?> HISABATI STANDARD SIX EXAMS SERIES
HISABATI STANDARD SIX EXAMS SERIES

OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI

MTIHANI WA NUSU-MUHULA DARASA LA SITA

HISABATI

MUDA: SAA 2:00 MWAKA 2026

JINA LA MWANAFUNZI: ___________________________________________

JINA LA SHULE ____________________________________________

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina jumla ya maswali manane (8).
  2. Jibu maswali yote kwenye nafasi uliyopewa
  3. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu ya bluu au nyeusi

SEHEMU A (ALAMA 10)

Katika kila kipengele, jibu maswali yote katika sehemu hii.

Kokotoa maswali yafuatayo ukionesha wazi njia iliyotumika katika jibu sahihi katika nafasi iliyotengwa.

Na.

Swali

Sehemu ya kazi na jibu

1. (i)

6 364 274 + 2 023 110=


ii)

1005-889=


iii)

972 x 23=


iv)

3/51/6 =


v)

694 500÷1 852 =


vi)

23.4×3.2 =


vii)

10 x 3/4=


viii)

34/813/4 =


ix)

+10 + (-8) =


x)

346.224 – 247.44=


SEHEMU B (ALAMA 30)

2. (i)

Andika thamani ya tarakimu iliyopigiwa mstari 3816941


ii.

Andika nafasi ya thamani ya

tarakimu 9 katika namba 5496475


iii.

Elimringi alitumia tofali 1748 kadiria tofali hizo katika mamia yaliyo karibu


iv.

Andika namba inayofuata katika mfulilizo wa namba hizi 2, 3, 5, ___


v.

Wanafunzi katika shule ya msingi Shimbwe juu ni 630. Kati ya hao 1/3 ni wavulana wasichana ni wangapi?


vi.

Jumlisha 45% na 1/4 jibu liwe katika asilimia


3. i.

Panga namba zifuatazo kuanzia ndogo hadi kubwa 1/2 , 75% na 0.25


ii.

Andika kwa numerali namba

ifuatayo iliyoandkikwa kwamaneno “milioni mbili kumi elfu na mbili”


iii.

Namadengwa alimtaka rafiki yake Mbeteni amworodheshee vigawo vyote vya 13. Alimworodheshea vigawo gani?


4.(i).

Tafuta zao la KKS na KDS cha namba 3,5 na 7


ii.

Mwanariadha alianza kukimbia saa 12:30 asubuhi na akakamilisha mbio baada ya dakika 40. Alimaliza saa ngapi?


iii.

Calisti alikuwa na mbuzi 1027 na alimgawia mwanae kiasi cha mbuzi 493 ya mbuzi wote. Je alibakiwa na mbuzi wangapi? Jibu katika namba za kirumi


5.(i)

Kilogramu 3½ ni sawa na gramu ngapi?


ii.

Fatuma alipewa kadi yenye namba shufwa na alipochukua namba tasa na kutoa namba shufwa alipata jawabu sifuri. Je namba hiyo ni namba gani?


iii.

Wanachama 24 waligawana shilingi 193,200. Je kila mwanachama alipata kiasi gani cha fedha?


6.(i)

Shule ilinunua sukari yenye uzani wa kilogramu 1225.5, kilogramu 88.25 na kilogramu 227.175. tafuta jumla ya kilogramu za sukari iliyonunuliwa.


ii.

Wavulana 12 darasani waliwakilisha alama “n”. iwapo waliandikwa kati ya wavulana 12n alama iliyowakilisha kipi ni kigeu?


iii.

Dereva wa gari la shule huweka shilingi 127002 katika benki kila mwezi. Je ataweka kiasi gani kwa miuda wa mwaka mzima?


SEHEMU C (ALAMA 10)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

7.

Chunguza kwa makini grafu ifuatayo ya idadi ya kuku waliouzwa kisha jibu maswa.



i.

Siku zipi waliuza kuku kwa idadi sawa?


ii.

Siku ya Jumanne waliuzwa kuku wangapi zaidi ya kuku waliouzwa siku ya Jumatano?


