?>
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SABA
MAARIFA YA JAMII
MUDA:1:30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEZO
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi
Chagua jibu sahihi kuanzia swali la 1-40, kisha andika kwenye nafasi zilizo wazi
Soma kwa makini Ramani ifuatayo; kisha jibu maswali yafuatayo;
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 51
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SABA
SAYANSI NA TECHNOLOJIA
MUDA:1:30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEZO
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi
Chagua Jibu sahihi kuanzia swali la 1-40 kisha andika jibu katika nafasi uliyopewa.
Kielelezo
Kifaa katika Kielelezo Namba 2 hutumia tabia ipi ya mwanga?..............(a) Kuakisiwa (b) Mpitisho (c) Mwachano(d) Mgeuzo (e)Mtawanyiko
37. Kielelezo Namba 3 kinaonyesha mfano wa mashine rahisi. Ipi nafasi ya egemeo mashine inapofanya kazi?
Kielelezo
(a) K (b) I (c) J (d) H (e) N
38.Asilimia kubwa ya uso wa dunia imefunikwa kwa maji. Sehemu kubwa ya maji haya hupatikana kwenye (a) bahari (b) Mito (c) maziwa (d) mabwawa (e) madimbwi
39. Mmea uliochorwa katika kielelezo Namba 2 una sifa ya kuishi wapi?
Kielelezo Na. 2
(a) Kwenye misitu minene (b) Majini (c) Kwenye majani marefu (d) Jangwani (e) Milimani
40. Chunguza kielelezo Namba 4 kisha jibu swab linalofuata
Kielelezo 4
Ikiwa umeme unaopita katika sakiti hiyo ampi 5, kiasi cha ukinzani (R) wa waya katika sakiti hiyo ni omu (a) 100 (b) 50 (c) 10 (d) 4 (e) 0.4
Chunguza picha hapo chini kisha jibu maswali yafuatayo;
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 50
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SABA
URAIA NA MAADILI
MUDA:1:30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEZO
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi
Chagua Jibu sahihi katika swali la 1-40. Kisha andika jibu lake atika nafasi uliopewa
Jibu maswali yafuatayo kwa umakini.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN URAIA EXAM SERIES 49
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’ S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT
TERMINAL EXAMINATIONS
ENGLISH LANGUAGE
STANDARD SEVEN
Time1:30 Hours
Pupil’s Name............................................................
INSTRUCTIONS
SECTION A: GRAMMAR
CHOOSE THE CORRECT ANSWER
1. Mr Andrew, the headmaster ___________ a newspaper now.
(A) Will read (B)is reading (C)reading (D)reads
2. The women ____________ to the market every Saturday
(A) Are going (B)going (C)goes (D)meet
3. When Subira was going to school she ___________________
(A) was meeting (B)was met (C)met (D)meet
4. Elvis ________________ the question which the teacher wrote on the blackboard.
(A) have answered (B)answering (C)answered (D)answers
5. Did you ___________ your bag yesterday. (A)took (B)tooked (C)take (D)takes
6. Mosquitoes _________ malaria. (A)carries (B)carry (C)carried (D)has carried
7. Children always __________ playing (A)like (B)likes (C)are liking (D)disliking
8. Jane likes telling ______________ (A)lies (B)lie (C)laying (D)lied
9. The pupils have _____ football since morning. (A)played (B)been playing (C)was playing (D)been played
10. My brother ____________ potatoes every year in his garden. (A)grown (B)grew (C)grows (D)growing
11. Did the pupils _______their homework last night? (A)are finishing (B)finished (C)is finished (D)finish
12. The cow is healthy because it _________ good food. (A)eat (B)eating (C)eats (D)eaten
13. The teachers usually _______________ to school at seven O’clock every day. (A)comes (B)are coming (C)come (D)came
14. The football matches _______ before we arrived at the playground (A)had start (B)started (C)had starting (D)had started
15. The women always __________ to the gymnasium every weekend. (A)go (B)goes (C)went (D)going
16. Snails normally ___________ slowly. (A)walk (B)walks (C)walking (D)was walked
17.I meet Susan ___________ her new bicycle yesterday. (A)Ride (B)Rode (C)riding (D)was riding
18. The boy _____________ in Dar es Salaam for three years. (A)Has been living (B)have been living (C)has been leaving (D)have been leaving
19. The girls __________ in the garden now. (A)is working (B)are working (C)working (D)words
20. The poor man _______ ten thousand shillings by the president (A)was giving
(B) was given (C)giving (D)gave
21. Maria was cooking bananas when her brother (A)Arrive (B)arriving (C)comes (D)is coming
22. The girls __________ their books to the library already; (A)has taken (B)will take
(C) Shall taken (D)have taken
23. Every year, Tanzania ___________ a lot of visitors from different countries all over the world.
(A)Receive (B) receives (C)receiving (D)received
24.___________ Halima clean her teeth every day? (A)DO (B)Does (C)is (D)has
25. The lazy pupils __________ their homework. (A)have not did (B)has not done
(C) have not do (D)have not done.
26. The pupils __________ their books at the moment. (A)read (B)reads (C)reading (D)is reading
27. I prefer athletics _______ wrestling. (A)than (B)for (C)to (D)with
28. Our teacher has been __________ us for seven years. (A)Taught (B)teaches (C)teaching (D)is teaching
29. Tanzania is ________ the East Africa countries. (A)Either (B)among (C)between (D)at
30. The river flows _________ the two mountains. (A)Along (B)Among (C)between (D)in
SECTION B. VOCABULARY
31. The daughter of your aunt is your _____ (A) sister (B)nephew (C)niece (D)cousin
32. A bird flies, a person walks, a snake glides and a cow. (A)wanders, (B)wonders (C)wander (D)wonder
33. Mr Mpunda tests eye sight and sells spectacles, so he is called _________
(A) a doctor (B)detective (C)optician (D)chemist
34.The father of you father is your _________ (A)grandson (B)grandfather (C)in law (D)grand child
35. A young pig is called __________(A)piglet (B)calf (C)lamb (D)sow
36. Mr Jumbe is a dentist. He works in a _______ (A)court (B)Hospital (C) Farm (D)office
37. Orchid, rose, daisy and hibiscus can be classified under ___________ (A)Beverages (B)food (C)gardener (D)flowers
38. Mukasa is a citizen of Uganda. He is _______ (A)ugandan (B)Uganda (C)ugandese (D)Ugandan
39. He does not eat meat or fish. He is a __________(A)veteran (B)veterinary (C)vegetarian (D)vegetation
40. Another Meaning for the word “purchaser” is _________ (A)sell (B)buy (C)selling (D)exchange
SECTION C. COMPOSITION
This section has four mixed sentences. Arrange the sentences in a meaningful sequence to make a good composition by assigning them letters A-D
41. She was attacked by a crocodile and died immediately
42. She jumped into the pool without reading the caution sign written, “crocodiles inside”
43. It was a hot sunny day and what Mary wanted was some water to cool herself
44. She then saw a pool of water a cross the road
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 48
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA TATHMINI DARASA LA VII JULAI 2021
KISWAHILI
Muda: saa 1 : 30
MAELEKEZO:
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
SEHEMU A:
SIKILIZA KWA MAKINI HADITHI UTAKAY-OSOMEWA NA MSIMAMIZI.KISHA JIBU SWALI LA 1 – 5
HADITHI
Hapo zamani za kale palikuwa na kijiji kiitwacho Faru. Faru ni kijiji kilichokuwa karibu na msitu mkubwa wenye wanyama wakali. Wanakijiji wa Faru waliishi maisha ya raha sana. Kiongozi wao aliitwa Adabu, alikuwa kiongozi shupavu na mzalendo. Wanakijiji walimpenda kwa sababu alikuwa anajitoa kwa ajili ya kijiji chake, alipenda haki na alipigania maendeleo ya kijiji chake.
Siku moja Adabu akiwa nyumbani kwake alisikia kelele nje ya nyumba yake. Alipotoka nje aliona kundi kubwa la wanakijiji wameshikilia silaha mbalimbali kama vile rungu, sime na magongo, hakujua ni ya kazi gani? Akauliza kwa shauku “kuna nini?” Mzee Funzi akajibu kwa hofu “tumevamiwa! tumevamiwa! na simba. “Simba?” Adabu aliuliza huku akikimbia kurudi ndani, akatoka na mshale. Punde si punde ilisikika ngurumo nyuma ya nyumba yake.
Adabu akawaambia “Msiogope” kisha akawagawa katika makundi mawili ili kumzunguka na kumshambulia simba. Baada ya kukuru kakara za muda mrefu wanakijiji walifanikiwa kumuua simba. “Ama kweli jifya moja haliinjiki chungu,” alisikika akisema kijana mmoja. Wanakijiji waliondoka kwa furaha na kila mmoja alirudi nyumbani. Mpaka sasa wanakijiji wa Faru wanaishi kwa amani na ushirikiano.
1. Adabu alikuwa Kiongozi mwenye tabia gani kati ya zifuatazo? ________
2. Kwa nini Adabu alipendwa na Wanakijiji? ______________
3. Nani alipiga kelele akisema tumevamiwa na simba? ____
4. Kwa nini Adabu aliwagawa wanakijiji katika makundi mawili? _______
5. Je unapata funzo gani kutokana na hadithi uliyoisikiliza? ________
6. Mtu asiyepokea ushauri wa wengine huishia kuharibikiwa katika maisha. Ni methali ipi kati ya zifuatazo itafaa kufikisha ujumbe huu? _______
7. “Mama alimwagiza Chitemo, “Nenda ukanunue mboga za majani.” Sentensi hii ipo katika kauli ipi kati ya zifuatazo? __
8. Katika maneno yafuatayo neno lipi halilandanina mengine? ________________________
9. “Akibeba watoto hawezi kuwashusha.” Maana ya kitendawili hiki ni sawa na kitendawili kipi kati ya hivi? _____
10. Tumemsikia Nadi akisema, “Mimi huwa ninapenda kusoma jioni.” Sentensi ipi kati ya zifuatazo inatoa taarifa ya alichokisema Nadi? ____
11. Migodela alipopata taarifa ya msiba,alirudi nyumbani na kukuta msiba umekwisha. Ni nahau gani inaweza kutumika kueleza hali hiyo kati ya hizi? ______________
12. Katika sentensi “Shangazi alimwambia kuwa atakapopata nauli atakuja kijijini”, mzungumzaji ametumia nafsi gani kati ya hizi? ________________________
13. Selule ni kijana mchapakazi hodari aliyelima bustani kubwa ya mboga za majani kisha kuuza na kujipatia fedha za kutosha. Ni methali ipi kati ya hizi inafaa kuelezea hali hii? _____________________
14. Babu alisema “Kilimo ni uti wa mgongowa taifa letu.” Je babu alimaanisha nini kati ya yafuatayo? _____________
15. “Afadhali jirani mchawi _________.” Ni kifungu kipi kati ya vifuatavyo kinakamilisha methali hii kwa usahihi?
16. “Nyafu alipotoka kazini alianza kukata maji hadi usiku wa manane.” Je Nyafu alifanya nini kati ya mambo yafuatayo? __
17. Pembua ana tabia ya kumwaga chakula kinachobaki baada ya kushiba. Je utatumia methali ipi kati ya zifuatazo kumshauri Pembua aache tabia hiyo? _______________
18. Baba yangu ni “MHADHIRI” wa Chuo Kikuu cha Dodoma. Je, Baba yangu anafanya kazi gani kati ya hizi zifuatazo? _____
19. Alaa! Kumbe umekuja kwangu leo? Katika sentensi hii neno lililotumika kama kihisishi ni lipi kati ya yafuatayo? _
20. “Kabwela amefiwa na wazazi wake wote wawili.” Je, Kabwela atakuwa na sifa ipi kati ya zifuatazo? ___
21. “Mjomba alikwenda kumuona bibi kijijini.” Ni neno lipi kati ya yafuatayo limetumika kama kielezi katika sentensi hii? ____
22. “Ninakwenda sokoni.”Sentensi hii ipo katika kauli gani kati ya zifuatazo? ________________________________
23. Wingi wa sentensi “nimeamua kusoma kwa bidii” ni upi kati ya sentensi zifuatazo? _____
24. Methali ipi hutumika kumuonya mtu asiyesikiliza ushauri wa wakubwa? _____
25. Kukiwa kuna shida ndogo itatuliwe mapema kabla haijawa kubwa. Methali ipi inahusiana na kifungu hicho cha maneno kati ya hizi? ________________________________
26. Mashaka ni mtu asiyependa kutunza vitu kwa manufaa ya baadaye. Ni methali ipi kati ya zifuatazo itamsaidia kubadili mwenendo wake? __________________________
27. Jogoo washamba ______ Kifungu kipi cha maneno kinaka-milisha kwa usahihi methali hiyo?
28. Bute anapenda kudadisi sana ili kuelewa jambo. Methali ipi kati ya zifuatazo inaelezea umuhimu wa tabia ya Bute? _______________________
29. “Bandu bandu humaliza gogo.” Methali ipi kati ya zifuatazo inafanana na hii? __________
30. Mwalimu Kaze aliwapa wanafunzi wake maswali ya chemshabongo. Nahau “chemshabongo” kama ilivyotumika katika sentensi hii ina maana gani kati ya zifuatazo? ____
31. Uongozi wa mtaa ulivalia njuga tatizo la uporaji. Nahau “valia njuga” kamailivyotumika katika sentensi hii ina maana gani? _____________
32. Mama alipanga vyombo kabatini. Kinyume cha neno “panga” ni lipi kati ya yafuatayo? __________
33. Babu yangu analima mashamba kwa ustadi. Nomino ipi inatokana na kubadilishwa kwa kitenzi “lima”? ________
34. Neno linalotokana nakudondosha silabi moja katika neno “sabuni” ni lipi kati ya yafuatayo? ___________________
35. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aling’atuka madarakani. Katika sentensi hii, kisawe cha neno “NG’ATUKA” ni kipi kati ya vifuatavyo? _____
SEHEMU B: KWA KUTUMIA MANENO YALIYOMO KWENYE KISANDUKU KAMILISHA BARUA IFUATAYO KWAKUJIBU SWALI LA 36 – 40
Baraka Kazingumu, M. Tumaini, Nakutakia utekelezaji mwema, S. L. P 21, YAH. KUPANDISHWA CHEO NA KUBADULISHIWA MAJUKUMU |
36.__________
Nachingwea.
