TAREHE . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . MUDA . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
1. TAARIFA ZA DARASA
| IDADI YA WANAFUNZI | |||||
| WALIOSAJILIWA | WALIOHUDHURIA | ||||
| WASICHANA | WAVULANA | JUMLA | WASICHANA | WAVULANA | JUMLA |
| . | |||||
1.0 Kumudu historia ya Tanzania na maadili wakati wa ukoloni, 1890-1960
1.1 Kutumia maarifa na ujuzi wa chimbuko na ukuaji wa mfumo wa ukoloni kuelewa uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na mataifa yaliyoitawala
(a) Kuchambua chimbuko la ukoloni
Chimbuko la ukoloni katika Tanzania
Matini kuhusu chimbuko la mfumo wa ukoloni Picha mbalimbali kuonesha wataala na shughuli za wakoloni
7. REJEA: TIE(2023) Historia Ya Tanzania na Maadili Kitabu Cha Mwanafunzi, Kidato Cha Pili. Dar es salaam
|
Hatua |
Muda |
Shughuli za ufundishaji |
Shughuli za ujifunzaji |
Vigezo vya upimaji |
|
Utangulizi |
10 |
Eleza kwa kifupi hali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi kabla ya ukoloni. Onyesha ramani ya Afrika ya karne ya 19. |
Sikiliza maelezo, tambua maeneo yaliyokuwa na mataifa mbalimbali, na toa maoni kuhusu hali ya maisha ya wananchi kabla ya ukoloni. |
Chimbuko la ukoloni limechambuliwa kwa kina |
|
Kuendeleza Ujenzi wa umahiri |
30 |
Toa mifano ya sababu za ukoloni (uchumi, kisiasa, kijamii, kidini). |
Jadili katika makundi, andika sababu kuu na ndogo, toa mifano ya matukio yanayounga mkono hoja. |
Chimbuko la ukoloni limechambuliwa kwa kina |
|
Kubuni |
20 |
Wahimize wanafunzi kuunda ramani ya msururu wa sababu za ukoloni. |
Tumia ramani hiyo kuonyesha jinsi kila sababu ilivyochangia kuanzishwa kwa ukoloni. |
Chimbuko la ukoloni limechambuliwa kwa kina |
|
Tathimini |
20 |
Maswali na majibu, kadi mwambato, kazi |
Kujibu maswali, kufanya kazi za ziada, kushiriki katika mjadala, jibu maswali ya kadi mwambato |
Chimbuko la ukoloni limechambuliwa kwa kina |
MAONI:
--MAONI KUANDIKWA HAPA-- |
TAREHE . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . MUDA . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
1. TAARIFA ZA DARASA
| IDADI YA WANAFUNZI | |||||
| WALIOSAJILIWA | WALIOHUDHURIA | ||||
| WASICHANA | WAVULANA | JUMLA | WASICHANA | WAVULANA | JUMLA |
| . | |||||
1.0 Kumudu historia ya Tanzania na maadili wakati wa ukoloni, 1890-1960
1.1 Kutumia maarifa na ujuzi wa chimbuko na ukuaji wa mfumo wa ukoloni kuelewa uhusiano wa kihistoria kati ya Tanzania na mataifa yaliyoitawala
Mataifa yaliyoitawala Tanzania
Matini kuhusu chimbuko la mfumo wa ukoloni Picha mbalimbali kuonesha wataala na shughuli za wakoloni
7. REJEA: TIE(2023) Historia Ya Tanzania na Maadili Kitabu Cha Mwanafunzi, Kidato Cha Pili. Dar es salaam
|
Hatua |
Muda |
Shughuli za ufundishaji |
Shughuli za ujifunzaji |
Vigezo vya upimaji |
|
Utangulizi |
10 |
Toa maelezo ya jumla kuhusu ukoloni: Ujerumani na Uingereza. |
Sikiliza maelezo, toa mawazo ya awali kuhusu ni kwa nini mataifa mbalimbali yalichukua maeneo tofau |
Chimbuko la ukoloni limechambuliwa kwa kina |
|
Kuendeleza Ujenzi wa umahiri |
30 |
Eleza taratibu za ukoloni wa Kijerumani na Kiingereza, ikiwemo utawala na mgawanyo wa ardhi. |
Andika tofauti za utawala wa Kijerumani na Kiingereza, jadili katika makundi. |
Chimbuko la ukoloni limechambuliwa kwa kina |
|
Kubuni |
20 |
Wahimize wanafunzi kutengeneza jedwali la kulinganisha utawala wa mataifa hayo. |
: Unda jedwali linaloonyesha tofauti za kiutawala, kiuchumi na kitamaduni kati ya Ujerumani na Uingereza. |
Chimbuko la ukoloni limechambuliwa kwa kina |
|
Tathmini |
20 |
Maswali na majibu, kadi mwambato, kazi |
Kujibu maswali, kufanya kazi za ziada, kushiriki katika mjadala, jibu maswali ya kadi mwambato |
Chimbuko la ukoloni limechambuliwa kwa kina |
MAONI:
--MAONI KUANDIKWA HAPA-- |