niaba ya kamati ya maandalizi, andaa kadi ya mwaliko kuwaalika wadau wa Elimu. Harambee itafanyika ukumbi wa Kiluvya Hall Kisarawe Pwani tarehe 1/8/2023. Jina lako liwe Soma Ule wa S.L.P 3012 Kisarawe.
7. Mwandishi wa diwani ya Chekacheka ndugu Theobald A. Mvungi amemchora mwanamke katika namna tofauti tofauti. Eleza kwa ufupi hoja nne (04).
8. Soma shairi lifuatalo, Kisha jibu maswali yanayofuata
(i) Busara haitokua, kuanza pasi salamu,
Salamu nasalimia, wakubwa na wa makamu,
Halaiki naongea, naiongelea simu,
Ni sawa na kunywa sumu, kutumia simu shule.
(ii) Kweli zina umuhimu, si kidogo maishani,
Wasiliana si ngumu, ila sio mashuleni,
Kunielewa ni ngumu, lakini sikilizeni,
Ni sawa na kunywa sumu, kutumia simu shule.
(iii) Madhara nawatajia, ya hayo yenu masimu,
Uelewa kuzuia, akifundisha mwalimu,
Dunia kufatilia, masomo huwa magumu,
Ni sawa na kunywa sumu, kutumia simu shule.
(iv) Busara kuzizuia, kutumia hizi simu,
Darasani zatutoa, kwa ubize wa magemu,
Maana tungepotea, na kuja kujilaumu,
Ni sawa na kunywa sumu, kutumia simu shule.
MASWALI
(a) Pendekeza kichwa cha shairi kinachofaa, kisichozidi maneno matatu
(b) Taja madhara mawili ya simu za mkononi yaliyotajwa na mshairi.
(c) Onesha maneno mawili ya kigeni yaliyotumiwa na mshairi katika shairi lake.
(d) Bainisha maana ya maneno yaliyokolezwa wino na kupigiwa msitari.
SEHEMU C (Alama 30)
Jibu maswali mawili (02) kutoka katika sehemu hii. Swali la tisa (9) ni la lazima.
ORODHA YA VITABU KWA SWALI LA 9 - 11
USHAIRI
RIWAYA
TAMTHILIYA
9. Mshairi mzuri ni yule anayeitazama jamii yake na kusisitiza suala zima la Ukombozi kila penye dhuluma, uonevu na ukandamizaji. Wewe ukiwa kamamwanafasihi na mhakiki wa kazi za fasihi, fafanua aina tofauti tofauti za Ukombozi na ni kwa jinsi gani washairi wetu wameonesha hali hiyo, kwa kurejea diwani mbili ulizosoma kwa hoja tatu (03) kila diwani.
10. Wapo baadhi ya wanaume hukimbia familia zao kwa kupenda au kutokupenda, hali hii humfanya mwanamke (Mama) apambane peke yake juu ya kulea familia hiyo iliyokimbiwa na Baba. Ukiwa kama mwanajamii, elezea mchango hasi wa mwanaume ambao ni kikwazo cha maendeleo ya mwanamke, kwa kurejea katika riwaya mbili ulizosoma kwa kutoa hoja tatu (03) kwa kila riwaya.
11. Uzuri wa nyumba sio mlango, ingia ndani ujionee. Uteuzi wa jina la kitabuhuweza kuakisi au kutoakisi yaliyomo kitabuni. Kubali au kataa dai hili kwa kutoa hoja tatu (03) kwa kila kitabu katika tamthiliya mbili ulizosoma.
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 109
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 109
Namba ya Mtahiniwa . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA
MTIHANI WA UTAMILIFU KIDATO CHA NNE
021 KISWAHILI
Muda: Saa 3:00 Aprili, 2023
MAELEKEZO
SEHEMU A (ALAMA 16)
Jibu maswali yote katika Sehemu hii.
1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x) kisha andika herufi ya jibu sahihi katika karatasi yako ya kujibia.
(i) Bainisha tabia ya umbo lililopigiwa mstari katika kitenzi “ibwa.”
(ii) Bainisha jozi sahihi ya vipera vya Sanaa za Maonesho:
(iii) Neon “beberu” limeundwa kwa njia ipi kati ya hizi zifuatazo za uundaji wa maneno?
(iv) “Mtangazaji wa televisheni huhakikisha watazamaji wanapata habari sahihi kwa wakati.” Katika fasihi, kazi hiyo hufanywa na nani kati ya hawa wafuatao?
(v) Mende anapenda uchafu. Neno lililopigiwa mstari lipo katika ngeli ipi?
(vi) Mofimu –me- katika sentensi “Rosa amenitaarifu leo asubuhi” ni:
(vii) Mzee Jimbi na Kifaruhande ni miongoni mwa wahusika katika Tamthiliya ya . . . . . . . . . .
(viii) Ashirafu na Hamisi wakati wanaandika barua rasmi walisahau kujumuisha hatua inayofuata baada ya kipengele cha mwisho wa barua. Ni hatua ipi iliyokuwa imesahaulika ?
(ix) Tamathali ya semi inayotumika kufananisha vitu bila kiunganishi huitwa _________.
(x) "Kutwa mara tatu”. Dhima ya muundo wa mazungumzo haya ni ipi?
2. Oanisha maana za tamathali za semi zilizopo katika Orodha A na tamathali husika kutoka Orodha B, kisha andika herufi ya jibu sahihi katika kijitabu chako cha kujibia.
ORODHA A | ORODHA B |
(i) Ushangaaji wa jambo fulani, aghalabu huambatana na alama ya mshangao. (ii) Upangiliaji wa maneno katika namna ya kupingana ili kusisitiza mawazo fulani. (iii)Ulinganishaji wa vitu viwili au zaidi vyenye sifa tofauti kwa kutumia viunganishi. (iv)Uhuishwaji w akitu kisichobinadamu kupewa uwezo wa kutenda kama binadamu. (v) Urudiaji wa meneno ili kuonesha msisitizo wa jambo. (vi)Huuliza swali hali jibu linafahamika wazi. |
|
SEHEMU B (ALAMA 54)
Jibu maswali yote kutoka sehemu hii
3. Kwa kutumia mifano, taja vipashio sita vya kiima.
4. Kwa kutumia hoja tatu (3), eleza faida za kutumia lugha fasaha na hoja tatu (3) hasara za kutumia lugha isiyo fasaha.
5. Andika rejesta tatu (3) zinazotumika katika miktadha ifuatayo:
6. (a) Eleza kirefu cha neno BAKITA.
(b) Eleza kazi nne (4) za BAKITA.
