FORM TWO KISWAHILI TERMINAL EXAMS

OFISI YA RAISI, 

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA UTUMILIFU KIDATO CHA PILI

021

Muda: 2:30

KISWAHILI

Mwaka: 2024

Maelekezo 

1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi (10). 

2. Jibu maswali yote kwenye nafasi ulizopewa. 

3. Sehemu A na C zina alama kumi na tano (15) kila moja na sehemu B ina alama sabini (70). 

4. Zingatia maelekezo ya kila sehemu na ya kila swali. 

5. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa bluu au mweusi. 

6. Vifaa vyote vya mawasiliano visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha upimaji. 

7. Andika Namba yako ya Upimaji katika kila ukurasa sehemu ya juu upande wa kulia. 

SEHEMU A (Alma 15) 

Jibu maswali ,yote katika sehemu hii. 

1. Katika vipengele (i) hadi (x), chagua herufi ya jibu sahihi kisha andika herufi ya jibu hilo katika kisanduku ulichopewa.

(i) Chagua neno linalofaa kujaza sentensi: "Mtoto alikuwa na ________ kwa mama yake." 

  1.               upendo 
  2.                hasira 
  3.               huzuni
  4.               woga

(ii) Ni ipi kati ya yafuatayo sio aina ya swali linaloweza kuulizwa katika mazungumzo ya kawaida? 

  1.               Swali la wazi 
  2.                Swali la ndiyo au hapana 
  3.               Swali la kuthibitisha 
  4.               Swali la kuuliza maoni 

(iii) Ni ipi kati ya yafuatayo sio tamathali ya heshima inayotumika katika Kiswahili? 

  1.               Tafadhali 
  2.                Asante 
  3.               Samahani 
  4.               Ndiyo 

(iv) Ni ipi kati ya yafuatayo sio nyenzo ya lugha inayoweza kutumika kujifunza Kiswahili? 

  1.               Kamusi
  2.                Kitabu cha sarufi  
  3.               Tovuti ya kujifunza Kiswahili
  4.               Wimbo wa Kiswahili

(v) Ni ipi kati ya semi zifuatazo zina maana ya "Usipoteze matumaini"? 

  1.               Mwamba hauvunjiki kwa maneno
  2.                Kidogo kidogo hujaza kibaba
  3.               Haraka haraka haijawahi kusalimu 
  4.               Usilie kabla ya kuanguka

(vi) Mimi ni nani? Nina miguu minne, lakini siwezi kutembea. Nina nyumba, lakini siishi ndani yake. Nina kichwa, lakini sina akili. Mimi ni nani? 

  1.               Mti 
  2.                Nyumba 
  3.               Meza 
  4.               Gari

(vii) Hadithi maarufu ya Kiswahili inayohusu sungura na mamba inaitwa nini? 

  1.               Sungura na Mbweha 
  2.                Sungura na Kombora 
  3.               Sungura na Bongo
  4.               Sungura na Mamba

(viii) Ni ipi kati ya nahau zifuatazo zina maana ya "Kuwa mwangalifu"? 

  1.               Kuwa mjanja kama nyoka 
  2.                Kuwa mkali kama simba 
  3.               Kuwa mpole kama mwana-kondoo
  4.               Kuwa macho kama bundi
  1.               Nyenzo kuu za lugha ya mazungumzo ni
  1.               Usimuliaji
  2.                Mdomo
  3.               Maandishi
  4.               Vitendo
  5.                Ishara
  1.                 Tamadhali inayofanya kitu kisicho na uhai kutenda kama binadamu
  1.               Sitiari
  2.                Tashihisi
  3.               Tashibiha
  4.               Mubalaga
  5.                Takriri

2. Oanisha dhima za nyimbo za fasihi simulizi zilizo katika orodha A na aina za nyimbo kutoka orodha B kisha andika herufi ya jibu sahihi katika kisanduku ulichopewa.

Orodha A

Orodha B

  1. Husimulizi kama mifano ya kuadiri watu
  2. Husimilia chimbuko la asili kitu Fulani
  3. Husimulia kwa nia ya kuchekesha na kukejeli.
  4. Husimulia kwa lengo la kuwaasa watoto
  5. Husimulia kuhusu matukio ya kihistoria
  1.               Soga
  2.                Tarihi
  3.               Vigano
  4.               Visasili
  5.                Hadithi
  6.                Mizungu
  7.               Ngano.

SEHEMU B: ALAMA 70

3. Tumia mofimu zifuatazo kuonesha thamani ilizopewa katika paradise Mfano Li- Kuonesha wakati uliopita (Aliondoka)

  1.                      ta - kuonesha wakati ujao   
  2.                      o - kuonesha mzizi wa neno -  
  3.                      ni - kuonesha kitenzi kishirikishi-  
  4.                      ku- kuonesha urejesho kwa mtendwa-  
  5.                      ki - kuonesha udurushaji -  
  6.                      me - kuonesha hali timilifu -  
  7.                      kwa - kuonesha mahali -  
  8.                      a - kuonesha nafsi -  
  9.                      ka - kuonesha kauli ya kutendeka -  
  10.                      ku - kuonesha wakati uliopita -  

4. Rafiki yako amepewa kazi na Mwalimu wake wa kiswahili, akusanye kazi mbalimbali za fasihi simulizi kutoka jamii za kitanzania lakini ameshindwa na kusema hajui namna ya kuzipata. Kwa kutumia ujuzi wako wa somo la kiswahili mueleze rafiki yako njia tano za kukusanya kazi za fasihi hiyo.

5. Sentensi zifuatazo ni tata. Toa maana mbili kwa kila sentensi ili kudhibitisha utata huo

i) Masudi ameiba kanga

a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

ii) Kaka amenunua tai

a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

iii) Daktari aliniunga mkono

a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

iv) Tausi amemwandikia mama yake barua

a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

v) Juma alimpigia mwanangu mpira

a) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

b) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

6. a)Eleza maana ya lugha ya mazungumzo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

b) Taja mambo manne yanayotakiwa kuzingatia wakati wa mazungumzo

i) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

ii) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

iii) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

iv) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

c) Eleza dhima tano za lugha

i. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .. 

ii. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

iii. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

iv. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

 v. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ..

7. Kila mhusika ana kazi yake katika kazi ya fasihi. Taja kazi moja moja ya wahusika wafuatao.

  1.                Fanani
  2.                Hadhira
  3.                 Wanyama
  4.                Binadamu
  5.                Mahali

8. Mzee Kimwaga ni fanani mahiri ambaye kila jioni hukaa na wajukuu zake na kuwatolea vitendawili. Jana amewapa vitendawili vitano lakini hakuna aliyeweza kuvitegua. Tumia utaalamu wako ulioupata kwenye somo la fasihi kuvitegua.

