OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TATU
KISWAHILI
MUDA:1: 30
JINA_____________________________________SHULE__________________
SEHEMU A.
1. Sikiliza kwa makini kisha andika Sentensi Kwa Usahihi
- ......................................................................................................
- ...........................................................................................................
- .........................................................................................................
- .........................................................................................................
- .........................................................................................................
SEHEMU B. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
2. Chagua jibu sahihi na uandike jibu lake kwenye kisanduku
Kamilisha sentensi hizi kwa kutumia neno sahihi
- Sahani, kikombe, bakulim na kijiko i............................
- Samani
- Mimea
- Jikoni
- Vyombo
- Kanga, kasuku, kunguru na njiwa...................
- Wanyama
- Ndege
- Vifaa
- Viumbe
- Shangazi ni................
- Kaka yake mama
- Dada yake baba
- Mdogo wake dada
- Mdogo wake kaka
- Wingi wa neno sufuria ni
- Masufuria
- Sufuria
- Mabakuli
- Sufurias
- Nini umoja wa neno macho?
- Majicho
- Macho
- Jicho
- Jino
SEHEMU C. METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI
3. Tumia maneno yaliyokwenye kisanduku kujibu maswali.
Tumia maneno yaliyo kwenye kisanduku kujibu maswali haya.
- Asiyesikia la mkuu.............................
- Jibu la kitendawili hiki ni, anajua kuchora ingawa hajui anachokichora...........
- Ahadi ni.............................
- Kamilisha kitendawili, popoo mbili zinavuka mto.....................................
- ........................................hujaza kibaba
SEHEMU D. UTUNGAJI.
- Sebo anaishi mkoa wa morogoro
- Wanafunzi walitembelea mbuga za wanyama za mikumi Serengeti na ngorongoro
- lo mtoto amenguka
- Shambani kwenu kuna mazao gani
- bibi alisema karibu mjukuu wangu
SEHEMU E. UFAHAMU
5. Soma habari ifuatayo kisha jibu maswali kwa usahihi.
Amani anaishi na bibi yake katika kijiji cha Kilole Anamsaidia bibi yake shughuli za nyumbani. Anamsaidia kusafisha nyumba kupika, kuosha vyombo na kufua.
Juzi Amani alimuuliza bibi yake, “bibi unajua kusoma?” Bibi akajibu , Ninajua kusoma na kuandika. Amani akasema, “sawa bibi, kesho nitaleta kitabu changuili tusome pamoja”
- Amani anaishi na nani?
- Kijiicho wanachoishi amani kinaitwaje?
- Taja shughuli ambazo Amani anamsaidia bibi yake
- Je bibi yake Amani anajua kusoma?
- Taja vitu viwili bibi yake Amani anajua
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 22
PRESIDENT'S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
ANNUAL EXAMINATIONS, NOVEMBER 2021
STANDARD THREE
ENGLISH
TIME: 1:30 HRS
NAME__________________________SCHOOL_________________________
SECTION A. DICTITATION
1. Listen careful and write the following sentences
- .....................................................................................
- ........................................................................................
- ..........................................................................................
- ..........................................................................................
- ..............................................................................................
SECTION B. VOCABULARY
2. What is the color of the following?
- The leaves of a tree
- A carrot........................
- The color of blood........................
- Ripe tomatoes.................................
- The ocean..........................................
SECTION C. GRAMMAR
3. Fill in the blanks using the correct word in the box
- I like eating .............................every morning
- The teacher asked John to open the........................
- My mother is sick, she is in.........................................
- Uncle Manase broke the ......................when he was sitting.
- .........................Is the capital city of Tanzania
- John went to the ......................to buy sweets
- I like drinking......................................
- She goes to the ................................on Saturdays
- He likes to go ...........................on Fridays
- Our .......................................has seven classes
SECTION D. COMPOSITION
4.Arrange the following sentences in a good order to make meaningful composition
- The parents are taking him to the hospital
- He is crying because of stomach pain
- He is eating a mango without washing it
- He is admitted at the hospital
- Hamisi is picking a mango
SECTION E. COMPREHENSION
Read the story and answer the questions
Sharing food
Nafula and Wafula are good friends. They play in the bush near their home. They have carried their food. They put the food on a piece of wood. They play hide and seek. Then they sit to eat. Wafula has fish and Nafula has chips. Wafula does not like his fish.
He wants to throw it away. Nafula says, “Be nice do not throw food away”. Wafula puts the fish and chips on a plate. They sit and share food.
