?>
Jina La Mwanafunzi: _____________________________________
Jina La Shule:_____________________________________
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TANO
KISWAHILI
MUDA: SAA 1:40
SEHEMU A: ALAMA 20
1. Sikiliza kwa makini habari utakayosomewa na msimamizi, kisha jibu swali la (i) hadi (v)
I. Mtitu na wazazi wake walisafiri kwenda wapi?
A. Reli B. Kigoma C. Dar es Salaam D. Tabora E. Urambo [ ]
II. Matunda ya mchikichi yanaitwaje?
A. mawese B. nazi C. chikichi D. mafuta E. tunda [ ]
III.Wakati jua linapochomoza kwa neno moja hujulikana kama;
A. mawio B. magharibi C. machweo D. mchana E. jioni [ ]
IV. Garimoshi liliondoka Tabora saa ngapi?
A. mchana B. saa nane usiku C. saa nane mchana D. jua lilipochomoza E. alasiri [ ]
V. Ni methali gani iliyotumika kwenye habari uliyoisikiliza?
A. Shukrani ya punda ni mateke B. Wingi si hoja C. Ngojangoja yaumiza matumbo D. Tusiandikie mate na wino upo E. Akiba haiozi [ ]
2 Chagua herufi ya jibu sahihi
I. Kisawe cha neno “laghai” ni kipi?
A. kejeli B. toroka C. danganya D. puuza E. iba [ ]
II. Kiambishi kikanushi ni kipi katika neno “Hatukumpa?”
A. – tu- B. ha – C. – m- D. – pa E. – ku [ ]
III. Wanafunzi wengi wanapenda kukaa bila kufanya kazi. Sentensi hii ipo katika nafsi ipi?
A. I umoja B. II umoja C. III umoja D. I wingi E. III wingi [ ]
IV. Neno "tumekiuka" lina mizani ngapi?
A. saba B. tisa C. tano D. sita E. kumi [ ]
V. Tabia nzuri kwa maana nyingine hujulikana kama ________
A. kero B. ujanja C. tabia mbaya D. nidhamu E. utulivu [ ]
VI. Jumatano huja __________ jumanne. Neno lipi linakamilisha sentensi? A.baada B.badala C.kabla D.badili [ ] VII. Dume la ng’ombe huitwaje?
A.beberu B.fahali C.kidume D.ng’ombe E.Gegedu [ ]
VIII. Mimi ninajua lugha _____ Kiswahili na kiingereza.Neno lipi linakamilisha sentensi?
A. na B. ya C. vya D. wa. E.vya [ ]
IX. Ni kipiki sawe cha neno “HONGO” ?
A.posho B.mshiko C.rushwa D.uongo E.fidia [ ]
X. Ni methali ipi inafanana na “mgonjwa hauliziwi dawa”?
A. asiyependa shari hukwepa matata B. dua la kuku halimpati mwewe C. akutendaye mtende D. maiti haiulizwi sanda E.Akili ni nywele [ ]
3. Oanisha sehemu A na B:
| Sehemu:A | Majibu | Sehemu:B | |
| i. | Piga vijembe | A. Maliza msiba B. Si mtoro C.Poteza kazi D. Pembamba E. Sema kwa mafumbo | |
| ii. | Mwaga unga | ||
| iii. | Mwenda kwao | ||
| iv. | Kamba hukatikia | ||
| v. | Anua tanga |
SEHEMU B: ALAMA 20
4. Jaza nafasi zilizoachwa wazi kulingana na maelekezo ya kila swali
i. “Bwana afya wa porini” Tegua ________________________
ii.Utatumia methali gani kumshauri mtu anayedharau mambo madogo bila kujali madhara yake ?_____________________
iii.Tegua "Kiti cha dhahabu hakikaliwi na mtu"________________
iv.Mtu anayetafsiri lugha moja kwenda nyingine hujulikana kama ________________________________
v.Kinyume cha neno ughaibuni ni________________________
5 Soma habari ifuatayo kwa makini kisha jibu maswali yanayofuata (i)-(v)
Hapo zamani kulikuwa na mfalme mmoja aliyejulikana kama Nebukeizal. Siku moja mfalme Nebukeizali liitisha mkutano wa hadhara. Wananchi wake walikusanyika kwa wakati ulipongwa. Katika mkutano huo mfalme aliwataka wananchi wake kufanya mambo bega kwa bega. Aliwataka wenye ukwasi wote wawasaidie wenye ukata.
Vile vile aliamuru kujengwa kwa nyumba za kisasa. Mfalme aliwakumbusha wananchi wake kuongeza vyumba vya madarasa. Pia, aliwahimiza wananchi wake kupanda miti mbalimbali katika mazingira yao. Wananchi wote warifurahi, hivyo walionesha ishara ya kumuunga mkono mfalme wao.
MASWALI
i. Nani aliitisha mkutano wa hadhara?____________________________________
ii. Nini maana ya nahau ‘kufanya kazi bega kwa bega’ kama ilivyotumika katika hadithi hapo juu? ____________________________________________
iii. Mfalme aliwahimiza wananchi wake kufanya nini? _______________________
iv. Nahau kuunga mkono ina maana gani? ______________________________________________________
v. Neno gani katika hadithi uliyoisoma hapo juu lina maana sawa na mtu mwenye fedha au mali nyingi ________________________________________________
SEHEMU C: UTUNGAJI. (ALAMA 10)
6 Sentensi zifuatazo hazikuandikwa kwa kufuata mtiririko, Zipange kwa kutumia herufi A,B, C, D na E ili zilete maana .
i. Alipoangalia kando ya barabara alimuona mtu amelala chini [ ]
ii. Hadithii hii inatufundisha kuwasaidia watu wenye uhitaji [ ]
iii. Siku ya jumatatu Amiri aliamka mapema na kwenda shule [ ]
iv. Alikimbia haraka na kwenda kumpa msaada [ ]
v. Njiani alikuta ajali ya mtu aliyeanguka na baiskeli [ ]
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE KISWAHILI EXAM SERIES 146
Pupils Name:_____________________________________
School Name:_____________________________________
PRIME MINISTER’S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATIVE AND LOCAL GOVERNMENT
TERMINAL EXAMINATION FOR STD FIVE
SUBJECT- SCIENCE
TIME: 1:30HRS
SECTION A: 20 MARKS
1. Choose the correct answer and write its letter in the box provided
i. What is the condition occurring when a person fail to reproduce due to reasons related to reproductive system?
A. dysmenorrhea B. infertility C. prostate gland swells D. menopause E. mennohagea
ii. A grade five pupil observed the main parts of the plants body. Which one is the middle part?
A. flower B. stem C. branches D. leaves E. roots
iii. Which part of digestive system is useful in digesting starch?
A. stomach B. pancreas C. mouth D. ileum E. duodenum
iv. What is the part of an eye useful in detecting colors and images of objects?
A. eyelashes B. pupil C. lens D. retina E. nerve
v. Where does the digestion of starch start in the alimentary canal of a human being?
A. mouth B. duodenum C. stomach D. rectum E. appendix
vi. What is the part of reproductive system that produce ova among the following?
A. testis B. vasa differentia C. ovary D. fatty acids E. oviduct
vii.What hormone is produced by the testicles among the following?
A. adrenaline B. insulin C. progesterone D. oestrogen E. testosterone
viii. What is the age range of the childhood stage of human development among the following?
A. 0-2 years old B. 12-18 years old C. 2 – 13 years old D. 18 – 65years old E. 65 – 100+ years old
ix. Why is it important to maintain cleanliness when one enters puberty stage?
x. At what stage of growth and development does a human need responsible freedom?
A. Childhood B. elder hood C. infancy D. adolescence E. adulthood
2. Match the items in column A by writing the letter of the corresponding word in column B
| COLUMN A | ANSWER | COLUMN B | |
| (i) | A period where a human develops milk teeth. | A. infancy B. adolescence C. adulthood D. elderhood E. childhood F. adolescent | |
| (ii) | A period where a human’s skin has wrinkles and grey hair develops | ||
| (iii) | A period where a human being undergo puberty | ||
| (iv) | A period where a child feels by physical touch learns to sit | ||
| (v) | A period where a human growth stops. |
3. Choose the correct answer from the box to complete the sentences from i) – v)
| Testis, vas deferens, urethra, penis, seminal vesicle, prostate gland |
i) An organ of reproductive system which is used to inject sperms in the vagina
_____________________________________________________________
ii) The gland that surrounds the junction between the sperm ducts and urethra is
_____________________________________________________________
iii) What is another name of sperm duct?
______________________________________________________________
iv) The sperm factory is called ________________________________________
v) Urine and Semen always pass through ______________________________
SECTION B: 20 MARKS
Arrange the following parts of alimentary canal in order of correct pathway of food during the process of digestion by giving them letters A, B, C, D, E and F.
4. i) Receive food and churns food into chyme ( )
ii) The food from the stomach is digested and absorbed in small intestine ( )
iii) The food is broken down in mouth by using teeth and saliva ( )
iv)Then food enters the esophagus by wavy motion called peristalsis ( )
v)Finally the food is expelled out by through anal opening ( )
vi)Then re- absorption of water and minerals takes place in large intestine ( )
Briefly answer the following questions
5. Mention two development stages between an egg and adult frog:-
a)______________________________
b) ______________________________
b) Mention two software useful for playing and creating educational ICT games or computer games :
i) _______________________________
ii) ________________________________
SECTION C: 10MARKS
6. Study the following diagram carefully and then answer the questions that follows
Questions
(i) Which body system is represented by the diagram above? ____________________
(ii) What is the function of the part marked A? ___________________________________
(iii) Where does implantation take place between part A and D? ___________________
7. a) Tell briefly what will happen between day 11 to 17 after menstruation if male and female mate
________________________________________________
b) Is giving more time to friends for an adolescent a social or emotional change?
_______________________________________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SCIENCE EXAM SERIES 145
Jina La Mwanafunzi: _______________________________________
Jina La Shule: ___________________________________________
OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TANO
SOMO: HISABATI Muda Saa 2:00
MAELEKEZO:
1. Jibu maswali yote
SEHEMU A: MATENDO YA KIHISABATI
| SWALI | KAZI | JIBU | |
| 1(i) | 2096 + 209 = | ||
| ii | 6222 - 991 = | ||
| iii | 504 x 76 = | ||
| iv | 6250 ÷ 25 = | ||
| v |
| ||
| vi |
| ||
| vii |
| ||
| viii | 66.23 + 70.03 = | ||
| ix | 35.8 – 24.3 = | ||
| x | Andika mbili ya tatu kwa tarakimu. | ||
|
| |||
| SEHEMU B: MAFUMBO | |||
| 2(i) | Andika namba ifuatayo kwa maneno:209505 | ||
| ii | Andika nafasi ya tarakimu 9 katika namba ifuatayo: 579316 | ||
| iii | Andika jumla ya thamani ya 4 kwenye namba hii’’ elfu sabini na sita mia mbili hamsini na nne.’’ | ||
| iv | Umri wa Mangungu ni miaka 79. Andika umri wake kwa namba za kirumi. | ||
| v | Tumia alama < au > kulinganisha | ||
| vi | Andika mia tano ishirini na tano desimali mbili tano kwa tarakimu. | ||
| 3(i) | Andika namba inayotangulia kabla ya 1000? | ||
| ii | Kuna mita ngapi kwenye km 3? | ||
| iii | Kuna | ||
| 4(i) | Tafuta jumla ya namba tasa zote zilizoko kati ya 30 na 40 | ||
| ii | Kwenye majadiliano ya somo la hisabati Eva aliambiwa aandike DCXXII kwa namba za kawaida Je, jibu lake sahihi lilikuwa lipi? | ||
| iii | Zawadi alitembea | ||
| 5(i) | Andika namba ambayo ni tasa na pia ni shufwa. | ||
| ii | Andika namba zifuatazo kutoka ndogo kwenda kubwa; 323, 456, 656, 235, 145, 543 | ||
| iii | Kuna namba shufwa ngapi kati ya 45 na 63? | ||
| 6(i) | Mwendokasi wa ndege ni kilomita 732.73 kwa saa. Ni kilomita ngapi ndege hiyo itasafiri kwa saa saba? | ||
| ii. | Andika 7 + 0 + 200 + 8000 kwa kifupi | ||
| iii. | Badili | ||
SEHEMU C: TAKWIMU NA MAUMBO | |||
| 7. i. | Tafuta mzingo wa nusu duara ambao kipenyo chake ni sm 7 . Tumia pai ya 22/7
| ||
| ii | Zulia la ofisi ya walimu lina urefu wa mita 7 na upana wa mita 5 . Tafuta mzingo wake.
| ||
| 8. i. | Kokotoa eneo la umbo lifuatalo
| ||
| ii. | Chora pembetatu pacha . | ||
| iii. | Rahisisha 6n + n + 2n | ||
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE HISABATI EXAM SERIES 144
Jina La Mwanafunzi: _______________________________________
Jina La Shule: ___________________________________________
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUMALIZA MUHULA WA KWANZA
SOMO: SAYANSI NA TEKNOLOJIA
DARASA LA TANO
MUDA:1:30 MEI 2026
SEHEMU A: ALAMA 20
1. Chagua jibu sahihi na uandike herufi yake katika mabano uliyopewa
i. Hali ya binadamu kushindwa kuzaliana kutokana na kasoro kwenye mfumo wa uzazi huitwaje?
(A) usafi (B) ugumba (C) tezi dume (D) kukoma hedhi (E) magonjwa sugu [ ]
ii. Mwanafunzi wa darasa la tano alichunguza sehemu kuu za mmea. Ni ipi kati ya zifuatazo ni sehemu ya katikati?
(A) Ua (B) shina (C) matawi (D) majani (E) mizizi [ ]
iii. Ni sehemu ipi katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula huusika na umeng’enywaji wa wanga?
A. Mfuko waTumbo B. kongosho C. kinywa D. utumbo mwembamba E. utumbo
mpana [ ]
iv. Sehemu ya jicho inayohusika kutambua rangi na picha za vitu mbalimbali ni.
A. kope B. pupili C. lenzi D. retina E. neva [ ]
v. Umeng’enywaji wa wanga huanzia wapi katika mfumo wa umengenyaji chakula?
A. Kinywani B. duodenum C. mfuko wa tumbo D. puru E. njia ya kutolea haja
kubwa [ ]
vi. Ni sehemu gani katika mfumo wa uzazi unaotengeneza na kuhifadhi ova kati ya ifuatayo?
A. Uume B. uredhira C. ovari D. mafuta ya asidi E. mrija wa falopia [ ]
vii. Kati ya homoni zifuatazo, ni homoni ipi hutengenezwa kwenye korodani?
A. adrenalini B. insulini C. progesteroni D. oestrogeni E. testosterone [ ]
viii. Katika ukuaji wa binadamu kipindi cha utoto huanzia umri gani?
A. Miaka 0-2 B. miaka 12-18 C. miaka 2– 13 D. miaka 18 – 65 E. miaka 65 – 100+ [ ]
ix. Kwa nini ni muhimu kuzingatia usafi mtu anapoingia katika kipindi cha ujana?