7. Kwa kutumia mifano kuntu kutoka katika tamthiliya ya Kilio Chetu na Orodha, eleza kwa kifupi namna Mwanamke alivyochorwa katika sura tofauti tofauti. (Hoja tatu (3) kutoka kila tamthiliya.)
8. Soma shairi lifuatalo kisha jibu maswali yanayofuata:
1. Enyi vijana sikiliza, nawapa wangu wosia,
Nataka kuwaeleza, ushauri ulo mwema,
Hakika nawapongeza, hapa mlipofikia,
Hongereni, hongereni, Hongereni kuhitimu.
2. Ni mbali mlipofikia, kamwe msijebweteka,
Matashi yenu kufikia, huo ni mwanzo sikia,
Usije kuvitupia, vitabuvyo kwenye taka,
Hongereni, hongereni, Hongereni kuhitimu.
3. Shuleni mmejifunza, kusoma kwa uhakika,
Kwa umakini mkajifunza, Kiswahili bila kuchoka,
Lugha mkajifunza, bila hata kubweteka,
Hongereni, hongereni, Hongereni kuhitimu.
MASWALI
(a) Andika kichwa cha shairi hili kwa maneno yasiyozidi manne.
(b) Neno “bweteka” lina maana gani kadiri ya lilivyotumika katika shairi hili?
(c) Mwandishi ametumia muundo gani?
(d) Taja tamathali mojawapo ya semi iliyotumika katika beti zote za shairi na mfano wa tamathali hiyo.
(e) Taja idadi ya mizani zilizopo katika mstari wa kwanza wa ubeti wa pili.
SEHEMU C (ALAMA 30)
Jibu maswali mawili (2) kutoka sehemu hii. Swali la 11 ni la lazima.
9. Fasihi simulizi ni ndizi ambazo huweza kubebwa katika vifungashio vya rangi tofauti. Eleza vifungashio vinne (4) na uelezee changamoto moja kwa kila kifungashio.
10. Mshairi hutumia taswira mbalimbali katika kufikisha ujumbe katika jamii. Dhihirisha dai hilo kwa kutumia diwani mbili ulizosoma. (Hoja tatu kwa kila diwani.)
11. Watanzania wa leo hawahitaji sio tu kiongozi bora bali mwenye uthubutu katika kupambania mahitaji yao. Kwa kutumia riwaya mbili ulizosoma, jadili mambo ambayo kiongozi anapaswa kuyakemea katika jamii.
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 104
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 104
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MKOA WA TANGA
MTIIIANI WA UTAMILIFU KIDATO CHA NNE
(Kwa wanafunzi waliopo na wasiokuwepo shuleni)
MSIMBO: 021 KISWAHILI
MUDA: SAA 3 MEI, 2023
MAELEKEZO
SEHEMU A (ALAMA 16)
Jibu maswali yote
1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i)-(x) kisha andika herufi ya jibu hilo
i. Mzee Jimbi aliwasimulia wajukuu zake chanzo cha nyoka kutambaa na jongoo kuwa na miguu mingi.Unahisi ni kipera gani cha hadithi Mzee Jimbi alikitumia?
ii. Mama Mazoea alimnunulia mwanawe zawadi ya kamusi ya Kiswahili sanifu ya TUKI iliyichapishwa mwaka 1981 baada ya mwanawe kufaulu mtihani wg kidato cha nne ambapo alifaulu mchepuo wa HKL.Je Mama Mazoea alimnunulia mwanawc aina gani ya kamusi?
iii. Ombeni alijinasibu mbele ya rafiki yake "wakati wa likizo napenda kwenda Dar Es salaam" lakini rafiki yake alimjibu , " mimi napendaga kwenda jiji la kizota" je katika kauli ya rafiki yake Ombeni ni kosa gani amelifanya
iv. Juma alikuwa akitaniana na Mathayo "Juma akamwambia Mathayo ni mnene kama pipa" na Mathayo akamwambia Juma ni mwembamba mithili ya sindano.Je Juma na Mathayo wametumia tamathali gani za semi?
v. Mzee Kifaruhande anauguza mgonjwa nyumbani kwake.je neno lililopigiwa mstari Tina jumla ya silabi ngapi?
vi. Amani ni jambo la muhimu sana ndani ya Taifa letu" Tumeshuhudia kwenye nchi za wenzetu maiti zikizagaa kila mahali kwasababu ya vita, je neno maiti linapatikana katika ngeli gani?
vii. Tu tayari kufanya mtihani wa Taifa 2023.Je sentensi hii ipo katika nafsi ya ngapi?
viii. Kija alimsihi shangazi Yembe awasaidie kulipa ada ya Maisara iii aendelee na masomo yakc.Shangazi aliwapa kisogo. Kauli iliyopigiwa mstari ina maana:
ix. Juma alifurahi alipopata maswali yote ya Kiswahili.Neno lililopigiwa mstari ni;
x. Hamsini,laki,kasri na fikiri ni miongoni mwa maneno yanayothibitisha kuwa asili ya Kiswahili ni;
2. Oanisha mifano ya tamathali za semi zilizopo katika orodha A kwa kuchagua herufi ya mfano husika katika orodha B,kisha andika herufi husika katika karatasi yako ya kujibia.
ORODHA A | ORODHA B |
|
|
SEHEI1U B (ALAMA 54)
Jibu maswali yote
3.. Uainishaji wa sentensi huzingatia vipashio vilivyopo katika scntensi husika.Tunga sentensi moja kwa kila kipashio katika vipashio vifutavyo
4. a. Nini maana ya kiarifu?
b. Kwa kutumia mifano bainisha vipashio vinne vinavyounda kiarifu.
5. Zipo nadharia mbalimbali zinazoelezea chimbuko la Kiswahili lakini ipo nadharia inayokubalika kutokana na kuwa na ushahidi wa kisayansi na kihistoria.Kwa kutumia mifano hai toa hoja nne za kisayansi kubainisha nadharia hiyo.
6. Kwa kutumia mifano ya lugha ya Kiswahili taja sababu nne za utata katika mawasiliano.
7. Soma kifungu cha habari, kisha jibu maswali yanayofuata.
Mwanadamu ni kiumbe anayehitaji kuwa na rafiki iii aweze kuondoa ukiwa kwa kumletea faraja. Kwa kawaida marafiki hufahamiana, huzoeana na kuchangamkiana katika maongezi. Mandhari ya aina yoyote unaweza kupata marafiki yaani nyumbani, shuleni, kanisani, kazini na hata kisimani.