8(i).


ii.

Tafuta eneo wa umbo hili.



iii.

Mraba una upande wenye urefu wa m 23. Tafuta mzingo wake.


LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD SIX EXAM SERIES 137

OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI

MTIHANI WA NUSU MUHULA –MACHI 2026

DARASA LA SITA

HISABATI

MUDA: SAA 2:00 

JINA LA MWANAFUNZI: ___________________________________________

JINA LA SHULE ____________________________________________ 

MAELEKEZO 

1. Mtihani huu unasehemu tatu A, B, na C yenye jumla ya maswali nane (8)

2. Soma maelekezo na kisha jibu maswali yote kila sehemu.

3. kumbukakuandikajinalakonajina la shuleyako.

4. Simuzamkononihaziruhusiwindani ya churnbachamtihani.

NA

SWALI

JIBU

1.

SEHEMU A: (ALAMA 10)

Jibu maswali yote

 

i.

5279 + 4482 =

 

ii. 

6000 – 2897 =

 

iii.

407 x 42 =

 

iv.

 

v.

 

vi.

 

vii.

 

viii.

 

ix.

 

x

Sh. 450 + sh 7300 + sh 1100 =

 

2.

SEHEMU B: (ALAMA 30)

 

i

Andika maneno 311008

 

ii.

Andika kwa tarakimu miamoja na saba elfu miatano na tano________________ 

 

iii.

Ipi ni thamani ya kiwangocha 9 katika namba hii 89670

 

iv.

Andika namba 900,000 + 30,000 + 1,000 + 300 + 50 + 4 kwakifupi

 

v.

Fafanua 763631 kwa kutumia thamani ya tarakimu_______

 

vi.

Andika nafasi ya thamani ya 7 katikanambahii 236374

 

3.

 

 

i.

Andika namba inayokosekana katika mfulizo ufuatao 18,16,14,12,___,___,

 

ii.

Jaza namba zinazo fuata katika mpangilio huu 11,22,33,44.___,_____,

 

iii.

Jaza namba zinazokosekana katika mpangilio wa namba zifuatazo 3,9,27,___,_____

 

4.

 

 

i.

Kwakutumiatarakimu 4,2,9,7,8 na 1, andika namba zifutazo iwaponkila tarakimu itatumiaka mara moja tu 

nambakubwakabisakwakutumiatarakimu zote sita ________

 

ii.

Namba ndogo kabisa kwa kutumia tarakimu zote sita__________

 

iii.

Kati namba hizi ipi namba ndogo zaidi? 661,256,663666,666166,616,666

 

5.

 

 

i.

Kampuni ilinunua magari 491235 kwa fedha tasilimu na kukopeshwa magari 508761. Je kampuni ilipata jumla ya magari mangapi?

 

ii.

Wanafunzi 635740 walifanya mitihani wa kumaliza darasa la saba Kati ya hao wavulana walikuwa 312520 Je, wasichana wangapi walifanya mitihani huo?___________

 

iii.

Tafuta zao la namba 117 na 33

 

6.

 

 

i.

Ateba anaumri wa miaka 47 Andika umri wa Ateba kwa namba za kirumi

 

ii.

Fausta alitembe km 8 na m 700 kutoka sokoni hadi kazi kwake . Tasha na ye alitembea m 6928 kutoka sokoni hadi nyumba kwake Nani alitembea umbali mrefu zaidi?___________-

 

iii.

Mkate moja una uzita wa nusu kilogramu Tafuta uzito wa mikate mitano katika gramu?

 

7.

SEHEMU C: (ALAMA 10)

 

i.

Kokotoa mzingo wa umbo la mstatili ufuatao

 

ii.

Tafuta mzingo wa mraba ufuatao

 

iii.

Tafuta mzingo wa umbo hili

 

8.

 

 

i.

Angalia mahudhurio ya wanafunzi wa dalasa la nne katika shule ya msingi Mashujaa kisha jibu maswali yafuatayo

Siku

J.tatu

J.nne

J.tano

Alhamisi

Ijumaa

Idadi ya wanafunzi

90

120

70

60

110

 

Tafuta jumla ya mahudhurio ya wanafunzi kwa siku zote tano?_______________

 

ii.