A. Kuepuka matatizo ya afya B. kuwa nadhifu wakati wote C. kuwavutia watu wa jinsia tofauti D. kuongeza mabadiliko ya ujana E. kufanya ujana kuwa mzuri [ ]
x. Ni wakati gani katika ukuaji binadamu huhitaji uhuru zaidi?
A. utoto B. uzee C. utoto wa awali D. ujana E. utu uzima [ ]
2. Jibu maswali yafuatayo kwa kusoma sehemu A kuchagua herufi ya jibu sahihi kutoka sehemu B na kuiandika katika sehemu ya majibu uliyopewa.
| SEHEMU A | MAJIBU | SEHEMU B |
| I)Hatua ya ukuaji ambayo meno ya utotoni hutoka | A.Utoto wa awali B.UjanaC. Utu uzima D. UzeeE. Utoto F. Kijana | |
| iii )Kipindi ambacho ngozi ya binadamu huwa na mikunjo na nywele huwa na mvi. | ||
| iv )Kipindi katika ukuaji wa mwanadamu anabalehe | ||
| v )Kipindi katika ukuaji ambacho mtoto anajifunza kukaa | ||
| vi)Kipindi ambacho ukuaji wa binadamu unakoma. | |
3. Jibu maswali yafuatayo kwa kutumia maneno yaliyopo kwenye kisanduku.
| Korodani , mirija ya manii, urethira, uume, kifuko cha manii, tezi dume |
i) Ogani katika mfumo wa uzazi inayosafirisha mbegu za kiume kwenda kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke __________
ii) Ogani inayopatikana chini ya kibofu cha mkojo ikizunguka sehemu ya juu ya urethira_______________________________________
iii) Jina jingine la mrija wa mbegu? ____________________
iv) Kiwanda cha mbegu za kiume huitwa_____________________
v) Sehemu ambayo mkojo na manii hupita _________________
SEHEMU B: ALAMA 20
Panga sehemu zifuatazo za mfumo wa chakula kwa mpangilio sahihi wa njia ya chakula kwa kuziwekea herufi A, B, C, D, E na F.
4. i) Hubadilisha chakula kuwa mchanganyiko mzito unaoitwa chime ( )
ii) Chakula kutoka tumboni huvunjwavunjwa na kufyonzwa kwenye utumbo mwembamba. ( )
iii) Chakula kinavunjwavunjwa kwa kutumia meno na kuchanganya na mate ( )
iv) Kisha chakula huingia kwenye umio kutokana na mfululizo wa ukazaji na ulegezaji wa misuli ya kuta za umio ( )
v) Mwisho chakula hutolewa nje kupitia tundu la kutolea haja kubwa ( )
vi) Kisha ufyonzaji wa maji na madini kufanyika kwenye utumbo mpana (
Jibu maswali yafuatayo kwa ufupi
5. Taja hatua mbili za ukuaji katika yai na chura mkubwa
a)___________________________
b) ______________________________
b) Taja programu mbili ambazo hutumika kwenye michezo ya TEHAMA
i) _______________________________
ii) ________________________________
SEHEMU C: ALAMA 10
6. Tazama kwa makini mchoro ufuatao kisha jibu maswali yanayofuata

Maswali
(i) Mfumo gani wa mwili unawakilishwa na mchoro hapo juu?
________________________________________________________
(ii) Nini kazi ya sehemu iliyooneshwa na herufi A?
________________________________________________________
(iii) Ni sehemu gani hutengeneza mji wa mimba kati ya A na D? __________________
7. a) Eleza kwa kifupi nini klitatokea endapo mwanaume na mwanamke watakutana kimwili kati ya siku ya 11 hadi 17 baada ya hedhi
__________________________________________________
b) Humpa kijana muda zaidi wa kuwa na marafiki na mabadiliko ya kijamii na kihisia ni
__________________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SAYANSI EXAM SERIES 143
Jina La Mwanafunzi: _______________________________________
Jina La Shule: ___________________________________________
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TANO 2026
SOMO: JIOGRAFIA NA MAZINGIRA
SEHEMU A: JIOGRAFIA NA MAZINGIRA (Alama26)
1. Kwa kila kipengele (i) – (xv), chagua herufi ya jibu sahihi kisha iandike herufi ya jibu sahihi katika kisanduku ulichopewa:
i. Kati ya hizi zifuatazo ipi si rasilimali asili katika miradi ya kilimo cha mboga mboga?
A) Ardhi B) Maji C) kazi D) Mbegu E) madini
ii. Ni kipi kinachowezesha ukuaji halisi wa mazao ya mboga?
A) Pesa B) Mashine C) Mbegu D) Kazi E) Maghala ya kuhifadhia
iii. Jamii ya Tanzania inataka kuendeleza chanzo cha mapato endelevu kutoka msituni. Shughuli ipi ya msitu itasaidia huku ikihifadhi mazingira?
A) Kukata miti ya mbao kwa kipimo B) Ufugaji wa nyuki msituni C) Kubadili msitu kuwa shamba D) Kuchimba madini msituni E) Kutumia msitu kwa kukusanya kuni pasipo kupanda miti mingine
iv. Mamlaka ya hifadhi za Taifa (TANAPA) inahitaji kuchukua hatua itakayolinda vyema wanyama wakubwa watano. Je ni hatua ipi inayofaa zaidi?
A) Kuweka vikwazo vikali vya ujangili na ulinzi wa makazi B) Kupanua maeneo ya utalii C) Kupunguza eneo la hifadhi D) Kuwahamisha wanyama wakubwa kwenda kwenye mashamba binafsi E) Kupunguza ulinzi katika eneo la hifadhi
v. Baadhi ya watoto wana tabia ya kuharibu na kuchafua vyanzo vya maji. Ni athari zipi zitatokea kutokana na vitendo hivyo?
A) Ongezeko la samaki B) Ongezeko la maji C) Kuenea kwa magonjwa D) Kusafisha maji E) Kutibu maji
vi. Bwana Njate alipanda Mlima Kilimajaro na kufika kileleni baada ya siku tatu. Je, aliona nini katika kilele cha mlima?
A) Bahari na bwawa B) Saruji iliyotengenezwa na binadamu C) Mawe ya nyumba pekee D) Barafu E) Mkusanyiko wa matope
2. Jibu swali kipengele cha (i) – (v) Kwa kuoanisha maeneo yanayopatikana hifadhi za Taifa zinazopatikana Tanzania katika SAFU A na majina ya hifadhi hizo katika SAFU B na uandike herufi ya jibu sahihi katika mabano uliyopewa
| SAFU A | Jibu | SAFU B |
| i. Kaskazini-magharibi (Mara, Arusha, Simiyu) | ( ) | A. Serengeti B. Tarangire C. Kondoa Irangi D. Lake Manyara E. Ngorongoro F. Ruaha G. Gombe |
| ii. Kaskazini (Manyara, Arusha, Dodoma? | ( ) | |
| iii. Kaskazini ( Arusha and Manyara) | ( ) | |
| iv. Kusini magharibi (Iringa and Mbeya) | ( ) | |
| |
3. i. Dhahabu ina mchango gani katika uchumi wa Tanzania?
a).____________________________________________________________
b).______________________________________________________________
ii. Tanzania pia ina rasilimali mbadala nyingi. Taja rasilimali mbadala mbili.
a)._____________________________________________
b).________________________________________________
iii. Ili kukuza sekta ya uchumi wa bluu, ni matumizi gani endelevu ya rasilimali tunapaswa kuzingatia?
(a)____________________________________
(b)_______________________________________
4. Chunguza ramani ifuatayo kisha jibu swali (a) – (e) kwa kuandika jibu sahihi katika nafasi zilizo wazi
RAMANI YA KATA YA MSANGALALE
Maswali:
a) Kuna milima mingapi katika ramani hapo juu?
____________________________________________________
b) Taja vitu viwili vilivyotengenezwa na binadamu
i) __________________________________________________
ii) __________________________________________________
c) Msikiti upo uelekeo gani kutokea kanisani?
____________________________________________________________
d) Kuna madaraja mangapi kwenye ramani hapo juu?
_____________________________________________________________
e) Alama gani kwenye ramani inawakilisha mlima? Ichore
______________________________________________________________
SEHEMU B SANAA NA MICHEZO ( Alama 24 )
5. Chagua herufi ya jibu sahihi.
i .Vifuatavyo ni vifaa vya kuchorea isipokuwa ? ____________
A) kifutio B) Maji C) Penseli D) Meza na kiti
ii. Ni aina gani za Sanaa za maonesho ambayo ni maarufu kwa Watoto wa shule? ____________
A) Ngonjera B)Muziki C) Majigambo D) Ufinyanzi
iii. Je mavazi ya waigizaji kwenye Sanaa za maonesho huitwaje? ____________
A) Maleba B) Mapambo C) makunzi D) nguo
iv.__________Ni kitendo cha kufuatisha kitu au jambo la mwingine?
A) Kuomba B) Kuigiza C) Ukimbia D) Kuruka
6. Oanisha maneno au sentensi katika Orodha A na Orodha B kisha andika jibu sahihi.
| NA. | ORODHA A | JIBU | ORODHA B |
| I | Kayamba | A).Ala za kugonga B).Kikombe C).Kayamba D).Filimbi E).Mchezo wa asili ambao huchezwa na watu wawili kwa kutumia kete F).Mchezo wa mpira ambao huchezwa kwa mikono G).Ala za kutikisa | |
| Ii | Ngoma | ||
| Iii | Bao | ||
| Iv | Ala ya kupuliza | ||
| V | Rede |
7.Jaza nafasi zilizoachwa wazi
(a) onesha mambo makuu mawili ya kuzingatia katika uigizaji wa vitendo na sauti
i ________________________________________ ii.________________________________________
8.Watoto wanaoonekana kwenye kielelezo hapo chini ni waigizaji na wanajiandaa kwa shughuli ya kuigiza.
Maswali
i. Je, kwa jina la kisanii watu wanaofanya sanaa ya maonesho wanaitwaje?
______________________________________________________________
ii. Mchezo huo unaitwajwe? ________________________________________
iii. Je, mavazi waliyovaa watu hao yanaitwaje? _________________________________
iv. Taja idadi ya watu wanaoonekana kwenye mchezo huo_________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE JIOGRAFIA EXAM SERIES 142
PRIME MINISTER’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATIVE AND LOCAL GOVERNMENT
TERMINAL EXAMINATION FOR STD FIVE 2026
SUBJECT- GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT
SECTION A: GEOGRAPHY AND ENVIRONMENT (26MARKS)
Answer all questions in this section.
1. For each of the items (i) – (xv), choose the correct answer and write its letter in the box provided:
i. Which of the following is not classify as a natural resource in the vegetable farming projects?
ii. Which resource directly enables the actual growth of vegetable crops?
iii. A community in Tanzania wants to develop a sustainable income source from their local forest. Which forest-related activity would best provide income while preserving the forest’s environmental functions?
iv. The Tanzania National Parks Authority (TANAPA) needs to decide which action will most effectively protect the “big five” wildlife in a national park. Which management action is most appropriate?
v. Some children have a tendency of defecating and urinating in water sources. What is the effects of that act?
vi. Mr. Njate climbed Mount Kilimanjaro and reached the summit after three days. What did he see on the top of the Mountain?
2. Answer items (i) – (v) by matching the location of the national parks found in Tanzania in List A with their name in List B and write the letter of the correct response in the bracket provided.
| LIST A | Answer | LIST B |
| i. North-western (Mara, Arusha, Simiyu) | A. Serengeti B. Tarangire C. Kondoa Irangi D. Lake Manyara E. Ngorongoro F. Ruaha G. Gombe | |
| ii. Northern (Manyara, Arusha, Dodoma? | ||
| iii. Northern ( Arusha and Manyara) | ||
| iv. Southern western (Iringa and Mbeya) |
3. i. What is the contribution of Gold to Tanzania economy ?
ii. Tanzania is also rich in renewable resources. Mention any two renewables resources.
iii. To promote the blue economy sector, what sustainable use of resources should we focus on?
4.Study the following map and then answer question (a) – (d) by writing the correct answer in the space provided.
A MAP OF MSANGALALE WARD
Questions:
a) How many mountains are there on map above?
________________________________________________________
b) Name any two man- made features shown on the map.
i) _______________________________________
ii) _________________________________________
c) What is the direction of the mosque from the church?
_________________________________________________________
d) How many bridges are there on the map above?
_________________________________________________________
e) What symbol from the map stand for the natural feature of the mountain? Draw the symbol.
__________________________________________________________
SECTION B: SPORT AND ARTS ( 24MARKS)
5. Choose the correct answer and write its letter in the box provided.
i. The following are drawing tools except
A: Duster B: A water C: A pencil D: Table and chair
ii. Which types of performing art is popular with pupils?.
(A)Story telling (B)music (C) Recitation (D) Modelling
iii. What is the name of the clothes used by actors during performances?
(A) Costume(B) Make up (C) Materials (d) clothes
iv .________is the art of portraying a character is a story or on a stage.
(A) praying ( B) Acting (C) Running (D) Jumping
6. Match the items in list A against those in list B by writing the letter of the correct sentences beside the item number.
| COLUMN A | COLUMN B | ||
| I | Rattle | | A. Struck instruments B. Cup C. Kayamba D. Flute F. A traditional game played by two people using small seeds or shells G. A game that is played by using hands by tree people H. Percussion instrument |
| Ii | Drum | | |
| iii | Bao | | |
| iv | Wind instruments | | |
| v. | Rede | |
7. (a) Mention two main things to consider when acting out with actions and sound.
(i)_________________________________________
(ii)_________________________________________
b.The children seen in the picture below are actors preparing to perform.
![]() |
QUESTIONS
i. What are people who do performing arts called? __________________________
ii. What is that play called?._____________________________________________
iii. What are the clothes they are wearing called? ___________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE GEOGRAPHY EXAM SERIES 141
Jina La Mwanafunzi: _____________________________________
Jina La Shule:_____________________________________
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, OFISI YA WAZIRI MKUU -TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MUHULA WA KWANZA DARASA LA TANO
HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI
Muda: saa 1:30 MEI 2026
SEHEMU A (Alama 20)
i. Kupendana huleta amani na kuwajali watu wengine pia,Ni kitendo gani kati ya vifuatavyo sio sahihi kuwatendea wenzetu?
A. kuwasaidia B. Kushauriana nao C. Kuaminiana D. kuwadhulumu E. kushirikiana ( )
ii. Hapo kale Nchi nyingi za kiafrika zilitawaliwa na mataifa ya kigeni,Je, Hali ya nchi moja kuitawala nchi nyingine kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni inaitwaje?
A. Ubepari B. Ujamaa C. ukoloni D. uzalendo E. utumwa ( )
iii. Viwanda vingi wakati wa ukoloni vilianzishwa hasa kwa ajili ya kuchakata nini?
A. Mazao B. Mkonge C. Tumbaku D. Madini E. Malighafi ( )
iv. Ipi kati ya zifuatazo sio sekta ya uchumi wakati wa ukoloni wa waingereza?
