?>
JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026
SANAA NA MICHEZO - DARASA LA III
MUDA SAA 1:30
1. SEHEMU A CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI KISHA UIANDIKE KATIKA KISANDUKU
1. Chagua herufi ya jibu sahihi na kisha andika katika kisanduku
i. Kundi la waigizaji walifanya maonyesho, wanafunzi walikwenda kuangalia, je, Kundi la watu wanaotazama hujulikana kama?
ii. Darasa la tatu wamefundishwa kitendo cha kufuatisha kitu au jambo la wengine, je, Kitendo hiki huitwa nini?
iii. Je, Ni kundi ganii kati ya yafuatayo linawakilisha ala za muziki za kupuliza?
iv. Sanaa ya kutengeneza vitu kwa kutumia udongo wa mfinyanzi huitwa ____
v. Zifuatazo ni faida za kufanya mazoezi ya mwili ISIPOKUWA __________
2. Oanisha kifungu A na B ili kupata maana kamili
| KIFUNGU A | MAJIBU | KIFUNGU B |
| i. Ngoma |
| A: Nguo wanazovaa waigizaji B: Watu wanaoangalia maonyesho C: Kifaa cha kuchorea D: Ala za muziki za kugonga E: Ala za muziki za nyuzi F: Mtu anayeigiza G: Mahali pa kuigizia |
| ii. Mavazi ya kuigizia |
| |
| iii. Muigizaji |
| |
| iv. Hadhira |
| |
| v. Penseli |
|
3. Chagua jibu sahihi katka mabano
i. Viumbe hai hutumia _______________________ kuwasiliana (sauti, mawingu, hewa)
ii. Sauti ya ng’ombe ni __________________ ( moooo, nyauuu, meeeee)
iii. _________________ni mfano wa viumbe visivyo hai ambavyo hutoa sauti. (pikipiki. Miti, binadamu)
iv. _______________________ni mfano wa viumbe hai ambavyo hutoa sauti. (maji, upepo, jogoo)
v. Mbwa hutoa sauti kwa kufanya nini?______________________________ (kulia, kubweka, kucheka)
4. jaza nafasi zilizoachwa wazi
i. Taja aina ya udongo unaohitajika wakati wa kufinyanga vitu ___________________________
ii. Kifaa kinachotumika kuondoa vipande vya mawe na uchafu wakati wa kuandaa udongo wa mfinyanzi huitwa? _____________________
iii. Mimi ni mahali ambapo kazi ya Sanaa hufanyika, je, Mimi ni nani? _____________________________
iv. Wanafunzi wa darasa la nne waliimba wimbo wa taifa kwa sauti ya kwanza pekee, aina ya uimbaji huu huitwa ________________________________
v. Hamisi anafanya kazi ya kutengeneza vyungu, je, Utaitaje shughuli ya kutengeneza vitu kwa kutumia udongo? ___________________________
5. Angalia picha ifuatayo kisha jibu maswali uliyoulizwa
![]() |
i. Wanafunzi wanafanya nini katika picha hapo juu? ____________________________________
ii. Kundi la waimbaji huitwaje? ______________________________
iii. Kuzalisha sauti za muziki kwa kutumia sauti huitwa __________________________________
iv. Ala gani ya muziki ya kupuliza imeonekana katika picha hiyo? _______________________________________
v. Taja ala moja ya muziki ya kuvuta nyuzi inayoonekana katika picha __________________________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZMICHEZO STANDARD THREE EXAM SERIES 152
JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026
SANAA NA MICHEZO DARASA LA III
MAELEKEZO:
SEHEMU A:
1. Kuchagua herufi ya jibu sahihi
i. ______________ ni mchezo unaochezwa kwa kutumia mikono
ii. Rede,kukimbia na chupa kichwani,bao,kukimbia na yai kwenye kijiko , zote kwa pamoja huitwa?_________
iii. Baadhi ya jamii watu hutumia sanaa kuzalisha vitu kwa kutumia udongo wa mfinyanzi. Hii hujulikana kama?
iv. Uigizaji unajumuisha vipengele vine muhimu. Ipi kati ya vifuatavyo sipo moja wapo ya vipengele hivyo?
v. Kama Watoto watano wanacheza mchezo wa kugombania kiti. Je ni viti vingapi vinatakiwa viwepo?