04.10.2020
37._________________________
Shule ya Msingi Kisovu,
S. L. P 41,
Namtumbo.
Ndugu,
38._______________________________
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Napenda kukujulisha kuwa kutokana na utendaji kazi wako mzuri umepandishwa cheo kutoka Mwalimu wa Michezo kuwa Afisa Utamaduni na Michezo wa Wilaya ya Kwetu kuzuri. Hivyo, unatakiwa kuhamia Makao Makuu ya Wilaya punde upatapo barua hii na utawajibika kwa nafasi hiyo.
39._________________________
40._________________________
Masumbuko Tumaini
Mkurugenzi
SEHEMU C: UFAHAMU SOMA KWA MAKINI HABARI IFUATAYO KISHA JIBU SWALI 41 - 45
Kachiku ni kijana mwenye tabia nzuri anayeishi na wazazi wake katika mtaa wa Kibaoni. Alibahatika kuzaliwa peke yake katika familia ya kitajiri. Wazazi wake walimpenda na kumdekeza sana, walimsomesha katika shule nzuri yenye gharama kubwa kwa lengo la kupata elimu bora.
Tabia ya Kachiku ilianza kubadilika kutokana na kuambatana na makundi mabaya shuleni. Kachiku alitumia muda mwingi sana kuzurura mitaani na vijiweni badala ya kusoma. Aliamini kwamba utajiri wa wazazi wake ni nguzo katika maisha yake, akasahau kwamba; “mtegemea cha nduguye hufa maskini. ”Hatimaye, tabia ya Kachiku ikakithiri akaanza kulewa na kuvuta sigara. Unywaji wapombe ulipomkolea akaanza kukwapua vitu vidogovidogo nyumbani kwao ili apate fedha ya kukata maji. Aidha, alikuwa akirudi nyumbani akiwa amelewa chakari. Tabia hiyo haikuwafurahisha wazazi wake. Walijitahidi kumkanyana kumweleza madhara yake lakini alikaidi kama ilivyo ada “sikio la kufa halisikii dawa.”Hakupenda kuwasikiliza wazazi wake na aliona kama wanampotezea muda.
Kadiri siku zilivyozidi kwenda ndivyo tabia ya Kachiku ilivyozidi kuwa mbaya. Akaanza kuvunja nyumba za watu na kuiba mali zao. Siku moja, Kachiku na wenzake walikwenda kuiba duka la jirani yao. Kwa bahati walikamatwa na askari aliyekuwa doria. Wazazi wa Kachiku walipigwa na butwaa baada ya kupata taarifa za kukamatwa kwa kijana wao. Kesi ilisikilizwa mahakamani na mwishowe Kachiku alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela.
41. Kichwa cha habari hii kingefaa kuwa kipi? ____________
42. Kutokana na habari uliyoisoma ni tabia gani mbaya alizokuwa nazo Kachiku? Taja mbili.
________________________, _______________________
43. Nini maana ya neno “kanya” kama lilivyotumika katika habari uliyoisoma? _______________________________
44. Kwanini Kachiku alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela? ___________________________________________
45. Unapata funzo gani kutokana na habari uliyoisoma?
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 39
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA TATHMINI DARASA LA VII JULAI 2021
HISABATI
Muda: saa 1 : 30
MAELEKEZO:
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 jibu kwa kuonyesha njia katika nafasi iliyoachwa wazi
1. Ipi kati ya sehemu zifuatazo ni sehemu rahisi ya 45%?
2. Namba ya Kirumi inayowakilisha 49 ni
3. Chausiku ana shilingi 9,000. Amepungukiwa na asilimia ngapi ya fedha ili kununua katoni moja yenye chupa 24 za juisi, iwapo chupa moja ya juisi huuzwa kwa bei ya shilingi 500?
4. Kazimoto alichagua wanafunzi watano ili waandike kipeuo cha pili cha jumla ya namba witiri zilizopo kuanzia 1 hadi 11. Je, lipi ni sahihi kati ya majibu yafuatayo?
5. Wanafunzi watano walipewa tarakimu 1, 3, 8, 9, 2, 4, 5 ili waunde namba nzima kubwa kuliko zote kwa kutumia tarakimu hizo. Je, ni namba ipi iliyoundwa ambayo ni kubwa kuliko nyingine?
6. Shule ilikusanya ada shillingi 39,076. Katika makusanyo haya ni tarakimu ipi inawakilisha mamia?
7. Matokeo ya uchaguzi wa viongozi uliofanyika shuleni yalikuwa kama ifuatavyo; Zawadi alipata kura 876, Baraka kura 718 na Waridi kura 561. Tofauti ya kura nyingi zaidi na ndogo zaidi ni ipi kwa namba za Kirumi?
8. Wanafunzi watano walishindana kukimbia mbio awamu 3 kwa kupunguza hatua 6 kwa kila awamu. Iwapo walianzia hatua ya 59, yupi alimaliza awamu zote kwa mpangilio sahihi?
9. Upi ni mpangilio sahihi wa kupungua wa namba witiri zilizopo kati ya 50 na 60?
10. Shule tatu R, S na T ziligawana dazeni 120 za vitabu kama ifuatavyo; R alipata 1/3 ya vitabu vyote na S alipata 60% ya vitabu vilivyobaki. Ikiwa vitabu vilivyobaki vilikuwa vya Shule T. Je, shule T ilipata vitabu vingapi?
11. Mwalimu alichagua wanafunzi watano ili kupanga namba zifuatazo 0.04, 2%, 1/4, 1 na –2. Upi ni mpangilio sahihi kati ya ifuatayo?
12. Ni namba ipi inayofuata katika mpangilio wa namba zifuatazo? 17, 21, 25, 29, ______________
13. Ipi ni namba ndogo kuliko zote katika seti ya namba zifuatazo? { 0.75, – 1, 0.5, 0, – 3/4, }
14. Nini thamani ya –15 x ( –14 + 8 )?
15. Je, kuna 0.36 ngapi katika 14/5?
16. Nini zao la 0.9 na 3.21?
17. Josephine huuza kuku 60 kila mwezi kwa faida ya Shilingi 3,000 kwa kila kuku. Je, kwa mwaka mmoja Josephine hupata faida ya kiasi gani kutokana na biashara hiyo?
18. Tafuta thamani ya 44/5 ÷ 48 =
19. Mwalimu aliwapa wanafunzi kazi ya kutafuta thamani ya mtajo 8 – (–3 + +8). Je, ni lipi jibu sahihi walilopata?
20. Wazazi wa watoto watatu Asha, Juma na Jamila walikuwa na kiasi cha fedha kama ifuatavyo: Mzazi wa Asha Sh. 1,039,000, mzazi wa Juma Sh. 929, 000 na mzazi wa Jamila Sh. 820,000. Kama wazazi wa Juma na Jamila wangeunganisha fedha zao, wangemzidi mzazi wa Asha kwa kiasi gani cha fedha?
21. Bwana Ngasa alivuna mazao yafuatayo; maharage magunia 20, mahindi magunia 60, mpunga magunia 50 na karanga magunia 30. Ikiwa aliuza 1/5 ya magunia ya kila zao, je, aliuza magunia mangapi ya mazao yote?
22. Shamba la ng’ombe wa maziwa huzalisha lita 254,567 za maziwa kwa siku. Ni kiasi gani cha maziwa kitazalishwa kwa siku 43?
23. Garimoshi liliondoka Arusha saa 5 na dakika 10 asubuhi na kutumia muda wa saa 15 na dakika 15 kufika jijini Dar es Salaam. Je, garimoshi hilo lilifika Dar es Salaam saa ngapi? (Jibu liwe katika utaratibu wa saa 12).
24. Viwanja vinne vya makazi viliuzwa kwa jumla ya shilingi 5,500,000. Ikiwa viwanja vitatu viliuzwa kwa shilingi 1,257,000 kila kimoja, je, kiwanja cha nne kiliuzwa kwa shilingi ngapi?
25. Gawanya miaka 95 na miezi 8 kwa 28.
26. Jumla ya saa 6 na dakika 30 na saa 3 na dakika 45 ni ipi?
27. Ni nini tofauti ya saa 8 dakika 20 na saa 5 dakika 45
28. Miaka 2015, 2016, 2017, 2018 na 2019 ni muda waliozaliwa watoto katika familia tano tofauti. Upi ni mwaka mrefu?
29. Jamali alipewa picha ya umbo la pembe tano lenye ukubwa wa pembe kama ilivyooneshwa kwenye Kielelezo Na. 1. Kama mtaalamu wa Hisabati, ipi kati ya zifuatazo ni thamani ya y?
30. Juma alipewa kazi ya kujenga banda la kuku na akalijenga kama linavyoonekana katika umbo lifuatalo: Kama mtaalamu wa maumbo ya kihisabati, umbo hili linaitwaje?
31. Mandalu alipanga kutumia siku 3 kujaza tenki la maji lenye kipenyo cha m 14 na kimo cha m 5. Ikiwa hujaza m3 154 za maji katika tenki hilo kwa siku. Je, siku ngapi zaidi zitahitajika kujaza tenki zima? (Tumia π = 22/7).
32. Ikiwa eneo la trapeza ABCD ni sm2 160, upi ni urefu wa BE?
33.Mwajuma alipewa kipande cha nguo chenye urefu wa dekameta 71/4. Urefu huo ni sawa na meta ngapi za kitambaa?
34. Mzazi wa Kinje na Mzazi wa Kelo kwa pamoja walinunua kg 189 g 600 za sukari. Ikiwa waligawana sukari hiyo kwa kiwango kinacholingana, je, ni kiasi gani cha sukari kila mzazi alipata?
35. Chupa ya maji ina ujazo wa ml 350. Je, katoni 2 za chupa za maji zina jumla ya lita ngapi ikiwa kila katoni ina chupa 24?
36. Maganga hutembea umbali wa km 4 m 8 sm 12 kwa siku moja. Je, atatembea umbali gani kwa siku 15?
37. Ikiwa nyuzi za umbo lenye pembe nne ni 3t – 100, 2t + 250, 45o – t na 4t + 600. Thamani ya herufi t katika umbo hilo ni ipi?
38. Kiwanja cha mpira wa miguu kina mzingo wa mita 112. Ikiwa urefu wa kiwanja hicho ni Meta (x – 2) na upana wake ni Meta ( 21/2 x – 5), thamani ya x itakuwa ngapi?
39. Darasa lina jumla ya wanafunzi 9. Wastani wa uzito wa wanafunzi 5 ni kilogramu 20. Tafuta jumla ya uzito wa wanafunzi wote ikiwa wastani wa uzito wa wanafunzi waliobaki ni kilogramu 30.
40. Ikiwa wastani wa sh 100, sh 250, sh 350 na sh 3p ni sh 205, thamani ya herufi ‘p’ itakuwa ngapi?
SEHEMU B:
MATENDO YA KIHISABATI, MAUMBO NA MAFUMBO
41. Idadi ya wanafunzi waliohitimu Darasa la Saba mwaka 2018 katika Kata yetu ilikuwa 600. Kati ya hao, 71/2% hawakufaulu mtihani. Je, ni sehemu gani ya wahitimu walifaulu mtihani?
42. Peo tatu za shamba lenye umbo la mstatili ni A ( – 4, 1 ), B ( – 4, – 2 ), na C ( 3, –2 ). Tumia grafu ya majira ya nukta kutafuta peo ya nne.
43. Kijiji cha Mtakuja kilitaka kujenga Zahanati katika kiwanja kinachowakilishwa na umbo lifuatalo:
44. Katika shule ya msingi Railway, mwanafunzi akipata daraja A katika somo lolote, mmiliki wa shule humlipa mwalimu shilingi 10,000 kwa kila A kama motisha kwenye somo lake. Ikiwa mwalimu wa Hisabati alipata shilingi 1,250,000, je ni wanafunzi wangapi walipata daraja A katika somo hilo?
45. Bahati alikuwa na kalamu 8 na penseli 12. Aliamua kuwagawia rafiki zake kalamu 3 na penseli 5. Iwapo aliuza idadi ya kalamu zilizobaki kwa shilingi 200 kila moja, penseli zilizobaki kwa shilingi 100 kila moja, je, alipata jumla ya kiasi gani cha fedha?