A. kilimo B. viwanda C. madini D. biashara E. afya ( )
v. Kiongozi aliyeongoza jamii ya wahehe kupambana na uvamizi wa wajerumani alikuwa nani?
A. Mkwawa B. Machemba C. Mangi Sina D. Abushiri E. Isike ( )
vi. Mtu aliyepewa dhamana ya kusimamia vibarua wakifanya kazi katika mashamba ya wakoloni alijulikana kama nani? A.Akida B.Jumbe C.Mnyapara D.Liwali E.Gavana ( )
vii. Sayansi na teknolojia ya asili ya kutengenezea moto iligundulika katika kipindi kipi cha zama za mawe?
A. zama za mawe za kati B. zama za mawe za kale C. zama za mawe za mwisho D. zama za chuma E.Zama za mawe za chuma ( )
viii.Ni ngazi ipi katika uongozi wa shule huongozwa na wazazi ambao huchaguliwa na wazazi wenye watoto katika shule husika?
A. Kamati ya shule B. Mwalimu wa Taaluma C. mwalimu wa nidhamu D. Mwalimu mkuu E. kiranja mkuu ( )
ix. Urithi wa historia inayohusu michoro ya mapangoni unapatikana sehemu gani kati ya hizi zifuatazo?
A. Isimila Iringa B. Kondoa Irangi C. Bonde la Ngorongoro D. Olduvai Arusha E.Laetoli Arusha ( )
x. Mwanamama mahiri na shupavu aliyejulikana kama Litti Kidanka ambaye alionesha upinzani mkubwa dhidi ya Wajerumani alikuwa wa kabila gani kati ya haya yafuatayo?
A. Wagogo B. Wanyeramba C. Wangoni D. Wanyaturu E. Wamasai ( )
2. Oanisha mwaka kutoka orodha A na tukio husika kutoka orodha B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi kwenye mabano.
| Orodha A | Majibu | Orodha B |
| i. 1890 | | A. Vita vya Maji Maji B. Kuteuliwa kwa Donald Cameroon C. Kusainiwa kwa mkataba wa Heligoland D. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar E. Jina Tanganyika lilizaliwa F. Kifo cha Abeid Amani Karume G. Kifo cha baba wa taifa Mwl. J. K Nyerere |
| ii. 1964 | | |
| iii. 1905 - 1907 | | |
| iv. 1999 | | |
| v. 1920 | |
3. Jaza nafasi zilizoachwa wazi kwa kuchagua jibu sahihi kutoka kwenye mabano uliyopewa.
i. Mambo ya lazima ambayo mtu hupaswa kuyatenda ili kukabiliana na mazingira yanayomzunguka huitwaje …………………………………...… (haki/wajibu)
ii. Mwaka 1954 chama cha TAA kiliitisha mkutano mkuu kujadili katiba na muundo wake, ambapo katika mkutano huo kulizaliwa chama kipya cha siasa kilichojulikana kama.....................(CCM/TANU)
iii. ………………………………........................ ni miongoni mwa athari chanya za mfumo wa elimu ya kikoloni. (Kuua lugha za asili/Kueneza lugha ya Kiswahili)
iv. Sheria na kanuni zinazoainisha jinsi nchi itakavyoendeshwa huitwa
…………………………………………. (katiba/kitabu)
v. Ujio wa ..................................ulichochea mabadiliko makubwa katika maadili ambayo ni dini ya Kiislam na biashara ya utumwa. (Wajerumani/Waarabu)
SEHEMU B (Alama 20)
4. Umepewa ngazi 4 za uongozi katika serikali ya Wajerumani ambazo hazipo katika mpangilio sahihi. Zipange ngazi hizo kuanzia ngazi ya juu Kwenda chini kwa kuandika herufi ya jibu sahihi.
| Mpangilio usio sahihi | Mpangilio sahihi |
| A. Gavana | i. |
| B. Waziri wa makoloni | ii. |
| C. Baraza la kumshauri Gavana | iii. |
| D. Liwali | iv. |
| E. Afisa Wilaya | v. |
5. Chunguza picha ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata.
Maswali
i. Mnyama huyo hutumika kama alama ya Taifa, je, anaitwaje?
_____________________________________
ii. Alama hiyo ya Taifa ni kiashiria cha uwepo wa nini nchini Tanzania?
_____________________________________
iii. Taja chombo cha usafiri kinachomilikiwa na serikali ya Tanzania ambacho picha ya mnyama huyo huwekwa kama Ishara ya kuonesha kuwa ni mali ya Tanzania
_____________________________________
iv. Mnyama huyu hutumika kama alama ya mficho kwenye
_____________________________________
v. Taja alama za Taifa nyingine mbili (2) unazozifahamu
A)_____________________________________
B)_____________________________________
SEHEMU C (Alama 10)
6.Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata.
Uzalendo ni hali ya mtu kuwa na moyo wa kuipenda na hata kuwa tayari kuifia nchi yake.Uzalendo unajumuisha kuipenda nchi yako kwa kuithamini na kuilinda.Wanamichezo huonesha uzalendo wao pale wanapoipeperusha Bendera ya Taifa lao katika mataifa mengine sambamba na kuimba wimbo wa Taifa lao.Uzalendo hauigizwi bali ni hisia kali za mapenzi kwa nchi kutoka ndani ya moyo mwa raia mwaminifu na mtiifu. Uzalendo upo kwa kila mwananchi anayejitambua na kujithamini pia. Hata hivyo kila mmoja wetu katika nafasi yake anapaswa kuwa mzalendo. Serikali huhimiza viongozi na wananchi kuwa wazalendo na kuzingatia maslahi ya Taifa badala ya maslahi binafsi na kwa kufanya hivyo itapunguza tamaa ya kujilimbikizia mali. Kwa maana hiyo mwananchi anayeipenda Tanzania kwa dhati ya moyo wake, hataweza kushiriki vitendo vya rushwa kamwe.
Maswali
i. Hali ya mtu kuwa na moyo wa kuipenda na hata kuwa tayari kuifia nchi yake huitwa
_____________________________________
ii. Taja viashiria viwili vinavyotumiwa na wanamichezo kuonesha uzalendo kwa nchi yao wawapo katika mataifa mengine
(a)_____________________________________
(b) _____________________________________
iii. Uzalendo haugizwi, je unatoka kwenye moyo wa raia mwenye sifa gani?
_____________________________________
iv. Serikali inahimiza uzalendo na kuzingatia maslahi ya Taifa ili kukwepa nini?
_____________________________________
v. Kuipenda nchi yako kwa moyo wako kunakuepusha na vitendo gani?
_____________________________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE HISTORIA EXAM SERIES 140
Pupil’s name: _______________________________________
School name: ___________________________________________
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRIME MINISTER’S OFFICE - REGIONAL ADMINISTRATIVE AND LOCAL GOVERNMENT
TERMINAL EXAMINATION FOR STD FIVE MAY 2026
ENGLISH LANGUAGE
TIME: 1:30 HRS
SECTION A: (20 Marks)
1. Listen to the passage read by the invigilator then answer the questions i-v
I.Which school does Susan go to?______
(a) Midundo (b) Mziki (c) Michungwani (d) Alezo (e) Kisiki
II. Which class is she in?_____
(a) Seven (b) six (c) two (d) one (e) form one
III. When was the inter-school competition?_______
(a)May 2022(b) March 2026 (c) March 2019 (d) March 2020 (e) March 2022
IV.What is Susan planning to do next?_______
V. What was Susan awarded after winning the competition_____
| I | II | III | IV | V |
2. TENSES (Choose the correct answer)
I. Mr. Marwa and I _____________ books now.
(a) are (b) reading (c) were reading (d) are reading (e) has read
II. She often ______________netball every Saturday
(a)play (b) plays (c) playing (d) played (e) will play
III. Hanah ______________a lot of food last night
(a) Cooks (b) cook (c) cooked (d) will cook (e)has cooked
IV. The window pane ________ by Edward Yesterday
(a)Was broke (b) was broken (c) broke (d) were broken (e) is broken
V. Did you _______________ the girl who saved your sister’s life?
(a)Met (b) meet (c) meat (d) meant (e) meted
| I | II | III | IV | V |
3. Choose the correct word from the box below to complete the passage.
| cousin’s, came, he, nephew’s, good , was |
Yesterday Tom the son of my aunt (i) _______________to our house to give me the (ii)________________ news that (iii)____________________ had become number one in his final examination. I (iv) ___________________ overjoyed to hear this. I called our neighbours to come and celebrate with me, my (v) __________________victory
4. Matching items
| NO. | LIST A | ANSWER | LIST B |
| i. | Twins | A.He has been punished because of his | |
| ii. | Arrogance | B.A person who runs away from his country for political | |
| iii. | Barn | C. Two babies born by the same mother at the same time | |
| iv. | Refugees | D. The plural form of the word ‘OX’ | |
| v. | Oxen | E. A building used for storing grain |
SECTION B: (20 Marks) Fill in the blanks according to the instructions
5. Write the word which doesn’t belong to the groups in each.
i. Lemon, oranges, cabbage, guavas, apple ___________________________.
ii. Table, class, bed, bench, stool ______________
iii. Malaria, typhoid, cholera, stomach ________________
Write one word for the following groups of words.
iv. Kenya, Rwanda, Tanzania, Germany _______________________________
v. Zebra, dog, cow, lion, sheep ___________________________
COMPREHENSION
6. Read the following passage carefully and then answer the question i – v that follow. Once upon a time there was a school boy who used to steal books at the school library .One day he was caught by sir Wagareri stealing English books. He was beaten badly by teachers and he was taken to the police station. One of the policeman said, stop stealing, if you don’t change your behavior you may end up being burnt alive. Do you know that? , He answered calmly Yes sir I will not steal again forgive me. From that day he became a good pupil other pupils and teachers loved him.
Questions
i. Who caught a thief? _________________________________
ii. According to the passage a thief was a ________________________________________
ii. What did the policeman said to the boy? ____________________________________________
iii. Where did the thief taken? _________________________ iv. The boy stole the book from ________________________
SECTION C: (10 Marks)
7. This section has five sentences (i-v) arrange the sentences so as to make a good composition by giving them letters A, B, C, D and E.
i. In his speech, he promised to buy the products produced by the pupils. _______
ii. Standard seven pupils had a cooking project.________
iii. The head teacher talked to the pupils.______________
iv. The pupils thanked him and invited him again._______
v. They invited the head teacher to see the project._______
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE ENGLISH EXAM SERIES 139
PRESIDENT’S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
CLASS FIVE TERMINAL EXAMINATION
MATHEMATICS
TIME: 2:00 HOURS YEAR 2025
NAME OF THE PUPIL: ______________________________________
NAME OF THE SCHOOL: ____________________________________
NAME OF THE DISTRICT: ____________________________________
INSTRUCTIONS
| FOR EXAMINER’S USE ONLY | ||
| QUESTION NUMBER | SCORE | EXAMINER’S INITIALS |
| 1. | ||
| 2. | ||
| 3. | ||
| 4. | ||
| 5. | ||
| 6. | ||
| 7. | ||
| 8. | ||
SECTION: A (10 Marks)
Answer all questions in this section
| No | QUESTIONS | WORKING SPACE AND ANSWERS | ||||||||||||||
| 1. | (i) 824 335 – 13 112= | |||||||||||||||
| (ii) 12451 + 240037 = | ||||||||||||||||
| (iii) 307350 ÷45 = | ||||||||||||||||
| (iv) 615 × 33= | ||||||||||||||||
| (v) 1/5 – 5/7 = | ||||||||||||||||
| (vi) 0.33+21.57= | ||||||||||||||||
| (vii) 11/13 × 1/5 = | ||||||||||||||||
| (viii) 0.08 × 29= | ||||||||||||||||
| (ix) 3/4 –1/2 = | ||||||||||||||||
| (x) 4.7 – 0.9 = | ||||||||||||||||
| SECTION: B (30 Marks) | ||||||||||||||||
| 2. | (i) Write in words the following numbers 338952 | |||||||||||||||
| (ii) Write the value of the 3-digit place value in the following number 65232 | ||||||||||||||||
| (iii) Write 674 in Roman numerals. | ||||||||||||||||
| (iv) Write the smallest number formed by the digits 8, 2, 1, and 3. | ||||||||||||||||
| (v) Write it briefly (vi) 100 000 +20 000+9 000+500+60+7 | ||||||||||||||||
| (vi) Write the number that precedes this number by subtracting one from it 20 000. | ||||||||||||||||
| 3. | (i) Write the missing prime number in the following sequence 5, 7, ___, 13. | |||||||||||||||
| (ii) Write all 8 subdivisions | ||||||||||||||||
| (iii) Kilewo ran 1/3 Of the distance of 150 kilometres. How far did Kilewo run? | ||||||||||||||||
| 4. | (i) The teacher asked standard five pupils to find the second exponent of 841. What was the correct answer? | |||||||||||||||
| (ii) Find the total of
| ||||||||||||||||
| (iii) Mr Selemani walked a distance of 2.5 kilometres. How many meters is that distance? | ||||||||||||||||
| 5. | (i) Write the largest number that can divide these numbers 13 and 20 without remainder. | |||||||||||||||
| (ii) In Serengeti National Park there are 654321 antelopes and 123456 zebras. Find the total number of animals in the park. | ||||||||||||||||
| (iii) The treasurer promoted the deserving employees, which is 6/10 of the total employees. Write the number in decimal. | ||||||||||||||||
| 6. | (i) Find the value of R in
| |||||||||||||||
| (ii) Find the length of 25 squares of equal length if each square is 12.5 kilometres long. | ||||||||||||||||
| (iii) Joseph was ordered to bring cattle for the celebration. 812 cattle died on the way during transportation and he managed to deliver only 1540 cattle. How many cattle did he leave his home with? | ||||||||||||||||
| SECTION: C (10 Marks) | ||||||||||||||||
| 7. | (i) Kyaseni health centre listed the number of people who went for health check-ups as follows
| |||||||||||||||
| (ii) Find the total number of people who went for a health check-up at the Kyaseni health centre. | ||||||||||||||||
| 8. | (i) Find the perimeter of the figure below
| |||||||||||||||
| (ii) Find the perimeter of a rectangle with a length of 9 cm and a width of 7cm. | ||||||||||||||||
| (iii) How many line segments does the following shape have?
| ||||||||||||||||
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE MATHEMATICS EXAM SERIES 131
PRESIDENT’S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATIVE AND LOCAL GOVERNMENT
TERMINAL EXAMINATION MAY – 2025
STANDARD V
01 MATHEMATICS TIME: 1:30
SECTION A:
MATHEMATICS OPERATIONS.
| QUESTIONS | WORK SPACE | ANSWER | |
| 1. | a) 14,567 + 234,079 = | ||
| b) 230,000 – 154,357 = | |||
| c) 543671 + 86789 ______ | |||
| d) 916976 - 375598 ______ | |||
| e) 184 X 70 = | | ||
| f) 36145 X 24 ______ ______ | |||
| g) 14496 ÷ 32 = | |||
| h) ¾ + 1/5 = | |||
| i) 13/15 X 1/3 = | |||
| j) 72.54 + 3.45 = | |||
| 2. | a) Write the number 400,647 in words | ||
b) Write the following in numerals ‘’Seven hundred eighty eight thousand and four’’. | |||
| c) Write DLVII in Arabic numerals | |||
| d) Write 106,501 in words. | |||
| 3. | a) Find the GCF of 35 and 56 | ||
| b) Write 694 in Roman numbers | |||
| c) Find the LCM of 18 and 30 | |||
| 4. | a) Write the prime numbers between 31 and 40 | ||
| b) Find the sum of all odd numbers between 55 and 62. | |||
| c) Mention the even numbers which are divisible by 3 between 20 and 30
| |||
| SECTION B: 30 MARKS | |||
| 5. | a) | ||
b) Write the total value of 8 in a number 678910 | |||
| c) Write the next number in the following series: 1, 4, 9, 16, 25, ______ | |||
| d) Write the square number of 49 | |||
| e) Find the square root of 361. | |||
| 6. | a) How many grams are there in 3 Kilograms? | ||
| b) Change 324 CM into Metre. | |||
| c) How many notes of two thousand are there in one ten thousand note? | |||
| d) HOURS MINUTES 7 25 - 2 40 ________ | |||
| 7. | a) Find the perimeter of the following figure.