Kutokana na ukweli kuwa ushauri wa marafiki huwa na nguvu na ni rahisi kwa marafiki kuambukizana tabia, seuze hayo rafiki anaweza kukusababishia simanzi .na si kukuletea furaha. Kwa hiyo ni muhimu kuchunguza kwanza tabia za mtu unaetaka kuwa rafiki yake. Ni hen kukosa rafiki kuliko kuwa na rafiki mlevi, mwongo, mwizi, mvivu au mwenye tabia mbaya nyinginezo. Rai yangu kwako, rafiki wa kukufaa ni yule mwenye adabu njema, busara, hekima na mwaminifu na pia mwenye utayari wa kukutakia mafanikio mema katika maisha yako.
Wahenga walisema akufaayc kwa dhiki ndiye rafiki. Ni ukweli usiopingika mtu anaycweza kukusaidia kwa dunia ya sasa ni yule mwenye kujua thamani ya mtu na si vinginevyo.
Maswali
8. Soma kwa makini mazungumzo ya simu kati ya SIKITU na MGENI kisha andika kadi ya mwaliko
SIKITU : Halloo.Habari za jioni.
MGENI: Nzuri. Nani mwenzangu?
SIKITU : Sikitu hapa.Nimekupigia kukujuza kuwa ile harusi ya kaka Bahati itakuwa siku ya Jumamosi ya tarehe 6/7/2023 kuanzia saa 10 jioni.
MGENI : Heh mbona mapema hivyo?
SIKITU: Ndivyo walivyopanga.Ndoa itafungwa kanisa la pentacosta
Miembeni.Kisha shcrchc itafanyika Nyumbani Mabibo mtaa wa Samora ilivyo unakaribishwa.
MGENI: Asante.Nitumie kadi yangu.
SEHEMU C: (ALAMA 30)
Jibu maswali mawili(2) tu.Swali la 9 ni lazima
9. Waandishi wa tamthiliya mara nyingi hutumia•mandhari ya mjini au kijijini kufikisha ujumbe fulani kwa jamii.Je ni mambo gani yanayokushawishi kugundua kuwa mandhari iliyotumika ni mjini au kijijini? Toa sababu tatu(3) kwa kila tamthiliya kati ya tamthiliya mbili ulizosoma.
10. Ni kwa namna gani waandishi wa kazi za riwaya wanavyotumia kipengele cha migogoro kuwasilisha dhamira zao.Toa hoja tatu kutoka katika kila riwaya.
11. Washairi ni walimu wazuri sana wa jamii yetu.Thibitisha kauli hii kwa kutumia hoja tatu(3) kutoka katika Diwani mbili ulizosoma.
ORODHA YA VITABU
USHAIRI
RIWAYA
TAMTHILIYA
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 99
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 99
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MKOA WA DAR ES SALAAM NA IRINGA
MTIHANI WA PAMOJA WA UTAMILIFU KIDATO CHA NNE - 2022, KISWAHILI
MSIMBO: 021
MUDA: MASAA 3:00
MAELEKEZO
SEHEMU A: (Alama 15)
1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x) kisha andika herufi ya jibu sahihi katika kijitabu chako cha kujibia
(i) Vijana wanauza maembe uwanjani. Neno Maembe katika sentensi hii limesimama kama:-
(ii) _________________ ni aina ya sentensi ambayo huundwa kwa kishazi tegemezi kimoja au zaidi na kishazi huru kimoja au zaidi
(iii) Ipi kati ya zifuatazo siyo dhima ya viambishi?
(iv) Katika lugha a kiswahili kuna aina ngapi za viwakilishi?
(v) Umbo -tu- katika neno "watakapotupambanisha" hutambulisha__________
(vi) Ni kauli inayotumia maneno ya kawaida lakini hutoa maana tofauti kabisa na ilivyokwenye maneno yale?
(vii) Vipi kati ya vifuatavyo ni vipera vya hadithi?
(viii) Yafuatayo ni matawi ya sarufi isipokuwa____
(ix) Neno "Chakachua" ni neno la msimu ambalo linaweza kuwa mfano wa__
(x) Ni sehemu katika sentensi inayokaliwa na mtenda wa jambo
2. Oanisha maana ya dhana zilizo katika orodha A kwa kucha ua herufi ya dhana husika katika orodha B kisha andika herufi husika katika kijitabu chako cha kujibia
Orodha A | Orodha B |
|
|
SEHEMU B: (Alama 40)
Jibu maswali yote katika sehemu hii
3. Bainisha njia zilizotumika kuunda maneno yafuatayo:-
4. Onesha kiima na kiarifu katika tungo zifuatazo:-
a) Mwalimu mfupi atafuta ubao
b) Vijana watakaosoma vizuri watapewa nafasi ya kwanza
c) Mtoto anacheza
d) Kuimba kwake kunafurahisha sana
5. (a) Je, uandishi wa tangazo una umuhimu gani? (toa hoja tatu (3))
(b) Kwa kutumia kielelezo cha picha, Andika tangazo la kuuzwa kwa Gari aina ya Nissan Patrol nyeusi.
6. Hata baada to uhuru, Kiswahili kimekuwa kikikabiliwa na matatizo mbalimbali. Eleza kwa ufupi matatizo manne (4) yanayokikabili katika ukuaji na ueneaji wake nchini.
7. Soma shairi lifuatalo kicha jibu maswali yanayofuata
1. Corona ugonjwa gani, umezua taharuki,
Chanjo haipatikani, Ulaya hakukaliki,
Tiba haijulikani, Dunia haifurukuti,
Corona ina maafa, kujikinga ni lazima
2. Hofu kubwa imetanda, wakubwa kwa wadogo,
Mafua, homa kupanda, utaonauki "gugo",
China mpaka mpanda, Corona haina vigo,
Corona ina maafa, kujikinga ni lazima.
3. Walakini juu ya yote, mapenzi yameoteshwa,
Karantini kwa wote, makapera wameoa,
Mabinti wasiopenzini, huu msimu wa ndoa,
Corona ina maafa, kujikinga ni lazima.
4. Hakika baniani mbaya, kiatu chake dawa,
Wanandoa walishane, penzi bila taabu,
Nao wapenzi wachanga, wasubiri janga lipite,
Corona ina maafa, kujikinga ni lazima.
5. Mungu atasaidia, corona itaisha,
Elimu tazingatia, wizara wanakumbushia,
Tunawe yetu mikono, epuka msongamano,
Corona ina maafa, kujikinga ni lazima.