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN HESABU EXAM SERIES 38
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA TATHMINIDARASA LA VII JULAI 2021
MAARIFA YA JAMII
Muda: saa 1 : 30
MAELEKEZO:
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi
SEHEMU : A
CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI
1. Ardhi ni rasilimali ambayo isipotunzwa vizuri inaweza kusababisha hatari katika maisha ya viumbe hai na rasilimali nyingine. Ipi ni njia bora itakayotumika kutunza rasilimali hiyo kati ya zifuatazo? ______
2. Katika sikukuu ya wakulima kauli mbiu iliyotolewa na Waziri Mkuu ilikuwa ni, “Kilimo ni uti wa mgongo katika uchumi wa Tanzania”. Kauli mbiu hiyo inamaana gani? ______________________________
3. Mwalimu Kazimoto alifundisha kuhusu shughuli ya kilimo cha mazao ya biashara kilichofanywa Tanganyika kabla ya uhuru. Je, wanafunziwalibaini mazao yapi ya biashara? _____________________
4. Wakulima wengi nchini Tanzania hupeleka mazao sokoni kuuza. Ninjia zipi kuu za usafirishaji zinazotumika? ___________________________
5. Shughuli za kilimo huweza kuharibu ardhiikiwa hazikufanyika kwa uangalifu. Ni kwa namna gani kilimo kinaweza kuharibu ardhi? ______
6. Ukurasa wa 3kati ya 96.Shamba la Bwana Tembo ambalo lipo pembeni ya mlima Pina limepungukiwa na rutuba kutokana na momonyoko wa udongo. Kama mtaalam wa mazingira ninini chanzocha momonyoko huo? _________________________________
7. Shughuli za kibinadamu kandoya mto Matumaini huleta madhara kwa jamii inayouzunguka. Ni madhara gani yanasababishwa na shughuli za ukataji miti ovyo pembeni mwa mto huo? _________
8. Wazo ni mkulima ambaye anataka kuanzisha kilimo katika eneo ambalo ni nusu jangwa. Kama Afisa kilimo niushauri gani utampa?________
9. Ukiwa ni kiongozi wa klabu ya kutunza mazingira, utampa ushauri gani mtu anaye kata miti ovyo kwa ajili ya kupata nishati? ___________________
10. Ni tukio lipi la kihistoria lilitokea Tanganyika mwaka 1926? _______
11. Ukurasa wa 4kati ya 911.Wanafunzi wa Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Mwenge wanapanga safari ya kimasomokwenda kuona mabaki yamifumo ya kilimo cha umwagiliaji iliyotumiwa na watu wa kale. Ni eneolipi la kihistoria utawashauri kutembelea? _________
12. Maeneo yafuatayo ya kihistoria yanapatikana Tanzania isipokuwa _________________________________
13. Historia ya ukombozi wa Tanzania ilianza na vyama vya ustawi wa wafanyakazi kama vile TTACSA mwaka 1922 kilichobadilishwa kuwa TAA mwaka 1929 na baadae kuwa TANU mwaka 1954. Je, ni kwa nini TAA ilibadilishwa kuwa chama cha TANU mwaka 1954? ____________
14. Wanafunzi wa Darasa la Sita walirekodi viwango vya jotoridi kuanzia Jumatatu hadi Jumapili kama ifuatavyo: 200C, 320C, 300C, 240C, 270C, 270C na 220C mtawalia. Je,upi ni wastani wa jotoridi kwa wiki? ___________
15. Umepewa jukumu la kutoa mafunzo kwa wanakijiji wa Kijiji cha Juhudi juu ya fursa mbalimbali za kibiashara ambazo zinaweza kufanyika katika vipindi mbalimbali vya mwaka. Je, ungewashauri kufanya biashara ya kuuza miavuli katikakipindi gani? __________________
16. Wanafunzi wa Darasa la Nne walifundishwa kuhusu vipengele mbalimbalivya hali ya hewa. Ni kundi lipilinawakilisha vipengele vya hali ya hewa walivyojifunza? ___________________________________
17. Baraka anatafuta msaada wako kumwezesha kujibu swali kuhusu dhana ya “utamaduni”. Je, ni vielelezo vipi vya utamaduni utakavyo-mpa Baraka ili aweze kuielewa vizuri dhana hiyo? ________
18. Ngoma za asili, uchongaji, uchoraji na maigizo ya jadi ni miongoni mwa mambo ya kitamaduni yanayovutia watalii. Ni neno gani lifaalo kwa vipengele hivi vya utamaduni? ___________________________
19. Kiongozi kutoka Wizara inayosimamia Utamaduni aliwataka vijana kuacha kushabikia tamaduni za kigeni na kudharau tamaduni za Kiafrika. Je, nini lengo la ushauri huo? __________________________
20. Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Harambee husisitiza wanafunzi wake kushiriki katika michezo ya jadi. Lipi katiya yafuatayo ni lengo lake kuu? __________________________
21. Fikiria umeteuliwa kuongea na mojawapo ya makundi rika katika jamii yako kuhusu mahusioano mema miongoni mwao. Lipi kati ya yafuatayo ungelisisitiza? ________
22. Kama kuna wazazi na watoto, hii ni familia ya awali. Je, familia hii itaitwaje baada ya vifo vya wazazi wao? _________________________
23. Ukoloni katika nchi nyingi za Kiafrika ulikuwa na hasara zaidi kuliko faida. Kama mwanahistoria, ipi unadhani ni athari ya kijamii iliyotokana naukoloni katika Tanganyika? ________________________
24. Nchi nyingi za Afrika kuwa wanachama wa jumuiya mbalimbali inadhihirisha umuhimu wa jumuiya hizokwa nchi husika. Unadhani nini kitatokea endapo nchi itavunja uhusiano huo? ________
25. Mnamo robo ya mwisho ya karne ya 19, Mataifa ya Ulaya yaligombea maeneo ya Afrika kwasababu walitaka malighafi, masoko, wafanyakazi na sehemu ya kuweka vitega uchumi. Maeneo yafuatayo yaligombaniwa isipokuwa ___________________
26. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anatambulika kuwa ni shujaa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Ni nini kinachomfanya atambulike hivyo? _______________
27. Kuanzia mwaka 1985 hadi 2015 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliongozwa na marais watatu. Ipi ni orodha sahihi ya Marais hao? _________
28. Mwalimu aliwaambia wanafunziwakekuwa mistari ya latitudo huwa na mizingo tofauti tofauti kutegemea na mahali ulipo. Ni mstari upi wenye mzingo mrefu kati ya hii ifuatayo?_______________________________
29. Wakati wa kipindi cha somo la Maarifa ya Jamii mwalimu aliwapa wanafunzi ramani ya Tanzania yenye vitu vya asili na vilivyotengenezwa na binadamu kwa lengo la kujifunza. Je, hiyo ilikuwa ni ramani ya ainagani? _________________________________
30. Mtalii aliwasili nchini Tanzania kupitia uwanja wa ndege wa Kilimanjaro na kuelekea moja kwa moja katika hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro bila ya kupokelewa na mwenyeji yeyote. Ni kifaa kipikati ya vifuatavyo kilimwezesha kufika huko? _______________
31. Bahati alichora ramani ya kijiji chao bila kuonesha kipimio cha ramani. Ni adhari ipi atakayoipata mtumiaji wa ramani hiyo? _______________________
32. Fikiria kuwa umealikwa kamamtaalamu wa mambo ya hali ya hewakuelezea umuhimu wa tabaka la ozoni kwajamii. Je,ungeelezanini? __
33. Rafiki yangu alisafiri kwenda Ulaya kumtembelea shangazi yake kipindi cha likizo. Kulikuwa na baridi kali iliyoambatana na mchana kuwa mfupi kuliko usiku. Je, hali hiyo inawakilisha msimu upi wa mwaka? __________
34. Wanafunzi wa Darasa la Tatu walijifunza kuwa,kuna sayari nane zinazounda mfumo wa jua ambazo baadhi zipo mbali na nyingine zipo karibu na jua. Je, ni Sayari ipi miongoni mwa zifuatazo ipo karibu zaidi na jua? ___________
35. Tanzania ni nchi iliyojaaliwa kuwa na madini ya aina mbalimbali. Ni kundi lipi kati ya yafuatayo hujumuisha madini ya vito? _________
36. Wanafunzi wa Darasa la Saba walipewa aina mpya ya vifungo kwa ajili ya mashati yao. Ni kanuni ipi wanapaswa kuzingatia wakati wakushona vifungo hivyo? ____________________________________
37. Umemtembelea shangazi yako na kupewa chumba kichafu cha kulala. Ni magonjwa gani unaweza kuyapata kwa kulala kwenye chumba hicho? ___________
38. Bwana Nzima amepanga kusafiri na amedhamiria kufungasha nyama kwa ajili ya safari yake. Ungemshauri kutumia mojawapo ya njia zipi kuandaa nyama hiyo ili kuzuia kuharibika? ___________________
39. Mwalimu wa Stadi za Kazi aliwaongoza wanafunzi kufinyanga chungu na kuwapa mbinu za kukikausha vizuri. Je, kuna umuhimu gani wa kukikausha chungu hicho? ____________________________________
40. Mimi ni mbunifu, mwenye uthubutu na ninajituma katika kutimiza malengo yangu. Je, mimi ni nani? ______________________________
SEHEMU B
JIBU MASWALI YAFUATAYO KWA KUELEZA KWA KIFUPI
41. Eleza kwa kifupi tofauti kati ya mjasiriamali mtumishi na mjasiriamali mfanyabiashara? __ ____________________________________
42. Mlipuko wa volkano katika kijiji cha Kikuu umeleta madhara kwa jamii. Bainisha madhara chanya mawili ya mlipuko huo ___________
43. Bi Atupele aliwataka wanafunzi waorodheshe tabia ya nchi ya maeneo waliyotoka. Mmoja wa wanafunzi alitaja kuwepo kwa mvua nyingi, kiwango cha juu cha jotoridi na uwiano mdogo wa joto kwa mwaka mzima. Je, eneo hilo lina tabia gani ya nchi? __________
44. Tabu alitembelea kituo cha hali ya hewa kilichopo uwanja wa ndege wa Mwanza kuchukua takwimu za hali ya hewa ya eneo hilo, na kuwasilisha takwimu hizo katika Jedwali kama ifuatavyo:
Mwezi | Jan. | Feb. | Mach | Apr | Mei | Juni | Juli | Agu. | Sep | Okt | Nov | Dis. |
Joto(0 C) | 22.5 | 25 | 25 | 25.5 | 25.5 | 25.5 | 25.5 | 25.5 | 26.1 | 26.1 | 26.1 | 26.6 |
Mvua (mm) | 198 | 340 | 431 | 350 | 280 | 230 | 160 | 71 | 15 | 12 | 15 | 66 |
45. Ni kwa nini Chifu Mkwawa alijulikana kama shujaa katika jamii yake ___________________________________________________________________________________________________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 37
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA TATHMINIDARASA LA VII JULAI 2021
SAYANSI
Muda: saa 1 : 30
MAELEKEZO:
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi
SEHEMU A
CHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI
1. Ni katika kiungo kipi cha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula virutubisho hufyonzwa? ______
2. Kijiji cha Mirwa kilikumbwa na baa la njaa kutokana na uvamizi wa vipepeo. Je, vipepeo hao walikuwa katika hatua ipi ya ukuaji?_____
3. Ni kanuni ipi hutumika kuonyesha uhusiano uliopo kati ya mkondo wa umeme, volteji na ukinzani katika sakiti ya umeme?__
4. Katika gesi zifuatazo, ipi unaweza kuitumia kuzima kitu kinachowaka? ___________
5. Umepewa kazi ya kutafuta densiti ya maji. Je utatoa jibu lako katika kizio gani? _____________
6. Umeambiwa ufungue Program jedwali, je ni hatua zipi utaufuata? ________
7. Kijana mwenye nguvu na afya alisukuma ukuta kwa muda wa dakika kumi na ukuta huo haukudondoka. Kwa nini kijana huyo anaonekana hajafanya kazi _____________
8. Tabia ipi ya mwangahuwakilishwana upinde wa mvua unaoonekana katika mawingu ukiwana rangi mbalimbali saba? ____________________
9. Baadhi ya watuhutoaharufu mbaya mwilini licha ya kuwa wanaoga kila asubuhi na jioni. Je, ushauri upi unapaswa kutolewa kwaoili kuondokana na tatizo hilo? _______________
10. Madhara ya kuwa na VVU/UKIMWI yanaweza kuwa kwa mtu binafsi, familia au Taifa. Yafuatayo ni madhara kwa mtu binafsi isipokuwa ____
11. Ili kuzima moto katika kitu kinachowaka, inashauriwa kufunika kwa nguo nzito kama blanketi. Nini lengo la kufanya hivyo? ___________________
12. Nishati ya aina gani hupatikana kama matokeo ya vitu kugongwa na kupulizwa? ____
13. Ukitazama maji yaliyotulia vizuri utaiona sura yako. Kitendo hicho kinaonesha tabia gani ya mwanga? ________
14. Wanafunzi wa Darasa la Saba walifanya jaribio la kurusha juu kipande cha chuma na puto lililojazwa hewa. Matokeo yake puto lilielea juu na chuma kilianguka chini. Je ni sifa ipi iliwezesha puto kuelea? __________
15. Namna ipi ya maada ni nyepesi zaidi kuliko zingine? _______
16. Mwalimu wa Darasa la Sita anataka kuandaa matokeo ya mtihani ya nusu muhula kwa kutumia programu ya tarakilishi ili kuokoa muda. Je,utashauri kutumia programu gani? _______
17. Wanafunzi wa Darasa la Saba walipewa kazi ya kutengeneza antena. Je, ni hatua ipi ya kwanza wanatakiwa kuzingatia kabla ya kuanza kutengeneza antena? ____________________
18. Uwezo alimuona fundi mitambo akiweka kilainishi kwenye sehemu ya toroli inayoshikilia gurudumu. Je, nini umuhimu wa kufanya hivyo? __________
19. Mwalimu mkuu amewapa Wanafunzi wa Darasa la saba kazi ya kupakia mifuko ya mahindi kwenye lori. Je,watatumia mashine ipi kurahisisha kazi hiyo? ______________________
20. Misumari yote iliyoachwa njena fundi seremala alipokuwa anarekebisha moja ya darasa la shule ilibadilika rangi na kuwa kahawia. Je, ninikilisababisha kutokea kwa rangi hiyo? __________________
21. Watoto walipotembelea hifadhi ya Taifa,walipewa kifaa kilichosaidia kuwaona wanyama waliokuwa mbali. Je, unafikiri walipewakifaa gani? ____________
22. Unahitaji kufanya nini ili kutoa msaada wa awali kwa mtu anayeungua moto uliosababishwa nakulipuka kwa mafuta ya petroli? __________
23. Mkulima ameumwa na nyoka mguuni Kama mtaalamu wa sayansi, utampa msaada gani wa awali? __________________
24. Ni jozi ipi inawakilisha magonjwa yanayotokana na kurithi kasoro katika vinasaba kutoka kizazi kimoja kwenda kingine? _____________
25. Umeshauriwa na vijana wenzako kujiunga na kikundi cha kufanya mazoezi. Kamamtaalamu katika sayansi ya afya, kwa nini ni muhimu kupokea ushauri huo? __________
26. Baada ya baba yao kupata homa kali, vidonda vya koo, kuvuja damu puani, masikioni na kinywani, watoto wake walionekana wakimkumbatia kama ishara ya upendo. Siku chache baadae, wote walipata dalili hizoza ugonjwa. Je waliugua ugonjwa gani? _______________________
27. Asidi inayopatikana tumboni husaidia katika mmeng’enyo wabaadhi ya vyakula. Je, asidi hiyo ina kazi gani nyingine? ____
28. Baada ya uchunguzi wa kitaalamu,iligundulika kuwa Bwana Chapakazi alikula chakula kilichokuwa na sumu. Ni ogani ipi ilitumika kupambana na matatizo ya afya aliyoyapata Bwana Chapakazi? __________________
29. Ogani zipi zinaunda mfumo wa utoaji takamwili wa mamalia? ____
30. Mzee Karanga alijikata katika kidole chake,damu iliyokuwa ikitoka ilishindwa kuganda kwa muda mrefu. Je, unafikiri Mzee Karanga amekosa nini katika damu yake? _____________
31. Mwalimu alifanya jaribio la kuotesha mbeguya mmea ndani ya kisanduku kilichokuwa na tundu upande mmoja. Baada ya kuota,ilipinda kuelekea upande wenye tundu. Je, matokeo hayo yanaonesha nini? _______
32. Ndugu yako ana matatizo ya kutoona mbali. Utamshauri atumie vyakula gani mara kwa mara ili vimsaidie katika tatizo lake? __________
33. Mwanafunzi anataka kutengeneza sakiti rahisi ili apate mwanga katika nyumba. Je, ni vifaa vipi anavyotakiwa kuunganisha ili kufikia lengo hilo _______
