?> HISABATI STANDARD SIX EXAMS SERIES
HISABATI STANDARD SIX EXAMS SERIES

OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024

SOMO: HISABATI DARASA: VI

  1.      Jibu maswali yafuatayo kwa kuonyesha njia
  1.         Andika 404,040 kwa maneno
  2.       Kadiria katika mamoja yaliyo karibu. 99956
  3.     Andika thamani ya namba 4 katika namba 84923
  4.      Umepewa namba 13942. Andika namba kubwa zaid inayoweza kuundwa
  5.        Emma alizaliwa mwaka 1987. Andika kwa kirumi.
  6.      Mji wa Moshi una wakazi 390518. Andika idadi ya wakazi kwa maneno
  7.    Denis ana mbao 7605 zaidi ya James . ikiwa Denis ana mbao 963652, tafuta idadi ya mbao za James.
  8.  Namba ipi ikizidishwa kwa 943 jibu lake ni 529966?
  9.      Tafuta jumla ya thamani ya 6 na 9 katika namba 962710.
  10.        Nini zao la 1205 na 862.

 

2 (i) Umepewa namba 2, 4, 9, 6, na 0. Andika namba ndogo kutokana na tarakimu ulizopewa.

(ii) Nino wastani wa namba tasa zilizipo kati ya 6 na 24?

(iii) Shule ina jumla ya wanafunzi 720, ikiwa 12.5% ya wanafunzi wote ni wasichana. Tafuta idadi ya wavulana.

(iv) Fikiri namba, kisha toa tisa katika namba hiyo. Jibu lake ni sawa na robo ya namba hiyo. Je namba hiyo ni ipi?

(v) Umri wa mtoto ni 0.25 ya umri wa baba. Ikiwa umri wa baba ni miaka 40. Tafuta umri wa mtoto.

(vi) Mwalimu aliwapatia wasichana vitabu CMXCVIII na wavulana vitabu MCCVIII, kwa pamoja walipata vitabu vingapi?

 

3 (i) Kilogramu 25010 za mchele ziligawiwa kwa wazee 305 kwa idadi sawa. Je kila mzee alipata kilogramu ngapi?

(ii) Shamba la Musa lina jumla ya idadi ya miti 2847693 andika thamani ya nafasi ya tarakimu iliopigiwa mstari  

(iii) Andika namba 6280050 kwa maneno.

 

4 (i) Namba ya siri ya kufungua tarakilishi ya Mwalimu ni 24162. Tumia tarakimu hizi kiinda namba ndogo zaidi. 

(ii) Panga namba zifuatazo ili ziwe katika mpangilio sahihi kuanzia kubwa hadi ndogo. 7/10, 0.5, 60%, 0.01, 1/4

(iii) Namba ya kiarabu inayotokana na namba ya kirumi CMXCIX ni ipi?

 

5 (i) Andika namba inayokosekana katika mfululizo huu. 1, 5, 10, ........., 23 

(ii) Bei ya gauni ni Sh 80,000. Jane alipewa punguzo la 25%. Je atalipia kiasi gani cha fedha kwa gauni?

(iii) Neema alikula 2/7 ya muwa na dada yake Queen alikula 1/9 ya muwa. Tafuta sehemu ya Muwa iliyobaki.

 

6 (i) Tafuta KKS cha 6, 10, na 15.

(ii) Kadiria namba hii katika mamia yaliyo karibu 8769806

(iii) Kama 1/: 8 = 24: K. Tafuta thamani ya K.

 

7 SEHEMU C: TAKWIMU NA MAUMBO

  1.         N’gombe wanne hutoa lita za maziwa zifuatazo. Lita 8, lita 15, lita 7, lita 14. Tafuta wastani wa lita za maziwa.
  2.       Tafuta mzunguko wa tenki la maji lenye umbo la duara ikiwa kipenyo chake ni 14  (tumia π22/7)
  3.     Tafuta eneo lenye kivuli katika umbo hili

 

8 (i) Umri wa Paulo ni miaka 11, umri wa Juma ni miaka 9, na umri wa Aisha ni miaka 7. Tafuta wastani wa umri wao. 