(i) Yeye anatuona, sisi hatumuoni.

(ii) Popote niendapo ananifuata

(iii) Nyumba yangu haina mlango

(iv) Kitu kidogo kimemtoa Mfalme kitini.

(v) Mzazi ana miguu bali mzaliwa hanayo

 

9. Soma kifungu cha habari kisha jibu maswali yanayofuata:

“Wanangu chukueni vigoda mketi niwausie ya dunia, maana ya jana sio ya leo na ya leo sio ya kesho. Zama zetu hatukupata kumuona mwanamke akivaa kaptura wala bukta, pia hatukupata kumuona mwanaume katoga masikio wala kusuka nywele. Leo ni jambo la kawaida kuona hayo, tena hayo ni madogo kuna makubwa zaidi ya hayo.

Ukistajaabu ya Musa utaona ya Firauni. Binti yangu angalia sana mwanaume atakayekuoa. Unaweza kudhani umeolewa na mwanaume, kumbe ni mke mwenzio, kwako mumeo huko nje ni mke wa mtu.

Nawe kijana wangu sikuachi pakavu, kuwa makini na mwanamke utakayemuoa. Usije kuoa mwanamke ambaye ndani kwako ni mkeo lakini nje ni mume wa mtu.

MASWALI:

(i) Pendekeza kichwa cha habari kinachofaa kwa habari uliyoisoma kisichozidi maneno matatu 

(ii) Toa maana ya maneno yafuatayo:

  1.                Vigoda
  2.                Kutoga 

(iii) Andika methali iliyotumika katika habari hii 

(iv) Mwandishi anazungumzia nini katika wosia wake?

(v) Mwandishi ana maana gani anaposema “Kwako mumeo huko nje ni mke wa mtu”.

SEHEMU C. (ALAMA 15)

10. Mwandikie baba yako barua ambaye ni mkuu wa shule ya sekondari Mlandizi SLP 540 Mwanza kumuomba hela ya safari ya kutembelea mbuga za wanyama. Jina lako liwe Makongoro Mchele wa SLP 90 Moshi.

 

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 178  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 178  

NAMBA YA MTAHINIWA ……………………………………………

 

 

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA MITIHANI YA MAJARIBIO YA SEKONDARI

KIDATO CHA PILI  UPIMAJI WA AWALI

 

021 KISWAHILI


Time: 2:30 Hours. MEI 2023

 

Maelekezo

 

  1. Karatasi hii in sehemu A, B and C zenye jumla ya maswali kumi (10).
  2. Jibu maswali yote.
  3. Sehem A ina alama kumi na tano (15), sehemu B ina alama sabini (70) na sehemu C ina alama kumi na tano (15).
  4. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa.
  5. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa bluu au mweusi.
  6. Vifaa vyote vya mawasiliano visivyoruhusiwa havitakiwi kwenye chumba cha upimaji.
  7. Andika Namba yako ya Mtihani katika kila ukurasa sehemu ya juu upande wa kulia.

 

 

KWA MATUMIZI YA MPIMAJI TU

NAMBA YA SWALI

SAHIHI YA MPIMAJI

ALAMA

1

 

 

2

 

 

3

 

 

4

 

 

5

 

 

6

 

 

7

 

 

8

 

 

9

 

 

10

 

 

JUMLA

 

 

SAHIHI YA MHAKIKI

 


SEHEMU A (Alama 15)

Jibu maswali yote katika seheme hii.

 

  1. Chagua jibu sahihi katika maswali yafuatayo:
    1. Ni kiambishi kipi kinachodokeza ukanushi kati ya vifuatavyo:
      1. Wa-
      2. Sh-
      3. -a
      4. Si-
      5. Na-
    2. Neno lipi kati ya haya ni mofu huru?
      1. Uji
      2. Uzuri
      3. Uchache
      4. Ufa
      5. Upweke
    3. Unyumbulishaji katika lugha ya Kiswahili huhusisha uchapikaji wa viambishi.
      1. Kabla ya mzizi wa neno
      2. Katikati ya mzizi wa neno
      3. Baada ya mzizi wa neno
      4. Kabla na baada ya vitenzi
      5. Kabla, katikati na baada ya mzizi
    4. Neno lipi kati ya haya yafuatayo halitokani na utohoaji.
      1. Posta
      2. Kompyuta
      3. Polisi
      4. Boksi
      5. Achali
    5. Utokeji wa misimu katika jamii hutegemea na
      1. Uchaguzi wa viongozi
      2. Mabadiliko ya kijamii
      3. Shughuli itendekayo
      4. Utani uliopo miongoni mwa wanajamii
      5. Kutumika na kudumu kwa muda mrefu
    6. Nyenzo kuu za lugha ya mazungumzo ni
      1. Usimuliaji
      2. Mdomo
      3. Maandishi
      4. Vitendo
      5. Ishara


  1. Utoshelezi wa muwala ni vipengele vya
    1. Mtindo
    2. Matumizi ya lugha
    3. Muundo
    4. Ujumbe
    5. Falsafa

(viii).Neno lipi kati ya haya yafuatayo halihusiani na ushahiri

  1. Mshororo
  2. Kipande
  3. Bahari
  4. Dayalojia
  5. Muwala
  1. Vipi ni ubora wa njia ya kuhifadhi kazi ya fasihi simulizi kwa kichwa?
    1. Ni kongwe
    2. Ina uhai
    3. Ina gharama
    4. Hukutana chini ya mti
    5. Ni rahisi kubadilika
  2. Vipengele vifuatavyo hutumiwa katika uandishi wa barua rasmi na barua pepe isipokuwa


  1. Anuani ya mwandishi na mwandikiwa
  2. Lengo
  3. Mada na kichwa
  4. Saini
  5. Jina la mwandishi
  1. Onesha dhana zilizopo fungu A na mifano iliyopo fungu B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi.

 

FUNGU A

FUNGU B

  1. Mzizi
  2. Mofu huru
  3. Kiambishi awali
  4. Kiambishi cha kauli
  5. Kiambishi tamati
  1. mtu
  2. sasa
  3. - cham -
  4. - chok -
  5. - an -
  6. - ji.
  7. u -


SEHEMU B (Alama 70)

Jibu maswali yote katika seheme hii.

