STD VII SAYANSI ONLINE SELF NECTA TEST FOR YEAR 2018

SAYANSI - 2018

SEHEMU A

Chagua herufi ya jibe sahihi, kisha andika katika karatari ya rnajibu/kujibia.

1. Ipi jozi sahihi kati ya zifuatazo inahusu sehemu za uzazi katika mimea na wanyama?............

  1. Chavua katika mimea na manii katika wanyama
  2. Filamenti katika mimea na fallopian katika wanyama
  3. Tunda katika mimea na korodani katika wanyama
  4. Maua katika mimea na uterasi katika wanyama
  5. Mbegu katika mimea na ovari katika wanyama
Chagua Jibu


2. Ili mimea iweze kuendelea kuishi katika mazingira yake inahitaji:

  1.  hewa na udongo 
  2.  hewa na maji
  3.  udongo na mbolea 
  4.  udongo na maji
  5.  jotoridi na hewa
Chagua Jibu


3. Mpunga kuzaliana kwa kutumia:

  1.  majani 
  2.  mbegu 
  3.  mizizi 
  4.  mashina 
  5.  matawi
Chagua Jibu


4. Kundi lipi linawakilisha wanyama wenye uti wa mgongo?

  1.  Nyoka, nge, buibui na mamba 
  2.  Konokono, nyoka, kenge na samaki
  3.  Kenge, nyoka, bulbul na samaki 
  4.  Konokono, samaki, chura na mamba
  5.  Mjusi, nyoka, kenge na mamba
Chagua Jibu


5. Kiwavi ni hatua mojawapo ya ukuaji wa:

  1.  nyuki 
  2.  rnbungo 
  3.  funza 
  4.  mende 
  5.  kipepeo
Chagua Jibu


6. Zipi kati ya zifuatazo ni sifa za viumbe hal?

  1. Kukua, kupumua, kusanisi chakula, kujongea
  2. Kukua, kupumua, kulala, kujongea
  3. Kukua, kupumua, kujongea na kuzaliana
  4. Kukua, kuona, kujongea na kuzaliana
  5. Kukua, kusanisi chakula, kujongea na kuzaliana
Chagua Jibu


7. Umeme unasababishwa na mtiririko wa:

  1.  elektroni 
  2.  protoni 
  3.  nyutroni 
  4.  chaji 
  5.  atomi
Chagua Jibu


8. Ipi kati ya zifuatazo ni sifa ya kinyonga?............

  1.  Hubadili mlio wa sauti yake 
  2.  Huchagua aina ya chakula
  3.  Hubadili rangi ya mwili 
  4.  Hatoi taka mwili
  5.  Hubadili mwendo
Chagua Jibu


9. Yupi kati ya wafuatao ni mamalia?............

  1.  Konokono 
  2.  Bata 
  3.  Popo 
  4.  Mjusi 
  5.  Chura
Chagua Jibu


10. Ipi kati ya zifuatazo siyo kazi ya mizizi katika mimea?..............

  1.  Kusharabu madini ya chumvi. 
  2.  Kusharabu maji
  3.  kushikilia mmea 
  4.  Kutengeneza chakula cha mmea
  5.  Kutunza chakula cha mmea
Chagua Jibu


11. Gesi ipi hupunguzwa angani na mimea?..................

  1.  Kabondioksaidi 
  2.  Oksijeni 
  3.  Haidrojeni
  4.  Kabonimonoksaidi 
  5.  Naitrojeni
Chagua Jibu


12. Ili maji yawe salama kwa kunywa yanapaswa kifanywa nini?

  1. Kuchemshwa na kufunikwa
  2. Kuchujwa na kuhifadhiwa
  3. kuchemshwa, kuchujwa na kuhifadhiwa
  4. kuwekwa juani kutwa nzima na kupozwa
  5. Kuwekwa kwenye mtungi na kufunikwa
Chagua Jibu


13. Yafuatayo ni mahitaji muhimu kwa uhai na ukuaji wa mimea isipokuwa:

  1.  Mbolea za viwandani 
  2.  Maji
  3.  Hewa ya kabondayoksaidi 
  4.  Mwanga wa jua
  5.  Udongo wenye rutuba
Chagua Jibu


14. Hewa inayohitajika kwa wanyama iii waishi ni:

  1.  Oksijeni 
  2.  Kabondayoksaidi
  3.  Nitrojeni 
  4.  Haidrojeni
  5.  Kabonimonoksaidi
Chagua Jibu


15. Mtu anayekula vyakula vyenye mafuta kwa wingi anaweza kupata:

  1.  beriberi 
  2.  Kifafa
  3. Shinikizo la juu la damu 
  4.  Kisukari
  5.  Shinikizo la chini la damu
Chagua Jibu


16. Ugonjwa unaosababishwa na hitilafu katika chembe hai nyekundu za damu huitwa:

  1.  beriberi 
  2.  selimundu 
  3.  saratani ya damu
  4.  kisukari 
  5.  kifua kikuu
Chagua Jibu


17. Ni gesi ipi hupungua katika chumba kilichofungwa madirisha wakati kina moto wa mkai. 

  1.  Haidrojeni 
  2.  Kabonimonoksaidi
  3.  kabondayoksaidi 
  4.  Oksijeni 
  5.  Natrojeni
Chagua Jibu


18. Ni kitu gani tunaweza kutumia iii tunaweza kuona taswira zetu vizuri?

  1.  Kioo mbinuko 
  2.  Kioo mbonyeo 
  3.  Kioo bapa
  4.  Lenzi mbinuko 
  5.  Lenzi mbonyeo
Chagua Jibu


19. Kwa nini ni muhimu kuosha matunda kabla ya kula?

  1.  Kuondoa sumu 
  2.  Kuondoa vimelea
  3.  Kuondoa utomvu 
  4.  Kuondoa harufu mbaya
  5.  Kuondoa chumvichumvi
Chagua Jibu


20. Sehemu ipi ya mfumo wa umengenyaji chakula inahusika na umengenyaji protini? 

  1.  Mdomo 
  2.  Utumbo mwembamba
  3.  Utumbo mpana 
  4.  Umio 
  5.  Tumbo
Chagua Jibu


  BOFYA HAPA KUPAKUA APP YA LEANING HUB
ILI KUFUNGUA MTIHANI MZIMA  




Try Another Test | 
Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256