34. Ungeambiwa utoe mfano wa kifaa chochote kinachotumika kama nyenzo daraja la pili,ungetaja kitu gani? __________
35. Ni kifaa kipi hutumika kuhifadhi kichakato kikuu? __________
36. Ipi ni kazi ya pau nyumbani kwenye programu andishi? _______
37. Sakiti ya umeme imeunganishwa na kikinza ambacho hakibadiliki. Nini kitatokea kwenye mkondo wa umeme ikiwa volteji itaongezeka? __________
38. Vyanzo mbalimbali vya nishati zinazotumika kupikia majumbani huwa na madhara kwenye mazingira. Sababu ipi inaifanya nishati itokanayo na gesivunde kuwa nzuri kwa matumizi? ____
39. Mwalimu alifundisha mambo mbalimbali kuhusu mabadiliko ya kiumbo. Je,ni mfano upiulitolewa na mwalimu kuelezea mabadiliko hayo? ____________
40. Upi ni mpangilio sahihi wa maada kuanzia yenye kani kubwa hadi ndogo ya mvutano kati ya molekuli? _______________
SEHEMU B
41. Chunguza Kielelezo kifuatacho kinachohusu mabadiliko ya kiumbo ya maji kisha jibu swali linalofuata
![]() |
Kwa kutumia herufi A – D, bainisha mchakato unaosababisha mabadiliko ya hali moja kwenda nyingine kama mshale unavyoelekeza ____________________________________________________________________
42. Shule ya Msingi Chechemea iliandaa mahitaji ya vifaa vya kieletroniki vinavyohitajika pamoja na gharama zake kama inavyoonekana katika mkekakazi ufuatao:-
| A | B | C | D |
1 | Namba | Jina la kifaa | Idadi | Gharma (Tsh.) |
2 | 1 | Televisheni | 1 | 300,000 |
3 | 2 | Tarakilishi | 2 | 800,000 |
4 | 3 | King’amuzi | 1 | 90,000 |
5 | 4 | Printa | 1 | 250,000 |
6 | 5 | Jumla | | |
43. Mtu anaweza kuwa na magonjwa kama pumu, kisukari, kansa na shinikizo la damu kwa muda mrefu bila kuonesha dalili zozote. Magonjwa haya kwa pamoja yana sifa gani nyingine? ___
44. .Mara nyingi,mtu mwenye maambukizi ya VVU/UKIMWI huugua kifua kikuu. Kwa nini hutokeahivyo? _______________
45. (a)Ni kiungo kipi hupitisha virutubisho na hewa ya oksijeni kutoka kwa mama kwenda kwa kijusiwakati wa ujauzito? ___
(b)Kwa nini mwanamke ambaye ovari zake hazifanyi kazi hawezi kushika ujauzito? ______
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 36
PRESIDENT’S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
SERIES EXAMINATION
STANDARD VII – MAY 2021
SOCIAL STUDIES
TIME: 1:30 HOURS
INSTRUCTIONS
1. This paper consists of 45 questions in section A, B, C, D and E
2. Answer all questions
3. Read all given instructions in the special answer sheet (OMR) and fill in all the needed information
4. Write your name and examination number correctly on your answer sheet provided
5. Use HB pencil for question 1 – 40 and blue or black pen for question 41 – 45
6. Cellular phones and other printed materials are not allowed in the examination room
SECTION A: MULTIPLE CHOICE QUESTIONS
Choose the most correct answer from the given alternatives and shade its letter in the answer
sheet provided
1. Which action among the following does NOT cause environmental degradation?
2. Which method among the following can be used to prevent floods?
3. A sudden vibration or shaking that occurs in the upper layer of the earth’s surface is known as:
4. The temperature is higher in Dar es salaam, Tanga, Lindi and Mtwara than in Njombe, Arusha and Mbeya due to the difference in:
A. Latitude B. Elevation C. Attitude D. Rainfall E. Longitude
5. The following are the advantages of being familiar with the weather of the places where we are living, EXCEPT:
6. How many years make a century?
A. Ten years B. Twenty years C. One hundred years D. Fifty years
E. One thousand years
7. Which of the following hazards are associated with global warming?
8. A prolonged period of abnormally low rainfall in a certain area is known as:
A. Drought B. Flood C. Famine D. Landslide E. Hazard
9. Which method of keeping historical records is mostly useful to illiterate people?
A. Written records B. Journals C. Oral narratives D. Library E. Archives
10. The skull of the earliest man was discovered at Olduvai Gorge by:
11. Which of the following historical sites is famous for the ancient drawings and rock paintings?
A. Isimila B. Kilwa C. Engaruka D. Olduvai Gorge E. Kondoa Irangi
12. The early man domesticated animals and plants during:
13. Mkwawa is remembered as one among the heroes of our country because:
14. How many countries were the members of the East African Community between 1967-1977?
A. Two B. Five C. Three D. Six E. Seven
15. When did the Germans stop colonizing Tanganyika?
16. The scramble for and partition of East Africa was completed by signing the Helgoland treaty between the Germans and the British in the year: ]
A. 1840 B. 1842 C. 1896 D. 1886 E. 1890
17. The agents of colonialism who came to Africa with an agenda of spreading Christianity were:
A. Traders B. Explorers C. Missionaries D. Settlers E. Arabs
18. Who among the following was the first British governor in Tanganyika?
19. Who was led the African National Congress (ANC) during the struggle for independence in Tanganyika?
20. Drama, dance and films are examples of:
A. Fine arts B. Performing arts C. Craft arts D. Literary arts E. Invisible arts
21. What is the benefit of traditional dances?
22. Mtemi Isike and Mirambo were the leaders of:
A. Gogo B. Yao C. Nyamwezi D. Hehe E. Ngoni
23. Most African countries got their political independence in:
A. 1950s B. 1960s C. 1900s D. 1970s E. 2000s
24. The pipeline that transports crude oil from the port of Dar es salaam to Ndola in Zambia is known as: A. TANAPA B. TAZARA C. TAZAMA D. SONGAS E .TIPER
25. What is the difference in time between Kigali 300 E and Mogadishu 600E?
A. 30 minutes B. 15 minutes C. 3 hours D. 1 hour E. 2 hours
26. Which of the following map symbols represents a mountain peak?
27. What type of map scale is suitable for drawing a map of the classroom? ]
A. Ratio scale B. Medium scale C. Linear scale D. Small scale
E. Large scale
28. Which heavenly body appears at the centre during the lunar eclipse?
A. Sun B. Moon C. Earth D. Mercury E. Neptune ]
29. The line of latitude that is marked 23 1/2 o North of Equator is known as:
30. The length of day and night is equal when the sun is overhead at the:
31. The following are NOT commercial crops, EXCEPT:
A. Maize B. Banana C. Cassava D. Sorghum E. Pyrethrum
32. The hardest minerals which are used for decorations and cutting glasses are called:
A. Diamond B. Gold C. Tanzanite D. Limestone E. Coal
33. Which production activity among the following takes place in the areas with reliable rainfall and fertile soils?
A. Mining B. Fishing C. Industry D. Farming E. Pastoralism
34. The following are advantages of the tourism, EXCEPT:
35. Mtibwa, Kilombero, Kagera and Moshi are famous areas for growing:
A. Tea B. Sisal C. Coffee D. Cotton E. Sugar cane
36. An activity that involves the exchange of goods or services from one person to another for money is known as:
A. Tourism B. Trade C. Transportation D. Selling E. Buying
37. The art of making various items such as mats, carpets and baskets using fibres is known as:
A. Sculpturing B. Modeling C. Weaving D. Pottery E. Printing
38. One of the signs of puberty for girls is:
39. Why is it recommended to frequently open the oven when baking bread?
A. To increase taste C. To add salt E. To remove sugar
B .To make the bread boil fast D. To avoid the bread to be burnt
40. The money that an entrepreneur makes in a business after paying the costs involved is known as: A. Expenditure B. Capital C. Sales D. Savings E. Profit ]
SECTION B: SHORT ANSWER QUESTIONS
Answer the following questions by supplying short answers in the spaces provided in your
answer sheet
41. Why should we dry our bodies after bathing?
42. Who is the current chairperson of East Africa Community (EAC)?
43. Briefly explain how transportation stimulates economic development of Tanzania
44. The first Vice President of the United Republic of Tanzania was called
45. Explain any two negative effects of fire hazards
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SOCIAL EXAM SERIES 35
PRESIDENT’S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
SERIES EXAMINATION
STANDARD VII – MAY 2021
CIVICS AND MORAL STUDIES
TIME: 1:30 HOURS
INSTRUCTIONS
1. This paper consists of 45 questions in section A, B, C, D and E
2. Answer all questions
3. Read all given instructions in the special answer sheet (OMR) and fill in all the needed information
4. Write your name and examination number correctly on your answer sheet provided
5. Use HB pencil for question 1 – 40 and blue or black pen for question 41 – 45
6. Cellular phones and other printed materials are not allowed in the examination room
SECTION A: MULTIPLE CHOICE QUESTIONS
Choose the most correct answer from the given alternatives and shade its letter in the
answer sheet provided
1. An act of showing polite behavior towards others is known as:
A. Apologizing
B. Respect
C. Resilience
D Betrayal
E. Hypocrisy
2. Who is responsible for helping the needy?
3. The national symbol which shows the power and authorities of the President of Tanzania is called:
4. What do the pictures of the crossed axe and hoe on the Tanzania’s coat of arms represent?
5. The following are countries which share borders with Tanzania, EXCEPT:
A. Rwanda B. Burundi C. Kenya D. Zambia E. Somalia
6. Patriotism, socialism, unity, peace and human dignity are some of our:
7. The feeling of strongly loving and supporting one’s country and being ready to defend and protect it is termed as:
A. Integrity B. Resilience C. Patriotism D. Democracy E. Socialism
8. The activities which people do without expecting anything in return are known as:
9. The social and cultural relationship between male and female in the community is termed as: A. Gender B. Sex C. Culture D. Traditions E. Customs
10. Who is the topmost leader in the structure of the school leadership?
11. Who prepares the school timetable?
12. Which of the following traditions and customs needs to be preserved?
13. An act of pretending to be good to someone but acting differently is termed as:
A. Hypocrisy B. Tolerance C. Respect D. Transparency E. Integrity
14. A person who has trained to advise people with social or personal problems is known as:
A. Trainer B. Mentor C. Advocate D. Counselor E. Patriot
15. Which of the following actions does NOT show respect to the community members?
16. The following are the qualities of an educated person, EXCEPT:
A. Integrity B. Conducting research C. Innovative D. Confidence
E. Hypocrisy
17. Which of the following actions shows misuse of public resources in our country?
18. A person who uses violent acts or force to threaten peace and security in a given country is known as:
A. Refugee B. Patriot C. Ambassador D. Terrorist E. Poacher
19. The law that prohibits the manufacture, supply, importation and use of plastic bags in Tanzania came into force on:
20. What is the advantage of obeying laws and regulations?
21. Defense and security of our nation and its resources is the responsibility of:
22. Which institution is responsible for collecting taxes and other lawful contributions in Tanzania? A. TANAPA B. BASATA C. TAA D. TRA E. E. TBS ]
23. The executive organ of the village government is:
24. The leader who is elected by the citizens at the ward level is called:
25. The following leaders are appointed by the President of the United Republic of Tanzania, EXCEPT:
26. Which action among the following does NOT promote good governance at school?
27. Who is the main leader of all government businesses in the National Assembly of Tanzania?
28. At which level of the judicial system of Tanzania are the treason and murder cases heard?
29. The Resident Magistrate Courts are also known as:
30. In which year was the Court of Appeal of Tanzania established?
31. What does the analysis of the action plan for doing voluntary activities include?
By MADEP 0767632301 / 0678827971 DSM © 2021
32. A planned event which involves selling and buying goods and which is done in competition form is known as:
33. Which of the following donations is NOT helpful to a school?
34. Where is legal aid provided?
A. At school B. At home C. At the court D. In prison E. At the church
35. The situation in which there is security and calm, and in which there is no war, conflicts or violence is referred to as:
A. Peace B. Defense C. Laws D. Relationship E. Respect
36. Which of the following actions promotes peace and security in the community?
37. An act of exposing or revealing the secret of a person to an enemy is known as:
38. Which organ is responsible for firefighting and rescue operations in Tanzania?
39. In which year was the fire and rescue force of Tanzania formed?
A. 1997 B. 2003 C. 2007 D. 2013 E. 2017
40. Sozi’s house was burning as a result of an electric shock. Which number would Sozi dial to ask for help from the organ that deals with firefighting and rescue operations?
A. 112 B. 114 C. 114 D. 100 E. 113
SECTION B: SHORT ANSWERS QUESTIONS
Answer questions 41-45 by writing the correct answers in the spaces provided in your answer sheet
41. How does a voluntary action plan help pupils to perform well in their studies?
42. The main organ that coordinates and implements all development activities at the ward is called
43. Who swears in the winner a presidential election?
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN CIVICS AND MORALS EXAM SERIES 34
PRESIDENT’S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
SERIES EXAMINATION
STANDARD VII – MAY 2021
SCIENCE
TIME: 1:30 HOURS
INSTRUCTIONS
1. This paper consists of 45 questions in section A, B, C, D and E
2. Answer all questions
3. Read all given instructions in the special answer sheet (OMR) and fill in all the needed information
4. Write your name and examination number correctly on your answer sheet provided
5. Use HB pencil for question 1 – 40 and blue or black pen for question 41 – 45
6. Cellular phones and other printed materials are not allowed in the examination room
SECTION A: MULTIPLE CHOICES
Choose the correct answer by writing its letter on answer sheet provided.