12 CM | ||
| b) What is the area of the rectangle below?
| |||
c)Find the perimeter of the following figure![]() | | ||
| d) How many ½ litres are there in 4 litres? | | ||
| 8. | a)The old man herding 374 cows, 710 goats and 439 sheep. How many livestock does the old man has. | | |
| b) Asha went to the market and bought meat at Sh. 7000/=, rice for Tsh. 9450/=, potatoes for Tsh. 3000/=, and ingredients for Tsh. 4200/=. How much money did Asha pay? | |||
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE MATHEMATICS EXAM SERIES 129
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA KUJIPIMA NUSU MUHULA WA KWANZA 2024
SOMO: HISABATI DARASA: V
(ii)Juma alikua na shilingi laki moja, mia moja na mbili. Andika kiasi hicho kwa tarakimu
(iii) Kengele tatu ziligongwa, ya kwanza baada ya dakika sita, ya pili baada ya dakika nane, na ya tatu baada ya dakika 12. Ikiwa alianza kugonga saa tatu kamili asubuhi, je ni saa ngapi zitagongwa kwa pamoja?
(iv) Zidisha 12x13=
(v) Panga namba 101, 98, 100.6, 104, 99, 103 kuanzia ndogo kwenda kubwa
(vi) Nini jumla ya 21/4 na 31/5 ?
(vii) Kutoka namba 2, 4, 9, 6, na 0 andika namba ndogo zaidi.
(ix) Andika 6827 kwa kutumia abakasi
(x) Andika namba tasa zilizopo kati ya 6 na 24
SEHEMU B: MAFUMBO.
(ii) Asilimia sitini ya wanafunzi katika shule ya Msingi Mnazi ni wasichana ikiwa idadi ya wanafunzi ni 720, Je shule hiii ina wavulana wangapi?
(iii) Mohamed hulipwa shilingi elfu tano kila siku zote saba. Tafuta kiasi alicholipwa Februari mwaka 2024.
(iv) Gari linatumia nusu lita ya Petroli kw kila kimomita. Ikiwa Merry aliendesha gari hilo kwa kilomita 164, Je alitimia lita ngapi za Petroli?
(v) Umri wa mtoto ni 1/4 ya umri wa baba. Ikiwa baba anamiaka ishirini; tafuta umri wa mtoto baada ya miaka nane.
(ii) Kata ya Mahida ina wanafunzi 54,163,. Wanafunzi 7892, wanahitimu mwaka huu. Tafuta idadi ya wanafunzi watakaobaki shuleni.
(iii) Sensa ya watu iliyofanyika mwaka 2012, kijiji cha Holili kilikua na Wanaume 1849, Wanawake 2112 na Watoto 2636. Tafuta jumla ya wakaz wa kijiji.
5. (i) Shule 10 zina mahitaji ya madaftari 175,038. Iwapo wafadhili walitoa madaftari 10,750, Je shule hizo zinaupugufu wa madaftari mangapi?
(ii)Tafuta KKS cha 6, 10 na 12
(iii) Andika namba inayokosekana katika mfululizo huu: 1, 5, 10, ...., 23
6. (i) Vitabu 99,000 viligawiwa katika shule 200 kwa idadi sawa. Je kila shule ilipata vitabu vingapi?
(ii) Tafuta namba inayofuata katika mfululizo huu: 2, -1, -4, -7, .......
(iii) Kadiria namba hii katika mamia yaliyokaribu 578406
7. (i) Tafuta eneo la pembetatu lenye kimo cha meta 16 na kitako cha meta 19.
(ii) Pembe tatu ina meta za eneo 195. Ikiwa kitako chake kina meta 26, Je urefu wa kimo chake ni meta ngapi?
(iii) Tafuta eneo la umbo PQR
R

8. (i) Tafuta wastani wa shilingi 28,000, shilingi 32,000 na shilingi 96,000.
(ii) Mahudhurio ya darasa la tano kwa wiki yalikua kama ifuatavyo.
| siku | Jumatatu | Jumanne | Jumatano | Alhamisi | Ijumaa |
| Wanafunzi waliohudhuria | 33 | 45 | 48 | 45 | 39 |
Tafuta wastani wa mahudhurio yao kwa siku.
(iii) Ikiwa mimi ni kipeo cha pili cha 13. Mimi ni namba gani?
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE HISABATI EXAM SERIES 108
OFFICE OF THE PRESIDENT, REGIONAL ADMINISRATION AND LOCAL GOVERNMENT
PRIMARY EXAMINATION SERIES- TERMINAL MAY.
SUBJECT: VOCATIONAL STUDIES
CLASS: V
SECTION A
2. Match the words in LIST A with the correct description in LIST B and write the letter of the correct answer.
| LIST A | LIST B |
|
|
3. Fill in the blanks using the correct answer
a) The ability to convey human feelings and thoughts and convey a message to the relevant community artistically is called………………………….
b) Name an example of performing arts…………..
c) Give two examples of crafts…………………………..
d) a model of a real thing obtained by drawing using pencils, colored pencils, brushes, paint, chalk, computer and camera is………………….
e) The art used in making various shapes using clay, cement, papers and glue is called ………………
4.
a) Name four physical changes that occur in boys during puberty.
b) Give two reasons for paying attention to hygiene for girls during puberty
c) Name five materials that are needed when cleaning the body.
5. Give the correct answers
a) Name two groups of people who wear work uniforms
b) Explain the importance of schools
c) Why do we cook food? Give four reasons.
6.
a) Name two materials needed while sewing
b) Name two dangerous behaviors during adolescence that can affect you
c) Name four devices you can use while taking a shower.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE VOCATIONAL EXAM SERIES 107
OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MSURURU WA MITIHANI YA SHULE ZA MSINGI
FOMATI MPYA-MTIHANI WA DARASA LA TANO
SOMO: URAIA NA MAADILI
SEHEMU A:
SEHEMU A: CHAGUA JIBU SAHIHI
11. Alama ya taifa ambayo ni chombo cha kubadilishana ni (A) ramani (B) sarafu (C) wimbo wa taifa (D) mwenge wa uhuru (E) nembo
12. Mambo yafuatayo ni muhimu kwa kupanga kazi za nyumbani isipokuwa (A) muda (B) mbinu (C) nyenzo za kutumia (D) pesa (E) hakuna kati ya zilizo hapo juu.
13. Wazaramo, wamasai na wachaga wanapatikana katika makampuni ya kiuchumi ya Tanzania (A) reliagions (B) makabila (C) nyumba za jadi (D) viongozi (E) makampuni ya kiuchumi.
14. Ni kipi kati ya zifuatazo ambacho si chombo cha ulinzi na usalama? (A) upinde (B) mkuki (C) ngao (D) reki (E) mishale
15. Mtu anayefanya kazi fulani bila kuambiwa au kuuliza malipo anaitwa __________ (A) kujitolea (B) kujitolea (C) kujitolea (D) kuwajibika (E) kutowajibika.
| SEHEMU A | SEHEMU B |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
3. Jaza nafasi zilizoachwa wazi kwa kuthibitisha majibu sahihi katika nafasi ulizopewa. (alama 5)
i. Mabadiliko yanayotokea kwa wasichana na wavulana wanapogeuka kuwa watu wazima yanaweza kuitwa kama…..
ii. Damu inayotoka kwenye uke wa mwanamke kila Mwezi ni ……………………………..
iii. Kiongozi aliyechaguliwa katika ngazi ya kata ni ………………………..
iv. Kuhoji na kuchunguza kwa madhumuni ya kujua au kuelewa vyema
v. Mpango ulioandikwa wa jinsi ya kutekeleza baadhi ya masuala ili tuweze kufikia lengo la shirika.
4. Chunguza alama ifuatayo kisha jibu maswali

Picha hapo juu inawakilisha moja ya alama za Taifa.
a) Taja alama……………………………………..
b) Nembo iliyo hapo juu iliwekwa kwenye mlima mrefu zaidi nchini Tanzania. Taja mlima huo
c) Taja tarehe ambayo alama iliyo hapo juu iliwekwa kwenye Mlima huo
d) Eleza umuhimu wa alama hapo juu
e) Alama hii kawaida huzungushwa kote nchini, na inaambatana na shughuli fulani. Taja shughuli zinazoambatana nayo.
5. Jibu maswali yafuatayo kwa ufupi
a) Taja mabadiliko matano anayopata mtoto wa kike wakati wa kubalehe.
b) Taja njia tatu za kutumia ili kuepuka mimba za utotoni
c) Taja mila na desturi katika jamii zisizofaa
6.
a) Taja njia nne za utunzaji wa maliasili.
b) Taja maliasili tatu zinazopatikana katika nchi yetu
c) Taja majukumu matatu ya kiranja mkuu wa shule
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE URAIA EXAM SERIES 106
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA-MEI-2024
SOMO: STADI ZA KAZI DARASA: V
SEHEMU A: ALAMA 20
2. Oanisha maneno katika safu A na maelezo katika safu B ili kuleta maana.
| SAFU A | SAFU B |
|
|
3. Jaza nafasi zilizoachwa wazi kwa kutumia jibu sahihi
4.
7.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE STADI EXAM SERIES 105
OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MSURURU WA MITIHANI YA SHULE ZA MSINGI
FOMATI MPYA-MTIHANI WA DARASA LA TANO
SOMO: SAYANSI NA TEKNOLOJIA
SEHEMU A:
1. Kwa kila kipengele (i)-(x) Andika herufi ya jibu sahihi kwenye nafasi zilizoachwa.
i. Ni yupi kati ya wafuatao ambaye sio wakala wa uchavushaji? (A) jua (B) maji (C) upepo (D) wadudu.
ii. Gameti za kike hujulikana kama (A) chembe za chavua (B) stameni (C) Anitha (D) ovule
iii. Moja si aina ya samaki (A) tilapia (B) kambare (C) kobe (D) papa
iv. Sehemu ya mmea inayohusika na kunyonya maji ni (A) shina (B) majani (C) mizizi (D) ua.
v. Moja si tabia ya mimea ya dikotiledon (A) ina majani mapana (B) ina venation sambamba (C) ina mzizi wa bomba (D) mbegu ina kotiledoni mbili.
vi. Zifuatazo ni sifa za viumbe hai isipokuwa (A) kukua (B) kutoa kinyesi (C) kuzaliana (D) kumeza.
vii. Je, ni ipi kati ya zifuatazo ambayo sio sehemu ya mmea unaotumika katika kuzaliana bila kujamiiana kwenye mimea? (A) vinyonyaji (B) mizizi (C) shina (D) vitambazi [ ]
viii. Sehemu ya ua inayopokea chembe za chavua inaitwa (A) mtindo (B) ovule (C) anthers (D) stigima
ix. ______________________________ ni mchakato ambapo viumbe hai huzalisha vipya vya aina yake (A) kurutubisha (B) kuzaliana (C) uchavushaji (D) usagaji chakula.
x. Sehemu ya ua ambayo hukua na kuwa tunda ni _____________ (A) ovari (B) stigima (C) ovule (D) pollen tube.
| Kifungu A | Kifungu B |
|
|
3: Jaza nafasi zilizoachwa wazi
SEHEMU B (ALAMA 20):
Maswali ya majibu mafupi
4 i. Eleza kazi ya duct ya manii na ovari katika mimea
ii. Tofautisha kati ya uchavushaji binafsi na uchavushaji mtambuka
iii. Eleza kwa nini baadhi ya mimea ina maua yenye rangi angavu
5 Chunguza mchoro hapa chini kisha Jibu Maswali yafuatayo.

6 Eleza kwa ufupi yafuatayo
7. a) Taja sifa nne za taswira inayotokana na kioo bapa
b) Taja matumizi mawili na hasara mbili za kioo mbonyeko
c) Eleza matumizi matatu ya sumaku
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SAYANSI EXAM SERIES 104
OFISI YA RAISI, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MSURURU WA MITIHANI YA SHULE ZA MSINGI
FOMATI MPYA-MTIHANI WA DARASA LA TANO
SOMO: MAARIFA YA JAMII
SEHEMU A:
(A) kipimajoto (B) baromita (C) dustpan (D) hali ya hewa
(A)unyevunyevu (B) joto (C) mawingu (C)upepo
(A) hali ya hewa (B) mwanga wa jua (C) utamaduni (D) joto
(A) koti, sweta, skafu (B) maji, mimea, pundamilia (C) koti, blanketi (D) karafuu, kofia, soksi
(A) halijoto (B) mvua (C) upepo (D) mboga
(A) wazazi (B) watoto (C) shangazi (D) mjomba
(A)mazingira (B) maji (C) shule (D) mboga
(A) kufua nguo (B) mazingira ya vumbi (C) huharibu mazingira
(A) wazazi (B) watoto (C) mjomba (D) dada
A) wa pili (B) wa nne (C) wa tano (D) mmoja
(A) Tanzania (B) Zanzibar (C) Rwanda
(A) baba na mama (B) watoto (C) dada (D) mjomba
(A) Lugha ya Kiswahili (B) Lugha ya Kiingereza (C) Lugha ya Kifaransa (D) Lugha ya Kiingereza
(A) chanzo cha nishati na mwanga (B) chanzo cha magonjwa (C) kuharibu mazingira (D) chanzo cha mkaa
2. Oanisha maneno katika safu A na sentensi katika safu B Kisha andika majibu yako katika nafasi uliopewa.
| SAFU A | SAFU B |
|
|
SEHEMU B: MAJIBU MAFUPI
3. Jaza nafasi zilizoachwa wazi;
4. Jaza sentensi zifuatazo kwa kutumia neon sahihi
5. Jibu maswali yafuatayo kwa ufupi
6. Toa majibu sahihi
7. Chunguza picha ifuatayo kisha jibu maswali.

Picha hii ni ya kiongozi aliyekuwa Kiongozi wa ujerumani karne ya kumi na tisa.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE MAARIFA EXAM SERIES 103
OFISI YA RAIS-TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA-MEI-2024
SOMO: KISWAHILI DARASA: V
MAELEKEZO:
SEHEMU A:
IMLA
1. Sikiliza kwa makini kifungu cha habari utakacho somewa na Mwalimu kisha jibu swali (i) hadi (v)
(i) Ni wapi mafuriko makubwa yamepiga?
