2015 -SAYANSI
Chaguajibu sahihi kisha andika herufi yake kwenye karatariya kujibia.
1. Lipi kati ya makundi yafuatayo linawakilisha sifa za viumbe hai?
- Kufa, kula na kuona
- Kufa, kuzaa na kubadilika rangi
- Kupumua, kuishi na kusikia
- Kupumua, kuzaa na kutembea.
- Kujongea, kupumua na kuzaa.
Chagua Jibu
2. Mbegu chotara kwa wanyama na mimea ni bora kwa sababu gani?
- Hurefuka sana na hazihitaji mbolea.
- Hutoa mazao mengi na hustahimili magonjwa.
- Hukomaa haraka na hutoa mazao yenye uzito mkubwa.
- Hazihitaji virutubisho na hustahimili magonjwa.
- Hukomaa haraka na hazihitaji dawa.
Chagua Jibu
3. Lipi kati ya makundi yafuatayo ni sifa zinazotumika kutambua wanyama wa kundi la reptilia?
- Kutaga mayai, kuwa na damu baridi na kuishi majini.
- Kutaga mayai, kuishi majini na kuishi nchi kavu.
- Kutaga mayai, kuwa na damu ya joto na kuishi nchi kavu.
-
Kutaga mayai, kuwa na damu baridi na kupumua kwa kutumia mapezi. - Kutaga mayai, kupumua kwa kutumia ngozi na kuishi majini.
Chagua Jibu
4. Damu huchukua oksijeni na kutoa kabondayoksaidi kupitia:
- Viribaehewa
- Kuta za mapafu
- Koromeo
- Kapilari
- Pua
Chagua Jibu
5. Kukosekana kwa chanikiwiti katika mmea huweza kusababisha:
- mmea kukosa madini joto
- mmea kushindwa kusanisi chakula
- majani ya mmea kukauka
- majani ya mmea kuwa njano
- maj ani ya mmea kupukutika.
Chagua Jibu
6. Fototropizimu ni kitendo cha mmea kuota kuelekea kwenye:
- mwanga
- kani ya mvutano
- maji
- giza
- kemikali.
Chagua Jibu
7. Sehemu ya chembe hai inayohusika na kutawala shughuli zote za chembe hai huitwa:
- saitoplazimu
- vakuoli
- kloroplasti
- kiwambo cha seli
- nyukliasi
Chagua Jibu
8. Kielelezo kifuatacho kinaonyesha viumbe hai wenye sumu isipokuwa
-
-
-
-
-
Chagua Jibu
9. Tendo Ia mimea kusafirisha maji kutoka kwenye mizizi hadi kwenye majani huitwa:
- osmosis
- difyusheni
- msukumo
- mgandamizo
- mjongeo
Chagua Jibu
10. Ni tezi ipi kati ya zifuatazo huratibu utendaji wa tezi zingine zote katika mwili wa binadamu?
- Kongosho.
- Pituitari
- Thairoidi
- Adrenali
- Parathairoidi
Chagua Jibu
11. Sehemu ya kike ya ua inayohusika na uzazi ni:
- stameni
- staili
- ovari
- Petali
- Sepali
Chagua Jibu
12. Tofauti kati ya tunda na mbegu ni:
- Mbegu ina tunda.
- Tunda huota.
- Tunda lina kotiledoni mbili.
- Mbegu huota.
- Mbegu haziliwi.
Chagua Jibu
13. Mambo muhimu kwa ajili ya afya na uhai ni:
- kucheza mpira wa miguu, kuoga, kufua nguo na kula sana.
- kula, kuwa msafi, kupumzika na kucheza.
- kufanya mazoezi, kula chakula bora, kupumzika na kuwa msafi.
- kula mayai, kuburudika, kulala na kusafisha mazingira.
- kuoga, kula na kulala.
Chagua Jibu
14. Vyakula vyenye kabohaidreti huwezesha mwili:
- kuhimili magonjwa
- kuwa na joto
- kukua kwa haraka
- kuwa na nguvu
- kuwa mwororo
Chagua Jibu
15. Kati ya yafuatayo ni yapi magonjwa yasiyoambukiza?
- Malaria, mafua na kisukari.
- Pumu, kisukari na kipindupindu.
- Kichocho, safura na matende
- Kuhara, homa ya matumbo na pumu
- Pumu, kifafa na tetekuwanga.