A. Style
B. Stigma
C. Stamen
D. Ovary
E. Filament
A. Lightening
B. Thunder
C. Generator
D. Atomic
E. Rectifier
A. 500C
B. 600C
C. 700C
D. 400C
E. 550c
B. Cording of milk
C. Burning of paper
D. Rusting of iron
E. Decaying of matter
A. Axon
B. Nucleus
C. Cytoplasm
D. Dendrite
E. Cell
6. The inner walls of a thermos flask are…………in colour to prevent heat loss.
A. Copper
B. Gold
C. Yellow
D. Silver
E. Cell
7. The main function of the white blood cells is to
A. Manufacturing blood
B. Protect the body against diseases
C. Help blood clothing
D. Give the blood its red colour
E. To transport oxygen
8. The outcome of union between a male gamete X and female gamete Y is
A. Fraternal twins
B. Baby girl
C. Baby boy
D. Identical twins
E. Siamese
9. Which among the following lists shows characteristics of living things?
A. Dying, seeing and feeding
B. Dying, reproducing and changing colour
C. Respiring, sensing and hearing
D. Breathing, reproducing and walking
E. Moving, respiring and reproducing
10. In order to maintain of our bodies we are advised to ______________________
11. A tube that takes urine from the kidney to the urinary bladder is called __
A. Urethra
B. Ureta
C. Uterus
D. Urine
E. Fallopian tube
12. The bacteria that cause trachoma attacks the inner part of the eye and the part called
A. Pupil
B. Skin
C. Conjunction
D. Retina
E. Iris
13. The following are the symptoms of (COVID 19) EXCEPT
A. Headache, fever, flu, breathing difficulties
B. Fever, headache, chest pain
C. Fatigue, flue and headache
D. Coughing, flu and fatigue
E. Sweating, coughing and flu
14. Myopia is a problem that can be corrected by using with_____________lens.
A. Flat
B. Concave
C. Carved
D. Convex
E. spherical
15. All visible things __________light.
A. Reflect
B. Omit
C. Absorb
D. Bend
E. Pass
A. Barometer
B. Thermometer
C. Hygrometer
D. Ammeter
E. Ohmmeter
A. Carnivores
B. Herbivores
C. Omnivores
D. Prey
E. Reptiles
A. Binocular
B. Film
C. Microscope D. Barometer
E. Thermometer
A. Stigma and anther
B. Anther and filament
C. Style and filament
D. Ovary and style
E. Stalk and ovary
B. Red blood cells
C. White blood cells
D. Fibrinogen
E. Oxygen
A. CO2
B. CO
C. O2
D. H2
E. N2
A. Ovary
B. Testes
C. Urethra
D. Vagina E. Urinary bladder
B. Carbon dioxide
C. Cabornmonoxide
D. Nitrogen
E. Oxygen
A. Aorta
B. Hepatic artery
C. Vena cava
D. Pulmonary
E. Renal artery
A. Medulla
B. Rectifier
C. Amplifier
D. Voltmeter
E. Inveter
A. Friction
B. Attraction
C. Temperature
D. Chemical
E. Repulsion
A. Liver
B. Intestine
C. Gastric juice
D. Stomach
E. Kidney
A. Doesn’t have a fixed shape
B. It is heavier than air
C. Colorless
D. Doesn’t react with litmus
E. All are correct
A. Reptiles
B. Mammals
C. Fish
D. Cattles
E. Amphibians
A. 3 Joules
B. 4 Joules
C. 4 D. 5 kg
E. 3
A Rice, beans, ugali
B. Cassava, Potatoes, ugali
C. Rice, meat and beans
D. Ugali, meat and fruits
E. Vegetables, meat and spinach
A. Convex
B. Flat
C. Concave
D. spherical
E. Round
A. 100 Joules
B. 280 Joules
C. 2800 Joules
D. 0 Joules
E. 31
34. What does the symbol below represent in electricity?
A. Ammeter
B. Bulb
C. Direct current
D. Transformer
E. Ohmmeter
35. Calculate the current flowing through the circuit below.
A. 0.75A
B. 4.5 A
C. 0.25A
D. 7.5 A
E. 2A
A. Oxygen
B. Carbon dioxide
C. Hydrogen
D. Nitrogen
E. Helium
A. Advertisement
B. Employment
C. Communication
D. Entertainment
E. Cyber crime
A. Turner
B. Speaker
C. Radio
D. Antenna
E. Meter band
A. Larva
B. Tadpole
C. Pupa
D. Egg
E. Adult
A. Caffeine
B. Alcohol
C. Nicotine
D. Chlorine
E. Methane
SECTION B: SHORT ANSWERS QUESTIONS
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SCIENCE EXAM SERIES 33
PRESIDENT’S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
SERIES EXAMINATION
STANDARD VII – MAY 2021
ENGLISH LANGUAGE
TIME: 1:30 HOURS
INSTRUCTIONS
1. This paper consists of 45 questions in section A, B, C, D and E
2. Answer all questions
3. Read all given instructions in the special answer sheet (OMR) and fill in all the needed information
4. Write your name and examination number correctly on your answer sheet provided
5. Use HB pencil for question 1 – 40 and blue or black pen for question 41 – 45
6. Cellular phones and other printed materials are not allowed in the examination room
SECTION A; GRAMMAR
Choose the correct words that complete the sentences by shading the letter of the correct answer in the answer sheet provided.
(A) Too ____to (B) so ____ that (C) as ___ as (D) either ___or (E) both ___ and
(A) by (B) with (C) and (D) for (E) from
20. Many passengers injured ________________________________ in the accident.
(A) themselves (B) our self (C) themself (D) myself (E) herself
21. Mount Kilimanjaro is ____________________________________ than Mount Kenya
(A) higher (B) high (C) the highest (D) very higher (E) an highest
22. This is the place ___________________________________ an accident happened last year
(A) who (B) whom (C) where (D) whose (E) which
23. I saw him throw a stone ______________________________ the window
(A) through (B) over (C) in (D) by (E) on
24. They travelled from Mwanza to Morogoro ____________________________ air plane
(A) by (B) on (C) with (D) in (E) at
25. Nyanzobe and Nyanzara bought _____________________________ umbrella
(A) un (B) an (C) a (D) the (E) are
26. It is known that the cow died ___________________________________ a year now
(A) by (B) of (C) for (D) at (E) on
27. My uncle has been a teacher ________________________________ a year now
(A) at (B) in (C) on (D) since (E) for
28. _________________________________________ Neema is beautiful, but also intelligent.
(A) both (B) either (C) not only (D) either (E) and
29. There isn’t ____________________________________ sugar in the tea
(A)an (B) some (C) many (D) any (E) little
30. We have ________________________________ money in our pockets.
(A) many (B) plenty (C) few (D) much (E) lot of
SECTION B. VOCABULARY
Choose the correct answer that completes the sentences.
31. A man whose wife has died is called a _______________________________________
(A) Widower (B) Widow (C) orphan (D) troublesome (E) bachelor
32. A person who flies an airplane is called a _____________________________________
(A) police (B) navigator (C) judge (D) pilot (E) driver
33. A pedestrian is a person who ______________________________________
(A) pedals the bicycle (B) walks on foot (C) travels by car
(D) uses a pedal (E) travels by train
34. The plural form of the word sheep is _________________________________
(A) Sheeps (B) ships (C) sheep (D) ship (E) sheepy
35. A person who cuts other people’s hair is called a _____________________________
(A) saloon (B) barber (C) hair cutter (D) hair dresser
(E) hair salon
36. The pupils were ______________________ for winning their match against their opponents
(A) congratulated (B) celebrate (C) praise (D) confirmed (E) concurred
SECTION C: COMPOSITION
This section has four mixed sentences. Re arrange the sentences so as to make a good composition by giving them letter A, B, C and D shade the letter of the correct answer in your answer sheet.
37. They were expecting to see their mother come through the gate at any moment
38. “Why do you think she has not yet come” asked Kataga. “May be the bus from the market was late” answered Kimaro.
39. One evening Kimaro and his younger sister Kataga were sitting on the door step of their house.
40. It was now a quarter past six and she had not yet returned.
SECTION D: COMPREHENSION
Read the following passage carefully then answer queston 41-45 by filling in the blanks shortly.
My name is Baraka. My father’s name is Daudi and my mother’s name is Amina. I have two sisters Hawa and Anna while Hawa is older than I am. Anna is younger than I am. I have an elder brother Ado and younger twin brothers Kulwa and Doto.
Our father is a businessman in Maendeleo town in the southern region of Tanzania. He has a big store of farm tools like hoes, pangas, slashers and spare part for tractors and oxen pulled carts. This mean our father has a home in Maendeleo town.
We have original home in Mpapa village where our mother, brothers, sisters and bigger family unit live. This means that our grandparents, our uncles, aunties and our cousins live in Mpapa and work on coffee and maize farms. We also cultivate beans, pears and sunflower seeds.
My elder brother and my sister Hawa have already completed school. Ado works with the coffee curing plant in Mbinga as mechanic. Hawa is a nurse at Majengo mission hospital. I myself am now in standard seven and I am hoping to do the primary school leaving examination toward the end of this year.
During the holiday I normally join my mother, young brothers and sister and help in the farm work. We cultivate a lot of maize. We use some of it for our daily meals while we sell the rest to get some money for other uses. We also have a big coffee farm. Coffee is our main cash crop.
QUESTIONS
41. Whos is the writer of this passage? ____________________________________________
42. How many brothers does Baraka have? _________________________________________
43. Which word that explain Mr. Daudi’s work _______________________________________
44. Where is the original residence of the writer’s family unit live?________________________
45. What is the main cash crop pf the area you have read about? ________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 32
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YAK RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA TATHMINI MWISHO WA MUHULA
KISWAHILI
SEHEMU A SARUFI
Sikiliza kwa makini kifungu cha habari kitakachosomwa na msimamizi kisha jibu maswali 1-5
Sarufi, msamiati na lugha ya kifasihi
6. Fanani aliihakikishia hadhira yake usalama. Maana ya neno fanani ni ____
A. Msikilizaji
B. Msimuliaji
C. Mpambe
D. Mnoko
E. Mstaarabu
7. Neno lipi kati ya haya lipo katika ngeli ya LI – YA?
A. Ugonjwa
B. uzima
C. ufunguo
D. mbeleko
E. sherehe
8. Sina nasaba na wewe. Neno lililopigiwa mstari lina maana ya
A. Ukoo
B. hamu
C. shauku
D. dukuduku
E. haja
9. Watu wengi walihudhuria katika……….. ya harusi ya dada yangu.
A. Kalamu
B. mahari
C. Karamu
D. Mbwembwe
E. sherehe
10. ni mtu mwenye elimu ya nyota.
A. Mwananyota
B. Mtabiri
C. Mnajimu D. Mganga
E. Bingwa
A. Ujasiri B. fahali C. hodari D.kuona E. fahari
A. Kielezi B. kivumishi C. kitenzi D. nomino E. kiwakilishi
A. Idadi B. a__unganifu C. sifa D. kuonyesha E. kumiliki
A. Marehemu B. mwonevu C. Mjumbe D. Mfuasi E. kati
A. Radha B. ladha C. laza D. raza E. latha
A. Tungesherehekea B. tutafurahi C. tungalifurahi E. furaha D. furahisha
A. Mchicha B. nyanya C. kabichi D. saladi E. kachumabri
19. Mpira umegonga mwamba nusura goli liingie. Neno gani linaonesha kitenndwa? [ ]
A. Mwamba B. Nusura C. Goli D. mpra E. liingie
20. Kifaa kinachotumika kuhifadhi kisu huitwa ________________________________[ ]
A. Podo B. ala C. waleti D. rafu E. hori
21. Tegua kitendawili hiki” Maji ya kisima hiki hayawezi kumaliza kiu” [ ]
A. uji B. mate C. Soda D. dafu E. chai
22. Waliendesha kilimo kwa nguvu zote. Ni nahau ipi inayoendana na melezo haya? [ ]
A. Kufa na kupona B. kufuatana sanjari C. kucheza shere
D. kutia moyo E. kumchimba mtu
23. Mjumbe wetu yu maji wodini. Nini maana ya nahau hii? [ ]
A. Amepona B. Amekaa C. Anacheka D. Amezidiwa E. Buheri wa afya
24. Bura yangu sibadili na rehani. Methali ipi ina maana sawa na hii?
A. Usiache mbachao kwa msala upitao B. akiba haiozi C. Sikio la kufa halisikii dawa
D. Mfa maji haachi kutapatapa E. Haba na haba hujaza kibaba
25. Majambazi wale walipanga njama zao katika pembe za chaki. Nini maana ya usemi uliopigiwa mstari?
A. Mahali pa wazi B. Penye haiki ya watu C. Nje ya nyumba
D. Mahali pa siri pasipojulikana E. Mhali pa wazi kuingia
26. Kamilisha methali, baada ya tufani ______________________________________
A. raha B. huja shwari C. mateso D. mapatano E. huja fujo
27. Mgosi alikuwa na kichwa cha panzi. Msemo “kichwa cha panzi” una maana ipi?
A. Msikivu sana B. Ana utambuzi C. Msahaulifu sana D. Ana kumbukumbu
E. Mtiifu sana
28. Methali ipi kati ya hizi zifuatazo inapingana na hii, Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu? A. Panya wengi hawachimbi shimo B. Kidole kimoja hakivunji chawa
29. Kamilisha methali hii, “Ukiona zinduna
A. Kuna ajali B. ujue kuna jambo C. ujue kuna fedha D. ambari iko nyuma E. hausimiki
30. Kitendawili, Dume wangu amelilia machungani ______________________________
A. Moto B. radi C. mvua D. jua E. mwezi
31. Mjomba alimpiga___________shangazi ikiwa ni ishara ya upendo.
A. pasi B. makofi C. viboko D. mguu E. busu
32. Mtu aliyezaliwa nawe kwa baba, kwa mama au kwa wazazi wote wawili utamwitaje?
A. kaka B. binamu C. ndugu D. dada E. jamaa
33. ____ kwamba wananchi wengi wanajua kusoma na kuandika.
