HELLO YOUR HERE TO VIEW LESSON PLAN CONTENT OF HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI KIDATO CHA I

TAREHE . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . MUDA . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

1. TAARIFA ZA DARASA

IDADI YA WANAFUNZI
WALIOSAJILIWA WALIOHUDHURIA
WASICHANA WAVULANA JUMLA WASICHANA WAVULANA JUMLA
.
  1. UMAHIRI MKUU

Kulinda Historia ya Tanzania, urithi na maadili ya Taifa

  1. UMAHIRI MAHUSUSI

Kumudu dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili

  1. SHUGHULI KUU

(a) Kueleza dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili (maana, umuhimu)

  1. SHUGHULI MAHUSUSI

Maana Rahisi ya Historia

  1. ZANA ZA UFUNDISHAJI/UFUNZAJI

Matini ya Historia ya Tanzania na Maadili - Picha zinazoonesha historia ya Tanzania maadili na urithi- Filamu zinazoonesha vitendo vya kimaadili

7. REJEA: TIE(2023) Historia Ya Tanzania na Maadili Kitabu Cha Mwanafunzi, Kidato Cha Kwanza. Dar es salaam

MCHAKATO WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI

Hatua

Vipindi

Shughuli Za Ufundishaji

Shughuli Za Ufunzaji

Vigezo Vya Upimaji

Utangulizi

5

Anawasalimu wanafunzi na kuwauliza: "Nani anaweza kutuambia alichokifanya jana baada ya shule?" "Nani anaweza kukumbuka alivyokuwa mdogo sana, kabla hajaanika shule?"

Wanaitikia salamu, wanashiriki matukio yao ya jana, na wengine wanajaribu kukumbuka mambo ya utotoni.

Dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili imeelezwa

Kuendeleza Ujenzi wa umahiri

15

Anaeleza kuwa historia ni hadithi au kumbukumbu ya matukio yaliyopita. Anatoa mifano rahisi ya historia ya mtu binafsi

Wanasikiliza kwa makini, wanatoa mifano yao ya matukio yaliyopita katika maisha yao au familia zao, na kuandika maana rahisi ya 'historia' katika daftari zao.

Dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili imeelezwa

Kubuni

10

Anawaomba wanafunzi wachore picha ya tukio muhimu lililowahi kuwatokea katika maisha yao.

Wanachora picha zao na kueleza kwa kifupi kile kinachoonyeshwa kwenye picha.

Dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili imeelezwa

Tathimini

10

Maswali na majibu, kadi mwambato, kazi
mradi, kazi za makundi, mitihani, mazoezi

Kujibu maswali, kufanya kazi za ziada, kushiriki katika mjadala, jibu maswali ya kadi mwambato

Dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili imeelezwa

MAONI:


--MAONI KUANDIKWA HAPA--

TAREHE . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . MUDA . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

1. TAARIFA ZA DARASA

IDADI YA WANAFUNZI
WALIOSAJILIWA WALIOHUDHURIA
WASICHANA WAVULANA JUMLA WASICHANA WAVULANA JUMLA
.
  1. UMAHIRI MKUU

Kulinda Historia ya Tanzania, urithi na maadili ya Taifa

  1. UMAHIRI MAHUSUSI

Kumudu dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili

  1. SHUGHULI KUU

(a) Kueleza dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili (maana, umuhimu)

  1. SHUGHULI MAHUSUSI

Umuhimu wa Kujifunza Historia ya Tanzania

  1. ZANA ZA UFUNDISHAJI/UFUNZAJI

Matini ya Historia ya Tanzania na Maadili - Picha zinazoonesha historia ya Tanzania maadili na urithi- Filamu zinazoonesha vitendo vya kimaadili

7. REJEA: TIE(2023) Historia Ya Tanzania na Maadili Kitabu Cha Mwanafunzi, Kidato Cha Kwanza. Dar es salaam

MCHAKATO WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI

Hatua

Vipindi

Shughuli Za Ufundishaji

Shughuli Za Ufunzaji

Vigezo Vya Upimaji

Utangulizi

5

Anawauliza wanafunzi: "Kwa nini tunapaswa kujua matukio yaliyowahi kutokea nchini mwetu miaka mingi iliyopita?"

Wanajibu maswali, wakijaribu kutoa mawazo yao kuhusu umuhimu wa kujua historia ya nchi.

Dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili imeelezwa

Kuendeleza Ujenzi wa umahiri

15

Anaeleza umuhimu wa kujifunza historia ya Tanzania: inatusaidia kujua nchi yetu ilivyojengwa, tunatoka wapi, na jinsi babu zetu walivyoishi na kufanya kazi. Inatusaidia kujivunia nchi yetu na kujifunza kutokana na makosa ya zamani.

Wanasikiliza, wanataja umuhimu wa kujifunza historia ya nchi, na kuandika faida mbili au tatu katika daftari zao.

Dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili imeelezwa

Kubuni

10

Anawaomba wanafunzi waigize kuwa wao ni mashujaa wa zamani na kueleza kile walichokifanya (kwa kifupi na urahisi).

Wanashiriki katika kuigiza na kueleza.

Dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili imeelezwa

Tathimini

10

Maswali na majibu, kadi mwambato, kazi
mradi, kazi za makundi, mitihani, mazoezi

Kujibu maswali, kufanya kazi za ziada, kushiriki katika mjadala, jibu maswali ya kadi mwambato

Dhana ya Historia ya Tanzania, urithi na maadili imeelezwa

MAONI:


--MAONI KUANDIKWA HAPA--


Fill The Form Below To Download LESSON PLAN Of HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI KIDATO CHA I For T.Sh. 4,000/=

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256