Chagua Jibu
16. Mapumziko baada ya kazi ni muhimu kwa sababu gani?
- Mwili hupoa.
- Mwili hutulia.
- Mwili hurejesha nishati.
- Mwili hufanya shughuli nyingine.
- Mtu hupata fursa ya kulala.
Chagua Jibu
17. Magonjwa yanayozuilika kwa kutumia chanjo ni :
- Pumu, kifaduro, malaria na kipindupindu
- Kifua kikuu, malaria, pumu na surua
- Surua, dondakoo, kifua kikuu na kifaduro
- Malaria, surua, kifua kikuu na kipindupindu
- Dondakoo, kifua kikuu, UKIMWI na surua
Chagua Jibu
18. Wakazi wa Mlalo hula maharage, nyama na wali kwa afya zaidi wanahitaji kuongeza:
- samaki
- mboga za majani
- kuku
- mkate
- kunde
Chagua Jibu
19. Kipi kati ya vifuatavyo kinaweza kupungua mwilini kwa kushiriki katika michezo na mazoezi?
- Sukari
- Protini
- Sumu
- Uchafu
- Fati
Chagua Jibu
20. Kipi kati ya vifuatavyo siyo njia sahihi ya kujikinga na ugonjwa wa malaria?
- Kufyeka nyasi
- Kufukia madimbwi
- Kutumia chandarua
- Kupuliza dawa
- Kuchoma moto taka
Chagua Jibu
21. Mazoezi ni njia mojawapo ya kupunguza:
- kutapika
- kuzirai
- kukaza kwa misuli
- kuharisha
- kutokwa na damu puani
Chagua Jibu
22. Mtoto mwenye matege amepungukiwa na vitamini:
- K
- D
- A
- B
- C
Chagua Jibu
23. Ukosefu wa vitamini B husababisha ugonjwa wa:
- uti wa mgongo
- vidonda vya tumbo
- surua
- trakoma
- beriberi
Chagua Jibu
24. Faida mojawapo ya vyakula vya protini katika miili yetu ni:
- kukinga dhidi ya magonjwa
- kukua na kukarabati chembe hai
- kutia nguvu
- kuongeza uzito
- kutia joto
Chagua Jibu
25. Huduma ya kwanza ni nini?
- Msaada wa dharura apewao mgonjwa na daktari.
- Msaadawa awali apewao mgonjwa kabla ya kupelekwa hospitali.
- Msaada kwa ajili ya mtu aliyeungua moto.
- Msaada kwa ajili ya mtu aliyeumwa na nyoka.
- Msaada kwa ajili ya mtu aliyevunjika mfupa.
Chagua Jibu
26. Mojawapo ya huduma ya huduma muhimu ya kumpa mtu aliye ungua moto ni;-
- kummwagia maji
- kumfunika nguo
- kumwagia asidi
- kumfunika blanketi
- kumpaka asali
Chagua Jibu
27. Mojawapo ya athari za kupaka mafuta kwenye jeraha la moto ni:
- kuongeza joto kwenye jeraha
- kuongeza maumivu kwenye jeraha
- kuruhusu hewa kupita kwenye jeraha
- kusababisha vijidudu kuingia kwenye jeraha
- kuongeza malengelenge.
Chagua Jibu
28. Ni hoja ipi kati ya zifuatazo iko sahihi kuhusu WU na UKIMWI?
- Kuwa na WU ni sawa na kuwa na UKIMWI
- Chanzo cha WU na UKIMWI ni magonjwa ya zinaa.
- Ni rahisi kujikinga na UKIMWI kuliko VVU.
- Ukiepuka maambukizi ya VVU pia umeepuka UKIMWI.
- Mtu mwenye WU hana chembe nyeupe za damu.
Chagua Jibu
29. Moja ya vimelea vinavyoharibu chembe hai nyeupe za damu ni:
- Bakteria
- WU
- Plasmodiamu
- Amiba
- Kuvu
Chagua Jibu
30. Kipi kati ya vifuatavyo ni maarufu kwa kuchangia maambukizi ya WU katika jamii?
- Uchangiaji wa sindano, miswaki, damu na ngono zembe.
- Kanda za video, nyimbo, muziki na maigizo.
- Televisheni, magazeti na vipeperushi kuhusu WU.
- Kondomu, wataalamu wa afya, semina na taasisi za UKIMWI.
