HELLO YOUR HERE TO VIEW SCHEME CONTENT OF ELIMU YA DINI YA KIISLAMU FORM ONE
Main competence Specific competence Learning Activities Specific activities Month Week Periods Reference Teaching and learning methods Teaching and learning resources Assessment tools Remarks

FORM ONE ORIENTATION COURSE(13th January - 23rd February 2026)

1.0. Kumtambua, kumpenda, kumtukuza na kumsifu Allaah (S.W). 1.1 Kutambua uwepo wa Allaah (S.W) na sifa zake. (a) Kufafanua ufahamu wa Elimu kwa mtazamo wa Uislamu. (Maana, lengo, chanzo na umuhimu wa elimu, sifa za mtu aliyeelimika, mgawanyo wa Elimu, umuhimu wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu, uhusiano wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu na masomo mengine). Ufahamu sahihi wa Elimu Februari Wiki Ya 4 2 Elimu Ya Dini Ya Kiislam, Kidato Cha Kwanza, Kitabu cha mwanafunzi. Dar es salaam Bunguabongo na majadiliano: Ongoza wanafunzi katika vikundi vidogo vidogo kubungua bongo kisha wajadiliane kwa kufafanua: (i) Maana ya Elimu,
(ii) Sifa za mtu aliyeelimika,
(iii) Chanzo cha Elimu zote
(iv) Umuhimu na lengo la Elimu.
(v) Mgawanyo wa Elimu
(vi) Umuhimu wa somo
la Elimu ya Dini ya Kiislamu. (vii) Uhusiano wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu na masomo mengine. Baada ya majadiliano, mmoja katika kundi awasilishe darasani.
- Kitabu cha kiada kidato cha 1
- Bango kitita
- Tafsiri ya Qur’an ya sheikh Abdullah Saleh Farsy
- TEHAMA
  • Majaribio na mazoezi�
  • Mazoezi, maswali, Kazi ya Vikundi Kazi mradi Majaribio majadiliano
Remarks Written here
1.0. Kumtambua, kumpenda, kumtukuza na kumsifu Allaah (S.W). 1.1 Kutambua uwepo wa Allaah (S.W) na sifa zake. (b) Kuchambua ufahamu wa dini kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah. (Maana ya dini, aina za dini) Kuchambua wa usahihi ufahamu wa dini Februari Wiki Ya 4 1 Elimu Ya Dini Ya Kiislam, Kidato Cha Kwanza, Kitabu cha mwanafunzi. Dar es salaam Fikiri – jozisha – shirikisha: Ongoza wanafunzi katika vikundi vidogo vidogo kupitia fikiri – jozisha - shirikisha kufafanua
(i) Maana ya dini kwa mtazamo wa Qur’an na Sunnah
(ii) Aina za dini kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah, Kila kundi kutoa muwakilishi mmoja kuwasilisha walichojifunza.
- Kitabu cha kiada kidato cha 1
- Tafsiri ya Qur’an ya sheikh Abdullah Saleh Farsy
- TEHAMA
Mazoezi, maswali, Kazi ya Vikundi Kazi mradi Majaribio majadiliano Remarks Written here
1.0. Kumtambua, kumpenda, kumtukuza na kumsifu Allaah (S.W). 1.1 Kutambua uwepo wa Allaah (S.W) na sifa zake. c) Kuchambua ufahamu wa Imani kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah. (Maana, nguzo za Imani na nguzo ya ihsani, sifa za muumini wa kweli katika aya za Quran; (49:15), ( 8:2 – 4), (2:2 – 5), (23:1-11) Kuchambua wa usahihi ufahamu wa Imani Machi Wiki Ya 1 3 Elimu Ya Dini Ya Kiislam, Kidato Cha Kwanza, Kitabu cha mwanafunzi. Dar es salaam Bunguabongo na majadiliano: Ongoza wanafunzi katika vikundi kubungua bongo kisha wajadiliane juu ya
(i) Maana ya Imani
(ii) Nguzo za Imani na nguzo ya Ihsan
(iii) Sifa za muumini wa kweli kwa mujibu wa Quran; (49:15), (8:2 – 4), (2:2 – 5), (23:1-11)
- Kitabu cha kiada kidato cha 1
- Bango kitita
- Tafsiri ya Qur’an ya Sheikh Abdullah Saleh Farsy
- TEHAMA
- Matini mbalimbali kuhusu Imani ya Kiislamu.
Mazoezi, maswali, Kazi ya Vikundi Kazi mradi Majaribio majadiliano Remarks Written here

Fill The Form Below To Download Scheme Of Work Of ELIMU YA DINI YA KIISLAMU FORM ONE For T.Sh. 2,000/=

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256