?> EXAM SERIES EXAM
STANDARD SIX TERMINAL SERIES

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MITIHANI YA KUJIPIMA KWA SHULE ZA MSINGI

MTIHANI MWA MWISHO WA MUHULA-MEI-2023

DARASA LA SITA

KISWAHILI

MUDA: SAA 1:30

MAELEKEZO

  1. Mtihani huu una maswali arobaini na tano (45) tu
  2. Jibu maswali yote
  3. Soma maelekezo kwa kila kurasa uliyopewa
  4. Tumia penseli ya HB tu
  5. Simu hazihitajiki katika chumba cha mtihani

SEHEMU A: UFAHAMU WA KUSIKILIZA

Sikiliza kwa makini habari utakayosomewa na msimamizi kisha jibu swali 1 – 5 kwa kuweka kivuli katika herufi ya jibu sahihi katika fomu yako ya kujibia.

  1. Kutokana na habari uliyosikiliza, ni nani aliyezungumziwa?

(a) Amani   (b) Bibi   (c)Wananchi   (d) Bibi na Amani    (e) Kilole

  1. Amani alimuuliza swali gani bibi yake? (a)Kama unajua kusoma na kuandika (b)Kama unajua kuandika (c)Kama unajua kusoma  (d)Kama unajua kuimba na kuandika  (e) kama unajua kuimba
  2. Amani anaishi katika kijiji cha Kilole. Je, Amani anaishi na nani?

(a)Bibi  (b)Babu (c)Shangazi (d)Mjomba (e)Babu na Bibi

  1. Kwa mujibu wa habari uliyosikiliza. Amani ana tabia gani?

(a)Mvivu (b)Mdadasi (c)Mkarimu (d)Mchapakazi na mdadisi (e)Mpole

  1. Kichwa cha habari hii kinafaa kiwe kipi miongoni mwa hivi?

(a)Kijiji cha Kilole (b) Amani  (c)Amani na bibi yake  (d)Kilole (e)Bibi 

Katika swali la 6 – 35 weka kivuli katika herufi ya jibu sahihi

  1. Neno machweo lina maana ipi kati ya hizi zifuatazo?

(a)Wakati jua linapozama   (b)wakati jua linapochomoza    (c)wakati jua linapokuwa la utosi   (d)wakati jua linapokuwa kati    (e)wakati jua linapokuwa pembeni.

  1. “Kazi mbaya si mchezo mwema” methali inayofanana na methali hii ni ipi kati ya hizi zifuatazo? (a)hewala haigombi   (b)mchezea tope humrukia   (c) mcheka kivu asiyefikwa na jeraha (d)lila na fila havitengamani  (e)mcheza kwao hutunzwa
  2. Wanafunzi wale wanapenda kucheza mpira. Katika sentensi hii neno lipi limetumika kama kivumishi? (a)wanafunzi   (b)wale  (c)wanapenda  (d)mpira  (e) kucheza
  3. Katika lugha ya kiswahili neno “staftahi” lina silabi ngapi?

(a)sita   (b)tano  (c)nne  (d)tatu  (e)saba

  1.                      “Ukitaka kuruka agana na nyonga”. Sentensi hii iko katika aina gani ya sentensi kati ya hizi? (a)sahihi  (b)ambatano  (c)changamano  (d)tegemezi  (e)shurutia
  2.                      Ipi ni maana ya kitendawili “nyumba yangu imeungua mwamba wake umebaki”

(a)mfupa  (b)njia  (c)kaburi (d)kisima (e)mlima 

  1.                      Kuwa na Nyota ya jaha maana yake ni ______ (a)jua la mchana  (b)Nyota ya asubuhi

(c) Bahati nzuri  (d)Bahati mbaya  (e)Bahati nasibu

  1.                      Wewe ni mtoto mdogo sana. Sentensi hii iko katika nafsi gani? (a)ya kwanza umoja

(b)ya pili umoja  (c)ya tatu wingi  (d)ya pili wingi  (e)ya kwanza umoja na wingi.

  1.                      Watu hufanya kazi mbalimbali ili kuweza kujipatia kipato. Mtu anayefanya kazi ya kutunza na kuazima vitabu anaitwa Mkutubi. Je! Mtu anayefanya kazi ya kuzibua vyoo anaitwa nani? (a) kuli              (b)topasi              (c) toinyo              (d)chepe              (e)zubaifu
  2.                      Bwana Afya aliuliza, kuna umuhimu gani wa kuchemsha maji ya kunywa? Je sentensi hii iko katika kauli ipi kati ya zifuatazo? (a)taarifa  (b)halisi  (c)tata (d)tungo huru (e)kutenda
  3.                      Asha ana gari. Neno “ana” ni aina gani ya neno?

(a)kitenzi (b)nomino (c)kiunganishi  (d)kielezi  (e)kihusishi

  1.                      Baba amelima shamba kubwa sana. Silabi inayoonesha nafsi ni ipi?

(a) –li-  (b) –a-  (c) –me- (d) – i-  (e) – lim-

  1.                      Ngumi zilipigika vilivyo, Neno lililopigiwa mstari lipo katika kauli gani?

(a)Kutenda  (b)Kutendewa  (c)Kutendwa (d)Kutendeka              (e)Kutendesha 

  1.                      Kamilisha methali ifuatayo. Akikalia Kigoda ____ (a)huanguka   (b) usimtukane

(c) mtii   (d) mfukuze   (e)harudi

  1.                      Ali anakula wali ____ maharage. (a)na  (b)kwa  (c)ni   (d)ya  (e)pamoja
  2.                      Simba mkali amepita shuleni kwetu. Mchanganuo wa sentensi hii ni upi kati ya michanganuo ifuatayo? (a)T+N+V+W+E   (b)N+E+V+T+W  (c)V+E+T+W+N (d)N+V+T+E+V   (e)N+V+E+T+V
  3.                      Kinyume cha methali isemayo; “Ngoja ngoja yaumiza matumbo” ni ______ (a)bendera hufuata upepo. (b)mtu hujikuna hajipatiapo (c) mwisho hadhuru maiti (d)haraka haraka haina Baraka               (e) asiyesikia la mkuu huvunjika guu
  4.                      Wakoloni walitunyanyasa lakini hatimaye unyanyasaji huo ulifika ukingoni kwani ___Ni methali ipi kati ya zifuatazo inamalizia sentensi hii? (a)hakuna marefu yasiokuwa na ncha (b)mchumia juani hulia kivulini (c)ukiona vyaelea ujue vimeundwa (d)umoja ni nguvu utengano ni udhaifu               (e)bandubandu humaliza gogo.
  5.                      Kazi ya Daudi ni kazi ya kijungujiko. Je! Kazi ya kijungujiko ni kazi ya aina gani? (a)Kazi ya kuchimba vyoo              (b)kazi ya kujitolea              (c)Kazi ya kufundisha wanafunzi   (d)kazi isiyo rasmi au inayotosha mahitaji yam lo tu.              (e) kazi ya kikoa
  6.                      Ikiwa mzizi wa neno “PIK” tukiunda neno litakalokuwa katika wakati uliopita nafsi ya kwanza umoja hali ya kutenda tunapata neno.              (a)alipika               (b)nilipika (c)walipika               (d)tulipika               (e)nimepika
  7.                      Akikosekana maana inakosekana. Jibu la kitendawili hiki ni lipi? (a)kitabu

(b)Kamusi (c)magazeti (d)shairi (e)Vipeperushi

  1.                      Mashairi ya kimapokeo yamegawanyika katika aina mbalimbali. Je ubeti wa shairi wenye mistari minne huitwaje?(a)mshororo               (b)tarbia               (c)Kituo (d)Kibwagizo (e)mizani
  2.                      Mnyama ambaye amekuwa laini bado hajazaa anaitwa _____

(a)mtamba (b)Mbuguma (c)Maksai (d)fahali (e)beberu

  1.                      Nenda ukawasikilize watakachokueleza uniletee mrejesho. Katika sentensi hii mtenda ni nafsi ya ngapi?               (a)ya kwanza umoja               (b) ya pili umoja               (c)ya tatu wingi

(d) ya kwanza wingi   (e)askari mwenye cheo cha juu

  1.                      Ali ni askari kazu. Ali ni _____ (a) trafiki  (b)kanga   (c)bunduki   (d)mpelelezi

 (e) askari mwenye cheo cha juu

  1.                      Jambazi alihukumiwa kwa kuua mfanyabiashara. Sentensi hii iko katika hali gani?

(a)hali timilifu  (b)hali ya kuendelea  (c) hali isiyodhihirika (d)hali ya mazoea (e)hali tata

  1.                      Tungo changamano ni tungo yenye vishazi vingapi? (a)viatu (b)viwili

(c)vinne (d)vitano (e) kimoja 

  1.                      Kisawe cha jogoo ni jimbi, kisawe cha beseni ni karai. Je kisawe cha kinyonga ni ____

(a)bomba (b)hua  (c)lumbwi (d)kelbu (e)baghala

  1.                      Katika neno anacheza. Kipi ni kiambishi njeo? (a)-a- (b)-na-               (c)-chez-

(d)-a-  (e)-cheza-

  1.                      Lipi kati ya maneno yafuatayo si kivumishi likiambatanishwa na nomino?              (a)Yule

(b)nzuri (c)polepole (d)huyo (e)hawa

SEHEMU B:

Panga sentensi zifuatazo kwa kuzipa herufi A – E ili zilete maana kamili kwa mujibu swali la 36 – 40 kwa kuweka kivuli katika herufi ya jibu lililo sahihi

  1.                      Niliogopa lakini nilipiga moyo konde
  2.                      Nilirudi nyuma kidogo nikaokota fimbo na kumpiga
  3.                      Jumamosi iliyopita mama alinituma sokoni
  4.                      Nilipokuwa njiani nilimwona nyoka
  5.                      Aliniambia ninunue nyanya, vitunguu, sukari na mafuta

SEHEMU C:

Soma habari ifuatayo kisha jibu maswali yafuatayo

Masebo ni mwalimu anayefundisha katika shule ya Msingi Maendeleo iliyoko wilaya ya Masasi. Anakaa katika kitongoji cha usafi kilichopo umbali wa kilometa tano kutoka shuleni. Siku moja mwalimu Masebo alikuwa anakwenda shuleni. Pembezoni mwa msitu wa kijiji aliwaona vijana watatu, vijana hao walikuwa wakikata miti kwa kutumia mapanga na mashoka na kuivundika pembeni. Aliwatambua vijana hao kuwa ni Juma, sadiki na Joseph. Mwalimu Masebo alisikitika sana. Alisimamisha pikipiki yake haraka na kwenda katika eneo lile. Alianza kuwafokea vijana wale kwa kukata miti mingi kiasi kile. Vijana wale walishangaa sana.

Maswali:

  1.                      Juma, Sadiki na Joseph walikuwa wanafanya nini msituni?
  2.                      Mwalimu Masebo aliona nini pembezoni mwa msitu wa kijiji?
  3.                      Je! Ukikuta watu wanaoharibu mazingira utafanya nini?
  4.                      Kwa nini mwalimu Masebo alisikitika sana?
  5.                      Kwa nini tunashauriwa kutokata miti ovyo?

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

UFAHAMU WA KUSIKILIZA 

Amani anaishi na bibi yake katika kijiji cha Kilole. Anamsaidia bibi yake shughuli za nyumbani. Anamsaidia kusafisha nyumba, kupika, kuosha vyombo na kufua. Juzi Amani alimuuliza bibi yake; bibi unajua kusoma? Bibi akajibu ninajua kusoma na kuandika. Amani akasema sawa bibi, kesho nitaleta kitabu changu ili tusome pamoja.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX KISWAHILI EXAM SERIES 70

OFFICE OF THE PRESIDENT

REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY EXAMINATION SERIES

STANDARD SIX TERMINAL EXAMINATION MAY-2023

MATHEMATICS

SECTION A

  1. 60,114 – 42,987 =


  1. 18237
  2. 17,127
  3. 18,027
  4. 18,127
  5. 18,137


  1. 109.2 ÷ 6 =


  1. 18.2
  2. 1.82
  3. 0.182
  4. 0.0182
  5. 182.0


  1. 87 x 102 =


  1. 8,774
  2. 8,764
  3. 8,874
  4. 8,864
  5. 8,884








  1. 2,040 ÷ 12 =


  1. 1700
  2. 107
  3. 17
  4. 170
  5. 200


  1. Find 12% of 5,000


  1. 600
  2. 60
  3. 6000
  4. 6
  5. 4,400


  1. If M =3, N=4, Calculate the value of (M2 – N2)(M – N)


  1. -7
  2. -8
  3. 12
  4. 8
  5. 7


  1. Find the Lowest Common Multiple (LCM) of 6, 8 and 12.


  1. 1
  2. 2
  3. 72
  4. 24
  5. 48


  1. If x=3 and y=5, find the value of (x – y)2


  1. -2
  2. 4
  3. -4
  4. -16
  5. 16


  1. The square of


  1. 7
  2. 14
  3. 28
  4. 49
  5. 2401


  1. Write the number 269 as a Roman number.


  1. CCXLIX
  2. CCLXXV
  3. CCLXXI
  4. CCLXVI
  5. CCLXIX


  1. Find the missing number in the following sequence of numbers ......., 200, 205, 210.


  1. 105
  2. 165
  3. 195
  4. 185
  5. 199


  1. The following figure is a circle whose diameter is 56cm. Find the circumference. (


  1. 242cm
  2. 166cm
  3. 176cm
  4. 342cm
  5. 352cm


  1. Find the value of x in the following figure:

 


  1. 10
  2. 30
  3. 90
  4. 20
  5. 40


  1. If the length AD is equal to length DC, find the area of triangle ABC.


  1. 10cm2
  2. 12cm2
  3. 15cm2
  4. 20cm2
  5. 30cm2


  1. The perimeter of the following rectangle is 26cm. find its width.


  1. 4cm
  2. 6cm
  3. 8cm
  4. 9cm
  5. 3cm


  1. The area of a rectangular vegetable garden is 160m2 and its width is 8m. If John wants to put a fence around the garden, how long shall the fence be?


  1. 20m
  2. 28m
  3. 40m
  4. 56m
  5. 80m


  1. 45 percent of Kamota Primary School pupils like Mathematics. If the school has 400 pupils, how many of them do not like mathematics?


  1. 420
  2. 220
  3. 210
  4. 355
  5. 210




  1. 4,801 + 375 =


  1. 5,616
  2. 5,176
  3. 4,176
  4. 5,166
  5. 5,716


  1. 887,967 – 436,856 =


  1. 450,001
  2. 451,001
  3. 51,011
  4. 451,111
  5. 415,111


  1. If a=2, b=4, and c=1, find the value of 


  1. 6
  2. 14
  3. 1
  4. 0
  5. 4


  1. List the even numbers that are found between 64 and 75


  1. 65, 70
  2. 66,69,72
  3. 67, 71, 73
  4. 66, 68,70, 72, 74
  5. 65, 67, 69, 71, 73.


  1. Find the lowest common Multiple (L.C.M) of 12 and 15:


  1. 27
  2. 3
  3. 1
  4. 120
  5. 60


  1. Find the square number of 19


  1. 361
  2. 281
  3. 381
  4. 261
  5. 161


  1. Find the value of B if A:B = 9:1, and A= 81


  1. 135
  2. 115
  3. 125
  4. 145
  5. 155


  1. Simplify: -3(y + x) – 2y.


  1. -3y – 2x + 2y
  2. -5y – 3x
  3. 5y – 3x
  4. -3y – 3x – 2y
  5. -5y + 3x


  1. Find the surface area of the cylinder below which is open on one side


  1. 1,254cm2
  2. 1,354cm2
  3. 1,286cm2
  4. 1,232cm2
  5. 1,386cm2


  1. Find the perimeter of the isosceles triangle PQR BELOW.


  1. 116cm
  2. 80cm
  3. 3cm
  4. 40cm
  5. 76cm


  1. Find the value of angle m in the figure below:


  1. 110°
  2. 55°
  3. 100°
  4. 140°
  5. 125°


  1. There are 480 pupils in Grade seven at Maendeleo Primary school. If  of the pupils are girls, Find the difference between the number of girls and boys at the school.


  1. 280
  2. 760
  3. 40
  4. 80
  5. 200


  1. Mr. Mahenge has 1, 560 cattle among which 35% are calves, 100% are bulls and the rest are female cows. How many female cows does Mr. Mahenge have?


  1. 858
  2. 156
  3. 546
  4. 702
  5. 390


  1. A baby slept for 7 hours from 7:40am in the morning.At what time did the baby wake up?


  1. 2:40pm
  2. 1:40pm
  3. 11:20am
  4. 2:40am
  5. 11:20pm


  1. Lusajo visited his sister Chaupele and stayed with her for 840 hours. How many days he stay with his sister?


  1. 70
  2. 28
  3. 120
  4. 14
  5. 35


  1. Yusuf arrived at school at 8:30am. If he was late for 30 minutes, at what time was he supposed to arrive at school?


  1. 9:00am
  2. 8:30am
  3. 2:00pm
  4. 8:00am
  5. 8:60am


  1. A water well having the shape of a cube has a volume of 64m3. Find the length of one side of the well.


  1. 8m
  2. 4m
  3. 16m
  4. 32m
  5. 60m


  1. A car wheel has a diameter of 100cm. How may rotations will the wheel make in order to cover 471m? (Use )


  1. 1.5
  2. 4.71
  3. 14.79
  4. 150
  5. 75


  1. Angle EFG represents one of the angles on the roof of Mr. Nzige’s house.

Which type of angle is this?


  1. Acute angle
  2. Obtuse angle
  3. Reflex angle
  4. Right angle
  5. Straight angle


 

SECTION B

In questions 41 – 45, work out the questions given using a blue or black pen and then write your answers in the spaces provided

  1. A teacher gave work on listing odd square numbers between 0 and 50. Which are these numbers?
  2. A pupil divided a right angle to get three angles as shown in the figure below.

What is the value of y?

  1. The figure below shows a box used to store books:

Find the volume of the box

 

  1. Mr. Kazimoto, his wife and 8 children travelled from Mwanza to Singida. They paid a total of 48,000 shillings as fare. If the fare for each child was a half of that of each adult, find the fare of each child.
  2. In Mwisaka Primary School, the school fees per pupils is sh 44665.35. How much money will the school collect per year from 32 pupils?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX MATHEMATICS EXAM SERIES 69

OFFICE OF THE PRESIDENT

REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY EXAMINATION SERIES

STANDARD SIX TERMINAL EXAMINATION MAY-2023

SOCIAL STUDIES 

SECTION A

Choose the correct answer.

  1. _____ is an instrument used to measure wind direction.
  1. Wind gauge
  2. Anemometer
  3. Wind vane
  4. Thermometer
  1. When we keep our environment clean, we will avoid ________
  1. Diseases
  2. Eating
  3. Playing
  4. Scarcity
  1. _______ is a system or way of communication between people in society
  1. Beliefs
  2. Language
  3. Communication
  4. Religion
  1. During the stone Age, all tools were made from ____
  1. Bones and stones
  2. Stones
  3. Wood
  4. Iron and stones
  1. The remains of the early man were discovered by _____
  1. Dr. Karl Peters
  2. Dr. Louis Leakey
  3. J.K.Nyerere
  4. Dr. Rebman
  1. The average weather condition for an area which has been recorded for a long period of time is ____
  1. Climate
  2. Weather
  3. Thermometer
  4. humidity
  1. Maji Maji war took place in the ______
  1. Southern part of Tanzania
  2. Southern part of Tanganyika
  3. Northern part of Tanganyika
  4. Central Tanganyika
  1. Among the tribes which were involved in the Maji Maji war were
  1. Kamba, Yao and Ngindo
  2. Chagga, Pare and Makonde
  3. Sambaa, Hehe, Nyamwezi and Ngindo
  4. Makonde, Ngindo and Yao
  1. The skull of the first man was discovered at ________
  1. Olduvai Gorge
  2. Engaruka
  3. Kisumu
  4. Nsongezi
  1. The path which is used by planets to revolve round the sun is known as _____
  1. Orbit
  2. Axis
  3. Satellite
  4. Rotation
  1. A millennium is a period of _______
  1. 10 years
  2. 1000 days
  3. 100 years
  4. 1000 years
  1. The leading cotton producing religions in Tanzania are ______
  1. Mtwara and Lindi
  2. Mbeya and Kilimanjaro
  3. Shinyanga and Mwanza
  4. Tabora and Mara
  1. Fort Jesus was constructed in 1592 in Mombasa by the ______
  1. British
  2. Germans
  3. Arabs
  4. Portuguese
  1. The first city state to develop along the East African coast was _____
  1. Mombasa
  2. Kilwa
  3. Tanga
  4. Bagamoyo
  1. Kwame Nkrumah was the first president of
  1. Nigeria
  2. Ghana
  3. Guinea
  4. Mozambique
  1. Environmental disasters happens due to ______
  1. Increased human population
  2. Misuse of the world resources
  3. Use of nuclear energy
  4. Destruction of the environment by human beings
  1. The following are effects of Leakage of nuclear radioactive materials in the air to humans.
  1. Diseases like cancer and lungs problems
  2. Death and uncontrollable diseases like diarrhea
  3. Death and prolonged typhoid
  4. A series of meningitis
  1. ______ is the overflowing of water due to heavy rainfall tsunami or hurricane
  1. Landslide
  2. Drought
  3. Flooding
  4. Ice melting
  1. Most of the areas affected by floods in Tanzania are ______
  1. Dar es Salaam Morogoro and Kilimanjaro
  2. Iringa, Mbeya and Ruvuma
  3. Mwanza, Dodoma and Karagwe
  4. Kilimanjaro and Arusha
  1. Fukushima disaster which took place in 2011 was about _____
  1. Oil leakage in the Indian Ocean
  2. Flooding in Southern Africa
  3. Prolonged drought in Asia
  4. Nuclear leakage in Japan
  1. Many ocean creatures die after oil spilling in water because _____
  1. Of insufficient oxygen to marine creatures
  2. They are not familiar with oil
  3. Temperature increases in the sea
  4. Oil smells badly to creatures
  1. The removal of the top layer of the soil from one point to another is referred to as ____
  1. Soil erosion
  2. Land slide
  3. Mass wasting
  4. Tsunami
  1. The following are effects caused by drought except ______.
  1. Destruction of habitats of living organisms
  2. Trees becoming dry
  3. Death of living organisms due to thirsty
  4. Increase of vegetation cover
  1. A forestation is _________
  1. Replanting trees in areas where they were cut
  2. A major reason for drought
  3. Cutting down trees in large quantities
  4. Clearing trees for lumbering
  1. The Green Resources Limited have invested much in planting trees in the ______
  1. Rwanda, Burundi and Uganda
  2. Kenya Tanzania and Malawi
  3. Uganda, Tanzania and Malawi
  4. Tanzania, Kenya, Uganda and Mozambique
  1. People can use ________ as alternative sources of energy for cooking so as to protect forests
  1. Firewood and charcoal
  2. Firewood and coal
  3. Gas and coal
  4. Firewood, coal and charcoal
  1. _______ is the best ways of making people understand the effects of environmental destruction.
  1. Education
  2. The use of modern technologies in domestic activities
  3. Enacting environmental laws
  4. Use of force
  1. Weather consists of the following elements except ______
  1. Rainfall
  2. Precipitation
  3. Barometer
  4. Wind
  1. What is not true about the rain gauge?
  1. It is an instrument used to measure the amount of rainfall
  2. It is a special case or container with a test tube inside
  3. It is placed 10 to 30cm above the ground
  4. Its measurements are expressed in millimeters (mm)
  1. Precipitation is the result of ________
  1. Expansion of air
  2. Condensation of air pressure
  3. Rapid condensation of air pressure
  4. Rapid condensation of air moisture
  5. Rainfall
  1. Agricultural activities take place during ________
  1. Wet season
  2. Dry season
  3. September
  4. Winter period
  1. A hero is someone who __________
  1. Devotes himself for his family or society
  2. Struggles for long hours
  3. Works for long hours
  4. Competes for presidency
  1. Mkwavinjika means ____________
  1. Conqueror of land
  2. Hero
  3. Brave and intelligent
  4. A man of the people
  1. _______ led the Convention people’s Party (CPP) to the independence of Ghana
  1. Samora
  2. Mohamed Abdulla
  3. Gamal Abdel Nasser
  4. Kwame Nkrumah
  1. _____ chaired the group of five frontline presidents who advocated for the overthrowing of white supremacy in South Africa, South-West Africa (Namibia) and Zimbabwe.
  1. Mzee Jomo Kenyatta
  2. Kwame Nkrumah
  3. Gamal Abdel Nasser
  4. Julius K. Nyerere
  1. Mandela spent 27 years at ___________ jail because of opposing the apartheid policy.
  1. Roben island
  2. Kwazulu Natal
  3. Cape Town
  4. Cape Province
  1. A barometer is an instrument used to measure _____________
  1. Air pressure
  2. Air temperature
  3. Direction of wind
  4. The speed of wind
  1. The three towns of Tanzania that have cement factories are ______
  1. Mbeya, Zanzibar and Mwanza
  2. Dar es Salaam, Mbeya and Tanga
  3. Arusha, Moshi and Morogoro
  4. Arusha, Tanga and Morogoro
  1. Which of the following is a volcanic mountain?
  1. Kilimanjaro
  2. Kipengere
  3. Uluguru
  4. Ruwenzori
  1. When does the Equator experience overhead sun?
  1. 2nd March and 21st June
  2. 23rd September and 22nd December
  3. 21st March and 23rd September
  4. 21st June and 22nd December