- Tohara kwa wanaume na wanawake.
Chagua Jibu
31. Virusi Vya Ukimwi hushambulia aina gani ya chembe hai katika damu?
- chembe sahani
- chembe hai nyeupe
- Chembe hai nyekundu
- Hemoglobini
- Plazima
Chagua Jibu
32. Unaweza kupata sukari kutoka katika majimaji ya miwa kwa:
- kuchemsha kisha kuyachuja
- kuchemsha kisha kuyapooza
- kupooza na kugandisha
- kuchemsha hadi kuvukiza
- kuyaweka kwenye mwanga wa jua.
Chagua Jibu
33. Mtu anapokata mti kwa mbali unaona shoka likikita kwenye gogo la mti na baada ya muda kishindo hufuata. Hii inaonesha kuwa:
- mwanga husafiri katika mstari ulionyooka
- sauti husafiri polepole kuliko mwanga
- mwanga husafiri polepole kuliko sauti
- sauti husafiri haraka kuliko mwanga
- sauti husafiri kwenye mstari ulionyooka.
Chagua Jibu
34. Kuna tofauti gani kati ya barafu na maji?
- Maji ni mazito kuliko barafu.
- Maji yana mshikamano mkubwa kuliko barafu.
- Maji yana rangi hafifu kuliko barafu.
- Maji yanachukua nafasi ilihali barafu haichukui nafasi.
- Barafu ni laini kuliko maji.
Chagua Jibu
35. Mabadiliko ya maada yasiyosababisha mabadiliko katika uzito yanajulikana kama :
- mabadiliko ya kikemikali
- mabadiliko ya kiumbo
- mabadiliko ya ujazonene
- mabadiliko ya hali
- mabadiliko ya asili.
Chagua Jibu
36. Myeyuko wa majivu yaliyotokana na majani ya malimao huweza kubadili rangi ya karatasi ya litmasi ya:
- bluu kuwa nyeupe
- nyekundu kuwa bluu
- bluu kuwa nyekundu
- bluu kuwa kijani
- nyekundu kuwa njano.
Chagua Jibu
37. Mchanganyiko wa gesi mbalimbali kwa pamoja huitwa
- oksijeni
- haidrojeni
- hewa
- naitrojeni
- maada.
Chagua Jibu
38. Lipi kati ya yafuatayo siyo badiliko la kikemikali?
- Kuoza kwa takataka
- Kuchacha kwa maziwa
- Kuungua kwa mkaa
- Kuyeyuka kwa sukari
- Chuma kupata kutu.
Chagua Jibu
39. Ipi kati ya jozi zifuatazo ni sahihi kuhusu lenzi?
- Lenzi mbinuko hutawanya miale ya mwanga.
- Lenzi mbonyeo hurekebisha kutokuona karibu.
- Lenzi mbinuko hurekebisha kutokuona mbali.
- Lenzi mbonyeo kurekebisha kutokuona mbali.
- Lenzi mbonyeo hukusanya miale ya mwanga.
Chagua Jibu
40. Matumizi ya roda katika maisha ya kila siku ni:
- kunyanyua vitu vizito
- kufungua vizibo vya chupa
- kufunga vitu
- kupunguza mwinuko
- kurahisisha kukata kuni.
Chagua Jibu
41. Tazama alama kwenye kielelezo kifuatacho kwa makini, kisha zipe majina kwa kuzingatia zilivyopangwa kutoka upande wa kushoto.
- Kapasita, dynamo, seli kavu, swichi, betri
- Swichi, glopu, kikinza, kapasita, seli kavu
- Glopu, kapasita, seli kavu, kikinza, betri
- Kikinza, glopu, swichi, seli kavu, kapasita
- Swichi, kikinza, glopu, seli kavu, kapasita.
