1. Neno lipi kati ya haya lina maaana sawa na shari?
2. Shida alivaa nguo za kijeshi wakati wa mkutano.Neno "za kijeshi" ni aina gani ya neno?
3. Hicho ulichopata sikupata lakini nimepata hiki" katika sentensi hii, maneno "hicho na hiki"ni aina gani ya maneno?
4. Ni sentensi ipi iliyo sahihi kimuundo kati ya zifuatazo?
5. Maana ya neno "faraghani" ni ipi kati ya hizi?
6. Wingi wa sentensi "Mbuzi wamepotea" ni upi?
7. "Wanafunzi kenda walikwenda ziara nchini Kenya".neno wa ni aina gani ya neno?
8. Ashura anacheza mpira wa miguu vizuri.katika sentensi hii,neno lipi limetumika kama kielezi?
9. Mtu anayetafsiri ana kwa ana katika lugha moja kwenda lungha huitwaje?
10. "Sote tunafanya mtihani darasani". "darasani" limetumika kama aina gani ya neno?
I l. Baraka aliona --------- kuwa miongoni mwa waliofaulu. Ni neno i:zn linakamilisha sentensi hii kwa usahihi ya maneno yafuatayo?
12. Mwanamke yule alikaa baada ya kufiwa na mume wake. Ni neno lipi linakamilisha sentensi hii kati ya maneno yafuatayo?
13. Kitenzi "piga"kikiwa katika kauli ya kutendeka kitakuwa neno lipi kati ya maneno yafuatayo?
A Pigia
B Pigwa
C Pigika
D Pigiwa
E Pigana.
Chagua Jibu14. Wewe unasoma kwa bidii"wingi wa sentensi hii ni upi?
15."Wanafunzi wale ni hodari sana" neno "wale" ni aina gani ya neno?
16. "Wasichana saba wamechaguliwa kujiunga na kozi ya uhandisi." Neno na ni aina gani ya neno?
17. Ni neno lipi lina maana sawa na neno kumzonga mtu kwa maneno makali kwa lengo la kumkasirisha?
18. Katika vitenzi "sitafyeka" na "hupendi" ni silabi zipi zinazoonesha ukanushi?
19. Neno lipi kati ya haya halilandani na mengine?
20. Mnyama huyu anafanana na ngombe. Wingi wa sentensi hii ni ipi?
21. Ni methali ipi kati ya zifuatazo inahimiza ushirikiano katika jamii?
22. "Watoto wa mfalme ni rahisi kujificha" Jibu la kitendawili hiki ni kipi?
23. "Uzururaji umepigwa marufuku".Nahau umepigwa marufuku ina maaña gani?
24. "Amenisahau kwa moyo mweupe" Nahau"moyo mweupe" ina maana ipi"?
25. "Mwenye nguvu Neno linakamilisha methali hii?
26. "Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa ulimwengu." Ni methali ipi inafanana na methali hii?
27. "Haba na haba hujaza kibaba" Methali hii inatoa funzo gani?
28. "Heri kufa macho kuliko
"Methali hii UKAMILISHWA na kifungu kipi cha maneno?
29. "Maji yakimwagika hayazoolekl hii ina maana gani kati ya zifuatayo?
30. "Amani haiji kifung•z cha maneno kinakamilisha methali usahihi?
USHAIRI Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu maswali 31-36 kwa kuweka kivuli katika herufi ya jibu sahihi katika fomu yako ya kujibia
Kazi ifanye kwa nia,itakupatia
Ifanye kwa kupania,iwe kwako ni daraja
Kazi ni kuibobea, ili ilete faraja.
Juhudi katika kazi,ni zawadi maridhawa
Ni zawadi maridhawa juhudi katika kazi
Ifanye uwe mzawa,uonekane wazi,
Uoneshe uelewa,nchini mwako azizi
Tufanye kazi kwa dhati,itatupa manufaa
Itatupa manufaa ,tufanye kazi kwa dhati,
Tuoneshe yanofaa,kwa moyo ulo thabiti
Kazi ndiyo mhimili,popote utapokuwa.
Popote utapokuwa,kazi ndio mhimili, Kama gari huendeshwa,vile inastahili, Mafunzo uliyopewa,vile inastahili,
Mafuzo uliyopewa iwe kwako ni kivuli,
Kwako ni muhimu maisha kuendelea,
31. Kichwa kinachofaa kwa shahiri hili ni
32. Mwandishi "anasema kazi ni kuibobea" ana maana gani?
33. Vina vya kati na mwisho katika ubeti wa pili ni vipi?
34. Shairi hili linatoa funzo gani?
35. Neno "thabiti" katika shairi hili lina maana gani?
35. Neno "thabiti" katika shairi hili lina maana gani?
UTUNGAJI
Umepewa habari yenye sentensi nne(4)zilizoandikwa bila mtiririko wa mawazo katika swali la 37-40 zipange sentensi hizi ili ziwe na mtiririko wenye mantiki kwa kuzipa herufi weka kivuli katika herufi ya jibu sahihi katika fomu yako ya kujibia.
37. Kwa mfano,wavulana walipofikia umri wa kuoa iliwalazimu kujijengea nyumba ya kuishi na kuwa na mazao ya chakula.
Chagua Jibu38. Elimu hiyo ilitolewa na walimu maalum wa jadi na ilihusisha na vitendo.
Chagua Jibu39. Wakati wa ukoloni elimu hiyo ilipigwa vita na kuonekana kuwa haifai hivyo uliletwa mfumo mpya wa Elimu.
Chagua Jibu40. Kabla ya kuja kwa wakoloni Waafrika walikuwa na mfumo wao wa elimu ya jadi.
Chagua JibuKatika swali la 41-45 andika jibu kwa kifupi kwenye nafasi uliyopewa Soma habari hii kwa umakini kisha ujibu maswali
Wakati elimu haijakua watu hawakujua kuhusu dunia yetu. Waliokuwepo waliamini kuwa dunia ni tambarare kama meza, wakiamini kuwa mtu anaweza kutembea hadi akafika mwisho wa dunia na kuanguka kwenye shimo kubwa. Wengine waliamini kuwa kama ungeendelea kWenda mwishowe ungegusa mbingu. Baadae wataalamu wa anga walithibitisha kuwa dunia la ina umbo duara kama tufe.
MASWALI
Jibu maswali haya kwa umakini.
41. Zamani watu waliamini kuwa dunia ni tambarare kama
Fungua Jibu42. Wataalamu wa mambo ya anga walithibitisha kuwa dunia ina
Fungua Jibu43. Watu wengi waliamini kuwa mtu angeendelea kwenda mwishowe angegusa?
Fungua Jibu44. Wengine waliamini kuwa mtu anaweza kutembea hadi akafika mwisho wa Dunia na kuanguka kwenye .
Fungua Jibu45. Kichwa cha habari hi kingefaa kiwe
Fungua Jibu