2. Oanisha sentensi za kifung A na jibu sahihi kutoka kifungu B kisha Andika jibu katika nafasi Uliyopewa
| KIFUNGU A | MAJIBU | KIFUNGU B |
| i. Ala za kupuliza |
| |
| ii. Ala za kugonga | ||
| iii. Ala za nyuzi | ||
| iv. Ala za kutikisa | ||
| v. Kitu halisi |
3. Andika KWELI au SI KWELI
i. Picha ni kitu halisi kinachoweza kuchorwa_______________
ii. Ni vigumu kuigiza sauti ya viumbe visivyo hai_______________
iii. Uimbaji ni utoaji wa sauti ya kimuziki kwa kutumia sauti___________
iv. Wakati tunaimba wimbo wa Taifa hatusimami wima_______________
v. Kila ala ya muziki ina sauti yake______________
4. Jaza nafasi zilizoachwa wazi
i. Kifaa kinachotumika kutoa sauti na kufanya muziki uvutie kinaitwa?________________
ii. Tunachora picha kwa kutumia kifaa kinachoitwa?_______________
iii. Rede huchezwa na wachezaji wangapi?_______________________
iv. Udongo unaotumika kutengeneza vitu mbalimbali huitwa?______________
v. __________________ ni kitendo cha kufuatisha jambo la mtu mwingine
5. Panga hatua zifuatazo za uchoraji picha kwa kutumia penseli katika mpangilio sahihi kwa kuzipa herufi A,B,C,D, na E
i. Koleza mistari ya picha kwa usahihi wa ujumbe na mwonekano wa maumbo _________
ii. Anza kuchora picha ya vitu unavyotaka kuvichora kwa kutumia mistari miepesi _________
iii. Rekebisha sehemu ambayo umekosea kwa kutumia kifutio _________
iv. Andaa karatasi na penseli ya kuchorea _________
v. Chagua vitu unavyotaka kuvichora _________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZMICHEZO STANDARD THREE EXAM SERIES 151
JAMIHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MTAA
MTIHANI WA MUHULA WA MWEZI MEI 2026
SANAA NA MICHEZO DARASA LA III
MUDA: SAA 1: 30
MAELEKEZO:
SEHEMU A:
1. Kuchagua herufi ya jibu sahihi
i. ______________ ni mchezo unaochezwa kwa kutumia mikono
ii. Rede,kukimbia na chupa kichwani,bao,kukimbia na yai kwenye kijiko , zote kwa pamoja huitwa?_________
iii. Baadhi ya jamii watu hutumia sanaa kuzalisha vitu kwa kutumia udongo wa mfinyanzi. Hii hujulikana kama?
iv. Uigizaji unajumuisha vipengele vine muhimu. Ipi kati ya vifuatavyo sipo moja wapo ya vipengele hivyo?
v. Kama Watoto watano wanacheza mchezo wa kugombania kiti. Je ni viti vingapi vinatakiwa viwepo?
2. Oanisha sentensi za kifung A na jibu sahihi kutoka kifungu B kisha Andika jibu katika nafasi Uliyopewa
| KIFUNGU A | MAJIBU | KIFUNGU B |
| i. Ala za kupuliza |
| |
| ii. Ala za kugonga | ||
| iii. Ala za nyuzi | ||
| iv. Ala za kutikisa | ||
| v. Kitu halisi |
3. Andika KWELI au SI KWELI
i. Picha ni kitu halisi kinachoweza kuchorwa_______________
ii. Ni vigumu kuigiza sauti ya viumbe visivyo hai_______________
iii. Uimbaji ni utoaji wa sauti ya kimuziki kwa kutumia sauti___________
iv. Wakati tunaimba wimbo wa Taifa hatusimami wima_______________
v. Kila ala ya muziki ina sauti yake______________
4. Jaza nafasi zilizoachwa wazi
i. Kifaa kinachotumika kutoa sauti na kufanya muziki uvutie kinaitwa?________________
ii. Tunachora picha kwa kutumia kifaa kinachoitwa?_______________
iii. Rede huchezwa na wachezaji wangapi?_______________________
iv. Udongo unaotumika kutengeneza vitu mbalimbali huitwa?______________
v. __________________ ni kitendo cha kufuatisha jambo la mtu mwingine
5. Panga hatua zifuatazo za uchoraji picha kwa kutumia penseli katika mpangilio sahihi kwa kuzipa herufi A,B,C,D, na E
i. Koleza mistari ya picha kwa usahihi wa ujumbe na mwonekano wa maumbo _________
ii. Anza kuchora picha ya vitu unavyotaka kuvichora kwa kutumia mistari miepesi _________
iii. Rekebisha sehemu ambayo umekosea kwa kutumia kifutio _________
iv. Andaa karatasi na penseli ya kuchorea _________
v. Chagua vitu unavyotaka kuvichora _________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZMICHEZO STANDARD THREE EXAM SERIES 150