MASWALI
8. Wewe ni mwenyekiti wa mtaa ambao umekumbwa na mafuriko lakini wananchi wako wanakataa kuhamia makazi mapya. Andaa hotuba utakayoitoa kwa wananchi wa mtaa wako ili kuwashawishi kuondoka katika sehemu hiyo. Jina la mtaa ni Kwamachombo na eneo la Makazi Mapya linaitwa Kitivo
SEHEMU C: ( Alama 45)
Jibu maswali matatu (3) kutoka sehemu hii
9. "Fasihi ni bidhaa adimu inayopaswa kuuzwa na kununuliwa sokoni" Kwa kutumia fasihi simulizi dhihirisha ukweli huu kwa kuzipambanua sifa zake mahususi. (Toa hoja sita (6)).
10. Utamu wa maji ya dafu ni kunywa kwenye kifuu chake, na utamu wa shairi ni lugha. Eleza jinsi waandishi wawili walivyotumia lugha ya picha katika kupamba mashairi yao. (Toa hoja tatu (3) kwa kila diwani)
11. Katika kazi ya fasihi jina Ia kitabu husadifu yaliyomo ndani ya kitabu. Kwa kutumia riwaya mbili ulizosoma, Toa hoja tatu (3) kwa kila riwaya kuthibitisha dai hilo.
12. "Wahusika mbalimbali katika kazi za fasihi huonyesha tabia mbalimbali ambazo nyingine ni mfano wa kuigwa na nyingine hazifai kuigwa katika jamii. Onyesha wahusika ambao tabia zao hazifai kuigwa". Tumia tamthiliya mbili kati ya tatu ulizosoma na utoe hoja tatu kwa kila tamthiliya
ORODHA YA VITABU VYA SWALI LA 10 - 12
USHAIRI
RIWAYA
TAMTHILIYA
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 91
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 91
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MKOA WA KILIMANJARO
MTIHANI WA UTAMIRIFU KIDATO CHA NNE
MSIMBO 0021 KISWAHILI
MUDA: 3:00 27/06/2022
MAELEKEZO
l. Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenyej umla ya maswali kumi nambili (12)
2. Jibu maswali yote katika sehemuAna B na maswali matatu (3)kutoka sehemu C
3. SehemuA ina alama kumi na tano(15) sehemu B ina alama arobaini (40) na sehemu C ina alama arobaini na tano (45)
4. Zingatİa maelekezo ya kila sehemu na ya kila swali
5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoıuhusiwa havitakiwi katikachumba cha mtihani
6. Andika namba yako ya mtihani katika kila ukurasa wa karatasi za kujibia
SEHEMU A (ALAMA 15)
1. Chaguaherufi yajibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x) kishaandikaherufi yajibu hilo katika karatasi ya kujibia.
i. Maneno yapi kati ya yafuatayo yanatokana na lugha za kibantu
ii. Ni neno lipi linalotoa taarifa kuhusu nomino?
iii. Nj ia mojawapo ya kuzuia utata katika lugha ya mazungumzo ni ipi kati ya zifuatazo?
iv. Neno lipi kati ya haya ni mofimu huru?
v. Ni semi zinazoonesha upinzani wa fikra.
vi. Ni hatua inayofuata baadayakipengele chamwisho wa baruakatika uandishi wa barua rasmi.
vii. Nisifaipi haitofautishi fasihi simulizinafasihi andishi?
viii. Ni maneno yapi kati ya haya yafuatayo yametokana na njia ya kuambatanisha maneno?
ix Tarihini mojawapo kati ya viperavyahadithiarnbavyo huelezeakuhusu.
x. Moja kati ya zifuatazo Sio tabia ya Vitenzi halisi?
2. Oanishamaananadhanakatika Orodha A kwakuchaguaherufiyadhanahusikakatika Orodha B kasha andika herufi husika
SAFU A | SAFU B |
i. Ng'ombe zangu wanatoamaziwa mengi ii. Huandikwakwa lugha mbili iii. Ni kanuni,sheria na taratibu zinazowabana wazungumzaj iwa lugha wapate kuelewana iv. Manenoyasiyo sanifuyanayozungumzwanakikundi kidogo cha watu v. Misemo yapicha ambayo huletamaana iliyofichika. |
|
SEHEMU B (ALAMA 40)
(Jibu maswali yote katika sehemu hii)
3. Kwakila sentensi onesha kiima na kiarifu kwa kutenga na kistarina kuandika "K" kwa kiimana "A" kwa kiarifu
i. Mwanasiasa alikuwa anahutubia wanakij iji wote leo
ii. Mbuzi wangu mkubwa amekula majani yote.
iii.Ng'ombe wetu amekunywa maji machafu mno.
iv. Walifika asubuhi walimu wetu.
v. Mwalimu alikuj a kufundisha Kiswahili asubuhi.
4. Tungozifuatazo zinamaanazaidiyamoja. Toamaanambili tukwakilatungo.
A.Nimenunua mbuzi
B. Eda ameshinda shuleni
C. Ukija njoo na nyanya
D.Nyumbani kwao kuna tembo.
5. a) Soma kwa makini sentensi (i) hadi (iv) kasha fafanua kwa pamoja vipengele vinne (4) vinavyodhihirisha uhusiano baina ya Kiswahili na lugha za kibantu kisayansi
i. Mtoto amelala(kiswahili)
ii. Mwana agonile(kingoni)
iii. Mwana yogonile(kigogo)
iv. Omwana yanagile(kihaya)
b) Kwa kutumia mifano na kutoa hoja mbili kwa kila hoja moja, eleza kwa utupl mafanikio ya lughayaKiswahili enzi za waarabu katika.
i) Dini
ii) Biashara.
6. Kwa kutumia mifano kutoka katika tamthiliya ya Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe E. Semzaba (ESC). Eleza kwa kifupi madhara manne yanayoweza kutokea katikajamii iwapo zoezi la uhesabuji watu (Sensa) litakumbwa na Uzembe.
7. Fikiria kuwa umekutana na mtu ambaye ameteuliwa kutoa hotuba kwenye mkutano wa kijiji kinachoendekeza mila potofu ya unyanyasaji wa walemavu wa ngozi lakini hajawahi kutoa hotuba tangu azaliwe. Wewe kamamwanafunzi wa kidato cha nne eleza kwa ufupi mambo makuu matano (05) atakayopaswa kuzingatia wakati wa utoaji wa hotuba hiyo ili ujumbe uliokusudiwa uweze kuwafikia walengwa.
8. Soma beti zifuatazo za shairi la kimapokeo,
Kishajibu maswali yanayofuata.
Tuitafute elimu, vitabu vyote vyasema,
Nikitu lilo muhimu, kwa maisha yako mema
Tuipate na idumu, ijenge yalo hekima.