(ii) Saumu alinunua trai tatu za mayai kwa shs.400 kila moja. Wakati akirudi nyumbani, 1/3 ya mayai katika trai moja yalipasuka. Aliuza mayai yaliyobaki kwa shilingi 400 kila moja. Tafuta faida au hasara aliyopata. 

(iii).  Shamba la maua lenye umbo la duara lina radius ya meta 28. Tafuta mzingo wa shamba hili.

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD SIX EXAM SERIES 108

 

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA MAZOEZI DARASA LA SITA

HISABATI

ANNUAL FOR 2022

JIBU MASWALI YOTE

 



  1. 11192 x 7 =


  1. 78444
  2. 78334
  3. 77744
  4. 77734
  5. 78344


  1. 74.3 – 9.56 =


  1. 64.84
  2. 65.84
  3. 64.74
  4. 65.74
  5. 64.86


  1. 10200  25 =


  1. 418
  2. 484
  3. 480
  4. 408
  5. 440








  1. 2157 + 6843 =


  1. 8000
  2. 8990
  3. 8900
  4. 9000
  5. 8800


  1. 2.056 + 0.975 =


  1. 3.021
  2. 3.031
  3. 2.921
  4. 2.021
  5. 2.931


  1. 29313 – 4119 =


  1. 25204
  2. 25494
  3. 25294
  4. 25194
  5. 26194


  1. 1.22 x 0.6 =


  1. 0.632
  2. 0.622
  3. 0.722
  4. 0.732
  5. 0.0732


  1. 13.78  53


  1. 0.216
  2. 0.206
  3. 0.026
  4. 0.0026
  5. 0.26


  1. (-25) + (40) =


  1. -65
  2. +65
  3. +15
  4. -15
  5. 25


  1. +2 – (8 + +3)=


  1. 7
  2. 13
  3. 3
  4. -3
  5. -9


  1. Badili 62.5% kuwa sehemu rahisi.



  1. Badili 0.035 kuwa asilimia.


  1. 35%
  2. 0.35%
  3. 0.035%
  4. 0.0035%
  5. 3.5%


  1. Badili 0.0125 kuwa asilimia rahisi.



  1. Andika namba ya kirumi MMDXC katika namba ya kawaida.


  1. 2610
  2. 2590
  3. 2580
  4. 2519
  5. 2510


  1. Namba tasa zilizopo kati ya 30 na 40 ni:


  1. 35, 37
  2. 31, 39
  3. 31, 37
  4. 33, 37
  5. 33, 39


  1. Kigawe kidogo cha Shirika (KDS) cha 12, 18 na 36 kikigawanywa kwa kigawo Kikubwa cha shirika (KKS) cha namba hizo, jawabu ni


  1. 36
  2. 18
  3. 9
  4. 6
  5. 12


  1. Andika saa 1815 katika mtindo wa saa 12.


  1. 12.15 jioni
  2. 8.15 usiku
  3. 6.15 alasiri
  4. 12.15 asubuhi
  5. 6.15 usiku


  1. Kilogram (kg) 41 gramu (gm) 360 zikigawanywa kwa 8 jibu lake ni


  1. Kg 5 gm 100
  2. Kg 5 gm 170
  3. Kg 5 gm 17
  4. Kg 51 gm 70
  5. Kg 5 gm 171


  1. Thamani ya Y katika mlinganyo ufuatao


  1. -3
  2. 3
  3. -5


  1. Rahisisha: m + n – m + m – n


  1. 2m
  2. n
  3. o
  4. m +n
  5. m


  1. Tafuta kipeuo cha pili cha 2601


  1. 41
  2. 51
  3. 59
  4. (2601)2
  5. 49


  1. Tafuta thamani ya m katika umbo lifuatalo:

 

 

 

 

 


  1. 15°
  2. 30°
  3. 45°
  4. 60°
  5. 70°


  1. Thamani ya t katika umbo lifuatalo ni:

 

