SAYANSI 2011
Chagua jibu sahihi na andika herufi inayohusika mbele ya namba ya kila swali katika karatasi ya kujibia.
1. Kifaa kinachotumika katika kuangalia sell za viumbehai huitwa:
Darubini Periskopu Hadubini Kamera Horoskopu Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
2. Mlango wa fahamu unaotumika kutambua hali ya joto au baridi ni:
ulimi sikio jicho pua ngozi Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
3. Ni yupi kati ya wafuatao ni mamalia?
Njiwa Kuku Bata Popo Nyoka. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
4. Kielelezo Na. 1 kinaonesha mbegu yenye ghala mbili.
Kielelezo Na. 1
Katika Kielelezo Na. 1 sehemu inayoota na kuwa mzizi imeoneshwa kwa herufi ipi? H J K L M Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
5. Kitu gani kitatokea endapo maua ya mmea wa mhindi yatanyofolewa?
Mmea utastawi Mmea utakufa Mizizi ya mmea haitakua Majani yake yatageuka rangi Mmea hautazaa Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
6. Muungano ufuatao ni muhimu kwenye utengenezaji wa kabohaidreti katika mimea:
Oksijeni, klorofili na maji Kabondayoksaidi na maji Kabondayoksaidi, maji na mwanga wa jua Klorofili, maji na mwanga wa jua Klorofili, wanga na mwanga wa jua. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
7. Ni taka mwili zipi zitolewazo na mapafu?
Oksijeni na maji Oksijeni na kabondayoksaidi Kabondayoksaidi na maji Kabondayoksaidi na chumvi Oksijeni na chumvi Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
8. Kipi kati ya vifuatavyo husafirisha chavua kutoka katika stameni kwenda kwenye stigma?
Watu Wadudu Maji Umande Staili Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
9. Mtu asiyekula matunda na mboga za majani huweza kupata matatizo ya:
kuugua mara kwa mara kupunguza uzito wa mwili kuongezeka kwa hamu ya kula nyama rangi ya ngozi huwa njano kuongezeka uzito wa mwili. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
10. Mtoto mwenye kwashakoo ni yule aliyekosa chakula chenye:
vitamini mafuta madini wanga Protini Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
SAYANSI 2011
Chagua jibu sahihi na andika herufi inayohusika mbele ya namba ya kila swali katika karatasi ya kujibia.
1. Kifaa kinachotumika katika kuangalia sell za viumbehai huitwa:
Darubini Periskopu Hadubini Kamera Horoskopu Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
2. Mlango wa fahamu unaotumika kutambua hali ya joto au baridi ni:
ulimi sikio jicho pua ngozi Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
3. Ni yupi kati ya wafuatao ni mamalia?
Njiwa Kuku Bata Popo Nyoka. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
4. Kielelezo Na. 1 kinaonesha mbegu yenye ghala mbili.
Kielelezo Na. 1
Katika Kielelezo Na. 1 sehemu inayoota na kuwa mzizi imeoneshwa kwa herufi ipi? H J K L M Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
5. Kitu gani kitatokea endapo maua ya mmea wa mhindi yatanyofolewa?
Mmea utastawi Mmea utakufa Mizizi ya mmea haitakua Majani yake yatageuka rangi Mmea hautazaa Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
6. Muungano ufuatao ni muhimu kwenye utengenezaji wa kabohaidreti katika mimea:
Oksijeni, klorofili na maji Kabondayoksaidi na maji Kabondayoksaidi, maji na mwanga wa jua Klorofili, maji na mwanga wa jua Klorofili, wanga na mwanga wa jua. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
7. Ni taka mwili zipi zitolewazo na mapafu?
Oksijeni na maji Oksijeni na kabondayoksaidi Kabondayoksaidi na maji Kabondayoksaidi na chumvi Oksijeni na chumvi Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
8. Kipi kati ya vifuatavyo husafirisha chavua kutoka katika stameni kwenda kwenye stigma?
Watu Wadudu Maji Umande Staili Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
9. Mtu asiyekula matunda na mboga za majani huweza kupata matatizo ya:
kuugua mara kwa mara kupunguza uzito wa mwili kuongezeka kwa hamu ya kula nyama rangi ya ngozi huwa njano kuongezeka uzito wa mwili. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
10. Mtoto mwenye kwashakoo ni yule aliyekosa chakula chenye:
vitamini mafuta madini wanga Protini Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
11.Konokono waishio majini hueneza ugonjwa uitwao:
kichocho Pepopunda kipindupindu surua matende Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
12. Mshipa mkuu unaotoa damu kwenye moyo unaitwa:
veini aota vena kavu palmonari hepatik. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
