STD IV HISABATI ONLINE NECTA EXAM REVIEW FOR YEAR 2013

HISABATI 2013

1.   7999 
   + 2001

Fungua Jibu


2. 19678
   -    796

Fungua Jibu


3.  593
    x 18

Fungua Jibu


4. 

Fungua Jibu


5. Andika 49 katika tarakimu za Kirumi.

Fungua Jibu


6. Kokotoa XI + IX = na uandike jibu katika numerali za kiarabu. 

Fungua Jibu


7. 

Fungua Jibu


8. Dotto alisoma 1/2 ya kitabu cha hadithi. Je, ni sehemu gani ya kitabu ambayo hakuwa ameisoma?

Fungua Jibu


9. Andika jina la mstari ufuatao



Fungua Jibu


10. Je kuna vipande vingapi vya mistari katika pembetatu?

Fungua Jibu


11. Tafuta mzingo wa umbo lifuatalo

Fungua Jibu


12. Tafuta eneo la mraba ufuatao:

Fungua Jibu


13. Badili mm 20 kuwa sm.

Fungua Jibu


14. Umbali kati ya mtaa wa Ujamaa na Jitegemee ni km 45. Badili umbali huu uwe katika mita.

Fungua Jibu


15. Amani hutembea km 1 kila siku. Je Amani hutembea umbali wa mita ngapi kwa siku?

Fungua Jibu


16. Je, kuna  lita ngapi za maziwa katika lita  za maziwa?

Fungua Jibu


17. Ndoo ya maji ina ujazo wa lita 20. Je ndoo ngapi za ujazo huu zitahitajika kujaza Pipa la lita 600?

Fungua Jibu


18. gramu 4500 + gramu 1500 (Andika jibu katika kg)

Fungua Jibu


19. Kuna gramu ngapi katika kilogramu 18?

Fungua Jibu


20. 


Fungua Jibu


21.

image

Fungua Jibu


22. Grafu ifuatayo inaonesha idadi ya watalii waliotembelea hifadhi fulani ya taifa kwa miezi Sita.


Kokotoa idadi ya watalii waliotembelea hifadhi mwezi Februari na Mei kwa pamoja?

Fungua Jibu


23. Sh. 10,000 - Sh. 350

Fungua Jibu


24.


Fungua Jibu


25. Pili alienda sokoni na kununua bidhaa zifuatazo:

Kabichi 2 @ sh. 200

Nyanya 3 @ sh. 200

Vitunguu 2 @ sh. 100

Maharagwe kilo 2 @ sh. 1200. Iwapo alikuwa na Sh. 5000/=; alirudishiwa chenchi kiasi gani?

Fungua Jibu


Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256