A. imethihirika B. imezihirika C. imethihirika D. imedhihirika
E. imedhihilika
34. Mahaliambako vita hupiganwa hujulikana kama ______________________________
A. dimba B. medani C. ulingo D. uga E. uzio
35. Mafuta yanayotokana na wanyama kama ng’ombe au ngamia ambayo hutumika kupikia huitwa __
A. mtindi B. siagi C. jibini D. mgando E. samli
SEHEMU YA B
UTUNGAJI
Panga sentensi zifuatazo katika mtiririko unaofaa kwa kuzipa herufi A to E
36. Mwalimu na wanafunzi wenzangu walinipongeza sana.
37. Mwezi uliopita tulifanya jaribio la Kiswahili.
38. Sasa naendelea kujiandaa kwa ajili ya mtihani wa taifa mwezi Septemba.
39. Baada ya siku moja, matokeo ya jaribio hilo yalitoka.
40. Mimi nilifanikiwa kupata alama tisini na kuwa wa kwanza katika darasa.
SEHEMU C: UFAHAMU
Soma habari ifuatayo, kasha jibu maswali.
Waandishi mashuhuri ambao walikuwa hodari kwa kufikiri na kutunga mambo yenye tija, ilipofika safari kwenda kusiko na rejea basi halikuweza kuwa na saburi wote wamekwenda zao. Walikuwa watu wenye kupendwa na walipenda kuwafadhili wenzao. Watu hawa walipendwa kwa mapenzi ya ajabu mfano hakuna. Imebaki historia maana kurejea hawawezi hata tulie vilio na machozi ya damu hawawezi kurudi watu hao. Walitenda mambo kwa hekima zote katika uhai wao, basi wakawa wenye kuvuma kwa vyeo na sifa zao. Wote wamezama na zimebaki sifa zao.
MASWALI
wapi?_____________________________________________________________
KIFUNGU CHA SWALI LA KWANZA
Maji ni uhai. Maji huhitajika katika maisha yetu ya kila siku. Tunahitaji maji ya kunywa, kupika , kuoshea na kupatia mifugo yetu
Maji ni muhimu katika kilimo. Mimea haiwezi kustawi bila maji. Maeneo ya nchi ambayo hayana mvua au mito hayavutii watu wengi kuishi humo. Wenyeji wa sehemu hizo hukabiliwa na ukame miaka nenda miaka rudi. Baadhi yao hufa kwa njaa. Wengine hukonda na kuwa wembamba kama sindano kwa kukosa lishe bora
Viwanda navyo huhitaji maji ili kuendeleza shughuli zao. Nguvu za umeme anghalabu hutolewa kwenye mianguko ya maji. Bila umeme nchi haiwezi ikastawi ipasavyo kiuchumi.
Katika nchi imani za kidini, kuna madhehebu ambayo hutumia maji kubatiza waumini wao. Watu wengi huamini ni baraka kutoka kwa mungu.
Watu wengi huuza maji na kujipatia riziki zao. Wao hutumia mitungi, mikokoteni na hata magari kusafirisha maji
Maji ni muhimu katika nyanja za usafiri . kuna maeneo makubwa ya nchi yenye maji pakee. Haya huitwa bahari abiria wanakosafiri majini hutumia meli kwa hivyo matumizi ya maji ni chungu nzima. Kwa kuwa mtaka cha mvunguni sharti ainame hatuna budi kuhifadhi maji na pia kutunza sehemu yanakotoka ili yaendelee kutufaa.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 31
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YAK RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA TATHMINIDARASA LA VII MAY 2020
MAARIFA YA JAMII
Muda: saa 1
MAELEKEZO:
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi
SEHEMU A: MASWALI YA KUCHAGUA
Chagua jibu sahihi kisha siliba herufi ya jibu hilo katika karatasi ya kujibia uliyopewa
1. Shughuli zifuatazo zinasababisha uchafuzi wa mazingira, ISIPOKUWA:
2. Njia mojawapo ya kuzuia mafuriko ni:
3. Mtetemo wa ghafla unaotokea juu ya uso wa dunia hujulikana kama:
4. Joto la Dar es salaam, Tanga, Lindi na Mtwara ni kubwa kuliko la Njombe, Arusha na Mbeya kutokana na tofauti ya:
A. Latitudo B. Mwinuko C. Mtazamo D. Mvua E. Longitudo [ ]
5. Zifuatazo ni faida za kufahamu hali ya hewa ya eneo fulani, ISIPOKUWA:
6. Karne moja ni sawa na miaka mingapi?
A. 10 B. 20 C. 100 D. 50 E. 1000 [ ]
7. Miongoni mwa majanga yanayosababishwa na kuongezeka kwa joto duniani ni:
8. Hali ya upungufu au ukosefu wa mvua kwa kipindi cha muda mrefu hujulikana kama:
A. Ukame B. Mafuriko C. Njaa D. Kipupwe E. Majanga [ ]
9. Njia ipi ya kuhifadhi kumbukumbu za matukio ya kihistoria hutumiwa zaidi na watu wasiojua kusoma na kuandika? A. Vitabu B. Maandishi C. Mazungumzo ya mdomo D. Maktaba E. Nyaraka [ ]
10. Fuvu la kichwa cha mtu wa kale zaidi liligunduliwa katika bonde la Olduvai na:
11. Eneo la kihistoria ambalo ni maarufu kutokana na michoro ya mapangani nchini Tanzania ni:
A. Isimila B. Kilwa C. Engaruka D. Olduvai Gorge E. Kondoa Irangi [ ]
12. Binadamu wa kale alianza kilimo na ufugaji katika kipindi cha:
13. Mkwawa anakumbukwa kama miongoni mwa mashujaa wa nchi yetu kwa sababu:
14. Nchi ngapi zilikuwa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuanzia mwaka 1967 hadi1977?
A. Mbili B. Tano C. Tatu D. Sita E. Saba [ ]
15. Utawala wa Wajerumani nchini Tanganyika ulifika kikomo mwaka gani?
16. Mgawanyo wa Afrika Mashariki kati ya Wajerumani na Waingereza ulikamilika mara baada ya kusainiwa kwa Mkataba wa Helgoland mwaka:
A. 1840 B. 1842 C. 1896 D. 1886 E. 1890 [ ]
17. Kundi gani la vitangulizi vya ukoloni lilifika Afrika kwa lengo kuu la kueneza dini ya Ukristo?
A. Wafanyabiashara B. Wapelelezi C. Wamisionari D. Walowezi E. Waarabu [ ]
18. Gavana wa kwanza wa Waingereza nchini Tanganyika alikuwa nani?
19. Chama cha ANC wakati wa harakati za kudai uhuru nchini Tanganyika kiliongozwa na nani?
20. Maigizo,nyimbo na filamu ni mifano ya aina gani ya sanaa?
21. Ngoma za asili zina faida gani kwa jamii?
22. Mtemi Isike na Mirambo walikuwa ni viongozi wa kabila gani?
A. Gogo B. Yao C. Nyamwezi D. Hehe E. Ngoni [ ]
23. Nchi nyingi za Afrika zilianza kupata uhuru wao katika miaka ya:
A. 1950 B. 1960 C. 1900 D. 1970 E. 2000 [ ]
24. Bomba la mafuta linaloanzia Dar es salaam hadi Ndola nchini Zambia linaitwa:
A. TANAPA B. TAZARA C. TAZAMA D. SONGAS E .TIPER [ ]
25. Kuna tofauti gani ya muda kati ya mji wa Kigali uliopo nyuzi 300 Mashariki na mji wa Mogadishu uliopo nyuzi 600 Mashariki?
A. Dakika 30 B. Dakika 15 C. Masaa 3 D.Saa 1 E. Masaa 2 [ ]
26. Alama ipi ya ramani kati ya hizi zifuatazo huwakilisha kilele cha mlima?
A. Kipimio cha uwiano B. Kipimio cha kati C. Kipimio cha mstari D. Kipimio kidogo E. Kipimio kikubwa [ ]
29. Mstari wa latitude wenye nyuzi 231/2 kaskazini mwa ikweta hujulikan a kama;
30. Urefu wa mchana na usiku huwa sawa wakati jua linapokuwa la utosi katika;
31. Urefu wa mchana na usiku huwa wakati jua linapokuwa la utosi katika;
A. Mahindi B. Ndizi C. Mihogo D. Ulezi E. Pareto [ ]
A. Dhahabu B. Shaba C. Tanzanaiti D. Chokaa E. Makaa ya mawe [ I
33. Shughuli ipi ya uzalishaji mali kati ya hizi zifuatazo hufanyika zaidi katika maeneo yenye udongo wenye rutuba na mvua za kutosha?
A. Uchimbaji wa madini B. Uvuvi C. Viwanda D. Kilimo E. Ufugaji [ I
34. Zifuatazo ni faida za utalii, ISIPOKUWA:
35. Mtibwa, Kilombero, Kagera na Moshi ni maeneo maarufu kwa kilimo cha:
A. Chai B. Mkonge C. Kahawa D. Pamba E. Miwa [ I
36. Shughuli inayohusisha kuuza na kununua bidhaa hujulikana kama:
A. Utalii B. Biashara C. Uchukuzi D. Uuzaji E. Ununuzi
37. Sanaa ya kutengeneza bidhaa mbalimbali kama vile mikeka, mazuria na vikapu kwa kutumia majani au magome ya miti hujulikana kama:
38. Miongoni mwa dalili za kubalehe kwa wanawake ni:
39. Kwanini unashauriwa kufunua jiko mara wakati wa kuoka mikate?
40. Kiasi cha fedha kinachobakia kwa mjasiriamali mara baada ya kulipa gharama za mtaji wa biashara hujulikana kama: A. Matumizi B. Mtaji C. Mauzo D. Akiba E. Faida
SEHEMU B: MASWALI YA MAJIBU MAFUPI
Jibu swali la 41-45 kwa kuandika majibu sahihi katika karatasi ya kujibia uliyopewa
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 30
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YAK RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA TATHMINI DARASA LA VII MAY 2020
SAYANSI
Muda: saa 1
MAELEKEZO:
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi
SEHEMU A: KUCHAGUA
A. Staili
B. Stgma
C. Stameni
D. Ovari
E. Filament
A. radi
B. ngurumo
C. jenereta
D. atomi
E. rectifier
A. 500C
B. 600C
C. 700C
D. 400C
A. Uvukizwaji wa maji
B. Kuganda kwa maziwa
C. Kuunguza karatasi
D. Kutu kwenye chuma
E. Kuoza kwa maada
A. Askoni
B. Nukliasi
C. Saitoplazimu
D. Dendraiti
E. Seli
6. Ukuta wa ndani wa chupa ya cha umepakwa rangi ya _____ili kuzuia upotevu wa joto.
A. Shaba
B. dhahabu
C. manjano
D. Fedha
E. Almasi
7. Kazi za seli hai nyeupe za damu ni A. Kutengeneza damu
B. Kulinda mwili dhidi ya magonjwa
C. Kugandisha damu
D. Kuipa damu rangi nyekundu
E. Kusafirisha oksijeni
8. Ni matokeo ya muungano wa gamete X ya kiume na gamenti ya XX ya kike?
A. Mapacha wasiofanana
B. Mtoto wa kike
C. Mtoto wa kiume
D. Mapacha wanaofanana
E. Mapacha walioungana
9. Lipi kati ya makundi yafutayo linawakilisha sifa za viumbe hai?
A. Kufa, kula ma kuona
B. Kufa, kuzaa na kubadilika rangi
C. Kujongea, kupumua na kuzaa
D. Kuoumua, kuzaa na kutembea
E. Kujongea, kupumua na kuzaa
10. Ili kudumisha afya ya mwili tunapaswa ______________________
11. Mrija unaotoa mkojo kutoka kwenye figo na kupeleka kwenye kibofu unaitwa
A. Urethra
B. Ureta
C. Uterasi
D. Urine
E. Mrija wa falopia
12. Virusi vya trakoma hushambulia sehemu ya ndani ya kope na sehemu ipi?
A. Mboni
B. Ngozi
C. Konjaktiva
D. retina
E. iris
13. Zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa corona (COVID19) ISPOKUWA.
A. Bapa
B. mboneyo
C. Mkunjo
D. mbinuko
E. Nyembamba
A. Kuakisi mwanga
B. kutoa mwanga
C. kusharabu mwanga
D. Kusafirisha mwanga
E. Kusafirisha mwanga
A. Barometa
B. Themometa
C. haigrometa
D. amita
E. voltimeta
A. Kanivorasi
B. Habivorasi
C. Omivorasi D. fruit vorasi
E. wawindaji
A. Darubini
B. filamu
C. hadubini
D. barometa
E.kipimajoto
A. Stigma na kichavua
B. kichavua na filament
C. staili na filomenti
D. Ovari na staili
E. Kikonyo na ovari
A. Plasma
B. Seli nyekundu
C. Seli nyeupe
D. Fibrinojeni
E. Oksijeni
A. Co2
B. CO
C. O2
D. H2
E. N2
A. Ovari
B. Korodani
C. Koroidi
D. Uke
E. Kibofu
A. H2
B. CO2
C. CO
D. N2
E. O2
A. Ateri kuu
B. Aota
C. Ateri ya vena
D. Ateri ya mapafu
E. Ateri ya renali
A. Medulla
B. Rektifaya
C. Kilunza
D. Volti
E. Amita
A. Msuguano
B. Mvutano
C. Joto
D. Kemikali
E. Mnyanyuo
A. Ini
B. utumbo
C. maji ya gastriki
D. Tumbo
E. Figo
B. Uzani mkubwa kuliko hewa
C. Haina rangi
D. Batili kwa litmus
E. Zotes sawa
A. Samaki
B. mamalia
C. wanyama
D. mifugo
E. kambale
A. Toure 3
B. Joure 4
C. kg 5
D. 4
E. 3
B. mihogo, ugali na kisamvu
C. wali, nyama na maharage
D. Ugali, nyama na matunda
E. Mchicha. Nyama na kisamvu
A. Mbinuko
B. bapa
C. mbonyeo
D. Mche
E. Duara
A. Toule 100
B. Toule 12.5
C. Toule 20
D. Hakufanya kazi
E. Toule 31 4
A. Amita B. Taa ya umeme C. Umeme mkondogeuD. Transifoma
E. Nyoka aina ya chatu
A. Ampia 0.75 B. Ampia 4.5 C. Ampia 0.25 D. Ampia 7.5 E. Ampia 02
A. Oksijeni B. Kabonidayoksaidi C. Haidrojeni D. Naitrojeni E. Heliamu
A. Matangazo B. Ajira C. Mawasiliano D. Burudani E. Uhalifu
A. Tuni B. Spika C. Redio D. Antena E. Mitabendi
A. Lava B. Tadipoli C. obuu D. Yai E. Chura
A. Gafeni B. Alcohol C. Nikoteni D. Klorini E. Methani
SEHEMU B: MAJIBU MAFUPI
Mwale unaowakilishwa na herufi B katika mchoro hapo juu unaitwa
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 29
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YAK RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA TATHMINI DARASA LA VII MAY 2020
URAIA NA MAADILI
Muda: saa 1
MAELEKEZO:
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi
SEHEMU A: MASWALI YA KUCHAGUA
Chagua jibu sahihi kisha siliba herufi ya jibu hilo katika karatasi ya kujibia uliyopewa