 

SECTION B

  1. Culture is _______________
  2. Name the three agents of colonialism who came to Tanganyika during the 19th century.
  1. ________________
  2. ________________
  3. ________________
  1. We measure temperature by using ____________
  2. Who was the first European to come to Tanganyika?
  3. Vasco Da Gama discovered the East Africa coast on his way to __________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX SOCIAL EXAM SERIES 68

OFFICE OF THE PRESIDENT REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT PRIMARY EXAMINATION SERIES STANDARD SIX TERMINAL EXAMINATION MAY-2023 CIVICS & MORAL EDUCATION SECTION A Choose the correct answer and write its letter in the space provided. Which of these is not a characteristic of person of integrity? ............ Kind Respectful Patient Responsible Unreliable Tolerating the culture of other people can result into all these except....... Peace Hatred Development Harmony Prosperity The highest leadership body in a district, town or municipal council is.......... Standing committees Full council Legal Section Executive Director Planning and statistics A feeling of love, devotion and sense of attachment to one’s country is called..... Justice Democracy Nepotism Patriotism Unity The head of all civil servants in a district is.......... Regional commissioner District Executive Director District Administrative Secretary Mayor Regional Administrative Secretary Presence of citizens of other countries and imported goods in our country are indicators of .......... Underdevelopment Corruption Technological advancement Embezzlement Globalization A state of a person having high moral principles is called........... Patience Integrity Kindness Humility Obedience Which of these can hinder you from achieving your goal? Good time management Entertaining distracters Not entertaining distracters Accepting your mistakes and learning from them Observing hygiene Which holiday is celebrated to commemorate the formation of the word Tanzania? ...... Nyerere Day Union Day Revolution Day Independence Day Karume Day The main decision making body at the village level is........... The youth Village council Village chairperson Village assembly Village executive Who among the following is not a needy person in the community? ....... Visually impaired Mentally handicapped The poor The elderly Foreigners Which of these is a way of advertising a school that can reach many people at the same time? .......... Discipline Sports and games Mass media Uniforms Roadside billboards Good relationship in a community can be destroyed by all these except....... Dishonesty Jealousy Pride Honesty Envy and bitterness Ability to recover quickly from a difficult condition or situation is known as......... Patience Resilience Responsibility Obedience Honesty In which year was Kiswahili inaugurated as the fourth official language of the Southern African Development community (SADC)? 2019 2020 2010 2014 2016 How many pillars of state are there in the United Republic of Tanzania? Two Five One Three Ten Who among these should a pupil not see for counseling? ........ Parents Guidance Religious leaders Teachers terrorists What is the symbolic meaning of the black colour on the national flag? .... Charcoal Independence People of Tanzania People of Africa Vegetation Why is it important to respect other peoples ‘cultures? ......... It creates misunderstanding It promotes good relationship It promotes tribalism It promotes bad relationship It is a way of showing outdated cultural practices The national symbol found at the centre of the presidential flag is......... Green colour National flag Coat of arms The constitution National currency Which of the following is not cyber crime? Spreading xenophobic materials Data espionage Publication of pornographic materials Spreading unconfirmed information E-learning and commerce Which of the following is an outdated belief? .......... All people are equally important. Doing good to others brings blessings. God is a supreme Being White people are better than the black Marrying a relative is bad. Appointment of a Prime Minister is done by the president but approved by....... Cabinet The parliament National assembly Speaker Attorney General A feeling that makes children set fire on things like mattresses and clothes is called...... Caring Curiosity Hatred Bitterness Envy According to the constitution of the United Republic of Tanzania, dispensation of justice is the responsibility of...... Celebrating National Days Using Kiswahili language Inter tribe marriages Distributing national resources among few regions Emphasizing nationality rather than tribalism Indirect democracy is a system where leaders rule on behalf of.......... Pupils Government Citizens Themselves Parliamentarians Which of the following is not a right of a child? .......... To play To get education To be loved To get any kind of information To get medical care Who is the secretary to the district council? District Commissioner District Executive Director District Education Officer District Administrative Secretary District Legal Officer Analysing things critically means........... Having a rough idea about them Examining them in detail Having a glance at them Liking them Reading about them A governmental organization that protects and promotes human rights among these is.... Tanzania Women Lawyers Association Legal Human Right centre Commission for Human Rights and Good Governance Tanzania Media Women Association Hakielimu Personal ambitions on what we want to achieve in life are called...... Achievements Goals Life goals Short term goals Priorities The worker’s holiday is commemorated on.................... 8th August 7th July 7th April 1st May 26th April The High Court of Tanzania is headed by the................... Principal Judge Chief Justice Speaker Resident Magistrate Justice Who among the following are not the needy people in the community? ........... Orphans Fire victims The elderly The rich Street children Which of the following activities does not contribute in building the reputation of a school? ................. Performing well in examinations Performing well in sports Behaving well everywhere Being clean and smart Cheating in national exams to excel All these are examples of school rules except.......... Be punctual Put on clean and smart uniform Use official language Respect teachers only Use school property carefully An inspector General of Police is appointed by the............. Regional Police Commissioner Regional commissioner Speaker President Prime Minister Kilimanjaro region is the original homeland of the .......... people Sukuma Chagga Digo Haya Zaramo Which of the following images is not found on the coat of arms? ...... National flag Hoe Crops Freedom torch Presidential standard An association or club that a pupil should not join among these is....... Scouting Environmental debating Gambling Sports and games Read the passage below and answer the questions that follow. Election is a legal procedural process of obtaining representative leaders. General elections in Tanzania take place after every five years. Tanzania is a multi-party state. This means it has many political parties. Out of all the parties, there is only one party that rules. The party in power is called the ruling party. The system of multi-partism was reintroduced in the year 1992. The first multi-party elections were held in the year 1995. The political party which has been in power for a long time is Chama cha Mapinduzi. Its closest competitor is Chama cha Demokrasia na Maendeleo. All political parties must be registered by the registrar of political parties in order to operate. Questions The political party in power is known as........................... When was the multi-party system reintroduced in Tanzania? .............. What do you understand by “multi-party system?”........................... According to the passage, all political parties must be registered by.......... A legal process of getting leaders by voting is called...................

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX CIVICS EXAM SERIES 67

PRESIDENT'S OFFICE 
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT 
PRIMARY EXAMINATION SERIES
STANDARD SIX

TERMINAL MAY-2023

ENGLISH

TIME: 1:30 HRS                                                           

NAME_____________________________________SCHOOL_________________________

INSTRUCTIONS

  • THIS paper consists of 45 questions with sections A,B and C
  • Select the best alternative in question 1-40
  • For question 41-45 provide the best answer
  • Write full name on the blank space above together with the name of the school
  • Ensure your work is neat and legible.

 

Write the letter of the correct answer

  1. She is a letter to her mother now
    1. Wrote b. written c. writing d. writes e. home writing
  2. John always to school
    1. Goes b. go  c. went d. have gone e. going
  3. Peter and Paul         in the school garden when their mother came
    1. Work  b. was working c. were working d. works e. worked
  4. They          going to visit Serengeti National Park next month
    1. Will b. shall c. has d. were e. are
  5. He didn’t      at school early yesterday
    1. Has arrived b. arrives c. arriving d. arrive e. have arrived
  6. The boys          their books to the school library
    1. Has taken b. have taken c. will take d. shall take e. take
  7. Four months ago, Joyce          from Japan
    1. Comes b. come c. is coming d. came e. were coming
  8. Paul         his clothes since morning
    1. Has been washing b. have been washing c. shall be washing d. will be washing

e. is being washing

  1. If he          early he would have caught the bus
    1. Has come b. had come c. will come d. have come e. would come
  2. She plays netball well,         ?
    1. Doesn’t she b. don’t she c. did she d. didn’t she e. doesn’t he
  3. The chair is         by the child
    1. Broke b. break c. broken d. breaks e. breaking
  4. Amina will be         netball by this time tomorrow
    1. Playing b. played c. play d. plays e. have played
  5. President Dr. Magufuli and his wife were preparing         to go to China
    1. Ourselves b. herself c. himself d. themselves e. theirselves
  6. They won’t pass the examination          they work very hard
    1. And b. if c. unless d. even e. because
  7. Neither Peter          Joseph played football last week
    1. Either b. or c. and d. if e. nor
  8. Most of Sukuma people prefer ugali          bananas
    1. To b. except c. like d. than e. with
  9. The giraffe is the         animal in Serengeti National Park
    1. Tall b. taller c. tallest d. more tall e. most tallest
  10. The son is young enough for       to school
    1. Go b. going c. went d. goes e. gone
  11.    motorcycles and cars can be dangerous
    1. Neither b. that c. very d. both e. so
  12. There isn’t         water in the tank
    1. Some b. many c. any d. much e. few
  13.    it was raining heavily, the players were playing football
    1. If b. although c. despite of d. in spite of e. unless
  14. Chacha died          malaria
    1. From b. for c. off   d. of e. in
  15. The daughter of one’s sister is called           
    1. Aunt b. uncle c. niece d. nephew e. cousin
  16. They travelled          a bicycle from Matabe to Mgusu
    1. At b. by c. with d. in e. on
  17. My uncle has been a doctor          a year now
    1. For b. since c. on d. in e. at
  18. A person from Rwanda is called          
    1. Rwandanian b. Rwandans c. Rwandese d. Rwandas e. none
  19. Mango was not only intelligent    obedient in his class
    1. But b. but also  c. and also d. also e. but so
  20. The room is small to accommodate 40 students
    1. Too b. to c. two d. into e. onto
  21. At school we are allowed to speak  English or Kiswahili
    1. Both b. and c. either d. neither e. also
  22. A big stone is          
    1. Charle’s b. Charles c. Charles’s d. Charles’ e. Charles is

 

SECTION B: VOCABULARY

Write the letter of the correct answer

  1. A young cow is called          
    1. Kitten b. piglet c. calf d. puppy  e. chick
  2. A person whose father died is           
    1. A bachelor b. an orphan c. fatherless d. spinster e. single
  3. A person who sells meat is            
    1. Meat monger b. cow’s cutter c. butchery d. butcher e. killer
  4. Three children born at the same time to the same mother are called          
    1. Triplets b. twins c. triple d. worst e. three in one
  5. A is a house where the rabbit stays (lives)
    1. Hole b. burrow c. nest d. bullow e. house
  6. The singular form of the word ‘teeth’ is
    1. Toothpick b. toothless c. one teeth d. tooth e. teeth

SECTION C: COMPOSITION

Rearrange the following sentences so as to make a meaningful composition by giving them letters A, B, C and D

  1. She jumped out the bed and ran to her mother happily
  2. She found her mother in the kitchen with a cake and other snacks
  3. Lightness was still asleep in the morning dreaming about her birthday
  4. Suddenly, she heard her mother calling her

SECTION D: COMPREHENSION

Read the following passage carefully and then answer the questions that follow

It was on Friday morning in March 2016 when Majuto started form one at Kalangala secondary school. He reported with his mother who had carried a bucket, sweeping broom, a hoe, a beautiful school bag as well as classroom instruments.

They entered the Headmaster’s office to be registered. The Headmaster asked his mother to show

all needed things according to joining instructions then he was registered as a form one student.

Later, the teacher on duty showed him where to join his classroom. After the parade they entered their classroom where the English teacher instructed them on how they can introduce to each other. He was very glad to know how to introduce himself and his fellows

QUESTIONS

  1. In which year did Majuto start form one?
  2. Who escorted Majuto to school?
  3. Majuto’s school bag contained     
  4. Who showed form one students where to go?
  5. The suitable title for the passage is   

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX ENGLISH EXAM SERIES 66

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWIGO DARASA LA SITA

KISWAHILI

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEKEZO:

  1. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  2. Kumbuka kuandika majina yako.
  3. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.

SEHEMU A: FASIHI NA MSAMIATI

1   Hali ya kuwa na mali nyingi au fedha huitwa  

  1.    Ubahili b. ukwasi c. ukapa d. ukata e. ukachero
  1.    Mtoto mpole hupendwa na wanafunzi wenzake darasani. Neno ‘mpole’ limetumika kama
    1.    Kiwakilishi b. nomino c. kivumishi d. kielezi e. kiungo
  2.    “Ili tuendelee          kufanya kazi kwa bidii”. Neno lipi limekosekana ili kukamilisha sentensi
    1.    Ni budi b. hatuna budi c. tuna budi d. kuna budi e. hapana budi
  3.    “Maandishi yanasomeka vizuri”. Sentensi hii ipo katika wakati gani?
    1.    Ujao b. uliopita c. mazoea d. uliopo e. timilifu
  4.    Hamza alikuwa anaimba tangu ujana wake. Neno ‘alikuwa’ ni aina gani ya kitenzi?
    1.    Kisaidizi b. jina c. kishirikishi d. kitegemezi e. sana
  5.    Mahindi, maharage, ufuta, michungwa, migomba na mihogo kwa neno moja huitwa
    1.    Mimea b. vyakula c. matunda d. mboga e. miche
  6.    Wale wanakimbia polepole. Neno ‘wale’ limetumika kama aina ipi ya maneno?
    1.    Nomino b. nafsi c. kiwakilishi d. kielezi e. kitenzi
  7.    Neno lipi kati ya maneno yafuatayo ni kinyume cha neno ‘hobelahobela’?
    1.    Faragha b. ovyo ovyo c. vizuri d. mpangilio e. ubaya
  8.    Neno moja linalojumuisha herufi a, e, i, o na u ni lipi?
    1.    Silabi b. konsonanti c. mwambatano d. irabu e. kiambishi
  9. Mzizi wa neno “amenichora” ni          
    1.    –achor- b. –nichor- c. –chorea- d. –amenich- e. –chor-
  10. Mabomba ya kupitisha moshi toka jikoni kwenda nje huitwa
    1.    Bahari b. dohari c. ghala d. hosteli e. boya
  11. Wingi wa sentensi “Yule mwali hali wali” ni      
    1.    Wale wali hali wali
    2.    Wale wali hawakuli wali
    3.     Wale wanawali hawali wali
    4.    Wale wali hawali wali
    5.    Wale wali hajala
  12. Kama angelilima shamba kubwa           
    1.    Angevuna mazao mengi
    2.    Angelivuna mazao mengi
    3.     Angalelivuna mazao mengi
    4.    Angalivuna mazao mengi
    5.    Atavuna mazao mengi
  13. Kalamu zako ni nzuri. Ukienda dukani uninunulie         . Kifungu kipi cha maneno hukamilisha sentensi hiyo?
    1.    Kama hivyo
    2.    Kama hicho
    3.     Kama hizo
    4.    Kama hiko
    5.    Mfano wa hicho
  14. Ni sentensi ipi kati ya hizi zifuatazo ipo katika kauli taarifa?
    1.    Tafadhali nichunie ng’ombe wangu
    2.    Nichunie ng’ombe wangu
    3.     Aliniomba nikamchunie ng’ombe wake
    4.    Nichunie ng’ombe tafadhali
    5.    Kwanini unanichunia ng’ombe wangu
  15. Neno ‘kuku’ liko katika ngeli ya aina gani?
    1.    KI – VI
    2.    A – WA
    3.     YU-A-WA
    4.    I-ZI
    5.    LI-YA
  16. “Ukitaka kuja unijulishe mapema”. Usemi huu ni aina gani ya sentensi?
    1.    Ambatano b. shurutia c. sahihi d. changamano e. sentensi fupi
  17. Penina huimba kila siku. Hii ni hali gani ya kitenzi?
    1.    Timilifu b. isiyodhihirika c. mazoea d. kuendelea e. kupita
  18. Kipi ni kisawe cha neno ‘tembo’?
    1.    Faru  b. ndovu c. nyati d. twiga e. mbogo
  19. Tulicheza ngoma na kuimba usiku kucha. Katika sentensi hii watenda ni nafsi ipi?
    1.    Ya tatu wingi b. ya pili wingi c. ya kwanza wingi d. ya pili Umoja  e. ya tatu Umoja SEHEMU B: LUGHA YA KIFASIHI

Andika herufi ya jibu sahihi

  1. Siku hizi siri za mafisadi zimeanikwa juani. Usemi ‘kuanikwa juani’ una maana ipi kati ya hizi zifuatazo?
    1.    Kuelezwa waziwazi
    2.    Kusemwa hadharani
    3.     Kusemwa jukwaani
    4.    Kusemwa nje ya kikao
    5.    Kuelezwa hadharani
  2. “Kidagaa kimemuozea”. Msemo huu una maana gani?
    1.    Kukwepa kulipa deni


  1.    Kutowajibika kulipa
  2.     Kuelemewa na jambo
  3.    Kupoteza Tumaini
  4.    Kulipa deni maradufu
  1. Tegua kitendawili kisemacho “bibi kafa kaniachia pete”.
    1.    Konokono b. jongoo c. tandu d. nyoka e. mende
  2. Methali isemayo “Mgaagaa na upwa hali wali mkavu” inatoa funzo gani?
    1.    Bidii huleta mafanikio
    2.    Mafanikio ni matokeo ya kazi
    3.     Bidii huleta faraja
    4.    Bidii ni kazi ya kuhangaika
    5.    Mafanikio ni ya lazima
  3. Nazi yangu yafurahisha ulimwengu pia. Jibu la kitendawili hiki ni
    1.    Moto b. mwezi c. nyota d. jua e. mbingu
  4. Kuwa na ulimi wa upanga maana yake ni
    1.    Kutoa maneno makali
    2.    Kupayuka
    3.     Kutoa maneno ovyo
    4.    Kukata maneno
    5.    Kukataa katakata
  5. Maisha ya Abunuasi yalivyo ni sawa na kukalia kuti kavu. Maana ya kukalia kuti kavu ni ipi?
    1.    Kuwa mzee sana b. kuwa na maisha ya kimwinyi c. kuwa na maisha ya kipwani

d. kuwa na maisha ya kutegemea urithi e. maisha ya kutojishughulisha

  1. Mama ameandaa meza. Maana ya Nahau kuandaa meza ni
    1.    Kusafisha na kupamba meza b. kununua meza c. kuandaa chakula mezani

d. kusafisha meza e. kupamba maua meza

  1. Wana wa mfalme ni wepesi kujificha. Maana ya kitendawili hiki ni
    1.    Masikio b. macho c. pua d. ulimi e. ini
  2. Haraka haraka haina Baraka. Kinyume cha Methali hii ni
    1.    Polepole ndio mwendo
    2.    Mpanda ovyo hula ovyo
    3.     Mtoto umeleavyo ndivyo akuavyo
    4.    Asiyekuwepo na lake halipo
    5.    Ahadi ni deni

SEHEMU C: UTUNGAJI

Zipange sentensi zifuatazo zilizochanganywa ili zilete mtiririko mzuri wa mawazo kwa kuzipa herufi A, B, C na D

  1. Dakika chache baadaye tuliona msafara wa magari ukiingia
  2. Gari hilo lilifuatwa na gari lingine lillilojaa askari wa kuzuia fujo kisha lilifuata gari la Rais


  1. Mnano saa saba hivi tuliona pikipiki ya askari wa usalama barabarani ikija mbio kama mshale
  2. Mbele ya msafara huo kulikuwa na pikipiki nne zilizofuatwa na gari la polisi lenye

king’ora

 

SEHEMU D: UFAHAMU

Soma kwa makini habari ifuatayo kisha jibu swali la 31 – 40 kwa kuandika herufi ya jibu sahihi

Umma ulipozinduka na wakawauliza wafalme walivyotajirika kinyume na matarajio ya umma, kulikuwa na vita……”watu wetu wanatuonea”. Watu hawakuwaelewa….hawakurudi nyuma, walichukua kilicho chao. Hii ndio hadithi ya kisiwa cha wafalme! Kijiji hicho kilikuwa na viwanda mbalimbali vilivyosaidia kujenga na kuinua uchumi wake.

Waliteuliwa wakurugenzi wa aina aina waliosaidiwa na watumishi wengi kukamilisha sera yao ya kazi lakini shetani mbaya – pesa! Alikuwa sehemu hii. Wakurugenzi walikula, wahasibu walikula, watumishi pia walikla. Kwa ufupi kila mtu alikula. Walipoona wanataka kushikwa kwa makosa ya kula kilicho cha umma, wakachoma moto kiwanda chao ili kupoteza ushahidi. Hasara ilibaki kwa umma. Wao wakaanzisha miradi iliyowalisha kwa kutumia pesa za umma.

Wengine nao walipoona hayo nao wakaiga. Matokeo yake vikajengwa vijiji kama vile vya wafalme. Umma pia ukashtuka, ukawauliza na kisha kuchukua haki zao kwa nguvu. Hivyo hadithi iliyotamba mwanzo ikawarudia tena watu hawa na ukweli ukabaki kuwa jamii isiyojua kiini cha matatizo yake haiwezi kuyatatua.

MASWALI

  1. Neno ‘kuzinduka’ kama lilivyotumika katika habari hii lina maana ipi?
  2. Umma ulivyoshtuka kwa mara ya pili uliamua             
  3. Shetani mbaya aliyetajwa katika habari hii ni              
  4. Shetani mbaya alikumba sehemu hii pia. Neno ‘shetani’ limetumika kama nomino ya aina

gani

  1. Katika habari hii hapa juu, Methali ipi inaweza kuwa na mafunzo sawa na habari hii hapo juu?
  2. Kisawe cha neno ‘utajiri’ ni                 

SEHEMU E: USHAIRI

Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu swali la 41 hadi 46 kwa kuandika herufi ya jibu sahihi

Nami nashika kalamu, maana menilazimu. Nawataka mfahamu, kuhusu mambo muhimu, Maana mekuwa ngumu, kuachwa na wahujumu, Rushwa ni adui wa haki, wananchi tupingeni.

 

Mepewa majina mengi, lukuki yaso idadi, Maana walafi ni wengi, kila siku wanazidi, Waheshimiwa na wengi, wamekuwa wakaidi, Rushwa ni adui wa haki, wananchi tupingeni.

 

Inaitwa takrima, au chai ya mgeni, Mnapotaka huduma, basi mikono nyosheni, Na mkijiweka nyuma, huduma isahauni, Rushwa ni adui wa haki, wananchi tupingeni.

 

MASWALI

  1. Kichwa cha shairi hili chafaa kuwa

 

  1. Shairi hili lina jumla ya beti ngapi?
  2. Neno ‘takrima’ kama lilivyotumiwa na mshairi lina maana gani?
  3. Vina vya kati vya shairi hili ni
  4. Kila ubeti wa shairi hili una jumla ya mizani

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX KISWAHILI EXAM SERIES 65

THE OFFICE OF THE PRESIDENT

REGIONAL ADMNISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

PRIMARY EXAMINATION SERIES

TERMINAL EXAM- MAY-2023

SCIENCE AND TECHNOLOGY GRADE SIX

TIME: 2 HOURS

INSTRUCTIONS

  1.               This paper consists of 45 questions
  2.               Answer all questions in the spaces provided
  3.               For question 1-40 choose the best answer form alternatives given
  4.               For question 40-45 answer the questions briefly.

