Jina La Kamili ________________________________________
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA NUSU MUHULA
KIDATO CHA KWANZA
HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI
SAA: 2:30 September, 2026
Maelekezo
SEHEMU A (ALAMA 15)
Jibu maswali yote kutoka sehemu hii
1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele vyote (i) – (x) kisha andika herufi ya jibu hilo katika kisanduku cha kujibia ulichopewa.
(i) Godfrey ni mtoto mwenye maadili mazuri awapo nyumbani na shuleni. Ni tabia gani hatutegemei kuiona kwa Godfrey?
(ii) Utafiti wa kihistoria unaonesha chimbuko la wamasai ni wapi?
(iii) Historia inaonesha jamii za Kitanzania zimeishi kwa amani toka enzi na enzi, hii ni kutokana na:
(iv) Somo la historia ya Tanzania na maadili hufundisha kuhusu mwenendo wa shughuli za kiuchumi kama kilimo, utalii na uvuvi. Hii inaonesha uhusiano na somo gani?
(v) Nieneo gani kati ya haya yafuatayo ni sehemu ya urithi wa kihistoria na wakati huohuo ni urithi wa maliasili?
(vi) Ni namna gani jamii za Kitanzania zinaweza kuimarisha maadili ya ukarimu kwa wageni?
(vii) Watu wa jamii za asili za kitanzania walitumia bidhaa gani kutengeneza nguo?
(viii) Kwa nini ni muhimu kwa mwanafunzi kuelewa historia ya Tanzania?
(ix) Uhusiano kati ya historia ya Tanzania na maadili ni nini katika kujenga utambulisho wa taifa?
(x) Katika hali ya kushirikiana na kusaidiana, ni namna gani maadili yanaweza kuathiri ustawi wa jamii?
Majibu
| i | ii | iii | iv | v | vi | vii | viii | ix | x |
2. Oanisha maelezo ya Orodha A na urithi wa kihistoria na wa asili katika Orodha B, kisha andika herufi ya jibu sahihi katika jedwali lililopo chini.
| ORODHA A | ORODHA B |
|
|
Majibu
| Orodha A | i | ii | iii | iv | v |
| Orodha B |
SEHEMU B (Alama 70)
Jibu maswali yote kutoka sehemu hii
3. Mulayka ni binti wa kisasa asiyeona umuhimu wowote wa kutunza vitu vilivyoachwa na jamii za kale wala kuiga mazuri yao kwani zama zao ni tofauti na zama hizi. Mfungue akili kwa kudokeza mambo matano yanayojumuisha urithi wa kihistoria katika jamii za watanzania ili asiwe na Imani potofu.
4. Jumanne alipokuwa akiangalia televisheni alivutiwa sana na kauli mbiu ya Safari channel inayosema “Tumerithishwa, tuwarithishe” lakini haoni faida ya kurithishwa urithi wa kihistoria. Muelekeze kwa kumuonyesha jinsi makundi yafuatayo yanavyoweza kufaidika na urithi wa kihistoria.
5. Elimu nip ana sana. Mfumo wa elimu ya kijadi haukuwa na kwenda darasani wala kuvaa sare. Je ulijikita katika mambo gani?
6. Haijalishi nani anafanya nini, wapi na wakati gani katika Maisha atakuwa amegusa mfumo mmoja katika Maisha yaani kisiasa, kiuchumi au kijamii. Dhihirisha shughuli za kiuchumi zilizokuwa kabla ya ukoloni.
7. Kwa kutumia hoja tano, fafanua sifa za kuchaguliwa kiongozi katika jamii za wabantu
8. Ni dhahiri shahiri kwamba somo la historia na maadili ni geni kwa walio wengi wakiwemo wazazi wako. Wewe kama mmoja ya waliobahatika kusoma somo hili. Wafafanulie wazazi wako majukumu matano ya kiongozi katika jiamii za wabantu na wakichembe
9. Jamii zetu kwa sasa zimegubikwa na mambo mengi, changamoto mbalimbali zinawakabili wanajamii. Kwa kuzingatia hili, dokeza mambo Matano ambayo ni kikwazo katika ujenzi wa maadili mazuri katika jamii yako ya sasa.
SEHEMU C (Alama 15)
Jibu swali la kumi (10)
10. “Mja asili haachi asili, akiacha asili si mja asili”. Onesha kukubaliana na kauli hii kwa kuelezea hoja sita kuonyesha fursa zinazopatikana kutokana na urithi wa kiasili.