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA PILI
SOMO: SANAA NA MICHEZO DARASA: TATU
MUDA: SAA 1:30
JINA: ____________________________________ TAREHE: ______________
SEHEMU A: Chagua herufi ya jibu sahihi
1.(i)Kitendo cha kufuatishakitu au jambo la mtumwingineni___________ [ ]
(a)kucheza (b)kuigiza (c)kupika
(ii)Uigizaji una sifakuu ngapi? [ ]
(a) Moja (b) mbili (c) nne
(iii) _______________ni mtu mwenye ustadi wakazi ya sanaa [ ]
(a) Msanii [b] Mfinyanzi [c] Mwalimu
(iv)Tarumbeta ni mfano wa alaya____________ [ ]
(a) Kupuliza (b) Kuvuta (c) Kubonyeza
(v) Ujumbe uliokusudiwa katika kazi ya sanahujulikanakama ________ [ ]
(a)Ngonjera(b) kichekesho(c) dhamira
2. SEHEMU : Chagua maneno kutoka kwenye kisandu kumalizia sentensi hapa chini
| Gitaa, Kuburudisha, Jiwe, Ngombe,Tarumbeta, Fanani,Ala za mziki |
3. SEHEMU C: Oanisha fungu A nafungu B iliupate maana sahihi
| FUNGU A | JIBU | FUNGU B |
| (i)Sanaa Inayofikisha ujumbe kwakujisifia | [ ] |
|
| (ii)Mahali pa kuigizia | [ ] | |
| (iii) Kutamka maneno katika hali ya kuimba | [ ] | |
| (iv) Gitaa, kinubi; litungu, zeze | [ ] | |
| (v) kuvuta hewa na kutunza kwa kisha kuitoa | [ ] |
4:SEHEMU D: jaza nafasi zilizo wazi
5.SEHEMU E: Soma kifungu cha habari kisha jibu maswali
Mazoezi yaviungo ni muhimu katika makuzi na maendeleo ya mtoto. Mazoezi yaviungo humarisha afya ya mwili na kuboresha stadi za uchezaji. Yapo mazoezi ya wepesi na kujisawazisha. Mazoezi ya viungo hufanyika kwa mitindo mbalimbali. Mfano: kukimbia, kuruka na kusimama kwamguu mmoja. Mazoezi huweza kufanywa na mtu mmoja au katika vikundi.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZMICHEZO STANDARD THREE EXAM SERIES 136
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA PILI
SOMO: SANAA NA MICHEZO DARASA: TATU
MUDA: SAA 1:00 SEHEMU
1. Chagua herufi ya jibu sahihi kasha iandike katika kisanduku
i. Ni kifaa kipi hutumika kwenye mchezo wa rede?
ii. Nini faida ya uigizaji katika jamii yetu?
iii. Kitendo cha kufuatisha kitu au jambo la mwingine huitwa ____.
iv. ___ ni ujumbe unaokusudiwa katika kazi ya sanaa.
v. Mtu mwenye ustadi wa kazi ya sanaa huitwa____.
SEHEMU B:
2. Oanisha Sehemu A na Sehemu B ili kuleta maana sahihi.
| NA. | SEHEMU A | MAJIBU | SEHEMU B |
| i. | Watazamaji wa sanaa za maonesho | [ ] | A. Nyimbo |
| ii. | Kwaya ya muziki ya bongo fleva | [ ] | B. Igizo |
| iii. | Mtu mwenye ustadi wa kazi ya sanaa | [ ] | C. Maleba |
| iv. | Onesho linalofanyika wakati wa kuigiza | [ ] | D. Hadhira |
| v. | Mavazi yanayovaliwa wakati wa kuigiza | [ ] | E. Msanii |
SEHEMU C:
3. Chagua neno sahihi kutoka katika jedwali kisha jaza nafasi wazi.
| Ala, wawili, penseli, watatu, kugonga, chungu, kupuliza. |
i. Mchezo wa bao huchezwa na watu wangapi? _______________________.
ii. Kifaa kinachotumika katika muziki huitwa ______________________.
iii. Tarumbeta ni ala ya muziki ya _____________________.
iv. Kifaa kinachotumika katika sanaa ya uchoraji ni __________________.
v. Kifaa kinachotokana na sanaa ya ufinyanzi ni ___________________.
SEHEMU C:
4. Tumia sanaa ya uchoraji kuchora vitu vifuatavyo kwa usahihi.
| NA. | JINA LA PICHA | UMBO LA PICHA |
| i. | Ngoma | |
| ii. | Kiti | |
| iii. | Nyumba | |
| iv. | Meza | |
| V. | Kikombe | |
SEHEMU D.
5. Chunguza picha kwa makini kisha jibu maswali yanayofuata;

Maswali
i. Kifaa kinachooneshwa kwa herufi A huitwa ____________________.
ii. Kikombe kimeoneshwa kwa herufi gani _______________________.
iii. Udongo gani hutumika katika ufinyanzi? ________________________.
iv. Shughuli ipi hupelekea uzalishaji wa vifaa vinavyoonekana katika picha? __________________________.
v. Herufi B inaonesha kifaa gani kilichotengenezwa? ___________________.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZMICHEZO STANDARD THREE EXAM SERIES 113