1.     Animals which live part of their life in water and partly on land are called:

  1.              reptilian
  2.              mammalian
  3.               fish
  4.              amphibians
  5.               Aves.

2. Which of the following electrical devices uses direct current?

  1.              Electric cooler
  2.              torch
  3.               thermos
  4.              Tv Set
  5.               Iron Box

3. The ratio of white blood cells to red blood cells is;

  1.              600:12
  2.              1.:601
  3.               600: 1
  4.              1.:600
  5.               100:60

4. The load carried by the pulley below is 55N, calculate the effort used in raising the load

  1.              55N
  2.              55KG
  3.               110KG
  4.              5N
  5.               110N

5. Which of the following are symptoms of a person suffering from HIV/AIDS?

  1.              Urinating frequently
  2.              frequent sickness
  3.               stomach ache
  4.              dizziness
  5.               Paralysis

6. When a ruler is immersed into a glass with water, it appears bend because light..

  1.              Moves at a high speed
  2.              always form image
  3.               is reflected
  4.              is refracted
  5.               passes through air.

7. An example of a chemical change is;

  1.              water turning into vapour
  2.              ripening of fruits
  3.               dissolving of sugar
  4.              ice melting into liquid
  5.               expansion of iron sheets

8. The value of X in the figure below is......

9.        Which gas supports combustion? 

A: Nitrogen

B: Carbon dioxide

C: Oxygen

D: Hydrogen

E: Carbon monoxide

10.    Which one of the following is an example of a simple machine?

  1.              Bicycle          
  2.              Bottle opener
  3.                Generator
  4.              Sewing machine
  5.               Motorcycle

Iron + water + Y = Rust; Y stands for:

A: Carbon dioxide

B: Oxygen

C: Salt

D: Hydrogen

E:    Nitrogen

12. During the dry seasons plants shed their leaves in order to:

A: fertilize the soil

B: reduce water loss

C: protect itself

D: add water

E: add carbon dioxide

13. When a fresh garden soil is heated in a test tube, we see vapour coming out of the test tube.This shows that, soil contains

A: air

B: humus

C: water

D: minerals

E:    germs

14. Lizard, snake and crocodile are:

 A: Reptiles

B: Mammals

C: Birds

D: Amphibians

1 5. Which of the following are the main measurements of electricity?

A: Ampere, volt and ohm

B: Joule, volt and ohm

C: Ohm, ampere and bulb

D: Watt, gram and milligram

E: Ampere, volt and gram

16. The car batteries are a good example of making electricity using:

A: friction

B: chemicals

C: water

D: machine

Calculate the p.d in the circuit below:

  1.              12 V
  2.              24 V
  3.               36 V
  4.              9V
  5.               13 V

1 8 . Which one is the set of excretory organs?

A:

Liver, blood, heart and capillaries

B:

Kidney, liver, lungs and bile

C:

Heart, liver, skin and kidney

D:

Liver, skin, lungs and kidney

E:

Small, intestine, heart and capillaries

1 9. Which organ in the human body is responsible for converting red blood cells into bile pigments?

A: Liver

B: Kidney

C: Lungs

D: Spleen 

E: Bile

20. The process where plants absorb water through the roots and then give off water vapour through pores in their leaves is called 

A: evaporation

B: respiration

C: photosynthesis

D: transpiration

E: osmosis 

21 . This symbol in electricity represents:

A: Fuse

B: Socket

C: Cable

D: Source 

E: Switch

22.  An electric current of 0.8 Ampere passes through a conductor of 25 Ohms. Which voltage will be read if the voltmeter is fixed in this circuit? 

A: 25.8 volts

B: 200 volts

C: 2.3 volts

D: 20 volts

E:    0.03 volts

23.    Which part of blood fights against diseases?

A: Red blood cells

B: Platelets

C: White blood cells

D: Plasma

E: Blood protein

24.    Anything that simplifies work is called 

A: scissors 

B: levers

C: magnet

D: machine

E: computer

25.    What happens when a male gamete X fertilizes a female gamete X?

A: A baby girl will be born

B: A baby boy will be born

C: Identical twins will be born

D: A very short baby will be born 

E: A very tall baby will be born

26.    Which method of farming is suitable for farmers farming in mountain slopes?

  1.              Crop rotation 
  2.              planting crops in rows
  3.               mixed cropping
  4.              terrace farming
  5.               contour farming

27.     The farmer wants to increase the amount of nitrogen in his farm.

Which among the following crops would you advice him to plant? 

A: Cotton

B:    Maize

C: Potatoes

D: Peas

E. Sugarcane

28.    Fertilization takes place in the part labeled

29.    In a womans body, ova are produced in the

A: uterus

B: fallopian 

C: ovary

D: stomach

30.    One of the following actions prevents soil erosion:

A: Planting trees

B: Increasing the number of livestock

C: Digging grass

D: Burning forests

E: Reducing the number of trees

31. Which of the following should be avoided in order to control HIV infection?

A: Isolating HIV patient 

B: Shaking hands with HIV patient

C: Eating together with HIV victim

D: Sharing shaving tools

E:    Playing together with HIV victim

32.   

The chemical that is produced by the liver which aids in the digestion

of fats is A: glycogen

B:  bile juice

C: amino acids

D: glucose

E:    sulphuric acid

33.    The force of ION was used to lift a luggage a distance of 6 meters. Find the amount of worl< done.

A: 60 J B: 60 m c: 60 N D: 16 N

 E:    0.6 J

34.    The following       are       hereditary diseases except A: chickenpox

B:    diabetes

C: asthma

D: sickle cell

E:     diphtheria

35.    Which of the following parasites is the one causing malaria?

A: Plasmodium D: Bacteria

B: Fungi        E: Amoeba

C: Virus

36.    Sexually transmitted diseases are transmitted from one person to another by 

A: physical contact

B: sexual intercourse

C: sharing eating utensils

 D: blood transfusion

37.    The process of exhaling and inhaling air is called A: chest flexing

B: refraction

C: reflection

D: breathing E: coughing

38.    is a mixture of different gases.

A. Nitrogen

B. Air

C: Matter

D. Oxygen

E. Hydrogen

39.    Of the following groups of living organisms, the only one that can manufacture its own food is

  1.              Animals
  2.              Reptiles
  3.               Man
  4.              Amphibians
  5.               Plants

40.    Which of the following actions results into formation of a new matter?

A: Souring of milk

B: Melting of ice

C: Melting of sugar

D: Evaporation

E: Melting of candle

41.    Mention four common functions in Excel program.

42.The experiment represented by the set up below shows that soil has.................

43. Write four agents of soil erosion.

44. Carefully observe the diagram below and answer questions below.

(a) C represents....................

(b) G represents...................

(c) L represents...................

(d) D receives blood from

45. State any four benefits of giving first aid.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX SCIENCE EXAM SERIES 64

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

PRESIDENT’ S OFFICE

REGIONAL ADMINISTRATIONS AND LOCAL GOVERNMENT

TERMINAL EXAMINATIONS

SCIENCE AND TECHNOLOGY

STANDARD SIX

 

Time1:30 Hours

Pupil’s Name............................................................

Instructions

  1. This paper consists of section A and B with total of forty five questions
  2. Answer all questions in each section
  3. For questions 1-40 put your choice in the box provided
  4. For question 41-45 write your answer by filling the spaces provided
  5. All communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room

CHOOSE THE CORRECT ANSWER

1. The gas responsible for adding fertility as nitrate salts in soil is _______

(A)Carbon dioxide (B)nitrogen (C)hydrogen (D)oxygen

2.The behavior of plants growing towards the light is called _____

(A)Sunlight (B)Photosynthesis (C)Phototropism (D)Geotropism 

3.The path through which electricity flows is called ______ (A)a circuit (B) a route (C)a highway (D)series 

4.Which of the following is an example of a simple machine ________ (A)a bicycle (B)a sewing machine (C) a car (D) a see-saw 

5.Juma wanted to taste the presence of carbon dioxide in exhaled air. Which of the following would he use? 

(A)Iodine solution (B)lime water (C)Benedict solution (D)none of the above

6.The following are the function of the skin except __________ (A)Protection (B) Excretion (C)excretes carbon-dioxide and water (D)feeling or sensitivity 

7.The situation whereby oxygen burns starch and produce heat energy is called __________ (A)Oxidation 

(B)inhalation (C)expiration (D)exhalation (E)carbonation 

8.Identify the master gland among the following (A)adrenalin (B)pituitary (C)thyroid (D)ovary (E)Pancreas

9.The blood cell which defend the body against diseases are ________ (A)red blood cell (B)white blood cells (C)nerves cells (D)platelets and red blood cells.

10.A solution of sugar salt and water is necessary first aid to a victim of ________ (A)diarrhea and vomiting (B)malaria and headache (C)backbone (D)Tb and influenza (E)fracture 

11.The main cause of HIV/AIDS transmission among people is _________ (A)blood transfusion (B)piercing mouth ears (C)accident (D)injection (E)sexual intercourse

12.The following are diseases which can be prevented by vaccinating children ________ (A)whooping cough (B)polio, tetanus (C)polio Kwashiorkor, tetanus and whooping cough (D)Aids, tetanus tuberculosis tetanus and dysentery 

13.Which kind of gas change lime water to milk colour _________ (A)Oxygen (B)hydrogen (C)nitrogen (D)carbon (E)carbon-dioxide

14.Which vitamin is made in the body by help of sunlight? _________ (A)Vitamin A (B)Vitamin C (C)Vitamin D (D)Vitamin B (E)Vitamin K

15.What is the function of hormone in the body ___________ (A)to generate the amount of hormone in the body (B)Help in the growth and development of the body (C)To increase the heart beats (D)To make people health (E)To make a poison die.

16.Which of these groups contain reptiles only? _________ (A)snakes, crocodiles, tortoise and lizards (B)lizard snake and rabbit (C)frog, lizard and spiders (D)snakes, toads, newts and birds (E)chameleons, Dinosaurs and tadpoles

17.The process whereby plant manufacture their own food by the means of sunlight is called ________ (A)phototropism (B)dicotyledon (C)transpiration (D)aspiration (E)photosynthesis 

18.Bacteria swallowed with food are killed in the stomach __________ (A)hydrochloric acid (B)bile (C)gastric juice (D)pancreatic juice (E)digestive

19.The foetus receive food and oxygen and removes its waste product through _______ (A)cervices (B)fallopian tube (C)umbilical cord (D)Placenta (E)ovaries 

20.Juma is an albino which of the following treatment or advice should be given to him except 

  1. reduce sunburn by avoiding the sun
  2. to isolate himself from others
  3. cover the body with clothes when exposed to sunlight
  4. reduce bright sunlight by wearing sunglasses
  5. applying sunscreen by oil to protect the skin from sunburn.

21.What will happen if the number of lions was greatly reduced in the web below

 

 

 

 

(A)all Antelope would die (B)cows would start eating antelopes (C)The amount of plants would start reducing (D)all cows die (E)The number of cows and antelopes would reduce.

22.Observe the following diagram and answer the question below. What does this symbol represent in an electricity circuit? ____________

 

 (A)resistance (B)dry cell (C)voltmeter (D)Switch (E)bulb

23.Which plants reproduce through seeds? (A)sweet potatoes and banana tree (B)sugar cane and sweet potatoes (C)cassava and sugar cane (D)rice and tomatoes (E)cassava and guava 

24.Obesity is a condition which is caused by? (A)loss of a too much weight (B)loss of appetite (C)gain of too much body weight (D)loss of sensitivity (E)growth of the body

25.Which one among the following events shows physical change?

  1.                                                                             Dissolving of sugar in water
  2.                                                                             Burning of a piece of paper
  3.                                                                             Souring of milk
  4.                                                                             Rusting of iron
  5.                                                                              Honey became alcohol

26.Which one among the following plants cannot make its own food? (A)carrot (B)Mushroom (C)sugar cane (D)spinach (E)cassava

27.Observe the following figure, then answer the question that follows.

 

C:UsersKYAMBODocumentsSTD 4 NECTAflower.jpg

 

Which number represents the part that produces pollen grains? (A)3 (B)1 (C)5 (D)4 (E)2

28.Russting burning and seed germination are similar because during their process ______

  1.                                                                             Carbon dioxide is used up
  2.                                                                             Nitrogen is used up
  3.                                                                             Oxygen is used up
  4.                                                                             Nitrogen is given off
  5.                                                                              Oxygen is solid

29.Why do plants shade their leaves during dry season __________

  1.                                                                             In order for pollination to take place
  2.                                                                             They allow photosynthesis to increase
  3.                                                                             To prevent effect of strong wind
  4.                                                                             Preventing excessive water loss
  5.                                                                              Preventing water absorption from the roots

30.A person with H.I.V can be identified by ____________ (A)Appearance (B)attendance in the hospital (C)His behavior (D)coughing habit (E)blood screening 

31. Find the value of X in the drawing below where by x stands in place of kilogram

 

    

 

 

 

 

 

 (A)700kg (B)350kg (C)175kg (D)155kg (E)145kg

32.ON cooling substance become smaller. This decrease in volume is called ________

(A)contraction (B)expansion (C)convection (D)conduction (E)radiation

33.The bending of light rays as it passes in the different media such as air glass and water is called _______ 

(A)reflection (B)dispersion (C)mirage (D)produce (E)refract

34.The human arm is in which class of lever? (A)First (B)Third (C)Fourth (D)second (E)Fifth 

35.In order to be protected against Anaemia pregnant woman is advised to eat _________ (A)starch (B)Fat (C)salt and minerals (D)sugar (E)soil

36.The following are examples of sexually transmitted diseases except __________ (A)syphilis (B)Gonorrhea (C)Trachoma (D)chlamydia (E)Hypertitis

37.The sourness of lemon, lime and unripe orange is caused by presence of a chemical called ________ (A)Base (B)Acid (C)salt (D)metal (E)Alcohol 

38.The type of mineral responsible for growth, strengthening of bones and teeth in the human body ______

(A)calcium (B)magnesium (B)iodine (D)phosphorus (E)limestone 

39.Tsetseflies causes a disease called ______________ (A)elephantiasis (B)measles (C)cholera (D)sleeping sickness (E)Malaria 

40.which organ of an animal can be used to identify the carnivorous animal. (A)claws (B)Neck (C)lips (D)tongue (E)Teeth 

 

 

SECTION B (Ten marks)

41.Transfer of heat through space is called _______________

42.Hard water can be changed into soft water by means of ___________

43.What is the function of the following parts of a computer 

(a) Keyboard –  (b)Mouse

44.In a computer the memory of the computer is found in the _______________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX SCIENCE EXAM SERIES 56

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA DARASA LA SITA

HISABATI

MUDA:1 :30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

Chagua jibu sahihi kutoka yale uliopewa

  1. Ipi kati ya namba zifuatazo ni million nane mia tano themanini na saba mia tisa themanini na sita?(a) 8587986 (b) 80587986 (c) 85086989 (d) 8587989
  2. 902 653 +81152 = (a)893805 (b) 983805 (c) 890538 (d)993805
  3. 6500000 + 3267031 = (a) 9867030 (b) 9786528 (c) 9767031 (d) 9768031
  4. Bohari la elimu lina madaftari 5,256,423 na inatarajia kupokea madaftari mengine 2,491708. Je, bohari jumla litakuwa na madaftari mangapi? (a) 8748321 (b) 7748231 (c) 7848231 (d) 7749231
  5. Jumla ya gombe na mbuzi katika wilaya ni 2,139 500. Ikiwa ng’ombe ni 1,104,563, je wilaya hiyo ina mbuzi wangapi? (a) 2,034937 (b) 3244063 (c) 1033937 (d) 1034937
  6. 287 x 35 = (a) 9945 (b) 10,045 (c) 10,015 (d) 9045
  7. Ikiwa shule ya mramba inatumia lita 63,540 za maji kila mwezi. Je kwa mwaka mmoja shule itatumia lita ngapi? (a) 867865 (b) 675875 (c) 762480 (d) 897645
  8. 0.427 ÷0.07 = (a)6.1 (b) 61 (c) 0.61(d) 610
  9. Kigawo kikubwa cha shirika (K.K.S) Cha 8, 18 na 24 ni: (a) 2 (b) 3 (c) 4(d) 6
  10. Badili namba ya kirumi MCLXVI kuwa katika numerali za kiarabu (a) 1079 (B) 1576 (C) 1176 (d) 1276
  11. 255+ 59 + 3,772 = (a)  4,086 (b) 3,956 (c) 3, 946 (d) 4057
  12. 80,709- 5,987 = 75,822 (b) 74,722 (c) 74,812 (d) 75,922
  13. 7,590 ÷15 = (a) 616 (b) 56 (c) 516 (d) 506
  14. Tafuta zao la namba tasa zilizopo kati ya 1 na 10 (a) 384 (b) 210 (c) 945 (d) 1,890
  15. Rahisisha 3(m-n) + 5n – 7m (a) 4m -2n (b) -4m+2n (c) 2n-4m (d) 3m-3n
  16. Tafuta kigawo kikubwa cha shirika(K.K.S) 12, 24 na 36. (a) 6 (b) 12 (c) 24 ( d) 36
  17. Tafuta kigawo kidogo cha shirika (K.D.S) Cha 6, 9, na 12 (a) 3 (b) 36 (c) 12 (d) 72
  18. Kokotoa thamana ya; 12-(-24)+(-9) x4= (a) 0 (b) -48 (c) 72 (d) 108
  19. 33/5 + 12/3 = (a) 46/15 (b) 45/8 (c) 53/15 (d) 5 4/15
  20. Badili namba ya kirumi CMXCIX kuwa namba ya kawaida (a) 9,999 (b) 99 (c) 999 (d) 99,999
  21. Badili 17/20 kuwa asilimia (a) 65 (b) 95 (c) 85 (d) 75
  22. Badili 32% kuwa decimali (a) 3.2 (b) 32 (c) 0.32 (d) 0.032
  23. 0.456 + 270.975 = (a) 272.432 (b) 271.431 (c) 261.432 (d) 272.321
  24. 27.321 x 33 = (a) 90.15 (b) 901.593 (c) 901593 (d) 9015.93
  25. Ipi kati ya namba 43, 47,51, 53 na 59 sio namba tasa (a) 47 (b) 51 (c) 53 (d) 43
  26. Badili 21/2% kuwa desimali (a) 2.5 (b) 0.25 (c) 0.125 (d) 0.025
  27. Tafuta eneo la mstatili lifuatalo;

  1. Sm2 2(b) sm2 8 (c) sm36 (d) sm2 80
  1. Tafuta eneo lililotiwa kivuli iwapo duara lililochorwa ndani ya mraba lina usukipenyo cha sm 7. Tumia pai= 22/7

(a) sm2 154 (b) sm2 42(c) sm2 32 (d) sm2196

  1. Eneo la pembetatu fuatayo ni sm2 66. Tafuta thamani ya x.

(a) 3 (b) 8 (c) 11 (d) 12

  1. Tafuta eneo la umbo lifuatalo

(a) sm2 144 (b) sm2 124 (c) sm2 120 (d) sm2 64

  1. Tafuta ukubwa wa umbo lifuatalo

(a) sm3 192  (b) sm3 224 (c)  sm3 128  (d) sm3 256 (e) sm3 64.

  1. Tafuta thamani ya x katika umbo lifuatalo:
     

(a) 10 0 (b) 15 0 (c) 20 0 (c) 30 0

  1. Tafuta thamani ya pembe x katika umbe lifuatalo:
     

(a) 10°  (b) 20° (c)  22°   (d) 24°

  1. Tafuta ujazo wa umbo lifuatalo (Tumia pai= 22/7)

(a) sm3 660 (b) sm31,320 (c) sm3 3,520 (b) sin 4,620

  1. Je, jina la umbo lifuatalo ni  

(a) mstatili  (b) mraba (c) pembe tatu  (d)duara 

  1. Shule ya Msingi Majengo Ina wanafunzi 690. Iwapo  2/3 ya wanafunzi walifaulu vyema katika Jaribio la Hisabati, ni  wanafunzi wangapi ambao hawakufaulu?

(a) 230  (b) 330 (c) 450  (d) 460

  1. Mashine ya kutoa nakala inatoa nakala 20 za karatasi kwa sekunde 40. Je, itatoa nakala ngapi kwa saa? (a)  60  (b) 90 (c) 800  (d) 1,800
  2. Wanafunzi 72 walihudhuria darasa na asilimia 20 hawakuhudhuria. Je darasa hilo lina wanafunzi wangapi? (a) 72 (b) 80 (c) 85 (d) 90
  3. Bei ya pikipiki iliongezwa kutoka shs.3,000,000 hadi 4,500,000. Je ongezeko hilo ni asilimia ngapi? (a) 33.3% (b) 30% (c) 25% (d) 50%
  4. Andika saa 1815 katika mtindo wa saa 12 (a) 12.15 jioni (b) 8.15 usiku (c) 6.15 alasiri (d) 12.15 asubuhi.

Katika swali la 41-45 tafuta jibu sahihi

 

  1. Tafuta kizio ikiwa faida inayopatikana kwa mwaka mmoja ni sh 3,000 na kiasi cha riba kwa mwaka ni 5%
  2. Juma alikwenda na shs 7,000 akanunua vitu vifuatavyo;
  • Nyama kg 21/2 @shs.800
  • Viazi kg 5 @shs.600/=
  • Pilipili hoho kg ½ @shs.480
  • Ndizi 20 @shs50/-

Je alibakiwa na kiasi gani baada ya kununua vitu vyote hivyo?