 

  1.    Tumia mofimu zifuatazo kuonesha thamani ilizopewa katika paradise Mfano Li- Kuonesha wakati uliopita (Aliondoka)
    1. ta - kuonesha wakati ujao                                             
    2. o - kuonesha mzizi wa neon -                                         
    3. ni - kuonesha kitenzi kishirikishi-                                       
    4. ku- kuonesha urejesho kwa mtendwa-                                    
    5. ki - kuonesha udurushaji -                                            
    6. me - kuonesha hali timilifu -                                           
    7. kwa - kuonesha mahali -                                         
    8. a - kuonesha nafsi -                                                
    9. ka - kuonesha kauli ya kutendeka -                                       
    10. ku - kuonesha wakati uliopita -                                         

 

  1.    (a) Maneno katika lugha yana dhima mbalimbali, bainisha aina ya vivumishi katika tungo zifuatazo: -
    1. Shamba la bibi limeota nyasi



 

  1. Gari lililoondoka limepata ajali



 

 

  1. Nyumba yetu ni nzuri sana



 

 

  1. Kile kiatu ni cha mtoto



 

  1. Wanafunzi wangapi wanapenda mayai?



 

 

  1. Badilisha nomino zifuatazo kuwa vitenzi?
    1. Wimbo                                                      
    2. Umbo                                                       
    3. Kilio                                                         
    4. Mtoro                                                       
    5. Mlo                                                         


  1. Toa maana mbili kwa kila neno
    1. Mbuni




 

 

 

  1. Mto




 

 

 

  1. Ota




 

 

 

  1. Pepo




 

 

 

  1. Shuka




 

 

 

  1.    Sentensi zifuatazo zinabeba maana ya istilahi fulani. Zianishe istilahi hizo kwa kila sentensi. Mfano: Ni kipashio kidogo cha lugha chenye maana kisarufi Mofimu
    1. Ni aya ndogo kwenye kamusi ambayo huhusisha kidahizo na maelezo yake yote

 


  1. Ni sauti ambazo hutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja la sauti

 


  1. Ni mtindo wa lugha wa watu Fulani katika kazi maalumu                        
  2. Ni maneno ambayo huonesha hisia za mtenda au mtendwa                       
  3. Kamusi huandikwa kwa lugha moja                                      

 

  1. Kila mhusika ana kazi yake katika kazi ya fasihi. Taja kazi moja moja ya wahusika wafuatao.
  1. Fanani



 

  1. Hadhira



 


  1. Wanyama



 

 

  1. Binadamu



 

 

  1. Mahali



 

 

  1. Katika kazi ya fasihi simulizi viungo vya mwili kama vile macho, mdomo, kichwa, miguu hata mikono husaidia kufanikisha kazi hiyo na kafikisha ujumbe kwa jamii. Taja na eleza kwa kifupi faida tano (5) za kutumia viungo hivyo vya mwili vilivyotajwa hapo juu katika kazi ya fasihi simulizi.

 

  1.    
  2.    
  3.    
  4.    
  5.    

 

  1. Kila kitu kina faida na hasara zake. Kwa kila kipengele kifuatacho eleza faida moja na hasara moja.

 

  1. Utani
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  2. Matambiko
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  3. Miviga
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       
  4. Michezo ya watoto
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                        

 

  1. Michezo ya jukwaani
    1. Faida:                                                        
    2. Hasara:                                                       


SEHEMU C (Alama 15)

 

  1. Kwa hoja nne (4), fafanua hasara ambazo huweza kumkumba mtu yeyote asiyependa kushiriki mazoezi na michezo hasa kwa wanafunzi shuleni.

 

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………


…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………........

 

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 144  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 144  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KISWAHILI KIDATO CHA PILI, JULAI 2022

 MUDA: SAA 2:00 2022

 MAELEKEZO

1. KaratasihiiinasehemuA, B, C, D na E

2. Jibu Maswali yote

3. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa

4. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa samawati (bluu) au mweusi

5. Vifaa vyote vya mawasiliano haviruhusiwi katika chumba cha mtihani

KWA MATUMIZI YA MTAHINI TU

NAMBA YA SWALI

ALAMA

SAINI YA MTAHINI

1

 

 

2

 

 

3

 

 

4

 

 

5

 

 

6

 

 

7

 

 

8

 

 

9

 

 

10

 

 

JUMLA

 

 

SEHEMU A (Alama 15) UFAHAMU

Jibu maswali yote katika sehemu hii

1. Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika karatasi yoko ya kujibia.

Jalali mfalme na madiwani wakuu, mtakumbuka kuwa tangu zamani matendo makubwa yoyote yaliamriwa, kuanzishwa na kutendwa na watu wenye nasaba bora kama wafalme na madiwani. Watu ovyo kama alivyo mshitakiwa hawakuachwa kujishughulisha na mambo yaliyo zaidi ya yale yaliyohusiana na maisha yao wenyewe tu. Kama wangaliamriwa kujishughulisha na mambo yaliyowapita vimo vyao, kama mshitakiwa aonekanavyo kuwa ndilo kusudi lake, mabadiliko ya kuchukiza yangalikuwako mara kwa mara katika nchi.

Mikono ya mshitakiwa ni mifupi kwa kutenda wema wowote. Kwa hali kama hii nachelea kusema akiamriwa kuinyoosha katika matendo makubwa matokeo yatakuwa machafuko, uasi na maangamizi. Jumla ya watu kama yeye alivyo itazidi. Watu kama hao hawatakuwa raia wema ila mabarakala. Mchwa ukikaribia kuangamizwa hufanywa kumbikumbi na kuoteshwa mabawa mawili. Matendo ya mshitakiwa yamekwisha kuwa mabawa ya kutosha kuifanya serikali kufikiri kama yasingempasa kukomeshwa kabisa kwa mfano uwezao kumzuia mtu mwingine yoyote kuyaiga.

Wafalme na raia wa kusadikika tangu zamani walikuwa na hata sasa ni watu wasiosema uongo. Mzee kwa kijana, mwanamume kwa mwanamke, mkubwa kwa mdogo, msichana kwa mvulana wote wanaaminika. Katika maandiko ya maamuzi ya kusadikika hapana hakimu hata mmoja aliye pata kuandika kuwa mwanamume fulani alisema uongo kwa kusudi la kuficha kosa. Haipatikani habari yoyote katika mapokeo ya nchi hii isimuliayo kuwa mwanamke fulani alisingiziwa hatia. Kwa imani kama hii kusadikika imefanya maamuzi ya haki siku zote na imetukuka ulimwenguni kama nyota ya mwongozo wa hala.

Imani ya kusadikika ni nguzo imara ya majengo ya utawala wa wasidikika. Wakati mataifa mengine yalipojifurahisha kwa mambo kama vile enzi, uwezo na fahari nyingine, taifa la kusadikika lilijivuna kwa sababu ya kusadiki mambo yalitoka vinjwani mwa watu wake. Wasadikika walikuwa wamekuwa, na hata sara ni watu wanaojali sana imani hii kama wajalivyo maisha yao vitu vingine vipenzi. Haidhaniwi kuwa ruhusa ikitolewa ya utaalamu mwingine zaidi ya kusadiki kwa vijana wa nchi hii italeta faida yoyote kwao. Shaka kubwa inatumiwa kuwa utaalamu mwingine ukiamriwa hapa matata yaliyokuwa bado kuonekana na wazee wetu, sisi wenyewe wala kusimuliwa katika hadithi za kusadikika yanatokea kwa wingi. Tokeo la mashaka hayo, licha ya serikali ya kusadikika peke yake, lakini hata raia hawalitaki.

