?>
MINISTRY OF EDUCATION SCIENCE AND TECHNOLOGY
STANDARD THREE EVALUATION EXAMINATION
KISWAHILI MID TERM SEPTEMBER 2021
INSTRUCTIONS:
SEHEMU A: IMLA
Sikiliza kwa makini sentensi zitakazosomwa kisha uandike kwa usahihi.
SEHEMU B
Chagua herufi ya jibu sahihi kisha jaza kwenye mabano.
II. Mimea ikipata mvua ya kutosha……………
III. Amina ni mtoto mwenye………….
IV.Neno “kyala” limeundwa kwa silabi…………
SEHEMU C
Methali, nahau na vitendawili.
SEHEMU D
Mazoezi ya lugha.
SEHEMU E: Ufahamu
Soma habari ifuatayo kisha jibu maswali.
Ali ni kijana mwenye nguvu sana.alimaliza elimu ya msingi mwaka 2000 katika shule iitwayo Msufini iliyoko wilayani Handeni. Baada ya kumaliza darasa la saba alifanya biashara ya kuuza karanga pale pale kijijini. Baada ya mwaka mmoja aliamua kuacha biashara hiyo. Alinunua zana za kilimo jembe, panga na shoka. Kwa hivi sasa Ali ni mkulima Hodari anayelima mpunga na maharagwe. Anasifika sana pale kijijini kutoka na uhodari wake katika kilimo.
MASWALI
LEARNINGHUBTZ.CO.TZSTANDARD THREE KISWAHILI EXAM SERIES 16