  1. Uwiano wa Y na Z ni sawa na uwiano wa 17 na 19. Tafuta thamani ya Y iwapo Z =133
  2. Basi lilianza safari ya kwenda iringa saa 1630 na kufika kesho yake saa 0630. Je basi hilo lilitumia muda gani kwa safari nzima?
  3. Ujazo wa kopo ni lita 3.85. Tafuta nusu kipenyo chake iwapo kimo ni sm100?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX HISABATI EXAM SERIES 55

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SITA

MAARIFA YA JAMII

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

Katika swali la 1-40, chagua jibu sahihi kisha andika katika nafasi uliopewa 

  1. Ni ktendo gani kinachangia kuharibu mazingira? (a) kupanda miti (b) kukata miti (c) kufuga mifugo (d) kurudishia miti
  2. Kipi sio chanzo cha maji? (a) bwawa (a) mto (c) bahari (d) jotoridi
  3. Lipi sio jiji hapa Tanzania? (a) Dar es salaam (b) Arusha (c) Simiyu (d) Mwanza
  4. Ni sikukuu gani ya kimataifa inasherehekewa kila tarehe moja mei? (a) nyerere (b) Karume (c) sikukuu ya wafanya kazi (d) Iddi
  5. Kipi akipatikani shuleni? (a) vitabu (b) walimu (c) wanafunzi (d) bunduki
  6. Kiongozi Haile Selassie was a leader of ? (a) Kenya (b) Uganda (c) Togo (d) Ethiopia
  7. Mwalimu Julius Nyerere alichaguliwa kuwa rais wa Tanganyika mwaka? (a) 1964 (b) 1961 (c) 1963 (d) 1999
  8. Sudan ya Kusini ilipata Uhuru wake mnamo mwaka? (a) 2010 (b) 2011 (c) 2007 (d) 2016
  9. Kati ya viongozi hawa nani hakuwa mwanzilishi wa umoja wa Afrika? (a) Kwame Nkrumah (b) Ahmed sekou (c) Nelson Mandela (D) Julius Nyerere
  10. Zifuatazo ni njia za uzalishaji mali isipokuwa? (a) kuabudu (b) biashara (c) uvuvi (d) utalii
  11. Chanzo kikukuu cha mwanga duniani ni; (a) upepo (b) Jenereta (c) Jua (d) Maji
  12. Rais wa awamu ya tano wa muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli  alifariki mwaka? (a) 2015 (b) 2020 (c) 2000 (d) 2021
  13. Jumuiya ya kwanza ya Afrika Mashariki ilivunjika mwaka? (a) 1967 (b) 1927 (c) 1947 (d) 1977
  14. Zao la kibiashara linaolimwa Unguja na Pemba ni? ( a) pareto (b) pamba (c) karafuu (d) mihogo
  15. Nani aliongoza waafrika kupinga uvamizi wa wakoloni kwa mara ya kwanza? (a) Kinjekitile (b) mkwawa (c) abushiri (d) isike
  16. Mreno wa kwanza kufika Pwani ya Afrika Mashariki alijulikana kwa jina la: (a) William Mackinnon (b) Charles Stokes (c) Vasco da Gama (d) Karl Peters
  17. Ili kuongeza kipato na kufaidi matunda ya ujasiriamali ni vyema: (a) Kufanya kazi kwa bidii (c) Kupumzika na kusubiri mapato (c) Kuomba msaada wa Mungu (d) Kutafuta watumiaji
  18. Watu wengi wanashidwa kuendelea kibiashara kwa sababu ya; (a) Kukosa ubunifu (b) Kutofanya kazi kwa bidii (c) Kuiga kazi za wengine (d) Yote hayo yanahusika
  19. Fursa ya ujasiriamali inayopatikana vijijini  pamoja na (a) Ukulima (b) Ufugaji (c) Uchimbaji madini (d) Zote hizo
  20. Tabia hizi zinaweza kukwamisha biashara yako isipokuwa (a) Kujituma (b) Uvivu (c) Kuwa na visingizio (d) Kupoteza muda
  21. Faida ya ubunifu ni hizi isipokuwa; (a) Kuvutia wateja (b) Kukabiliana na ushindani (c) Kuiga kazi za wengine (d) Kuongeza faida
  22. Ipi kati ya fursa hizi za kibiashara haipatikani mijini? (a) Ufugaji (b) Kushona nguo (c) Usafirishaji (d) Kuuza vyakula
  23. Moja ya malengo ya elimu ya kikoloni ilikuwa: (a) kupambana na ujinga na umaskini (b) kupunguza uzalishaji wa mazao ya biashara (c) kupata watumishi wa ngazi za chini (d) kuongeza ajira kwa vijana (e) kupambana dhidi ya ubaguzi wa rangi
  24. Wajerumani walitawala Tanganyika baada ya ..... (a) Vita Kuu ya Kwanza. (b) Vita Kuuya Pili. (c) Mkutano wa Berlin. (d) Kuundwa kwa UNO. (e) Kushindwa kwa Wareno.
  25. Makoloni ya Ujerumani katika Afrika yalikuwa .. (a) Naijeria, Namibia na Togo. (b) Gambia, Togo na Namibia. (c) Kameruni, Togo na Namibia. (d) Namibia, Tanganyika na Naijeria.(e) Kameruni, Tanganyika na Senegal.
  26. Watangulizi wa kwanza wa ukoloni kuwasili Zanzibar na Tanganyika walikuwa: (a) wafanya biashara (b) Wamisionari (c) Wapelelezi (d) Walowezi (e) Waarabu
  27. Kabla ya ukoloni majukumu ya kiongozi wa ukoo yalikuwa ni pamoja na: (a) kutatua migogoro (b) kusaini mikataba na wakoloni (c) kuongeza idadi ya mifugo (d) kujenga nyumba (e) kuanzisha vijiji vya ujamaa
  28. Mazao ya biashara yanayouzwa kwa wingi nchi za nje kutoka Tanzania ni: (a) Mpira, Kahawa na Mkonge. (b) Alizeti, Nyonyo na Ufuta. (c) Pamba, Pareto na Mkonge. (d) Kahawa, Pamba na Korosho. (e) Kahawa, Mkonge na Karafuu
  29. Ardhi, misitu, mito, bahari na madini kwa ujumla tunaviita (a) bidhaa muhimu (b) Dunia (c) uoto wa asili ( d) maliasili (e) mahitaji muhimu
  30.  Zao kuu la biashara linalolimwa wilaya ya mbinga mkoani Ruvuma ni (a) Korosho (b) Karafuu (c) Chai (d) Kahawa (e) Pamba
  31.  Nini maana ya biashara ya rejareja? (a) Kuuza bidhaa kidogo kidogo (b) Kingiza bidhaa za kutoka nje (c) Kuuza bidha ya aina moja tu. (d) Kuuza bidhaa bila kuwa mwangalifu. (e) Kuuza bidha za vitu vinavyotumika majumbani
  32. Ujasiriamali umegawanyika katika makundi manne, lipi kati ya haya sio mojawapo? (a) Ujasiriamali wa biashara mdogo mdogo (b) Ujasiriamali wa biashara kubwa (c) Ujasiriamali wa biashara ya kati (d) Ujasiriamali wa chini
  33. Ipi sio tabia ya mjasiriamali? (a) Kufanya kazi kwa bidii (b) Ubunifu (c) Kujiburudisha baada ya kazi (d) Kutokata tama
  34.  Biashara ya ndani ni ile inayohusisha bidhaa ... (a) zinazotengenezwa nje ya nchi. (b) zinazotengenezwa na kuuzwa ndani ya nchi. (c) zinazozalishwa ndani ya nchi. (d) zinazotengenezwa na kuuzwa nje ya nchi. (e) zinazouzwa nje ya nchi.
  35. Ranchi ni eno lililotengwa kwa: (a) kilimo cha mazao (b) machinjio ya ngombe (c) ufugaji wa ngombe (d) josho la ngombe (e) kuotesha majani
  36. Uoto unaopatikana katika eneo la ikweta ni (a) uoto wa savanna (b) vichaka vyenye nyasi ndefu (c) misitu minene (d) misitu minene na nyasi fupi (e) vichaka na nyasi fupi. (d) Uvuvi usio endeleevu waweza kusababisha yafuatayo kasoro:
  37. vifo vya watu (a) vifo vya samaki (b) uchafuzi wa maji (c) umaskini(d)utajiri
  38. Vitu viwili vinavyopatikana katika mazingira ya nyumbani ni: (a) vitanda na madawati (b) madarasa na maktaba (c) vitanda na vyombo vya jikoni (d) mlingoti wa bendera na vitanda (e) viwanja vya michezo na madarasa
  39.  Majira ya mwaka hutokea kutokana na ... (a) kupatwa kwa mwezi (b) mwezi kuizunguka dunia (c) dunia kulizunguka jua  (d) kupatwa kwa jua (e) kuongezeka kwa joto.
  40. Jua la utosi katika mwezi Disemba huwa katika . (a)  Kizio cha Kusini.  (b) Tropiki ya Kansa. (c)  Ikweta.  (d) Kizio cha Kaskazini.       (e) Tropiki ya Kaprikoni.

Tumia ramani ifuatayo kujibu swali la 41-45

  1. Alama A inawakilisha taifa gani? .................................................
  2. Alama B Inawakilisha taifa gani? ..................................................
  3. Kisiwa kinochooneshwa kwa alama C in maarufu kwa ukulima wa zao gani?....
  4. Ramani hii inawakilisha ukanda wa Afrika unaoitwa.....................
  5. Ziwa lenye herufi E ni ziwa...............................................................

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX MAARIFA EXAM SERIES 54

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SITA

SAYANSI NA TECHNOLOJIA

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

Chagua Jibu sahihi kuanzia swali la 1-40 kisha andika jibu katika nafasi uliyopewa.

  1.                Tarakilishi utumika katika maeneo haya isipokuwa (a) Vyuoni (b) Benki (c) Ofisini (d) Yote hapo juu
  2.                Kazi ya pau la mwoneko ni (a) Kuboresha kazi za uandishi (b) Kupanga mwonekano wa ukurasa (c) Kuona nyaraka katika sura mbalimbali (d) Kusahihisha makosa katika waraka
  3.                Kiwango cha maji kinachopotezwa na mmea huathiriwa na hali za hewa zifuatazo... (a) joto na unyevu (b) unyevu na mwanga (c) upepo na mwanga wa jua (d) mawingu na upepo (e) unyevu na upepo
  4.                 Kukosekana kwa chanikiwiti katika mmea huweza kusababisha: (a) mmea kukosa madini joto (b) mmea kushindwa kusanisi chakula (c) majani ya mmea kukauka (d) majani ya mmea kuwa njano (e) majani ya mmea kupukutika.
  5.                Ni Vipi kati ya viumbe hai vifuatavyo hujitengenezea chakula chao kwa kutumia klorofili? (a) Wadudu (b) Mimea (c) Wanyama (d) Virusi (e) Ndege
  6.                Ipi kati ya zifuatazo siyo kazi ya mizizi katika mimea?..............(a) Kusharabu madini ya chumvi. (b) Kusharabu maji (c) kushikilia mmea (d) Kutengeneza chakula cha mmea (e) Kutunza chakula cha mmea
  7.                Ni mmea gani ya hizi hauifadhi chakula katika shina? (a) Miwa (b) Magimbi (c) Viazi (d) Karoti (e) Tangawizi..
  8.                Ipi sio faida ya vituo vya huduma za afya kwa Watoto? (a) Wazazi hupata elimu ya njia bora za kuwalea Watoto (b) Husaidia kupunguza vifo vya Watoto (c) Hutoa hamasa kuhusu wazazi wote kushiriki malezi ya Watoto (d) Husaidia Watoto kupata ushauri juu ya Maisha
  9.                Chakula cha asili na bora zaidi kwa mtoto mchanga ni………….(a) Maziwa ya mama (b) Maziwa ya ng’ombe (c) Maziwa ya kopo (d) Uji wa lishe
  10.           Kuwa na wataalamu wa kutosha ni miongoni mwa sifa muhimu za……………..(a) Kliniki yoyote ya afya ya jamii (b) Kliniki ya ushauri kwa vijana tu (c) Kituo cha kuwahudumia wajawazito tu (d) Kutuo cha watoto yatima tu
  11.           Lengo kubwa la huduma za afya kwa wagonjwa ni………….. (a) Kuwafariji kutokana na matatizo mbalimbali ya kimaisha (b) Kuwasaidia kupona haraka ili warudi kwenye majukumu yao ya kawaida (c) Kuwashauri kuhusu uzalishaji maji (d) Kuwapunguzia gharama za maisha
  12.           Mojawapo ya tahadhari za kuchukua kwa wagonjwa wa anemia selimundu ni (a) Kumpatia mgonjwa mlo kamili(b) Kumpatia chanjo (c) Kufanya mazoezi magumu (d) Kumpatia mgonjwa maji ya kutosha au chakula cha maji maji
  13.           Dawa zinazoongeza damu kuganda wakati mgonjwa wa hemofilia amepata jeraha………(b) Hupunguza athari za hemophilia (b) Huongeza athari za hemophilia (c) Hazina msaada kwa mtu mwenye hemophilia (d) Hutibu tatizo la hemophilia
  14.           Moja kati ya zifuatazo ni dalili ya ugonjwa wa anemia selimundu…………(a) Damu kutoka mfululizo kwenye jeraha (b) Mishipa ya damu kupasuka hasa iliyo kwenye tishu laini (c) Kupata choo chenye damu (d) Kupungukiwa na damu mara kwa mara
  15.           Dalili mojawapo ya ugonjwa wa UKIMWI ni (a) kupungua uzito kwa haraka (b) kuwashwa sehemu za siri (c) kuvimba miguu na tumbo (d) kupoteza uwezo wa kuona (e) kuwa na hasira
  16.           Virusi Vya Ukimwi hushambulia aina gani ya chembe hai katika damu? (a) chembe sahani (b) chembe hai nyeupe (c) Chembe hai nyekundu (d) Hemoglobini (e) Plazima
  17.           Lipi kati ya yafuatayo linapaswa kuzingatiwa kabla ya kumhudumia mgonjwa wa UKIMWI? (a Vaa nguo safi (b) Nawa kwa sabuni (c) Vaa glovu (d) Sali (e) Mruhusu apumzike
  18.           UKIMWI husambazwa kwa kupitia: (a) kusalimiana kwa kushikana mikono na mgonjwa wa UKIMWI (b) kulala chumba kimoja na mgonjwa wa UKIMWI (c) kuongea na mwathirika wa UKIMWI (d) kuwekewa damu (e) kuosha nguo za mwathirika wa UKIMWI.
  19.           Je nini utakachokifanya ikiwa utaona nguo alizovaa rafiki yako zinaungua kwa moto?..........(a)Kumpaka mafuta (b) Kumweka maji kwenye jeraha (c) Kumfunika kwa blanketi au nguo nzito (d) Kumpulizia hewa ya oksijeni (e) Kumvua nguo zilizokwisha ungua
  20.           Kifaa kifuatacho siyo muhimu kuwemo katika sanduku Ia huduma ya kwanza (a) Wembe  (b) Pimajoto  (c) Mkasi  (d) Kijiko  (e) Kibanio
  21.            Huduma ya kwanza hutolewa kwa lengo gani? (a) Kushusha gharama za matibabu (b) Kuonesha umahiri wa kitabibu (c) Kuokoa maisha ya wagonjwa (d) Kurahisisha matibabu (e) Kupunguza idadi ya madaktari.
  22.           Mojawapo ya huduma ya huduma muhimu ya kumpa mtu aliye ungua moto ni;-(a) kummwagia maji (b) kumfunika nguo (c) kumwagia aside (d) kumfunika blanketi (e) kumpaka asali
  23.           Huduma ya kwanza anayopewa mtu aliyezimia ni (a)  kumpa hewa ya oksijeni (b) kumpa juisi ya nazi mbichi (c) kumlaza juu chini na kumbonyeza tumbo (d) kumpa maji yaliyochanganywa na glukosi (e) kumpa juisi ya malimao, sukari na chumvi
  24.           Ni ugonjwa gani unasababishwa na utupaji ovyo wa taka? (a) Malale (b) Homa ya tumbo (c) Kipindupindu (d)malaria
  25.           Njia nzuri ya kutekeza taka za nyumbani kama vyakula ni; (a) Kulisha wanyama (b) Kuziunguza (c)Kuzifukia ardhini (d) Kutumia kama mboji
  26.           wakati wa kufanya usafi wa mazingira glavu huvaliwa ili…………(a) kupunguza uchafu yabisi (b) kuondoa harufu mbaya (c) kujikinga na maambukizi ya magonjwa (d) kuongeza unadhifu kazini
  27.           Lipi sio madhara ya taka katika mazingira yetu? (a) Kuleta magonjwa (b) Kusabisha magonjwa (c) Kupendezesha mazingira (d) Kutoa harufu mbaya
  28.           Hatua ya kwanza ya kuteketeza taka zitokazo mijini ni (a) Kuzichoma (b) Kutenganisha (c) Kuziloweka (d) Kulisha wanyama
  29.           Hali ya mtu kuzimia hutokana na ukosefu wa damu katika .......(a) Tumbo (b) Figo (c) Mapafu (d) Moyo (e) Ubongo
  30.           Huduma ya kwanza ni nini? (a) Msaada wa dharura apewao mgonjwa na daktari. (b) Msaadawa awali apewao mgonjwa kabla ya kupelekwa hospitali. (c) Msaada kwa ajili ya mtu aliyeungua moto.  (d) Msaada kwa ajili ya mtu aliyeumwa na nyoka.  (e) Msaada kwa ajili ya mtu aliyevunjika mfupa.
  31.           Mojawapo ya athari za kupaka mafuta kwenye jeraha la moto ni: (a) kuongeza joto kwenye jeraha (b) kuongeza maumivu kwenye jeraha (c) kuruhusu hewa kupita kwenye jeraha  (d) kusababisha vijidudu kuingia kwenye jeraha  (e) kuongeza malengelenge.
  32.           Huduma ipi ya kwanza kati ya zifuatazo hutolewa kwa mtu aliyekazwa na misuli? (a) Kumfanyisha mazoezi ya viungo (b) Kumpumzisha kitandani (c) Kufunga misuli kwa bandeji (d) Kumpa dawa ya kutuliza maumivu (e)  Kuchua polepole misuli husika
  33.            Ipi kati ya sentensi zifuatazo inatoa maana ya huduma ya kwanza?.............(a) Msaada wa haraka anaopewa mtu kabla ya kwenda hospitali. (b) Msaada wa haraka anaopewa mtu baada ya kufika hospitali.(c) Msaada wa haraka unaotolewa kwa mtu na mtaalamu wa afya. (d) saada unaotolewa kwa mtu aliyezirai. (e) Msaada unaotolewa kwa mtu aliyeumwa na nyoka.
  34.           UKIMWI husambazwa kwa kupitia: (a) kusalimiana kwa kushikana mikono na mgonjwa wa UKIMWI (b) kulala chumba kimoja na mgonjwa wa UKIMWI (c) kuongea na mwathirika wa UKIMWI (d) kuwekewa damu (e) kuosha nguo za mwathirika wa UKIMWI.
  35.           Lipi kati ya yafuatayo linapaswa kuzingatiwa kabla ya kumhudumia mgonjwa wa UKIMWI? (a) Vaa nguo safi (b) Nawa kwa sabuni (c) Vaa glovu (d) Sali (e) Mruhusu apumzike
  36.           Kipi kati ya vifuatavyo ni maarufu kwa kuchangia maambukizi ya WU katika jamii? (a) Uchangiaji wa sindano, miswaki, damu na ngono zembe. (b) Kanda za video, nyimbo, muziki na maigizo. (c) Televisheni, magazeti na vipeperushi kuhusu WU. (d) Kondomu, wataalamu wa afya, semina na taasisi za UKIMWI. (e) Tohara kwa wanaume na wanawake.
  37.           Mgonjwa wa UKIMWI anastahili kupata mlo maalumu ili; (a) aweze kupona haraka (b) asiambukize watu VVU (c) awe na nguvu ya kufanya kazi (d) mwili upambane na maradhi (e) VVU viangamie kabisa
  38.           Ipi kati ya zifuatazo siyo dalili ya UKIMWI? (a) Kuvimba kwa matezi (b) Kupoteza uzito (c) Kuharisha kusikokoma (d) Kikohozi cha muda mrefu kisicho cha kawaida. (e) Kutoa jasho kusiko kwa kawaida wakati wa usiku.
  39.           Moja kati ya zifuatazo ni dalili ya ugonjwa wa anemia selimundu…………(a) Damu kutoka mfululizo kwenye jeraha (b) Mishipa ya damu kupasuka hasa iliyo kwenye tishu laini (c) Kupata choo chenye damu (d) Kupungukiwa na damu mara kwa mara
  40.           Mojawapo ya tahadhari za kuchukua kwa wagonjwa wa anemia selimundu ni; (a) Kumpatia mgonjwa mlo kamili (b) Kumpatia chanjo (c) Kufanya mazoezi magumu (d) Kumpatia mgonjwa maji ya kutosha au chakula cha maji maji

Chunguza mchoro ufuatao kisha jibu maswali yafuatao

Chunguza picha kisha jibu maswali yafuatao;

  1.           Onyesha sehemu ambayo hutoa mbegu za kiume
  2.           Taja umuhimu wa sehemu yenye nambari 5
  3.           Onyesha sehemu inayoshikilia na kukinga ua
  4.           Sehemu yenye nambari 4 inaitwaje?
  5.           Ni sehemu gani inapokea mbegu za kiume?

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX SAYANSI EXAM SERIES 53

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SABA

KISWAHILI

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

Chagua jibu sahihi kuanzia swali la 1-40, kisha andika kwenye nafasi zilizo wazi

SEHEMU A: SARAFU

1.Neno lipilinakamilishasentensiisemayo “Humu __________ alimoingia yule nyoka”

(A) ndiye (B)ndio (C) ndiyo (D)ndimo

2.Ala kumbe! Ameondokaleomchana. Kihisishinikipikatiyayafuatayo? 

(A)Ameondoka (B)Leo (C) Ala kumbe (D)Ala

3.Kisawe cha neno “faraghani” nikipikatiyayafuatayo? 

(A)hadharani (B)mafichoni (C)pembezoni (D)waziwazi

4.Mtoto aliyepoteaamepatikana. Hiiniainaipiyasentensi. 

(A)sahihi (B)Tegemezi (C)changamoto (D)shurutia. 

5.Yule “msichana”anaimbavizuri. NenolililopigiwaMstarilimetumikakamaainaipiyamaneno?

(A)Nomino (B)kielezi (C)kitenzi (D)kivumishi

6.Sentensi ipikatiyazifuatazoipokatikakaulihalisi? (A)mimisiendi (B)alisemahaendi (C)ameenda (D)alisemahataenda(E)alisemaanaenda.

7.Neno lipilinakamilishasentensiisemayo, TimuyaTaifaingalichezavizuri __________

(A)ingelishinda (B)ingeshinda (C)ingashinda (D)ingalishinda (E)itashinda

8.Siku ya Mei Mosiwafanyakaziwalipitambeleya Waziri mkuuwakishikilia __________ yenyemanenoyakuhimizakazi. (A)mabango (B)libango (C)kibango (D)vibango (E)bango

9.Mwalimu aliandika maneno yafuatayo ubaoni , Ni nenolipihalinauhusianonamengine? 

(A)Ng’ombe (B)Mbuzi (C)Simba (D)Chiriku (E)Nyani

10.Mama alinunua, Samaki, dagaananyamakwanenomojahuitwaje? __________

(A)kitoweo (B)mboga (C)Mchuzi (D)Mlo (E)chakula

11.Kinyume cha neno “duni” nikipi? (A)Thamani (B)Kidogo (C)Hafifu (D)Kikubwa (E)Imara

12.Mzee jumbealiwapawanaemawaidhajuuya Maisha yao. Nenolililopigiwamstarilinamaanagani? (A)mawazo (B)urithi (C)maonyo (D)mahubiri (E)hotuba.

13.Juma anafanyakazi za kusimamiawatushambani, hivyoJumaninani ?______________

(A)Nokoa (B)Mnyapara (C)Msimamizi (D)Kiongozi (E)Kiranja

14.Pandamali nikijanamwenye hila sana. Kisawe cha neno “hila” nikipi?

(A)Hasira (B)Ulafi (C)Udanganyifu (D)Ukorofi (E)ukabila

15. “Jionibahariilikuwa __________ kwahiyowavuviwalivua Samaki bilawasiwasi. Nenolipilinakamilishasentensikwausahili. (A)kupwa (B)Shwari (C)kavu (D)baridi (E)joto

16.Mama alijifunzakuendesha gari lakinibadohajafuzu. Neno “Hajafuzu”linamaanagani

(A)Hajajuakuendesha (B)Hajamalizamafunzohayo (C)Hajapataleseni

(D)Hajahitimumafunzohayo (D)Hatamalizamafunzohaya.

17.Kijana yule anafanyakazizakekwamakini. Badalayakutumianeno “makini” ungewezakutumianenolipi. (A)Busara (B)Hekima (C)ujasiri (D)wasiwasi (E)uangalifu.

18.Neno “jenga” likinyambulishwakatikakauliyakutendekalitakuwa _________ (A)jengwa (B)jengea (C)jengeka (D)jengesha (E)jengewa.

19. “Baba yangunimwenyekitiwa Kijiji. Neno “Mwenyekiti”ninominoyaainagani?

(A)Dhahania (B)kawaida (C)pekee (D)jumla (E)mguso

20. “Mama anapikalakini baba anapangamawe” Nenolakinilimetumikakamaainaganiyaneno

(A)kivumishi (B)Kiwakilishi (C)Kielezi (D)kitenzi (Kiunganishi.

 

SEHEMU B: LUGHA YA KIFASIHI

21. “Kidolekimojahakivunjichawa” methalihiiinamaana saw ana methaliipikatikayazifuatazo. (A)Mchaguajembesimkulima (B)kilemasiugonjwa (C)umojaninguvuutenganoniudhaifu (D)kuvujakwapakachanafuukwamchukuzi (E)kuliakwakenikichekokwetu.

22.Kifungu kipi cha manenohukamilishakitendawilikifuatachokwausahihi? “Watoto wabinadamu

(A)huondokanakurudi (B)wakiondokahawarudi (C)hutanguliakuondoka (D)huchelewakuondoka (E)huondoka Pamoja nabinadamu

 

23. “Udongouwahiungalimaji” methalihiiinamaanagani? (A)udongoukikaukaunakuwamgumu

(B)kuchukuatahatharikablayahatari (C)usitatuetatizokablayahatari

(D)udongowenyemajiusiuwahi (E)kukimbiliatatizosikulitatua.