Nililizungumza shauri hili kwa uangalifu mwingi na watu walio maarufu na waliopata sifa kusadikika. Bwana Taadabuni, katibu wa serikali; Bwana komeni, Amiri Jeshi, Bwana Fujo mlinda Hazina, Bwana Boramimi, Mudir wa sheria na wateule wengine. Ilionekana kuwa kuamuru ni sawa sawa na kuyapa nafasi mabishano katika nchi. Kwa hiri, hapana mtu hata mmoja aliyeliafiki shauri la kuyaamuru mafunzo haya. Nafasi kama hiyo ikipata idhini ya serikali. Yahofiwa kuwa hatari kubwa itazikabili siasa za utawala wa nchi. Dhuluma itakuwa na kiti katika baraza za hukumu kushindana na haki. Jinai itatoka katika uficho wake ili iende uwanjani kuvutana na adili. Uhalifu utawatukuza waasi na wavunja sheria; na dharau itafunua kinywa chake kutema mate ya sumu kama bafe juu mamlaka ya serikali. Kwa mambo hayo imani ya nchi, pamoja na misingi yake, itakuwa katika maangamizi yadhaniwayo kuwa kitu chochote kikitumbukia ndani yake hakiwezi kuokoka tena.

Kwa sababu ya kudumisha sheria, dini na mamlaka, na kwa wajibu wa kazi yangu lazima nidhihirishe mbele ya baraza hili kuwa si jambo jema hata kidogo kuamuru madarasa.ya utaalamu uwezao kuwa daraja, ambayo chini yake utapita mkondo mkubwa sana wa mamabo ya kuichafua salama ya kusadikika kwa dharau, ukaidi na jinai.

Matendo ya mshitakiwa lazima yakomeshwe kwa adhabu ya mwisho katika sheria. Kazi kubwa na yenye thamani adhimu ilitendwa katika kujitengeneza na kuzidumisha kwa sheria hizi. Haivumiliki kuziona zinavunjika kwa matendo ya mtu mmoja anayetafuta ubarakala, asiyeaminika, mchache wa shukrani na mjeuri. Nguvu ya sheria za nchi lazima ithibitishe juu yake ili mtu mwingine yeyote asithubutu kuzidharau.

Maswali

(i) Udhaifu wa watu wa kusadikika ni upi?

(ii) Taja matabaka mawili ya jamii ya watu wa kusadikika

(iii) Maneno na matendo makubwa nchini kusadikika hutazamiwa yatoke kwa tabaka gani?

(iv) Kwanini mshitakiwa anafananishwa na mchwa?

(vi) Mashtaka ya mshitakiwa ni nini?

(vii) Taja sifa isiyosadikika ya wafalme na raia wa kusadikika. Kwa nini unafikiri sifa hii haisadikiki?

(viii) Msemo huu una maana gani?

  • Dhuluma itakuwa na kiti katika baraza la hukumu.

(ix) Kwa sentensi mbili au tatu toa maoni yako kuhusu madai yanayotolewa dhidi ya mshitakiwa.

(x) Pendekeza anuani ya habari hii

2. Fupisha habari uliyoisoma katika swali namba moja (1) hapo juu kwa maneno yasiyozidi mia moja (100)

SEHEMU B (Alama 20) SARUFI

Jibu maswali yote katika sehemu hii

 

3. Fafanua kazi za mofimu “U” katika sentensi zifuatazo

(i) Utaratibu huu ni mzuri

(ii) Ujumbe unaoufuata ni wa siri

(iii) Wewe U mtoto wa kaka yangu

(iv) Ungelijua usingesubiri.

(v) Unalima

(b) Tenga mofimu tangulizi mzizi na mofimu fuatishi katika maneno yafuatayo;

i. Wanaopendeza

 ii. Ametuchekesha

 iii. Wametukimbia

 iv. Atamkomesha

v. Hatutachezeana

4. (a) Sentensi zifuatazo zina makosa kwa kuzingatia usanifu wa kiswahili. Piga mstari neno lenye kosa na juu yake andika neno sahihi

(i) Mtoto angepelekwa hospitalini angelipona.

(ii) Mimi nimekaa sana kwa niaba ya kukungoja wewe.

(iii) Siku hizi bidhaa ni agali sana.

(iv) Kifaranga kinapekuwa bila kufundishwa

(v) Gari linakimbia kwa pupa.

(b) Andika alama ya V kama sentensi ni sahihi na X kama sentensi si sahihi.

i. Leksimu ni kipashio kidogo cha msamiati ambacho kina uwezo wa kusimama peke yake kama kidahizo…………………

ii. Sitiari ni mbinu ya kuuliza maswali kwa mambo ambayo unafahamu…….

iii. Yakinishi kipashio cha lugha ambacho hujenga lugha……… iv. Hali ni kategoria ya kisarufi yenye kuonesha jinsi ya kitendo kinavyotendwa ikiwa kimamalizika……………………………..

v. Msimamo ndiyo mwelekeo wa imani ya msanii katika kazi ya sanaa……..

SEHEMU C (Alama 20) MAWASILIANO NA UTUMIZI WA LUGHA

Jibu maswali yote katika sehemu hii

5.(a) Eleza ni taarifa zipi zinazohusu neno zinazoingizwa kwenye Kamusi

(b) Onesha umuhimu wa kutumia picha katika kamusi

i. …………………………………………………………………………………….. 

ii. …………………………………………………………………………………….. 

iii. ………………………………………………………………………………….....

iv. …………………………………………………………………………………….

v. …………………………………………………………………………………….

(c) Nini tofauti kati ya kamusi na kamusi wahidiya

6. (a) Katika uandishi wa tungo mbalimbali huwa kunajitokeza makosa ya aina mbalimbanabi japo msingi wake umejikita katika dhana kuu mbili. Kwa kutumia dhana hizo zibainishe kwa kutaja aina ya kosa kwa maneno yaliyopigiwa mstari kisha andika sentensi upya kwa usahihi.

(i) Mimi nimerizika nayote uliyosema Aina ya kosa

.............................................................................................

Usahihi

..........................................................................................................................................................................................

(ii) Watu wale wanaishi katika mazingara ya kutatanisha Aina ya kosa

.............................................................................................

Usahihi 

..........................................................................................................................................................................................

(iii) Ni budi nile ili niishi Aina ya kosa

.............................................................................................

...........................

Usahihi

........................................................................................................................................................................................

(iv) Mle pana maji ya moto Aina ya kosa

............................................................................................. ...........................