Elimu dira sahihi, Ongoza yetu maisha
Elimu kwetu ni mali, uishike ninasema,
Haitaki ukatili,yakutaka uwe mwema,
Maisha kuyakabili, kuyafanya yawe mema
Elimu dira sahihi, Ongoza yetu maisha
Maswali
a) Bainisha ukwapi na utao wamstari watatu wa ubeti wapili
b) Tajatamathali mbilizasemi kwamifanokutokakatikashairi ulilosoma.
c) Mwandishiwashairi hili anÜungumzianafsi ipi? Thibitishajibulakokwamifanomiwili kutoka katika shairi ulilosoma.
d) Elimu humpatiamtu fedha kwani atalipwa kuendananataalumaaliyonayo lakini kuna watu wana fedha nyingi ila hawana elimu. Kwa muj ibu wa shairi hili unadhani watu hao wanakosa kitu gani cha msingi? Eleza kwa hoja moja.
SEHEMU (Alama 45)
Jibu maswali matatu katika sehemu hii
9. Jifanye umepata baruayamwaliko washereheyasikuyakuzaliwakwarafikiyakoaitwaye Dadakiboga Stella itakayofanyika tarehe 12/08/2022 lakini kwa bahati mbaya Siku tano kablaya sherehe umepata safari ya kikazi kuelekea mkoani Mwanza. Andika barua kumtaarifu rafiki yako Dadakiboga Stella wa sanduku la barua 110 Soweto kuwa hutaweza kuhudhuria sherehe hiyo Jina lako liwe Makoti Msweta, Sanduku la posta 212 Arusha.
ORODHAYAVITABU KWASWALI LA 10-12
USHAIRI
RIWAYA
TAMTHILIYA
10. "Mshairi ni mjuzi wa kubuni na kuandaa taaswira itakayo mvuta msomaji katika kazi ya ushairi ” Kwa kutumia diwani mbili kati ya tatu ulizosoma, Elezajinsi mwandishi alivyotumia taaswiratatu kutoka katika kila diwani zilivyotumiwa na msanii kuwasilisha ujumbe kwaj amii.
1l. Watanzania wa leo wangefaidika sana na tamthiliya kama wangekuwa na utamaduni wakusoma tamthiliya. Thibitisha kauli hii kwa kutumia vitabu viwili kati ya hivyo vilivyotaj wa hapojuu.
12. "Waandishi wa kazi za Fasihi huibua migogoro mbalimbali nakupendekeza masuluhisho ili kuelimisha jamii husika Thibitisha kauli hiyo kwa kutoa hoj a tatu kutoka katika Riwaya mbili kati ya riwaya tatu ulizosoma.
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 35
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 35
OFSI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA MUUNGANO WA WAKUU WA SHULE ZISIZO ZA SERIKALI(OHONGSS)
MTIHANI WA UTIMILIFU KIDATO CHA NNE 2022
KISWAHILI
MASAA : 3 JUNI 2022
MAELEKEZO
SEHEMU A (Alama 15)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
1. Chagua herefi ya jibu sahihi kisha andika jibu lako kwenye kijitabu cha kujibia.
(i) Mhazili ni;
(ii) ‘Pigia mstari.’ Msemo huu una maana ya;
(iii) Amechomwa na mwiba. Neno lililokolezwa wino ni;
(iv) Mwanzilishi wa mashairi ya mtindo kujibizana ni;
(v) Neno ‘mbakaji’ limeundwa kwa njia ya;
(vi) Maneno yapi yametokana na mbinu ya ukopaji?
(vii) Kipande cha pili katika mshororo wa shairi huitwa;
(viii) Utokeaji wa misimu katika jamii hutegemea……………
(ix) Neno lipi kati ya yafuatayo linaweza kudokeza mtenda au mtendwa?
(x) Kati ya sababu zifuatazo ni ipi si sahihi kuhusu matumizi ya kamusi?
2. Oanisha maelezo ya kifungu A na maneno katika kifungu B
KIFUNGU A | KIFUNGU B |
|
|
SEHEMU A (Alama 40)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
3. Bainisha mizizi ya maneno yafuatayo:
4. Eleza miundo minne ya kishazi tegemezi.
5. (a) Bainisha kwa mifano njia nne za uundaji wa misimu.
(b) Eleza mambo manne ya kuzingatia unapofanya mazungumzo.
6. Kiswahili ni kibantu. Thibitisha dai hili kwa kutumia hoja nne.
7. Bainisha taswira mbili kwa kila diwani za Wasakatonge na Malenga Wapya.
8. Chukulia kuwa wewe ni mwalimu Haule Ndomba wa shule ya sekondari Nyika. Mwandikie barua pepe mkuu wako wa shule ukimtaarifu kuwa hutaweza kufika kazini kwa kuwa hujihisi vizuri kiafya.
SEHEMU C (Alama 45)
Jibu maswali matatu tu katika sehemu hii.
9. Tunga utenzi wenye beti tano kuhusu Sensa ya watu na makazi 2022.
10. Tumia diwani mbili, hoja tatu kwa kila moja, kuonesha ni kwa namna gani waandishi wa kazi za fasihi hutumia kazi zao kuelimisha jamii.
11. Uteuzi mzuri wa wahusika ndio husaidia kuibua dhamira mbalimbali katika kazi za fasihi. Jadili kauli hii kwa kutumia tamthiliya mbili ulizosoma. (Hoja 6)
12. Dhihirisha utokeaji wa migogoro katika jamii kwa kutumia riwaya mbili ulizosoma. (Hoja 6)
ORODHA YA VITABU
USHAIRI
Wasakatonge - M. S. Khatibu (DUP)
Mashairi ya Cheka Cheka - T. Mvungi (DUP)
Malenga Wapya - TUKI
RIWAYA
Watoto wa Mama N’tilie - E. Mbogo
Joka la Mdimu - A. J. Safari (HP)
Takadini -
TAMTHILIYA
Kilio Chetu - Steve Raynolds (MA)
Orodha - Medical Aid Foundation
Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe - Edwin Semzaba
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 30
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 30
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOSA UMOJA WA KITAALUMA KANDA YA MIKUMI
MTIHANI WA KIDATO CHA NNE WA KUJIANDAA NA UTAMILIFU
021 KISWAHILI
(Kwa watahiniwa walioko shule tu)
Muda: Saa 3 Alhamisi Machi 18, 2021
MAELEKEZO:
1. Mtihani huu una sehemu A, B, na C zenye jumla maswali 12.
2. Jibu maswali yote katila sebemu A na B kisha maswali matatu (3) kutoka sebemu C.
3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na kila swali.