24.Tatizo la ufisadilimeotamzizikatikanchiyetu“kuotamizizi”niusemiwenyemaanagani? 

(A)kuibuka (B)kutoweka (C)kufifia (D)kuanza (E)kushamiri

25. “Mgonjwaaendapohospitalininakutopatamatibabuhadiatoechochotekwamuhudumuwaafya “Nahauipiinasaididahalihiyo”? (A)kutiamkonokazini (B)kuzungukambuyu. (C)kuuatembokwaubua (D)kujikazakisabuni (E)kutoanimoyo.

26.Kiangazi chotehulalausingizi, yakija Maisha Nakesha, maanayakitendawilihikini

(A)Nyote (B)kaa (C)samaki (D)Ndege (E)Chura

27. “Samaki mkunjeangalimbichi” methaliipikatiyazifuatazoinamaanasawa ana hii

  1. Samaki huanzakuozakichwa
  2. Ukitakaribasikioziba
  3. Jino la pembenisidawayapengo
  4. Sikio la kufahalisikiidawa
  5. Ngozi ivuteilimaji

28. “Hamadi kibindoni” katiyatafsirizifuatazoniipiinayotoamaanasahihiyamsemohuo.

  1. Akiba niileiliyonyingi
  2. Weka akibayakovizuri
  3. Kizurihakinabudikuhifadhiwa
  4. Kikulachonikileulicho nacho
  5. Akiba iliyohifadhiwahunusurika

29. “Kaachonjo” Nahauhiimaanayakeniipi. (A)Kaapembeni (B)Kuwamwangalifu

(C)kuwamwaminifu (D)kuwamcheshi (E)kuwamjanja

30. “Wakulimawakahawawa wilaya yambingawamepewahekokwakuzalishakahawa bora”

(A)kupewatuzo (B)kupewapongezi (C)kupewaheri (D)kupewazawadi (E)kupewa hawala.

 

SEHEMU C UTUNGAJI

UmepewaInshayenyesentensitano (5) zilizoandikwabilamtiririkosahihiwamawazo. Zipangesentensihizoiliziwenamtiririkowenyemantikikwakuzipa A, B, C, D na E ilikujibumaswali 31 – 35 

 

31.Tutaendelea kusaidiananakushirikianakatika mambo mbalimbalihasa katikashughuli za kiuchumi, kielimunakijamii

32.Kumekuwa namwingilianowatamaduni za kigenikatikanchizetumfanomavazi, lugha, ngoma, nyimbo, milanadesturi

33.lakini katika Kijiji chetu cha Tupendanetumeamuakudumishaupendonaushirikianomiongonimwetu.

34.Baadhi yamisingimizuriya Maisha imevurugwa .

35.Mambo mengiyaliyotokeanayanayoendeleakutokeayameathirisehemuyautamaduniwetu.

 

SEHEMU D: USHAIRI

Soma kwamakinishairilifuatalokishajibumaswaliyanayofuata.

Nawaulizawahenga, wa bara wanavisiwani

Na nduguzanguwaganga, nitoenimashakani,

Hizibetinazitunga, ilinipateamani,

Ni kipikilicho bora, Mchana au Usiku.

 

Mchanaunatufaa, kazinikujiendea,

Tusijetukafanjaa, Watoto tuweze lea,

Usikunao Wafaa, tuwezekusinzia,

Ni kipikilicho bora, Mchana au Usiku.

 

 

36.Shairi hililinabeti ngapi? (A)nane (B)nne (C)sita (D)mbili (E)tatu

37.Neno wahengakamalilivyotumikakatikaubejiwa kwanza washairihililinamaanagani? (A)watuwapwani (B)watuwa bara (C)Watoto (D)waganga (E)watuwazamani

38.Mstari uliopigiwamstarichinikatikakilaubetiwashairihilihujulikanakama

(A)mshororo (B)vina (C)ubeti (D)Mkarara (E)mizani

39.Vina vyakatinamwishokatikaubetiwa pili washairihilini ________ 

(A)a na a (B)aa nae a (C)aa naia (D) a nae a (E)nganani

40. Mshairianasemamchanaunatufaakwasababu. (A)ndiyomudawakufanyakazi

(B)ndiyomudawakupumzika (C)ndiyomudawakulea Watoto (D)ndiyomudawakusinzia (E) ndiyomudawakushindanjaa

 

SEHEMU E UFAHAMU

Soma kwamakinikifungu cha habarikifuatachokishajibumaswaliyanayofuata

 MiongonimwamashujaaambaohawawezikusahaulikakatikahistoriayanchiyetuniMtwaMkwawa. Huyualikuwakiongoziwakabila la waheheMkoani Iringa. Baba yakeMkwawaalitwaMunyigumba. Mkwawaaliongozamapambanomakalidhidhiyawajerumanikuanziamwaka 1891 hadimwaka 1898. Alifanikiwakuwauawajerumaniwengiakiwemoaliyekuwakamandawakikosi cha kijerumanialiyejulikanakwajina la Emili Zelwski. Mara baadayakuuawakwakamandaZelwiskiMnamomwaka 1891, Gavanawaujerumanialiwamuruwanajeshi wake wamtafuteMkwawakwanguvuzotehadiwamkamate. BaadayaMkwawakugunduakuwaamezidiwasananawajerumaniakaamuakujiuakwakujipigarisasiyeyenamlinzi wake kwakuhofiaasikamatwenawajerumani.

 

41.kwa mujibuwakifunghiki cha habari, nishujaaganihawezikusahaulikakirahisikatikahistoriayanchiyetu?

42.Mkwawa alipambananawajerumanikwamudawamiakamingapi? __________

43.Kiongozi wakijerumanialiyeuliwanajeshila Mkwawamwaka 1891 alikuwanani ____________

44.Baba yakeMkwawaaliitwanani ____________________________________

45. Kwa ninimkwawaaliamuakujiuamweneyewe? ___________

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX KISWAHILI EXAM SERIES 52

OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA

MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA SITA

URAIA NA MAADILI

MUDA:1:30                                                             

JINA_____________________________________SHULE_________________________

MAELEZO

1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa

2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu

3. Zingatia unadhifu wa kazi yako

4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi

5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi

 

Chagua jibu sahihi katika swali la 1-40 kisha andika jibu katika nafasi uliopewa

  1. Ipi kati ya zifuatazo ni sababu za ongezeko la matendo ya ukiukwaji wa haki za binadamu? (a) Kulipa kodi stahiki (b) Watoto kutopelekwa shule za bweni (c) Watu kujichukulia sheria mkononi (d) Upendo kwa watu wenye mahitaji maalumu
  2. Yafuatayo ni madhara ya kutokuwa muwazi: (a) Kusifiwa na kuharibu (b) Kuleta migongano (c) Uzembe na uhalifu (d) Mshikamano na uvivu
  3. Ipi kati ya tabia zilizoorodheshwa inaonesha uvunjifu wa sheria za shule? (a) Kuwahi sana shuleni (b) Kusoma kwa bidi (c) Utoro na kupigana (d) Kujisomea nyumbani baada ya masomo
  4. Kanuni zinazowekwa shuleni na nyumbani husaidia nini? (a) Kufuata utaratibu na kudhibiti nidhamu (b) Ukiukaji wa haki za mtoto (c) Ubabe wa wazazi au walezi (d) Kuleta fujo
  5. Ari ya kufanya kazi inaitwa? (a) Hamu (b) Bidii (c) Morali (d) Mori
  6. Fedha au mavuno yatokanayo na kazi unayofanya huitwa (a) Mali (b) Mshahara (c) Kipato (d) Malipo
  7. Tathmini shuleni inapaswa kuwa; (a) Kazi za darasani tu (b) Kazi za darasani na nje ya darasa (c) Kazi za viwanjani (d) Katika mitihani tu
  8. Kuangalia kitu kwa undani kisha kukadiria thamani yake au ubora wake huitwa (a) Kuchunguza (b) Mpangokazi (c) Tathmini (d) Morali
  9. Hali inayopunguza ukamilifu wa kitu inaitwa? (a) Shida (b) Kudorora (c) Kupooza (d) Kipato
  10. Hali isiyo na jibu la haraka huitwa: (a) Taaluma (b) Fursa (c) Utata (d) Changamoto
  11. Ni mataifa yapi kati ya yafuatayo yalianzisha umoja wa nchi zisizofungamana na upande wowote?  (a) Ulaya Mashariki. (b) Nchi zinazoendelea (c) Ulaya Magharibi.  (d) Amerika ya Kusini (e) Amerika ya Kaskazini
  12. Tanzania inapata faida gani kwa kuongeza biashara yake ya kimataifa?(a) Kuongeza majengo (b) Kupunguza wajasiriamali wa ndani (c)Kuongeza deni (d) Kupunguza mikataba ya kibiashara  (e) Kuongeza fedha za kigeni
  13. Upi si umuhimu wa kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na mataifa mengine? (a) Kupata utaalamu na teknolojia (b) Kudumisha utamaduni wa Mtanzania (c) Kukuza migogoro kati ya nchi na nchi (d) Kupata pesa za kigeni
  14. Tanzania imefanya nini katika kujenga jamii inayoheshimu utamaduni wake? (a) Kuwakinga raia wake na utandawazi (b) Kufundisha lugha za asili (c) Kuwa na vyombo vya kuendeleza utamaduni (d)Kuzuia tamaduni zote za kigeni
  15. Moja ya mambo yafuatayo si kweli kuhusu mambo ambayo mgonjwa wa ukimwi anapaswa kutendewa: (a) kustaafishwa kazini (b) kula pamoja (c) kucheza naye  (d) kujadiliana naye kuhusu maendeleo yake (e) kupewa tiba kwa magonjwa nyemelezi
  16. Mambo ambayo kila mwanadamu anastahili kupata bila kujali kabila, utaifa au jinsia huitwa: (a) Utawala bora. (b) Haki za binadamu. (c) Utawala wa sheria.  (d) Demokrasia.  (e) Usawa wa kijinsia
  17. Moja ya matukio yanayokiuka Haki za Binadamu nchini Tanzania ni.............(a) Mauaji ya vikongwe na maalbino (b)Ukataji na upandaji mid (c) kuwafungulia mashtaka wahalifu (d) kufukuzwa kazi viongozi wasio waadilifu(e) Serikali kusimamia ukusanyaji kodi
  18. Kuzingatia sheria, haki za bianadamu, ukweli na uwazi, na uhuru wa vyombo vya habari ni misingi ya (a)Urasimu (b) Utawala wa sheria (c) Ujamaa wa kiafrika (d)Demokrasia ya Uwakilishi (e) utawala bora
  19. Haki za binadamu zinapaswa kutolewa kwa watu wote bila kujali .(a)vyama vya siasa. (b) katiba ya nchi.(c)haki za makundi maalumu. (d) umri wa mtu. (e) rangi, dini, jinsi na kabila.
  20.   Mambo yote ambayo watu wote wanastahili bila ya kujali kabila, utaifa au jinsia ya huitwa(a) utawala bora (b) haki za binadamu (c) utawala wa sheria (d) demokrasia (e) usawa wa kijinsia
  21. Chombo cha juu katika maamuzi kwenye serikali ya kijiji ni ..................(a)  Serikali ya kijiji (b) Kamati ya ulinzi na usalama(c) Mkutano mkuu wa kijiji (d) Afisa Mtendaji wa kijiji(e) Kamati ya Maendeleo ya kijiji
  22. Lipi kati ya majukumu yafuatayo si jukumu la mwanafunzi awapo shuleni?(a) Kupika chakula cha wanafunzi wenzake (b) Kufanya usafi darasani (c) Kuhudhuria paredi (d) Kufanya bidii masomoni
  23. Tunapojifunza na wenzetu tunapata faida zifuatazo isipokuwa: (a) Kujenga kumbukumbu ya muda mrefu (b) Kujenga tabia ya uvumilivu (c) Kupendelea wengine (d) Kujenga urafiki
  24. Tunaweza kujifunza mambo katika mazingira yetu kwa njia ifuatazo isipokuwa (a) Kusoma magazeti na vitabu (a) Kusikiliza redio na kuangalia runinga (c) Kupitia ndoto zetu (d) Mahubiri kanisani na msikitini
  25. Nani anaweza kutoa ushauri? (a)Mzazi tu (b) Mwalimu pekee (c) Mtu yeyote anayeamini anaweza kukusaidia (d)Rafiki yako
  26. Njia ya kwanza ya kupata ushauri ni? (a) Kupayuka (b) Kuwa na utayari (c) Kushirikisha (d) Kuomba msaada
  27. Jambo linalo mkabili mtu na linahitaji ufumbuzi linaitwa? (a) Shida (b) Tatizo (c) Changamoto (d) Suluhu
  28. Zifuatazo ni mbinu za kukabiliana na watu wanafiki isipokuwa (a) Kuwatangaza wanafiki hadharani (b) Masimulizi ya hadithi (c) Kutumia vyombo vya habari (d) Kuwashauri na kujenga urafiki nao
  29. Kitendo cha mtu kufanya jambo kwa kinyume anachosema kinaitwa? (a) Uzaleendo (b) Unafiki (c) Ukatili (d) Uwongo
  30. Mjowapo ya faida ya kujiamini ni? (a) Kujipenda (b) Kushirikiana na wenzake (c) Kukosa ustaharabu (d) Kuongeza bidii na kutafuta msaada
  31. Msukumo unaotoka ndani yako na nguvu ya pekee katika kufanikisha mambo huitwa? (a) Uvumilivu (b) Nidhamu (c) Kujiamini (d) Uadilifu
  32. Ni chombo gani chenye jukumu la kulinda nchi yetu na mipaka yake?  (a) Jeshi la Polisi Tanzania.  (b) Jeshi la Magereza la Tanzania. (c) Jeshi la Kujenga Taifa.  (d) Jeshi la Wananchi la Tanzani. (e) Jeshi la Mgambo
  33. Mojawapo ya kazi za mgamboni(a) kukamata wahalifu na kuwapeleka kwenye kituo cha polisi (b)  kuadhibu wanaovunja sheria mijini (c) kuzuia ajali za moto (d) kukusanya kodi ya maendeleo mijini  (e) kuzuia na kupambana na rushwa
  34.  Ngao ya taifa inawakilisha: (a) umoja, uhuru, uwezo na mamlaka ya taifa (b) uhuru, umoja na rasilimali za taifa (c) uwezo, uhuru, uoto wa asili na mamlaka ya taifa (d) uhuru, umoja na mamlaka ya taifa  (e) uhuru na umoja
  35. Kiongozi mkuu wa shule ni (a) mwalimu mkuu msaidizi (b) mwalimu wa taaluma (c) kiranja mkuu (d) mwalimu mkuu (e) mwalimu wa nidhamu 
  36. Kauli mbiu ya Tanzania iliyopo kwenye nembo ya taifa ni: (a)  uhuru na maendeleo(b) uhuru na kazi (c) uhuru na umoja (d) uhuru na amani (e) umoja na amani
  37. Majukumu makuu ya kiongozi wa familia ni yapi? (a) kuwapatia wanafamilia mahitaji ya msingi (b) kupeleka watoto shule (c) kuwasaidia ndugu, jamaa na marafiki (d) kufanya kazi kwa bidii  (e) kurekebisha tabia za wanafamilia
  38. Uhuru, haki na udugu ni misingi ya nini? (a) Demokrasia (b) Azimio la Arusha (c) Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (d) Utawala wa sheria (e) Mfumo wa siasa ya vyama vingi nchini
  39. Baba, mama na watoto kwa pamoja huunda: (a) ukoo. (b) familia pana  (c) jamii  (d) familia  (e) jumuiya
  40.  Ukoo ni muungano wa: (a) familia zinazokaa karibu  (b) familia nyingi zenye asili moja (c) familia nyingi zilizo rafiki (d) baba, mama na watoto. (e) familia zilizoungana kufanya kazi pamoja.

 

Chunguza Picha hii inayoonyesha moja wapo ya rasilimali za Tanzania kisha jibu Maswali

  1. Taja shughuli kuu inayofanyika katika eneo hili
  2. Taja faida mbili zinazotokana na shughuli inayofanyika hapo juu
  3. Taja mbuga mbili kuu za wanyama Tanzania
  4. Tunawezaje kutunza rasilimali kama hii hapo juu?
  5. Taja hasara mbili za utalii kwa Taifa

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX URAIA EXAM SERIES 51

PRESIDENT'S OFFICE 
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT 
 TERMINAL EXAMINATION MAY
STANDARD SIX

ENGLISH

TIME: 1:30 HRS                                                           

NAME_____________________________________SCHOOL_________________________

INSTRUCTIONS

  • THIS paper consists of  SECTIONS A, B, C and D
  • Answer all questions from each section as per instruction given
  • Write full name on the blank space above together with the name of the school
  • Ensure your work is neat and legible.

 

SECTION A

For question 1-5 listen careful to the passage being read and answer the questions that follow.

Stigma is what a person suffers because of the belief that something, - a condition, feature or person is disgraceful. There are three types of stigma.

Stigma may be linked to physical features, weight, height, looks, physical or mental disability or medical conditions that people fear like HIV, cancer, leprosy and mental illness.

It is also connected with behaviour that does not fit with the standard of society such as alcoholism or criminal behaviour. Some are stigmatized because of someone else's unacceptable actions - rape victims or a child conceived through rape often suffer such stigma.

Someone's race, religion, nationality or tribe can carry stigma too. Stigma leads to harmful myths and discrimination. People are labelled bad or as not fit to be part of a society because of it. In fact disease and disability are often seen as punishment for sins.

Stigma leads to violence even to the killing of an individual or group. This includes ethnic cleansing, removing or murdering people because of their racial or tribal background - or genocide - attempting to murder an entire group. This happened to the Jews in Mazi ceremony and to Tutsis in Rwanda in 1994.

Fear of stigma! Labelling people is too easy. Think of yourself. See each person as an individual.

  1. Which one of the following is not listed to be disgraceful? (a) feature  (b)  A condition (c)  A person  (d) A religion
  2. From the passage, we can learn that, (a) Better late than never (b) Hard work pays (c) Once bitten twice shy (d) Hurry hurry has no blessings
  3. Dambuya’s father situation worsened when (a) He failed to get the medicine (b) He remembered the death of his wife (c) He was given the concoction (d) He developed wound on his back
  4.  Since Dambuya’s father lost the wife, he could be called (a) Widow (b) Orphan (c) Wizard (d) Widower
  5.  Why did Dumbuya's father not cry during the wife's death? (a) He did not feel the loss. (b) Men were not supposed o cry. (c) He did not want the son to see him cry. (d)The villagers would laugh at him

 

SECTION B. TENSES AND GRAMMAR

Choose the correct answer and write its letter

  1. Maria …………………to collect her parcel (a) Has (b) Have (c) Was (d) Were
  2. Neither Paul nor Grace ……………………….with us (a) Are (a) Were (c) Is (d) Was
  3.  They will ……………………buy balls nor whistles (A) Neither (b) None (c) Nor (d) Either
  4. Clare has ………………to read or fail (a) Either (b) Neither (c) Both (d) Or
  5. I prefer tea ________________cone. (a) than (b) . or (c)  with (d). to
  6. Maria is Gifted ____________a beautiful voice.(a) . in  (b)  of ( c) with (d). on
  7. There is need______________all the pupils to come  early.(a)  in (b). of (c) for (d)  with
  8. The products have been rejected _____? (a) Have they? (b) Do they? (c) Haven’t they? (d)Isn’t it?
  9. Pick the odd one out (a) full stop (b) punctuation (c) comma ( d) apostrophe
  10. The weaving of baskets ______ a lot of care (a) needing (a)  need (c) needs  (d) needed
  11. Few days to come Rashid ......................twenty years old (a) will be (b) would be (c) shall (d) am watching.
  12. i...................the television when it started raining (a) had watching (b) will watch (c) was watching (d) am watching
  13. The sun.............in the west (a) set (b) setting (c) is set (d) sets
  14. Crops .............water, light and fertile soil to grow well (a) need (b) needs (c) needs (d) grow
  15. That boy has been .............for two hours (a) working (b)  worked (c) works (d) having worked
  16. ................car had an accident? (a) who (b) when (c) why (d) which
  17. The boy didn’t ran, ...............he was sick (a) if (b) because (c) and (d) from
  18. This is the girl ...................book was lost (a) whose (b) what (c) which (d) who
  19. He dressed ..................beautifully (a) him (b) he (c) himself (d) his
  20. John is very good ..............mathematics (a) in (b) at (c) with (d) for
  21. All the people looked at her. She entered the class ...........(a) proud (b) proudly (c) prouder (d) prouds
  22. Which word is the opposite of sad? (a) sadness (b) happy (c) crying (d) shouting
  23. Juma is my uncle. His daughter is my.. (a) nephew (b) niece (c) sister (d) cousin
  24. He is the ............pupil in our class (a) most intelligent (b) super intelligent (c) more intelligent (d) the intelligentiest.
  25. He has to be care..........when driving a car. (a) ful (b) fully (c) full (d) less

SECTION C. VOCABULARY

Choose the word similar in meaning as the underlined word

  1. The goods this trader sells are very dear (a) valuable (b) priceless (c) expensive (d) precious
  2. James never makes a single mistake in his grammar (a) correction (b) error (c) failure (d) take
  3. We seriously need vigilant security officers (a) ferocious (b) intelligent (c) ambitious (d) watchful
  4. I make and mend shoes, who I’m I? (a) shoewalker (b) cobbler (c) shoe polisher (d) repairer
  5. Which word does not fit in the list? (a) kitten (b) stallion (c) cub (d) tadpole
  6. Genuine products are those which are; (a) shiny (b) original (c) nice (d) fancy

SECTION D. COMPOSITION

Arrange the sentences so as to make a good composition by giving them letters A-D.

  1. When Mrs. Daudi came back from work, she did not find the meat.
  2. One day, Mrs. Daudi put some meat in the cupboard and left for work
  3. From that day, the cat was chased away
  4. Her cat opened the cupboard and ate the meat

SECTION E. COMPREHENSION

Read the following passage carefully and then answer the questions that follow by writing the correct answer in the space provided. Use a blue or black ink pen.

Mr. and Mrs. Koba have three children. two are boys and one is a girl.Their sons names are Jembe and Alli and their daughter is Suzy. All their children go to school. Jembe is in class seven and Alli and Suzy are in class five.

They are all hardworking pupils in their school and they all have good performance in all subjects. Jembe is the best at English and Mathematics. Mr. and Mrs. Koba and their children are a happy family.

  1. Who has three children?
  2.  How many sons are there in the family of Mr. and Mrs. Koba?
  3.  At which subject is Jembe best ?
  4. In which class is Jembe studying?
  5. Why do the children of Mr. and Mrs. Koba have good performance? 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX ENGLISH EXAM SERIES 50

PRESIDENT'S OFFICE 
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT 
 TERMINAL EXAMINATION MAY
STANDARD SIX

ENGLISH

TIME: 1:30 HRS                                                           

NAME_____________________________________SCHOOL_________________________

INSTRUCTIONS

  • THIS paper consists of  SECTIONS A, B, C and D
  • Answer all questions from each section as per instruction given
  • Write full name on the blank space above together with the name of the school
  • Ensure your work is neat and legible.

 

SECTION A

For question 1-5 listen careful to the passage being read and answer the questions that follow.

Stigma is what a person suffers because of the belief that something, - a condition, feature or person is disgraceful. There are three types of stigma.

Stigma may be linked to physical features, weight, height, looks, physical or mental disability or medical conditions that people fear like HIV, cancer, leprosy and mental illness.

It is also connected with behaviour that does not fit with the standard of society such as alcoholism or criminal behaviour. Some are stigmatized because of someone else's unacceptable actions - rape victims or a child conceived through rape often suffer such stigma.

Someone's race, religion, nationality or tribe can carry stigma too. Stigma leads to harmful myths and discrimination. People are labelled bad or as not fit to be part of a society because of it. In fact disease and disability are often seen as punishment for sins.