 

 

 

 


  1. 80°
  2. 30°
  3. 35°
  4. 70°
  5. 20°


  1. Ikiwa mzigo wa mstatili ufuatao as m 120, tafuta thamani ya Q

 

 

 


  1. Sm 38
  2. Sm 44
  3. Sm 76
  4. Sm 98
  5. Sm 27


  1. Tafuta eneo la umbo lifuatalo

 

 

 

 

 


  1. Sm2 120
  2. Sm2 486
  3. Sm2 1620
  4. Sm2 810
  5. Sm2 972


  1. Tafuta eneo lililotiwa kivuli ndani ya mraba ufuatao wenye urefu was m 14

 

 


  1. Sm2 196
  2. Sm2 154
  3. Sm2 49
  4. Sm2 42
  5. Sm2 39


  1. Tafuta eneo la nyuso za umbo lifuatalo ambalo limefungwa pande zote.

 

 

 

 


  1. Sm2 77
  2. Sm2 440
  3. Sm2 517
  4. Sm2 880
  5. Sm2 479


  1. Tafuta ukubwa wa mche mstatili ufuatao

 

 

 

 


  1. m3 50400
  2. m3 504
  3. m3 5.04
  4. m3 0.0504
  5. m3 50.4


  1. Shule ya msingi Itera iliuza jumla ya magunia 720 ya machungwa, mtama, mahindi na mchele. Kwa kutumia grafu ifuatayo tafuta idadi ya magunia ya mtama yaliyouzwa.

 

 

 

 


  1. 230
  2. 260
  3. 130
  4. 460
  5. 28


  1. Thamani ya x katika umbo lifuatalo ni:

 

 

 

 

 


  1. 40°
  2. 35°
  3. 30°
  4. 20°
  5. 10°


  1. Tafuta mzigo wa duara lifuatalo: (Tumia  )

 

 

 

 


  1. Sm 616
  2. Sm 176
  3. Sm 88
  4. Sm 44
  5. Sm 28


  1. Majira ya nukta E na F katika mchoro ufuatao ni

 

 

 

 

 

 


  1. E(-5, 1); F(2, -3)
  2. E(-5, -1); F(-2, -3)
  3. E(1, 5); F(-2, -3)
  4. E(1, -5); F(-3, 2)
  5. E(0, -5); F(-3, -2)


  1. Tafuta nusu kipenyo cha mcheduara ufuatao iwapo ujazo wake ni lita 15.4

 

 

 

 


  1. Sm 14
  2. Sm 7
  3. Sm 10
  4. Sm 7.5
  5. Sm 24.5


  1. Tafuta thamani ya x katika umbo lifuatalo

 

 


  1. Sm 2.56
  2. Sm 1.44
  3. Sm 2.0
  4. Sm 4.0
  5. Sm 1.92


  1. Wanafunzi 72 walihudhuria darasani na asilimia 20 hawakuhudhuria. Je darasa hilo lilikuwa na wanafunzi wangapi?


  1. 72
  2. 80
  3. 85
  4. 90
  5. 100


  1. Jonael aliendesha gari lake kutoka kijiji cha Mazoela kuelekea mashariki umbali wa km 40 na kisha kuelekea kusini kijiji cha Matabo umbali wa km 30. Tafuta umbali mfupi kutoka Mazoela hadi Matabo.