Ninitofauti ya wanafunzi waliohudhuria siku ya ijumaa na siku ya alhamisi?____________

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD SIX EXAM SERIES 135

OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024

SOMO: HISABATI DARASA: VI

  1.      Jibu maswali yafuatayo kwa kuonyesha njia
  1.         Andika 404,040 kwa maneno
  2.       Kadiria katika mamoja yaliyo karibu. 99956
  3.     Andika thamani ya namba 4 katika namba 84923
  4.      Umepewa namba 13942. Andika namba kubwa zaid inayoweza kuundwa
  5.        Emma alizaliwa mwaka 1987. Andika kwa kirumi.
  6.      Mji wa Moshi una wakazi 390518. Andika idadi ya wakazi kwa maneno
  7.    Denis ana mbao 7605 zaidi ya James . ikiwa Denis ana mbao 963652, tafuta idadi ya mbao za James.
  8.  Namba ipi ikizidishwa kwa 943 jibu lake ni 529966?
  9.      Tafuta jumla ya thamani ya 6 na 9 katika namba 962710.
  10.        Nini zao la 1205 na 862.

 

2 (i) Umepewa namba 2, 4, 9, 6, na 0. Andika namba ndogo kutokana na tarakimu ulizopewa.

(ii) Nino wastani wa namba tasa zilizipo kati ya 6 na 24?

(iii) Shule ina jumla ya wanafunzi 720, ikiwa 12.5% ya wanafunzi wote ni wasichana. Tafuta idadi ya wavulana.

(iv) Fikiri namba, kisha toa tisa katika namba hiyo. Jibu lake ni sawa na robo ya namba hiyo. Je namba hiyo ni ipi?

(v) Umri wa mtoto ni 0.25 ya umri wa baba. Ikiwa umri wa baba ni miaka 40. Tafuta umri wa mtoto.

(vi) Mwalimu aliwapatia wasichana vitabu CMXCVIII na wavulana vitabu MCCVIII, kwa pamoja walipata vitabu vingapi?

 

3 (i) Kilogramu 25010 za mchele ziligawiwa kwa wazee 305 kwa idadi sawa. Je kila mzee alipata kilogramu ngapi?

(ii) Shamba la Musa lina jumla ya idadi ya miti 2847693 andika thamani ya nafasi ya tarakimu iliopigiwa mstari  

(iii) Andika namba 6280050 kwa maneno.

 

4 (i) Namba ya siri ya kufungua tarakilishi ya Mwalimu ni 24162. Tumia tarakimu hizi kiinda namba ndogo zaidi. 

(ii) Panga namba zifuatazo ili ziwe katika mpangilio sahihi kuanzia kubwa hadi ndogo. 7/10, 0.5, 60%, 0.01, 1/4

(iii) Namba ya kiarabu inayotokana na namba ya kirumi CMXCIX ni ipi?

 

5 (i) Andika namba inayokosekana katika mfululizo huu. 1, 5, 10, ........., 23 

(ii) Bei ya gauni ni Sh 80,000. Jane alipewa punguzo la 25%. Je atalipia kiasi gani cha fedha kwa gauni?

(iii) Neema alikula 2/7 ya muwa na dada yake Queen alikula 1/9 ya muwa. Tafuta sehemu ya Muwa iliyobaki.

 

6 (i) Tafuta KKS cha 6, 10, na 15.

(ii) Kadiria namba hii katika mamia yaliyo karibu 8769806

(iii) Kama 1/: 8 = 24: K. Tafuta thamani ya K.

 

7 SEHEMU C: TAKWIMU NA MAUMBO

  1.         N’gombe wanne hutoa lita za maziwa zifuatazo. Lita 8, lita 15, lita 7, lita 14. Tafuta wastani wa lita za maziwa.
  2.       Tafuta mzunguko wa tenki la maji lenye umbo la duara ikiwa kipenyo chake ni 14  (tumia π22/7)
  3.     Tafuta eneo lenye kivuli katika umbo hili

 

8 (i) Umri wa Paulo ni miaka 11, umri wa Juma ni miaka 9, na umri wa Aisha ni miaka 7. Tafuta wastani wa umri wao. 