Stigma leads to violence even to the killing of an individual or group. This includes ethnic cleansing, removing or murdering people because of their racial or tribal background - or genocide - attempting to murder an entire group. This happened to the Jews in Mazi ceremony and to Tutsis in Rwanda in 1994.

Fear of stigma! Labelling people is too easy. Think of yourself. See each person as an individual.

  1. Which one of the following is not listed to be disgraceful? (a) feature  (b)  A condition (c)  A person  (d) A religion
  2. From the passage, we can learn that, (a) Better late than never (b) Hard work pays (c) Once bitten twice shy (d) Hurry hurry has no blessings
  3. Dambuya’s father situation worsened when (a) He failed to get the medicine (b) He remembered the death of his wife (c) He was given the concoction (d) He developed wound on his back
  4.  Since Dambuya’s father lost the wife, he could be called (a) Widow (b) Orphan (c) Wizard (d) Widower
  5.  Why did Dumbuya's father not cry during the wife's death? (a) He did not feel the loss. (b) Men were not supposed o cry. (c) He did not want the son to see him cry. (d)The villagers would laugh at him

 

SECTION B. TENSES AND GRAMMAR

Choose the correct answer and write its letter

  1. Maria …………………to collect her parcel (a) Has (b) Have (c) Was (d) Were
  2. Neither Paul nor Grace ……………………….with us (a) Are (a) Were (c) Is (d) Was
  3.  They will ……………………buy balls nor whistles (A) Neither (b) None (c) Nor (d) Either
  4. Clare has ………………to read or fail (a) Either (b) Neither (c) Both (d) Or
  5. I prefer tea ________________cone. (a) than (b) . or (c)  with (d). to
  6. Maria is Gifted ____________a beautiful voice.(a) . in  (b)  of ( c) with (d). on
  7. There is need______________all the pupils to come  early.(a)  in (b). of (c) for (d)  with
  8. The products have been rejected _____? (a) Have they? (b) Do they? (c) Haven’t they? (d)Isn’t it?
  9. Pick the odd one out (a) full stop (b) punctuation (c) comma ( d) apostrophe
  10. The weaving of baskets ______ a lot of care (a) needing (a)  need (c) needs  (d) needed
  11. Few days to come Rashid ......................twenty years old (a) will be (b) would be (c) shall (d) am watching.
  12. i...................the television when it started raining (a) had watching (b) will watch (c) was watching (d) am watching
  13. The sun.............in the west (a) set (b) setting (c) is set (d) sets
  14. Crops .............water, light and fertile soil to grow well (a) need (b) needs (c) needs (d) grow
  15. That boy has been .............for two hours (a) working (b)  worked (c) works (d) having worked
  16. ................car had an accident? (a) who (b) when (c) why (d) which
  17. The boy didn’t ran, ...............he was sick (a) if (b) because (c) and (d) from
  18. This is the girl ...................book was lost (a) whose (b) what (c) which (d) who
  19. He dressed ..................beautifully (a) him (b) he (c) himself (d) his
  20. John is very good ..............mathematics (a) in (b) at (c) with (d) for
  21. All the people looked at her. She entered the class ...........(a) proud (b) proudly (c) prouder (d) prouds
  22. Which word is the opposite of sad? (a) sadness (b) happy (c) crying (d) shouting
  23. Juma is my uncle. His daughter is my.. (a) nephew (b) niece (c) sister (d) cousin
  24. He is the ............pupil in our class (a) most intelligent (b) super intelligent (c) more intelligent (d) the intelligentiest.
  25. He has to be care..........when driving a car. (a) ful (b) fully (c) full (d) less

SECTION C. VOCABULARY

Choose the word similar in meaning as the underlined word

  1. The goods this trader sells are very dear (a) valuable (b) priceless (c) expensive (d) precious
  2. James never makes a single mistake in his grammar (a) correction (b) error (c) failure (d) take
  3. We seriously need vigilant security officers (a) ferocious (b) intelligent (c) ambitious (d) watchful
  4. I make and mend shoes, who I’m I? (a) shoewalker (b) cobbler (c) shoe polisher (d) repairer
  5. Which word does not fit in the list? (a) kitten (b) stallion (c) cub (d) tadpole
  6. Genuine products are those which are; (a) shiny (b) original (c) nice (d) fancy

SECTION D. COMPOSITION

Arrange the sentences so as to make a good composition by giving them letters A-D.

  1. When Mrs. Daudi came back from work, she did not find the meat.
  2. One day, Mrs. Daudi put some meat in the cupboard and left for work
  3. From that day, the cat was chased away
  4. Her cat opened the cupboard and ate the meat

SECTION E. COMPREHENSION

Read the following passage carefully and then answer the questions that follow by writing the correct answer in the space provided. Use a blue or black ink pen.

Mr. and Mrs. Koba have three children. two are boys and one is a girl.Their sons names are Jembe and Alli and their daughter is Suzy. All their children go to school. Jembe is in class seven and Alli and Suzy are in class five.

They are all hardworking pupils in their school and they all have good performance in all subjects. Jembe is the best at English and Mathematics. Mr. and Mrs. Koba and their children are a happy family.

  1. Who has three children?
  2.  How many sons are there in the family of Mr. and Mrs. Koba?
  3.  At which subject is Jembe best ?
  4. In which class is Jembe studying?
  5. Why do the children of Mr. and Mrs. Koba have good performance? 

 

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX ENGLISH EXAM SERIES 49

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

URAIA NA MAADILI SIX- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA SITA

MUDA: 1.30 

MAELEKEZO

  1. Mtihani huu una maswali 50
  2. Fanya maswali yote
  3. Andikamajibu yako katika nafasi iliyoachwa wazi.
  4. Hakikisha kazi yako ni safi.

SEHEMU A. 

Chagua kibu sahihi, kisha andika herufi ya jibu sahihi katika nafasi ulioyoachwa hapo chini.

1. Msaidizi wa mkuu wa mkoa katika shughuli zake za utendaji ni nani?

  1. ofisa elimu mkoa
  2. katibu tawala wa mkoa
  3. mkuu wa idara ya utawala na utumishi mkoa
  4.  ofisa afya wa mkoa

2. Mwenyekiti wa halmashauri ngazi ya wilaya huongoza akina nani?

  1. wenyeviti wa mtaa
  2. makatibu tawala
  3. madiwani wa halmashauri
  4. mtendaji wa kata

3.   Katika ofisi ya kata, nani ni mtendaji mkuu?

  1. Diwani
  2. Ofisa mtendaji wa kata
  3. Ofisa mazingira wa kata
  4. Ofisa maendeleo wa kata

4. Wakuu wa idara katika halmashauri za wilaya huwajibika kwa nani?

  1. mkurugenzi wa halmashauri
  2. mkuu wa wilaya
  3. mkuu wa mkoa
  4. ofisa tawala wa wilaya

5. Mkurugenzi wa halmashauri anapatikanaje?

  1. kwa kupigiwa kura na madiwani
  2. kwa kuajiriwa na menejimenti ya utumishi wa umma
  3. kwa kuteuliwa na rais
  4. kwa kupigiwa kura na wananchi katika halmashauri inayohusika

6.   Katibu wa vikao vya baraza la madiwani ni nani?

  1. Mwenyekiti wa Halmashauri
  2. Diwani wa viti maalum
  3. Katibu tawala
  4. Mkurugenzi wa Halmashauri.

7. Anayesimamia manunuzi yote yanayofanywa na ofisi ya mkuu wa mkoa ni;

  1. Katibu tawala mkoa
  2. Ofisa ugavi mkuu
  3. Mganga mfawidhi
  4. Mkaguzi wa ndani

8. Kuna aina ngapi za uongozi katika kata?

  1. 3
  2. 5
  3. 4
  4. 2

9. Maana ya utamaduni ni:-

  1. Ushabiki wa kitu au jambo unalolipenda
  2. Mtindo wa jumla wa maisha ya watu katika jamii au taifa Fulani
  3. Shughuli za asili zinazofanywa na watu
  4. Ngoma zinazochezwa na jamii Fulani.

10. Baadhi ya alama zipatikanazo kwenye fedha ya Tanzania ni

  1. Twiga Tembo, Nembo ya taifa na sura ya rais
  2. Nembo , nyumbu na kifaru
  3. Mwenge , twiga na sokwe
  4. Ngao, Mkuki, Nyota

11. Umuhimu wa bendera ya rais ni 

  1. Kutembelea katika ziara mbalimbali tu
  2. Kuonyesha mamlaka ya rais
  3. Kuhamasisha mwenge wa uhuru
  4. Kujigamba kwa wapinzani wake

12. Chimbuko la sheria zote nchini Tanzania ni;

  1. Fedha ya Tanzania
  2. Katiba ya Jamhuri wa muungano wa Tanzania.
  3. Vyama vya siasa
  4. Ilani ya CCM

13. Rangi ya bluu iliyopo katika bendera ya taifa uwakilisha;

  1. Watanzania
  2. Madini
  3. Maji ambayo ni mito, maziwa na bahari nchini Tanzania
  4. Amani na upendo

14. Alama ambayo hutumika kuonyesha umiliki wa mali na nyaraka za serikali tu ni;

  1. Picha ya makamu wa rais
  2. Bendera ya taifa
  3. Nembo ya Taifa
  4. Twiga

15. Ni ishara gani inayoonyesha kwamba taifa limepatwa na msibu mkubwa?

  1. Bendera zote kupepea nusu mlingoti
  2. Bendera ya taifa kupepea nusu mlingoti
  3. Bendera ya taifa kutopandishwa kabisa siku ya tukio
  4. Wageni wengi kutoka nchi mbalimbali

16. Ni siku ambazo viongozi hupata fursa kueleza mafanikio na changamoto zinazohitaji kufanyiwa kazi

  1. Siku za kukimbizwa mwenge wa uhuru tu
  2. Sikukuu ya mapinduzi ya Zanzibar tu
  3. Sikukuu za kitaifa
  4. Sikukuu ya mwaka mpya

17. Zipi kati ya hizi ni mila zisizofaa katika jamii?

  1. Kufanya kazi kwa ushirikiano
  2. Kuwakeketa wasichana
  3. Kuhamasisha wanaume na wanawake kushirikiana kufanya kazi za nyumbani hili kujiongezea kipato.
  4. Kurithi wajane ili wasipate shida

18. Mifano ya vikundi vinavyoweza kuundwa shuleni ni kama;

  1. Skauti, klabu za mazingira, klabu ya TAKUKURU. Klabu za masomo
  2. Upatu, ushirikiano na vyama vya siasa
  3. Skauti, singeli na ngoma za asili.
  4. Soka, ngoma za asili, na vyama vya siasa

 19. Tunapaswa kuonesha upendo kwa watu

  1. Wenye mahitaji maalum
  2. Ndugu wa karibu
  3. Watu wanotupenda
  4. Watu wote bila ubaguzi.

20. Wafuatao wana mahitaji maalum isipokuwa:

  1. Wazee
  2. Watoto
  3. Watu wenye ulemavu wa akili
  4. Yatima na maskini.

21. Tofauti gani sio ya  kimaumbile kati ya mwanaume na mwanamke?

  1. Kupata hedhi
  2. Kupata mimba
  3. Uwezo wa kuzaa
  4. Kunyonyesha

22. Tendo gani kati ya haya halionyeshi usawa wa kijinsia.

  1. Kutoa elimu sawa kwa mtoto wa kike na kiume
  2. Kutambua kuwa mwanaume na mwanamke wote ni binadamu
  3. Majukumu ya jikoni kuachiwa wasichana
  4. Kutobagua wasichana katika elimu

23. Moja ya mabadiliko ya wasichana wanapo balehe ni 

  1. Kuongezeka kwa kimo
  2. Kuonyesha heshima zaidi
  3. Kupata hedhi
  4. Kuwa na mpenzi wa jinsia tofauti.

24. Wasichana wanaweza kujiepusha na mimba za mapema kwa;

  1. Kuwa na marafiki waaminifu
  2. Kwenda disko na jamaa zao
  3. Kupokea zawadi kutoka kwa wavulana
  4. Kuepuka matembezi yasiyo ya lazima usiku.

25. Kwanini tunapaswa kuvaa mavazi yaliyo na staha?

  1. Yanaonyesha kujiheshimu
  2. Yanasaidia kuepuka magonjwa
  3. Ili tupendwe
  4. Ili tuvutie watu

26. Kabila gani huvaa kaniki kwenye ngoma za asili?

  1. Maasai
  2. Wagogo
  3. Wanyasa
  4. Wasukuma

27. Mabadiliko ya kimwili ya mtoto wa kiume na wa kike kuingia utu uzima huitwa

  1. Jinsia
  2. Kuvunja ungo
  3. Utu uzima
  4. Balehe

28. Ipi sio staha katka jamii

  1. Kuvalia nguo inayokustiri
  2. Kucheza na wavulana sehemu za uchochoro
  3. Kuwasalimia watu kwa heshima
  4. Kupenda watu wote

29. Chanzo cha familia ni:

  1. ndugu na rafiki
  2. ukoo na kabila 
  3. baba na mama
  4. watoto
  5. wazee na vijana

30. Mwakilishi wa wananchi katika vikao vya Wilaya vya Serikali za Mitaa ni ....

  1.  Mkuu wa Wilaya.
  2.  Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji.  
  3. Afisa Mtendaji Kata.
  4. Mwenyekiti wa Wilaya wa Chama Tawala.
  5.  Diwani wa Kata.

31. Ni wakati gani Bendera ya Taifa hupeperushwa nusu mlingoti? 

  1. Wakati wa ziara za viongozi wa mataifa mengine. 
  2.  Rais anapotangaza hali ya hatari.
  3.  Linapotokea janga la kitaifa au tukio la huzuni. 
  4.  Siku ya kumbukumbu ya Mashujaa wa Taifa.
  5.  Rais anapokuwa nje ya nchi.

32. Ni wakati gani Bendera ya Taifa hupeperushwa nusu mlingoti? 

  1. Wakati wa ziara za viongozi wa mataifa mengine. 
  2.  Rais anapotangaza hali ya hatari.
  3.  Linapotokea janga la kitaifa au tukio la huzuni. 
  4.  Siku ya kumbukumbu ya Mashujaa wa Taifa.
  5.  Rais anapokuwa nje ya nchi.

33. Lengo kuu Ia kuanzisha Serikali za Mitaa Tanzania ni

  1.  kuimarisha demokrasia     
  2.  kukusanya kodi ya maendeleo
  3.  kuimarisha polisi jamii        
  4.  kuboresha usafi wa miji 
  5.  kuongeza ajira

34. Faida ya ushirikiano kati ya shule na jumuiya inayozunguka shule ni pamoja na:

  1.  ulinzi na usalama wa shule kuimarika
  2.  ongezeko Ia idadi ya watoto wanaoandikishwa shule
  3.  nafasi za ajira kwa jamii inayozunguka shule kuongezeka 
  4.  shughuli za biashara kuzunguka eneo Ia shule kuongezeka
  5.  walimu wengi kupata nyumba za kupanga jirani na shule

35. Jukumu la ulinzi katika familia ni la nani?

  1. Baba na watoto.          
  2. Baba, jamaa na marafiki.
  3.  Watoto, mama na jirani              
  4.  Kila mtu katika familia 
  5.  Watoto, jamaa na marafiki

SEHEMU B.

Andika kweli au si kweli katika sentensi hizi.

36. Misingiya democrasiainazingatiahaki zabinadamu…………………….

37. Utawala wa democrasia unatambulika kwa kutii sheria za nchi pekee……..

38. Katika mfumo wademokrasia wananchi ni wapokeaji tu hawawajibiki kwa lolote

39. Wanawake hawana haki sawannawanaume katika mfumo wa demokrasia….

40. Uvumilivu wa kisiasa kwa vyama vyote hudumisha amani…………………..

41. Mtanzania anatakiwa kufanya biashara zake hapa nchi tu………….

42. Tanzania hunufaika na uhusiano wa kibalozi na mataifa mengine kiutamaduni…

43. Uhusiano wa Tanzania na Kenya umesaidia koboresha uchumi wa nchi  hizi mbili

44. Ni marufuku kwa nchi iliyo nauchumi wachini kujiunga najumuiya yaa Africa Mashariki…

45. Taarifa zote za mitandao zinazingatia maadili…………………

SEHEMU C.

Oanisha maneno ya sehemu A na sentensi katika sehemu B ili kupata maana sahihi.

SEHEMU A

SEHEMU B

46. Ushirikiano wa kimataifa

47. Jumuiya ambazoTanzania ni mwanachama

48. Kudumisha uhusiano wa kimataifa

49. Hasaraza utandawazi

50. Umoja wa mataifa.

  1. Upotoshaji wa maadili
  2. Nchi zote huru dunianini wanachama wa hiari
  3. Kunakuza biashara
  4. Utengano
  5. Ni uhusiano kati ya taifa moja na linguine
  6. Umoja wa mataifa, umoja wa afrika, jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika, jumuiya ya madola na jumuiya ya afrika mashariki.
  7. Jumuiya yaafrikamashariki, umoja wa utandawazi na teknolojia, umoja wa kibiashara, umoja wa afrika na jumuiya ya madola.

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX URAIA EXAM SERIES 17

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

SAYANSI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA SITA

MUDA: 1.30

MAELEKEZO

  1. Mtihani huu unasehemu mbili
  2. Jibu maswali yote 45
  3. Hakikisha kazi yako ni safi

SEHEMU A. Chagua jibu sahihi.

1. Ukuaji wa viumbe hai unahusu uongezekaji wa yafuatayo isiopokuwa;

  1. Kimo
  2. Uzani
  3. Unene
  4. Umbo la seli

2. Kipi sio mahitaji muhimu ya ukuaji wa mimea 

  1. Gesi ya kabonidayoksaidi
  2. Maji
  3. Gesi ya Nitrojeni
  4. Mwanga na joto

3. Kazi ya umbijani ni:-

  1. Kutengeneza chakula
  2. Kunasa nishati ya jua
  3. Kuchanganya maji na nishati ya jua
  4. Kupatia mmea rangi ya kujani

4. Kitendo cha mimea kusanisi chakula kwa kutumia nishati ya mwanga wa jua huitwa

  1. Usanisi
  2. Fotosinthesis
  3. Usanisuru
  4. Husharabu

5. Shina la mmea likiwa jembamba, refu na majani kuwa na rangi ya manjano ni ukosefu wa:-

  1. Madini
  2. Maji
  3. Jua
  4. Hewa

6. Kipi kati ya hivi haviongezi hewa ya kabonidayoksaidi kwenye angahewa?

  1. Moshi wa magari
  2. Shughuli za viwandani
  3. Ukataji miti
  4. Gesi ya kupikia.

7. Ipi sio kazi ya maji katika mimea?

  1. Kuyeyusha virutubisho
  2. Kubeba kabohaidreti kutoka kwenye majani kwenda kwenye sehemu zingine.
  3. Kufanya mimea kuwa imara
  4. Husaidia mimea kutengeneza chakula

8. Mimea kudumaa na majani kukosa rangi yake husababishwa na:-

  1. Potasi
  2. Naitrojeni
  3. Kolisiama
  4. Fosiforasi

9. Tishu inayopitisha maji na virutubisho kutoka kwenye mizizi kwenda sehemu zote za mimea huitwa?

  1. Floemi
  2. Zailemu
  3. Vinyelezi
  4. Vinywele

10. Gesi ambayo mimea hutumia kusanisi chakula ni:-

  1. Oksijeni
  2. Kabonidayoksaidi
  3. Nitrogen
  4. Agoni. 

11. Moto unahitaji gesi gani ili kuwaka?

  1. Kabonidayoksaidi
  2. Agoni
  3. Oksijeni
  4. Nitrojeni

12. Gesi mojawapo kati ya hizi hutumia kusindika vinywaji

  1. Nitrojeni
  2. Agoni
  3. Kabonidayoksaidi
  4. Nioni

13. Gesi ambayo inachangia asilimia 0.003 ya hewa kwenye angahewa ni:-

  1. Nitrojeni
  2. Kabonidayoksaidi
  3. Agoni
  4. Oksijeni

14. Ni lipi ambalo sio matumizi ya kabonidayoksaidi?

  1. Kuzima moto
  2. Kuhifadhi chakula
  3. Kuunguza
  4. Kusanisi chakula

15. Gesi hii hutumika kwenye taa za umeme

  1. Agoni
  2. Helium
  3. Krypton
  4. Oksijeni

16. Ni yapi sio matumizi ya Oksijeni?

  1. Kuwasha moto
  2. Kutengeneza kula
  3. Kuhifadhi chakula
  4. Hospitali kwa wagonjwa waliozidiwa

17. Gesi hii utumia kuunda mbolea.

  1. Agoni
  2. Nitrojeni
  3. Kabonidayoksaidi
  4. Amonia

18. Ipi sio sifa ya hewa

  1. Ina harufu
  2. Haina rangi
  3. Haionekani
  4. Inachukua nafasi

19. Ipi kati ya hizi sio sehemu ya hewa

  1. Oksijeni
  2. Hydrogeni
  3. Agoni
  4. Nitrojeni.

20. Kiwango cha maji kinachopotezwa na mmea huathiriwa na hali za hewa zifuatazo...

  1.  joto na unyevu     
  2.  unyevu na mwanga
  3. upepo na mwanga wa jua               
  4.  mawingu na upepo
  5. unyevu na upepo

21. Kukosekana kwa chanikiwiti katika mmea huweza kusababisha:

  1. mmea kukosa madini joto
  2. mmea kushindwa kusanisi chakula
  3. majani ya mmea kukauka 
  4. majani ya mmea kuwa njano
  5. maj ani ya mmea kupukutika.

22. Tendo Ia mimea kusafirisha maji kutoka kwenye mizizi hadi kwenye majani huitwa:

  1. osmosis 
  2. difyusheni 
  3. msukumo
  4. mgandamizo 
  5. mjongeo

23. Ni Vipi kati ya viumbe hai vifuatavyo hujitengenezea chakula chao kwa kutumia klorofili?

  1. Wadudu
  2. Mimea 
  3. Wanyama 
  4. Virusi 
  5. Ndege

24. Ipi kati ya zifuatazo siyo kazi ya mizizi katika mimea?..............

  1.  Kusharabu madini ya chumvi. 
  2.  Kusharabu maji
  3.  kushikilia mmea 
  4.  Kutengeneza chakula cha mmea
  5.  Kutunza chakula cha mmea

25. Gesi ipi hupunguzwa angani na mimea?..................

  1.  Kabondioksaidi 
  2.  Oksijeni 
  3.  Haidrojeni
  4.  Kabonimonoksaidi 
  5.  Naitrojeni

26. Ni mmea gani ya hizi hauifadhi chakula katika shina?

  1. Miwa
  2. Magimbi
  3. Viazi
  4. Karoti
  5. Tangawizi..

27. Katika jani, umbijani hupatikana kwa wingi wapi?

  1. Epidamisi ya juu
  2. Epidamisi ya chini
  3. Seli linzi
  4. Stomata
  5. Selisafu za kati

28. Ni sehemu gani ya jani yenye seli zenye kloroplasti?

  1. Kikonyo
  2. Lamina
  3. Kingo
  4. Kishipajani
  5. Vena kuu

29. Usanishaji chakula hufanyika katika sehemu gani kuu ya mimea?

  1. Mizizi
  2. Majani
  3. Shina
  4. Ua
  5. Jani

30. ………….Huruka juu kwa mabawa yenye manyoya

  1. Ndege
  2. Popo
  3. Mbu
  4. Kipepeo
  5. Panzi

31. Lipi kati ya makundi yafuatayo ni sifa zinazotumika kutambua wanyama wa kundi la reptilia?

  1. Kutaga mayai, kuwa na damu baridi na kuishi majini. 
  2. Kutaga mayai, kuishi majini na kuishi nchi kavu.
  3. Kutaga mayai, kuwa na damu ya joto na kuishi nchi kavu.
  4. Kutaga mayai, kuwa na damu baridi na kupumua kwa kutumia mapezi. 
  5. Kutaga mayai, kupumua kwa kutumia ngozi na kuishi majini.