1. Kitendo cha kuonesha tabia njema kwa watu hujulikana kama:
A. Kuomba msamaha B. Heshima C. Ustahimilivu D. Usaliti .E. Unafiki
2. Jukumu la kuwasaidia watu wenye mahitaji maalumu ni la nani?
3. Alama ya taifa inayowakilisha mamlaka ya Rais wa Tanzania ni ipi?
4. Picha ya shoka na jembe katika ngao ya taifa huwakilisha nini?
5. Nchi ipi kati ya hizi zifuatazo haipakani na Tanzania katika upande wowote?
A. Rwanda B. Burundi C. Kenya D. Zambia E. Somalia [ ]
6. Uzalendo, ujamaa, umoja, amani na utu wa watu ni miongoni mwaza taifa.
7. Hali ya mtu kuipenda nchi yake na kuwa tayari kuilinda hujulikana kama:
A. Uadilifu B. Ustahimilivu C. Uzalendo D. Demokrasia E. Ujamaa
8. Shughuli ambazo watu hufanya kwa kupenda wao wenyewe pasipo kulazimishwa au kutarajia malipo hujulikana kama:
9. Uhusiano wa kijamii au kiutamaduni uliopo kati ya mwanamke na mwanaume hujulikana kama:
A. Jinsia B. Jinsi C. Utamaduni D. Mila E. Desturi
10. Kiongozi wa juu zaidi katika muundo wa utawala wa shule ni nani?
11. Ratiba ya masomo shuleni huandaliwa na nani?
12. Mila na desturi zipi kati ya hizi zifuatazo zinafaa kuhifadhiwa na kuenziwa?
13. Kitendo cha kujifanya mwema machoni mwa watu lakini kiuhalisia siyo mwema hujulikana kama:
A. Unafiki B. Uvumilivu C. Heshima D. Uwazi E. Uadilifu
14. Mtu anayetoa ushauri nasaha kwa watu wenye matatizo mbalimbali katika jamii hujulikana kama:
A. Mkufunzi B. Muwezeshaji C. Wakili D. Mnasihi E. Mzalendo
15. Kitendo gani kati ya hivi vifuatavyo hakionyeshi heshima miongoni mwa wanajamii?
16. Mtu aliyesoma ana sifa zifuatazo, ISIPOKUWA:
A. Ni muadilifu B. Ni mtafiti C. Ni mgunduzi D. AnajiaminiE. Unafiki
17. Jambo gani kati ya haya yafuatayo linaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za taifa?
18. Mtu anayetumia nguvu za kijeshi kuvuruga amani ya nchi fulani hujulikana kama:
A. Mkimbizi B. Mzalendo C. Balozi D. Gaidi E. Jangili
19. Sheria inayokataza uzalishaji, uingizwaji na matumizi ya mifuko ya plastiki nchini Tanzania ilianza kutumika lini?
20. Kuna faida gani kutii sheria za nchi bila shuruti?
21. Ulinzi na usalama wa taifa letu na rasilimali za taifa ni jukumu la nani?
22. Chombo kinachohusika na ukusanyaji wa kodi na mapato mengine ya serikali nchini Tanzania hujulikana kama: A. TANAPA B. BASATA C. TAA D. TRA E. TBS
23. Chombo kinachohusika na utekelezaji na usimamizi wa miradi ya maendeleo ya kijiji ni:
24. Kiongozi anayechaguliwa na wananchi katika ngazi ya kata hujulikana kama:
25. Viongozi wafuatao wanateuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ISIPOKUWA:
26. Jambo lipi kati ya haya yafuatayo haliimarisha utawala bora shuleni?
27. Kiongozi mkuu wa shughuli za kila siku bungeni ni nani?
28. Mashauri yanayohusu kesi za uhaini au mauaji husikilizwa katika ngazi ipi ya mahakama?
29. Mahakama ya Hakimu Mkazi kwa jina lingine hujulikana kama:
30. Mahakama ya Rufaa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliundwa mwaka gani?
31. Tathmini ya mpango kazi wa hiari inahusiana na nini?
32. Tukio la kuuza bidhaa za kampuni au taasisi kwa njia ya kushindanisha bei hujulikana kama:
B. Uwekezaji D. Harambee
33. Msaada upi kati ya hii ifuatayo hauna manufaa kwa maendeleo ya shule?
34. Msaada wa kisheria hutolewa wapi zaidi?
A. Shuleni B. Nyumbani C. Mahakamani D. Gerezani E. Kanisani
35. Hali ya kuwa na utulivu pasipo kuwa na vita katika nchi hujulikana kama:
A. Amani B. Ulinzi C. Sheria D. Uhusiano E.Heshima
36. Kipi kati ya vitendo vifuatavyo huimarisha amani na usalama wa nchi?
37. Kitendo cha kutoa siri ya mtu kwa adui yake hujulikana kama:
38. Majanga ya moto pamoja na shughuli za uokoaji nchini Tanzania hushughulikiwa na:
39. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji la Tanzania liliundwa mwaka gani?
A. 1997 B. 2003 C. 2007 D. 2013 E. 2017
40. Nyumba ya Sozi ilikuwa inaungua moto kutokana na kupata hitilafu ya umeme. Je, ni namba gani ya simu Sozi angeweza kuipigia ili kuomba msaada kwa jeshi linalohusika na uzimaji wa moto na uokoaji?
A. 112 B. 114 C. 114 D. 100 E. 113 [ ]
SEHEMU B: MASWALI YA MAJIBU MAFUPI
Jibu swali la 41-45 kwa kuandika majibu sahihi katika karatasi ya kujibia uliyopewa
41. Ni kwa namna gani mpango kazi wa hiari humsaidia mwanafunzi kufaulu vizuri katika masomo yake?
42. Chombo kikuu kinachosimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kata hujulikana kama
43. Baada ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania Rais mteule huapishwa na nani?
44. Ni chombo kipi cha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kina kazi sawa na bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
45. Taja faida mbili za kuwa na wimbo wa shule
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN URAIA EXAM SERIES 28
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MAARIFA YA JAMII - MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
DARASA LA SABA
MUDA: 1.30
MAELEKEZO
SEHEMU A.
1. Ni madini yapi yanayopatikana Tanzania pekee?
2. Uvuvi usio endelevu hufanyika kwa kutumia:
3. Kuna makundi mangapi ya uoto wa asili?
4. Lengo kuu la mabadiliko ya katiba ya Tanzania mwaka 1962 yalikuwa
5. Umoja wa Afrika ulianzishwa rasmi mwaka gani?
6. Ubugabire ni mfumo wa Umwinyi uliajengwa juu ya umiliki wa:
7. Mfumo wa kwanza ambapo jamii ilimiliki njia zote za uzalishaji kijamaa huitwa :.............
8. Ipi ni athari ya ongezeko kubwa la watu?.................
9. Tatizo kubwa linalowakabili wakulima wengi wa Afrika Mashariki ni pamoja na ................
10. Milima mikunjo hutokea katika maeneo yenye...............
11. Janga la kimazingira linalosababishwa na nguvu za asili pekee linaitwa
12. Wakati wa mvua kubwa inayoambatana na radi, watu hawaruhusiwi
13. Rais Julius Kambarage Nyerere na Kwame Nkurumah walikuwa
14. Kwa nini vita vya Maji Maji vilitokea?..............
15. Binti wa shangazi yako huitwa................
16. Ni lini binadamu alianza kuchoma misitu iii kuwafukuza wanyama wakali?.................
17. Mwanzilishi wa mfumo wa utawala wa mlango wa nyuma katika Afrika alikuwa ...
18. Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884-1885 uliitishwa na ..
19. Familia hujumuisha
20. Moja ya athari mbaya ya utandawazi kwa Tanzania ni ...
21. Utawala wa sheria maana yake ni ...
22. Kuzingatia sheria, haki za bianadamu, ukweli na uwazi, na uhuru wa vyombo vya habari ni misingi ya
23. Mwenyekiti wa kikao cha maendeleo katika kata ni .
24. Mto uliooneshwa kwa herufi E unaitwa:
25. Mlima maarufu unaopatikana katika eneo lenye herufi C huitwa:
26. Nchi inayooneshwa kwa herufi B ni maarufu kwa uzalishaji wa madini yanayoitwa:
27. Ongezeko Ia joto duniani, ukame, mafuriko na vimbunga ni matokeo ya athari zitokanazona
28. Faida ya ushirikiano kati ya shule na jumuiya inayozunguka shule ni pamoja na:
29. Ni hatua zipi wanafunzi wanatakiwa kuchukua wanapoona katika eneo la shule wageni wanaowatilia shaka?
30. Uchumi wa soko huria, ushindani wa kidemokrasia katika siasa na kukua kwa teknolojia ya habari na mawasiliano ni viashiria vya
31. Rangi nyeusi katika bendera yetu huwakilisha:
32. Sababu kubwa ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi Tanzania ni:
33. Haki ya kumiliki mali iko katika kipengele kipi cha haki za binadamu?
34. Ulinzi na usalama wa taifa letu ni jukumu la:
35. Utandawazi ni mfumo unao hamasisha:
36. .Mojawapo ya udhaifu wa Umoja wa Mataifa ni:
37. Mkutano wa kuligawa bara la Afrika ulifanyika:
38. Katika zama za mawe za mwisho ugawanyaji majukumu katika jamii ulifanyika kwa misingi ya:
39.Utawala waWaingereza nchini Tanganyika uliisha mnamo .....
40. Watangulizi wa kwanza wa ukoloni kuwasili Zanzibar na Tanganyika walikuwa:
41. Mataifa ya Ulaya yaliyokuwa yakipigania Mto Nile yalikuwa:
42. Tunapataje idadi ya watu katika sehemu fulani?
43. Mojawapo ya sababu za kuongezeka kwa idadi ya watu na kuzaliana ni:
44. Ni yapi kati ya madini yafuatayo ambayo ni chimbuko Ia nishati ya kinyuklia?
45. Mikoko ni aina ya uoto upatikanao pembezoni mwa:
SEHEMU B
Jibu maswali yafuatayo kwa kuandika jibu lililo sahihi.
46. Nini maana ya ujasiriamali?
47. Taja tabia mbili za wajasiriamali
48.Taja changamoto mbili zinazowakumba wajasiriamali Tanzania.
49. Taja fursa za kibiashara zinazopatikana katika ufuo wa bahari
50. Mfanyabiashara sio mjasiriamali, eleza.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN MAARIFA EXAM SERIES 10
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
SAYANSI - MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
DARASA LA SABA
MUDA: 1.30
MAELEKEZO
SEHEMU A. CHAGUA JIBU SAHIHI KUTOKA YALE ULIOPEWA.
1. Usafirishaji wa chakula mwilini hufanywa na:
2. Tazama kwa makini kielelezo namba 2 kisha jibu maswali yanayofuata:
Alama Y inawakilisha sehemu iitwayo:
3. Lipi kati ya magonjwa yafuatayo huambukizwa kwa njia ya kujamiiana?
4. Lipi kati ya mafungu yafuatayo ya vyakula hulinda mwili?
5. Umuhimu wa asidi ya haidrokloric katika tumbo ni:
6. Kipi kati ya vifuatavyo vinapaswa kudumishwa?
7. Mbungo husababisha ugonjwa uitwao ....
8. Tunaweza kujikinga na magonjwa ya moyo kwa kufanya yafuatayo: .......
9. Ili kujikinga dhidi ya malaria ni muhimu .........
10. Mojawapo ya kazi za misuli katika mwili ni:
11. Lipi kati ya mambo yafuatayo si sahihi kumfanyia mtu aliyebanwa misuli?
12. Huduma ya kwanza anayopewa mtu aliyezimia ni:
13. Mtandao wa watu wenye virusi vya UKIMWI unatanuka kwa kuwa
14. Mwanga hupinda unapopita kutoka
15. Hewa ya kabonidaiyoksidi hutumika kuzima moto kwasababu:
16. Mifupa imeundwa kwa madini ya:
17. Sumaku inaweza kuvuta vitu vyenye asili ya:
18.Katika kurunzi, nishati ya umeme inayotoka kwenye betri hubadilishwa na kuwa:
19.Mojawapo ya hatua za kufuata unapoandaa jaribio la kisayansi ni:
20. Lipi kati ya magonjwa yafuatayo husambazwa na inzi na mende?
21. Lipi kati ya yafuatayo linapaswa kuzingatiwa kabla ya kumhudumia mgonjwa wa UKIMWI?
22. Kiwango cha maji kinachopotezwa na mmea huathiriwa na hali za hewa zifuatazo...
23. Tunaweza kusababisha mmomonyoko wa ardhi kwa kufanya mojawapo ya mambo yafuatayo:
24. Tazama mchoro ufuatao unaoonesha sehemu za ndani za mbegu ya haragwe....
Ni sehemu ipi inayohusika na kuilinda mbegu isiharibiwe na wadudu waharibifu mabadiliko ya jotoridi?
25. Hatua ya kwanza ya utafiti wa kisayansi ni
26. Bahati aliweka karatasi nyekundu ya litmus kwenye myeyuko asioutambua. Rangi ya karatasi ya litmas ilibadilika na kuwa bluu.Hii inaonesha kuwa myeyuko ule ulikuwa .........