(ii) Saumu alinunua trai tatu za mayai kwa shs.400 kila moja. Wakati akirudi nyumbani, 1/3 ya mayai katika trai moja yalipasuka. Aliuza mayai yaliyobaki kwa shilingi 400 kila moja. Tafuta faida au hasara aliyopata. 

(iii).  Shamba la maua lenye umbo la duara lina radius ya meta 28. Tafuta mzingo wa shamba hili.

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD SIX EXAM SERIES 108

 

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA MAZOEZI DARASA LA SITA

HISABATI

ANNUAL FOR 2022

JIBU MASWALI YOTE

 



  1. 11192 x 7 =


  1. 78444
  2. 78334
  3. 77744
  4. 77734
  5. 78344


  1. 74.3 – 9.56 =


  1. 64.84
  2. 65.84
  3. 64.74
  4. 65.74
  5. 64.86


  1. 10200  25 =


  1. 418
  2. 484
  3. 480
  4. 408
  5. 440








  1. 2157 + 6843 =


  1. 8000
  2. 8990
  3. 8900
  4. 9000
  5. 8800


  1. 2.056 + 0.975 =


  1. 3.021
  2. 3.031
  3. 2.921
  4. 2.021
  5. 2.931


  1. 29313 – 4119 =


  1. 25204
  2. 25494
  3. 25294
  4. 25194
  5. 26194


  1. 1.22 x 0.6 =


  1. 0.632
  2. 0.622
  3. 0.722
  4. 0.732
  5. 0.0732


  1. 13.78  53


  1. 0.216
  2. 0.206
  3. 0.026
  4. 0.0026
  5. 0.26


  1. (-25) + (40) =


  1. -65
  2. +65
  3. +15
  4. -15
  5. 25


  1. +2 – (8 + +3)=


  1. 7
  2. 13
  3. 3
  4. -3
  5. -9


  1. Badili 62.5% kuwa sehemu rahisi.



  1. Badili 0.035 kuwa asilimia.


  1. 35%
  2. 0.35%
  3. 0.035%
  4. 0.0035%
  5. 3.5%


  1. Badili 0.0125 kuwa asilimia rahisi.



  1. Andika namba ya kirumi MMDXC katika namba ya kawaida.


  1. 2610
  2. 2590
  3. 2580
  4. 2519
  5. 2510


  1. Namba tasa zilizopo kati ya 30 na 40 ni:


  1. 35, 37
  2. 31, 39
  3. 31, 37
  4. 33, 37
  5. 33, 39


  1. Kigawe kidogo cha Shirika (KDS) cha 12, 18 na 36 kikigawanywa kwa kigawo Kikubwa cha shirika (KKS) cha namba hizo, jawabu ni


  1. 36
  2. 18
  3. 9
  4. 6
  5. 12


  1. Andika saa 1815 katika mtindo wa saa 12.


  1. 12.15 jioni
  2. 8.15 usiku
  3. 6.15 alasiri
  4. 12.15 asubuhi
  5. 6.15 usiku


  1. Kilogram (kg) 41 gramu (gm) 360 zikigawanywa kwa 8 jibu lake ni


  1. Kg 5 gm 100
  2. Kg 5 gm 170
  3. Kg 5 gm 17
  4. Kg 51 gm 70
  5. Kg 5 gm 171


  1. Thamani ya Y katika mlinganyo ufuatao


  1. -3
  2. 3
  3. -5


  1. Rahisisha: m + n – m + m – n


  1. 2m
  2. n
  3. o
  4. m +n
  5. m


  1. Tafuta kipeuo cha pili cha 2601


  1. 41
  2. 51
  3. 59
  4. (2601)2
  5. 49


  1. Tafuta thamani ya m katika umbo lifuatalo:

 