Usahihi

.......................................................................................................................................................................................

(v) Nimemkuta hayupo

Aina ya kosa

.............................................................................................

Usahihi

....................................................................................................................................................................................

(b) Oanisha orodha A na orodha B ili kujenga dhana sahihi. Onesha majibu yako eneo liliwekwa kujibia

Orodha A

Orodha B

  1. Wamewaibia 
  2. Za mtwara tamu sana
  3. U mtoto wa mzee Mkanyageni
  4. Jioshe
  5. Mnyumbuliko
  6. Joto laweza kusafiri kwa njia ya mnunurisho
  7. Neno lenye fonimu 3
  8. Mofu
  9. Foni
  10. Oa
  1. Uambishaji wa maneno
  2. Kishazi pekee
  3. Kivumishi cha a-unganifu
  4. Kiwakilishi
  5. Kitenzi kishirikishi
  6. Oneshea
  7. Kiambishi cha nafsi ya pili wingi
  8. Agizo
  9. Kitenzi
  10. Mnyumbuliko wa kitenzi
  11. Chai
  12. Umbo linalodhihirisha vitamkwa
  13. Ni sauti za lugha
  14. Mbao
  15. Kosa la kimsamiati
  16. Shina la silabi 2
  17. Ni maumbo ya lugha
  18. Kosa la mpangilio wa sauti
  19. Shina la silabi moja
  20. Umbo linalodhihirisha maumbo ya lugha


Orodha A

i

ii

iii

iv

v

vi

vii

viii

ix

x

Orodha B











SEHEMU D (Alama 30) FASIHI

Jibu maswali yote katika sehemu hii

 

7. Kazi za fasihi simulizi hupoteza uhai wake zikiifadhiwa katika kanda za kunasa sauti. Kwa kutumia hoja tano eleza kinagaubaga juu ya dai hili.

8. Eleza tofauti zinazojitokeza kati ya dhana zifuatozo:

(a) Methali na vitendawili

(b) Ngonjera ya kipera cha ushairi na ile ya sanaa za maonesho

(c) Mashairi na tenzi

(d) Urari na Mkarara

(e) Visasili na visakale

9. “Kazi ya utunzi wa kazi za fasihi ina miiko kanuni na taratibu zake” kwa kuthibitisha hoja hii, tunga ngonjera yenye beti tano kuhusu Umuhimu wa kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa wa Uviko -19.

SEHEMU E (Alama 15) UANDISHI/UTUNGAJI

Jibu maswali yote katika sehemu hii

10. Wewe unaitwa Jofrey Sanga Afisa rasilimali watu, unafanya kazi kwenye kampuni ya baba yako ya uzalisha wa viatilifu S.L.P 502 Mwanza na baba yako ndiye mkurugenzi wa kampuni hiyo. Mwandikie barua baba yako ukiomba kwenda kumwangalia bibi yako ambaye anaumwa.

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 108  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 108  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

 KISWAHILI KIDATO CHA PILI, JULAI 2022

 MUDA: SAA 2:00  2022

Maelekezo

l . Karatasi hii ina sehemu A, B, C, D na E zenye jumla ya maswali kumi (10)

2. Jibu maswali yote.

3. Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa.

4. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa bluu au mweusi.

5. Vifaa vyote vya mawasiliano haviruhusiwi katika chumba cha

KWA MATUMIZI YA MTAHINI TU

YA SWALI

ALAMA

SAIM YA MTAHINI

1.



2.



3.



4.



5.



6.



7.



8.



9.



10.



JUMLA



SAHIHI YA MHAKIKI



SEHEMU A (Alama 15)

UFAHAMU NA UFUPISHO

l . Soma kifungu cha habari kifuatacho kishajibu maswali yanayofuata:

Miaka ya hivi karibuni kumetokea ajali nyingi hapa duniani. Wengi tumesikia taarifa za ajali mbalimbali kutoka katika vyombo vya habari na baadhi yetu tumeshuhudia kwa macho yetu ajali hizo. Kila aliyesikia au kuona alivaa uso wa huzuni, kwani nyingi zilikuwa za kutisha mno. Wapo watu waliokatika miguu, mikono, masikio na hata kunyofolewa macho na viungo vingine vya mwili.

Ukiachilia mbali majeruhi na wale walionusurika, wapo ndugu na marafiki zetu waliopoteza maisha. Wengi tulipata machungu yaliyokithiri, tulilia, tulilaumu na kuwalaani wote waliofikiri ndio waliosababisha ajali hizo. Waliokufa katika ajali hizo ni watoto wadogo, watu wazima na hata vikongwe, wanawake kwa wanaume. Kama ilivyo desturi, kifo hakibagui na kwa kweli huvuna roho za watu wa umri na jinsi zote.

Wazazi wengi wanaofariki katika ajali hizi huacha watoto ambao hawamo katika utaratibu wa kuendelezwa kielimu. Badala yake wanaingia katika kujitafutia riziki badala ya kujisomea. Watoto wengi hufanya kazi za kubeba mizigo, uvuvi, kuchimba madini migodini, vibarua mashambani, biashara ndogondogo na hata kazi za nyumbani.

Watoto hao walioachwa hukumbwa na matatizo mengi wafanyapo kazi katika sehemu hizo. Kwa kuwa wengi wao hawana upeo mkubwa wa mambo, hujikuta wakifanya kazi bila kufuata kanuni za afya. Hali hiyo huwasababishia magonjwa kama kifua kikuu na hata kupata ajali mbaya wafanyapo kazi migodini, ambazo zinaweza kusababisha vifo au ulemavu wa maisha. Wengine huingizwa kwenye biashara za ukahaba na mimba zisizotarajiwa, tena katika umri mdogo, wengine huambukizwa magonjwa kama UK.IMWI.

Pamoja na ukweli wa uÅŸemi kuwa, "Ajali haina kinga.” Ajali nyingi zinatokana na makosa yetu wenyewe. Tukiamua tunaweza kuzizuia, kwani penye nia pana njia. Hivyo, ÅŸuala la kuwapatia elimu watoto walioathirika na ajali liwe la kufa na kupona. Kama taifa, ni lazima tupige vita ajira kwa watoto, ikiwa kweli tunataka kwenda na wakati. Vinginevyo tutabaki nyuma.

Maswali

(a) Kwa swali la (i) hadi (vi) andika herufi ya jibu sahihi

(i) Mwandishi anafahamisha kuwa wanaokufa katika ajali mbalimbali ni

  1. Watu wa aina zote 
  2. Watoto wadogo
  3. Watu 'tvazima
  4. Vikongwe, wanaume na wanawake

(ii) Ä°pi si kweli kuhusu maeneo wanakoajiriwa watoto?