32. Kundi lipi limeainisha wanyama wenye uti wa mgongo?

  1. Konokono, mjusi na kenge
  2. Papasi, panzi na mbungo 
  3. Chura, mamba na mchwa
  4. Kuku, popo na bata 
  5. Nyoka, panzi na mbuzi

33. …………..hutaga mayai majini hata kama yeye huishi nchi kavu

  1. Kobe
  2. Kasa
  3. Chura
  4. Mamba
  5. Nyangumi

34. …………………huishi majini lakini hutaga mayai yake nchi kavu

  1. Papa
  2. Kobe
  3. Mjusi
  4. Kasa
  5. Mamba

35. ……………ni mammalian lakini hana tezi za jasho

  1. Popo
  2. Nyangumi
  3. Mbwa
  4. Panya
  5. Sungura

.36. ………………hunatoa mbegu lakini hautoi maua

  1. Mchungwa
  2. Mvinje
  3. Mhindi
  4. Mwembe
  5. Mpera

37. Wakati unatoahuduma ya kwanza kwa mtu aluyeungua moto, hairuhusiwi kupaka….kwenye jeraha.

  1. Maji
  2. Mafuta
  3. Asali
  4. Dawa

38. Kipi kati ya vimiminika vifuatavyo kinaweza kusababisha ajali ya kuungua moto?

  1. Uji wa moto
  2. Juisi
  3. Asali
  4. Soda

39. Mtu aliyeungua moto hupewa hudumaya kwanza kabla ya kupelekwa………………..

  1. Nyumbani
  2. Shule
  3. Kulala
  4. Hospitalini.

40. Tunafanya mazoezi kwa kucheza ili…………………………..

  1. Kuwa na nguvu
  2. Kuwafurahisha walimu
  3. Tuendelee kusoma
  4. Tuimarishe afya ya mwili.

SEHEMUB.  Jaza nafasi zilizoachwa wazi kwa kutumia neno sahihi.

41. Kirutubisho cha aina ya _____________ husaidia katika ukuaji wa maua.

42. Kirutubisho kinachosaidia katika ukuaji wa majani huitwa________________

43. Kirutubisho cha aina ya_________________ husaidia katika ukuaji wa mizizi

44. Maji na virutubisho husafirishwa kutoka kwenye mizizi hadi kwenye majani kwa njia ya___________

45. Kitendo cha mimea kujitengenezea chakula huitwa______________

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX SAYANSI EXAM SERIES 16

OFISI YA RAIS  WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MAARIFA YA JAMII- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA SITA

MUDA: 1.30

MAELEKEZO

  1. Mtihanihuu una maswali 45
  2. Jibu maswali yote kwenyekaratasi uliyopewa
  3. Hakikisha kaziyako safi

SEHEMU A

Chagua Jibu sahihi.

1. Katibu kata anachaguliwa na:

  1.  Wanachama wa chama tawala
  2.  Mkutano mkuu wa kata
  3.  Wananchi wa kata ile
  4.  Mkutano wa kijiji wa mwaka 
  5.  Kamati ya kijiji

2.  Kamati ya maendeleo ya kata inaundwa na wafuatao isipokuwa:

  1.   Katibu kata
  2.   Afisa mtendaji wa Kata
  3.   Katibu Kata wa viti maalumu
  4.   Afisa mtendaji wa Mkoa
  5.   Kamanda wa Polisi wa Mkoa

3.  Mwakilishi wa Rais katika ngazi ya mkoa ni:

  1.  Katibu tawala wa Mkoa
  2.  Mkurugenzi mtendaji wa manispaa
  3.  Mkuu wa Mkoa
  4.  Afisa mtendaji wa Mkoa
  5.  kamanda wa Polisi wa mkoa

4. Kauli mbiu ya Tanzania iliyopo kwenye nembo ya taifa ni:

  1.  uhuru na maendeleo
  2.  uhuru na kazi
  3. uhuru na umoja 
  4.  uhuru na amani
  5. umoja na amani

5.  Wimbo wa taifa una beti ngapi?

  1.  Tatu 
  2.  Mbili  
  3.  Nne   
  4.  Tano 
  5.  Sita

6.   Kazi ya kamati ya shule ni:

  1. Kusimamia maendeleo ya taaluma
  2. Kutoa ushauri juu ya maambukizi ya UKIMWI
  3. Kuidhinisha uteuzi wa waalimu 
  4. Kusimamia nidhamu ya waalimu
  5. Kusimamia ujenzi na maendeleo ya shule.

8. Mkutano wa kuligawa bara la Afrika ulifanyika:

  1. Berlin
  2. London
  3. Roma
  4. Paris
  5. New York

    9. Mwanasayansi aliyeelezea kuhusu mabadiliko ya kimaumbile ya mwanadamu alikuwa

  1. Mary Leakey
  2. Charles Darwin 
  3. Louis Leakey 
  4. Richard Leakey 
  5. John Speke

10.  Sehemu ya muhimu ya ramani inayoelezea kuhusu alama zilizotumiwa katika ramani ni

  1.  ufunguo         
  2.  fremu          
  3.  dira
  4.  kipimio                                         
  5.  kichwa cha ramani

11.  Ni rahisi sana kuthibitisha kuwa dunia ni duara kwakuangalia:

  1.  umbo la tufe
  2.  kupatwa kwa jua
  3.  kupwa na kujaa kwa maji
  4.  jua la utosini
  5.  kupatwa kwa mwezi

12. Nchi ya Afrika iliyokuwa inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1980 ni .....

  1.  Zimbabwe. 
  2.  Tanzania. 
  3.  Botswana.
  4.  Ghana.                                                    
  5.  Ethiopia.

13. Familia inaweza kujikwamua kiuchumi iwapo . 

  1.  mama atajishughulisha na kazi za ndani.
  2. baba ataajiriwa.
  3.  watoto watajishughulisha na masomo.
  4.  wanafamilia watatimiza wajibu wao. 
  5. wanafamilia watasali pamoja.

 14. Makoloni ya Ujerumani katika Afrika yalikuwa ..

  1.  Naijeria, Namibia na Togo.
  2.  Gambia, Togo na Namibia. 
  3. Kameruni, Togo na Namibia. 
  4. Namibia, Tanganyika na Naijeria.
  5. Kameruni, Tanganyika na Senegal.

15. Wajerumani walitawala Tanganyika baada ya .....

  1. Vita Kuu ya Kwanza.           
  2. Vita Kuuya Pili. 
  3. Mkutano wa Berlin.          
  4. Kuundwa kwa UNO.
  5. Kushindwa kwa Wareno.

16 Jukumu la kutunza  mazingira ni la;

  1. Waalimu
  2. Wanakijiji
  3. Serikali 
  4. Raia wote

17. Ni kitendo kipi kinachangia kuharibu mazingira?

  1. Kulima
  2. Kukata miti
  3. Kupanda maua
  4. Ufugaji wa nyuki

18. Ni njia ipi ya kisasa ya kutunza kumbukumbu  za matukio shuleni?

  1. Kabati
  2. Maktaba
  3. Dawati
  4. Computa

19. Mgandamizo wa hewa unapimwa kwa kutumia;

  1. Haigromita
  2. Anemomita
  3. Thamomita
  4. Baromita

20. Ipi ambayo sio dalili za mvua?

  1. Mawingu mazito
  2. Upepo mkali
  3. Ngurumo na radi
  4. Jua kali

SEHEMU B.

Andika neno kweli au si kweli katika maswali yafuatayo.

21. Mwenyekiti wa baraza na madiwani na kamati ya mipango ni kurugenzi za halmashauri

22. Jukumu la Afisa elimu ni kupambana na magonjwa mfano ikimwi

23. Mkuu wa mkoa huteuliwa na Raisi

24. Mkuu wa Wilaya huapishwa na Mkuu wa Mkoa

25. Matibu tawala wa Wilaya ni mshauri mkuu wa Mkuu wa Wilaya

26. Ofisa tarafa ana jukumu la kusimamia maofisa watendaji wa Kata, Vijiji na Vitongoji.

27. Katibu tawala wa Mkoa ni mratibu shughuli zote za kiutawala kimkoa.

28. Mganga mfawidhi anasimamia manunuzi yote yanayofanywa na ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

29. Ofisa maliasili Wilaya anasimamia na kubuni miradi ya biashara katika Wilaya yake.

30. Mkuu wa Wilaya humsaidia Mkuu wa Mkoa katika kusimamia halmashauri zake.

SEHEMU C.

Weka alama ya () kwenye taka ngumu na alama ya (x) kwenye taka laini. 

Taka

Alama

31. Vipande vya chuma

 

32. Karatasi

 

33. Nyasi

 

34. Vipande vya chupa

 

35. Mabaki ya ugali

 

36. Barafu

 

37. Wembe

 

38. Pamba zilizotumika

 

39. Kinyesi cha binadamu

 

40. Maji taka

 

SEHEMU. D

JIBU MASWALI YAFUATAYO KWA KIFUPI.

41. Taja shughuli moja kuu ya uzalishaji ilianzisha nchini Tanzania baada ya Uhuru.

42. Taja njia zinazoiwezesha serikali kujipatia fedha kwa matumizi mbalimbali

43. Ili viwanda viweze kuzalisha bidhaa kwa wingi zaidi vinahitaji…….na……………..

44 Taja fursa za kibiashara zinazoweza kuwepo katika sehemu za wafugaji…..

45. Nini maana ya ujasiriamali?

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX MAARIFA EXAM SERIES 15

THE PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, LOCAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

SOCIAL STUDIES- TERMINAL EXAMINATION-MAY

STD SIX

TIME: 1.30 HRS                                                  2020

NAME:_________________________________CLASS:___________

INSTRUCTIONS

  1. This paper has four printed pages, forty five (45) questions with sections A and B
  2. Answer all the questions in all sections.
  3. Remember to write your full names and school name in the answer sheet provided.
  4. Make sure your work is neat without unnecessary cancelling to avoid loss of  marks.
  5. Use a blue or black ink ball pointed pen for all given questions.

 SECTION A:

Choose the most correct answer and then write its letter in the answer sheet given.. 

PART I: CIVICS

1. Who is the leader of government affairs at the ward level?___ 

  1. Village Chairperson
  2. Ward Executive Director 
  3. District Commissioner 
  4. Ward Executive Officer 
  5. Ward Councilor

2.  Who is the Chairperson of the Zanzibar Revolutionary Council?

  1. The President of the United Republic of Tanzania
  2. The President of Revolutionry Government of Zanzibar
  3. The first Vice President of Zanzibar
  4. The Chief Minister of Zanzibar
  5. The Prime Minister of Tanzania

 3. _____ are sets of behavior that are typical accepted within a particular society.

  1. Culture
  2. Customs
  3. Traditions
  4. Arts
  5. Crafts

4. A person who is entitled to hold the office of the President of Tanzania must have…...
years and above.

  1. 32
  2. 40
  3. 21
  4. 25
  5. 50

5.  Which colour of our National Flag identifies the majority people of Tanzania?

  1. Green
  2. Yellow
  3. Blue
  4. Black
  5. Dark

6. Having a great love for your country is known as____ 

  1. Patriot
  2. Traitor
  3. Feeling
  4. Patriotism 
  5. Citizenship

7. Who chairs the District council meeting?

  1. District Executive Director
  2. District Commissioner
  3. Regional Commissioner
  4. District Council Chairperson
  5. Member of Parliament

8. How do we call inherited experiences that are passed on from generation to another?

  1. Traditions
  2. Culture
  3. Customs
  4. Sports
  5. Marriage

9. The following are members of East African Community, Except_ 

  1. Rwanda
  2.  Burundi
  3. Tanzania
  4. Kenya         
  5. Somalia

10. Who is the current Political Parties Registrar in Tanzania? --__ 

  1. Judge Lewis Makame
  2. Judge Joseph Warioba
  3. Judge Francis Mutungi
  4. Judge Professor Ibrahim Juma
  5. Judge Semistocles Kaijage

11. Elected leaders are also called ______ 

  1. Nominated leaders
  2. Appointed leaders
  3. Political leaders
  4.  Good leaders
  5. Important leaders

12. Tanzania is conducting a Local Government election in ____ 

  1. 2020
  2. 2019
  3. 2021
  4. 2022
  5. 2025

Part II: HISTORY

13. The main factors that contribute to single parent family are_______ 

  1. Disease and anger
  2. death and wedding
  3. Polygamy and ignorance
  4. Death and divorce
  5. Poverty and happiness

14. How do you call the mother of your father?____________ 

  1. Aunt
  2.  Uncle
  3. Grandfather
  4. Cousin
  5. Grandmother

15. Zanzibar was officially declared as a British colony in_______ 

  1. 1886
  2. 1840
  3. 1890
  4. 1804
  5. 1863

16. Which political party was formed by the colonialists to oppose TANU? 

  1. ANC
  2. UTP
  3. AMNUT
  4. TAA
  5. AA

17.  Which colonialist power preferred the use of direct rule as its administrative system? 

  1. Germany
  2. Britain
  3. France
  4. Italy
  5. Portugal

18. The following is the event which marked the end of Germany rule in Tanganyika; 

  1. Great Depression
  2. Second World War (WWII)
  3.  First World War (WWI)
  4.  Berlin Conference
  5. Capitalism

19. The main slave market in East Africa was in…………..

  1. Bagamoyo
  2. Mombasa
  3. Zanzibar
  4. Sofala
  5. Kilwa

20. Which was the main sector of the colonial economy?

  1. Tourism
  2. Trade
  3. Agriculture
  4. Insurance
  5. Mining

21. Which Political party liberated people of Zanzibar in 1964?

  1. TANU
  2. ASP
  3. UMMA
  4. ZPPP
  5. ZNP

22. Fire was discovered during _____

  1. Iron age
  2. Early Stone Age
  3. Middle Stone Age
  4. Late Stone Age
  5. First Stone Age

23.  Which conference aimed at dividing African Continent among colonialists? ………….

  1. Queen Elizabeth’s Conference
  2. Boris Johnson’s Conference
  3. Donald Trump’s Conference
  4. Emmanuel Macron’s Conference
  5. Berlin Conference

24. Which was the first city to make and use its own currency among the East African coastal cities? 

  1. Bagamoyo
  2. Zanzibar
  3. Mombasa
  4. Sofala
  5. Kilwa

2   5.                                 Who dominated the central trade route during the long distance trade in East Africa? ____

  1. The Nyaturu
  2. The Kamba
  3. The Nyakyusa 
  4. The Nyamwezi
  5. The Yao

26.   It was meant to transform the country from Capitalism to Socialism and Self -reliance?

  1. Musoma Declaration
  2. Iringa Declaration
  3. Arusha Declaration
  4. Zanzibar Declaration 
  5. TANU Policy

PART III: GEOGRAPHY

2 7. Which of the following groups consists of types of map scale? 

  1. Atlas, geological and cadastral
  2. Ground, aerial and oblique
  3. Statement, representative and linear
  4. Large, medium and small
  5. Topographical, statistical and demography

2 8. Which of the following is not a proper way of writing a map scale? 

  1. 1:100000
  2. 1cm represents 1km 
  3. 1cm = 100000 
  4. 1cm stands for 1km
  5. m 5000    123 km

29. The distance measured between two points on a map is 16cm. What is the actual ground distance between the points if the map scale is 1:400000?

  1. 16km
  2. 32m
  3. 64km
  4. 32km
  5. 64cm

30. What name is given to an imaginary line that runs from North to South in zig zag form showing the place where each Calendar day begins?     

  1. The Equator 
  2. The Prime Meridian 
  3. The North Pole
  4. The International Date Line
  5. Parallels

31. How do we call the low pressure zone or belt found along the Equator? 

  1. The Tundra Zone 
  2. The Polar Zone 
  3. The Doldrums
  4. The Semi arid Zone
  5. The Outer Belt

32. Which digits represent the vertical readings in a grid reference map showing the point with 269415?       

  1. 962
  2. 269
  3. 514
  4. 415
  5. 541

33. How do we call the South west corner point of the grid map where eastings and northings begin?

  1. Turning point
  2. Grid map
  3. Grid origin
  4. Reference corner
  5. Linear point

35. Which of the following groups gives the correct examples of tertiary  industries?

  1. Fertilizers, textiles, cigarettes and cement industries
  2. Vehicles, motorcycles and bicycles industries
  3. Restaurants, banking, transportation and media
  4. Welding, carpentry, Pottery and tailoring
  5. farming, mining animal keeping and fishing

36. One of the following is a reason for the failure or decline of industrial sector in  East Africa.

  1. Cause noise pollution produced by heavy machines
  2. Lack of skilled labour, management and poor infrastructures
  3. Provide employment, foreign exchange and markets for our cash                crops
  4. Stimulates other economic sectors.
  5. Processing, manufacturing and assembling.

37. What is the type of the highest standing mountain in Africa which is found in East Africa?...........

  1. Mount Kilimanjaro
  2. Tanzania
  3. Block mountain
  4. Fold mountain
  5. Volcanic mountain

38. Soda ash is the famous extracted mineral in Lake Natron found in Arusha, Tanzania. Which among the following lakes produce the same product in Kenya? _____

  1. Lake Nakuru
  2. Lake Turkana 
  3. Lake Magadi
  4. Lake Kyoga
  5. Lake Rukwa

39.  An instrument used to measure wind direction is called?

  1. Wind gauge
  2. Anemometer
  3. Wind vane
  4. Thermometer
  5. Wind sock

40. How do we call a deep inlet of the sea, lake or ocean almost surrounded by land with a narrow mouth?         

  1. a strait
  2. a cape
  3. a peninsula
  4. a gulf
  5. an island

SECTION B: SHORT ANSWERS QUESTIONS

Answer all questions in this section.

41.  What is agriculture?

42. Name any two telecommunication companies in Tanzania

43. Why did chief Mkwawa commit suicide?

44. Mention the leader who led to independence struggle in Kenya.

45. State two importance of agriculture in Tanzania

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX SOCIAL EXAM SERIES 14

THE PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, LOCAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

SCIENCE- TERMINAL EXAMINATION-MAY

STD SIX

TIME: 1.30 HRS                                             2020

NAME:_____________________________CLASS:___________

INSTRUCTIONS

  1. This paper has four printed pages, forty five (45) questions with sections              A and B
  2. Answer all the questions in all sections.
  3. Remember to write your full names and school name in the answer sheet provided.
  4. Make sure your work is neat without unnessessary cancelling to avoid loss of marks.

Use a blue or black ink ball pointed pen for all given questions.

SECTION A: MULTIPLE CHOICES

Choose the most correct answer and then write its letter in answer sheet provided

1. The chemical formula that represents water is ___________________ 

  1. H2O2
  2. H2O
  3. HO
  4. 2HO
  5. HO2

2. Plants breath by using holes found in the leaves which are known as______ 

  1. Chlorophyll
  2. Stomata
  3. Cotyledon
  4. Cell
  5.  guard cell

3. One of the following is a chemical change; _____ 

  1. souring of milk
  2. freezing of water
  3. grinding of chalks
  4. melting of salt
  5. boiling of water

4. During pollination of flowers pollen is transported from the _____

  1. ovary to the ovule
  2. stigma to the anther
  3. petal to the stigma
  4.  anther to the stigma 
  5. sepal to the style

5.  The blood circulatory system in the human body is mainly composed of;

  1. Heart, lung and blood
  2. White and red blood cells
  3. Heart, white blood cells and blood
  4. Heart, blood vessels and blood
  5. Blood, capillaries and blood cells

6. Goiter is caused by lack of minerals called _____________ 

  1. Phosphorus
  2.  Nitrogen
  3. Calcium
  4. Iodine
  5. salt

7. A person who has a problem of short sight is advised to wear glasses  with lens

  1. concave
  2. convex
  3. plane
  4. contact
  5. telescopic

8.  Which among the following animals has no backbone.

  1. Snake
  2. Fish
  3. Snail
  4. Crocodile
  5. elephant

   9.The highest    percentage of the human body is

  1. Water
  2. Blood
  3. Bone
  4. Steak
  5. A and B

10. The part of a flower that produces pollen is;

  1. Stigma
  2. Stamen
  3. Style 
  4. anther
  5. Ovary

11. The major part of biogas is;

  1. Methane
  2. Carbondioxide
  3. Nitrogen
  4. Oxygen
  5. Ozone

12.   The essential requirement for germination to take place are;

  1. Water, oxygen and soil
  2. Water, carbon dioxide and soil
  3. Wind, fertilizer, moisture and water
  4. Air moisture, temperature and soil
  5. Moisture, oxygen and warmth

13. Sound is a product of;

  1. Waves
  2. Vibrations
  3. Drum
  4. Burst
  5. Songs

14.  If the angle made by incident ray on the plane mirror is 60 what will be the value of angle of reflection in degrees?

  1. 900
  2. 400
  3. 300
  4. 600
  5. 450

15. The part of a seed that forms the shoot is called the;

  1. Cotyledon
  2. Plumule
  3. Radical
  4. Endosperm
  5. Seed root

 16. Under normal condition, the difference between the air entering the body and that leaving the body is that the air leaving the body has a higher concentration of                 

  1. Oxygen
  2. Hydrogen
  3. Water
  4. Nitrogen
  5. carbon dioxide

19. The hormone that regulates the amount of oxygen entering the respiratory system in the human body is____________ 

  1. adrenaline
  2. insulin
  3. amyle
  4. oestrogen
  5. thyroxin

20. The interior walls of thermos flasks are coated with silver in order to prevent the loss of heat by means of _____

  1. conduction
  2. reflection
  3. radiation
  4. convection
  5. bending

 21. Protein start to be digested chemically in the _____

  1. mouth
  2. stomach
  3. rectum
  4. large intestine 
  5. small intestine

 22. What is given to a vomiting person as a first aid?____ 

  1. boiled milk
  2. lemon juice
  3. the sugar and salt solution
  4. to rest him in a cool and quiet place
  5. the sugar and lemon solution

 23. Which blood cells in the human body are attacked by HIV?____ 

  1. blood cells
  2. blood platelets
  3. white blood cells
  4. sickle cells
  5. plasma cells

  24.Which one is the set of excretory organs?_______ 

  1. liver, blood, heart and capillaries   
  2. Kidney, liver, lungs, and bile
  3.  liver, skin , lungs, and kidney        
  4. heart , liver, skin, and kidney
  5. eye, nose, skin, tongue and ear

 25. Sound cannot travel in ____ 

  1. water
  2. vacuum
  3. solid
  4. air
  5. glass

28. Animals which live part of their life in water and another part on land are called

  1. reptiles
  2. mammalian
  3. amphibians
  4. fish
  5. snake

29. Animals which live part of their life in water and partly on land are called?

  1. Reptilian
  2. Mammalian
  3. Fish
  4. Amphibians
  5.  Aves.

30.  An example of a chemical change is;

  1. Water turning into vapour
  2. Ripening of fruits
  3. Dissolving sugar in water
  4. Ice melting into liquid
  5. Expansion of iron

31.  During dry season, plant shed their leaves inorder to;

  1. Fertilize the soil
  2. Reduce water loss
  3. Protect itself
  4. Add water
  5. Add carbon dioxide

32. Which of the following is an example of a simple machine?

  1. Bicycle
  2. Bottle opener
  3. Generator
  4. Sewing machine
  5. Motorcycle

33. Lizards, snakes and crocodiles are’

  1. Reptiles
  2. Mammals
  3. Birds
  4. Amphibians
  5. Insects

34. Car batteries are good examples of making electricity using;

  1. Friction
  2. Chemicals
  3. Water
  4. Machine
  5. Heat

35. Which of the following sets are excretory organs?

  1. Liver, blood, heart and capillaries
  2. Kidney, liver, lungs, and bile
  3. Heart, liver, skin, lungs and kidney
  4. Liver, skin, lungs and kidney
  5. Small intestines, heart and capillaries.

36. Anything that simplifies work is called;

  1. Scissors
  2. Levers
  3. Magnet
  4. Machine
  5. Computer

37. Which part of blood fights against diseases?

  1. Red blood cells
  2. Platelets
  3. White blood cells
  4. Plasma
  5. Blood protein

38. The force of 10N was used to lift a luggage a distance of 6 meters. Find the amount of work done?

  1. 60j
  2. 60m
  3. 60N
  4. 16N
  5. 0.6j

39. An electric current of 0.8 Ampere passed through a conductor of 25 ohms. Which voltage will be read if the voltmeter is fixed in this circuit?