 

 

 

 


  1. 15°
  2. 30°
  3. 45°
  4. 60°
  5. 70°


  1. Thamani ya t katika umbo lifuatalo ni:

 

 

 

 

 


  1. 80°
  2. 30°
  3. 35°
  4. 70°
  5. 20°


  1. Ikiwa mzigo wa mstatili ufuatao as m 120, tafuta thamani ya Q

 

 

 


  1. Sm 38
  2. Sm 44
  3. Sm 76
  4. Sm 98
  5. Sm 27


  1. Tafuta eneo la umbo lifuatalo

 

 

 

 

 


  1. Sm2 120
  2. Sm2 486
  3. Sm2 1620
  4. Sm2 810
  5. Sm2 972


  1. Tafuta eneo lililotiwa kivuli ndani ya mraba ufuatao wenye urefu was m 14

 

 


  1. Sm2 196
  2. Sm2 154
  3. Sm2 49
  4. Sm2 42
  5. Sm2 39


  1. Tafuta eneo la nyuso za umbo lifuatalo ambalo limefungwa pande zote.

 

 

 

 


  1. Sm2 77
  2. Sm2 440
  3. Sm2 517
  4. Sm2 880
  5. Sm2 479


  1. Tafuta ukubwa wa mche mstatili ufuatao

 

 

 

 


  1. m3 50400
  2. m3 504
  3. m3 5.04
  4. m3 0.0504
  5. m3 50.4


  1. Shule ya msingi Itera iliuza jumla ya magunia 720 ya machungwa, mtama, mahindi na mchele. Kwa kutumia grafu ifuatayo tafuta idadi ya magunia ya mtama yaliyouzwa.

 

 

 

 


  1. 230
  2. 260
  3. 130
  4. 460
  5. 28


  1. Thamani ya x katika umbo lifuatalo ni:

 

 

 

 

 


  1. 40°
  2. 35°
  3. 30°
  4. 20°
  5. 10°


  1. Tafuta mzigo wa duara lifuatalo: (Tumia  )

 

 

 

 


  1. Sm 616
  2. Sm 176
  3. Sm 88
  4. Sm 44
  5. Sm 28


  1. Majira ya nukta E na F katika mchoro ufuatao ni

 

 

 

 

 

 


  1. E(-5, 1); F(2, -3)
  2. E(-5, -1); F(-2, -3)
  3. E(1, 5); F(-2, -3)
  4. E(1, -5); F(-3, 2)
  5. E(0, -5); F(-3, -2)


  1. Tafuta nusu kipenyo cha mcheduara ufuatao iwapo ujazo wake ni lita 15.4

 

 

 

 


  1. Sm 14
  2. Sm 7
  3. Sm 10
  4. Sm 7.5
  5. Sm 24.5


  1. Tafuta thamani ya x katika umbo lifuatalo

 

 


  1. Sm 2.56
  2. Sm 1.44
  3. Sm 2.0
  4. Sm 4.0
  5. Sm 1.92


  1. Wanafunzi 72 walihudhuria darasani na asilimia 20 hawakuhudhuria. Je darasa hilo lilikuwa na wanafunzi wangapi?


  1. 72
  2. 80
  3. 85
  4. 90
  5. 100


  1. Jonael aliendesha gari lake kutoka kijiji cha Mazoela kuelekea mashariki umbali wa km 40 na kisha kuelekea kusini kijiji cha Matabo umbali wa km 30. Tafuta umbali mfupi kutoka Mazoela hadi Matabo.