13. Homoni inayorekebisha uingiaji wa hewa ya oksijeni katika mfumo wa upumuaji katika mwili wa binadamu inaitwa.
adrenalini insulin thairoksini estrojeni amilesi. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
14. Katika hali ya kawaida, tofauti kati ya hewa inayoingia na hewa inayotoka katika mwili binadamu ni kuwa hewa inayotoka ina wingi wa:
Oksijeni haidrojeni maji naitrojeni kabondayoksaidi. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
15. Ugonjwa wa rovu (goita) husababishwa na upungufu wa:
ayani ayodini kalsiamu potasiamu fosfeti Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
16. Ugonjwa wa beriberi unasababishwa na upungufu wa vitamini:
B1 B2 D C A Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
17. Samaki huvuta hewa kwa kutumia:
pua mdomo mapezi matamvua magamba Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
18. Chakula kilichoyeyushwa katika utumbo mwembamba husambazwa mwilini kwa msaaaz wa:
maji B. oksijeni damu difyusheni kusharabu Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
19. Chakula cha aina ipi kati ya vifuatavyo kinaweza kukarabati chembe hai za binadamu?
Mafuta Wanga matunda Protini Madin_ Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
20. Uzazi wa mpango una umuhimu gani kwa familia?
Huwezesha familia kumiliki nyumba Huongeza idadi ya watoto Huwezesha familia kumudu safari za pamoja Huwafanya wanafamilia kuwa na furaha Huwezesha familia kupata chakula cha kutosha. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
21. Huduma ya kwanza ni tiba inayotolewa kwa:
mtu anayeugua ugonjwa unaojulikana. mtu baada ya kutoka hospital' lengo la kuonesha umahiri wa madaktari mgonjwa kabla hajapelekwa hospital' lengo la kutangaza kazi za Msalaba Mwekundu. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
22. Lengo la kupaka asali kwenye jeraha linalotokana na kuungua moto ni:
kupunguza maumivu kuupa mwili nishati kutoa matibabu ya awali kuzuia uchafu usiguse kidonda kukinga na uambukizo wa tetanus. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
23. Mtu anayetapika hupatiwa nini kati ya yafuatayo kama huduma ya kwanza?
Maziwa yaliyochemshwa Juisi iliyotokana na limao Myeyuko wa sukari na limao Myeyuko wa sukari na chumvi Kumpumzisha sehemu yenye baridi na ukimya. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
24. Ni vipi kati ya vifuatavyo ni muhimu kwa huduma ya kwanza kwa mtu aliyevunjika mfupa bila kupata jeraha?
Mkasi, bandeji, vibanzi, uzi na shazia Taulo, sabuni, machela, pamba na spirits Taulo, maji, mafuta, vibanzi na sabuni Blanketi, kiti, sabuni, kamba na mkasi Blanket', bandeji, vibanzi, mkasi na kamba Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
25. Nini kinatakiwa kifanyike baada ya kumhudumia mtu aliyeumia?
Kupewa maji ya kunywa ya kutosha Kupelekwa hospital kwa matibabu zaidi Kulazwa chins na kupuliziwa pumzi mdomoni Kupumzishwa kwenye kivuli cha mti Kupewa mapumziko ya kulala wote. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
26. Protini huanza kumeng'enywa kikemikali kwenye:
mdomo tumbo puru utumbo mpana utumbo mwembamba. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
27. Huduma ya kwanza inayomfaa mtu aliyekunywa sumu ni:
kumtapisha kumpatia maziwa ya kunywa kumpatia dawa kumpatia maji ya kunywa kumpatia glukozi. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
28. Maada inapatikana katika hail zifuatazo:
Vimiminika, maji na gesi Yabisi, vimiminika na hewa Yabisi, vimiminika na gesi Mawe, yabisi na gesi Yabisi, hewa na gesi. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
29. Chumvi iliyomwagika kwenye ndoo ya maji inaweza kutenganishwa na maji hayo kwa kutumia njia ipi?
Kuchuja mchanganyiko huo Kuchuja myeyuko huo Kuvukiza myeyuko huo kuchemsha mchangayiko huo Kuvukiza mchanganyiko huo. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
30. Katika utengenezaji wa sabuni, haidroksaidi ya sodiamu huchanganywa na mafuta yanayochemka. Endapo kemikali hiyo haipatikani maada ipi hutumka kama mbadala?