  1. Km 10
  2. Km 50
  3. Km 60
  4. Km 70
  5. Km 25


  1. Mapato ya Musa kwa mwezi ni shilingi 164,000. Iwapo hutumia  ya mapato kwa chakula,  ya mapato kwa mavazi,  kwa ada ya watoto na sehemu iliyobaki ni matumizi mengineyo. Je kwa kutumia grafu kwa duara ni nyuzi ngapi hutumika kwa matumizi mengineyo?
  2. Mfanyabiashara alinunua ng’ombe kwa bei ya shilingi 120,000 na akamwuza kwa shilingi 84,000. Kokotoa asilimia ya hasara katika biashara hiyo.
  3. Jeni, Janeti na Juvita walipata fedha. Jeni alipata ¼ ya Janeti na Janeti alipata mara mbili ya Juvita. Je Juvita alipata kiasi gani cha fedha iwapo fedha yote ilikuwa shilingi kumi na nne elf utu?
  4. Furaha alipeleka simu ya kuandika yenye maneno 23. Alilipa shilingi 450 kwa maneno 10 ya mwanzo na kila neno lililoongezeka alilipa shilingi 3.70. tafuta gharama aliyotumia.
  5. Mzee kalilo alikwenda dukani akiwa na shilingi 25,500/= kwa lengo la kununua viatu vifuatavyo

Gauni jozi 2 @ shilingi 3,600/=;

Kanga doti 4@ shilingi 2,400/=;

Viatu jozi 2 @ shilingi 5,200/=;

Kofia ya shilingi 1,250 na miwani ya shilingi 5,250. Je alihitaji shilingi ngapi Zaidi ili aweze kulipia vitu hivyo?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD SIX EXAM SERIES 63

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA DARASA LA SITA

HISABATI

MUDA:1 :30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

Chagua jibu sahihi kutoka yale uliopewa

  1. Ipi kati ya namba zifuatazo ni million nane mia tano themanini na saba mia tisa themanini na sita?(a) 8587986 (b) 80587986 (c) 85086989 (d) 8587989
  2. 902 653 +81152 = (a)893805 (b) 983805 (c) 890538 (d)993805
  3. 6500000 + 3267031 = (a) 9867030 (b) 9786528 (c) 9767031 (d) 9768031
  4. Bohari la elimu lina madaftari 5,256,423 na inatarajia kupokea madaftari mengine 2,491708. Je, bohari jumla litakuwa na madaftari mangapi? (a) 8748321 (b) 7748231 (c) 7848231 (d) 7749231
  5. Jumla ya gombe na mbuzi katika wilaya ni 2,139 500. Ikiwa ng’ombe ni 1,104,563, je wilaya hiyo ina mbuzi wangapi? (a) 2,034937 (b) 3244063 (c) 1033937 (d) 1034937
  6. 287 x 35 = (a) 9945 (b) 10,045 (c) 10,015 (d) 9045
  7. Ikiwa shule ya mramba inatumia lita 63,540 za maji kila mwezi. Je kwa mwaka mmoja shule itatumia lita ngapi? (a) 867865 (b) 675875 (c) 762480 (d) 897645
  8. 0.427 ÷0.07 = (a)6.1 (b) 61 (c) 0.61(d) 610
  9. Kigawo kikubwa cha shirika (K.K.S) Cha 8, 18 na 24 ni: (a) 2 (b) 3 (c) 4(d) 6
  10. Badili namba ya kirumi MCLXVI kuwa katika numerali za kiarabu (a) 1079 (B) 1576 (C) 1176 (d) 1276
  11. 255+ 59 + 3,772 = (a)  4,086 (b) 3,956 (c) 3, 946 (d) 4057
  12. 80,709- 5,987 = 75,822 (b) 74,722 (c) 74,812 (d) 75,922
  13. 7,590 ÷15 = (a) 616 (b) 56 (c) 516 (d) 506
  14. Tafuta zao la namba tasa zilizopo kati ya 1 na 10 (a) 384 (b) 210 (c) 945 (d) 1,890
  15. Rahisisha 3(m-n) + 5n – 7m (a) 4m -2n (b) -4m+2n (c) 2n-4m (d) 3m-3n
  16. Tafuta kigawo kikubwa cha shirika(K.K.S) 12, 24 na 36. (a) 6 (b) 12 (c) 24 ( d) 36
  17. Tafuta kigawo kidogo cha shirika (K.D.S) Cha 6, 9, na 12 (a) 3 (b) 36 (c) 12 (d) 72
  18. Kokotoa thamana ya; 12-(-24)+(-9) x4= (a) 0 (b) -48 (c) 72 (d) 108
  19. 33/5 + 12/3 = (a) 46/15 (b) 45/8 (c) 53/15 (d) 5 4/15
  20. Badili namba ya kirumi CMXCIX kuwa namba ya kawaida (a) 9,999 (b) 99 (c) 999 (d) 99,999
  21. Badili 17/20 kuwa asilimia (a) 65 (b) 95 (c) 85 (d) 75
  22. Badili 32% kuwa decimali (a) 3.2 (b) 32 (c) 0.32 (d) 0.032
  23. 0.456 + 270.975 = (a) 272.432 (b) 271.431 (c) 261.432 (d) 272.321
  24. 27.321 x 33 = (a) 90.15 (b) 901.593 (c) 901593 (d) 9015.93
  25. Ipi kati ya namba 43, 47,51, 53 na 59 sio namba tasa (a) 47 (b) 51 (c) 53 (d) 43
  26. Badili 21/2% kuwa desimali (a) 2.5 (b) 0.25 (c) 0.125 (d) 0.025
  27. Tafuta eneo la mstatili lifuatalo;

