STD VII MAARIFA_JAMII ONLINE SELF NECTA TEST FOR YEAR 2017

11. Ipi kati ya mila zifuatazo inaweza kueneza ITVU/UKIMWI?........

  1.  Ngoma za asili 
  2.  Miiko ya chakula
  3.  Kuzaa watoto wengi 
  4.  Kurithi wajane
  5.  Mahari
Chagua Jibu


12. Kuna makundi mangapi ya uoto wa asili?

  1.  Matatu 
  2.  Manne 
  3.  Mawili 
  4.  Matano 
  5.  Sita
Chagua Jibu


13. Lengo kuu la mabadiliko ya katiba ya Tanzania mwaka 1962 yalikuwa

  1. kuunda serikali ya umoja wa kitaifa
  2. kuunda serikali ya shirikisho
  3. kuunda serikali ya mtaa
  4. kuunda serikali ya jamhuri
  5. kuunda serikali ya mpito.
Chagua Jibu


14. Umoja wa Afrika ulianzishwa rasmi mwaka gani?

  1.  2002 
  2.  2001 
  3.  1963 
  4.  1945 
  5.  1999
Chagua Jibu


SEHEMU B
HISTORIA        

Chagua jibu sahihi kisha weka kivuli kwenye herufi ya jibu lililosahihi katika fomu maalumu(OMR) ya kujibia.

15. Familia ya ndugu na jamaa inakaribia kufanana na kundi la jamii inayojulikana kama: 

  1.  kabila 
  2.  jamii 
  3.  ukoo 
  4.  jirani 
  5.  kijiji
Chagua Jibu


16. Ubugabire ni mfumo wa Umwinyi uliajengwa juu ya umiliki wa:

  1.  ngombe 
  2.  viwanda 
  3.  ardhi
  4.  wafanyakazi wa kigeni 
  5.  watumwa
Chagua Jibu


17. Mfumo wa kwanza ambapo jamii ilimiliki njia zote za uzalishaji kijamaa huitwa:.............

  1.  Umwinyi 
  2.  Ukomunisiti 
  3.  Ujamaa
  4.  Urafiki 
  5.  Ujima
Chagua Jibu


18. Mkataba upi uliharamisha biashara ya utumwa Afrika Mashariki mwaka 1873?

  1.  Mkataba wa Moresby 
  2.  Mkataba wa Hamerton
  3.  Mkataba wa Berlin 
  4.  Mkataba wa Heligoland
  5.  Mkataba wa Frere
Chagua Jibu


19. Mwenendo mzima wa maisha ya binadamu unaitwa

  1.  historia 
  2.  utamaduni 
  3.  Desturi 
  4.  demokrasia 
  5.  mila
Chagua Jibu


20. Utandawazi umebadili dunia na kuwa kama aliitwa..................

  1.  nchi 
  2.  wilaya 
  3.  mpira 
  4.  kijiji 
  5.  kata
Chagua Jibu


21. Umoja wa Mataifa ulianzishwa mwaka:

  1.  1955 
  2.  1945 
  3.  1995 
  4.  1885 
  5.  1950
Chagua Jibu


22. Mreno wa kwanza kufika sehemu ya Kusini mwa Afrika:

  1.  King Henry 
  2.  Bartholomew Diaz
  3. Vasco Da Gama 
  4.  David Livingstone
  5.  Cecil Rhodes
Chagua Jibu


23. Sababu mojawapo ya kukomeshwa kwa biashara ya utumwa ilikuwa:

  1.  Huruma ya wazungu juu ya mateso ya watumwa
  2.  Waafrika kupigania uhuru wao
  3.  Kupata masoko ya bidhaa za ulaya
  4.  Wazungu kujali juu ya usawa wa watu wote
  5. Udhaifu wa watumwa kutoka Afrika.
Chagua Jibu


24. Makundi makuu ya mawakala wa ukoloni waliokuja Tanganyika na Zanzibar yalikuwa:

  1. askari, wamisionari na watendaji
  2. wamisionari, waandishi wa habari na wafanyabiashara
  3. wapelelezi, watendaji na wafanyabiashara
  4. waandishi wa habari, wapelelezi na Askiari
  5. wapelelezi, wamisionari na wafanya biashara
Chagua Jibu


25. Mkataba wa 1890 uliogawanya Afrika Mashiriki kwa Wajerumani na Waingereli.ulijulikana kama:

  1.  Mkataba wa Hamerton 
  2.  Mkataba wa Haligoland
  3.  Mkataba wa Moresby 
  4.  Mkataba wa Afrika Mashariki
  5.  Mkataba wa Frere
Chagua Jibu


26. Makoloni ya Kifaransa Afrika yalikuwa pamoja na:

  1.  Togo na Morocco 
  2.  Senegal na Ghana
  3.  Nigeria na Tunisia 
  4.  Senegal na Morocco
  5.  Angola na Tunisia
Chagua Jibu


27. Kiongozi wa Banyoro aliyewaongoza wafuasi wake kuwapiga Waingereza Uganda alikuwa 

  1.  Kabaka Mwanga 
  2.  Kabarega 
  3.  Lobengula
  4.  Lewanika 
  5.  Samora Toure
Chagua Jibu


28. Azimio la Arusha lilisisitiza kwamba maendeleo ya nchi lazima yajengwe juu ya :

  1.  Utegemezi wa misaada 
  2.  Biashara ya kimataifa
  3.  Ujamaa na kujitegemea 
  4.  Chama kimoja cha demokrasia
  5.  Ubinafsishaji na uwekezaji.
Chagua Jibu


29. Tanzania ilipitisha mfumo wa vyama vingi kwa mara ya pili mwaka:

  1.  1995 
  2.  1992 
  3.  1963 
  4.  1985 
  5.  1965
Chagua Jibu


30. Nini faida ya mfumo wa chama kimoja?

  1. unawafanya baadhi ya viongozi wa Kiafrika kuwa madikteta.
  2. unawawezesha wananchi kuwa na uhuru wa kuzungumza.
  3. unaruhusu watu wengi kushiriki shughuli za kisiasa.
  4. unapunguza migogoro inayotokana na tofauti za kimtazamo.
  5. inawawezesha watu kukosoa serikali yao wakati wowote.
Chagua Jibu


  BOFYA HAPA KUPAKUA APP YA LEANING HUB
ILI KUFUNGUA MTIHANI MZIMA  




Try Another Test | 
Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256