(ii) Watu wangapi wamelazimika kuhama makazi yao kutokana na mafuriko?
(iii) Ni nini kilichofanikiwa kuharibiwa na mafuriko?
(iv) Nini kinachosababisha hali ya mafuriko kuwa mbaya zaidi?
(v) Mamlaka zinaonya nini kuhusu hatari ya mafuriko?
SEHEMU B:
SARUFI, MISAMIATI NA MATUMIZI YA LUGHA
2. Chagua herufi ya jibu sahihi kisha jaza katika mabano.
i. Tulipokuwa tukijisomea aliniambia nikamilishe sentensi hii” babu na bibi kumwona shangazi kesho. A. Walikwenda B. Na C. Huenda D. Watakwenda
ii. Mwalimu aliuliza neno lipi linakamilisha sentensi hii kwa usahihi? Baba yangu alikula wali _____kijiko A. Na B. Kwa C. Mwa D. Pamoja
iii. Dereva ni kwa mwendesha vyombo vya nchi kavu rubani ni kwa mwendesha ndege. Je, nahodha ni kwa A. Manju B. Vyombo vya majini C. Ni kwa mabaharia D. Vyombo vya angani
iv. Upi ni ukanushi sahihi wa neno “Ataimba” A. Huimba B. Hataimba C. Ataimba D. Hajaimba
v. Rafiki yangu alinionesha zeruzeru tulipokuwa kanisani. Kisha nilimuuliza neno lipi ni kisawe cha zeruzeru? A. Chotara B. Suriama C. Albino D. Muakasti
vi. Mwalimu alisema yakinisha sentensi ifuatayo “Elimu haina mwisho” A. Elimu si mwisho C. Elimu ina mwisho B. Elimu inafika mwisho D. Elimu ni mwisho
vii. Nilipenda kujua kama unafahamu neno mchwa linaundwa na silabi zipi? A. M,ch,wa B. M,c,h,w,a C. M,chwa D. Mchwa
viii. Jamila anafanya kazi katika maktaba ya taifa. Je, Jamila ni nani? A. Mkutubi B. Maktabalisti C. Mfanyakazi D. Mnajimu
ix. Mzee Kalumanzila anatibu watu kwa kutumia mitishamba. Je, neno “Kalumanzila” lina silabi ngapi? A. Tatu B. Nne C. Tano D. Kumi na moja
x. Bibi yake Sampuluna ni mzee sana hawezi hata kulima shamba tena. Je, neno gani lina maana sawa na mwanamke mzee? A. Abu B. Shaibu C. Buda D. Ajuza
xi. Kitoto chake kinacheza mpira vizuri. Wingi wa neno lililopigiwa mstari ni upi? A. Mtoto B. Chitoto C. Vitoto D. Watoto
xii. Mtakapokuja kwenye mazishi msigombanie mali za watu. Neno lililopigiwa mstari lina silabi mwambatano ngapi? A. Mbili B. Tatu C. Moja D. Nne
xiii. Samaki mkunje angalli mbichi. Wingi wa sentensi hii ni upi? A. Samaki wakunje angali wabichi C. Masamaki yakunje yangali mabichi B. Samaki mkunje wabichi D. Samaki wabichi yakunjwe
xiv. Mjomba alipanda juu ya mnazi kuangua nazi. Je, mtu anayeangua nazi anaitwaje? A. Muanguaji B. Mkwezi C. Mgemaji D. Mkunazi
xv. Umoja wa sentensi hii ni upi? Wajuaji wale hawatafanikiwa A. Wajuaji hawa hawatafanikiwa C. Hatafanikiwa mjuaji B. Mjuaji huyu hatafanikiwa D. Mjuaji huyu atafanikiwa
SEHEMU C: METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI
3. Jibu maswali yote kwa kuchagua jibu sahihi;
i. Wanafunzi wote wa darasa la nne tulikata shauri kusoma kwa bidi ili tufaulu mitihani yetu. Je, nahau kata shauri ina maana gani? A. Kubaliana B. Shirikiana C. Amua D. Kata tamaa
ii. Mwanaheri ni mtoto wa kwanza katika familia yao. Je, Mwanaheri hujulikana kama A. Kitinda mimba B. Kilembwe C. Mwanambee D. Mziwanda
iii. Mzee Umbe alirudi mapema nyumbani mara baada ya kumwaga unga kazini kwake. Je, nahau mwaga unga ina maana gani? A. Kuwahi kazini B. Kumaliza kazi mapema C. Kufukuzwa kazi D. Ajiriwa
iv. Lipi kati ya haya yafuatayo ni jibu la kitendawili hiki” Gari moshi relini? A. Treni B. Zipu C. Msitu D. Reli
v. Liwali amekonda sana lakini hana dawa. Je, jibu la kitendawili hiki ni lipi? A. Sisimizi B. Siafu C. Sindano D. Pini
vi. Mzee Jamali alisema loo! nalipa faini kosa lisijui. Ndipo tulipokumbuka jibu la kitendawili hiki ni A. Usingizi B. Kutereza C. Kujikwaa D. Kuanguka
vii. Tulipofika stesheni tulikuta treni la abiria likianza safari, ghafla rafiki yangu aliniambia gari moshi relini. Ndipo nilipojua anataka jibu la kitendawili hicho. A. Dereva B. Sisimizi C. Siafu D. Zipu
viii. Tulipofungwa karata na baba nililalamika sana ndipo mama aliposema “Asiyekubali kushindwa A. Hawezi B. Hathaminiki C. Hatashinda D. Si msindani
ix. Maige huuza bidha kwa bei ya rejareja kwa kuzunguka nazo mtaani. Je Maige ni nani? A. Dalali B. Machinga C. Muuzaji D. Mhandisi
x. Mama Jamila hapendi watoto wamwage chakula pindi wanapo shiba. Hupenda kuwaambia wakifunike na kukihifadhi kwa matumizi ya baadae. Je, ni methali gani itatumika kusisitiza maelezo hayo. A. Haba na haba hujaza kibaba C. Chovya chovya humaliza buyu la asali B. Chembe na chembe mkate hua D. Akiba haiozi
4. Tumia maneno yaliyopo kwenye mabano ili kujaza sehemu zilizoachwa wazi
Muda, Mvua, Mbayuwayu, Vitoweo, Hasira, Kunepa, Ujumbe, Kiongozi, Kucheza, kumbukumbu
i. Alijiweka mbele kila wakati ili achaguliwe kuwa................................ wao.
ii. Tawi lilianza............................. baada ya kutua ndege wengi.
iii. Alipotuamuru tuondoke tulijawa na ...............................................
iv. Hatukuona ndege yoyote isipokuwa .............................................tu wakila kumbikumbi.
v. Tulipopata .....................................wa kuuguliwa kwake sote tulikwenda kumsalimia.
SEHEMU D: UTUNGAJI
5. Panga sentensi zifuatazo katika mtiririko maalumu kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E
i. Baada ya kusubiri kwa nusu saa basi liliwasili na nikapanda basi hilo kwenda Bunda.
ii. Abilia wote walishuka kwenye basi.
iii. Liliwasili mjini Mwanza, gari moshi lilisimama taratibu na kutangaza kuwa hapo ndipo mwisho wa basi.
iv. Nami nilishuka na kwenda moja kwa moja kwenye kituo cha basi.
v. Mimi na abiria wenzangu tulisafiri kwa Amani na kufika Bunda salama jioni.
SEHEMU E: UFAHAMU
6. Soma habari ifuatayo kwa usahihi kisha jibu maswali utakayoulizwa.
Hapo zamani za kale kulitokea mgogoro mkubwa sana kati ya ndege na wanyama. Juhudi za kumaliza mgogoro huu zilionekana kugonga mwamba na hatimaye vita ilianza. Wakati majeshi hayo mawili ya wanyama na ndege yakijiandaa kupigana, popo alisita kuchagua upande wa kujiunga na kivita. Jeshi la ndege lilifika nyumbani kwa popo na kumwambia. “Twende vitani ewe popo ndege mwezetu”. Popo alikataa na kusema “mimi ni mnyama na si ndege kama ninyi”. Baadaye jeshi la wanyama lilifika nyumbani kwa popo na kumwambia ni ndege na wala si mnyama kama ninyi”. Basi kukawa na ngurumo za kutisha za wanyama shupavu kama vile simba, duma na tembo, na ndege shupavu kama vile tai na mbuni. Majike wenye ndama na majike wenye makinda walihisi kiama chao kimefika.
Kwa bahati nzuri sana, katika dakika za mwisho kuelekea vita, muafaka ulifikiwa kati ya pande zote mbili na vita ikaepukikwa. Kukawa na Amani badala ya mapigano. Makundi yote mawili yakawa na shamrashamra za kusheherekea kuepukana na mgogoro. Kuona hivyo, popo naye alitamani kuwa sehemu ya shamrashamra hizo. Alikwenda kwa ndege akitaka kujiunga nao lakini ndege walimfukuza. Baadaye akaenda kwenye kundi la wanyama nao walimfukuza. Popo akabaki kuwa njia panda kwani hakuruhusiwa kujiunga na kundi la ndege au kundi la wanyama.
MASWALI
i. Mwandishi ameeleza katika habari kuwa kulikuwa na mgogoro. Je, mgogoro uliotokea hapo zamani uliwahusu kina nani?
ii. Mwandishi amesema juhudi zote ziligonga mwamba. Je, maneno yaliyopigiwa mstari yana maanisha nini?
iii. Katika hadithi uliyoisoma wametumia neno “kiama” Je neno kiama lina maana gani?
iv. Kutokana na hadithi uliyosoma nani alibaki njia panda?
v. Kutokana na habari uliyosoma hadithi hii inahusu nini?
Kifungu cha habari
Mafuriko makubwa yamepiga mkoa wa Pwani, yakiacha maafa makubwa kwa nyuma. Maelfu ya watu wamelazimika kuhama makazi yao, huku nyumba na miundombinu mingi ikiharibiwa. Mvua kubwa inayoendelea kunyesha inazidisha hali hiyo, huku mamlaka zikiwaonya wakazi kuhusu hatari ya mafuriko zaidi.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE KISWAHILI EXAM SERIES 102
PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
PRIMARY EXAMINATION SERIES
NEW FORMAT BASED-STANDARD FIVE EXAMINATION
SUBJECT: ENGLISH
TERMINAL- MAY-2024
TIME: 1:40HR
Instructions:
a) Play hopscotch, share lunches, and have sleepovers
b) Read books and draw pictures
c) Fight and argue
a) A new boy named Tom
b) A new teacher named Mrs. Smith
c) A new girl named Sarah
a) Happy
b) Left out
c) Excited
a) She ignored Lily
b) She apologized and talked to Lily
c) She started playing with Sarah
a) Maya and Lily stopped being friends
b) Maya, Lily, and Sarah became best friends
c) Lily moved to a different school
2. Choose the correct answer from the alternatives given;
( A)travel (B) travels (C) travelled D) travelling
(A)go (B) gone (C) gone (D) went
(A) take (B) took (C) taken (D) takes
(A) eat (B) eats (C) eating (D) ate
(A) Speak (B) speaks (C) speaking (D) spoke
3. Choose the best word to complete the sentence.
(A) long (B) tall (C) smart (D) fat
(A) kitchen (B) kitten (C) bedroom (D) cooking
(A) tourists (B) tourists (C) tourism (D) tour guide
(A) come (B) departure (C) welcome (D) travel
(A) price (B) now (C) manual (D) live
4. Match the animals given below with their corresponding homes.
| LIST A | LIST B |
|
|
5. Choose the correct form of the verb in the brackets to complete each sentence.
It was on Friday morning in March 2016 when Majuto started from one at Kalangala Secondary school. He reported with his mother who had carried a bucket, sweeping, broom, a hoe, a beautiful school bag as well as classroom materials. They entered the headmaster’s office to be registered. The headmaster asked his mother to show all needed things according to joining instructions then he was registered as form one students.
Later, the teacher on duty showed him where his classroom is. After the parade they entered their classroom, the English teacher instructed them on how they can introduce themselves to each other. He was very Glady to know how to introduce himself to his fellows
QESTIONS
Story: Maya and Lily
Maya and Lily were best friends. They did everything together. They played hopscotch at recess, shared their lunches, and even had sleepovers every weekend. One day, a new girl named Sarah joined their class. Maya started spending more time with Sarah, and Lily felt a little left out.
One afternoon, Lily was feeling sad, and Maya noticed. Maya sat down with Lily and said, "I'm so sorry I haven't been spending much time with you lately. You're my best friend, and I miss you." Lily smiled and hugged Maya tightly. From that day on, the three girls became the best of friends.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE ENGLISH EXAM SERIES 101
PRIMARY EXAMINATION SERIESS
COMPETENCE BASED ASSESSMENT
TERMINAL EXAM MAY 2024
SUBJECT : VOCATIONAL SKILLS CLASS :5
NAME: ………………………………………………….. DATE: ……….........…
SECTION A: MULTIPLE CHOICE
Choose the correct answer.