  1. Sm2 2(b) sm2 8 (c) sm36 (d) sm2 80
  1. Tafuta eneo lililotiwa kivuli iwapo duara lililochorwa ndani ya mraba lina usukipenyo cha sm 7. Tumia pai= 22/7

(a) sm2 154 (b) sm2 42(c) sm2 32 (d) sm2196

  1. Eneo la pembetatu fuatayo ni sm2 66. Tafuta thamani ya x.

(a) 3 (b) 8 (c) 11 (d) 12

  1. Tafuta eneo la umbo lifuatalo

(a) sm2 144 (b) sm2 124 (c) sm2 120 (d) sm2 64

  1. Tafuta ukubwa wa umbo lifuatalo

(a) sm3 192  (b) sm3 224 (c)  sm3 128  (d) sm3 256 (e) sm3 64.

  1. Tafuta thamani ya x katika umbo lifuatalo:
     

(a) 10 0 (b) 15 0 (c) 20 0 (c) 30 0

  1. Tafuta thamani ya pembe x katika umbe lifuatalo:
     

(a) 10°  (b) 20° (c)  22°   (d) 24°

  1. Tafuta ujazo wa umbo lifuatalo (Tumia pai= 22/7)

(a) sm3 660 (b) sm31,320 (c) sm3 3,520 (b) sin 4,620

  1. Je, jina la umbo lifuatalo ni  

(a) mstatili  (b) mraba (c) pembe tatu  (d)duara 

  1. Shule ya Msingi Majengo Ina wanafunzi 690. Iwapo  2/3 ya wanafunzi walifaulu vyema katika Jaribio la Hisabati, ni  wanafunzi wangapi ambao hawakufaulu?

(a) 230  (b) 330 (c) 450  (d) 460

  1. Mashine ya kutoa nakala inatoa nakala 20 za karatasi kwa sekunde 40. Je, itatoa nakala ngapi kwa saa? (a)  60  (b) 90 (c) 800  (d) 1,800
  2. Wanafunzi 72 walihudhuria darasa na asilimia 20 hawakuhudhuria. Je darasa hilo lina wanafunzi wangapi? (a) 72 (b) 80 (c) 85 (d) 90
  3. Bei ya pikipiki iliongezwa kutoka shs.3,000,000 hadi 4,500,000. Je ongezeko hilo ni asilimia ngapi? (a) 33.3% (b) 30% (c) 25% (d) 50%
  4. Andika saa 1815 katika mtindo wa saa 12 (a) 12.15 jioni (b) 8.15 usiku (c) 6.15 alasiri (d) 12.15 asubuhi.

Katika swali la 41-45 tafuta jibu sahihi

 

  1. Tafuta kizio ikiwa faida inayopatikana kwa mwaka mmoja ni sh 3,000 na kiasi cha riba kwa mwaka ni 5%
  2. Juma alikwenda na shs 7,000 akanunua vitu vifuatavyo;
  • Nyama kg 21/2 @shs.800
  • Viazi kg 5 @shs.600/=
  • Pilipili hoho kg ½ @shs.480
  • Ndizi 20 @shs50/-

Je alibakiwa na kiasi gani baada ya kununua vitu vyote hivyo?