4. Hauruhusiwi kuingia na simu wala nakala yoyote inayohusiana na somo la Kiswahili.
5. Andika namba yako ya mtihani katika kila ukurasa wa kijitabu Chako cha kujibia.
SEHEMU A (ALAMA 15)
Jibu maswali yote katika sehemu hii
l. Katika kipengele cha i-x chagua jibu sahihi kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika kijitabu Chako cha kujibia
i.Sentensi ipi kati ya zifuatazo ina kiambishi cha mtendwa nafsi ya pili umoja?
ii.________________ ni mabadiliko ambayo yamesababisha uhitaji wa neno nywila
iii. Zifuatazo ni nomino za kawaida isipokuwa
iv. Sentensi "Waziri wa fedha atawakilisha bajeti ya mwaka wa fedha 2010/2011" ina kosa gani la kisarufi?
v. Maneno, nahau au sentensi ambatano hutumiwa na wasanii wafasihi ili kutia nguvu katika maana, mtindo na sauti katika maandishi ama kusoma huitwa
vi. Vifuatavyo ni vigezo vya kiisimu vinavyothibitisha ubantu wa Kiswahili isipokuwa
vii. Ni seti ipi haina tawi la sanaa?
viii. Zifuatazo ni dhima za uundaji wa maneno mapya katika lugha isipokuwa
ix. Viambishi vya 0-rejeshi ya nomino "gari" ni vipi kati ya vi fuatawo?
x.Taja seti iliyosahihi katika mambo yanayounda fasili ya lugha.
2. Oanisha maana ya dhana ya vifungu vya maneno vilivyo katika orodha A kwa kuchagua herufi ya dhana husika katika orodha B, kisha andika herufi husika katika kijitabu chako cha kujibia.
ORODHA A | ORODHA B |
(i) Simo (ii) Tungo shurutia (iii) Kamusi wahidiya (iv) Ngeli (v) Kiambishi cha nafsi ya pili wingi |
|
SEHEMU B (ALAMA 40)
Jibu maswali yote kutoka schemu hii
3. Kwa mifano dhahiri, unadhani watanzania watakumbwa na matatizo gani endapo watatumia lugha isiyofaha katika mawasiliano yao ya kila siku, Tao hoja nne.
4. Kwa kawaída fasihi simulízi huweza kukumbwa na matatizo katika vipengele vyake vikubwa vinne. Vitaje
5. (a) Nini maana ya Msamiati?
(b) Moja ya tabia ya lugha ni kujizalisha ili kupata msamiati mpya utakaokidhi haja ya mawasiliano. Kwa kifupi, eleza mbinu tano ambazo lugha ya Kiswahili inaweza kuzitumia ili kujizalishia maneno mapya.
6.(a) Toa mfano wa neno linaloonesha dhima ya kiambishi ulichopewa kulingana na maelezo yake na ukipigie mstari.
(i) "Li" - kuonesha urejeshi wa mtendwa
(ii) "Kwa" — kuonesha sababu na kuulizia sababu
(iii) ‘Tu’ kuonesha nafsi
(iv)"Ku" kuonesha wakati uliopita
(b). Kwa maelezo mafupi tofautisha istilahi zifuatazo.
(i) Sarufi na Fasihi
7. Waarabu, Wajerumani na Waingereza kwa nyakati tofauti waliitawala Tanganyika, eleza kwa ufupi mambo matano (5) yaliyofanywa na Waingereza katika kuikuza na kuineza lugha ya kiswahili.
8. Soma shairi lifuatalo kishajibu maswali yatakayofuata
l. Mtu wa fikra njema na kwa watu huacha jina.
Kwa kujua dunia nzima, likawa kubwa hazina
Kwa kujua jambo jema, lisilokuwa na shari,
Na watu wajao nyuma, wakapenda kulisoma.
2. Mvuka nguo chutama, wendapo wajihadhari, Na busara ni kutenda, tendo ambalo ni jema, Viumbe wakalipenda, ukapata na heshima, Tabasuri na hekima, ni muhimu maishani.
3. Maisha daima yenda, utaacha nini nyuma?
Ni roho yenye hekima, usambe ni santuri,
Ambayo huweza sema, maneno kwa kukariri, Hali haina uzima, ufahamu ni tafakuri.
4. Kama akili hunena, tungeshindwa na vinanda,
Vya sauti nzuri sana,visivyoweza kutenda,
Matendo yenye maana, ambayo mtu hutenda,
Fikra ni fani bora, katika fani za watu,
5. Weledi wenye busara, na maarifa ya vitu,
Wafahamu kwa sura, ulimwengu wetu wote,
Hekima na busara ya mtu, hupimwa kwa matendo mema, Ayatendayo yenye utu, na wala si maneno mengi kinywani.
(a) Eleza dhamira ya mtunzi wa shairi hili.
(b) Neno jina lina maana gani katika shairi?
(c) Mtu mwenye akili ni mtu wa namna gani?
(d)Eleza maana ya maneno yaliyokolezwa wino kama yalivyotumiwa kwenye shairi hili.
(e) Kwa nini hekima na busara ya mtu humpimwa kwa matendo na siyo maneno?
SEHEMU C (ALAMA 45)
Jibu maswali matatu (3) tu kutoka schemu hii
9. Andika insha ya hoja isiyopungua maneno mia mbili (200) na isiyozidi maneno mia mbili na hamsini (250) kuhusu madhara ya kuchafua mazingira.
ORODHA YA VITABU KWA SWALI LA 10-12
USHAIRI
RIWAYA
TAMTHILIYA
10. ‘Mshairi siku zote hukemea uonevu katika jamii.’ Thibitisha kauli hii kwa kutoa hoja tano kutoka katika kila diwani kati ya diwani mbili ulizosoma
11."Waandishi wa kazi za fasihi ni walimu wa jamii", Wewe kama mwanajamii, eleza namna ulivyonufaíka na ualimu wa waandishi wawili wa riwaya ulizosoma. Toa hoja tatu kila kitabu.
12. Vijana ndio nguvu kazi ya Taifa lakini mara nyingi vijana hao huliangusha taifa kwa kutenda matendo yasíyofaa. Kwa kutumia tamthilíya mbili ulizosoma, fafanua matendo yasiyofaa yanayotendwa na vijana. Toa hoja tatu kila kitabu
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 50
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 50
Namba ya Mwanafunzi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA UTIMIRIFU MKOA WA ARUSHA MEI 2021
KIDATO CHA NNE
KISWAHILI
MAELEKEZO
SEHEMU A (ALAMA 15)
1.Jibu maswali yote Katika sehemu hii,
(i) Ni aina ya wahusika ambao hawabadiliki na wamepewa majina ambayo humfanya msomaji aelewe tabia na matendo yao;
(ii) Vishazi tegemezi vimegawanyika katika aina kuu mbili ambazo ni;
(iii) Anatoa ufafanuzi juu ya ubantu wa Kiswahili kwa kuelezea wakazi wa mwambao waliojulikana kama "Wazanji" na watawala wao waliojulikana kama "Wakilimi"
(iv) Ni lahaja zinazopatikana Mombasa;-
(v) Mofimu ku iliyopigiwa mstari imebeba dhima gani katika kitenzi sikukukumbuka
(vii) Sehemu ya mzizi asilia iliyoambikwa kiambishi "a" mwishoni
(viii) Ni tamathali ya semi ambayo Jina la mtu hutumiwa kwa watu wengine wenye tabia, mienendo, hulka au kazi sawa na mtu huyo
(ix) Neno SHADARA limepatikana Iwa kutumia njia gani ya uundaji wa maneno?