Chagua Jibu
42. Ni kifaa gani hutumika kukuza taswira ya vionwa vidogo sana?
- Darubini
- Hadubini
- Periskopu
- Prizimu
- Lenzi
Chagua Jibu
42. Ni kifaa gani hutumika kukuza taswira ya vionwa vidogo sana?
- Darubini
- Hadubini
- Periskopu
- Prizimu
- Lenzi
Chagua Jibu
44. Kipi kati ya vifuatavyo hakipitishi mkondo wa umeme?
- Mpira
- Bati
- Shaba
- Chuma
- Zebaki
Chagua Jibu
44. Kipi kati ya vifuatavyo hakipitishi mkondo wa umeme?
- Mpira
- Bati
- Shaba
- Chuma
- Zebaki
Chagua Jibu
46. Alama zifuatazo zinatumika katika sakiti ya umeme. Je, ni alama ipi inawakilisha kikinza?
-
-
-
-
-
Chagua Jibu
47. Kanuni sahihi ya kutafuta kiasi cha kazi kilichofanyika ni:
- Kazi = kani x uzito
- Kazi=Umbali / Muda
- Kazi=Kani / Muda
- Kazi=Kani x Umbali
- Kazi=Umbali / Kani
Chagua Jibu
48. Taswira za sura zetu zinaweza kuonekana vizuri tunapotumia:
- kioo mbinuko
- kioo mbonyeo
- kioo bapa
- lenzi mbinuko
- lenzi mbonyeo
Chagua Jibu
49. Ni muhimu kuweka kumbukumbu za jaribio lililofanyika kwa sababu hutumika:
- kama rejea
- kutangaza umahiri wa aliyefanya jaribio
- kuchora jedwali Ia matokeo
- kurekebisha taarifa mbalimbali
- katika kuleta maendeleo
Chagua Jibu
50. Data za uchunguzi zilizochambuliwa huweza kuwasilishwa kwa njia ya:
- grafu
- ripoti
- kukokotoa
- kutafsiri
- kuchora
Chagua Jibu
31. Utafutaji wa njia ya kwenda India ulifadhiliwa na
- Vasco Da Gama
- Bartholomew Diaz
- Cecil Rhodes
- King Henry
- Henry Stanley.
Chagua Jibu
32. Soko kuu la watumwa Afrika Mashariki lilikuwa
- Zanzibar
- Mombasa
- Kilwa
- Bagamoyo
- Nairobi
Chagua Jibu
SEHEMU C
JIOGRAFIA
Chaguajibu sahihi kisha andika herufiyake kwenye karatariya kujibia.
33. Nchi ya Japan ina uwezo wa kufanya biashara kuliko Tanzania kwa sababu ina ...
- watu wengi zaidi
- eneo kubwa la biashara
- shule nyingi za biashara
- teknolojia ya juu zaidi
- wafanyabiashara wengi zaidi.
Chagua Jibu
34. Mchoro mkato wa ramani huonesha..
- mazao na mazingira
- sura ya nchi
- mazingira ya eneo husika
- hali ya hewa
- makazi ya watu na shughuli za kiuchumi
Chagua Jibu
35. Mlima mrefu kuliko yote barani Afrika ni .....
- Drakensburg
- Everesti
- Atlasi
- Kenya
- Kilimanjaro
Chagua Jibu
36. Moja kati ya zifuatazo ni sifa za picha: .....
- Kimo halisi huonekana.
- Sehemu zake zote huonekana.
- Umbo linaweza kupunguzwa au kuongezwa.
- Rangi halisi ya kitu haionekani.
- Rangi ya picha haiwezi kubadilishwa.
Chagua Jibu
37. Kuongezeka kwa kina cha maji ya bahari kutokana na kuyeyuka kwa barafu katika ncha za kaskazini na kusini kunaweza kusababisha....
- wavuvi kuzama baharini
- uharibifu wa maeneo ya pwani
- upungufu wa samaki
- mvua za El-nino
- kutokea kwa tsunami.
Chagua Jibu
38. Ikiwa ni saa 12:00 jioni Tanzania ambayo ipo nyuzi 45 Mashariki, itakuwa saa ngapi Rwanda ambayo ipo nyuzi 30 Mashariki?
- 1:00 usiku
- 2:00 usiku
- 11:00 jioni
- 12:00 jioni
- 10:00 jioni.
Chagua Jibu
39. Madhara gani kati ya yafuatayo yanatokana na mlipuko wa volkeno? ...
- Kuharibika kwa miundo mbinu
- Kupungua kwa eneo la kilimo.
- Ongezeko la maradhi ya ngozi.
- Ongezeko la mvua za El-nino.
- Kuongezeka kwa ukame
Chagua Jibu
40. Nchi ipi ni maarufu kwa uundaji wa meli duniani? .
- Urusi.
- Uingereza.
- Japani.
- Ufaransa.
- Canada.
Chagua Jibu
Try Another Test |