  1. Km 10
  2. Km 50
  3. Km 60
  4. Km 70
  5. Km 25


  1. Mapato ya Musa kwa mwezi ni shilingi 164,000. Iwapo hutumia  ya mapato kwa chakula,  ya mapato kwa mavazi,  kwa ada ya watoto na sehemu iliyobaki ni matumizi mengineyo. Je kwa kutumia grafu kwa duara ni nyuzi ngapi hutumika kwa matumizi mengineyo?
  2. Mfanyabiashara alinunua ng’ombe kwa bei ya shilingi 120,000 na akamwuza kwa shilingi 84,000. Kokotoa asilimia ya hasara katika biashara hiyo.
  3. Jeni, Janeti na Juvita walipata fedha. Jeni alipata ¼ ya Janeti na Janeti alipata mara mbili ya Juvita. Je Juvita alipata kiasi gani cha fedha iwapo fedha yote ilikuwa shilingi kumi na nne elf utu?
  4. Furaha alipeleka simu ya kuandika yenye maneno 23. Alilipa shilingi 450 kwa maneno 10 ya mwanzo na kila neno lililoongezeka alilipa shilingi 3.70. tafuta gharama aliyotumia.
  5. Mzee kalilo alikwenda dukani akiwa na shilingi 25,500/= kwa lengo la kununua viatu vifuatavyo

Gauni jozi 2 @ shilingi 3,600/=;

Kanga doti 4@ shilingi 2,400/=;

Viatu jozi 2 @ shilingi 5,200/=;

Kofia ya shilingi 1,250 na miwani ya shilingi 5,250. Je alihitaji shilingi ngapi Zaidi ili aweze kulipia vitu hivyo?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD SIX EXAM SERIES 63

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA DARASA LA SITA

HISABATI

MUDA:1 :30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

Chagua jibu sahihi kutoka yale uliopewa

  1. Ipi kati ya namba zifuatazo ni million nane mia tano themanini na saba mia tisa themanini na sita?(a) 8587986 (b) 80587986 (c) 85086989 (d) 8587989
  2. 902 653 +81152 = (a)893805 (b) 983805 (c) 890538 (d)993805
  3. 6500000 + 3267031 = (a) 9867030 (b) 9786528 (c) 9767031 (d) 9768031
  4. Bohari la elimu lina madaftari 5,256,423 na inatarajia kupokea madaftari mengine 2,491708. Je, bohari jumla litakuwa na madaftari mangapi? (a) 8748321 (b) 7748231 (c) 7848231 (d) 7749231
  5. Jumla ya gombe na mbuzi katika wilaya ni 2,139 500. Ikiwa ng’ombe ni 1,104,563, je wilaya hiyo ina mbuzi wangapi? (a) 2,034937 (b) 3244063 (c) 1033937 (d) 1034937
  6. 287 x 35 = (a) 9945 (b) 10,045 (c) 10,015 (d) 9045
  7. Ikiwa shule ya mramba inatumia lita 63,540 za maji kila mwezi. Je kwa mwaka mmoja shule itatumia lita ngapi? (a) 867865 (b) 675875 (c) 762480 (d) 897645
  8. 0.427 ÷0.07 = (a)6.1 (b) 61 (c) 0.61(d) 610
  9. Kigawo kikubwa cha shirika (K.K.S) Cha 8, 18 na 24 ni: (a) 2 (b) 3 (c) 4(d) 6
  10. Badili namba ya kirumi MCLXVI kuwa katika numerali za kiarabu (a) 1079 (B) 1576 (C) 1176 (d) 1276
  11. 255+ 59 + 3,772 = (a)  4,086 (b) 3,956 (c) 3, 946 (d) 4057
  12. 80,709- 5,987 = 75,822 (b) 74,722 (c) 74,812 (d) 75,922
  13. 7,590 ÷15 = (a) 616 (b) 56 (c) 516 (d) 506
  14. Tafuta zao la namba tasa zilizopo kati ya 1 na 10 (a) 384 (b) 210 (c) 945 (d) 1,890
  15. Rahisisha 3(m-n) + 5n – 7m (a) 4m -2n (b) -4m+2n (c) 2n-4m (d) 3m-3n
  16. Tafuta kigawo kikubwa cha shirika(K.K.S) 12, 24 na 36. (a) 6 (b) 12 (c) 24 ( d) 36
  17. Tafuta kigawo kidogo cha shirika (K.D.S) Cha 6, 9, na 12 (a) 3 (b) 36 (c) 12 (d) 72
  18. Kokotoa thamana ya; 12-(-24)+(-9) x4= (a) 0 (b) -48 (c) 72 (d) 108
  19. 33/5 + 12/3 = (a) 46/15 (b) 45/8 (c) 53/15 (d) 5 4/15
  20. Badili namba ya kirumi CMXCIX kuwa namba ya kawaida (a) 9,999 (b) 99 (c) 999 (d) 99,999
  21. Badili 17/20 kuwa asilimia (a) 65 (b) 95 (c) 85 (d) 75
  22. Badili 32% kuwa decimali (a) 3.2 (b) 32 (c) 0.32 (d) 0.032
  23. 0.456 + 270.975 = (a) 272.432 (b) 271.431 (c) 261.432 (d) 272.321
  24. 27.321 x 33 = (a) 90.15 (b) 901.593 (c) 901593 (d) 9015.93
  25. Ipi kati ya namba 43, 47,51, 53 na 59 sio namba tasa (a) 47 (b) 51 (c) 53 (d) 43
  26. Badili 21/2% kuwa desimali (a) 2.5 (b) 0.25 (c) 0.125 (d) 0.025
  27. Tafuta eneo la mstatili lifuatalo;