Majivu ya majani Myeyuko wa limao Unga wa mhogo Mafuta ya nazi Maji ya majani ya mpapai Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
31. Kuyeyuka kwa barafu ni badiliko la aina ipi?
kikemikali kiumbo Kimazingira kibayolojia kifiziolojia Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
32. Njia ya asili ya kurutubisha udongo ni:
kuchanganya samadi na mbolea ya chumvichumvi kuchoma miti inayokausha vyanzo vya maji kuchoma majani na mabua ya mahindi kunguza idadi ya ng'ombe wanaochungwa kulima mazao ya jamii ya kunde kwa mbadilishano. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
33. Njia rahisi ya kugeuza maji magumu kuwa laini ni:
kuyasafisha kwa dawa kuyazimua kuyachemsha kuyeyusha sehemu ngumu kuchuja maada ngumu. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
34. Ni vitu vipi kati ya vifuatavyo huweza kutenganishwa na sumaku?
Unga wa ayani na mchanga Unga na vipande vya karatasi Pini za plastiki na mchanga Unga wa kioo na mchanga Mchanga na mchele Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
35. Mabadiliko ya hali ya hewa na maji ni viambato vinavyosaidia:
kufanya use wa ardhi uwe mzuri wanyama kumudu mazingira yao wanyama na mimea kuishi kuharakisha mmomonyoko wa udongo kusawazisha uhusiano wa mlishano. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
36. Gesi inayosaidia moto kuwaka ni:
haidrojeni naitrojeni ozoni gesi asilia oksijeni. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
37. Chunguza kwa makini Kielelezo Na. 2 kisha jibu swali linalofuata.
Kielelezo Na. 2
Tafuta thamani ya X katika Kielelezo Na. 2.
gm 250 gm 280 gm 437.5 gm 240 gm 175 Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
38. Kuta za ndani za flaski ya themosi zinapakwa rangi ya fedha ili kuzuia kupotea kwa joto kwa njia ya:
mpitisho kuakisi msafara kupinda mnururisho. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
39. Retina katika jicho ni sawa na kifaa gani kwenye kamera?
Hama Lenzi Glopu Swichi Fokasi. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
40. joto husafiri katika maada yabisi kwa njia ya:
mpitisho msafara mnururisho mitetemo kusharabu. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
41. Katika mashine manufaa ya kimekanika ni uwiano kati ya:
kani egemeo na kani mzigo umbali lilipo egemeo na umbali ulipo mzigo kani mzigo na kani egemeo umbali ulipo mzigo na umbali lilipo egemeo kani iliyopo sehemu moja na kani iliyo sehemu nyingine. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
42. Bainisha kioo kinachotoa taswira wima inayofanana na kitu halisi na ambayo umbali kati ya kioo ni sawa na umbali kati ya kioo na kitu halisi:
Kioo cha konkevu Kioo cha bikonkevu Kioo cha konveksi Kioo cha prismu Kioo bapa. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
43. Mkondo wa umeme katika sakiti ni ampia 2. Kama nguvu ya umeme ni volti 4, ukinzani katika sakiti hiyo ni:
omu 3.5 omu 4 omu 2 omu 5 omu 0.5. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
44. Chunguza sakiti ya umeme iliyooneshwa katika Kielelezo Na. 3 kisha jibu swali linalofuata.
Kielelezo Na. 3
Sakiti iliyooneshwa katika Kielelezo Na. 3 inaltwaje?
Sakiti mfuatano Sakiti sambamba Sakiti kinzani Sakiti geu Sakiti pozo Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
45. Magonjwa ya zinaa huambukizwa kwa njia ya:
kugusana kupeana damu kucheza pamoja kuchangia vikombe kujamiiana Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
46. Ni chembe chembe zipi za damu katika mwili wa binadamu hushambuliwa na VVU?
Chembe nyekundu Chembe sahani Chembe nyeupe Chembe selimundu Chembe za plasma. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
47. Njia sahihi ya kujikinga na maambukizi ya VVU ni:
kuacha kunywa pombe kuepuka kushiriki ngono zembe kushiriki mihadhara ya dini kusambaza dawa kwa waathirika kutangaza hadharani majina ya waathirika. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
48. Sentensi ipi kati ya zifuatazo ni sahihi kuhusu VVU na UKIMWI?
VVU vinaenezwa na watu waliopevuka tu. Watu wanaoonekana kuwa na afya hawana VVU. VVU na UKIMWI huathiri watu wa rika zote. Wagonjwa wote wanaougua kansa wana VVU. Chanjo huzuia maambukizo dhidi ya VVU. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
49. Huduma inayotakiwa kwa watu wanaoishi na VVU ni:
kuwapa nyumba za kuishi kuwapa misaada ya fedha kuwapa ushauri nasaha kuwapa elimu bure kuwafungulia akaunti benki. Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
50. Katika uchunguzi wa kisayansi data hukusanywa kwa kutumia mbinu ya:
kusafiri sehemu mbalimbali kusoma taarifa mbalimbali kubaini tatizo kuunda mabunio kufanya majaribio anuwai Chagua Jibu
- -
A
B
C
D
E
Try Another Test |