27.Nini kitatokea iwapo ncha mbili za KASKAZINI za sumaku zitaletwa pamoja?
28. Dhana ya kuakisiwa kwa mwanga inadhihirika katika moja ya vifaa vifuatavyo:
29. Ipi kati ya vifuatavyo huzunguka dunia toka magharibi kwenda mashariki?
30. Mojawapo ya kazi za mifupa ni kutengeneza:
31. Uhuru ana tatizo la meno yanayovunjika na miguu dhaifu. Ni virutubisho gani utamshaufi atumie ili kutatua tatizo lake hili?
32. Kazi ya uta mgongo katika mfumo wa fahamu wa mwanadamu ni
33. Katika hali ya kawaida, kutu ni matokeo ya mjibizo wa athari za kikemikali kati ya:
34. Njia zifuatazo huweza kutumiwa kuhifadhi vyakula na mazao ili visiharibike ISIPOKUWA:
35. Yafuatayo ni makundi ya vyakula isipokuwa:
36. Mlishano sahihi ni:
37. Sehemu tatu kuu zinazounda mfumo wa damu ni:
38. Matatizo katika mfumo wa uzazi wa wanawake hutokana na upungufu wa hol zifuatazo
39. Lipi kati ya makundi yafuatayo ni sifa zinazotumika kutambua wanyama wa kundi la reptilia?
40. Kukosekana kwa chanikiwiti katika mmea huweza kusababisha:
41. Sehemu ya chembe hai inayohusika na kutawala shughuli zote za chembe hai huitwa:
42. Sehemu ya kike ya ua inayohusika na uzazi ni:
43. Tofauti kati ya tunda na mbegu ni:
44. Vyakula vyenye kabohaidreti huwezesha mwili:
45. Mapumziko baada ya kazi ni muhimu kwa sababu gani?
SEHEMU B. Jaza nafasi zilizowazi kwa kutoa majibu mafupi.
46. (a) Taja mahitaji mawili muhimu kwa ukuaji wa mimea
(b) Mapacha wanaofanana wanatokana na nini…………………
47. Sumaku ni nini?
48. Eleza matumizi ya sumaku
49. Mkondo waumeme unapimwa na kifaa kinaitwa………………………..
50. Kizio cha mkondo wa umeme ni? ..............................................
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN SAYANSI EXAM SERIES 9
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
KISWAHILI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
DARASA LA SABA
MUDA: 1.30 DARASA LA VII
MAELEKEZO
SEHEMU : A SARUFI
Chagua herufi ya jibu sahihi kisha uiandike kwenye karatasi ya kujibia uliyopewa
1. Wingi wa neon uteo ni nini?
2. Kitenzi “anapigwa” kipo katika kauli gani?
3. Wingi wa neon “paka” ni ipi?
4. Kisawe cha neon bahati ni kipi kati ya maneno yafuatayo?
5. Ni neon lipi kati ya haya yafuatayo halilandani na mengine?
6. Juma aliondoka hivi punde; maneno “hivi punde” yanamaana gani?
7. Sweta langu limeshonwa na fundi mzoefu, “mzoefu” ni aina gani ya neon?
8. Mlinzi wa mlango huitwaje?
9. Neno lipi tofauti na mengine katika maneno yafuatayo?
10. Nywele zinazoota kuanzia kwenye maskio mpaka kwenye mashavu huitwa?
11. Sehemu ngo’mbe huogeshwa hili kuwaepusha na magonjwa hutwa?
12. Joshua yupo jikoni anapaa samaki. Neno anapaa kama lilivyo tumika katika sentensi lina maana gani?
13. Siku ya nne baada ya leo huitwa?
14. Msemo usemao “kushikwa sikio” una maana ipi?
15. “Bwana mkubwa amelala ndani lakini ndevu zipo nje zapepea” Jibu sahii la kitendawili hiki ni
16. Kisawe cha eupe ni kipi?
17. Kimatu ni motto wa nani?
18. Kitenzi “piga” kikiwa katika hali ya kutendeka kitakua neon lipi?
19. “Sote tunafanya mtihani darasani” Neno darasani limetumika kama aina gani ya neon?
20. Ni sentensi ipo sahii kimuundo katika zifuatazo?
SEHEMU B. LUGHA YA KIFASIHI.
Katika swali la 21-30, andika jibu sahili la kila swali.
21. Watoto wa mfalme ni rahisi kujificha” Jibu la kitendawili hiki ni………..
22. Kamili methali. “Heri kufa macho kuliko…………
23. Anatengeneza mchuzi mtamu sana lakini hapiki jikoni. Lipi jibu la kitendawili hiki?
24. Nimeugua kwa muda mrefu sana, lakini sasa ni…………wa afya. Neno lipi linakamilisha sentensi hii?
25. Wakikua mama yao huwatupa mbali kwa kishindo. Jibu la kitendawili hiki ni lipi?
26. Kamilisha methali hii.Mwamba ng’oma……………
27. Tegua kitendawili kifuatacho. “Nyumbani kwangu kuna jini mnywa maji”
28. Ni methali ipi kati ya hizi inafanana na isemayo, mwenda pole hajikwai?
29. Methali isemayo, “mgaagaa na upwa hali wali mkavu inatoa funzo gani?
30. Methali ipi kati ya hizi haitoi onyo kuhusu tabia ya mtu?
SEHEMU C. UFAHAMU.
Soma kifungu kifuatacho kwa makini kasha jibu maswali 31-40.
Jua lilikuwa linaunguza mithili ya moto. Hapakuwa na nyasi wala miti iliyokuwa na majani ya rangi ya kijani.Kila uoto ulikuwa wa rangi ya kahawia kavu! Aidha kupata tone la maji ya kunywa ilikuwa ndoto kwani mito na visima vyote vilikauka kau.Baada kuhangaika kwa njaa na kiu, ndipo wanyama waliamua waitishe mkutano ili wajadili hatua ya kuchukua. Makundi • ya wanyama wa aina mbalimbali walikutana chini ya mbuyu. Swala, nyani, mbawa na tembo wote walikuwepo.
"Kama mjuavyo mimi ndimi mfalme wa wanyama wote.Niungurumapo hapana achezae kwa hiyo bila shaka mtakubali kuwa mimi ndiye mwenyekiti wa mkutano huu."alitangaza simba.Wanyama wote walitazamana na kutikisa vichwa kwa ishara ya kuafiki. Kisha alisimama na kusema "Mheshimiwa mwenyekiú, jana nilisikia mlindimo toka upande wa magharibi. Hivyo ninashauri sote tuhame na kuelekea upande huo ili tuokoe maisha yetu kwani huko kuna dalili ya mvua."Wanyama wote waliunga mkono hoja hiyo,isipokuwa kobe ambaye alisema, "mheshimiwa mwenyekiti, endapo kweli tumeazimia kuhama, sisi akina kobe tunaomba mtubebe kwani kasi yetu ya kutembea ni ndogo mno."
Baada ya kila mnyama kutoa rai yake ,Mwenyekiti alisimama na kusema, "Nimesikia yote mliyosema, kabla ya kuanza kuhama nakutuma wewe ngombe upeleke ujumbe wetu kwa binadamu ili waache kuharibu mazingira, kwani hicho ndicho kiini cha matatizo yanayotusibu.Wewe ni kiungo baina yetu na binadamu." ngombe alikubali.
Baada ya kufika ujumbe ule, binadamu alijibu kuwa alikwishaelewa tatizo Ia mazingira na tayari alikuwa na mpango kabambe wa kuchinja mifugo yote ili kutekeleza ushauri wa wataalamu wa mazingira wa kuiokoa dunia na janga Ia jangwa. Kusikia hivyo ngombe alichanja mbuga kuelekea kwa wanyama wengine.
31. Kwa mujibu wa habari uliyo soma, mkutano wa wanyama ulifanyika wapi?
32. Mwenyekiti wa mkutano wa wanyama alikuwa nani?
33. Hali ya kukauka kwa mito,visima nyasi na miti kunakutokana na ukosefu wa mvua inaitwaje?
34. Jina lingine Ia mnyama aliye washauri wanyama wote kuhamia upande ambako kulikuwa na dalili ya mvua ni lipi kati ya yafuatayo.
35.Katika habari uliyo soma sababu iliyomfanya kobe kutoafiki moja kwa moja hoja ya kuhama ni ipi?
36. kwa mujibu wa habari hii ,uharibifu mkubwa wa mazingira hufanywa na nani?
37. Neno lipi kati ya yafuatayo lina maana sawa na neno janga?
38. Kifungu cha maneno "alichanjambuga"kinamaana gani?
39. Binadamu alikusudia kuchinja wanyama wa aina gani
40. Kichwa cha somo uliyosoma kingefaa kiwe kipi?
SEHEMU D. USHAIRI
Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu maswali 41 - 46 kwa kuweka kivuli katika herufiya jibu.
Nimekwisha peleleza, karibu kila mahali,
Mule wanamotangaza, matangazo lugha mbili, Juu kuwa Kingereza, Chini kuwa Kiswahili, Juu kiwe Kiswahili, Chini kiwe Kingereza.
Kitangazwe Kingereza, baada ya Kiswahili
Hivi tutapotimiza, lugha itakuwa ghali,
Hivi mnavyofanyiza, sana mnaidhalili,
Juu kiwe Kiswahili, Chini kiwe Kingereza
Serikali bembeleza, tafakari tafadhali,
Jambo hili kueleza, kwa zingine serikali Kiswahili kutangaza, kuwa Chini twakidhili Juu kiwe Kiswahili, Chini kiwe Kingereza.
Tuache kukipumbaza, kwa andiko au kauli, Kwa nyuma kukisogeza, kukipa kisulisuli,
Lazima kuyafukuza, yawezayo kikatili,
Juu kiwe Kiswahili, Chini kiwe Kingereza
Na wenyewe kujikaza, kwa bidii za kimwili kiswahili kutukuza, tukivalie bangili,
Ngomani kutumbuiza, waume na wanawali Juu kiwe Kiswahili, Chini kiwe Kingereza.
41. Katika shairi hilo mstari wa pili katika ubeti wa pili una mizani mingapi?
42. Katika ubeti wa nne, vina ni vipi?
43. Kituo ni kipi katika shairi hili?
44. Shairi hili linahimiza kuhusu nini?
45. Ujumbe unaopatokana katika shairi hili unafanana na methali ipi?
46. Kutokana na shairi ulilosoma neno "kutukuza” lina maana ipi?
SEHEMU D. UTUNGAJI
Panga sentensi nne (4) zifuatazo hili ziwe kwa mtiririko wenye mantiki kwa kuzipa herufi A, B,C na D.
47. Zizi hilo limegawanywa katika sehemu mbili
48. Baba yangu anafuga mbuzi Ng’ombe na kondoo
49. Nje ya nyumba yetu kuna zizi kubwa
50. Sehemu moja ni ya ngo’ombe na nyingine ni ya mbuzi na kondoo.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN KISWAHILI EXAM SERIES 8
THE PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, LOCAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
ENGLISH- TERMINAL EXAMINATION-MAY
STD SEVEN
TIME: 1.30 HRS 2020
NAME:_________________________________CLASS:___________
INSTRUCTIONS
SECTION A. GRAMMAR.
Choose the words that complete the sentences by shading the letters of the correct answer.
1. He always ………………………………..when he was young
2. The snake………………….by Mrs. Mwenda
3. If you…………….hard you will pass your examinations
4. My brother’s daughter is my………………………..
5. The girl…………….came here yesterday is my daughter
6. Most children go to school…………………….foot
7. Girls like to go out alone at night……………………….
8. Arusha and Dar es salaam are ………………………..business centers
9. The headmaster has been waiting for the watchman ………………one hour
10. My father ………..the car he bought
11. Many people………………….cassava next season
12. Our sister………………….her left leg last year.
13. My car looks dirty but yours looks …………
14. Usually the sun …………in the west..
15. Dan is a slow driver. He …………to drive more carefully.
16. The books…………………….on the shelf
17. The national football team…………….won the match.
18. Many living things are ...............animals or insects
19. The pen on the desk belongs to me, so it is
20. The fire that .................. the whole village started from here.
21.The fire that .................. the whole village started from here.
22.The fire that .................. the whole village started from here.
23.The girl who picked flowers started with the................... beautiful to the least beautiful ones.
24. Chausiku does all the home work ... she wants to be first in class.
25. The lazy pupils _____________ their homework.
26. Every year, Tanzania ___________ a lot of visitors from different countries all over the world.
27. He will not pass his examination _____________ he works hard
28. David and Willy were preparing _____________ to go to school.
29.My sister has bought _____________new dress.
30. The patient had died ……………….lack of water
SECTION B. VOCABULARY.
31. A person who meants shows is called
32. A gun is a ……………………..
33. A person who tests and treats people eyes is called
34. A doctor works in a………………..
35. Gold, diamond and tanzanite are……….
36. A group of birds flying together is called;
37. He cuts and sells meat……………..
SECTION C. COMPOSITION WRITING,
Arrange the following sentences to give a meaningful sentences by giving them letters A-D.
38. While in Dar es salaam, they wrote about what they have seen
39. When they returned home, they told their friends about their enjoyable journey
40. Ali and his friends were excited by their trip to Dar es salaam Trade Fair
41. At the fair, they saw a lot of displays
SECTION D. COMPREHENSION
Read the following passage carefully and then answer the questions that Follow.
Lilato had a dream. He dreamt that someone gave him an egg. He was very happy and started wondering what to do with it. He thought of either eating it or keeping it in his pocket so that it would be warm and finally hatch and become a chick.
He thought of how this chick would grow into a hen and lay more eggs which will also hatch into more chickens. He would then sell some of those chickens and become a rich man. After getting a lot of money, Lilato thought of building an iron roofed house with glass windows. It would be a beautiful and big house.
While dreaming, Lilato walked excitedly. He jumped and the egg fell from his pocket and broke. He cried, saying that he will never be a rich man. Suddenly, he woke up and thanked God that it was only a dream.
42. Lilato decided to……………………the eggs
43. The people usually dream when they are………………….
44. Lilato was happy because he was given;
45. Lilato thought he could get a lot of money by;
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SEVEN ENGLISH EXAM SERIES 7