- Who are good friends?_________________
- Nafula and sister
- Nafula and wafula
- Wafula and brother
- Where were they playing from?____________
- Home
- Bush
- field
- Which game did they play?________________
- Football
- Hide and seek
- netball
- “Do not throw food away” _____________ said.
- Nafula
- Wafula
- The mother
- Which food did they share?______________
- Chips
- Fish
- Chips and fish
- What is the title of the story? _________________
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE ENGLISH EXAM SERIES 21
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA NNE
SAYANSI
MUDA:1: 30
JINA_____________________________________SHULE__________________
Chagua Jibu Sahihi
- Sifa mojawapo ya kiumbe hai ni...............................
- Kujificha
- Kukua
- Kucheza
- Kati ya wadudu wafuatao ni yupi ana sumu kali?
- Kipepeo
- Mende
- Nge
- Sifa mojawapo ya mwanga ni.......
- Kuzimika
- Kumulika
- Kusafiri katika mstari mnyoofu
- Kuna aina ......................za maada
- Mbili
- Tatu
- Nne
- Kipi ni chakula cha wanga kati ya hivi?
- Ugali
- Mtindi
- Mayai
SEHEMU B.
Linganisha kifungu A na Kifungu B ili kupata maana
Kifungu A | Kifungu B |
- HUDUMA YA KWANZA
- Baadhi ya wadudu wenye sumu
- Vifaa vya huduma ya kwanza kwa aliyeumwa na mdudu mwenye sumu
- Baada ya kutoa huduma ya kwanza
- Huduma ya kwanza hutolewa ili
| - Nge na kipepeo
- Mpeleke aliyejeruhiwa hospitalini au kwenye zahanati
- Kupunguza maumivu na kuokoa maisha
- Nyuki na tandu
- Mtu yeyote
- Wembe, pamba, spiriti na glovu
- Maji ya kitunguu saumu na jivu
- Ni msaada unaotolewa kwa majeruhi kabla ya kwenda hospitalini
- Mpeleke aliyejeruhiwa nyumbani
|
SEHEMU C.
Chagua neno sahihi ili kujaza nafasi wazi
Jotoridi, ukinzani, yabisi, meng’enya, sumu,spiriti
- Kemikali yenye uwezo wa kudhuru au kuuwa
- Fanya kitu kiwe laini
- Mfuko ulio katika mwili wa kiumbe ambao husaga chakula
- Kiwango cha joto au baridi katika mwili
- Uzuiaji wa mtiririko au mwendo wa kitu
- Hali yenye kukakamaa na kuwa ngumu kwa ukavu
SEHEMU D.
Jaza Nafasi zilizoachwa wazi
- Utumbo wa binadamu umegawanyika katika sehemu kuu......................
- Viumbe hai hatari ni kama............................... na....................................
- Vitu hatari ni kama........................... na .........................................
- Kuna aina kuu...........................za simu
- Chora na onesha sehemu zinazounda mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
SEHEMU E.
Chunguza picha ifuatayo kisha jibu maswali

Taja sehemu zenye Herufi A- L
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE SAYANSI EXAM SERIES 20
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TATU
MAARIFA YA JAMII
MUDA:1: 30
JINA_____________________________________SHULE__________________
Chagua Jibu Sahihi
- Waziri Mkuu wa serikali ya Awamu ya tatu alikuwa………….
- Fredrick Sumaye
- Jakaya Kikwete
- Mizengo Kayanza Pinda
- Baba wa taifa la Tanzania anaitwa………….
- Julius Kambarage Nyerere
- John Magufuli
- Edward Sokoine
- Ni vyema kuwaheshimu viongozi wetu wakuu kwa sababu………
- Wametuletea amani na umoja
- Wametuhesabu idadi yetu
- Wametukumbusha kazi za kufanya
- Tanganyika ilipata uhuru wake mwaka…………
- 1964
- 2017
- 1961
- Familia nikikundi cha watu walio na…………..
- Chuki
- Uhusiano
- Majigambo
- Kuna aina………….za familia.
- Tatu
- Nne
- Sita
- Familia yenye watu wengi huitwa………….
- Familia ya awali
- Familia pana
- Familia ya mume na mke
- ……………..ndiye kiongozi mkuu katika familia.
- Baba
- Kaka
- Mjomba
- Familia inapaswa kuishi kwa upendo na …………….
- Kupigana
- Kuheshimiana
- Kuombaomba
- Mazingira ni………….
- Magari yaliyo shuleni
- Vitu vinavyomzunguka mwanadamu
- Wanyama
- Vitu vinavyopatikana katika mazingira vimegawanyika katika makundi mawili ambayo ni……..