  1. Sm2 2(b) sm2 8 (c) sm36 (d) sm2 80
  1. Tafuta eneo lililotiwa kivuli iwapo duara lililochorwa ndani ya mraba lina usukipenyo cha sm 7. Tumia pai= 22/7

(a) sm2 154 (b) sm2 42(c) sm2 32 (d) sm2196

  1. Eneo la pembetatu fuatayo ni sm2 66. Tafuta thamani ya x.

(a) 3 (b) 8 (c) 11 (d) 12

  1. Tafuta eneo la umbo lifuatalo

(a) sm2 144 (b) sm2 124 (c) sm2 120 (d) sm2 64

  1. Tafuta ukubwa wa umbo lifuatalo

(a) sm3 192  (b) sm3 224 (c)  sm3 128  (d) sm3 256 (e) sm3 64.

  1. Tafuta thamani ya x katika umbo lifuatalo:
     

(a) 10 0 (b) 15 0 (c) 20 0 (c) 30 0

  1. Tafuta thamani ya pembe x katika umbe lifuatalo:
     

(a) 10°  (b) 20° (c)  22°   (d) 24°

  1. Tafuta ujazo wa umbo lifuatalo (Tumia pai= 22/7)

(a) sm3 660 (b) sm31,320 (c) sm3 3,520 (b) sin 4,620

  1. Je, jina la umbo lifuatalo ni  

(a) mstatili  (b) mraba (c) pembe tatu  (d)duara 

  1. Shule ya Msingi Majengo Ina wanafunzi 690. Iwapo  2/3 ya wanafunzi walifaulu vyema katika Jaribio la Hisabati, ni  wanafunzi wangapi ambao hawakufaulu?

(a) 230  (b) 330 (c) 450  (d) 460

  1. Mashine ya kutoa nakala inatoa nakala 20 za karatasi kwa sekunde 40. Je, itatoa nakala ngapi kwa saa? (a)  60  (b) 90 (c) 800  (d) 1,800
  2. Wanafunzi 72 walihudhuria darasa na asilimia 20 hawakuhudhuria. Je darasa hilo lina wanafunzi wangapi? (a) 72 (b) 80 (c) 85 (d) 90
  3. Bei ya pikipiki iliongezwa kutoka shs.3,000,000 hadi 4,500,000. Je ongezeko hilo ni asilimia ngapi? (a) 33.3% (b) 30% (c) 25% (d) 50%
  4. Andika saa 1815 katika mtindo wa saa 12 (a) 12.15 jioni (b) 8.15 usiku (c) 6.15 alasiri (d) 12.15 asubuhi.

Katika swali la 41-45 tafuta jibu sahihi

 

  1. Tafuta kizio ikiwa faida inayopatikana kwa mwaka mmoja ni sh 3,000 na kiasi cha riba kwa mwaka ni 5%
  2. Juma alikwenda na shs 7,000 akanunua vitu vifuatavyo;
  • Nyama kg 21/2 @shs.800
  • Viazi kg 5 @shs.600/=
  • Pilipili hoho kg ½ @shs.480
  • Ndizi 20 @shs50/-

Je alibakiwa na kiasi gani baada ya kununua vitu vyote hivyo?