(x) Chama cha kukuza na kueneza Kiswahili "TAKILUKI" kilianzishwa mwaka
(xi) Aina ya hadithi za ngano zenye wahusika wanyama tu hujulikana kama,
2. Chagua kifungu cha maneno kutoka orodha B kinachotoa maelezo sahihi ya maneno neno katika orodha A.
ORODHA A | ORADHA B |
|
|
SEHEMU B ( Alama 40)
3. Bainisha aina ya kauli katika vitenzi vilivyopigiwa mstari, huku ukifafanua kiambishi kinachojenga kauli hiyo katika tungo zifuatazo.
(i) Matukio ya ubakaji yanaogofya
Waoga wanafahamika
(iii) Nyumba itajengwa na wazazİ
(iv) Dawa za kienyeji zilimlevya sana
4. Huku ukuota mifano. Fafanua dhima nne za mofimu "M" katika lugha ya Kiswahili.
5. Fafanua kwa hoja nne, mambo yanayothibitisha kuwa asili ya lugha ya Kiswahili ni pwani ya Afrika ya Mashariki,
6. Methali hutawaliwa na vipengele mbalimbali vya lugha, onesha vipengele vya lugha vilivyotumika katika utunzi wa methali zifuatazo.
(i) Kibuzi na kibuzi hununa jahazi
(ii) Akili ni mali
(iii) Farasi hamuwawezi, tembo mtawalishani?
(iv) Baniani mbaya kiatu chakc dawa.
(v) Avumayc 'baharini papa, kumbe wengine wapo
7. Soma shairi lifuatalo, kisha jibu maswali yanayofuata Mtu wa fikra njema, kwa watu umcacha jina
Chuma chetu imara, Afrika na dunia nzima,
Mikakati imara lojenga, Tanzania nuru kuangaza
Jiwe Ietu limeondoka takuenzi daima
Katika yote dunia, Jinalo lilivema
Misimamo yenye mashiko, ndiyo yako şifa njema
Nia kubwa kujenga, boma, ndiyo ndoto yako imara
Chuma chetu kimelala, hakika umeacha alama
'Umoja uliujenga, utengano likemea
Uchapakazi ulihimiza, nani alibaki nyuma?
Macndeleo kuyajcnga, Elimu hukuacha nyuma.
Nguzo yetu imeinama, nyoyo zetu zimechutama
Wangu wosia naweka, aloacha kuyaenzi
Uzalendo tuudumishe, Ufisadi tuupinge
Vizazi vijavyo tupate hadilhia, mazuri ya mwamba wetu.
Takuombea daima, lalc kwa ushindi shujaa.
Maswali
(a) (i) Shairi hili limejegwa kwa kutumia muundo gani?
(ii)Fafanua mambo ya msingi yakuzingatia wakati wa uchambuzi wa muundo katika ushairi (Hoja Nne)
(b) Onesha upekee wa mıvandishi katika shairi hili (Hoja Nne)
(c) Mwandishi ana maana gani anaposema jiwe, mwamba chuma na nguzo?
(d) Andika kichwa cha habari cha shairi hili.
(e) Mwandishi anahimiza nini katika kumuenzi shujaa.
8. Kijiji chenu cha Kiloza kimeanzisha mradi wa kilimo cha umwagiliaji. Wewe kama afisa manunuzi, andika barua katika kampuni ya Olotu inayojihusisha na uuzaji pembejeo za kilimo kuangiza bidhaa zitakazotumika katika kuendesha mradi. Jina lako ni Ombeni Mtapewa.
SEHEMU C (Alama 45)
Jibu maswali matatu kutoka katika sehemu hii.
9. Ni kweli kwamba lugha ya Kiswahili imevuka mipaka na kuenea katika maeneo mbalimbali duniani. Thibitisha ukweli wa dai hili (Hoja - 5)
TAMTHILYA
Orodha - Steve Reynolds (MA)
Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe -E. Semzaba (ESC)
Kilio chetu - Medical Aid Foundation
RIWAYA
Takadini - Ben Hnson (MBs)
Mamantilie - Emanuel Mbogo
Joka la mndimu - A. J. Safari (HP)
USHAIRI
Cheka cheka - T. Muungi
Malenga wapya - Takiluki
Wasaka tonge - Mohamed Seif Khatibu
10. Washairi ni wataalamu wazuri na waliobobea katika kutumia jazanda zinazotoa ujumbe kwajamii. Tumia jazanda tatu kwa kila diwani mbili uliyosoma.
11. Lugha ni kipengele cha msingi katika ujenzi wa kazi ya fasihi ambayo husaidia katika kufikisha wazo la msanii kwa jamii. Kwa kutumia riwaya teule mbili (2) ulizozisoma. Jadili jinsi wasanii wa riwaya hizo walivyotumia kipengele cha tamathali za semi hoja Sita (6)
12. Mwandishi ni Mjenzi wa jamii. Thibitisha ukweli wa dai hili kwa kutoa hoja tatu kutoka katikaTamthilia mbili ulizozisoma
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 27
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 27
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA UTAMILIFU MKOA WA DODOMA 2020
021 KISWAHILI
(Kwa watahiniwa Walioko na Wasiokuwa Shuleni)
MUDA: SAA 3 Alhamisi, 6 Agosti 2020 mchana
Maelekezo
1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12).
2. Jibu maswali yote kutoka sehemu A, B na chagua maswali matatu (03) kutoka sehemu C.
3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na kila swali.
4. Andika kwa kutumia kalamu ya wino wa bluu au nyeusi
5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa haziruhusiwi katika chumba cha mtihani.
6. Andika namba yako ya mtihani katika kila karatasi yako ya kujibia.
SEHEMU A, (Alama 15)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x), kisha andika herufi ya jibu hilo katika karatasi yako ya kujibia.
(i) Ni kanuni, sheria na taratibu zipi zinazozingatiwa na wazungumzaji wa lugha fulani?
