STD IV HISABATI ONLINE NECTA EXAM REVIEW FOR YEAR 2011

HISABATI 2011

1.   4233
  +    876 

Fungua Jibu



2.   400
    - 336

Fungua Jibu



3.  214
    x 14


Fungua Jibu


4.


Fungua Jibu


5. Mchoro huu wa saa unatumia namba za Kirumi. Unaonesha saa ngapi kwa namba za kawaida?


Fungua Jibu


6. Andika 21 kwa tarakimu za Kirumi.

Fungua Jibu


7. Ni sehemu gani ya kitu kizima imetiwa kivuli?


Fungua Jibu


8. 

Fungua Jibu


9. Tafuta jina la umbo hill:


Fungua Jibu


10. Tafuta mzingo wa mraba ufuatao.

Fungua Jibu


11. Tafuta eneo la mstatili ufuatao:

Fungua Jibu


12. Umbo la pembe nne lina vipande vingapi vya mistari?

Fungua Jibu


13. Badili meta 14 kuwa milimita.

Fungua Jibu


14. Urefu wa Doto ni meta 1. Nini urefu wake kwa kipimo cha sentimeta?

Fungua Jibu


15. m 52 + m 23 + m 18 =

Fungua Jibu


16. Kurwa alinipa kilogramu 2 za sukari na Asha alinipa gramu 2500 za sukari. Je, jumla nilipata gramu ngapi za sukari?

Fungua Jibu


17. Mwanafunzi mmoja huhitaji gramu 200 za mchele kwa mlo mmoja. Wanafunzi 40 watahitaji kilogramu ngapi?

Fungua Jibu


18. Ndoo moja yenye ujazo wa lita 20 za maji ilimiminwa kwenye chupa zenye ujazo wa lita mbili kila moja. Je, zilipatikana chupa ngapi?

Fungua Jibu


19. Mtoto hutumia nusu lita ya maziwa kwa siku. Je kwa siku nne atatumia maziwa kiasi gani?

Fungua Jibu


 20. 

Fungua Jibu


21.


Fungua Jibu


22. Grafu ifuatayo inaonesha mauzo ya sukari katika duka la shule.


Mauzo ya Jumatatu yamezidi mauzo ya Jumatano kwa kilogramu ngapi?

Fungua Jibu


23. Sh. 8,240 St. 20 — 5,150 St. 20 =

Fungua Jibu


24.


Fungua Jibu


25. Baba alinunua vitu vifuatavyo: Miche 2 ya sabuni @ Sh. 600; madaftari 10@ Sh.

 280; viberiti 6 @ Sh. 50 na penseli 5 @ Sh. 100. Jumla alitumia shilingi ngapi?  Fungua Jibu


Download Learning
Hub App

For Call,Sms&WhatsApp: 255769929722 / 255754805256