SECTION B:
Write short answers
Write two changes that occur to boys during puberty
Name two groups of people that put on uniforms
Name two materials that are needed for sewing
State some two risky behaviours that one can acquire during puberty
Name two items/tools needed when washing clothes
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SOCIAL EXAM SERIES 100
PRIMARY EXAMINATION SERIESS
COMPETENCE BASED ASSESSMENT
TERMINAL EXAM MAY 2024
SUBJECT: SOCIAL STUDIES CLASS :5
NAME: ………………………………………………….. DATE: ……….........…
SECTION A

SECTION B: MATCHING ITEMS
Match elements of weather in column A with recording instrument
| COLUMN A | ANS | COLOMN B |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Rainfall is recorded every day. Jamila, a standard four pupil, took her rain gauge and recorded the amount of rainfall for one week.
| Monday | Tuesday | Wednesday | Thursday | Friday | Saturday | Sunday |
| 15mm | 11mm | 4mm | 5mm | 10mm | 20mm | 5mm |
SECTION C: STRUCTURE
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SOCIAL EXAM SERIES 99
PRIMARY EXAMINATION SERIES
COMPETENCE BASED ASSESSMENT
TERMINAL EXAM MAY 2024
SUBJECT : SICENCE &TECHNOLOGY CLASS :5
NAME: ………………………………………………….. DATE: ……….........…
TIME 1:30 HRS
Answer all questions
Choose the letter of the correct answer and write it in the space given
SECTION A:
a) kingdoms b) creatures c) organisms d) environment [ ]
a) biology b) taxonomy c) ecology d) taxonomist [ ]
a) orange trees b) pine trees c) maize plants d) mango tree
a) invertebrate animal b) vertebrate animal c) insect d) snail [ ]
a) Tortoises b) Turtlels c) Toads d) crocodile [ ]
a) one cell b) many cell c) atoms d) steels [ ]
a) nucleus b) energy c) cell d) enzymes [ ]
a) reptiles b) invertebrates c) cold – blooded d) warm blooded [ ]
a) small animals b) invertebratesc) vertebrates d) insects [ ]
a) they produce b) they respond to change in the environment
c) they grow d) they manufacture their own food [ ]
a) mirror b) microscope c) periscope d) telescope [ ]
a) 300,000km/h b) 300km/s c)300,000km/s d)3km/s[ ]
a) dispersion b) refraction c) reflection d) defraction [ ]
a) light b) a beam of light c) straight linesd) spectrum [ ]
a) water b) soil c) warmth d) oxygen [ ]
a) prey b) omnivores c) predator d) parasite [ ]
a) reproductionb) nutrition c) photosynthesis d) respiration [ ]
a) incubation b) hatching c) birth d) braking [ ]
a) many roots b) parallel vein c) one cotyledond) tap roots [ ]
a) stomata b) phloem c) chlorophyll d) Lamina [ ]
a) spiracles b) gills c) lungs d) book lungs [ ]
a) mammals b) fish c) vertebrates d) invertebrates [ ]
a) lizard b) reptile c) homothermic organism d) poikilothermic organism [ ]
a) virus b) bacteria c) amoeba d) paramecium [ ]
a) a machine b) energy c) strong d) complex [ ]
a) dynamo b) generator c) bulb d) dry cell [ ]
a) Sublimation b) melting c) evaporation d) condensation [ ]
a) 1000C b) 00C c) 320 C d) 2120C [ ]
a) grow tall b) reduce water loss
c) become fire wood d) to absorb water [ ]
a) carnivores b) herbivores c) prey d) predator [ ]
a). Ohms b). Ohmmeter c). Ammeter d). Voltmeter [ ]
a). Starch, oxygen and carbondioxide b) water and carbondioxide [ ]
c) Starch and oxygen d) Temperature, soil and starch
a)Oxygen b). rare gases c). Carbon dioxide d). Nitrogen [ ]
a).Carbon monoxide b). Carbonated gas c). Ice d). Dry ice [ ]
a)Water b). food c). Warmth d). Mineral salts [ ]
a)Respiration b). Photosythesis c). Reproduction d). Growth [ ]
a).Carbon monoxide b). Carbonated gas c). Ice d). Dry ice [ ]
a).Ammeter b). Amperes c). Ohmmeter d). Voltmeter [ ]
a) Snail, Earthworm b). Plant and animals c). Human being d). Insect
a).2A b). 3A c). 6A d). 10A [ ]
SECTION:B Fill in the blanks
Observe the figure below then answer the question that follows
![]()
![]()
![]()

Observe the food shown in diagram 4 carefully then answer the question that follows.

![]()
![]()
![]()

__________________________________________________________________________________________________________________________________
45.Monocots seeds store their food in the part called_____________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SCIENCE EXAM SERIES 98
MTIHANI WA UMAHIRI KWA SHULE ZA MSINGI
MTIHANI WA MWISHO MUHULA MEI , 2024
SOMO : KISWAHILI DARASA : P 5
JINA: ___________________________ TAREHE: __________
SEHEMU A: UFAHAMU WA KUSIKILIZA,SARUFI,LUGHA YA KIFASIHI,UTUNGAJI
a) wanaume b) wasichana c) watoto
d) wafungwa e) wachezaji [ ]
a) mafuta b) matope c) wadudu
d) maji e) uvundo [ ]
a) sura zao b) umri wao c) wanakotoka
d) nyumbani kwao e) jinsia yao [ ]
a) mama yao b) mwalimu c) wapita njia
d) Bibi Huruma e) mama Mkosi [ ]
a) walikataa b) walitoka wakavaa nguo zao c) walipiga kelele
d) walishangilia e) walimtukana yule Bibi [ ]
SARUFI NA MSAMIATI
a) kujionesha b) kujiringa c) kujificha d) kujiumiza
e) kujifanya wajua [ ]
a) anatembea haraka b) anatembea kwa madaha [ ]
c) anatembea kwa vichekesho d) anarukaruka e) anatembea kwa shida
a) Mariamu si mrembo b) Mariamu ni mbaya c) Mariamu anarembua
d) Mariamu harembui e) Mariamu hawezi kuwa mrembo [ ]
a) Mariamu hapandi mlimani b) Mariamu anateremka bondeni
c) Mariamu anaogopa mlimani d) Mariamu hateremki bondeni
e) Mariamu anapanda bondeni [ ]
a) u b) a c) ni d) wa e) tu [ ]
a) uliopita b) ujao c) uliopo d) mtimilifu e) wa mazoea [ ]
a) jiwe b) chuma c) mtego d) kamba e) bunduki
a) Fundi cherehani b) Fundi seremala c) Dobi
d) Fundi Mwashi e) Tabibu [ ]
a) Mwalimu b) Tabibu c) Mkufunzi d) Rubani e) Nahodha
a) msemaji b) mmbea c) mzushi d) mwongeaji e) Mpiga stori
a) jasiri b) mvivu c) mchapakazi d) mroho e) mchoyo
a) yatima b) mpweke c) mwenye mkosi [ ]
d) mkosefu e) Mwangaji
a) vinyweleo b) nywele c) kanywele d) unywele e) kanyweleo
a) wali b) ndizi c) sufuria d) ugali e) karanga
a) viumbe b) viumbe hai c) wanyama
d) mimea e) wanyama pori [ ]
a) na b) ta c) li d) me e) hu [ ]
a) nne b) tatu c)tano d) saba e) moja
a) ta b) hu c) wa d) a e) fa [ ]
a) wimbo b) nahau c) methali d) stori e) hadithi
a) Hadithi! Njoo, uongo njoo, utamu kolea
b) Hadithi Njoo, ukweli njoo, utamu kolea
c) Hadithi Kwaheri, uongo njoo, utamu baadaye
d) Hadithi karibu, ukweli karibu , utamu ni sasa
e) Hadithi Njoo, uongo na ukweli simulia mpaka kuchwee
METHALI, NAHAU , MISEMO NA VITENDAWILI
a) ni kubwa b) halikuli likakwisha c) hukuchekea
d) usipende kukutana nalo e) usilitanie [ ]
a) hulia juani b) hulia kivulini c) ni mchoyo d) ni mvumilivu
e) hulia popote [ ]
a) kibaya chafuata b) kibaya chajitembeza c) kibaya ki nyuma yake
d) kwa haraka chanunuliwa e) wakati mwingine chakosa soko
a) ni mwongo b) ni mwizi c) ni mchoyo d) ni mlemavu
e) anachekesha
a) gari b) meza c) yai d) mwavuli e) chupa
31.Alikuwa popo katika uchaguzi mkuu wa darasa kuwa popo ina maana gani
a).kuwa mgonjwa b) kupenda kuning’inia c) Kuwa kigeugeu d) Kuwa mbishi e) mwongo
32.Tegua kitendawili kifuatacho”Nyumbani kwangu kuna jinni mnywa maji”_
a).Kibatari b) kikombe c) mtungi d) kinywa e) tochi
SOMA SHAIRI HILI KISHA JIBU MASWALI
Elimu pana ajabu, huwezi yote kujua,
Utaipata aibu, ukijifanya wajua,
Daima tafuta jibu, ya lile usolijua,
Elimu pana ajabu, huwezi yote kujua.
MASWALI
a) afya b) uvivu c) elimu d) nidhamu e) utu
a) nne b)) mbili c) ubeti mmoja d) nane e) tatu
a) jawabu b) ajabu c) ugumu d) mazuri e) hatari
:UTUNGAJI
Panga sentensi hizi kwa mtiririko mzuri kwa (A, B, C, D, E)
| 36 | 37 | 38 | 39 | 40 |
|
|
|
|
|
|
SEHEMU B : UFAHAMU
Soma habari ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata
Mimi ni simba , mnyama anayesifika sana, ninayo ngurumoya kutisha, nikiwa jike sina nywele ndefu , nikiwa dume nywele zangu ndefu. Mimi ni mfalme wa porini
Mimi ni mbwa, ninasifika kwa ukali, ninapenda kuishi na binadamu, Mimi ni mlinzi namwindaji mashuhuri. Ninamlinda binadamu na mali zake.
Mimi ni kondoo nasifika kwa upole wangu. Huishi na binadamu, Nywele zangu ni sufu.
Mimi ni ng’ombe chakula changu ni nyasi, ninapokula hucheua, huishi na binadamu, humpatia maziwa na mbolea.
Mimi ni twiga, mnyama aishiye porini, ni mrefu sana kuliko wanyama wote porini. Pia mimi ni alama ya nchi ya Tanzania.
MASWALI
DARASA LA 5 UFAHAMU WA KUSILIKIZA
Watoto walikuwa wakioga na kuogelea kwenye dimbwi karibu na nyumbani kwao. Walizama na kuibuka kwenye yale maji machafu. Miili yao ilijaa matope. Haikuwa rahisi kutambua sura zao. Bibi Huruma alipokuwa anapita pale akawaona wale watoto "Loo ! nyie watoto mtaleta balaa! Maji hayo yana wadudu wengi, Tokeni haraka"Wale watoto walitoka wakavaa nguo zao.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE KISWAHILI EXAM SERIES 97
PRIMARY EXAMINATION SERIES
COMPETENCE BASED ASSESSMENT
TERMINAL EXAM MAY 2024
SUBJECT : ENGLISH CLASS :5
NAME: ………………………………………………….. DATE: ……….........…
TIME 1:30 HRS
Answer all questions
Listen to the teacher attentively and answer the questions about the short read.
SECTION A:
a) matata b) mukono c) mkoko d) madowi [ ]
a) animals b) wild animals c) forests d) cooks[ ]
a) lion b) elephant c) zebra d) dog [ ]
a) Yes they did b) No they didn`t c) did they d) Yes no they [ ]
a) lazy b) clever c) weak d)enough [ ]
GRAMMAR AND TENSES
a) is ride b) is riding c) are ridding d) are ride [ ]
a) is plant b) plants c) planting d) are planting [ ]
a) are going b) is going c) going d) goes [ ]
a) beside b) at c) on d) in [ ]
a)walking b) walks c) is walk d) walk [ ]
a) many b) much c) a lot d) plenty [ ]
a) some b) any c) few d) a [ ]
a) living b) lives c) is live d) are live [ ]
a) is b) was c) and d) are [ ]
a)little b) many c) a lot d) any [ ]
a) much b) little c) many d) little [ ]
a) climbs b) climbing c) climbed d) is climb [ ]
a) cook b) cooks c) cooking d) cooker [ ]
a) at b) a long c) in d) of [ ]
a) on b) with c) un d) into [ ]
a) is teach b) are teaching c) is teaching d) teach [ ]
a) is b) are c) was d) were [ ]
a) shall b) will c) does d) into [ ]
a) strong b) strongest c) stronger d) a strong [ ]
a) happier b) in happy c) un happy d) dis happy [ ]
a) do not b) no c) is not d) are no [ ]
a) barks b) shouts c) digs d) dances [ ]
a) doesn`t b) do not c) will no d) shall [ ]
a) shall buy b) am buy c) shall buying d) buys [ ]
a) write b) writes c) writing d) is write [ ]
a) are b) is c) a d) an [ ]
a) bus – lorry b) buses – lorries c) buss – lorrys
d) busz – lorryz [ ]
a) has b) have c) with d) for [ ]
a) A b) IN c) AN d) ON [ ]
a) attend b) attending c) attended d) is attend [ ]
COMMPOSTION
Arrange the sentences in order to get a meaning
| 36. | 37. | 38. | 39. | 40. |
|
|
|
|
|
|
SECTION:B
Read the short passage below and answer questions about it.
On evening I was walking with my friend, Sia. We were coming from school. Suddenly we saw an ambulance going very fast. The ambulance stopped. We thought there was an accident.
There were a lot of people shouting and others crying. We saw a man lying down on the road. A person who was driving carelessly knocked him down and injured. His leg was broken.
Questions.
LISTENING SKILL
Once upon a time there was a forest called Mkoko many wild animals liked there. The ring of the forest was an old Lion. He had a strong voice. He was very wise and clever. All animals loved and respected him
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE ENGLISH EXAM SERIES 96
PRIMARY SERIES ASSESSMENT
NEW COMPETENCE BASED CURRICULUM
TERMINAL EXAMINATIONS 2024
SUBJECT: CIVIC & MORAL CLASS : 5
NAME: ………………………………………………….. DATE: ……….........…
SECTION A: MULTIPLE CHOICE
SECTION B: MATHCING ITEMS
| SECTION A | ANSW | SECTIONB |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
SECTION C: SHORT ANSWER
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE CIVICS EXAM SERIES 95
OFFICE OF THE PRESIDENT
REGIONAL ADMNISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
PRIMARY EXAMINATION SERIES
TERMINAL EXAMINATION-MAY 2023
SOCIAL STUDIES STANDARD FIVE
SECTION: A
Choose the letter of the most correct answer and write it in the space provided.