FORM ONE HISTORIA EXAM SERIES 289
FORM ONE HISTORIA EXAM SERIES 289
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA ROBO MUHULA AGOSTI
HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI
KIDATO CHA KWANZA
MUDA: SAA 2:30
MAAELEKEZO 1
SEHEMU A (Alama 16)
1. Katika kipengele (i) hadi (x), chagua herufi ya jibu saahihi kisha andika herufi ya jibu sahihi.
i. Jamii za asili ya Kitanzania zilihama kutoka eneo moja na kwenda eneo jingine kwa sababu:
ii. Somo la historia a maadili limeundwa na dhana kuu mbili:
iii. Uhusiano kati ya somo la historia na maadili na chakula na lishe ni:
iv) jamii za wakushito zinahusisha makabila kama:
v) “Rushwa ni adui mkubwa wa haki.Tusipoidhibiti itaangamiza taifa”Baadhi ya madhara ya rushwa ni:
vi) kulikuwa na sifa maaalumu zilizozingatiwa ili mtu ateuliwe kuwa kiongozi wa ukoo.Miongoni mwa sifa hizo ni:
vii) Mafunzo katika kujenga tabia njema yalisisitiza mambo yafuatayo:
viii) Nini maana ya “Urithi wa jamii?”
ix) Maadili ya msingi katika jamii ni Pamoja na:
x) Mojawapo ya vyanzo vya Historia visivyoandikwaa ni:
| i | ii | iii | iv | v | vi | vii | viii | ix | x |
| . |
2. Oanisha maelezo ya maneno kutoka kifungu A na maneno kutoka kifungu B kisha andika herufi ya jibu sahihi
| KIFUNGU A | KIFUNGU B |
|
|
| i | ii | iii | iv | v | vi |
| . |
SEHEMU B (ALAMA 54)
Jibu maswali yote katika seehemu hii.
3. a) bainisha urithi wa asili uliopo maeneo unamoishi na taja manufaa ya urithi huo kwa jamii yako (hoja nne).
b) Urithi waa kihistoria ni eneo pana linalotoa na kazi kumnufaiisha mtu binafsi,jamii na taifa.Taja matumizi ya fursa hizo. (Hoja tano)
4. a) kabla kuingia ukoloni,jaamii za kitanzaniaa zilikuwa zinatumia mifumo maalumu kuelimisha watu. wake.bainisha malengo ya elimu kabla ya ukoloni (hoja nne)
b) Taja tofauti kati ya jando na unyago. (Hoja tano)
5.a) Ni mambo gani mazuri yaliyopo katika mila ana desturi ya jamii za asili ambayo hayatiliwi mkazo kwa sasa?
b) utamaduni wa jamii za asili uliwandaa vijana kujitegemea kwa sababu ulitilia mkazo i. ii. iii.
6. Jamii za Wabantu,Wakushito,Wakichembe na Wanilo zilikuwa na desturi zilizolenga kukuza maadili katika Nyanja mbalimbali za Maisha yao.Taja malengo yaliojikita katika ujenzi wa maadili katika jamii.(hoja tano)
7. Tunapaswa kufahamu kuwa wajibu wa kulinda na kuifadhi maadili na urithi wa jamii ni jukumu la kila Mtanzania.thibitisha dai hili kwa kutaja matendo yanayokuza na kulinda maadili na urithi wa Tanzania.
8.Elezea maana ya istilahi zifuatazo:
SEHEMU C (ALAMA 30)
Jibu maswali mawili (2) kutoka sehemu hii,swali la tisa (9) ni la lazima na kila swali lina alama 15.
9.Ukiwa kama mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule yako na mbobezi wa somo la Historia ya Tanzania na maadili Elezea tofaauti wa mfumo wa elimu ya jadi na mfumo wa elimu ya sasa.(hoja tano)
10. kumekuwepo na mmomomyoko wa maadili kwa jamii ya sasa kwa kiasi kikubwa hususani kwa vijana,Ungepewa nafasi ya kutoa maoni kuhusu maadili shuleni mambo gani ungependa yazingatiwe katika ujenzi wa maadili kwa vijana.elezea hoja tano(5) 11.elezea sababu za kujifunza somo la Historia ya Tanzania na maadili
FORM ONE HISTORIA EXAM SERIES 225
FORM ONE HISTORIA EXAM SERIES 225