  1. 25.8 volts
  2. 200 volts
  3. 2.3 volts
  4. 20 volts
  5. 0.03 volts

40. …………is a mixture of gases in the atmosphere?

  1. Nitrogen
  2. Oxygen
  3. Air
  4. Hydrogen
  5. Matter

Short  answer questions.

41. Mention two genetic disorders

42. Mention any two sexually transmitted diseases

43. What is a balanced diet

45. Mention two food that can give us vitamin C

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX SCIENCE EXAM SERIES 13

OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

KISWAHILI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA

DARASA LA SITA

MUDA: 1.30

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina kurasa nne zenye maandishi yenye sehemu A,B, C,D na E zenye maswali arobaini na tano (45).
  2. Jibu maswali yote katika kila sehemu ya mtihani huu.
  3. Kumbuka kuandika majina yako, na shule yako kwenye karatasi ya kujibia.
  4. Hakikisha kazi yako ni nadhifu sana.
  5. Tumia kalamu ya wino wa bluu au nyeusi kwa maswali yote uliyopewa.

SEHEMU : A SARUFI

Chagua herufi ya jibu sahihi kisha uiandike kwenye karatasi ya kujibia uliyopewa

1. Gari langu ni bovu, lake ni zima. Neno lake limetumika kama aina ipi ya neno?

  1. Kielezi
  2. Kitenzi
  3. Kiwakilishi
  4. Nomino
  5. Kivumishi

2. Anakuja kufanya nini? Sentensi hii ipo katika nafsi ya ngapi?

  1. Kwanza umoja 
  2. Tatu wingi
  3. Tatu umoja
  4. Pili wingi
  5. Pili umoja

3. Neno mlimbwende lina silabi ngapi?

  1. Nne
  2. Tatu
  3. Sita
  4. Saba
  5. Kumi

4. Nitakula chakula changu chote. Ipi ni kauli taarifa ya sentensi hii?

  1. Alisema kuwa atakula chakula chake chote 
  2. Alisema kuwa nitakula chakula changu chote 
  3. Alisema kuwa nitakula chakula        
  4. Alisema nitakula chote
  5. Alisema kuwa chakula chake chote atakula

5. Kipi ni kiambishi cha wakati katika neno watamaliza?

  1. Ha
  2. Wa
  3. Ma
  4. Li
  5. ta

6. Kinyonga anatembea polepole. Neno polepole ni aina gani ya neno?

  1. Kielezi
  2. Kiwakilishi
  3. Kivumishi
  4. Kitenzi
  5. Nomino

7. Ipi ni ngeli ya neno embe?

  1. A-WA
  2. LI-YA
  3. U-YA
  4. I-ZI
  5. U-ZI

8. Kipi ni kinyume cha neno ezua?

  1. Ezeka
  2. Paa
  3. Paua
  4. Panua
  5. Panda

9. Hakuna mwalimu__________ darasani

  1. Yoyote
  2. Yeyote
  3. Lolote
  4. Wowote
  5. Kokote

10. Shangazi amejengewa nyumba na baba. Sentensi hii ipo katika kauli gani ? 

  1. Kutenda
  2. Kutendewa
  3. Kutendeka
  4. Kutendwa 
  5. kutendesha

11. Neno lipi halilandani na mengine?

  1. Bahasha
  2. Stempu
  3. Anwani
  4. Sahihi
  5. ukuta

12. Huko____ alikoelekea simba

  1. Ndimo
  2. Ndiko
  3. Ndipo
  4. Ndilo
  5. ndicho

13. Wamekuja wote isipokuwa Munira. Neno isipokuwa llimetumika kama aina ipi ya neno?

  1. Kitenzi
  2. Kiunganishi
  3. Kivumishi
  4. Kiwakilishi
  5. kihisishi

14. Kipindi cha mvua za rasha rasha hujulikana kama      

  1. Kifuku
  2. Kipupwe
  3. Vuli
  4. Kiangazi
  5. Masika

15. Upi ni mzizi wa neno fundisha

  1. fundi___
  2. fund___
  3. fundish____
  4. fundis___
  5. fundisha

16. Ipi ni nomino ya dhahania kati ya hizi?

  1. Iringa
  2. Usingizi
  3. Miti
  4. Ndege
  5. jozi

17. Pete ya dada imetengenezwa na  mzoefu sana.

  1. Mwashi
  2. Mhunzi
  3. Sonara
  4. Rubani
  5. Nahodha

18. Nilimsisitiza Aisha kuwa kusoma kwa bidii ili afaulu vizuri.

  1. Hatuna budi
  2. Hawana budi
  3. Hana budi
  4. Sina budi
  5. Hamna budi

19. Nomino ya kitenzi lia ni…………

  1. Kilio
  2. Somo
  3. Nakala
  4. Mafundisho
  5. Malio

20. Wingi wa sentensi paka anakunywa maziwa ni__ 

  1. Mapaka yanakunywa maziwa         
  2. Paka yanakunywa maziwa
  3. Mapaka yamekunywa maziwa         
  4. Paka wanakunywa maziwa
  5. Paka anakunywa ziwa

SEHEMU B: LUGHA YA KIFASIHI

Chagua herufi ya jibu sahihi.

21.    Methali ipi haisisitizi juu ya ushirikiano?

  1. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu
  2. kidole kimoja hakivunji chawa
  3. figa moja haliinjiki chungu      
  4. kidole kimoja hakipigi kofi
  5. chelewa chelewa utakuta mwana si wako

22. Methali ipi inasisitiza juu ya umuhimu wa undugu?

  1. damu nzito kuliko maji  
  2. haba na haba hujaza kibaba
  3. upele humwota asiyekuwa na kucha
  4. penye miti hapana wajenzi
  5. siku za mwizi ni arobaini

23. Juma ana kichwa cha panzi. Hii ina maana kuwa Juma ni__________ 

  1. mwongo
  2. mzoefu
  3. msahaulifu
  4. mkweli
  5. kichwa kikubwa

24.    Malizia methali hii, ukila nyama ukumbuke………

  1. kuguguna mfupa wake 
  2. kula mfupa wake 
  3. kubeba
  4. kubakiza 
  5. kushukuru

25.  Fimbo ya mtemi haina fundo. Lipi ni jibu la kitendawili hiki?

  1. Moshi
  2. Njia
  3. Nyoka
  4. Mti
  5. kichwa

26.  Kinachokufaa ni kile ulichonacho, methali yenye kubeba maelezo haya ni.

  1. hamadi kibindoni
  2. wema hauozi
  3. ajali haina kinga
  4.  kiburi si maungwana
  5. mwenda pole hajikwai

27.   Tegua kitendawili hiki, kulia kwake ni kicheko kwetu____ 

  1. radi
  2. mvua
  3. upepo
  4. njia
  5. popo

28. Metahli ipi inalandana na ile isemayo meno ya mbwa hayaumani

  1. siku za mwizi ni arobaini
  2. zimwi likujualo halikuli likakwisha
  3. asiyeuliza hana hajifunzalo
  4. chembe na chembe mkate huwa
  5. sanda ya mbali haiziki maiti

29. Nahau ya kuwa popo ina maana gani?

  1. Kigeugeu
  2. kuwa mnyama
  3. kuwa msahaulifu 
  4. kuwa mwoga 
  5. kuwa tajiri

30.  Nyumbani kwangu kuna jini mnywa maji. Jibu la kitendawili hiki ni

  1. kikombe
  2. kibatari
  3. kitabu
  4. kisima
  5. shimo

SEHEMU C: USHAIRI

Soma shairi hili kisha jibu maswali yafuatayo

  1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali, kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili, watoto wake wakaja , ili kumtaka hali, wakataka na kauli, iwafae maishani.
  2. Akatamka mgonjwa , ninaumwa kwelikweli, hata kama nikichanjwa, haitoki homa kali roho naona yachinjwa , kifo kinanikabili, kama wakata kauli , sema niseme nini?

MASWALI

Chagua herufi ya jibu sahihi kisha iandike kwenye karatasi ya kujibia.

31. Neno kauli kama lilivyotumika katika ubeti wa kwanza wa shairi lina      maana gani?

  1. Tamko
  2. Muhtasari
  3. Maradhi
  4. Ugonjwa
  5. Vina

32. Kuna mizani mingapi katika kila mstari

  1. Kumi
  2. Nane
  3. Kumi na sita
  4. Tisa
  5. Nne

33. Vina vya katikati ubeti wa pili ni?

  1. li
  2. wa
  3. njwa
  4. ja
  5. nj

33. shairi hili lina beti ngapi?

  1. Tatu
  2. Tano
  3. Nne
  4. Moja
  5. Mbili

34. wakakata na kauli, iwafae maishani lipi ni jina la mstari huu?

  1. Mizani
  2. Vina
  3. Mkarara
  4. Mshororo
  5. Mstari

35. Shairi hili lina majibizano ya pande ngapi?

  1. Nne
  2. Tatu 
  3. Nane
  4. Moja
  5. Mbili.

 SEHEMU D: UTUNGAJI

Panga sentensi zifuatazo kwa mtiririko unaofaa kwa kuzipa herufi A,B,C,na D

36. Ilikuwa ni usiku wa manane

[  ]

37. Asubuhi yake tulianza safari ya kuelekea kijijini Manga

[  ]

38. Baba alipigiwa simu na kupewa taarifa ya msiba wa bibi yetu

[  ]

39. Baba alituamsha   na kutupa taarifa zile na kutusihi tulale lakini

hatukupata hata lepe ya usingizi

[  ] 

 SEHEMU E: UFAHAMU

Soma vizuri habari ifuatayo kisha jibu maswali yafuatayo kwa usahihi.

Mfalme Bwanyenye wa nchi ya Ahadi hakupenda kuongoza kwa haki. Kila alichokisema yeye wapambe wake walikifanya kuwa sheria. Alivimba kichwa na kujiona yeye ndiye mwamba shupavu. Ulikuwa ni ufalme wa kimabavu. Haswa! Wanazuoni wengi walidai kuwa huo ni udiktekta. Kila mtu hakuwa salama, jela zilijaa watu wasio na hatia. Useme kipi uwe salama? Hilo lilikuwa ni fumbo kubwa, wengi kwa kuogopa walinyamaza kimya na kujifariji kwa kusema hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Walijiuliza yupo wapi Adolf Hilter, yule mtawala

wa Ujerumani aliyekuwa katili, yu wapi Mobutu wa Kongo aliyekuwa na nguvu tele? Naam, wote wamepita mithili  ya radi.

MASWALI

40. Neno wanazuoni kama lilivyotumika katika habari hiyo lina maana gani

41. Mfalme Bwanyenye alitawala nchi gani?____________ 

42. Eleza maana ya methali iliyotumika katika habari hii ? __ 

43. Neno mithili kama lilivyotumika katika aya ya mwisho lina maana gani ?

44. Kichwa cha habari hii chafaa kuwa

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX KISWAHILI EXAM SERIES 12

THE PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, LOCAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

ENGLISH- TERMINAL EXAMINATION-MAY

STD SIX

TIME: 1.30 HRS                                                   2020

NAME:_________________________________CLASS:___________

INSTRUCTIONS

  1. This paper has four printed pages, forty five (45) questions with sections A                  and B
  2. Answer all the questions in all sections.
  3. Remember to write your full names and school name in the answer sheet              provided.
  4. Make sure your work is neat without unnecessary cancelling to avoid loss of                 marks.
  5. Use a blue or black ink ball pointed pen for all given questions.

 SECTION A: TENSES

Choose the most correct answer and write its letter in the answer sheet provided

1. The sun usually ____ at around 6:55 pm

  1. Set
  2. Sets
  3. Rise
  4. Rises
  5. risen

2. The moon ………its light from the sun

  1. Got
  2. should get
  3. get
  4. gets
  5. has got

3. Those who will………for the trip by tomorrow will not go with                   us

  1. had not paid
  2. will pay
  3. have not paid
  4. shouldn’t pay 
  5. will have paid

4. Do you mind ____ me with some house chores?

  1. Helped
  2. Help
  3. Helping
  4. Helps
  5. will help

5. Teachers have not arrived, neither ………. the head teacher

  1. Had
  2. Has
  3. Was
  4. Have
  5. were

6. They should ………. for Mombasa now

  1. Left
  2. Leaving
  3. Live
  4. Leave
  5. living

7. Young Africa football team ……. had they trained well

  1. Would have won 
  2. would win   
  3. will win 
  4. had won 
  5. would have not won

8. Each and every fruit in the basket_ rotten

  1. Were
  2. Was
  3. Are
  4. have been
  5. have

9. I………your book when I finish reading it

  1. have returned 
  2. am returning
  3. returned
  4. will return
  5. return

10. Did you hear what the teacher……..?

  1. is saying
  2. says
  3. said
  4. will say
  5. have said

11. The visitors their hats as the chief passed

  1. Raised
  2. Rised
  3. Rose
  4. Raise
  5. risen

12. Donkeys carry heavy loads; ___ ?

  1. can’t they
  2. don’t they
  3. aren’t they
  4. do they
  5. don’t they?

13. All of us but Lucy……………..present

  1. has been
  2. was
  3. were
  4. is
  5. will

14. The crowd………….cheering loudly

  1. Were
  2. Have
  3. Has
  4. Was
  5. are

15. None of the passengers………..hurt.

  1. Were
  2. Are
  3. Was
  4. Have
  5. am

16. _______ there any children in that room?

  1. Is
  2. Had
  3. Are
  4. Have
  5. was

17. Each of the boys will ………….a price

  1. Gets
  2. Get
  3. Gotting
  4. Got
  5. have gotting

18. This lorry____ several times this month

  1. was repaired
  2. is being repaired
  3. has been repaired
  4. had been repaired
  5. has repaired

 SECTION B: GRAMMAR

Choose the most correct answer and then write its letter in the answer sheet provided.

19. That bitch has lost……….two puppies

  1.  it’s
  2. Its
  3. its’
  4. it is
  5. his

20. …………that yellow Toyota saloon, he has three other cars

  1. a part
  2. beside
  3. not
  4. besides 
  5. together

21. _______ you see him, give me a call

  1. one’s
  2. ones
  3. ones’
  4. once
  5. whether

22. The President’s___ excited the crowd

  1. Arrives
  2. Arrive
  3. Arrival
  4. arrived 
  5. came

23. She has never been away______  last year

  1. For
  2. At
  3. Since
  4. although 
  5.  about

24. Gracious is the girl……………we were talking about

  1. Who
  2. Which
  3. Whom
  4. whose 
  5. that

25. The presents should be shared  all my fifteen children, please do it fairly

  1. Between
  2. To
  3. With
  4. amongst 
  5. of

26. The police accidentally shot my uncle the window of his self contained bedroom

  1. At
  2. Over
  3. Through
  4. Above
  5. for

27. The young one of a monkey is known as a____ 

  1. monk let
  2. calf
  3. troop
  4. baby
  5. chatters

28. He likes neither football ____ athletics. his only interest is politics

  1. Or
  2. Not
  3. No
  4. Nor
  5. even

29. Timothy was_____ annoyed that he decided to cry

  1. Too
  2. Enough
  3. So
  4. Very
  5. such a

30. A place where coins and notes are made is known as a………

  1. Factory
  2. Bank
  3. Mint
  4. ginnery 
  5. state house

SECTION C: VOCABULARY

Choose the most correct and then write its letter in the answer sheet provided

31. Dealing in hard drugs is against the law underlined words can be                                replaced by; ____

  1. Impossible
  2. Wrong
  3. Dangerous
  4. Illegal
  5. legal

32. We seldom visit our grandparents. This means ____

  1. Rarely
  2. Never
  3. several time
  4. shall
  5. always

33. Some of the arid parts of this country can be rehabilitated: the underlined word means;

  1. Bad
  2. Dry
  3. Useful
  4. Dirty
  5. wet

34. Mr. Charity is among people who started this organization many years ago. The correct single word for the underlined sentence is          

  1. the beginners 
  2. the establishers 
  3. the founders
  4. the owners 
  5. strangers

35. His grandfather passed away before he was even born. This means _ he          

  1. went some where far 
  2. death
  3. slept
  4. died
  5.  was born

 SECTION D: COMPOSITION:

Re-arrange the following sentences into correct order by giving them letters A-E so that the story can make sense.

36. They told stories about their fertile land

[  ]

37. They lived happily in the western land

[  ]

38. In the early 1880’s trappers and trades traveled through western land

[  ]

39. Some decided to travel to the west to settle and farm

[  ]

40. People who live in   the east heard these stories

[  ]

 SECTION E: COMPREHENSION:

Read the passage below carefully and then answer question that follow .

Once upon a time, there was a boy who used to steal chicken from his neighbours. One day he was caught stealing a very big chicken from an old woman who lived all by herself. The boy was badly beaten by the villagers before being taken to the police station. One of the policemen told the thief that he was lucky that day and if he didn’t change his behaviours and stop stealing, he might end up being burnt alive. The boy was asked if he knew that, and he answered calmly,” Yes Sir, I know that, but because I am used to stealing, I can’t stop immediately. In the past I used to steal one chicken a week, but from tomorrow I’ll steal one chicken a month. In this way by next year I will have stopped being a thief.

QUESTIONS

41. From whom did the boy used to steal chicken?_______ 

42. The suitable word to replace the word change as used in the passage can be

43. What do we learn from the story?__________ 

44. When was the boy badly beaten___________

45. Which word from the passage can be replaced by the word at once?__

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX ENGLISH EXAM SERIES 11

THE PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, LOCAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT

ENGLISH- TERMINAL EXAMINATION-MAY

STD SIX

TIME: 1.30 HRS                                                   2020

NAME:_________________________________CLASS:___________

INSTRUCTIONS

  1. This paper has four printed pages, forty five (45) questions with sections A                  and B
  2. Answer all the questions in all sections.
  3. Remember to write your full names and school name in the answer sheet              provided.
  4. Make sure your work is neat without unnecessary cancelling to avoid loss of                 marks.
  5. Use a blue or black ink ball pointed pen for all given questions.

 SECTION A: TENSES

Choose the most correct answer and write its letter in the answer sheet provided

1. The sun usually ____ at around 6:55 pm

  1. Set
  2. Sets
  3. Rise
  4. Rises
  5. risen

2. The moon ………its light from the sun

  1. Got
  2. should get
  3. get
  4. gets
  5. has got

3. Those who will………for the trip by tomorrow will not go with                   us

  1. had not paid
  2. will pay
  3. have not paid
  4. shouldn’t pay 
  5. will have paid

4. Do you mind ____ me with some house chores?

  1. Helped
  2. Help
  3. Helping
  4. Helps
  5. will help

5. Teachers have not arrived, neither ………. the head teacher

  1. Had
  2. Has
  3. Was
  4. Have
  5. were

6. They should ………. for Mombasa now

  1. Left
  2. Leaving
  3. Live
  4. Leave
  5. living

7. Young Africa football team ……. had they trained well

  1. Would have won 
  2. would win   
  3. will win 
  4. had won 
  5. would have not won

8. Each and every fruit in the basket_ rotten

  1. Were
  2. Was
  3. Are
  4. have been
  5. have

9. I………your book when I finish reading it

  1. have returned 
  2. am returning
  3. returned
  4. will return
  5. return

10. Did you hear what the teacher……..?

  1. is saying
  2. says
  3. said
  4. will say
  5. have said

11. The visitors their hats as the chief passed

  1. Raised
  2. Rised
  3. Rose
  4. Raise
  5. risen

12. Donkeys carry heavy loads; ___ ?

  1. can’t they
  2. don’t they
  3. aren’t they
  4. do they
  5. don’t they?

13. All of us but Lucy……………..present

  1. has been
  2. was
  3. were
  4. is
  5. will

14. The crowd………….cheering loudly

  1. Were
  2. Have
  3. Has
  4. Was
  5. are

15. None of the passengers………..hurt.

  1. Were
  2. Are
  3. Was
  4. Have
  5. am

16. _______ there any children in that room?

  1. Is
  2. Had
  3. Are
  4. Have
  5. was

17. Each of the boys will ………….a price

  1. Gets
  2. Get
  3. Gotting
  4. Got
  5. have gotting

18. This lorry____ several times this month

  1. was repaired
  2. is being repaired
  3. has been repaired
  4. had been repaired
  5. has repaired

 SECTION B: GRAMMAR

Choose the most correct answer and then write its letter in the answer sheet provided.

19. That bitch has lost……….two puppies

  1.  it’s
  2. Its
  3. its’
  4. it is
  5. his

20. …………that yellow Toyota saloon, he has three other cars

  1. a part
  2. beside
  3. not
  4. besides 
  5. together

21. _______ you see him, give me a call

  1. one’s
  2. ones
  3. ones’
  4. once
  5. whether

22. The President’s___ excited the crowd

  1. Arrives
  2. Arrive
  3. Arrival
  4. arrived 
  5. came

23. She has never been away______  last year

  1. For
  2. At
  3. Since
  4. although 
  5.  about

24. Gracious is the girl……………we were talking about

  1. Who
  2. Which
  3. Whom
  4. whose 
  5. that

25. The presents should be shared  all my fifteen children, please do it fairly

  1. Between
  2. To
  3. With
  4. amongst 
  5. of

26. The police accidentally shot my uncle the window of his self contained bedroom

  1. At
  2. Over
  3. Through
  4. Above
  5. for

27. The young one of a monkey is known as a____ 

  1. monk let
  2. calf
  3. troop
  4. baby
  5. chatters

28. He likes neither football ____ athletics. his only interest is politics

  1. Or
  2. Not
  3. No
  4. Nor
  5. even

29. Timothy was_____ annoyed that he decided to cry

  1. Too
  2. Enough
  3. So
  4. Very
  5. such a

30. A place where coins and notes are made is known as a………

  1. Factory
  2. Bank
  3. Mint
  4. ginnery 
  5. state house

SECTION C: VOCABULARY

Choose the most correct and then write its letter in the answer sheet provided

31. Dealing in hard drugs is against the law underlined words can be                                replaced by; ____

  1. Impossible
  2. Wrong
  3. Dangerous
  4. Illegal
  5. legal

32. We seldom visit our grandparents. This means ____

  1. Rarely
  2. Never
  3. several time
  4. shall
  5. always

33. Some of the arid parts of this country can be rehabilitated: the underlined word means;

  1. Bad
  2. Dry
  3. Useful
  4. Dirty
  5. wet

34. Mr. Charity is among people who started this organization many years ago. The correct single word for the underlined sentence is          

  1. the beginners 
  2. the establishers 
  3. the founders
  4. the owners 
  5. strangers

35. His grandfather passed away before he was even born. This means _ he          

  1. went some where far 
  2. death
  3. slept
  4. died
  5.  was born

 SECTION D: COMPOSITION:

Re-arrange the following sentences into correct order by giving them letters A-E so that the story can make sense.

36. They told stories about their fertile land

[  ]

37. They lived happily in the western land

[  ]

38. In the early 1880’s trappers and trades traveled through western land

[  ]

39. Some decided to travel to the west to settle and farm

[  ]

40. People who live in   the east heard these stories

[  ]

 SECTION E: COMPREHENSION:

Read the passage below carefully and then answer question that follow .

Once upon a time, there was a boy who used to steal chicken from his neighbours. One day he was caught stealing a very big chicken from an old woman who lived all by herself. The boy was badly beaten by the villagers before being taken to the police station. One of the policemen told the thief that he was lucky that day and if he didn’t change his behaviours and stop stealing, he might end up being burnt alive. The boy was asked if he knew that, and he answered calmly,” Yes Sir, I know that, but because I am used to stealing, I can’t stop immediately. In the past I used to steal one chicken a week, but from tomorrow I’ll steal one chicken a month. In this way by next year I will have stopped being a thief.

QUESTIONS

41. From whom did the boy used to steal chicken?_______ 

42. The suitable word to replace the word change as used in the passage can be

43. What do we learn from the story?__________ 

44. When was the boy badly beaten___________

45. Which word from the passage can be replaced by the word at once?__

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD SIX ENGLISH EXAM SERIES 10

Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256