A. Rhino horns B. Gold C. slaves D. silk clothes
A. Asia Wind B. Monsoon Wind C. Indian Wind D. Tsunami [ ]
A.1488 B. 1698 C. 1498 D. 1588 [ ]
A. Vasco Da Gama B. Pedro Cobral C. Bartholomew Diaz D. king Henry [ ]
A. 1488 B. 1498 C. 1598 D. 1588 [ ]
A. First B. second C. third D. fourth [ ]
A. Americans B. Portuguese C. Vasco d agama D. Asian traders [ ]
A. triangular trade B. barter trade C. Tanzania societies D. linguistic [ ]
A. 12th January 1964 B. 13th January 1964 C. 15th October 1961 D. 16th December 1961 [ ]
A. Julius Nyerere B. Karume C. Kinjekitile Ngwale D. Mkombe [ ]
A. Portugues B. Arabs C. Britain D. Germans [ ]
A. William Mackinnon B. Carl Peters C. James Mac Donald D. Horace Byatt [ ]
A. Chancellor Otto Von Soden B. Dr. Louis Leakey C. Chancellor Otto Van Bismarck [ ]
A. forest, mineral and soil B. water, trees and fish C. Railway, roads and airport D. mountains and forest
A. Century B. Decade C. Millennium D. year [ ]
A. North B. South C. West D. North _ East [ ]
A. seasons of the year B. D ay and Night C. speed of the moon D. hot and could temperature
A. planets B. stars C. moon D. soil [ ]
A. Ngorongoro B. Mikumi C. Serengeti D. Manyara [ ]
A. Kigoma - Uvinza B. Katavi – Rukwa C. Shinyanga – Mwadui D. Mwanza – Ilemela [ ]
A. copper B. gold C. tanzanite D. nucleus [ ]
A. Overgrazing B. Reforestation C. Environmental Degradation D. mining [ ]
A. Rashid Mfaume Kawawa B. Mwl.J.K. Nyerere C. Sheikkh Abeid Amani Karume D. Job Ndugai
A. sangula B. mdundiko C. ijanja D. sindimba [ ]
A. traditional B. art C. craft D. norms [ ]
A. Agriculture B. livestock keeping C. reforestation D. mining [ ]
A. 9th December, 1961 B. 26th April, 1964 C. 12th January 1964 D. 9th December 1962 [ ]
A. picture B. key C. map D. compass direction [ ]
.A signing bogus or fake treaties B. the us of army or force C. intimidation D. poor infrastructure
A. Dodoma B. kagera C. Mtwara D. Kigoma [ ]
A. Jupiter B. Saturu C. Mercury D. Venus [ ]
A. rotation B. revolution C. orbit D. solar system [ ]
A. 19 century B. 20 century C. 18 century D. 21 century [ ]
A. TAZARA B. ZAHARA C. TAZAMA D. TAMAZA [ ]
A. planning for project B. production of various goods C. reducing garbage D. production of garbage
A. the mother will deal with domestic activities B. the father will be employed C. family members will play to gather D. family members will play their role [ ]
A. the development of African industries B. improvement of traditional economy C. preservation of African culture D. introduction of slave trade [ ]
A. Britain B. Germany C. Oman D. Portugal [ ]
A. family B. relationship C. tribe D. friend [ ]
A It disunites people of Tanzania B. It is our national identity
C.It is a foreign language D.It is spoken worldwide
E.It is simple language to learn
SECTION: B
Fill in the blanks with the most correct answer
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SOCIAL EXAM SERIES 72
OFFICE OF THE PRESIDENT
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
PRIMARY EXAMINATION SERIES
TERMINAL EXAMINATION MAY-2023
STANDARD FIVE
ENGLISH
INSTRUCTIONS
SECTION A: Choose the words that complete the sentences
(a)Mtama (b)Village (c)it is not given (d)Mr. Teacher (e)Mbinga
(a)Small (b)large (c)medium (d)not mentioned (e)no answer
(a)Their school (b)to be beaten (c)to be lazy (d)all are answers
(a)30 students (b)more than 30 (c)35 students (d)I do not know (e)all are answers
(a)they have grown (b)they have passed their examination
(c)the teacher choosen then (d)being favoured
(a)cut (b)cutting (c)chopping (d)cut (e)shop
(a)has read, (b)is reading (c)will read (d)reading (e)read
(a)going (b)goes (c)go (d)are going
(a)met (b)was met (c)was meeting (d)meeting (e)is met
(a)joint (b)will join (c)joining (d)is join (e)has joined
(a)joint (b)will join (c)joining (d)is join (e)answers
(a)clever (b)more clever (c)most clever (d)cleverest (e)too clever
(a)on (b)in (c)at (d)of (e)for
(a)some (b)an (c)many (d)two (e) much
(a)we (b)me (c)I (d)us (e)them
(a)although (b)because (c)but (d)even (e)inspire
(a)who (b)whose (c)whom (d)which (e)who ever
(a)Father (b)fathers (c)father’s (d)fathers (e)grand father
(a)some (b)any (c)a (d)the (e)very
(a)going (b)go (c)went (d)will go (e)has gone
(a)is going (b)gives (c)gave (d)has given (e)will give
(a)plays (b)played (c)will play (d)have played (e)did play
(a)will (b)is (c) has (d)will have (e)have
(a)ordered (b)ordering (c)are ordering (d)says (e)is saying
(a)like (b)likes (c)are a liking (d)disliking (e)dislikes
(a)has been (b)is being (c)had been (d)is been (e)have bee
(a)by (b)with (c)on (d)for (e)in
(a)The most (b)the more (c)more (d)most (e)less
(a)little (b)few (c)some (d)many (e)any
(a)in order (b)since (c)so (d)for (e)unless
(a)girl (b)girls (c)girls’ (d)girl’s (e)girls’s
(a)whose (b)which (c)whom (d)where (e)when
(a)niece (b)nephew (c)cousin (d)uncle (e)sister
(a)are you (b)you are (c)won’t you (d)will you (e)aren’t you
(a)inspite (b)although (c)through (d)despite (e)even though
SECTION B:
Arrange the following sentences so that they make a good composition by giving sentences A, B, C, D and E
SECTION C
Read the following passage carefully and then answer questions 41 – 45 by shading the correct letter in the answer sheet provided.
Tourism is a type of business. Both developed and underdeveloped countries use this business as a source of income. These countries have tourist attractions such as wild animals, high mountains, attractive beaches, rivers and lakes. Tourists spend money on food, accommodation, transport and many other things. In this way a country which is visited by many tourists can make a lot of money.
Tanzania is one of those countries which are visited by tourists every year. She gets a lot of money from attracting tourists. The tourists pay visits to National Parks such as Ngorongoro, Serengeti, Manyara and Mikumi. Some wild animals found in those parks are lions, elephants, tiger, antelopes, hippopotamus, buffaloes, zebras and baboons. The tourists can also take photos and buy books containing information about wild life.
Apart from visiting National Parks, tourists also climb Mount Kilimanjaro which is a snowcapped mountain. This is the highest mountain in Africa with a height of over five thousand meters above sea level. Mountain climbers are helped by guides and potters. Most tourists enjoy staying in Tanzania because of the tourist attractions which she has.
Questions
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE ENGLISH EXAM SERIES 71
OFFICE OF THE PRESIDENT
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
PRIMARY SCHOOL EXAMINATION SERIES
SCIENCE AND TECHNOLOGY STANDARD FIVE
TIME: 2 HOURS
INSTRUCTIONS
41 – 45 on the back page of the OMR form
| (A) | (B) | (C) | (D) | (E) |
SECTION A.
For questions 1-40 choose the correct answer from the alternative given and write the answer of correct option on the space provided.
SECTION B.
ANSWER QUESTION 41-45 BRIEFLY.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SCIENCE EXAM SERIES 70
OFFICE OF THE PRESIDENT
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
PRIMARY SCHOOL EXAMINATION SERIES
MATHEMATICS STANDARD FIVE
TIME: 2 HOURS
INSTRUCTIONS
41 – 45 on the back page of the OMR form
| (A) | (B) | (C) | (D) | (E) |
|
|
| 0.5 | 0.14 | |
| | | | | |
If she correctly identified the prime numbers, which among the following numbers did she identify?
59, 55, 51, _____, 43, 39, 35
SECTION B
For each of question 41 – 45, use a blue or black pen to work out in the spaces provided on the OMR form
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE MATHEMATICS EXAM SERIES 69
OFFICE OF THE PRESIDENT
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
PRIMARY EXAMINATION SERIES
CIVICS AND MORAL FOR STANDARD FIVE
TERMINAL EXAMINATIONS- MAY-2023
INSTRUCTIONS: This paper consist 45 questions.
SECTION B
FILL IN THE BLANKS WITH CORRECT WORD.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE CIVICS EXAM SERIES 68
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TANO
MAARIFA YA JAMII
MUDA:1:30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEZO
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi
Chagua jibu sahihi kutoka namba 1-40 kisha andika kwenye nafasi uliopewa
Andika Jibu sahihi la wali la 41-45
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE MAARIFA EXAM SERIES 59
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TANO
SAYANSI NA TECHNOLOJIA
MUDA:1:30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEZO
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi
Chagua Jibu sahihi kuanzia swali la 1-40 kisha andika jibu katika nafasi uliyopewa.
Tumia picha ifuatayo kujibu maswali 41-45

Picha hapo juu inaonyesha sehemu za kompyuta. Andika majina ya sehemu zenye herufi;
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SAYANSI EXAM SERIES 58
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA DARASA LA TANO
URAIA NA MAADILI
MUDA:1:30
JINA_____________________________________SHULE_________________________
MAELEZO
1. Jaza taarifa zako muhimu katika karatasi ya kujibia uliyopewa
2. Jibu maswali yote kulingana na maelekezo ya kila sehemu
3. Zingatia unadhifu wa kazi yako
4. Katika swali la 1-40 andika herufi ya jibu sahihi
5. Kwa swali la 41-45 andika majibu katika nafasi iliyoachwa wazi
Chagua jibu sahihi katika swali la 1-40 kisha andika jibu katika nafasi uliopewa
Picha hii hapa chini inaonyesha watu wakifanya tukio la kidemokrasia. Itumie kujibu swali la 41-45

LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE URAIA EXAM SERIES 57
PRESIDENT'S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
TERMINAL EXAMINATION MAY
STANDARD FIVE
ENGLISH
TIME: 1:30 HRS
NAME_____________________________________SCHOOL_________________________
INSTRUCTIONS
SECTION A
For question 1-5 listen careful to the passage being read and answer the questions that follow.
SECTION B. TENSES AND GRAMMAR
Choose the correct answer and write its letter
SECTION C: VOCABULARY
Choose the correct answer.
SECTION D. COMPOSITION
Rearrange the following sentences in the correct order by using letter A, B, C, D and E
SECTION E. COMPREHENSION
Read the following passage carefully and answer the questions from 41-45
Most people in the country grow food crops. They dig, plant and do many other kinds of work on the shamba. They grow crops such as beans, maize, cabbages, potatoes and other crops. These people live and work in one place all there lives.
Another category of people in this country are the nomads. This group of people do not plant or grows food crops. They move from place to place with their cows, goats, sheep, donkey and camels. They live in dry areas and they build their houses there. Their houses are called Manyatta. When the animals have eaten all the grass they move again.
A manyatta may have one family or many families. In time of danger, many families live together. Manyattas are surrounded by a wall made of branches from thorn trees. Inside a manyatta, there are houses for families and safe places for the animals. The nomads also keep dogs. The work of dogs is to look after the manyatta at night. If thieves come the dogs chase them away. When wild animals like lions come the dogs bark to alert the people.
PASSAGE TO BE READ
The captain blew the whistle. “Ladies and gentlemen, I would like to request those of you who are travelling to Nairobi to board the train.
The train will leave in ten minutes, ”he said.
We all boarded and took our seats. Our bags were safely placed in the luggage racks above the seats and the journey began.
For the first time I was afraid of travelling in long machine. The engine was pulling along twenty-two carriages. As I sat on the train, I wondered who else was travelling with us, and how many people were in the train.
The train’s engine was very noisy. After a short while the train picked up speed and it looked as if we were overtaking buses, trailers and even small cars. It moved fast because of its strong engine.
As the train moved away from Kisumu, I could see the Kano plains. I also saw the rice plantations in Ahero. Before long the train reached Nakuru, it stopped for about thirty minutes and then continued with the journey.
We did not fall asleep throughout the journey because we wanted to see the beautiful places we were passing through. We did not even realize that we had reached Nairobi until one the boys shouted, “we are in the big city!”
At the railway station, the conductor bade us goodbye as we alighted from the train. The journey by train was very enjoyable.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE ENGLISH EXAM SERIES 56
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
URAIA NA MAADILI MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
DARASA LA TANO
MUDA: 1.30
MAELEKEZO
SEHEMU A. Chagua jibu sahihi
(i) Ni ishara gani inayoonesha kwamba taifa limepatwa na msiba mkubwa?
(ii) Umuhimu wa bendera ya rais ni:
(iii)Rangi ya bluu iliyokatika bendera ya Tanzania huwakilisha
(iv) Kiongozi mkuu wa familia ni?
(v) Maneno UHURU na UMOJA hupatikana katika?
(vi) Wimbo wa taifa una beti ngapi?
(vii) Mnyama wa taifa ni….
(viii)Bendera ya Taifa ina rangi ngapi?
(ix) Tanzania bara ilipata Uhuru wake tarehe 9 Desemba mwaka………………………
(x) Wimbo wa taifa letu ni dua ya kuiombea…………………
(xi) Tanganyika ilipata uhuru kutoka kwa………………….
(xii) Wimbo wa taifa una beti………… …………
(xiii) Ipi siyo sifa ya serikali ya kidemokrasia?
(xiv) Zifuatazo ni haki za binadamu isipokuwa;
(xv) Kuheshimu utamaduni wa watu wengine huleta………………………….
(xvi) Faida ya kuhusiana vyema na wenzako shuleni ni pamoja na
(xvii) Matendo ya uwajibikaji katikafamilia ni pamoja na;
(xviii) Shughuli za usafi nyumbani zinapaswakufanywa na……………….
(xix) Moja wa faida kuu ya kujiunga na Klabu ya masomo shuleni ni……………..
(xx) Unaposhuhudia vitendo vya kikatili uwapo shuleni unatoa taarifa:
SEHEMU B.
Oanisha fungu A na fungu B ili kupata maana.
| FUNGU A | FUNGU B |
|
|
SEHEMU C.
Andika Ndiyo kama sentensi ni sahihi na hapana kama sentensi sii sahihi
SEHEMU D.
Jaza nafasi zilizo wazi
SEHEMU E.
Jibu maswali yafuatayo kwa kifupi.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE STADI EXAM SERIES 15
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
SAYANSI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
DARASA LA TANO
MUDA: 1.30
MAELEKEZO
1. SEHEMU A. CHAGUA JIBU SAHII
(i) Kipi kati ya hizi sio mfano wa kiumbe hai?
(ii) Yafuatayo ni mazingira ya viumbe hai, isipokua,
(iii) Ni ugonjwa upi ambao hausababishwi na maji machafu?
(iv) Maporomoko ya mtera yanapatikana mkoa gani?
(v) Kipi kati ya hizi ni kinza nuru?
(vi) Mahitaji muhimu ya mbegu ni…………………………..
(vii) Mwili safi ni mwili ………………………………………
(viii)Mlo kamili ni ule wenye…………..vinavyotakiwa mwilini..
(ix) Tunatunza mazingira ili………………………..
(x) Udadisi ndiyo mwanzo wa………………
(xi) Sehemu kubwa ya miili yetu ni…………………..
(xii) Maji yalio katika hali ya yabisi huitwa…………………
(xiii) Sehemu ipi katika nyenzo daraja la kwanza huwa katikati?
(xiv) Mojawapo wa vifaa vifuatavyo ni mfano wa kabari;
(xv) Kani za mvutano kati ya molekyulizamaada huwa ndogo sana katika;
(xvi) Kipi kati yahivi vifuatavyo kina umbo maalum?
(xvii) Sumaku imeundwa kwa………………………………………
(xviii) Sumaku zinawekwa katika milango ya majokovu na baadhi ya makabati ili …… ………….
(xix) Ukidondosha wembe ndani ya pipa lenye maji, njia bora ya kuchukua wembe ni ……………
(xx) Mtiririko wa umeme katika sakiti huitwa?
SEHEMU B.
2. Andika kweli kwa sentensi ambayo ni sahihi au sii kweli kwa sentensi ambayo sii sahihi
SEHEMU C.
3. Jaza nafasi zilizoachwa wazi kwa neno sahihi.
SECTION D.
4. Oanisha fungu A na B ili kupata jibu sahihi kwa kuandika herufi yake pembeni ya namba ya swali.
| FUNGU A | FUNGU B |
|
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SAYANSI EXAM SERIES 14
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MAARIFA YA JAMII- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
DARASA LA TANO
MUDA: 1.30
MAELEKEZO
SEHEMUA.