  1. Uwiano wa Y na Z ni sawa na uwiano wa 17 na 19. Tafuta thamani ya Y iwapo Z =133
  2. Basi lilianza safari ya kwenda iringa saa 1630 na kufika kesho yake saa 0630. Je basi hilo lilitumia muda gani kwa safari nzima?
  3. Ujazo wa kopo ni lita 3.85. Tafuta nusu kipenyo chake iwapo kimo ni sm100?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD SIX EXAM SERIES 55

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SITA

HISABATI

 

   NO 

SWALI

 KAZI

   JIBU

  1.  

Jumulisha, 5698+ 1968

 

 

  1.  

Toa, 9875 kwa 12432

 

 

  1.  

Zidisha, 158 x 27

 

 

  1.  

Ikiwa machungwa 4832 yatagawanywa kwa watoto 24, kila mmoja atapata mangapi?

 

 

  1.  

35/6 + 21/2

 

 

  1.  

81/3 – 21/2

 

 

  1.  

3/5 x 33/10

 

 

  1.  

33/5x10/27

 

 

  1.  

102.14 + 11.76 =

 

 

  1.  

8.78 -12.5 =

 

 

  1.  

5.84 x 2.4

 

 

  1.  

badilisha 0.8 kuwa sehemu

 

 

  1.  

Badilisha 4/25 kuwa asilimia

 

 

  1.  

Andika 14/5 katika desimali

 

 

  1.  

Tafuta K.D.S ya 36, 48, 60

 

 

  1.  

Tafuta K.K.S cha 24, 32, 48

 

 

  1.  

Rahisisha, +8+-3 kwa kutumia mstari nambari

 

 

  1.  

Tafuta eneo

 

 

  1.  

Tafuta y,

2y-7=5y-16

 

 

  1.  

Tafuta jumla ya namba tasa kati ya 81 na 98

 

 

  1.  

Andika 356 kwa kirumi

 

 

  1.  

Tafuta jumla ya namba shufi kati ya 11 na 19

 

 

  1.  

Andika namba inayofuata

3,9,15,21,......

 

 

  1.  

Rahisisha, 6(2+a)+4(3+5a)

 

 

  1.  

Jumlisha

saa                 dakika                 sekunde

4                     37                       41

3                     59                       18

 

 

  1.  

64x2y÷8x3y

 

 

  1.  

+52+-21=

 

 

  1.  

10x + 28 = 48, tafuta dhamani ya x

 

 

  1.  

Andika kwa maneno, 85,537

 

 

  1.  

2y-7=5y-16

 

 

  1.  

21/2p +3 =2

 

 

  1.  

Rahisisha, 3x-4 =11

 

 

  1.  

Tafuta mzingo wa umbo hili

 

 

  1.  

Tafuta dhamana ya b

 

 

  1.  

Tafuta mzingo wa umbo hili

 

 

  1.  

Tafuta mzingo

 

 

  1.  

Tafuta eneo

 

 

  1.  

Tafuta eneo la mraba

 

 

  1.  

Andika saa tano na dakika arobaini asubuhi katika mfumo wa saa ishirini na nne

 

 

  1.  

Tafuta eneo la umbo lifuatalo

 

 

  1.  

Tafuta eneo

 

 

  1.  

Tafuta eneo, pai ni 22/7

 

 

  1.  

Tafuta kipeuo cha 25

 

 

  1.  

Tafuta eneo la umbo hili

 

 

  1.  

Juma alinunua vitu vifuatavyo;

Vifutio 72 @15/=

Mita 3 za kitambaa kwa @600/=

Pea sita za soksi kwa @175/=

Suruari moja @3750/=

Kama alikuwa na shilingi 8000/= je alibaki na kiasi gani?

 

 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZHISABATI STANDARD SIX EXAM SERIES 35

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256