HELLO YOUR HERE TO VIEW SCHEME CONTENT OF KISWAHILI KIDATO CHA TATU
CompetenceObjectiveMonthWeekMain TopicSub TopicPeriodsTeaching ActivitiesLearning ActivitiesLearning AidsAssessmentReferencesRemarks
The student should have ability to:
fanya tungo zenye upatanishi wa kisarufi
mwanafunzi aweze:
i) kufafanua upatanishi wa kisarufi katika sentensi
JanuariWiki Ya 3NGELI ZA NOMINOKuzielewa ngeli2i) Tumia majibu na maswali mifano na majadiliano kuwaongoza wanafunzi kubainisha ruwaza ya upatanishi wa kisarufi baina ya maneno katika sentensi
i) wanafunzi wajadili upatanishi wa kisarufi katika sentensi mbalimbali na kubainisha ruwaza yake
chati ya ngeli, matini, zenye ngeli za majina, chati za ngeli za nominoje mwanafunzi ameweza kufafanua upatanishi wa kisarufi katika sentensi?
Kiswahili Kidato Cha Tatu, Kitabu Cha Mwanafunzi; Na Taasisi Ya Elinu TanzaniaRemarks Written here
The student should have ability to:
afasili tungo
mwanafunzi aweze:
i) kueleza dhima ya tungo
FebruariWiki Ya 1-2MJENGO WA TUNGOKueleza mjengo wa tungo8i) kwa kutumia maswali na majibu, uchunguzi na majadiliano, mwalimu awaongoze wanafunzi wabaini tungo mbalimbali kutokana na mazungumzo na maandiko anuai
i) wanafunzi wabaini tungo mbalimbali kutokana na mazungumzo na maandiko anuai
ii) wanafunzi wapange tungo hizo kwa kutofautisha zilizo na sisizo halisi
chati zenye tungo za virai, vishazi na sentensi maandiko mbalimbalije mwanafunzi ameweza kufasili tungo?
Kiswahili Kidato Cha Tatu, Kitabu Cha Mwanafunzi; Na Taasisi Ya Elinu TanzaniaRemarks Written here
The student should have ability to:
achanganue virai
mwanafunzi aweze: i) kubainisha virai ii) kufafanua virai FebruariWiki Ya 4MJENGO WA TUNGOUfafanuzi wa aina za tungo4i) waongoze wanafunzi kutaja tungo mbalimbali na ziandikwe ubaoni
ii) kwa kutumia onesho mbinu, waongoze wanafunzi kufafanua aina za virai kulingana na dhima zake katika mawasiliano
i) wanafunzi wakiongozwa na mwalimu na mwalimu wabaini aina mbalimbali za virai zilizopo kwenye tungo hizo
ii) wanafunzi waorodheshe virai hivyo kulingana na aina zake.
chati ya tungo yenye vishazi chati zenye aina ya sentensi, je, mwanafunzi anaweza kufafanua virai?
Kiswahili Kidato Cha Tatu, Kitabu Cha Mwanafunzi; Na Taasisi Ya Elinu TanzaniaRemarks Written here
The student should have ability to:
aonyeshe uhusiano kati ya kiswahili na kibantu
mwanafunzi aweze kuonyesha ushahidi wa kimsamiati na kimuundo unaodhibitisha ubantu wa kiswahili MarchWiki Ya 2MAENDELEO YA KISWAHILIAsili ya kiswahili4i) tumia majadiliano , chati ya visawe, awaongoze wanafunzi kuonyesha ushahii wa kimuundo wa ubantu wa kiswahili kwa kuzingatia lugha za makabila mbalimbali tanzania i) wanafunzi watoe mifano kadhaa ya maneo kudhibitisha ubantu wa kiswahili. wafanye hivyo kwa kuzungumza na kuandika
kamusi ya kiswahili chati ya visawe vya maneno ya kiswahili na maneno ya lugha nyingine za kibantuje, mwanafunzi ameweza kuonesha mfafanuo wa kimsamiati wa kiswahili na maneno ya lugha nyingine za kibantu?Kiswahili Kidato Cha Tatu, Kitabu Cha Mwanafunzi; Na Taasisi Ya Elinu TanzaniaRemarks Written here
The student should have ability to:
afafanue mfano wa ruwaza ya miundo
mwanafunzi aweze kufafanua jinsi miundo ya kiswahili inavyofanana na miundo ya lugha nyingine za kibantu AprilWiki Ya 4MAENDELEO YA KISWAHILIAsili ya kiswahili2i) waongoze wanafunzi watamke sentensi moja kwa lugha mbalimbali za kibantu, kisha aongoze majadiliano kuhusu kufanana kwa sentensi hizo ii) tumia chati ya ruwaza za miundo ya kiswahili na lugha nyingine za kibantu kuongoza majadiliano ya mfanano huoi) wanafunzi wajenge ruwaza kutokana na sentensi hizo ii) wanafunzi wajadili kufanana kwa miundo hiyo iii) wanafunzi wafanye kazi ya mradi wa utafiti wa miuno mbalimbai ya kiswahili na kuifananisha na lugha zao za kibantuchati ya ruwaza ya miuno ya kiswahili na lugha nyingine za kibantuje mwanafunzi ameweza kufafanua mfano wa ruwaza ya miundo ya kiswahili na ya lugha nyingine za kibantu?Kiswahili Kidato Cha Tatu, Kitabu Cha Mwanafunzi; Na Taasisi Ya Elinu TanzaniaRemarks Written here

Fill The Form Below To Download Scheme Of Work Of KISWAHILI KIDATO CHA TATU For T.Sh. 2,000/=

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256