Chagua herufi ya jibu sahihi katika sentensi zifuatazo:
(i) ……………… ………………… ni jumla ya mambo yote yanayomzunguka binadamu.
(ii) Mojawapo ya shughuli zinazofanywa na binadamu zinazoweza kuharibu mazingira ni ……………………………..
(iii) Kufuga mifugo mingi katika eneo dogo husababisha………… ……………… .
(iv) Uvuvi haramu ni hatari kwa vile huharibu ………………………………………….
(v) Ni muhimu ……………… …………………… takataka za viwandani ili kutunza mazingira.
(vi) Muhammad Ahmad alikua ni kiongozi wan chi ya;…………………………..
(vii) Sababu ya wakoloni kuvamia ukanda wa pwani katika Africa ulikua ni
(viii) Miongoni mwa mashujaa waafrica waliopinga uvamizi ni;
(ix) Mkutano wa kuigawa Africa ulifanyika nchi gani?
(x) Alama za taifa ni pamoja na;
(xi) Kutoheshimu alama za taifa ni pamoja na;
(xii) ……………..ni jumla ya mambo yote yanayowaunganisha watu kama taifa;
(xiii) Matendo ya kutodhamini fedha ni pamoja na;
(xiv)Sarafu na noti ni;
(xv)Baba, mama, na watoto pamoja huunda;
(xvi) Tanzania ilitawaliwa na wajerumani tangu mwaka…………..
(xvii) Ni njia ipi unaweza kutumia hili kupata taarifa za mashujaa katika jamii?
(xviii) Kinjekitile Ngwale aliongoza mapambano ya kupinga uvamizi wa wajerumani katika mikoa ipi?
(xix) Moja ya sababu zilizofanya wajerumani kuvamia Tanganyika ilikua?
(xx)Mtemi Isike aliongoza kabila gani kuwapinga wajerumani?
SEHEMU B.
2. Andika Ndiyo kwa sentensi na Hapana kwa sentensi zilizo sahihi.
SEHEMU C.
3. Oanisha kifungu A kwa kuchagua jibu sahihi kutoka kwenye kifungu B
| Kifungu A | Kifungu B |
|
|
SEHEMU D.
Jaza nafasi zilizoachwa wazi katika kifungu cha habari kwa kutumia maneno yaliyo katika jedwali.
| Mahindi, maharage na ndizi; ukataji wa miti, ukame;shughuli za uzalishaji; kahawa na katani’ardhi kukosa rutuba |
Shamba ni mahali ambapowatu hufanya………………. Wakulima huzalisha mazao kama…………………… Kunapokuwa na uhaba wa mvua………………hutokea. Kilimo holela huweza kusababisha………………Katikamazingira yetu………………usababisha upunguvu wa mvua na ongezeko la joto.
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE MAARIFA EXAM SERIES 13
THE PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, LOCAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
SCIENCE- TERMINAL EXAMINATION-MAY
STD FIVE
TIME: 1.30 HRS 2020
NAME:____________________________________CLASS:___________
INSTRUCTIONS.
SECTION A.
FOR QUESTIONS 1-20, CHOOSE THE CORRECT ANSWER FROM THE ALTERNATIVES GIVEN.
1. Which animal flies with wings having feathers
2. ………….lays eggs in water, though he lives in water
3. ………..lives in water but lays her eggs on dryland
4. …………….produces seeds but does not have flowers
5. ………….is a mammal but does not have sweat glands.
6. Which of these activities shows interdependence among organisms?
7. The study of relationship between organisms and the environment is called
8. When plants make their own food, they help in;
9. Keeping large number of animals in a small piece of land can cause;
10. Ecologically, burning of forests……………
11. Which part of cockroache’s body carries fertilized eggs?
12. How many stages does a cockroach undergo to complete metarmophosis?
13. Which stage in growth of butterfly is the most destructive to the farmer?
14. How many legs does a grasshopper have?
15. Which part of reproductive system does implantation take place?
16. In man, sperms are produced in the,
17. Which is not a characteristic of wind pollinated flowers
18. The part of a flower that receives pollen grains is called
19. Which of these are products of photosynthesis?
20. The role of chlorophily in plants is to;
SECTION B. WRITE TRUE OF FALSE FOR EACH OF THE FOLLOWING STATEMENTS.
21. Animals like birds are only organisms which are cold blooded…………
22. If the nostril of a frog is closed, it dies…………………
23. Human beings and rat are in the same group……………
24. Crocodile is a mammal……………………………
25. Bat is a bird because he can fly………………… .
26. All birds have feathers……………… .
27. There are species of frogs which gives birth to live young ones………………….
28. All mammals lives on dry land……………………
29. Amphibians and reptiles have warm blood………… .
30. Worms and mosquitoes do not have a backbone……………
SECTION C.
MATCH THE ITEMS IN LIST A WITH THOSE IN LIST B TO GET MEANINGFUL SENTENCE.
| LIST A | LIST B |
| 31. Cockroach 32. Fish 33. Dog 34. bird 35. pineapple 36. poikilothermia 37. snake 38. amphibian 39. monocotyledon 40. dicotyledon. |
|
SECTION D.
ANSWER THE FOLLOWING QUESTIONS BRIEFLY.
The diagram below shows fertilization in flowering plant. Use it to answer questions that follows.

41. Name parts A, B,C,D and E.
42. What is formed when the above process is complete.
43. What is pollination?
44. Name two types of pollination
45. Name two organisms that undergoes complete metamorphosis
46. The process by which a fruit is formed without fertilization is called……… …………
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SCIENCE EXAM SERIES 12
THE PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, LOCAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
SOCIAL STUDIES- TERMINAL EXAMINATION-MAY
STD FIVE
TIME: 1.30 HRS 2020
NAME:_____________________________CLASS:___________
INSTRUCTIONS.
1. ………………. is the situation where by harmful substances are introduced into earth’s atmosphere:
2. The Nyamwezi chief who fought against the Germany from 1891 to 1893 was:
3. A son of your sister or your brother is called:
4. The smallest planet in the solar system is:
5. Who was the leader of IBEACO in East Africa?
6. The first German governor in Tanganyika was known as”
7. The German ruled Tanganyika until”
8. The nick name of Carl Peters was:
9. The main slave market in East Africa was in:
10. One of the positive effect of slave trade along the Coast of East Africa was”
11. An hygrometer is an instrument in the meteorological centre which is used to measure:
12. The increase of temperature on the earth due to much carbondioxide is called:
13. Which among the regions receives the small/least amount of rainfall?
14. Where did iron smelting start in East Africa?
15. Dodoma train accident at Igandu occurred on:
16. Who was the last British governor in Tanganyika?
17. When was the Organization of African Unity (OAU) formed:
18. Chama cha mapinduzi is a combination of two political parties which are:
19. John Okello is popularly known in the history of Zanzibar:
20. A famous archeologist who discovered the skull of zinjanthropus at Olduvai Gorge is:
21.___________ is the day to day condition of the atmosphere.
22. Ocean tides is the result of
23. Day and night is caused by____________
24. An economic activity that involves extraction of minerals from the ground is called:
25. One of the following is a food crop:
26. Which of the following societies are still living primitive communal way of life?
27. Which of the following is an illegal fishing method:
28.___ is the act of daring and ability to find market and innovate new business ideas in order to produce or provide services which will make you to get income.
29. The following are the categories of vegetation cover resources EXCEPT;
30. J. K. Nyerere resigned from power in:
31. What time is taken for sun rays to reach the earth?
32. The king of the Lozi kingdom in Zimbabwe who collaborated with the British against the Ndebele was called:
33. The Portuguese explorer Vasco Da Gama reached the coast of East Africa in:
34. When did Mwalimu J.K.Nyerere become the first president of Tanganyika?
35. The first prime minister of Tanganyika was:
36. The first general election under multipartism in Tanzania was conducted in:
37. The largest planet in the solar system is:
38. An instrument which is used to measure wind direction is called:
39. The second imperialist country to colonize Tanganyika was:
40. Who was the first European to sea Mount Kilimanjaro?
SECTION B: SHORT ANSWERS.
41. Which country in East Africa was the first to get independence?
42. The process of buying and selling human being like other commodities is known as……… ………………
43. Name the physical feature found in a map.
44. Draw a sign used to show a bridge in a map
45. The source of river Nile is the lake known as…… ………… ……
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE SOCIAL EXAM SERIES 11
OFISI YA RAIS WIZARA YA ELIMU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
KISWAHILI- MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
DARASA LA SITA
MUDA: 1.30
MAELEKEZO
SEHEMU A. SARUFI
Chagua jibu sahii katika maswali yafuatayo;
1. Wanafunzi waliopiga kelele darasani walipewa………………………..
2. Neon “waliandikiwa” lipo katika wakati upi kati ya nyakati zifuatazo.
3. Dada wa baba yako utamwitaje?
4. Wingi wa maneno “Mchanga mwingi” ni upi kati ya maneno yafuatayo?
5. Wageni wanaotembelea mbuga za wanyama huitwaje?
6. Mama yangu…………………..chakula kizuri jana jioni.
7. Siku ya pili baada ya leo huitwa?
8. Wingi wa neon ufundi ni upi kati ya maneno yafuatayo?
9. Ni neno lipi kati ya maneno yafuatayo yenye maana inayojumuisha maneno upinde, bunduki, mkuki na mshale,
10. Mwakani…………….darasa la tano. Ni neno lipi linakamilisha sentensi hii kwa usahii?
11. …………likilia kuna jambo
12. Mtu anayeendesha ndege huitwa…………………..
13. Ni marufuku mifugo yote………………….karibu na hifadhi za taifa.
14. Watu wengi walilima…………………yam to rufiji
15. Ziwa Tanganyika liko upande wa ………………..mwa nchi ya Tanzania
16. Ipi ni sentensi sahihi kati ya hizi iliyoandikwa katika wakati uliopita nafasi ya kwanza umoja?
17. Katika sentensi hizi, ipi ina vitu vinavyohesabika?
18. Katika shairi, vina ni………………………
19. Kamilisha methali ifuatayo.”Mchagua nazi huinukia..”
20. “Kiti cha mjomba wangu ni kizuri” nini wingi wa sentensi hii?………….
SEHEMU B.
Andika neno moja linalowakilisha kundi la maneno yafuatayo ………… …………
21. Darasa, nyumba, ofisi, vyoo……………
22. Mende, siafu, nyuki,kipepeo……………
23. Jumatatu, jumanne,alhamisi………………
24. Sato,perege, kambale,kamba………………
25. Shati, suruali, kaptula, sketi…………………
Kamilisha methali na vitendawili vifuatavyo.
26. Mwana kidonda mjukuu……………
27. Mchagua jembe………………………
28. Haba na haba………………
29. Nina chemchem isiyokauka………………
30. Tajiri wa rangi……………………
SEHEMU C.
Kamilisha nafasi zilizoachwa wazi kwa kuchagua jibu lililo sahihi kutoka katika kisanduku kifuatacho.
| Kusengenya,mtu,uyoga,katani,Kuishi,miaka mingi, kumsuta mtu, barabara,kilema, mwizi, kuwa tajiri sana |
31. Nahau, ‘’Ana mkono mrefu maana yake ni ipi?...................
32. Kitendawili kisemacho “kamba yangu ni ndefu lakini haifungi kuni maana yake ni ipi…….
33. Nahau kula chumvi nyingi maana yake ni……….
34. Kitendawili kisemacho “nyumba yangu ina nguzo moja” jibu lake ni lipi?……………
35. Nahau “kumkalia kitako” maana yake ni ipi?...........................
SEHEMU D.
Tumia maneno uliyopewa kwa kula sentensi kujaza nafasi zilizoachwa wazi.
36. Watoto ______ chakula kitamu (wanapenda, watalia, wanaimba, walitenda)
37. Otaigo alipofika sokoni_________mjomba anauza viatu (atamkuta, hukuta, alimkuta, angemkuta)
38. Baba yake Eliza_____________ akida (ataita, anaitwa, anaitika, ameitwa)
39. Kesho jioni___________ mtoni (nitakwenda, nilienda, nimekwenda, nimeenda)
40. Leo Mwalimu __________elimu kwa vitendo. (himiza, alihimiza, huhimiza, anahimiza)
41. Mwasije atakapokuwa mkubwa_________ ghorofa (anajenga, hujenga, atajenga, akijenga)
42. Kijana yule angalighani shairi__________mtukutu (asingalikuwa,asingelikuwa, asingekuwa,angekuwa)
43. Mama____________sasa hivi kwenda dukani (aliondoka, alikwishaondoka, ameondoka, keshaondoka)
44. Kila siku ________ shuleni kwa miguu. (tulikwenda, tumekwenda, tunakwenda, tutakwenda.)
45. Jana ________kitabu kinachoelezea utii wa watoto kwa wazazi na walimu. (nimesoma, nilisoma, nitasoma anasoma.)
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE KISWAHILI EXAM SERIES 10
THE PRESIDENT’S OFFICE MINISTRY OF EDUCATION, LOCAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
ENGLISH- TERMINAL EXAMINATION-MAY
STD FIVE
TIME: 1.30 HRS 2020
NAME:__________________________________CLASS:___________
INSTRUCTIONS.
SECTION A. GRAMMAR.
Choose the correct answer from the alternatives given.
(i) You wont succeed ………………….you work hard.
(ii) We are studying hard……………………..we can pass our exams.
(iii) The land in the desert is…………….dry………….cultivate any crops
(iv) All the visitors were introduced starting from the first to the …………..
(v) I have been looking for a job………last year
(vi) Musa is going to the park…………..her friends
(vii) Neema looked………………….her father’s cattle when he was young.
(viii) Allan and ………………..decided to visit mikumi national park last week.
(ix) Rose is a dentist, she works in the……………………
(x) Normaly, prevention is……………than cure
(xi) He usually …………………his friends on Friday
(xii) This chair is made………………wood
(xiii) He………………..the money when the thief broke into this house
(xiv) Juma …………………..for an hour now
(xv) we ……………..them tomorrow morning
(xvi) John was reading hwilwbhis mother ………TV
(xvii) They…..visiting us next week
(xviii) She has just………………..her homework now
(xix) The farmers…………..in the farm at the moment.
(xx) Mwajuma looks …………………her old grandmother.
SECTION B. VOCABULARY.
21. A person who treats our eyes is called………………….
22. A place where money is made is called…………………….
23. The opposite of the word always is…………………….
24. The plural of the word furniture is………………………………
25. We write daily events on a……………………………
26. A waiter is a person who works in a………………
27. The movement of a large number of people, birds, animals from one place to another is called……………….
28. Mr. paul is a judge. He works in a …………………………
29. A person who makes pots is called a………………………………..
30. A dozen means…………
SECTION C.
Rearrange the following sentences into correct order by giving them letter A-E to make a meaningful composition.
31. They also bought some paint for this new house
32. After reaching home Mr. Makungu sprayed his plants with insecticide.
33. One day Mr. Makungu and his wife shopping.
34. After buying all the items, they left for home.
35. They bought some insecticide for their crops.
SECTION D.
Match the correct word from list A with word in list B.
| LIST A | LIST B |
|
|
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD FIVE ENGLISH EXAM SERIES 9