  1. Kwenye machimbo ya madini 
  2. Kwenye biashara ndogondogo
  3.  Kazi za nyumbani
  4. Kwenye ofisi za serikali

(iii) Ajira kwa watoto husababishwa na nini?

  1. Kutokuwepo shule za kutosha 
  2. Vifo vya wazazi na ugumu wa maisha.
  3. Kampeni za vyama vya siasa 
  4. Madeni ya nchi

(iv) Ili watoto waweze kufanikiwa katika maisha yao ya baadaye, lazima jamii ifanye nini?

  1. Ipiğe vita nıshwa
  2. Ifuate siasa ya ujamaa na kujitegemea
  3. lwape watoto elimu
  4. Iboreshe maeneo wanapofanya kazi watoto

(v) Mojawapo kati ya haya yafuatayo sio ajali ya kujitakia 

  1. Gari kuanguka kutokana na mwendo kasi.
  2. Kuzidisha uzito katika vyombo vya usafiri kinyume na uwezo wa chombo husika. 
  3. Kuendesha vyombo vya usafiri pasipo kuzingatia kanuni na sheria 
  4. Kuzuka kwa vimbuga vinavyoleta maafa makubwa.

(vi)Mwandishi anaamini kuwa tunaweza kuzuia ajali zisitokee kwa...

  1. Kumwomba Mungu atuepushe na ajali hata kama sheria na kanuni hazifuatwi.
  2. Kutoendesha magari katika barabara mbaya.
  3. Kuwa makini katika kuendesha vyombo vya usafıri.
  4. Kutowaruhusu wazazi wenye watoto kutumia vyombo vya usafiri.

Majibu:

(i)

(ii)

(iii)

(iv)

(v)

(vi)







(vii) (a) Eleza maana ya misemo ifuatayo kama ilivyotumika katika habari uliyosoma.

  • Alivaa uso wa huzuni . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  • Liwe la kufa na kupona . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  • Penye nia pana njia . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 

(b) Andika kichwa cha habari hii kisichozidi maneno matatu.

2. Andika ufupisho wa habari hii usiozidi maneno sitini (60)

SEHEMU B (Alama 20)

SARUFI

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

3. Bainisha mzizi wa asili wa kila katika sentensi zifuatazo:-

(i) Wanafunzi wanapigana darasani  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ii) Watoto walifungiana milango . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iii) Sisi hatupendani  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iv)Mtoto anacheza mpira  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(v) Vifaa feki viliharibiwa  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(vi) Mwalimu anafundisha somo la Kiswahili  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(vii) Jana hatukusomeana . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(viii) Wanafunzi wanalima shamba la shule  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ix)Mvua ilinyesha leo asubuhi  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(x) Juma anaruka kamba  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

4. (a) Eleza maana ya maneno yafuatayo: 

(i) Kitenzi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ii) Kidahizo  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iii) Uambishaji  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iv) Irabu  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(b) Bainisha aina ya nomino zifuatazo:

(i) Malaika  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ii) Arusha  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iii) Kabati  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iv) Bunge  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(v) Njaa  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

SEHEMU C (Alama 20)

MAWASILIANO NA UTUMIZI WA LUGHA

5. Maneno yafuatayo yana maana zaidi ya moja. Toa maana mbili kwa kila neno.

(a) Kombe

  1.  . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(b) Tupa

  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(c) Kata

  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(d) Tai

  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(e) Paa

  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

6. (a) Bainisha mazingira zinamotumika rejesta zifuatazo:

(i) Zuia babu, kula hivyo vichwa vitatu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ii) Ndugu Madongo Kuinuka, unatuhumiwa kwa kosa la jinai la kuiba mali ya umma. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iii) Jipatie mahitaji ya jikoni nyanya, vitunguu, karoti, hoho, pilipili na ndimu, vyote vipo. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iv)Napenda kujibu swali la nyongeza la Mheshimiwa kama ifuatavyo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(v) Mimi kuku ugali moja, huyu wali maharage na wale pale mbuzi kitunguu moja. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(b) Taja sifa tano (5) za misimu.

  1. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  2. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  3. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  4. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
  5. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

SEHEMU D (Alama 30)

FASIHI KWA UJUMLA

7. Kamilisha methali zifuatazo;

(a) Usidharau nazi

(b) hakiachi kunika.

(c) Kuvunjika kwa koleo

(d) Jiwe moja

(e) Kazi isiyo faida

8. "Semi ni moja ya tanzu nne zinazounda fasihi simulizi." Thibitisha kauli hii kwa kubainisha vipera vitano (5) vya semi.

(i) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(ii) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iii) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(iv) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

(v) . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

9. Eleza kwa ufupi dhima kuu tano (5) za hadithi.

SEHEMU E (Alama 15)

UANDISHI WA INSHA/UTUNGAJI

10. Kwa kuzingatia hoja nne (4) andika insha isiyopungua maneno mia na hamsini (150) na isiyozidi maneno mia mbili (200) kuhusu athari za ugonjwa wa Corona (COVID 19)

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 107  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 107  

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

 

2021

KISWAHILI                                                                                     KIDATO CHA PILI.

MUDA SAA 2:30

MAELEKEZO.

  1.    Karatasi hii ina sehemu A, B, C, D na E.
  2.    Jibu maswali yote.
  3.    Majibu yaandikwe kwenye karatasi ya kujibia maswali.

SEHEMU A:(Alama 15)

UFAHAMU

  1.    Somo kifungu kifuatacho kasha jibu maswali yafuatayo.

Binadamu ni kiumbe huhitaji kuwa na rafiki ili aewze kuondoa ukiwa kwa kumletea faraja. Kwa kawaida marafiki hufahamiana, huzoeana na kuchangamkiana katikamaongezi. Marafiki huweza kupatikana popote yaani katika mazingira ya nyumbani, shuleni na kazini, msikitini, kanisani na hata safarini.

Kutokana na ukweli kwamba ushauri wa marafiki huwa na nguvu na ni rahisi kwa marafiki kuambukizana tabia, rafiki anaweza kusababisha huzuni badala ya furaha, kwa hiyo ni muhimu kuchunguza kwanza tabia ya mtu anayetaka kuanzisha uhusiano naye. Ni heri kukosarafiki wa kufaa ni Yule mwenye tabia njema, busara na uaminifu. Ni Yule anayekutakia mafanikio mema katika maisha yako.

MASWALI.

  1.          Andika kichwa cha habari uliyosoma kwa kutumia neon moja.
  2.          Kwanini binadamu anahitaji kuwa na marafiki?
  3.          Mtu anaweza kupata marafiki kutoka wapi?
  4.          Kwanini ushauri wamarafiki huwa na nguvu?
  5.          Tabia gani si nzuri kwa rafiki yako kuwa nazo?
  1.    Andika ufupisho wa habari uliyosoma kwa maneno yasiyozidi 20.

