MTIHANI WA KISWAHILI DARASA LA NNE 2015 
 SEHEMU A 
 Sikiliza sentensi zinazomwa kisha uziandike. 
 1. . . . . . . . . . . . . . . 
 2. . . . . . . . . . . . . . . 
 3. . . . . . . . . . . . . . 
 4. . . . . . . . . . . . . . . 
 5. . . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  SEHEMU B 
 Jibu swali la 6 - 10 kwa kuchagua herufi ya  jibu sahihi na kuiandika katika kisanduku pembeni ya kila swali. 
 6. Mama yangu .............. chakula kizuri jana jioni 
   anapika     atapika     alipika     hupika    Chagua Jibu 
    - - 
    A 
    B 
    C 
    D 
         
7. Siku ya pill baada ya leo huitwa .......... 
  juzi   kesho kutwa   mtondogoo   mtondo    Chagua Jibu 
    - - 
    A 
    B 
    C 
    D 
         
8. Wingi wa neno ufundi ni  upi kati ya maneno yafuatayo 
  Mafundi   fundi   vifundi   ufundi     Chagua Jibu 
    - - 
    A 
    B 
    C 
    D 
         
9. Ni neno lipi kati ya maneno yafuatayo lenye maana inayojumuisha maneno; upinde, bunduki, mkuki na mshale? 
  silaha   vipuri   malighafi   samani    Chagua Jibu 
    - - 
    A 
    B 
    C 
    D 
         
10. . Mwakani........... darasa la tano . Ni neno lipi linakamilisha sentensi hiyo kwa usahihi  
  niliingia   ninaingia     nitaingia   nimeingia    Chagua Jibu 
    - - 
    A 
    B 
    C 
    D 
         
SEHEMU C 
 Jibu swali la 11 - 15 kwa kukamilisha  vitendawili, methali na nahau zifuatazo 
 11. . . . . . . . . . . . . . . si mkulima 
Fungua Jibu  12. Biashara . . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  13. . . . . . . . . . . . . . . huumiza matumbo 
Fungua Jibu  14. Mpiga ngumi ukuta . . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  15. Dua la mnyone . . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  16. Nahau "Kumpa heko" maana yake ni ipi? . . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  17. Kitendawili kisemacho "Tajiri wa rangi" jibu lake ni lipi? . . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  18. Nahau "Kuzunguka mbuyu" maana yake nini? . . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  19. Kitendawili kisemacho "rafiki yangu ni muharibifu lakini bado namuhitaji" maana yake nini? . . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  20. "Nyumba yangu haina mlango" Jibu la kitendawili hiki ni. . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  SEHEMU D 
 Soma habari ifuatayo kisha jibu swali la 21 -25. 
 Mzee magali anaishi katika kijiji cha Mailisita. Mke wa mzee magali anaitwa Roza, ni mwanamke mkarimu sang familia hiyo hujushughulisha na kilimo cha mboga na matunda. Kila mwaka mzee magali huvuna mboga nyingi sana pamoja na matunda. Siku ya ijumaa hupeleka sokoni mchicha, nyanya, biringana, bamia na nyanya chungu. Aidha, siku ya jumamosi hupeleka pia parachichi, maembe, matango na machungwa. 
 Mzee magali anawasomesha watoto wake kwa kutumia pesa anazopata kutokana na kuuza mazao. kutokana na faida aliyoipata kila mwaka alinunua trekta na mashine ya kusaga. Trekta hiyo inainsaidia katika kilimo. Pia humpatia pesa kwa kuwa hutumia kuwalimia wanakijiji wenzake. 
 Maswali 
 21. Mzee magali anaishi katika kijiji gani? . . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  22. Mke wa mzee magali anaitwa nani? . . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  23. Familia ya mzee magali hulima nini?. . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  24. Siku ya jumamosi Mzee Magali hupeleka nini sokoni?. . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu  25. Mwaka jana Mzee magali alinunua vitu gani? . . . . . . . . . . . . . . 
Fungua Jibu