  1. Uwiano wa Y na Z ni sawa na uwiano wa 17 na 19. Tafuta thamani ya Y iwapo Z =133
  2. Basi lilianza safari ya kwenda iringa saa 1630 na kufika kesho yake saa 0630. Je basi hilo lilitumia muda gani kwa safari nzima?
  3. Ujazo wa kopo ni lita 3.85. Tafuta nusu kipenyo chake iwapo kimo ni sm100?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD SIX EXAM SERIES 55

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SITA

HISABATI

 

   NO 

SWALI

 KAZI

   JIBU

  1.  

Jumulisha, 5698+ 1968

 

 

  1.  

Toa, 9875 kwa 12432

 

 

  1.  

Zidisha, 158 x 27

 

 

  1.  

Ikiwa machungwa 4832 yatagawanywa kwa watoto 24, kila mmoja atapata mangapi?

 

 

  1.  

35/6 + 21/2

 

 

  1.  

81/3 – 21/2

 

 

  1.  

3/5 x 33/10

 

 

  1.  

33/5x10/27

 

 

  1.  

102.14 + 11.76 =

 

 

  1.  

8.78 -12.5 =

 

 

  1.  

5.84 x 2.4

 

 

  1.  

badilisha 0.8 kuwa sehemu

 

 

  1.  

Badilisha 4/25 kuwa asilimia

 

 

  1.  

Andika 14/5 katika desimali

 

 

  1.  

Tafuta K.D.S ya 36, 48, 60

 

 

  1.  

Tafuta K.K.S cha 24, 32, 48

 

 

  1.  

Rahisisha, +8+-3 kwa kutumia mstari nambari

 

 

  1.  

Tafuta eneo

 

 

  1.  

Tafuta y,

2y-7=5y-16

 

 

  1.  

Tafuta jumla ya namba tasa kati ya 81 na 98

 

 

  1.  

Andika 356 kwa kirumi

 

 

  1.  

Tafuta jumla ya namba shufi kati ya 11 na 19

 

 

  1.  

Andika namba inayofuata

3,9,15,21,......

 

 

  1.  

Rahisisha, 6(2+a)+4(3+5a)

 

 

  1.  

Jumlisha

saa                 dakika                 sekunde

4                     37                       41

3                     59                       18

 

 

  1.  

64x2y÷8x3y

 

 

  1.  

+52+-21=

 

 

  1.  

10x + 28 = 48, tafuta dhamani ya x

 

 

  1.  

Andika kwa maneno, 85,537

 

 

  1.  

2y-7=5y-16

 

 

  1.  

21/2p +3 =2

 

 

  1.  

Rahisisha, 3x-4 =11

 

 

  1.  

Tafuta mzingo wa umbo hili

 

 

  1.  

Tafuta dhamana ya b

 

 

  1.  

Tafuta mzingo wa umbo hili

 

 

  1.  

Tafuta mzingo

 

 

  1.  

Tafuta eneo

 

 

  1.  

Tafuta eneo la mraba

 

 

  1.  

Andika saa tano na dakika arobaini asubuhi katika mfumo wa saa ishirini na nne

 

 

  1.  

Tafuta eneo la umbo lifuatalo

 

 

  1.  

Tafuta eneo

 

 

  1.  

Tafuta eneo, pai ni 22/7

 

 

  1.  

Tafuta kipeuo cha 25

 

 

  1.  

Tafuta eneo la umbo hili

 

 

  1.  

Juma alinunua vitu vifuatavyo;

Vifutio 72 @15/=

Mita 3 za kitambaa kwa @600/=

Pea sita za soksi kwa @175/=

Suruari moja @3750/=

Kama alikuwa na shilingi 8000/= je alibaki na kiasi gani?

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD SIX EXAM SERIES 35

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256