 

SEHEMU B (Alama 20)

SARUFI

  1.    (a)  Eleza maana ya maneno yafuatayo katika unga wa sarufi na toa mfano mmoja tu kuthibitisha kauli yako.
  1.          Mofimu.
  2.          Uambishaji.
  3.          Unyumbuaji.
  4.          Mzizi.
  5.          Shina.

(b) Bainisha vivumishi katika sentensi zifuatazokwa kuvipigia mstari kisha utaje ni aina gani ya

Kivumishi.

  Mfano:   Mtoto mdogo analima shamba.

    V. Sifa

  1.          Maembe mengi yameoza.
  2.          Mtoto mwenye busara amefika.
  3.          Kitabu cha maria ni kizuri.
  4.          Bakuli langu ni kubwa kuliko zote.
  5.          Mti mrefu umepigwa na radi.
  1.    (a)  Eleza dhima za mofimu zilizopigiwa mstari katika maneno yafuatayo.

Mfano:   Nitampigia – Hii ni mofimu ya njeo huonesha wakati ujao.

  1.          Amekuja   (me)
  2.          Walimdondosha   (wa)
  3.          Akija   (ki)
  4.          Vilivyovunjika    (vyo)
  5.          Walionana     (an)

(b) Eleza kwa ufupi maana ya maneno yafuatayo.

  1.          Sarufi.
  2.          Sarufi matamshi  (fonolojia)
  3.          Sarufi maumbo   (Mofolojia)
  4.          Safufi miundo   (sintaksia)
  5.          Sarufi maana   (semantikia).

 

SEHEMU C (Alama 20)

MAWASILIANO NA UTUMIZI WA LUGHA.

 

  1.    (a)  Eleza kwa ufupi tabia tano (5) za lugha.
  1.          ________________________________________________________________
  2.          __________________________________________________________________
  3.          __________________________________________________________________
  4.          __________________________________________________________________
  5.          _________________________________________________________________

(b) Andika rejesta ya kila sentensi kulingana na muktadha wake.

  1.          Ndiyo afande! Nitawapeleka sasa hivi. ________________________________________
  2.          Tumia moja kutwa mara tatu. _______________________________________________
  3.          Wali jaa mchuzi juu._______________________________________________________
  4.          Ndege nyingi zilikuwa zinatua na kupaa. ______________________________________
  5.          Bwana asifiwe. __________________________________________________________
  1.    (a)  Taja mam bo makuu matano(5) yanayopatikana kwenye maana ya lugha.

 

(b)Sentensi zifuatazo ni tata. Toa maana mbili kwa kila sentensi.

  1.    Mtoto amelalia uji.
  2.    Tafadhari Aisha nipe sahani ya kulia.
  3.    Ameuwa simba.
  4.    Gari limempitia.
  5.    Aisha amemwandikia mjomba barua

SEHEMU D (Alama  30)

FASIHI KWA UJUMLA.

  1.    (a) Eleza kwa ufupi maana ya dhana zifuatazo.
  1.          Vina.
  2.          Mkarara.
  3.          Fani.
  4.          Maudhui.
  5.          Mizani.

 

(b) Kamilisha jedwali lifuatalo kwa kujaza vipengele husika.

Vipengele vya fani.

Vipengele vya maudhui.

  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           
  1.           

 

  1.    (a) Kamilisha methali zifuatazo.
  1.          Mwanzo wa ngoma._______________________________________________________
  2.          Vita vya panzi.___________________________________________________________
  3.          Si ving’aavyo vyote_______________________________________________________
  4.          Ngoma ivumavyo.________________________________________________________
  5.          Siku ya kufa nyani. _______________________________________________________

(b) Tegua vitendawili vifuatavyo.

  1.          Pana ng’ombe miongoni mwa kundi la ndama.__________________________________
  2.          Mwenye kuitwa amefika lakini mjumbe bado hajarudi.___________________________
  3.          Wazungu wawili wanachungulia dirishani. _____________________________________
  4.          Mtoto wangu usipompa chakula haongei. _____________________________________
  5.          Mzungu katoka ulaya na jani la mgomba. ______________________________________
  1.    Soma shairi lifuatalo kisha jibu maswali yafuatayo.
  1.    Korona ugonjwa gani, umezua tahruki,

Chanjo haipatikani, ulaya hakulaliki,

Tiba haijulikani,    Dunia haifurukuti,

Korona inamaafa,       kujikinga ni LAZIMA.

 

  1.    Hofu kubwa imetanda, wakubwa kwa wadogo,

Mafua homa kupanda, utaona eti gugo,

China mpaka mpanda, korona haina wigo,

Korona inamaafa,     kujikinga ni LAZIMA.

 

  1.    Harufu ya umauti, imeibuka ulaya,

Uchumi wapigwa kati, korona haina haya,

Wanakalia kamati, kumfuta mbaya.

Korona inamaafa,      kujikinga ni LAZIMA.

 

  1.    Taharuki kila nyumba, mahitaji kukusanya,

Hatuna tena kuremba, bajeti kali kuminya,

Sokoni kusombasomba,     njaa isipate mwanya,

Korona inamaafa,      kujikinga ni LAZIMA.

 

MASWALI.

  1.      Bainisha muundo aliotumia mshairi.
  2.   Bainisha muundo wa shairi hilo.
  3. Eleza dhamira tatu (3) zinanzopatikana katika shairi letu.
  4.  Eleza ujumbe wa shairi hili.
  5.    Andika kichwa cha habari cha shairi hili kwa kutumia maneno matatu.

 

 

SEHEMU E (Alama 15)

UANDISHI WA INSHA/ UTUNGAJI.

  1. Kwa maneno yasiyopungua 150 na yasiyozidi 200 andika insha kuhusu umuhimu wa Maji katika jamii kwa kutumia hoja sita.

1

 

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 101  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 101  

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA KWA KIDATO CHA PILI

MUHULA WA KWANZA

2021-MEI

MUDA SAA 3

Maelekezo.

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C Zenye jumla ya maswali kumi na mbili (12)
  2. Jibu maswali yote katika sehemu A and B na maswali matatu (3) kutoka sehemu C
  3. Sehemu A ina alama kumi na tano (15), sehemu B alama arobaini (40) na sehemu C INA ALAMA arobaini na tano (45).
  4. Zingatia maelekezo ya kila sehemu na kila swali.
  5. Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani.
  6. Andika namba yako ya mtihani katka kila ukurasa wa kijitabu chako cha kujibia.