(ii) ………………. Ni sauti zinazotamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja la sauti.
(iii) Zipi ni nyenzo za lugha yoyote duniani?
(iv) Mpangilio sahihi wa ngeli za kisintaksia ni upi?
(v) Ni upi mpangilio sahihi wa mjengo wa Tungo?
A Kirai, Neno, Sentensi na Kishazi
B Neno, Kirai, Kishazi na Sentensi
C Kishazi, Kirai, Sentensi na Neno
E Sentensi, Neno. Kishazi na Kirai
(vi) Ni lugha mseto ya muda inayozuka pindi makundi mawili yenye lugha mbili tofauti yakutanapo.
(vii) Mambo muhimu yanayopatikana katika maana ya lugha ni kama yafuatayo, isipokuwa;
(viii) Ni sentensi ipi sio sentensi huru?
(ix) ……………. Ni kipashio kidogo kabisa cha lugha chenye maana. Maana hiyo yaweza kuwa ya kisarufi au kileksika;
(x) Ni seti ipi inawakilisha kikamilifu wahusika wa fasihi simulizi?
2. Oanisha maelezo yaliyo katika orodha ‘’A’’ ambayo ni aina ya tungo na orodha ‘’B’’ ambazo ni aina za maneno yanayounda tungo hizo kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika karatasi yako ya kujibia.
ORODHA “A” | ORODHA “B” |
i. Wale waliamini maneno yangu ii. Salama alikuwa mwanafunzi wangu iii. Walikuwa wanataka kwenda kulima iv. Alikuwa anajisomea darasani polepole v. Loo! Yule anapenda ugomvi | A. N + t +N +V B. H + w +T + N C. W + T + N + V D. Ts + T + E +E E. Ts + Ts + Ts + T F. N + V + t +E G. N + U+ N+ T |
SEHEMU B (Alama 40)
Jibu maswali yote katika sehemu hii
3. Tunga sentensi moja kwa kila alama kuonesha matumizi ya alama zifuatazo.
i. Mkato
ii. Mabano
iii. Alama za mtajo
iv. Nukta pacha
4. Andika maana ya methali zifuatazo;
5. (a) Tenga kiima na kiarifu katika sentensi zifuatazo. Tumia alama ya mkwaju (/) na kuweka herufi “K” juu ya kiima na herufi “A” juu ya kiarifu.
i. Mdogo wangu anaongea sana
ii. Yule kijana aliyekuja hapa juzi amefariki dunia
iii. Frank ni kijana mpole sana
iv. Mama amelala sakafuni
(b) Changanua sentensi zifuatazo kwa njia ya matawi kwa kutumia mkabala wa kimapokeo
i. Fisi mkubwa ameuawa kichakani jana alfajiri.
ii. Mtoto aliyekuwa anacheza uwanjani amevunjika mguu.
6.(a) Kwa kutumia mifano miwili kwa kila kipengele, fafanua kwa ufupi jinsi vipengele vifuatavyo vinavyoonesha kuwa vitenzi vya Kiswahili na lugha za kibantu vina asili moja.
b) Eleza kwa ufupi juu ya nadharia zifuatazo kwa jinsi zinavyoelezea asili ya Kiswahili
7. Kwa kutumia mifano, fafanua dhana zifuatazo kama zinavyotumika katika fasihi
8. Soma kifungu cha habari kifuatacho, kisha jibu maswali yanayofuata;
Wanangu, toka zamani bara letu la Afrika lilikuwa na mambo yaliyohitilafiana na haya tunayoyaona sasa. Hadithi, vitimbi, na visa vilivyotokea zamani katika bara letu vinatofautiana sana na mabara yoyote mengine. Vyetu ni vitamu na bora kuliko vyote vile vilivyotokea katika mabara hayo.
Miujiza ya mambo yaliyotokea ina mizizi ambayo viini vyake hubenua waziwazi mila na desturi za asili tangu zamani, hivyo, hadithi hizo zina tija ya makumbusho ya daima milele. Kwa hiyo, katika hali yoyote yatupasa kuhifadhi hazina za mila zetu. Mila zetu zidumishwe; kwa mfano watu kuzunguka moto huku kizee kikongwe au ajuza akisimulia hadithi za mambo ya kale liwe ni jambo la kawaida kabisa. Katika dunia ya leo simulizi hizo za ujasiri na uzalendo zimeenea kutoka vizazi hadi vizazi. Mambo mengi yamebadilika kutoka mitindo aina aina, hivyo mabadiliko hayo yasitufanye sisi kusahau simulizi zetu katika mitindo yetu. Ni wajibu utupasao kuendeleza tabia hizi ili tubenue mbinu za masimulizi hata kwa vitabu.
Maswali
SEHEMU C (Alama 45)
Jibu maswali matatu(3) kutoka katika sehemu hii.
9. Wewe kama afisa Manunuzi wa kiwanda cha mbao cha Mshikamao S. L. P 100 Chamwino, andika barua kwa mfanyabiashara yeyote mashuhuri wilayani kwenu kuhusu agizo la vifaa vifuatavyo; Misumeno 5, gundi ya mbao lita 20, misumari ya nchi sita Kg 25, na kofia ngumu 40. Jina lako liwe Shukrani Kazamoyo.
10. Kwa kutumia diwani mbili ulizosoma, eleza jinsi taswira tatu kutoka kila diwani zilivyotumiwa na msanii kuwasilisha ujumbe kwa jamii.
11. “Kazi ya fasihi ina radha kwa sababu inamzungumzia pia mwanamke kwa namna tofautitofauti” Thibitisha kauli hii kwa kutoa hoja tatu kwa kila kitabu katika riwaya mbili ulizosoma.
12. Chagua wahusika wawili katika tamthiliya teule mbili ulizosoma na uoneshe ujumbe unaowasilishwa na waandishi kupitia matendo yao.
ORODHA YA VITABU
USHAIRI
Wasakatonge ---------------------------- M. S Khatibu (DUP)
Malenga wapya-------------------------- TAKILUKI (DUPU)
Mashairi ya Chekacheka---------------- T. A. Mvungi (EPdD.LTD)
RIWAYA
Takadini ----------------------------------- Ben J. Hanson (MBS)
Watoto wa Mama Ntilie ----------------- E. Mbogo (H.P)
Joka la Mdimu ---------------------------- A. J. Safari ( H.P)
TAMTHILIYA
Orodha ------------------------------------ Steve Reynolds ( M. A)
Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe ----- E. Semzaba (ESC)
Kilio Chetu --------------------------------- Medical Aid Foundation (TPH)
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 11
FORM FOUR KISWAHILI EXAM SERIES 11