- Barabara na nyumba
- Vitu vilivyo hai na visivyo hai
- Vinavyoruka na visivyoruka
Oanisha sentensi za safu A na safu B ili kuleta maana.
Na | safu A | Na. | safu B |
-
| Bao huchezwa na…….. | -
| Hujenga ukakamavu |
-
| Kurusha mkuki, kulenga shabaha…………. | -
| Hudumisha utamaduni |
-
| Michezo…………….. | -
| Jamii ya pwani |
-
| Michezo ya asili…………. | -
| Michezo ya kiutamaduni |
| | -
| Kulenga shabaha |
Jaza maswali yafuatayo kwa ufupi
- Taja sayari tatu unazoziona katika picha
- Dunia ni sayari ya ngapi katika mfumo wa jua?
- Kausi ni sayari ya ngapi kwenye mfumo wa jua?
- Taja faida tatu za jua.
- Vitu gani vingine vinapatikana kwenye mfumo wa jua?
Chunguza picha ifuatayo kisha Jibu maswali

- Taja shughuli ya uzalishaji mali inayoonekana hapo juu
- Taja mikoa miwili Tanzania ambayo shughuli hii hufanyika
- Taja faida mbili ya mifugo wanaonekana hapo
- Taja matatizo yanayowakumba wakulima wa mifugo hawa
- Unafikiri ni tatizo gani litajitokeza kama wanyama wengi kupita kiasi watafugwa?
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE MAARIFA EXAM SERIES 19
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TATU
HISABATI
MUDA:1: 30
JINA_____________________________________SHULE__________________
question | Working space | Answer |
- 8490 +1907 =
- 9777+1111=
- 5165
+4748 - 4320
+4370 - 7230-3838=
- 8125-2359=
- Andika 9042 kwa maneno
- Andika elfu nne, mia mbili na sita kwa maneno.
- Nini dhamani ya namba 2 katika 3219?
- Andika 8301 kwa kirefu
- Andika kwa kifupi 9000+200+00+3=
- Andika 3/4 kwa maneno
- Chura duara na uoneshe 1/4 yake
- Nusu ya nusu ni ngapi?
- Panga 23, 86, 10, 0, 100 kuanzia ndogo kwenda kubwa.
- Panga 89, 136, 54, 100, 29 kuanzia kubwa
- Andika namba inayokosekana
550, 660……..880, 990 - 4, 8, 12, …….20……..
- 29 x 5=
- 32 x 16=
- Ali ana sh425 na kaka yake ana sh200. Wote wana shilingi ngapi?
- Mwezi mmoja una siku thelasini, kuna siku ngapi katika miezi minane?
- Mbuzi mmoja ana miguu minne, je mbuzi kumi na wawili watakua na miguu mingapi?
- Mkulima ana mbuzi 965. Ikiwa aliuza mbuzi 245, je alibaki na mbuzi wangapi?
- Umbo hili linaitwaje?
| | |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HESABU EXAM SERIES 18
OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOGIA
MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA DARASA LA TATU
HISABATI
MUDA:1: 30
JINA_____________________________________SHULE__________________
question | Working space | Answer |
- 8490 +1907 =
- 9777+1111=
- 5165
+4748 - 4320
+4370 - 7230-3838=
- 8125-2359=
- Andika 9042 kwa maneno
- Andika elfu nne, mia mbili na sita kwa maneno.
- Nini dhamani ya namba 2 katika 3219?
- Andika 8301 kwa kirefu
- Andika kwa kifupi 9000+200+00+3=
- Andika 3/4 kwa maneno
- Chura duara na uoneshe 1/4 yake
- Nusu ya nusu ni ngapi?
- Panga 23, 86, 10, 0, 100 kuanzia ndogo kwenda kubwa.
- Panga 89, 136, 54, 100, 29 kuanzia kubwa
- Andika namba inayokosekana
550, 660……..880, 990 - 4, 8, 12, …….20……..
- 29 x 5=
- 32 x 16=
- Ali ana sh425 na kaka yake ana sh200. Wote wana shilingi ngapi?
- Mwezi mmoja una siku thelasini, kuna siku ngapi katika miezi minane?
- Mbuzi mmoja ana miguu minne, je mbuzi kumi na wawili watakua na miguu mingapi?
- Mkulima ana mbuzi 965. Ikiwa aliuza mbuzi 245, je alibaki na mbuzi wangapi?
- Umbo hili linaitwaje?
| | |
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE HESABU EXAM SERIES 17