HELLO YOUR HERE TO VIEW SCHEME CONTENT OF KISWAHILI KIDATO CHA NNE
CompetenceObjectiveMonthWeekMain TopicSub TopicPeriodsTeaching ActivitiesLearning ActivitiesLearning AidsAssessmentReferencesRemarks
The student should have ability to:
aweze kuunda maneno
Mwanafunzi aweze:
1. Kueleza mazingira yanayosababisha kuhitaji maneno mapya.
JanuariWiki Ya 3KUONGEZA MSAMIATI WA KISWAHILIUundaji wa maneno41. Tumia maswali na m aj i b u na majadiliano kuibua miktadha inayodai maneno mapya.
2. Mwalimu awaongoze wanafunzi kwa kutumia maswali na majibu kueleza njia za kuunda maneno.
1. Wanafunzi wafanye in ajadiliano ya vikundi na kueleza mazingira yanayodai maneno mapya.
2. Wanafunzi wataje njia hizo kwa mdomo na kwa kuandika.
Matini yenye maneno yaliyoundwa kwa njia tofauti tofauti. Je, mwanafunzi ameweza kueleza mazingira yanayosababisha mahitaji ya mazingira yanayosababisha. mahitaji ya maneno mapya?
Kiswahili Kidato Cha Nne, Kitabu Cha Mwanafunzi; Na Taasisi Ya Elinu TanzaniaRemarks Written here
The student should have ability to:
aeleze ukuaji wa kiswahili tanzania
Mwanafunzi aweze:
1. Kueleza kukua kwa Kiswahili katika enzi ya Waingereza nchini Tanzania.
FebruariWiki Ya 2WAINGEREZA NA BAADA YA UHURU1 Ukuaji na Ueneaji wa Kiswahili Katika Enzi ya Waingereza41. Kwa kutumia njia ya bungua bongo na majadiliano mwalimu awaongoze wanafunzi kubaini namna Kiswahili kilivyokua katika enzi ya Waingereza kimsamiati.
2. Kwa kutumia maswali na majibu na majadiliano na kuchunguza ramani ya Tanzania, mwalimu awaongoze wanafunzi kubaini kuenea kwa Kiswahili katika enzi ya Waingereza nchini Tanzania.
1. Wanafunzi katika vikundi wajadili na kubaini ukuaji wa Kiswahili kimsamiati katika enzi ya Waingereza nchini Tanzania.
2. Wanafunzi wajadili na kujibu maswali ya kubaini kuenea kwa Kiswahili katika enzi ya Waingereza nchini Tanzania.
Ramani ya Tanzania kuonesha vituo vya kupokea na kueneza Kiswahili: Zanzibar, Tanga Tabora, Mzizima (DSM), Ujiji. Je, mwanafunzi ameweza kueleza kukua kwa Kiswahili katika enzi ya Waingereza nchini Tanzania?
Kiswahili Kidato Cha Nne, Kitabu Cha Mwanafunzi; Na Taasisi Ya Elinu TanzaniaRemarks Written here
The student should have ability to:
aweze kueneza kiswahili
Mwanafunzi aweze:
1. Kueleza shughuli mbalimbali zinazowezesha kukua na kuenea kwa Kiswahili nchini.
2. Kueleza &lima za kila asasiinayokuza Kiswahili
FebruariWiki Ya 4WAINGEREZA NA BAADA YA UHURU Ukuaji na Ueneaji wa Kiswahili Baada ya Uhuru41) kuchunguza chati za asasi mwalimu awangoze wanafunzi kutaja asasi mbalimbali zinazokuza na lcueneza Kiswahili nchini Tanzania, kama vile BAKITA, TUKI, UKUTA, TAKILUKI Taasisi ya Elimu Tanzania.
2. waongoze wanafunzi katika vikundi vya majadiliano na maswali na majibu kubaini dhima ya kila asasi ya kukuza na kueneza Kiswahili nchini Tanzania.
1. Wanafunzi wajadili na kubaini asasi hizo.
2. Wanafunzi wajadili na kubaini dhima za kila asasi za Kiswahili kwa mdomo na kwa kuandika
Chati ya asasi zinazokuzadhima za kila mojawapo ya asasi za Kiswahili?Je, mwanafunzi ameweza kufafanua shughuli zinazowezesha ukuaji na ueneaji wa Kiswahili nchini?
Je, mwanafunzi ameweza kueleza
Kiswahili Kidato Cha Nne, Kitabu Cha Mwanafunzi; Na Taasisi Ya Elinu TanzaniaRemarks Written here
The student should have ability to:
hakiki kazi za fasihi
Mwanafunzi aweze:
1. Kubaini taarifa muhimu za mwandishi wa kila kitabu.
MachiWiki Ya 1UHAKIKI WA KAZI ZA FAME-I ANDISHI Uhakiki wa ushairi, tamthiliya na riwaya41. waongoze wanafunzi, kwa kutumia majadiliano, maswali na majibu, waeleze taarifa muhimu za maisha ya mwadishi wa kila kitabu.
1. Wanafunzi watafute taarifa hizo kwa njia ya kazi mradi.
2. Wanafunzi wahakiki maudhui katika riwaya, ushairi na tamthiliya teule.
Vitabu mbalimbali vya fasihi. Vitabu teule vya riwaya, tamthiliya na ushairi. Kanda za video za riwaya na Je, mwanafunzi ameweza kueleza taarifa muhimu za waandishi wa vitabu vya fasihi?
Kiswahili Kidato Cha Nne, Kitabu Cha Mwanafunzi; Na Taasisi Ya Elinu TanzaniaRemarks Written here
The student should have ability to:
aweze kutunga mashairi
Mwanafunzi aweze:
1. Kueleza kanuni za utungaji wa mashairi
.
MachiWiki Ya 3-4KUTUNGA KAZI ZA FASIHIUtungaji wa mashairi.81. Kwa kutumia mifano ya mashairi mbalimbli ya kimapokeo waongoze wanafunzi kubaini taratibu za uandishi katika mashairi hayo.
2. husisha vipengele hivyo na kanuni za utungaji wa mashairi.
1. Wanafunzi katika vikundi wajadili na kubaini vipengele vinavyofanana an kutofautiana katika mashairi hayo.
2. Wanafunzi wakiongozwa na mwalimu kubaini maana za istilahi zinazohusiana na kanuni za utungaji wa mashairi yakimapokeo.
Matini mbalirnbali za mashairi, tenzi na ngonjera. Kanda za sauti zenye mashairi, tenzi na ngonjera zilizoimbwa na kuigizwa. je, mwanafunzi ameweza kueleza kanuni za utungaji wa mashairi ya kimapokeo?
Kiswahili Kidato Cha Nne, Kitabu Cha Mwanafunzi; Na Taasisi Ya Elinu TanzaniaRemarks Written here

Fill The Form Below To Download Scheme Of Work Of KISWAHILI KIDATO CHA NNE For T.Sh. 2,000/=

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256