SEHEMU A ( Alama 15)

UFAHAMU

1.          Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata:

Jambo moja kubwa katika mambo ya huzuni kwa watu wote sasa lilitokea. Mke wangu mpenzi alishikwa na maradhi, na baada ya muda kidogo wa udhaifu na rnaumivu akafariki dunia. Utengano huu kati yetu ulitokea baa.da ya miaka kumi ya kuishi pamoja kwa mavenzi, amani, raha na baraka. Tukio hili lilikuwa pigo kubwa sana kwangu na msiba mkubwa katika n.yumba nzima. Marehemu huyu aiikuwa tuna ya maisha vangu, tegerneo na mshauri. 'mwema. Alinisaidia katika mambo mengi wakati wa maisha yetu pamoia anabavo yangalinishinda kuyatenda mimi peke yangu.

Sura yake ilikuwa jamali kwa kimo cha kadiri, use ulikuwa mviringo wa yai, nywele nyeusi za kushuka, paji papa, nyusi za upindi, macho mazuri yalikuwa na taza.mo juu ya kila kite, kope za kutana, masikio ya kingo yasiyopitwa na sauti ndogo, nieno ya rnwanya yaliyojipanga vizuri mithili ya lulu katika chaza, ulimi wa fasaha na maneno ya kiada yaliyotawaliwa, midomo imara isiyokwisha tabasamu. Sauti pole na tamu kama kidevu cha .mfuto katikati yake palikuwa na kidi .mbwi kidogo. Shingo kama mnara ambayo juuyake paliota kichwa cha mawazo mengi, chini ya shingo mabega yalikuwa kama matawi maua, kifua cha madaha, mikono ya mbinu, tumbo jembamba na miguu ya mvungu. tizuri wake ulikuwa kamili. Kwa tabia alikuwa mwaminifu na mfano wa kuiga katika nyumba.

     Wanawake ni wengi kama walivyo wanaume lakini wenye sura kama    ilivyoelezwa ni adimu 

sana kukutana nao duniani. Kabla ya kuoa nililitafuta namna yake muda wa miaka kumi . Kitu nilichokuwa nikitafuta kwa muda wote mwisho nilikipata, lakini baada ya miaka

kumi mingine kilikwenda safari ya watu wasikorudi na wito usiofika. Mauti yake ya maperna yalikuwa- ni msiba na hasara kubwa sana kwangu. Nilishindwa kujizuia kama nilivyotaka, machozi yalinitoka mengi sana na yalikuwa hayazuiliki sababu ya pigo zito lililonijia.

Maswali

(a) Andika kichwa cha habari uliyosoma kwa maneno yasiyozidi matano

 …………………………………………………………………………………………

(b) (i) Ni jambo gani kubwa liletalo huzuni kwa watu wote lililomtokea 

  Mwandishi wa habari hii?

  …………………………………………………………………………………………

  …………………………………………………………………………………………

  …………………………………………………………………………………………

 (ii) Ni muda gani mwandishi wa habari hii aliishi na Mkewe baada 

  ya harusi yao?

  …………………………………………………………………………………………

  …………………………………………………………………………………………

(c) (i) Mke wa Mwandishi wa habari hii alikuwa na tabia ya namna gani?

  …………………………………………………………………………………………

  …………………………………………………………………………………………

  …………………………………………………………………………………………

(ii) Katika aya ya pili Mwandishi ana maana gani anaposema uzuri wake ulikuwa kamili?

 ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

(d) Andika maana ya maneno au vifungu vya maneno kama vilivyotumika katika habari uliyosoma:

 (i) Tunu:  …………………………………………………………………………………….

   …………………………………………………………………………………….

 (ii) Kimo cha kadiri: ………………………………………………………………

     ……………………………………………………………..

 (iii) Adimu:   …………………………………………………………….

 (iv) Safari ya watu wasikorudi: ……………………………………………………

  1.                Andika ufupisho wa habari ulyosoma kwa maneno sitini (60).

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

SEHEMU B: (ALAMA 20)

SARUFI

  1.                (a) Nyambua maneno yafuatayo yawe katika kauli ya kutendeana.

(i) Toa

(ii) Fyeka

(iii) Ondoa

(iv) Piga

(v) Imba

 (b) Nominisha vitenzi vifuatavyo:-

  (i) Lea

  (ii) Nyoa

  (iii) Pika

  (iv) Cheza

  (v) Soma

  1.                Bainisha aina za Vielezi katika Sentensi zifuatazo:-

(a) Aliahidi kumpenda Ana daima kudumu

(b) Kabati lile limepasuka mara tano

(c) Mtoto yule alijibu kihuni

(d) Jina limetumbukia majini chubwi 

(e) Vyombo VIPO kabatini 

(f) Watoto walizungumza taratibu 

(g) Alifeli mara tatu kabla ya kuhamia 

(h) Asha ni mpole

(i) Leo ni sikukuu ya mashujaa

(j) Simfahamu vizuri yule mtu niliyemkuta.

SEHEMU C: (ALAMA 20)

MAWASILIANO NA UTUMIZI WA LUGHA

  1.                Eleza maana ya Istilahi zifuatazo na toa mfano kwa kila maana.

(a) Kidahizo

(b) Silabi

(c) Lugha

(d) Irabu

(e) Konsonanti.

  1.                Maneno yafuatayo yana maana za ya moja. Toa maana mbili kwa kila neno huku ukitunga sentensi.

(a) Kanga

(b) Mbuzi

(c) Kichwa

(d) Ulezi

(e) Nyota

SEHEMU D: (ALAMA 30)

FASIHI KWA UJUMLA

  1.                Tegua Vitendawili vifuatavyo:

(i) Nasuka mkeka lakini nalala chini ……………………………………………………..

(ii) Kila aendapo huweka alama  ……………………………………………………..

(iii) Nikimpiga mwanangu watu hucheza ……………………………………………………..

(iv) Anatembea na nyumba yake  …………………………………………………….

(v) Nyumba yangu ina nguzo moja …………………………………………………..

  1.                Kamilisha methali zifuatazo:-

(i) Baniani mbaya  ………………………………………………………….

(ii) Mgaagaa na upwa ………………………………………………………….

(iii) Siri ya mtungi  …………………………………………………………

(iv) Hakuna marefu  …………………………………………………………

(v) Vita vya Panzi  …………………………………………………………

  1.                Fafanua vipengele vifuatavyo:-

(a) Mandhari: ……………………………………………………………………………………

(b) Wahusika:……………………………………………………………………………………..

(c) Fanani: ………………………………………………………………………………………..

(d) Hadhira: ………………………………………………………………………………………..

(e) Muundo: …………………………………………………………………………………………

  1.                Andika baaarua ya Kirafiki ukimjulisha Shangazi yako anayeishi Dodoma kuwa mnakaribia kufunga Shule mwezi Juni hivo akutumie nauli. Anuani yaake ni 2021 Dodoma. Jina lako liwe Akilimali wa Kirima Sekondari.

1

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 62  

FORM TWO KISWAHILI EXAM SERIES 62  

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256